POPULARITY
Categories
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu ameonesha wasiwasi mkubwa kufuatia ghasia zinazoendelea na kushika kasi nchini Nepal, huko barani Asia, ambako maandamano dhidi ya ufisadi na marufuku ya mitandao ya kijamii yamesababisha vifo vya watu wengi pamoja na majeruhi. Flora Nducha amefuatilia taarifa hiyo na anatupasha zaidi.Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, akizungumza mjini Geneva amesema“nimeshtushwa na ongezeko la ghasia nchini Nepal ambalo limesababisha vifo kadhaa na kujeruhi mamia ya waandamanaji wengi wao wakiwa vijana, pamoja na uharibifu mkubwa wa mali.”Katika siku za karibuni, maandamano yaliyoanzia katika mji mkuu Kathmandu sasa yamesambaa katika miji na vijiji vya Nepal, yakiacha barabara zikifunikwa na mabaki ya vitu vilivyoteketezwa kwa moto na kulazimisha maduka kufungwa pia kuhofia usalama.Kwa mujibu wa duru za habari maandamano hayo yanayoo nngozwa na vijana wa kati ya umri wa miaka 13 hadi 28 au Gen Z yameshakatili Maisha ya takribani watu 22, kusababisha waziri mkuu wa nchi hiyo KP Sharma Oli kujiuzulu na kuliwasha moto jengo la bunge .Türk ametoa wito kwa vikosi vya usalama kujiepusha na mapambano na waandamanajI akisema, “Naomba vikosi vya usalama waoneshe uvumilivu wa hali ya juu, na kuepusha umwagaji damu na madhara zaidi. Vurugu siyo suluhisho. Mazungumzo ndiyo njia bora na ya pekee ya kushughulikia malalamiko ya watu wa Nepal. Ni muhimu sauti za vijana zisikike.”Waandamanaji wanasema wameshikwa na hasira kutokana na ufisadi na marufuku ya serikali juu ya majukwaa ya mitandao ya kijamii, ingawa kwa sasa huduma za mitandao ya kijamii zimerejea. Türk anasema anatambua haki yao ya kusikika, lakini pia amewasihi wawe na uwajibikaji.“Nawakumbusha waandamanaji kuwa nao pia lazima washikamane na kuzingatia dhamira ya kukusanyika kwa amani na wajiepushe na ghasia.”Türk ametaka uchunguzi wa haraka, wa wazi na huru ufanyike kuhusu madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi ya vikosi vya usalama, huku pia akilaani mashambulizi dhidi ya majengo ya umma, biashara, na hata maafisa waandamizi wa serikali.Amesisitiza kuwa dunia inathamini safari ya Nepal kutoka kwenye migogoro hadi kuwa na demokrasia yenye amani na ametoa mwito kwa wadau wote kulinda mafanikio hayo. Amesema Umoja wa Mataifa uko tayari kusaidia kupitia mazungumzo na hatua za kujenga imani ambazo zinaweza kusaidia kupunguza mvutano na kurejesha hali ya utulivu.
Saratani ya Kizazi inaweza zuiliwa, kama ina gunduliwa mapema.
Maisha Kelly joins Higher Ed Athletics for a conversation about Drexel athletics in a post-House era. We talk about her start as a 6th grade teacher and how she built her career over time in 10 years at Bucknell leading to becoming Drexel's AD. Kelly is working with a new president and she shares how the department put together a 25-page document to help onboard him to the current and future positioning of the Drexel Dragons. I asked Maisha if it's still just as important to win in men's basketball if your team is going to be ripped apart the following year.0:00 Introduction0:20 Teaching Career Before Athletic Administration Career4:35 Comparing Normative Career Patterns of ADs to Maisha's Career9:45 Did 10 Years at One Stop Help or Hurt AD Search?12:00 Keeping in Touch with Other ADs15:40 Assessment Document to Onboard New President23:30 Drexel Athletics Strategy in the Post-House Settlement28:30 Athletic Department Aspirational Peers - Who are Drexel's? How to Study Them?36:25 Do Non-Football D1 Schools Look at Men's Basketball The Same Importance Today?www.HigherEdAthletics.com
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Urusi nchini Ukraine yaliyofanyika usiku kucha, ikiwemo katika miji ya Kharkiv na Zaporizhzhia, yameripotiwa kuua watu 10 wakiwemo watoto watatu, kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF iliyotolewa leo. Flora Nducha na taarifa zaidi
It is said that imitation is the greatest form of flattery. As believers we are called to imitate Christ Jesus and live the way that he lived. What does that practically look like in our lives? What does it mean to shine our light? Let's talk about it!
Wakati dunia ikiendelea kugubikwa na changamoto mbalimbali ikiwemo athari za mabadiliko ya tabianchi na hali mbaya za kiuchumi, vijana wamepaza sauti kueleza wasiwasi wao wa kuwa na Watoto siku za usoni. Tuungane na Leah Mushi katika Makala hii aliyotuandalia kutoka kwenye video ya shirika la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi na idadi ya watu UNFPA ambayo iliwahoji vijana kutaka kufahamu iwapo wangependa kuwa na Watoto kwa siku za usoni.
Throw off your old sinful nature, let the Holy Spirit renew your thoughts and attitudes, and put on your new nature. We tend to hang onto all the stuff in our lives that we are used to, even if it's bad for us. It's time that we let go of our old ways, and replace them with the ways of Jesus!Pastor Andy brings us the message this week!
What is the responsibility of those who God has given these five spiritual gifts of leadership? When the church lives with humility, patience, gentleness, and bearing together spiritual leaders are able to break free from their dark sides work together to equip God's church. When God's church is equipped by the spiritual leadership he supplies, we grow. We hold truth and love together.
Kipindi Cha Mbiu ya Heri MADA ni Matumaini katika Mateso kadiri ya maandiko Matakatifu katika Maisha ya Mkristo. Mafundisho haya yanatolewa na frateri Fransic Kulamiwa, Kutoka Seminari ya familia Takatifu Mwendakulima, yeye anatoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. L'articolo Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha? proviene da Radio Maria.
When life wears us down, our instinct is to dig deeper, try harder, and push through in our own strength. But what if that's not enough—and never was?In this week's message, we unpack Ephesians 3:14–21, where the Apostle Paul offers a powerful prayer: that we would be strengthened with power through God's Spirit in our inner being. Not by our hustle, but by His help. Not by our grit, but by His grace.Whether you're facing a tough season, fighting anxiety, or simply tired—this message is for you.
As we grow, spiritually and in maturity, sometimes the process can be difficult. We are messy people. But it's important that we grow along side one another, especially as believers in Jesus Christ. We should be there for one another, and that means standing for unity- even when it's hard.Do you need to adopt a mindset of humility? Do you need chose to restrain your strength and live in gentleness toward someone? Do you need to be patience and refuse to become resentful or seek vengeance against someone who has wronged you? Do you need to stick with someone that is immature or difficult without surrendering truth and love?
Welcome back to the Open Bar Podcast!
Do you look at what God says in the Bible and think, "that's just a big giant mystery?"In this sermon, Pastor Dalton (Druzi) challenges us to think different about God's plans for our lives, including:- Why the “mystery” of the Gospel matters for both Jews and Gentiles- How God's promises from Abraham, through Israel, are now open to everyone through Jesus- The significance of Paul's call to reach all nations, and what it means for us as Christ followers- Encouragement to trust the Author of your story, embrace the mystery, and live boldly in your faithWhether you're wrestling with questions or seeking to grow deeper, this message is for you. Join us as we celebrate the God who keeps His promises, brings all people together at the foot of the cross, and welcomes us into His grand story.Join us as for Part 5 of "Over the Fence: Lessons from Ephesus" with Pastor Dalton.**********
Karibu uungane na Bwana Richard katika kipindi cha maisha ni safari akielezea akielezea safari ya maisha yake hii ni sehemu ya 2. Mtangazaji wako ni mimi Martin Joseph. L'articolo Maisha ni Safari (Richard sehemu ya 2) proviene da Radio Maria.
Karibu uungane na Bwana Richard katika kipindi cha Maisha ni Safari akielezea safari ya maisha yake. Mimi ni Mtangazaji wako Martin Joseph. L'articolo Maisha ni Safari (Richard Sehemu ya 1) proviene da Radio Maria.
Welcome back to the Open Bar Podcast!
Welcome back to the Open Bar Podcast!
Corban and Maisha share their story of pregnancy and delivery.
Welcome back to the Open Bar Podcast!
Welcome back to the Open Bar Podcast!
Do you have a heart that belongs to God? Or are you just playing religion, aiming for a C to punch your card to heaven? If you are here tonight and you are just playing the religious game because it was what you were raised in or because it seems like a good place to fit in then can I challenge you to stop?Join us as for Part 4 of "Over the Fence: Lessons from Ephesus" with Pastor Mark.**********
The key to a new life is Jesus Christ! We are all dead to our sins, but with Jesus we can come back to life, and life to the fullest. You can't work hard enough to make God lean toward you. You can't be good enough to get God to extend His hand two you. You can't attend enough church or study enough of the Bible to buy life from Him. If you want to move from life to death you simply have to accept the grace that God has given through His son Jesus. It's a gift, not a check list. Join us as we talk about this and more in Part 3 of Over the Fence**********
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Wakimbizi Duniani, mwaka huu ikibeba maudhui “Mshinamano na wakimbizi”, tukisikia ujumbe wa Umoja wa Mataifa na kazi wanazozifanya kuinua Maisha ya wakimbizi, na pia tunakuletea sauti za wakimbizi kutoka DRC, Burundi, Ethiopia na Sudan Kusini.Leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani, mwaka huu ikibeba maudhui “Mshinamano na wakimbizi” na Umoja wa Mataifa umetaka mshikamano huo kwa vitendo wakati idadi ya watu wanaolazimika kufungasha virago na kukimbia makayo yao ikifikia kiwango cha kihistoria.Tukisalia na siku ya wakimbizi duniani tunaelekea eneo la Mata, karibu na mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini, ambakomaelfu ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanapokea msaada wa dharura kupitia juhudi za Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP. unaolenga kuwalinda baada ya kukimbia mapigano makali nchini mwao. Nyibol Chueny Puok, mama wa watoto 4 ni miongoni mwao.Katika makala Assumpta Massoi kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR anakupeleka Kusini-Magharibi mwa Burundi kwenye kituo cha wakimbizi cha Musenyi kumsikia mkimbizi kutoka DRC ambaye ananufaika na kauli mbiu ya siku ya wakimbizi mwaka huu ya Mshikamano na Wakimbizi.Na mashianani tukisalia na siku ya wakimbizi duniani, tutakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kumsikia mtoto mkimbizi ambaye alitumikishwa katika vita na waasi wenye silaha.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Jesus was not just raised, he also reigns. And in Jesus new Kingdom the church, that was formed by Jesus, also reigns. We are not powerless, we are not poor, and we are not hopeless. We have great hope, great riches, and great power through our faith in Jesus and through Jesus we, the church, reign over all creation. Join us as Pastor Mark brings us Part 2 of our series covering the book of Ephesians.
In this first message of our Over the Fence series, Pastor Mark dives into Paul's letter to the Ephesians, reminding us what truly brings us together as a church family — the Gospel. Through the powerful truths of being chosen, blessed, loved, adopted, and forgiven, we discover how unity flows from our shared faith, not from sameness.Join us as we explore Ephesians 1:1-14 and learn how embracing the Gospel can transform our differences into a source of strength and impact.Apply It: Write the words Loved, Adopted, and Forgiven somewhere you'll see every day this week, and let it remind you of the Gospel that unites us all.#LuxDigitalChurch #EphesiansSeries #OverTheFence #ChristianUnity #GospelTruth #FaithFamily #ChosenAndBlessed #BibleStudy #SpiritualHome #JesusUnites
Work hard and play hard! But if you're always going full-tilt, when do you get time to rest?! What does it even mean to rest, and why do we need it so badly? Let's talk about it!Join us for part 4 of "The Good Life" with Pastor Andy gives a powerful, and relatable message on rest.**********
In this powerful episode of Our Womanity, we sit down with Maisha Sullivan Ongoza, the visionary behind P.A.S.H.I. — the Pan-African Sisterhood Health Initiative. Maisha shares how this community-rooted organisation is tackling period poverty, reducing stigma around menstruation, and centering ancestral wisdom through eco-friendly, reusable menstrual products. From intergenerational teachings led by elders to engaging boys and men in the conversation, Maisha walks us through how P.A.S.H.I. is changing lives across the globe.What We Cover: The origin and mission behind P.A.S.H.I Why menstrual hygiene management (MHM) is a public health and dignity issue The power of reusable pads and eco-conscious period solutions The importance of involving elders as hands-on teachers How P.A.S.H.I. is shifting cultural norms by including men and boys Stories of impact from Philadelphia to Africa and the Caribbean How you can support or replicate this model in your own communityAbout P.A.S.H.I:P.A.S.H.I. empowers girls, women, and others by providing free, eco-friendly, reusable menstrual pads and education on life skills, reproductive health, and MHM. With over 47 global shipments and annual youth workshops in Philadelphia, P.A.S.H.I is restoring dignity and access one pad at a time.Impact Snapshot: 47+ pad shipments to Africa & the Caribbean since 2019Thousands of free menstrual and hygiene kits distributed Annual youth workshops teaching reusable pad creation Hands-on guidance from elders in the communityKey Quote from Maisha: "We're not just handing out products—we're rebuilding a sense of worth, reclaiming ancestral knowledge, and reminding our young people they are worthy of care, dignity, and tradition."Resources & Links:Website: www.pashiglobal.orgEmail: pashi.global@gmail.comPhone: (215) 385-0214Subscribe to Our Womanity wherever you get your podcasts. Leave a review to help amplify women-led grassroots change around the world!
Maisha ya raia wa Gaza ambao karibu wote ni wakimbizi wa ndani yanazidi kuwa mtihani usio na majawabu kila uchao kwa mujibu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa. Mateso wanayopitia nis awa na kuishi jrehanamu, wengi wamekata tamaa na wanaona bora kufa kuliko kuishi katika hali hiyo. Flora Nducha akusimulia madhila ya mmoja wa wakimbizi hao wa ndani Moamen Abu Asr na mkewe Zeinat.
Hii leo jaridani tunaangazia haki za kibidamu katika ukanda wa Gaza, na hali ya misaada ya kibinadamu huko huko Gaza. Makala yunakwenda nchini Tanzania kusikia harakati za kusaidia vijana wa kike, na mashinani tunakupeleka nchini Uganda kusikia kuhusu mradi wa mlo shuleni.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kughadhabishwa kufuatia kusambuliwa, kujeruhiwa na kuuawa kwa Wapalestina walipokuwa wakijaribu kupata msaada wa kibinadamu huko Gaza jana Jumapili, Juni Mosi.Maisha ya raia wa Gaza ambao karibu wote ni wakimbizi wa ndani yanazidi kuwa mtihani usio na majawabu kila uchao kwa mujibu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa. Mateso wanayopitia nis awa na kuishi jrehanamu, wengi wamekata tamaa na wanaona bora kufa kuliko kuishi katika hali hiyo. Flora Nducha akusimulia madhila ya mmoja wa wakimbizi hao wa ndani Moamen Abu Asr na mkewe Zeinat.. Makala inakupeleka nchini Tanzania kusikia harakati za kunasua vijana wa kike kutoka vishawishi vinavyoweza kuwatumbukiza kwenye lindi la umaskini. Msimulizi wako ni Hamad Rashid wa Radio washirika Tanzania Kids Time FM.Na katika Moses Okiror, Naibu Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Rainbow iliyoko Karamoja kaskazini-masharikimwa Uganda anaeleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) limeboresha mpango wa mlo shuleni kwa kuwakabidhi mashine ya kusagisha nafaka aina mbalimbali yenye vinu vinavyotumia nishati ya jua.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
We can chase and drive after things in life that we think will fulfill us, but what if we are "driving" in the wrong direction? Just because we are motivated and driven doesn't always mean that we are actually going where we should be going. How do we gain discernment in this area? Let's talk about it! Join us for part 3 of "The Good Life" with Pastor Mark as we discuss this, and more!**********
Re-release: We spoke to Maisha back in 2022 about her experiences with Domestic Abuse/Intimate Partner Violence. TW: Abuse, suicide, mental health. Yolanda speaks with Maisha Sumah, a domestic violence survivor and award-winning public speaker who advocates against domestic abuse. We had some recording issues with this episode, but do not be put off. Maisha's story is harrowing but very important. ___________________Speak On is a podcast, event series and panel show that explores culture, society and wellbeing.Please rate, review, like, share and subscribe and connect to Speak On's social media channels.Instagram: www.instagram.com/speakon_TikTok: www.tiktok.com/@speakon_YouTube: www.youtube.com/@speakonGuest: Maisha Sumah: www.instagram.com/maishasumah__Host, Creator & Executive Producer: Yolanda Copes-Stepney: www.instagram.com/yokicsProduced by: Speak&Do Productions: www.speakanddoproductions.comExecutive Producer: Abigail Weaver: www.instagram.com/_abigailweaver
Katika kuelekea siku ya kandanda, kabumbu au mpira wa miguu duniani itakayoadhimishwa Jumapili wiki hii Mei 25 ikibeba maudhui nguvu ya kdandanda katika kuleta mabadiliko tuabisha hodi Nairobi Kenya ambapo leo Peter Omondi, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Global Youth Forum linalounganisha vijana Kenya kwa lengo la kutokomeza umasikini na kuishi maisha bora kupitia michezo mbalimbali ikiwemo kandanda akizungumza na Idhaa hii ya Kiswahili anaeleza umuhimu wa kandanda katika ajenda ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu. Anaanza kwa kujitambusha.
How do you view happiness? Where does it come from, how do you hold on to it, and what happens when it goes away? Join us as we talk about true happiness and where it's found. Pastor Mark continues our collection of talks "The Good Life" with part 2.**********
Have you used the phrase, "This is the good life"? What even is "the good life"? If you ask 100 different people, you'd likely get 100 different answers. In this new collection of talks, we take a look at what the Bible has to say about this particular idea. Pastor Mark kicks us off with part 1!**********
Jesus didn't come for those who think they're righteous. He came for those who know they need to repent. In this talk, we cover three things we can learn from Jesus about how to lead others to repentance (plus more). Join us with Pastor Mark for the third and final part of our collection of talks: Road to Renewal.**********
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na wadau wameleta neema kwa watoto wanaoishi na ulemavu katika Kaunti ya Kisumu Magharibi mwa Kenya baada ya kuwapa msaada wa vifaa ikiwemo viti mwendo na viungo bandia kupitia mradi wa ubunifu kwa ajili ya watoto wenye ulemavu, msaada uliobadili maisha yao. Flora Nducha amefuatilia tabasamu la mama ambaye mwanye amenufaika na kiungo bandia ungana naye kwa tarifa zaidi
What's that thing that you return to even when you know it's not good for you. In reality, it's a poison that is wrecking you from the inside out- a sin that you have gone back to time and time again. What does life look like when you decide to turn away from the things that are robbing you from a deeper relationship with God?Join us with Pastor Mark for part two of our collection of talks: Road to Renewal.**********
Repentance begins with a long, honest look in the mirror and the courage to admit that something needs to change. You might be avoiding that look because you know what turning away will cost—what it might mean for your relationships or your sense of comfort. It might be something big, or it might seem small but still has a grip on you. Either way, true repentance begins when we recognize there's something to turn away from—and that we need God's help to do it.Join us with Pastor Mark for part one of our new collection of talks: Road to Renewal.**********
If you've embraced a faith block in your life, it's possible you've unintentionally bought into a version of faith that keeps things separate—where Jesus is just a part of your life that you've placed in a designated area. If that's you, I'd like to gently encourage you to consider letting go of that approach and embracing something different.**********
We have all had a moment with our friends or family where we wanted to share something with them, but we weren't quite sure how they would respond. What if you had the greatest thing in the world... would you share it? Join us for Part 3 of "Open House" where we talk about this and more! **********
Evangelism is something we are all called to as followers of Jesus, but how do we actually do it? Pastor Dalton brings a powerful word on how to talk to strangers, and our closest friends & family, about Jesus. Join us for Part 2 of "Open House."**********
This week we celebrated our fourth birthday! With that, we started our new collection of talks, "Open House." The heart of the Gospel is that everyone is welcome to receive it, regardless of where you come from or what your life has looked like. The Good News is worth celebrating!**********
Guest speaker, Bubba Stallcup, shares the story of David and Absalom and talks about how vulnerability leads to intimacy and intimacy to relationship. Even with estranged relationships, it may not be too late to practice the vulnerability that leads to intimacy.Join us for part 6 of our collection, "The Bedroom: My Fortress" with Bubba Stallcup (LTN).**********
Against the backdrop of the Israel-Hamas war, incidents of Islamophobia in Australia have surged – whether verbal, physical or online. What's the lasting impact on victims, and what can be done? - Kufuatia vita vya Israel-Hamas, matukio yawa Islamu kunyanyaswa yame ongezeka nchini Australia, iwe kwa maneno, kimwili au mtandaoni. Athari ya kudumu kwa wa athiriwa ni gani, na nini kinaweza fanywa?
Once you stop trying to take shortcuts to God's presence and pursue Him, linger with him, desire him, and spend time in worship and prayer you too will enter the presence of the living God. You will experience the presence of God that is so addicting, so life-changing, that you will move your family to just stand at the door of the tent for the rest of your life. Don't try to take shortcuts to God's presence.Join us for part 5 of our collection, "The Bedroom: My Fortress" with Pastor Mark.**********
Maelfu ya watu wanawasili nchini Burundi, wakikimbia mapigano yanayozidi kushamiri huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hususan katika majimbo ya Kivu Kusini na Kivu Kaskazini. Waasi wa M23 wanaendelea kupanua wigo wa maeneo wanayomiliki, hali inayotumbukiza raia kwenye changamoto za usalama, na kulazimu wale wanaoweza kukimbia. Wengine wameuawa, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa, na majeruhi wako hospitalini ambako huduma nazo zimedorora kwani M23 wamefunga barabara katika maeneo yote wanayodhibiti. Lakini wale wanaokimbilia Burundi hali yao iko vipi? Evarist Mapesa anakusimulia zaidi kupitia video iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.
Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, wanafamilia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya. Ni sauti ya watoto wakitembea katikati ya mahema ya muda kwenye vichochoro vilivvyojubikwa na matope, hapa Gaza Kaskazini, huku wakijaribu kukwepa madimbwi ya maji yaliyosababishwa na mvua kubwa.Kupitia video iliyoandaliwa na UNICEF, Shahd Omar, msichana mwenye umri wa miaka kumi na saba, anaonekana amembeba nduguye, wengine wanaonekana wamekujikunyata kutokana na baridi. Shahd sasa akiwa amesimama nje hema lao anaelezea jinsi nyumba zao zilivyoharibiwa.“Tunavumilia hali ngumu sana,mvua kubwa, baridi, na upepo mkali, maisha ni magumu sana. Nyumba yetu ilivyoshambuliwa na kubomoka tulijitoa kwenye vifusi. Nyumba yetu imeharibika, hatuna samani, hakuna vituo vya kujikinga, wala mahali pa kukaa ili kupata joto. Maisha ni magumu. Hema letu lilikuwa karibu kupeperuka kwa sababu ya upepo mkali.”Kwingineko hapa, watoto wanaonekana wakicheza kwenye matope nje ya mahema zao huku maji yakitiririka kama mto. Layla Abu Asi ni mama wa watoto watatu, mwenye umri wa miaka 27 anasema,“Baridi hii ni kali mno, haiwezi kuvumilika ,upepo huu mkali umeleta madhara makubwa kwenye hema letu. Tangu asubuhi, maji ya mvua yamejaa kwenye hema letu, kila kitu kilichomo ndani kikilowa na kujaa maji. Watoto wangu wametota kwa maji ya mvua. Hii ni hali mbaya zaidi ambayo tumewahi kukumbana nayo.”UNICEF na wadau wanafanya kila wawezalo kuwasaidia wakazi wa Gaza.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya usalama Goma DRC, na masuala ya haki za binadamu. Makala na mashinani inaturejesha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kufuatilia simulizi za wakimbizi wa ndani.Maisha yanarejea katika hali ya kawaida huko Goma baada ya siku kadhaa za mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (FARDC) na waasi wa M23 mashariki mwa. Mwandishi wetu wa habari jimboni Kivu Kaskazini amesema kwamba shughuli zinaanza tena katika mji wa ziwa la Kivu, Goma, wakati M23 imechukua wilaya nyingi za mji mkuu wa Jimbo hili.Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (OHCHR) imesisitiza haja ya kusonga mbele kuelekea awamu inayofuata ya usitishaji mapigano huko Gaza, kuachiliwa kwa mateka na wafungwa wote waliokamatwa kiholela, kukomesha vita na kujenga upya Gaza, kwa kuheshimu kikamilifu sheria ya kimataifa ya kibinadamu na sheria za kimataifa za haki za binadamu.Makala leo inakukutanisha na Mwamini Sebororo mmoja wa mamilioni ya raia wa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo DRC waliopoteza makazi yao na kila kitu katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki ya taifa hilo huku mgogoro ukiendelea kufurusha watu zaidi, akiwa kambini Bushagara anasimulia kilichomsibuNa katika mashinani tutarejea nchini Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo DRC kusikia ujumbe wa mkimbizi wa ndani ambaye ni mwathirika wa vita Goma.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Maisha yanarejea katika hali ya kawaida huko Goma baada ya siku kadhaa za mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (FARDC) na waasi wa M23 mashariki mwa. Mwandishi wetu wa habari jimboni Kivu Kaskazini amesema kwamba shughuli zinaanza tena katika mji wa ziwa la Kivu, Goma, wakati M23 imechukua wilaya nyingi za mji mkuu wa Jimbo hili. Alikutana na Muhindo Kibwana muendesha pikipiki akiwa kwenye maegesho yake ya kazi, jina lake limebadilishwa kwa usalama wake.
Cultivating H.E.R. Space: Uplifting Conversations for the Black Woman
Hey lady! This week, Dr. Dom and Terri welcome Dr. Maisha Standifer, Director of Population Health, The Satcher Health Leadership Institute at Morehouse School of Medicine to offer fresh information about HIV, AIDS, the trends she's seeing in sexually transmitted disease infection rates and what Black women need to know about keeping themselves safe and healthy.Dr. Standifer is a powerhouse of a woman and offers grounded perspective on the real issues that the Black community face in regards to HIV transmission and AIDS. The truth of the matter is that despite HIV/AIDS being known in the community for more than 40 years the stigma has transferred from white gay men to Black women and so much of that is because of a lack of information.In fact, 50 percent of new HIV cases are Black women. Dr. Standifer doesn't sugarcoat the facts about the fact if you are sexually active you are HIV possible. Armed with that knowledge, she offers solutions for prevention, resources for care should you contract the infection, and hope for a future where HIV and AIDS is eradicated from the community.Tune into a powerful conversation chock full of valuable information. This is your one precious life, lady, treat it with the best care! Quote of the Day:“Understand others and their experiences as you talk and interact with them.” - Unknown Wisdom Wednesdays with TerriCultivating H.E.R. Space Sanctuary Where to find Satcher Health:Website: Morehouse School of MedicineWebsite: Satcher Health Leadership InsituteInstagram: @satcherhealthFacebook: Satcher HealthLinkedIn: Satcher Health Leadership Institute Resources:Dr. Dom's Therapy PracticeBranding with TerriMelanin and Mental HealthTherapy for Black Girls Psychology TodayTherapy for QPOC Where to find us:Twitter: @HERspacepodcastInstagram: @herspacepodcastFacebook: @herspacepodcastWebsite: cultivatingherspace.com