United Nations agency mandated to protect and support refugees
POPULARITY
Categories
Hii leo jaridani tunaangazia haki za binadamu nchini Ukraine na upatikanaji wa elimu nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini, na amashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia.Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya Kwale Pwani ya Kenya ambao waliacha shule sababu ya umasikini. Katika makala ikielekea siku ya walinda amani kesho Mei 29, tunamulika harakati za walinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini SUdan Kusini za kulinda raia na mwenyeji wako katika makala hii iliyoandaliwa kupitia video ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani Sudan Kusini, UNMISS ni Sharon Jebichii.Na katika mashinani huku machafuko yakiendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wafanyakazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wako mashinani mjini Goma na maeneo mengine yaliyoathirika ili kutoa msaada muhimu, ikiwa ni pamoja na kufanikisha nia ya wakimbizi wanaorejea nchini mwao Rwanda. Raab na Ruusi ni baadhi yao.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Send us a text
Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.
Gaza: Aid teams pick up vital relief supplies at the borderSouth Sudan exodus continues: UNHCR
In her small home in the capital of Greece, Athens, 93-year-old Ioanna Matsouka has knit thousands of brightly colored scarves for children in need from Greece to Bosnia to Ukraine. She has no plans to stop just yet.在她在雅典首都的小房子里,现年93岁的ioanna Matsouka为从希腊到波斯尼亚再到乌克兰的儿童都编织了数千件鲜艳的围巾。 她还没有计划停下来。 "Until I die, I will be knitting," Matsouka told Reuters. Her knitting tools called needles made noises through her expert fingers, her nails painted red. "It brings me joy to share them,” she said. “直到我死了,我将编织。” Matsouka告诉路透社。 她称为针的编织工具通过她的专业手指发出噪音,指甲涂成红色。 她说:“这让我很高兴分享它们。” Since she took up knitting in the 1990s, Matsouka has easily made over 3,000 scarves, her daughters estimate. 自从她在1990年代开始编织以来,Matsouka很容易制作3,000多件围巾,她的女儿估计。 By the door to her home, bags filled with her latest creations await their new owners. A knitted blanket is thrown over a large chair where she spends her days. 在她家的门口,袋子里装满了她的最新作品,等待着他们的新主人。 一张针织毯子被扔在一把大椅子上,在那里她度过了一天。In the beginning, the scarves were gifted to friends. As the number of scarves grew, they were donated to children's homes across Greece. Then, through people she knew, they reached children in Bosnia and Ukraine. The latest 70 scarves went to a refugee camp near Athens this winter, via the United Nations refugee agency UNHCR. 一开始,围巾被赠予朋友。 随着围巾的数量,它们被捐赠给希腊的儿童住宅。 然后,通过她认识的人,他们在波斯尼亚和乌克兰接触了孩子。 最新的70艘围巾于今年冬天通过联合国难民署难民署前往雅典附近的难民营。 "The fact that we give them away gives her strength," said her daughter Angeliki. 她的女儿安吉利基(Angeliki)说:“我们赠送了他们的力量。” She recounted simple artwork and mail her mother received over the years: "Thank you, be well, keep going. You gave joy to children; you gave joy to people... That's her only reward: a letter, a few words." 她讲述了简单的艺术品,并邮寄了母亲多年来收到的邮寄:“谢谢你,要继续前进。Matsouka knits one scarf a day now. Her eyesight suffers and she sometimes has severe facial pain, a condition known as trigeminal neuralgia.Matsouka现在每天编织一条围巾。 她的视力遭受了痛苦,有时会出现严重的面部疼痛,这种疾病被称为三叉神经痛。 Angeliki says her mother is an example of strength and hope. 安吉利基(Angeliki)说,她的母亲是力量和希望的一个例子。 Matsouka wakes up every morning, drinks a glass of milk, puts on her jewelry and gets to work. She takes a break for lunch and a short sleep, then knits into the night. Matsouka每天早晨醒来,喝一杯牛奶,戴上珠宝并上班。 她休息一下午餐和短暂的睡眠,然后编织到夜晚。She may have even found the secret to a long life in it, she says. "It's the happiness I get from giving," she said, sitting beside a big blue bag filled with the knitting materials.她说,她甚至可能已经找到了长寿的秘诀。 她说:“这是我给予的幸福。”
Gaza: UN agencies insist Israeli aid plan leaves most vulnerable at riskDeepening hunger alert for West and Central Africa: WFPCosta Rica's refugee lifeline at breaking point amid funding crisis: UNHCR
In EVN Report's news roundup for the week of May 9: Armenia's Prime Minister Nikol Pashinyan attends Victory Day celebrations in Moscow; Armenian lawmakers warn of potential Russian interference in the 2026 parliamentary elections; UNHCR announces suspension of its operations in Azerbaijan and more.
Die gesellschaftliche Debatte der vergangenen Monate drehte sich vermehrt um das Thema Migration. Welche Ergebnisse gibt es dazu aus der Forschung? In der öffentlichen Diskussion gab es oft den Tenor: Deutschland hat ein Problem mit Migration. Aber stimmt das eigentlich? In der Wissenschaft beschäftigen sich viele Fachbereiche mit diesem Thema, zum Beispiel Kriminologie, Soziologie und Politologie. Im Gespräch mit Host Beke Schulmann spricht Autorin Yasmin Appelhans über dieses komplexe Thema und beleuchtet es aus verschiedenen Perspektiven: Gibt es wirklich ein Problem? Und würden die Lösungsvorschläge aus der Politik - wie zum Beispiel mehr Grenzkontrollen - etwas daran ändern können? HINTERGRUNDINFORMATIONEN: 1. Unmittelbar Ausreisepflichtige Personen in Deutschland. https://dserver.bundestag.de/btd/20/057/2005749.pdf [Accessed 9th April 2025]. 2. Polizeiliche Kriminalstatistik 2024. https://www.bmi.bund.de/SharedDocs/kurzmeldungen/DE/2025/04/pks2024-vorstellung.html?nn=10001204 [Accessed 9th April 2025]. 3. Ergebnisse des Niedersachsensurveys 2022 – KFN e.V. https://kfn.de/blog/2023/12/ergebnisse-des-niedersachsensurveys-2022-veroeffentlicht/ [Accessed 9th April 2025]. 4. Forschungsprojekt "Demokratiebezogene Einstellungen und Werthaltungen innerhalb der Polizei Hamburg" (DeWePol). https://akademie-der-polizei.hamburg.de/forschungsprojekt-dewepol-770982 [Accessed 1st April 2025]. 5. Jaraba M. Clankriminalität - Eine kritische Perspektive. Kriminalistik. 2024;3: 147–152. https://www.kriminalistik.de/90951.htm 6. Lagebild Clankriminalität 2023 in Niedersachsen. https://www.mi.niedersachsen.de/startseite/aktuelles/presseinformationen/vorstellung-des-vierten-gemeinsamen-lagebildes-von-polizei-und-justiz-zur-clankriminalitat-2023-in-niedersachsen-leichter-ruckgang-bei-straftaten-anstieg-bei-zahl-der-gerichtsverfahren-234742.html [Accessed 31st March 2025]. 7. Lagebild Clankriminalität NRW. https://polizei.nrw/artikel/lagebild-clankriminalitaet [Accessed 31st March 2025]. 8. Lagebild Clankriminalität Berlin 2023. https://www.berlin.de/sen/inneres/presse/pressemitteilungen/2024/pressemitteilung.1468546.php [Accessed 31st March 2025]. 9. Hestermann, T. Wie Medien über Messerangriffe berichten. 2023 Jun. https://mediendienst-integration.de/fileadmin/Dateien/Expertise_Berichterstattung_ueber_Messerangriffe_Thomas_Hestermann.pdf 10. Guay B, Marghetis T, Wong C, Landy D. Quirks of cognition explain why we dramatically overestimate the size of minority groups. Proceedings of the National Academy of Sciences. 2025;122(14): e2413064122. https://doi.org/10.1073/pnas.2413064122. 11. https://www.unhcr.org/external/component/header. UNHCR. https://www.unhcr.org/external/component/header [Accessed 9th April 2025]. 12. Vertovec S. Superdiversität. Suhrkamp Verlag; https://www.suhrkamp.de/buch/steven-vertovec-superdiversitaet-t-9783518588154 [Accessed 31st March 2025].
Die gesellschaftliche Debatte der vergangenen Monate drehte sich vermehrt um das Thema Migration. Welche Ergebnisse gibt es dazu aus der Forschung? In der öffentlichen Diskussion gab es oft den Tenor: Deutschland hat ein Problem mit Migration. Aber stimmt das eigentlich? In der Wissenschaft beschäftigen sich viele Fachbereiche mit diesem Thema, zum Beispiel Kriminologie, Soziologie und Politologie. Im Gespräch mit Host Beke Schulmann spricht Autorin Yasmin Appelhans über dieses komplexe Thema und beleuchtet es aus verschiedenen Perspektiven: Gibt es wirklich ein Problem? Und würden die Lösungsvorschläge aus der Politik - wie zum Beispiel mehr Grenzkontrollen - etwas daran ändern können? HINTERGRUNDINFORMATIONEN: 1. Unmittelbar Ausreisepflichtige Personen in Deutschland. https://dserver.bundestag.de/btd/20/057/2005749.pdf [Accessed 9th April 2025]. 2. Polizeiliche Kriminalstatistik 2024. https://www.bmi.bund.de/SharedDocs/kurzmeldungen/DE/2025/04/pks2024-vorstellung.html?nn=10001204 [Accessed 9th April 2025]. 3. Ergebnisse des Niedersachsensurveys 2022 – KFN e.V. https://kfn.de/blog/2023/12/ergebnisse-des-niedersachsensurveys-2022-veroeffentlicht/ [Accessed 9th April 2025]. 4. Forschungsprojekt "Demokratiebezogene Einstellungen und Werthaltungen innerhalb der Polizei Hamburg" (DeWePol). https://akademie-der-polizei.hamburg.de/forschungsprojekt-dewepol-770982 [Accessed 1st April 2025]. 5. Jaraba M. Clankriminalität - Eine kritische Perspektive. Kriminalistik. 2024;3: 147–152. https://www.kriminalistik.de/90951.htm 6. Lagebild Clankriminalität 2023 in Niedersachsen. https://www.mi.niedersachsen.de/startseite/aktuelles/presseinformationen/vorstellung-des-vierten-gemeinsamen-lagebildes-von-polizei-und-justiz-zur-clankriminalitat-2023-in-niedersachsen-leichter-ruckgang-bei-straftaten-anstieg-bei-zahl-der-gerichtsverfahren-234742.html [Accessed 31st March 2025]. 7. Lagebild Clankriminalität NRW. https://polizei.nrw/artikel/lagebild-clankriminalitaet [Accessed 31st March 2025]. 8. Lagebild Clankriminalität Berlin 2023. https://www.berlin.de/sen/inneres/presse/pressemitteilungen/2024/pressemitteilung.1468546.php [Accessed 31st March 2025]. 9. Hestermann, T. Wie Medien über Messerangriffe berichten. 2023 Jun. https://mediendienst-integration.de/fileadmin/Dateien/Expertise_Berichterstattung_ueber_Messerangriffe_Thomas_Hestermann.pdf 10. Guay B, Marghetis T, Wong C, Landy D. Quirks of cognition explain why we dramatically overestimate the size of minority groups. Proceedings of the National Academy of Sciences. 2025;122(14): e2413064122. https://doi.org/10.1073/pnas.2413064122. 11. https://www.unhcr.org/external/component/header. UNHCR. https://www.unhcr.org/external/component/header [Accessed 9th April 2025]. 12. Vertovec S. Superdiversität. Suhrkamp Verlag; https://www.suhrkamp.de/buch/steven-vertovec-superdiversitaet-t-9783518588154 [Accessed 31st March 2025].
In EVN Report's news roundup for the week of May 9: Armenia's Prime Minister Nikol Pashinyan attends Victory Day celebrations in Moscow; Armenian lawmakers warn of potential Russian interference in the 2026 parliamentary elections; UNHCR announces suspension of its operations in Azerbaijan and more. The post PM Nikol Pashinyan Attends Victory Day Celebrations in Moscow appeared first on EVN Report.
Power Shift is an experiment in dialogue that puts decision-makers in aid and philanthropy and those affected by their decisions in honest, one-on-one conversations about the aid sector's inequalities. ___ What happens when a stateless activist sits down with one of the UN refugee agency's highest-ranking officials? What if they had the chance to tell him what it's like to lose everything, to have to depend on aid, and what it would take for refugees to have more agency? Can the decisions he makes in Geneva affect the lives of refugees on the other side of the world? And could their conversation change how those decisions are made? Listen in as Rohingya refugee rights activist Hafsar Tameesuddin and UNHCR's Assistant High Commissioner for Operations Raouf Mazou candidly discuss what needs to change in refugee response, and who has the power to change it. ___ Subscribe on Spotify, Apple, or YouTube, or search “The New Humanitarian” in your favourite podcast app. You can find transcripts of all podcasts on our website. Are you or anyone you know interested in participating in future Power Shift conversations? Email us with the subject line ‘POWER SHIFT”.
While statelessness affects millions of people around the world, Australia also has stateless people.The United Nations refugee agency says there are around 8,000 stateless people in Australia, but experts say there could be more. The UNHCR is calling on the Australian government to create a stateless determination procedure (SDP), which would contribute to efforts to assess the size and the situation of stateless population amongst migrant populations.The fourth episode of Belonging Nowhere looks at Australia and how it deals with statelessness.
Children in Gaza are going to bed starving, says UNRWATerrifying aftershocks continue to hamper Myanmar quake responseAfghanistan's forced returnees need protection: UNHCR
Amnesty International accuses Israel of 'live-streamed genocide' in Gaza Amnesty International, in a report, accuses Israel of perpetrating a “live-streamed genocide” in Gaza, underlining systematic mass slaughter, starvation and ruthless displacement of Palestinians. "States watched on as if powerless, as Israel killed thousands upon thousands of Palestinians, wiping out entire multigenerational families, destroying homes, livelihoods, hospitals, and schools,""Amnesty's Secretary General Agnes Callamard said. With 1.9 million Palestinians driven from their homes, Amnesty described Israel's invasion as an “engineered humanitarian apocalypse.” Amnesty also highlights escalating violence and apartheid in the occupied West Bank. UNHCR slams UN Security Council for 'chronic failure' to stop wars The United Nations High Commissioner for Refugees chief Filippo Grandi criticised the UN Security Council for its chronic failure to prevent global violence, accusing the body of neglecting its responsibility to uphold peace. "This is a season of war. This is a time of crisis. From Sudan to Ukraine, from the Sahel to Myanmar, from the Democratic Republic of Congo to Haiti, violence has become the defining currency of our age," Grandi said, pointing to escalating crises across the world. He warned that cuts to humanitarian aid are already costing lives and jeopardising millions. Grandi demanded urgent action, urging the Council to stop hiding behind diplomatic failures and take real risks to end conflict and protect civilians. Pakistan warns of imminent Indian incursion after Kashmir attack Pakistan's Defence Minister Khawaja Asif warns of an imminent military incursion by New Delhi following last week's deadly attack on tourists in India-administered Kashmir. Tensions between the two neighbours have escalated, with Asif citing India's growing aggressive rhetoric. The attack, which killed 26 people, triggered calls for action against Pakistan, despite a lack of proof of involvement, while Islamabad called for a neutral investigation. While Pakistan remains on high alert, Asif stressed that nuclear weapons would only be used in self-defence. International calls for de-escalation continue, including from Türkiye and China. Liberal Party secures victory in Canada's election: projections Prime Minister Mark Carney's Liberal Party has won Canada's election, according to projections from CBC and CTV News. While it remains unclear whether the party will secure a majority, Carney's team is expected to form the next government. The election saw US President Donald Trump's comments, including a suggestion of Canada joining the US, influence the race. Conservative leader Pierre Poilievre criticised Trump's interference, reaffirming Canada's sovereignty. Carney, who recently replaced Justin Trudeau, has emphasised the need for stability and calm leadership. Iberian Peninsula in chaos as power outage hits Spain, Portugal A colossal power outage plunged Spain, Portugal, and Andorra into chaos on Monday, disrupting daily life across the Iberian Peninsula. By Tuesday, Spain had managed to restore power to half the country, with a full recovery imminent. Portugal's Prime Minister Luis Montenegro hinted that the catastrophe likely stemmed from Spain, though the cause remains shrouded in mystery. European Council President Antonio Costa dismissed any cyberattack claims, but the hunt for answers continues. The unprecedented blackout also sent shockwaves through parts of France, leaving authorities scrambling for answers.
Violence against women and girls is a persistent and escalating crisis and remains one of the most pervasive human rights violations worldwide. From femicide and domestic abuse to online harassment and conflict-related sexual violence, the scale and severity of gender-based violence continues to deepen across every region. Despite international commitments to gender equality, many legal frameworks are still insufficient, impunity persists, and survivors are too often met with stigma rather than support. In her address to the IIEA, Reem Alsalem, the UN Special Rapporteur on violence against women and girls, explores global trends in the fight to end such violence, highlighting both promising practices and persistent gaps. About the Speaker: Ms. Reem Alsalem was appointed United Nations Special Rapporteur on violence against women and girls, its causes and consequences in July 2021 by the UN Human Rights Council. She is an independent consultant on gender issues, the rights of refugees and migrants, transitional justice, and humanitarian response. She has consulted extensively for United Nations departments, agencies, and programmes such as UN-Women, OHCHR, UNICEF, and IOM, as well as for non-governmental organisations, think tanks, and academia. Previously, she worked as an international civil servant, serving with the UNHCR in thirteen countries. During her service, she planned, implemented, and monitored programmes that served to protect persons that were survivors of gender-based violence, particularly women and girls. She was also a visiting professional with the Prosecutor's Office of the ICC from January to March 2009 and a visiting Researcher with the Feinstein International Centre of Tufts University in December 2008. She holds a Master's in International Relations from the American University in Cairo and a Masters in Human Rights Law from the University of Oxford.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inatupeleka Msasani nchini Tanzania kusikia namna vijana na serikali wanavyolinda Mama Dunia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari ujumbe wa Katibu Mkuu, watoto kulinda mazingira DRC, na kifo cha Papa Francis.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya Mama Dunia, ikilenga kuchagiza hatua ya kuhifadhi sayari dunia, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametumia neno ‘homa' kuwa inakumba dunia hivi sasa kutokana na viwango vya joto vinavyoongezeka kila mwaka. Hata hivyo amesema majawabu ya kutibu homa hiyo yapo ikiwemo kutumia nishati rejelezi ambayo ni rahisi, ina afya na salama kuliko nishati kisukuku.Huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kando ya mapigano yanayotikisa eneo la mashariki mwa nchi, watoto wamechukua hatua kulinda sayari dunia kwa kuhifadhi misitu kwenye taifa hilo ambako ukataji miti kiholela umefurutu ada.Kufuatia kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis hapo jana Jumatatu, ambaye maziko yake yamepangwa kufanyika Jumamosi wiki hii, mashirika ya Umoja wa Mataifa yameendelea kukumbuka mchango wake wa kutetea walio taabuni. Mathalani shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limekumbuka wito wake wa kutaka kila mtu kukaribisha, kusindikiza na kujumuisha wale wote wanaobisha hodi kwenye milango yao.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO fursa ni yake Meena Poudel kutoka nchini Nepal, Kusini mwa Asia ambaye ni Katibu wa kikundi cha wanawake watumiaji wa msitu ambacho kinabadilisha takataka za misitu kuwa mbolea rafiki kwa mazingira huku pia wakijipatia kipato."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, ambalo limesema kwa kuzingatia sera yake jumuishi, nchi hiyo inakuza mshikamano na wakimbizi na kuwawezesha kujitegemea kupitia makazi maalum na ushirikiano na jamii za wenyeji. Flora Nducha na taarifa zaidi Shirika hilo la wakimbizi limesema katika makazi kama Mayukwayukwa na Maheba ambayo ni moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini Zambia familia za wakimbizi zilizolazimika kukimbia makwao zinajumuishwa ili ziweze kujikimu na kuishi kwa utangamano na wenyeji wanaowahifadhi. Moulid Hujale, ni afisa habari msaidizi wa UNHCR anasema “Selikali ya Zambia inajumuisha wakimbizi katika huduma za kitaifa kama vile elimu na hata programu za msaada wa kilimo ili kuongeza uzalishaji” Amebainisha kuwa kwa kufanya hivyo Zambia imeonesha mshikamano wa dhati kwa jamii hizo za wakimbizi kwa kuhakikisha kuwa wanapata fursa ya kujenga upya maisha yao, kujikwamua kiuchumi na kuishi kwa heshima.Hata hivyo, UNHCR inasema nchi hiyo ya Kusini mwa Afrika pamoja na ukarimu wake bado inakumbwa na athari za ukame mkali uliotishia uhakika wa chakula na kuyumbisha uchumi na katika hatua za kukabiliana na hali hiyo, Moulid ansema “UNHCR inashirikiana na serikali ya Zambia kuunganisha makazi ya wakimbizi kwenye gridi ya taifa ya umeme. Tunajua muundo huu wa ujumuishwaji na maisha endelevu vinagharimu fedha, Lakini hiki ndicho hasa wakimbizi wanachokihitaji, hivyo tunahitaji msaada wako ili kufanikisha hili”. Licha ya mafanikio yaliyopatikana hadi sasa Zambia katika kuwakirimu wakimbizi, UNHCR imeonya kuwa uhaba wa fedha inaokabiliwa nao unatishia kuathiri mafanikio hayo na hasa utoaji wa huduma muhimu kwa familia hizo zilizolazimika kufungasha virago na kusaka usalama Zambia. Sasa limetoa ombi la msaada wa haraka wa kimataifa ili kuendelea kufanikisha huduma za kuokoa maisha zinazohitajika sana na wakimbizi hao.
External flow of weapons into Sudan must end, insists UN's GuterresLebanon: UN human rights office condemns deadly Israeli strikes on civilians40 tonnes of relief supplies arrive for Myanmar's quake survivors: UNHCR
Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
The Sudanese capital, Khartoum, April 15th 2023. Families who'd gathered to celebrate Eid together woke up to gunfire and explosions as a power struggle erupted between two factions of the military led government. There were clashes at the presidential palace, at the airport and at the TV station. Both sides hoped for a quick win, but it quickly became a war of attrition, and in the two years since, the Sudanese people have suffered sexual violence, hunger, displacement and the loss of everything they hold dear. The UNHCR says nearly 13 million people have been displaced by the conflict.In the first of a series of two podcasts to mark the anniversary, Mpho Lakaje talks to Sudan's former deputy intelligence chief, analyst Dr Majak D'Agoot, and asks if we are now in a stalemate, and what the aims of the two sides are.
Seit zwei Jahren kämpfen im Sudan die sudanesischen Streitkräfte und die RSF-Miliz um die Macht. Das Ausmaß der humanitären Katastrophe ist riesig – wie man in so einer Situation trotzdem Hilfe leistet, sagt Sarah Wimaladharma vom UNHCR. Amnestie Deutschland – Der COSMO Podcast über Flucht vor Gerechtigkeit · Neue Folgen - Jetzt Podcast anhören!**********Ihr hört: Moderatorin: Rahel Klein Gesprächspartnerin: Sarah Wimaladharma, UNHCR**********Unsere Quellen:Deutschlandfunk – Der Rest ist Geschichte: Sudan - "Ein ignorierter Krieg"**********Den Artikel zum Stück findet ihr hier.**********Ihr könnt uns auch auf diesen Kanälen folgen: TikTok und Instagram .**********Ihr habt Anregungen, Wünsche, Themenideen? Dann schreibt uns an Info@deutschlandfunknova.de
Two years into Sudan war, UNHCR chief urges help for host country ChadGaza: fears and uncertainty persist amid ongoing warYet another wave of attacks in Ukraine, warn UN aid teams
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika shughuli za shirika lisilo la kiserikali la KINNAPA Development Programme la huko nchini Tanzania katika kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu likijikita zaidi katika usawa wa kijinsia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani:Uganda, ambayo tayari ni mwenyeji wa wakimbizi wengi zaidi barani Afrika, inakabiliwa na shinikizo kubwa baada ya wakimbizi zaidi ya 41,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuingia nchini humo tangu Januari mwaka huu, wakikimbia machafuko mapya mashariki mwa nchi yao limesema leo Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. UNHCR imesema watu walioko katika mazingira hatarishi wanatambuliwa kwa msaada maalum, huku familia zilizotengana zikisaidiwa kuunganishwa tena.Siku kumi baada ya matetemeko ya ardhi ya kutisha yaliyoitikisa Myanmar tarehe 28 Machi, idadi ya vifo inaendelea kuongezeka. Titon Mitra, Mwakilishi wa Kikanda wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP nchini humo, akiripoti leo akiwa katika jiji liloharibiwa sana la Mandalay, kwa njia ya video ameripoti kwa waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi akisema, “idadi ya vifo ya hivi karibuni imepita watu 3,500 na “inaweza kuendelea kuongezeka.”Kenya, Uganda na Rwanda zitanufaika na mpango wa mlo shuleni baada ya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kutangaza kuwa linaendeleza ushirikiano wake na Taasisi ya Novo Nordisk, kupitia ushirikiano wa kihistoria kati ya sekta binafsi na ya umma unaojumuisha Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark na Taasisi ya Grundfos, ili kupanua mpango wa mlo shuleni kutokana na chakula kinachozalishwa ndani ya nchi husika. Ushirikiano huu utajenga mfumo wa msaada unaohakikisha uendelevu wa muda mrefu wa mpango huu.Na mashinani mashinani jana tarehe 7 Aprili hapa Umoja wa Mataifa kumefanyika kumbukizi ya miaka 31 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ambapo mmoja wa wazungumzaji alikuwa Germaine Tuyisenge Müller, manusura wa mauaji hayo na wakati huo alikuwa na umri wa miaka 9 wakiishi mji mkuu Kigali.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Dopo quasi 14 anni di conflitto e 13 milioni di persone costrette a fuggire dalle loro case, la situazione umanitaria in Siria resta disastrosa. Nella puntata di oggi di Notizie a colazione, la testimonianza di Hanna Khoury, un ragazzo siriano arrivato in Italia dopo esser fuggito dalla guerra, e di Filippo Ungaro, portavoce di UNHCR Italia che in questo momento ha attiva una campagna di raccolta fondi proprio per supportare le famiglie siriane in cerca di aiuto.
United Nations organisations are pleading for more aid and ground support in Myanmar following Friday's 7.7 earthquake, saying the situation is becoming increasingly desperate. UNHCR's Global Spokesperson for the Asia region Babar Baloch spoke to Corin Dann.
Hali ya kibinadamu ya wakimbizi zaidi ya 100,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, waliokimbilia nchini Burundi kusaka usalama kutokana na mapigano mashariki mwa nchi yao katika katika kipindi cha chini ya miezi mitatu, iliyopita ni ya mashaka, wakati huu ambapo ufadhili unazidi kukumbwa na mkwamo, wakikabiliwa na uhaba wa huduma kama chakula, huku kukiwa na pengo la ufadhili. Je ni madhila yapi? Sharon Jebichii anafafanua zaidi kupitia video iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR.
"La tua lotta è la nostra lotta": le donne vincitrici del premio Nobel solidali con Narges Mohammadi. Myanmar, Onu: necessari 934,5 milioni di dollari per fornire aiuti umanitari a 1,5 milioni di rifugiati e rifugiate Rohingya e alle loro comunità ospitanti in Bangladesh.https://www.radiobullets.com/notiziari/notizie-donne-mondo-podcast/
Hii leo jaridani katika mada kwa kina tunajikita katika mkutano CSW69 ambao umebakiza siku moja tu, kesho Machi 21 unakunja jamvi, na tunamsikia Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Tanzania, Waziri Riziki Pembe kutoka Zanzibar na Profesa Smile Dzisi, Mkugenzi wa Shirika la “I believe Global” kutoka Ghana.Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amesema kukata ufadhili kwa mashirika yanayotoa huduma za kibinadamu kunasababisha janga la uwajibikaji. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Geneva, Uswisi na UNHCR, Bwana Grandi amesema kukata ufadhili kunaweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu na madhara yake kwa watu wanaokimbia majanga, yatakuwa makubwa zaidi na yataonekana wazi ikiwemo wanawake na watoto wa kike kukosa huduma zitokanazo na kubakwa.Leo ni siku ya furaha duniani maudhui yakimulika umuhimu wa watu kusaidiana na kujaliana katika masuala mbalimbali ikiwemo chakula. Ripoti mpya ya wadau wa UN iliyozinduliwa leo imeonesha kuwa nchi yenye furaha zaidi duniani ni Finland na ya mwisho kabisa ni Afghanistani. Katika 10 bora zenye furaha hakuna hata moja ya Afrika, ilihali kwenye 10 za mwisho nchi za Afrika ni 7 ambazo ni Lesotho, Comoro, Botswana, Zimbabwe, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Malawi na Sierra Leone.Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 ukikaribia ukingoni hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa tumemuuliza mshiriki Wakili Rosemary Mwaipopo kutoka Tanzania mkutano umekidhi kiu yake ya kusongesha usawa wa kijinsia?Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Frederik Gregaard is CEO of the Cardano Foundation, the Swiss-based non-profit organization which exists to ensure the advancement of the Cardano protocol, while also contributing to the positive advancement of blockchain as a world-changing technology. A leader in fintech and blockchain, Gregaard previously served as Director and Head of Digital in PwC's Financial Services Advisory practice and as Director and Head of Institutional Business at Saxo Bank Switzerland. Whilst at the Cardano Foundation, Gregaard has overseen the advanced integration of state-of-the-art blockchain technology in a variety of fields that address real-world problems through collaborations with Switzerland for UNHCR, veritree, and University of Zurich among others. In this conversation, we discuss:- Cardano's Inclusion in the U.S. Crypto Strategic Reserve- Current market insights- Vision for Cardano's Institutional Adoption- Views on regulatory landscape- Foundation's role in Cardano ecosystem growth- Cardano future roadmap and priorities- Cardano is the world's largest DAO- Respecting borders and nationalism- Adding 2 billion people to the market- Bank's superpower is the direction of capital- Midnight - spinning up blockchains and give up ownership of the chain- Creating something that's decentralized from Day 1- Cardano's roadmap: Expanding bitcoin, RWAs, data provenance- AI AgentsCardano FoundationWebsite: cardanofoundation.orgX: @Cardano_CFTelegram: t.me/CardanoAnnouncementsFrederik GregaardX: @F_GregaardLinkedIn: Frederik Gregaard --------------------------------------------------------------------------------- This episode is brought to you by PrimeXBT. PrimeXBT offers a robust trading system for both beginners and professional traders that demand highly reliable market data and performance. Traders of all experience levels can easily design and customize layouts and widgets to best fit their trading style. PrimeXBT is always offering innovative products and professional trading conditions to all customers. PrimeXBT is running an exclusive promotion for listeners of the podcast. After making your first deposit, 50% of that first deposit will be credited to your account as a bonus that can be used as additional collateral to open positions. Code: CRYPTONEWS50 This promotion is available for a month after activation. Click the link below: PrimeXBT x CRYPTONEWS50
Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi. Flora Nducha amefuatilia safari ya mmoja wa wakimbizi hao, kwako Flora.
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 na wakimbizi wanaokimbia machafuko nchini DRC kwenda Burundi. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Lebanon, kulikoni?Hii leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani unaanza mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69, kusanyiko kubwa zaidi la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalomulika usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake mwaka huu washiriki wakiwa zaidi ya 25,000.Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi.Makala leo tunamwangazia Fatuma Mfumia, dereva pekee wa kike katika shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhuduia Watoto, UNICEF Tanzania.Na mashinani mashinani fursa ni yake Ghada Dawiche's ambaye licha ya machungu yaliyomkumba baada ya kupoteza bintiye aliyekuwa mfanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR nchini Lebanon, pamoja na mjukuu wake wa kiume wakati kombora la Israeli lilipopiga nyumba yao nchini Lebanon, anasema Umoja, nguvu na tumaini ndio ujumbe mkuu anaowapa wanawake wote waliopoteza wapendwa wao vitani na katika kupigania haki za wanawake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
As thousands continue to flee violence in the Democratic Republic of the Congo, the aid effort in Burundi is ‘buckling', warns UNHCRSyria crisis: with hundreds of thousands returning, UNHCR issues urgent appealSudan: UN Human rights office issues alert on plight of thousands of detained civilians
By the time a ceasefire began last November ending the devastating war in Lebanon between Hezbollah fighters and the Israeli military, more than 4,000 people had been killed and at least 16,600 injured.The violence also uprooted hundreds of thousands and caused widespread damage to key infrastructure, exacerbating Lebanon's long-running, multi-pronged crisis.Ghada Darwiche is one of those grieving: she lost her daughter, Dina, a UNHCR staffer who worked at the refugee agency's office in Bekaa. She was killed along with her youngest son, Jad, when their home was hit by an Israeli missile on 23 September last year.To mark International Women's Day, UN News's Nancy Sarkis spoke to Ghada, who has a message to all those who have lost someone in war.
Machafuko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) yanaendelea kufurusha watu na wengine wanaamua kukimbilia nchi jirani ikiwemo Burundi. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR nchini Burundi limesema wazi kuwa katika wiki mbili za mwezi Februari kuanzia tarehe 14 walipokea wakimbizi zaidi ya 60,000, wengi wakiwa tayari walishafurushwa awali. Kwa waliowasili katika eneo la Kaburantwa nchini Burundi, bado wanahofia usalama. Serikali ya Burundi imetenga eneo lingine salama zaidi na sasa wanahamishiwa huko. Je ni wapi? Assumpta Massoi kwa msaada wa video ya UNHCR Burundi anasimulia zaidi.
Jessica Kahawaty is a Food Entrepreneur, Human Rights Advocate, and International Model. The Australian with Middle Eastern roots bridges cultures in fashion and humanitarianism.With a background in Human Rights Law, the former Miss Australia and Miss World runner-up champions social responsibility, notably fronting Louis Vuitton and UNICEF's ‘Make a Promise' campaign.She co-founded Mama Rita, a UAE-based food and lifestyle brand, offering Arabic and international cuisine across 300+ locations.Jessica's humanitarian efforts include an undercover mission in Kolkata's Red Light district with Free a Girl and fundraising for crises affecting Lebanese, Palestinian, and Syrian refugees with UNICEF and UNHCR.
The United Nations says around 50,000 people have fled the conflict raging in eastern Democratic Republic of Congo and crossed into Burundi in the past two weeks. Reporter Eddy Esango of VOA's French and Lingala Services spoke to UNHCR representative, Brigitte Eno, in Bujumbura, Burundi.
Hii leo jaridani tunaangazia mahitaji ya wakimbizi wanaokimbia machafuko DRC wakielekea nchini Burundi, na hali ya wakimbizi wa ndani Gaza wakati huu wa msimu wa baridi. Makala tunakurejesha nchini DRC na mashinani tunakwenda nchini Tanzania.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetoa ombi la dola milioni 40.4 ili kujiandaa na kutoa huduma za kuokoa maisha na usaidizi kwa wakimbizi wa ndani na waliokimbilia nchi jirani baada ya wakati huu ambapo mashambulizi ya waasi wa M23 yanazidi kufurusha raia kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC.Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, familia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya.Katika makala Evarist Mapesa anakupeleka eneo la mpakani mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na Burundi kufuatilia mmiminiko wa wakimbizi kutoka DR Congo.Na mashinani fursa ni yake Regnihadah Mpete kutoka Tanzania ambaye anatumia kiswahili, lugha ya taifa nchini Tanzania kufundisha vikundi vya wanawake wilayani Biharamulo, mkoani Kagera jinsi ya kujikinga na magonjwa. Mafunzo serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani (UNICEF) kupitia TIP ambao ni Mtandao wa Madhehebu ya Dini mbalimbaliMwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Maelfu ya watu wanawasili nchini Burundi, wakikimbia mapigano yanayozidi kushamiri huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hususan katika majimbo ya Kivu Kusini na Kivu Kaskazini. Waasi wa M23 wanaendelea kupanua wigo wa maeneo wanayomiliki, hali inayotumbukiza raia kwenye changamoto za usalama, na kulazimu wale wanaoweza kukimbia. Wengine wameuawa, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, na majeruhi wako hospitalini ambako huduma nazo zimedorora kwani M23 wamefunga barabara katika maeneo yote wanayodhibiti. Lakini wale wanaokimbilia Burundi hali yao iko vipi? Evarist Mapesa anakusimulia zaidi kupitia video iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetoa ombi la dola milioni 40.4 ili kujiandaa na kutoa huduma za kuokoa maisha na usaidizi kwa wakimbizi wa ndani na waliokimbilia nchi jirani baada ya wakati huu ambapo mashambulizi ya waasi wa M23 yanazidi kufurusha raia kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
Sina mpango tena wa kurejea nyumbani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ni kauli yake Twagirayesu Gato, mwanafunzi huyu raia wa DRC aliyekimbia nchini mwake mwaka jana na kuingia Uganda ambako sasa anapata hifadhi. Amesema hayo kwenye video ya shirika la Umoja wa MAtaifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR iliyochapishwa katika ukurasa wa YouTube wa shirika hilo. Kufahamu msingi wa kauli hiyo ya Twagirayesu, ungana na Sharon Jebiichi.
Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu nchini DRC, na simulizi y amkimbizi wa DRC aliyekimbilia nchini Uganda. Makala inatupeleka nchini Tanzania, namashinani nchini Kenya, kulikoni?Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likifanya kikao cha dharura jijini New York, Marekani kujadili hali ya usalama inayozidi kuzorota kila uchao huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya kibinadamu nchini humo, Bruno Lermaquis amesema kupanuka kwa mzozo huo kumezidi kugharimu maisha na mustakabali wa raia.Sina mpango tena wa kurejea nyumbani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ni kauli yake Twagirayesu Gato, mwanafunzi huyu raia wa DRC aliyekimbia nchini mwake mwaka jana na kuingia Uganda ambako sasa anapata hifadhi. Amesema hayo kwenye video ya shirika la Umoja wa MAtaifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR iliyochapishwa katika ukurasa wa YouTube wa shirika hilo.Makala inatupeleka nchini Tanzania ambako tunamsikiliza Brigedia Jenerali George Mwita Itang'are, Mkuu wa Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) akitoa wito kwa Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa kuendelea kuunga mkono ulinzi wa amani duniani kwa kuzikabili changamoto wanazokutana nazo walinda amani. Anold Kayanda anasimulia.Na mashinani ikiwa hivi majuzi Dunia iliadhimisha siku ya redio duniani fursa ni yake Irene munyua kutoka Kenya akieleza washirika wetu Radio Domus kuhusu umuhimu wa radio kwa jamii katika maisha ya kila siku.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
The United Nations says the humanitarian situation in eastern Democratic Republic of Congo has deteriorated dramatically. The spokespersons for the Office of the United Nations High Commissioner for Human Rights (OHCHR) and the High Commissioner for Refugees were both briefed on the situation Monday from Geneva. First, OHCHR spokesperson Ravina Shamdasdani, followed by UNHCR spokesperson Matthew Saltmars.
Alarm as Sudan violence intensifies and abuses surgeDR Congo crisis: Outrage at reported summary executions of childrenUkraine: Three years after full-scale Russian invasion, Ukrainians need peace and aid, insists UNHCR
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina leo inayotupeleka DRC katika mji wa Goma uliokuwa mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini ambao sasa uko mikoni mwa waasi wa kundi la M23. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ujumbe kutoka mashinani.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, OHCHR imesema hali huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC inazorota kwa kasi kubwa, na kusababisha ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, ukatili kama vile watu kuuawa kiholela, wakiwemo watoto, wakati huu ambapo waasi wa M23 yaripotiwa wametwaa mji wa Bukavu, jimboni Kivu Kusini.Wakati hayo ya kiendelea ndani ya DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeripoti kuwa katika siku chache zilizopita, wakongo kati ya 10,000 na 15,000 wamevuka mpaka wa DRC na kuingia Burundi wakikimbia mapigano.Na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP limekaribisha mchango wa dola milioni 5 kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini. kwa ajili ya kujengea mnepo na kuimarisha upatikanaji wa chakula kwa familia za maeneo kame nchini Kenya.Na mashinani kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, fursa ni yake Faraja Kashindi Malumalu kutoka Tanzania ambaye ni mkimbizi katika kambi la Nyarugusi na mfanyakazi wa kituo hicho cha matibabu ambaye anaonesha furaha kutokana na ujenzi wa kituo kipya cha wagonjwa wa ukimwi ambao umesaidia kuhifadhi faragha(privacy) ya wagonjwa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na hali ya wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani inatupeleka nchini Jamhuri ya Africa ya Kati (CAR), kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya haraka inahoyitajika..Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia.Makala leo inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 63 wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii ECOSOC kuhusu maendeleo ya jamii. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka Kenya.Na mashinani fursa ni yake Albertine Yantijba ,manusurawa ukatili wa kijinsia kutoka Sango CAR , ambaye anatueleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) limeletamabadiliko baada ya kuanzishwa kwa maeneo salama ya wasichana kujieleza na kuhudumiwa”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya harakati inahoyitajika. Anold Kayanda na ripoti kamili.
Send us a textHow do we foster healing in communities impacted by trauma? And how can leaders and educators adopt a healing-centered approach to their work? In this episode, we're joined by Deepa Gulrukh Patel, a creative facilitator blending arts, sciences, and social justice. Her work spans refugee camps, cultural diversity, bereavement support, and contemplative education, collaborating with organizations like the UNHCR, the London College of Fashion, and the Fetzer Institute to build healing-centered, sustainable initiatives. We're also joined by Dr. Angel Acosta, a leader in mindfulness, social justice, and healing-centered education. With a doctorate in curriculum and teaching from Teachers College, Columbia University, Angel creates transformative frameworks like the Contemplating 400 Years of Inequality Experience to address structural inequities and foster restorative practices. Together, Deepa and Angel share profound insights on healing trauma, supporting frontline workers, and building resilience through mindful education and community-centered approaches.In this second part of our conversation, we talk about:Becoming wounded healersThe importance of listening and presenceResilience for frontline workersBurnout in caregiving jobsAgency over labelsTo learn more about Dr. Angel Acosta and Deepa Gulrukh Patel follow these links:Deepa:Jordan Refugee Camps - https://www.dress4ourtime.org/Center for Sustainable Fashion- https://www.sustainable-fashion.com/vital-signsInayitiyya Org - https://inayatiyya.org/Tamasha Theatre Company - https://tamasha.org.uk/The Loss Foundation - https://thelossfoundation.org/Charis Interspirituality Org - https://charisinterspirituality.org/ Dr. Angel:Website - https://www.drangelacosta.comPodcast - https://www.drangelacosta.com/podcastLinkedIn - https://www.linkedin.com/in/dr-angel-acosta-1886653b This episode is sponsored by:John Templeton Foundation (https://www.templeton.org/ )Templeton Religion Trust (https://templetonreligiontrust.org/)Support the show
This week Mike sits down with Severance's very own Ben Stiller and Adam Scott. The three of them dig into the behind the scenes of Severance Season 2 and discuss what it is that makes them work so well together as actor and director. Ben and Adam share audition advice for actors, as well as how their grieving processes influenced their work together. Plus, Mike and Adam nerd out about The Ben Stiller Show and Reality Bites, and Mike reveals which Severance character he almost played.Please Consider Donating To: The Center for Reproductive Rights and the UNHCR
600 trucks per day need to reach Gaza after the ceasefire begins, says the World Health OrganizationIn Sudan, deadly ethnic violence is on the rise as the country's long-running war goes on, says the UN human rights officeDignity for migrants should be our guiding objective, insists ‘Cabrini' actress: UNHCR
Dr. Sylvia Rohde Liebenau is an EMCC-accredited senior executive coach with 30 years of experience, known for helping C-Suite leaders, entrepreneurs, and change-makers excel in today's fast-paced and complex world. She founded the SMART Power Method, a revolutionary approach that empowers leaders to achieve greater impact with ease.Sylvia's clientele includes global heavyweights like UNHCR, the European Central Bank, Allianz Global Investors, the Red Cross, and Amazon. She's also set to release her new book, "Who's in Charge," a practical guide for leaders looking to build resilience, harness their power, and blend success with fulfillment.Sylvia's coaching is uniquely enriched by her background as an artist, dancer, and singer, giving her a deep, embodied understanding of key leadership qualities like presence, authenticity, connection, and communication.More about Sylvia:●Holds a PhD in international relations.●Worked with the European Commission in the ‘90s, driving impactful change through her leadership skills, and preventing a Russian hack on the IT systems. ●Joined the European Investment Bank (EIB) in 2003, introducing innovative HR and leadership development practices. ●In 2021, began working as an executive coach and leadership expert.More: SMART Power MethodBook: Who's In ChargeSponsors: Master Your Podcast Course: MasterYourSwagFree Coaching Session: Master Leadership 360 CoachingSupport Our Show: Click HereLily's Story: My Trust ManifestoSupport this show http://supporter.acast.com/masterleadership. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.