Podcasts about miaka

  • 47PODCASTS
  • 233EPISODES
  • 28mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Mar 6, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about miaka

Latest podcast episodes about miaka

Vintage Anime Club Podcast
Episode 206 - Legend of the Visible Temple (Fushigi Yûgi 10 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Mar 6, 2025 170:50


Getting closer to the finale, come join Dennis, Diana, Ed, Karen, & Kate for more Fushigi Yûgi, covering episodes 40-43. Miaka's dream school scenario turns into a recurring nightmare, we've lost track of how many times Miaka & Tamahome have broken up, there's new Byakko Warriors, another Boshi Boy (no relation to Flute-aboshi or Rope-aboshi), and giant insect monsters. And just when you thought he couldn't, Nakago gets even creepier. Also, we talk abou the new Gundam GQuuuuuuX film at the beginning of the show with chapter time stamps, so feel free to skip that chapter if you did not get a chance to see the film yet! 0:00:00 - Introduction & News 0:07:53 - GQuuuuuuX Movie SPOILERS 0:24:26 - The Watchlist 0:35:58 - Fushigi Yûgi Catch-up with Karen & Diana 0:43:24 - EP40: Deceptive Love 1:03:30 - EP41: Sunlight of Rebirth 1:28:24 - EP42: Unbreachable Wall 1:54:57 - EP43: Farewell Reunion 2:18:53 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Diana: @binkx | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan  Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Habari za UN
Miaka 30 baada ya Azimio la Beijing kuhusu haki za wanawake, safari bado ni ndefu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 2:08


Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa  shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiAkizungumza wiki hii mjini Geneva Uswisi katika majadiliano ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing (#Beijing30), Bi. Bahous amebainisha umuhimu wa kuharakisha maendeleo ya usawa wa kijinsia akiwataka viongozi wa dunia kuchukua hatua thabiti ili kuhakikisha haki za wanawake zinapewa kipaumbele wakati wa changamoto zinazoendelea duniani.Amesema “Miaka 30 iliyopita dunia iliweka ahadi ya kusongesha fursa na utu wa wanawake na wasichana wote. Ahadi hiyo haikuwa maneno matupu kwenye karatasi, ilikuwa ramani ya njia na wito wa mshikamano . Na kwa miongo mitatu imechochea hatua, wasichana wengi sasa wako shule, wanawake wengi wako bungeni , kuna sheria nyingi zaidi zinawalinda wanawake dhidi ya ukatili, na mataifa mengi zaidi yanatambua usawa wa kijinsia ni lazima.”Licha ya mafanikio hayo yote Bi, Bahous amesema ndio kwanza mkoko unaalika maua kwani safari bado ni ndefu“Hebu tuwe wakweli hatujafika tunapopaswa kuwa. Haki za wanawake na wasichana zinashambuliwa, fursa za wanawake kupaza sauti zinazidi kupungua na endapo tutaendelea na kasi hii msichana aliyezaliwa leo atakuwa na umri wa miaka 39 kabla wanawake hawaja na viti vingi bungeni kama wanaume, atakuwa na umri wa miaka 68 kabla ndoa za utotoni hazijakomeshwa, na atakuwa na umri wa miaka 137 kabla umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasicha haujatokomezwa. Hatuwezi kulikubali hili.”Mkuu huyo wa UN Women ameyahimiza mataifa yote kuchukua hatua sasa ili kuhakikisha ndoto za azimio la Beijing hazisalii kuwa ndoto bali maisha halisi.

Life as a..
EP153_Life as a Zoo Veterinarian

Life as a..

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 56:52


What's it like to be a zoo veterinarian—especially in a foreign country?

Jukwaa la Michezo
Misri, Morocco,Tunisia zang'ara mashindano ya tenisi ya vijana chini ya miaka 14

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 2, 2025 23:46


Tuliyokuandalia hii leo ni pâmoja na matokeo ya mashindano ya tenisi ya vijana barani Afrika chini ya miaka 14, kocha mpya wa Kenya ni nani, matokeo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada, timu sita kushiriki ligi ya Afrika ya basketboli kwa mara ya kwanza, huku Afrika Kusini ikijiandaa kutuma ombi rasmi la kuandaa mkondo mmoja wa F1 na Jose Mourinho apata afueni baada ya adhabu yake kupunguzwa.

Habari za UN
Ukraine: Miaka 3 ya kumbukumbu mbaya, juhudi zifanyike mzozo uishe - Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 24, 2025 2:29


Mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu umeanza leo jijini Geneva, Uswisi ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezungumzia kiza kilichotanda duniani hivi sasa kutokana na mapigano  yanayoendelea sehemu mbalimbali kuanzia Ukraine, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC  hadi Ukanda wa Gaza, yakiambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki, akitaka kila juhudi zichukuliwe kusaka amani ya kudumu. Selina Jerobon na taarifa kamili..

Vintage Anime Club Podcast
Episode 205 - Tomo: Mindfreak (Fushigi Yûgi 9 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 160:29


On this episode, join Ed, Garrett, Karen, Kate, & Dennis for more adventures in The Universe of the Four Gods with our Fushigi Yûgi recap of episodes 36-39. We've reached one of the lowest points for Miaka, and most of the Suzaku Warriors aren't even around! There's so much running away, a couple of big truth bombs, more Street Fighter II homages, and more shells than you can shake a stick at. You are about to enter another dimension, a dimension not only of sight and sound but of mind. A journey into a perilous land of illusions. Next stop, the Tomo Zone. 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:13:40 - The Watchlist 0:27:55 - EP36: Trampled Love 0:57:13 - EP37: Bewitched Warmth 1:29:21 - EP38: Dawn of the Heart 1:54:43 - EP39: Bewitched Illusions 2:16:14 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Unpacking Japan
Zoo Veterinarian Discusses Animal Rights in Japan

Unpacking Japan

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 81:00


Our guest today, Dr. Miaka, is a veterinarian at the Kobe Animal Kingdom -- a zoo that recreates the natural habitats of it's animals. Today we'll discuss what it's like taking care of a wide variety of animals at a zoo, as well as discuss animal rights and how we can study them in an ethical and helpful way.Follow Dr. Miaka and the Kobe Animal Kingdom:https://www.instagram.com/@zoovetjapanhttps://www.kobe-oukoku.com/enFollow us on our social media:https://www.youtube.com/channel/UCx3XoY5gyyPvCe4FdwdFJQAhttps://www.buzzsprout.com/2158416https://www.instagram.com/@unpackingjapanhttps://www.tiktok.com/@unpackingjapanhttps://www.x.com/unpacking_japanhttps://www.facebook.com/unpackingjapanSubscribe for more in-depth discussions about life in Japan! Interested in working at a global e-commerce company in Osaka? Our parent company ZenGroup is hiring! To learn more, check out https://careers.zen.group/en/youtube.com/@unpackingjapan

Vintage Anime Club Podcast
Episode 203 - It's Dangerous to go Alone (Fushigi Yûgi 7 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 108:41


We're back in the Universe of the Four Gods, as Dennis, Ed, Kate, & Karen start part two of the Fushigi Yûgi miniseries! Starting off with episodes 27-30, we get our first full recap episode, along with journeying to a new land. Miaka and Yui both resolve to see through their respective quests, even if it means fighting each other. Other talking points include Flute-aboshi & Rope-aboshi, library etiquette, indoor sunglasses, things that could have been done yesterday, lightning bending, and recharging your chakra. So get out of those drenched clothes before you get sick. It's story time with Nuriko! 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:11:34 - The Watchlist 0:32:05 - EP27: Tombstone Oath 0:49:31 - EP28: The Ancient Path (Part 1 Digest) 0:54:05 - EP29: Mysteries Afoot 1:12:59 - EP30: The Flash of Battle 1:33:54 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

SBS Swahili - SBS Swahili
Lissu "hatuwezi tegemea kipya kutoka kiongozi ambaye ameongoza kwa miaka 21"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 7:14


Mgombea wa wadhifa wa uongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA nchini Tanzania, amefunguka kuhusu sababu zake zaku wania wadhifa huo.

Jioni - Voice of America
Bunge la Lebanon limekutana kufanya juhudi nyingine za kumchagua rais na kujaza nafasi ambayo imekuwa wazi kwa zaidi ya miaka miwili. - Januari 09, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Wamarekani wanaendelea kuomboleza kifo cha Rais wa zamani Jimmy Carter aliyefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 100. - Desemba 31, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 31, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter afariki dunia Jumapili akiwa na umri wa miaka 100. - Desemba 30, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 30, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari RFI-Ki
Mahakama nchini Kenya yaamuru msichana wa miaka 16  anayekiri kushiriki ngono si unyanyasaji

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 18, 2024 9:59


Wasikilizaji watoa maoni kuhusu hatua ya Mahakama moja nchini Kenya, kuamuru kwamba msichana  wa umri wa miaka 16  anayekiri kushiriki ngono na mwanaume si thibitisho la  unyanyasaji wa kigono, uamuzi ambao umeibua hisia kali nchini Kenya.

kenya miaka wasikilizaji
Habari RFI-Ki
Mahakama nchini Kenya yaamuru msichana wa miaka 16  anayekiri kushiriki ngono si unyanyasaji

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 18, 2024 9:59


Wasikilizaji watoa maoni kuhusu hatua ya Mahakama moja nchini Kenya, kuamuru kwamba msichana  wa umri wa miaka 16  anayekiri kushiriki ngono na mwanaume si thibitisho la  unyanyasaji wa kigono, uamuzi ambao umeibua hisia kali nchini Kenya.

kenya miaka wasikilizaji
Jioni - Voice of America
Mwanafunzi wa kike wa miaka 15 nchini Marekani amefanya shambulio la risasi katika shule anayosoma na kusababisha vifo na majeruhi. - Desemba 17, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 17, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
Miaka 15 ya Mkataba wa Kampala kuhusu wakimbizi wa ndani au IDPs, wito watolewa kwa nchi kuidhinisha na kutekeleza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 6, 2024 2:06


Katika kuadhimisha miaka 15 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Kampala wa Ulinzi na Usaidizi wa Wakimbizi wa Ndani barani Afrika chini Muungano wa Afrika, Kamishna Mkuu Msaidizi wa Ulinzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, Ruven Menikdiwela na Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu za Wakimbizi wa ndani Paula Gaviria Betancur wametoa kauli ya pamoja ya kupongeza Muungano wa Afrika kwa maono haya ya mbali na pia kuzisihi nchi zote barani Afrika kuutekeleza mkataba huo muhimu. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia yabadilisha msimamo wa miaka 20 kwa uvamizi wa Israel katika maeneo ya Palestine

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 6, 2024 6:36


Australia imebadilisha msimamo wayo kwa azimio la Umoja wa Mataifa, linalo taka Israel isitishe kukalia kwa mabavu maeneo ya wapalestina.

Habari za UN
UNODC yajivunia miaka 20 ya kupambana na UKIMWI magerezani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 2, 2024 2:17


Wakati jana Desemba Mosi Ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Kimataifa ya UKIMWI kwa kuhamasisha haki za binadamu ili kufanikisha vita dhidi ya ugonjwa huu hatari, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya ya Kudhibiti Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) inajivunia miaka 25 ya kujiunga na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) katika kushughulikia janga la Virusi Vya UKIMWI (VVU) miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya na miaka 20 ya kazi ya kupambana na UKIMWI magerezani.  Anold Kayana na taarifa zaidi.

VOA Express - Voice of America
Vijana nchini Kenya wanaaswa kutambua na kujilinda na maambukizi ya HIV ambayo yanaongezeka kwenye kundi la miaka 15 hadi 24. - Desemba 02, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 2, 2024 30:00


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

VOA Express - Voice of America
Jumuia ya Afrika Mashariki yaadhimisha miaka 25 tangu kuundwa kwake. Vijana watoa maoni kuhusu mafanikio na changamoto - Novemba 29, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 29:59


Radio Maria Tanzania
Watanzani wahimizwa kusherekea miaka 63 ya Uhuru wa Taifa kwa kupanda Mlima Kilimanjaro.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 49:18


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu ya Jamii Wawezeshaji Mapinduzi Boniface Mdesa Mkuu wa Kitengo cha Utalii Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro na Daniel Mweta kutoka Kitengo cha Maendeleo na Biashara (TANAPA)  mada ni juu Twenzetu kileleni katika Mlima wa Kilimanjaro . L'articolo Watanzani wahimizwa kusherekea miaka 63 ya Uhuru wa Taifa kwa kupanda Mlima Kilimanjaro. proviene da Radio Maria.

Vintage Anime Club Podcast
Episode 199 - Flute That Body (Fushigi Yugi 6 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Oct 25, 2024 191:33


On this episode, join Diana, Dennis, Kate, Garrett, & Ed for the season 1 finale of Fushigi Yugi, covering episodes 23-26. All of the Suzaku Warriors have finally gathered plus 1 (wait, what...), and the melodrama just gets thicker. Tamahome is back to his old ways for a bit, Miaka has accidentally unlocked Hard Mode for the "summon Suzaku quest," friend zoning and promise rings, twin powers activate, river wall discrepancies, only one person freaking out over polaroid pictures, and of course, resurrecting a Tom Cardy joke from a previous episode. 0:00:00 - Intro & Some Anime Related News 0:22:58 - The Watchlist 1:03:42 - EP23: Shadow of Intrigue 1:27:09 - EP24: Resolution 1:53:19 - EP25: Love and Sorrow 2:22:07 - EP26: Star Festival 2:43:37 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai  Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Alfajiri - Voice of America
Maelfu ya wakimbizi wa Syria waliotoroka mapigano nchini mwao miaka ya nyuma walazimika kurejea nyumbani kufuatia vita vya Lebanon. - Oktoba 24, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 24, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Vintage Anime Club Podcast
Episode 198 - Chichiri the Gray (Fushigi Yugi 5 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Oct 10, 2024 195:32


  On this episode, join Ed, Kate, Garrett, Caitlin, & returning guest Kristen for part 5 of our Fushigi Yugi miniseries, covering episodes 18-22. In this batch, Tamahome turns to the dark side, putting Miaka's journey and love life in peril! Other talking points include the ages of the Suzaku Celestial Warriors, is Nakago the only useful Kutou soldier, substitute warrior cat, Breaking Bad, & Mitsukake's healing preferences.  0:00:00 - Intro & The Watchlist 0:17:15 - Some Anime Related News 0:27:30 - Caitlin & Kristen's Fushigi Yugi Origins 0:46:15 - EP18: Love Trap 1:08:02 - EP19: Shattered Loved 1:34:29 - EP20: Unreachable Hope 1:51:46 - EP21: To Protect You 2:18:19 - EP22: I'll Never Leave You 2:42:48 - Final Thoughts & Kanpai Special thanks to Kristen (@kristenmpath) for joining us again! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Kate: @taikochan | Caitlin: @kouject Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

breaking bad kofi miaka never leave you fushigi yugi
Habari za UN
Shirika la Umoja wa Mataifa la Posta lahimili changamoto kwa kugeuza changamoto kuwa fursa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 9, 2024 2:10


Leo siku ya posta duniani huduma ambayo ilionekana kuwa itasambaratika kufuatia ujio wa maendeleo ya teknolojia ya intaneti lakini wenyewe wasimamizi wa huduma hii duniani wanasema licha ya mtikisiko sasa mambo yanashamiri, siri kubwa ikiwa ni ubia badala ya ushindani. Tunasherehekea miaka 150 ya shirika la Umoja wa Mataifa la Posta, UPU, tunatambua umuhimu wa moja ya mifano ya mapema zaidi ya ushirikiano wa kimataifa. Ni Masahiko Metoki, Mkurugenzi Mkuu wa UPU katika ujumbe wake wa siku hii adhimu akiongeza kuwa..“Kile kilichoanza na wanachama 22 sasa inajumuisha nchi 192, kikionesha uthabiti wa ushirikiano wa kimataifa.”Miaka 150 wamekumbana na changamoto, vita, majanga mabadiliko ya kasi ya teknolojia ya kidijitali. Lakini wanafanya nini?“Leo hii UPU inaongoza juhudi za kufanya huduma za posta kuwa za kisasa na bora. Inatoa fursa kwa nchi kushirikishana ufahamu, kusaka majawabu na kukabili changamoto za sasa. Moyo wetu wa ushirikiano ndio umetusaidia kugeuza vikwazo kuwa fursa na kufanya huduma za posta kuendana na dunia inayobadilika.”Na zaidi ya yote…“Awali tuliona ongezeko la mawasiliano ya kidijitali kuwa ni tishio kwani kiwango cha utumaji wa barua kwa njia ya posta kilipungua. Lakini sasa tunaona fursa za utajiri. Mtandao mkubwa wa UPU umesaidia kupanuka kwa huduma mbali mbali ikiwemo biashara mtandao, huduma za kifedha, kijamii na kidijitali, ikihakikisha ufikiaji wa kila mtu duniani hata wale walio ndani zaidi hawaachwi nyuma.”Kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, UPU imehimili changamoto kwa kuwa bunifu, jumuishi na kusongesha ushirikiano wa kimataifa.“Katika siku hii muhimu, hebu na tusherehekee na tupongeze kazi ya shirika la Posta duniani ya kuondoa umbali na kuunganisha dunia.”

Alfajiri - Voice of America
Afrika Kusini yaanza kufukua miili ya raia yake waliofia Zimbabwe miaka ya 80 wakipigana na ubeberu. - Septemba 25, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 25, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Vintage Anime Club Podcast
Episode 196 - To the Window, to Chichiri (Fushigi Yugi 3 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Sep 12, 2024 142:31


On this episode, join Dennis, Ed, Karen, and returning guest Chika Supreme for our third Fushigi Yugi episode! We're halfway through season 1/red boxset, and while Miaka hasn't found another Suzaku warrior yet, we do meet our first Seiryuu one. Other talking points include fun translation for the dub, easily broken promises, sexy sax AND sexy harpsichord, plus some Law & Order: SVU. In addition, we have a content warning. Some of the episodes we cover discuss the topic of attempted suicide. Since this epsiode is being released during National Suicide Prevention Month in the US, know that you are not alone. There are people out there who will talk and listen to you. So please use the Lifeline resources provided to you, such as dialing 988 or visiting 988lifeline.org. 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:07:31 - The Watchlist 0:19:46 - EP10: Looking for Yui 0:38:44 - EP11: Priestess of Seiryuu 1:08:24 - EP12: Only You 1:31:37 - EP13: For the Sake of Love 2:03:20 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Thanks to special guest Chika (@chikasupreme) of the Shoujo Sundae podcast (@shoujosundae) for once again joining us!  Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @RyaCosplay  Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Habari za UN
MONUSCO yafanikisha kufufuliwa kwa kituo cha  Redio na TV cha taifa RTNC mjini Beni

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 11, 2024 1:55


Wakazi wa mji wa Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wana furaha tele baada ya kufufuliwa kwa kituo chao cha Redio na Televisheni ya Taifa, RTNC. Kupitia msaada wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, wakazi hao sasa wanaweza kusikiliza na kutazama vipindi vyao wanavyovipenda, waandishi wa habari nao, hawafanyi tena kazi chini ya mti. Kupitia video ya Monusco iliyochapishwa mtandao wa X, John Matemuli, mwandishi wa habari wa kituo hicho cha Redio na Televisheni Beni, kilichositisha matangazo kwa karibu miaka mitano, anafafanua jinsi mambo yalivyokuwa kabla ya kujengwa upya kwa kituo hicho.“Miaka mitano bila Radio na Televisheni ya kitaifa ya Kongo (RTNC) mjini Beni ilikuwa ya machafuko sana. Kulikuwa na wakati ambapo tulikuwa tukifanya kazi hata kutoka juu ya mti, unaweza kuamini! Tulihisi kwamba kulikuwa na hitaji, wananchi na hata baadhi ya viongozi walihisi vivyo hivyo.”Ezechiel Kambale, mkazi wa Beni naye pia anaeleza furaha yake.“Ulipita muda mrefu tangu redio hii kuwa hewani. Lakini sasa nashukuru kwamba wamerudi. Kuna tofauti kubwa ikilinganishwa na zamani, kwa sababu leo, hata kama niko mbali na mji, bado nayapata mawimbi ya redio kana kwamba nipo hapa mjini.”Tulimrudia John na kumuuliza kilichokuwa tofauti kuhusu kituo hicho hasa kabla ya msaada wa MONUSCO.“Kazi ilofanywa hapa imewaridhisha wananchi. Leo, tuna ofisi za usimamizi. Tuna studio za kisasa za televisheni. Tuna studio ya redio kwa ajili ya kutengeneza vipindi  vyetu. Tuna chumba cha habari kilicho na vifaa vya kutosha. Tulikumbana na matatizo ambayo yalihitaji msaada katika ngazi zote, lakini MONUSCO ilitupatia vifaa, ambavyo sasa vinaturuhusu kufanya kazi katika hali bora.”

Habari za UN
10 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 10, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Mwanza kaskazini Magharibi mwa Tanzania kupata ufafanuzi wa athari za moshi wa kuni kwa binadamu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na sauti kutoka mashinani.Miaka 63 tangu kifo cha ajali ya ndege cha Katibu Mkuu wa pili wa Umoja wa Mataifa Dag Hammarskjöld huko Ndola Zambia, bado majibu hayajapatikana ya nini kilisababisha ajali hiyo wakati akielekea kusaka amani kwa iliyokuwa Congo, sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA limesema kampeni ya chanjo eneo la kaskazini mwa Gaza imeendelea leo jumanne licha ya tukio la jana la jeshi la Israeli kuzuia kwa saa nane msafara wa wafanyakazi waliokuwa wanasafiri kwenda kutoa huduma hiyo.Na leo septemba 10, mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA78 unakunja jamvi baada ya mwaka mzima wa mikutano na mijadala, na hivyo kuashiria kuanza kwa mkutano wa 79  ambapo kuanzia tarehe 22 vitaanza vikao vya ngazi ya juu na Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu. Rais anayemaliza muda wake ni Balozi Dennis Francis kutoka Trinidad na Tobago na anayempatia kijiti ni Philemon Yang kutoka Cameroon.Katika mashinani, tunamulika mwaka mmoja tangu kimbunga Daniel kipige mji wa Dema mashariki mwa Libya na vitongoji vyake na kuleta mvua kubwa iliyosababisha mafuriko yaliyoua zaidi ya watu 5,000, na kuacha makovu hadi sasa. Maelezo ya Hawa Bu Zqeeba aliyempoteza baba yake katika mafuriko hayo yanakupatia taswira halisi ya makovu.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Vintage Anime Club Podcast
Episode 195 - Yohimbo (Fushigi Yugi 2 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 190:25


On this episode, join hosts Diana, Ed, Kate, and Dennis for part 2 of our Fushigi Yugi rewatch, covering episodes 5 through 9. Miaka gets sent back to her world, but now Yui is missing! Nuriko's biggest secret is revealed. The reason why Tamahome is so money-driven surprises Miaka. Hotohori finally gets to set foot outside of the palace. And we get to meet Miaka's brother! Hopefully you also took ancient Chinese literature in college, because it's time to find another celestial warrior. 0:00:00 - Intro & The Watchlist 0:23:17 - Some Anime & Cosplay News 0:40:33 - Diana's Fushigi Yugi Origins 0:48:05 - EP05: Bewildered Heartbeat 1:13:09 - EP06: Even If I Die... 1:32:08 - EP07: Going Home 1:55:53 - EP08: Brief Parting 2:17:27 - EP09: Enemies Unseen 2:40:45 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Ed: @ippennokuinashi | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

SBS Swahili - SBS Swahili
Nzovu "Miaka ishirini inapita na kabila la Wanyamurenge bado halijapata haki yao"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 16, 2024 9:59


Usiku wa 13 Agosti 2004 takriban watu 166 wali uawa kikatili, na mamia kujeruhiwa ndani ya kambi ya wakimbizi ya Gatumba, Burundi.

Vintage Anime Club Podcast
Episode 194 - Miaka Gear Solid (Fushigi Yugi 1 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Aug 15, 2024 247:42


On this episode, it's the start of a new podcast miniseries covering the first half of Fushigi Yugi. Joining hosts Dennis, Kate, Garrett, Ed, and Karen is first time guest Chika Supreme from the Shoujo Sundae podcast! Though we only talk about the first four episodes, it's one of our longest podcasts to date, so fair warning. Beside's Chika's anime origins, we also discuss literally getting lost in a book, Miaka's directional hearing, which Disney character is Tamahome, operating hours of a national library, and how many gangs want to capture Miaka. 0:00:00 - Intro & Meeting Chika Supreme 0:15:54 - The Watchlist 0:33:13 - Some Anime News 0:50:07 - Production Notes & Our Fushigi Yugi Origins 1:05:49 - EP01: The Girl of Legend 1:43:38 - EP02: The Priestess of Suzaku 2:16:33 - EP03: The Seven Stars of Suzaku 2:46:44 - EP04: Missing Love 3:26:34 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Thanks to special guest Chika (@chikasupreme) of the Shoujo Sundae podcast (@shoujosundae) for joining us for the first time!  Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Karen: @RyaCosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

VOA Express - Voice of America
Connie Chiume mwigizaji kutoka Afrika kusini ambaye aling'ara katika Black Panther:Wakanda Forever amefariki akiwa na umri wa miaka 72 - Agosti 07, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 29:59


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Radio Maria Tanzania
Je, Yesu alibatizwa akiwa na miaka mingapi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 29, 2024 26:42


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Alto Hermes kutoka Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Makete, Jimbo Katoliki Njombe nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je, Yesu alibatizwa akiwa na miaka mingapi? Je, alifanya kazi ya ukombozi kwa miaka mingapi? Kama Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima kwanini sisi Wakatoliki tunabatiza hata Watoto […] L'articolo Je, Yesu alibatizwa akiwa na miaka mingapi? proviene da Radio Maria.

Jioni - Voice of America
Rwanda inasema imebuni ajira milioni 1,300,000 miaka mitano iliyopita - Mei 01, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 1, 2024 29:59


Jioni - Voice of America
Watu zaidi ya milioni 8.4 huko Sudan wakiwemo watoto milioni mbili walio chini ya miaka mitano wako ukingoni mwa baa la njaa; inasema MSF. - Aprili 14, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 14, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Maswali yaendelea kuulizwa miaka 30 baada ya mauaji ya kimbari kufanyika Rwanda - Aprili 08, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 8, 2024 29:59


Baadhi ya viongozi wa nchi na serikali waliohudhuria kumbukumbu ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi wa Rwanda miaka 30 iliyopita wamesema hadi sasa, licha ya kubainika kuwa ulimwengu ulishindwa kuzuia mauaji hayo, bado dunia haijajifunza kutokana na kilichotokea wakati huo.

Jioni - Voice of America
Rwanda inajiandaa kuadhimisha miaka 30 ya mauaji ya Kimbari - Aprili 06, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 6, 2024 29:59


Rwanda inajiandaa kuadhimisha miaka 30 ya mauaji ya Kimbari

Alfajiri - Voice of America
Henry Kissinger aliyehudumu kama Waziri wa mambo ya Nje chini ya utawala wa Rais Nixon na Ford, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100. - Novemba 30, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 30, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Wanamgambo wa Hamas wamewaachilia mateka wengine 17 waliokuwa wakishikiliwa huko Gaza akiwemo binti wa miaka minne - Novemba 27, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 27, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Rugendo@ ttb.twr.org/Gikuyu-kikuyu
Kuriuka na Uthamaki wa Mwathani Jesu wa Miaka Ngiri

Rugendo@ ttb.twr.org/Gikuyu-kikuyu

Play Episode Listen Later Aug 8, 2023 25:30


Rugendo@ ttb.twr.org/Gikuyu-kikuyu
Shaitani Kwohwo na Atheru Guthamaka na Kristo Miaka Ngiri Guku Thi

Rugendo@ ttb.twr.org/Gikuyu-kikuyu

Play Episode Listen Later Aug 7, 2023 27:28


Habari za UN
31 JULAI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 31, 2023 0:12


Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Leah Mushi akimulika masuala ya afya hususan mafanikio ya será za kudhibiti uvutaji sigara na tumbaku; elimu kwa watoto waliokosa fursa huko Kenya; nishati salama nchini Tanzania na ujumbe wa Romeo George mwanaharakati wa SDGs.Miaka 15 baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO kuanzisha sera ya kulinda umma kutoathirika na uvutaji wa sigara unaofanywa na mtu mwingine, zaidi ya watu bilioni 5.6 wamenufaika na sera hiyo ulimwenguni kote, imesema ripoti mpya ya shirika hilo iliyotolewa leo.Nchini Kenya, UNICEF na wadau wameibuka na mradi wa kusaidia watoto waliokosa fursa ya elimu kurejea tena shuleni.Makala: Mradi wa COOKFUND unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la mfuko wa mitaji ya maendeleo, UNCDF nchini Tanzania wasongesha nishati safi na salama.Mashinani: Romeo George ajulikanye kama RJ, Mwigizaji na mwanaharakati wa malengo ya maendeleo endelevu nchini Tanzania anayehudumu chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR akitaka wakimbizi wapatiwe fursa sawa katika ufanikishwaji wa malengo hayo.

Habari za UN
Sera za MPOWER zaepusha watu kuvutishwa sigara bila ridhaa yao- WHO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 31, 2023 0:02


Miaka 15 baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO kuanzisha sera ya kulinda umma kutoathirika na uvutaji wa sigara unaofanywa na mtu mwingine, zaidi ya watu bilioni 5.6 wamenufaika na sera hiyo ulimwenguni kote, imesema ripoti mpya ya shirika hilo iliyotolewa leo. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Assumpta Massoi. Idadi hiyo ni sawa na kusema kuwa asilimia 71 ya watu ulimwengu kose sasa wamelindwa na athari ambazo wangeweza kuzipata kutokana na mtu mwingine kuvuta sigara karibu yake. Na iwapo kusingekuwa na sera hizo zaidi ya watu milioni 300 wangekuwa wametumbukia katika uvutaji moshi wa sigara bila wao kuvuta wenyewe.  Akizindua ripoti hiyo ya  9  ya janga la uvutaji tumbaku ulimwengu hii leo jijini Geneva Uswisi, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema mikakati 6 iliyopendekezwa kuwa sera imeanza kuleta mafanikio ambapo watu 7 kati ya 10 ulimwenguni wanalindwa na angalau Sera moja.  Dkt. Tedros amesema “takwimu hizi zinaonesha japo ni polepole lakini kwa hakika, watu wengi zaidi wanalindwa dhidi ya madhara ya tumbaku kwa kutumia sera za utendaji bora za WHO zilizotungwa kwa msingi wa ushahidi.”  Sera hizo ziitwazo MPOWER zinataka serikali kuweka mikakati sita ya kudhibiti tumbaku ambayo ni  Mosi; Fuatilia sera za matumizi na uzuiaji wa tumbaku, Pili; kuweka kinga ya kulinda watu dhidi ya moshi wa tumbaku, Tatu; kutoa usaidizi wa wale wanaotaka kuacha matumizi ya tumbaku; Nne,kuelimisha watu kuhusu hatari za tumbaku, Tano; kuweka marufuku ya utangazaji, ukuzaji na udhamini wa bidhaa za tumbaku na sita; kuongeza ushuru kwa bidhaa za tumbaku. Nchi za Brazil na Uturuki zilifanikiwa kutekeleza sera hizo kwa viwango vya juu na leo Mkuu huyo wa WHO amezipongeza nchi ya Mauritius kwa kuwa nchi ya kwanza barani Afrika, na Uholanzi kwa kuwa ya kwanza katika Muungano wa Ulaya kutekeleza mpango kamili wa sera hizo za kudhibiti matumizi ya tumbaku.  WHO pia imeeleza ipo tayari kuunga mkono nchi zote kufuata mfano wao na kuwalinda watu wao kutokana na janga hili baya. 

Habari za UN
Sitaki kuwa mkimbizi wa ndani nataka wanangu wasome - Nurta

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 19, 2023 0:01


Wakati ukame mkali ukiendelea kuathiri Afrika hususan Ukanda wa jangwa la Sahara na kusababisha mamilioni ya watu kuyakimbia makazi yao kwenda kusaka misaada, baadhi ya wananchi waliosalia kwenye maeneo yao wanasema hali ni mbali lakini wamebaki kwa mustakabali wa watoto wao. Miaka 40 ya jua kali na ukame katika pembe ya Afrika, imekuwa na athari kubwa kwa wananchi wengi wasijue hali yao ya kesho itakuwaje kama mama huyo aitwaye Nurta Andow Nurinye mkazi wa Kaunti ya Garissa nchini Kenya.  “Nina watoto watano, kabla ya ukame tulikuwa na mifugo, maziwa na nyama. Tangu ukame uje hakuna mvua, Wanyama wamekufa mbuzi, ngamia kila kitu kimekwenda. Maisha yamebadilika, hakuna chakula hakuna maziwa, hatuna kitu chochote, watoto wakirejea kutoka shuleni hakuna kitu chochote.” Lakini kwanini Bi.Nurta na familia yake hawaendi kusaka msaada zaidi kwenye kambi za wakimbizi wa ndani?  “Tungeweza kuondoka na kwenda kusaka chakula sehemu nyingine lakini hatuwezi kwenda. Hapa watoto wapo shule, na hapa watoto wanaenda Madrasa na kwa sababu hiyo hatuwezi kufungasha virago na kwenda sehemu nyingine, ni lazima tubaki hapa.” Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa ikiwemo lile la idadi ya watu duniani na afya ya uzazi UNFPA yanafanya kila juhudi kuhakikisha wanawafikia wananchi kama Nurta Nurinye ili kuwafikishia misaada ya kuokoa maisha. 

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Miaka elfu moja

SBS Swahili - SBS Swahili
Abang "nilimuona mama baada ya miaka 22 yakutengana naye"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 22, 2023 20:33


Wiki ya wakimbizi huadhimishwa nchini Australia kati ya 18 Juni hadi 24 Juni kila mwaka.

SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata nyumba ya kukodi Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 30, 2023 11:02


Sasa hivi, kuna chini ya nyumba 50,000 za kukodisha kote nchini. Miaka mbili iliyopita, idadi ya nyumba hizo ilikuwa karibu mara mbili.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wito wa kuunga mkono kura ya Voice waongezwa katika siku ya National Sorry Day

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 28, 2023 8:52


Miaka sita baada ya kutangazwa kwa Kauli ya Uluru kutoka moyoni, viongozi wa jamii ya kwanza na serikali kwa mara nyingine wame toa wito kwa kuanzishwa kwa sauti yawa Aboriginal na wanavisa wa Torres Strait bungeni kupitia mafanikio katika kura ya maoni.

Habari za UN
23 MEI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 23, 2023 0:12


Hii leo ni siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Fistula na jaridani kama ilivyo ada ya kila Jumanne leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika juhudi za kutokomeza Fistula zinazofanywa na Hospitali ya CCBRT nchini Tanzania.  Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za utapiamlo kwa watoto katika Pembe ya Afrika na msaada wa kibinadamu nchini Myanmar. Mashinani tunakuletea ujumbe kuhusu hatua zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia fistula itokanayo na uzazi.  Fistula ya uzazi ni shimo kati ya njia ya uzazi na kibofu cha mkojo au rektamu, inayosababishwa na uchungu wa kujifungua wa muda mrefu, bila kupata matibabu ya wakati, na ya hali ya juu. Maudhui ya mwaka huu ni “Miaka 20 ya vita dhidi ya ugonjwa huu kuna maendeleo lakini hayatishi, hivyo hatua zhitajika sasa kutokomeza Fistula ifikapo 2030”. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba Watoto zaidi ya milioni 7 wa umri wa chini ya miaka mitano katika Pembe ya Afrika wana utapiamlo na wanahitaji msaada wa haraka wa lishe huku wengine zaidi ya milioni 1.9 wakiwa katika hatari ya kifo kutokana na unyafuzi.Na jumuiya ya kimataifa nchini Myanmar leo imezindua ombi la dola milioni 333 ili kuwasaidia watu millioni 1.6 walioathirika na kimbunga Mocha kilichoikumba nchi hiyo Mei 14.Katika mashinani tunajiunga na mshauri wa kanda ya Afrika katika masuala ya afya ya jinsia na uzazi kufahamu ni hatua gani zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia fistula itokanayo na uzazi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, Karibu!