Commune in Kinshasa, DR Congo
POPULARITY
Categories
Bunge la Shirikisho limerejea kwa vikao vya mwisho vya wiki mbili kabla ya mapumziko marefu ya majira ya baridi ya wiki tano.
Karibu katika Makala changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea Makala kuhusu tamaduni mbalimbali ambazo zimepitwa na wakati katika makabila mbalimbali, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Dully Sikes kutoka nchini Tanzania. Mimi ni Ali Bilali, Binevenue ama Karibu.
Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, Makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki. Mimi ni Ali Bilali nakukaribisha karibu, ama Bienvenue. Kumbuka pia kunifuatilia @billy bilali
Joseph Issa Mohamed, maarufu Onyango Muigizaji wa Michezo ya Radio, anakumbukwa, katika Makala ya ya Nyumba ya Sanaa.
Makala Pendley was a mom of seven who was pregnant with her eighth child. In February 2026, an Indiana Children's Services case worker reported Makala and her seven children missing. On June 8, Makala's body was found in a ditch in Mexico. The father of her children has been arrested for her murder. Law&Crime's Angenette Levy talks with Makala's uncle in this episode of Crime Fix — a daily show covering the biggest stories in crime.GoFundMe: https://gofund.me/9a359c7f5Host:Angenette Levy https://twitter.com/Angenette5Guest: Chris LambertCRIME FIX PRODUCTION:Head of Social Media, YouTube - Bobby SzokeSocial Media Management - Vanessa BeinVideo Editing - Daniel CamachoGuest Booking - Alyssa Fisher & Diane KayeSTAY UP-TO-DATE WITH THE LAW&CRIME NETWORK:Watch Law&Crime Network on YouTubeTV: https://bit.ly/3td2e3yWhere To Watch Law&Crime Network: https://bit.ly/3akxLK5Sign Up For Law&Crime's Daily Newsletter: https://bit.ly/LawandCrimeNewsletterRead Fascinating Articles From Law&Crime Network: https://bit.ly/3td2IqoLAW&CRIME NETWORK SOCIAL MEDIA:Instagram: https://www.instagram.com/lawandcrime/Twitter: https://twitter.com/LawCrimeNetworkFacebook: https://www.facebook.com/lawandcrimeTwitch: https://www.twitch.tv/lawandcrimenetworkTikTok: https://www.tiktok.com/@lawandcrimeSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
Makala haya yanazungumzia kuhusu utamaduni wa kupenda kusafiri kutoka katika eneo moja hadi lingine. Utamaduni huu unashuhudiwa tu kwa wenzetu wazungu. Ali Bilali amempokea influancer maharufu kutoka Afrika mashariki Casspyool ambae ametembelea nchi kadhaa duniani, na hapa anatueleza alichojifunza katika safari zake za Tanzania, Uganda na Rwanda. Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako @billy bilalihttps://www.facebook.com/billy.bilali.9
Leo asubui Mwalimu wa timu ya taifa ya Australia Tony Popovic ametangaza kikosi chake cha wachezaji 26, cha Socceroos watakao cheza katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026.
Matukio yanayo ongozwa na jamii yanafanyika kote nchini kuadhimisha Wiki ya Kitaifa ya Maridhiano, ambayo ilianza Mei 27 na ita isha Juni 03.
Ma milioni wame jumuika mjini Mecca Saudi Arabia, kwa hija ya mwaka huu.
Shirika la Afya Duniani limetangaza mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda ni dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.WHO inasema mlipuko huo hauja fikia vigezo vya dharura ya janga, lakini nchi zinazo changia mipaka ya ardhi na DRC ziko katika hatari kubwa ya usambaaji zaidi.Kwa wakazi wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamekuwa na mambo mengi ya kuhofia kutokana na uhasama ambao umekuwa ukiendelea kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji waasi.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Makala haya Muziki Ijumaa mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakuletea burudani ya Muziki Ijumaa leo Mei 22 2026. Kumbuka pia kumfollow @billy bilali
Makala haya Muziki Ijumaa mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakuletea burudani ya Muziki Ijumaa leo Mei 22 2026. Kumbuka pia kumfollow @billy bilali
▶ Monte le Son, le podcast # 116 Ce nouvel épisode du podcast des passionnés de musique est l'occasion de découvrir un univers professionnel méconnu : le métier de tourneur. Essentiel à la dimension live de la musique, le tourneur participe à la création des spectacles avec l'artiste, produit les shows, trouve des dates (booking), organise des tournées, assure la communication et la billetterie des concerts, etc. Il est au cœur de l'écosystème musical, et est donc un partenaire privilégié des artistes, des labels et des techniciens de la musique. Pour comprendre ce métier, ses acteurs, et ses enjeux, Salman et Daz ont convié deux professionnels aguerris : Simon Nodet et Alice Pourcher. Simon est le directeur de W Spectacle et W Live, les divisions booking, production de concerts & spectacle du groupe Wagram Stories. Avec ses équipes, il accompagne des artistes comme Pierre de Maere, Solann Suzane, Bertrand Belin, Tiken Jah Fakoly, Olafur Arnalds, Julien Granel, Bigaranx, ou encore Miel de Montagne. Alice, elle, est directrice du booking chez Caramba Culture Live. Cette société de production de concert existe depuis plus de 20 ans, et travaille aujourd'hui avec Grand Corps Malade, Asfar Shamsi, Ben PLG, Ben Mazué, Véronique Sanson, Infinit, Makala, Keziah Jones, ou encore Lucie Antunes. N'hésitez pas à naviguer entre les chapitres en fonction de vos intérêts ! ▶ Sommaire : 00:00 Introduction 02:12 Présentation d'Alice Pourcher 04:38 Présentation de Simon Nodet 09:34 Les bases du métier de tourneur (producteur, agent, booker, etc.) 20:52 Qui peut faire appel à un tourneur, et comment le faire ? 33:31 Un métier « sur mesure » 45:15 Contrats, finance, et réseau 1:01:06 Live Nation et AEG, les majors et l'indépendance 1:13:54 Les festivals, un business à part 1:19:13 L'actionnariat des salles de spectacle 1:23:10 Communication, data et subventions 1:47:41 La relation entre le label et la producteur de spectacle 1:51:42 Quand les tourneurs s'éloignent de la musique 1:56:18 Quel timing pour prévoir des gros concerts ? 2:00:17 Le défi environnemental 2:10:49 Le défi sociale 2:22:31 Actu de Caramba et W Spectacle, et souhait pour l'avenir 2:28:47 Recommandations Technique : La Bouclette Montage : François Brétéché :::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: ▶ La playlist des reco : https://open.spotify.com/playlist/39BlEIIxhGNmUfNkjkNY6M?si=21ab521b99e548fb (les autres plateformes arrivent bientôt) ▶ Le répondeur : https://www.speakpipe.com/MonteLeSon_Podcast
Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki ambapo leo nakuleteza historia ya xenophobia (chuki au woga dhidi ya wageni) tutaungana naye Mariam Posho joélle akiwa nchini Afrika kusini na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Mario na wimbo wake mpya Mombasa. Kumbuka kunifuatilia @billy bilali
Upunguzaji wa fedha katika Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu ndio chanzo kikubwa zaidi cha uokoaji wa fedha katika bajeti ya serikali shirikisho, jambo linalowaacha watu wengi katika jamii ya wenye ulemavu wakiwa na hasira na wasiwasi juu ya kile kinachokuja.
Utafiti mkubwa zaidi nchini Australia kuhusu mazingira ya kazi ya wahamiaji umefichua maelezo ya kutisha ya malipo duni yaliyoenea na ya kimfumo.
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers ameahidi kutoa bajeti inayowajibika zaidi, lakini akiba inayotarajiwa katika kila wizara.
Uchaguzi mdogo ujao wa Mei 9 katika eneo bunge la Farrer jimboni New South Wales, unaweza kuwa na athari kubwa kwa siasa za kitaifa.
Ripoti mpya inasema kwamba Australia haina mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kuenea kwa akili bandia mahali pa kazi.
Dans son nouveau podcast trimestriel sur le rap francophone, l'Abcdr du Son discute du virage 100% rap de Bigflo & Oli et du retour aux affaires de Makala. À retrouver dans ce podcast :00:00:00 Générique00:02:00 Partie 1 : Bigflo & Oli, retour au rap00:57:38 Le coup de coeur de Neefa : Al Walid - BIG MAN TINGS 01:01:00 Le coup de coeur de Paul : ZL50 et SSMatt 01:02:56 Partie 2 : Makala, méchant méchant01:28:49 Le coup de coeur de Yaniss : TH - E-MUSIC01:31:00 Le coup de coeur de Brice : Tess Kirby - BADDIEGENZCORE01:32:05 ConclusionRésumé :Mi-mars, Bigflo & Oli faisaient leur retour avec KARMA, un album 100% axé sur le rap. Après dix années passées à livrer une musique destinée au très grand public, le duo toulousain présentait sur 13 titres un bilan de son début de carrière, tout en parlant de sa place ambivalente dans le rap français. Une réussite ?Après plusieurs années de silence, le rappeur suisse Makala agitait le rap francophone fin 2025 avec “HOTEL YOTSUYA”, une claque de trois minutes sans aucun refrain. Une baffe que le Genevois a décidé d'essayer de prolonger le temps de 8 titres en janvier avec YAMOTO. Makala a-t-il passé un nouveau palier avec cette sortie ?Crédits :Un podcast animé par Brice Bossavie avec la participation de Neefa, Yaniss et Paul Huot. Enregistré le 6 avril 2026 à l'Espace NiemeyerMoyens techniques : L'Abcdr du SonEnregistrement et réalisation : zo.Visuel : Sébastien Le Gall Hébergé par Acast. Visitez acast.com/privacy pour plus d'informations.
Waaustralia wameadhimisha Siku ya Anzac kote nchini na katika fukwe ya Gallipoli nchini Uturuki kuwakumbuka waliohudumu katika jeshi.
Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamevunjika baada ya Rais wa Marekani Donald Trump, kutangaza Jumapili kwamba anafuta safari ya mjumbe wake kwenda Pakistan.
Wiki hii umakini mkubwa umekuwa kwenye Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu (NDIS), serikali ya shirikisho ikitangaza makato ambayo yanakadiriwa yata ondoa makumi ya maelfu ya watu kwenye mfumo huo.
Unawezaje hakikisha kwamba msiba uta hudhuriwa na watu wengi? Baada ya yote, jambo la mwisho unalotaka kutokea unapo aga dunia... ni kuondoka bila shamra shamra yoyote.
Kiongozi wa upinzani Angus Taylor ameelezea sera mpya ya uhamiaji yenye msimamo mkali ya Upinzani wa Mseto
Uganda ni moja ya nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi zaidi duniani. Kwa Afrika ni ya kwanza ikihifadhi wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Burundi, rwanda, Sudan, Sudan Kusini na hata Kenya. Katika mada kwa kina hii tunaangazia wakimbizi kutoka Sudan ambao Uganda iliwapokea na kuwapa makazi katika Makazi ya Wakimbizi ya Kiryandongo yaliyoko magharibi mwa nchi. Abdelmonem Makki wa Idhaa ya Kiarabu ya Umoja wa Mataifa hivi karibuni ameyatembelea makazi hayo na kuzungumza na wakimbizi hao kutoka Sudan. Na sasa kwa lugha ya Kiswahili, Feissal Kirwa wa Idhaa hii anasimulia.
Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yameshindwa kufikia makubaliano ya kukomesha vita, na kuhatarisha usitishaji wa mapigano kwa muda wa wiki mbili.
Tangazo la kusitisha mapigano Mashariki ya Kati linaonekana kupunguza maumivu ya madereva katika vituo vya petroli, Iran ikikubali kuruhusu meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.
Waumini wa dini laki kristo walisherehekea Jumapili ya Pasaka, wakiadhimisha tukio hilo wakati vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati vikifunika sehemu kubwa ya dunia.
Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.
Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.
Wanawake na wasichana wanaokimbia vita vya Sudan wanaelezea ubakaji, mateso na unyanyasaji, huku wafanyakazi wa misaada wakionya kwamba mateso yanazidi kuwa makubwa kuliko visa vinavyofikia huduma ya matibabu.
Wiki iliyopita Kikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 kilikunja jamvi baada ya wiki mbili za kujadili mada ya haki, haki za kisheria na kuchukua hatua kuhakikisha haki za wanawake na wasichana zinapatikana. Flora Nducha wa Idhaa hili kandoni mwa kikao hicho alipata fursa ya kuzungumza na Onyonge Mengo kijana mpigania haki za wanawake, mtafiti na wakili kutoka Mahakama Kuu ya Kenya ambaye pia anafanyakazi na shirika la kimataifa la maendeleo la Hivos ili kufahamu kwa kina nini wanachokifanya kusongesha haki za kisheria za wanawake na wasichana.
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani?
Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.
Vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati, na kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz, kumesababisha kile ambacho wataalamu wanakielezea kama moja ya migogoro mikubwa zaidi ya nishati katika miongo kadhaa.
Salamu za rambirambi zinatolewa kwa Mwanamke aliyekuwa akitoa mwongozo na ushauri katika shirika la habari la SBS kutoka ukoo wa Widjabul Wia-bal, Shangazi Rhoda Roberts, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 66.
Waziri Mkuu amemteua 'mratibu wa mafuta' kusaidia kushughulikia masuala ya mnyororo wa ugavi yaliyosababishwa na vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati.
Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye Kikao cha Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW70, Flora Nducha wa Idhaa hii anazungumza na mshiriki Nelly Mbangu Lumbulumbu, mwanasheria na mwanaharakati wa Haki za binadamu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo DRC, ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la “Sauti ya Mama Mukongomani” lililoanzishwa mwaka 2008, anaanza kwa kumueleza kwa nini alinzisha shirika hilo.
Serikali ya shirikisho ime wasilisha sheria mpya ya kuweka marufuku ya muda, kwa baadhi ya nchi kutumia viza fulani kuja Australia.
Wanawake kote duniani walijitokeza mitaani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wakitaka kukomeshwa kwa ukosefu wa usawa na ubaguzi.
Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.
Kwa wanafunzi wa kimataifa wanaosomea nchini Australia, kupata huduma ya afya mara nyingi huonekana kama swala ghali sana... au la kutatanisha sana kuweza kuipitia.
Kuondolewa kwa dharura kwa Waziri Mkuu kutoka nyumbani kwake mjini Canberra kwa sababu ya tisho la bomu lililolengwa, kumesababisha maonyo ya kuongezeka kwa mazingira ya usalama, ambapo uadui mtandaoni unazidi kujitokeza kama vitisho vya kimwili vyenye madhara makubwa.
Ripoti ya kwanza ya kitaifa kuhusu ubaguzi wa rangi katika vyuo vikuu nchini Australia imegundua kuwa ni tatizo lililo enea na la kimfumo.
Serikali ya New South Wales inachunguza mazingira yaliyozunguka kutoroka kwa wagonjwa wawili kutoka hospitali moja, ambao siku chache baadaye walidaiwa kuhusika katika matukio tofauti ambapo watu watatu walifariki.
Mwezi mtukufu wa Ramadan ume anza, Waislamu kote duniani wakisherehekea Iftar katika siku ya pili ya kipindi cha mfungo.