POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa ikitupeleka nchini DRC, Sierra Leone na Ghana. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno "MISHEMISHE.”Leo ni Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani ambayo mwaka huu inajikita na maudhui ya “mustakabali wa ulinzi wa amani.”Katika ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema walinda amani wa Umoja wa Matafa wako katika changamoto kubwa “Leo hii, walinda amani wanakabiliwa na hali zinazozidi kuwa ngumu katika dunia inayozidi kuwa na changamoto, ikiwemo uugawanyika na kutofautiana kwa mitazamo duniani kunazidi kuongezeka, operesheni za ulinzi wa amani zinakabiliwa, hatari zaidi kutokana na wingi wa vitisho kama vile ugaidi na walinda amani kulengwa kwa makusudi kupitia taarifa potofu zenye madhara makubwa na changamoto zinazovuka mipaka kuanzia janga la mabadiliko ya tabianchi hadi uhalifu wa kimataifa.Kikosi cha 11 cha Tanzania kinachohudumu chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO kimeungana na walinda amani wengine kuadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mavivi, yakiongozwa na Brigedia Jenerali Diamond Meshack Madie, Mnadhimu Mkuu wa Vikosi vya MONUSCO.Shirika la Umja wa Mataifa la Mazingira UNEP limezindua mpango mpya wa dola milioni 15 kusaidia uwekezaji endelevu katika Bonde la Kongo – moja ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia duniani. Mpango huu unalenga kufungua fursa za biashara rafiki kwa mazingira kwa wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta za kijani. Msitu wa mvua wa Bonde la Kongo ni moja ya vyanzo vikubwa vya kaboni duniani na ni makazi ya watu zaidi ya milioni 75, wakiwemo jamii za asili.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha katika mkutano wa CSW68 kumsikia Christina Kamili Ruhinda, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Mashirika yanayotoa huduma ya msaada wa kisheria nchini Tanzania, TANLAP. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno la wiki.Wakati dunia ikiadhimisha miaka 77 tangu Nakba ambapo zaidi ya wapalestina 700,000 walifurushwa kutoka vijiji na miji yao mwaka 1948, shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limetoa onyo kali kuhusu sura mpya ya mateso na ufurushwaji wa lazima uonaoendele Gaza.Akiwa na wasiwasi kutokana na ripoti za kuaminika kwamba wakimbizi wa Rohingya kutoka Myanmar walilazimishwa kushuka kutoka kwenye meli ya jeshi la wanamaji la India na kutoswa katika bahari ya Andaman wiki iliyopita, Mtaalamu wa UN wa Haki za Binadamu kuhusu wakimbizi wa Myanmar, ameanzisha uchunguzi kuhusu kitendo hicho alichoeleza kuwa ni cha kushangaza na kisichokubalika.Na baada ya muda mrefu kuonekana kama mchangiaji mkubwa wa utoaji wa hewa chafuzi duniani, sekta ya usafirishaji majini sasa iko mstari wa mbele katika kuonesha ushirikiano wa kipekee wa kimataifa wa kupunguza hewa hizo zitolewazo na meli za usafirishaji majini.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "KIANGO".Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "KIANGO."
Al-Watiq recorre una noche la distancia entre Aledo y Fortuna mientras nos cuenta los avatares de su vida y de su época. La novela histórica se titula "Voz y memoria de Al-Watiq" que se presenta esta tarde a las 19h en Las Claras.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika Chata ya Umoja wa Mataifa inayolenga kusongesha amani, maendeleo, urafiki na haki za binadamu. Je, wajumbe wa Umoja wa Mataifa hufanya nini? Assumpta Massoi amezungumza na mmjoa wao Balozi Yabesh Monari wa Kenya, lakini kwanza ni muhtasari wa habari na ufafanuzi wa maneno.Mratibu wa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Ukraine, Matthias Schmale, amelaani vikali shambulio jipya la Urusi dhidi Ukraine lililosababisha vifo na majeruhi kwa raia, wakiwemo watoto na mwanamke mjamzito. Bwana Schmale amesema shambulio hilo la usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya makazi jijini Kyiv na maeneo ya jirani ni ukiukaji wa kutisha wa sheria za kimataifa za kibinadamu na kwamba matumizi haya ya nguvu yasiyo na maana lazima yakome.Wiki ya Chanjo Duniani ikiwaimeanza leo, mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani, WHO, na la kuhudumia Watoto, UNICEF, na Ubia wa chanjo duniani, Gavi wametoa onyo kwamba milipuko ya magonjwa yanayozuilika kwa chanjo inaongezeka kwa kasi. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus, anasema, “Chanjo zimeokoa maisha ya watu zaidi ya milioni 150 katika kipindi cha miongo mitano iliyopita. Kupunguzwa kwa ufadhili wa afya ya kimataifa kumeweka hatarini mafanikio haya yaliyopatikana kwa juhudi kubwa.”Na ikiwa pia leo Siku ya kimataifa wasichana katika Teknolojia ya mawasiliano, ICT, Mshauri wa masoko ya kidijitali nchini Kenya Maryann Mwangi akizungumza na washirika wetu Redio Domus amehimiza wasichana kujikita kwenye ICT kwani huu ndio mustakabali.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI."
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Idhaa hii inazungumza na Mwenyekiti wa Tanzania Women Ecocomic Empowerment Network (TAWEN), ambaye pia ni mchumi mbobezi Bi. Janet Zebedayo Mbene. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na neno la wiki.Shukran Anold na leo tunaanzia huko Geneva Uswisi ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO limetoa muongozo wake wa kwanza duniani wa kutambua, kutoa matibabu kwa haraka na matibabu ya muda mrefu kwa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.Nchini Chad katika mpaka wake na Sudan ambako Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi ametembelea na kuzungumza na wakimbizi wa Sudan pamoja na kujionea hali zao wakati huu ambapo wamepunguza kutoa chakula, malazi , maji na dawa na kauli yake ikawa moja tu, “Ninatoa wito kwa wafadhili, tafadhali msipunguze msaada kwa wathirika wa vita vya Sudan.”.Taarifa ya pamoja ya mashirika ya kibinadamu inayotolewa kila baada ya wiki mbili imeeleza kuhusu hali katika Ukanda wa Gaza inasema kuwa watu wanazidi kuuwawa na kujeruhiwa. Kwa zaidi ya mwezi sasa hakuna misafara ya misaada inayoruhusiwa kuingia Gaza. Watu kulazimishwa kuhama kinguvu kunaendelea, makazi ya wakimbizi yamefikia pomoni, huduma za usafi na kujisafi nazo ni mbaya.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "FIFILIZA"Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno "FIFILIZA"
SEASON 7: All Roads Lead to ClermontMiniseries: Iberia on the Eve of CrusadeEPISODE 155: End of the Taifa EraWhen eras end and kingdoms fall, one would be entirely justified in assuming that said “end” would come from some external source. But that's not always the case. Members-Only Series on Patreon:For only a dollar per month, you can hear multiple varying stories and storylines so far through the 11th century, including but not limited to the creation of the Kingdom of Poland, what's happening on the Continent while Duke William is conquering England, and, currently, our series called “The Book of Alexios” detailing all those details of the monumental medieval emperor, Alexios Komnenos, that didn't make it into the public podcast. Every dime donated will be put directly back into the show, so I hope you consider becoming a Patreon member! Just follow this link to our Patreon page to peruse the right “subscription” for you: https://www.patreon.com/FortunesWheelPodcast. Social Media:YouTube Page: Fortune's Wheel PodcastFacebook Page: https://www.facebook.com/fortunes.wheel.3 Twitter Page: https://twitter.com/WheelPodcast
(Airtime 7AM Mar 14, 2025) Nkechi Taifa is founder, principal and CEO of The Taifa Group LLC, a social enterprise firm whose mission is to advance justice. The Taifa Group's portfolio of client services has included coalition-building, convenings, government relations, meeting and retreat facilitation, strategic planning, and trainings. She is founder and convener emeritus of the Justice Roundtable-a broad network of advocacy groups advancing progressive justice system reform and serves as a Senior Fellow for the Center for Justice at Columbia University.https://www.instagram.com/nkechitaifa/https://www.instagram.com/diprimaradio/https://www.thetruthawards.com/
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Idhaa hii imezungumza na Lucy Gidamis, Wakili ambaye kwa sasa anafanya kazi na shirika la Msichana Initiative nchini Tanzania akijikita katika kutetea na kutekeleza haki za wanawake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno Wakfu.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC hii leo Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO umekabidhi magari sita kwa gavana wa kijeshi wa jimbo la Kivu Kaskazini ili kuwezesha shughuli za polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Afya duniani WHO na la kuhudumia watoto UNICEF yametangaza kuwepo kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa surua barani ulaya, jumla ya wagonjwa 127,350 waliripotiwa kati yao watoto wakiwa zaidi ya asilimia 40.Na hii leo ikiwa ni chungu cha 10 cha Ramadhan, ikikamilisha fungu la kwanza kati ya mafungu matatu ambapo ni siku 30 za mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameanza ziara yake ya siku nne nchini Bangladesh ikiwa ni utaratibu wake wa kila mwaka wa kushiriki Ramadhan na jamii za waislamu walio kwenye changamoto mbalimbali.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno Wakfu.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno Wakfu.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulika siku ya redio duniani, maudhui yakiwa Radio na Tabianchi, na ni kwa vipi chombo kinachodaiwa kutwamishwa na maendeleo ya teknolojia kinaendelea kusaidia kuelimisha umma kuhusu madhara ya mabadiliko ya tabianchi, Teonas Aswile wa TBC Taifa nchini Tanzania anaeleza.Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambapo hali inazidi kuwa tete na leo Mkurugenzi Mtendaji wa shirkika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell, ameelezea wasiwasi mkubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia mashariki mwa mwa nchi hiyo katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini, ambapo watoto na familia wanakabiliwa na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu.Naibu mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masiala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA nchini Sudan Edmore Tondhlana akizungumza na UN News amesema hali nchini Sudan inaendelea kuwa janga la kibinadamu wakati vita ikishika kasi na watu wakiendelea kufurushwa makwao. Amesema "Tunashuhudia hali ambapo Sudan ina mahitaji ya kibinadamu yaliyo miongoni mwa makubwa zaidi duniani. Takriban watu milioni 30 wanahitaji msaada wa kibinadamu. Hili ni ongezeko la takriban watu milioni tano zaidi ikilinganishwa na mwaka uliopita, pia, Sudan ina idadi kubwa zaidi ya watu waliopoteza makazi yao.Na leo ni siku ya Redio Duniani mwaka huu ikibeba maudhui Redio na mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO lengo la maudhui haya ni kudhihirisha jukumu la redio katika kusambaza ujumbe na kuelimisha kuhusu changamoto za mabadiliko ya tabianchi, kutanabaisha kuhusu hatua endelevu na kuwapa sauti wanaharakati wa mabadiliko ya tabianchi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno “MSUMBI”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno “MSUMBI”
Waasi wa M23 wametangaza nia yao ya “kuikomboa Kongo yote” wakati wa mkutano wa hadhara mjini Goma.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emilian Samson Mahinya , Kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume Ikumbilo , Jimbo Katoliki Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je, kuna uhusiano wa Sanduku la Agano na Taifa la Israel? L'articolo Fahamu Uhusiano kati Sanduku la Agano na Taifa la Israel. proviene da Radio Maria.
Hii leo jaridani tunakuletea mad akwa kina inayotupeleka nchini Tanzania ambapo Chuo cha ulinzi wa amani kwa kushirikiana na wataalamu kutoka ‘UNITA' na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Operesheni za Ulinzi waliandaa mpango wa ufundishaji kuhusu ulinzi wa amani, Brigedia Jenerali George Itang'are ambaye Mkuu wa chuo hicho anaelezaIkiwa leo ndio siku ambayo Israeli ilitaka shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA liwe limefunga shughuli zake Ukanda wa Gaza, Msemaji wa UNRWA Julie Touma amenukuliwa akisema hadi sasa hawajapokea mawasiliano yoyote rasmi ya jinsi ya kutekeleza sheria ya Bunge la Israeli, Knesset inayotaka waondoke.Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa usaidizi wa dharura, CERF umetenga dola milioni 17 kufanikisha operesheni za kiutu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako mapigano makali huko Kivu kaskazini na Kivu Kusini yameacha mamia ya maelfu ya wakimbizi wakiwa na mahitaji makubwa ya kibinadamu.Na viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, jana Januari 29 walikuwa na kikao cha dharura cha 24 kujadili hali ya usalama mashariki mwa DRC ambapo wametaka pande kinzani kuacha uhasama, kuruhusu usambazaji wa misaada ya kiutu na kuzingatia sitisho la mapigano bila masharti.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “MAADHURA”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “MAADHURA”
Karibu ungana nami Judith Mpalanzi Katika kipindi Cha Elimu jamii leo tupo na Daktari Rafael Malaba meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Kinondoni pamoja na Shazy Amasha Afsa Uanachama Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Kinondoni ambapo wanazungumzia, Juu ya Maboresho ya Mifumo na Usajili wa Vifurushi […] L'articolo Fahamu maboresho ya Mfuko wa Bima ya Afya Taifa, NHIF. proviene da Radio Maria.
Rodrigo Díaz de Vivar, conocido como El Cid Campeador, es una de las figuras más fascinantes de la historia medieval española. Su vida estuvo marcada por la lealtad, la estrategia militar y su capacidad para liderar tanto a cristianos como a musulmanes en una época de intensos conflictos. En este episodio de nuestro podcast, exploramos su trayectoria desde su entrada al servicio de la Taifa de Zaragoza hasta su muerte en Valencia. Un líder al servicio de la Taifa de Zaragoza Tras ser desterrado por el rey Alfonso VI de Castilla en 1081, El Cid buscó refugio y empleo en territorios musulmanes. Fue en la Taifa de Zaragoza, gobernada por Al-Mu'tamin y, más tarde, por su hermano Al-Musta'in II, donde Rodrigo se consolidó como un líder militar al mando de tropas cristianas y musulmanas. Durante este periodo, destacó por sus campañas contra los condados catalanes y sus victorias en batallas como la de Almenar y la de Morella. La independencia del Cid Aunque inicialmente sirvió a otros señores, Rodrigo pronto comenzó a actuar de manera independiente, convirtiéndose en un caudillo que buscaba establecer su propio dominio. Su destreza militar y su capacidad para forjar alianzas le permitieron consolidar su influencia en el Levante. En este contexto, la conquista de Valencia se convirtió en el objetivo principal de su carrera. La conquista de Valencia Entre 1093 y 1094, El Cid lideró un prolongado asedio a Valencia. Tras meses de estrategia y enfrentamientos, la ciudad cayó bajo su control. Este logro marcó el punto culminante de su vida militar. Rodrigo instauró un gobierno en el que convivieron cristianos y musulmanes, demostrando una visión pragmática y política para gestionar su dominio. Los últimos años y su legado El Cid gobernó Valencia hasta su muerte en 1099. Durante estos años, continuó defendiendo la ciudad de las amenazas almorávides, consolidando su legado como uno de los líderes más destacados de la Reconquista. Su viuda, Jimena Díaz, mantuvo el control de Valencia durante un tiempo, pero finalmente la ciudad fue abandonada ante la presión almorávide en 1102. ¿Qué nos enseña El Cid hoy? La historia de Rodrigo Díaz de Vivar es un recordatorio de la complejidad de la península ibérica medieval, donde las alianzas y los conflictos trascendían las divisiones religiosas y culturales. Su vida ejemplifica la capacidad de adaptación, el liderazgo y la ambición, valores que siguen inspirando en la actualidad. Acompáñanos en este episodio mientras desgranamos los momentos clave de la vida de El Cid Campeador, desde su servicio en Zaragoza hasta su consolidación como señor de Valencia y su impacto duradero en la historia de España. ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------- PROGRAMAS RELACIONADOS: - Alfonso VI: Lucha fratricida por el poder https://go.ivoox.com/rf/125204005 - Almorávides https://go.ivoox.com/rf/125288406 - Cap 13 La Reconquista https://go.ivoox.com/rf/21445080 - El Cid https://go.ivoox.com/rf/63750295 ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------- VIAJE 2025* https://antenahistoria.com/normandia-memorable/ https://antenahistoria.com/roma-secreta-i-julio-2025/ Antena Historia te regala 30 días PREMIUM, para que lo disfrutes https://www.ivoox.com/premium?affiliate-code=b4688a50868967db9ca413741a54cea5 ---------------------------------------------------------------------------------------- Produce Antonio Cruz Edita ANTENA HISTORIA Antena Historia (podcast) forma parte del sello iVoox Originals ---------------------------------------------------------------------------------------- web……….https://antenahistoria.com/ YOUTUBE Podcast Antena Historia - YouTube correo..... mailto:info@antenahistoria.com Facebook…..Antena Historia Podcast | Facebook Twitter…...https://twitter.com/AntenaHistoria Telegram…...https://t.me/foroantenahistoria DONACIONES PAYPAL...... https://paypal.me/ancrume ---------------------------------------------------------------------------------------- ¿QUIERES ANUNCIARTE en ANTENA HISTORIA?, menciones, cuñas publicitarias, programas personalizados, etc. Dirígete a Antena Historia - AdVoices https://advoices.com/antena-historia Escucha el episodio completo en la app de iVoox, o descubre todo el catálogo de iVoox Originals
Rodrigo Díaz de Vivar, conocido como El Cid Campeador, es una de las figuras más fascinantes de la historia medieval española. Su vida estuvo marcada por la lealtad, la estrategia militar y su capacidad para liderar tanto a cristianos como a musulmanes en una época de intensos conflictos. En este episodio de nuestro podcast, exploramos su trayectoria desde su entrada al servicio de la Taifa de Zaragoza hasta su muerte en Valencia. Un líder al servicio de la Taifa de Zaragoza Tras ser desterrado por el rey Alfonso VI de Castilla en 1081, El Cid buscó refugio y empleo en territorios musulmanes. Fue en la Taifa de Zaragoza, gobernada por Al-Mu'tamin y, más tarde, por su hermano Al-Musta'in II, donde Rodrigo se consolidó como un líder militar al mando de tropas cristianas y musulmanas. Durante este periodo, destacó por sus campañas contra los condados catalanes y sus victorias en batallas como la de Almenar y la de Morella. La independencia del Cid Aunque inicialmente sirvió a otros señores, Rodrigo pronto comenzó a actuar de manera independiente, convirtiéndose en un caudillo que buscaba establecer su propio dominio. Su destreza militar y su capacidad para forjar alianzas le permitieron consolidar su influencia en el Levante. En este contexto, la conquista de Valencia se convirtió en el objetivo principal de su carrera. La conquista de Valencia Entre 1093 y 1094, El Cid lideró un prolongado asedio a Valencia. Tras meses de estrategia y enfrentamientos, la ciudad cayó bajo su control. Este logro marcó el punto culminante de su vida militar. Rodrigo instauró un gobierno en el que convivieron cristianos y musulmanes, demostrando una visión pragmática y política para gestionar su dominio. Los últimos años y su legado El Cid gobernó Valencia hasta su muerte en 1099. Durante estos años, continuó defendiendo la ciudad de las amenazas almorávides, consolidando su legado como uno de los líderes más destacados de la Reconquista. Su viuda, Jimena Díaz, mantuvo el control de Valencia durante un tiempo, pero finalmente la ciudad fue abandonada ante la presión almorávide en 1102. ¿Qué nos enseña El Cid hoy? La historia de Rodrigo Díaz de Vivar es un recordatorio de la complejidad de la península ibérica medieval, donde las alianzas y los conflictos trascendían las divisiones religiosas y culturales. Su vida ejemplifica la capacidad de adaptación, el liderazgo y la ambición, valores que siguen inspirando en la actualidad. Acompáñanos en este episodio mientras desgranamos los momentos clave de la vida de El Cid Campeador, desde su servicio en Zaragoza hasta su consolidación como señor de Valencia y su impacto duradero en la historia de España. ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------- PROGRAMAS RELACIONADOS: - Alfonso VI: Lucha fratricida por el poder https://go.ivoox.com/rf/125204005 - Almorávides https://go.ivoox.com/rf/125288406 - Cap 13 La Reconquista https://go.ivoox.com/rf/21445080 - El Cid https://go.ivoox.com/rf/63750295 ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------- VIAJE 2025* https://antenahistoria.com/normandia-memorable/ https://antenahistoria.com/roma-secreta-i-julio-2025/ Antena Historia te regala 30 días PREMIUM, para que lo disfrutes https://www.ivoox.com/premium?affiliate-code=b4688a50868967db9ca413741a54cea5 ---------------------------------------------------------------------------------------- Produce Antonio Cruz Edita ANTENA HISTORIA Antena Historia (podcast) forma parte del sello iVoox Originals ---------------------------------------------------------------------------------------- web……….https://antenahistoria.com/ YOUTUBE Podcast Antena Historia - YouTube correo..... mailto:info@antenahistoria.com Facebook…..Antena Historia Podcast | Facebook Twitter…...https://twitter.com/AntenaHistoria Telegram…...https://t.me/foroantenahistoria DONACIONES PAYPAL...... https://paypal.me/ancrume ---------------------------------------------------------------------------------------- ¿QUIERES ANUNCIARTE en ANTENA HISTORIA?, menciones, cuñas publicitarias, programas personalizados, etc. Dirígete a Antena Historia - AdVoices https://advoices.com/antena-historia Escucha el episodio completo en la app de iVoox, o descubre todo el catálogo de iVoox Originals
Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani (WMO) leo hii likiwa limeutangaza mwaka jana 2024 kuwa mwaka uliokuwa na joto zaidi kuwahi kurekodiwa, leo pia WMO imeendelea kusisitiza umuhimu wa tahadhari za mapema kuhusu majanga ya tabianchi ili kuokoa maisha ya watu. WMO imeeleza kwamba tahadhari za mapema zilizotolewa na Idara ya Hali ya Hewa ya Taifa la Marekani zimesaidia kwa kiasi fulani kuokoa maisha ya watu katika moto wa nyika uliosambaa na kuteketeza maeneo makubwa mji wa Los Angels katika jimbo la California. Selina Jerobon na maelezo zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia moto wa nyika mjini California Marekani, na waathirika wa kimbunga Chido nchini Msumbiji. Makala tunasikia kijana Paul Siniga kutoka Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani (WMO) leo hii likiwa limeutangaza mwaka jana 2024 kuwa mwaka uliokuwa na joto zaidi kuwahi kurekodiwa, leo pia WMO imeendelea kusisitiza umuhimu wa tahadhari za mapema kuhusu majanga ya tabianchi ili kuokoa maisha ya watu. WMO imeeleza kwamba tahadhari za mapema zilizotolewa na Idara ya Hali ya Hewa ya Taifa la Marekani zimesaidia kwa kiasi fulani kuokoa maisha ya watu katika moto wa nyika uliosambaa na kuteketeza maeneo makubwa mji wa Los Angels katika jimbo la California.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linaendelea kusambaza msaada wa kibinadamu ili kurejesha matumaini ya waathirika wa kimbunga Chido kilichotokea tarehe 15 Desemba mwaka jana nchini Msumbiji na kuziacha taabani jamii za majimbo ya Cabo Delgado, Nampula na Niassa.Katika makala Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa anazungumza na kijana Paul Siniga kutoka Tanzania ili kufahamu safari yake hadi kuweza kufika makao makuu ya Umoja wa MAtaifa, New York, Marekani.Na mashinani Nur Bashir kutoka jamii ya wfugaji katika kaunti ya Turkana nchini Kenya ambaye kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji anaeleza jinsi jamii zake zinavyoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KWEGO"
Hii leo jaridani tunakuletea Mada kwa Kina inayotupeleka Kenya ambapo Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limefanikiwa kumnyanyua msichana Nosizi Dube na kutimiza ndoto yake ya kuepuka ndoa ya utotoni na kupata shahada ya kwanza ya chuo kikuu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchaambizi wa neno KWEGO.Mwezi mmoja tangu kuanguka kwa utawala wa Bashar Al-Assad, zaidi ya wakimbizi 125,000 wamerejea Syria "wakiwa na matumaini baada ya miaka mingi ya kuishi uhamishoni", lakini wamejikuta wakikabiliwa na hali mbaya nchini mwao, wameeleza leo wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa. Likiwa linaongoza wito kwa jumuiya ya kimataifa "kutoka kwenye maneno hadi vitendo" ili kuwasaidia watu walio waliorejea ambao sasa wako katika mazingira magumu, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, limesema familia nyingi zina uhaba wa makazi na njia kidogo za kiuchumi.Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limeongeza ombi lake la fedha kufikia dola milioni 73.2 kwa ajili ya kusaidia zaidi ya watu milioni 1.1 kote nchini Syria katika kipindi cha miezi sita ijayo, wakati nchi hiyo ikiingia katika kipindi cha mpito kufuatia kuanguka kwa serikali ya Bashar Al-Assad. Ombi hili ni nyongeza katika ombi la awali la dola milioni 30 lililotolewa mwezi Desemba mwaka jana 2024 likilenga mahitaji yanayoongezeka ya majira ya baridi Kaskazini Magharibi mwa Syria.Miezi 15 baada ya vita huko Gaza, mamia kwa maelfu wanaendelea kuishi katika shule za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina (UNRWA) zenye msongamano ambazo zimegeuzwa kuwa makazi. UNRWA imeeleza kuwa hata viwanja vya michezo kwa watoto sasa ni nyumba kwa waliofurushwa. Shirika hilo limesisitiza kuwa misaada zaidi ya kibinadamu lazima iingie Gaza na kusitishwa kwa mapigano ni muhimu zaidi kuliko hapo awali.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KWEGO”.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Ungana nami Julieth Muunga Dadi , katika Kipindi cha Elimu Jamii, kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Leo nipo na Dkt Raphael Malaba Meneja wa Mfuko wa Taifa ya Afya NHIF Kutoka Mkoa wa kiafya Kinondoini, akifundisha juu ya maboresho ya mifumo katika usajili wa Wanafunzi wa shule za awali,msingi,sekondari, vyuo vya kati na vyuo […] L'articolo Fahamu maboresho ya mfumo wa usajili wa Wanafunzi 2025. proviene da Radio Maria.
Join us for an incredible opportunity to engage with thought leaders in our community. Reparations attorney Nkechi Taifa will kick off the discussion, tackling Donald Trump's controversial suggestion that white Americans should receive reparations as victims of racial discrimination. Following her, Professor Bernadette Atuahene will enlighten us with insights from her new book about the injustices in housing. Additionally, holistic doctor and restaurateur Dr. Baruch will present exciting alternatives to the conventional Thanksgiving meal, making it a topic you won't want to miss! We'll also celebrate the remarkable Berry Gordy Jr., music mogul and founder of Motown Records, as he turns 95! Music historian Bill Carpenter will lead us in a heartfelt tribute in honor of his contributions. DC Council Approves Funding For Study On Reparations For Black Residents The Big Show starts at 6 am ET, 5 am CT, 3 am PT, and 11 am BST Listen Live on WOL 95.9 FM & 1450 AM, woldcnews.com, the WOL DC NEWS app, WOLB 1010 AM or wolbbaltimore.com. Call 800 450 7876 to participate on The Carl Nelson Show! Tune in every morning to join the conversation and learn more about issues impacting our community. All programs are available for free on your favorite podcast platform. Follow the programs on Twitter & Instagram and watch your Black Ideas come to life!✊
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Dkt. Raphael Malaba, Meneja wa Mfuko wa Bima ya Taifa (NHIF) Mkoa wa Kinondoni, akitufundisha juu ya matumizi ya mifumo katika usajili wa Wanafunzi. L'articolo Fahamu njia rahisi ya kujisajili na mfuko wa bima ya Taifa (NHIF) kwa Wanafunzi. proviene da Radio Maria.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kufuatilia kazi za kituo cha Taifa cha Redio na Televisheni, RTNC huko Beni jimboni Kivu Kaskazini za kakabiliana na habari potofu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo mjini Cairo, Misri, imebainisha kwamba athari za vita zimerudisha nyuma maendeleo huko Gaza kwa takriban miaka 69. Ripoti hiyo iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP na Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya Kiuchumi na Kijamii kwa Asia Magharibi imeonya kwamba bila kuondoa vikwazo vya kiuchumi na kuwekeza katika maendeleo, uchumi wa Palestina unaweza kushindwa kurejesha viwango vya kabla ya vita na kusonga mbele kwa kutegemea misaada ya kibinadamu pekee.Kiongozi wa timu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Marburg Dkt. Janet Diaz ameeleza kwamba uongozi thabiti wa serikali ya Rwanda umewezesha kufanya uamuzi wa haraka na kuchukua hatua kuanzisha mwitikio wa sekta mbalimbali dhidi ya mlipuko wa sasa wa ugonjwa huo wa Marburg nchini humo.Na uongozi wa Kikosi cha Muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon (UNIFIL) umeendelea kusisitiza kwamba pamoja na changamoto zilizopo, walinda amani wa UNIFIL wanaendelea kufanya kazi kwa karibu na jamii za kusini mwa Lebanon ili kuwezesha utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wenye uhitaji. Hivi karibuni kumekuwa na mashambulizi dhidi ya walinda amani hao wa Umoja wa Mataifa yanayotekelezwa na majeshi ya Israeli.Mashinani kupitia video ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya Kibinadamu na misaada ya dharura OCHA tunamuangazia mmoja wa watu waliokimbia makazi yao akiwa katika shule ya Al Rimal, akielezea changamoto wanazokutana nazo katika kukabiliana na hali ngumu inayowakabili raia wa Gaza.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Umoja wa Mataifa unaendelea kuunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika kukabili habari potofu na za uongo hususan huko mashariki mwa nchi ambako vikundi vilivyojihami vinaendelea kushambulia raia na kupambana na jeshi la serikali. Hivi karibuni Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, umeipatia kituo cha Taifa cha Redio na Televisheni, RTNC huko Beni jimboni Kivu Kaskazini jengo na vifaa vyenye thamani ya takriban dola elfu hamsini za Kimarekani. Hatua hiyo iliwezesha RTNC kuanza tena matangazo yake. Mwandishi wetu wa DRC, George Musubao alifika kituoni hapo kuzungumza na wahusika na wanufaika.
Hii leo jaridani tunaangazi siku ya chakula duniani ikitupeleka jijini Roma Italia kufuatilia maadhimisho yake. Pia tunakupeleka nchini Kenya kusikia ni kwa jinsi gani mashirika wanhaha kusaidia uoni kwa watu wenye changamoto. Makala tunakwengda nchini DRC na mashinani Sierra Leone, kulikoni?Washiriki wa Sherehe za kimataifa za mwaka huu wa 2024 za kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Chakula zilizofanyika leo katika makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) jijini Roma Italia wamesisitiza haja ya upatikanaji wa vyakula mbalimbali vya kutosha, vyenye lishe, bei nafuu na salama.Nchini Kenya, Idara ya Taifa ya Ulinzi wa Jamii kwa kushirikiana na Baraza la Kitaifa la Watu wenye ulemavu na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, wameendesha kambi ya kusaidia uoni kwa watu wenye changamoto ikiwemo Candy mwenye umri wa miaka 7 ambaye ana ualbino. Baba yake alifika kwenye kambi hiyo na anatusimulia kupitia video ya UNICEF Kenya.Makala inatupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia harakati za shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP la kusaidia wanawake wakimbizi kuondokana na ujinga wa kutokujua kusoma na kuandika.Mashinani tunamsikia Mpishi Mkuu Fatmata Binta kutoka kabila la wafugaji wanaohamahama la fulani nchini Sierra Leone anaeleza jinsi ushirikiano wake na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, kuhusu ni kwa jinsi gani FAO umemwezesha kusambaza manufaa ya fonio, nafaka asili ya Afrika , inayoweza kuwa suluhisho la changamoto za ukosefu wa chakula na tabianchi.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Nchini Kenya, Idara ya Taifa ya Ulinzi wa Jamii kwa kushirikiana na Baraza la Kitaifa la watu wenye ulemavu na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, wameendesha kambi ya kusaidia uoni kwa watu wenye changamoto. Mmoja wa wanufaika wa juhudi hii ni Candy, msichan wa mwenye umri wa miaka 7 ambaye ana ualbino.Akiwa mwingi wa matumaini, Eric Odhiambo Okeyo, baba mzazi wa mtotohuyo alimpeleka kwenye kambi hiyo jijini Kisumu ambapo alifanyiwa uchunguzi na matibabu.Baada ya kufanyiwa uchunguzi, Candy alielekezwa kwa daktari wa macho ili abaini aina ya miwani ambayo ingemfaa.“Mtoto alipoanza shule niligundua kwamba mwendo wake katika masomo ulikuwa wa polepole sana na pia alikuwa analamika kwamba haoni anachoandika mwalimu. Hata akienda kucheza niliona kwamba alikuwa akifunga macho mara kadhaa. Ilikuwa inanikosesha amani kwa sababu nilihisi kuwa alikuwa akiteseka,” amesema Eric.Mpango huu wa kielelezo wa UNICEF na wadau wake unashughulikia changamoto zinazowazuia watoto wenye ulemavu na familia zao kupokea msaada muhimu wanaohitaji wakati wa majanga na dharura.Akiwa mwingi wa furaha, Eric anasema, “imechukua muda wa miaka sita ambapo nimekuwa nikizunguka tu kuhusu miwani. Mahali nilipoenda hapo awali, niliambiwa kulipia shilingi elfu arobaini ($313) lakini sikuweza kupata hiyo pesa. Nimefurahi kwamba leo nimepewa bila gharama yoyote.”Baada ya uchunguzi na mawaidha mbalimbali katika hii kambi, Eric na mwanaye Candy hawakuweza kuificha furaha yao kwa kupata suluhisho la tatizo ambalo limewaathiri kwa miaka sita.Hatimaye, Candy alipewa miwani yake maalum ili kumsaidia kuona vizuri zaidi.“Nimefurahia sana sina jukumu tena la kutafuta pesa za kununua miwani. Na nimefurahi pia mtoto wangu atakuwa na wakati rahisi. Amefurahia kabisa na anaipenda sana miwani yake. Amesema anajihisi vizuri. Kwa sababu ana miwani, natumaini anaweza kucheza bila shida yoyote, bila kujali kuhusu jua kwa sababu miwani inamkinga.”
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “NGEJA”
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika ugonjwa wa homa ya nyani au mpox. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za machafuko Lebanon, Haiti na Sudan. Katika kujifunza Kiswahili Onni Sigalla anafafanua maana ya neno “NGEJA” Mashariki ya Kati, nchini Lebanon hali inaendelea kuwa tete amesema mratibu maalum wa Umoja wa mataifa nchini humo Jeanine Hennis Plasschaert. Kupiti ukurasa wake wa mtandao wa X amesema umekuwa usiku mwingine wa kutoka kulala mjini Beiruti milipuko ikighubika mji huo bila tahadhari, raia wakikumbwa na taharuki bila kujua mustakbali wao.Mtaalamu mhuru wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Sudan Radhouane Nouicer, leo ametoa wito kwa jeshi la Sudan (SAF), Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) na wanamgambo wenye silaha kuchukua hatua za haraka kuhakikisha ulinzi wa raia mjini Khartoum, huku kukiwa na ongezeko la uhasama na ripoti za kutatanisha za mauaji ya kiholela.Na zaidi ya watu laki 7, sasa ni wakimbizi wa ndani nchini Haiti huku zaidi ya nusu ya idadi hiyo ni watoto, imesema ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.Ripoti inasema kuna ongezeko la asilimia 22 la watu waliofurushwa makwao, ambapo machafuko ya magenge ya uhalifu yamewalazimisha watu 110,000 kuzikimbia nyumba zao katika miezi saba iliyopita pkee. IOM imesema ongezeko hilo linasisitiza haja ya msaada zaidi wa kibinadamu kwa ajili ya waathirika.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “NGEJA”?Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KILIWAZO”.
Hii leo jaridani mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania, kulikofanyika mashauriano kuhusu mkutano wa zama zijazo, ambapo baadhi ya washiriki wameeleza walichojadili na walichopendekeza. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno “KILIWAZO”.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X amelaani vikali tukio la jana huko Gaza ambapo vikosi vya anga vya Israel vilishambulia makazi ya wakimbizi wa ndani wapatao 12, 000. Katika shambulio hilo wafanyakazi 6 wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA walifariki dunia na kufanya tukio hilo kuwa lenye vifo vingi zaidi vya wafanyakazi wa UNRWA katika tukio moja.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) na wadau wake, jana Septemba 11 huko Gaza wamefanikiwa kuhamisha wagonjwa 97 na watu wengine 155 wenye majeraha makubwa zaidi. Katika unaotajwa kuwa uhamishaji mkubwa wa wagonjwa tangu ule wa Oktoba 2023 wagonjwa walisafirishwa kupitia Kerem Shalom hadi Uwanja wa Ndege wa Ramon nchini Israel kwa safari ya kuelekea Abu Dhabi, Falme za Kiarabu.Tukisalia huko Gaza, takribani robo moja au watu elfu ishirini na mbili na mia tano ya wale waliojeruhiwa huko Gaza kufikia Julai 23 wanakadiriwa kuwa na majeraha ambayo yatabadilisha kabisa maisha yao na kwa hivyo wanahitaji huduma za uangalizi sasa na hata kwa miaka ijayo. Hiyo ni kwa mujibu wa uchambuzi uliotolewa leo na WHO.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KILIWAZO”.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Wakazi wa mji wa Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wana furaha tele baada ya kufufuliwa kwa kituo chao cha Redio na Televisheni ya Taifa, RTNC. Kupitia msaada wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, wakazi hao sasa wanaweza kusikiliza na kutazama vipindi vyao wanavyovipenda, waandishi wa habari nao, hawafanyi tena kazi chini ya mti. Kupitia video ya Monusco iliyochapishwa mtandao wa X, John Matemuli, mwandishi wa habari wa kituo hicho cha Redio na Televisheni Beni, kilichositisha matangazo kwa karibu miaka mitano, anafafanua jinsi mambo yalivyokuwa kabla ya kujengwa upya kwa kituo hicho.“Miaka mitano bila Radio na Televisheni ya kitaifa ya Kongo (RTNC) mjini Beni ilikuwa ya machafuko sana. Kulikuwa na wakati ambapo tulikuwa tukifanya kazi hata kutoka juu ya mti, unaweza kuamini! Tulihisi kwamba kulikuwa na hitaji, wananchi na hata baadhi ya viongozi walihisi vivyo hivyo.”Ezechiel Kambale, mkazi wa Beni naye pia anaeleza furaha yake.“Ulipita muda mrefu tangu redio hii kuwa hewani. Lakini sasa nashukuru kwamba wamerudi. Kuna tofauti kubwa ikilinganishwa na zamani, kwa sababu leo, hata kama niko mbali na mji, bado nayapata mawimbi ya redio kana kwamba nipo hapa mjini.”Tulimrudia John na kumuuliza kilichokuwa tofauti kuhusu kituo hicho hasa kabla ya msaada wa MONUSCO.“Kazi ilofanywa hapa imewaridhisha wananchi. Leo, tuna ofisi za usimamizi. Tuna studio za kisasa za televisheni. Tuna studio ya redio kwa ajili ya kutengeneza vipindi vyetu. Tuna chumba cha habari kilicho na vifaa vya kutosha. Tulikumbana na matatizo ambayo yalihitaji msaada katika ngazi zote, lakini MONUSCO ilitupatia vifaa, ambavyo sasa vinaturuhusu kufanya kazi katika hali bora.”
Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa homa ya nyani au mpox barani Afrika na kufufuliwa kwa kituo chao cha Redio na Televisheni ya Taifa, RTNC huko Beni nchini DRC. Makala tanakupeleka nchini Tanzania na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Ugonjwa wa homa ya nyani au mpox ukisalia kuwa dharura ya afya ya umma duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linasaka zaidi ya dola milioni 21 zitakazotumika hadi mwishoni mwa mwaka huu kuongeza harakati dhidi ya ugonjwa huo miongoni mwa wakimbizi katika nchi zilizokumbwa na dharura ya ugonjwa huo, hususan Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.Wakazi wa mji wa Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wana furaha tele baada ya kufufuliwa kwa kituo chao cha Redio na Televisheni ya Taifa, RTNC. Kupitia msaada wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, wakazi hao sasa wanaweza kusikiliza na kutazama vipindi vyao wanavyovipenda, waandishi wa habari nao, hawafanyi tena kazi chini ya mti.Makala inatupeleka mkoani Kigoma kaskazini magharibi mwa Tanzania kusikia manufaa ya mradi wa Kilimo Tija Kigoma (KiTiKi) unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwa ufadhili wa Watu wa Jamhuri ya Korea.Na mashinani kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani kanda ya Afrika, tunamsikia Shane Prigge mkuu wa mnyororo wa usambazaji, WFP Kenya akieleza jinsi UNHAS ambalo ni shirika la ndege la Umoja wa Mataifa la huduma za kibinadamu linavyowezesha mashirika ya kibinadamu kufanya kazi zao.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Yaliyomo kwenye Jarida la Habari za UN hii leo ni pamoja na ziara ya Katibu Mkuu wa UN huko Timor-Leste; maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kupinga majaribio ya nyuklia na kauli ya Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuteuliwa. Mada kwa kina ni Morogoro Tanzania. Na pia kuna kujifunza lugha ya kiswahili. Karibu na mwenyeji wako ni Anold Kayanda.Nchini Tanzania katika mkoa wa Morogoro, ulioko mashariki mwa nchi hiyo, wakulima 50 kutoka skimu za umwagiliaji za Ifakara Dakawa mkoani humo na Mbarali mkoa wa Mbeya, kusini magharibi mwa Tanzania wamepatiwa ujuzi wa kutumia zana bora za kisasa za Kilimo cha mpunga ikiwemo zana za kusawazisha mashamba, kupanda mbegu na kuvuna. Lengo ni kuongeza thamani katika uzalishaji wa zao la mpunga. Mafunzo yaliyotolewa na Taasisis ya Utafiti wa Kilimo TARI kwa usimamizi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO huku zana zikiwezeshwa na shirika la Korea Kusini la ushirikiano wa maendeleo, KOICA. Hamad Rashid wa Redio washirika Tanzania Kids Time FM mkoani Morogoro alifika kwenye skimu hiyo kuzungumza na wakulima walionufaika. Je wajua neno la kiingereza LINK tafsiri yake ni ipi kwa lugha ya Kiswahili? Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania anafafanua.
Reparations attorney Nkechi Taifa will join us to update you on the legal reparations challenges facing Tulsa, Oklahoma, and Evanston, Illinois. Economist Julianne Malveaux will also be in the classroom to discuss the Biden presidency controversy and Project 2025. DC activist Dyrell Muhammad and Gospel Music legend James Bullard will also join us. See omnystudio.com/listener for privacy information.
Desciframos músicas de códigos ancestrales desde la más auténtica tradición y también jugamos a recodificarlas en variadas recombinaciones, con diferentes experimentaciones y tecnificaciones. Comenzamos con sones ibéricos, que nos pasean por sones flamencos, también de Andalucía, Castilla y Portugal, con conexiones francesas, para después pasar un buen rato en Sicilia, con grabaciones de artistas populares y también nuevos proyectos. Continuamos con una conexión afroiraquí en Canadá, con electrobeduinos en Francia y terminamos solazándonos con el evocador canto drupad de la India. We decipher music of ancestral codes from the most authentic tradition and we also play to recode them in varied recombinations, with different experimentations and technifications. We start with Iberian sounds, which take us through flamenco sounds, also from Andalusia, Castile and Portugal, with French connections, and then spend some good time in Sicily, with recordings of traditional artists and also new projects. We continue with an Afro-Iraqi connection in Canada, with electro-Bedouins in France and end enjoying the evocative dhrupad singing of India. – Código Jondo – Romance del cisne blanco – Taifa norte – Trío Fernández – Te recuerdo, Amanda – Cante gitano – Sandra Carrasco & David de Arahal – Luna del mes de enero (serrana) – Recordando a Marchena – Vigüela – We – We – Marion Cousin & Éloïse Decazes – Dona Filomena – Com a lanceta na mão – Boémia – Esgueiro-me em repasseado – Génese – Felice Currò & Salvatore Vinci – Sunata – Italie-Sicily: Musiques populaires [V.A.] – Angela Cucinotta & Giuseppa Cucinotta – Stanotti cci passai malanuttata – Italie-Sicily: Musiques populaires [V.A.] – Areasud Electric Roots – Tarantella iblea – Areasud Electric Roots – Ahmed Moneka – Oh mother – Kanzafula – Bedouin Burger – Nomad – Ma li beit – Niloy Ahsan – Bhairav (bandish) – Breathing raga 📸 Vigüela (Araceli Tzigane)
The show will feature Professor Leonard Jeffries, a top Afro-centric scholar who will discuss the ongoing fight for the Black mind. Additionally, JR Fenwick, the founder and CEO of Flip That Stock, will join us to break down how easy it is to get into the stock market. Reparations attorney Nkechi Taifa will also be part of the discussion, along with Brother Obie who will review his new book.See omnystudio.com/listener for privacy information.
Taifa Butler joins The Great Battlefield podcast to talk about her career in politics and her role as President of Demos, a non-profit public policy organization working to build a just, inclusive, multiracial democracy and economy.
Tragedy strikes as fire consumes a home in a suburb of Taifa Burkina, Accra, leaving behind nothing but ashes.
Author, Attorney, and Reparations advocate Nkechi Taifa takes over our classroom to report on the recent Reparations Conference in Ghana and provide a National Reparations update. Before Attorney Taifa, Award-winning video photographer Jeffrey Nichols will reminisce on the release of Nelson Mandela. He was the first person to record Mandela following his release 34 years ago. Plus Banking & Financial expert Darnell Parker will discuss the Global debt problem, massive layoffs, the fourth Industrial Revolution, and more. Epic Speeches From Nelson Mandela That Will Give You Hope Black History Month: Best In Black Text "DCnews" to 52140 For Local & Exclusive News Sent Directly To You! The Big Show starts on WOLB at 1010 AM, wolbbaltimore.com, WOL 95.9 FM & 1450 AM & woldcnews.com at 6 am ET., 5 am CT., 3 am PT., and 11 am BST. Call-In # 800 450 7876 to participate, & listen liveSee omnystudio.com/listener for privacy information.
Kemetologist Tony Browder will explore the attack on African-centered education. Brother Tony will also discuss the connection between the Riverfront Incident in Alabama and the Jacksonville shooting. Before Tony, Attorney Nkechi Taifa will provide us with a Reparations update. The Minister of Wellness, Nathaniel Jordan, will also join us. Learn About The 54 Countries of Africa Text "DCnews" to 52140 For Local & Exclusive News Sent Directly To You! The Big Show starts on WOLB at 1010 AM, wolbbaltimore.com, WOL 95.9 FM & 1450 AM & woldcnews.com at 6 am ET., 5 am CT., 3 am PT., and 11 am BST. Call-In # 800 450 7876 to participate, & listen liveSee omnystudio.com/listener for privacy information.
Demos President Taifa Smith Butler joins the podcast to discuss the significance of Black Women's Equal Pay Day; how President Joe Biden's economic agenda is helping to address longstanding inequities; and how extremist attacks on education set the country back. Colin and Erin also talk about Bidenomics and what Barbie can teach us about the gender wage gap with the Center for American Progress Action Fund's Rose Khattar.
Grammy award-winning Musician & author Professor Griff returns to our classroom on Tuesday morning. Griff will discuss India Aire calling out Megan Thee Stallion at the recent Essence Music Festival. Griff will also address Ice Cube claiming not to be part of the 'Club' and how so-called gatekeepers are against him. Before Griff, we will look at the life and times of the late Dr. Mutulu Shakur with Detroit activist Sushanna Shakur, Attorney Nkechi Taifa & Dr. Kokayi Patterson. Chicago activist Preacher Anthony Williams previews a Citizens Mass Rally against violence to start us off. Learn More About The 54 Countries of Africa Text "DCnews" to 52140 For Local & Exclusive News Sent Directly To You! The Big Show starts on WOLB at 1010 AM, wolbbaltimore.com, WOL 95.9 FM & 1450 AM & woldcnews.com at 6 am ET., 5 am CT., 3 am PT., and 11 am BST. Call-In # 800 450 7876 to participate, & listen liveSee omnystudio.com/listener for privacy information.
Hundreds of movement leaders, activists, organizers, funders, and journalists gathered in Atlanta, Georgia in June 2023 at Alight, Align, Arise.