SBS Swahili - SBS Swahili

Follow SBS Swahili - SBS Swahili
Share on
Copy link to clipboard

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

SBS Swahili


    • Jun 3, 2025 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 12m AVG DURATION
    • 1,679 EPISODES


    Search for episodes from SBS Swahili - SBS Swahili with a specific topic:

    Latest episodes from SBS Swahili - SBS Swahili

    Wito watolewa kwa hatua ya ziada kuchukuliwa kushughulikia gharama ya janga yaki asili

    Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 10:14


    Uchambuzi mpya wa hazina ume onesha gharama ya Kimbunga Alfred na mafuriko mengine katika majimbo ya New South Wales na Queensland imefika takriban $2.2 bilioni dollars.

    Taarifa ya Habari 3 Juni 2025

    Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 19:30


    Seneta Dorinda Cox wa Magharibi Australia ametangaza anahama kutoka chama cha Greens, na atakuwa Seneta wa chama cha Labor hii leo Juni 3.

    Who are the Stolen Generations? - Vizazi vilivyo ibiwa ni kina nani?

    Play Episode Listen Later Jun 1, 2025 11:01


    Australia has a dark chapter of history that many are still learning about. Following European settlement, Aboriginal and Torres Strait Islander children were removed from their families and forced into non-Indigenous society. The trauma and abuse they experienced left deep scars, and the pain still echoes through the generations. But communities are creating positive change. Today these people are recognised as survivors of the Stolen Generations. - Australia ina sura ya giza ya historia ambayo wengi bado wanajifunza kuhusu. Kufuatia ujio wa wazungu, watoto wa wa, Aboriginal na Wanavisiwa wa Torres Strait wali ondolewa kutoka familia zao, nakulazimishwa kuishi katika jumuiya zisizo za kiasili. Kiwewe na unyanyasaji walio pitia uliacha makovu makubwa, na uchungu huo bado una hisika kupitia vizazi. Ila Jamii zinaleta mabadiliko chanya. Leo hawa watu wanatambuliwa kama wahanga wa vizazi vilivyo ibiwa.

    Taarifa ya Habari 30 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 30, 2025 15:10


    Wakati inaweza chukua zaidi ya mwaka kwa baadhi ya madai ya bima ya mafuriko kutatuliwa, malipo ya mara moja kwa walio athirika jimboni New South Wales yata anza kutolewa leo 30 Mei 2025.

    Warudiana tena: mkataba mpya wa upinzani wa mseto baada ya siku nane zaku achana

    Play Episode Listen Later May 30, 2025 8:37


    Siku nane baada ya upinzani wa mseto kuachana, vyama vya Liberal na Nationals vime tangaza kuwa vime rudiana tena.

    Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 16:56


    Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.

    Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 9:22


    Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.

    Taarifa ya Habari 26 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:33


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hatua ya Israel kuzuia msaada “hai kubaliki kabisa”. Israel ina ruhusu msaada mdogo wakibinadam kuingia Gaza, baada ya takriban miezi mitatu yaku izuia, hali iliyo sababisha uhaba wa chakula na matibabu.

    UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC

    Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:53


    Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.

    drc unhcr sudan kusini
    Taarifa ya Habari 22 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 5:38


    Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.

    SBS Learn Eng pod 84 Jinsi ya kuelezea uwezo wako waku kimbia (Med)

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 14:33


    Je, unajua jinsi ya kuzungumzia sifa zako za kukimbia au kufanya riadha?

    Jinsi ya kufurahia maeneo ya nyika ya Australia kwa kuwajibika

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 14:12


    Mandhari yakupendaza na tofauti ya Australia, kuanzia pwani hadi jangwani na yote yaliyo katikati, ni nyumbani kwa mimea ya asili na wanyama wakushangaza.

    Taarifa ya Habari 20 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 17:59


    Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.

    Watu wakujitolea wana jukumu kubwa nchini Australia, ila idadi yao inapungua

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 10:42


    Wiki ya kitaifa yakujitolea ime anza, ita kuwa kuanzia 19 Mei hadi 25 Mei 2025.

    Taarifa ya Habari 16 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 16, 2025 15:11


    Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.

    Jeremiah "wahafidhina wanastahili acha kutumia Biblia kutafuta kura zetu"

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 7:10


    Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi Melbourne, Victoria wame kuwa waki kabiliana na wakati mgumu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa jimbo na shirikisho.

    Taarifa ya Habari 13 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 13, 2025 17:28


    Sussan Ley ame chaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Liberal. Bi Ley alikuwa Naibu Kiongozi wa chama hicho cha Liberal, alimshinda mpinzani wake mwekahazina kivuli Angus Taylor, katika kura yakumchagua kiongozi mpya muda mfupi ulio pita mjini Canberra.

    Nafasi za baraza la waziri za tangazwa: Nani yuko ndani, nani yuko nje?

    Play Episode Listen Later May 13, 2025 9:13


    Tanya Plibersek ame shushwa cheo nakupewa wizara ya Huduma za Jamii, wakati Anthony Albanese anatangaza baraza lake la mawaziri, atakao fanya kazi nao katika muhula wake wa pili serikalini.

    Taarifa ya Habari 9 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 18:08


    Anthony Albanese akosolewa kwa kumshasha cheo waziri pekee Muislamu katika baraza lake la mawaziri, wakati vyama vya upinzani vya ongeza juhudi yaku wachagua viongozi wao wapya.

    Adam Bandt akubali kushindwa, asema chama cha Greens kili feli ku kwea mlima Everest

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 8:19


    Adam Bandt amekubali ameshindwa nakupoteza kiti chake cha Melbourne bungeni, katika matokeo ambayo yame acha chama cha Greens bila kiongozi.

    Taarifa ya Habari 8 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 8, 2025 6:13


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng'ambo, kuhakikisha utulivu wa kiuchumi nyumbani.

    Betty afunguka kuhusu jinsi yaku badilisha viza yako ukiwa Australia

    Play Episode Listen Later May 8, 2025 9:09


    Wanafunzi wengi wakimataifa wame wasili nchini Australia, kupitia msaada wa mawakala wa uhamiaji.

    Chama cha Greens cha kabiliana na matokeo yakukatisha moyo katika uchaguzi wa shirikisho

    Play Episode Listen Later May 6, 2025 19:28


    Chama cha Greens kina onekana kuwa na viti vichache zaidi ndani ya nyumba ya chini baada ya matokeo ya uchaguzi wa shirikisho wa wikendi iliyo pita ila, wanaweza shikilia usawa wa mamlaka ndani ya Seneti.

    Taarifa ya Habari 6 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 6, 2025 16:29


    Anthony Albanese ata anza muhula wake wa pili kama Waziri Mkuu akiwa na serikali ya wengi, baada ya ushindi mkubwa wa chama cha Labor, chama chake kilishinda viti 86 bungeni.

    Albanese ashinda uchaguzi wa Shirikisho 2025

    Play Episode Listen Later May 3, 2025 4:55


    Chama cha Labor kime shinda uchaguzi wa shirikisho wa 2025 na, kita unda serikali.

    Taarifa ya Habari 2 Mei 2025

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 18:30


    Uchambuzi mpya umetabiri Upinzani wa mseto utapitia uzoefu mubaya zaidi wa matokeo katika muda wa miaka 80 katika uchaguzi mkuu wa kesho.

    Uchaguzi wa Shirikisho 2025- mazuri, mabaya na maswala ya kukera kutoka wiki tano zilizo pita

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 10:39


    Kampeni za uchaguzi wa shirikisho wa 2025 zina karibia tamati.

    wiki pita tano uchaguzi kampeni
    How to vote in the federal election  - Jinsi ya kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

    Play Episode Listen Later May 1, 2025 8:55


    On election day the Australian Electoral Commission anticipates one million voters to pass through their voting centres every hour. Voting is compulsory for everyone on the electoral roll, so all Australians should familiarise themselves with the voting process before election day. - Siku ya uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Australia inatarajia wapiga kura milioni moja, watapita katika vituo vya kupiga kura kila saa moja. Ni lazima kupiga kura kwa kila mtu ambaye yuko katika sajili yakupiga kura, kwa hiyo wa Australia wote wana stahili jifahamisha na mchakato wa kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura.

    Taarifa ya Habari 29 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 17:27


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ana fanya kampeni katika eneo bunge la chama cha Greens la Griffith, chama cha Labor kikiwa na matumaini yakushinda eneo bunge hilo la ndani ya Brisbane.

    Jinsi yakuanza biashara yako ndogo Australia

    Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 12:18


    Kuanza biashara nchini Australia hutoa faida kadhaa. Australia husaidia uvumbuzi na ujasiriamali kupitia miundombinu imara, nguvu kazi yenye ujuzi na mipango ya serikali inayo himiza ukuaji wa biashara ndogo kwa ruzuku, fedha na motisha za kodi.

    Taarifa ya Habari 28 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 5:58


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ametumia ziara katika shirika linalo toa makaazi ya jumuiya katika eneo la Central Coast jimboni, New South Wales kutangaza ahadi ya uchaguzi yenye thamani ya $20 milioni kwa kituo kipya cha kuondoa kiwewe cha wanawake na watoto.

    SBS Learn Eng pod 35 Jinsi ya kuzungumzia sifa zako kazini #2

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 15:36


    Je, unajua jinsi ya kuzungumzia sifa zako kazini?

    Taarifa ya Habari 22 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 17:46


    Zaidi ya idadi yawa katoliki milioni 5 nchini Australia wana omboleza, kufuatia kifo cha Papa Francis. Imeripotiwa kuwa Papa alifariki akiwa na miaka 88, baada yaku kumbwa kwa kiharusi na mshtuko wa moyo.

    Australia ikoje kwa wahamiaji wenye ulemavu

    Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 12:29


    Katika mwaka wa 2023, Tume ya Kifalme ilipata kuwa watu wenye ulemavu wali kabiliwa kwa visa vya kubaguliwa nakutengwa, pamoja na vurugu, kunyanyaswa na, unyonywaji na kupuuzwa.

    Taarifa ya Habari 15 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 15:58


    Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali madai kuwa sera ya nyumba ya chama chake, ita ongeza bei za nyumba.

    Msamaha wa Rais Tshisekedi kwa wafungwa wafanya raia wa Rubero kuishi kwa wasiwasi

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 7:23


    Raia wanao ishi Butembo na miji ya karibu, wamesema wanaishi kwa hofu baada ya zaidi ya wafungwa 100 kuachiwa huru.

    Taarifa ya Habari 11 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 11:25


    Waziri Mkuu amekabiliana na maswali kuhusu uwezekano wa mkataba wa manowari ya Australia na Marekani pamoja na Uingereza, kufuatia utoaji wa ushuru wa Marekani ambao ume tikisa dunia nzima.

    australia habari aprili marekani uingereza waziri mkuu
    Zaidi ya vitabu: Jinsi maktaba hujenga jumuiya

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 13:04


    Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na hukaribisha kila mtu, kutoka watoto wachanga hadi wazee.

    Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 5:27


    Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.

    SBS Learn Eng pod 68 Kujadili taarifa za habari

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 16:49


    Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu taarifa za habari?

    Sean MMG "mitandao yaki jamii imefanya iwe rahisi kwa vijana kama sisi kutokea katika muziki"

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2025 7:38


    Wasanii maarufu kutoka Kenya; Sean MMG, Ssaru na Tipsy Gee walitembelea studio yet hivi karibuni wakati wa ziara yao ya Australia.

    Taarifa ya Habari 8 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 16:53


    Serikali ya Albanese imesema uwekezaji wa serikali wa $1 bilioni moja inatambua pengo muhimu la wafanyakazi katika huduma ya afya ya akili inayo stahili fanyiwa kazi.

    Uchaguzi Mkuu 2025: Dutton afuta sera yakumaliza mpangilio wakufanyia kazi nyumbani

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 9:19


    Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton, ame tupa nje mpango wake waku walazimisha wafanyakazi wa umma kurejea ofisini aki kiri sera hiyo ilikuwa kosa.

    Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 6:08


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tangazwa mwaka jana na jinsi hali hiyo ina wa athiri wa Australia.

    Australia Yafafanuliwa: Jinsi yakupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

    Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 12:04


    Wa Australia milioni kumi na nane wame sajiliwa kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho mwezi ujao.

    Taarifa ya Habari 4 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 15:34


    Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amerudia sera yake muhimu ya uchaguzi yaku wasilisha matibabu ya meno bure kwa mfumo wa Medicare, akisema wa Australia wanalipa hela nyingi sana kwa huduma muhimu ya afya.

    M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

    Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 5:52


    Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.

    Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 5:25


    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ita toa dola milioni 50, kwa sekta zitakazo athiriwa kwa tangazo jipya la ushuru kutoka Marekani.

    The legal loophole allowing political lies during elections - Mwanya wa kisheria unao ruhusu uongo wakisiasa wakati wa uchaguzi

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 7:46


    With an election date set for May 3rd, campaigning has officially begun. But political advertisements have already been circulating for months. Can you trust what they say? - Baada ya tarehe ya uchaguzi kutangazwa kuwa 3 Mei, kampeni zime anza rasmi. Ila matangazo ya kisiasa yame kuwa yaku sambazwa kwa miezi kadhaa. Je, unaweza amani wanavyo sema?

    Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 8:13


    Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.

    Swahili Taarifa ya Habari 1 Aprili 2025

    Play Episode Listen Later Apr 1, 2025 19:20


    Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.

    Claim SBS Swahili - SBS Swahili

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel