A 24/7Writer Podcaster SocialMediaExpert ContentCreator
Miaka 35 Ya Muziki Wa Dr. Dre, Familia Na Utajiri Wake by Frank Pande
Utajiri wa Wiz Khalifa unatajwa kuwa dola milioni 45 sawa na shilingi bilioni 1.5. Jina la Wiz Khalifa lipo kwenye orodha ya wanamuziki 50 wa Hip Hop wenye mkwanja mrefu.
Harmonize Amewakosea Mashabiki, Hakuna Kama Uno by Frank Pande
Diamond amekuwa msanii namba moja kwenye kila nchi Afrika Mashariki kwa muda mrefu bila kupoa, sio rahisi kwa msanii ambaye nyuma yake kuna wasanii wengine zaidi ya watano ambao wote wapo chini ya LABEL yake na Brand zao ni kubwa zinazohitaji gharama kuziendesha. Diamond amekuwa msanii ambaye amekutana na changamoto nyingi kwenye muziki wake ikiwemo kufungiwa nyimbo zake na baraza la sanaa pamoja na baadhi ya vituo vya radio na TV kitu ambacho hakijawahi kumfanya asite kuendelea kufanya kazi zake katika mtindo ambao mashabiki wake wanataka kumsikia na kumuona.
Maajabu 12 Ya Harmonize Chini Ya WCB Wasafi by Frank Pande