Podcasts about katika

Place in Paphos District, Cyprus

  • 128PODCASTS
  • 2,919EPISODES
  • 21mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Feb 19, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about katika

Show all podcasts related to katika

Latest podcast episodes about katika

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Jamii yawa Islamu nchini katika hali ya tahadhari kubwa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 19, 2026 5:56


Ripoti mpya ya kiuchumi inaonya Australia ina elekea kupoteza hadhi yake, kama taifa lenye deni la chini, huku mikopo ya serikali ikifikia viwango ambavyo havija onekana tangu vita vya pili vya dunia.

Radio Maria Tanzania
Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi katika maisha ya kikristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 56:58


karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi na stahiki katika maisha ya kikristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 48:44


karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi na stahiki katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya "KOO" katika muktadha wa wanyama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 0:27


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "KOO" katika muktadha wa wanyama

Radio Maria Tanzania
Fahamu Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 55:13


karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Fahamu Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu kama Baba na Mama katika malezi ya mtoto.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 57:49


Ungana nami Mtangazaji wako Martn Jseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu ndani ya malezi ya watoto. L'articolo Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu kama Baba na Mama katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 49:28


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam,  akitufundisha juu ya Kanzi ya Uongozi. L'articolo Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

dar salaam radio maria katika karibu maana kanisa kanzi fahamu mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Utayari kama kanzi ya uongozi katika Kanisa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 58:13


Karibu uungane nami Catherine Kaberege katika kipindi cha Utume wa Walei, Ndugu Gordon Rwenyagira, Mratibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa. L'articolo Utayari kama kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Hija ya Wazee na Wastaafu na Kanzi ya uongozi katika Kanisa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 54:06


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, pamoja nasi tunao wageni kutoka shirika la Wazee na Wastaafu Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa. L'articolo Hija ya Wazee na Wastaafu na Kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
13 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 11:49


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Redio Duniani likitupeleka nchini Tanzania kusikia jinsi ambavyo redio inavyochochea maendeleo ya kijamii, nchini Uganda kumsikia mkimbizi kutoka DRC, na katika ukanda wa Gaza ambako redio inaunganisha tena jamii ndani ya vifusi.Leo ni siku ya redio duniani ambayo msingi wake unatokana na kuanzishwa kwa redio ya Umoja wa Mataifa tarehe 13 Februari mwaka 1946 jijini New York, Marekani. Kwa mantiki hiyo ikiwa mwaka huu redio hiyo ya Umoja wa Mataifa inatimiza miaka 80 tumeangazia mchango wa vipingi vyake vilivyokuwa vinarushwa na redio zingine ikiwemo iliyokuwa Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) nchini Tanzania wakati huo. Assumpta Massoi amemulika suala hilo.Katika maeneo ya migogoro, duniani redio huwa nguzo ya utulivu na wakati mwingine daraja la kuokoa maisha. Na ndivyo ilivyokuwa kwa mkimbizi Bahati Yohane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwani kwake, redio haikuwa tu combo cha habari ilikuwa dira ya kuokoa maisha yake.Kabla ya vita vya sasa kuanza katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina lilalokaliwa kimabavu na Israel, Redio ilikuwa chombo muhimu kwa umma na kwa hakika umuhimu wake haujakoma isipokuwa huduma ya matangazo ya redio ndio iliyokuwa imekoma kutokana na vituo vya redio kusambaratishwa kwa makombora, lakini sasa juhudi zinafanyika kuirejesha huduma hiyo muhimu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
Redio Okapi iliokoa maisha yangu: Mkimbizi Bahati Yohane

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 3:33


Katika maeneo ya migogoro, redio huwa nguzo ya utulivu. Mathalani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Radio Okapi ya Umoja wa Mataifa imekuwa sauti ya kuaminika na kuwasaidia wakimbizi kusaka usalama tangu kuanzishwa kwake mwaka 2002 kama sehemu ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO. Mmoja wa wakimbizi kutoka Mashariki mwa DRC ambaye sasa anaishi kambi ya wakimbizi ya Kyangwali nchini Uganda amemweleza John Kibego kutoka Redio washirika wetu Kazi Njema FM ya mjini Hoima jinsi matangazo ya redio Okapi yalivyonusuru maisha yake wakati wa vita

uganda drc maisha umoja congo drc okapi katika bahati monusco jamhuri mataifa mashariki redio kidemokrasia
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "UNGUKA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 0:57


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "UNGUKA" 

Habari za UN
12 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 11:24


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kesho Ijumaa tarehe 13 Februari ikiwa ni ni siku ya Redio Duniani mwaka huu ikijikita  katika Redio na Akili tunakupeleka mashariki mwa DRC, kwa George Musubao kutoka Televishen na Radio washirika Canal Victoire Du People Kasindi.Leo tarehe 12 Februari ni siku ya Kimataifa ya Kuzuia Itikadi Kali Zinazochochea Ugaidi, ikiwa ni maadhimisho ya nne tangu kuanzishwa kwake na mwaka huu kauli mbiu inasema “Kuzuia ugaidi wa kikatili katika enzi ya teknolojia mpya na zinazoibuka”. Ugaidi na itikadi kali vinaendelea kuwa tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia, huku vikigusa watu wa rika, dini na tamaduni mbalimbali na ndio maana Umoja wa Mataifa unasema ingawa teknolojia kama akili mnemba au AI, mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali inaweza kusaidia juhudi za kuzuia misimamo mikali, pia inatumiwa na magaidi kueneza chuki, upotoshaji na kuhamasisha vurugu ndio maana shirika hilo linahimiza ushirikiano wa kimataifa, matumizi ya teknolojia kwa uwajibikaji na suluhisho shirikishi zinazoheshimu haki za binadamu ili kuzuia kuenea kwa itikadi kali.Barani Ulaya ambapo Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametoa tamko kali akilaani mashambulizi ya mfululizo yanayofanywa na nchi ya Urusi dhidi ya mifumo ya nishati nchini Ukraine. Taarifa iliyotolewa leo kutoka Geneva, Uswisi, imeeleza kuwa mashambulizi hayo yanawanyima raia mahitaji muhimu ikiwemo mifumo ya kupasha joto, maji, na umeme katikati ya msimu wa baridi kali uliopitiliza.Kuelekea kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani hapo wiki ijayo, katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma ujumbe akisema kuwa “Katika zama hizi ngumu na za mgawanyiko, hebu tuitikie wito wa stahmala wa Ramadhani. Kuziba pengo la mgawanyiko. Kufikisha msaada na matumaini kwa wale wanaoumini. Na kulinda haki na utu wa kila mtu…..Hebu Mwezi huu Mtukufu ututie hamasa ya kufanya kazi pamoja ili kujenga dunia yenye amani zaidi, ukarimu na haki kwa watu wote.  Ramadhani njema.”Na Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "UNGUKA"Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Atokeapo mtoto wa fuko mshike japo wawinda fuko.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 1:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “Atokeapo mtoto wa fuko mshike japo wawinda fuko.”

kenya nairobi japo kiswahili katika maana dkt jifunze chuo kikuu
Habari za UN
10 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 13:04


Hii leo jaridani Anold Kayanda wa Idhaa hii amezungumza na Wakili Amon Mpanju, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kutoka Tanzania aliyehudhuria Mkutano wa Kamisheni ya Maendeleo ya Kijamii (CSocD64).Mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa leo yametoa onyo kali kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayowakumba watoto nchini Sudan. Mashirika hayo lile la kuhudumia watoto UNICEF, la afya WHO na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu wamenasema ghasia zisizoisha, njaa na magonjwa vinawasababisha watoto kupoteza Maisha na kudhoofika, huku mashambulizi dhidi ya vituo vya afya na vikwazo vya upatikanaji wa misaada vikizorotesha juhudi za kuwaokoa. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, msemaji wa UNICEF, Ricardo Pires, amesema “Katika baadhi ya maeneo ya jimbo la Darfur Kaskazini, zaidi ya nusu ya watoto wote wanakabiliwa na utapiamlo mkali, si makadirio, si mfano, imethibitishwa.”.Kikosi cha 12 cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania TANZBAT 12 kinachohusumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Condo DRC chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO kimeendelea kudumisha uhusiano wa kijamii na wakazi wa mji wa Beni Mashariki mwa DRC, kwa kutoa msaada wa vifaa vya elimu kwa wanafunzi katika shule ya msingi Ngite iliyopo eneo la Mavivi. Mkuu wa shule hiyo Neema Nyamwaka amewashukuru walinada amani hao kutoka Tanzania kwa kujali sekta ya elimu.Leo ni siku ya mikunde duniani Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO likisistiza umuhimu kwa chakula hicho kwa lishe na mazingira. Huko Kigoma Tanzania FAO kupitia mpango wa Pamoja wa KJP imekuwa ikitoa mafunzo kwa wakulima kuhusu umuhimu wa mazao ya jamii ya mikunde huyu ni mmoja wa wanufaika wa mafunzo hayo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “Atokeapo mtoto wa fuko mshike japo wawinda fuko.”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

kenya ethiopia tanzania sudan unicef nairobi drc fao maisha umoja hii haki kiswahili katika monusco pamoja jamii wanawake dkt jamhuri mataifa maendeleo mkuu mkutano shirika kidemokrasia mashirika wizara tigrai chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 59:31


Ungana nami Mtangazaji wako Peter Alphaxad katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa. L'articolo Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake proviene da Radio Maria.

kristo radio maria katika yake kanisa fahamu ungana maadhimisho
Radio Maria Tanzania
Tambua nafasi ya neno la Mungu katika utume wa Kanisa na maisha ya kila mmoja

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 57:46


Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya Neno la Mungu L'articolo Tambua nafasi ya neno la Mungu katika utume wa Kanisa na maisha ya kila mmoja proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Njiapanda ya matumaini na machungu, familia katika ukanda wa Gaza zinatafuta wapendwa wao kwa kuangalia picha za miili

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 3:34


Huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel, wiki hii, mamlaka za Israel zimewasilisha miili 54 pamoja na mifuko 66 iliyosheni mabaki ya viungo vya binadamu ya Wapalestina waliopotea wakati wa vita. Na kutokana na kutokuwepo kwa mfumo madhubiti wa kisasa kupima vinasaba kutambua mwili upi ni wa nani inakuwa changamoto kubwa hususani kwa ndugu. Anold Kayanda na taarifa zaidi.

Habari za UN
06 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 10:52


Hii leo jaridani tunaangazia juhudi za kutokomeza ukeketaji, watu waliotoweka katika ukanda wa Gaza kufuatia vita vya Hamas na Israeli, na msaada wa chakula kwa wakimbizi katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan.Zaidi ya wasichana milioni 4.5 duniani kote, wengi wao wakiwa wenye umri wa chini ya miaka mitano, wako hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu pekee, wameonya viongozi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa katika ujumbe wao wa siku hii ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji kwa wanawake na watoto wa kike.Huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel, wiki hii, mamlaka za Israel zimewasilisha miili 54 pamoja na mifuko 66 iliyosheheni mabaki ya viungo vya binadamu ya Wapalestina waliopotea wakati wa vita. Na kutokana na kutokuwepo kwa mfumo madhubuti wa kisasa kupima vinasaba kutambua mwili upi ni wa nani inakuwa changamoto kubwa hususani kwa ndugu.Katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan, maelfu ya familia waliokimbia makazi yao kutokana na vurugu wanapokea msaada wa chakula unaookoa maisha kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP uliosafirishwa kwa ndege hadi kwenye moja ya maeneo magumu zaidi kufikika nchini humo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
WFP yagawa msaada wa chakula cha kuokoa maisha ya wakimbizi mpakani mwa CAR na Sudan

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 2:55


Katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan, maelfu ya familia waliokimbia makazi yao kutokana na vurugu wanapokea msaada wa chakula unaookoa maisha kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP uliosafirishwa kwa ndege hadi kwenye moja ya maeneo magumu zaidi kufikika nchini humo. Flora Nducha na taarifa zaidi

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Utafiti umebaini ongezeko la upekuzi usio na kibali katika jamii zenye tamaduni mbalimbali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 4:44


Utafiti mpya unaonyesha kuwa jamii zilizo na mchanganyiko wa rangi tofauti zinafanyiwa upekuzi bila kibali mara tatu na nusu zaidi kuliko jamii katika maeneo yenye watu wengi weupe. Kulingana na uchambuzi wa matumizi ya nguvu za upekuzi zisizo za kawaida na Polisi wa Victoria, hali hii inaonekana hata pale ambapo maeneo ya jamii zenye watu wengi weupe yana viwango vya juu vya uhalifu.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "KUNVI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 0:34


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "KUNVI"

Radio Maria Tanzania
Je, ni kweli mtu akitoka katika Kanisa Katoliki na kwenda katika Madhehebu mengine anakuwa mbishi na mkaidi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 55:43


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Je, ni kweli mtu akitoka katika Kanisa Katoliki na kwenda katika Madhehebu mengine anakuwa mbishi na mkaidi? proviene da Radio Maria.

biblia radio maria katika karibu kweli kanisa maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 52:01


Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi chetu pendwa cha chakula na lishe ambapo leo studio nipo na Bi. Nusura Salum, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akiendelea kutoa ufafanuzi zaidi juu yamatokeo hasi na chanya ya Chumvi na Sukari katika Lishe. L'articolo Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe proviene da Radio Maria.

bi radio maria katika sukari fahamu matumizi ungana
Radio Maria Tanzania
Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 24:09


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Thimothy  Msigwa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akifafanua ni kitu gani Wayahudi walikuwa wamebeba katika Sanduku la Agano. L'articolo Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya "SIKU ZA JANGUO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2026 0:43


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "SIKU ZA JANGUO."

Habari za UN
CAMFED yaendelea kujengea uwezo wanafunzi wa kike nchini Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 28, 2026 2:42


Nchini Tanzania shirika la kiraia la kusongesha elimu kwa watoto wa kike, CAMFED limeendelea kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs kwa kuwezesha wanafunzi wa kike kuimarika sio tu kimasomo darasani bali pia stadi za maisha na hatimaye wawajengee uwezo wenzao. Katika taarifa hii, John Kabambala wa Redio washirika Kids Time FM amezfuatilia kinachofanyika. 

tanzania sdgs katika vijana elimu camfed redio
Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno "TWINGA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2026 1:16


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana ya neno "TWINGA"

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala:Serikali ya Victoria kuendelea na ubomozi wa nyumba za umma licha ya upinzani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 23, 2026 13:05


Katika wakati wa mgogoro wa makazi na gharama za maisha, serikali ya Victoria iko katika mchakato wa kubomoa minara yote 44 ya makazi ya umma ya Melbourne. Licha ya upinzani mkubwa na uchunguzi wa bunge unaotaka kusitishwa kwa haraka kwa kazi hizo, serikali ya Victoria inaendelea na mipango hiyo. Kuhama nyumba huchukuliwa kuwa moja ya matukio yenye msongo mkubwa zaidi katika maisha ya mtu. Kwa hivyo, mwaka 2023, wakati maelfu ya wakaazi wa Victoria walipokea taarifa kwamba nyumba zao zitabomolewa wakati fulani kati ya mwaka huo na 2051, msongo ulikuwa dhahiri. Tembelea tovuti yetu sbs.com.au kwa taarifa ama maelezo zaidi.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya "SIKU ZA MUAMBO" katika muktadha wa uchumi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 22, 2026 0:29


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya "SIKU ZA MUAMBO" katika muktadha wa uchumi.

Habari za UN
21 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 21, 2026 10:45


Hii leo jaridani tunaangazia mafuriko makubwa yaliyoikumba Msumbiji, ripoti inayomulika kupungua kwa muda mrefu kwa maji ya chini ya ardhi, na mradi unaolenga kuimarisha sekta ya kilimo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa ajili ya kuwasaidia wakulima.Kufuatia mafuriko makubwa yaliyoikumba Msumbiji kutokana na mvua zinazoendelea, serikali ya nchi hiyo ya kusinimashariki mwa Afrika imetangaza kuwa hadi kufikia sasa imerekodi vifo vya watu 120 na maelfu ya nyumba zimeharibiwa huku kiwango kikubwa cha fecha kikihitajika.Katika muktadha wa kupungua kwa muda mrefu kwa maji ya chini ya ardhi, matumizi kupita kiasi ya rasilimali za maji, uharibifu wa ardhi na udongo, ukataji miti, pamoja na uchafuzi wa mazingira, Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa UNU leo kimetoa ripoti ikitangaza kuingia kwa “enzi ya kufilisika kwa maji duniani” na kutoa wito kwa viongozi wa dunia kuendana na uhalisia huu mpya kwa kuzingatia ushahidi wa kisayansi.Kwa muongo mmoja kuanzia mwaka wa 2016 hadi mwaka wa 2025, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) kwa ushirikiano na serikali ya Canada limechangia kwa kiasi kikubwa kuimarisha sekta ya kilimo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan likilenga kuwasaidia wakulima na vyama vya ushirika kushinda changamoto za muda mrefu za uzalishaji, masoko na mnepo wa maisha.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

canada afrika umoja hii maji kwa katika mataifa shirika magharibi chuo kikuu
Habari za UN
Dunia inaingia katika zama za kufilisika kwa maji kote duniani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 21, 2026 3:07


Katika muktadha wa kupungua kwa muda mrefu kwa maji ya chini ya ardhi, matumizi kupita kiasi ya rasilimali za maji, uharibifu wa ardhi na mmomonyoko wa udongo, ukataji miti, pamoja na uchafuzi wa mazingira, Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa UNU  kimetoa ripoti inayotangaza kuingia katika“zama za kufilisika kwa maji duniani” na kutoa wito kwa viongozi wa dunia kuendana na uhalisia huu mpya kwa kuzingatia ushahidi wa kisayansi.Kulikoni ?  Flora Nducha anaeleza kwa kina ripoti hiyo.

Habari za UN
Msumbiji: Serikali na UN wanaendelea kusaidia waathirika wa mafuriko katika hali ngumu ya kifedha

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 21, 2026 2:17


Kufuatia mafuriko makubwa yaliyoikumba Msumbiji kutokana na mvua zinazoendelea, serikali ya nchi hiyo ya kusinimashariki mwa Afrika imetangaza kuwa hadi kufikia sasa imerekodi vifo vya watu 120 na maelfu ya nyumba zimeharibiwa huku kiwango kikubwa cha fecha kikihitajika. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “KING'ANI”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 1:13


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “KING'ANI”

Habari za UN
Türk aeleza aliyoyashuhudia katika ziara yake Sudan, aitaka dunia ichukue hatua za haraka

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 19, 2026 3:20


Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, baada ya ziara yake ya siku tano nchini Sudan, ametahadharisha kuhusu kuongezeka kwa hali mbaya zaidi ya ukikukwaji wa haki za binadamu na ongezeko la janga la kibinadamu nchini humo.Rashid Malekela na taarifa zaidi.

sudan dunia umoja haki katika yake hatua mataifa volker turk ziara
Habari za UN
Kupunguzwa kwa misaada ya kibinadamu kwawasukuma mamilioni katika njaa Afrika Magharibi na Kati

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 16, 2026 2:42


Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) leo limeonya kuwa bila rasilimali na hatua za haraka, watu walio katika mazingira magumu zaidi Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na mwaka mwingine mgumu sana wa njaa. Anold Kayanda na taaarifa zaidi.

nigeria afrika sahel umoja katika mataifa shirika magharibi
Habari za UN
Ili maisha yaendelee katika ukanda wa Gaza umeme unahitajika kwa udi na uvumba - UNOPS

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 16, 2026 2:48


Uharibifu Mkubwa uliosalia Gaza baada ya vita baina ya Israel na Hamas kusitishwa uko bayana katika kila kona ya jiji hilo majengo yaliyoporomoka, vyuma vililivyotapakaa kila mahali, na vitongoji vilivyogeuka kuwa vifusi. Hayo ndiyo aliyoshuhudia Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Huduma za Miradi UNOPS, Jorge Moreira da Silva, wakati wa ziara yake katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Nuseirat, katikati ya Gaza, ambako timu za Umoja wa Mataifa za kutegua mabomu ya ardhini zinashughulika kusafisha mabaki ya vita. Flora Nducha amefuatilia ziara hiyo na kutuandalia taarifa hii

Habari za UN
13 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 13, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika mwaka mpya 2026 kwa wakazi wa Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel ambao wanaendelea kukabiliwa na hali ngumu ya maisha katika kambi za wakimbizi na katika makazi ambayo ni magofu na vifusi vya nyumba zilizoharibiwa wakati wa vita baina ya Jeshi la Israel na Wanamgambo wa Hamas.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema licha ya sitisho la mapigano huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, maisha ya watoto bado yako katika hali tete, huku zaidi ya watoto 100 wakiwa wameuawa tangu Oktoba mwaka jana lilipoanza sitisho hilo.Vinywaji vyenye sukari na vileo vinazidi kuwa nafuu kwa bei kutokana na viwango vya kodi kwa muda mrefu kuwa vya chini katika nchi nyingi, jambo linalochochea unene kupita kiasi, ugonjwa wa kisukari, magonjwa ya moyo, saratani na maradhi mengineyo hasa miongoni mwa watoto na vijana balehe, zimesema ripoti mpya mbili zilizotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Ituri, mashariki mwa nchi hiyo ambako ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, MONUSCO umepatia mafunzo ya ujasiriamali wafungwa kwenye gereza kuu lililoko Bunia, ambao ni mji mkuu wa jimbo hilo.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "MAHULUCHI"Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana za neno "MAHULUCHI"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 13, 2026 1:12


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "MAHULUCHI"

Habari za UN
12 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia wito wa kuimarishwa kwa mshikamano wa kimataifa na uwekezaji endelevu kwa wakimbizi nchini Kenya, usugu wa Viuaji- Vyasumu au AMR na utekelezaji wa mradi wa kusambaza nishati ya umeme na vifaa vya nishati nchini Chad.Katika ziara yake ya kwanza rasmi iliyofanyika nchini Kenya kama Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih ametoa wito wa kuimarishwa kwa mshikamano wa kimataifa na uwekezaji endelevu ili kuwasaidia wakimbizi kujenga upya maisha yao, akionya kuwa upungufu mkubwa wa ufadhili unatishia kurudisha nyuma mafanikio yaliyopatikana kwa juhudi kubwa katika ulinzi na kujitegemea kwa wakimbizi.Shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani linaendelea na juhudi za kupambana na changamoto ya usugu wa Viuaji- Vyasumu au AMR na sasa imetoa miongozo na taratibu za kuhakikisha kuna matumizi sahihi ya dawa na wahudumu wa sekta ya afya katika nchi wanachama wanaendelea kuwapatia mafunzo ili kuzitumia kwa usahihi na kwa uwajibikaji.Nchini Chad, utekelezaji wa mradi wa kusambaza nishati ya umeme PAAET umefanikisha vifaa 145,000 vya nishati ya sola kusambazwa kwa gharama nafuu kwa kaya zilizoko majimbo 23 ya taifa hilo na sasa maisha yamekuwa bora.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Mkuu wa UNHCR ahimiza mshikamano na suluhu zaidi kwa wakimbizi Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 3:18


Katika ziara yake ya kwanza rasmi iliyofanyika nchini Kenya kama Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih ametoa wito wa kuimarishwa kwa mshikamano wa kimataifa na uwekezaji endelevu ili kuwasaidia wakimbizi kujenga upya maisha yao, akionya kuwa upungufu mkubwa wa ufadhili unatishia kurudisha nyuma mafanikio yaliyopatikana kwa juhudi kubwa katika ulinzi na kujitegemea kwa wakimbizi. Flora Nducha na taarifa zaidi  

kenya unhcr zaidi umoja katika kakuma mataifa mkuu barham salih
Habari za UN
UNDP Kenya yaunga mkono wanawake wa jamii ya asili Narok katika uhifadhi wa misitu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 9, 2026 3:33


Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, (UNDP), nchini Kenya, kupitia mradi wa kuhimili tabianchi au Climate Promise Guarantee, limewawezesha wanawake wa jamii ya asili katika Kaunti ya Narok, nchini humo kuongoza juhudi za uhifadhi wa misitu huku wakilinda urithi wao wa kitamaduni na kuboresha maisha ya familia zao. Sheilah jepnge'tich na taarifa zaidi.

kenya undp umoja katika asili jamii wanawake mataifa maendeleo shirika kaunti
Habari za UN
08 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 8, 2026 11:07


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kufuatilia yaliyojiri kwenye kikao mahsusi cha kuimarisha uhusiano mwema na wakazi wa eneo la Beni-Mavivi jimboni Kivu Kaskazini ili kuimarisha ulinzi wa amani wakati huu ambapo kwasasa hatua za kidiplomasia za kutatua mgogoro unaoikumbuka nchi hiyo zikiendelea.Hatimaye matumaini yamerejea ya kuwa na mlo mezani huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli baada ya shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP kuweza kupatia raia mgao kamili wa chakula, ikiwa ni mara ya kwanza tangu vita vianze Oktoba 7, 2023.Huko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MINUSCA umesambaza radio zinazotumia nishati ya sola kwa jamii ikiwa ni sehemu ya  usaidizi wake wa kuhakikisha wananchi wanapata taarifa za uhakika na kwa wakati. Katika mkoa wa Nana-Mambéré, MINUSCA imekabidhi radio 600 kwa mamlaka za serikali za mitaa, wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji wa Mkataba wa Amani, viongozi wa kidini, wanawake, vijana, watetezi wa haki za binadamu, vikosi vya ulinzi na usalama, wanahabari, wauza maduka na waendesha bodaboda.Mkuu wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya  Operesheni za Ulinzi wa Amani, Jean-Pierre Lacroix akiwa ziarani nchini Lebanon amekuwa na mazungumzo na viongozi wa jeshi la taifa hilo ambapo amewashukuru kwa ushirikiano wao na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa mpito nchini humo, UNIFIL. Wamejadili pia mpango wa unaoendelea wa kupeleka tena vikosi vya UNIFIL kusini mwa Lebanon na jinsi gani ujumbe huo unaweza kuendelea kusaidia jeshi la Lebanon kutekeleza azimio namba 1701 la Baraza la Usalama kuhusu sitisho la uhasama kati ya Israeli na wanamgambo wa Hezbollah.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na ya neno "UMWESO"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na ya neno "UMWESO"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 8, 2026 0:33


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na ya neno "UMWESO"

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Matumizi ya neno "KUKANIA"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2026 1:03


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anatuelimisha namna ya matumizi ya neno "KUKANIA"

Habari za UN
05 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 5, 2026 11:19


Hii leo jaridani tunaangazia hali nchini Venezuela operesheni ya kijeshi ya Marekani, afya ya uzazi Tana River nchini Kenya, na wanawake wakimbizi wa DR Congo wanaopitia ukatili wa kijinsia wakikimbia machafuko. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana leo katika kikao cha dharura baada ya operesheni ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela tarehe 3 Januari mwaka huu, hatua iliyozua hofu ya kuongezeka kwa hali ya kutokuwa na utulivu nchini humo na katika eneo zima.Huko nchini Kenya katika kaunti ya Tana River, hali mbaya ya hewa na migogoro imesababisha takriban watu 140,000 kuyahama makazi yao. Upatikanaji wa huduma za afya nao umekuwa mgumu na kuongeza magumu hususani kwa wanawake na watoto. Katika kukabiliana na hali hiyo Wizara ya Afya nchini humo inashirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO katika kutoa huduma za afya kipaumbele kikielekezwa kwenye masuala ya uzazi salama.Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi (UNFPA), nchini Burundi, linaongeza juhudi zake kukabiliana na mahitaji yanayoongezeka ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) wanaokimbia mapigano yanayoendelea mashariki taifa hilo la Maziwa Makuu ili kulinda afya, usalama na utu wao na wa jamii zinazowapokea.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

venezuela kenya congo burundi drc umoja hii katika afya watu baraza jamhuri mataifa marekani huko shirika kidemokrasia wizara
Habari za UN
Kenya: WHO yasaidia huduma za afya katika Kaunti ya Tana River

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 5, 2026 2:43


Huko nchini Kenya katika kaunti ya Tana River, hali mbaya ya hewa na migogoro imesababisha takriban watu 140,000 kuyahama makazi yao. Upatikanaji wa huduma za afya nao umekuwa mgumu na kuongeza magumu hususani kwa wanawake na watoto. Katika kukabiliana na hali hiyo Wizara ya Afya nchini humo inashirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO katika kutoa huduma za afya kipaumbele kikielekezwa kwenye masuala ya uzazi salama. Rashidi Malekela na taaria zaidi

kenya umoja katika afya mataifa huko kaunti wizara
Habari za UN
Guterres: Mwaka mpya 2026 tudumishe mshikamano na amani badala ya mateso

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 29, 2025 2:29


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa ujumbe mzito wa Mwaka Mpya kwa ulimwengu akisema ulimwengu uko katika njia panda, ukikabiliwa na machafuko, sintofahamu na migawanyiko mikubwa na hivyo kutoa wito kwa wanadamu kuinuka pamoja kwa ajili ya haki, ubinadamu na amani. Karibu Anold Kayanda kwa maelezo zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Katika ujumbe wake wa video uliosambazwa leo asubuhi saa za New York, Marekani, kwa ajili ya mwaka mpya wa 2026, Katibu Mkuu wa Umoja wa Maraifa anauanza ujumbe wake kwa kusema, “tunapoingia mwaka mpya, dunia iko njia panda.”  Amesema dunia inakumbwa na vurugu zinazoendelea, athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi pamoja na ukiukwaji wa kimfumo wa sheria za kimataifa  hali ambayo, kwa mujibu wake, inatishia misingi inayounganisha binadamu kama familia moja ya dunia.Guterres amesema watu kote ulimwenguni wanaendelea kujiuliza iwapo viongozi wao wanasikiliza kilio cha wananchi na kama wako tayari kuchukua hatua za dhati kukabiliana na changamoto hizi.Akigeukia takwimu, Katibu Mkuu ameeleza kuwa matumizi ya kijeshi duniani yamefikia dola trilioni 2.7, ongezeko la karibu asilimia kumi kiwango ambacho ni mara kumi na tatu zaidi ya misaada yote ya maendeleo, na kinacholingana na Pato la Bidhaa za ndani la Bara zima la Afrika.Amesema ongezeko hilo linatokea wakati dunia ikishuhudia mizozo mikubwa kwa viwango ambavyo havijawahi kuonekana tangu Vita Vikuu Vya Pili Vya Dunia.Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu ametoa wito kwa dunia kutumia mwanzo wa mwaka mpya kuweka vipaumbele sahihi, akisisitiza kuwa ulimwengu salama hujengwa kwa kuwekeza zaidi katika kupambana na umaskini badala ya kuwekeza katika vita.Guterres amesisitiza kuwa dunia ina rasilimali za kutosha kuinua maisha ya watu, kuponya sayari na kujenga mustakabali wa amani na haki, endapo tu zitatumika ipasavyo.Kwa mwaka 2026, amewataka viongozi wa dunia kuwa makini zaidi na kufanya uamuzi unaoweka mbele maslahi ya watu na mazingira badala ya kuendeleza mateso.Aidha, amewahimiza raia wote duniani kushiriki kikamilifu katika kujenga dunia bora, akisema mustakabali wa ubinadamu unategemea ujasiri wa pamoja wa kuchukua hatua.Katika kuhitimisha ujumbe wake, Katibu Mkuu ametoa wito wa mshikamano kwa ajili ya haki, ubinadamu na amani duniani.

Habari za UN
29 DESEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 29, 2025 9:59


Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea-Katika ujumbe wake wa mwaka mpya 2026 Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres ameitaka dunia kushikamana kwa ajili ya amani, maendeleo, na usalama badala ya kuongeza mateso-Huko Somalia kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na wadau wakaazi wa Laascanood waboreshewa huduma za afya baada ya kuvurugika kwa miaka miwili-Na Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO amesema mwaka 2025 ulighubikwa na changamoto lukuki za afya ya umma duniani ikiwemo ukata wa ufadhili, lakini kuna matumaini hasa katika suala la utipwatipwa

Habari za UN
UNICEF na washirika wasaidia kuboresha huduma za afya Laascaanood Somalia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 29, 2025 2:43


Huko kaskazini mashariki mwa Somalia, eneo la Laascaanood linaendelea kushuhudia maboresho ya huduma muhimu za afya baada ya miaka miwili ya kuvurugika kwa huduma hizo kutokana na mizozo, maboresho haya yanaleta huduma za afya karibu zaidi na akina mama na watoto shukran kwa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF na washirika wake. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.(Taarifa ya Leah)Kwa mujibu wa UNICEF nchini Somalia, mamilioni ya watoto wanakua katika kivuli au mazingira ya ukimya na dharura zilizosahaulika, takribani watoto milioni 1.8 wanahitaji matibabu ya utapiamlo mwaka huu wa 2025. Kila mwaka watoto wapatao 75,000 walio chini ya umri wa miaka mitano hufariki dunia kutokana na magonjwa yanayozuilika na yanayoweza kutibiwa.Miaka miwili ya migogoro imesababisha kusambaratika kwa huduma muhimu huko Laascaanood. Kurejea kwa hali ya utulivu kumeanza kushuhudia urejeshwaji wa taratibu wa huduma hizi muhimu zinazookoa maisha. UNICEF, kwa msaada wa KSRelief na Saudi Esports Federation, inachangia kwenye kutoa huduma jumuishi za afya ya msingi, huku huduma hizo zote zikitolewa chini ya paa moja.Mpaka sasa maelfu ya watu wamefikiwa huku ukisaidia vituo 13 vya afya kama anavyoeleza Dayid Said Ismail Afisa Lishe (Sauti ya Dayid Said Ismail – Evarist)“Mradi huu unasaidia vituo 13 vya afya na unahudumia zaidi ya watu 150,000. Huduma zake zinajumuisha chanjo za watoto, matibabu ya magonjwa kama nimonia na kuhara, pamoja na huduma za magonjwa mengine ya kawaida ya utotoni.”Katika huduma za matibabu tumsikilize Saida Ali Elmi ambaye ni mhudumu wa Afya(Sauti ya Saida Ali Elmi- Sheilah)“Kama mnavyoona, akina mama wengi wamekuwa kwenye foleni tangu saa moja asubuhi na sasa ni saa 5:30 asubuhi. Kwa hiyo wapo hapa kwa ajili ya chanjo za kinga, ikiwemo chanjo za kifua kikuu, surua, polio, pepopunda, kifaduro, pamoja na chanjo mpya iitwayo PCV ya nimonia.”Juhudi hizi zinazofanywa na mashirika haya, tayari zimeanza kuleta matumaini mapya kwa Ayan Hassan Abdi mama mzazi wa Maryam “Nimemleta Maryam kwa sababu alikuwa na homa. Amepatiwa matibabu na pia chanjo. Alifanyiwa vipimo vya homa na kuharisha, na akatibiwa vizuri, Masha'Allah.”