Podcasts about Makala

Commune in Kinshasa, DR Congo

  • 170PODCASTS
  • 2,182EPISODES
  • 16mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 7, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Makala

Show all podcasts related to makala

Latest podcast episodes about Makala

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu: Utamaduni wa kupenda kusafiri juni 7 2026

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jun 7, 2026 20:05


Makala haya yanazungumzia kuhusu utamaduni wa kupenda kusafiri kutoka katika eneo moja hadi lingine. Utamaduni huu unashuhudiwa tu kwa wenzetu wazungu. Ali Bilali amempokea influancer maharufu kutoka Afrika mashariki Casspyool ambae ametembelea nchi kadhaa duniani, na hapa anatueleza alichojifunza katika safari zake za Tanzania, Uganda na Rwanda. Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako  @billy bilalihttps://www.facebook.com/billy.bilali.9

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Popovic afanya maamuzi magumu akitangaza kikosi cha Kombe la Dunia cha Socceroos

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 2, 2026 8:12


Leo asubui Mwalimu wa timu ya taifa ya Australia Tony Popovic ametangaza kikosi chake cha wachezaji 26, cha Socceroos watakao cheza katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala Leo:'Kwa ajili yetu, kupitia sisi': Ombi la wenyeji la kusema ukweli na uhusiano wakati wa Wiki ya Maridhiano

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 29, 2026 11:23


Matukio yanayo ongozwa na jamii yanafanyika kote nchini kuadhimisha Wiki ya Kitaifa ya Maridhiano, ambayo ilianza Mei 27 na ita isha Juni 03.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Joto kali lawakaribisha mahujaji Macca kwa Hijja ya mwaka huu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2026 9:22


Ma milioni wame jumuika mjini Mecca Saudi Arabia, kwa hija ya mwaka huu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala Leo: WHO yatangaza dharura ya afya duniani baada ya mlipuko wa Ebola DR Congo na Uganda

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 22, 2026 9:02


Shirika la Afya Duniani limetangaza mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Uganda ni dharura ya afya ya umma inayotia wasiwasi kimataifa.WHO inasema mlipuko huo hauja fikia vigezo vya dharura ya janga, lakini nchi zinazo changia mipaka ya ardhi na DRC ziko katika hatari kubwa ya usambaaji zaidi.Kwa wakazi wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamekuwa na mambo mengi ya kuhofia kutokana na uhasama ambao umekuwa ukiendelea kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji waasi.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Muziki Ijumaa
Pata Burudani ya Muziki Ijumaa rfi Kiswahili na Billy Bilali

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later May 22, 2026 10:02


Makala haya Muziki Ijumaa mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakuletea burudani ya Muziki Ijumaa leo Mei 22 2026. Kumbuka pia kumfollow  @billy bilali

pata makala kiswahili muziki ali bilali
Muziki Ijumaa
Pata Burudani ya Muziki Ijumaa rfi Kiswahili na Billy Bilali

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later May 22, 2026 10:02


Makala haya Muziki Ijumaa mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakuletea burudani ya Muziki Ijumaa leo Mei 22 2026. Kumbuka pia kumfollow  @billy bilali

pata makala kiswahili muziki ali bilali
Dans le Tempo
Ils organisent les tournées des plus grands : des pros nous racontent leur métier

Dans le Tempo

Play Episode Listen Later May 20, 2026 162:12 Transcription Available


▶ Monte le Son, le podcast # 116 Ce nouvel épisode du podcast des passionnés de musique est l'occasion de découvrir un univers professionnel méconnu : le métier de tourneur. Essentiel à la dimension live de la musique, le tourneur participe à la création des spectacles avec l'artiste, produit les shows, trouve des dates (booking), organise des tournées, assure la communication et la billetterie des concerts, etc. Il est au cœur de l'écosystème musical, et est donc un partenaire privilégié des artistes, des labels et des techniciens de la musique. Pour comprendre ce métier, ses acteurs, et ses enjeux, Salman et Daz ont convié deux professionnels aguerris : Simon Nodet et Alice Pourcher. Simon est le directeur de W Spectacle et W Live, les divisions booking, production de concerts & spectacle du groupe Wagram Stories. Avec ses équipes, il accompagne des artistes comme Pierre de Maere, Solann Suzane, Bertrand Belin, Tiken Jah Fakoly, Olafur Arnalds, Julien Granel, Bigaranx, ou encore Miel de Montagne. Alice, elle, est directrice du booking chez Caramba Culture Live. Cette société de production de concert existe depuis plus de 20 ans, et travaille aujourd'hui avec Grand Corps Malade, Asfar Shamsi, Ben PLG, Ben Mazué, Véronique Sanson, Infinit, Makala, Keziah Jones, ou encore Lucie Antunes. N'hésitez pas à naviguer entre les chapitres en fonction de vos intérêts ! ▶ Sommaire : 00:00 Introduction 02:12 Présentation d'Alice Pourcher 04:38 Présentation de Simon Nodet 09:34 Les bases du métier de tourneur (producteur, agent, booker, etc.) 20:52 Qui peut faire appel à un tourneur, et comment le faire ? 33:31 Un métier « sur mesure » 45:15 Contrats, finance, et réseau 1:01:06 Live Nation et AEG, les majors et l'indépendance 1:13:54 Les festivals, un business à part 1:19:13 L'actionnariat des salles de spectacle 1:23:10 Communication, data et subventions 1:47:41 La relation entre le label et la producteur de spectacle 1:51:42 Quand les tourneurs s'éloignent de la musique 1:56:18 Quel timing pour prévoir des gros concerts ? 2:00:17 Le défi environnemental 2:10:49 Le défi sociale 2:22:31 Actu de Caramba et W Spectacle, et souhait pour l'avenir 2:28:47 Recommandations Technique : La Bouclette Montage : François Brétéché :::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::: ▶ La playlist des reco : https://open.spotify.com/playlist/39BlEIIxhGNmUfNkjkNY6M?si=21ab521b99e548fb (les autres plateformes arrivent bientôt) ▶ Le répondeur : https://www.speakpipe.com/MonteLeSon_Podcast

Habari zote
Uchambuzi na makala 19/05 15h20 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 19, 2026 10:00


Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu: Historia ya Xenophobia barani Afrika Mei 17 2026

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later May 17, 2026 20:02


Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki ambapo leo nakuleteza historia ya xenophobia  (chuki au woga dhidi ya wageni) tutaungana naye  Mariam Posho joélle  akiwa nchini Afrika kusini na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Mario na wimbo wake mpya Mombasa. Kumbuka kunifuatilia @billy bilali

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Maamuzi magumu kuhusu kupunguzwa kwa NDIS yatawala baada ya kutolewa kwa bajeti ya shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 15, 2026 11:00


Upunguzaji wa fedha katika Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu ndio chanzo kikubwa zaidi cha uokoaji wa fedha katika bajeti ya serikali shirikisho, jambo linalowaacha watu wengi katika jamii ya wenye ulemavu wakiwa na hasira na wasiwasi juu ya kile kinachokuja.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Takwimu mpya zafichua malipo duni ya kimfumo kwa wafanyakazi wahamiaji

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 12, 2026 17:01


Utafiti mkubwa zaidi nchini Australia kuhusu mazingira ya kazi ya wahamiaji umefichua maelezo ya kutisha ya malipo duni yaliyoenea na ya kimfumo.

Nyumba ya Sanaa
Sanaa ya uchoraji na Jordan Katunzi

Nyumba ya Sanaa

Play Episode Listen Later May 9, 2026 20:01


  Mbali na kuwa na Talanta ya Uchoraji, sasa wachoraji nchini Tanzania wanasomea fani hiyo ili kufanya sanaa kwa ufanisi, Jordan Katunzi ni Mchoraji amezungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.

tanzania sanaa makala mbali nyumba steven mumbi
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Akiba dhidi ya matumizi: Chalmers anasema bajeti ijayo ni 'yenye uwajibikaji zaidi'

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 6, 2026 11:14


Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers ameahidi kutoa bajeti inayowajibika zaidi, lakini akiba inayotarajiwa katika kila wizara.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Jinsi uchaguzi mdogo wa vijijini unavyoweza ashiria matatizo kwa upinzani wa Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 5, 2026 13:19


Uchaguzi mdogo ujao wa Mei 9 katika eneo bunge la Farrer jimboni New South Wales, unaweza kuwa na athari kubwa kwa siasa za kitaifa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Ripoti mpya yataka mkakati wa kitaifa kuhusu Akili Bandia mahali pa kazi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2026 10:28


Ripoti mpya inasema kwamba Australia haina mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kuenea kwa akili bandia mahali pa kazi.

Abcdr du Son
Le rap francophone du premier trimestre 2026

Abcdr du Son

Play Episode Listen Later May 1, 2026 92:43


Dans son nouveau podcast trimestriel sur le rap francophone, l'Abcdr du Son discute du virage 100% rap de Bigflo & Oli et du retour aux affaires de Makala. À retrouver dans ce podcast :00:00:00 Générique00:02:00 Partie 1 : Bigflo & Oli, retour au rap00:57:38 Le coup de coeur de Neefa : Al Walid - BIG MAN TINGS 01:01:00 Le coup de coeur de Paul : ZL50 et SSMatt 01:02:56 Partie 2 : Makala, méchant méchant01:28:49 Le coup de coeur de Yaniss : TH - E-MUSIC01:31:00 Le coup de coeur de Brice : Tess Kirby - BADDIEGENZCORE01:32:05 ConclusionRésumé :Mi-mars, Bigflo & Oli faisaient leur retour avec KARMA, un album 100% axé sur le rap. Après dix années passées à livrer une musique destinée au très grand public, le duo toulousain présentait sur 13 titres un bilan de son début de carrière, tout en parlant de sa place ambivalente dans le rap français. Une réussite ?Après plusieurs années de silence, le rappeur suisse Makala agitait le rap francophone fin 2025 avec “HOTEL YOTSUYA”, une claque de trois minutes sans aucun refrain. Une baffe que le Genevois a décidé d'essayer de prolonger le temps de 8 titres en janvier avec YAMOTO. Makala a-t-il passé un nouveau palier avec cette sortie ?Crédits :Un podcast animé par Brice Bossavie avec la participation de Neefa, Yaniss et Paul Huot. Enregistré le 6 avril 2026 à l'Espace NiemeyerMoyens techniques : L'Abcdr du SonEnregistrement et réalisation : zo.Visuel : Sébastien Le Gall Hébergé par Acast. Visitez acast.com/privacy pour plus d'informations.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yavunjika tena

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 11:19


Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yamevunjika baada ya Rais wa Marekani Donald Trump, kutangaza Jumapili kwamba anafuta safari ya mjumbe wake kwenda Pakistan.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Matendo yakuzomea yachafua huduma za alfajiri

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 13:47


Waaustralia wameadhimisha Siku ya Anzac kote nchini na katika fukwe ya Gallipoli nchini Uturuki kuwakumbuka waliohudumu katika jeshi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Watetezi waunga mkono uamuzi wa kuoga bure katika huduma ya utunzaji wa wazee nyumbani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 12:23


Wiki hii umakini mkubwa umekuwa kwenye Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu (NDIS), serikali ya shirikisho ikitangaza makato ambayo yanakadiriwa yata ondoa makumi ya maelfu ya watu kwenye mfumo huo.

Muziki Ijumaa
Makala Muziki Ijumaa, pata burudani

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 10:04


SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Waombolezaji wa Kitaalamu wa Kenya walipwa kulia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 21, 2026 8:37


Unawezaje hakikisha kwamba msiba uta hudhuriwa na watu wengi? Baada ya yote, jambo la mwisho unalotaka kutokea unapo aga dunia... ni kuondoka bila shamra shamra yoyote.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala Leo: Sera tata ya uhamiaji ya kiongozi wa upinzani Angus Taylor yakosolewa vikali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 12:47


Kiongozi wa upinzani Angus Taylor ameelezea sera mpya ya uhamiaji yenye msimamo mkali ya Upinzani wa Mseto

Habari za UN
Simulizi za mateso na matumaini ya wakimbizi wa muda mrefu katika makazi ya wakimbizi ya Kiryandongo Uganda

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 5:08


Uganda ni moja ya nchi zinazohifadhi wakimbizi wengi zaidi duniani. Kwa Afrika ni ya kwanza ikihifadhi wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Burundi, rwanda, Sudan, Sudan Kusini na hata Kenya. Katika mada kwa kina hii tunaangazia wakimbizi kutoka Sudan ambao Uganda iliwapokea na kuwapa makazi katika Makazi ya Wakimbizi ya Kiryandongo yaliyoko magharibi mwa nchi. Abdelmonem Makki wa Idhaa ya Kiarabu ya Umoja wa Mataifa hivi karibuni ameyatembelea makazi hayo na kuzungumza na wakimbizi hao kutoka Sudan. Na sasa kwa lugha ya Kiswahili, Feissal Kirwa wa Idhaa hii anasimulia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Marekani yazuia bandari za Iran

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 9:04


Mazungumzo kati ya Marekani na Iran yameshindwa kufikia makubaliano ya kukomesha vita, na kuhatarisha usitishaji wa mapigano kwa muda wa wiki mbili.

iran makala bandari marekani
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Maumivu ya madereva katika vituo vya petroli yanaweza endelea kwa muda

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 8:31


Tangazo la kusitisha mapigano Mashariki ya Kati linaonekana kupunguza maumivu ya madereva katika vituo vya petroli, Iran ikikubali kuruhusu meli kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz.

iran muda hormuz makala katika mashariki tangazo endelea
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Wakristo waadhimisha Pasaka na Jumapili ya Matawi kwa mioyo mizito na furaha

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 9:36


Waumini wa dini laki kristo walisherehekea Jumapili ya Pasaka, wakiadhimisha tukio hilo wakati vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati vikifunika sehemu kubwa ya dunia.

makala pasaka mashariki jumapili
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Waustralia waonywa kupata chanjo dhidi ya aina ya mafua inayo sambaa haraka

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 7:35


Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza wanahimiza kila mtu apate chanjo ya mafua, kwa ajili ya kujaribu kuzuia kurudia kwa mwaka jana ambapo Australia ilishuhudia idadi kubwa ya vifo vilivyo sababishwa na mafua.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 9:53


Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.

makala waziri mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: 'Acha kutumia miili ya wanawake' kundi la misaada laonya, unyanyasaji wa kingono ukienea Sudan

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 14:26


Wanawake na wasichana wanaokimbia vita vya Sudan wanaelezea ubakaji, mateso na unyanyasaji, huku wafanyakazi wa misaada wakionya kwamba mateso yanazidi kuwa makubwa kuliko visa vinavyofikia huduma ya matibabu.

sudan makala kundi wanawake
Muziki Ijumaa
Burudani ndani ya makala Muziki Ijumaa

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 10:00


Habari za UN
Elimu ya haki za kisheria inapaswa kutumia lugha inayoeleweka na jamii - Wakili Mengo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 5:29


Wiki iliyopita Kikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 kilikunja jamvi baada ya wiki mbili za kujadili mada ya haki, haki za kisheria na kuchukua hatua kuhakikisha haki za wanawake na wasichana zinapatikana. Flora Nducha wa Idhaa hili kandoni mwa kikao hicho alipata fursa ya kuzungumza na Onyonge Mengo kijana mpigania haki za wanawake, mtafiti na wakili kutoka Mahakama Kuu ya Kenya  ambaye pia anafanyakazi na shirika la kimataifa la maendeleo la Hivos ili kufahamu kwa kina nini wanachokifanya kusongesha haki za kisheria za wanawake na wasichana.

kenya wiki haki makala jamii mengo wanawake elimu
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Learn Eng Ep 104 Makala ya ziada: Jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 4:55


Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu mitihani?

makala jinsi
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Afueni kwa madereva wanaokabiliwa na matatizo baada ya serikali kupunguza ushuru wa mafuta

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 10:34


Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.

makala baada serikali
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Jinsi vita Mashariki ya Kati vina chochea wasiwasi kuhusu usalama wa chakula

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 12:55


Vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati, na kufungwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz, kumesababisha kile ambacho wataalamu wanakielezea kama moja ya migogoro mikubwa zaidi ya nishati katika miongo kadhaa.

hormuz makala jinsi mashariki
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Rhoda Roberts AO: Shujaa wa utamaduni aliyebadilisha taifa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 11:25


Salamu za rambirambi zinatolewa kwa Mwanamke aliyekuwa akitoa mwongozo na ushauri katika shirika la habari la SBS kutoka ukoo wa Widjabul Wia-bal, Shangazi Rhoda Roberts, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 66.

sbs makala taifa rhoda roberts mwanamke
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Waziri Mkuu ateua kikosi kazi chaku kabili maswala yaliyo sababishwa na vita Mashariki ya Kati

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 8:42


Waziri Mkuu amemteua 'mratibu wa mafuta' kusaidia kushughulikia masuala ya mnyororo wa ugavi yaliyosababishwa na vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati.

kazi makala mashariki waziri mkuu
Habari za UN
“Sauti ya Mama Mukongomani” inamuwezesha na kumlinda mwanamke wa DR Congo: Nelly Mbangu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 17, 2026 5:58


Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye Kikao cha Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW70, Flora Nducha wa Idhaa hii anazungumza na mshiriki Nelly Mbangu Lumbulumbu, mwanasheria na mwanaharakati wa Haki za binadamu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo DRC, ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la “Sauti ya Mama Mukongomani” lililoanzishwa mwaka 2008, anaanza kwa kumueleza kwa nini alinzisha shirika hilo.

drc umoja congo drc haki hapa makala drcongo ya mama sauti wanawake jamhuri mataifa mwanamke
De vive(s) voix
Et si les États-Unis parlaient français ? Une histoire oubliée de la francophonie en Amérique

De vive(s) voix

Play Episode Listen Later Mar 16, 2026 28:59


Dans cet ouvrage, le linguiste Mario Periard propose un itinéraire inédit à travers les États-Unis, en suivant les traces des francophones qui ont été parmi les premiers à fouler le sol américain. L'auteur Mario Periard en appelle à la mémoire plurielle des Américains ! Le pays se présente comme un pays anglosaxon, anglophone et pourtant il y a eu avant l'arrivée des Anglo-Américains, des autochtones mais aussi des Hispaniques et des Francophones!   La francité : dimension occultée de l'identité américaine L'auteur suggère que dans notre imaginaire, on a tous des héros américains en tête, mais on a oublié les héros francophones qui ont aussi façonné l'histoire des États-Unis. « Les francophones sont encombrants dans le récit de l'Histoire des États-Unis ». Revenir aux racines francophones des USA, c'est forcément parler de la Louisiane qui était jusqu'en 1803, une colonie française. À l'époque, c'était un très grand territoire. Lorsque cet État a été acheté à la France par les États-Unis, le pays a doublé sa superficie.  On découvre aussi des héros oubliés comme Homer Plessy qui, avant soixante ans avant Rosa Parks, s'est levé contre les lois de ségrégation raciale en vigueur dans le pays, une histoire invisibilisée. « La Louisiane est un microcosme de ce qu'aurait pu devenir les États-Unis », précise Mario Periard. Un livre d'histoire et de voyage  Mario Periard a beaucoup voyagé pour constituer cet ouvrage. Il voulait témoigner de la francité de tous les États du pays. Et dans chacun d'eux, il a trouvé trace de la francophonie. Il a donc fait un livre en cinquante chapitres avec des influences plus ou moins grandes dans chaque État.  En Californie, par exemple, il y a eu les premiers vignobles avec un certain Monsieur... Vigne !  On trouve aussi des fleurs de lys sur le blason de l'Alabama qui fut un des berceaux de l'Amérique française. La ville de Mobile a été fondée par des Français bien avant la Nouvelle-Orléans. « Au niveau national, les Américains ne reconnaissent pas cette empreinte française mais au niveau local, les gens en sont fiers ! » De nombreuses villes ont d'ailleurs des noms français « Paris » ,« Belleville », « Montpellier » et la baie de New-York aurait pu s'appeler la baie de Sainte-Marguerite !  Aujourd'hui, subsistent encore beaucoup de vocabulaires français dans la langue anglaise : «butte», «prairie», «cash». Il y aurait environ 30% de mots français ou d'origine française dans la langue anglaise. Et un peu plus d'un million d'apprenants du français aux États-Unis.    Invité : Mario Periard, linguiste québécois. Son ouvrage L'Amérique française, De l'Alabama au Wyoming: les racines francophones des États-Unis a été publié aux éditions Favre. Et la chronique Ailleurs nous emmène à Genève, en Suisse pour parler de la 40è édition du Salon du Livre de Genève qui aura lieu du 18 au 22 mars 2026..    Programmation musicale : L'artiste Makala avec le titre Loketo.

De vive(s) voix
Et si les États-Unis parlaient français ? Une histoire oubliée de la francophonie en Amérique

De vive(s) voix

Play Episode Listen Later Mar 16, 2026 28:59


Dans cet ouvrage, le linguiste Mario Periard propose un itinéraire inédit à travers les États-Unis, en suivant les traces des francophones qui ont été parmi les premiers à fouler le sol américain. L'auteur Mario Periard en appelle à la mémoire plurielle des Américains ! Le pays se présente comme un pays anglosaxon, anglophone et pourtant il y a eu avant l'arrivée des Anglo-Américains, des autochtones mais aussi des Hispaniques et des Francophones!   La francité : dimension occultée de l'identité américaine L'auteur suggère que dans notre imaginaire, on a tous des héros américains en tête, mais on a oublié les héros francophones qui ont aussi façonné l'histoire des États-Unis. « Les francophones sont encombrants dans le récit de l'Histoire des États-Unis ». Revenir aux racines francophones des USA, c'est forcément parler de la Louisiane qui était jusqu'en 1803, une colonie française. À l'époque, c'était un très grand territoire. Lorsque cet État a été acheté à la France par les États-Unis, le pays a doublé sa superficie.  On découvre aussi des héros oubliés comme Homer Plessy qui, avant soixante ans avant Rosa Parks, s'est levé contre les lois de ségrégation raciale en vigueur dans le pays, une histoire invisibilisée. « La Louisiane est un microcosme de ce qu'aurait pu devenir les États-Unis », précise Mario Periard. Un livre d'histoire et de voyage  Mario Periard a beaucoup voyagé pour constituer cet ouvrage. Il voulait témoigner de la francité de tous les États du pays. Et dans chacun d'eux, il a trouvé trace de la francophonie. Il a donc fait un livre en cinquante chapitres avec des influences plus ou moins grandes dans chaque État.  En Californie, par exemple, il y a eu les premiers vignobles avec un certain Monsieur... Vigne !  On trouve aussi des fleurs de lys sur le blason de l'Alabama qui fut un des berceaux de l'Amérique française. La ville de Mobile a été fondée par des Français bien avant la Nouvelle-Orléans. « Au niveau national, les Américains ne reconnaissent pas cette empreinte française mais au niveau local, les gens en sont fiers ! » De nombreuses villes ont d'ailleurs des noms français « Paris » ,« Belleville », « Montpellier » et la baie de New-York aurait pu s'appeler la baie de Sainte-Marguerite !  Aujourd'hui, subsistent encore beaucoup de vocabulaires français dans la langue anglaise : «butte», «prairie», «cash». Il y aurait environ 30% de mots français ou d'origine française dans la langue anglaise. Et un peu plus d'un million d'apprenants du français aux États-Unis.    Invité : Mario Periard, linguiste québécois. Son ouvrage L'Amérique française, De l'Alabama au Wyoming: les racines francophones des États-Unis a été publié aux éditions Favre. Et la chronique Ailleurs nous emmène à Genève, en Suisse pour parler de la 40è édition du Salon du Livre de Genève qui aura lieu du 18 au 22 mars 2026..    Programmation musicale : L'artiste Makala avec le titre Loketo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Sheria mpya za Australia kupiga marufuku kwa muda baadhi ya watu kuingia nchini za kosolewa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 14:01


Serikali ya shirikisho ime wasilisha sheria mpya ya kuweka marufuku ya muda, kwa baadhi ya nchi kutumia viza fulani kuja Australia.

australia muda makala watu sheria baadhi serikali kupiga
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Wanawake kote duniani wame ingia mitaani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 10, 2026 6:52


Wanawake kote duniani walijitokeza mitaani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wakitaka kukomeshwa kwa ukosefu wa usawa na ubaguzi.

makala kote siku wanawake kimataifa
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Wairani-Waaustralia waomba demokrasia baada ya mashambulizi ya Marekani na Israeli

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 3, 2026 11:14


Wairani-Waaustralia wanaelezea hisia mseto kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel nchini Iran, pamoja na mauaji ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Tovuti mpya na App ya kuwalinda wanafunzi wa kimataifa nchini Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 27, 2026 9:33


Kwa wanafunzi wa kimataifa wanaosomea nchini Australia, kupata huduma ya afya mara nyingi huonekana kama swala ghali sana... au la kutatanisha sana kuweza kuipitia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: 'Punguza uchochezi' Waziri Mkuu asema baada ya ongezeko ya vitisho dhidi ya wabunge

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 27, 2026 9:08


Kuondolewa kwa dharura kwa Waziri Mkuu kutoka nyumbani kwake mjini Canberra kwa sababu ya tisho la bomu lililolengwa, kumesababisha maonyo ya kuongezeka kwa mazingira ya usalama, ambapo uadui mtandaoni unazidi kujitokeza kama vitisho vya kimwili vyenye madhara makubwa.

canberra makala baada asema waziri mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Ubaguzi wa rangi wabainika kuwa umeenea na niwa kimfumo katika vyuo vikuu vya Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 18:53


Ripoti ya kwanza ya kitaifa kuhusu ubaguzi wa rangi katika vyuo vikuu nchini Australia imegundua kuwa ni tatizo lililo enea na la kimfumo.

Invité Afrique
Dialogue national en RDC: «Le pouvoir doit avant tout décrisper l'espace politique»

Invité Afrique

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 15:21


Ancien secrétaire général de l'UDPS, le parti présidentiel, ancien vice-président de l'Assemblée nationale et longtemps considéré comme l'un des plus proches collaborateurs de Félix Tshisekedi, Jean-Marc Kabund a progressivement basculé dans l'opposition. En février 2022, après des propos virulents contre le chef de l'État, il tombe en disgrâce et radicalise son discours à l'encontre du pouvoir. Arrêté en août 2022, il est condamné en septembre 2023 par la Cour de cassation à sept ans de servitude pénale. L'ancien chef du parti présidentiel a quitté, vendredi 21 février 2025 dans la soirée, la prison centrale de Makala. Aujourd'hui figure de l'opposition congolaise, il plaide pour l'organisation d'un dialogue inclusif. Grand invité Afrique de RFI aujourd'hui, il est interrogé par Patient Ligodi.  À lire aussiDialogue national en RDC: le président Félix Tshisekedi pose ses conditions

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Wito wa mabadiliko makubwa watolewa baada ya wagonjwa wa afya ya akili kutoroka Sydney

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 21, 2026 11:53


Serikali ya New South Wales inachunguza mazingira yaliyozunguka kutoroka kwa wagonjwa wawili kutoka hospitali moja, ambao siku chache baadaye walidaiwa kuhusika katika matukio tofauti ambapo watu watatu walifariki.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Waumini wa dini laki Islamu wa anza mfungo wa Ramadan nchini Australia na duniani kote

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 20, 2026 7:33


Mwezi mtukufu wa Ramadan ume anza, Waislamu kote duniani wakisherehekea Iftar katika siku ya pili ya kipindi cha mfungo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Shirika la Haki za Binadamu laonya kuwa demokrasia iko hatarini ikilinganishwa na miaka ya 1980

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 10:49


Demokrasia na utaratibu wa kimataifa unaozingatia sheria ziko hatarini, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la haki za binadamu ama Human Rights Watch. Kuna msisitizo mahususi juu ya Marekani na kile ambacho chombo cha kimataifa kinaelezea kama kudorora kwa haki za binadamu, lakini pia kuna tahadhari juu ya Australia. Sera za uhamiaji na kuwekwa kizuizini kwa vijana za Australia zinaorodheshwa kama 'mapungufu makubwa', zikionyeshwa kuwa ni demokrasia pekee ya Magharibi isiyo na sheria ya kitaifa ya haki za binadamu.