POPULARITY
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Makala haya Changu chako Chako Changu, Ali Bilali mtangazaji wako asipenda makuu amezungumza na Mzee Ebengela Saleh kuotka huko mashariki mwa DRC kuzungumzia kuhusu Historia na Tamaduni za watu wa Kabila la Wabembe. Utapata pia kumfahamu mwanamuziki kutoka Ufaransa mwenye asili ya DRC na Congo Brazaville Naza. Ambatana na mtangazaji wako na usikosi kumfollow kwa Instagram kwa kubonyeza hapa. @billy_bilali https://www.instagram.com/billy_bilali/
Katika makala haya Jumapili ya leo Ali Bilali anakuletea mila na tamaduni za watu wa Rumonge kusini mwa Burundi, na kwenye muziki utamsikia msanii Andy Mwag mwanamuziki kutoka nchini Burundi ambae amekuwa tishio jukwaani katika muziki wa Live. Ambatana na mtangazaji wako mwanzo hadi tamati, na usiksahau kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali
Makala haya ya leo Changu Chako Chako Changu mtangazaji wako wa maswala ya historia sanaa na utamaduni Ali Bilali ametembelea huko Uvira na kufanya mazungumzo kuhusu sanaa hii ya kuigiza katika eneo hilo, lakini pia utapata kumsikia mwanamuziki kutoka eneo hilo Mr Gave. Ambatana naye. usikosi pia kumfollow katika mitandao ya kijamii facebook na instagram @billy_bilali
Ambatana na Mhashamu Askofu Msaidizi Methodius Kilaini wa Jimbo Katoliki la Bukoba katika kipindi cha Historia Ya Kanisa ambapo anajibu maswali mbalimbali ya Kihistoria na Litrurgia uliyomuuliza katika vipindi mbalimbali.
Ambatana naye Ali Bilali kufahamu zaidi tamasha la Utamaduni wa Mtanzania mila la desturi lililofanyika hivi karibuni mkoani Mwanza lililohudhuria na machifu kutoka kila kona ya Tanzania.
Makala haya mtangazaji wako Carol Korrir anazungumzia kwa kina zaidi kuhusu kukithiri kwa umaskini na dhulma za kijinsia nchini Kenya. Ambatana naye kufahamu mengi zaidi.
Katika Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anakuletea Historia ya Uhuru wa Burundi ambao husherehekewa kila ifikapo Julay 01. Ambatana naye kufahamu zaidi harakati zilivyokuwa hadi kuuawa kwa mwanamfalme Louis Rwagasore. Usikosi pia kumfollow kwa Instagram @billy_bilali
Katika Makala haya mpenzi msikilizaji utapata kusikia matatizo ya kuganda kwa damu. Tatizo hili limeongezeka katika kipindi hiki cha maambukizi ya Corona, ambapo baadhi ya dawa zinazotumika kama chanjo dhidi ya Covid-19 zimehusishwa na tatizo hili. Ambatana naye mtangazaji wako Carol Korrir kufahamu mengi zaidi.
Kutana na Nhial Deng mkimbizi kutoka Sudan Kusini anayeishi katika moja ya kambi kubwa ya wakimbizi ya Kakuka nchini Kenya. Leo anatueleza jinsi siku yake inavyokua na anavyojilinda na janga la COVID-19. Ambatana na Jason Nyakundi akisimulia zaidi
Makala haya, Ali Bilali anakuletea Historia ya rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe alietangazwa kuwa baba wa taifa wa Zimbabwe na rais wa sasa wa nchi hiyo siku moja baada ya kifo chake. Ambatana nami mwanzo hadi tamati ya makala haya
Katika Makala haya, Ali Bilali anazungumza na mwanadada anaejihusisha na mitindo ambae amekuwa akipambana kujikwamua kimaisha, ambapo shughuli zake anaendesha katika majengo ya kituo cha kimataifa cha mikutano cha Nyerere Internationale Conference Center. Ambatana naye kufahamu mengi zaidi
Tamasha la kimataifa la filamu nchini Ufaransa Festival Internationale de Cannes latimua vumbi nchini Ufaransa. Ambatana na Ali Bilali kufahamu zaidi kuhusu tamasha hili.
Novemba 25 ilikuwa kilele cha tamasha la Fiesta 2017, baada ya kufanyika katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, hatimae ilikuw ani zamu ya Dar es salaam. Msimu huu ni wanamuziki pekee kutoka nchini Tanzania ndio walioshiirki ili kutoa burudani isioweza kusahaulika. Ambatana na Makala haya Ali Bilali anakujuza kwa muhtasar namna ilivyokuwa. usikosi mpia kumfollow kwa instagram.com/billy_bilali/
Makala haya Muziki Ijumaa hii leo inakuletea Historia ya wanamuziki wawili mke na mume ambao ni walemavu wa kuona, lakini wamekuwa maharafu sana katika mataifa mbalimbali duniani. Ambatana naye Ali Bilali kufaham zaidi kuhusu historia yao.