SBS Swahili - SBS Swahili

Follow SBS Swahili - SBS Swahili
Share on
Copy link to clipboard

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

SBS Swahili


    • Jul 7, 2025 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 12m AVG DURATION
    • 1,711 EPISODES


    Search for episodes from SBS Swahili - SBS Swahili with a specific topic:

    Latest episodes from SBS Swahili - SBS Swahili

    Rwanda yajipata pabaya katika ripoti ya kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa

    Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 7:07


    Ripoti ya siri ya watalaam wa Umoja wa Mataifa imeishtumu Rwanda kwa kutoa maagizo na kudhibiti shughuli za waasi wa M23.

    Taarifa ya Habari 4 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:48


    Kamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto.

    Jinsi pombe inavyodhibitiwa na kutumiwa nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:16


    Huenda umesikia kwamba wa Australia ‘ni maarufu kwa kunywa', haswa wakati wa matukio makubwa ya michezo au katika siku kuu za umma.

    Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2025 6:59


    Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.

    Taarifa ya Habari 1 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 15:09


    Mamia ya wafanyakazi wa huduma za dharura, helikopta na magari yawataalam yako katika hali ya tahadhari wakati kimbunga kina elekea katika maeneo ya kanda yanayo endelea kupona mafuriko mabaya katika eneo la Kaskazini New South Wales.

    Uwakilishi wa Mataifa ya Kwanza katika vyombo vya habari: Nini kinabadilika, kwa nini ni muhimu

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 12:00


    Uwakilishi wa WaAustralia wa Asili katika vyombo vya habari kihistoria umechangiwa na mila potofu na kutengwa ila, hali hii inabadilika pole pole.

    Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 30, 2025 7:29


    Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.

    Wakenya waingia debeni jimboni Victoria

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 13:51


    Wanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.

    Taarifa ya Habari 27 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 15:19


    Waziri Mkuu wa Anthony Albanese ametetea msimamo wa serikali kwa matumizi ya ulinzi, nakutupilia mbali wito kutoka utawala wa Trump kuongeza matumizi hadi asilimia 3.5 ya pato la taifa.

    Australia ya Fafanuliwa: Mwongozo wako wa safari za theluji nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 16:39


    Unapenda theluji kiasi gani? Au ume wahi iona?

    Taarifa ya Habari 26 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 4:42


    Waziri wa fedha wa shirikisho Katy Gallagher ametetea bajeti ya ulinzi ya Australia, wakati kuna shinikizo kutoka humu ndani na kutoka ng'ambo.

    SBS Learn Eng Ep 39 Jinsi yakufanya marejesho yako ya ushuru

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 16:54


    Je, unajua jinsi yakufanya marejesho ya ushuru?

    Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa"

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 11:29


    Neno goons lina sifa mbaya katika jamii, haswa kwa vijana wengi ambao hu husishwa na maswala yanayo enda kinyume na sheria na maadili mazuri.

    Taarifa ya Habari 24 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 15:13


    Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.

    SBS Learn Eng Ep19 Jinsi ya kupanda Bustani na mimea | Bustani za jamii

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 13:31


    Je, unajua jinsi ya kuzunguza kuhusu jinsi yakupanda bustani ya jamii na miema?

    jamii jinsi bustani
    Amy alidhani amepata kazi kama mwanafunzi wa kimataifa- alikuwa amekosea

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 12:13


    Tangu 2024, serikali ya shirikisho imezindua sera kadhaa zaku zuia idadi ya wanafunzi wakimataifa, pamoja naku ongeza ada ya maombi ya viza ya wanafunzi na, kupunguza kasi muda wa usindikaji wa viza.

    Taarifa ya Habari 20 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 15:12


    Australia imesimamisha oparesheni katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iran, nakuamuru kuondoka kwa maafisa wote wa Australia kwa sababu yakudorora kwa mazingira ya usalama.

    Jinsi bima ya nyumba na vilivyomo hufanya kazi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 12:25


    Haipendezi kufikiria kuhusu matukio yanayo weka nyumba na mali yako hatarini, ila haviko kawaida.

    Taarifa ya Habari 19 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 5:30


    Ulaya imechukua nafasi yaku fanya mashauriano na Iran, mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza, Ujerumain na Ufaransa wanazungumza na mshirika wao kutoka Iran.

    Wakimbizi wafunga magoli na kujenga madaraja

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 7:55


    Wachezaji wa soka katika mashindano mjini Perth, wanafanya mengi zaidi yakufunga magoli, wanajenga madaraja kati ya jamii naku mulika nguvu ya jamii zawakimbizi wa Magharibi Australia.

    Taarifa ya Habari 17 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 15:57


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amefanya mikutano na rais mpya wa Korea Kusini, pamoja na katibu mkuu wa NATO pembezoni mwa mkutano wa G7.

    Vyombo vya habari hufanyaje kazi nchini Australia?

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 18:34


    Uhuru wa vyombo vya habari na vyombo vya habari tofauti ni alama muhimu ya afya nzuri ya demokrasia ambako raia na waandishi wa habari wana mamkalaka ya kujielezeza, kupata taarifa na kuchapisha bila hofu ya kuingiliwa au adhabu kutoka kwa serikali.

    Taarifa ya Habari 16 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 7:07


    Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.

    Socceroos wafuzu kucheza katika Kombe la Dunia baada ya kuishinda Saudi Arabia

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 7:31


    Wiki hii timu ya mpira wa miguu ya taifa Socceroos, ili fuzu kwa Kombe la Dunia tena baada yakupata ushindi dhidi wenyeji wao Saudi Arabia.

    Taarifa ya Habari 13 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 15:47


    Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.

    Jinsi ya kuepuka ulaghai wa mapenzi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 13:10


    Mwaka jana pekee, zaidi ya kesi 3200 za ulaghai wa mapenzi zili ripotiwa nawa Australia.

    Taarifa ya habari 10 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 15:32


    Kiongozi wa Tasmania wa chama cha Liberal anatarajiwa kuitisha rasmi uchaguzi wa mapema hii leo, hatua itakayo rejesha jimbo hilo la kisiwa katika uchaguzi wa pili katika muda wa miaka mbili.

    Miaka 50 ya SBS- Waandishi wa habari waelezea nyakatu muhimu

    Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 8:00


    SBS ina sherehekea miaka 50.

    Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

    Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 7:01


    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

    Taarifa ya Habari 6 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 17:34


    Bunge ya Tasmania yapitisha kura yakutokuwa na imani kwa kiongozi wa jimbo hilo Jeremy Rockliff. Mswada huo ulio wasilishwa na kiongozi wa chama cha Labor Dean Winter, ulipita kwa kura 18 dhidi ya 17, Spika wa Labor Michelle O'Byrne alipiga kura iliyo toa uamuzi wa muswada huo.

    Australia Yafafanuliwa: Unaweza zingatia kumteua mtu kwa tuzo ya Order of Australia?

    Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 12:26


    Unajua mtu anaye toa mchango usio wa kawaida katika jamii? Anaweza kuwa mtu kutoka mazingira yoyote, au mwenye taaluma yoyote.

    Taarifa ya Habari 5 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 5, 2025 5:45


    Marekani imetumia kura yake ya turufu dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, lililo kuwa likiomba kusitishwa kwa vita pamoja na misaada yakibinadam kuruhusiwa kuingia katika ukanda wa Gaza bila vizuizi.

    Wito watolewa kwa hatua ya ziada kuchukuliwa kushughulikia gharama ya janga yaki asili

    Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 10:14


    Uchambuzi mpya wa hazina ume onesha gharama ya Kimbunga Alfred na mafuriko mengine katika majimbo ya New South Wales na Queensland imefika takriban $2.2 bilioni dollars.

    Taarifa ya Habari 3 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 19:30


    Seneta Dorinda Cox wa Magharibi Australia ametangaza anahama kutoka chama cha Greens, na atakuwa Seneta wa chama cha Labor hii leo Juni 3.

    Who are the Stolen Generations? - Vizazi vilivyo ibiwa ni kina nani?

    Play Episode Listen Later Jun 1, 2025 11:01


    Australia has a dark chapter of history that many are still learning about. Following European settlement, Aboriginal and Torres Strait Islander children were removed from their families and forced into non-Indigenous society. The trauma and abuse they experienced left deep scars, and the pain still echoes through the generations. But communities are creating positive change. Today these people are recognised as survivors of the Stolen Generations. - Australia ina sura ya giza ya historia ambayo wengi bado wanajifunza kuhusu. Kufuatia ujio wa wazungu, watoto wa wa, Aboriginal na Wanavisiwa wa Torres Strait wali ondolewa kutoka familia zao, nakulazimishwa kuishi katika jumuiya zisizo za kiasili. Kiwewe na unyanyasaji walio pitia uliacha makovu makubwa, na uchungu huo bado una hisika kupitia vizazi. Ila Jamii zinaleta mabadiliko chanya. Leo hawa watu wanatambuliwa kama wahanga wa vizazi vilivyo ibiwa.

    Taarifa ya Habari 30 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 30, 2025 15:10


    Wakati inaweza chukua zaidi ya mwaka kwa baadhi ya madai ya bima ya mafuriko kutatuliwa, malipo ya mara moja kwa walio athirika jimboni New South Wales yata anza kutolewa leo 30 Mei 2025.

    Warudiana tena: mkataba mpya wa upinzani wa mseto baada ya siku nane zaku achana

    Play Episode Listen Later May 30, 2025 8:37


    Siku nane baada ya upinzani wa mseto kuachana, vyama vya Liberal na Nationals vime tangaza kuwa vime rudiana tena.

    Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 16:56


    Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.

    Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 9:22


    Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.

    Taarifa ya Habari 26 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:33


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hatua ya Israel kuzuia msaada “hai kubaliki kabisa”. Israel ina ruhusu msaada mdogo wakibinadam kuingia Gaza, baada ya takriban miezi mitatu yaku izuia, hali iliyo sababisha uhaba wa chakula na matibabu.

    UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC

    Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:53


    Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.

    drc unhcr sudan kusini
    Taarifa ya Habari 22 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 5:38


    Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.

    SBS Learn Eng pod 84 Jinsi ya kuelezea uwezo wako waku kimbia (Med)

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 14:33


    Je, unajua jinsi ya kuzungumzia sifa zako za kukimbia au kufanya riadha?

    Jinsi ya kufurahia maeneo ya nyika ya Australia kwa kuwajibika

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 14:12


    Mandhari yakupendaza na tofauti ya Australia, kuanzia pwani hadi jangwani na yote yaliyo katikati, ni nyumbani kwa mimea ya asili na wanyama wakushangaza.

    Taarifa ya Habari 20 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 17:59


    Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.

    Watu wakujitolea wana jukumu kubwa nchini Australia, ila idadi yao inapungua

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 10:42


    Wiki ya kitaifa yakujitolea ime anza, ita kuwa kuanzia 19 Mei hadi 25 Mei 2025.

    Taarifa ya Habari 16 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 16, 2025 15:11


    Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.

    Jeremiah "wahafidhina wanastahili acha kutumia Biblia kutafuta kura zetu"

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 7:10


    Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa jimbo na shirikisho.

    Taarifa ya Habari 13 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 13, 2025 17:28


    Sussan Ley ame chaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Liberal. Bi Ley alikuwa Naibu Kiongozi wa chama hicho cha Liberal, alimshinda mpinzani wake mwekahazina kivuli Angus Taylor, katika kura yakumchagua kiongozi mpya muda mfupi ulio pita mjini Canberra.

    Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?

    Play Episode Listen Later May 13, 2025 9:13


    Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.

    Taarifa ya Habari 9 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 18:08


    Anthony Albanese akosolewa kwa kumshasha cheo waziri pekee Muislamu katika baraza lake la mawaziri, wakati vyama vya upinzani vya ongeza juhudi yaku wachagua viongozi wao wapya.

    Claim SBS Swahili - SBS Swahili

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel