POPULARITY
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Kando ya maadhimisho ya siku ya miaka 80 ya Umoja wa Mataifa, hapa makao makuu kumefanyika mashauriano ya faragha yenye lengo la kusaka majawabu ya madhara ya mabadiliko ya tabianchi. Mashauriano ya leo ni sehemu ya mashauriano 10 yatakayofanyika kuelekea mkutano wa tabianchi wa wakuu wa nchi na serikali utakaofanyika keshokutwa Jumatano hapa Umoja wa Mataifa. Assumpta Massoi amezungumza na mmoja wa watoa mada kwenye mashauriano hayo ambayo matokeo yake yatawasilishwa kwenye mkutano wa viongozi. Kwako Assumpta.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Nats..Katika uwanda wa wageni nje ya jengo la mikutano nakutana na Emily Mohohlo, Mratibu wa shirika la kiraia la Slum Dwellers International kutoka Afrika Kusini linalojikita katika kuhakikisha maeneo ya mabanda mijini yanakuwa jumuishi, yana mnepo na maisha yao yanaboreshwa.Nikamuuliza umuhimu wa mkutano na kusema..(Sauti ya Emily Mohohlo)“Mkutano huu ni muhimu kwangu kwa sababu katika maisha halisia kuna joto kupindukia na linasababisha vifo kwa wanawake na pia kutoweka kwa mbinu zao za kujipatia kipato. Hivyo kwangu naona kama tunaweza kujumuika pamoja katika ngazi ya kijamii na kupata takwimu sahihi na kisha watafiti watusaidie. Tunahitaji wabia kwani tayari tumeshachukua hatua.”Kwa hiyo ujumbe wake kwa washiriki wa mkutano?(Sauti ya Emily Mohohlo)“Njooni mshirikiane nasi, kwa sababu tuna takwimu kutoka mashinani lakini hatuna uwezo wa kifedha. Tukipata fedha kutoka kwa watafiti itakuwa vema. Tunajua wana takwimu lakini si kutoka mashinani.”Nilipomuuliza umuhimu wa Umoja wa Mataifa wakati huu unatimiza miaka 80 akafunguka..(Sauti ya Emily Mohohlo)“Ndio sasa una miaka 80, lakini bado hatuoni vya kutosha mafanikio yake mashinani. Huwezi kusaidia mtu mmoja mmoja. Waje kwenye vikundi na itakuwa vema kwa sababu kuna idadi kubwa ya watu.”Akatamatisha na ujumbe kwa Umoja wa Mataifa.(Sauti ya Emily Mohohlo)“Tumefika hapa, tafadhali tusikilizeni. Hakuna chetu bila kutushirikisha. Asante,”TAGS: Tabianchi/Afrika/Slum Dweller International/UNGA80
Send us a textWhat happens when the magic of Disney collides with the reality of shared living spaces? Grab your favorite drink (we're sipping on a highbrow batanga from Epcot's Geo 82) and join us for a hilarious journey through the ultimate roommate nightmares – Disney edition!Ever wondered if Donald Duck's temper tantrums would shake your apartment walls? Or if Cruella de Vil would turn your living room into her personal runway, complete with suspicious "dog visitors"? We've imagined it all so you don't have to experience it firsthand. From Oaken's perpetually wet floors to Simba's descent into "Hakuna Matata" irresponsibility after falling in with the wrong crowd, we explore the good, the bad, and the downright impossible living situations.Some roommate disasters are predictable – like Hades cranking the thermostat to a literal 200 degrees for his "mini hell parties" – while others surprise you, like Ariel's kleptomania for "thingamajigs" or Captain Hook's 2 AM shadow-fighting sessions. Whether it's Genie's constant impressions making work-from-home impossible or Buzz Lightyear's chronic late rent payments, these beloved characters would likely have you changing the locks or sneaking out in the middle of the night.Not all Disney roommates would be nightmares though! We also highlight the few characters who might actually make decent housemates – at least until their quirks inevitably drive you to seek new accommodations. After listening, you'll never look at your favorite Disney characters the same way again, and you might just appreciate your real-life roommates a little more!Share your thoughts on which Disney character would make your nightmare roommate list, and don't forget to subscribe for more imaginative Disney discussions that blend fantasy with our everyday reality!Here's who we are and what is in store for you
Ilikuwa miezi, wiki na sasa imesalia siku tatu tu kabla ya mjada mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80 kun'goa nanga hapa kwenye Makao Makuu jijini New York Marekani ambapo viongozi wa Dunia na wakilishi mbalimbali watashiriki kwenye mkutano wa 80 wa Baraza Kuu. Mada mbalimbali zitajadiliwa ikiwemo maadhimisho ya miaka 80 ya Umoja wa Mataifa. Flora Nducha ameketi na mwakilishi wa kudumu wa Kenya kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Ekitela Lokaale kuzungumzia Afrika na Umoja wa Mataifa katika miaka na umuhimu wa Umoja huo duniani, hiki ni kionjo tu cha maohojiano hayo akianza na mchango wa Afrika Umoja wa Mataifa
Kamishina Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuwa “hakuna sehemu yoyote iliyo salama Gaza, na hakuna mtu aliye salama”akisema zahma na madhila yametanda kila kona ya eneo hilo linalokaliwa kimabavu na Israel. Flora Nducha na taarifa zaidi
No queríamos que este episodio se perdiera, entonces aquí va de nuevo! gracias Gianlu
Marcus and Corey What You Know 'Bout That trivia game for Wednesday September 10th, 2025.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina, wiki ya Maji ikifikia tamati leo Agosti 28 na maudhui yakiwa Maji kwa ajili ya Hatua kwa Tabianchi, tunabisha hodi kaunti ya Kajiado nchini Kenya kumsikia mtendaji kwenye mradi wa maji wa Kerarapon Water Association ambalo ni shirika la kijamii linalohusika na maji na mazingira huko kaunti ya Kajiado nchini Kenya. Mengine ni kama yafuatayo.Ukraine ambapo leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameungama na mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa kulaani vikali mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani droni yaliyofanywa na Urusi usiku kucha kuamkila dhidi ya miji ya Ukraine na kusababisha vifo na majeruhi kwa raia, wakiwemo watoto, na pia kuharibu majengo ya kidiplomasia jijini Kyiv. Amesisitiza kuwa mashambulizi dhidi ya raia na miundombinu yao yanakiuka sheria za kimataifa za kibinadamu, akitaka yakome mara moja na kurudia wito wake wa kusitisha mapigano ili kuelekea amani ya kudumu itakayoheshimu uhuru wa watu, uhuru wa kitaifa na mipaka ya Ukraine kama inavyotambuliwa kimataifa.Kuhusu Mashariki ya Kati Katibu Mkuu António Guterres akizungumza na waandishi wa Habari hii leo kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ameonya kuwa operesheni za kijeshi mjini Gaza zitakuwa na zahma kubwa na amesisitiza “hili lazima likome.” Amesema njaa si tishio tena bali janga la sasa, huku raia, wahudumu wa afya na waandishi wa habari wakiuawa wakati “macho ya dunia yakitazama.” Guterres ameikumbusha Israel wajibu wake wa kisheria kulinda raia na kuruhusu msaada wa kibinadamu bila vikwazo akisema “Hakuna visingizio tena. Hakuna vizuizi tena. Hakuna uongo tena,” akitoa wito wa usitishaji mapigano haraka na kuachiliwa kwa mateka wote.Kikosi cha 11 cha Tanzania TANZBATT 11 kinachohudumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO kimetoa msaada wa magodoro kwa raia walioathirika na machafuko ya karibuni katika kijiji Oicha jimboni Kivu Kaskazini. Miongoni mwao ni Bi Masika Jistine na Mzee Bahati Paluku ambao hawakusita kuonesha furaha yao.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKWIJI!.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Motivos hoy con musica de Joaquin chavez, Estacionalidad Cero, Pablo Martinez, Kairy Marquez,ALto Mando es el Señor, Joan Snachez, Siervo, Atenas, Comunicadoras Eucaristícas, Hakuna y Vuelta en U...(Copyright Disclaimer: I do not own the rights to the music used All rights belong to the original creators and rightful owners. No copyright infringement intended. This content and music is shared for entertainment only.)
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Ted och Kaj talar om att manifestera och hitta ny drivkraft. Ted visionerar en efterföljare till den klassiska sommarteatern.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF kwakushirikiana na wakfu wa LEGO wametengeneza video yenye kuonesha familia nne na jinsi zinavyopambana na malezi ya Watoto wakiwa ni wazazi kwa mara ya kwanza. Leah Mushi ametazama video hiyo ya takriban dakika 30 na hapa anakuleta simulizi ya familia kutoka nchini Afrika Kusini.
"Hakuna matata" may work on a cartoon savanna. But in real life? You've got worries-and no talking warthog to sing them away. Jesus never promises no worries. But he does say don't worry. So how do you live like that?
"Hakuna matata" may work on a cartoon savanna. But in real life? You've got worries-and no talking warthog to sing them away. Jesus never promises no worries. But he does say don't worry. So how do you live like that?
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo
Mamlaka jimboni New South Wales wamesema jibu baada ya kimbunga Alfred lime hamia rasmi katika mwelekeo wa uokoaji. Hakuna onyo za dharura ambazo zimetolewa kwa kuhama.
Mehr Umsatz mit Verkaufspsychologie - Online und Offline überzeugen
Wahrnehmungspsychologie im Marketing - Von Cocktailparty bis Hakuna Mata Mehr Conversions mit fundierter und unbewusster Wahrnehmungspsychologie Millionen von Reize erreichen jede Sekunde deine Sinnessysteme. Jeder Reiz buhlt um die Aufmerksamkeit der Leser bzw. Hörer im Marketing. Mittels unbewusster Wahrnehmungspsychologie und Cocktailpartyeffekt durchdringst du die Wahrnehmungsfilter im Kopf deiner Kunden. Wie das abläuft, erfährst du im Podcast.
Envíame un mensajeHAKUNA es un grupo o movimiento mayormente juvenil de adoración Eucarística. Se distingue por su musica moderna, por una muy peculiar manera de representar a La Virgen María y por los libros de su fundador. Entre ellos se encuentra el libro Santos De Mierda. El Padre Jaime Mercant nos alerta de los peligros de la doctrina de HAKUNA.Support the show YouTube Facebook Telegram Instagram Tik Tok Twitter
For more information and to stay up to date with Pastor Jamie Crawford, Breakthrough Ministries and Epicenter Church please visit our website's breakthroughevangelism.com or epicenterchurchok.com
Paul and Randy are back to discuss Duane Akina's hire and what it could mean for the Texas defense, which games are the most threatening on the 2025 schedule, what to do when a German Shepherd takes over a baseball practice with 6 year olds. The time is now for your new mortgage or refi with Gabe Winslow at 832-557-1095 or MortgagesbyGabe. Then get your financial life in order with advisor David McClellan 312-933-8823 with a free consult: dmcclellan@forumfinancial.com. Read his retirement tax bomb series at Kiplinger! https://www.kiplinger.com/retirement/retirement-planning/605109/is-your-retirement-portfolio-a-tax-bomb Need a great CenTex realtor? Contact Laura Baker at 512-784-0505 or laura@andyallenteam.com.
Its the full crew this week as they open up talking about the ultimate comfort food. Florida Man this week with a chance at the Big Board. Our Chicken Tender Bracket continues with #7 Wingstop vs. #10 KFC and #3 Chick-fil-A vs. #14 Bojangles. Chris has the latest edition of Blind Rankings and Kevin has his weekly Dad Tip. Jose is live with WWFU and the drinks have kicked in by the time we get to Picture Time. Special thanks to Henderbeard for his “Slim Down For What”. Enjoy the chaos! Cheers! The CTC Onlyfans on FB Visit our site at Cuptocuplife.com (nospaces) Check out our merch store
En este episodio, tenemos el honor de conversar con Juan Manuel Cotelo, periodista, director de cine, guionista, productor y actor español. Juan Manuel es el fundador y director de Infinito + 1, productora y distribuidora internacional de películas y series. Está casado y tiene tres hijas. Hoy lo invitamos a contar su propia historia de fe y cómo fue embarcándose en la misión de anunciar la buena noticia. Le pedimos que nos cuente cómo animarnos nosotros también, los pasos en ese camino, las dificultades y cosas a tener en cuenta a la hora de darle para adelante en la misión que Dios nos da a cada uno. Desde la Fundación Infinito + Uno, Juan Manuel ha producido documentales, películas documentales y largometrajes como La última cima (acerca de la vida del sacerdote Pablo Domínguez Prieto), Tierra de María (testimonios de fe relacionados con la Virgen María), El Mayor Regalo (acerca del perdón) y Tengamos la fiesta en paz (comedia musical familiar navideña) y Footprints (acerca del peregrinar en el Camino de Santiago). Todas pueden hoy verse a través de la página de la fundación. Tambien ha realizado formatos digitales y series como CATEQUIZIS, KATAKUMBA EXIT, CONTAGIOSOS, CATEFITNESS y HAGAN LIO, con millones de visualizaciones en todo el mundo. Juan Manuel es conferencista internacional y un gran referente en el mundo de la evangelización hoy. “No tengo plata ni oro, pero te doy lo que tengo”: un espacio donde encontrarnos con el que verdaderamente nos llena, para que nos tome de la mano, nos levante y nos ponga en camino nuevamente. Somos Sol, Colo y Tere, con el apoyo del Pbro. Gastón Lorenzo, Parroquia Católica Nuestra Señora del Pilar, Buenos Aires, Argentina. Entrevistamos a personas que nos comparten su vida y nos ayudan a profundizar nuestra fe. Contactate con nosotros: podcastdelpilar@gmail.comContactate con Juan Manuel: https://www.infinitomasuno.org/ Música:- Cortina musical: "Tan pobre y tan rico"· Jóvenes Catedral de San Isidro. Álbum: “Hazte canto”.- Canción final: "Enciéndeme". Letra y música: Almudena Portal. Interpretado por: Hakuna Group Music. Álbum: Hakuna, 2015 Este podcast está realizado a beneficio de la FundaciónNuestra Señora del Pilar, que acompaña a niños, adolescentes y mujeres en estado de vulnerabilidad en Buenos Aires, Argentina. Te invitamos a colaborar con esta obra. Hacé click acá para donar, o entrá a la página de la Fundación para conocer más acerca de la fundación y otras formas de ayudar. Muchas gracias.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Kutana na Saido Omar Noor, binti mwenye umri wa miaka 25 mkimbizi kutoka Somalia anayeishi Kakuma kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini Kenya. Kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR anasema katika jamii yake ni yeye mwanamke pekee wa Kisomali anayecheza mpira kwa kikapu au basketball. Flora Nducha na taarifa zaidi..
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…
A man corners a woman buying beer, your kid is being brainwashed, these parents are terrible, Jussie Smollett gets a W, MSNBC is in trouble, an orb in New York City, a major freak out on a plane, Milhouse might be RIP on the Simpsons, Coachella makes Shawn feel old, the insane way the Rust movie is being promoted and so much more!
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y de vez en cuando con algún invitado que canta o toca en directo.
.- Funerales por los fallecidos en la catástrofe de las riadas. .- Comentarios en torno a la victoria de Trump de EE .- Antropomorfismo en el trato a las mascotas .- Canción La Fila de Hakuna .- Preguntas de los oyentes
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y con invitados que cantan o tocan en vivo.
Kadri siku zinavyozidi kusonga mbele, hali ya usalama na kibinadamu huko Ukanda wa Gaza inazidi kuzorota huku raia na hata wafanyakazi wa kutoa misaada wakisalia wamepigwa butwaa kwani mashambulizi kutoka Israeli yanaendelea kila uchao. Naanzia ndani ya hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza, mtoto aliyejeruhiwa amebebwa akilia kwa uchungu. Kwingineko mgonjwa mwingine anatolewa kwenye gari la wagonjwa! Ni taswira iliyozoeleka sasa Gaza.Louise Wateridge ambaye ni Afisa Mwandamizi wa Masuala ya Dharura katika shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA akihojiwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa kutoka Gaza Kati amesema hali si hali.Anasema, “mambo kwa kweli yanazidi kuwa mabaya hapa. Kukata tamaa ni kila mahali. Namaanisha, watu unaozungumza nao, na wafanyakazi wenzangu niliozungumza nao hawajui sasa wafanye nini. Hawafahamu waende wapi. Unaweza kusikia nyuma yangu milio ya makombora ikiendelea.”Bi. Wateridge akaendelea kusema kuwa, “kutokuwa na matumaini ndio neno pekee lililosalia Gaza. Unafahamu watu milioni 2.2. Inabidi umkumbushe kila mtu kwamba wamenasa. Hakuna njia ya kutoka nje ya Ukanda wa Gaza na mashambulio ya mabomu yanaendelea mchana kutwa na usiku kucha.”Hali ikiendelea hivyo hii leo huko katikati mwa Gaza, hapo jana jeshi la Israeli lilishambulia na kuharibu kwa kiasi kikubwa ofisi ya UNRWA iliyoko Ukingo wa Magharibi, ofisi ambayo ilikuwa inategemewa zaidi katika kutoa msaada kwa wakimbizi zaidi ya 14,000 wa kipalestina wanaoishi katika kambi ya Nur Shams.UNRWA kupitia mtandao wa X imesema kitendo cha kushambulia ofis iza UN lazima kikome na badala yake zilindwe wakati wote.
Lo está petando Hakuna, el grupo musical juvenil religioso formado en la JMJ de Río de Janeiro 2013. Recomiendo. No los he escuchado. Además, en el mundo virtual y virtuoso de Internet vive una @Amaliamusica que se inventa respuestas para las canciones de Manuel Turizo. Alucino pepinillos, recomiendo, sí la he escuchado. Pero es que en el mundo real, o sea en esto que nos pasa y nos despeina todos los días, sigue existiendo, pintando, maravillando y ejerciendo magisterio el coloso Antonio López, un genio que es genial desde muchos puntos de visto. Must. Además, never forget el Goya de Honor a Aitana Sánchez Gijón, una grande de España que nos sigue removiendo y estimulando y haciendo felices o desdichados. Finalmente, recomendaciones: la serie ‘Moncloa, Cuatro Estaciones'. El documental sobre lo nunca visto de Pedro Sánchez en Moncloa. Se puede ver en El País. Maravilla.
Lo está petando Hakuna, el grupo musical juvenil religioso formado en la JMJ de Río de Janeiro 2013. Recomiendo. No los he escuchado. Además, en el mundo virtual y virtuoso de Internet vive una @Amaliamusica que se inventa respuestas para las canciones de Manuel Turizo. Alucino pepinillos, recomiendo, sí la he escuchado. Pero es que en el mundo real, o sea en esto que nos pasa y nos despeina todos los días, sigue existiendo, pintando, maravillando y ejerciendo magisterio el coloso Antonio López, un genio que es genial desde muchos puntos de visto. Must. Además, never forget el Goya de Honor a Aitana Sánchez Gijón, una grande de España que nos sigue removiendo y estimulando y haciendo felices o desdichados. Finalmente, recomendaciones: la serie ‘Moncloa, Cuatro Estaciones'. El documental sobre lo nunca visto de Pedro Sánchez en Moncloa. Se puede ver en El País. Maravilla.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y con invitados que cantan o tocan en vivo.
Wanafunzi na wahamiaji wengi kutoka Afrika Mashariki haswa Kenya, wame kuwa waki kabiliwa kwa changamoto yaku thibitisha uwezo wao wakuzungumza Kiingereza nchini Australia kabla yaku endeleza masomo yao.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y con invitados que cantan o tocan en vivo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y con invitados que cantan o tocan en vivo.
Fe hecha canción es el programa de EWTN Radio Católica Mundial que promociona la música de los grupos y cantantes católicos del mundo hispano. Desde el Estudio 3 de Radio Católica Mundial, Douglas Archer comparte con ustedes una hora cargada de canciones, incluyendo las últimas novedades y estrenos, y con invitados que cantan o tocan en vivo.