Connecting to Apple Music.
Dar es Salaam, Tanzania
Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja anapoendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu. L'articolo Je, unafahamu Msalaba ni nguvu ya wowkovu wetu? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana,hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na saba) proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, ambapo Sista Angela Jeremiah, Mkurugenzi Kituo cha Utengemao (Mazoezi tiba)cha Antonia Verna – Kawe jijini Dar es Salaam anatoa elimu juu ya Familia kama chanzo cha ulemavu. L'articolo Je, ni kwa namna gani Familia inakua chanzo cha ulemavu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wowkovu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Mhshamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba leo anatuongoza kuangazia maisha ya Mtakatifu Martha. Mtangazji wako ni Beatrice Audax L'articolo Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linalojibiwa Leo linauliza hivi; Bwana wetu Yesu Kristo alisema, atakayenikiri na kubatizwa kwa jina langu, ndiye atakayeokoka. Je kwa madhehebu au dini nyingine mathalani ndugu zetu waislamu ambao huwa hawabatizwi hawawezi kuokoka? Majibu yanatolewa na Frateri Renatus Kazimoto anayefanya utume Parokia ya Bikira Maria msaada wa Wakristo […] L'articolo Je, madhehebu mengine ambao hawabatizwi hawawezi kuokoka? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Joseph Kasongwa Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ambapo leo tunaangazia juu ya Thamani ya kura wakati wa uchaguzi Mkuu. Studio Kuu Mikocheni mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu nikishirikiana na Geofrey Rweyunga kutpka studio ndogo Jijini […] L'articolo Je, unafahamu thamani ya ya kura yako katika kipindi cha uchaguzi Mkuu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani. L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tuungane na Frateri Benendict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (RUCU) Jimbo Katoliki Iringa anajibu swali kutoka kwa msikilizaji ameuliza hivi. Je, Yohane mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au mi Yohane mwingine? Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je, Yohane Mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au ni mwingine? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anafundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya mada ya “Damu Azizi ya Yesu nguvu ya utakaso.” L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.
Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Parokia ya Bikira Maria Imakulatha Pande Msakuzi, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akizungumzia juu ya kujenga urafiki na Yesu. L'articolo Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Jimbo kuu Katoliki Mwanza anatuelimisha juu ya Vizuizi vya Ndoa Takatifu ya Kanisa Katoliki. L'articolo Je, unafahamu vizuizi vya ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji Karibu uungane na Frateri Fredrick Alfred Kabonge, kutoka Parokia ya Bikira Maria Consolata Kibao, Kituo cha Hija ya Huruma ya Mungu, Jimbo Katoliki Mafinga ambaye anajibu swali hili “Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, shahidi wa kwanza wa Ufufuko wake, “usiniguse?” Mimi ni Mtangazaji wako Elizabeth Masanja. L'articolo Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, Usiniguse? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frateri Theodosia Ng'etwa wa Jimbo Katoliki Iringa, ambaye ni Mseminari wa Seminari Kuu ya Kitaifa ya familia Takatifu iliyopo Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, katika kipindi Cha Mbiu ya Heri, ambapo Leo anazungumzia juu ya Nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji. Karibu sana. L'articolo Je wafahamu nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katolikia Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya “Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano dhidi ya yule mwangamizi. Karibu L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, kipindi hiki hukupatia nafasi ya kupata mafundisho kutoka kwa Baba zetu wa kiroho yenye lengo la kutudumisha katika imani ya kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu akiangazia Damu Azizi lugha ya […] L'articolo Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania anazungumza juu ya thamani ya ukombozi wetu. Mimi ni Mtangazaji wako Joyce Jonatus. L'articolo Je, unaifahamu thamani ya ukombozi wetu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha maswali yahusuyo imani, kipindi kinaandaliwa na waseminari kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea Frateri Yakobo Malemu Chagu kutoka Parokia ya Bukundi, Jimbo Katoliki Shinyanga anajibu swali linalohoji hivi; Kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? limeulizwa na Calvin Jeremiah Mponzi kutoka Jimbo Katoliki Shinyanga . Mtangazaji […] L'articolo Je, kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, mtaalamu na mwanasheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anafundisha kuhusu Utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki ambayo ni sheria namba 1108 – 1123. Mtanagazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unafahamu utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa. L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.
Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi. Grace Shayo na Bi. Janeth […] L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa malezi ya watoto katika familia? proviene da Radio Maria.
Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025. Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.
“Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina. L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio. L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.
Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa. Karibu sana Mzazi mwenzangu. L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini. L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi, leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi, Studio nipo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Matumaini katika Kutoa. L'articolo Je, unafahamu matumaini katika utoaji? proviene da Radio Maria.
karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, leo tutakuwa na mwezeshaji wetu, Gordon Rwenyagira, Mjumbe wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha namna ya kupata kiongozi wa Kanisa. L'articolo Je, unafahamu njia bora ya kuchagua viongozi wa Kanisa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya […] L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.
Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu. Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na MkurugenzI wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu, Kukualika kwa niaba yake, mimi ni Esther Magai Hangu L'articolo Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza kipindi cha Usalama Barabarani, studio nipo na Sajenti Abdalah Ismail pamoja na Sajenti Rehema wote kutoka Trafik Makao Makuu, ambao wanatoa elimu kwa Maafisa Usafirishaji (bodaboda) kuzingatia sheria za Usalama Barabarani. karibu. L'articolo Madereva wa Bodaboda zingatieni Sheria za Usalama Barabarani. proviene da Radio Maria.
Msikilizaji karibu uungane na Shemasi Benedict Paschal Ndinde, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustini Peramiho Jimbo Kuu Songea, kwenye kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo anajibu swali la msikilizaji wetu kutoka Parokia ya Peramiho Jimbo Kuu la Songea , aliyeuliza “Kwa nini wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wala kuchovya wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu?” L'articolo Je, ni kwa nini Wakatoliki hatunywi Damu ya Kristo wakati wa Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.
Leo katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Padre Domini Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anatupatia mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu. Karibu ujichotee mafundisho ya kina kupitia kipindi hiki nami ni mtangazaji wa Happiness Mlewa. L'articolo Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo. proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu. L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya mataji ya Mama Bikira Maria, akijikita katika taji la usafi wa moyo. L'articolo Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Ni siku nyingine, karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza mafundisho kupitia kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anaendelea na mafundisho kupitia mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, na leo tukilitazama taji la tisa (9) ambalo ni Fadhila ya Huruma. Karibu upokee mafundisho haya. L'articolo Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.
Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe. Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”. L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu. L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.
Leo Juni 16 kanisa linamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre, karibu uungane nami Happiness Mlewa, ili kusikiliza masimulizi ya Maisha ya Mtakatifu huyu. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre proviene da Radio Maria.
Karibu Uungane nami Happiness Mlewa, katika masimulizi ya maisha ya Mtakatifu wa leo, ambapo leo tarehe 13 juni Kanisa nilinamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Antoni wa Padua, Padre na Mwalimu wa Kanisa. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa proviene da Radio Maria.