Podcasts about jifunze

  • 21PODCASTS
  • 147EPISODES
  • 14mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Jun 26, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about jifunze

Latest podcast episodes about jifunze

Habari za UN
26 JUNI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 10:13


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania, ambako mshikamano na wakimbizi unatekelezwa kwa vitendo na mashirika ya Umoja Mataifa likiwemo lile la Chakula na Kilimo (FAO) na la kuhudumia wakimbizi, UNHCR kupitia Programu wa Pamoja ya Kigoma (KJP).Katika siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya na usafirishaji haramu, ripoti mpya ya dunia ya Dawa za Kulevya mwaka 2025 iliyotolewa leo imeonya kuwa kutokuwepo kwa utulivu duniani kunachochea ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya na uhalifu wa kupangwa. Kwa mujibu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Dawa na Uhalifu UNODC, watu milioni 316 walitumia mihadarati mwaka 2023. Mkurugenzi Mtendaji wa UNODC, Ghada Waly, amesema "Makundi haramu yanatumia migogoro kama fursa tunahitaji ushirikiano na uwekezaji kulinda jamii zetu.”Leo ni kumbukizi ya uzinduzi wa Chata ya Umoja wa Mataifa miaka 80 iliyopita mjini San Francisco, hatua iliyoweka msingi wa kuundwa kwa Umoja wa Mataifa mnamo Oktoba 24, 1945. Katibu Mkuu António Guterres anasema Umoja wa Mataifa bado unaakisi matumaini yaliyozaliwa kutoka kwenye majivu ya vita naye mwanahistoria Stephen Schlesinger akizungumza na UN News ameakumbusha kuwa “Chata hii ilikuwa kilio cha wanadamu wakitafuta amani, suluhu za mazungumzo, na maisha bora duniani.”Asilimia 93 ya kaya Gaza hazina uhakika wa maji safi kutokana na ukosefu wa mafuta unaopelekea mifumo ya maji kukaribia kusambaratika yameonya mashirika ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa leo yakiongeza kuwa familia zinakumbwa na njaa kali, wakila mlo mmoja kwa siku huku watu wazima wakikosa kula ili kuwasaidia watoto na wazee.Na leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno "AFRITI KIJITI”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno AFRITI KIJITI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 0:36


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno "AFRITI KIJITI.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno KIHORO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 19, 2025 0:40


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "KIHORO!"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya maneno "MBEUZI, MNYWANYWA NA MACHAGU.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 0:54


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno "MBEUZI, MNYWANYWA NA MACHAGU.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: maana ya neno KIHEREHERE

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 5, 2025 0:45


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno KIHEREHERE.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MISHEMISHE.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 29, 2025 0:38


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "DAHARI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 22, 2025 0:36


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DAHARI."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "KIANGO."

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 15, 2025 0:52


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "KIANGO."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "DALALI”

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 8, 2025 0:45


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 1:12


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni  Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "FIFILIZA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 10, 2025 0:51


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "FIFILIZA"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MHARUMA.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 0:31


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MHARUMA.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa maneno "Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 20, 2025 0:59


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji” 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno Wakfu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 1:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno Wakfu.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "Mchawi akifichua mirimo ya wachawi huuawa"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 6, 2025 1:13


Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Fahari isiyo pari haina heri"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 1:14


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Upatanisho wa kisarufi wa baadhi ya maneno

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 0:52


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili Mlumbi wa Lugha Joramu Nkumbi kutoka Tanzania anafafanua upatanisho wa kisarufi wa baadhi ya maneno kama vile "Ng'ombe kumi na minane ", vikombe viwili na mengineyo ambayo watu hutamka vibaya katika sentensi, mfano "Ng'ombe kumi na nane"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: maana za neno “MSUMBI”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 0:57


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa      nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno “MSUMBI”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 1:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “MAADHURA”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 0:53


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “MAADHURA”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 0:38


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?” 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa maana ya neno “UKONAVI AU JAZUA.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 0:55


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno “UKONAVI AU JAZUA.”  

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "Kwego"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KWEGO"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa neno Akraba

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 19, 2024 0:38


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno “AKRABA.”  

Radio Maria Tanzania
Jifunze haya juu ya Dominika ya Tatu ya Maajilio katika Kanisa Katoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 18, 2024 41:59


Ungana nami Mtangazaji wako Judith Mpalanzi katika Kipindi cha Katekisimu  Katoliki Shirikishi, leo tupo na Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kutufundisha juu ya Maajilio. L'articolo Jifunze haya juu ya Dominika ya Tatu ya Maajilio katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi maana ya neno MIDABWADA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 12, 2024 0:28


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno MIDABWADA” 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya maneno “MBUKU NA MSUNUNU”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 5, 2024 0:48


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “MBUKU NA MSUNUNU.” 

Habari za UN
COP29 Georgina Magesa: Watoto wana haki ya kuishi katika mazingira salama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 4:01


Mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP29 unaoendelea huko Baku Azerbaijan umeleta pia watoto na vijana wanaharakati wa mazingiria kutoka kote ulimwenguni na kuwapatia fursa kuketi katika meza moja na viongozi ili kuhakikisha mustakabali wao umewekwa katika ajenda ya mkataba huo. Jukumu lao kama wachechemuzi wa mabadiliko chanya na hitaji la mazungumzo na ushirikiano kati ya vizazi lilitambuliwa rasmi katika matokeo ya Mkutano wa Zama Zijazo, SOTF mnamo Septemba 2024.Georgina Magesa, msichana mwenye umri wa miaka tisa na mwanaharakati wa mazingira, ambaye amewakilisha watoto wenzake kutoka Tanzania katika Mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP29 huko Baku, Azerbaijan. Anatoa ujumbe mahsusi akianza kwa kusistiza kuwa watoto pia wana mchango katika kutatua changamoto za mabadiliko ya tabianchi.“Watoto wenzangu duniani kote, nyie pia mnaweza kuleta mabadiliko chanya. Anza na hatua ndogo pia muwe na ndoto kubwa. Panda miti. Hifadhi maji. Jifunze kuhusu mazingira yetu. Kwa Pamoja vitendo vyetu vidogo vitageuka mabadiliko makubwa”Katika mwaka huu wa 2024 ambao viwango vya joto duniani vimevunja rekodi duniani, watoto na vijana wanaendelea kupaza sauti zao wakihimiza viongozi wa dunia kuchukua hatua za haraka zinazohitajika ili kushughulikia janga la mabadiliko ya tabianchi. Georgina anasema Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF liko mstari wa mbele, lakini sasa ni wakati wa mshikamano kwa ajili ya mazingira bora kwa watoto wa leo, na wa zama zijazo..“Kwa viongozi wa dunia walioko hapa leo, hii si kazi ya UNICEF pekee. UNICEF inafanya kazi nzuri na sisi watoto, lakini tunahitaji msaada wako ili kujenga ulimwengu wa kesho ambapo hakuna mtoto anayepaswa kuchagua kati ya afya na elimu yake; ambapo hakuna mtoto anayekunywa maji yasiyo salama; hakuna mtoto anayekosa shule kwa sababu ya masuala yanayohusiana na mabadiliko ya tabianchi; na ambapo kila mtoto ana nafasi ya kuwa na afya bora na elimu bora.”Georgina anatamatisha kwa kusisitiza kuwa janga la mabadiliko ya tabianchi limenyima watoto haki zao hivyo kwa kila mtu...“Kumbuka unapolinda mazingira unalinda afya, elimu na ndoto za watoto. Mtoto mwenye afya bora na elimu bora anaweza kubadilisha ulimwengu.”Ama kweli watoto wana haki ya kuishi katika mazingira salama!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili - Ufafanuzi wa maneno “MADHALI, WAMA, FALAU NA HOBE”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 14, 2024 1:05


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “MADHALI, WAMA, FALAU NA HOBE” 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili - Ufafanuzi wa neno HEREREZA na Dkt. Mwanahija Ali Juma

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 31, 2024 0:37


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno HEREREZA! 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili - maana ya neno HEKEMUA!

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 24, 2024 0:22


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno HEKEMUA!  

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 10, 2024 1:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu hii leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili - Maana ya neno “NGEJA”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 3, 2024 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “NGEJA”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2024 1:12


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “KILIWAZO”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2024 0:57


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KILIWAZO”.

SBS Swahili - SBS Swahili
#39 Kuwasilisha marejesho yako ya ushuru | Vidokezo vyakudai gharama (Adv)

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 9, 2024 17:25


Jifunze jinsi yakuzungumza kuhusu marejesho ya ushuru. Pia jua jinsi punguzo ya ushuru inaweza kusaidia kupunguza bili yako ya ushuru.

yako jifunze
Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI: TAFSIRI YA NENO LINK

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 30, 2024 0:58


Maendeleo ya teknolojia hasa kwenye mitandao ya kijamii yamesababisha kushamiri kwa matumizi ya neno la kiingereza link. Baadhi  ya watu wanalitohoa lakini Idhaa ya  Umoja wa Mataifa imemuuliza Mhadhiri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA ni nini tafsiri sahihi ya neno link kwa lugha ya kiswahili.

SBS Swahili - SBS Swahili
#3 Kuzungumza kuhusu asili zakitamaduni| Jan 26 (Australia Day)

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 12:53


Jifunze jinsi yakuzungumza kuhusu historia ya utamaduni wako. Pia jua kwa nini Australia Day inaendelea kuwa siku ya maandamano kwa wa Australia wa kwanza.

SBS Swahili - SBS Swahili
#66 Maswali yaku uliza unapo tazama nyumba unayo taka kodi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 21, 2024 17:49


Jifunze jinsi yaku uliza maswali, unapo tazama nyumba unayo tarajia ku kodi.

taka kodi yaku nyumba jifunze maswali
Habari za UN
Jifunze Lugha ya Kiswahili: Neno "NDEKWA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 3, 2023 0:24


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ally Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar, BAKIZA anatufafanualia maana ya neno “NDEKWA”.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Neno "TATABISI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 22, 2023 0:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunafafanuliwa maana ya neno "TATABISI" na mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.

Habari za UN
Jifunze kiswahili: Je, wajua maana ya neno "KUYEYESA"?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 15, 2023 0:01


Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunafafanuliwa maana ya neno "KUYEYESA" na mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Uchambuzi wa neno, "RUWI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 8, 2023 0:55


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunafafanuliwa maana ya neno "RUWI" na mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA, Karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: "Mama ni Mama Hata Kama ni Rikwama"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 1, 2023 0:02


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili Dkt. Mwanahija Ally Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili visiwani Zanzibar, BAKIZA anachambua methali: Mama ni Mama Hata Kama ni Rikwama! 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa neno "KONGO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 11, 2023 0:47


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa neno "KONGO" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "NDUI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 27, 2023 0:57


Katika kujifunza Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa neno "NDUI" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA. 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: "KITENDAWILI NI NINI."

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 20, 2023 0:02


Katika kujifunza Lugha ya Kiswahili leo tunaye Mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki Aida Mutenyo akiwa Kampala Uganda anatufafanulia "KITENDAWILI NI NINI."

Habari za UN
Jifunze kiswahili - Methali: "Mshale kwenda msituni haukupotea"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 6, 2023 0:01


Katika kujifunza Lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Mshale kwenda msituni haukupotea.” Karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Kongamano za Idhaa za Kiswahili Duniani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 30, 2023 0:57


Katika Jifunze Kiswahili Profesa Aldin Mutembei  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kigoda cha Kiswahili cha Mwalimu Nyerere hivi karibuni nilipokutana naye visiwani Zanzibar Tanzania ambako kulifanyika Kongamano za Idhaa za Kiswahili Duniani, alinidokeza kuhusu jitihada wanazozifanya ili kuwashawishi viongozi wa Bara la Afrika hususani wa Afrika Mashariki kuanza kutumia lugha ya Kiswahili katika hotuba zao wanapokuwa katika majukwaa makubwa ya kimataifa mathalani Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. 

Habari za UN
Jifunze Lugha ya Kiswahili: HAKIBIZA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 23, 2023 0:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunapata ufafanuszi wa neno "HAKIBIZA" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA.