Semi-autonomous part of Tanzania
POPULARITY
Categories
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "CHOPOCHOPO."
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina, leo tunamsikia Pauline Farini Kibuya wa shirika la Congo Notre Avenir yaani Congo Mustakabali Wetu kutoka DRC akizungumza na Idhaa hii kuhusu jinsi wanavyosongesha amani kwa taifa la DRC Congo. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Katibu Mkuu António Guterres aliyeko ziarani nchini China amehutubia mdahalo kuhusu Tahadhari za Mapema kwa Wote katika Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika kwenye jukwaa la kimataifa la Akili Mnemba na Tabianchi jijini Shanghai na kutoa wito wa kuharakisha maendeleo ya mifumo ya tahadhari za mapema inayotumia akili mnemba ili kuzuia majanga yanayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi. Hata hivyo amesema "tahadhari lazima zifikie kila mtu aliyeko hatarini kwa lugha wanazoelewa na mifumo ya mawasiliano wanayoweza kuiamini."Kesho Julai 18 ikiwa ni siku ya kimataifa ya Nelson Mandela, Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, huko Geneva, Uswisi hii leo mashindano ya 18 ya Nelson Mandela ya Mahakama ya Kimataifa ya Kuigiza yamefikia kilele kwa timu ya Chuo Kikuu cha Midlands State kutoka Zimbabwe kuibuka mshindi ilihali Chuo Kikuu cha Strathmore kutoka Kenya kimeshika nafasi ya pili.Hii leo hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi wanachama na marafiki wa mpira wa miguu au kabumbu, wamezindua kampeni ya mwaka mmoja ya Dunia Moja, Mchezo Mmoja, Lengo Moja kwa lengo la kutumia mpira wa miguu kama kichochea cha kuimarisha afya ya akili kwa vijana, tukio linalofanyika siku mbili kabla ya fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia kwa wanaume. Akizungumza mapema kabla ya tukio hilo Sahira Al Nahari, ambaye ni Kiongozi kijana mchechemuzi wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs amesema, "kwa hiyo, mpira wa miguu una mengi ya kutufundisha. Tunapokabiliwa na janga la kimataifa, hebu tuzielekeze fikra zetu kwenye viwanja vya mpira wa miguu. Tunapotazama kinachotokea viwanjani, tunajifunza nidhamu, ustahimilivu, na jinsi ya kuinuka tena baada ya kupoteza jambo muhimu sana."Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "CHOPOCHOPO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Bienvenue sur Après Minuit ❤️
Send us Fan MailAmne Suedi is an international business lawyer, investment adviser, entrepreneur, and Honorary Consul of Switzerland in Zanzibar, known for her work at the intersection of law, investment, diplomacy, and economic development in Africa. She is the Founder and Managing Director of Swiss Shikana Investment & Advisory, boutique firms based in Switzerland, Tanzania, and Kenya that advise international investors, corporations, and institutions on investments and strategic business operations across East and Southern Africa.With experience spanning international finance, trade law, and cross-border investments, Amne has advised leading multinational companies, financial institutions, governments, and development organizations. She has also served on several strategic boards and was appointed to the Core Team responsible for drafting Tanzania's National Vision 2050. Through her work, writing, and public speaking, she is recognized as one of the leading voices shaping conversations around investment, geopolitics, and Africa's economic transformation.Swiss Shikana Investment and Advisory | www.swissshikanainvest.com | amnesuedi@shikanagroup.com | +2 55686992163Sign up for one of our negotiation courses at ShikinaNegotiationAcademy.comThanks for listening to Negotiation with Alice! Please subscribe and connect with us on LinkedIn and Instagram!
Partir en vacances très loin de chez soi avec l'espoir, assumé ou non, de rencontrer quelqu'un pour la nuit ou pour la vie. Personne ne se reconnaît dans l'expression «touriste sexuel». Pourtant, en Thaïlande, à Cuba ou à Zanzibar, les Occidentales et Occidentaux augmentent leur pouvoir d'achat et leur statut social. Les relations nouées sur place avec des locaux mettent donc en lumière des inégalités de classe, de genre et d'origine. Que viennent chercher les hommes blancs dans ces relations «exotiques»? Peut-on comparer leurs relations avec celles qu'entretiennent les femmes blanches? Comment se nouent de vraies histoires d'amour malgré le gouffre culturel et social? Production : Laurence Difélix Réalisation : David Golan Première diffusion le 15 juin 2026. Les invitées: Juliette Roguet Socio-anthropologue,spécialiste de la sociologie des masculinités, des sexualités, du tourisme et des rapports sociaux imbriqués. Son livre « Jouir de l'exotisme. Enquête auprès des séducteurs professionnels de touristes au Pérou » sortira à la rentrée aux éditions de La Découverte. & Marion Bottero Docteure en anthropologie. Ses recherches doctorales portaient sur les échanges économico-sexuels et affectifs entre Occidentaux et locaux en Malaisie et en Thaïlande. Elle a publié "Tourisme sexuel et relations conjugales en Thaïlande et en Malaisie", en 2015, aux éditions L'harmattan. Production : Laurence Difélix Réalisation : David Golan Les invitées: Juliette Roguet Socio-anthropologue,spécialiste de la sociologie des masculinités, des sexualités, du tourisme et des rapports sociaux imbriqués. Son livre « Jouir de l'exotisme. Enquête auprès des séducteurs professionnels de touristes au Pérou » sortira à la rentrée aux éditions de La Découverte. & Marion Bottero Docteure en anthropologie. Ses recherches doctorales portaient sur les échanges économico-sexuels et affectifs entre Occidentaux et locaux en Malaisie et en Thaïlande. Elle a publié "Tourisme sexuel et relations conjugales en Thaïlande et en Malaisie", en 2015, aux éditions L'harmattan.
Una isla es una idea loca en medio del mar, una prisión o una promesa de libertad, como canta Marina Rossell. Volcánicas o coralinas, de miel alunarada como las Seychelles; de fuego y hielo como Islandia. Contadas por viajero experto como Javier Sanz dan ganas de visitar de inmediato. Para perderse en ellas como Zanzibar o "sin nada que perder” como Cuba. De islas, tesoros, solitarios náufragos y corsarios de leyenda .Y de su banda sonora. Para perderse en ellas y encontrarse al fin. Puedes hacerte socio del Club Babel y apoyar este podcast: mundobabel.com/club Si te gusta Mundo Babel puedes colaborar a que llegue a más oyentes compartiendo en tus redes sociales y dejar una valoración de 5 estrellas en Apple Podcast o un comentario en Ivoox. Para anunciarte en este podcast, ponte en contacto con: mundobabelpodcast@gmail.com.
Una isla es una idea loca en medio del mar, una prisión o una promesa de libertad, como canta Marina Rossell. Volcánicas o coralinas, de miel alunarada como las Seychelles; de fuego y hielo como Islandia. Contadas por viajero experto como Javier Sanz dan ganas de visitar de inmediato. Para perderse en ellas como Zanzibar o "sin nada que perder” como Cuba. De islas, tesoros, solitarios náufragos y corsarios de leyenda .Y de su banda sonora. Para perderse en ellas y encontrarse al fin. Puedes hacerte socio del Club Babel y apoyar este podcast: mundobabel.com/club Si te gusta Mundo Babel puedes colaborar a que llegue a más oyentes compartiendo en tus redes sociales y dejar una valoración de 5 estrellas en Apple Podcast o un comentario en Ivoox. Para anunciarte en este podcast, ponte en contacto con: mundobabelpodcast@gmail.com.
Yaliyojiri wiki hii ni kuvunjika kwa makubaliano kati ya Marekani na Iran, mazishi ya kiongozi wa kiroho wa Iran A.Khamenei, rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwaonya wanaharakati dhidi ya kuchochea vurugu-wanasiasa wa upinzani, wanahabari pamoja na wanaharakati, Uganda waishi kwa hofu kutokana na vitisho vya mkuu wa majeshi, wapinzani wa jukwaa la C64 DRC walikutana na rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, na maandamano ya mawakili nchini Kenya
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na leo tunakwenda Afrika Mashariki hususan nchini Tanzania katika visiwa vya Zanzibar. Tunamulika jinsi serikali ya Zanzibar kwa ushirikiano na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo nchini humo, UNDP wanaboresha huduma za utalii kwa kutumia Akili Mnemba au AI. Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa kupunguzwa kwa misaada rasmi ya maendeleo tangu Januari 2025 kumesababisha takribani wanawake na wasichana milioni moja duniani kupoteza huduma muhimu katika nchi zilizoathiriwa na migogoro. Ikitolewa leo Geneva, Uswisi na New York, Marekani na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake, UN Women, ripoti hiyo iliyopatiwa jina ‘Zaidi ya Kiwango cha Kuvumilika' miongoni mwa changamoto ilizozitaja ni pamoja na kuwa asilimia 84 ya mashirika ya wanawake yameripoti kuongezeka kwa mahitaji ya huduma, lakini takribani asilimia 90 ya mahitaji hayawezi tena kuyakidhi na kwamba mashirika mawili kati ya matano yanatarajia kufungwa ndani ya mwaka mmoja kutokana na ukosefu wa fedha.Huko Sudan, nchi inayoumia kwa vita kwa miaka minne sasa, kumetangazwa mlipuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu hali inayozidisha wasiwasi kuhusu usalama wa jamii zilizo hatarini, hususan katika mji wa El-Obeid uliozingirwa, ambako mashambulizi ya kila siku ya ndege zisizo na rubani yanaendelea kuzuia upatikanaji wa misaada ya kibinadamu. Dkt. Shible Sahbani, Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) nchini Sudan akizungumza kwa njia ya video na waandishi wa habari leo mjini Geneva, uswisi amesema, “tumerekodi zaidi ya wagonjwa 1,330 wa kipindupindu, huku watu 114 wakifariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Hii inaonesha kiwango cha vifo miongoni mwa wagonjwa wa kipindupindu cha asilimia 13.7, ambacho ni cha juu sana. Na bila shaka, msimu wa mvua unaotarajiwa utaifanya hali kuwa mbaya zaidi.”Na utafiti wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO kuhusu Ufuatiliaji wa Elimu Duniani, umeonesha kuwa misaada ya kimataifa kwa sekta ya elimu imeendelea kupungua na nchi 113 duniani zinatumia fedha nyingi kulipa madeni kuliko pesa wanazoziwekeza kwenye elimu. Matokeo ya utafiti huo yamewekwa wazi leo mbele ya viongozi kutoka nchi mbalimbali wanaohudhuria Mkutano wa Mageuzi ya Elimu TES+4 unaofanyika Paris, Ufaransa ili kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kwanza wa Mageuzi ya Elimu uliofanyika mwaka 2022 na pia ili kusongesha zaidi ufikiaji wa Lengo namba 4 la Maendeleo Endelevu linalohusu Elimu Bora.Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
Þessi þáttur var tileinkaður útvarpi íslendinga. Flosi og Freyr á Hraðbrautinni stoppuðu stutt við. Albert er búinn að vera á 3 daga fylleríi. Pétur velti fyrir sér ESB. Hjálmar var ekki sáttur með Helga í gær. Sölvi Tryggva hringdi frá Zanzibar.IG: helgijean & hjalmarorn110Takk fyrir að hlusta - og munið að subscribe'a!Þættina má finna inni í áskrift á pardus.is!
819B - What happens when Mrs. Kwan stays after class? In this special follow-up video, Linlyn Lue answers extra fan questions and shares more stories from her time as Ms. Kwan on Degrassi: The Next Generation. She talks about which adult cast members she would liked to share scenes with, what Kwan's final episode should have looked like, and her experience visiting Zanzibar?!Class is still in session, and Ms. Kwan has more stories to tell.
Začínal jako číšník a coby zaměstnanec byl i u rozjezdu Seznamu. Pak se ale rozhodl odjet do Španělska, kde už žije a podniká 14 let. Radek Řezáč ročně prodá investorům hlavně z Česka desítky apartmánů v okolí Malagy, zároveň se tam o řadu nemovitostí stará. Na sociálních sítích ho ke všemu sledují desítky tisíc lidí.V rozhovoru se dále dozvíte:
L'anthropologue française Altaïr Despres a enquêté plusieurs années à Zanzibar, un archipel au large de la Tanzanie, où elle a rencontré de jeunes femmes blanches tombées amoureuses de "beach boys". De son roman "Zanzibar" (éd. Julliard) ressort toute l'ambiguïté de ces relations, où l'échange d'argent n'est jamais nommé, mais omniprésent. Quant à Dyane, elle a fait venir son amoureux égyptien en Suisse pour qu'il se produise dans des festivals de danse. Reportages : Raphaële Bouchet Réalisation : David Golan Production : Laurence Difélix Première diffusion le 8 juin 2025.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Ikiwa ni siku chache baada ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Watu Wasioona na viziwi inayoadhimishwa tarehe 27 Juni kila mwaka, Rashid Malekela wa Idhaa hii anakupeleka Mashariki ya Kati akimmulika mkazi mwenye ulemavu ambaye anakumbwa na changamoto katikati ya vita.Wakati harakati za uokozi na usaidizi zikiendelea nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 1700 hadi sasa, leo hii ikiwa ni siku ya saba Emily Camargo akiwa kwenye kituo cha hifadhi kilichoandaliwa na Umoja wa Mataifa jimboni La Guaira anaelezea alivyonusurika akisema, “kila kitu kilichonizunguka kiliporomoka na kunizingira, isipokuwa nilipokuweko. Nashukuru kwa sababu jengo la pembeni yetu halikuanguka. Hakuna kilichonipata. Hapa ndio tunalala, mimi, mume wangu , wifi yangu na mbwa wangu. Binadamu yangu na mpenzi wake hatujui waliko tumewatafuta hadi hospitalini, na kwenye orodha, hakuna dalili.”Jopo Huru la Kimataifa la Kisayansi la Umoja wa Mataifa kuhusu akili mnemba, limetoa ripoti leo inayoonesha kuwa teknolojia hiyo inaendelea kusonga mbele kwa kasi kubwa zaidi kuliko uwezo wa serikali kuandaa sera na kanuni zinazoendana nayo. Miaka michache iliyopita, akili mnemba ilikuwa ikitumika zaidi kujibu maswali au kuandika maandishi rahisi. Leo, teknolojia hii inaweza kutengeneza picha na video zenye uhalisia mkubwa na hata kufanya baadhi ya kazi bila usimamizi wa karibu wa binadamu lakini mifumo ya udhibiti na sheria za usalama haijafanikiwa kuendana na mabadiliko hayo.Baada ya miongo kadhaa hatimaye hii leo Umoja wa Mataifa umeondoa kanuni ya kifedha iliyokuwa ikiulazimisha kurejesha kwa nchi wanachama fedha ambazo hazikutumika hata kama fedha hizo hazikuwa zimewasilishwa kabisa. Uamuzi huo uliofanywa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne unafuatia mapendekezo ya Kamati ya Tano, ya Baraza hilo ambayo inashughulikia masuala ya utawala na bajeti. Kanuni ilikwamisha ajira ndani ya Umoja wa Mataifa na operesheni za ulinzi wa amani. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa kanuni hiyo ilikuwa inahatarisha uthabiti wa Umoja wa Mataifa na kwa uamuzi huu, Baraza limeanzisha mbinu mpya itakayohakikisha kuwa fedha ambazo hazijatumika zinarejeshwa kwa nchi wanachama pale tu zinapokuwa zimewasilishwa taslimu na kupokelewa.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKUNGURU."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "MKUNGURU."
Viajamos por Europa, presentando nuevos trabajos musicales con aires que nos llegan desde Italia, Francia, Grecia, Moldavia, Rumanía, Polonia, Serbia, Noruega y Escocia, para encontrar después una inesperada conexión gaitera al sur de la península arábiga, en Omán, y terminar con un encuentro belga-georgiano. We travel through Europe, presenting new albums with airs reaching us from Italy, France, Greece, Moldova, Romania, Poland, Serbia, Norway and Scotland, before finding an unexpected bagpipe connection in the south of the Arabian Peninsula, in Oman, and ending with a Belgian-Georgian encounter. – Stefano Valla & Daniele Scurati – Alessandrine – Instabasua – Fílos Grand Ensemble – Pista 2 – Ouranos – Ana Everling (Moldova) – Bătrâneasca – European escapade by Putumayo [V.A.] – Slavyk – Apatheia – 11 songs of love & suffering – Kitka – Lazarki (Bulgarian) – Kolo – Helga Myhr – Basken – Slåttespel – Meallan – Groovy gal – [sin álbum especificado] – Al Ajial – The ship from Zanzibar has crashed & there are no goods for the people – Oman bagpipe singers: Songs of returning and leaving [V.A.] – Motyk & Sathanao – Crossroad – Crossroads Al Alawi Mabruk, Oman bagpipe singers ( Marilena Umuhoza Delli)
A young Yogi Berra battles his own pitching staff just as Dalton Rushing struggles to call pitches for Shohei Ohtani, Casey Stengel drags Yogi into the Joe McCarthy mess in Washington, Lefty Grove throws at a catcher and Dorothy Thompson tries to help war refugees. And John McGraw thought tennis-playing pitchers were effeminate? All that and more in this week's episode! The Infinite Inning is a journey to the past to understand the present using baseball as our time machine. America's brighter mirror, baseball reflects, anticipates, and even mocks the stories we tell ourselves about our world today. Baseball Prospectus's Steven Goldman shares his obsessions: history from inside and outside of the game, politics, stats, and Casey Stengel quotations. Along the way, we'll try to solve the puzzle that is the Infinite Inning: How do you find the joy in life when you can't get anybody out? Ambient battle noise: swords and shouting by pfranzen; Epic Cinematic Music: Let's Go to Zanzibar by lena_orsa
Hired when Billy Joel wanted “a New York-style drummer,” Liberty DeVitto laid down indelible parts for the singer-songwriter-pianist's music from 1976's Turnstiles onward. In part one of a lively two-part conversation, this big-talent, big-personality drummer takes us from his early years, when his and Joel's teenage bands crossed paths, through their shared success with The Stranger, 52nd Street, Glass Houses, The Nylon Curtain and An Innocent Man. Which Joel song does DeVitto call “the hardest to play and be happy about it”? How did Joel introduce and develop songs with the band? What impact did producer Phil Ramone's arrival have? On which song did Ramone and DeVitto butt heads over a disco beat? How did the band arrive at the jazz interludes on “Zanzibar”? How much were they listening to the punk/New Wave of the time? Which Nylon Curtain song may be DeVitto's favorite by Joel? What circumstances drove Joel's hit throwback album An Innocent Man?
Purple Pants Podcast | The Amazing Race 29 Summer Rewatch: Episode Three Recap Things heat up in Episode 3 of The Amazing Race 29 as Brooke and Brice travel to Tanzania and Zanzibar for one of the season's first truly dramatic legs. With the Blind Double U Turn entering the game, tensions building between teams, and strategy starting to outweigh first impressions, the duo revisits the moments that shifted the race and changed team dynamics. Brooke brings her perspective from living it while Brice brings the questions as they unpack the gameplay, personalities, and early signs of who might have what it takes to go the distance. You can also watch along on Brice Izyah’s YouTube channel to watch us break it all down https://youtube.com/channel/UCFlglGPPamVHaNAb0tL_s7g LISTEN: Subscribe to the Purple Pants podcast feed WATCH: Watch and subscribe to the podcast on YouTube SUPPORT: Become a RHAP Patron for bonus content, access to Facebook and Discord groups plus more great perks! Previously on the Purple Pants Podcast Feed: Purple Pants Podcast Archives
Purple Pants Podcast | The Amazing Race 29 Summer Rewatch: Episode Three Recap Things heat up in Episode 3 of The Amazing Race 29 as Brooke and Brice travel to Tanzania and Zanzibar for one of the season's first truly dramatic legs. With the Blind Double U Turn entering the game, tensions building between teams, and strategy starting to outweigh first impressions, the duo revisits the moments that shifted the race and changed team dynamics. Brooke brings her perspective from living it while Brice brings the questions as they unpack the gameplay, personalities, and early signs of who might have what it takes to go the distance. You can also watch along on Brice Izyah's YouTube channel to watch us break it all down https://youtube.com/channel/UCFlglGPPamVHaNAb0tL_s7g Previously on the Purple Pants Podcast Feed:Purple Pants Podcast Archives LISTEN: Subscribe to the Purple Pants podcast feed WATCH: Watch and subscribe to the podcast on YouTubeSUPPORT: Become a RHAP Patron for bonus content, access to Facebook and Discord groups plus more great perks! Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Je, maisha yangekuwaje kama kila manusura wa ukatili wa kijinsia angejua mahali pa kupata msaada kwa wakati? Kisiwani Zanzibar nchini Tanzania Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake (UN Women), kwa ufadhili wa Muungano wa Ulaya (EU) na kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, linaimarisha upatikanaji wa haki na huduma za msaada kwa manusura wa ukatili wa kijinsia, hususan katika maeneo ya pembezoni. Kupitia mradi wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana Zanzibar na Kuimarisha Uongozi wa Wanawake, manusura wanapata habari muhimu, ushauri nasaha na msaada wa kisheria wakati wowote. Feissal Kirwa na taarifa zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia wito wa UN wa kulinda mamilioni wa wakimbizi kote duniani, masuala ya kijinsia Zanzibar nchini Tanzania, na ripoti mpya ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu watoto katika maeneo ya machafuko imeonesha hali ya kutisha duniani.Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wakimbizi kesho Juni 20, viongozi wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kuimarishwa kwa mshikamano na hatua za kimataifa za kuwalinda mamilioni ya watu waliolazimika kuyakimbia makazi yao kote duniani kutokana na vita, vurugu na mateso.Ripoti mpya ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu watoto katika maeneo ya machafuko imeonesha hali ya kutisha duniani. Takribani watoto 24,174 waliuawa, kujeruhiwa, kulazimishwa kujiunga na makundi yenye silaha, kubakwa au kuathiriwa kwa namna nyingine na ukiukwaji mkubwa wa haki katika maeneo yenye mizozo mwaka 2025.Je, maisha yangekuwaje kama kila manusura wa ukatili wa kijinsia angejua mahali pa kupata msaada kwa wakati? Kisiwani Zanzibar nchini Tanzania Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake (UN Women), kwa ufadhili wa Muungano wa Ulaya (EU) na kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, linaimarisha upatikanaji wa haki na huduma za msaada kwa manusura wa ukatili wa kijinsia, hususan katika maeneo ya pembezoni. Kupitia mradi wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Wasichana Zanzibar na Kuimarisha Uongozi wa Wanawake, manusura wanapata habari muhimu, ushauri nasaha na msaada wa kisheria wakati wowote.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Charles D. Smith spent his career as one of the NBA's premier shot blockers and an Olympian, but the transformation that defined his second act required something far more difficult than anything he faced on the court. After retiring from professional basketball, Smith spent seven years in therapy rebuilding how he thought, communicated, and led, a process he describes not as a transition but as a full transformation. Today, Smith is chairman and CEO of Urban Icon Global, a company working directly with governments and civic leaders across Africa to design sports, entertainment, and economic development projects. His investment conferences and cross cultural initiatives have generated over a billion dollars in collaborations across five continents, connecting CEOs, dignitaries, private equity firms, and family offices from New York to Dubai. With operations now active in Zanzibar and expanding into Nairobi, Ethiopia, and Uganda, Smith is positioning Urban Icon Global to unlock a piece of the 40 billion dollar African sports and entertainment market, built on a humanitarian foundation rather than a real estate model.On this episode of The Reboot Chronicles Podcast, we sit down with Charles D. Smith, chairman and CEO of Urban Icon Global, to unpack how he rebuilt himself after professional sports, why he chose Zanzibar as the starting point for an East African expansion, how faith and relationships became the foundation of his business strategy, and what it takes to build a scalable platform in a market most investors still misunderstand. Smith also shares the personal story behind his approach to leadership, accountability, and legacy.
Brunner’s prescient classic about overpopulation: is it about overpopulation? Was it prescient? And, for that matter: what does it mean to be a classic? Reviewer and editor Dan Hartland joins to discuss these questions and more. Podcasts, reviews, interviews, essays, and more at the Ancillary Review of Books. Please consider supporting ARB’s Patreon! Guest: Dan Hartland Title: Stand on Zanzibar by John Brunner Host:Jake Casella Brookins Music byGiselle Gabrielle Garcia Artwork byRob Patterson Opening poem by Bhartṛhari, translated by John Brough References: Strange Horizon’s 2026 fund-drive Strange Horizons’ Critical Friends podcast The Illuminated Man: Life, Death and the Worlds of J.G. Ballard by Christopher Priest and Nina Allan Prism, Plastic, Void by Violet Allen This Is How You Lose The Time War by Max Gladstone & Amal El-Mohtar Gideon the Ninth by Tamsyn Muir We The Parasites by A.V. Marraccini Robert Jackson Bennett’s A Trade of Blood, Mr. Shivers, and Divine Cities trilogy Orion’s “SF Masterworks” series Alfred Bester’s The Stars My Destination Joe Haldeman’s The Forever War The Club Of Rome’s report “The Limits to Growth” Brunner’s “Club or Rome Quartet”: Stand on Zanzibar, The Sheep Look Up, Shockwave Rider, Jagged Orbit John Dos Passos’s U.S.A. trilogy New Worlds magazine "New Wave" science fiction Timothy Leary The Beatles’ Please Please Me versus Sgt. Pepper's Lonely Hearts Club Band Jad Smith’s John Brunner Kurt Vonnegut, Jr.’s The Sirens of Titan & Cat's Cradle William Gibson, Kim Stanley Robinson Thomas Disch's 334 & Camp Concentration The Population Bomb by Paul R. Ehrlich & Anne Howland Ehrlich Soylent Green, dir. Richard Fleischer Make Room! Make Room! by Harry Harrison Gibson’s “Johnny Mnemonic” Vajra Chandrasekera China Mountain Zhang by Maureen F. McHugh Mary Shelley’s Frankenstein Network, dir. Sidney Lumet Marshall McLuhan Taylor Sheridan & John Linson’s Yellowstone series Transmetropolitan comic series by Warren Ellis, Darick Robertson et al. Going Rogue podcast Warren Ellis sexual coercion allegations; lots more but here’s an early overview from the Guardian “FogHorn Barge” from Daniel Simon @ SoundBible, CC BY 3.0 James Ellroy's The Cold Six Thousand David Runciman’s “Are we doomed?” for LRB Degrowth KSR’s The Ministry for the Future E.J. Swift’s When There Are Wolves Again Strange Horizons’ “Ageing in Science Fiction” special issue Shintaro Kago’s Dementia 21 Julia Armfield’s Private Rites Jacqueline Nyathi’s Harare Review of Books David Brin's Earth Jerry Pournelle Dan's Bluesky The Clarke shortlist discussion will appear on Nerds of a Feather Tenacious D The Long Winters The Science Fiction Research Association (SFRA)
FREEDOM - HEALTH - HAPPINESSFor the full episodes, bonus content, back catalogue, and monthly Live Streams, please subscribe to either:The paid Spotify subscription here: https://creators.spotify.com/pod/show/docmalik/subscribe The paid Substack subscription here: https://docmalik.substack.com/subscribeThank you to all the new subscribers for your lovely messages and reviews! And a big thanks to my existing subscribers for sticking with me and supporting the show! ABOUT THIS CONVERSATION: We discussed vaccines, thyroid health and why true healing often means looking beyond symptoms to the root causes. We also explored Sally's own health journey, her upcoming Zanzibar retreat, RFK Jr., and vaccine injury compensation.EnjoyDocLinks Website https://www.purehealthzanzibar.comMY CONSULTATION SERVICEIn a world of rushed consultations and endless referrals, I offer you something rare: time, context, and clear guidance.I can help you:• Understand your diagnosis in plain English• Simplify treatment plans and medical jargon• Prepare for surgery and optimise recovery• Improve chronic illness through lifestyle and mindset• Explore holistic approaches alongside conventional care• Ask better questions and get unbiased guidance• Obtain an independent second opinionReady to Take Control?Book here today https://docmalik.com/consultations/ Check out my AFFILIATE LINKS - visit my website https://docmalik.com/affiliates/ for more detailsSeagreenUse the code DOCMALIKhttps://seagreens.shop/go/docmalik/Heracles Wellness SaunaUse the code DOCMALIK3 at checkout to get 3% off all productshttps://heracleswellness.co.ukHunter & Gather Foodshttps://hunterandgatherfoods.com/?ref=DOCHG BUY HERE TODAYUse DOCHG to get 10% OFF your purchaseNudum SkincareUse my code DocMalik10 at checkout to get 10% off your order.https://www.nudumskincare.co.uk/Greenscents Laundry LiquidUse code GSAHMADMALIK when ordering to receive a discount.https://greenscents.co.uk?bg_ref=pmW7ecKqjqIMPORTANT NOTICEIf you value my podcasts, please support the show by making a one-off donationhttps://www.buymeacoffee.com/docmalik
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Kesho kutwa Alhamisi ya Juni 11, macho na masikio yanaelekezwa Mexico, Canada na hapa Marekani kwa ajili ya fainali za kombe la dunia kwa mpira wa miguu, au soka al maarufu kabumbu. Ingawa hivyo zama za sasa za mchezo huo maarufu zaidi duniani zinakumbwa na madhara ya athari za mabadiliko ya tabianchi. Ongezeko la joto kali linavuruga mechi na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wa mchezo huo. Ni kwa kuzingatia hilo, Sekretarieti ya Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, UNFCCC inamulika suala hilo na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike kwani hivi sasa madhara ya joto kali kwenye kabumbu ni dhahiri. Feissal Kirwa anamulika hilo kupitia video iliyoandaliwa na UNFCCC.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Takriban watoto milioni 138 duniani kote bado wako katika ajira za watoto, wakiwemo watoto milioni 54 wanaofanya kazi hatarishi. Hayo yamo katika ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa ILO. Katika ujumbe wakwe kwenye ripoti hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa ILO, Gilbert F. Houngbo, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kubadili hali hii.“Habari njema ni kwamba hadi sasa tuna wagonjwa 19 ambao wamepona, hivyo utambuzi wa mapema na matibabu vinaokoa maisha,” Huyo ni Mkurugenzi wa Operesheni za Tahadhari na Hatua za Dharura za Afya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO), Dkt. Abdirahman Mahamud, akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva leo kwa njia ya video kutoka Bunia katika Jimbo la Ituri, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, jimbo ambalo linachangia asilimia 94 ya wagonjwa wote wa Ebola.Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umeanza leo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York na utaendelea hadi 11 Juni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Washiriki wanajadili namna ya kutokomeza ukandamizaji, ukatili na manyanyaso dhidi ya watu wenye ulemavu, kuimarisha mifumo ya huduma na msaada, pamoja na kuongeza ushiriki na uwakilishi wao katika maisha ya kisiasa na umma.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."
A tour guide in the spice farm is describing to the group how nutmeg is used by locals to as a drug by men to replace alcohol, or is given to young bridges who are afraid of their wedding night. Zanzibar is known as the “spice island” and exports a number of spices including nutmeg. It also does a roaring tourist trade showing tourists around the farms and selling spices in Stone Town market. Recorded in Dole, Zanzibar by Marg Laing.
"I found the recorded voices both compelling and slightly disturbing. The levity around the use of a spice to drug 'brides to be' was deeply uncomfortable. Having lived in Tanzania and having some familiarity with the culture, I wanted to create a piece that was both challenging and a celebration. I felt conflicted, wanting to capture both the incredible joy of the people and community, and the profound sadness of the history of the area. I wanted to capture something of the trance like nature of the local rhythms and contrast that with more European melodies."Nutmeg use in Zanzibar reimagined by deadkousin.
THIS WEEK's BIRDS: new music from Gordon Grdina (out) & Russ Losing (pIano); Benin-born pianist Tchangodei w. Archie Shepp (tenor); experimental electro-flamenco from Andreh y Manuela, Andrea Santalusía & The Gardener; Maghrebi pop from Aida el Ayoubi: Persian dastagh; modern Balouchestani music from Dinmohammad Zangeshai; from Hatam Asgari Langa music from the Thar Desert (Rajasthan) w/ Samsu Khan & Asin Khanplus; Baraka Mkande (new-ish Taarab from Zanzibar); composer, bandleader, multi-instrumentalist Salim Washington; Algerian Kabyle/proto-chaabi composer/musician.vocialist Kamel Hamadi x 2 (once w./ Algerian vocalist Noura, once without); latter-day Lolé (cante jondo vocalist); new piano work from Satoko Fujii & Myra Melford in duo setting; vintage Latino-Senaglese music from the outskirts of Dakar w. Dieuf-Dieul de Thiés; Lebanese pop vocalist Maya Yazbeck; Ajak Kwai (pop vocalist from Mauritania); Dexter Johnson (more African salsa); samba from Jongo da Serrinha & Mestre Marçal;; . so much, much, much more... Catch the BIRDS live on Friday nights, 9:00pm-MIDNIGHT (EST), in Central New York on WRFI & WINO 88.1 FM Ithaca/ 88.5 FM Odessa;. and WORLDWIDE online via our MUSIC PLAYER at WRFI.ORG. 24/7 via PODBEAN: https://conferenceofthebirds.podbean.com via iTUNES: https://podcasts.apple.com/us/podcast/conference-of-the-birds-podcast/id478688580 Also available at podomatic, Internet Archive, podtail, iheart Radio, and elsewhere. Always FREE of charge to listen to the radio program and free also to stream, download, and subscribe to the podcast online: PLAYLIST at SPINITRON: https://spinitron.com/WRFI/pl/22400566/Conference-of-the-Birds and via the Conference of the Birds page at www.WRFI.ORG https://www.wrfi.org/wrfiprograms/conferenceofthebirds/ Join us on Facebook: https://www.facebook.com/groups/conferenceofthebirds/?ref=bookmarks Find WRFI on Radio Garden: http://radio.garden/visit/ithaca-ny/aqh8OGBR NEW MAILING ADDRESS: Stephen Cope @ Conference of the Birds, POBOX 428, Tivoli, NY, 12583, USA.
Jamii katika mkoa wa Kaskazini Unguja huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania wanaadhimisha siku ya bahari hii leo Umoja wa Mataifa ukielezea dhahiri mafanikio ya mradi wa uhifadhi wa mikoko na ufugaji wa nyuki unaochagiza sio tu upatikanaji endelevu wa kipato bali pia uhifadhi wa mazingira na bahari. Assumpta Massoi na maelezo zaidi ya mradi huo.
Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu kuhusu siku ya baharí duniani na kumulika ni hatua gani Zanziba zinachukua kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Pia tunakwenda nchini Kenya kufuatilia simulizi ya mchezaji wa raga.Bahari duniani zinakabiliwa na changamoto kubwa zinazotishia afya ya mazingira na ustawi wa binadamu, ameonya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres na kutoa wito wa hatua za haraka na za pamoja kukabiliana na hali hiyo.Jamii katika mkoa wa Kaskazini Unguja huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania wanaadhimisha siku ya bahari hii leo Umoja wa Mataifa ukielezea dhahiri mafanikio ya mradi wa uhifadhi wa mikoko na ufugaji wa nyuki unaochagiza sio tu upatikanaji endelevu wa kipato bali pia uhifadhi wa mazingira na bahari.Nyota wa mchezo wa raga ama rugby, Kevin Wekesa kutoka nchini Kenya ambaye alishiriki Michezo ya Olimpiki jijini Paris Ufaransa mwaka 2024, ameeleza nia yake ya kufanya vizuri uwanjani huku akitumia umaarufu wake kuhifadhi mazingira na kuhamasisha hatua endelevu kupitia michezo ili kujenga dunia yenye mnepo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Hello and Welcome to the DX Corner for yourweekly Dose of DX. I'm Bill, AJ8B. The following DX information comes from Bernie, W3UR, editor of the DailyDX, the WeeklyDX, and the How's DXcolumn in QST. If you would like a free 2-week trial of the DailyDX, your only source of real-time DX information, just drop me a note at thedxmentor@gmail.com 9X – Rwanda - F8FUA, Alain Esquirol, is active holiday style as 9X5KM from Kigali, Rwanda, until June 13. He operates CW, SSB, and digital modes on all HF bands, with possible 160-meter activity depending on local conditions. His station has a hexbeam, dipoles, and a vertical. 3G0Z – Juan Fernadez Island – “Update Ten days after the start of the Dxpedition, I have reached 15K QSOs across thedifferent bands and modes from 160 to 10m. Keep an eye to the low bands, Robinson Crusoe 3G0Z is ONAIR! VR2XAN, Alberto, is QRV as XX9TXN from Macao until June 9, SSB, CW and FT8, on all bands 160-6, “with a special focus on North America.” He says he will attempt SSB on 80M “and maybe 160.” QSL to IV3SKB. TF1OL, Ólafur, and his wife will be on Boa Vista Island, Cape Verde, from June 12 to June 23 for a 10-day stay. During this time, he will be active on FT8 and FT4 on 80 through 6 meters under the callsign D4OL. VK2CJR, Chris, operating as 3D2CJR, is operating holiday-style until June 9th, around the Nadi, Fiji Islands area with possible short visits to a few outlier islands. He is operatingmostly on 20 meters, probably using FT8 when time and conditions allow, with modest power of around 30–50 watts and a vertical or simple dipole setup depending on the location. As he is traveling light and prioritizing familytime, this will be a casual trip with some radio activity rather than a full DXpedition, and logs will most likely be uploaded after the trip due to limited internet access. DL2SBY, Kasimir, is QRV from Zanzibar as 5H1KB until June 12. He will use an ICOM IC-7300 with an amplifier and vertical antenna.We arrived here (LHI) safely on Monday 1st June and by 6pm we had all three stations up and running. Two x FlexRadio Aurora 520Ms and a trusty old IC7000 dedicated for FT8. Antennas are DX-Commander and an 80m Doublet, with a2nd short vertical for the IC7000. Bands will be as planned, 80 -10m, CW, SSB and FT8.And a first for our team: ClubLog Livestream. Check it out if you haven't used it before, it is a great way to see what bands we are on and who we are working, not to mention getting near real-time confirmation of your QSO. If you need (orjust want) Lord Howe Island in your log, continue to listen out for us; we're here until 14th June running three stations.SU8SOS is an Egyptian Amateur Radio Society (ERASD) activity focused on emergency communications, public demonstrations, and training for licensed operators and young volunteers to support relief, rescue, and community service during emergencies and disasters. The SU8SOS teamwill be active until June 10 on SSB and FT8 F/H across all HF bands, with QSL management by VE1AYM. 5H – Tanzania EA5JVW, Alex, isQRV as 5H3VW from Tanzania and Zanzibar Island until June 10. This will be a holiday-style portable operation from various locations around Zanzibar Island and Tanzania. Activity is expected daily between 15:30 and 17:00 UTC (18:30–20:00 local time), subject to travel plans and propagation conditions. Operation will be mainly on 20m, with possible activity on 40m, using SSB. QSL will be available via QRZ Logbook, eQSL, and bureau. 8Q – Maldives 8Q7ML will be active from Embudu Island, Maldives on June 7–14. Operator LU8MIL, Ivan, plans a holiday-style operation mainly on the 20–6 meter bands, with possible 40 meters, using FT8 and SSB. If you have questions or need information, just drop me a note at thedxmentor@gmail.com Until next week, this is Bill, AJ8B saying 73 and thanks to my XYL Karen for her love and support. I Hope to hear you in the pileups! Have a great DX week!
Jaridani tunakuletea mada kwa kina. Hii leo dunia inaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani huku maadhimisho ya kimataifa yakifanyika jijini Baku nchini Azerbaijan. Maudhui ya mwaka huu ni "Sasa kwa ajili ya Tabianchi", yakiweka msisitizo mkubwa wa kuchukua hatua dhidi ya za uhifadhi wa mifumo ya ikolojia na hatua za kukabili tabianchi.Hivi karibuni, Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria pamoja na wadau, iliwasilisha Ripoti ya Hali ya Ziwa hilo ikionesha uwepo wa kemikali hatarishi, taka ngumu, plastiki, pamoja na majitaka vitu ambavyo ni hatari kwa viumbe wa majini na mazingira. Rashid Malekela wa Idhaa hii ametembelea mwalo wa Luchelele, uliopo mkoani Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania, kufahamu jinsi wakazi wa eneo hilo wanavyochukua hatua dhidi ya Tabianchi. Anaanza na uongozi wa Kikundi cha Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi, BMU.Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za ... Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Drawdown IUCN launches IslandPlas plastic recovery network in Zanzibar, Tanzania https://iucn.org/news/202605/iucn-launches-islandplas-plastic-recovery-network-zanzibar-tanzania Rewilding IUCN SSC and Fundación Parque Jaime Duque launch a new Center for Species Survival to aid endangered wildlife in Colombia Wolf enters Sequoia National Park for 1st time in more than 100 years https://www.msn.com/en-us/news/us/wolf-enters-sequoia-national-park-for-first-time-in-more-than-100-years/ar-AA23rk1L Record Release of 842 Critically Endangered Corroboree Frogs in NSW https://www.abc.net.au/news/2026-05-14/northern-corroboree-frogs-released-into-the-wild-nsw-taronga-zoo/106670248 Plant believed extinct for 60 years suddenly reappears https://www.sciencedaily.com/releases/2026/05/260517211447.htm
Every genre has a shadow canon — the writers who don't make the syllabus, don't sell out on Amazon, and rarely get the Netflix series. In science fiction, that shadow canon is where some of the most intellectually adventurous, politically serious and formally daring work of the twentieth century was done. Having opened the series with the big names — Wells, Verne, Poe, the Mount Rushmore of the genre — John and Ezri jump forward to the late 1960s and 1970s and turn to five authors most listeners won't know: Kate Wilhelm, Joanna Russ, John Sladek, John Brunner and Christopher Priest. Feminist SF, satirical SF, dystopian SF set in a Britain going to the dogs. The thread that connects them is "prescience", a word that keeps coming up. Were these writers really predicting the future – or just paying close enough attention to the present? In this episode: Why 1969 makes such a strange hinge point — Apollo 11 and the realisation of Goddard's cherry-tree dream, set against the assassinations of 1968, Vietnam, Prague, Altamont, and the first wave of environmental science Kingsley Amis, New Maps of Hell, and the New Wave: Moorcock's New Worlds, Ballard's "inner space", and SF's discovery that it could not avoid politics Kate Wilhelm — Hugo, Nebula and Locus winner for Where Late the Sweet Birds Sang, a co-founder of the Clarion Writers' Workshop who is now better known as a mystery writer Joanna Russ — The Female Man, written in 1970 but unpublished until 1975, and How to Suppress Women's Writing; a Westinghouse Science Talent Search finalist who chose literature as her weapon John Sladek — the satirist whose robot in Tik-Tok has had its "asimov circuits" go on the blink, and whose hoax book on a thirteenth sign of the zodiac proved people will believe anything stated with enough confidence John Brunner — the "Club of Rome Quartet", the novel that coined "worm" for self-replicating code, and Stand on Zanzibar, set in 2010 and unsettlingly familiar by the time we got there Christopher Priest — Fugue for a Darkening Island and A Dream of Wessex, the racial framing Priest himself later grappled with, and The Prestige (with David Bowie as Tesla) The big question under all of it: what is the difference between prescience and prediction — and is it significant that "prescience" contains the word "science"? Links and resources: Website: techimaginarium.co.uk Instagram: @tech.imaginarium Watch on YouTube: https://www.youtube.com/@JohnHelmerConsulting Music by Nick Dwyer recording as Flintet. The Tech Imaginarium is a Learning Hack podcast, produced and hosted by John Helmer and written by John Helmer and Ezri Carlebach.
Cette semaine, dans ce numéro d'Idées, Pierre-Édouard Deldique reçoit le journaliste Pierre Haski. Avec lui, cinquante ans de reportages au long cours nous contemplent. Il est aujourd'hui un des plus fins analystes du monde qui vient. Dans son livre qui s'intitule La fin d'un monde (Stock), il revient sur son parcours, les lieux, les visages, les événements qui ont façonné sa compréhension du monde. Il analyse les soubresauts du monde hérité de l'après-guerre. « Je suis né en un lieu et à une époque qui ont sans doute décidé du reste de ma vie : Tunis, en 1953… » écrit-il. Sa vie est un roman. On le constate en l'écoutant, Pierre Haski écrit depuis une position enviable : celle d'un journaliste qui a traversé la fin de l'apartheid, la transition post‑maoïste en Chine, les guerres du Moyen‑Orient, l'effondrement des régimes communistes, la mondialisation triomphante puis sa remise en question aujourd'hui. Ses souvenirs ne sont pas des anecdotes : ils constituent des points d'observation privilégiés pour saisir les lignes de force du présent et du passé. Ainsi, raconte-t-il, par exemple, son arrivée à Zanzibar dans les années 1970, jeune reporter découvrant un pays marqué par les séquelles du colonialisme et les tensions de la guerre froide. Son expérience sud‑africaine est l'un des fils rouges du livre. Il y observe la chute de l'apartheid, la transition démocratique, puis les désillusions. Ces souvenirs nourrissent une réflexion plus large. Les transitions sont longues, fragiles, souvent décevantes. D'ailleurs le continent africain est fort présent dans son livre et dans ses propos tenus au micro où il nous parle par exemple de Thomas Sankara, l'ancien président du Burkina-Faso. Correspondant à Pékin dans les années 2000, Haski voit la Chine passer du statut « d'usine du monde » à celui de puissance technologique et stratégique. Il raconte les illusions occidentales, les erreurs d'analyse, la fascination mêlée d'aveuglement. Ses souvenirs personnels — conversations, scènes de rue, rencontres avec des dissidents — donnent chair à une idée force. La Chine donne le ton dans le monde d'aujourd'hui. « Pour guetter l'avenir, regarder vers la Chine ». De la Roumanie à la Russie, Haski décrit les espoirs de 1989, puis les dérives autoritaires, les nationalismes, les frustrations économiques. Ses souvenirs montrent comment les promesses non tenues ont nourri les populismes actuels. Fervent européen, il précise que l'Europe n'est pas réductible à l'UE : « On ne tombe pas amoureux d'une structure politique », lance-t-il. Son constat est d'une implacable lucidité : l'ordre international né en 1945 — multilatéralisme, droit international, leadership occidental — est remis en question. Au fil de ce numéro du magazine Idées et des pages du livre, Pierre Haski se livre aussi à une méditation sur le journalisme : la transformation des médias par le numérique, la difficulté croissante de « voir » le monde derrière les propagandes, les réseaux sociaux, les récits nationaux. Il cite Hannah Arendt qui soulignait qu'avec les mensonges, un peuple ne croit plus en rien, ne peut se faire une opinion, et se trouve placé sous la menace de quiconque veut le manipuler. Malgré le titre, le journaliste - qui tient à préciser que son livre ne s'intitule pas La fin du monde mais La fin d'un monde - ne cède ni au catastrophisme ni à la nostalgie, il croit encore à la possibilité d'un monde commun — à condition de repenser nos institutions, nos alliances et notre façon de voir les peuples. Pierre Haski a créé sa chaîne sur YouTube : « Le Monde de Pierre Haski ». Programmation musicale : Amakhamandela - BCUC Sankara - Gabin Dabiré Karma Code - Skai Isyourgod Mopti - Ray Lema ; Ensemble Partage.
Entretien avec Nawal Mlanao et #SessionLive de Tine Poppy. Notre 1ère invitée est Nawal Mlanao pour la sortie de Afro Jazz Taarab Project Nawal, artiste franco-comorienne, est aujourd'hui une figure marquante de son archipel natal. Elle a trouvé sa « voie », une étoile des Comores au zénith ! Ses cordes vocales et instrumentales, sa gestuelle même, ont su envoûter le public aux quatre coins du monde. Nawal est une femme de la terre et du ciel, signe textes et musiques, chante et joue du gambusi (cordophone traditionnel comorien), de la guitare, du daf (membranophone persan), des flûtes, et du piano à pouce, la mbira zimbabwéenne. Sa musique est résolument acoustique, et forte d'une spiritualité métisse. Sa voix et son univers font vibrer les publics de toutes cultures d'ici et d'ailleurs. L'album Afro Jazz Taarab Project est l'histoire d'un rêve longtemps porté par l'artiste : celui de faire résonner la musique de son enfance bien au-delà des frontières, vers un public universel. L'album questionne l'illusion matérielle et prône le respect, l'éveil, l'unité et le partage, pour un avenir lumineux. Entre les Comores, Zanzibar et la sono mondiale, cette musique devient voix intérieure et souffle de dialogue. Album enregistré en partie à Zanzibar, lors d'une résidence, où vit encore le taarab instrumental. ► Album Afro Jazz Taarab Project (Nawal Prod 2026) Site - Instagram. Puis #SessionLive de Tine Poppy pour la sortie de l'EP Pop Kabar. Puis rendez-vous avec la pop sega moderne de Tine Poppy. Caroline « Tine » est son surnom d'enfance, son « ti nom gaté », en créole de La Réunion, a connu au moins deux vies avant la chanson. D'abord gymnaste de haut niveau puis journaliste. De chacun de ces univers, elle a tiré de puissants traits de caractère : du sport une appétence pour les défis, une énergie particulière et un sens aigu de la gestion du stress ; du journalisme une haute idée des mots, un sens de l'écoute et la conviction d'être ancrée dans une époque, dont la chanson se fait forcément l'écho. Root : Même si la racine originelle musicale de Tine se trouve dans le sega et le maloya de La Réunion, l'auteure-compositrice-interprète emprunte tous les chemins de la pop. Mais en plus, elle vient du Port, une commune pas tout à fait comme les autres, à La Réunion. Une ville où le mot « populaire » n'est pas neutre. Le Port, sas d'entrée des marchandises dans cette île française de l'océan Indien, c'est à la fois des dockers et des cadres, du syndicalisme, de la politique, et donc du collectif avec toutes les ambiances qui en découlent. C'était précisément cette ambiance de « Bal Bazar » que Tine Poppy racontait dans son précédent album, cette atmosphère de musique dans un marché forain. Aujourd'hui, avec Pop Kabar l'ambiance est un brin plus feutrée - à peine - encore plus diverse, avec des propos plus intimes mais le même sens du partage. Depuis ses débuts, il y a dix ans, Tine Poppy s'appuie sur ses fidèles musiciens : Gérald Loricourt aux claviers Teddy Doris au trombone, Mathéo Técher ayant rejoint l'équipe lors d'une transcription du répertoire pour orchestre symphonique. Tine, c'est une histoire d'envies chevillées au corps : défendre une féminité déterminée, une créolité fière et diverse, une liberté d'action et de propos, une joie d'être, de faire et de partager. Titres interprétés au grand studio - Rèn Live RFI - Ankor, extrait de l'EP - In Kabar Live RFI. Line Up : Tine Poppy (chant), Dimitri Domagala (percus), Nicolas Beaulieu (guitare), Teddy Doris (trombone), Giovanni Hector (trombone). Son : Mathias Taylor, Benoît Letirant. ► EP Pop Kabar (Sakifo Talents). Instagram - Iomma - Sakifo.
Entretien avec Nawal Mlanao et #SessionLive de Tine Poppy. Notre 1ère invitée est Nawal Mlanao pour la sortie de Afro Jazz Taarab Project Nawal, artiste franco-comorienne, est aujourd'hui une figure marquante de son archipel natal. Elle a trouvé sa « voie », une étoile des Comores au zénith ! Ses cordes vocales et instrumentales, sa gestuelle même, ont su envoûter le public aux quatre coins du monde. Nawal est une femme de la terre et du ciel, signe textes et musiques, chante et joue du gambusi (cordophone traditionnel comorien), de la guitare, du daf (membranophone persan), des flûtes, et du piano à pouce, la mbira zimbabwéenne. Sa musique est résolument acoustique, et forte d'une spiritualité métisse. Sa voix et son univers font vibrer les publics de toutes cultures d'ici et d'ailleurs. L'album Afro Jazz Taarab Project est l'histoire d'un rêve longtemps porté par l'artiste : celui de faire résonner la musique de son enfance bien au-delà des frontières, vers un public universel. L'album questionne l'illusion matérielle et prône le respect, l'éveil, l'unité et le partage, pour un avenir lumineux. Entre les Comores, Zanzibar et la sono mondiale, cette musique devient voix intérieure et souffle de dialogue. Album enregistré en partie à Zanzibar, lors d'une résidence, où vit encore le taarab instrumental. ► Album Afro Jazz Taarab Project (Nawal Prod 2026) Site - Instagram. Puis #SessionLive de Tine Poppy pour la sortie de l'EP Pop Kabar. Puis rendez-vous avec la pop sega moderne de Tine Poppy. Caroline « Tine » est son surnom d'enfance, son « ti nom gaté », en créole de La Réunion, a connu au moins deux vies avant la chanson. D'abord gymnaste de haut niveau puis journaliste. De chacun de ces univers, elle a tiré de puissants traits de caractère : du sport une appétence pour les défis, une énergie particulière et un sens aigu de la gestion du stress ; du journalisme une haute idée des mots, un sens de l'écoute et la conviction d'être ancrée dans une époque, dont la chanson se fait forcément l'écho. Root : Même si la racine originelle musicale de Tine se trouve dans le sega et le maloya de La Réunion, l'auteure-compositrice-interprète emprunte tous les chemins de la pop. Mais en plus, elle vient du Port, une commune pas tout à fait comme les autres, à La Réunion. Une ville où le mot « populaire » n'est pas neutre. Le Port, sas d'entrée des marchandises dans cette île française de l'océan Indien, c'est à la fois des dockers et des cadres, du syndicalisme, de la politique, et donc du collectif avec toutes les ambiances qui en découlent. C'était précisément cette ambiance de « Bal Bazar » que Tine Poppy racontait dans son précédent album, cette atmosphère de musique dans un marché forain. Aujourd'hui, avec Pop Kabar l'ambiance est un brin plus feutrée - à peine - encore plus diverse, avec des propos plus intimes mais le même sens du partage. Depuis ses débuts, il y a dix ans, Tine Poppy s'appuie sur ses fidèles musiciens : Gérald Loricourt aux claviers Teddy Doris au trombone, Mathéo Técher ayant rejoint l'équipe lors d'une transcription du répertoire pour orchestre symphonique. Tine, c'est une histoire d'envies chevillées au corps : défendre une féminité déterminée, une créolité fière et diverse, une liberté d'action et de propos, une joie d'être, de faire et de partager. Titres interprétés au grand studio - Rèn Live RFI - Ankor, extrait de l'EP - In Kabar Live RFI. Line Up : Tine Poppy (chant), Dimitri Domagala (percus), Nicolas Beaulieu (guitare), Teddy Doris (trombone), Giovanni Hector (trombone). Son : Mathias Taylor, Benoît Letirant. ► EP Pop Kabar (Sakifo Talents). Instagram - Iomma - Sakifo.
Voici l'essentiel sur les migrations records des baleines à bosse. Here is the essential information about the record migrations of humpback whales.Figurez-vous que deux de ces géantes ont récemment pulvérisé les records mondiaux de migration, remettant totalement en question ce qu'on pensait savoir sur leurs habitudes de voyage. Believe it or not, two of these giants recently smashed world migration records, completely challenging what we thought we knew about their travel habits.La distance parcourue est juste hallucinante. The distance traveled is just mind-blowing.Elles ont nagé environ 14 500 kilomètres, ça explose complètement l'ancien record établi entre la Colombie et Zanzibar. They swam about 14,500 kilometers, completely shattering the old record set between Colombia and Zanzibar.Et on le sait grâce à une base de 19 000 photos. And we know this thanks to a database of 19,000 photos.En fait, leur nageoire caudale c'est comme une empreinte digitale, un vrai passeport biométrique marin qui valide irréfutablement ce périple. In fact, their tail fin is like a fingerprint, a true marine biometric passport that irrefutably validates this journey.Normalement, ces baleines suivent des routes super strictes, transmises de génération en génération. Normally, these whales follow super strict routes, passed down from generation to generation.Et là, elles voyagent en sens complètement inverse : l'une de l'Australie vers le Brésil, et l'autre du Brésil vers l'Australie. And here, they are traveling in completely opposite directions: one from Australia to Brazil, and the other from Brazil to Australia.Mais qu'est-ce qui peut bien pousser un animal de cette envergure à briser une tradition millénaire pour s'aventurer à l'autre bout du globe ? But what could possibly drive an animal of this scale to break a thousand-year-old tradition to venture to the other side of the globe?Ces incroyables odyssées nous prouvent que même les colosses les plus prévisibles de nos océans sont encore capables de nous surprendre par leur spontanéité. These incredible odysseys prove to us that even the most predictable colossi of our oceans are still capable of surprising us with their spontaneity. Hébergé par Acast. Visitez acast.com/privacy pour plus d'informations.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika nchi za Afrika Mashariki ambazo zimezindua Siku ya Ziwa Victoria ambayo maadhimisho yake kwa mara ya kwanza yamefanyika tarehe 21 mwezi huu wa Mei huko Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania. Lengo pamoja na mambo mengine ni kuimarisha vivutio vya utalii. Uzinduzi huu ulitanguliwa na jukwaa la wadau wa Bonde la Ziwa hilo lililohudhuriwa na wadau mbalimbali akiwemo Amon Manyama, Mkurugenzi wa Miradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP, nchini Tanzania. Rashid Malekela wa Idhaa hii alituwakilisha na amezungumza naye.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno kama neno "PEKEPEKE."Mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa UNCERF umetoa dola milioni 60 kusaidia muitikio wa kupambana na ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC. Tayari vifaa tiba vimewasilishwa nchini humo na sasa Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO na wadau wengine wanaendelea na usaidizi ikiwemo kuweka vituo vya kuimarisha hatua za kuzuia maambukizi na kuhakikisha utunzaji salama wa wagonjwa..Mwakilishi wa mpya wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Togolani Mavura amewasilisha rasmi nyaraka zake kwa katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres jijini New York Marekani na kueleza yale aliyokuja nayo.shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM limesema fedha zinazotumwa nyumbani na watu waishio ughaibuni au diaspora sasa zimezidi kiwango cha fedha za misaada rasmi ya maendeleo na uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje. IOM imeeleza pia namna diaspora walivyo na msaada mkubwa wakati wa majanga kwa kutuma fedha haraka, huduma na usaidizi kupitia mitandao ya kuaminika katika nchi mbalimbali ikiwemo Somalia, Haiti, Ufilipino na Ukraine.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEKEPEKE."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEKEPEKE."
Scorpio Gold CEO Zayn Kalyan joins Ian Wagner to discuss new drill results from the Manhattan Gold District in Nevada, including emerging mineralization at Black Mammoth and high-grade results from Gold Wedge. Kalyan highlights the importance of mineralization hosted in volcanic units, drawing comparisons to Kinross's nearby Round Mountain mine. He also discusses ongoing drilling across Black Mammoth, Gold Wedge, Zanzibar, and April Fool, Scorpio's goal of reaching two million ounces, longer-term district-scale potential, and progress toward a NASDAQ listing.
Scorpio Gold CEO Zayn Kalyan and VP Exploration Harrison Pokrandt explain the newest step-out discovery holes on the Zanzibar trend at the company's consolidated Manhattan District in Nevada ten miles south of Kinross' Round Mountain. Hole 26MN-067 returned 10.40 g/t gold over 5.67 metres from 34.29 m, including 455.52 g/t gold over 0.49 m from 36.27 m. Press release discussed: https://scorpiogold.com/scorpio-gold-drills-10-40-g-t-gold-over-5-67-m-including-455-52-g-t-gold-over-0-49-m-from-36-27-m-and-1-94-g-t-gold-over-17-07-m-from-55-47-m-along-the-zanzibar-trend/ TSX.V: SGN -- OTCQB: SRCRF -- FSE: RY9 www.ScorpioGold.com Sign up for our free newsletter and receive interview transcripts, stock profiles and investment ideas: http://eepurl.com/cHxJ39 Sponsor Scorpio Gold Corp. pays MSE a United States dollar ten thousand per month coverage fee. The forward-looking statement disclaimer found Scorpio Gold's most-recent company slide deck found at www.ScorpioGold.com applies to everything discussed in this interview. Mining Stock Education (MSE) offers informational content based on available data but it does not constitute investment, tax, or legal advice. It may not be appropriate for all situations or objectives. Readers and listeners should seek professional advice, make independent investigations and assessments before investing. MSE does not guarantee the accuracy or completeness of its content and should not be solely relied upon for investment decisions. MSE and its owner may hold financial interests in the companies discussed and can trade such securities without notice. If you buy shares of any company featured on MSE, you should, for your own protection, assume MSE's owner is personally selling you those shares. MSE is biased towards its advertising sponsors which make this platform possible. MSE is not liable for representations, warranties, or omissions in its content. By accessing MSE content, users agree that MSE and its affiliates bear no liability related to the information provided or the investment decisions you make. Full disclaimer: https://www.miningstockeducation.com/disclaimer/
New Guest Expert! On this week's Aftermath, Rebecca speaks with Dr. Erik Gilbert about the 1896 Anglo-Zanzibar War. Dr. Gilbert specializes in East African history and the Indian Ocean and shares some enlightening details about the formation of Zanzibar, the location of the palace and the technological advancements in British military arms which contributed to an extremely lopsided battle. Afterwards, Patreon subscribers can revisit the board with Fact Checker Faryn Einhorn and Producer Clayton Early to see if the verdict holds up. Not part of our Patreon family yet?! Click the link below and join us!Join our Patreon!Tell us who you think is to blame at http://thealarmistpodcast.comEmail us at thealarmistpodcast@gmail.comFollow us on Instagram @thealarmistpodcastFollow us on TikTok @thealarmistpodcastSupport this show http://supporter.acast.com/alarmist. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
En 1871, sur la rive orientale du lac Tanganyika, le journaliste américain Henry Morton Stanley espère retrouver un explorateur de légende, disparu depuis longtemps : David Livingstone.Partez à la découverte de l'incroyable périple d'Henry Morton Stanley, ce jeune journaliste chargé par son patron de retrouver à tout prix l'explorateur britannique David Livingstone, disparu depuis des années dans les contrées sauvages de l'Afrique orientale.
En 1871, sur la rive orientale du lac Tanganyika, le journaliste américain Henry Morton Stanley espère retrouver un explorateur de légende, disparu depuis longtemps : David Livingstone.Partez à la découverte de l'incroyable périple d'Henry Morton Stanley, ce jeune journaliste chargé par son patron de retrouver à tout prix l'explorateur britannique David Livingstone, disparu depuis des années dans les contrées sauvages de l'Afrique orientale.
This week on Headline Highlights: Makayla Settles' father will not be charged with what many were hoping for due to insufficient evidence without her testimony, and the case is moving forward on lesser charges despite DNA evidence and earlier felony arrests. Celeste Rivas Hernandez was confirmed to have been murdered by multiple injuries and dismemberment, while the case against David Anthony Burke (d4vd) continues to expand with large amounts of digital evidence. Ashly Robinson, known as Ashlee Janae, was found dead in her Zanzibar villa days after a birthday trip and safari proposal. USF students Zamil Limon and Nahida Bristy were found dead after going missing from his apartment. And in Wilmer, Alabama, Lisa Fields, her pregnant daughter Keziah, and her son Thomas were found bound and murdered in their home while a baby was left unharmed..If you're new here, don't forget to follow the show for weekly deep dives into the darkest true crime cases! To watch the video version of this episode, head over to youtube.com/@annieelise. .
Who's to blame for the 1896 Anglo-Zanzibar War?This week, The Alarmist (Rebecca Delgado Smith) welcomes friend Josh Corey, host of the podcast From Writer To Fighter, to discuss the incredibly short and incredibly destructive Anglo-Zanzibar War. They're joined by Fact Checker Faryn Einhorn and Producer Clayton Early. A war that unfolded in as little as 48 minutes, was this the British Empire flexing their military power? Could the newly self appointed Sultan, Khalid Ibn Barghash have something to do with it? Or perhaps a shared hunger for power is to blame? Join our Patreon!Tell us who you think is to blame at http://thealarmistpodcast.comEmail us at thealarmistpodcast@gmail.comFollow us on Instagram @thealarmistpodcastFollow us on TikTok @thealarmistpodcastSupport this show http://supporter.acast.com/alarmist. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Three developing cases: the arrest of singer David Burke, known as d4vd, in connection with the killing of 13-year-old Celeste Rivas Hernandez; the murder-suicide involving former Virginia Lieutenant Governor Justin Fairfax and his wife Cerina Fairfax; and the death of influencer Ashly Robinson, known as Ashlee Jenae, under disputed circumstances at a resort in Zanzibar.Sources:https://www.reuters.com/world/us/musician-d4vd-arrested-suspicion-murder-14-year-old-girl-2026-04-17/https://www.theguardian.com/us-news/2026/apr/19/d4vd-arrest-celeste-rivas-hernandezhttps://www.nbclosangeles.com/news/local/d4vd-arrest-charges-celeste-rivas-hernandez-murder/3878605/https://www.theguardian.com/us-news/2026/apr/16/justin-fairfax-murder-suicide-virginia-lt-governorhttps://www.washingtonpost.com/dc-md-va/2026/04/16/justin-fairfax-wife-murder-suicide/https://www.reuters.com/business/media-telecom/tanzania-investigates-death-american-social-media-influencer-2026-04-15/https://www.theguardian.com/world/2026/apr/15/ashly-robinson-death-influencer-zanzibarhttps://www.cbsnews.com/news/ashly-robinson-death-zanzibar-joseph-mccann-held/https://www.nbcphiladelphia.com/news/local/ashly-robinson-influencer-death-zanzibar-tanzania-africa/4386000/Find LOVE MURDER online:Website: lovemurder.loveInstagram: @lovemurderpodTwitter: @lovemurderpodFacebook: LoveMrdrPodTikTok: @LoveMurderPodPatreon: /LoveMurderPodCredits: Love Murder is hosted by Jessie Pray and Andie Cassette, researched by Sarah Lynn Robinson and researched and written by Jessie Pray, produced by Nathaniel Whittemore and edited by Kyle Barbour-HoffmanSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.