SBS Swahili - SBS Swahili

Follow SBS Swahili - SBS Swahili
Share on
Copy link to clipboard

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

SBS Swahili


    • Sep 16, 2025 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 12m AVG DURATION
    • 1,754 EPISODES


    Search for episodes from SBS Swahili - SBS Swahili with a specific topic:

    Latest episodes from SBS Swahili - SBS Swahili

    Taarifa ya Habari 16 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 16, 2025 15:17


    Naibu Waziri Mkuu Richard Marles amekana madai kuwa uwekezaji wa $12 bilioni iliyo tangazwa juzi ime undwa ili kutuliza maombi ya Marekani kwa Australia kuongeza matumizi yake katika ulinzi.

    SBS Learn Eng Ep 95 Anga la usiku

    Play Episode Listen Later Sep 16, 2025 13:15


    Je, unajua jinsi ya kuelezea kuhusu anga la usiku?

    Kitu chakufanya unapo kutana na wanyamapori kwenye mali yako

    Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 12:27


    Popote ulipo nchini Australia, kutoka jiji kuu lenye shughuli nyingi, hadi katika viunga vya mji, katika mji wa kikanda au kijijini, kuna uwezekano unaweza kutana na aina mbali mbali za wanyamapori wazuri wa Australia.

    Taarifa ya Habari 15 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 5:28


    Benki ya ANZ imekiri kujihusisha na mwenendo usiofaa, katika huduma iliyotoa kwa serikali ya Australia, kulingana na Tume ya Uwekezaji na usalama ya Australia (ASIC).

    Mutamba ahukumiwa kifungo cha kazi ngumu DR Congo

    Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 6:11


    Waziri wa Sheria wa zamani wa DR Congo, Constant Mutamba amehukumiwa na mahakama mjini Kinshana kufanya kazi ngumu kwa miaka mitatu.

    Félicien Kabuga apambana kupata nchi itakayo mpokea badala ya Rwanda

    Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 7:19


    Mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, Félicien Kabuga anakabiliana na wakati mgumu kupata nchi itakayo mpokea kwa muda kutoka gereza la The Hague, Uholanzi.

    Taarifa ya Habari 12 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 15:33


    Waziri Mkuu amesifu msaada wa wanachama wa kongamano la Visiwa vya Pasifiki, Australia inapo saka uenyeji wa kongamano la mazingira la Umoja wa Mataifa la, COP-31.

    SBS Learn Eng Ep 22 Njia Rasmi na isiyo rasmi ya kualika watu

    Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 14:52


    Je, unajua jinsi ya kuwapa watu mwaliko rasmi na usio rasmi?

    The cervical screening test that could save your life - Uchunguzi wa kizazi ambao unaweza okoa maisha yako

    Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 12:30


    Cervical cancer is preventable, but only if you catch it early. Cultural and personal barriers have often meant that women avoid cervical cancer testing. But now with the help of a world-leading test, Australia is aiming to eliminate cervical cancer by 2035. The test is a safe and culturally sensitive option for women from all backgrounds. Best of all it could save your life—or that of someone close to you. - Saratani ya Kizazi inaweza zuiliwa, kama ina gunduliwa mapema. Vizuizi vya kitamaduni na kibinafsi mara nyingi vime kuwa na maana kwamba, wanawake wanachelewesha kufanya uchunguzi wa saratani ya kizazi. Ila sasa, kwa msaada wa kipimo kinacho ongoza duniani, Australia ina lenga kutokomeza saratani ya kizazi kufikia mwaka wa 2035. Uchunguzi huo ni salama, na kitamaduni ni chaguo nyeti kwa wanawake kutoka mazingira yote. Muhimu zaidi, kipimo hicho kinaweza okoa maisha yako au mtu wa karibu yako.

    Uchunguzi wa kizazi ambao unaweza okoa maisha yako

    Play Episode Listen Later Sep 9, 2025 13:25


    Saratani ya Kizazi inaweza zuiliwa, kama ina gunduliwa mapema.

    Taarifa ya Habari 9 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 9, 2025 15:13


    Dau Akouny, mmoja wa wavulana wawili walio uawa katika shambulizi la kisu mjini Melbourne wikiendi iliyopita, amekumbukwa na familia yake kama "mtoto mzuri" na alikuwa "sehemu ya mustakabali wa kesho wa jumuiya."

    Mpango wakupiga jeki idadi ya walimu wa ufundi kushughulikia uhaba wa ujuzi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Sep 9, 2025 9:38


    Serikali ya shirikisho imetangaza mpango wenye thamani ya $30 milioni, kupiga jeki idadi ya wakufunzi wa elimu ya ufundi.

    Taarifa ya Habari 5 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 15:10


    Waziri wa mambo ya tamaduni nyingi Anne Aly, amechangia ujumbe wa mshikamano na jumuiya yawa Hindi wa Australia, kufuatia maandamano dhidi ya wahamiaji.

    SBS Learn Eng Ep 94 Zungumza kuhusu autism

    Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 19:24


    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu autism?

    Serikali ya hamasishwa ikabiliane na ongezeko la itikadi kali za mrengo wa kulia

    Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 14:12


    Wanasiasa wame laani ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya wageni iliyo onyeshwa katika maandamano kadhaa dhidi ya uhamiaji wikiendi iliyo pita.

    Taarifa ya Habari 2 Septemba 2025

    Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 14:16


    Mbunge wa upinzani Matt Canavan amesema sera za uhamiaji za seriakli, zina wasukumu watu kuwa na maoni yenye misimamo mikali. Amesema serikali ya Labor imefungua anacho ita milango ya mafuriko ya uhamiaji baada ya janga la UVIKO-19, na inawaruhusu watu kuingia nchini kiholela chini ya ya sera zake za sasa.

    Rwanda na DR Congo zakubali kuwarejesha wakimbizi makwao

    Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 6:53


    Shirika la UNHCR limesema viongozi wa Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekubali kuwarejesha wakimbizi walio toroka makwao mashariki mwa DRC.

    Maelfu waandamana dhidi ya uhamiaji, huku wa Nazi waki chochea vurugu

    Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 19:47


    Wimbi la maandamano ya kitaifa dhidi ya uhamiaji yame shuhudiwa katika miji mikubwa ya Australia.

    Taarifa ya Habari 29 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 15:46


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema Richard Marles alikuwa na mkutano wenye tija na mshiriki wake kutoka Marekani Pete Hegseth, huku kukiwa mkanganyiko kuhusu kama, kuna mkutano rasmi ulio fanyika kati yao.

    Understand Aboriginal land rights in Australia - Elewa haki za ardhi zawa Aboriginal nchini Australia

    Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 8:42


    You may hear the protest chant, “what do we want? Land rights!” —but what does it really mean? Land is at the heart of Aboriginal and Torres Strait Islander identity, culture, and wellbeing. Known as “Country,” it includes land, waterways, skies, and all living things. In this episode of Australia Explained, we explore Indigenous land rights—what they involve, which land is covered, who can make claims, and the impact on First Nations communities. - Unaweza sikia wito huu katika maandamano, “tuna taka nini? Haki za ardhi!” ila wito huo una maana gani? Ardhi iko katika kiini cha utambulisho, utamaduni na ustawi wa wa Aboriginal na watu kutoka Visiwa vya Torres Strait. Inajulikana kama “nchi” na inajumuisha ardhi, njia za maji, anga na kila kitu kilicho hai. Katika makala haya ya Australia ya Fafanuliwa, tuta chunguza haki za ardhi zawa Australia wa asili, wanacho husisha, ardhi gani ina funikwa, nani anaweza fanya madai na madhara kwa jamii za Mataifa ya Kwanza.

    Taarifa ya Habari 26 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 26, 2025 16:07


    Serikali ya Albanese inatarajiwa kuleta mbele mpango wakupanua mfumo unao ruhusu wanao nunua nyumba ya kwanza, kuweka amana ya hadi asilimia tano. Wakati marudio ya awali ya mpango huo yalikuwa na kikomo cha kila mwaka kwa washiriki, mfuno huo kwa sasa utakuwa wazi wa kila mtu anaye nunua nyumba.

    Elewa haki za Ardhi zawa Aboriginal nchini Australia

    Play Episode Listen Later Aug 26, 2025 11:12


    Unaweza sikia wito huu katika maandamano, “tuna taka nini? Haki za ardhi!” ila wito huo una maana gani?

    Australia kutambua utaifa wa Palestina

    Play Episode Listen Later Aug 14, 2025 9:49


    Australia ita tambua Palestina kama taifa katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wa Septemba.

    Taarifa ya Habari 5 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 12:17


    Waziri wa mambo ya nje Penny Wong ame muhamasisha Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, asikize wito wakisitisha vita mara moja Gaza.

    Tamasha ya Garma yawavutia wageni kutoka Australia na kwingineko

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 12:28


    Sherehe ya Garma katika Kijiji cha Kaskazini Mashariki Arnhem Land, cha Wilaya ya Kaskazini, ime tamatika kwa mwaka mwingine.

    SBS Learn Eng Ep 38 Jinsi ya kuzungumza kuhusu muziki

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 19:32


    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?

    Taarifa ya Habari 4 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 5:06


    Serikali ya shirikisho imetangaza msaada kwa Gaza uta ongezwa kwa $20 milioni hii leo Jumatatu 4 Agosti, masaa machache baada yamakumi yama elfu kutembea katika Daraja maarufu la bandari ya Sydney, jana Agosti 3, katika maandamano dhidi ya vita vinavyo endelea Gaza.

    Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka

    Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 5:39


    Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.

    Mvutano wakibiashara waibuka kati ya Tanzania na Kenya

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 7:49


    Kenya imepinga sheria mpya za biashara na kodi za Tanzania ikizitaja kuwa za kibaguzi na zinazohatarisha ushirikiano wa kiuchumi Afrika Mashariki.

    Taarifa ya Habari 1 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 15:09


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ana enda kuhudhuria tukio kubwa linalo waleta pamoja wa Australia wa Asili katika wilaya ya Kaskazini.

    SBS Learn Eng Ep 89 Jinsi yakuzungumza kuhusu nyumba yako

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 15:49


    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?

    Jinsi yaku anza biashara yako ya nyumbani nchini Australia

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 14:19


    Biashara ya nyumbani inaweza sikika kuwa yakuvutia kwa wengi. Ina punguza gharama, inatoa fursa mbali mbali, inafaa taaluma tofauti, na silazima kazi hiyo ifanyiwe ofisini.

    Taarifa ya Habari 31 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 5:56


    Wanafunzi milioni tatu nchini Australia wata punguziwa deni zao za elimu, hii ni baada ya muswada wa Labor ulio tazamiwa sana kupitishwa bungeni hii leo.

    Taarifa ya Habari 29 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 16:04


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema anaendeleza juhudi zakupunguza shinikizo za gharama ya maisha, akimulika mpango wakupunguza bei za madawa.

    Je ni bora kuhudumia mtu mwenye ugonjwa wakusahau nyumbani au la?

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 10:24


    Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

    Muthoni "kuna vitu unaweza fanya kupunguza kasi ya ugonjwa wa dementia"

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 14:46


    Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

    Taarifa ya Habari 25 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 15:40


    Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng'ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.

    Australia Yafafanuliwa: pengo la elimu yawa Australia wa Asili na njia ya mbele

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 16:44


    Elimu ni njia yakupata fursa ila, kwa muda mrefu wanafunzi wa Asili nchini Australia, wame kabiliana na vizuizi vya kupata mafanikio.

    Taarifa ya Habari 24 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 24, 2025 6:37


    Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng'ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.

    Dr Nadine "Afrika Diaspora Co-operative itatupa fursa za uwekezaji"

    Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 12:36


    Wanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.

    SBS Learn Eng Ep 43 Jinsi yakuzungumza kuhusu kusoma na vitabu

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:52


    Je, unajua jinsi yaku zungumza kuhusu kusoma na vitabu?

    Taarifa ya Habari 22 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:15


    Waziri Msaidizi wa Waziri Mkuu amesema serikali iko tayari kuwafanyia kazi wa Australia, katika kikao cha kwanza cha bunge la shirikisho hii leo.

    Msimu mpya wa Bunge wafunguliwa Canberra- kwa wakongwe na wageni

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:18


    Wanasema siasa hutengeza wenza wa ajabu, na bunge la 48 limejaa wenza hao.

    Rwanda yajipata pabaya katika ripoti ya kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa

    Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 7:07


    Ripoti ya siri ya watalaam wa Umoja wa Mataifa imeishtumu Rwanda kwa kutoa maagizo na kudhibiti shughuli za waasi wa M23.

    Taarifa ya Habari 4 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:48


    Kamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto.

    Jinsi pombe inavyodhibitiwa na kutumiwa nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:16


    Huenda umesikia kwamba wa Australia ‘ni maarufu kwa kunywa', haswa wakati wa matukio makubwa ya michezo au katika siku kuu za umma.

    Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2025 6:59


    Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.

    Taarifa ya Habari 1 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 15:09


    Mamia ya wafanyakazi wa huduma za dharura, helikopta na magari yawataalam yako katika hali ya tahadhari wakati kimbunga kina elekea katika maeneo ya kanda yanayo endelea kupona mafuriko mabaya katika eneo la Kaskazini New South Wales.

    Uwakilishi wa Mataifa ya Kwanza katika vyombo vya habari: Nini kinabadilika, kwa nini ni muhimu

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 12:00


    Uwakilishi wa WaAustralia wa Asili katika vyombo vya habari kihistoria umechangiwa na mila potofu na kutengwa ila, hali hii inabadilika pole pole.

    Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 30, 2025 7:29


    Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.

    Wakenya waingia debeni jimboni Victoria

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 13:51


    Wanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.

    Claim SBS Swahili - SBS Swahili

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel