Radio Maria Tanzania

Follow Radio Maria Tanzania
Share on
Copy link to clipboard

Connecting to Apple Music.

Radio Maria Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania


    • Jul 16, 2025 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 43m AVG DURATION
    • 1,943 EPISODES


    Search for episodes from Radio Maria Tanzania with a specific topic:

    Latest episodes from Radio Maria Tanzania

    Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake

    Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 58:20


    Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025. Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.

    Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025?

    Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 51:01


    Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.

    radio maria karibu ujumbe mkurugenzi
    Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 13:59


    “Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina. L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.

    Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio.

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 25:20


    Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio. L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.

    Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi?

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 38:59


    Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia  mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa.   Karibu sana Mzazi mwenzangu. L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.

    Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 56:38


    Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 54:48


    Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini.  L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria.

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 46:39


    Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi,  leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu matumaini katika utoaji?

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 55:22


    Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi, Studio nipo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Matumaini katika Kutoa. L'articolo Je, unafahamu matumaini katika utoaji? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu njia bora ya kuchagua viongozi wa Kanisa?

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 49:29


    karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tutakuwa na mwezeshaji wetu, Gordon Rwenyagira, Mjumbe wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha namna ya kupata kiongozi wa Kanisa. L'articolo Je, unafahamu njia bora ya kuchagua viongozi wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai?

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 31:40


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya […] L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.

    Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 52:44


    Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.

    Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto

    Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 45:32


    Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

    Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

    Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 54:27


    Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu.  Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

    Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 58:51


    Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na MkurugenzI wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu,  Kukualika kwa niaba yake, mimi ni Esther Magai Hangu L'articolo Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu proviene da Radio Maria.

    pp radio maria karibu mkurugenzi ekaristi
    Madereva wa Bodaboda zingatieni Sheria za Usalama Barabarani.

    Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 51:43


    Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza kipindi cha Usalama Barabarani, studio nipo na Sajenti Abdalah Ismail pamoja na Sajenti Rehema wote kutoka Trafik Makao Makuu, ambao wanatoa elimu  kwa Maafisa Usafirishaji (bodaboda) kuzingatia sheria za Usalama Barabarani. karibu. L'articolo Madereva wa Bodaboda zingatieni Sheria za Usalama Barabarani. proviene da Radio Maria.

    Je, ni kwa nini Wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wakati wa Misa Takatifu?

    Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 28:57


    Msikilizaji karibu uungane na Shemasi Benedict Paschal Ndinde, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustini Peramiho Jimbo Kuu Songea,  kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo anajibu swali la msikilizaji wetu kutoka Parokia ya Peramiho Jimbo Kuu la Songea , aliyeuliza “Kwa nini wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wala kuchovya wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu?” L'articolo Je, ni kwa nini Wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wakati wa Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.

    Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo.

    Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 56:42


    Leo katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Padre Domini Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anatupatia mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu. Karibu ujichotee mafundisho ya kina kupitia kipindi hiki nami ni mtangazaji wa Happiness Mlewa. L'articolo Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

    Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu?

    Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 51:30


    Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

    Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria.

    Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 28:47


    Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

    Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki.

    Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 52:47


    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi?

    Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 43:32


    Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi. Mtangazaji  ni Esther Magai Hangu. L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 50:59


    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya mataji ya Mama Bikira Maria, akijikita katika taji la usafi wa moyo. L'articolo Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

    Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 54:34


    Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

    Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 55:44


    Ni siku nyingine, karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza mafundisho kupitia kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anaendelea na mafundisho kupitia mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, na leo tukilitazama taji la tisa (9) ambalo ni Fadhila ya Huruma. Karibu upokee mafundisho haya. L'articolo Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 58:08


    Karibu sana msikilizaji  kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe.  Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”. L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 24:46


    Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza,  kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu. L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.

    Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 4:38


    Leo Juni 16 kanisa linamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre, karibu uungane nami Happiness Mlewa, ili kusikiliza masimulizi ya Maisha ya Mtakatifu huyu. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre proviene da Radio Maria.

    Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 6:23


    Karibu Uungane nami Happiness Mlewa, katika masimulizi ya maisha ya Mtakatifu wa leo, ambapo leo tarehe 13 juni Kanisa nilinamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Antoni wa Padua, Padre na Mwalimu wa Kanisa. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa proviene da Radio Maria.

    Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 54:22


    Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya mataji kumi ya Bikira Maria, anaangazia taji la saba fadhila ya ufukara. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic, mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu. L'articolo Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

    Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 48:51


    Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, nami ni Mtangazaji wako Happiness Mlewa,  nipo na mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania,  akiendelea na mafundisho juu ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria,  tukiangazia taji la nane (8), la Fadhila ya Subira (Unyenyekevu). Karibu sana. L'articolo Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)? proviene da Radio Maria.

    Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 53:32


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugrnzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, ambapo  anazungumzia juu ya Mataji kumi  (10) ya Mama Bikira Maria, akijikita zaidi katika mafundisho  kupitia taji la Tano (5) la Fadhila ya Moyo wa Ibada. L'articolo Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 55:33


    Karibu uungane nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, anaangazia taji la sita fadhila ya utii. L'articolo Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 45:24


    Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki,  ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo,  Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki. L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

    Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 28:05


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu maswali haya, Nini maana ya ubatizo? kwanini ubatizo usiwe wa kujirudia, ninaomba kujua uhalali wa ubatizo wa watoto wachanga? na Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anaenda wapi? L'articolo Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 26:34


    karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, ambapo leo  Frateri Valence Leons Sangu kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar essalaam, anatufundisha juu ya madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 27:17


    Karibu katika Kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, leo tuko naye Frateri Joseph Enosi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam, anazungumzia  juu ya mawasiliano katika Familia je, nani anahusika? L'articolo Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 24:25


    Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu sehemu ya tatu leo tuko naye Frateri Revocatus Shukuru kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambapo anatuongoza kuangazia mada isemayo nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo. Mtangazaji & Mtayarishaji wako ni mimi […] L'articolo Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo? proviene da Radio Maria.

    Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 52:35


    Mpenzi Msikilizaji karibu ufuatilie Makala maalumu iliyoangazia athari za matumizi ya dawa za kulevya pamoja na pombe kupita kiasi. Ndani ya makala haya utasikia shuhuda za vijana waliopona uraibu huo, wanachosema wazazi lakini pia ushauri wa kitaalamu uliotolewa. Ninaamini kupitia makala haya, utakuwa balozi mzuri wa kuhakikisha unamnusuru kijana mwenzako dhidi ya matumizi ya dawa […] L'articolo Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 52:17


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.  L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 43:48


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.    L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 59:03


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe,  Mwezeshaji ni  Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu. L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 27:02


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?   L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto?

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 51:57


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka  Moshi, akitoa ufafanuzi wa madhara ya Uraibu wa wazazi kwa watoto.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto? proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema?

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 48:52


    Karibu uungane nami  Happiness Mlewa katika  kipindi cha Uraibu, leo Studio nipo na  Padre  Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha mambo yanazosababisha  watu wasiwe na tabia njema.     L'articolo Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema? proviene da Radio Maria.

    Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume?

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 47:02


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu maana ya Nadhiri?

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 19:25


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri  Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.

    Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini.

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 56:09


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

    Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 30:48


    Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu?

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 29:07


    Karibu katika kipindi cha Huruma ya Mungu kwa Ulimwengu, Mwezeshaji ni Padre Wojceich Adam, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu, akizungumzia Dominika ya Huruma ya Mungu. L'articolo Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

    Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha.

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:43


    Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha. L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

    Claim Radio Maria Tanzania

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel