POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia siku ya chakula duniani ikienda sambamba na maadhimisho ya miaka 80 ya kuanzishwa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, na utamsikia Mwakilishi wa FAO nchini Tanzania Bi. Nyabenyi Tito Tipo akieleza.Maadhimisho ya siku ya chakula duniani yamefanyika kimataifa leo huko Roma nchini Italia, yakienda sambamba na sikukuu ya miaka 80 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na kilimo, FAO. Katika ujumbe wake alioutoa kwa njia ya video Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, “Miaka themanini iliyopita, katika dunia iliyosambaratishwa kwa vita, nchi zilikutana kukabiliana na njaa. Miongo kadhaa tangu wakati huo, dunia imepiga hatua kubwa. Lakini bado majanga yanyoonesha kuwa hatuwezi kubweteka iwapo tunataka kuendeleza mafanikio tuliyopata. Tuna mbinu, ufahamu, rasilimali za kutokomeza njaa, na kupatia kila mtu chakula kizuri na chenye afya. Tunachohitaji ni umoja.Huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, raia wamerejea kufuatia makubaliano ya sitisho la mapigano lakini wanahaha kujenga upya makazi yao huku wakiwa wamezingirwa na vifusi. Miongoni mwao Ayman Awadallah, amesema “hakuna maji, hakuna miundombinu ya majitaka, hakuna maisha hapa, hakuna chochote.”Na kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga, kilichotokea Jumatano Oktoba 15 nchini India, Umoja wa Mataifa kupitia Katibu Mkuu umetuma salamu za rambirambi na kusema hayati Odinga, alikuwa mtu muhimu katika maendeleo ya kidemokrasia nchini Kenya na pia mtetezi thabiti wa mageuzi ya kikatiba na utawala jumuishi.Na katika kujifunza Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "KIMWA"Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Umoja wa Mataifa hii leo umeadhimisha miaka 80 tangu kusainiwa kwa Mkataba wake tarehe 26 Juni 1945, tukio lililotoa matumaini mapya kwa dunia iliyokuwa imechoka kutokana na vita kuu mbili za dunia, mauaji ya halaiki na ukoloni. Katika maadhimisho hayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema kumbukizi ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa ni fursa ya kukumbuka ujasiri wa waanzilishi wa taasisi hiyo na kuimarisha mshikamano wa kimataifa katika kukabili changamoto zinazokabili dunia hivi sasa. Tuungane na Leah Mushi aliyefuatilia maadhimisho hayo atupatie taarifa zaidi.
Jumamosi hii hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu masuala ya wanawake, tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake. Sasa Sabrina Said amezungumza na aliyekuwa Katibu Mkuu wa mkutano huo Balozi Gertrude Mongella kupata tafakuri yake katika katika makala hii.
Nchini Sudan Kusini ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS unaendelea kuimarisha mfumo wa mahakama ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wote hata maeneo yote ya nchi hiyo. Leah Mushi na taarifa zaidi
Hii leo ninaungana na mwenzangu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa Goma ambako alikutana na wasanii kadhaa ambao wamo mbioni katika kuhamasisha Amani na mshikamano wa jamii kupitia Nyimbo zao, na leo kwa namna ya pekee tutaungana na msanii mkongwe wa miaka mingi katika mji huo ambaye amejiwekea sifa kubwa katika eneo la maziwa makuu MACK ELSAMBO Kataka ambaye kwa zaidi ya miaka 30 amekuwa akiimba AMANI
Baada ya miaka miwili ya vita katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel Ijumaa tarehe 22 Agosti Umoja wa Mataifa ukatangaza jambo baya zaidi, ripoti ya njaa duniani IPC ikathibitisha wananchi wa Gaza rasmi wana kabiliwa na baa la njaa.Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP ni moja kati ya mashirika ya Umoja wa Mataifa ambayo pamoja na hali ya vita yamekuwa yakitoa msaada wa chakula huko Gaza na wameeleza kwamba baa la njaa lazima likomeshwe kwa gharama yoyote ile. Kusitishwa kwa mapigano mara moja na kukomesha mzozo ni muhimu ili kuruhusu misaada kuweza kuingizwa Gaza ili kuokoa maisha. Makala hii Leah Mushi anamuangazia mmoja wa watoto wanaokabiliwa na njaa
Mapema mwezi Agosti 2025 wabunge walipitisha sheria mpya itakayowaruhusu wasichana wa miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango bila ruhusa ya wazazi, kwa lengo la kukabili mimba za utotoni. Awali sheria ya nchi hiyo ilikuwa inaruhusu wanawake wa miaka 18 pekee kupata huduma hizo.
Mapema mwezi Agosti 2025 wabunge walipitisha sheria mpya itakayowaruhusu wasichana wa miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango bila ruhusa ya wazazi, kwa lengo la kukabili mimba za utotoni. Awali sheria ya nchi hiyo ilikuwa inaruhusu wanawake wa miaka 18 pekee kupata huduma hizo.
Mkataba wa kimataifa wa CITES ulianza kutekelezwa mnamo Julai mosi 1975. Toka wakati huo mkataba huu umeendelea kusaidia dunia kuzuia kupotea kwa kasi kwa spishi mbalimbali za wanyamapori na mimea zilizokuwa katika hatari ya kutoweka.
Ni jumapili nyingine tunakutana mimi na wewe mskilizaji katika makaka haya Changu Chako Chako Changu, ambayo leo ni maalum kabisa, kuhusu maadhimisho ya miaka 15 tangu kuanza kwa matangazo ya idhaa ya kiswahili ya radio France Internationale RFI. Julai 5 mwaka 2010 huko jijini Dar es salaam nchini Tanzania, tarehe ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili duniani. Mimi ni Ali Bilali. Bienvenue, ama Karibu
SBS ina sherehekea miaka 50.
Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.
Makala ya changu chako chako changu inaangazia kuhusu uteuzi wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani, ambapo RFI Kiswahili imezungumza na askofu Sebastian Muyengo wa dayosisi ya Uvira mkoani Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, na katika utamaduni kabila la wabembe huko Fizi nchini DRC na katika muziki maadhimisho ya miaka 44 tangu kifo cha muasisi wa miondoko ya regae Bob Marley
It's time for the Fushigi Yûgi finale! Join club hosts Kate, Karen, Dennis, Diana, & returning guest Kristen as we go over our final Fushigi Yûgi thoughts. Does Keisuke do enough to redeem himself from the last batch of episodes? Is all forgiven for Yui? Does Nakago deserve the sad backstory treatment? Unexpected kaiju battles, and the return of Force ghosts. It's got everything! 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:12:15 - The Watchlist (ft Faves of Winter 2025) 0:40:25 - Catching up on FY with Diana & Kristen 0:50:40 - EP49: Wedding Celebration 1:16:54 - EP50: Atonement 1:47:01 - EP51: Entrusted Hope 2:15:15 - EP52: For My Loved One 2:43:16 - Final Thoughts & Kanpai Special thanks to Kristen (@kristenmpath) for joining us again! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchaguzi wa CAF, uwanja wa Mkapa wafungiwa kwa muda, michuano ya kufuzu dimba la dunia kwa kina dada chini ya umri wa miaka 17, maandalizi ya mashindano ya kuendesha magari ya WRC Safari Rally, uchambuzi wa mechi za klabu bingwa Ulaya hatua ya kumi na sita bora naye Neymar alazimika kuaga kikosi cha Brazil kufuatia jeraha
Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.
Getting closer to the finale, come join Dennis, Diana, Ed, Karen, & Kate for more Fushigi Yûgi, covering episodes 40-43. Miaka's dream school scenario turns into a recurring nightmare, we've lost track of how many times Miaka & Tamahome have broken up, there's new Byakko Warriors, another Boshi Boy (no relation to Flute-aboshi or Rope-aboshi), and giant insect monsters. And just when you thought he couldn't, Nakago gets even creepier. Also, we talk abou the new Gundam GQuuuuuuX film at the beginning of the show with chapter time stamps, so feel free to skip that chapter if you did not get a chance to see the film yet! 0:00:00 - Introduction & News 0:07:53 - GQuuuuuuX Movie SPOILERS 0:24:26 - The Watchlist 0:35:58 - Fushigi Yûgi Catch-up with Karen & Diana 0:43:24 - EP40: Deceptive Love 1:03:30 - EP41: Sunlight of Rebirth 1:28:24 - EP42: Unbreachable Wall 1:54:57 - EP43: Farewell Reunion 2:18:53 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Diana: @binkx | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiAkizungumza wiki hii mjini Geneva Uswisi katika majadiliano ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing (#Beijing30), Bi. Bahous amebainisha umuhimu wa kuharakisha maendeleo ya usawa wa kijinsia akiwataka viongozi wa dunia kuchukua hatua thabiti ili kuhakikisha haki za wanawake zinapewa kipaumbele wakati wa changamoto zinazoendelea duniani.Amesema “Miaka 30 iliyopita dunia iliweka ahadi ya kusongesha fursa na utu wa wanawake na wasichana wote. Ahadi hiyo haikuwa maneno matupu kwenye karatasi, ilikuwa ramani ya njia na wito wa mshikamano . Na kwa miongo mitatu imechochea hatua, wasichana wengi sasa wako shule, wanawake wengi wako bungeni , kuna sheria nyingi zaidi zinawalinda wanawake dhidi ya ukatili, na mataifa mengi zaidi yanatambua usawa wa kijinsia ni lazima.”Licha ya mafanikio hayo yote Bi, Bahous amesema ndio kwanza mkoko unaalika maua kwani safari bado ni ndefu“Hebu tuwe wakweli hatujafika tunapopaswa kuwa. Haki za wanawake na wasichana zinashambuliwa, fursa za wanawake kupaza sauti zinazidi kupungua na endapo tutaendelea na kasi hii msichana aliyezaliwa leo atakuwa na umri wa miaka 39 kabla wanawake hawaja na viti vingi bungeni kama wanaume, atakuwa na umri wa miaka 68 kabla ndoa za utotoni hazijakomeshwa, na atakuwa na umri wa miaka 137 kabla umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasicha haujatokomezwa. Hatuwezi kulikubali hili.”Mkuu huyo wa UN Women ameyahimiza mataifa yote kuchukua hatua sasa ili kuhakikisha ndoto za azimio la Beijing hazisalii kuwa ndoto bali maisha halisi.
What's it like to be a zoo veterinarian—especially in a foreign country?
Tuliyokuandalia hii leo ni pâmoja na matokeo ya mashindano ya tenisi ya vijana barani Afrika chini ya miaka 14, kocha mpya wa Kenya ni nani, matokeo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada, timu sita kushiriki ligi ya Afrika ya basketboli kwa mara ya kwanza, huku Afrika Kusini ikijiandaa kutuma ombi rasmi la kuandaa mkondo mmoja wa F1 na Jose Mourinho apata afueni baada ya adhabu yake kupunguzwa.
Mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu umeanza leo jijini Geneva, Uswisi ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezungumzia kiza kilichotanda duniani hivi sasa kutokana na mapigano yanayoendelea sehemu mbalimbali kuanzia Ukraine, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hadi Ukanda wa Gaza, yakiambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki, akitaka kila juhudi zichukuliwe kusaka amani ya kudumu. Selina Jerobon na taarifa kamili..
On this episode, join Ed, Garrett, Karen, Kate, & Dennis for more adventures in The Universe of the Four Gods with our Fushigi Yûgi recap of episodes 36-39. We've reached one of the lowest points for Miaka, and most of the Suzaku Warriors aren't even around! There's so much running away, a couple of big truth bombs, more Street Fighter II homages, and more shells than you can shake a stick at. You are about to enter another dimension, a dimension not only of sight and sound but of mind. A journey into a perilous land of illusions. Next stop, the Tomo Zone. 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:13:40 - The Watchlist 0:27:55 - EP36: Trampled Love 0:57:13 - EP37: Bewitched Warmth 1:29:21 - EP38: Dawn of the Heart 1:54:43 - EP39: Bewitched Illusions 2:16:14 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Our guest today, Dr. Miaka, is a veterinarian at the Kobe Animal Kingdom -- a zoo that recreates the natural habitats of it's animals. Today we'll discuss what it's like taking care of a wide variety of animals at a zoo, as well as discuss animal rights and how we can study them in an ethical and helpful way.Follow Dr. Miaka and the Kobe Animal Kingdom:https://www.instagram.com/@zoovetjapanhttps://www.kobe-oukoku.com/enFollow us on our social media:https://www.youtube.com/channel/UCx3XoY5gyyPvCe4FdwdFJQAhttps://www.buzzsprout.com/2158416https://www.instagram.com/@unpackingjapanhttps://www.tiktok.com/@unpackingjapanhttps://www.x.com/unpacking_japanhttps://www.facebook.com/unpackingjapanSubscribe for more in-depth discussions about life in Japan! Interested in working at a global e-commerce company in Osaka? Our parent company ZenGroup is hiring! To learn more, check out https://careers.zen.group/en/youtube.com/@unpackingjapan
We're back in the Universe of the Four Gods, as Dennis, Ed, Kate, & Karen start part two of the Fushigi Yûgi miniseries! Starting off with episodes 27-30, we get our first full recap episode, along with journeying to a new land. Miaka and Yui both resolve to see through their respective quests, even if it means fighting each other. Other talking points include Flute-aboshi & Rope-aboshi, library etiquette, indoor sunglasses, things that could have been done yesterday, lightning bending, and recharging your chakra. So get out of those drenched clothes before you get sick. It's story time with Nuriko! 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:11:34 - The Watchlist 0:32:05 - EP27: Tombstone Oath 0:49:31 - EP28: The Ancient Path (Part 1 Digest) 0:54:05 - EP29: Mysteries Afoot 1:12:59 - EP30: The Flash of Battle 1:33:54 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Mgombea wa wadhifa wa uongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA nchini Tanzania, amefunguka kuhusu sababu zake zaku wania wadhifa huo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Katika kuadhimisha miaka 15 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Kampala wa Ulinzi na Usaidizi wa Wakimbizi wa Ndani barani Afrika chini Muungano wa Afrika, Kamishna Mkuu Msaidizi wa Ulinzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, Ruven Menikdiwela na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu za Wakimbizi wa ndani Paula Gaviria Betancur wametoa kauli ya pamoja ya kupongeza Muungano wa Afrika kwa maono haya ya mbali na pia kuzisihi nchi zote barani Afrika kuutekeleza mkataba huo muhimu. Selina Jerobon na maelezo zaidi.
Australia imebadilisha msimamo wayo kwa azimio la Umoja wa Mataifa, linalo taka Israel isitishe kukalia kwa mabavu maeneo ya wapalestina.
Wakati jana Desemba Mosi Ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Kimataifa ya UKIMWI kwa kuhamasisha haki za binadamu ili kufanikisha vita dhidi ya ugonjwa huu hatari, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya ya Kudhibiti Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) inajivunia miaka 25 ya kujiunga na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) katika kushughulikia janga la Virusi Vya UKIMWI (VVU) miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya na miaka 20 ya kazi ya kupambana na UKIMWI magerezani. Anold Kayana na taarifa zaidi.
On this episode, join Diana, Dennis, Kate, Garrett, & Ed for the season 1 finale of Fushigi Yugi, covering episodes 23-26. All of the Suzaku Warriors have finally gathered plus 1 (wait, what...), and the melodrama just gets thicker. Tamahome is back to his old ways for a bit, Miaka has accidentally unlocked Hard Mode for the "summon Suzaku quest," friend zoning and promise rings, twin powers activate, river wall discrepancies, only one person freaking out over polaroid pictures, and of course, resurrecting a Tom Cardy joke from a previous episode. 0:00:00 - Intro & Some Anime Related News 0:22:58 - The Watchlist 1:03:42 - EP23: Shadow of Intrigue 1:27:09 - EP24: Resolution 1:53:19 - EP25: Love and Sorrow 2:22:07 - EP26: Star Festival 2:43:37 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
On this episode, join Ed, Kate, Garrett, Caitlin, & returning guest Kristen for part 5 of our Fushigi Yugi miniseries, covering episodes 18-22. In this batch, Tamahome turns to the dark side, putting Miaka's journey and love life in peril! Other talking points include the ages of the Suzaku Celestial Warriors, is Nakago the only useful Kutou soldier, substitute warrior cat, Breaking Bad, & Mitsukake's healing preferences. 0:00:00 - Intro & The Watchlist 0:17:15 - Some Anime Related News 0:27:30 - Caitlin & Kristen's Fushigi Yugi Origins 0:46:15 - EP18: Love Trap 1:08:02 - EP19: Shattered Loved 1:34:29 - EP20: Unreachable Hope 1:51:46 - EP21: To Protect You 2:18:19 - EP22: I'll Never Leave You 2:42:48 - Final Thoughts & Kanpai Special thanks to Kristen (@kristenmpath) for joining us again! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Kate: @taikochan | Caitlin: @kouject Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Leo siku ya posta duniani huduma ambayo ilionekana kuwa itasambaratika kufuatia ujio wa maendeleo ya teknolojia ya intaneti lakini wenyewe wasimamizi wa huduma hii duniani wanasema licha ya mtikisiko sasa mambo yanashamiri, siri kubwa ikiwa ni ubia badala ya ushindani. Tunasherehekea miaka 150 ya shirika la Umoja wa Mataifa la Posta, UPU, tunatambua umuhimu wa moja ya mifano ya mapema zaidi ya ushirikiano wa kimataifa. Ni Masahiko Metoki, Mkurugenzi Mkuu wa UPU katika ujumbe wake wa siku hii adhimu akiongeza kuwa..“Kile kilichoanza na wanachama 22 sasa inajumuisha nchi 192, kikionesha uthabiti wa ushirikiano wa kimataifa.”Miaka 150 wamekumbana na changamoto, vita, majanga mabadiliko ya kasi ya teknolojia ya kidijitali. Lakini wanafanya nini?“Leo hii UPU inaongoza juhudi za kufanya huduma za posta kuwa za kisasa na bora. Inatoa fursa kwa nchi kushirikishana ufahamu, kusaka majawabu na kukabili changamoto za sasa. Moyo wetu wa ushirikiano ndio umetusaidia kugeuza vikwazo kuwa fursa na kufanya huduma za posta kuendana na dunia inayobadilika.”Na zaidi ya yote…“Awali tuliona ongezeko la mawasiliano ya kidijitali kuwa ni tishio kwani kiwango cha utumaji wa barua kwa njia ya posta kilipungua. Lakini sasa tunaona fursa za utajiri. Mtandao mkubwa wa UPU umesaidia kupanuka kwa huduma mbali mbali ikiwemo biashara mtandao, huduma za kifedha, kijamii na kidijitali, ikihakikisha ufikiaji wa kila mtu duniani hata wale walio ndani zaidi hawaachwi nyuma.”Kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, UPU imehimili changamoto kwa kuwa bunifu, jumuishi na kusongesha ushirikiano wa kimataifa.“Katika siku hii muhimu, hebu na tusherehekee na tupongeze kazi ya shirika la Posta duniani ya kuondoa umbali na kuunganisha dunia.”
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
On this episode, join Dennis, Ed, Karen, and returning guest Chika Supreme for our third Fushigi Yugi episode! We're halfway through season 1/red boxset, and while Miaka hasn't found another Suzaku warrior yet, we do meet our first Seiryuu one. Other talking points include fun translation for the dub, easily broken promises, sexy sax AND sexy harpsichord, plus some Law & Order: SVU. In addition, we have a content warning. Some of the episodes we cover discuss the topic of attempted suicide. Since this epsiode is being released during National Suicide Prevention Month in the US, know that you are not alone. There are people out there who will talk and listen to you. So please use the Lifeline resources provided to you, such as dialing 988 or visiting 988lifeline.org. 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:07:31 - The Watchlist 0:19:46 - EP10: Looking for Yui 0:38:44 - EP11: Priestess of Seiryuu 1:08:24 - EP12: Only You 1:31:37 - EP13: For the Sake of Love 2:03:20 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Thanks to special guest Chika (@chikasupreme) of the Shoujo Sundae podcast (@shoujosundae) for once again joining us! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @RyaCosplay Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Wakazi wa mji wa Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wana furaha tele baada ya kufufuliwa kwa kituo chao cha Redio na Televisheni ya Taifa, RTNC. Kupitia msaada wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, wakazi hao sasa wanaweza kusikiliza na kutazama vipindi vyao wanavyovipenda, waandishi wa habari nao, hawafanyi tena kazi chini ya mti. Kupitia video ya Monusco iliyochapishwa mtandao wa X, John Matemuli, mwandishi wa habari wa kituo hicho cha Redio na Televisheni Beni, kilichositisha matangazo kwa karibu miaka mitano, anafafanua jinsi mambo yalivyokuwa kabla ya kujengwa upya kwa kituo hicho.“Miaka mitano bila Radio na Televisheni ya kitaifa ya Kongo (RTNC) mjini Beni ilikuwa ya machafuko sana. Kulikuwa na wakati ambapo tulikuwa tukifanya kazi hata kutoka juu ya mti, unaweza kuamini! Tulihisi kwamba kulikuwa na hitaji, wananchi na hata baadhi ya viongozi walihisi vivyo hivyo.”Ezechiel Kambale, mkazi wa Beni naye pia anaeleza furaha yake.“Ulipita muda mrefu tangu redio hii kuwa hewani. Lakini sasa nashukuru kwamba wamerudi. Kuna tofauti kubwa ikilinganishwa na zamani, kwa sababu leo, hata kama niko mbali na mji, bado nayapata mawimbi ya redio kana kwamba nipo hapa mjini.”Tulimrudia John na kumuuliza kilichokuwa tofauti kuhusu kituo hicho hasa kabla ya msaada wa MONUSCO.“Kazi ilofanywa hapa imewaridhisha wananchi. Leo, tuna ofisi za usimamizi. Tuna studio za kisasa za televisheni. Tuna studio ya redio kwa ajili ya kutengeneza vipindi vyetu. Tuna chumba cha habari kilicho na vifaa vya kutosha. Tulikumbana na matatizo ambayo yalihitaji msaada katika ngazi zote, lakini MONUSCO ilitupatia vifaa, ambavyo sasa vinaturuhusu kufanya kazi katika hali bora.”
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Mwanza kaskazini Magharibi mwa Tanzania kupata ufafanuzi wa athari za moshi wa kuni kwa binadamu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na sauti kutoka mashinani.Miaka 63 tangu kifo cha ajali ya ndege cha Katibu Mkuu wa pili wa Umoja wa Mataifa Dag Hammarskjöld huko Ndola Zambia, bado majibu hayajapatikana ya nini kilisababisha ajali hiyo wakati akielekea kusaka amani kwa iliyokuwa Congo, sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA limesema kampeni ya chanjo eneo la kaskazini mwa Gaza imeendelea leo jumanne licha ya tukio la jana la jeshi la Israeli kuzuia kwa saa nane msafara wa wafanyakazi waliokuwa wanasafiri kwenda kutoa huduma hiyo.Na leo septemba 10, mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA78 unakunja jamvi baada ya mwaka mzima wa mikutano na mijadala, na hivyo kuashiria kuanza kwa mkutano wa 79 ambapo kuanzia tarehe 22 vitaanza vikao vya ngazi ya juu na Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu. Rais anayemaliza muda wake ni Balozi Dennis Francis kutoka Trinidad na Tobago na anayempatia kijiti ni Philemon Yang kutoka Cameroon.Katika mashinani, tunamulika mwaka mmoja tangu kimbunga Daniel kipige mji wa Dema mashariki mwa Libya na vitongoji vyake na kuleta mvua kubwa iliyosababisha mafuriko yaliyoua zaidi ya watu 5,000, na kuacha makovu hadi sasa. Maelezo ya Hawa Bu Zqeeba aliyempoteza baba yake katika mafuriko hayo yanakupatia taswira halisi ya makovu.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
On this episode, join hosts Diana, Ed, Kate, and Dennis for part 2 of our Fushigi Yugi rewatch, covering episodes 5 through 9. Miaka gets sent back to her world, but now Yui is missing! Nuriko's biggest secret is revealed. The reason why Tamahome is so money-driven surprises Miaka. Hotohori finally gets to set foot outside of the palace. And we get to meet Miaka's brother! Hopefully you also took ancient Chinese literature in college, because it's time to find another celestial warrior. 0:00:00 - Intro & The Watchlist 0:23:17 - Some Anime & Cosplay News 0:40:33 - Diana's Fushigi Yugi Origins 0:48:05 - EP05: Bewildered Heartbeat 1:13:09 - EP06: Even If I Die... 1:32:08 - EP07: Going Home 1:55:53 - EP08: Brief Parting 2:17:27 - EP09: Enemies Unseen 2:40:45 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Ed: @ippennokuinashi | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Usiku wa 13 Agosti 2004 takriban watu 166 wali uawa kikatili, na mamia kujeruhiwa ndani ya kambi ya wakimbizi ya Gatumba, Burundi.
On this episode, it's the start of a new podcast miniseries covering the first half of Fushigi Yugi. Joining hosts Dennis, Kate, Garrett, Ed, and Karen is first time guest Chika Supreme from the Shoujo Sundae podcast! Though we only talk about the first four episodes, it's one of our longest podcasts to date, so fair warning. Beside's Chika's anime origins, we also discuss literally getting lost in a book, Miaka's directional hearing, which Disney character is Tamahome, operating hours of a national library, and how many gangs want to capture Miaka. 0:00:00 - Intro & Meeting Chika Supreme 0:15:54 - The Watchlist 0:33:13 - Some Anime News 0:50:07 - Production Notes & Our Fushigi Yugi Origins 1:05:49 - EP01: The Girl of Legend 1:43:38 - EP02: The Priestess of Suzaku 2:16:33 - EP03: The Seven Stars of Suzaku 2:46:44 - EP04: Missing Love 3:26:34 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Thanks to special guest Chika (@chikasupreme) of the Shoujo Sundae podcast (@shoujosundae) for joining us for the first time! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below. Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Karen: @RyaCosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS
Baadhi ya viongozi wa nchi na serikali waliohudhuria kumbukumbu ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi wa Rwanda miaka 30 iliyopita wamesema hadi sasa, licha ya kubainika kuwa ulimwengu ulishindwa kuzuia mauaji hayo, bado dunia haijajifunza kutokana na kilichotokea wakati huo.
Miaka 15 baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO kuanzisha sera ya kulinda umma kutoathirika na uvutaji wa sigara unaofanywa na mtu mwingine, zaidi ya watu bilioni 5.6 wamenufaika na sera hiyo ulimwenguni kote, imesema ripoti mpya ya shirika hilo iliyotolewa leo. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Assumpta Massoi. Idadi hiyo ni sawa na kusema kuwa asilimia 71 ya watu ulimwengu kose sasa wamelindwa na athari ambazo wangeweza kuzipata kutokana na mtu mwingine kuvuta sigara karibu yake. Na iwapo kusingekuwa na sera hizo zaidi ya watu milioni 300 wangekuwa wametumbukia katika uvutaji moshi wa sigara bila wao kuvuta wenyewe. Akizindua ripoti hiyo ya 9 ya janga la uvutaji tumbaku ulimwengu hii leo jijini Geneva Uswisi, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema mikakati 6 iliyopendekezwa kuwa sera imeanza kuleta mafanikio ambapo watu 7 kati ya 10 ulimwenguni wanalindwa na angalau Sera moja. Dkt. Tedros amesema “takwimu hizi zinaonesha japo ni polepole lakini kwa hakika, watu wengi zaidi wanalindwa dhidi ya madhara ya tumbaku kwa kutumia sera za utendaji bora za WHO zilizotungwa kwa msingi wa ushahidi.” Sera hizo ziitwazo MPOWER zinataka serikali kuweka mikakati sita ya kudhibiti tumbaku ambayo ni Mosi; Fuatilia sera za matumizi na uzuiaji wa tumbaku, Pili; kuweka kinga ya kulinda watu dhidi ya moshi wa tumbaku, Tatu; kutoa usaidizi wa wale wanaotaka kuacha matumizi ya tumbaku; Nne,kuelimisha watu kuhusu hatari za tumbaku, Tano; kuweka marufuku ya utangazaji, ukuzaji na udhamini wa bidhaa za tumbaku na sita; kuongeza ushuru kwa bidhaa za tumbaku. Nchi za Brazil na Uturuki zilifanikiwa kutekeleza sera hizo kwa viwango vya juu na leo Mkuu huyo wa WHO amezipongeza nchi ya Mauritius kwa kuwa nchi ya kwanza barani Afrika, na Uholanzi kwa kuwa ya kwanza katika Muungano wa Ulaya kutekeleza mpango kamili wa sera hizo za kudhibiti matumizi ya tumbaku. WHO pia imeeleza ipo tayari kuunga mkono nchi zote kufuata mfano wao na kuwalinda watu wao kutokana na janga hili baya.
Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Leah Mushi akimulika masuala ya afya hususan mafanikio ya será za kudhibiti uvutaji sigara na tumbaku; elimu kwa watoto waliokosa fursa huko Kenya; nishati salama nchini Tanzania na ujumbe wa Romeo George mwanaharakati wa SDGs.Miaka 15 baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO kuanzisha sera ya kulinda umma kutoathirika na uvutaji wa sigara unaofanywa na mtu mwingine, zaidi ya watu bilioni 5.6 wamenufaika na sera hiyo ulimwenguni kote, imesema ripoti mpya ya shirika hilo iliyotolewa leo.Nchini Kenya, UNICEF na wadau wameibuka na mradi wa kusaidia watoto waliokosa fursa ya elimu kurejea tena shuleni.Makala: Mradi wa COOKFUND unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la mfuko wa mitaji ya maendeleo, UNCDF nchini Tanzania wasongesha nishati safi na salama.Mashinani: Romeo George ajulikanye kama RJ, Mwigizaji na mwanaharakati wa malengo ya maendeleo endelevu nchini Tanzania anayehudumu chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR akitaka wakimbizi wapatiwe fursa sawa katika ufanikishwaji wa malengo hayo.
Wakati ukame mkali ukiendelea kuathiri Afrika hususan Ukanda wa jangwa la Sahara na kusababisha mamilioni ya watu kuyakimbia makazi yao kwenda kusaka misaada, baadhi ya wananchi waliosalia kwenye maeneo yao wanasema hali ni mbali lakini wamebaki kwa mustakabali wa watoto wao. Miaka 40 ya jua kali na ukame katika pembe ya Afrika, imekuwa na athari kubwa kwa wananchi wengi wasijue hali yao ya kesho itakuwaje kama mama huyo aitwaye Nurta Andow Nurinye mkazi wa Kaunti ya Garissa nchini Kenya. “Nina watoto watano, kabla ya ukame tulikuwa na mifugo, maziwa na nyama. Tangu ukame uje hakuna mvua, Wanyama wamekufa mbuzi, ngamia kila kitu kimekwenda. Maisha yamebadilika, hakuna chakula hakuna maziwa, hatuna kitu chochote, watoto wakirejea kutoka shuleni hakuna kitu chochote.” Lakini kwanini Bi.Nurta na familia yake hawaendi kusaka msaada zaidi kwenye kambi za wakimbizi wa ndani? “Tungeweza kuondoka na kwenda kusaka chakula sehemu nyingine lakini hatuwezi kwenda. Hapa watoto wapo shule, na hapa watoto wanaenda Madrasa na kwa sababu hiyo hatuwezi kufungasha virago na kwenda sehemu nyingine, ni lazima tubaki hapa.” Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa ikiwemo lile la idadi ya watu duniani na afya ya uzazi UNFPA yanafanya kila juhudi kuhakikisha wanawafikia wananchi kama Nurta Nurinye ili kuwafikishia misaada ya kuokoa maisha.