POPULARITY
Categories
António Guterres calls for de-escalation in YemenSudan war: UN Human Rights office puts spotlight on horrific violations, executionsVolker Türk alarmed by spiralling Thai-Cambodia conflict and impact on civilians
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ya vijana wanaotafuta fursa za mafunzo kwa vitendo. Umoja wa Mataifa ni moja ya mashirika ya kimataifa yanayotoa fursa hii kwa vijana kutoka duniani kote kuja hapa Makao Makuu jijini New York Marekani au hata katika nchi husika.Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo imefichua mauaji ya kutisha, ubakaji na matumizi ya njaa kama silaha ya vita katika kambi ya Zamzam, Darfur, Sudan. Kwa mujibu wa ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR, raia wasiopungua 1,013 waliuawa katika mashambulizi ya siku tatu ya wanamgambo wa RSF mwezi Aprili, huku zaidi ya watu 400,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.Leo, katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wahamiaji, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amemulika mchango mkubwa wa mamilioni ya wahamiaji duniani, wakati uhamiaji ukiendelea kuwa mgumu zaidi kutokana na migogoro, majanga yanayohusiana na tabianchi na shinikizo za kiuchumi. Ameeleza kuwepo kwa viwango vya juu zaidi vya watu waliolazimika kuhama makazi yao na idadi kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa ya vifo vya wahamiaji wakiwa safarini, huku akisisitiza kuwa uhamiaji salama na unaosimamiwa vyema unaweza kuchochea ukuaji wa uchumi, ubunifu na maendeleo katika nchi za asili na zinazopokea wahamiaji. Guterres amesema, “Uhamiaji unapokuwa salama na unasimamiwa vyema, si janga la kuogopa, bali ni nguvu kubwa ya kuleta mema.”.Na Ama K. Babebrese Balozi mwema wa kitaifa wa shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM mwenye asili ya Ghana ambaye sasa ni muhamiaji nchini Uingereza, katika siku hii ya uhamiaji ametoa ujumbe maalum akisema "Napenda kumtia moyo kila mtu kwamba tunaweza kuwa tofauti, hadithi zetu za uhamiaji ni tofauti tumetoka kwenye mazingira tofauti lakini kitu cha muhimu ni kwamba kama jamii sisi ni kitu kimoja. Uhamiaji ndio hadithi yangu”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Comprehensive coverage of the day's news with a focus on war and peace; social, environmental and economic justice. Bill of Rights Plaque, photo Davy Jones Brady United advocate discusses gun violence in wake of deadly Brown University mass shooting; Governor Newsom unveils “Phoenix” health information service based on scientific evidence, as alternative to federal health advice; Refuse Fascism movement holds protest near White House to deliver People's Indictment charging undemocratic practices; US Justice Department and California in court over GOP challenge to new congressional redistricting map; UN chief Guterres urges harnessing 3 “powerful forces for positive change”: young people, women and girls, and people of faith; December 15 is anniversary of Bill of Rights, ratified in 1791 The post Governor Newsom unveils “Phoenix” health information service as alternative to federal health advice; Brady United advocate discusses gun violence after Brown University mass shooting – December 15, 2025 appeared first on KPFA.
Jornal da ONU, com Felipe de Carvalho:*ONU abre conferência defendendo uso da IA entre medidas anticorrupção*Guterres condena ataque mortal em celebração de Hanukkah na Austrália*É hora de construir democracias africanas, diz alta funcionária da ONU*Acordo sobre biodiversidade marinha entra em vigor em janeiro de 2026
Dois homens armado mataram pelo menos 15 pessoas na praia de Bondi, em Sydney; vítimas participavam de evento ligado a festividade judaica que celebra a paz e a luz; líder da ONU condenou antissemitismo em todas as suas formas.
Trumps Sondergesandter Witkoff wird zu Verhandlungen in Berlin erwartet. Ob er dabei ist, wenn der ukrainische Präsident Selenskyj am Montag mit Bundeskanzler Merz, dem französischen Präsidenten Macron und dem britischen Premier Starmer berät, ist unklar.│ Die EU hat russisches Vermögen dauerhaft eingefroren. Jetzt geht es darum, ob das in Belgien angelegte Geld für die Ukraine genutzt werden kann. │ Im Westjordanland sind nach Angaben der Vereinten Nationen im Jahr 2025 deutlich mehr israelische Siedlungen gebaut worden als noch im Vorjahr. Das kritisiert UN-Generalsekretär Guterres. Auch die Bundesregierung ruft Israel zum Stopp des Siedlungsbaus auf. │ Nach zwei Jahren mit ausgestorbenen Straßen feiert Bethlehem erstmals wieder die Adventszeit.
For the first time in climate negotiations, leaders are asking the question that actually matters: not just how do we solve the climate crisis — but why aren't we? Join Nobel laureate Al Gore for an in-depth conversation with Wanjira Mathai and Karenna Gore, leaders of the Global Ethical Stocktake: an urgent, values-first reset that seeks to center justice, phase out fossil fuels and elevate Indigenous and Global South leadership. Discover the initiative that's making fossil fuel lobbyists squirm and climate veterans hopeful — before the world moves on to COP31.Please note, this conversation was recorded live on November 14, 2025, at the TED Countdown House at the United Nations Climate Change Conference, or COP30, in Belém, Brazil. There are a variety of names mentioned during the conversation of global leaders involved in the convening that took place at COP30, they are as follows (listed in order of mention):Laurence Stebiana, Special Envoy to Europe for COP30Marina Silva, Brazil's Minister of the Environment and Climate ChangeKumi Naidoo, South African human rights activist and former director of GreenpeaceSelwin Hart, Special Adviser to the United Nations Secretary-General on Climate Action and Just TransitionAntónio Guterres, United Nations Secretary-General Gus Speth, American environmental lawyer"Mutirão COP30," the Tupi-Guarani term meaning "a collective effort or community mobilization" Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
As the UN's Secretary-General António Guterres said in July this year, “Now, we are on the cusp of a new era. Fossil fuels are running out of road. The sun is rising on a clean energy age.” Renewables and nuclear did reach an historic 40% share of global electricity generation in 2024, with renewables alone supplying roughly 32% of global power for the first time. But the length of this road and the speed we are travelling down it, will determine the success of the world's energy transition. In this episode we explore where we are in the energy transition, the challenges, technologies and the policies. Joining Tom as guests are Elisabeth Cremona, Senior Energy Analyst for Europe at Ember, Massimo Battaini, CEO of Prysmian and María Mendiluce, CEO of We Mean Business Coalition.Sources: FT ResourcesThis content is paid for by Prysmian and is produced in partnership with the Financial Times' Commercial Department. The views and claims expressed are those of the guests alone and have not been independently verified by The Financial Times. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Umoja wa Mataifa leo Desemba 3 unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu kwa ujumbe mzito kutoka kwa Katibu Mkuu António Guterres ujumbe unaotaka jamii ziwe si tu zinazoweza kufikiwa na watuwenye ulemavu, bali pia zenye ujumuishi wa kweli. Flora Nducha na taarifa zaidi
Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu kuhusu siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu, simulizi ya Mwalimu mwenye ulemavu wa kuona na huduma za afya ya uzazi kwa wasichana vigori nchini Kenya.Umoja wa Mataifa leo Desemba 3 unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu kwa ujumbe mzito kutoka kwa Katibu Mkuu António Guterres ujumbe unaotaka jamii ziwe si tu zinazoweza kufikiwa na watuwenye ulemavu, bali pia zenye ujumuishi wa kweli.Ili kuyajadili baadhi ya masuala aliyoyagusia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, basi Diana Katabarwa wa redio washirika wetu Uhai FM amezungumza na Mwalimu mwenye ulemavu wa kuona, Bahati Sanga, Katibu wa Chama Cha Wasioona, Mkoa wa Tabora.Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi UNFPA kupitia ufadhili kutoka kwa asasi ya Adolescent Sexual and #ReproductiveHealth Development Impact Bond, limewezesha wasichana nchini Kenya kupata huduma za uzazi wa mpango bila malipo, taarifa muhimu, na kufanya maamuzi sahihi na hivyo kulinda afya zao na kuboresha mustakabali wao.Mwenyeji wako ni Sabrina Moshi, karibu!
Organização anuncia reduções acentuadas nos planos orçamentários para o próximo ano; secretário-geral, António Guterres, disse que liquidez continua delicada e considera inaceitáveis atrasos na contribuição dos Estados-membros.
A tomada de poder por um Alto Comando Militar na Guiné-Bissau na véspera do anúncio dos resultados das eleições gerais de 23 de Novembro foi o tema que dominou esta Semana em África. Neste programa, olhamos também para a situação humanitária no norte de Moçambique, com 82 mil deslocados desde 11 de Novembro e relatos de fome. Destaque, ainda, na cultura para a bienal de dança Kinani, em Maputo, e para a morte de um ícone da música cabo-verdiana, Vasco Martins. A semana foi dominada pela tomada de poder, na quarta-feira, pelos militares na Guiné-Bissau, logo depois das eleições gerais de domingo, 23 de Novembro. A junta militar empossou o general Horta Inta-A como “Presidente de transição” pelo período de um ano. Os militares anunciaram a suspensão do processo eleitoral na véspera da divulgação dos resultados das eleições, cuja vitória nas presidenciais é reivindicada por Fernando Dias da Costa, apoiado pelo PRS e pelo PAI Terra Ranka. O candidato, que escapou da detenção na quarta-feira ao contrário de outros líderes políticos como Domingos Simões Pereira, defende que o Presidente cessante, Umaro Sissoco Embaló, inventou um golpe de Estado porque teria perdido as eleiçoes. Esta sexta-feira, o general Horta Inta-A nomeou Ilídio Vieira Té, antigo ministro de Embaló, primeiro-ministro e ministro das Finanças. Na quinta-feira à noite, o Ministério dos Negócios Estrangeiros senegalês anunciou que Umaro Sissoco Embaló foi para o Senegal a bordo de um avião fretado por este país e que estava “são e salvo”. Na quarta-feira, foi o próprio Embaló que informou a revista francesa Jeune Afrique que teria havido “um golpe de Estado” no país. Porém, a oposição e muitos activistas denunciam tratar-se de uma encenação montada pelo próprio Presidente cessante para impedir a divulgação dos resultados eleitorais. Foi o que nos contou também Domingos Simões Pereira, na quarta-feira, antes de ser detido e levado para a Segunda Esquadra. As condenações à tomada do poder pelos militares e à interrupção do processo eleitoral foram várias, desde a CEDEAO, a União Africana, a CPLP, a União Europeia e a própria ONU pela voz do secretário-geral das Nações Unidas, António Guterres. A CEDEAO criou um comité de mediação que se vai deslocar a Bissau, do qual faz parte o Presidente cabo-verdiano José Maria Neves. A União Africana suspendeu, na sexta-feira, a Guiné-Bissau da organização. Nampula: “A fome é uma realidade” Em Moçambique, nos distritos de Memba e Erati, na província de Nampula, no norte do país, “a fome é uma realidade”, como nos contou Gamito dos Santos, director da associação KÓXUKHURU, que lançou uma campanha de angariaçao de donativos para ajudar os deslocados. A organização ACLED registou 14 eventos violentos na província de Nampula entre 10 e 23 de Novembro, com extremistas do Estado Islâmico, que provocaram pelo menos 12 mortos. A Organização Internacional para as Migrações fala em 82 mil deslocados desde 11 de Novembro. Maputo é palco de Bienal de Dança Kinani Ainda em Moçambique, esta semana realiza-se a 11ª edição da Bienal de Dança Contemporânea - KINANI, que arrancou na segunda-feira e decorre até este domingo em várias salas de Maputo. O seu director artístico, Quito Tembe, falou-nos sobre o tema desta edição. Morreu Vasco Martins, ícone da música de Cabo Verde Ainda na cultura, Cabo Verde ficou mais pobre. Esta semana morreu Vasco Martins, compositor, musicólogo, poeta, escritor e ícone da música cabo-verdiana. Tinha 69 anos. Destacou-se como compositor de música erudita e sinfónica e a sua obra aliou influências clássicas, música eletrónica, jazz e elementos da música tradicional e popular de Cabo Verde.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya amani na usalama nchini Guinea-Bissau, utapiamlo nchini Sudan na juhudi za UNICEF za kuwawezesha vijana ili waweze kujikwamua kimaisha nchini Tanzania.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani vikali mapinduzi yanayoendelea nchini Guinea-Bissau akitaka “urejeshwaji wa haraka na usio na masharti wa utawala wa kikatiba” baada ya wanajeshi kutwaa madaraka kufuatia uchaguzi mkuu wa uliofanyika tarehe 23 Novemba.Zaidi ya miaka miwili na nusu ya vita nchini Sudan imewaacha watu milioni 21 karibu nusu ya watu wote wa nchi hiyo wakikabili njaa kali, huku maeneo mawili yakithibitishwa kukumbwa na baa la njaa. Mapigano yamepungua kwa sasa katika baadhi ya sehemu za Khartoum, na masoko yanaanza kufunguliwa tena., Lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP linaonya kuwa hali bado ni tete.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) kupitia programu yake ya stadi za maisha na mafunzo ya biashara iitwayo Ujana Salama, inayofadhiliwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini humo TASAF kwa msaada wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewezesha kikundi cha vijana nchini humo kujitegemea. Mmoja wa vijana wanufaika wa programu hiyo ameweza kujenga mustakabali ambao awali aliouna kama ndoto kupitia masomo ya ushoniMwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani vikali mapinduzi yanayoendelea nchini Guinea-Bissau akitaka “urejeshwaji wa haraka na usio na masharti wa utawala wa kikatiba” baada ya wanajeshi kutwaa madaraka kufuatia uchaguzi mkuu wa uliofanyika tarehe 23 Novemba. Selina Jerobon na maelezo zaidi.
Secretário-geral faz apelo pela restauração imediata e incondicional da ordem constitucional no país após um golpe militar que derrubou o governo; militares anunciaram novo chefe de Estado-maior General das Forças Armadas e do primeiro-ministro.
Michelle Bachelet, expresidenta de Chile, el argentino Rafael Grossi, director del Organismo Internacional de Energía Atómica, y Rebeca Grynspan, exvicepresidenta de Costa Rica, encabezan la lista de aspirantes a suceder a António Guterres en 2027.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usafiri Endelevu Duniani kwa kuonya kwamba mifumo ya usafiri duniani ambayo ni muhimu kwa uchumi na maisha ya kila siku inayochochea dunia kuelekea janga la tabianchi na kwa hivyo siku hii inatukumbusha kwamba njia ya kuelekea mustakabali bora inategemea mifumo safi na yenye uendelevu wa usafiri. Flora Nducha na maelezo zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia usafirir endelevu, udhalilishaji wa mtandaoni tukikuletea ujumbe kutoka Uganda, na ufugaji endelevu unaowawezesha wafugaji katika maeneo kame ya Isiolo na Garissa nchini Kenya.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Usafiri Endelevu Duniani kwa kuonya kwamba mifumo ya usafiri duniani ambayo ni muhimu kwa uchumi na maisha ya kila siku inayochochea dunia kuelekea janga la tabianchi na kwa hivyo siku hii inatukumbusha kwamba njia ya kuelekea mustakabali bora inategemea mifumo safi na yenye uendelevu wa usafiri.Siku 16 za uhamasishaji kupinga ukatili dhidi ya wanawake zikiendelea leo tunakupeka mjini Hoima Magharibi mwa Uganda kusiki maoni kutoka kwa wa mji huo kuhusu ukatili mtandaoni yakienda sanjari na kauliimbiu ya kampeni ya ya mwaka huu isemayo “Ukatili wa mtandaoni ni ukatili halisi na hakuna visingizo kwa ukatili mtandaoni”.Katika maeneo yaliyoghubikwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kaskazini mwa Kenya, wafugaji wamekuwa wakikumbwa na changamoto kubwa kwani ukame na mafuriko, vinatishia sio tu mali zao bali pia maisha yao. Lakini kupitia mradi wa bima ya mifugo unaoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP, kwa ushirikiano na asasi ya Zoetis na kampuni ya ZEP-RE, jamii zinaanza kupata ahuweni na matumaini mapya.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Carta de presidentes da Assembleia Geral e do Conselho de Segurança sobre candidatura para nova Secretaria Geral incentiva igualdade de oportunidades para candidaturas de mulheres e homens; 15 Estados-membros do Conselho de Segurança farão a recomendação formal de um nome à Assembleia Geral.
Comprehensive coverage of the day's news with a focus on war and peace; social, environmental and economic justice. US-backed Ukraine peace plan amended after complaints it favors Russia; British lawmakers question BBC over interview edits after Trump threatens billion-dollar lawsuit; US-Israel backed Gaza Humanitarian Foundation shuts operations, Hamas leader calls for accountability for civilians killed seeking aid; COP-30 climate summit ends, UN chief Guterres says “gap between where we are and what science demands remains dangerously wide”; Reggae pioneer and actor Jimmy Cliff dies at 81, starred in film “The Harder They Come”, songs included “Many Rivers to Cross” and “You Can Get It If You Really Want”; The post US-backed Ukraine peace plan amended to remove key Russian demands; British lawmakers question BBC over Trump interview edits – November 24, 2025 appeared first on KPFA.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo ametoa ujumbe mzito kwenye Mkutano wa Muungano wa Afrika AU na Muungano wa Ulaya EU, unaofanyika mjini Luanda, Angola akionya kuwa dunia “inabadilika kwa kiwango cha kutisha,” huku janga la tabianchi, ukosefu wa usawa na mvutano wa kimataifa vikichochea misukosuko mipya duniani . Flora Nducha na taarifa zaidi
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya maendeleo na mabadiliko ya tabianchi barani Afrika, mashindano ya mpira wa miguu yanayofahamiaka kama Hope Championship kwa watu waliokatwa viungo katika Gaza na ukatili wa kijinsia.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo ametoa ujumbe mzito kwenye Mkutano wa Muungano wa Afrika AU na Muungano wa Ulaya EU, unaofanyika mjini Luanda, Angola akionya kuwa dunia “inabadilika kwa kiwango cha kutisha,” huku janga la tabianchi, ukosefu wa usawa na mvutano wa kimataifa vikichochea misukosuko mipya duniani.Tukielekea katika siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake hapo kesho Novemba 25 leo tunakupeleka Kenya kwake Geradline Ndayisenga, raia kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) ambaye sasa anaishi ukimbizini kwenye eneo la Kitengela, Kaunti ya Kajiado nchini humo, anasema kama si usaidizi wa ushauri wa nasaha alioupata kutoka shirika la kiraia la Forum for Women Development, Democracy and Justice, FODDAJ nchini humo, basi hajui maisha yake yangalikuwa vipi.Mashindano ya mpira wa miguu yanayofahamiaka kama Hope Championship kwa watu waliokatwa viungo katika Ukanda wa Gaza yamemalizika majuzi baada ya siku nne mfululizo za michuano. Mashindano haya yanaandaliwa na Chama cha Soka cha Watu Waliokatwa Viungo cha Palestina kama sehemu ya juhudi za kuwasaidia majeruhi na kuthibitisha ushiriki wao endelevu katika shughuli rasmi za michezo.Mwenyeji wako ni Sabrina Said, karibu!
Secretário-geral vê uma África que continua penalizada por uma arquitetura internacional que já não reflete a realidade atual; Guterres defendeu reformas no sistema financeiro e instituições multilaterais para que incluam uma maior representação africana.
Die Verenigde Nasies se sekretaris-generaal, António Guterres, sê die G20, as die wêreld se grootste ekonomieë, kan 'n reuse-invloed hê om lyding te verlig, te verseker dat ekonomiese groei wyd gedeel word, en die wêreld op 'n beter, meer vreedsame koers vir die toekoms te plaas. Hy het die media gister in Johannesburg ingelig voor die G20-leiersberaad. Guterres sê dit is tyd vir 'n werklik wêreldwye internasionale finansiële stelsel wat fokus op die uitdagings waarmee ontwikkelende lande te kampe het:
UN Secretary-General Antonio Guterres has called on countries to urgently reach a fair and balanced agreement to tackle the severity of the climate crisis. Guterres said vulnerable communities can no longer wait for climate change mitigation, urging delegations to reach a consensus.
Secretário-geral da ONU apelou por ações imediatas para travar desigualdades, crise climática e conflitos; pediu reformas profundas na forma de governar a economia mundial dando voz aos países em desenvolvimento.
No 3 em 1 desta quinta-feira (20), o destaque foi o princípio de incêndio no pavilhão da COP30, em Belém, que levou à interdição do local, causou correria e provocou a evacuação da Blue Zone. O ministro Celso Sabino e o secretário-geral da ONU, António Guterres, se manifestaram sobre o episódio, que expôs falhas de infraestrutura e segurança e aumentou a pressão sobre o governo em meio às negociações climáticas. O presidente Lula oficializou a indicação do advogado-geral da União Jorge Messias para a vaga de Luís Roberto Barroso no Supremo Tribunal Federal. Sendo a terceira indicação do governo, Messias é o nome evangélico escolhido por Lula, em um movimento visto como um aceno ao segmento religioso. A nomeação precisa ser aprovada em sabatina na Comissão de Constituição e Justiça (CCJ). O deputado federal Alexandre Ramagem está nos Estados Unidos, em Miami, dias após ser condenado pelo STF a 16 anos de prisão. A Câmara não foi informada oficialmente de sua saída do país, mas ele apresentou dois atestados. A base governista, por meio do Pastor Henrique Vieira, já pediu ao STF sua prisão preventiva, alegando risco de fuga. O deputado Eduardo Bolsonaro foi incluído na Dívida Ativa da União e é cobrado em quase R$ 14 mil por faltas não justificadas na Câmara desde fevereiro, quando viajou aos EUA. Com 47 faltas no total, o parlamentar pode ter restrições de crédito (CADIN) e até mesmo bens leiloados. O caso reacende o debate sobre a perda de mandato por ausência. O vice-prefeito de São Paulo, Coronel Mello Araújo, atacou as gestões do prefeito Ricardo Nunes e do governador Tarcísio de Freitas por ações na Cracolândia. Ligado ao bolsonarismo, ele acusou a gestão Nunes de desvio de verbas antes de assumir e classificou a operação de Tarcísio na Favela do Moinho como uma “grande enganação”. O presidente da Câmara, Hugo Motta, defendeu a aprovação do PL Antifacção, afirmando que a Casa “escolheu o caminho certo” no combate ao crime organizado. Já o relator no Senado, Alessandro Vieira, criticou a comunicação “agressiva” do governo e prometeu ajustes para garantir constitucionalidade e segurança jurídica, especialmente à Polícia Federal. Reportagem: André Anelli. O presidente norte-americano Donald Trump sugeriu publicamente pena de morte para congressistas democratas que pediram a militares que recusassem ordens ilegais. Ele os chamou de “traidores” por tentarem subverter o governo. Tudo isso e muito mais você acompanha no 3 em 1. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika Kaunti ya Kajiado iliyoko Kusini na Kusini magharibi mwa jiji la Nairobi nchini Kenya kumulika upatikanaji wa huduma za choo na hasa choo safi na salama ambazo bado ni kizungumkuti kote dunianini.Katibu Mkuu wa Umoja wa, António Guterres,akizungumza na waandishi wa habari hii leo ametoa onyo kali COP30 huko Belém, Brazil, akisisitiza dharura ya hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Amesema “Jamii zilizo mstari wa mbele zinaangalia zikiesabu nyumba zao zilizozamishwa na mafuriko mavuno yaliyoshindikana, vyanzo vya maisha vilivyopotea na kuuliza kwa kiasi gani zaidi wateseke . Wamesikia visingizio vya kutosha, sasa wanatakahatua”.Leo ni Siku ya mtoto Duniani, mwaka huu ikibeba kaulimbiu “Sikilizeni watoto, simameni kwa ajili ya haki za kila mtoto, kila siku.” Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF iliyotolewa leo ya Hali ya Watoto Duniani 2025 sanjari na maadhimisho haya inaonya kwamba zaidi ya watoto milioni 417, sawa na mtoto 1 kati ya 5 katika nchi za kipato cha chini na cha kati, wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa mahitaji muhimu angalau katika maeneo mawili ya msingi ya maisha.Mkutano wa wanaharakati vijana wavumbuzi kutoka kila pembe ya dunia umeaanza leo mjini Geneva Uswisi ukibeba mafda kuu “Kutoka Hashtag hadi Hatua”, ukisherehekea vijana wanaobadilisha maisha ya jamii zao kupitia zana za kidijitali na majukwaa ya mtandaoni. Mwaka huu, washindi wa uvumbuzi huo wanatoka nchi mbalimbali, ikiwemo Côte d'Ivoire, India, Lebanon, Japan, na Brazil, wakitambuliwa kwa kazi zao zenye athari kubwa chanya. Waandaaji wa Jukwaa hilo amba oni Umoja wa Mataifa wanasema tukio hili lina lengo la kuhamasisha vijana wengi zaidi kubadilisha ushiriki wao wa mtandaoni kuwa hatua halisi zinazoboresha jamii, kuthibitisha kuwa uanaharakati wa kidijitali unaweza kuleta mabadiliko ya kweli.Na katka kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "MTAWALIA.”Mwenyeji wako ni Sabrina Said, karibu!
António Guterres disse a jornalistas que países e negociadores devem fazer prevalecer a ciência lembrando que antes de qualquer lucro vêm as pessoas; ele defendeu triplicar financiamento para adaptação e mitigação focada na eliminação de combustíveis fósseis; presidente do Brasil, Lula da Silva, diz que mapa para transição precisa ser levado a sério.
Die Verenigde Nasies se sekretaris-generaal, António Guterres, sê die toename in terroristegroepe is nie net 'n werklikheid in Afrika nie, maar wêreldwyd. Volgens die Globale Terreur-aanwyser is vyf van die tien lande wat die meeste deur terrorisme geraak word, in die Sahel-streek, wat verantwoordelik is vir 19-persent van wêreldwye terreur-aanvalle en meer as die helfte van terrorisme-slagoffers. Guterres sê 'n logiese ontwikkelingstrategie teen die onderliggende dryfvere van ekstremisme is dringend nodig:
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Brazil kwenye mkutano wa COP30, ambako Dkt. Richard Muyungi, Mjumbe maalumu kwenye masuala ya mabadiliko ya tabianchi na mazingira kutoka nchini Tanzania anaeleza ni nini bara la Afrika linahitaji.Umoja wa Mataifa umekaribisha kupitishwa kwa Azimio namba 2803 la Baraza la Usalama kuhusu Gaza hapo jana, ukilitaja kuwa hatua muhimu katika kuimarisha usitishaji mapigano. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, anazitaka pande zote kuheshimu kikamilifu makubaliano hayo na kutafsiri kasi ya kidiplomasia kuwa hatua za dharura na za wazi kwa watu walioko katika eneo hilo. Katika taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Guterres, Stéphane Dujarric, amesema Umoja wa Mataifa umejizatiti kuongeza misaada ya kibinadamu na kuunga mkono jitihada zinazoelekezwa katika hatua inayofuata ya usitishaji mapigano.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hali ya kibinadamu katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini bado ni tete. Mkurugenzi wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu, Kanda ya Afrika Patrick Youssef ambaye amerejea hivi karibuni kutoka DRC amewaleza waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi kwamba raia wa DRC wanaendelea kubeba mzigo mzito wa mapigano, hata wakati shughuli chache za kibiashara zikiendelea kurejea Goma. Ametoa tahadhari kuwa mgogoro huo unakabiliwa na upungufu mkubwa wa ufadhili, ukatili wa kingono unaongezeka, na zaidi ya asilimia 70 ya watu waliojeruhiwa kwa silaha mwaka huu ni raia.Kuanzia leo tarehe 18 inaanza Wiki ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usugu wa Vijiumbemaradhi dhidi ya dawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, linaonya kuwa usugu wa vimelea yaani hali ambapo bakteria, virusi na vijidudu vingine havidhuriki tena kwa dawa tayari unatishia mifumo ya afya, uchumi na uhakika wa chakula. Kwa kaulimbiu “Chukua Hatua Sasa: Linda Leo Yetu, Linda Mustakabali Wetu,” WHO inatoa wito kwa serikali, wahudumu wa afya, wakulima, wadau wa mazingira na umma kuchukua hatua madhubuti kutekeleza ahadi za kisiasa ili kupunguza kuenea kwa maambukizi sugu ya dawa.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "UPUNGUFU"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Colegio de Abogados condena represión en CDMXMichoacán lanza beca de transporte para estudiantesONU celebra resolución sobre Gaza como paso clave hacia el alto al fuegoMás información en nuestro Podcast
Join Jim and Greg for the Thursday 3 Martini Lunch as they celebrate the end of a pointless government shutdown, blast United Nations Secretary-General Antonio Guterres for trying to silence free speech online, and recoil at how shockingly bad college students have become at math.First, Jim and Greg applaud the House vote to end the government shutdown, rip Democrats for their six weeks of incoherent grandstanding, and look ahead to late January when this may happen all over again.Next, they unload on Secretary-General Guterres for claiming online “disinformation and misinformation” are poisoning discourse and insisting that tech companies have a responsibility to crack down on speech that supposedly distorts the facts. Guterres says this speech he doesn't like is hampering the UN's ability to enact its climate agenda. Well, that's a shame. Jim not only defends free speech but points out that the UN should not be involved in this debate at all.Finally, they shudder as college professors warn that incoming students are much worse at math than ever before. One study finds fewer than 20 percent can handle middle school–level math, and many struggle with even the most basic concepts. Jim and Greg consider how so many young adults made it to college so poorly prepared.Please visit our great sponsors:Get 10% off your first month of BetterHelp by visiting https://BetterHelp.com/3ML today!OneSkin uses the patented OS-01 Peptide™ designed to keep skin healthier, stronger, and more resilient over time. Get 15% off OneSkin with the code 3ML at https://www.OneSkin.co/3ML Try the Oracle Cloud Infrastructure for free with zero commitment by visiting https://Oracle.com/Martini today!
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia simulizi za waahirika wa Kimbunga Melissaikiwa ni wiki ya pili sasa baada ya kupiga magharibi mwa Jamaica, na kuacha zahma kubwa kwa wakaazi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akieleza kuwa na wasiwasi mkubwa kutokana na ripoti za ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na mauaji ya halaiki mjini El Fasher, pamoja na kuongezeka kwa mapigano katika maeneo ya Kordofan nchini Sudan. Guterres amesema “Mtiririko wa silaha na wapiganaji kutoka nje lazima ukatwe. Misaada ya kibinadamu lazima iweze kuwafikia haraka raia wanaohitaji, na mapigano lazima yakome,”.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Jumatano limemchagua Phoebe Okowa kutoka Kenya kuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), baada ya duruu nne za upigaji kura. Upigaji kura huo ulifanyika kwa wakati mmoja na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lakini kwa utaratibu tofauti, kama inavyotakiwa na Katiba ya Mahakama hiyo ya Haki. Bi. Okowa amechaguliwa kwa wingi wa kura ambapo alipata kura 8 katika Baraza la Usalama na kura 106 katika Baraza Kuu.Kumekuwa na ongezeko la uraibu wa nikotini na bidhaa nyingine zinazozalishwa kwa kutumia tumbaku duniani hususani miongoni mwa vijana na tena wengi hivi sasa wanatumia sigara za kielektroniki, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO. Tarehe 17 mpaka 21 Novemba utafanyika mkutano mkubwa kujadili namna serikali, mashirika ya kimataifa na asasi za kiraia zitakavyoweza kusaidia kupambana na janga la tumbaku duniani, linalosababisha vifo zaidi ya milioni saba kila mwaka.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "KASIMU"Mwenyeji wako ni Sabrina Said Moshi, karibu!
On Monday, the COP30 climate summit officially opened in the Brazilian city of Belém at the gateway to the Amazon rainforest.Brazilian organisers have insisted this will be the “COP of implementation” where measures needed to combat the climate crisis will take precedence over more promises and never-ending negotiations.This year's global summit marks a decade since the highly lauded Paris Agreement – the landmark agreement signed by almost 200 countries and designed to avoid the worst consequences of climate change. Its main goal was to limit future global temperature rises to 1.5 degrees Celsius above ‘pre-industrial' levels. And while some progress has been made, ten years on from this legally binding agreement, emissions are still rising and UN secretary general António Guterres has acknowledged it is now “inevitable” that humanity will overshoot this 1.5 cap.What exactly do world leaders hope to achieve over the coming fortnight?How will the absence of a US-led delegation impact plans for cutting global emissions? And in a world deeply distracted by war, defence and ideological divisions, can China and the EU take the lead in pushing climate measures back up the list of international priorities?Irish Times Climate and Science correspondent Caroline O'Doherty joins the podcast from Belém to discuss whether this year's climate negotiations will move beyond plans and into concrete action.Presented by Sorcha Pollak. Produced by Suzanne Brennan. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
COP30 opens in Belem; UN chief Guterres stresses commitment to 1.5C limitExtreme weather driving repeated displacement among conflict-affected communities: UNHCRCountries agree to global ban on mercury dental fillings: UNEP
This is a free preview of a paid episode. To hear more, visit www.globaldispatches.orgNew York isn't just the cultural and media capital of the United States — it's also the host city to the United Nations. Since 1962, City Hall has maintained a special office dedicated to liaising with the UN. Anjali and Mark discuss the history of this office and how municipal elections in New York are actually quite consequential for the United Nations.Also discussed this week: a new development in the race to replace António Guterres as UN Secretary-General; how the UN is responding to the unfolding disaster in Sudan; and whether the Security Council will approve a U.S.-drafted resolution to deploy an international security force to Gaza.https://www.globaldispatches.org/40percentoff
Secretário-geral da ONU discursou em sessão temática em Belém, no Brasil; ele disse que transição para longe dos combustíveis fósseis está “falhando perigosamente”; avanços em fontes renováveis resultam em eletricidade barata e geração de empregos.
As only a handful of world leaders attend a meeting ahead of COP 30 in Brazil next week - is international commitment on climate change at risk? We hear from our team on the ground in Belem and from Germany's former special envoy on climate.Also in the programme: the Philippines declares a state of emergency after Typhoon Kalmaegi destroys entire communities and leaves at least 114 people dead; our correspondent - under heavy Israeli restrictions - goes inside the Gaza Strip; and we get an update on Sudan, where UN Secretary General António Guterres has said the “horrifying crisis .. is spiralling out of control".(IMAGE: United Nations Secretary-General Antonio Guterres attends the opening of the United Nations Climate Change Conference (COP30) plenary session, in Belem, Brazil, November 6, 2025 / CREDIT: Reuters/Adriano Machado)
Na abertura do segmento de alto nível da Conferência sobre Mudança Climática, no Brasil, secretário-geral alerta para ultrapassagem do limite de temperatura de 1,5°C já na próxima década; ele apelou por coragem política, solidariedade e justiça para travar "catástrofe global".
leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu Tsunami Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza umuhimu wa kuwekeza katika kujiandaa dhidi ya mawimbi hayo makubwa ya bahari yanayotokana na tetemeko chini ya bahari. Anold Kayanda na maelezo zaidi.Asante Assumpta,Katika ujumbe wake, Guterres amesema maandalizi hayo yanahusisha kuweka mifumo ya kutoa maonyo ya mapema au tahadhari kwenye kila ufukwe, jamii na kokote kule.Bwana Guterres amefafanua kuwa tsunami si matokeo ya mara kwa mara lakini pindi yanapotokea madhara yake yanaweza kuwa makubwa na hata kusababisha vifo.“Husababisha vifo vya maelfu na hata mamia ya maelfu ya watu. Lakini kuna mbinu za kuweka watu salama,” anasema Guterres.Ametolea mfano janga la tsunami kwenye bahari ya Hindi mwaka 2004, janga ambalo lilisababisha dunia kuamua kuwekeza katika mifumo ya kutoa maonyo mapema.“Miongo kadhaa baadaye, uamuzi huo umelipa,” amesema Katibu Mkuu akitolea mfano tetemeko kubwa la ardhi lililokumba pwani ya Urusi mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu akisema, “lilisababisha tahadhari kwa mamilioni ya watu kuanzia pwani za Japani hadi visiwa vilivyoko bahari ya Pasifiki hadi California.”Ingawa hivyo amesema madhara ya janga hilo la tsunami yanaendelea kubadilika kutokana na mabadiliko kadhaa ikiwemo yale ya tabianchi.Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa akieleza kuwa kuheshimu baharí ni kutambua nguvu yake anasema, “kiwango cha maji ya bahari kikiongezeka, na idadi ya watu wanaoishi maeneo ya pwani ya bahari ikiongezeka, mifumo ya kutoa maonyo mapema nayo inahitaji uwekezaji zaidi na kuboreshwa,”Ni kwa mantiki hiyo amesema hilo ndio lengo la mpango wa Umoja wa Mataifa wa Mfumo wa Tahadhari kwa Wote ulioanzishwa kwa lengo la kuhakikisha kila mtu anafikiwa na mpango wa utoaji onyo mapema dhidi ya tsunami ifikapo mwaka 2027.Maadhimisho ya mwaka huu ni ya 10, ambapo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilianzisha siku hii kupitia azimio namba 70/203 la mwaka 2005.
Secretário-geral reafirma que qualquer transição deve garantir unidade com a Cisjordânia; plano para Gaza, proposto pelos Estados Unidos, inclui força internacional temporária; ONU destaca aumento da ajuda humanitária.
As global leaders and environmental activists descend on Brazil for next week's Cop30 climate summit, Madeleine Finlay speaks to the Guardian's global environment editor, Jon Watts, who recently sat down for an exclusive interview with the UN secretary general, António Guterres. As he approaches his final summit as the UN chief, Guterres reflected on humanity's progress in attempting to limit global warming to 1.5C above pre-industrial levels, why Indigenous voices must be listened to and how he remains positive in the face of the climate crisis. Help support our independent journalism at theguardian.com/sciencepod
VLOG Nov 4 Election day NYC NJ VA CA; Crypto Bros trial comes down to is code law? Book 1 https://play.google.com/store/books/details?id=fBCSEQAAQBAJ 2d on Amazon as some Ghislaine Maxwell and all Diddy Detained blocked. Fed's Lisa Cook to Sup Ct, tariffs 1st. UN @AntonioGuterres in Doha, censors
Secretário-geral apelou a ações concretas contra a pobreza e desigualdade; a uma semana da COP30, no Brasil, ele apela a líderes para metas de emissões mais ambiciosas; novo “plano das pessoas” propõe empregos dignos, financiamento justo e inclusão social.
The UN Secretary-General, António Guterres, has opened the eightieth General Assembly in New York with a warning that some countries are flouting international law. Donald Trump used his address to dismiss the UN as an organisation that had lost its purpose. We also break down the US President and Health Secretary Robert F. Kennedy Jr's unsubstantiated claims linking the use of paracetamol during pregnancy to an increased risk of autism in children. Denmark's prime minister says she's not ruling out Russian involvement after Copenhagen and Oslo airports were closed by drones flying nearby. Burkina Faso, Mali and Niger to withdraw from the International Criminal Court, at the same time as increasing ties with Russia. Hong Kong and southern China are bracing for 'super typhoon Ragasa', with schools and businesses closed and shelves reportedly stripped of goods. NASA has announced 10 new astronaut candidates - selected from a pool of eight thousand, and the curious case of a man in South Korea who was prosecuted for taking a snack from an office fridge without permission.The Global News Podcast brings you the breaking news you need to hear, as it happens. Listen for the latest headlines and current affairs from around the world. Politics, economics, climate, business, technology, health – we cover it all with expert analysis and insight. Get the news that matters, delivered twice a day on weekdays and daily at weekends, plus special bonus episodes reacting to urgent breaking stories. Follow or subscribe now and never miss a moment. Get in touch: globalpodcast@bbc.co.uk