Radio Maria Tanzania

Follow Radio Maria Tanzania
Share on
Copy link to clipboard

Connecting to Apple Music.

Radio Maria Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania


    • Feb 23, 2026 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 43m AVG DURATION
    • 2,066 EPISODES


    Search for episodes from Radio Maria Tanzania with a specific topic:

    Latest episodes from Radio Maria Tanzania

    Je nadhiri maana yake ni nini?

    Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 29:30


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani,  swali la msikilizaji   Je nadhiri maana yake ni nini? L'articolo Je nadhiri maana yake ni nini? proviene da Radio Maria.

    Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?

    Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 30:50


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji   Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani? L'articolo Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani? proviene da Radio Maria.

    Tofauti iliypo kati ya majini mapepo, majini na shetani hususani katika Agano jipya?

    Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 29:41


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji  tofauti iliyopo kati ya majini mapepo na shetani hususani katika Agano jipya? L'articolo Tofauti iliypo kati ya majini mapepo, majini na shetani hususani katika Agano jipya? proviene da Radio Maria.

    Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa?

    Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 28:16


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji  Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa? L'articolo Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa? proviene da Radio Maria.

    Fahamu maana ya baraza la Maaskofu

    Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 28:05


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Desderius Mwangaluka kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji  nini maana ya baraza la maaskofu? L'articolo Fahamu maana ya baraza la Maaskofu proviene da Radio Maria.

    Unafahamu tofauti kati ya mapepo na masheta?

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 27:28


    Karibu katika  kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Franco Abel kutoka  Jimbo Katoliki  Mafinga akijibu swali la msikilizaji  juu ya Tofauti kati ya Mapepo na Mashetani? L'articolo Unafahamu tofauti kati ya mapepo na masheta? proviene da Radio Maria.

    Je Wakatiliki wanasemaje kuhusu ndoto ?

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 53:32


    Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya ndoto? L'articolo Je Wakatiliki wanasemaje kuhusu ndoto ? proviene da Radio Maria.

    biblia radio maria karibu maswali ujumbe chuo kikuu
    Kwanini Mama Bikira Maria anaitwa Mnara wa pembe?

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 54:18


    Pendo Stephano, katika kipindi cha Tumsifu  Maria, Muwezeshaji ni Padre Fabiani Ngeleja kutoka Parokia ya Mtakatifu Josephine Bhakita Nyamanoro Jimbo Kuu la Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria. L'articolo Kwanini Mama Bikira Maria anaitwa Mnara wa pembe? proviene da Radio Maria.

    Mfahamu Bikiria Maria Mama wa huruma.

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 56:21


    Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Tumsifu  Maria, MMuwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria. L'articolo Mfahamu Bikiria Maria Mama wa huruma. proviene da Radio Maria.

    mama radio maria karibu majina chuo kikuu
    Yafahamu Majina mengine ya Mama Maria.

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 50:50


    Karibu uungane nami Pendo Stephano, katika kipindi cha Tumsifu  Maria, MMuwezeshaji ni Padre Fabiani Ngeleja kutoka Parokia ya Mtakatifu Josephine Bhakita Nyamanoro Jimbo Kuu la Mwanza, akitufundisha juu ya Majina mengine ya Mama Maria. L'articolo Yafahamu Majina mengine ya Mama Maria. proviene da Radio Maria.

    Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi na stahiki katika maisha ya kikristo.

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 48:44


    karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi na stahiki katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

    Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi katika maisha ya kikristo.

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 56:58


    karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Jukumu la Roho  Mtakatifu katika kueleza na kukuza mahusiano sahihi katika maisha ya kikristo. proviene da Radio Maria.

    Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano.

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 55:54


    Malezi mazuri kufaraha ya mzazi katika ukuaji wa mtoto, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo […] L'articolo Malezi ya mtoto baada ya kuzaliwa hadi kufikia miaka mitano. proviene da Radio Maria.

    Fahamu kipindi ambacho mtoto hupenda zaidi mama yake

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 48:12


    Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo na  Bi Janeth […] L'articolo Fahamu kipindi ambacho mtoto hupenda zaidi mama yake proviene da Radio Maria.

    Zifahamu hatua za kuaji wa mtoto tokea tumbo kwa mama

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 53:32


    Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Witness Joachim na Bwana , […] L'articolo Zifahamu hatua za kuaji wa mtoto tokea tumbo kwa mama proviene da Radio Maria.

    Je hatua za ukuaji wa mtoto zinamfanya mama amasahau mtoto wake?

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 53:49


    Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Witness Joachim na Bwana Godfrey […] L'articolo Je hatua za ukuaji wa mtoto zinamfanya mama amasahau mtoto wake? proviene da Radio Maria.

    Je Mama anaweza kumsahau mtoto wake anyonyae hata asimuhurumie mwana wa tumbo lake

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 55:46


    Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia […] L'articolo Je Mama anaweza kumsahau mtoto wake anyonyae hata asimuhurumie mwana wa tumbo lake proviene da Radio Maria.

    Umuhimu wa tumbo la Mama kama makazi ya muda ya mtoto mchanga kama safari ya kuzaliwa

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 51:44


    Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia […] L'articolo Umuhimu wa tumbo la Mama kama makazi ya muda ya mtoto mchanga kama safari ya kuzaliwa proviene da Radio Maria.

    Fahamu Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 55:13


    karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Fahamu Jukumu la Roho  Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

    Shirika la Wazee na Wastaafu Wakatoliki Tanzania kuelekea Misa ya Shukrani na Hija ya kitaifa.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 57:34


    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, pamoja nasi tunao wageni kutoka shirika la Wazee na Wastaafu Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa. L'articolo Shirika la Wazee na Wastaafu Wakatoliki Tanzania kuelekea Misa ya Shukrani na Hija ya kitaifa. proviene da Radio Maria.

    Hija ya Wazee na Wastaafu na Kanzi ya uongozi katika Kanisa.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 54:06


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, pamoja nasi tunao wageni kutoka shirika la Wazee na Wastaafu Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa. L'articolo Hija ya Wazee na Wastaafu na Kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

    Utayari kama kanzi ya uongozi katika Kanisa.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 58:13


    Karibu uungane nami Catherine Kaberege katika kipindi cha Utume wa Walei, Ndugu Gordon Rwenyagira, Mratibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya uongozi katika Kanisa. L'articolo Utayari kama kanzi ya uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

    Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 49:28


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam,  akitufundisha juu ya Kanzi ya Uongozi. L'articolo Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.

    Ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wa Halmashauri ya Walei kwanzia ngazi ya Parokia.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 56:00


    Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Ndugu Gordon Rwenyagira, Mratibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya Ratiba ya uchaguzi Utume wa Walei Tanzania. L'articolo Ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wa Halmashauri ya Walei kwanzia ngazi ya Parokia. proviene da Radio Maria.

    Fahamu sheria ya ndoa na ulinzi wa mtoto.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 59:57


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji ni Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria ya ndoa na ulinzi wa mtoto. proviene da Radio Maria.

    Fahamu utaratibu uliowekwa juu ya ulizi wa mtoto

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 59:12


    Ungana nami Mtangazaji wako Joyce Jonatus katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu utaratibu uliowekwa juu ya ulizi wa mtoto proviene da Radio Maria.

    Fahamu sheria zinazo mlinda mtoto juu ya matuzi ya mtandao.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 58:14


    Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria zinazo mlinda mtoto juu ya matuzi ya mtandao. proviene da Radio Maria.

    Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu kama Baba na Mama katika malezi ya mtoto.

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 57:49


    Ungana nami Mtangazaji wako Martn Jseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu ndani ya malezi ya watoto. L'articolo Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu kama Baba na Mama katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.

    Ifahamu sheria ya kanuni za adhabu kwa mtoto?

    Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 55:24


    Ungana nami Mtangazaji wako Elizabeth Masanja katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji Wakili Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Ifahamu sheria ya kanuni za adhabu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.

    Wakatoliki wanasemaje juu ya kula Nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama?

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 55:55


    Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya kula nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama wakati imekatazwa kwenye Biblia? L'articolo Wakatoliki wanasemaje juu ya kula Nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama? proviene da Radio Maria.

    Tufanye nini tunapokutana na watu wanaobishana kuhusu ukatoliki?

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 58:30


    Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Tufanye nini tunapokutana na watu wanaobishana kuhusu ukatoliki? proviene da Radio Maria.

    biblia nini radio maria karibu watu maswali ujumbe chuo kikuu
    Ijue sababu ya ubishe kwa wale wanaohasi ukatoliki.

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 55:43


    Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Ijue sababu ya ubishe kwa wale wanaohasi ukatoliki. proviene da Radio Maria.

    biblia wale radio maria karibu maswali ujumbe chuo kikuu
    Siyo kila Padre au Mlei anaruhusiwa kutoa mapepo bali wale wenye kibali maalum

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 57:11


    Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa […] L'articolo Siyo kila Padre au Mlei anaruhusiwa kutoa mapepo bali wale wenye kibali maalum proviene da Radio Maria.

    bali padre biblia wale kila radio maria ungana maswali ujumbe chuo kikuu
    Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo?

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 57:18


    Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo? L'articolo Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo? proviene da Radio Maria.

    biblia pepo radio maria karibu kanisa maswali ujumbe chuo kikuu
    Fahamu namna ya kupeleka upendo kwa Masikini

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 54:11


    Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu namna ya kupeleka upendo kwa Masikini proviene da Radio Maria.

    Tambua kua umasikini si tukukosa chakula.

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 57:24


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Tambua kua umasikini si tukukosa chakula. proviene da Radio Maria.

    Fahamu upendo wa Mungu ulipo.

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 51:26


    Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu upendo wa Mungu ulipo. proviene da Radio Maria.

    Tambua nafasi ya neno la Mungu katika utume wa Kanisa na maisha ya kila mmoja

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 57:46


    Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya Neno la Mungu L'articolo Tambua nafasi ya neno la Mungu katika utume wa Kanisa na maisha ya kila mmoja proviene da Radio Maria.

    Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 59:15


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu proviene da Radio Maria.

    Mtu ambae hajui vizuri neno la Mungu basi hamjui Kristo.

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 59:45


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Mtu ambae hajui vizuri neno la Mungu basi hamjui Kristo. proviene da Radio Maria.

    Ijue Dominika ya neno la Mungu

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 56:07


    Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Ijue Dominika ya neno la Mungu proviene da Radio Maria.

    Mwaka wa kanisa na uwepo wa Mungu

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 58:44


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph  katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa. L'articolo Mwaka wa kanisa na uwepo wa Mungu proviene da Radio Maria.

    Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 59:31


    Ungana nami Mtangazaji wako Peter Alphaxad katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa. L'articolo Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake proviene da Radio Maria.

    Je wafahamu Noeli huisha baada ya muda gani?

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 53:08


    Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya Epifania. L'articolo Je wafahamu Noeli huisha baada ya muda gani? proviene da Radio Maria.

    Je wajua kwanini nyumba za wakatoliki zinakua na namba juu ya mlango

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 55:26


    Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph  katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akiendelea na mafundisho juu ya Epifania. L'articolo Je wajua kwanini nyumba za wakatoliki zinakua na namba juu ya mlango proviene da Radio Maria.

    Fahamu mafundisho juu ya Epifania na chanzo chake

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 50:35


    Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha Tafakari juu ya Epifania. L'articolo Fahamu mafundisho juu ya Epifania na chanzo chake proviene da Radio Maria.

    Fahamu elimu ya Malaika?

    Play Episode Listen Later Feb 5, 2026 26:04


     Karibu uungane nami Peter Alphaxid katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Abel Umbamba kutoka Seminari ya Maandalizi Tosamanganga Jimbo Katoliki  Iringa akijibu swali la msikilizaji  juu ya Elimu inayohusu Malaika   L'articolo Fahamu elimu ya Malaika? proviene da Radio Maria.

    Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini?

    Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 24:09


    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Thimothy  Msigwa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akifafanua ni kitu gani Wayahudi walikuwa wamebeba katika Sanduku la Agano. L'articolo Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini? proviene da Radio Maria.

    Je, unafahamu athari za ukatili dhidi ya Watoto?

    Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 35:22


    Karibu uungane nami mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Malezi na makuzi, Studio niko na Sister Theresia Karubaga kutoka Shirika la Bikira Maria Mama wa Masaada wa daima Jimbo Katoliki Bukoba, Ambaye anafanya utume wake Kwasasa Jimbo Katoliki Zanzibar, Leo atatupa elimu juu ya ukatili dhidi ya Watoto L'articolo Je, unafahamu athari za ukatili dhidi ya Watoto? proviene da Radio Maria.

    Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu

    Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 44:01


    Karibu uungane nami mtangazaji wako Happiness Mlelwa katika kipindi chetu pendwa cha Elimu Jamii, hapa studio tupo na Bi Irene Guela kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano huduma kwa wateja  kutoka TANESCO na Bi Catherine Mugoha Muhandisi nishati safi kutoka TANESCO, Wakitupa elimu kuhusu nishati na mita janja kupelekea maendeleo endelevu L'articolo Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu proviene da Radio Maria.

    Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe

    Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 52:01


    Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi chetu pendwa cha chakula na lishe ambapo leo studio nipo na Bi. Nusura Salum, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akiendelea kutoa ufafanuzi zaidi juu yamatokeo hasi na chanya ya Chumvi na Sukari katika Lishe. L'articolo Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe proviene da Radio Maria.

    Claim Radio Maria Tanzania

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel