Connecting to Apple Music.
Dar es Salaam, Tanzania

Kipindi: Walinde watoto Mada: Nidhamu na adabu katika malezi ya mtoto Mwezeshaji ni Padre Dr Peter Siamoo Mtangazaji: Elizabeth Masanja L'articolo Nidhamu na adabu katika Malezi ya Mtoto proviene da Radio Maria.

Kipindi cha Uraibu kinaruka saa tatu usiku Mada: Uraibu unajengwa kwa muda gani? Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo la Moshi L'articolo Uraibu unajengwa kwa muda gani? proviene da Radio Maria.

KIPINDI ELIMU JAMII MTANGAZAJI PETER ALPHAXAD MADA:MGENI SISTER ANJELA JEREMIAH MKURUGENZI WA ANTONIA VERNA REHABILITATION CENTER L'articolo BUSTANI TIBA UHUSIANO ULIOPO KATI YA VIUMBE NA MWILI WA BINADAMU proviene da Radio Maria.

Kipindi: FAMILIA BORA NYUMBA AMINIFU Mada: “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” Mtangazaji: Festo Chahali L'articolo “Kwa nini Katika Thamani ya Ndoa akitoka Mungu hufuata mwenza wa Ndoa wakiachwa wengine pamoja na Wazazi kufuata baadaye???” proviene da Radio Maria.

Kipindi-: Ijue Sheria Mada-: Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa. Mtangazaji: Peter Alaphaxad Mwendesha Mada-: ni Mheshimiwa EDWARD USORO HAKIMU MKAZI MWANDAMIZI WILAYA YA MUFINDI ALIKUWEPO PIA INSPECTOR AHMED MAGENDA L'articolo Haki ya Mtuhumiwa Wakati wa Kukamatwa na Wakati wa kupekuliwa proviene da Radio Maria.

Damu Azizi ya Kristo si alama tu ya mateso yake, bali ni chemchemi ya ukombozi, upatanisho na heshima mpya kwa kila mwanadamu. Katika kipindi hiki, Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu – Sauti ya Faraja, anafafanua kwa kina uhusiano kati ya Damu Azizi ya Kristo na hadhi ya mwanadamu kwa mwanga wa imani […] L'articolo Je, Damu ya Yesu ina thamani gani kwa hadhi ya mwanadamu? proviene da Radio Maria.

Je, inawezekanaje Bikira Maria awe ameweka nadhiri ya ubikira na wakati huo huo akakubali kuposwa na Yosefu? Swali hili limekuwa likiulizwa na waamini wengi kwa karne nyingi. Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua kwa kina suala hili kwa kuzingatia Maandiko Matakatifu, mapokeo ya Kanisa na mafundisho ya […] L'articolo Kama Bikira Maria alikuwa ameweka nadhiri ya ubikira, kwa nini alikubali kuposwa na Yosefu? proviene da Radio Maria.

Katika kipindi hiki, Frateri Ayuto Kongo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho anafafanua maana ya neno ibada katika muktadha wa Kikristo, akieleza msingi wake katika imani na namna linavyopaswa kuonekana katika maisha ya kila siku. Karibu utazame L'articolo Neno “Ibada” katika muktadha wa Kikristo linaelewekaje? proviene da Radio Maria.

Karibu kusikiliza kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo Askofu Almachius Vincent Rweyongeza anatafakari Neno la Mungu na kutoa mafundisho yanayolenga kuimarisha imani, matumaini na upendo katika maisha ya kila siku ya Mkristo. Tunakukaribisha usikilize tafakari hii, uibariki kwa kuishiriki na wengine, na usisahau kujiunga na chaneli yetu ili kuendelea kupokea mafundisho na vipindi vingine vya […] L'articolo Nena Nami Bwana na Askofu Almachius Vincent Rweyongeza proviene da Radio Maria.

KIPINDI HEWANI: MAISHA NI SAFARI Mada: Maisha ya Stephano Mtangazaji: Martin Joseph Siku: Ijumaa Julai 17, 2026 L'articolo Maisha ni Safari: Msimuliaji Stephano anaelezea kwa undani zaidi proviene da Radio Maria.

Kipindi Hewani: Ijue Sheria Mada:Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma wageni/wawezeshaji Mheshimiwa Nives Mahuwi Hakimu Mkazi na Mheshimiwa Rose Haule Hakimu Mkazi Eneo: Mahakama ya mwanzo Bomani Studio Elizabeth Masanja L'articolo Wajibu wa Mawakili wa Kujitegemea kwa mahakama,wateja na Umma proviene da Radio Maria.

KIPINDI – PRO LIFE Mada ndogo Usafi wa Moyo Wawezeshaji ni Wanapro life Tanzania Studio: Pendo Stephano L'articolo Pro – Life: Malezi na Usafi wa Moyo proviene da Radio Maria.

KARIBU USIKILIZE KIPINDI CHA WALINDE WATOTO Mada: Madhara ya kutomsikiliza mtoto aliyenyanyaswa. Mtangazaji: Martin Joseph

KIPINDI: IJUE SHERIA

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026 L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 01 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 12 Machi 2026 L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 17 Aprili 2026 L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 27 Februari 2026 L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026 L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bw. Godfrey Mkaikuta, Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Hatua za ukuaji wa mtoto Tarehe 21 Aprili 2026 L'articolo Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Malezi ya Mtoto baada ya kuzaliwa Tarehe 14 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 10 Machi 2026 L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 03 Machi 2026 L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu Tarehe 30 Machi 2026 L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma? Tarehe 27 Machi 2026 L'articolo Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? Tarehe 26 Machi 2026 L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026 L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? Tarehe 20 […] L'articolo Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? Tarehe 19 Machi 2026 L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je shetani aliumbwa na Mungu? na Je maovu yanatoka wapi kama Mungu aliumba vitu vyote vikiwa vizuri? Tarehe 18 Machi 2026 L'articolo Je shetani aliumbwa na Mungu? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? Tarehe 17 Machi 2026 L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026 L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 13 Machi 2026 L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi? Tarehe 11 Machi 2026 L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu Tarehe 10 Machi […] L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? Tarehe 09 Machi 2026 L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? Tarehe 08 Machi 2026 L'articolo Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? Tarehe 06 Machi 2026 L'articolo Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? proviene da Radio Maria.

Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Nini maana ya Tabernakulo? Tarehe 05 Machi 2026 L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.