Podcasts about miaka

  • 51PODCASTS
  • 295EPISODES
  • 26mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jul 31, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about miaka

Show all podcasts related to miaka

Latest podcast episodes about miaka

ShouJoe
Fushigi Yuugi Ep 12-14: Some Like It Hot-ohori

ShouJoe

Play Episode Listen Later Jul 31, 2026 75:55 Transcription Available


This week we meet some bandits. But first, we catch up on our real lives. Joe has been playing KOTOR 2 and is thoroughly Kreia-pilled this week, while Sarah plays Halo: Campaign Evolved. In Fushigi Yugi, we get a debrief on the Yui situation, while Taitsukun hatches her master plan. Then we're off to the mountains to find our fifth member. Also Hotohori gets to come along this time and try to make his place in the romance storyline while Tamahome has to sit on the sidelines. Then, Miaka and co get caught up in some bandit politics. Honestly not where I thought this was going…

honestly kotor yui miaka fushigi yuugi
ShouJoe
Fushigi Yuugi Ep 9-11: Hat Trick

ShouJoe

Play Episode Listen Later Jul 25, 2026 85:16 Transcription Available


Content warning: Suicide, Sexual AssaultThings get intense this week in Fushigi Yuugi. But not so much in our real lives, which consists mostly of talking about movies and whatnot.In Fushigi Yuugi, Miaka takes a quick trip home before deciding to return again to the book in search of Yui…or maybe really to return to Tamahome… We learn that Tamahome is secretly just a really good all around guy, get a new member of the team, and finally we catch up with Yui and see how things have been going for her. Sure hope nothing happens that fundamentally changes the tone of the show!

Habari za UN
Miaka 20 tangu kuanzishwa kwake Redio Miraya bado ni muhimu nchini Sudan Kusini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 13, 2026 2:22


Nchini Sudan Kusini, Redio ndiyo chanzo kikuu cha taarifa kwa takribani asilimia 60 ya wananchi wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika. Ndiyo maana kuendelea kwa matangazo ya Radio Miraya ambayo yamedumu kwa miaka ishiriki katika redio hii inayomilikiwa na UNMISS yaani Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani Sudan Kusini ni kipaumbele cha juu katika juhudi zake za kuzuia migogoro na kujenga amani.

afrika umoja miaka mataifa unmiss redio ujumbe sudan kusini
Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu: Miaka 16 ya matangazo ya RFI Kiswahili Julay 5 2026

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jul 5, 2026 20:00


Karibu katika Makala yetu ya leo change chako chako changu maalum kabisa kuhusu kumbukumbu ya miaka 16 tangu kuzanzishwa kwa matangazo ya idhaa ya Kiswahili ya RFI yalianza kurindima Julay 5 mwaka 2025 Mubashara jijini Dar es salaam nchini Tanzania kabla ya kuhamia jijini Nairobi baadae. Utawasikiliza baadhi ya watangaezaji, lakini pia nitakuletea burudani ya Muziki kutoka nchini Kenya Otile Brown na kibao chake kipya kabisa NI wewe. Mimi ni Ali Bilali Bienvenue. Insert………

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC yasherehekea miaka 66 ya uhuru, amnesty yalaani vita Sudan, mazishi ya Khamenei huko Iran

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 4, 2026 20:12


Makala imeangazia maadhimisho ya miaka 66 ya uhuru wa jamahuri ya kidemokrasia ya Congo, kuanzishwa kwa majaribio ya dawa zizonaweza kuwa tiba ya Ebola aina ya Bundibugyo huko DRC, kufungwa kwa kituo cha televisheni cha NTV na Gazeti la Daily Moniter nchini Uganda, shirika la Amnesty International, layatuhumu mataifa ya nje  kwa kuendelea kuchochea mzozo wa Sudan. Polisi nchini Afrika Kusini wazuia maandamano ya ghasia, utawala wa Tehran wakanusha kuomba mazungumzo na Marekani

ShouJoe
Fushigi Yuugi Ep 1-2: WrestleMania

ShouJoe

Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 68:29 Transcription Available


This week, we start our new show! In our real lives, Joe is back into playing KOTOR II and Sarah went to Love Island singles event and is playing some horse games!In Fushigi Yuugi, our hero is pagemastered into the world of ancient China. Where she can gain the powers of Suzaku and gain the power to…get into Jonan High school? That's right! The stakes have never been higher for our girl Miaka. Will her and her strong friend Tamahome be able to collect the stars or something! Who knows??

china wrestlemania love island miaka suzaku kotor ii fushigi yuugi
Habari RFI-Ki
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 10:06


congo drc uhuru felix tshisekedi miaka jamhuri kidemokrasia
Habari RFI-Ki
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 10:06


congo drc uhuru felix tshisekedi miaka jamhuri kidemokrasia
Habari za UN
01 JULAI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 1, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Ikiwa ni siku chache baada ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu Wasioona na viziwi inayoadhimishwa tarehe 27 Juni kila mwaka, Rashid Malekela wa Idhaa hii anakupeleka Mashariki ya Kati akimmulika mkazi mwenye ulemavu ambaye anakumbwa na changamoto katikati ya vita.Wakati harakati za uokozi na usaidizi zikiendelea nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 1700 hadi sasa, leo hii ikiwa ni siku ya saba Emily Camargo akiwa kwenye kituo cha hifadhi kilichoandaliwa na Umoja wa Mataifa jimboni La Guaira anaelezea alivyonusurika akisema, “kila kitu kilichonizunguka kiliporomoka na kunizingira, isipokuwa nilipokuweko. Nashukuru kwa sababu jengo la pembeni yetu halikuanguka. Hakuna kilichonipata. Hapa ndio tunalala, mimi, mume wangu , wifi yangu na mbwa wangu. Binadamu yangu na mpenzi wake hatujui waliko tumewatafuta hadi hospitalini, na kwenye orodha, hakuna dalili.”Jopo Huru la Kimataifa la Kisayansi la Umoja wa Mataifa kuhusu akili mnemba, limetoa ripoti leo inayoonesha kuwa teknolojia hiyo inaendelea kusonga mbele kwa kasi kubwa zaidi kuliko uwezo wa serikali kuandaa sera na kanuni zinazoendana nayo. Miaka michache iliyopita, akili mnemba ilikuwa ikitumika zaidi kujibu maswali au kuandika maandishi rahisi. Leo, teknolojia hii inaweza kutengeneza picha na video zenye uhalisia mkubwa na hata kufanya baadhi ya kazi bila usimamizi wa karibu wa binadamu lakini mifumo ya udhibiti na sheria za usalama haijafanikiwa kuendana na mabadiliko hayo.Baada ya miongo kadhaa hatimaye hii leo Umoja wa Mataifa umeondoa kanuni ya kifedha iliyokuwa ikiulazimisha kurejesha kwa nchi wanachama fedha ambazo hazikutumika  hata kama fedha hizo hazikuwa zimewasilishwa kabisa. Uamuzi huo uliofanywa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne unafuatia mapendekezo ya Kamati ya Tano, ya Baraza hilo ambayo inashughulikia masuala ya utawala na bajeti. Kanuni ilikwamisha ajira ndani ya Umoja wa Mataifa na operesheni za ulinzi wa amani. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa kanuni hiyo ilikuwa inahatarisha uthabiti wa Umoja wa Mataifa na kwa uamuzi huu, Baraza limeanzisha mbinu mpya itakayohakikisha kuwa fedha ambazo hazijatumika zinarejeshwa kwa nchi wanachama pale tu zinapokuwa zimewasilishwa taslimu na kupokelewa.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKUNGURU."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari RFI-Ki
Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 25, 2026 9:56


Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

Habari RFI-Ki
Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 25, 2026 9:56


Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

Habari za UN
Hata kama ulipata mimba ukiwa na umri wa miaka 14 huo sio mwisho wa maisha yako - Mary Chigumira

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 17, 2026 2:58


Leo tunakupeleka Zimbabwe kwa mwanaharakati wa haki za wanawake na wasichana kutoka asasi ya kiraia ya “Unlimited Hope Alliance”. Kandoni mwa moja ya mikutano ya Zama Zijazo ya Umoja wa Mataifa hapa New York Marekani alipata fursa ya kuzungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii akipaza sauti kwa viongozi wa dunia kuhakikisha wanawake na wasichana wa vijijini hawapewi kisogo katika ajenda za maendeleo, elimu na teknolojia. Flora Nducha anafafanua zaidi alichomueleza katika taarifa hii

zimbabwe kama hata umoja maisha yako miaka wanawake mataifa ukiwa
Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Zebaki - Sayari Ambayo NASA Ilihangaika Kuiifikia Kwa Miaka 30!

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jun 15, 2026 13:05


Je, ulijua kwamba sayari iliyo karibu zaidi na Jua ndiyo mojawapo ya sehemu ngumu zaidi kufikiwa na binadamu?Katika video hii tunachunguza siri za Zebaki (Mercury) — sayari ya kwanza katika mfumo wa Jua.

nasa katika jua miaka
MAELEZO PODCASTS
Miaka 10 ya BMH: Jinsi Hospitali ya Benjamin Mkapa Ilivyobadilisha Huduma za Kibingwa Tanzania

MAELEZO PODCASTS

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 44:42 Transcription Available


Send us Fan MailHospitali ya Benjamin Mkapa ni hospitali ya rufaa ya kanda iliyopo jijini Dodoma, iliyoanzishwa kwa lengo la kutoa huduma za kibingwa ambazo kwa sasa zipo 20 na ubingwa bobezi zipo 17 kwa wananchi wa Tanzania na nchi jirani. Tangu kuanza kutoa huduma zake, hospitali hiyo imeendelea kukua kwa kasi na kuwa miongoni mwa vituo vinavyoongoza nchini katika huduma za matibabu ya moyo, figo, saratani, upasuaji mkubwa pamoja na huduma za kisasa za uchujaji damu na upandikizaji wa figo. Aidha, hospitali imejizatiti katika kukuza utalii wa matibabu na mafunzo ya kitaalamu, huku ikitoa huduma kwa mamilioni ya wananchi kila mwaka. Support the showIdara ya Habari MAELEZO 

tanzania jinsi miaka
Jukwaa la Michezo
Arsenal yashinda ubingwa wa Uingereza baada ya miaka 22, Fainali za BAL zikianza

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later May 23, 2026 23:50


Leo tumeangazia Arsenal kushinda ubingwa wa Ligi Kuu baada ya miaka 22, kocha wa Uingereza Tuchel azomewa kuwaacha nje wachezaji kadhaa, kocha wa DRC Desabre ataja kikosi cha Kombe la Dunia, Aston Villa yashinda Kombe la Europa, Droo ya kufuzu michuano ya AFCON 2027 yakamilika huku AFCON U17 ikiendelea, fainali za BAL zaanza Kigali, Kipchoge kukimbia marathon ya kwanza Afrika, Motsengo Omba ashinda urais wa Fecofa, raundi ya pili kufuzu Kombe la Dunia la wasichana chini ya miaka 17 yaanza.

Habari za UN
Miaka 25 ya Jukwaa la Watu wa Asili Tanzania imepiga hatua kutujumuisha - Ole Kulet Mwarabu

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 7, 2026 8:43


Haki ya afya kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa ni haki ya kila mtu bila kujali uko kwenye kundi au jamii gani. Huo ulikuwa ni msisitizo mwaka huu kwenye Jukwaa la jamii za watu wa asili lililokuja jamvi wiki iliyopita hapa New York Marekani. Na kandoni mwa kikao hicho Flora Nducha alipata fursa ya kuzungumza na mshiriki kutoka Tanzania kwenye jamii ya Wamaasai mwana harakati wa haki za jamii hiyo Adam Kulet Ole Mwarabu aliyeanza kwa kumueleza kwanini mwaka huu ni wa kipekee kwa watu wa jamii za asili 

tanzania umoja haki asili watu miaka hatua mataifa huo jukwaa
Hoy empieza todo 2
Hoy empieza todo - Alejandro Pedregosa, Miaka Makovski, Kae Tempest y Antonio Arias - 07/05/26

Hoy empieza todo 2

Play Episode Listen Later May 7, 2026 118:34


Arrancamos el programa con 'Gente Que Trabaja' de la mano de Cristina Moreno, quien nos hace un breve repaso a la actualidad y a las noticias más destacadas. El escritor Alejandro Pedregosa nos hablará de su última obra 'Lo que sé de Whitney Houston', publicada por la editorial Cuatro Lunas; un poemario que aprovecha el nombre de la cantante para hablar del suicidio. Charlamos con Maika Makovsky, aprovechando que este fin de semana actúa en el Museo Es Baluard, en el marco del Cranc de Mallorca. También entrevistamos a Kae Tempest, quien acaba de publicar 'Una vida buscando'. En una conversación profunda, nos invita a abrirnos a los demás con ternura y amabilidad e ir más allá haciéndolo también con las partes que desconocemos de nosotros mismos, aunque sean oscuras.Seguimos con el músico Antonio Arias. El músico de Granada nos presenta su último disco 'Mapa del trance', trabajo que pone la mirada en la región del Rif y con canciones que nos guían hacia el interior del artista. Escuchar audio

Radio Maria Tanzania
UNDANI WA MIAKA 40 HOSPITALI YA KARDINALI RUGAMBWA

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 50:34


Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Maadhimisho ya miaka 40 ya Hospitali ya Kardinali Rugambwa ya Mkoani Dar es salaam”. Mwezeshaji wa Kipindi hiki ni Mkurugenzi na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Kardinali Rugambwa akiwa sambamba na watumishi wa hospitali hiyo. Mtangazaji ni Agatha Kisimba. L'articolo UNDANI WA MIAKA 40 HOSPITALI YA KARDINALI RUGAMBWA proviene da Radio Maria.

radio maria karibu miaka kipindi maadhimisho mkurugenzi
Habari za UN
UN yaadhimisha miaka 25 ya Jukwaa linalojikita katika haki za Watu wa Asili mkazo ukiweka zaidi katika changamoto za afya na mabadiliko ya tabianchi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 3:06


Jukwaa la Kudumu la Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Watu wa Asili (UNPFII) limefungua kikao chake cha ishirini na tano leo Aprili 20 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani likiadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kama jukwaa la kipekee la kimataifa linalowakutanisha wadau kuhusu Watu wa Asili. Kikao hiki kinafanyika katika muktadha wa changamoto zinazoendelea duniani, zikiwemo afya, migogoro na ukosefu wa usawa. Pia kinakuja wakati ambapo mfumo wa ushirikiano wa kimataifa, ndani ya mfumo wa mipango kama Mpango wa Mageuzi ya Umoja wa Mataifa, UN80 unakabiliwa na mahitaji yanayoongezeka ya ujumuishwaji, uhalali na ufanisi. Anold Kayanda amelifuatilia tukio hilo. 

new york zaidi umoja haki katika asili afya watu miaka mataifa aprili marekani jukwaa
Siha Njema
Miaka mitatu tangu Sudan kuingia kwenye mzozo huduma za afya zimedorora

Siha Njema

Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 9:19


Asilimia 37 ya vituo vya afya nchini Sudan vimeharibiwa wakati wa mapigano na haviwezi kutoa huduma za afya Shirika la madaktari wasio na mipaka,MSF limekuwa likiwahudumia wagonjwa wenye majeraha ,waathiriwa wa magonjwa ya milipuko na waathiriwa wa ubakaji. Hali ya usalama imeilazimu  MSF kusitisha huduma katika maeneo kadhaa baada ya kushuhudiwa mashambulizi ya moja kwa moja kwenye vituo vya afya ,vituo hivyo kuporwa na uhaba wa bidhaa za kimatibabu unaohusishwa na vikwazo vya usafiri.

Habari za UN
Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 15, 2026 3:30


Leo ni miaka mitatu kamili tangu vita vilipoanza nchini Sudan 15 Aprili 2023, mgogoro ambao umegeuka kuwa moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani. Mamilioni ya watu wamekwama katikati ya mapigano, kuwa wakimbizi wa ndani na nje, njaa na ukosefu wa makazi, huku mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yakionya kuwa mateso yanaendelea kuongezeka kila uchao. Flora Nducha na taarifa zaidi

sudan umoja raia miaka mataifa aprili
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rwanda yaadhimisha miaka 32, mauaji ya kimbari, Israeli yashambulia Lebanon

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Apr 11, 2026 20:15


Maadhimisho ya siku 100 maarufu kama kwibuka kukumbuka mauaji ya mwaka 1994 nchini Rwanda, mwanadiplomasia wa Marekani James Swan kuanza kazi kama mkuu wa Monusco huko DRC, mazungumzo kati ya serikali ya nchi hiyo na waasi wa M23 kufanyika kule Geneva Uswiz chini ya upatanishi wa Qatar, hali ya kisiasa nchini Kenya na Tanzania, na sudan; kampeni za uchaguzi mkuu nchini Benin kutamatishwa kuelekea siku ya jumapili ya aprili 12 na mashambulizi ya jeshi la Israeli huko Lebanon

Wimbi la Siasa
Vita vya miaka minne nchini Ukraine, nini suluhu ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 9:47


Imetia miaka minne, tangu Urusi ilipoivamia Ukraine, katika vita vikubwa tangu vile vya pili vya dunia barani Ulaya. Maelfu ya watu wameuawa, miji na miundo mbinu muhimu imeharibiwa nchini Ukraine. Rais Volodymyr Zelenskyy anasema mwenzake wa Urusi hajatimiza malengo yake ya vita. Kwanini suluhu haijapatikana miaka minne baadaye ?

Radio Maria Tanzania
Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 55:54


Malezi mazuri kufaraha ya mzazi katika ukuaji wa mtoto, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo […] L'articolo Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano. proviene da Radio Maria.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Shirika la Haki za Binadamu laonya kuwa demokrasia iko hatarini ikilinganishwa na miaka ya 1980

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 10:49


Demokrasia na utaratibu wa kimataifa unaozingatia sheria ziko hatarini, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la haki za binadamu ama Human Rights Watch. Kuna msisitizo mahususi juu ya Marekani na kile ambacho chombo cha kimataifa kinaelezea kama kudorora kwa haki za binadamu, lakini pia kuna tahadhari juu ya Australia. Sera za uhamiaji na kuwekwa kizuizini kwa vijana za Australia zinaorodheshwa kama 'mapungufu makubwa', zikionyeshwa kuwa ni demokrasia pekee ya Magharibi isiyo na sheria ya kitaifa ya haki za binadamu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:viwango vya riba vyaongezeka baada ya kusitishwa kwa miaka miwili

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 6:36


Benki ya Hifadhi ya Australia imehitimisha mapumziko ya miaka miwili kwa kuongeza viwango vya riba hadi asilimia 15, jambo ambalo limeanzisha mjadala mkali wa kisiasa juu ya kama matumizi ya serikali au mahitaji ya watu binafsi ndiyo yanayosababisha mfumuko wa bei kuendelea. Wakati Mweka Hazina anatetea bajeti na kuashiria mashinikizo ya nje, Upinzani na Kijani wanadai kuwa sera za sasa zinawaadhibu Waustralia wa kawaida na zinaacha mbali njia zingine za kiuchumi.

Habari za UN
04 JANAUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 4, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia juhudi za kutokomeza sarati, mashambilizi dhidi ya misafara ya chakula katika kaunti ya Baliet, jimbo la Upper Nile, nchini Sudan Kusini na tunamulika miaka kumi na nne baada ya wakimbizi wa kwanza wa Syria kuvuka mpaka kuingia Jordan.Mabadiliko ya mfumo wa maisha na mazingira yanaweza kuzuia ugonjwa wa saratani kwa wagonjwa wanne katika kila wagonjwa kumi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, (WHO) na shirika lake tangu la Utafiti kuhusu saratani, IARC.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) leo Februari 4, 2026 limetangaza kusitisha shughuli zake zote katika kaunti ya Baliet, jimbo la Upper Nile, nchini Sudan Kusini kufuatia mfululizo wa mashambulizi dhidi ya msafara wake wa majini mwishoni mwa wiki iliyopita. Anold Kayanda na taarifa zaidi.Miaka kumi na nne baada ya wakimbizi wa kwanza wa Syria kuvuka mpaka kuingia Jordan kusaka usalama, kambi ya wakimbizi ya Zaatari bado ni makazi ya maelfu ya watu wanaosubiri suluhu ya kudumu. Wiki hii, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih, ametembelea kambi hiyo na kukutana na familia ambazo zimeishi ukimbizini kwa zaidi ya muongo mmoja wengi wao wakiwa bado na matumaini ya kurejea nyumbani, lakini tu pale ambapo itakuwa salama.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

syria wiki umoja hii iarc zaatari miaka mataifa shirika barham salih sudan kusini
Habari za UN
UNHCR SALIH: Asante Jordan kwa kuendelea kukirimmu wakimbizi wa Syria

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 4, 2026 2:59


Miaka kumi na nne baada ya wakimbizi wa kwanza wa Syria kuvuka mpaka kuingia Jordan kusaka usalama, kambi ya wakimbizi ya Zaatari bado ni makazi ya maelfu ya watu wanaosubiri suluhu ya kudumu. Wiki hii, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih, ametembelea kambi hiyo na kukutana na familia ambazo zimeishi ukimbizini kwa zaidi ya muongo mmoja wengi wao wakiwa bado na matumaini ya kurejea nyumbani, lakini tu pale ambapo itakuwa salama. Flora Nducha amefuatilia ziara ya Salih na kutuandalia taarifa hii.

syria wiki unhcr asante salih umoja zaatari miaka mataifa barham salih
Habari za UN
Guterres: Miaka 80 ya Baraza la Kiuchumi na Kijamii ni chachu ya mabadiliko kwa ushirikiano wa kimataifa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2026 3:15


Katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, hii leo historia na dharura vilikutana chini ya paa moja. Ni miaka themanini tangu Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa ECOSOC  lifanye kikao chake cha kwanza tarehe 23 Januari 1946 na linaadhimisha hatua hii muhimu wakati ambapo Umoja wa Mataifa unasema ni wa maamuzi kwa mustakabali wa ushirikiano wa kimataifa. Flora Nducha amefuatilia maadhimisho hayo na hii hapa taarifa yake

new york sdgs guterres umoja baraza miaka mataifa kimataifa
Habari za UN
Udadavuzi: Fahamu taratibu za matumizi ya nguvu za kijeshi dhidi ya nchi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2026 6:36


Miaka 80 iliyopita baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, mataifa 50 yalikutana huko San Francisco hapa nchini Marekani na kupitisha Chata iliyoanzisha Umoja wa Mataifa. Miongoni mwa malengo ni kuzuia vita na kujenga uhusiano mwema baina ya mataifa. Mathalani kuepusha nchi moja kuvamia nchi nyingine na kulinda haki za binadamu. Leo hii Chata hiyo imeendelea kusiginwa na kilichoibua mjadala zaidi ni tukio la Januari 3 la Vikosi Maalum vya Marekani kuingia Venezuela na kumtwaa Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro pamoja na mkewe kwa madai ya kwamba wanatakiwa wajibu tuhuma nchini MArekani za uhalifu mkubwa ikiwemo usafirishaji wa dawa za kulevya. Je Chata hiyo inasema nini? Assumpta Massoi na Rashid Malekela wanapitia baadhi ya vifungu pamoja na yaliyojiri baada ya hatua ya Marekani.

san francisco venezuela dunia nicolas maduro pili rais chata umoja makala miaka nchi nguvu mataifa fahamu marekani matumizi miongoni
Habari za UN
UNICEF na washirika wasaidia kuboresha huduma za afya Laascaanood Somalia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 29, 2025 2:43


Huko kaskazini mashariki mwa Somalia, eneo la Laascaanood linaendelea kushuhudia maboresho ya huduma muhimu za afya baada ya miaka miwili ya kuvurugika kwa huduma hizo kutokana na mizozo, maboresho haya yanaleta huduma za afya karibu zaidi na akina mama na watoto shukran kwa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF na washirika wake. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.(Taarifa ya Leah)Kwa mujibu wa UNICEF nchini Somalia, mamilioni ya watoto wanakua katika kivuli au mazingira ya ukimya na dharura zilizosahaulika, takribani watoto milioni 1.8 wanahitaji matibabu ya utapiamlo mwaka huu wa 2025. Kila mwaka watoto wapatao 75,000 walio chini ya umri wa miaka mitano hufariki dunia kutokana na magonjwa yanayozuilika na yanayoweza kutibiwa.Miaka miwili ya migogoro imesababisha kusambaratika kwa huduma muhimu huko Laascaanood. Kurejea kwa hali ya utulivu kumeanza kushuhudia urejeshwaji wa taratibu wa huduma hizi muhimu zinazookoa maisha. UNICEF, kwa msaada wa KSRelief na Saudi Esports Federation, inachangia kwenye kutoa huduma jumuishi za afya ya msingi, huku huduma hizo zote zikitolewa chini ya paa moja.Mpaka sasa maelfu ya watu wamefikiwa huku ukisaidia vituo 13 vya afya kama anavyoeleza Dayid Said Ismail Afisa Lishe (Sauti ya Dayid Said Ismail – Evarist)“Mradi huu unasaidia vituo 13 vya afya na unahudumia zaidi ya watu 150,000. Huduma zake zinajumuisha chanjo za watoto, matibabu ya magonjwa kama nimonia na kuhara, pamoja na huduma za magonjwa mengine ya kawaida ya utotoni.”Katika huduma za matibabu tumsikilize Saida Ali Elmi ambaye ni mhudumu wa Afya(Sauti ya Saida Ali Elmi- Sheilah)“Kama mnavyoona, akina mama wengi wamekuwa kwenye foleni tangu saa moja asubuhi na sasa ni saa 5:30 asubuhi. Kwa hiyo wapo hapa kwa ajili ya chanjo za kinga, ikiwemo chanjo za kifua kikuu, surua, polio, pepopunda, kifaduro, pamoja na chanjo mpya iitwayo PCV ya nimonia.”Juhudi hizi zinazofanywa na mashirika haya, tayari zimeanza kuleta matumaini mapya kwa Ayan Hassan Abdi mama mzazi wa Maryam “Nimemleta Maryam kwa sababu alikuwa na homa. Amepatiwa matibabu na pia chanjo. Alifanyiwa vipimo vya homa na kuharisha, na akatibiwa vizuri, Masha'Allah.”

Habari za UN
Miaka 10 ya Mkataba wa Paris ni kupima hatua zilizopigwa na kukabili mapengo - UNEA-7

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 12, 2025 3:04


Leo Dunia inapoadhimisha miaka kumi tangu Mkataba wa Paris wa mabadiliko ya Tabianchi kupitishwa, wataalamu wa masuala ya tabianchi barani Afrika wanasema maadhimisho haya ni wakati wa kupima hatua zilizofikiwa lakini pia kukabili pengo linalopanuka kati ya sera na utekelezaji wa hatua za tabianchi. Flora Nducha na taarifa zaidi

afrika nairobi miaka hatua unea
SBS Swahili - SBS Swahili
Matokeo ya Cronulla 2005 yakumbukwa kwa hisia mchanganyiko

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 11, 2025 8:58


Miaka ishirini iliyopita, maelfu walikusanyika kwenye kitongoji cha pwani cha Cronulla huko Sydney, kwa kile kilichogeuka kuwa mkutano wa vurugu dhidi ya uhamiaji kutoka Mashariki ya Kati. Leo hii, wakazi wa Cronulla na baadhi ya Waaustralia wenye asili ya Mashariki ya Kati wanasema mitazamo inabadilika. Lakini wengine wanahofia kuhusu harakati mpya zaidi zilizo na mpangilio wa kupinga uhamiaji.

cronulla lakini miaka mashariki
SBS Swahili - SBS Swahili
Waaustralia wakabiliwa na wastani wa kusubiri miaka mitano kwa teknolojia za matibabu zinazookoa maisha

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 11, 2025 7:26


Ripoti mpya ya kitaifa imegundua kuwa Waasutralia wanakabiliwa na wastani wa kusubiri miaka mitano kwa teknolojia za matibabu zinazookoa maisha. Ripoti inasema kuwa ingawa teknolojia za matibabu zinakua kwa kasi nje ya nchi, mfumo wa Australia bado uko polepole katika kupitisha na kufadhili teknolojia hizo mpya.

australia maisha miaka ripoti teknolojia
SBS Swahili - SBS Swahili
Mzio wa karanga kwa watoto upata mwelekeo mpya

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 4, 2025 7:28


Miaka kumi baada ya utafiti muhimu kudhibitisha kwamba kuwalisha watoto wachanga bidhaa za karanga inaweza kuendeleza mzio hatari, utafiti mpya umebaini kuwa kuna uwezekano wa kuepuka kuendeleza mizio ya chakula.

watoto miaka
Habari za UN
Siku ya UN ni ukumbusho wa wajibu wetu kuendelea maono ya shirika hilo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 2:10


Leo ni Siku ya Umoja wa Mataifa, ikitukumbusha kuanzishwa kwake tarehe 24 mwezi Oktoba mwaka 1945. Maudhui ya mwaka huu ni "Miaka 80 ya Umoja wa Mataifa: Kujenga Mustakabali Wetu kwa Pamoja - Ishara ya Matumaini kwa ushirikiano wa Kimataifa." Katika kumulika hili, Sabrina Saidi wa idhaa hii amezungumza na mwakilishi wa vijana pamoja na mmoja wa watumishi wa Umoja wa Mataifa kuhusu maadhimisho ya siku hii, huko jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania. 

dar tanzania hilo salaam umoja katika siku miaka mataifa oktoba shirika kimataifa
Habari za UN
24 OKTOBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 9:56


Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni miaka 80 tangu kuanzishwa kwake 1945.Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ni miaka 80 tangu kuanzishwa kwake 1945, lakini pia ni kumbukizi ya miaka 80 tangu kuanzishwa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lilikuwa ni tukio la kihistoria na la kukumbukwa. Akiwahutubia wajumbe wa Baraza hilo kwa njia ya mtandao katika kikao cha kumbukizi hii, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa wito wa mageuzi ya dharura na mwamko mpya wa uwajibikaji, akiwakumbusha jukumu lao kuu la kulinda amani ya dunia.Tukiendelea na Siku ya Umoja wa Mataifa, ikitukumbusha kuanzishwa kwake tarehe 24 mwezi Oktoba mwaka 1945. Maudhui ya mwaka huu ni "Miaka 80 ya Umoja wa Mataifa: Kujenga Mustakabali Wetu kwa Pamoja - Ishara ya Matumaini kwa ushirikiano wa Kimataifa." Katika kumulika hili, Sabrina Saidi wa idhaa hii amezungumza na mwakilishi wa vijana pamoja na mmoja wa watumishi wa Umoja wa Mataifa kuhusu maadhimisho ya siku hii, huko jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania.Msikilizaji, bila shaka umeyasikia mengi kuhusu Umoja wa Mataifa, lakini Umoja wa Mataifa ni nini hasa? Japo kwa ufupi, Anold Kayanda anakufahamisha akianza na historia.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
WMO na wadau wajadili kuhusu tahadhari za mapema

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 20, 2025 3:29


Shirika la Umoja wa Mataifa ka Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani WMO linaongeza kasi ya jitihada za kulinda maisha ya watu dhidi ya madhara ya mabadiliko ya tabianchi. Mkutano wake Maalum uliofunguliwa leo mjini Geneva Uswisi, unalenga kuharakisha mpango wa kimataifa wa Tahadhari za Mapema kwa Wote, sambamba na maadhimisho ya miaka 75 ya WMO. Flora Nducha amefuatilia na anafafanua zaidi (TAAFIFA YA FLORA NDUCHA)Asante Leah, kwa mujibu wa WMO idadi ya nchi zenye mifumo ya tahadhari za mapema kwa ajili ya majanga ya tabianchi imeongezeka maradufu katika kipindi cha miaka kumi iliyopita lakini bado mamilioni ya watu hawana ulinzi dhidi yah atua hiyo muhimu.Ndiyo maana shirika hilo limewakutanisha mawaziri na wataalamu kutoka nchi wanachama 193 kuharakisha mpango wa Tahadhari za Mapema kwa Wote, uliozinduliwa mwaka 2022 na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres unatekelezwa kwa vitendo.Katika mkutano huo Celeste Saulo Katibu Mkuu wa WMO amesema “Miaka 75 iliyopita, Shirika la WMO lilianzishwa kutokana na ukweli kwamba hali ya hewa, maji na tabianchi havina mipaka ya kitaifa. Ushirikiano wa kimataifa katika uchunguzi na utabiri ni wa lazima, kwa sababu hakuna nchi inayoweza kufanya hivyo peke yake.”Ripoti mpya ya WMO, iliyopewa jina Tahadhari za Mapema kwa Wote Mtazamo wa Dunia, inaonesha kuwa licha ya maendeleo makubwa katika ubadilishanaji wa takwimu na utabiri wa kidijitali, bado kuna mapengo makubwa, hasa katika nchi maskini na visiwa vidogo vinavyoendelea.Celeste amesisitiza kuwa“Tahadhari za Mapema kwa Wote sasa siyo mpango tena, bali ni nembo ya mshikamano wa dunia. Pamoja, tunaokoa maisha, tunaunda sera, na kuimarisha mnepo.”Takwimu za shirika hilo zinaonesha uzito wa changamoto. Katika miaka 50 iliyopita, WMO inasema majanga yanayohusiana na hali ya hewa na maji yamesababisha vifo vya zaidi ya watu milioni mbili huku asilimia 90 kati yao ni katika nchi zinazoendelea.Na ingawa mataifa 108 sasa yana mifumo ya tahadhari za majanga mchanganyiko, shirika hilo linasema viwango vya vifo bado ni mara sita zaidi katika maeneo yasiyo na mifumo hiyo.WMO inasema teknolojia mpya ikiwemo akili mnemba na matumizi ya takwimu za setilaiti kwa wakati halisi zinabadilisha uwezo wa utabiri, lakini pengo la kidijitali bado linawaacha wengi wakiwa hatarini.“Mafanikio ya Tahadhari za Mapema kwa Wote hayapimwi kwa ripoti au maazimio, anasema Celesto bali kwa maisha yanayookolewa na riziki zinazolindwa. Tunapoelekea mwaka 2027, hebu tuongeze juhudi kuhakikisha hakuna mtu anayeachwa bila ulinzi.”Mkutano huo Maalum wa WMO utaendelea wiki nzima mjini Geneva, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akitarajiwa kuhutubia siku ya Jumatano.Shirika la WMO wakati likiadhimisha miaka 75 ya kile linachoita Sayansi kwa Vitendo  linataka kuhakikisha sayansi hiyo inawafikia wote, kabla ya majanga kutokea.

ant dunia guterres umoja wmo katika pamoja miaka wote mataifa shirika mkutano vitendo ripoti
Habari za UN
16 OKTOBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 16, 2025 13:01


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia siku ya chakula duniani ikienda sambamba na maadhimisho ya miaka 80 ya kuanzishwa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, na utamsikia Mwakilishi wa FAO nchini Tanzania Bi. Nyabenyi Tito Tipo akieleza.Maadhimisho ya siku ya chakula duniani yamefanyika kimataifa leo huko Roma nchini Italia, yakienda sambamba na sikukuu ya miaka 80 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na kilimo, FAO. Katika ujumbe wake alioutoa kwa njia ya video Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema, “Miaka themanini iliyopita, katika dunia iliyosambaratishwa kwa vita, nchi zilikutana kukabiliana na njaa. Miongo kadhaa tangu wakati huo, dunia imepiga hatua kubwa. Lakini bado majanga yanyoonesha kuwa hatuwezi kubweteka iwapo tunataka kuendeleza mafanikio tuliyopata. Tuna mbinu, ufahamu, rasilimali za kutokomeza njaa, na kupatia kila mtu chakula kizuri na chenye afya. Tunachohitaji ni umoja.Huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, raia wamerejea kufuatia makubaliano ya sitisho la mapigano lakini wanahaha kujenga upya makazi yao huku wakiwa wamezingirwa na vifusi. Miongoni mwao Ayman Awadallah, amesema “hakuna maji, hakuna miundombinu ya majitaka, hakuna maisha hapa, hakuna chochote.”Na kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga, kilichotokea Jumatano Oktoba 15 nchini India, Umoja wa Mataifa kupitia Katibu Mkuu umetuma salamu za rambirambi na kusema hayati Odinga, alikuwa mtu muhimu katika maendeleo ya kidemokrasia nchini Kenya na  pia mtetezi thabiti wa mageuzi ya kikatiba na utawala jumuishi.Na katika kujifunza Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "KIMWA"Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

kenya gaza israelis roma italia tanzania palestina tuna guterres fao umoja hii kiswahili raila odinga katika taifa odinga baraza lakini miaka mataifa oktoba shirika maadhimisho miongoni waziri mkuu ufugaji
Habari za UN
UN waadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 22, 2025 4:08


Umoja wa Mataifa hii leo umeadhimisha miaka 80 tangu kusainiwa kwa Mkataba wake tarehe 26 Juni 1945, tukio lililotoa matumaini mapya kwa dunia iliyokuwa imechoka kutokana na vita kuu mbili za dunia, mauaji ya halaiki na ukoloni. Katika maadhimisho hayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema kumbukizi ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa ni fursa ya kukumbuka ujasiri wa waanzilishi wa taasisi hiyo na kuimarisha mshikamano wa kimataifa katika kukabili changamoto zinazokabili dunia hivi sasa. Tuungane na Leah Mushi aliyefuatilia maadhimisho hayo atupatie taarifa zaidi.

Habari za UN
Tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake - Balozi Mwongella

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 18, 2025 7:39


Jumamosi hii hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu masuala ya wanawake, tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake. Sasa Sabrina Said amezungumza na aliyekuwa Katibu Mkuu wa mkutano huo Balozi Gertrude Mongella kupata tafakuri yake katika katika makala hii.

tanzania umoja haki makala miaka wanawake mataifa
Habari za UN
Asante UNMISS sasa kesi za miaka 10 zinaenda kusikilizwa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 3:05


Nchini Sudan Kusini ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS unaendelea kuimarisha mfumo wa mahakama ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wote hata maeneo yote ya nchi hiyo. Leah Mushi na taarifa zaidi

asante sasa umoja kesi miaka mataifa unmiss sudan kusini
Habari za UN
Gaza: Mtoto mwenye umri wa miaka 11 ana uzito wa kilo 9, kisa njaa!

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 25, 2025 3:42


Baada ya miaka miwili ya vita katika Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel Ijumaa tarehe 22 Agosti Umoja wa Mataifa ukatangaza jambo baya zaidi, ripoti ya njaa duniani IPC ikathibitisha wananchi wa Gaza rasmi wana kabiliwa na baa la njaa.Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP ni moja kati ya mashirika ya Umoja wa Mataifa ambayo pamoja na hali ya vita yamekuwa yakitoa msaada wa chakula huko Gaza na wameeleza kwamba baa la njaa lazima likomeshwe kwa gharama yoyote ile. Kusitishwa kwa mapigano mara moja na kukomesha mzozo ni muhimu ili kuruhusu misaada kuweza kuingizwa  Gaza ili kuokoa maisha. Makala hii Leah Mushi anamuangazia mmoja wa watoto wanaokabiliwa na njaa

SBS Swahili - SBS Swahili
Miaka 50 ya SBS- Waandishi wa habari waelezea nyakatu muhimu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 8:00


SBS ina sherehekea miaka 50.

Habari za UN
WHO: Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yanachangia nusu ya vifo chini ya umri wa miaka 70

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 16, 2025 2:14


Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane  ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.

covid-19 umoja chini afya miaka ntds mataifa shirika ripoti
Vintage Anime Club Podcast
Episode 208 - Miaka & the Tamahomies (Fushigi Yûgi 12 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Apr 10, 2025 200:37


It's time for the Fushigi Yûgi finale! Join club hosts Kate, Karen, Dennis, Diana, & returning guest Kristen as we go over our final Fushigi Yûgi thoughts. Does Keisuke do enough to redeem himself from the last batch of episodes? Is all forgiven for Yui? Does Nakago deserve the sad backstory treatment? Unexpected kaiju battles, and the return of Force ghosts. It's got everything! 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:12:15 - The Watchlist (ft Faves of Winter 2025) 0:40:25 - Catching up on FY with Diana & Kristen 0:50:40 - EP49: Wedding Celebration 1:16:54 - EP50: Atonement 1:47:01 - EP51: Entrusted Hope 2:15:15 - EP52: For My Loved One 2:43:16 - Final Thoughts & Kanpai Special thanks to Kristen (@kristenmpath) for joining us again! Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Diana: @binkxy | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan  Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Habari za UN
Umri wa kuoa au kuolewa Côte d'Ivoire ni kuanzia miaka 18 - Francine

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 4:40


Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui  Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.

beijing chama rais ivoire yeye makala miaka wanawake azimio jukwaa kutana
Vintage Anime Club Podcast
Episode 206 - Legend of the Visible Temple (Fushigi Yûgi 10 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Mar 6, 2025 170:50


Getting closer to the finale, come join Dennis, Diana, Ed, Karen, & Kate for more Fushigi Yûgi, covering episodes 40-43. Miaka's dream school scenario turns into a recurring nightmare, we've lost track of how many times Miaka & Tamahome have broken up, there's new Byakko Warriors, another Boshi Boy (no relation to Flute-aboshi or Rope-aboshi), and giant insect monsters. And just when you thought he couldn't, Nakago gets even creepier. Also, we talk abou the new Gundam GQuuuuuuX film at the beginning of the show with chapter time stamps, so feel free to skip that chapter if you did not get a chance to see the film yet! 0:00:00 - Introduction & News 0:07:53 - GQuuuuuuX Movie SPOILERS 0:24:26 - The Watchlist 0:35:58 - Fushigi Yûgi Catch-up with Karen & Diana 0:43:24 - EP40: Deceptive Love 1:03:30 - EP41: Sunlight of Rebirth 1:28:24 - EP42: Unbreachable Wall 1:54:57 - EP43: Farewell Reunion 2:18:53 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Diana: @binkx | Ed: @ippennokuinashi | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan  Linktr.ee | Ko-Fi | RSS

Habari za UN
Miaka 30 baada ya Azimio la Beijing kuhusu haki za wanawake, safari bado ni ndefu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 2:08


Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa  shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiAkizungumza wiki hii mjini Geneva Uswisi katika majadiliano ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing (#Beijing30), Bi. Bahous amebainisha umuhimu wa kuharakisha maendeleo ya usawa wa kijinsia akiwataka viongozi wa dunia kuchukua hatua thabiti ili kuhakikisha haki za wanawake zinapewa kipaumbele wakati wa changamoto zinazoendelea duniani.Amesema “Miaka 30 iliyopita dunia iliweka ahadi ya kusongesha fursa na utu wa wanawake na wasichana wote. Ahadi hiyo haikuwa maneno matupu kwenye karatasi, ilikuwa ramani ya njia na wito wa mshikamano . Na kwa miongo mitatu imechochea hatua, wasichana wengi sasa wako shule, wanawake wengi wako bungeni , kuna sheria nyingi zaidi zinawalinda wanawake dhidi ya ukatili, na mataifa mengi zaidi yanatambua usawa wa kijinsia ni lazima.”Licha ya mafanikio hayo yote Bi, Bahous amesema ndio kwanza mkoko unaalika maua kwani safari bado ni ndefu“Hebu tuwe wakweli hatujafika tunapopaswa kuwa. Haki za wanawake na wasichana zinashambuliwa, fursa za wanawake kupaza sauti zinazidi kupungua na endapo tutaendelea na kasi hii msichana aliyezaliwa leo atakuwa na umri wa miaka 39 kabla wanawake hawaja na viti vingi bungeni kama wanaume, atakuwa na umri wa miaka 68 kabla ndoa za utotoni hazijakomeshwa, na atakuwa na umri wa miaka 137 kabla umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasicha haujatokomezwa. Hatuwezi kulikubali hili.”Mkuu huyo wa UN Women ameyahimiza mataifa yote kuchukua hatua sasa ili kuhakikisha ndoto za azimio la Beijing hazisalii kuwa ndoto bali maisha halisi.

Vintage Anime Club Podcast
Episode 205 - Tomo: Mindfreak (Fushigi Yûgi 9 of 12)

Vintage Anime Club Podcast

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 160:29


On this episode, join Ed, Garrett, Karen, Kate, & Dennis for more adventures in The Universe of the Four Gods with our Fushigi Yûgi recap of episodes 36-39. We've reached one of the lowest points for Miaka, and most of the Suzaku Warriors aren't even around! There's so much running away, a couple of big truth bombs, more Street Fighter II homages, and more shells than you can shake a stick at. You are about to enter another dimension, a dimension not only of sight and sound but of mind. A journey into a perilous land of illusions. Next stop, the Tomo Zone. 0:00:00 - Intro & Some Anime News 0:13:40 - The Watchlist 0:27:55 - EP36: Trampled Love 0:57:13 - EP37: Bewitched Warmth 1:29:21 - EP38: Dawn of the Heart 1:54:43 - EP39: Bewitched Illusions 2:16:14 - Voices, Final Thoughts, & Kanpai Unfortunately, Fushigi Yugi is currently out of print, but you can still support the show by donating to our Ko-Fi link below.   Dennis: @ichnob | Ed: @ippennokuinashi | Garrett: @blkriku | Karen: @ryacosplay | Kate: @taikochan Linktr.ee | Ko-Fi | RSS