Radio Maria Tanzania

Follow Radio Maria Tanzania
Share on
Copy link to clipboard

Connecting to Apple Music.

Radio Maria Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania


    • May 15, 2025 LATEST EPISODE
    • daily NEW EPISODES
    • 43m AVG DURATION
    • 1,888 EPISODES


    Search for episodes from Radio Maria Tanzania with a specific topic:

    Latest episodes from Radio Maria Tanzania

    Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 48:45


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo? proviene da Radio Maria.

    Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria.

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 52:38


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu sifa za Mwanaume?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:31


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, wafahamu sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

    Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 25:35


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe,  nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?   L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.

    Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha?

    Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:48


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha? proviene da Radio Maria.

    Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto?

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 51:07


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta, Janeth Akaro na Witness Joachim kutoka Pro life Tanzania, wakitufundisha juu ya Familia na malezi ya watoto. L'articolo Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto? proviene da Radio Maria.

    Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku

    Play Episode Listen Later May 14, 2025 19:31


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.

    Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:42


    Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki, kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.PS Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania akieendelea kutufundisha Mama wa Matumaini. L'articolo Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:04


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo   katika kipindi chetu  tutakuwa na Padre Dominic Mavule Mkurugezi wa Matangazo  Radio Maria Tanzania, akijibu swali  letu kuhusu  mafundisho  ya Imani Katoliki                                      L'articolo Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ?

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 30:46


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.

    Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

    Play Episode Listen Later May 2, 2025 55:04


    Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, akituongoza kujifunza ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini?

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 22:45


    Karibu katika kipindi cha Maswali  Yahusuyo Imani,  tunaungana na Frateri Peter  Peter  Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea  ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa  kwa  namna gani mbona dhambi bado ipo duniani? L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C’ wa Kanisa?

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 25:20


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka  “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D' wa Kanisa? L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C' wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

    Fahamu aina za watu na tabia zao.

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 51:20


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya aina za watu na tabia zao. L'articolo Fahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 49:54


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea historia ya Baba Mtakatifu Francisko. L'articolo Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo?

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 55:38


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kuzungumzia juu kwanini upo hivyo ulivyo akijikita sana katika aina za watu na tabia zao. L'articolo Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo? proviene da Radio Maria.

    Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 48:39


    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya. L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

    Zifahamu aina za watu na tabia zao.

    Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 55:47


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya kwanini upo hivyo ulivyo akijikita katika aina za watu? L'articolo Zifahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

    Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno?

    Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 56:06


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno? proviene da Radio Maria.

    pp neno radio maria ungana mkurugenzi
    Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2025 28:11


    Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.

    Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho?

    Play Episode Listen Later Apr 17, 2025 52:32


    Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho? proviene da Radio Maria.

    Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu.

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 54:21


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu. L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

    Je, kwanini tunabatiza watoto wadogo?

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 23:31


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili kwanini tunabatiza watoto wadogo? L'articolo Je, kwanini tunabatiza watoto wadogo? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu mateso ya Mama Bikira Maria?

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 28:01


    Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, tukiungana na Padre Gideon Kitamboya kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, anatufundisha juu ya mateso ya Mama Bikira Maria. L'articolo Je, unafahamu mateso ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

    Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia.

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 57:57


    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima.

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 53:09


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.

    Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre?

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 27:23


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji kwanini sisi Wakristo Wakatoliki tunaenda kuungama kwa Padre wakati Padre naye ni Binadamu kama sisi? L'articolo Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi cha chakula?

    Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 56:16


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Bi. Maria Ngilisho, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC), akituelimisha juu ya namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi ya chakula. L'articolo Je, unafahamu namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi cha chakula? proviene da Radio Maria.

    Je, kwanini vitendo vya ukatili wa kijinsia vinaendela kushamiri katika Jamii?

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 21:14


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Jinsia na maendele0, leo tunazungumzia mada juu ya kwanini vitendo vya ukatili wa kijinsia bado vinaendelea katika Jamii licha ya elimu inayoendela kutolewa? L'articolo Je, kwanini vitendo vya ukatili wa kijinsia vinaendela kushamiri katika Jamii? proviene da Radio Maria.

    Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno?

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 53:59


    Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akizungumzia juu ya njia ya kuishi na kutambua hazina ya neno. L'articolo Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno? proviene da Radio Maria.

    Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai.

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 52:54


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Antony Lihepa, Grace Shayo na Janeth Akkaro kutoka Pro-life Tanzania, wakiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima na utetezi wa uhai. L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu historia ya Radio Maria katika Jimbo Kuu Katoliki Mwanza?

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 45:45


    Karibu uungane nami Judith Francis katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja kutoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akizungumzia juu ya maadhimisho ya miaka 20 ya Radio Maria Jimboni humo.       L'articolo Je, unafahamu historia ya Radio Maria katika Jimbo Kuu Katoliki Mwanza? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu sifa za akina mama katika Familia?

    Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 56:43


    Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa za akina mama akijikita zaidi katika sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Je, unafahamu sifa za akina mama katika Familia? proviene da Radio Maria.

    Fahamu nguvu ya msamaha katika Misa Takatifu.

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 26:25


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Tafakari Nasi, Studio nipo na Padre Innocent Nzaro wa Jimbo Katoliki Kigoma akitutafakarisha juu ya Misa Takatifu na nguvu ya msamaha. L'articolo Fahamu nguvu ya msamaha katika Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka?

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 25:48


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Tanzania, akijibu swali hili kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka? L'articolo Je, unafahamu kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka? proviene da Radio Maria.

    Ifahamu kwa undani sifa ya Bikira Maria Mama wa Huruma.

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 23:33


    Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akizungumzia mada juu ya Bikira Maria Mama wa Huruma. L'articolo Ifahamu kwa undani sifa ya Bikira Maria Mama wa Huruma. proviene da Radio Maria.

    Fahamu sifa 15 za akina mama.

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 51:58


    Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa 15 za akina mama akielezea sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama. proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu Kwaresima ni njia ya kutambua neno la Mungu?

    Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 54:34


    Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Je, unafahamu Kwaresima ni njia ya kutambua neno la Mungu? proviene da Radio Maria.

    Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo.

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 17:31


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema  Yesu Kristo aliyekatika  chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima?

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 54:40


    Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akituongoza kujifunza Umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima. L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima? proviene da Radio Maria.

    Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 28:47


    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga. L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.

    Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehemu ya themanini na sita)

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 55:04


    Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehemu ya themanini na sita) proviene da Radio Maria.

    Je, wafahamu kwanini Kanisa Katoliki halishabikii Injili ya mafanikio na uponyaji?

    Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 29:48


    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa Msikilizaji wetu akihoji, kwanini Kanisa Katoliki halishabikii sana Injili ya mafanikio na uponyaji? L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa Katoliki halishabikii Injili ya mafanikio na uponyaji? proviene da Radio Maria.

    Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:21


    Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu proviene da Radio Maria.

    Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu?

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 52:20


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu.    L'articolo Je, kuna uhusiano gani kati ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

    Fahamu Utaratibu wa Utoaji wa Leseni za Udereva.

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:15


    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama barabarani, kutoka Kituo cha Polisi Mabawa Tanga kitengo cha Usalama Barabarani,  Mada ni Mfumo wa utoaji wa Leseni za Udereva pamoja na ukaguzi wa Magari kwa njia ya Mtandao.Wawezeshaji Sajenti Cleopa Msuya  na Sajenti Hamisi Mbikikila.     L'articolo Fahamu Utaratibu wa Utoaji wa Leseni za Udereva. proviene da Radio Maria.

    Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii.

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:22


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya kumi na tano zaWanawake. L'articolo Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu sifa ya Mwanamke.

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:21


    Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya  Mwananke. L'articolo Ifahamu sifa ya Mwanamke. proviene da Radio Maria.

    Je,wafahamu kupitia mateso ndipo nuru kukujia?

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 27:42


    Karibu uungane nami  Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari Nasi  leo studio tupo naye Padre John  Bosco Paroko Msaidizi Parokia ya Pande Msakuzi  kutoka Jimbo kuu la Dar es salaam, mada juu ya Mateso ya Mwanadamu yasio epukika.   L'articolo Je,wafahamu kupitia mateso ndipo nuru kukujia? proviene da Radio Maria.

    Huo ndio uhusiano kati Imani na Jubilee kuu mwaka 2025.

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 27:50


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Peter Peter, Kutoka  Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea  nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Muundelezo wa Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 sura ya tatu ? L'articolo Huo ndio uhusiano kati Imani na Jubilee kuu mwaka 2025. proviene da Radio Maria.

    Ufahamu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 kutoka TEC

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 27:05


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Peter Peter, Kutoka  Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea  nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu? L'articolo Ufahamu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 kutoka TEC proviene da Radio Maria.

    Claim Radio Maria Tanzania

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel