Radio Maria Tanzania

Follow Radio Maria Tanzania
Share on
Copy link to clipboard

Connecting to Apple Music.

Radio Maria Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania


    • May 8, 2026 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 43m AVG DURATION
    • 2,123 EPISODES


    Search for episodes from Radio Maria Tanzania with a specific topic:

    Latest episodes from Radio Maria Tanzania

    Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 55:37


    Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026 L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.

    Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha.

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 59:41


    Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.

    Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka.

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 46:28


    Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.

    Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 56:59


    Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 01 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.

    Fahamu faida za kanunia ya imani

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 57:53


    Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.

    Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:42


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 12 Machi 2026 L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.

    Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 57:10


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 17 Aprili  2026 L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.

    Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 55:47


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.

    Hii ndiyo furaha ya Utume wetu

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:32


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.

    Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 52:35


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 27 Februari 2026 L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.

    Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:18


    Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026 L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

    Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 51:04


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bw. Godfrey Mkaikuta, Anthon Liepa,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Hatua za ukuaji wa mtoto Tarehe 21 Aprili 2026 L'articolo Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa. proviene da Radio Maria.

    Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:06


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Malezi ya Mtoto baada ya kuzaliwa Tarehe 14 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

    Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:41


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.

    Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:31


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 52:26


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 10 Machi 2026 L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.

    Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 51:10


    Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 03 Machi 2026 L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

    Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:33


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da Radio Maria.

    Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:52


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu Tarehe 30 Machi 2026 L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu proviene da Radio Maria.

    Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:10


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? proviene da Radio Maria.

    Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:42


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma? Tarehe 27 Machi 2026 L'articolo Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

    Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:53


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? Tarehe 26 Machi 2026 L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:16


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? proviene da Radio Maria.

    Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:34


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026   L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:20


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? Tarehe 20 […] L'articolo Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? proviene da Radio Maria.

    Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:58


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? Tarehe 19 Machi 2026   L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

    Je shetani aliumbwa na Mungu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:43


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Elikana Nyagabona, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je shetani aliumbwa na Mungu? na Je maovu yanatoka wapi kama Mungu aliumba vitu vyote vikiwa vizuri? Tarehe 18 Machi 2026   L'articolo Je shetani aliumbwa na Mungu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 19:33


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? Tarehe 17 Machi 2026   L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.

    Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 22:35


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026   L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 26:32


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 15 Machi 2026   L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da Radio Maria.

    Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 26:15


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 13 Machi 2026   L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.

    Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 29:25


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi? Tarehe 11 Machi 2026   L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 22:23


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu Tarehe 10 Machi […] L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu proviene da Radio Maria.

    Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 20:39


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? Tarehe 09 Machi 2026   L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 29:17


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? Tarehe 08 Machi 2026   L'articolo Kwanini Yesu alilala wakati wa dhoruba? proviene da Radio Maria.

    Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:41


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? Tarehe 06 Machi 2026   L'articolo Yesu Kristo aliposema nenda ukauze vile ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakua na hazina Mbinguni Alikua anamaanisha nini? proviene da Radio Maria.

    Nini maana ya Tabernakulo?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:00


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Nini maana ya Tabernakulo? Tarehe 05 Machi 2026   L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.

    Je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:21


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani . Mwezeshaji ni Shemasi Emilian Samson Mahinya, kutoka Seminari kuu Mtakatifu Augustino Peramiho. Jimbo Kuu la Songea Swali ni Katika njia ya msalaba kituo cha tano Simoni wa Kirene alimpokea Yesu msalaba, je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba Tarehe 03  Machi 2026 L'articolo Je ni kituo cha ngapi alimrudishia Yesu Msalaba? proviene da Radio Maria.

    Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima”

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:27


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” Tarehe […] L'articolo Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” proviene da Radio Maria.

    Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:23


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? Tarehe 02  Machi 2026 L'articolo Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? proviene da Radio Maria.

    Nini maana ya kwaresima?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:58


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Nini maana ya kwaresima? Tarehe 01  Machi 2026 L'articolo Nini maana ya kwaresima? proviene da Radio Maria.

    Kwa mfano mtu akikukosea na hataki kukuomba msamaha hapo inapaswa kumfanyeje?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 24:06


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Shemasi Emmanuel mganga kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 27  Februari 2026 L'articolo Kwa mfano mtu akikukosea na hataki kukuomba msamaha hapo inapaswa kumfanyeje? proviene da Radio Maria.

    JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:45


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? Tarehe 26  Februari 2026 L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da Radio Maria.

    Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 20:52


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Magai Mussa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 25  Februari 2026 L'articolo Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume?

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:35


    Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? Tarehe 24  Februari 2026 L'articolo Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? proviene da Radio Maria.

    Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu.

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:02


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre  Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Fumbo La Pasaka Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 15  April 2026 L'articolo Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu. proviene da Radio Maria.

    Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 48:17


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre  Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 05 March 2026 L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

    Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 55:29


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre  Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, ambaye amefafanua kuhusu Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Martin Joseph Tarehe 04 March 2026 L'articolo Wafahamu waanzilishi wa shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

    Kituo cha Kumi na nne, Fahamu dhamiri ya Nickodem juu ya Kristu .

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 50:45


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania. ambaye amefafanua kuhusu “Njia ya msalaba kituo cha 14 ikiwa niwakatika wa ukimya” na leo tutamuangalia Nickodem na Dhamiri yake juu […] L'articolo Kituo cha Kumi na nne, Fahamu dhamiri ya Nickodem juu ya Kristu . proviene da Radio Maria.

    Wafahamu ndugu saba waliotokewa na Mama Bikira Maria na kuanzisha shirika la Watumishi wa Maria

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 55:59


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu. Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Joyce Jonatus Tarehe 03 Machi 2026   L'articolo Wafahamu ndugu saba waliotokewa na Mama Bikira Maria na kuanzisha shirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

    Wafahamu washirika la Watumishi wa Maria

    Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:41


    Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Kagashe Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu. Mada ni Shirika la Watumishi wa Maria Mtangazaji ni Joyce Jonatus   L'articolo Wafahamu washirika la Watumishi wa Maria proviene da Radio Maria.

    Claim Radio Maria Tanzania

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel