Country in East Africa
POPULARITY
Categories
Hii leo jaridani tunaangazia haki za kibidamu katika ukanda wa Gaza, na hali ya misaada ya kibinadamu huko huko Gaza. Makala yunakwenda nchini Tanzania kusikia harakati za kusaidia vijana wa kike, na mashinani tunakupeleka nchini Uganda kusikia kuhusu mradi wa mlo shuleni.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kughadhabishwa kufuatia kusambuliwa, kujeruhiwa na kuuawa kwa Wapalestina walipokuwa wakijaribu kupata msaada wa kibinadamu huko Gaza jana Jumapili, Juni Mosi.Maisha ya raia wa Gaza ambao karibu wote ni wakimbizi wa ndani yanazidi kuwa mtihani usio na majawabu kila uchao kwa mujibu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa. Mateso wanayopitia nis awa na kuishi jrehanamu, wengi wamekata tamaa na wanaona bora kufa kuliko kuishi katika hali hiyo. Flora Nducha akusimulia madhila ya mmoja wa wakimbizi hao wa ndani Moamen Abu Asr na mkewe Zeinat.. Makala inakupeleka nchini Tanzania kusikia harakati za kunasua vijana wa kike kutoka vishawishi vinavyoweza kuwatumbukiza kwenye lindi la umaskini. Msimulizi wako ni Hamad Rashid wa Radio washirika Tanzania Kids Time FM.Na katika Moses Okiror, Naibu Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Rainbow iliyoko Karamoja kaskazini-masharikimwa Uganda anaeleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) limeboresha mpango wa mlo shuleni kwa kuwakabidhi mashine ya kusagisha nafaka aina mbalimbali yenye vinu vinavyotumia nishati ya jua.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Nchini Tanzania ugumu wa maisha na kukabiliwa na vishawishi, umewapa fikra mpya vijana wa kike mkoani Morogoro, mashariki mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ambao sasa wanajimudu kiuchumi, kwa kuanzisha biashara na shughuli za ujasiriamali. Wanasongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs hususan namba 8 la ajira zenye staha, nan amba 1 la kutokomeza umaskini. Hamad Rashid wa Redio washirika Tanzania Kids Time FM amewatembelea vijana hao na kuandaa makala hii.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi tunakutana na walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani. Afisa Habari wa TANZBATT 11 Meja Fadhila Nayopa amefuatilia hadithi zao.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa ikitupeleka nchini DRC, Sierra Leone na Ghana. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno "MISHEMISHE.”Leo ni Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani ambayo mwaka huu inajikita na maudhui ya “mustakabali wa ulinzi wa amani.”Katika ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema walinda amani wa Umoja wa Matafa wako katika changamoto kubwa “Leo hii, walinda amani wanakabiliwa na hali zinazozidi kuwa ngumu katika dunia inayozidi kuwa na changamoto, ikiwemo uugawanyika na kutofautiana kwa mitazamo duniani kunazidi kuongezeka, operesheni za ulinzi wa amani zinakabiliwa, hatari zaidi kutokana na wingi wa vitisho kama vile ugaidi na walinda amani kulengwa kwa makusudi kupitia taarifa potofu zenye madhara makubwa na changamoto zinazovuka mipaka kuanzia janga la mabadiliko ya tabianchi hadi uhalifu wa kimataifa.Kikosi cha 11 cha Tanzania kinachohudumu chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO kimeungana na walinda amani wengine kuadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mavivi, yakiongozwa na Brigedia Jenerali Diamond Meshack Madie, Mnadhimu Mkuu wa Vikosi vya MONUSCO.Shirika la Umja wa Mataifa la Mazingira UNEP limezindua mpango mpya wa dola milioni 15 kusaidia uwekezaji endelevu katika Bonde la Kongo – moja ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia duniani. Mpango huu unalenga kufungua fursa za biashara rafiki kwa mazingira kwa wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta za kijani. Msitu wa mvua wa Bonde la Kongo ni moja ya vyanzo vikubwa vya kaboni duniani na ni makazi ya watu zaidi ya milioni 75, wakiwemo jamii za asili.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”
What if a meal could change how you see an entire continent?In this episode, I sit down with Omar, a home cook from Zanzibar, Tanzania, now living in Buenos Aires, where he runs a beloved Swahili food experience from his home. His dishes — rich with coconut, cassava leaves, mango soup, and warm spices — blend East African, Arab, Indian, and colonial influences into something truly special.We talk about:Why ugali is a cornerstone of East African cookingThe bold, sour magic of green mango soupCooking as cultural storytelling — and a bridge between worldsStreet food, snacks, and childhood memories from ZanzibarHow Omar uses his restaurant to challenge narrow narratives about AfricaWhether you're curious about Tanzanian food, inspired by cultural fusion, or just love a good story shared over a soulful dish, this episode will warm your heart and wake up your appetite.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kuangazia siku ya familia iliyokutanisha wadau wakimulika pamoja na mambo mengine nafasi ya vyombo vya habari katika kuimarisha malezi na makuzi ya mtoto.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura OCHA hii leo imesema wakati mpango tata wa Israeli wa kugawa misaada kwenye eneo la Palestina la Gaza linalokaliwa kimabavu na Israeli ukiendelea, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umesihi mamlaka za Israeli kuruhusu ongezeko la kiwango cha misaada ya kufikia walengwa kwenye eneo hilo lililozingirwa ili kuepusha uhaba wa chakula..Kadiri nchi zinavyokumbwa zaidi na majanga ya asili, gharama halisi za majanga ni mara 10 zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali, zikiwa na athari mbaya zaidi katika sekta za afya, makazi, elimu na ajira, imesema Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupunguza hatari za majanga katika ripoti iliyochapishwa Jumanne.Nchini Namibia, makazi yaliyojengwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA kwa ajili ya wajawazito wanaoishi maeneo ya mbali kusubiria ili kujifungua kwa usalama, yamesaidia kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga.Na katika mashinani, kupitia video iliyoandaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Sudan Kusini UNMISS, tunakutana na Mary Aban Akon, mkazi wa kijiji cha Hai Matar huko Sudan Kusini. Yeye ni miongoni mwa wakimbizi waliorejea nyumbani baada ya kupatiwa makazi mapya yaliyojengwa kwa msaada wa mashirika ya kibinadamu chini ya mradi uliofadhiliwa na Umoja wa Mataifa na wadau wake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Newt talks with Tom Sullam, co-founder of the Comedy Wildlife Photography Awards, about a unique photography contest that captures humorous moments of animals in their natural habitats. The awards aim to promote wildlife conservation and sustainable living through humor, encouraging empathy and engagement with biodiversity preservation. Tom shares his journey from corporate work to wildlife photography, sparked by a move to Tanzania, and highlights the importance of small steps in conservation efforts. The CWPA contest is free to enter, invites photographers worldwide to submit their funny wildlife images, with categories for different types of animals and a special focus on youth participation. The awards have gained global attention, with exhibitions showcasing the images and supporting conservation charities. Tom emphasizes the accessibility of wildlife photography, encouraging patience and creativity, and notes the role of humor in fostering a positive connection with nature.See omnystudio.com/listener for privacy information.
Charles Stith, the non-executive chairman of the African Presidential Leadership Center and former U.S. Ambassador to Tanzania during the Clinton era, talks about Donald Trump's ambush of South African President Cyril Ramaphosa at the White House.Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/tavis-smiley--6286410/support.
Joseph Rosendo is a travel and TV legend who has amassed countless accolades and awards during his career including Emmy's and France's Medal d'Or du Tourisme. He tells Brent about visiting Cuba and exploring his family's heritage on the island. Joseph also talks about his love of Taiwan and seeing amazing wildlife in Tanzania. Plus, delicious ropa vieja and tostones. [Ep 338] Show Notes: Destination Eat Drink foodie travel guides Joseph Rosendo's website
Today we welcome quilt artist Barbara Ann McCraw. Actually…we welcome her back as we met Barbara in person and interviewed her at the National Quilt Museum in Paducah at her exhibit Life Stories during Quilt Week in 2024. While our conversation was a component of a compilation of stories…we felt that she had so much more to share, hence she joins us today. Barbara grew up on the south side of Chicago and later attended Illinois State University where she earned a degree in English. In 1986 she earned a degree in medical technology and worked at Texas Woman's Univrsity, University of North Texas and UT Southwestern Medical center where she became pathology supervisor until her retirement in 2000. Barbara's quilts have won numerous awards and many now make their home in private collections. They have been featured in multiple publications and featured in a documentary and a CBS television human interest story.In 2012 Barbara was invited to teach in Tanzania, Africa and two years later she returned there to participate in a quilt honoring Nelson Mandella. Barbara gives large credit for her success to her husband Erine who has helped her both personally and professionally throughout her quilting career. Barbara and Ernie make their home in Texas. (2:20) Barbara talks about how she learned to sew and who was her influence. A very loud, rambunctious family had a large part in this! (4:55) Learn about Barbara's mother and more about her influence on Barbara's sewing, leading with courage and unconditional love. (6:35) Barbara's career started out using her English. A pregnancy changed course for her. She always wanted to wear a lab coat…and wanted to be a doctor and learned that medical technology was really her thing. So off she went to become a pathologist/medical technologist. (10:03) So how did Barbara decide to learn to quilt? A move to Texas and missing her mom led the way. Learn about her interactions with the Newcomers Club in Carolton, TX and how this influenced her path(11:50) What was her first quilt? Learn that here.(12:35) The Family Reunion Quilt is one of her finest. She shares the story of this wonderful creation…and the dream that started it all. Her family history story is quite amazing. (18:10) Barbara talks openly about living through many race-based issues. She addresses this through her Loving Quilt. Hear this story and the impact this creation has had. She talks about her husband Ernie, their marriage and how Mildred and Richard Loving had an impact on them. (23:39) Learn more about Ernie McCraw, his influence on Barbara's career and the secret to their 45-year marriage. (28:52) Learn about Barbara's trips to Tanzania and her work on the Nelson Mandela quilt. (34:12) In 1995 Barbara became involved in Aids Services of North Texas. Because of this, she joined a sewing group that was working on the Names Project…creating quilt blocks made for families of those who passed from Aids. Learn why these quilts were 3'x6'. (38:05) How has quilting influenced her life and why is it so special to her? Belonging is the foundation of all of this. (39:45) What's next for Barbara and what's her dream? Well, there's this special quilt she's working on…! (41:40) It there any question I didn't ask? (42:45) What's the best way to reach Barbara? www.quiltasart.com. Be sure to subscribe to, review and rate this podcast on your favorite platform…and visit our website sewandsopodcast.com for more information about today's and all of our Guests.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini kumsikia mgeni wetu Prof. Wallah Bin Wallah, mwandishi mashuhuri wa vitabu vya Kiswahili kutoka Kenya ambaye anamulika umuhimu wa vitabu katika kukuza lugha ya Kiswahili. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno.Kwa mara ya kwanza tangu mwezi Februari, msaada wa kuokoa maisha umefika Gaza. Baada ya wiki 11 za kizuizi kutoka kwa mamlaka za Israeli, malori 198 yaliyobeba chakula, dawa na unga wa ngano yameingia leo kupitia mpaka wa Kerem Shalom kwa mujibu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.Mratibu mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa, Tom Fletcher, ameiitaja hatua hiyo kuwa ya muhimu sana, huku malori 90 yakipakuliwa usiku kwa ajili ya kusambazwa haraka.Mwaka 2024, vita havikuishia kwenye uwanja wa mapambano pekee vilivunja nyumba, masoko na shule. Kuanzia Gaza hadi Ukraine, Sudan hadi Myanmar na zaidi ya raia 36,000 walipoteza maisha yao katika mizozo 14 ya kivita kulimgana na ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwa Baraza la Usalama hii leo linalojadili ulinzi wa raia katika mizozo ya silaha.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DAHARI”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DAHARI."
One step of obedience can change countless lives. In this moving episode, Pastor Rhiannon Beauchamp shares her solo mission to Tanzania, where she prayed with children with disabilities, supported persecuted albino students, and brought joy through presence, not just provision. From dancing in the rain to witnessing miracles of hope, her journey is a reminder that faith in action speaks louder than words. Tune in to hear how showing up with love can spark lasting transformation.Key Takeaways To Listen ForWhy Rhiannon's return meant more than words to the schools she visitedHow a stormy celebration became a symbol of unstoppable joyThe surprising impact of showing up where no one else hadHow can a single wheelchair transform a life (and a community)What happens when we silence God's nudge in our daily rushResources Mentioned In This EpisodeEP275: What it Really Means to be Blessed with Joe Thompson and Travis Revelle Kyaro Assistive TechBorn to Shine-Special Needs Community Safehome for Children with Disability Inclusive About Rhiannon BeauchampRhiannon is a passionate minister, speaker, and community leader who serves as the Campus Pastor at Faith Church's Earth City campus in St. Louis. With a heart for radical love, inclusion, and service, she leads Born to Shine, a vibrant ministry for individuals with special needs and disabilities, creating joyful, Christ-centered experiences for families who often feel overlooked. Rhiannon's mission is rooted in daily surrender to God's calling, with a focus on action over words and love without limits. Her passion for global outreach recently led her to launch initiatives in Africa, where she's working to combat harmful stigmas and bring hope to marginalized families, all while pointing them to the love of Jesus. Connect with RhiannonLinkedIn: Rhiannon BeauchampConnect With UsMaster your context with real results leadership training!To learn more, visit our website at www.greatsummit.com.For tax, bookkeeping, or accounting help, contact Dr. Nate's team at www.theincometaxcenter.com or send an email to info@theincometaxcenter.com.Follow Dr. Nate on His Social MediaLinkedIn: Nate Salah, Ph.DInstagram: @natesalah Facebook: Nate SalahTikTok: @drnatesalahClubhouse: @natesalah
Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na mradi wa kutengeneza barabara katika kaunti ya Meru nchini Kenya. Makala tunaangazia simulizi ya mkurugenzi na mwanzilishi wa filamu iitwayo FURU, na mashinani tunakwenda Tanzania.Wafanyakazi wa misaada wa Umoja wa Mataifa leo wamesema kwamba bado wanangoja kibali kutoka kwa Israel ili kusambaza msaada wa kuokoa maisha ulioruhusiwa kuingia Gaza mwanzoni mwa wiki ambapo malori matano yalifanikiwa kuingia baada ya vikwazo kwa wiki 11.Nchini Kenya, katika kaunti ya Meru hatua rahisi iliyochukuliwa inaleta mabadiliko makubwa na dhahiri kwani maeneo ambako awali barabara zilikuwa hazipitiki na hakuna mawasiliano, ubunifu wa kijapani umerejesha matumaini.Katika makala wakati ulimwengu ukiendelea kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia, tunaelekea nchini Mali, ambako Fatou Cissé, mkurugenzi wa filamu na mwanzilishi wa filamu iitwayo FURU, anatumia sanaa kuangazia suala zito la ndoa za kulazimishwa.Na mashinani, fursa ni yake Ruth Nkurlu, Mtaalamu wa lishe kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF Tanzania, ambaye anatoa mafunzo ya lishe bora kwa watoto Mkoani Njombe kwa ajili ya kupunguza udumavu wakati wa ukuaji wa mtoto.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
In April, we asked VOM Radio listeners to to Christians living in restricted nations and hostile areas. This week, Ty Scott, VOM's Regional Leader for East and Southern Africa, tells us about the work and effort involved in actually placing Bibles into the hands of Christians living in cities and villages in Sudan, Tanzania, or the Democratic Republic of the Congo. Statistically, Kenya, Uganda, Ethiopia, and Tanzania are majority-Christian nations. Yet each has communities where almost every person is a Muslim. How is the gospel spreading in such places? And how are new followers of Christ treated by their families and the wider Islamic community? Ty will share about family persecution in Comoros, a country we've never discussed on VOM Radio, where Christians comprise only tenths of a percent of the population. Listen as Ty and VOM Radio Host, Todd Nettleton, discuss places where ethnic identity and Islam are completely intertwined. As gospel workers share the hope of Christ in those places, they don't ask people to leave their ethnicity but to fulfill what God would have them be. Hear the amazing testimony of a young man who brought his father, an imam (Islamic prayer leader), to faith in Christ, and how the gospel brought many into Christ's kingdom through his father's witness. Ty will also share specific ways you can pray for Christians in eastern and southern Africa.
The British Foreign Secretary, David Lammy, has announced the suspension of negotiations with Israel on a new trade agreement - due to what he called its "intolerable" and "abominable" recent actions in Gaza. The World Health Organisation says two million people in Gaza are starving. As Israel allows some aid in after an eleven week blockade, the British government says it's nowhere near enough. Also on the programme: Tanzania detains two prominent human rights activists who had travelled to Dar es Salaam to observe an opposition leader's treason case. And we'll have an appreciation of a ballet maestro with an iron fist.(Photo: Britain's Foreign Minister David Lammy delivers a statement on the Israel and Hamas ceasefire deal, at the House of Commons, in London, Britain, January 16, 2025. Credit: House of Commons/Handout via REUTERS)
In a world where everyone's busy curating the perfect life on social media — flexing soft lives, smooth backgrounds, and flawless vibes — one man is proudly swimming against the tide. His name? Zembwela.Straight outta Magomeni, Dar es Salaam, Zembwela went from streetwise kid to one of Tanzania's most beloved comedians — then flipped the script and became one of the most recognizable voices on radio. His journey is full of laughs, lessons, and a whole lot of realness.In this episode, he gets honest. Zembwela shares the wisdom life has taught him, calls out what he sees as the struggles facing today's young men, and challenges society to do better — especially for the next generation of men.With humor, heart, and a heavy dose of truth, Zembwela reminds us that there's power in owning your story. Love where you come from. Embrace who you are. That's the energy behind this episode: “Jikubali, Jipende.”
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika wafugaji wa nyuki nchini Tanzania leo ikiwa ni siku ya nyuki duniani iliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 20 Desemba mwaka 2017 kupitia azimio namba A/72/211.Baada ya miaka mitatu ya majadiliano, leo katika Mkutano wa Kimataifa wa Afya unaoendelea Geneva, Uswisi, nchi zimepitisha rasmi makubaliano ya kihistoria ya kuzuia, kujiandaa, na kukabiliana vyema na majanga ya magonjwa kwa siku zijazo. Taratibu zote zitakapopitishwa na angalau nchi 60, mkataba utaanza kutumika rasmi mwakani.Kutokana na mamlaka za Israeli kulegeza kwa muda mzingiro uliodumu kwa wiki 11, angalau sasa matumaini kidogo yamerejea Gaza, yameeleza leo mashirika ya Umoja wa Mataifa. Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya dharura, OCHA, Jens Laerke amesema tayari wamepata ruhusa ya kuyavusha malori matano yaliyokuwa yamezuiliwa jana.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limetahadharisha leo kwamba bila ufadhili zaidi, huenda katika muda wa wiki chache zijazo likalazimika kusitisha msaada wa chakula kwa takribani nusu ya watu linaowahudumia kwa sasa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.Na katika mashinani, fursa ni yake Hanan Al-Dayya, Mkimbizi wa ndani katika ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, akisimulia madhara ya mashambulizi yanayoendelea kutoka Israeli.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
In April, we asked VOM Radio listeners to sponsor Bible delivery to Christians living in restricted nations and hostile areas. This week, Ty Scott, VOM's Regional Leader for East and Southern Africa, tells us about the work and effort involved in actually placing Bibles into the hands of Christians living in cities and villages in Sudan, Tanzania, or the Democratic Republic of the Congo. Statistically, Kenya, Uganda, Ethiopia, and Tanzania are majority-Christian nations. Yet each has communities where almost every person is a Muslim. How is the gospel spreading in such places? And how are new followers of Christ treated by their families and the wider Islamic community? Ty will share about family persecution in Comoros, a country we've never discussed on VOM Radio, where Christians comprise only tenths of a percent of the population. Listen as Ty and VOM Radio Host, Todd Nettleton, discuss places where ethnic identity and Islam are completely intertwined. As gospel workers share the hope of Christ in those places, they don't ask people to leave their ethnicity but to fulfill what God would have them be. Hear the amazing testimony of a young man who brought his father, an imam (Islamic prayer leader), to faith in Christ, and how the gospel brought many into Christ's kingdom through his father's witness. Ty will also share specific ways you can pray for Christians in eastern and southern Africa. The VOM App for your smartphone or tablet will help you pray daily for persecuted Christians throughout the year, as well as providing free access to e-books, audiobooks, video content and feature films. Download the VOM App for your iOS or Android device today.
This week on Pod Have Mercy, we're recording from Dar es Salaam, Tanzania, with a very special guest: Bishop Moyambe. Together, we explore the inspiring work of the United Methodist Church in Tanzania, how it's growing, how lives are being changed, and what the future holds.Bishop Moyambe shares firsthand stories of transformation, hope, and the power of the Gospel in action. We talk about the challenges and opportunities facing the Church here, and how people around the world can partner through prayer, support, and presence.This is more than a conversation: it's an invitation to be part of something bigger.Ways to Pray and Partner:Pray for the churches, leaders, and communities in TanzaniaSupport development projects like clean water, education, and new church plantsLearn more at Chapelwood.org
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN WOMEN nchini Tanzania linaendesha mradi wa wanawake na uongozi chini ya ufadhili wa Finland mradi unaolenga kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi na pia kushiriki katika ngazi za uongozi katika maeneo yao.Kupitia makala hii Leah Mushi anatukutanisha na wanawake wawili walionufaika na mradi huo wa UN WOMEN na wanaeleza namna jamii zao zilivyokuwa kabla na baada ya kupatiwa elimu ya masuala mbalimbali yahusuyo watu wenye ulemavu.
Hii leo jaridani tunaangazia uhakika wa chakula, na takwimu za afya za janga la COVID-19 kusababisha vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ukosefu wa uhakika wa kupata chakula na utapiamlo kwa watoto uliongezeka kwa mwaka wa sita mfululizo mwaka 2024, na kuwatumbukiza mamilioni ya watu karibu na baa la njaa, huku wengine wakiepuka kutokana na misaada ya kimkakati. Imesema Ripoti ya Kimataifa kuhusu Janga la Chakula (GRFC) iliyotolewa leo huko Roma, Italia na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO.Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.Katika makala Leah Mushi anatupeleka nchini Tanzania kusikia namna wanawake wenye ulemavu walivyoweza kujikwamua kutoka kwenye changamoto mbalimbali ikiwemo za kiuchumi na kuchangamkia fursa za uongozi.Na katika fursa ni yake Bernadette Kambonesa, mkimbizi wa ndani kutoka kijiji cha Bogoro, jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akizungumzia manufaa yatokanayo na uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
In 2015, the World Health Organisation set the goal of eradicating rabies deaths from dog-bites to “Zero by 2030”. A team at the University of Glasgow and colleagues in Tanzania have been assessing the efficacy of dog vaccination schemes for reducing the numbers of human infections over the last 20 years. As Prof Katie Hampson tells Science in Action, in rural areas especially, vaccinating dog populations does work, but you need to keep at it, and not leave patches untouched. It should be funded as a public health measure, rather than a veterinary issue. Last weekend, the remains of a failed 1972 Soviet mission to Venus landed harmlessly somewhere back on earth. As the BBC's Maddie Molloy explains, the fears were that the robust lander craft would survive re-entry into earth's atmosphere as it was originally engineered to withstand the harsh pressures and chemistry of Venus. How and why then would sketches be emerging of Chinese plans to launch a sample-return mission to Venus in the next decade? Science Journalist Andrew Jones describes some of the challenges they will face collecting droplets of the highly acidic atmosphere somewhere 60km above the surface and turning round to head back to earth. Why? William Bains of Cardiff University is one of a growing number of scientists interested in exploring some of the more exotic possibilities for complex organic biology in the otherwise destructive sulphuric, hot, dense, low pH clouds they will find. Could a different sort of information-encoding molecular chemistry enable life, though not as we know it? Presenter: Roland Pease Producer: Alex Mansfield Production Coordinator: Jasmine Cerys George and Josie Hardy Photo: A domestic dog receives a rabies vaccine during a mass vaccination in Bunda, Tanzania, October 8, 2012. (Chris Sweda/Chicago Tribune/Tribune News Service via Getty Images)
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha katika mkutano wa CSW68 kumsikia Christina Kamili Ruhinda, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Mashirika yanayotoa huduma ya msaada wa kisheria nchini Tanzania, TANLAP. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno la wiki.Wakati dunia ikiadhimisha miaka 77 tangu Nakba ambapo zaidi ya wapalestina 700,000 walifurushwa kutoka vijiji na miji yao mwaka 1948, shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limetoa onyo kali kuhusu sura mpya ya mateso na ufurushwaji wa lazima uonaoendele Gaza.Akiwa na wasiwasi kutokana na ripoti za kuaminika kwamba wakimbizi wa Rohingya kutoka Myanmar walilazimishwa kushuka kutoka kwenye meli ya jeshi la wanamaji la India na kutoswa katika bahari ya Andaman wiki iliyopita, Mtaalamu wa UN wa Haki za Binadamu kuhusu wakimbizi wa Myanmar, ameanzisha uchunguzi kuhusu kitendo hicho alichoeleza kuwa ni cha kushangaza na kisichokubalika.Na baada ya muda mrefu kuonekana kama mchangiaji mkubwa wa utoaji wa hewa chafuzi duniani, sekta ya usafirishaji majini sasa iko mstari wa mbele katika kuonesha ushirikiano wa kipekee wa kimataifa wa kupunguza hewa hizo zitolewazo na meli za usafirishaji majini.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "KIANGO".Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "KIANGO."
Listener Peter Celeste joins Jeremy to discuss his climb of Mt. Kilimanjaro in Tanzania. Peter recounts his epic adventure to reach the summit of the tallest mountain in Africa. Although it's a challenging climb to the top of this massive volcano, it's one that many of us could do. Jeremy fills us in on some of the history of the area, and we might even talk about the famous snows of Kilimanjaro. Also, as announced in the episode, we are launching Trails Worth Hiking Adventures, where we'll team up with adventure travel companies to bring you amazing treks in fantastic locations: If you want to join Jeremy to trek the Camino de Costa Rica in March 2026, you can express your interest here: https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSfb5S6T-jzYA7iNny8anzf6muSg72XLQpccQDuWCdhc0UqaTA/viewform And if you'd like to join Jeremy to trek the Annapurna Base Camp trek in Nepal in October 2026, you can find info on the route here: https://enepaltrekking.com/annapurna-base-camp-trek and you can contact Earthbound Expeditions and let them know you want to join the Trails Worth Hiking trek in October 2026. Or just reach out to Jeremy at trailsworthhiking@gmail.com and he'll help get you information on the trips. Last, but not least, our sponsor Outdoor Herbivore has brought back the TWH10P discount code on their fantastic backpacking food: https://outdoorherbivore.com/ so it's time to refill your backpacking pantry!
Episode overview: In this conversation, Verto co-founder and CEO Ola Oyetayo shares the journey of building a cross-border payments platform that tackles the unique challenges African businesses face when making international transactions. Since graduating from Y Combinator in 2019, Verto has established itself as what Oyetayo describes as a profitable and cashflow positive fintech serving multiple African markets. Incidentally, the company recently made headlines after winning the prestigious $1 million Milken-Motsepe Prize in FinTech. He discusses his team's pragmatic approach to addressing payment barriers in emerging markets, why traditional financial institutions have failed to serve these regions effectively, and how technology can disrupt traditional banking networks that have historically excluded certain markets. Andile Masuku engages Oyetayo on the evolution of fintech in Africa, the role of privilege and networks in business success, and the future potential of stablecoins to revolutionise cross-border payments in ways that might prove more transformative for emerging markets than developed ones. Key topics: - Verto's position in the cross-border payments landscape - The strategic decision to focus on B2B rather than consumer payments - The untapped $286 billion trade flow between Africa and China - Why 96-97% of business cross-border payments still go through traditional banks - The innovator's dilemma Verto faces with the rise of stablecoins Notable points: 1. In 2018, Oyetayo launched Verto's business model alongside his co-founder Anthony Oduu after spotting a solutions gap for African businesses making international payments outside of traditional banks 2. Verto has been profitable and cash flow positive for approximately 18 months 3. How a chance meeting with legendary VC Vinod Khosla at YC in 2019 first turned him on to the stablecoin investment opportunity—years before they became mainstream 4. The company operates in Nigeria, South Africa, Kenya, Tanzania and the Francophone region 5. Despite previous experience in institutional finance, Oyetayo admits "ignorance is bliss" helped him tackle a problem others saw as too risky 6. The potential of stablecoins to solve liquidity, volatility and capital control challenges in emerging markets Listen out for Oyetayo's take on Paystack's B2C play Zap, the fintech ecosystem implications of Moniepoint's "unicornification," and his contrarian insight that stablecoins will revolutionise emerging markets while having minimal impact in developed economies: "This is not a popular opinion... There's just no case for stablecoins in developed markets. People talk about, oh, it's going to disrupt Visa and MasterCard... I don't see that coming anytime soon." Image credit: Verto
Hii leo jaridani tunaangazia haki za wanawake na wasichana nchini Sudan na hali ya kina mama na wanawake wajawazitio katika ukanda wa Gaza. Makala tukwenda nchini Burundi na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Wataalamu huru wa haki za binadamu, leo Mei 14 wamekemea vikali ukiukwaji mkubwa na wa kimfumo dhidi ya wanawake na wasichana nchini Sudan ukiwemo ukatili wa kingono unaohusiana na vita, utekaji nyara, na mauaji, ambayo mengi yameripotiwa kufanywa na kundi la kijeshi la Rapid Support Forces (RSF).Huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, wanawake na wasichana wakiwemo wanawake wajawazito na wale waliojifungua, wamelazimika kukimbia makazi yao na wanaishi katika mazingira hatarishi bila huduma za msingi za kiafya. Sharon Jebichii anaangazia simulizi ya mama mmoja, mkazi wa kambi ya wakimbizi ya Jabalia, Kaskazini mwa Gaza, ambaye alijifungua akiwa amekimbia vita,na sasa anahangaika kumtunza binti yake mchanga.Katika makala Assumpta Massoi kwa makala hiyo na zaidi ya yote shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi nchini Burundi kwa kuiandaa na kuhakikisha wakimbizi wanapata usaidizi.Na mashinani, fursa ni yake Juliana Sanga, mama kutoka Mkoa wa Njombe nchini Tanzania ambaye ni mnufaika wa mafunzo ya lishe bora kwa ajili ya kupunguza udumavu kwa watoto inayofanikishwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF Tanzania. Yeye anaeleza kile anachoondoka nacho.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
The note the builders found at the metropole - now we've found all the mens families...I couldn't go back on the lie - what Richard Satchwells trial is continuing...Laptops for Tanzania - all the way from Kinsale & lots more Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Behind every Afropop YouTube megahit and dancefloor sensation, there is a producer, a beat-maker striving to imagine the next big thing, basically inventing the future. In part 2 this two-part podcast, we meet Dami TNT, a rising producer in Lagos, Nigeria. And we hear a discussion between Zimbabwean producer Kooldrink, Pierre Kwenders of the Moonshine Afro-house about beats, tempos, and the emergence of super-fast youth music, like Tanzania's singeli, in urban African centers. Produced by Banning Eyre PA 038
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inamulika lengo namba moja la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDG1 la kutokomeza umaskini na inatupeleka nchini Tanzania ambako Umoja wa Mataifa umeona bora kusaidia wafugaji kuku kuondokana na umaskini.Katika mkutano wa ngazi ya mawaziri kuhusu mustakabali wa ulinzi wa amani unaofanyika leo mjini Berlin Ujerumani Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza vipaumbele vitatu vya msingi katika mageuzi ya ulinzi wa amani kwa muktadha wa dunia inayobadilika kwa kasi.Mashariki ya Kati leo shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO limeonya kuhusu vifo vya watoto kutokana na utapiamlo Gaza, sababu kubwa ikiwa ni kuendelea kukosekana kwa msaada wa kibinadamu unaojumuisha lishe maalum kwa watoto.Wakati mahitaji ya kibinadamu yakizidi kuongezeka duniani watu milioni 308 katika nchi 73 wakihitaji msaada wa dharura , Shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women limeonya kuwa wanawake na wasichana ndio wanaoathirika zaidi wa migogoro, wakikumbwa na utapiamlo, vifo vinavyoweza kuzuilika vinavyohusiana na ujauzito, na ukatili wa kingono kwa kiwango cha juu, huku mfumo wa misaada ya kibinadamu ukikumbwa na ukata wa fedha.Na katika mashinani, fursa ni yake Jean Todt, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu usalama barabarani akieleza ni jambo gani lifanyike kuhakikisha usalama barabarani wakati huu dunia inaadhimisha Wiki ya Usalama Barabarani maudhui yakijikita kwenye kuhakikisha barabara ni salama kwa ajili ya waenda kwa miguu na waendesha baiskeli.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Narrator: Simon Mattacks
Historically Thinking: Conversations about historical knowledge and how we achieve it
The end of the nineteenth century witnessed the “scramble for Africa”, during which European powers imposed colonial regimes upon nearly the entire African continent. Yet the decades preceding that imperial feeding frenzy were times of revolutionary ferment and change, both politically and economically. In his new book The African Revolution: A History of the Long Nineteenth Century, Richard Reid examines those changes by focusing on a stretch of road in Tanzania, one of the most active commercial highways of its time, weaving the larger African and European context around characters and events on that road. Richard Reid is professor of African history at the University of Oxford and a fellow of St Cross College. His books include Shallow Graves: A Memoir of the Ethiopia-Eritrea War; A History of Modern Uganda; and Warfare in African History.
Charles and Jon talk to Shavez Cheema, founder of Borneo1Stop Wildlife, from his home in Sabah.Shavez talks about a childhood in Brunei surrounded by wildlife and how, at the age of nine, he was inspired to work in conservation after seeing a neighbour's senseless killing of a monitor lizard. We discuss the massive potential for growth in conservation tourism across Borneo, and both the benefits and problems it might create. And Shavez explains why Borneo1Stop Wildlife is committed to opening up new mammalwatching areas and what visitors can expect from them. Any conversation about Borneo will feature some premier league mammals. Shavez's favorite moments include an unexpected encounter with a Tufted Ground Squirrel and walk away views of a Clouded Leopard.For more information visit www.mammalwatching.com/podcastNotes: More details of Borneo1Stop Wildlife's destinations in Tawau Hills, Beluran and INIKEA are here. And this is a report of a 2024 bat photography workshop. There are many many Borneo trip reports on mammalwatching.The jaw-dropping photographs from the migration in South Sudan that Charles mentioned were part of the media pack accompanying this African Parks press release. Check out this extraordinary image!Jon's Romania mole-rat safari report is here.Cover art: Walk away views of a Clouded Leopard, Shavez Cheema.Dr Charles Foley is a mammalwatcher and biologist who, together with his wife Lara, spent 30 years studying elephants in Tanzania. They now run the Tanzania Conservation Research Program at the Lincoln Park Zoo in Chicago.Jon Hall set up mammalwatching.com in 2005. Genetically Welsh, spiritually Australian, currently in New York City. He has looked for mammals in over 110 countries.
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea-Gaza: Mashirika ya Umoja wa Mataifa leo yakemea mpango wa Israel kutumia misaada kama mtego-Mradi wa HOTIGRO wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP nchini Tanzania wainua wakulima wa mboga na matunda -Makala leo inatupeleka Uganda kumulika kiwanda cha kutengeneza chokoleti-Na mashinani tunabisha hodi Kenya kunakofanyika mkutano wa UNESCO kuhusu urithi wa utamaduni wa Afrika
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”
Jukwaa la Umoja wa Mataifa kuhusu watu wa jamii za asili limekunja jamvi mwishoni mwa wiki iliyopita hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na kandoni mwa jukwaa hilo Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji ya Wamaasai mkoani Morogoro Mashariki mwa Tanzania Adam Kulet Ole Mwarabu, wamejadili mengi lakini Ole Mwarabu anaanza kwa kukumbusha alichokibeba kwenye jukwaa la mwaka jana kinavyotekelezwa nchini mwake.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa ambayo Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuzungumza na kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji ya Wamaasai mkoani Morogoro nchini Mashariki mwa Tanzania Adam Kulet Ole Mwarabu.Wiki kumi baada ya kuanza kwa mzingiro kamili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza, zaidi ya robo tatu ya kaya katika eneo la Palestina kuna uhaba mkubwa wa huduma ya maji, huku hali ya usafi ikizidi kuwa mbaya, yameonya leo mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu athari za "uhaba huo wa maji kwa kuzingatia kuwa msimu wa joto unakaribia.”Ripoti kutoka Sudan zikidai kwamba juzi jumatano kulikuwa na jaribio la mashambulizi mapya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya kitovu muhimu cha misaada nchini humo juzi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kupitia tamko alilolitoa jana jioni kwa saa za New York, Marekani, ameongeza nguvu yake katika kutoa wito unaozidi kuwa wa muhimu kuhamasisha kuanzishwa kwa mazungumzo ya amani ya kweli.Kufuatia kuendelea kwa mvutano wa majirani, India na Pakistani, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Philemon Yang, ametoa wito wa kuzitaka nchi hizo mbili kuchukua tahadhari na kuepuka hatua zinazoweza kuongeza mzozo. Balozi Yang anasisitiza mazungumzo ya amani na kufuata sheria za kimataifa ndiyo njia pekee ya kusuluhisha migogoro.”Na katika jifunze Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
"Do you know what you want to preserve for the next generation?" asks community leader Ndinini Kimesera Sikar. Drawing on her experience growing up in a family of 38 in a traditional Maasai village in Tanzania — where every chore was shared, every story was sung and belonging meant survival — she explores how we can blend the old with the new to build the life we want, encouraging us all to ponder our list of "must-haves" for the future.This is episode four of a seven-part series airing this week on TED Talks Daily, where author, podcaster and past TED speaker Kelly Corrigan — and her six TED2025 speakers — explore the question: In the world of artificial intelligence, what is a parent for?To hear more from Kelly Corrigan, listen to Kelly Corrigan Wonders wherever you get your podcasts, or at kellycorrigan.com/podcast. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
"Do you know what you want to preserve for the next generation?" asks community leader Ndinini Kimesera Sikar. Drawing on her experience growing up in a family of 38 in a traditional Maasai village in Tanzania — where every chore was shared, every story was sung and belonging meant survival — she explores how we can blend the old with the new to build the life we want, encouraging us all to ponder our list of "must-haves" for the future.
"Do you know what you want to preserve for the next generation?" asks community leader Ndinini Kimesera Sikar. Drawing on her experience growing up in a family of 38 in a traditional Maasai village in Tanzania — where every chore was shared, every story was sung and belonging meant survival — she explores how we can blend the old with the new to build the life we want, encouraging us all to ponder our list of "must-haves" for the future.
Today as part of the Tales of a Nuffield Scholar podcast which aims to share the stories of Nuffield UK Alumni we welcome Jenna Ross.
What would it look like to keep all living creatures in the loop on the development of new technology? Reid sat down for a wide-ranging solo discussion with Jane Goodall on that very subject – and more. They talked about how to maintain hope and focus on local impact in today's often chaotic world, how technology – and AI in particular – might be helpful for conservation, and Jane's global youth program, Roots & Shoots. Plus, the Jane Goodall institute shared audio from a cutting edge acoustic array that helped them discover a brand new species in Gombe National Park in Tanzania! Jane reflected on her legacy and shared stories about bridging unlikely divides, defying the scientific community early in her career, young people opening their eyes to the natural world for the first time, and so much more. Thank you to the incredible team at the Jane Goodall Institute and WildMon (L. Pintea, B. Wallauer, K. Harmon, M. Campos, Gabriel Leite, Tomaz Melo, Guilherme Melo, D. A. Collins, D. C. Mjungu) that, with funding from Google, utilized an acoustic array to discover brand new species in Gombe National Park, Tanzania, including Thomas's Dwarf Galago (Galagoides thomasi). For more info on the podcast and transcripts of all the episodes, visit https://www.possible.fm/podcast/ Topics: 03:38 - Hellos and intros 03:45 - “Name that baby” game 05:34 - How Jane has used technology in her work 09:13 - Discovering a new species with an acoustic array 11:57 - How AI can help conservation 16:55 - AI as an animal translator 19:58 - Essential lesson for research 22:30 - Similarities between humans and chimpanzees 26:42 - Bridging divides between unlikely groups 30:32 - “We must either redefine man, redefine tool, or…” 32:20 - Government funding cut from Jane Goodall Institute 36:26 - Youth program Roots and Shoots 39:57 - How to maintain hope 42:53 - What we can learn from kids 44:33 - Global impact of the Roots and Shoots program 46:18 - Jane's ideal AI tool 48:22 - Jane asks Reid: Can AI become sentient? 51:27 - AI's impact on the brain 54:55 - Rapid-fire Questions Select mentions: APOPO's “Amazing Rats” | How It Works Regeneration by Paul Hawken TACARE Program Roots & Shoots Possible is an award-winning podcast that sketches out the brightest version of the future—and what it will take to get there. Most of all, it asks: what if, in the future, everything breaks humanity's way? Tune in for grounded and speculative takes on how technology—and, in particular, AI—is inspiring change and transforming the future. Hosted by Reid Hoffman and Aria Finger, each episode features an interview with an ambitious builder or deep thinker on a topic, from art to geopolitics and from healthcare to education. Each episode seeks to enhance and advance our discussion about what humanity could possibly get right if we leverage technology—and our collective effort—effectively.
In this episode, Dr. Samuel B. Lee, MD sits down with Christopher August, founder of Beats & Breath, author of Master Your Breath, and a pioneer in the conscious breathwork movement. From escaping the corporate grind to a near-death experience in the Zambezi River, Christopher's journey is a profound exploration of soul awakening, trauma release, and divine remembrance through the breath.Christopher shares how a drowning accident sparked a rebirth and awakened his mission to teach breath as a spiritual technology. He speaks deeply about the somatic intelligence of the body, his time in the Peace Corps in Tanzania, and how merging ancient breathwork with cannabis and music has helped thousands heal and awaken.This episode dives deep into parasympathetic breathwork, trauma stored in the body, and the sacred intersection of breath and intention, offering powerful tools for those seeking grounded healing, spiritual insight, and an embodied sense of purpose.
AK Lalani, the founder of Rollout, joins us to share the profound challenges associated with API integrations within the real estate sector. He elucidates how Rollout endeavors to streamline the integration process, thereby enabling proptech companies to focus on their core offerings without the burden of complex API management. Drawing from his rich background, including a formative upbringing in Tanzania and extensive experience in the tech industry, AK shares insights into his entrepreneurial journey and the motivations behind his innovative solutions. Our conversation traverses his early ventures, the lessons learned from working at startups, and the pivotal moment that led him to address the critical integration issues plaguing the industry. As we delve into the future of technology in real estate, AK emphasizes the transformative potential of AI and the imperative for seamless data connectivity across platforms.The dialogue with esteemed guest AK Lalani unveils a profound narrative of his formative years, tracing back to his upbringing in Tanzania and the indelible impact of his familial background on his entrepreneurial aspirations. Lalani's reflections on growing up in a developing nation highlight the stark contrasts between his educational experiences and those of his peers in the United States. He articulates a burgeoning sense of empathy fostered by witnessing the struggles of those in his community, which ultimately propelled him to initiate a poverty reduction initiative during his high school years. This endeavor exemplifies how early exposure to socio-economic challenges instilled in him a desire to effectuate tangible change, a theme that resonates throughout his professional journey.Transitioning from his roots, the conversation delves into Lalani's academic pursuits at Stanford University, where he encountered the duality of being both a standout student and a member of a highly competitive cohort. His experiences at Stanford were transformative, shaping his understanding of entrepreneurship and technology. The narrative highlights the pivotal moments that led him to recognize his strengths in economics, steering him away from traditional engineering pathways. This realization set the stage for his eventual foray into the startup world, where he sought to learn from existing enterprises before embarking on his entrepreneurial ventures.The latter part of the discourse centers on Lalani's current ventures, particularly his role as the founder of Rollout, which addresses the intricate challenges associated with API integrations in the proptech sector. He elucidates the complexities faced by companies striving to connect various software solutions, emphasizing the time-consuming nature of building and maintaining integrations. Rollout's innovative approach—allowing companies to build once and integrate everywhere—represents a significant advancement in simplifying this process. Lalani's insights into the future of technology in real estate, particularly the integration of AI through their recently released MCP server, underscore his forward-thinking perspective and commitment to enhancing the operational efficiency of proptech companies.Takeaways: Growing up in Tanzania provided AK Lalani with a unique perspective on community and empathy, shaped by the challenges of poverty. His entrepreneurial journey began in high school with a poverty reduction initiative called Prompt, reflecting a commitment to social impact. AK's experience at Stanford was transformative, challenging him to outwork his peers and discover his true talents in economics. Rollout, the company founded by AK, addresses the complexities of API integration in prop tech, aiming to simplify data connectivity for businesses. The MCP server introduced by Rollout enables advanced AI capabilities, facilitating seamless communication between CRM systems and...
“Walking in the shadow of a giant” si jambo rahisi—na inakuwa ngumu zaidi pale “Giant” huyo akiwa ni Augustine Mahiga, mwanadiplomasia mashuhuri wa Tanzania, na wewe ni mtoto wake wa kiume, unayejulikana kama Andrew Mahiga.Kwa wengi, jina la mwisho linaweza kufungua milango, lakini je, kila nafasi unayoipata ni kwa sababu ya uwezo wako au kwa sababu unaitwa Mahiga? Hilo ndilo swali ambalo Andrew amekuwa akilazimika kulikabili katika safari yake ya kujitambua.Katika episode hii ya kipekee ya Men Men Men: The Podcast, Andrew anakaa nasi na kufungua moyo wake kuhusu changamoto za kuishi na jina kubwa, shinikizo la kulingana na hadhi ya baba, na hatimaye furaha aliyopata alipogundua kuwa—ndiyo, yeye ni mtoto wa baba yake, lakini si lazima awe kama baba yake.Zaidi ya hayo, Andrew anazungumzia kwa kina umuhimu wa mentorship kwa wanaume—na jinsi kuwepo au kutokuwepo kwa wanasihi kunaweza kumjenga au kumvunjilia mbali mwanaume wa Kitanzania.Baada ya kuisikiliza episode hii, utaelewa kwa nini tumeiita: "Embracing the Legacy, Creating My Own Path."
After spending his childhood in Tanzania and then moving to London, Alnoor Dhanani expected small-town Chattanooga would be a two-year stopover. Yet, forty-five years later, he's still proud to call it home. In this episode, Alnoor shares how growing up across different continents shaped his unique perspectives on life, a behind-the-scenes look at doing business internationally, and how Double Cola got its name. Alnoor Dhanani is the CEO of Double Cola, a 103-year-old beverage company headquartered in Chattanooga. You can connect with Alnoor on LinkedIn (linkedin.com/in/aldhanani) and you can learn more about Double Cola on their website: doublecolacompany.com If you like this episode, we think you'll also like: Christian Höferle's Morning Cup (E76) Peppo Biscarini's Morning Cup (E81) Angela and Michael Ballard's Morning Cups (E96) My Morning Cup is hosted by Mike Costa of Costa Media Advisors and produced by SpeakEasy Productions. Subscribe to the weekly newsletter here and be the first to know who upcoming guests are!
Live from Roatán, Honduras, Dr. Mark Costas shares a raw behind-the-scenes look at mission dentistry in some of the toughest conditions imaginable—no suction, limited tools, storage containers turned operatories. This isn't about comfort. It's about impact. With Smile Outreach International, Mark and his team are building sustainable clinics across the globe, from Mexico to Tanzania, creating long-term solutions where dental care is nearly nonexistent. For anyone burned out in dentistry or business, this is a reminder: your skill set can change lives. You just have to put it to work where it matters most. EPISODE RESOURCES https://www.truedentalsuccess.com Dental Success Network Subscribe to The Dentalpreneur Podcast