POPULARITY
Karibu mpenzi msikilizaji wa RFI Kiswahili katika Makala Changu Chako Chako Changu maalum kabisa kuhusu historia ya siku ya kimataifa ya uhuru wa wanahabari ambayo huadhimishwa kila Mei 3. Ambapo maadhimoisho haya yanakuja wakati dunia ikikabiliana na changamoto za usamabazaji wa habari za uongo kwa kutumia akili bandia. Mimi ni Ali Bilali Karibu.
Karibu kuungana nami katika makala changu chako chako changu leo jumapili ambapo nakuletea Historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance francaise ya Nairobi, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Thomson the voice kutoka nchini Burundi, mimi ni Ali Bilali, bienvenue ama Karibu.
Samir Kassim Rashid maarufu Samir Kinyulinyuli ni Msanii wa Sanaa ya Muziki aliyelazimika kukimbilia Dar es salaam akitokea Morogoro ili kufanikiwa kisanaa, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa ya Jumahili.
Wasanii maarufu kutoka Kenya; Sean MMG, Ssaru na Tipsy Gee walitembelea studio yet hivi karibuni wakati wa ziara yao ya Australia.
Naš najbolj prijazen pokrovitelj T2 in WiFi 7:https://www.t-2.net/odkrijte-wi-fi-7-----------------------------------------------------------Fejmrč na https://www.fejmici.si/Vaše težave: podcast.fejmici@gmail.comPoljubna enkratna donacija na: https://tinyurl.com/y2uyljhmMesečna finančna podpora možna na:3€ - https://tinyurl.com/yxrkqgbc5€ - https://tinyurl.com/y63643l58€ - https://tinyurl.com/y62ywkmtMotitelji:- Gašper Berganthttps://www.gasperbergant.si https://www.instagram.com/gasper.bergant/ - Žan Papičhttps://www.zanpapic.si https://www.instagram.com/zanpapi/ Produkcija: Warehouse Collectivehttps://www.warehousecollective.siGrafična podoba: Artexhttps://www.facebook.com/artextisk
Ni Jumapili nyingine tunakutana tena katika Makala haya Changu Chako Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea historia ya siku ya kimataifa ya nchi zinazozungumza lugha ya Kifaransa, ama Organisation internationale de la francophonie. Nitakuletea pia ratiba za shughuli za kitamaduni kupitia vituo vya utamaduni wa Ufaransa vya Ukanda, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Frederic Francois. Kumbuka pia kutufollow kwenye mitandao ya kijamii kwa kubonyeza hapa
Katika Makala haya mtangazji wa ko Ali Bilali anakuletea Historia ya siku ya wanawake duniani ambayo husherehekewa kila ifikapo machi 8 ya kila mwaka
Muziki wa kizazi kipya Zanzibar umedorora ukilinganisha na hali ilivyo Tanzania Bara
Taarab Asilia ni Miongoni mwa Miziki ya kale zaidi katika Mwambao mwa Bahari ya Hindi, Zanzibar Taarab Hertage Ensemble ni miongoni mwa Makundi ya Muziki huo kutoka Visiwani Zanzibar, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
Kenya kipindi hiki,ungana na Victor Moturi ,ambaye atamekuandalia burudani tosha ,burudikaa
Kenya kipindi hiki,ungana na Victor Moturi ,ambaye atamekuandalia burudani tosha ,burudikaa
Katika Makala haya, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumza na Cassypool mwanamitandao na muhamasishaji kutoka nchini Kenya, ambae amejizolea umaharufu kupitia kile alichokiita tasnia ya uchawa, ambapo anaeleza kuwa chawa wa rais wa Kenya William Ruto na sasa ni chawa wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Kumbuka pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali
Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi Februari.
Makala ya Changu Chako ,chako Changu hii leo yanaangazia historia na tamaduni za kabila la Wakalenjin kutokea Kenya.Kisha kwenye kipengele cha Leorparle Francophone tutangaazia maonyesho kuhusu mabadiliko yaliyofanyika kwenye muziki kuanzia miaka ya 1960 alafu kwenye kipengele chetu ya mwisho cha Muziki tutamuangazia mwanamuziki Yemi Alade.
Wanamuziki wa Muziki wa asili wamebadili vionjo vya asili wakijumuisha na vionjo vya Kisasa ili kuupaisha Muziki Kimataifa, Steven Mumbi amezungumza na Leo Mkanyia Mwanamuziki wa Muziki wa Asili kutoka Tanzania
Katika Makala haya ya kwanza kabisa ya mwaka 2025, mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakupa fursa ya kuwatakia heri ya mwaka mpya ndugu jamaa na marafiki.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Heri ya mwaka mpya msikilizaji wa RFI Kiswahili popte pale ulipo. Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu ninakukaribisha katika makala haya ya mwishgo kabisa changu chako chako changu katika mwaka 2024. Leo nakukumbusha mada kadhaa zilizo zungumziwa mwaka 2024, lakini pia ninapokea salam zako za mwaka mpya wa 2024, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki isifiwe Kibangula kutoka hko Sweeden ambae ametangawa kubadili muziki wake.Karibu na kwa mara nyingine tena kheri ya mwaka mpya.
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Makala ya changu chako ,chako changu,hii leo utaskia historia ya kabila la wamasai wanaopatikana AFrika hasaa kenya na Tanzania,kisha kwenye kipengele cha pili utaskia maonyesho ya Sanaa ya uchoraji yanayoendelea katika ukumbi wa Alliance Francaise na mwisho kabisaa katika kipengele cha muziki makala haya yataangazia historia yake mwanamuziki kwa jina Burna Boy kutokea Nigeria .
Makala haya yataangazia Historia ya nchi ya Kenya na jinsi ilivyopata Uhuru,kwenye kipengele cha pili utaskia safari ya vijana wanaofanya sanaa ya Uchoraji kutoka shirika lisilo la kiserikali la Uweza Art Gallery na mwisho kabisa kwenye kipengele cha historia ya mwanamuziki utaskia historia yake Juma Jux kutokea Tanzania.
Tutaangazia historia ya muziki wa Afrika, tukiangalia mabadiliko makubwa yaliyotokea kabla na baada ya kuibuka kwa teknolojia. Muziki wa Afrika ni sehemu muhimu ya utamaduni wetu, na umetumika kwa karne nyingi kama njia ya kuwasiliana, kusherehekea, na kuponya.
Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya wanaochipukia nchini Tanzania walalama kutakwa Kimapenzi wa Watayarishaji wa Muziki, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akiwa na Zainisha Nokolage maarufu Zainisha.
Uhusiano baina ya lugha na utamaduni, mila na mirathi ya jamii kwa jumla huenda ukafahamika angalau kwa wepesi, iwapo tutazingatia mambo kadhaa ikiwemo lugha na matumizi yake, tabia, utu, utamaduni, mila,mitindo na mengineo. Watu wa kabila la washi mashariki mwa DRC wameandaa tamasha la kutambulisha utamaduni wao, ambalo ni msimu wa pili na limepangwa kufanyika desemba 6 hadi 8 huko Bukavu. Katika makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anakuletea sehemu hii ya tatu na ya mwisho ya maandilizi ya makala haya. unaweza kusikiliza sehemu ya kwanza kubonyeza hapa (sehemu ya kwanza) Lakini pia sehemu ya pili kwa kubonyeza hapa (Sehemu ya pili) Asante kwa kuendelea kuwa muaminifu kwa radio yako na kwa mtangazaji wako asiependa makuu unaweza kumfollow kwa kubonyeza hapa Billy Bilali
Sanaa ya Muziki wa asili ni miongoni mwa sanaa zinazokua kwa kasi nchini Tanzania, Kutana na kundi la Sanaa lililowika katika majukwaa ya kimataifa wakiwa na bendi ya kipekee katika makala ya Nyumba ya Sanaa.
Makala haya Ali Bilali anazungumza na msanii Oliver wa nyimbo za asili ya washi wahavu mashariki mwa DRC kuelekea tamasha la Bushi ama Festival de Bushi.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu katika makala changu chako chako changu Jumapili yaleo ambapo tutakijita zaidi kwenye matokeo ya shindano la kutengeneza filamu kwa kutumia simu ya mkononi liliooandaliwa na Alliance Francaise ya Nairobi nchini Kenya na kwenye Muziki tutakuwa naye msanii kutoka Mombasa Rojo Mo. Mimi ni Ali Bilali Bienvenue ama Karibu, restons ensemble mwanzo hadi tamati, yaani tubaki pamoja mwanzo hadi mwisho.
Katika Makala haya Ali Bilali amejielekeza Alliance Francaise ya Nairobi ambayo imeandaa Onyesho la Kwanza la tamthilia ya ‘Mgonjwa Mwitu', utayarishaji wao wa kila mwaka wa maigizo yaliyotolewa na tamthilia za waandishi mashuhuri wa Ufaransa. Kwa maadhimisho ya miaka 75, chaguo ni 'Le Malade Imaginaire' na Molière. Hii ni comedy ya mwisho kuandikwa na Molière. Ingawa ilionyeshwa kwa mara ya kwanza mnamo 1673, kichekesho hiki cha kejeli, mojawapo ya bora zaidi za Moliere, hakijapoteza mvuto wake wa dhati na wa ulimwengu wote.Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali kwenye mitandao ya kijamii @billy_bilali
Pippa speaks to Tanisha Colon-Bibb, the founder and CEO of Rebelle Management and musician Holy Alpha who will be taking part in Muziki Africa. Colon-Bibb is one of the speakers at Muziki Africa while Holy Alpha will be performing there. See omnystudio.com/listener for privacy information.
Makala ya Muziki, Mungu anaweza kubadilisha historia yako
Kila Ijumaa ndani ya makala Muziki Ijumaa unapata nafasi ya kuskia miziki ya tabaka mbalimbali hasa ile ambayo umeitisha wewe mskilizaji. Juma hili Bwana Wakoli anakupakulia miziki iliovuma, inayovuma na ile itakayovuma, skiza makala haya kuelewa maana ya miziki ilioenda shule na kafuzu.
Nadharia ya Muziki, Jinsi ya kuzuia hasira
Muziki wa kizazi kipya na vibao safi vya kikale katika kusindikiza mwisho wa juma baada ya pilika nyingi za maisha
Sayansi ya Muziki, Maombi ya rehema
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.
In this empowering episode of "Monique on the Mic," Monique B. Thomas chats with the multifaceted Menoosha Muziki, a TEDx speaker, singer, choir director, MC, and vocal coach. Menoosha shares her journey, from childhood aspirations influenced by her aunt, Bebe Manga, to her vibrant career across various artistic domains. Dive into a conversation that not only explores the power of voice but also celebrates the strength of women, especially women of color, in overcoming societal challenges and seizing opportunities like TEDx talks. Join us for episode 22, where wisdom meets passion, and discover how embracing your true self can lead to unimaginable achievements.Resources :Menoosha Muziki website : https://menoosha.com/about-menoosha/Bébé Manga : https://en.wikipedia.org/wiki/B%C3%A9b%C3%A9_Manga
Gwiji wa Muziki kutoka Benin Bi Angélique Kidjo ana tarajiwa kuwa na tamasha kubwa ndani ya Sydney Opera House usiku wa Jumatano 6 Machi 2024.
Mziki wa injili, Desturi ya Mungu
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda.
Makala za muziki wa Injili, Jitamkie maneno mazuri
Kila Ijumaa unapata nafasi ya kuburundika ndani ya makala haya kwa kuomba muziki unaopenda.
Muziki wa Injili, Neno la tumaini
Makala ya Muziki wa Injili, Sabato ni desturi ya Mungu