SBS Swahili - SBS Swahili

Follow SBS Swahili - SBS Swahili
Share on
Copy link to clipboard

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

SBS Swahili


    • Aug 14, 2025 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 12m AVG DURATION
    • 1,732 EPISODES


    Search for episodes from SBS Swahili - SBS Swahili with a specific topic:

    Latest episodes from SBS Swahili - SBS Swahili

    Australia kutambua utaifa wa Palestina

    Play Episode Listen Later Aug 14, 2025 9:49


    Australia ita tambua Palestina kama taifa katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wa Septemba.

    Taarifa ya Habari 5 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 12:17


    Waziri wa mambo ya nje Penny Wong ame muhamasisha Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, asikize wito wakisitisha vita mara moja Gaza.

    Tamasha ya Garma yawavutia wageni kutoka Australia na kwingineko

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 12:28


    Sherehe ya Garma katika Kijiji cha Kaskazini Mashariki Arnhem Land, cha Wilaya ya Kaskazini, ime tamatika kwa mwaka mwingine.

    SBS Learn Eng Ep 38 Jinsi ya kuzungumza kuhusu muziki

    Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 19:32


    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?

    Taarifa ya Habari 4 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 5:06


    Serikali ya shirikisho imetangaza msaada kwa Gaza uta ongezwa kwa $20 milioni hii leo Jumatatu 4 Agosti, masaa machache baada yamakumi yama elfu kutembea katika Daraja maarufu la bandari ya Sydney, jana Agosti 3, katika maandamano dhidi ya vita vinavyo endelea Gaza.

    Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka

    Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 5:39


    Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.

    Mvutano wakibiashara waibuka kati ya Tanzania na Kenya

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 7:49


    Kenya imepinga sheria mpya za biashara na kodi za Tanzania ikizitaja kuwa za kibaguzi na zinazohatarisha ushirikiano wa kiuchumi Afrika Mashariki.

    Taarifa ya Habari 1 Agosti 2025

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 15:09


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ana enda kuhudhuria tukio kubwa linalo waleta pamoja wa Australia wa Asili katika wilaya ya Kaskazini.

    SBS Learn Eng Ep 89 Jinsi yakuzungumza kuhusu nyumba yako

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 15:49


    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?

    Jinsi yaku anza biashara yako ya nyumbani nchini Australia

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 14:19


    Biashara ya nyumbani inaweza sikika kuwa yakuvutia kwa wengi. Ina punguza gharama, inatoa fursa mbali mbali, inafaa taaluma tofauti, na silazima kazi hiyo ifanyiwe ofisini.

    Taarifa ya Habari 31 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 5:56


    Wanafunzi milioni tatu nchini Australia wata punguziwa deni zao za elimu, hii ni baada ya muswada wa Labor ulio tazamiwa sana kupitishwa bungeni hii leo.

    Taarifa ya Habari 29 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 16:04


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema anaendeleza juhudi zakupunguza shinikizo za gharama ya maisha, akimulika mpango wakupunguza bei za madawa.

    Je ni bora kuhudumia mtu mwenye ugonjwa wakusahau nyumbani au la?

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 10:24


    Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

    Muthoni "kuna vitu unaweza fanya kupunguza kasi ya ugonjwa wa dementia"

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 14:46


    Kuna aina nyingi ya magonjwa yanayo athiri akili, baadhi yanaweza tibiwa na mengine hayana tiba.

    Taarifa ya Habari 25 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 15:40


    Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng'ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.

    Australia Yafafanuliwa: pengo la elimu yawa Australia wa Asili na njia ya mbele

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 16:44


    Elimu ni njia yakupata fursa ila, kwa muda mrefu wanafunzi wa Asili nchini Australia, wame kabiliana na vizuizi vya kupata mafanikio.

    Taarifa ya Habari 24 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 24, 2025 6:37


    Australia imefanya makubaliano makubwa na Marekani katika jaribio lakupewa msamaha wa ushuru, kwa kuondoa Marufuku kwa nyama ya Marekani. Hadi sasa, marufuku hiyo ilitumiwa kwa nyama ya ng'ombe walio toka katika nchi za tatu, au ambao asili yao haijulikani.

    Dr Nadine "Afrika Diaspora Co-operative itatupa fursa za uwekezaji"

    Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 12:36


    Wanachama wa jamii zenye asili ya Afrika wanao ishi jimboni New South Wales, wame ungana kuunda shirika linalo toa fursa za uwekezaji wa muda mrefu.

    SBS Learn Eng Ep 43 Jinsi yakuzungumza kuhusu kusoma na vitabu

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:52


    Je, unajua jinsi yaku zungumza kuhusu kusoma na vitabu?

    Taarifa ya Habari 22 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:15


    Waziri Msaidizi wa Waziri Mkuu amesema serikali iko tayari kuwafanyia kazi wa Australia, katika kikao cha kwanza cha bunge la shirikisho hii leo.

    Msimu mpya wa Bunge wafunguliwa Canberra- kwa wakongwe na wageni

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 14:18


    Wanasema siasa hutengeza wenza wa ajabu, na bunge la 48 limejaa wenza hao.

    Rwanda yajipata pabaya katika ripoti ya kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa

    Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 7:07


    Ripoti ya siri ya watalaam wa Umoja wa Mataifa imeishtumu Rwanda kwa kutoa maagizo na kudhibiti shughuli za waasi wa M23.

    Taarifa ya Habari 4 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:48


    Kamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto.

    Jinsi pombe inavyodhibitiwa na kutumiwa nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:16


    Huenda umesikia kwamba wa Australia ‘ni maarufu kwa kunywa', haswa wakati wa matukio makubwa ya michezo au katika siku kuu za umma.

    Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2025 6:59


    Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.

    Taarifa ya Habari 1 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 15:09


    Mamia ya wafanyakazi wa huduma za dharura, helikopta na magari yawataalam yako katika hali ya tahadhari wakati kimbunga kina elekea katika maeneo ya kanda yanayo endelea kupona mafuriko mabaya katika eneo la Kaskazini New South Wales.

    Uwakilishi wa Mataifa ya Kwanza katika vyombo vya habari: Nini kinabadilika, kwa nini ni muhimu

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 12:00


    Uwakilishi wa WaAustralia wa Asili katika vyombo vya habari kihistoria umechangiwa na mila potofu na kutengwa ila, hali hii inabadilika pole pole.

    Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 30, 2025 7:29


    Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.

    Wakenya waingia debeni jimboni Victoria

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 13:51


    Wanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.

    Taarifa ya Habari 27 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 15:19


    Waziri Mkuu wa Anthony Albanese ametetea msimamo wa serikali kwa matumizi ya ulinzi, nakutupilia mbali wito kutoka utawala wa Trump kuongeza matumizi hadi asilimia 3.5 ya pato la taifa.

    Australia ya Fafanuliwa: Mwongozo wako wa safari za theluji nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 16:39


    Unapenda theluji kiasi gani? Au ume wahi iona?

    Taarifa ya Habari 26 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 4:42


    Waziri wa fedha wa shirikisho Katy Gallagher ametetea bajeti ya ulinzi ya Australia, wakati kuna shinikizo kutoka humu ndani na kutoka ng'ambo.

    SBS Learn Eng Ep 39 Jinsi yakufanya marejesho yako ya ushuru

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 16:54


    Je, unajua jinsi yakufanya marejesho ya ushuru?

    Shariff "vijana tuongeze bidii katika shughuli zetu, tusitegemee wanasiasa"

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 11:29


    Neno goons lina sifa mbaya katika jamii, haswa kwa vijana wengi ambao hu husishwa na maswala yanayo enda kinyume na sheria na maadili mazuri.

    Taarifa ya Habari 24 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 15:13


    Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.

    SBS Learn Eng Ep19 Jinsi ya kupanda Bustani na mimea | Bustani za jamii

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 13:31


    Je, unajua jinsi ya kuzunguza kuhusu jinsi yakupanda bustani ya jamii na miema?

    jamii jinsi bustani
    Amy alidhani amepata kazi kama mwanafunzi wa kimataifa- alikuwa amekosea

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 12:13


    Tangu 2024, serikali ya shirikisho imezindua sera kadhaa zaku zuia idadi ya wanafunzi wakimataifa, pamoja naku ongeza ada ya maombi ya viza ya wanafunzi na, kupunguza kasi muda wa usindikaji wa viza.

    Taarifa ya Habari 20 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 15:12


    Australia imesimamisha oparesheni katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iran, nakuamuru kuondoka kwa maafisa wote wa Australia kwa sababu yakudorora kwa mazingira ya usalama.

    Jinsi bima ya nyumba na vilivyomo hufanya kazi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 12:25


    Haipendezi kufikiria kuhusu matukio yanayo weka nyumba na mali yako hatarini, ila haviko kawaida.

    Taarifa ya Habari 19 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 5:30


    Ulaya imechukua nafasi yaku fanya mashauriano na Iran, mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza, Ujerumain na Ufaransa wanazungumza na mshirika wao kutoka Iran.

    Wakimbizi wafunga magoli na kujenga madaraja

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 7:55


    Wachezaji wa soka katika mashindano mjini Perth, wanafanya mengi zaidi yakufunga magoli, wanajenga madaraja kati ya jamii naku mulika nguvu ya jamii zawakimbizi wa Magharibi Australia.

    Taarifa ya Habari 17 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 15:57


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amefanya mikutano na rais mpya wa Korea Kusini, pamoja na katibu mkuu wa NATO pembezoni mwa mkutano wa G7.

    Vyombo vya habari hufanyaje kazi nchini Australia?

    Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 18:34


    Uhuru wa vyombo vya habari na vyombo vya habari tofauti ni alama muhimu ya afya nzuri ya demokrasia ambako raia na waandishi wa habari wana mamkalaka ya kujielezeza, kupata taarifa na kuchapisha bila hofu ya kuingiliwa au adhabu kutoka kwa serikali.

    Taarifa ya Habari 16 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 7:07


    Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.

    Socceroos wafuzu kucheza katika Kombe la Dunia baada ya kuishinda Saudi Arabia

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 7:31


    Wiki hii timu ya mpira wa miguu ya taifa Socceroos, ili fuzu kwa Kombe la Dunia tena baada yakupata ushindi dhidi wenyeji wao Saudi Arabia.

    Taarifa ya Habari 13 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 15:47


    Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.

    Jinsi ya kuepuka ulaghai wa mapenzi nchini Australia

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 13:10


    Mwaka jana pekee, zaidi ya kesi 3200 za ulaghai wa mapenzi zili ripotiwa nawa Australia.

    Taarifa ya habari 10 Julai 2025

    Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 15:32


    Kiongozi wa Tasmania wa chama cha Liberal anatarajiwa kuitisha rasmi uchaguzi wa mapema hii leo, hatua itakayo rejesha jimbo hilo la kisiwa katika uchaguzi wa pili katika muda wa miaka mbili.

    Miaka 50 ya SBS- Waandishi wa habari waelezea nyakatu muhimu

    Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 8:00


    SBS ina sherehekea miaka 50.

    Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

    Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 7:01


    Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

    Taarifa ya Habari 6 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 17:34


    Bunge ya Tasmania yapitisha kura yakutokuwa na imani kwa kiongozi wa jimbo hilo Jeremy Rockliff. Mswada huo ulio wasilishwa na kiongozi wa chama cha Labor Dean Winter, ulipita kwa kura 18 dhidi ya 17, Spika wa Labor Michelle O'Byrne alipiga kura iliyo toa uamuzi wa muswada huo.

    Claim SBS Swahili - SBS Swahili

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel