Podcasts about jifunze

  • 22PODCASTS
  • 191EPISODES
  • 11mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Feb 12, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about jifunze

Latest podcast episodes about jifunze

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "UNGUKA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 0:57


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "UNGUKA" 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Atokeapo mtoto wa fuko mshike japo wawinda fuko.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 1:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “Atokeapo mtoto wa fuko mshike japo wawinda fuko.”

kenya nairobi japo kiswahili katika maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI - NENO - KINYONYI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 5, 2026 0:57


Je wajua maana ya neno kinyonyi? Leo hii mtaalamu wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi katika Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno hilo ambalo ni kifaa tunachotumia kila siku kwenye kuhamisha kitu kutoka kwenye kompyuta.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "KUNVI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 0:34


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "KUNVI"

SBS Swahili - SBS Swahili
#101 Having a laugh (Med) - #101 Jinsi tofauti ya kuelezea kicheko

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 2, 2026 11:18


Learn how to talk about things that make you laugh. Practise phrases that help you share stories, react to jokes, and enjoy conversations more. - Jifunze jinsi ya kuzungumzia mambo yanayowachekesha. Fanyeni mazoezi ya misemo inayowasaidia kushiriki hadithi, kuitikia vichekesho, na kufurahia mazungumzo zaidi.

laugh practise jinsi jifunze
SBS Swahili - SBS Swahili
#102 Getting organised (Med) - #102 Jinsi ya kujipanga

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 2, 2026 10:31


Learn practical English phrases for getting organised and managing daily tasks, including planning ahead, meeting deadlines, and staying on top of responsibilities. - Jifunze misemo ya Kiingereza kwa vitendo ili kujipanga na kusimamia majukumu ya kila siku, ikiwemo kupanga mapema, kufikia tarehe za mwisho, na kuwajibikia majukumu yenu.

english organised jinsi jifunze
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya "SIKU ZA JANGUO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2026 0:43


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "SIKU ZA JANGUO."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "TWINGA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2026 1:16


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana ya neno "TWINGA"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya "SIKU ZA MUAMBO" katika muktadha wa uchumi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 22, 2026 0:29


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "SIKU ZA MUAMBO" katika muktadha wa uchumi.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Tanuru la Moto Lisilozima

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jan 21, 2026 8:19


Kwa miaka bilioni nne na nusu, vita isiyoisha imekuwa ikishindaniwa moyoni mwa Jua, uvutano ukitaka kuliangamiza, na mlipuko wa nyuklia ukipigana kuliokoa. Safari hii ya kushangaza inakupeleka ndani ya nyota yetu, kupitia matabaka ya moto na shinikizo lisilowezekana, hadi kwenye siri inayowasha uhai wote Duniani. Jifunze jinsi mwanga unavyozaliwa, unavyofungwa kwa maelfu ya miaka, na hatimaye unavyofikia uso wako, ujumbe kutoka zamani za mbali.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “KING'ANI”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 1:13


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “KING'ANI”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na ya neno "MLOWIMA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 15, 2026 0:55


kiswahili neno maana jifunze
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "MAHULUCHI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 13, 2026 1:12


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "MAHULUCHI"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na ya neno "UMWESO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 8, 2026 0:33


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na ya neno "UMWESO"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Matumizi ya neno "KUKANIA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2026 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anatuelimisha namna ya matumizi ya neno "KUKANIA"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "“MWENDAWAZIMU HAPEWI UPANGA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 11, 2025 1:39


Katika kujifunza lugha Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya,  kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "“MWENDAWAZIMU HAPEWI UPANGA" 

kenya nairobi kiswahili katika maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "PEKUPEKU"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 9, 2025 0:46


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "PEKUPEKU." 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "MADHALI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 4, 2025 0:34


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "MADHALI"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "KOTI LA BABU HALIKOSI CHAWA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 2, 2025 1:15


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "KOTI LA BABU HALIKOSI CHAWA".

kenya nairobi babu koti kiswahili katika maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "MADUYUNI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2025 1:02


Katika kujifunza lugha Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "MADUYUNI"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za maneno MTAWALIA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2025 0:42


Katka kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "MTAWALIA.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "UPUNGUFU"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 18, 2025 0:57


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "UPUNGUFU"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "KASIMU".

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 13, 2025 1:00


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "KASIMU".

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "CHA KIPOFU KI MKONONI MWAKE"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 11, 2025 1:31


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Daktari. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya,  kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "CHA KIPOFU KI MKONONI MWAKE"

kenya nairobi kiswahili katika maana jifunze chuo kikuu
Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI- MANENO - Jamala na Bulbul

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2025 0:23


Na sasa ni wakati wa kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "JAMALA na BULBUL"

Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI - NENO: MHANGA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2025 0:57


Je wafahamu maana ya neno Mhanga ambalo wingi wake ni Wahanga? Basi ambatana na Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA akikupatia ufafanuzi huo.  

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Ni nini huipa atomi umbo lake?

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Nov 3, 2025 2:56


Katika video hii fupi na ya kielimu, tunaingia ndani kabisa ya ulimwengu mdogo wa atomi na kuchunguza siri inayofanya muundo wake kuwa imara na thabiti. Tutatumia mifano rahisi, kama vile sumaku, kukusaidia kuelewa sheria za msingi za fizikia zinazotawala ulimwengu wetu.Jifunze sayansi kwa njia rahisi na ya kuvutia!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "SUMIA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 30, 2025 1:06


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "SUMIA."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "KIMWA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 16, 2025 0:49


Katika kujifunza Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "KIMWA."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MKWECHE"!

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 14, 2025 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKWECHE"!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa methali "FUNDI HANA CHOMBO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 1:31


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "FUNDI HANA CHOMBO"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "TITIMA."

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 7, 2025 0:45


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "TITIMA."

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za maneno "USHINZI NA USHENZI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 2, 2025 0:47


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "USHINZI NA USHENZI"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "MZOEA PUNDA HAPENDI FARASI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 18, 2025 1:05


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "MZOEA PUNDA HAPENDI FARASI"

kenya nairobi kiswahili katika maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "MJOLI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 16, 2025 0:53


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana za neno "MJOLI"

Habari za UN
Jifunze KIswahili: Maana ya methali "MASIKINI HANA MIIKO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 4, 2025 0:43


Leo katika jifinze Kiswahili mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga,  ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya,  kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "MASIKINI HANA MIIKO"

kenya nairobi kiswahili maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Tofauti ya maneno "URAIBU NA HITARI”.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua tofauti ya "URAIBU NA HITARI”.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MKWIJI!.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 28, 2025 1:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKWIJI! 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “MAHAZAMU”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 14, 2025 1:09


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana ya neno “MAHAZAMU”. 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "SAMAKI WOTE HUNUKA, WALIMSHUKU KAMBALE."

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 1:16


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga,  ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "SAMAKI WOTE HUNUKA, WALIMSHUKU KAMBALE." 

kenya nairobi kiswahili katika maana wote dkt samaki jifunze chuo kikuu
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno MTAGARUKI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 31, 2025 0:55


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili. Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno MTAGARUKI.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: maana ya neno "KIKWANYUKWANYU"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 0:43


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "KIKWANYUKWANYU!.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: maana ya maneno "CHARAKAMU na BARAKALA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 10, 2025 0:50


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno "CHARAKAMU na BARAKALA

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno KUTOHOA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 3, 2025 1:16


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchabuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA nchini Tanzania, anachambua neno KUTOHOA.

Habari za UN
26 JUNI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 10:13


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania, ambako mshikamano na wakimbizi unatekelezwa kwa vitendo na mashirika ya Umoja Mataifa likiwemo lile la Chakula na Kilimo (FAO) na la kuhudumia wakimbizi, UNHCR kupitia Programu wa Pamoja ya Kigoma (KJP).Katika siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya na usafirishaji haramu, ripoti mpya ya dunia ya Dawa za Kulevya mwaka 2025 iliyotolewa leo imeonya kuwa kutokuwepo kwa utulivu duniani kunachochea ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya na uhalifu wa kupangwa. Kwa mujibu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Dawa na Uhalifu UNODC, watu milioni 316 walitumia mihadarati mwaka 2023. Mkurugenzi Mtendaji wa UNODC, Ghada Waly, amesema "Makundi haramu yanatumia migogoro kama fursa tunahitaji ushirikiano na uwekezaji kulinda jamii zetu.”Leo ni kumbukizi ya uzinduzi wa Chata ya Umoja wa Mataifa miaka 80 iliyopita mjini San Francisco, hatua iliyoweka msingi wa kuundwa kwa Umoja wa Mataifa mnamo Oktoba 24, 1945. Katibu Mkuu António Guterres anasema Umoja wa Mataifa bado unaakisi matumaini yaliyozaliwa kutoka kwenye majivu ya vita naye mwanahistoria Stephen Schlesinger akizungumza na UN News ameakumbusha kuwa “Chata hii ilikuwa kilio cha wanadamu wakitafuta amani, suluhu za mazungumzo, na maisha bora duniani.”Asilimia 93 ya kaya Gaza hazina uhakika wa maji safi kutokana na ukosefu wa mafuta unaopelekea mifumo ya maji kukaribia kusambaratika yameonya mashirika ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa leo yakiongeza kuwa familia zinakumbwa na njaa kali, wakila mlo mmoja kwa siku huku watu wazima wakikosa kula ili kuwasaidia watoto na wazee.Na leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno "AFRITI KIJITI”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno AFRITI KIJITI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 0:36


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno "AFRITI KIJITI.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno KIHORO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 19, 2025 0:40


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "KIHORO!"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya maneno "MBEUZI, MNYWANYWA NA MACHAGU.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 0:54


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno "MBEUZI, MNYWANYWA NA MACHAGU.”

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: maana ya neno KIHEREHERE

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 5, 2025 0:45


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno KIHEREHERE.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "MISHEMISHE.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 29, 2025 0:38


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”