SBS Swahili - SBS Swahili

Follow SBS Swahili - SBS Swahili
Share on
Copy link to clipboard

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

SBS Swahili


    • Apr 17, 2026 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 12m AVG DURATION
    • 1,963 EPISODES


    Search for episodes from SBS Swahili - SBS Swahili with a specific topic:

    Latest episodes from SBS Swahili - SBS Swahili

    Nicky "Mwaka huu Taunet imelenga kufunza watoto wetu lugha na utamaduni wetu"

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 13:51


    Wanachama wa shirika la Taunet Nelel Melbourne, wame andaliwa sherehe maalum na viongozi wao.

    Taarifa ya Habari 17 Aprili 2026

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 12:40


    Waziri wa Nishati Chris Bowen anasema uzalishaji wa petroli katika kiwanda cha kusafishia mafuta cha Geelong utaathiriwa kufuatia tukio la moto mapema wiki hii, lakini mmiliki wa kiwanda hicho ana uhakika wa kubadilisha tofauti hiyo na uagizaji.

    SBS Learn Eng Ep 106 Kuzungumza kuhusu vyakula ambavyo haufahamu

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 9:18


    Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu vyakula ambavyo haufamu?

    vyakula
    Makala Leo: Sera tata ya uhamiaji ya kiongozi wa upinzani Angus Taylor yakosolewa vikali

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 12:47


    Kiongozi wa upinzani Angus Taylor ameelezea sera mpya ya uhamiaji yenye msimamo mkali ya Upinzani wa Mseto

    Taarifa ya Habari: Zima moto wakabiliana na moto mkubwa katika kiwanda cha kusafisha mafuta

    Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 6:15


    Kuna ripoti za uharibifu mkubwa kwa moja ya viwanda viwili vya mwisho vya kusafisha mafuta vilivyosalia nchini Australia, kikosi cha zimamoto kikiitikia moto uliozuka katika eneo la kampuni ya Viva Energy Group karibu na Geelong.

    Wiki hii Afrika: Rais Ruto ataka mageuzi katika muundo wa Muungano wa Afrika ili ifikie uwezo wayo kamili

    Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 7:56


    Rais wa Kenya, William Ruto amesema Umoja wa Afrika katika muundo wake wa sasa, hauja andaliwa ipaswavyo ili kulisaidia bara la Afrika kufikia uwezo walo kamili wa maendeleo na ustawi.

    Taarifa ya Habari: Historia ya tengezwa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 14:32


    Kwa mara ya kwanza katika historia ya Australia, mwanamke ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia. Waziri Mkuu alitangaza uteuzi wa Luteni Jenerali Susan Coyle mjini Canberra.

    Australia Yafafanuliwa:Huduma za kisheria za wanawake nchini Australia:elewa chaguzi zako

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 14:50


    Ubaguzi katika sehemu za kazi, unyanyasaji wa kijinsia na ukosefu wa usawa wa kifedha—hizi ni baadhi ya sababu, zinazowafanya wanawake wahitaji huduma maalum za kisheria.

    Makala leo: Marekani yazuia bandari za Iran

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 9:04


    Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yameshindwa kufikia makubaliano ya kukomesha vita, na kuhatarisha usitishaji wa mapigano kwa muda wa wiki mbili.

    Taarifa ya Habari: Kenya na Ufaransa zapiga hatua katika mkataba wa ulinzi

    Play Episode Listen Later Apr 13, 2026 5:39


    Serikali ya Australia inasema haifikirii kutuma meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz, baada ya Rais Donald Trump kusema mataifa mengine yatahusika katika kizuizi cha Marekani kwenye njia hiyo ya maji.

    Australia Yafafanuliwa: Kazi mpya, mwanzo mpya: jinsi ya kubadilisha kazi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2026 14:23


    Ni kawaida kufikiria upya maisha yako ya kazi. Baadhi wanatafuta fursa mpya. Wengine wanataka kazi inayolingana vyema na ujuzi wao, maadili, au hali zao.

    Taarifa ya Habari: Serikali ya Australia na Singapore kutia saini makubaliano mapya ya usambazaji wa mafuta

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 13:11


    Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema uhusiano kati ya Australia na Singapore ni muhimu zaidi kuliko hapo awali, nchi hizo mbili zikijiandaa kusaini makubaliano mapya ya mafuta.

    Yaliyojiri Afrika: Upinzani waomba Tundu Lisu aachiliwe huru bila masharti

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 7:59


    Chama kikuu cha upinzani Tanzania, CHADEMA kina shinikiza kuachiliwa huru kwa kiongozi wao Tundu Antiphas Mughwai Lissu bila masharti.

    Makala leo: Maumivu ya madereva katika vituo vya petroli yanaweza endelea kwa muda

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 8:31


    Tangazo la kusitisha mapigano Mashariki ya Kati linaonekana kupunguza maumivu ya madereva katika vituo vya petroli, Iran ikikubali kuruhusu meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.

    Taarifa ya Habari:Australia yashinikiza kupanua usitishaji mapigano Mashariki ya Kati ujumuishe Lebanon

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2026 5:22


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ametoa wito kwa Israel kukomesha mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, akisema usitishaji wa mapigano katika eneo hilo la Mashariki ya Kati unapaswa kupanuliwa ili kuijumuisha Lebanon.

    Mahojiano: Je makanisa yanastahili watenga viongozi ambao wame sababisha maafa katika nchi zao na duniani?

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2026 10:46


    Waumini wa dini laki Kristo kote duniani, wali jumuika katika sehemu mbali mbali kusherehekea Pasaka.

    Yaliyojiri Afrika:M23 yashinikiza mabadiliko ya katiba ya DRC na uhuru wa majimbo ya Kivu kujiongoza

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2026 8:46


    Wawakilishi wa serikali ya DR Congo na kundi la M23 wanajiandaa kukutana nchini Uswizi kwa awamu nyingine ya mazungumzo.

    Taarifa ya Habari: Hatari ya barabarani wakati wa Pasaka ya zua wito wa kuteuliwa kwa waziri wa usalama

    Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 12:35


    Serikali inasema mahitaji ya mafuta yaliongezeka kwa theluthi moja wakati wa mapumziko ya Pasaka.

    Makala leo: Wakristo waadhimisha Pasaka na Jumapili ya Matawi kwa mioyo mizito na furaha

    Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 9:36


    Waumini wa dini laki kristo walisherehekea Jumapili ya Pasaka, wakiadhimisha tukio hilo wakati vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati vikifunika sehemu kubwa ya dunia.

    Makala leo: Waustralia waonywa kupata chanjo dhidi ya aina ya mafua inayo sambaa haraka

    Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 7:35


    Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.

    Taarifa ya Habari: Australia yapata usambazaji wa mafuta wa mwezi mwingine

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2026 4:36


    Serikali ya shirikisho imesema ugavi wa akiba ya mafuta ya Australia sasa umeongezwa hadi Mei, kuanzia katikati ya Aprili.

    Taarifa ya Habari: 13 wauawa katika milipuko Burundi

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 14:41


    Ushuru wa petroli unatarajiwa kupunguzwa zaidi, wakati viongozi wa majimbo na wilaya wakikubaliana kuhusu mpango wa kurejesha mapato ya ziada ya ushuru wa bidhaa na huduma kutokana na kupanda kwa bei za mafuta.

    Makala leo: 'Acha kutumia miili ya wanawake' kundi la misaada laonya, unyanyasaji wa kingono ukienea Sudan

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 14:26


    Wanawake na wasichana wanaokimbia vita vya Sudan wanaelezea ubakaji, mateso na unyanyasaji, huku wafanyakazi wa misaada wakionya kwamba mateso yanazidi kuwa makubwa kuliko visa vinavyofikia huduma ya matibabu.

    Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 9:53


    Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.

    makala waziri mkuu
    Taarifa ya Habari: Milipuko yasababisha mtafaruku Bujumbura

    Play Episode Listen Later Apr 2, 2026 6:23


    Waziri wa ulinzi amethibitisha kwamba Australia itajiunga na kundi la mataifa katika mkutano wa dharura kuhusu jinsi ya kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz.

    Makala leo: Afueni kwa madereva wanaokabiliwa na matatizo baada ya serikali kupunguza ushuru wa mafuta

    Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 10:34


    Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.

    Taarifa ya Habari: Serikali yachukua hatua yakupunguza bei ya mafuta nchini baada ya siku kadhaa za shinikizo

    Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 13:35


    Waziri Mkuu amesema serikali yake imechukua hatua ya kupunguza bei ya mafuta kote nchini, kwa sababu hata kama vita vitaisha mara moja, madhara ya kiuchumi yataendelea.

    SBS Learn Eng Ep 104 Makala ya ziada: Jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani

    Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 4:55


    Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani?

    Australia Yafafanuliwa: Pasaka ya Australia:Kuchunguza mila za kijamii na kitamaduni zaidi ya dini

    Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 14:38


    Pasaka inachukuliwa kuwa likizo muhimu zaidi katika kalenda ya Kikristo.

    Taarifa ya Habari: Ongezeko ya bei ya mafuta yalazimisha serikali izingatie hatua zakufanyia kazi nyumbani

    Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 6:35


    Hatua za kufanyia kazi nyumbani zinaweza wasilishwa lakini mgao wa mafuta hauzingatiwi, na viongozi wanaohudhuria mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo kuhusu mgogoro wa mafuta.

    SBS Learn Eng Ep 70 Jinsi yakufanya mazungumzo wakati wa BBQ

    Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 11:40


    Je, unajua jinsi ya kufanya mazungumzo wakati wa BBQ?

    Taarifa ya Habari: Vituo na Wasambazaji kupewa faini ya milioni $100 wakiongeza bei ya mafuta kwa njia bandia

    Play Episode Listen Later Mar 27, 2026 14:18


    Vituo vya mafuta na wasambazaji watakaopatikana wakiongeza bei kutokana na vita vya Mashariki ya Kati watakabiliwa na adhabu mpya kali.

    Mgogoro wa nishati unaokuja una athari kubwa na kali

    Play Episode Listen Later Mar 27, 2026 13:13


    Shirika la Nishati la Kimataifa linaonya viongozi wa dunia huenda hawathamini, kina cha mgogoro wa nishati unaokaribia, huku vita vya Marekani na Iran vikiendelea.

    Taarifa ya Habari: Serikali za Australia na Ujerumani za imarisha uhusiano wa usalama

    Play Episode Listen Later Mar 26, 2026 5:26


    Waziri wa ulinzi wa Ujerumani amekutana na mwenzake wa Australia Richard Marles, katika ziara ya kwanza ya mtu aliyehudumu katika nafasi hiyo katika kipindi cha miaka 8.

    Australia Yafafanuliwa:Jinsi yakununua sanaa za kiasili kimaadili nchini Australia

    Play Episode Listen Later Mar 25, 2026 9:36


    Je, unajua kwamba zawadi tatu kati ya nne zinazouzwa nchini Australia, kama za asili au zilizotengenezwa kwa mtindo wa Asili zimegundulika kuwa si za kweli?

    Makala leo: Rhoda Roberts AO: Shujaa wa utamaduni aliyebadilisha taifa

    Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 11:25


    Salamu za rambirambi zinatolewa kwa Mwanamke aliyekuwa akitoa mwongozo na ushauri katika shirika la habari la SBS kutoka ukoo wa Widjabul Wia-bal, Shangazi Rhoda Roberts, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 66.

    Taarifa ya Habari 24 Machi 2026

    Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 14:48


    Australia inatafuta kupata uhakikisho wa usambazaji wa nishati kutoka kwa washirika wa biashara wakati kukiwa ongezeko la hofu kuwa nchi zitahifadhi mauzo ya nje ya mafuta kwa ajili ya masoko yao ya ndani.

    Yaliyojiri Afrika: Kenya na Uganda za zindua upanuzi wa ujenzi wa reli

    Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 7:51


    Marais wa Kenya na Uganda walikutana mjini Kisumu, kuzindua ujenzi uliocheleweshwa wa upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya dola iliyojengwa na China.

    Makala leo: Jinsi vita Mashariki ya Kati vina chochea wasiwasi kuhusu usalama wa chakula

    Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 12:55


    Vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati, na kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz, kumesababisha kile ambacho wataalamu wanakielezea kama moja ya migogoro mikubwa zaidi ya nishati katika miongo kadhaa.

    Taarifa ya Habari 23 Machi 2026

    Play Episode Listen Later Mar 23, 2026 5:46


    Serikali ya shirikisho inaagiza Tathmini ya Kitaifa ya Mnyororo wa Ugavi wa Chakula kwa ajili yakulinda sekta ya kilimo ya nchi dhidi ya usumbufu wa kimataifa.

    SBS Learn Eng Ep 106 Kuzungumza kuhusu vyakula vya ajabu

    Play Episode Listen Later Mar 23, 2026 10:23


    Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu vyakula vya ajabu?

    vyakula
    Taarifa ya Habari:Wakazi wa Kusini Australia wa elekea debeni, je kutakuwa mabadiliko ya serikali?

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 12:58


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema usambazaji wa mafuta nchini Australia uko salama, lakini anataka Australia iwe tayari kupita kiasi linapokuja suala la kudhibiti uhaba wa mafuta nchini humu.

    Makala leo: Waziri Mkuu ateua kikosi kazi chaku kabili maswala yaliyo sababishwa na vita Mashariki ya Kati

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 8:42


    Waziri Mkuu amemteua 'mratibu wa mafuta' kusaidia kushughulikia masuala ya mnyororo wa ugavi yaliyosababishwa na vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati.

    Taarifa ya Habari:Waziri Mkuu amteua mratibu wa kitaifa wa mafuta

    Play Episode Listen Later Mar 19, 2026 7:27


    Waziri Mkuu Anthony Albanese, amteua mratibu wa kitaifa wa mafuta, kushughulikia masuala ya usambazaji.

    habari waziri mkuu
    SBS Learn Eng Ep 105 Jinsi yakuzungumza kuhusu mafanikio kazini

    Play Episode Listen Later Mar 19, 2026 8:27


    Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani?

    Taarifa ya Habari: Iran yaonya nchi dhidi yakujiunga katika vita vya Marekani na Israel dhidi yao

    Play Episode Listen Later Mar 16, 2026 5:42


    Waziri wa Nishati Chris Bowen amehakikishia taifa kwamba usambazaji wa mafuta nchini Australia bado uko salama, huku usafirishaji ukifika kama ilivyopangwa na akiba ya kutosha kuifunika nchi kwa siku 37.

    Mahojiano: Micheline"Tunataka wanawake wote wasimame imara"

    Play Episode Listen Later Mar 14, 2026 10:12


    Wanawake kutoka jumuiya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wana jiandaa kwa sherehe maalum ya siku ya wanawake.

    Mahojiano: Jay "vita dhidi ya Iran vinaweza kuwa na madhara makubwa sana kwa Australia"

    Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 10:54


    Madhara ya vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran, yame anza kushuhudiwa nchini Australia.

    Taarifa ya Habari: Serikali ya shirikisho yaongeza hatua za usambazaji wa mafuta Australia

    Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 12:36


    Serikali ya Shirikisho imebadilisha hatua nyingine kwa ajili yakushughulikia athari za mgogoro wa usambazaji wa mafuta Australia.

    Makala leo: Sheria mpya za Australia kupiga marufuku kwa muda baadhi ya watu kuingia nchini za kosolewa

    Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 14:01


    Serikali ya shirikisho ime wasilisha sheria mpya ya kuweka marufuku ya muda, kwa baadhi ya nchi kutumia viza fulani kuja Australia.

    Taarifa ya Habari: Viongozi wa dunia wakubali kutoa idadi kubwa ya mapipa ya mafuta kutoka akiba ya dharura

    Play Episode Listen Later Mar 12, 2026 6:19


    Mataifa tajiri zaidi duniani yamekubali kutoa idadi kubwa ya mapipa ya mafuta kutoka akiba ya dharura, kwa ajili ya kupunguza ongezeko kubwa la bei kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

    Claim SBS Swahili - SBS Swahili

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel