AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.
Ndugu S. Karata akizungumzia Ukaguzi wa Nyama, Majukumu ya AfisaAfya kama mkaguzi wa nyama, sheria zinazosimamia Ukaguzi wa Nyama, malengo ya ukaguzi nakadhalika.
Ndugu Swahibu Karata akitoa elimu ya afya kuhusu historia, dalili paka njia za kujikinga na ugonjwa wa homa ya dengi.
Historia, visababishi, jinsi unavyoenea, makundi ya watu walio hatarini zaidi, madhara lakini pia ni kwa namna gani tunaweza kujilinda na maambukizi ya ugonjwa wa Listeria - Swahibu A. Karata & Yusuph Uzuwila
AfisaAfya Karata akiendelea kujadili chanjo na jinsi ambavyo Chanjo huweza kumkinga binadamu dhidi ya maradhi
AfisaAfya Karata akijadili jinsi ambavyo chanjo husaidia kumkinga binadamu na maradhi.
Ndugu Swahibu A. Karata akitoa historia yake fupi lakini pia amegusia kidogo kuhusu AfisaAfya podcast
Afya kwanza. Bw, Karata akiitambulisha show kwa wasikilizaji wake