Radio Maria Tanzania

Follow Radio Maria Tanzania
Share on
Copy link to clipboard

Connecting to Apple Music.

Radio Maria Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania


    • Jun 16, 2025 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 43m AVG DURATION
    • 1,919 EPISODES


    Search for episodes from Radio Maria Tanzania with a specific topic:

    Latest episodes from Radio Maria Tanzania

    Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 55:44


    Ni siku nyingine, karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza mafundisho kupitia kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anaendelea na mafundisho kupitia mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, na leo tukilitazama taji la tisa (9) ambalo ni Fadhila ya Huruma. Karibu upokee mafundisho haya. L'articolo Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 58:08


    Karibu sana msikilizaji  kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe.  Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”. L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu?

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 24:46


    Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza,  kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu. L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.

    Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 4:38


    Leo Juni 16 kanisa linamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre, karibu uungane nami Happiness Mlewa, ili kusikiliza masimulizi ya Maisha ya Mtakatifu huyu. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Yohani Fransisko Regis- Padre proviene da Radio Maria.

    Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 6:23


    Karibu Uungane nami Happiness Mlewa, katika masimulizi ya maisha ya Mtakatifu wa leo, ambapo leo tarehe 13 juni Kanisa nilinamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Antoni wa Padua, Padre na Mwalimu wa Kanisa. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa proviene da Radio Maria.

    Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 54:22


    Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya mataji kumi ya Bikira Maria, anaangazia taji la saba fadhila ya ufukara. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic, mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu. L'articolo Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

    Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 48:51


    Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, nami ni Mtangazaji wako Happiness Mlewa,  nipo na mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania,  akiendelea na mafundisho juu ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria,  tukiangazia taji la nane (8), la Fadhila ya Subira (Unyenyekevu). Karibu sana. L'articolo Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)? proviene da Radio Maria.

    Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 53:32


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugrnzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, ambapo  anazungumzia juu ya Mataji kumi  (10) ya Mama Bikira Maria, akijikita zaidi katika mafundisho  kupitia taji la Tano (5) la Fadhila ya Moyo wa Ibada. L'articolo Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 55:33


    Karibu uungane nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, anaangazia taji la sita fadhila ya utii. L'articolo Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 45:24


    Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki,  ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo,  Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki. L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

    Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi?

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 28:05


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu maswali haya, Nini maana ya ubatizo? kwanini ubatizo usiwe wa kujirudia, ninaomba kujua uhalali wa ubatizo wa watoto wachanga? na Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anaenda wapi? L'articolo Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 26:34


    karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, ambapo leo  Frateri Valence Leons Sangu kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar essalaam, anatufundisha juu ya madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 27:17


    Karibu katika Kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, leo tuko naye Frateri Joseph Enosi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam, anazungumzia  juu ya mawasiliano katika Familia je, nani anahusika? L'articolo Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo?

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 24:25


    Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu sehemu ya tatu leo tuko naye Frateri Revocatus Shukuru kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambapo anatuongoza kuangazia mada isemayo nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo. Mtangazaji & Mtayarishaji wako ni mimi […] L'articolo Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo? proviene da Radio Maria.

    Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana

    Play Episode Listen Later May 27, 2025 52:35


    Mpenzi Msikilizaji karibu ufuatilie Makala maalumu iliyoangazia athari za matumizi ya dawa za kulevya pamoja na pombe kupita kiasi. Ndani ya makala haya utasikia shuhuda za vijana waliopona uraibu huo, wanachosema wazazi lakini pia ushauri wa kitaalamu uliotolewa. Ninaamini kupitia makala haya, utakuwa balozi mzuri wa kuhakikisha unamnusuru kijana mwenzako dhidi ya matumizi ya dawa […] L'articolo Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 52:17


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.  L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 43:48


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.    L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 59:03


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe,  Mwezeshaji ni  Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu. L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu?

    Play Episode Listen Later May 23, 2025 27:02


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?   L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto?

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 51:57


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka  Moshi, akitoa ufafanuzi wa madhara ya Uraibu wa wazazi kwa watoto.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto? proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema?

    Play Episode Listen Later May 22, 2025 48:52


    Karibu uungane nami  Happiness Mlewa katika  kipindi cha Uraibu, leo Studio nipo na  Padre  Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha mambo yanazosababisha  watu wasiwe na tabia njema.     L'articolo Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema? proviene da Radio Maria.

    Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume?

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 47:02


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu maana ya Nadhiri?

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 19:25


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri  Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.

    Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini.

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 56:09


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

    Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili

    Play Episode Listen Later May 21, 2025 30:48


    Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu?

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 29:07


    Karibu katika kipindi cha Huruma ya Mungu kwa Ulimwengu, Mwezeshaji ni Padre Wojceich Adam, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu, akizungumzia Dominika ya Huruma ya Mungu. L'articolo Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

    Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha.

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:43


    Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha. L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

    Fahamu maana na asili ya neno Biblia.

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:04


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Mbiu ya heri, Mwezeshaji ni Frateri Yohane Makaya kutoka Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, akitufundisha juu ya maana na asili ya Biblia. L'articolo Fahamu maana na asili ya neno Biblia. proviene da Radio Maria.

    TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 11:16


    Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.

    Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia.

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 27:06


    Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Frateri Dismas Mwombeki kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya nafasi ya Mungu katika Familia. L'articolo Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake?

    Play Episode Listen Later May 20, 2025 23:14


    Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake. L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

    Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 48:45


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo? proviene da Radio Maria.

    Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria.

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 52:38


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu sifa za Mwanaume?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:31


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, wafahamu sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

    Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 25:35


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe,  nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?   L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.

    Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:48


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha? proviene da Radio Maria.

    Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto?

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 51:07


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta, Janeth Akaro na Witness Joachim kutoka Pro life Tanzania, wakitufundisha juu ya Familia na malezi ya watoto. L'articolo Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto? proviene da Radio Maria.

    Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 19:31


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.

    Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:42


    Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki, kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.PS Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania akieendelea kutufundisha Mama wa Matumaini. L'articolo Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:04


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo   katika kipindi chetu  tutakuwa na Padre Dominic Mavule Mkurugezi wa Matangazo  Radio Maria Tanzania, akijibu swali  letu kuhusu  mafundisho  ya Imani Katoliki                                      L'articolo Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ?

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 30:46


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.

    Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 55:04


    Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, akituongoza kujifunza ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini?

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 22:45


    Karibu katika kipindi cha Maswali  Yahusuyo Imani,  tunaungana na Frateri Peter  Peter  Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea  ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa  kwa  namna gani mbona dhambi bado ipo duniani? L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C’ wa Kanisa?

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 25:20


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka  “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D' wa Kanisa? L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C' wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

    Fahamu aina za watu na tabia zao.

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 51:20


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya aina za watu na tabia zao. L'articolo Fahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 49:54


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea historia ya Baba Mtakatifu Francisko. L'articolo Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo?

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 55:38


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kuzungumzia juu kwanini upo hivyo ulivyo akijikita sana katika aina za watu na tabia zao. L'articolo Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo? proviene da Radio Maria.

    Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 48:39


    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya. L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

    Zifahamu aina za watu na tabia zao.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 55:47


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya kwanini upo hivyo ulivyo akijikita katika aina za watu? L'articolo Zifahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

    Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno?

    Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 56:06


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno? proviene da Radio Maria.

    pp neno radio maria ungana mkurugenzi
    Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2025 28:11


    Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.

    Claim Radio Maria Tanzania

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel