POPULARITY
Categories
Guterres condena la "escalada mortal" de la ofensiva israelí en Gaza. La ONU alerta sobre deterioro en Yemen y exige liberación inmediata de personal detenido. La OMS urge a culminar el Acuerdo sobre Pandemias. El director del OIEA alerta sobre los riesgos nucleares.
Leo ni siku ya demokrasia duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameeleza bayana kuwa demokrasia iko hatarini duniani. Asumpta Massoi na taarifa zaidi.
Jaridani leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, haki za binadamu nchini Sudan Kusini na ujumbe wa Katibu Mkuu kuhusu siku ya demokrasia duniani.Kamishina Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuwa “hakuna sehemu yoyote iliyo salama Gaza, na hakuna mtu aliye salama”akisema zahma na madhila yametanda kila kona ya eneo hilo linalokaliwa kimabavu na Israel.Leo ni siku ya demokrasia duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameeleza bayana kuwa demokrasia iko hatarini duniani.Nchini Sudan Kusini ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS unaendelea kuimarisha mfumo wa mahakama ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wote hata maeneo yote ya nchi hiyo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Leo ni siku ya kimataifa ya ushirikiano baina ya nchi zinazoendelea zikijulikana pia kama nchi za kusini ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa tamko lenye msukumo mkubwa likitambua ustahimilivu, ubunifu, na ushawishi unaoongezeka wa nchi zinazoendelea katika kuleta maendeleo ya kimataifa. Assumpta Massoi anatoa maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Kwanza kabisa ni vema kufahamu kuwa nchi hizi zinaitwa za kusini, kwa maana kwamba bado ziko nyuma kimaendeleo zikilinganishwa na zile za kaskazini, (ingawa si kijiografia) ambazo zinaonekana kuwa zina maendeleo kiuchumi.Maudhui ya siku hii ni – fursa mpya na ubunifu kupitia ushirikiano wa kusini-kusini na ushirikiano wa pembetatu, ikimaanisha ushirikiano kati ya nchi zinazoendelea, na vile vile mashirika ya kimataifa na nchi zilizoendelea.Sasa katika siku hii ya leo iliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 22 mwezi Desemba mwaka 2003 kwa lengo la kusongesha ushirikiano wa kiufundi baina ya nchi zinazoendelea Guterres anasema “katika dunia inayozidi kuwa na nguvu nyingi za ushawishi, nchi zinazoendelea zinaonesha ustahimilivu wa kipekee na ubunifu wa hali ya juu. Sio tu katika kukabiliana na migogoro, bali pia katika kusukuma mbele mageuzi.”Mathalani nchi hizo zinabuni na kubadilishana majawabu bunifu katika maeneo muhimu kama vile kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabianchi, teknolojia rafiki kwa mazingira, fedha za kidijitali, na ubunifu katika sekta ya afya.Amesisitiza kuwa mafanikio haya yanajengwa juu ya misingi ya kuheshimu pande zote, kujifunza kwa pamoja, na lengo la pamoja—ambayo ndiyo misingi ya ushirikiano wa Kusini-Kusini na ule wa pembetatu.Hata hivyo amesisitiza kuwa ushirikiano huu si ishara tu ya mshikamano, bali pia ni nguvu kuu ya maendeleo inayohitajika kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).Amepongeza juhudi za nchi za Kusini katika kuendeleza Ajenda ya 2030, licha ya changamoto zinazoendelea kama vile ukosefu wa usawa wa kiuchumi na mabadiliko ya tabianchi.Vilevile, ametoa wito kwa nchi zilizoendelea kutambua na kutekeleza wajibu wao katika kusaidia juhudi za maendeleo duniani.Katibu Mkuu anasema kuwa “tunatambua pia wajibu wa nchi zilizoendelea katika kushughulikia ukosefu wa usawa unaozidi kuongezeka na kuendeleza maendeleo endelevu.”Katika hitimisho la ujumbe wake, Guterres amehimiza jumuiya ya kimataifa kukumbatia ushirikiano wa nchi za kusini kama kichocheo cha kuhuisha ushirikiano wa kimataifa, akisisitiza haja ya kuchukua hatua kwa pamoja kujenga dunia iliyo jumuishi, yenye usawa, na endelevu kwa wote.Akizungumzia siku hii, , Mkurugenzi wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya ushirikiano wa nchi za kusini, UNOSSC, Dima Khatib, amesisitiza kuwa nchi za Kusini zinamiliki "uwezo mkubwa wa kuendeleza maendeleo," kwani ndiko makazi ya asilimia 80 ya watu wote duniani na ni chanzo cha ustahimilivu, ubunifu, pamoja na rasilimali watu na asili ambazo hazijatumika kikamilifu.Katika mahojiano mahsusi na Idhaa ya Umoja wa Mataifa, Bi. Khatib amesema kwamba katikati ya hali ya kisiasa ya kimataifa iliyojaa mvutano ambayo dunia inashuhudia leo, ushirikiano kati ya nchi za kusini unaweza kuwa injini ya kufufua na kuimarisha mfumo wa ushirikiano wa kimataifa.Amepigia chepuo ushirikiano kati ya nchi za kusini na zile za kaskazini akisema, “hakuwezi kuweko na mgawanyiok wa nchi kati ya zile za kaskazini zilizoendelea na zile za kusini zinazohaha kuendelea. Badala yake “lazima tujenge madaraja. Umoja wa Mataifa una uwezo wa kubeba jukumu hili kwa kuwa ni mfumo muhimu ambao unahudumia nchi zote kwa usawa.
Leo hapa katika makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani hafla maalum imefanyika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Amani ambayo kwa kawaida huwa kila mwaka tarehe 21 Septemba. Katibu Mkuu António Guterres katika hafla hiyo ameisihi dunia ambayo imeghubikwa na vita na machafuko kila kona kuwa wakati ni sasa kuchukua hatua na kutimiza ndoto ya amani iliyoanza mwaka 1945 baada ya vita vya pili vya dunia. Flora Nducha amefuatilia hafla hiyo na kutuandalia taarifa hii. Karibu Flora(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)Natts --bellLeo, mlio mzito wa Kengele ya Amani umesikika kwenye Makao Makuu ya Umoja wakati wa hafla hiyo iliyoambatana na na burudani ya muziki wa allaNatts........Kisha Katibu Mkuu Guterres akawageukia washiriki na kusema “miaka ni themanini iliyopita Umoja wa Mataifa kuzaliwakutoka kwenye majivu ya vita ili kusaka amani”, akatoa ujumbe ulio wazi,sasa jukumu la amani duniani ni la dharura kuliko wakati mwingine wowote.Wakati migogoro ikienea na mamilioni ya raia wakiendelea kunaswa kwenye mzunguko wa ghasia, Katibu Mkuu ametahadharisha kwa onyo kali “Amani imo hatarini.”Amesema haki za binadamu na sheria za kimataifa zinakanyagwa, na kuacha nyuma kile alichokiita “mandhari yanayodhalilisha ubinadamu wetu wa pamoja.”Ameongeza kuwa kauli mbiu ya mwaka huu ya siku ya Amani “Tuchukue Hatua Sasa kwa Dunia yenye Amanisi maneno ya kupita tu, bali ni wito wa dhati wa kuchukua hatua. Guterres amewakumbusha wanachama wa Umoja wa Mataifa na raia kila mahali kwamba amani haiji kwa bahati. Inajengwa hatua kwa hatua, kwa maelewano, ujasiri, na vitendo.“Ni lazima tuchukue hatua kunyamazisha bunduki na kukuza diplomasia. Ni lazima tuchukue hatua kuwalinda raia na kutetea Mkataba wa Umoja wa Mataifa. Ni lazima tuchukue hatua kushughulikia chanzo cha migogoro kuanzia ukosefu wa usawa na kutengwa, hadi kauli za chuki, na janga la tabianchi.”Katibu Mkuu amesisitiza kwamba amani bado iko ndani ya uwezo wa binadamu lakini ni iwapo tu tutaichagua. Ameiitaja kama nguvu kubwa zaidi kwa mustakabali bora, na kuwataka watu wote kuwaunga mkono wale wanaojenga amani, hususan wanawake na vijana walioko mstari wa mbele wa matumaini.Natts kengele.....muzukiKengele ya Amani ilipopigwa iliyotengenezwa miongo kadhaa iliyopita kutokana na sarafu na medali zilizotolewa na watu wa kawaida kote duniani Guterres amewakumbusha hwashiriki wa hafla hiyo ishara yake “Hata katika dunia iliyogawanyika, bado tunaweza kuungana na kuiacha amani ishike hatamu.”Amehitimisha kwa kusema Katika Siku ya Kimataifa ya Amani, mlio wa kengele unatoa si tu wito wa kimya cha tafakuri, bali pia wito wa kuchukua hatua kwa viongozi, kwa raia, na kwa vizazi vijavyo.Natts muziki..
„Putin testuje NATO, jeho režim ohrozuje celú Európu“ či „Poľsko je najbližšie k ozbrojenému konfliktu od druhej svetovej vojny“. Titulky, ktoré zachytávali stredajší incident s ruskými dronmi na poľskom území. A teda na území NATO a Európskej únie. Stále nie je jasné, či išlo o náhodný incident, za ktorým bolo zlyhanie techniky, alebo o vedomú provokáciu zo strany Ruska.Pre samotné Poľsko a Alianciu však bude zásadné, ako tento prípad vyhodnotia – a či vôbec dokážu nájsť jednotnú odpoveď.Incident však naplno obnažil fakt, že mier je krehký aj za hranicami napadnutej Ukrajiny a ostrý konflikt nemusí zostať len v ich zovretí. Šéf OSN António Guterres hovorí dokonca o „reálnej hrozbe expanzie tohto ničivého konfliktu“.Čo to znamená pre budúcnosť európskej bezpečnosti? Téma pre Pavla Havlíčka, analytika pražskej Asociácie pre medzinárodné otázky.„Musíme ďaleko viac investovať do našej vlastnej obrany v kľúčovom a vypätom regióne východného krídla NATO a Európskej únie. Pretože tam sa budú diať veci. My sa na ne musíme čo najviac zamerať a venovať im ďaleko väčšiu pozornosť a zdroje. A týka sa to nielen Poľska, ale aj vášho Slovenska a susedov na juh: Maďarska, Rumunska a Bulharska,“ tvrdí analytik Havlíček.Podcast pripravil Jaroslav Barborák.
I titoli: Missili di Israele contro gli Houti in Yemen, dopo l'attacco in Qatar. Doha verso un'azione legale ai danni del premier israeliano Netanyahu. La Polonia chiede un consiglio di sicurezza Onu sui droni russi dopo le violazioni dello spazio aereo da parte di Mosca. Guterres: si rischia che la guerra vada oltre l'Ucraina. Preghiamo e sosteniamo i bambini vittime di tutti i conflitti nel mondo. L'appello di Leone XIV nell'udienza generale di ieri in piazza San Pietro. Conduce: Paola Simonetti In regia: Gabriele Di Domenico
Die sekretaris-generaal van die Verenigde Nasies, Antonio Guterres, sê hy is geskok oor die Israeliese aanval in Doha. Ses mense is in die aanval dood wat Israel op Hamas-lede, wat vergader het oor ‘n Amerikaanse skiestilstand voorstel, uitgevoer het. Guterres sê Katar het ‘n kritieke rol gespeel om vrede te bewerkstellig in die Midde-Ooste.
La ONU condena el bombardeo israelí en Qatar. Gaza está siendo “arrasada”, advierte UNRWA.Más de 10.000 estudiantes fueron asesinados o heridos en un año.Guterres pide destinar parte del gasto militar a desarrollo y acción climática
Israel ataca membros do Hamas no Qatar. Guterres condena violação da soberania. Mais de 575 mortos nas estradas moçambicanas em 2025. O que está a falhar na segurança rodoviária? Novo programa de alimentação escolar em Angola gera dúvidas nas comunidades.
Líder da ONU enviou condolências às famílias das vítimas; segundo autoridades israelenses, autores dos disparos seriam da Cisjordânia; várias pessoas ficaram feridas.
A Primeira Turma do STF retomou o julgamento histórico de um ex-presidente da República acusado de tentativa de golpe de Estado. O ministro relator, Alexandre de Moraes, votou pela condenação de Bolsonaro e de todos os sete aliados. E foi acompanhado pelo ministro Flávio Dino. Amanhã, o terceiro dos cinco ministros a votar será Luiz Fux. Israel lançou um ataque aéreo contra chefes do Hamas reunidos no Catar e recebeu críticas do secretário-geral da ONU, António Guterres.
As Afghanistan quake toll jumps to 2,200, aid agencies continue relief missionGaza: Families fleeing need a ceasefire desperately, says UNICEF workerPapua New Guinea is in frontline of climate change, warns UN's Guterres
Sin clases en Sonora PC suspende actividades por fuertes lluvias Reportan bloqueos en ReynosaONU condena ataque de Israel contra cascos azules en LíbanoMás información en nuestro Podcast
Nação insular do Pacífico é extremamente afetada por mudanças do clima, incluindo elevação do nível do mar; secretário-geral da ONU elogiou papel dos papuásios na ação climática e pediu “mudança radical” no financiamento para apoiar países vulneráveis.
Pre-order Gita Wirjawan's book, “What It Takes”, NOW:https://sgpp.me/what-it-takes-yt------------Appearing at Endgame for the second time, Jeffrey Sachs discusses the withering of American exceptionalism, the history of the US's foreign interference, and its lasting impact to today.Prof. Sachs also talks about the relationship between the 7 wars in the Middle East with the Zionist lobby, as well as the chance for a Two-State Solution on the back of more countries acknowledging the sovereignty of Palestine despite the US obstinacy.More on this episode:0:00:00 - Intro0:02:07 - Public opinion-government policy divide0:05:17 - Jeff: America is being delusional 0:13:18 - Re-reading the Monroe Doctrine0:24:03 - Ukraine War: A US “game plan”0:24:55 - Propaganda 0:32:58 - The only risk the US faces is…0:34:53 - The 7 Wars & Zionist Lobby0:47:11 - Netanyahu's Theater of War0:49:54 - Indonesia's leadership is needed0:58:13 - “China is not a threat"1:02:53 - Trump will make India join RCEP? #Endgame #GitaWirjawan #JeffreySachs-----------------About the Guest:Professor Jeffrey Sachs is an influential development economist who serves as the Director of the Center for Sustainable Development at Columbia University. His roles as Special Advisor to UN Secretaries-General Kofi Annan (2001-7), Ban Ki-moon (2008-16), and António Guterres (2017-18) underscore his commitment to global cooperation. Prof Sachs is also the author of three New York Times bestsellers: "The End of Poverty" (2005), "Common Wealth: Economics for a Crowded Planet" (2008), and "The Price of Civilization" (2011).About the Host:Gita Wirjawan is an Indonesian entrepreneur and educator. He is the founding partner of Ikhlas Capital and the chairman of Ancora Group. Currently, he is teaching at Stanford as a visiting scholar with Stanford's Precourt Institute for Energy.-----------------Prof. Sachs' first appearance at Endgame:"There Is No Shortcut to Peace" (Endgame #175)Other Endgame episodes that you might like:Vijay Prashad: America's Finger-Wagging Puts Global South in DangerKishore Mahbubani: The Biggest Mistakes of the US, China, and ASEAN ------------------Special thanks to our ‘Future Narrators' YouTube channel members:Mariko Yoshihara, Yemotto IBRAHIM, hobi kluyuran, Fajar Prasetyo, Dyah Firgiani, keetkaat, Excel-lent, Arie Gunardi, Yayi Trisnawati D, Teddy Chow, Wwertyssnb, Alex Alex, Crispy_Cracker58, Priyanithi Dharsania Negara, Widi Aphrian, hndraable, Muhammad Taufik Evendi, hendro trihatmojo, azam adnani, QunÔºáan Syukrilah, Charles Andrew Tang, Ariyo Arinsa Putra, Reda Bellarbi, Jaz Simbolon, Raul L. Cotto-Serrano, Muhammad Ismail Mubarak, Stefanus B. W., Wahyu Jaka, KATE WOLSKA, pixelcadet, Itje Chodidjah, Elmi CK Ong, Geralt Fajar Bukan, cute bunny, Jack Duan, masni eritrina, Lucy March, Abdul Rohman, auliaali05, Irawan Purwono, Krishna Putra, Agnes Pranindita, Darso Arafa, nazaruddin nasir, 747sgw, benget yakub, Patricia S, ferra febrianti, De Guda Kessa, Gusko Adnyana, Gietsea Channel, mjk939, Jerry Budiman, Mawan Darmawan, Muhammad Naufal, Ainur Rofiq, Adrian Baskoro, diah anggraini, Bambang Haryanto, liza dewi, Ezwan Zakaria, Marilyn C, Kianti Darusman, Revolution R, Joanna FKG, Taswin Munier, Rendy Tandi, Ayu Arman, M Firaldi Akbar Zulkarnain, Super ‚ÄúBuupy Pub‚Äù Bondon, Ferdy Reza, Elnasdi Moda, Hendry Ahen, Ika Budhyardjo, Aria Widyanto, Ilham R, Meilisva AA Taniel, Salwaluna Maryam, Haju Ara Podcast, nonik martyastuti, Flores Exotic Tours, Maya, Niki S, Anita Amalia, hardianiati, Dewi Risnawati, birgietta katherine, Derry Harnanda, Aleyandra Rizka Amalia, Hutomo Said, AraÔºÜTocaBoca, Ridwan Sakidja, Sanityas Prawatyani, Elmi Dignity, Teddy Sutendi, Dare, azah maftukha, Yulia Paramitabosmi, Joshi Putriasih, erna girirachman------------Prof Sachs' portrait (thumbnail) courtesy of Al Jazeera
Aid effort gears up after Afghanistan quake ‘wipes out' villages: UNHCR In Gaza, children out of school for third year running: UNRWA Guterres condemns detention of more UN staff in Yemen
Clara Brugada lista para entregar su Primer Informe de Gobierno Controlan incendio forestal en Holbox, Quintana RooONU exige liberación de su personal detenido por hutíes en YemenMás información en nuestro Podcast
C dans l'air du 29 août 2025 - Frappes sur Kiev : à quoi joue Poutine ?C'est l'une des plus importantes attaques aériennes russes contre l'Ukraine depuis le début de la guerre. Tôt ce jeudi, plus de six cent drones ont frappé des immeubles d'habitation à Kiev, tuant au moins vingt-trois personnes, dont quatre enfants. Les missiles ont aussi endommagé un bâtiment de la mission diplomatique de l'Union européenne, ainsi que le bureau du British Council. Le président du Conseil européen, Antonio Costa, s'est dit « horrifié ». Un effroi partagé par António Guterres, le secrétaire général de l'ONU, qui appelle à un cessez-le-feu.Sur le front, les combats continuent plus que jamais. L'armée russe semble profiter de la fébrilité américaine. Les menaces de la Maison blanche contre Moscou sont timides, et si Trump se dit « pas content » des dernières frappes, il ne s'affirme « pas surpris pour autant ». « Peut-être que les deux camps ne sont pas prêts à mettre fin au conflit » explique-t-il, renvoyant l'Ukraine et la Russie dos à dos. À Kiev, les habitants voient leur quotidien bousculé. C dans l'air a passé une nuit dans le métro de la ville, où beaucoup viennent se réfugier. Si tous espèrent une paix durable, peu se font d'illusions à court terme. L'épuisement est palpable depuis trois ans, mais les Ukrainiens ne veulent pas concéder de territoires à l'ennemi russe. Pendant ce temps, la Moldavie craint d'être la prochaine cible de Moscou. Cette ancienne république soviétique, qui ne compte que deux millions d'habitants, voit déjà la Transnistrie, bande de terre à la frontière russe, être aux mains du Kremlin. Différents chefs d'état, dont Emmanuel Macron et Friedrich Merz, sont allés cette semaine soutenir la présidente moldave Maia Sandu. Celle-ci compte sur sur l'Europe pour protéger sa nation. Alors, pourquoi Poutine intensifie-t-il les frappes en pleine négociations pour la paix ? Comment les Kiéviens vivent-ils la guerre ? La Moldavie sera-t-elle protégée contre l'ogre russe ?LES EXPERTS :- Anthony BELLANGER - Éditorialiste à Franceinfo TV, spécialiste des questions internationales- Joséphine STARON - Directrice des études et des relations internationales – Synopia- Annie DAUBENTON - Journaliste-essayiste, ancienne correspondante à Kiev et Moscou- Xavier TYTELMAN - Ancien pilote de chasse, expert en défense et en aéronautique pour Air & Cosmos
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametoa wito kwa mataifa yote kuridhia mara moja Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Silaha za Nyuklia (CTBT), akisema “ni wakati wa kunyamazisha mabomu kabla hayajasikika tena.”
Jaridani leo tunaangazia Majaribio ya Nyuklia, na machafuko nchini Sudan Kusini. Makala tunakwenda nchini Nepal na mashinani tunasalia huko huko Sudana Kusini, kulikoni?Dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa yakupinga Majaribio ya Nyuklia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametoa onyo kali kuhusu kuongezeka kwa hatari za nyuklia kufuatia mvutano wa kisiasa unaondelea duniani na amehimiza kuridhiwa kwa mkataba wa kupiga marufuku majaribio hayo ya kinyuklia.Maelfu ya watu wameyakimbia makazi yao huko Tambura, jimbo la Equatoria Magharibi, tangu ghasia zilipozuka upya mwaka 2021 nchini Sudan Kusini. Hadi leo, wengi wao bado wanaishi kambini bila chakula cha uhakika, huduma za afya wala usalama huku wanawake na watoto wakibeba mzigo mkubwa zaidi wa mateso hayo.Makala tunakwenda nchini Nepal kumulika suala la waume kwenda kusaka ajira nje ya nchi na kuacha wake zao wakihaha kukimu familia zao katika mazingira ambamo wanawake wanakuwa hawana uthabiti wa kiuchumi limeanza kupatiwa muarobaoni.Na katika mashinani fursa ni yake Anna Pita, Msimamizi wa hospitali ya Kator nchini Sudan Kusini akieleza ni kwa jinsi gani mifumo ya nishati ya jua iliyofadhiliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP na wadau wake inabadilisha utoaji wa huduma katika hospitali na vituo vya afya nchini humo.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
This is a free preview of a paid episode. To hear more, visit www.globaldispatches.orgThe United States this week pulled the plug on UNIFIL, the decades-old UN peacekeeping mission in southern Lebanon. Every other member of the Security Council—and Lebanon itself—wanted it to stay. But Israel has long bristled at the mission, and Washington was happy to do its regional ally a favor. At another Council meeting, the U.S. stood completely alone — literally — in denying that famine is underway in Gaza. And in the Guardian, former top UN humanitarian chief Martin Griffiths blasted a lack of “courage” at the UN. Was that a veiled jab at his old boss, António Guterres?Mark and Anjali break it all down and more in this episode of the smash hit podcast To Save Us From Hell — which really does have a cult following at the UN these days! Super discount link: https://www.globaldispatches.org/40PercentOff
¡Atención CDMX! Alerta Naranja por lluvias en varias alcaldías México y Brasil unidos contra el dengue y por más vacunas Venezuela pide a la ONU frenar despliegue militar de EE.UU. en el CaribeMás información en nuestro Podcast
Ursula von der Leyen, Präsidentin der Europäischen Kommission, verurteilt den schweren russische Angriffe auf Kiew/ Regierungen in Berlin, Paris und London setzen den Sanktionsmechanismus gegen Teheran wieder in Gang/ Suche nach dem vermutlichen Todesschützen Dezi Freeman geht weiter/ UNO-Generalsekretär Guterres appelliert an Israel, den Plan zur Einnahme von Gaza-Stadt fallen zu lassen
Em Dia Internacional, secretário-geral ressalta que ensaios causaram mais de 2 mil explosões nos últimos 80 anos, com prejuízos à saúde e ao meio ambiente; ele pediu urgência em ratificação de Tratado Global para Proibição Total de Testes Nucleares.
Em mensagem, secretário-geral ressaltou legados da escravidão, colonialismo e “injustiças persistentes”; para António Guterres os próximos 10 anos devem ser marcados por “ação para justiça, igualdade e dignidade” desse grupo; Unfpa no Brasil ressalta barreiras para as descendentes de africanos.
Die Verenigde Nasies se sekretaris-generaal, António Guterres, sê Israel se eerste stappe vir ʼn militêre oorname van Gazastad is ʼn nuwe en gevaarlike fase en waarsku teen verwoestende gevolge. Volgens berigte is minstens 62 260 mense, insluitend kinders, sedert Oktober 2023 dood in Israelse aanvalle op Gaza. Guterres sê Israel se weermagoperasies, setlaar-geweld, slopings en diskriminerende beleide verskerp ontworteling en kwesbaarheid in Gaza:
Comprehensive coverage of the day's news with a focus on war and peace; social, environmental and economic justice. Annunciation Catholic School, Minneapolis photo: Chad Davis Police describe hate-filled documents by alleged Minneapolis school shooter, as mayor joins calls for ban on assault weapons; Report says Oakland airport is key node for shipment of military supplies to Israeli military; UN staff urge human rights chief to describe Gaza war as genocide; UN chief Guterres calls for ceasefire, protection of civilians, “no more excuses, no more obstacles, no more lies” Massive Russian attack on Ukraine capitol targets homes, railways, shopping center, kindergarten The post Minneapolis mayor joins calls for ban on assault weapons after school shooting; Council on American-Islamic Relations labels UC Berkeley hostile to campus free speech – August 28, 2025 appeared first on KPFA.
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina, wiki ya Maji ikifikia tamati leo Agosti 28 na maudhui yakiwa Maji kwa ajili ya Hatua kwa Tabianchi, tunabisha hodi kaunti ya Kajiado nchini Kenya kumsikia mtendaji kwenye mradi wa maji wa Kerarapon Water Association ambalo ni shirika la kijamii linalohusika na maji na mazingira huko kaunti ya Kajiado nchini Kenya. Mengine ni kama yafuatayo.Ukraine ambapo leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameungama na mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa kulaani vikali mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani droni yaliyofanywa na Urusi usiku kucha kuamkila dhidi ya miji ya Ukraine na kusababisha vifo na majeruhi kwa raia, wakiwemo watoto, na pia kuharibu majengo ya kidiplomasia jijini Kyiv. Amesisitiza kuwa mashambulizi dhidi ya raia na miundombinu yao yanakiuka sheria za kimataifa za kibinadamu, akitaka yakome mara moja na kurudia wito wake wa kusitisha mapigano ili kuelekea amani ya kudumu itakayoheshimu uhuru wa watu, uhuru wa kitaifa na mipaka ya Ukraine kama inavyotambuliwa kimataifa.Kuhusu Mashariki ya Kati Katibu Mkuu António Guterres akizungumza na waandishi wa Habari hii leo kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ameonya kuwa operesheni za kijeshi mjini Gaza zitakuwa na zahma kubwa na amesisitiza “hili lazima likome.” Amesema njaa si tishio tena bali janga la sasa, huku raia, wahudumu wa afya na waandishi wa habari wakiuawa wakati “macho ya dunia yakitazama.” Guterres ameikumbusha Israel wajibu wake wa kisheria kulinda raia na kuruhusu msaada wa kibinadamu bila vikwazo akisema “Hakuna visingizio tena. Hakuna vizuizi tena. Hakuna uongo tena,” akitoa wito wa usitishaji mapigano haraka na kuachiliwa kwa mateka wote.Kikosi cha 11 cha Tanzania TANZBATT 11 kinachohudumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO kimetoa msaada wa magodoro kwa raia walioathirika na machafuko ya karibuni katika kijiji Oicha jimboni Kivu Kaskazini. Miongoni mwao ni Bi Masika Jistine na Mzee Bahati Paluku ambao hawakusita kuonesha furaha yao.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKWIJI!.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
The episode opens with Bhatt framing the global stakes: from drones on the battlefield to AI-powered early warning systems, militaries worldwide are racing to integrate AI, often citing strategic necessity in volatile security environments. Mohan underscores that AI in conflict cannot be characterized in a single way, applications range from decision-support systems and logistics to disinformation campaigns and border security.The conversation explores two categories of AI-related risks:Inherent risks: design flaws, bias in datasets, adversarial attacks, and human–machine trust calibration.Applied risks: escalation through miscalculation, misuse in targeting, and AI's role as a force multiplier for nuclear and cyber threats.On governance, Mohan explains the fragmentation of current disarmament processes, where AI intersects with multiple regimes, nuclear, cyber, conventional arms, yet lacks a unified framework. She highlights ongoing debates at the UN's Group of Governmental Experts (GGE) on LAWS, where consensus has been stalled over definitions, human-machine interaction, and whether regulation should be voluntary or treaty-based.International humanitarian law (IHL) remains central, with discussions focusing on how principles like distinction, proportionality, and precaution can apply to autonomous systems. Mohan also emphasizes a “life-cycle approach” to weapon assessment, extending legal and ethical oversight from design to deployment and decommissioning.A significant portion of the conversation turns to gender and bias, an area Mohan has advanced through her research at UNIDIR. She draws attention to how gendered and racial biases encoded in AI systems can manifest in conflict, stressing the importance of diversifying participation in both technology design and disarmament diplomacy.Looking forward, Mohan cites UN Secretary-General António Guterres's call for a legally binding instrument on autonomous weapons by 2026. She argues that progress will depend on multi-stakeholder engagement, national strategies on AI, and confidence-building measures between states. The episode closes with a reflection on the future of warfare as inseparable from governance innovation—shifting from arms reduction to resilience, capacity-building, and responsible innovation.Episode ContributorsShimona Mohan is an associate researcher on Gender & Disarmament and Security & Technology at UNIDIR in Geneva, Switzerland. She was named among Women in AI Ethics' “100 Brilliant Women in AI Ethics for 2024.” Her areas of focus include the multifarious intersections of security, emerging technologies (in particular AI and cybersecurity), gender, and disarmament. Charukeshi Bhatt is a research analyst at Carnegie India, where her work focuses on the intersection of emerging technologies and international security. Her current research explores how advancements in technologies such as AI are shaping global disarmament frameworks and security norms.ReadingsGender and Lethal Autonomous Weapons Systems, UNIDIR Factsheet Political Declaration on Responsible Military Use of AI and Autonomy, US Department of StateAI in the Military Domain: A Briefing Note for States by Giacomo Persi Paoli and Yasmin AfinaUnderstanding the Global Debate on Lethal Autonomous Weapons Systems: An Indian Perspective by Charukeshi Bhatt and Tejas Bharadwaj Every two weeks, Interpreting India brings you diverse voices from India and around the world to explore the critical questions shaping the nation's future. We delve into how technology, the economy, and foreign policy intertwine to influence India's relationship with the global stage.As a Carnegie India production, hosted by Carnegie scholars, Interpreting India, a Carnegie India production, provides insightful perspectives and cutting-edge by tackling the defining questions that chart India's course through the next decade.Stay tuned for thought-provoking discussions, expert insights, and a deeper understanding of India's place in the world.Don't forget to subscribe, share, and leave a review to join the conversation and be part of Interpreting India's journey.
Em nota, António Guterres disse que ataques contra civis são inaceitáveis e devem parar imediatamente; bombardeios com mísseis e drones na capital Kyiv danificaram instalações de delegações diplomáticas, incluindo as da União Europeia.
Chefe da ONU alerta sobre perigo de fuga de centenas de milhares de pessoas; ele falou a jornalistas em Nova Iorque que civis precisam de proteção em “níveis de morte e destruição sem paralelo nos últimos tempos”.
Die Verenigde Nasies se sekretaris-generaal, António Guterres, vra ʼn onmiddellike en onpartydige ondersoek na dodelike Israelse aanvalle op die Nasser-hospitaal in Khan Yunis, Gaza. Minstens 20 mense, insluitend vyf joernaliste, is volgens berigte in die aanvalle dood. Die joernaliste het vir Reuters, Associated Press, Al Jazeera en die Middle East Eye gewerk. Guterres se woordvoerder, Stéphane Dujarric, sê ʼn onmiddellike en permanente skietstilstand is Gaza is nou nodiger as ooit:
Leo Agosti 25 ni miaka minane tangu kufurushwa kwa wingi watu wa kabila la Rohingya kutoka katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar. Umoja wa Mataifa unatoa wito wa mshikamano wa kimataifa kuwasaidia kwani mateso kwa watu hao yanaendelea kuwa mabaya zaidi kila uchao. Anold Kayanda na taarifa zaidi.Asante AssumptaMyanmar (zamani ikiitwa Burma) ni nchi ya Kusini Mashariki mwa Asia yenye zaidi ya makabila 100, inayopakana na India, Bangladesh, China, Laos na Thailand.Warohingya wanafurushwa na kuteswa kwasababu mbalimbali zikiwemo za kihistoria kwa madai kuwa walitoka Bangladesh ingawa wameishi vizazi na vizazi nchini Myanmar. Pia sababu ya imani yao kwa uislamu miongoni mwa sababu nyingine.Ni miaka minane sasa tangu ufurushwaji mkubwa wa jami hii kutoka jimbo la Rakhine pwani ya Magharibi mwa Myanmar. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres anaonya kuwa Warohingya na raia wengine bado wanakabiliwa na ukiukaji wa haki za binadamu na kufurushwa. Anaeleza wasiwasi wake kuhusu tarifa za kufukuzwa na kupunguzwa kwa nafasi za hifadhi katika ukanda huo, huku wakimbizi walioko Bangladesh wakikabiliana na upungufu mkubwa wa msaada wa chakula, elimu na huduma za afya.Guterres anasisitiza tena wito wake wa kulindwa kwa raia wote kwa mujibu wa sheria za kimataifa na anataka mshikamano mkubwa wa kimataifa. Hata hivyo ana matumaini kuwa Mkutano wa Ngazi ya Juu kuhusu Rohingya utakaofanyika New York mwezi ujao utasaidia kupata suluhu za kudumu.Kwa upande wake, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, anaeleza kuwa jeshi la Myanmar na Jeshi la Rakhine bado wanaendeleza uhalifu mkubwa dhidi ya Rohingya bila kuchukuliwa hatua, kinyume na sheria za kimataifa na maagizo ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki na anatoa wito wa kukomesha matendo hayo ili kuvunja mzunguko wa vurugu.
Zaidi ya nusu milioni ya watu huko Gaza wameripotiwa kukumbwa na baa la njaa, hali ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameielezea kuwa “janga lililosababishwa na mwanadamu, shutuma ya kimaadili na kushindwa kwa ubinadamu.”Flora Nducha na taarifa zaidi
Jaridani leo tunaangazia baa la njaa katika ukanda na huduma za afya katika ukanda wa Gaza. Makala tunafuatilia harakati dhidi ya ugaidi ukimulika ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, na mashinani tunaangazia simulizi za wakimbizi kupitia vyombo vya habari.Zaidi ya nusu milioni ya watu huko Gaza wameripotiwa kukumbwa na baa la njaa, hali ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameielezea kuwa “janga lililosababishwa na mwanadamu, shutuma ya kimaadili na kushindwa kwa ubinadamu.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, licha ya mazingira magumu linaendelea na juhudi za kuokoa uhai wa kila binadamu katika eneo la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kimabavu na Israel. Wakati huo huo linatoa wito kwa mataifa mengine kufuata mfano wa Umoja wa Falme za kiarabu, UAE ambao juzi Jumatano wamewapokea baadhi ya wagonjwa mahututi na majeruhi waliobahatika kuhamishwa Gaza ili kupata huduma za kiafya wanazozihitaji.Katika makala Assumpta Massoi anamulika Mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa uliofanyika wiki hii hapa makao makuu ya Umoja wa mataifa kuangazia harakati dhidi ya ugaidi ukimulika ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja huo kuhusu kikundi cha kigaidi cha ISIL kijulikanacho pia kama Da'esh.Na katika mashinani fursa ni yake Abraham Mwani mwandishi wa habari za wakimbizi kutoka Radio Pacis miongoni mwa wananufaika wa mafunzo ya UNESCO ya kuwezesha vyombo vya habari kusimulia vyema habari za wakimbizi.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Tarehe 18 Agosti mwaka 2025 siku ya Jumatano, wajumbe 15 wa Baraza la Usalama walikutana kujadili Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kikundi cha kigaidi cha ISIL/Da'esh.Walikabidhiwa ripoti hiyo ya 21 ikimulika vitisho vinavyotokana na kikundi hicho ambacho kirefu chake ni Islamic State in Iraq and the Levant au pia Da'esh. Ripoti ikigusia tishio la kikundi hicho katika maeneo mbalimbali duniani, lakini makala hii initajikita zaidi barani Afrika!
Clara Brugada escucha a vecinos en Magdalena Contreras: 953 solicitudes en Casa X Casa ONU pide diálogo entre EE.UU. y Venezuela tras despliegue de destructores navalesMás información en nuestro Podcast
Em mensagem no Dia Internacional sobre o tema, líder da ONU destaca riscos associados a plataformas digitais, que estão se tornando “megafones de ódio”; ele pediu que países adotem e apliquem leis mais fortes contra discriminação.
Your daily news in under three minutes. At Al Jazeera Podcasts, we want to hear from you, our listeners. So, please head to https://www.aljazeera.com/survey and tell us your thoughts about this show and other Al Jazeera podcasts. It only takes a few minutes! Connect with us: @AJEPodcasts on X, Instagram, Facebook, and YouTube
Secretário-geral das Nações Unidas afirmou que trégua é essencial impedir mais mortes e destruição em massa que uma operação militar contra Cidade de Gaza inevitavelmente causaria.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema Afrika inahitaji mageuzi makubwa ya Baraza la Usalama na mfumo wa kimataifa wa fedha ili kufanikisha maendeleo yake na nafasi yake duniani. Akihutubia mkutano wa tisa wa maendeleo ya Afrika TICAD IX nchini Japan, Guterres ameweka vipaumbele vitano. Flora Nducha anafafanua zaidi
Jaridani leo tunaangazia mkutano wa tisa wa maendeleo ya Afrika TICAD IX nchini Japan, na hali ya kibinadamu Gaza na majeraha kwa wenyeji. Makala tunaangazia ukatili wa kingono na mashinani tunakwenda Sudan kumulika jinsi wanavyokabiliwa na unyanyasaji huo wa kingono.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema Afrika inahitaji mageuzi makubwa ya Baraza la Usalama na mfumo wa kimataifa wa fedha ili kufanikisha maendeleo yake na nafasi yake duniani. Akihutubia mkutano wa tisa wa maendeleo ya Afrika TICAD IX nchini Japan, Guterres ameweka vipaumbele vitano.Maelfu ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ambao wamepoteza viungo vyao vya mwili na wanakabiliwa na hali mbaya ya maisha na matatizo makubwa ya kiafya kutokana na ukosefu wa huduma bora za matibabu na viungo bandia wanazohitaji sana.Tunakuletea makala yenye kugusa maisha ya maelfu ya watu kote duniani, ukatili wa kingono katika maeneo yenye mizozo. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa tarehe 19 Agosti limekutana jijini New York Marekani kujadili hali hii inayozidi kuongezeka, na kushuhudia jinsi waathirika wanavyobaki bila msaada wa kutosha kutokana na ukosefu wa rasilimali. Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa iliyowasilishwa na Mwakilishi wake imeonesha ongezeko kubwa la kesi za ukatili wa kingono, jambo linaloibua maswali makubwa kuhusu uwajibikaji na huduma kwa manusura.Na katika mashinani Mwanzilishi na mratibu wa Kundi la Utetezi la Darfur, Ikhlass Ahmed amelielezea Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jijini New York kwa njia ya video jinsi wanavyokabiliwa na kuenea kwa kasi kwa unyanyasaji wa kingono.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kumulika umuhimu wa wahisani. Pia tunaangazia siku ya Wahudumu wa Kibinadamu Duniani tukikuletea ujumbe wa Umoja wa Mataifa unaomulika haki zao, na hali ya usalama nchini DRC.Leo ni Siku ya Wahudumu wa Kibinadamu Duniani na Umoja wa Mataifa unasema mwaka 2024 ulikuwa mbaya zaidi, baada ya wahudumu 383 kuuawa kote duniani, hasa Gaza na Sudan. Mratibu wa misaada ya dharura wa Umoja wa Mataifa, Tom Fletcher, amesema “Hata shambulio moja dhidi ya mhudumu wa misaada ni shambulio dhidi yeto sote.” Naye Katibu Mkuu António Guterres ameongeza kuwa “Shambulio dhidi ya wahudumu wa misaada ni shambulio dhidi ya ubinadamu hebu tuchukue hatua kwa ajili ya ubinadamu.Huko Geneva Katika hafla maalum ya kuadhimisha siku hii, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, Volker Türk, amewakumbuka waliopoteza maisha, wakiwemo wahudumu 22 waliouawa Baghdad mwaka 2003, na kuongeza “Kamwe hatutaacha kusisitiza kwamba serikali au nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wafanye kazi pamoja kuhakikisha wanatoa fursa ya ufikiaji wa kibinadamu kwa watuwenye uhitaji na kunakuwepo na uwajibikaji wa ukiukwaji mkubwa wa sheria za kibinadamu zikijumuisha ulinzi kwa wahudumu wa kibinadamu na wa Umoja wa Mataifa”.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, MONUSCO, leo umelaani vikali mashambulizi ya kundi la waasi wa Allied Democratic Forces, ADF kati ya tarehe 9 na 16 Agosti, katika maeneo ya Beni na Lubero, mkoa wa Kivu Kaskazini, yaliyoua raia 52, wakiwemo wanawake na watoto. Mashambulizi hayo yamehusisha utekaji nyara, uporaji, na uchomaji wa nyumba na magari, na kuwaacha wakazi ambao tayari wako katika hali ngumu ya kibinadamu katika mateso zaidi.Na katika mashinani na ikiwa leo ni siku ya wahudumu wa binadamu, huduma na kujitolea kwa wanachama 270 wa Kikozi cha Polisi cha walinda amani kutoka Ghana wanaohudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), wakiwemo maafisa wanawake 63, ilitambuliwa kwa kutunukiwa Nishani ya Umoja wa Mataifa ya Heshima kwa juhudi zao, zikiwa ni pamoja na kuwalinda raia, kuwezesha uwasilishaji salama wa misaada ya kibinadamu, kukuza haki za binadamu na kujenga amani. Bismark Achaab, Msimamizi Mkuu wa Kitengo hicho anatoa shukrani.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Secretário-geral António Guterres saudou decisão do presidente americano, Donald Trump, de promover diálogo com seu homólogo da Ucrânia, Volodymyr Zelensky, e líderes europeus na Casa Branca; na semana passada, Trump recebeu líder da Rússia, Vladimir Putin.
Secretário-geral da ONU destaca população mais jovem do mundo ao discursar na Conferência Internacional de Tóquio sobre o Desenvolvimento Africano; até sexta-feira, em Yokohama, ele debate sociedade, economia, paz e segurança.
ONU quer mais vontade política e coragem moral para proteger funcionários; data marca ataque terrorista que matou 22 integrantes da Missão no Iraque, incluindo o brasileiro Sergio Vieira de Mello.
Gaza: La cancelación israelí del registro de las ONG impediría su labor humanitaria. Más de un millón de desplazados han regresado a sus hogares en Sudán. Guterres recuerda a las víctimas de Hiroshima y pide un mundo libre de armas nucleares. Países sin litoral: Avaza ONU busca convertir la geografía en una oportunidad.
Our resident constitutional expert Bruce Fein joins to make the case for impeaching the Supreme Court AND the President, and what we—as citizens—can do to make it happen. Then we welcome Lori Wallach of Rethink Trade to evaluate Trump's tariff policy. Are these trade deals bringing manufacturing back to the US? Or is Trump just using tariffs as a cudgel to punish countries that annoy him?Bruce Fein is a Constitutional scholar and an expert on international law. Mr. Fein was Associate Deputy Attorney General under Ronald Reagan and he is the author of Constitutional Peril: The Life and Death Struggle for Our Constitution and Democracy, and American Empire: Before the Fall.This has real consequences for you people all over the country because one of their shadow docket decisions (without explanation or hearing) briefs just very recently said that Trump can fire all these people in the IRS or the Education Department or EPA and get away with it. And, in fact, paralyze the workings of his (statutorily-established-by-Congress) Cabinet Secretary and Department…So this is devastating to your health, economic safety, environment, workplace safety, education, all kinds of things that are being ridden into the ground.Ralph NaderIn my judgment, the court has basically abandoned its role as a check on executive power…It's actually become an appendage of the executive branch. Nothing placing any kind of serious or material handcuff on what the President can do on his own. And the President is taking full advantage of that.Bruce FeinLori Wallach is a 30-year veteran of international and U.S. congressional trade battles— starting with the 1990s fights over NAFTA and WTO when she founded the “Global Trade Watch” group at Public Citizen. She is now the director of the Rethink Trade program at the American Economic Liberties Project, and a Senior Advisor to the Citizens Trade Campaign.What these guys are doing [with Trump's tariff policy] it's basically trying to build a house with just a hammer—we are against saws; we are against screwdrivers; we do not actually believe in nails, no other tools; we will just hammer a bunch of wood. And as a result, we're going to make some noise and we're definitely going to break some things, but we're not actually building a new redistributed trade system—which we could.Lori WallachBest that we can tell, the dynamic is something like: Trump is so engaged in the fun and chaos—fun (from his perspective) and chaos of throwing tariff news around like a lightning bolt that he really is not taking advice about it from people who know how you could use tariffs to try and ostensibly achieve the things he promised. He's just enjoying throwing around tariffs.Lori WallachNews 7/18/25* Last week, Elon Musk's pet AI program – Grok – began identifying itself as “MechaHitler,” and spitting out intricate rape threats and sexual fantasies directed at individuals like liberal pundit Will Stancil and now-ex X CEO Linda Yaccarino. This week, Musk rolled out Grok's new “sexy mode” which includes a visual avatar feature depicting the artificial entity as a quasi-pornographic anime-esque character who can flirt with users, per the Standard. So, naturally, the Trump Defense Department awarded xAI, the parent company behind Grok, a $200 million contract. According to CNN, “The contracts will enable the DoD to develop agentic AI workflows and use them to address critical national security challenges.” It is unclear how exactly the entity calling itself MechaHitler will accomplish that.* In local news, a special election was held in Washington DC's Ward 8 this week, seeking to replace corrupt councilmember Trayon White. White was implicated in an FBI bribery investigation and was expelled from the council in February. Yet, because of the splintered opposition, White pulled out a narrow victory on Wednesday, winning with 29.7% of the vote compared to his opponents' 24.3%, 23.7% and 22.3% respectively, per WTOP. In 2024, DC Voters approved a ballot measure to implement ranked-choice voting, which could have helped prevent this outcome, but it has yet to take effect. The DC Council could vote to expel White again more or less immediately; if not, they would likely wait for his trial to commence in January 2026.* Turning to foreign affairs, Israel has bombed the Syrian capital of Damascus, killing three and wounding 34, in strikes primarily targeting the Syrian Defense Ministry headquarters, per NPR. Israel's attack comes amid tensions between the new, post-Assad Syrian government and the Druze minority in the Southern Syrian city of Sweida. The government claims the Druze violated a ceasefire reached earlier in the week and Syrian troops responded; a new ceasefire deal has been reached and the office of interim President Ahmed al-Sharaa issued a statement reading, the “rights [of the citizens of Sweida] will always be protected and…we will not allow any party to tamper with their security or stability.” Stéphane Dujarric, spokesman for United Nations Secretary-General António Guterres, said in a statement that the U.N. chief “condemns Israel's escalatory airstrikes,” as well as reports of the Israeli military's redeployment of forces in the Golan Heights. As journalist Séamus Malekafzali notes, “Damascus is now the 4th Middle Eastern capital to be bombed by Israel in the past 6 weeks, alongside Tehran, Beirut, and Sana'a.”* In more news from Israel, the Knesset this week sought to expel Palestinian lawmaker Ayman Odeh, leader of the Hadash-Ta'al party. According to Haaretz, “The vote was triggered by a Likud lawmaker after Odeh published a social media post in January, saying that he ‘rejoices' over the release of Israeli hostages and Palestinian prisoners.” However, the motion failed to reach the 90-vote threshold, meaning Odeh will remain in the legislature. Six members of Yair Lapid's Yesh Atid party voted for the motion, but not Lapid himself. The United Torah Judaism party did not back the motion. Haaretz quotes Hassan Jabareen, an attorney, director of the Adalah Legal Center and legal counsel for Odeh, who said, “The overwhelming support for this initiative – from both the coalition and the opposition – reveals the state's intent to crush Palestinian political representation...This was not a legitimate legal process, but rather a racist, fascist incitement campaign aimed at punishing Odeh for his principled stance against occupation, oppression and Israeli violence.” Senator Bernie Sanders celebrated the failure of the motion, writing “Israel's far right tried to expel Ayman Odeh, an Arab Israeli opposition leader, from the Knesset because of his opposition to Netanyahu's war. Today, they failed. If Israel is going to be considered a democracy, it cannot expel members of parliament for their political views.” This from the Middle East Eye.* Sanders also made news this week by declaring that “Given the illegal and immoral war being waged against the Palestinian people by Netanyahu, NO Democrat should accept money from AIPAC – an organization that also helped deliver the presidency to Donald Trump,” per the Jerusalem Post. Sanders posted this statement in response to a video by Obama foreign policy advisor Ben Rhodes, who said “AIPAC is part of the constellation of forces that have delivered this country into the hands of Donald Trump…These are the wrong people to have under your tent...The kind of people that they are supporting, Bibi Netanyahu and Donald Trump, I don't want my leaders and my political party cozying up to these people.” Bernie's statement is perhaps the strongest stand taken by any American politician against AIPAC, Israel's front group in American politics and one of the biggest special interest groups in the country. AIPAC throws around eye-popping sums of money to members of both parties; to name just one example, House Minority Leader Hakeem Jeffries has accepted over $1.6 million from the group, according to Track AIPAC's Hall of Shame.* In a similar vein, last week we discussed the National Education Association's vote to suspend its ties with the Anti-Defamation League due to the ADL's shift in focus from Jewish civil rights to laundering the reputation of Israel. Since then, the ADL has sought to mobilize their allies to demand the NEA reject the vote. To this end, the ADL has sought the support of J Street, a liberal Jewish group critical of Israel, per the Forward. J Street however has rebuffed the ADL, refusing to sign the group's letter. Though they oppose the NEA resolution, J Street President Jeremy Ben-Ami issued a statement reading in part, “charges of antisemitism must not be wielded to quash legitimate criticism of Israeli policy...the NEA vote can[not] be dismissed as being driven by fringe ‘pro-Hamas' antisemitic activists.” Hopefully, more Jewish groups will follow the example of J Street and break with the Zionist orthodoxy of the ADL.* In other foreign policy news, the Guardian reports French President Macron has reached a deal with the leadership of the French “overseas territory” New Caledonia to grant the island statehood and more autonomy within the French legal system. New Caledonia is one of several UN-designated ‘non-self-governing territories.' France has exerted rule over the Pacific Island – over 10,000 miles from Paris – and its nearly 300,000 inhabitants since the 19th century. Last May, riots broke out over France's decision to grant voting rights to thousands of non-indigenous residents. This violence “claimed the lives of 14 people, [and] is estimated to have cost the territory…$2.3 bn... shaving 10% off its gross domestic product.” However, the Times reports indigenous Kanak independence activists reject the deal outright. Brenda Wanabo-Ipeze, a leader of the Co-ordination Cell for Actions on the Ground, who is currently detained in France, said, “This text was signed without us. It does not bind us.” The Times adds that, “The conservative and hard-right French opposition accused Macron of failing to ensure security in the territory. The left accused the president of imposing colonial tactics on a people who should be allowed self-determination.” It remains to be seen whether this deal will prove durable enough to weather criticism from so many angles.* Much has been made of Attorney General Pam Bondi's decision last week to not release any more information related to the Jeffrey Epstein investigation. A Department of Justice memo reads, “it is the determination of the Department of Justice and the Federal Bureau of Investigation that no further disclosure would be appropriate or warranted.” This has created a firestorm in the MAGA world, with many Trump supporters feeling betrayed as the president implied he would declassify these files if reelected. Now, Congressmen Thomas Massie and Ro Khanna have introduced the Epstein Files Transparency Act which would “force the House of Representatives to vote on the complete release of the government's files related to Jeffrey Epstein,” according to a press release from Massie's office. This resolution specifically states the files cannot “be withheld, delayed, or redacted” should they cause “embarrassment, reputational harm, or political sensitivity, including to any government official, public figure, or foreign dignitary.” The resolution is attracting support from some Republicans, but it is unclear how far this will go under Speaker Johnson, who maintains there is “no daylight between his position and that of Trump,” per the Hill. The position of congressional Republicans has been further complicated by a bombshell report in the Wall Street Journal documenting previously unknown details of the intimate relationship between the late pedophile financier and the president.* Meanwhile, the Trump administration is once again torching America's reputation abroad – this time literally. The Atlantic reports “Five months into its unprecedented dismantling of foreign-aid programs, the Trump administration has given the order to incinerate food instead of sending it to people abroad who need it. Nearly 500 metric tons of emergency food—enough to feed about 1.5 million children for a week—are set to expire tomorrow, according to current and former government employees with direct knowledge of the rations. Within weeks…the food, meant for children in Afghanistan and Pakistan, will be ash.” This cartoonishly evil decision paired with the “Big Beautiful Bill”'s provisions cutting food assistance for children in poverty, point to one inescapable conclusion: the Trump administration wants children to starve.* Finally, on the opposite end of the spectrum, Mexico News Daily reports the administration of President Claudia Sheinbaum is debuting a healthy, domestically produced and affordable staple for Mexican consumers – chocolate bars. “This ‘Chocolate de Bienestar' is part of the government's ‘Food for Well-Being' strategy, which aims to bring nutritious and affordable food options to consumers while supporting national producers, particularly those in the southern states of Tabasco and Chiapas — a region that has historically lagged behind other regions in several social and economic indicators.” The Sheinbaum administration is stressing the health benefits of chocolate, noting that, “Studies have shown that chocolate improves cardiovascular health via its antioxidants, provides energy, helps control blood pressure, improves cognitive capacity, satisfies hunger and lifts mood.” At the same time, the administration is seeking to minimize the sugar content “striking a supposedly healthier balance between natural cane sugar and the cacao itself.” This chocolate will be available in three forms:“Chocolate bar containing 50% cacao, and priced at…less than $1.Powdered chocolate with 30% cocoa, priced...$2Chocolate de mesa or tablet chocolate, with 35% cacao, priced at …$5”This has been Francesco DeSantis, with In Case You Haven't Heard. Get full access to Ralph Nader Radio Hour at www.ralphnaderradiohour.com/subscribe