POPULARITY
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DAHARI."
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa ambayo Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuzungumza na kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji ya Wamaasai mkoani Morogoro nchini Mashariki mwa Tanzania Adam Kulet Ole Mwarabu.Wiki kumi baada ya kuanza kwa mzingiro kamili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza, zaidi ya robo tatu ya kaya katika eneo la Palestina kuna uhaba mkubwa wa huduma ya maji, huku hali ya usafi ikizidi kuwa mbaya, yameonya leo mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu athari za "uhaba huo wa maji kwa kuzingatia kuwa msimu wa joto unakaribia.”Ripoti kutoka Sudan zikidai kwamba juzi jumatano kulikuwa na jaribio la mashambulizi mapya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya kitovu muhimu cha misaada nchini humo juzi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kupitia tamko alilolitoa jana jioni kwa saa za New York, Marekani, ameongeza nguvu yake katika kutoa wito unaozidi kuwa wa muhimu kuhamasisha kuanzishwa kwa mazungumzo ya amani ya kweli.Kufuatia kuendelea kwa mvutano wa majirani, India na Pakistani, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Philemon Yang, ametoa wito wa kuzitaka nchi hizo mbili kuchukua tahadhari na kuepuka hatua zinazoweza kuongeza mzozo. Balozi Yang anasisitiza mazungumzo ya amani na kufuata sheria za kimataifa ndiyo njia pekee ya kusuluhisha migogoro.”Na katika jifunze Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika Chata ya Umoja wa Mataifa inayolenga kusongesha amani, maendeleo, urafiki na haki za binadamu. Je, wajumbe wa Umoja wa Mataifa hufanya nini? Assumpta Massoi amezungumza na mmjoa wao Balozi Yabesh Monari wa Kenya, lakini kwanza ni muhtasari wa habari na ufafanuzi wa maneno.Mratibu wa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Ukraine, Matthias Schmale, amelaani vikali shambulio jipya la Urusi dhidi Ukraine lililosababisha vifo na majeruhi kwa raia, wakiwemo watoto na mwanamke mjamzito. Bwana Schmale amesema shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya makazi jijini Kyiv na maeneo ya jirani ni ukiukaji wa kutisha wa sheria za kimataifa za kibinadamu na kwamba matumizi haya ya nguvu yasiyo na maana lazima yakome.Wiki ya Chanjo Duniani ikiwaimeanza leo, mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani, WHO, na la kuhudumia Watoto, UNICEF, na Ubia wa chanjo duniani, Gavi wametoa onyo kwamba milipuko ya magonjwa yanayozuilika kwa chanjo inaongezeka kwa kasi. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus, anasema, “Chanjo zimeokoa maisha ya watu zaidi ya milioni 150 katika kipindi cha miongo mitano iliyopita. Kupunguzwa kwa ufadhili wa afya ya kimataifa kumeweka hatarini mafanikio haya yaliyopatikana kwa juhudi kubwa.”Na ikiwa pia leo Siku ya kimataifa wasichana katika Teknolojia ya mawasiliano, ICT, Mshauri wa masoko ya kidijitali nchini Kenya Maryann Mwangi akizungumza na washirika wetu Redio Domus amehimiza wasichana kujikita kwenye ICT kwani huu ndio mustakabali.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya kina, hatimaye leo Geneva, Uswisi, Nchi Wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) zimekamilisha rasimu ya makubaliano ambayo itawasilishwa katika Mkutano wa Afya Duniani mwezi Mei mwaka huu wa 2025. Pendekezo hili linakusudia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na vitisho vya majanga ya kiafya yajayo. Anold Kayanda amefuatilia anatujulisha zaidi. "Leo mataifa ya dunia yameandika historia mjini Geneva," amesema Dkt. Tedros Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO na kuongeza kwamba, "kwa kufikia makubaliano kuhusu Mkataba wa Majanga ya kiafya, siyo tu wameweka msingi wa makubaliano ya kizazi hiki yanayolenga kuifanya dunia kuwa salama zaidi, bali pia wameonesha kuwa ushirikiano wa kimataifa bado uko hai, na kwamba hata katika dunia iliyogawanyika, mataifa bado yanaweza kushirikiana kutafuta mwafaka na mwitikio wa pamoja dhidi ya vitisho vya pamoja.” Mwezi Desemba mwaka 2021, wakati janga la COVID-19 likiwa limepamba moto, Nchi Wanachama wa WHO ziliunda Mamlaka ya Majadiliano ya Kiserikali ili kuandaa na kujadiliana kuhusu mkataba, makubaliano au nyenzo nyingine ya kimataifa, chini ya Katiba ya WHO, kwa ajili ya kuimarisha uzuiaji, maandalizi na hatua dhidi ya majanga ya kiafya. Mapendekezo katika rasimu iliyotayarishwa ni pamoja na: kuchukua hatua madhubuti za kuzuia majanga ya kiafya kwa kutumia mbinu ya Afya Moja; kujenga uwezo wa utafiti na maendeleo katika maeneo mbalimbali duniani; kuwezesha uhamishaji wa teknolojia na maarifa, ujuzi na utaalamu unaohusiana na uzalishaji wa bidhaa za afya zinazohusiana na majanga ya kiafya; kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha maandalizi, utayari na uimara wa mifumo ya afya; na kuanzisha mtandao wa kimataifa wa mnyororo wa usambazaji na vifaa. Pendekezo hilo linathibitisha mamlaka ya nchi kushughulikia masuala ya afya ya umma ndani ya mipaka yao bila kuingiliwa.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha kwenye mkutano wa hivi majuzi wa CSW69 kufuatilia harakati za Mfuko wa CRDB za kujengea uwezo na kuinua wanawake nchini Tanzania. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno “MHARUMA.”Mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wa misaada ya kibinadamu leo wamesema wanaendelea kuwasaidia watu wa Muyanmar na mahitaji ya msingi baada ya tetemeko kubwa la ardhi la Ijuma iliyopita ambapo idadi ya waliopoteza maisha sasa ni zaidi ya 2,800, maelfu wamejerihiwa na mamia bado hawajulikani wako.Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, amesema leo kwamba ameshtushwa na ripoti za mauaji ya raia bila kufuata utaratibu wa kisheria yaliyoenea mjini Khartoum baada ya kurejeshwa kwa mji huo chini ya udhibiti wa Jeshi la Sudan (SAF) tarehe 26 Machi.Na majadiliano ya siku mbili ya kila mwaka ya será kuhusu maendeleo endelevu yaliyoandaliwa na Club De Madrid yameanza leo Nairobi Kenya mwaka huu yakijikita na ufadhili wa maendeleo. shududa wetu huko ni Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno MHARUMA”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MHARUMA.”
Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.
Hii leo jaridani tunaangazia hatari za usitishwaji wa misaada kutoka marekani kwa waathirika wa viruzi vya Ukimwi, na ujumbe wa washiriki wa Mkutano wa CSW69 uliokunja chamvi Ijumaa wiki jana. Mashinani tunakupeleka nchini Tanzania, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi UNAIDS leo limeonya kwamba kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani sio tu janga kwa vita dhidi ya gonjwa hilo bali ni chachu ya vifo na ongezeko la maambukizi mapya. Flora Nducha amefuatilia onyo hilo lililotolewa leo mjini Geneva Uswisi na Mkurugenzi mtendaji wa UNAIDS Winnie Byanyima alipozungumza na waandishi wa habari.Wakati Mkutano wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani ulioleta pamoja wawakilishi wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa na mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na mashirka yasiyo ya kiserikali(NGOs) ulikunja jamvi ijumaa tarehe 21 Machi wiki jana tulipata kuzungumza na wawakilishi wa Shirika lisilo la kiserikali la Forum for Women Democracy Development and Justice, FODAJ ambalo linasaidia wasichana na wanawake waathirika wa ukatili wa kijinsia katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya.Makala Anold Kayanda wa Idhaa hii baada ya kukamilika kwa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake CSW69 uliofikia tamati mwishoni mwa wiki amezungumza na Dkt. Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanawake wa Vyombo vya Habari Tanzania (TAMWA) kuhusu tathimini yake ya hatua zilizopigwa katika miaka 30 tangu kuwekwa kwa Azimio la Beijing ili kumkomboa mwanamke.Na katika mashinani fursa ni yake Imani Ramadhani kutoka wilaya ya Kilolo, Iringa nchini Tanzania akieleza jinsi ambavyo maisha ya familia yake ilivyobadilika kupitia mradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watotot UNICEF, uliofadhiliwa kwa ushirikiano na wadau wake unaolenga kuleta usafi enedelevu wa mazingira, ikiwa ni pamoja na vyoo safi na salama ili kupunguza hatari za kila mara za magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Rekodi ni chache sana ya vitu ambavyo wanawake wamefanya hapa duniani, anasema Dkt. Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania anapozungumza na Anold Kayanda wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa wakati wa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69, jijini New York, Marekani.Mkutano huu muhimu kuhusu wanawake umefanyika kuanzia tarehe 10 hadi 21Machi 2025 na kuhudhuriwa na maelfu ya wanawake kutoka kote duniani naye Dkt. Rose Reuben akiwa mmoja wao.Kiongozi huyu wa waandishi wa habari nchini Tanzania anaona kwamba kuna hatua nyingi zimepigwa katika kipindi cha miaka 30 tangu kuwekwa kwa Azimio la Beijing ili kumkomboa mwanamke lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanya.“Na hii kazi sipendi kujilaumu sana kwamba je, hakuna kitu ambacho kimefanyika?! Mambo yamefanyika mengi lakini masuala ya kijamii hayamaliziki kwa usiku mmoja kwasababu kila unapoamka jamii inabadilika kwa namna nyingine. Kwa hiyo tukitazama kwa mtazamo huo tunaona kwamba kuna kazi imefanyika.” Anasema Mkrugenzi huyo Mtendaji wa TAMWA.Kwake, mwandishi wa habari nguli, anaona moja ya maeneo ambayo ni muhimu yafanyiwe kazi ni kuzipa nafasi taarifa zinazohusu shughuli kubwa zinazofanywa na wanawake katika jamii kote duniani kwani licha ya wanawake kuwa na michango mikubwa katika mustakabali wa ulimwengu, taarifa zao hazipewi kipaumbele cha kutosha.“Mimi kwa mtazamo wangu naona wanawake wamefanya kazi nyingi lakini hazijarekodiwa. Rekodi ni chache sana.” Anasisitiza na kuongeza, “kwa hiyo tunatakiwa kuanza kurekodi vile vitu ambavyo vilifanywa na wanawake wale wa miaka 30 iliyopita lakini hata na hawa wanaokuja kizazi kipya.”Dkt. Rose Reuben anahamasisha pia vyombo vya habari kuangazia masuala mengine ambayo kwa namna moja amba nyingine yanaigusa jamii moja kwa moja na hiyo ni kusema yanamgusa mwanamke moja kwa moja kama vile mabadiliko ya tabianchi, tekonolojia, “na vitu vingine ambavyo vinaweza kuathiri usawa wa kijinsia na hali ya mwanamke duniani.”Aidha kiongozi huyo wa TAMWA anatoa wito kwa wanawake popote walipo kutumia nyenzo zinazopatikana katika jamii yao kuhakikisha wanapata taarifa, wanasambaza taarifa na kujipatia maarifa.
Hii leo jaridani katika mada kwa kina tunajikita katika mkutano CSW69 ambao umebakiza siku moja tu, kesho Machi 21 unakunja jamvi, na tunamsikia Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Tanzania, Waziri Riziki Pembe kutoka Zanzibar na Profesa Smile Dzisi, Mkugenzi wa Shirika la “I believe Global” kutoka Ghana.Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amesema kukata ufadhili kwa mashirika yanayotoa huduma za kibinadamu kunasababisha janga la uwajibikaji. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Geneva, Uswisi na UNHCR, Bwana Grandi amesema kukata ufadhili kunaweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu na madhara yake kwa watu wanaokimbia majanga, yatakuwa makubwa zaidi na yataonekana wazi ikiwemo wanawake na watoto wa kike kukosa huduma zitokanazo na kubakwa.Leo ni siku ya furaha duniani maudhui yakimulika umuhimu wa watu kusaidiana na kujaliana katika masuala mbalimbali ikiwemo chakula. Ripoti mpya ya wadau wa UN iliyozinduliwa leo imeonesha kuwa nchi yenye furaha zaidi duniani ni Finland na ya mwisho kabisa ni Afghanistani. Katika 10 bora zenye furaha hakuna hata moja ya Afrika, ilihali kwenye 10 za mwisho nchi za Afrika ni 7 ambazo ni Lesotho, Comoro, Botswana, Zimbabwe, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Malawi na Sierra Leone.Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 ukikaribia ukingoni hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa tumemuuliza mshiriki Wakili Rosemary Mwaipopo kutoka Tanzania mkutano umekidhi kiu yake ya kusongesha usawa wa kijinsia?Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia madeni katika nchi zenye mapato ya chini na ujumbe wa washiriki wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani CSW69 hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Mkutano wa 14 wa Kimataifa wa Usimamizi wa madeni umeanza rasmi hii leo huko Geneva Uswisi ambapo kubwa linalojadiliwa ni namna ya kuhakikisha wakati serikali zikipambana kulipa madeni hazidumazi maendeleo.Akijibu swali la kwa nini pamoja na ongezeko na idadi ya wanawake katika ngazi za uamuzi nchini Tanzania lakini bado kuna changamoto zinazoukabili usawa wa kijinsia, Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu anayehudhuria mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69 jijini New York, Marekani kupitia mahojiano maalumu na Anold Kayanda wa Idhaa hii ya Umoja wa Mataifa, anaeleza kuwa mabadiliko chanya katika jamii hayaji kwa kutumia mabavu.Makala pia inatubakisha hapa Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani CSW69. Ili kufanikisha lengo la usawa wa kijinsia Umoja wa Mataifa unasisitiza ushiriki wa wanaume katika mchakato hasa kwa kuzingatia kuwa mfumo dume miaka nenda miaka rudi umekuwa kikwazo cha kufikia lengo hilo, Flora Nducha amebahatika kuzungumza na mmoja wa wanaume wanaoshiriki mkutano huo kusikia maoni yake.Na katika mashinani baadhi ya washiriki wa mkutano wa CSW69 wakizungumza na idhaa hii kandoni mwa mkutano huo, wametoa wito wa mshikamano na msichana na mwanamke yeyote anayepitia changamoto kote duniani hususani wale wanaorejea shuleni baada ya kusitisha masomo kutokana na ujauzito kabla ya wakati. Mshiriki wa kwanza ni Nasra Kibukila anayewakilisha Mtandao wa Elimu Tanzania, TEN/Met.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Waziri, Dkt. Dorothy Gwajima, ni mmoja wa wanaohudhuria mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Anold Kayanda wa Idhaa hii amekutana naye na miongoni mwa mambo mengi amemuuliza ni kwa nini pamoja na ongezeko na idadi ya wanawake katika ngazi za uamuzi nchini Tanzania lakini bado kuna changamoto nyingi zinazoukabili usawa wa kijinsia nchini humo?
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo Umoja wa Mataifa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa Pamoja wa Kigoma, KJP nchini Tanzania, unaolenga kuhakikisha wanawake na wasichana wanajumuishwa kwenye mipango ya kuhimili na kukabili mabadiliko ya tabianchi, kwa kuwajengea uwezo.Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Ripoti nyingine ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa leo ikiangazia Sudan imefichua vitendo vya watu kukamatwa kiholela, mateso, na unyanyasaji huko Khartoum vinavyotekelezwa na Vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) na pia Jeshi la Serikali ya Sudan (SAF). Ripoti hiyo imearifu pia kuwa makumi ya maelfu ya watu wamewekwa katika mazingira duni tangu Aprili 2023.Kutokana na kupungua kwa ufadhili wa misaada ya kibinadamu duniani, Umoja wa Mataifa leo jijini Geneva, Uswisi kutenga dola milioni 110 ili kusaidia majanga yaliyopuuzwa katika nchi 10 barani Afrika, Asia, na Amerika Kusini, zikiwemo Niger, Somalia, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Zambia.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayokupeleka nchini DRC ambako leo tunamulika mmoja wa raia aliyerejea makazi yake huko Sake, nje kidogo ya mji wa Goma, jimboni Kivu Kaskazini baada ya waasi wa M23 kutangaza kuwa wakimbizi wote wa ndani lazima warejee vijijini kwao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa methali.Ikiwa ni mwezi mmoja sasa tangu waasi wa M23 watwae mji wa Goma jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na kuendelea kutwaa miji mingine huku mamia ya maelfu ya watu wakifurushwa makwao, hii leo mashirika ya Kibinadamu nchini humo yametoa ombi la dola bilioni 2.54 ili kusaidia watu milioni 11 walioathiriwa vibaya na mzozo unaoendelea.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO Dkt. Tedros Ghebreysus ametangaza kuwa ugonjwa wa mpox bado ni tishio la afya ya umma duniani na hivyo nchi lazima ziendelee kuwa makini katika ufuatiliaji, uchunguzi, kinga na matibabu.Na kuelekea Mkutano wa viongozi kuhusu Mifumo ya uzalishaji chakula mwezi Julai mwaka huu huko Addis Ababa, Ethiopia, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed amezungumza hivi karibuni akiwa Nairobi, Kenya kwenye kikao cha maandalizi ambako alitembelea jiko la Giga, mpango wa Chakula kwa ajili ya Elimu, unaoendeshwa na Wawira Njiru, mshindi wa tuzo ya Mtu Maarufu Kenya mwaka 2021.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Uganda kumulika ni kwa nini Uganda imekivalia njuga Kiswahili akieleza mwandishi wetu wa Uganda John Kibego ambaye amezungumza na mwandaaji mwenza wa kongamano hilo Dkt. Kisembo Ronex Tendo, Mkurugenzi wa shirika la Afrika Mashariki Fest.Umoja wa Mataifa na wadau wanasalia na wasiwasi mkubwa kufuatia amri iliyotolewa Jumatatu na waasi wa M23 huko jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ya kupatia wakimbizi wa ndani saa 72 wameondoka kwenye kambi mjini Goma na viunga vyake, na kurejea vijijini mwao.Katika Ukanda wa Gaza ambako Rolando Gomez, Mkuu wa Mawasiliano kwenye Ofisi ya Umoja wa Mataifa huko Geneva Uswisi, amezungumza na waandishi wa habari akimnukuu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akisema lazima kuepusha gharama zozote zinazoweza kuibuka iwapo uhasama utaanza upya Gaza kwani italeta janga kubwa.Na akihutubia viongozi huko Paris Ufaransa kwenye mkutano wa Kuchukua Hatua kwa Akili Mnemba ili inufaishe wote, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesisitiza udharura kwa dunia kuwa tayari kukabiliana na changamoto zitokanazo na teknolojia hiyo iliyo mikononi mwa wachache licha ya kuleta mapinduzi kwenye sekta lukuki kama vile elimu, afya, na kilimo.Mashinani mashinani fursa ni yake Tiphaine Lucas, mwanamke Mratibu wa Mpango wa Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo, FAO kuhusu kutegua mabomu na Ukarabati wa Ardhi nchini Ukraine, akitumia sayansi na teknolojia kukagua sampuli za udongo katika ardhi ya Kiukreni ya kilimo iliyoathiriwa na mabaki ya vita na silaha zilizolipuka, sehemu kuu ya kazi yake hatarishi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwakina inayotupeleka Havan Cuba ambapo mmoja wa walumbi wa lugha ya Kiswahili Jorum Nkumbi, ambaye pia ni mwandishi wa vitabu anayetumia sanaa ya uandishi wa vitabu kuitangaza lugha mama yake ya Kiswahili amezindua kitabu kipya hivi karibuni wakati wa kongamano la kimataifa la Kiswahili. Mengine tuliyokuandalia ni kama yafuatayo.Yerusalem Mashariki eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli ambako Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA, Tom Fletcher yuko ziarani na amepata shuhuda halisi za wanaokabiliwa na kufurushwa makwao. Mmoja wao ni Um Nasser ar Rajabi ambaye amemweleza kuwa Nimekuwa kwenye ndoa katika nyumba hii kwa miaka 50.Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamelezea wasiwasi wao mkubwa kuhusu mahitaji ya dharura ya ulinzi na mazingira magumu yanayokabili raia kwenye eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC lenye utajiri mkubwa wa madini, wakati huu uhasama ulioshika kasi tangu mwezi uliopita kati ya jeshi la serikali na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda umesababisha vifo vya watu 900, majeruhi zaidi ya 2000 na kufurusha watu 700,000 mjini Goma. Wametaka pande kinzani zizingatie sheria ya kimatiafa ya kibinadamu na zilinde raia wote.Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Hakimiliki, WIPO hii leo limetoa ripoti mpya kuhusu mustakabali wa usafirishaji wa watu na bidhaa duniani ikimulika teksi za angani, magari yasiyokuwa na dereva pamoja na maroketi yanayoweza kutumika ten ana tena tofauti na sasa, likisema ndio majawabu ambayo wabunifu na wagunduzi wanahaha duniani kote ili kupunguza usafirishaji unaochafua mazingira.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdf
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdf
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdf
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdf
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
The Government has submitted a brief response to the defendant's letter dated January 24, 2025 (Dkt. No. 135), which contains new and unsubstantiated allegations of misconduct. The defendant's claims are based on declarations filed by the Government and the Bureau of Prisons in response to the Court's January 3, 2025 Order. These declarations, referenced as Dkt. No. 123, Dkt. No. 131-1 (“Pros. Team Decl.”), and Dkt. No. 131-2 (“Investigator-1 Decl.”), were submitted to address specific inquiries from the Court.In its response, the Government maintains that the defendant's allegations lack factual support and do not accurately reflect the content of the submitted declarations. The Government emphasizes that its filings were made in compliance with the Court's directives and that the assertions of misconduct raised by the defense are without merit. The response seeks to clarify the record and ensure that the proceedings remain focused on the legal and evidentiary issues at hand.AlsoThe Government has submitted a response opposing the defendant's motion to modify the terms of the Protective Order, which seeks to require the electronic production of specific videos referenced in Paragraphs 12(a) and 12(c) of the Indictment (Dkt. 129). The Government argues that the Court should deny this request, as the sensitive nature of these videos justifies their current designation under the Protective Order, which allows only for in-person inspection. The Government asserts that the existing restrictions are necessary to protect the integrity and confidentiality of the evidence.Additionally, the Government highlights the defendant's alleged violation of the Protective Order by improperly disclosing details of the videos in his motion without the required redactions. This breach, according to the Government, further supports the need for strict safeguards regarding the handling of these materials. The response emphasizes that allowing electronic production would increase the risk of unauthorized disclosure, making it essential to uphold the current protective measures.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.138.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.136.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdf
The Declaration by Christy Slavik, filed in Case 1:24-cr-00542-AS on January 17, 2025, outlines her qualifications and involvement as an Assistant United States Attorney (AUSA) with the Southern District of New York (SDNY). Slavik has been part of the SDNY since November 2019 and joined the prosecution team for this case in August 2024. The declaration is in response to the Court's Order dated January 3, 2025 (Dkt. No. 123), and it supports the Government's opposition to the defendant's motion submitted on December 4, 2024 (Dkt. No. 117)..This filing reaffirms the Government's stance on issues raised by the defense, leveraging Slavik's expertise and direct involvement in the investigation and prosecution. It indicates the prosecution team's commitment to addressing the court's queries and advancing arguments against the defendant's motion, aiming to solidify the case's legal foundation.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.131.1_1.pdf
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In response to the government's declarations submitted on January 17, 2025 (Dkt. 131), Sean Combs' legal team reiterates their arguments in favor of his Motion for a Hearing, Suppression, and Other Relief (Dkt. 97). The defense asserts that the government's submission fails to address critical procedural and substantive issues related to the evidence in question. Specifically, they highlight inconsistencies and potential constitutional violations in the methods used to obtain evidence against Mr. Combs, calling into question its admissibility. The defense maintains that these deficiencies warrant a full evidentiary hearing to safeguard Mr. Combs' rights under due process.Additionally, the defense emphasizes that suppression of certain evidence is not only appropriate but necessary to ensure a fair trial. They argue that the government's declarations lack sufficient justification to refute claims of improper conduct and overreach by law enforcement. By filing this response, Mr. Combs' counsel seeks to underscore the importance of addressing these legal flaws promptly and thoroughly, urging the court to grant the requested relief to uphold the integrity of the judicial process.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.135.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In the case of United States v. Sean Combs (1:24-cr-00542-AS), Judge Arun Subramanian issued an opinion and order denying the defendant's motion for discovery and an evidentiary hearing. Sean Combs had alleged that the government improperly leaked information about the case and sought further investigation into these claims. Specifically, the motion (Dkt. 30) called for disclosure of relevant materials and a formal hearing to address the purported leaks.Judge Subramanian, however, found no sufficient evidence to warrant granting the motion. The ruling emphasized that the defendant failed to meet the legal threshold required to demonstrate a credible basis for the allegations or to justify the requested relief. Consequently, the court declined to authorize further discovery or proceedings on the matter, leaving the case to proceed without additional inquiry into the alleged leaks.In the case of Doe v. Combs et al., No. 1:24-cv-01457-JPO, the plaintiff, Jane Doe, filed a lawsuit against Sean Combs and associated entities, alleging personal injury. The court issued a Memorandum and Order addressing several key motions. Firstly, the court granted the plaintiff's motion to proceed under a pseudonym, allowing her to maintain anonymity due to the sensitive nature of the allegations. Secondly, the court denied the defendants' motion to dismiss the case, finding that the plaintiff's claims were sufficiently plausible to proceed to discovery.Additionally, the court addressed the defendants' motion to strike certain allegations from the complaint, which was denied. The court found that the contested allegations were relevant to the plaintiff's claims and did not prejudice the defendants. The Memorandum and Order concluded by setting a schedule for discovery and encouraging both parties to consider settlement discussions. This decision allows the case to move forward, with both sides preparing for the next stages of litigation.(commercial at 10:26)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:24cv1457 Jones v. Combs Sanctions Order.pdf
In the case of United States v. Sean Combs (1:24-cr-00542-AS), Judge Arun Subramanian issued an opinion and order denying the defendant's motion for discovery and an evidentiary hearing. Sean Combs had alleged that the government improperly leaked information about the case and sought further investigation into these claims. Specifically, the motion (Dkt. 30) called for disclosure of relevant materials and a formal hearing to address the purported leaks.Judge Subramanian, however, found no sufficient evidence to warrant granting the motion. The ruling emphasized that the defendant failed to meet the legal threshold required to demonstrate a credible basis for the allegations or to justify the requested relief. Consequently, the court declined to authorize further discovery or proceedings on the matter, leaving the case to proceed without additional inquiry into the alleged leaks.In the case of Doe v. Combs et al., No. 1:24-cv-01457-JPO, the plaintiff, Jane Doe, filed a lawsuit against Sean Combs and associated entities, alleging personal injury. The court issued a Memorandum and Order addressing several key motions. Firstly, the court granted the plaintiff's motion to proceed under a pseudonym, allowing her to maintain anonymity due to the sensitive nature of the allegations. Secondly, the court denied the defendants' motion to dismiss the case, finding that the plaintiff's claims were sufficiently plausible to proceed to discovery.Additionally, the court addressed the defendants' motion to strike certain allegations from the complaint, which was denied. The court found that the contested allegations were relevant to the plaintiff's claims and did not prejudice the defendants. The Memorandum and Order concluded by setting a schedule for discovery and encouraging both parties to consider settlement discussions. This decision allows the case to move forward, with both sides preparing for the next stages of litigation.(commercial at 10:26)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:24cv1457 Jones v. Combs Sanctions Order.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
The Declaration by Christy Slavik, filed in Case 1:24-cr-00542-AS on January 17, 2025, outlines her qualifications and involvement as an Assistant United States Attorney (AUSA) with the Southern District of New York (SDNY). Slavik has been part of the SDNY since November 2019 and joined the prosecution team for this case in August 2024. The declaration is in response to the Court's Order dated January 3, 2025 (Dkt. No. 123), and it supports the Government's opposition to the defendant's motion submitted on December 4, 2024 (Dkt. No. 117)..This filing reaffirms the Government's stance on issues raised by the defense, leveraging Slavik's expertise and direct involvement in the investigation and prosecution. It indicates the prosecution team's commitment to addressing the court's queries and advancing arguments against the defendant's motion, aiming to solidify the case's legal foundation.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.131.1_1.pdf
The Declaration by Christy Slavik, filed in Case 1:24-cr-00542-AS on January 17, 2025, outlines her qualifications and involvement as an Assistant United States Attorney (AUSA) with the Southern District of New York (SDNY). Slavik has been part of the SDNY since November 2019 and joined the prosecution team for this case in August 2024. The declaration is in response to the Court's Order dated January 3, 2025 (Dkt. No. 123), and it supports the Government's opposition to the defendant's motion submitted on December 4, 2024 (Dkt. No. 117)..This filing reaffirms the Government's stance on issues raised by the defense, leveraging Slavik's expertise and direct involvement in the investigation and prosecution. It indicates the prosecution team's commitment to addressing the court's queries and advancing arguments against the defendant's motion, aiming to solidify the case's legal foundation.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.131.1_1.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
The Declaration by Christy Slavik, filed in Case 1:24-cr-00542-AS on January 17, 2025, outlines her qualifications and involvement as an Assistant United States Attorney (AUSA) with the Southern District of New York (SDNY). Slavik has been part of the SDNY since November 2019 and joined the prosecution team for this case in August 2024. The declaration is in response to the Court's Order dated January 3, 2025 (Dkt. No. 123), and it supports the Government's opposition to the defendant's motion submitted on December 4, 2024 (Dkt. No. 117)..This filing reaffirms the Government's stance on issues raised by the defense, leveraging Slavik's expertise and direct involvement in the investigation and prosecution. It indicates the prosecution team's commitment to addressing the court's queries and advancing arguments against the defendant's motion, aiming to solidify the case's legal foundation.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.131.1_1.pdf
In United States v. Sean Combs, 24 Cr. 542 (AS), the Government submitted declarations in response to Judge Subramanian's January 3, 2025 order (Dkt. No. 123) and to further oppose the defendant's motion for a hearing and other relief (Dkt. No. 117). These submissions aim to provide additional evidence and arguments supporting the Government's position that the defendant's requests for a hearing and related relief are unwarranted. The declarations address key points raised in the defense's motion, reinforcing the Government's stance and compliance with procedural requirements outlined by the court.In United States v. Sean Combs, 24-cr-542 (AS), the defense responded to the government's request for redactions to their January 14, 2025 letter motion (Dkts. 126, 127). Although the defense refiled the motion with the requested redactions as directed by the Court (Dkt. 128, 129), they opposed the redactions, arguing that they are overly broad and violate the presumption of public access to judicial documents. The defense seeks the Court's permission to refile the letter motion with narrower redactions to better balance transparency and confidentiality.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:Microsoft Word - 2025.01.15 Combs Letter re Redactions (AS comments) AE (002)gov.uscourts.nysd.628425.131.0.pdf
In United States v. Sean Combs, 24 Cr. 542 (AS), the Government submitted declarations in response to Judge Subramanian's January 3, 2025 order (Dkt. No. 123) and to further oppose the defendant's motion for a hearing and other relief (Dkt. No. 117). These submissions aim to provide additional evidence and arguments supporting the Government's position that the defendant's requests for a hearing and related relief are unwarranted. The declarations address key points raised in the defense's motion, reinforcing the Government's stance and compliance with procedural requirements outlined by the court.In United States v. Sean Combs, 24-cr-542 (AS), the defense responded to the government's request for redactions to their January 14, 2025 letter motion (Dkts. 126, 127). Although the defense refiled the motion with the requested redactions as directed by the Court (Dkt. 128, 129), they opposed the redactions, arguing that they are overly broad and violate the presumption of public access to judicial documents. The defense seeks the Court's permission to refile the letter motion with narrower redactions to better balance transparency and confidentiality.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:Microsoft Word - 2025.01.15 Combs Letter re Redactions (AS comments) AE (002)gov.uscourts.nysd.628425.131.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In United States v. Sean Combs, 24 Cr. 542 (AS), the Government submitted declarations in response to Judge Subramanian's January 3, 2025 order (Dkt. No. 123) and to further oppose the defendant's motion for a hearing and other relief (Dkt. No. 117). These submissions aim to provide additional evidence and arguments supporting the Government's position that the defendant's requests for a hearing and related relief are unwarranted. The declarations address key points raised in the defense's motion, reinforcing the Government's stance and compliance with procedural requirements outlined by the court.In United States v. Sean Combs, 24-cr-542 (AS), the defense responded to the government's request for redactions to their January 14, 2025 letter motion (Dkts. 126, 127). Although the defense refiled the motion with the requested redactions as directed by the Court (Dkt. 128, 129), they opposed the redactions, arguing that they are overly broad and violate the presumption of public access to judicial documents. The defense seeks the Court's permission to refile the letter motion with narrower redactions to better balance transparency and confidentiality.to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:Microsoft Word - 2025.01.15 Combs Letter re Redactions (AS comments) AE (002)gov.uscourts.nysd.628425.131.0.pdf
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema wanashirikiana na serikali ya Tanzania kudhibiti mlipuko wa homa ya Marbug iliyoripotiwa mkoani Kagera, kaskazini magharibi mwa taifa hilo la Afrika Mashariki. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia juhudi za kukabiliana na mlipuko wa homa ya marburg Tanzania, na elimu kwa wakimbizi katika makazi ya Kakuma nchini Kenya. Makala inatupeleka nchini Lebanon na mashinani inaturejesha Gaza.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema wanashirikiana na serikali ya Tanzania kudhibiti mlipuko wa homa ya Marbug iliyoripotiwa mkoani Kagera, kaskazini magharibi mwa taifa hilo la Afrika Mashariki.Migogoro, vita na mabadiliko ya tabianchi mara nyingi vimekuwa vikiwapora watoto fursa ya elimu na hata kusambaratisha mustakbali wao na wengi wanajikuta wakiishia kwenye makambi ya wakimbizi linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. Kwa kulitambua hilo shirika hilo linaendesha miradi mbalimbali ya kuhakikisha watoto waliokosa elimu hata kama wana umri mkubwa wanapewa fursa ya pili kusoma kama ilivyokuwa kwa mkimbizi Philip Lon'golea kutoka Sudan aliyekimbilia Uganda kwanza lakini sasa yuko kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya.Katika makala Thelma Mwadzaya anatupeleka Lebanon ambako tarehe 17 mwezi huu wa Januari Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akiwa ziarani Lebanon alitembelea walinda amani wa Umoja wanaohudumu chini ya ujumbe wa Mpito wa UN nchini Lebanon, UNIFIL, ambao walikumbwa na zahma wakati jeshi la Israeli liliposhambulia kituo chake kinyume na azimio namba 1701 la mwaka 2006, linalozuia mashambulizi kwenye eneo tenganishi kati ya Israeli na Lebanon.Na mashinani tutaelekea Gaza kusikia kauli kutoka kwa mkimbizi wa ndani baada ya kuanza kutekelezwa usitishaji uhasama na kuachiliwa kwa mateka na wafungwa.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
In the case of United States v. Combs (24-cr-542), Sean Combs' legal team submitted a 20-minute video under seal to support his renewed bail application (Dkt. 60) and its reply (Dkt. 80). This submission was made in compliance with the court's Protective Order (Dkt. 81) and is intended to provide evidence outlined in the declaration by Teny Geragos (Ex. D). The video, shared with both the court and the government, is a critical element of Combs' defense, addressing issues central to his bail request..In a letter to Judge Subramanian regarding United States v. Sean Combs (24 Cr. 542), the Government addressed the upcoming November 22, 2024, hearing on Combs' renewed bail motion. The letter responds to the Court's inquiry about the applicability of the bail package approved in United States v. Jeffries (24 Cr. 423). The Government argues that the circumstances in the Jeffries case are not comparable to those in Combs' case and do not support his bail application, emphasizing distinctions that render the Jeffries precedent irrelevant.Finally,In a letter to Judge Subramanian regarding United States v. Combs (24-cr-542), Sean Combs' legal team submitted additional support for his Renewed Motion for Bond (Dkt. 60). Included was an exhibit containing a letter from the government, received late the previous evening, in response to targeted Brady requests. The defense argues that the proffers cited in the government's letter further bolster their position regarding the "weight of the evidence" and the "nature and seriousness of the offense," as outlined under 18 U.S.C. § 3142(g)(2) and (4).(commercial at 7:34)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:Microsoft Word - 2024.11.21 - Ltr to AS re McCourtgov.uscourts.nysd.628425.83.0.pdfgov.uscourts.nysd.628425.84.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.
In the case United States v. Sean Combs, No. 24 Cr. 542, the prosecution responded to the defense's letter dated November 18, 2024 (Dkt. No. 70), and the Court's subsequent order (Dkt. No. 71). The defense had requested an evidentiary hearing concerning alleged violations of Combs' rights following a search of his jail cell, during which they claim privileged materials were seized. The prosecution argued that such a hearing is unnecessary, asserting that the search was conducted lawfully and that no privileged materials were improperly obtained or used. They maintained that the defendant's rights remain intact and that the defense's concerns do not warrant the requested relief.(commercial at 11:41)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.72.0_1.pdf
In the case of United States v. Sean Combs (1:24-cr-00542-AS), Judge Arun Subramanian issued an opinion and order denying the defendant's motion for discovery and an evidentiary hearing. Sean Combs had alleged that the government improperly leaked information about the case and sought further investigation into these claims. Specifically, the motion (Dkt. 30) called for disclosure of relevant materials and a formal hearing to address the purported leaks.Judge Subramanian, however, found no sufficient evidence to warrant granting the motion. The ruling emphasized that the defendant failed to meet the legal threshold required to demonstrate a credible basis for the allegations or to justify the requested relief. Consequently, the court declined to authorize further discovery or proceedings on the matter, leaving the case to proceed without additional inquiry into the alleged leaks.(commercial at 8:47)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.113.0.pdf
In the case of United States v. Sean Combs (1:24-cr-00542-AS), Judge Arun Subramanian issued an opinion and order denying the defendant's motion for discovery and an evidentiary hearing. Sean Combs had alleged that the government improperly leaked information about the case and sought further investigation into these claims. Specifically, the motion (Dkt. 30) called for disclosure of relevant materials and a formal hearing to address the purported leaks.Judge Subramanian, however, found no sufficient evidence to warrant granting the motion. The ruling emphasized that the defendant failed to meet the legal threshold required to demonstrate a credible basis for the allegations or to justify the requested relief. Consequently, the court declined to authorize further discovery or proceedings on the matter, leaving the case to proceed without additional inquiry into the alleged leaks.(commercial at 8:47)to contact me:bobbycapucci@protonmail.comsource:gov.uscourts.nysd.628425.113.0.pdfBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-epstein-chronicles--5003294/support.