Podcasts about Mwanza

City in Mwanza Region, Tanzania

  • 94PODCASTS
  • 205EPISODES
  • 34mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Apr 29, 2025LATEST
Mwanza

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Mwanza

Latest podcast episodes about Mwanza

Habari za UN
29 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 11:44


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari  na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umeikaribisha kusainiwa kwa “Azimio la Kanuni” tarehe 25 Aprili 2025 mjini Washington, D.C chini ya usimamizi wa Wizara ya mambo ya nje ya Marekani, kati ya serikali za DRC na Rwanda kwa lengo la kulinda rai ana kutekeleza azimio la Baraza la Usalama namba 2773 (2025).Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Juliette Touma, akizungumza na waandishi wa habri mjini Geneva kwa njia ya video kutoka mji mkuu wa Jordan, Amman, wakati  kuzingirwa kwa Ukanda wa Gaza kukikaribia kuingia mwezi wa pili amesema “Mzingiro wa Gaza ni muuaji wa kimya muuaji wa watoto, wazee, na watu walioko katika mazingira magumu zaidi. Mzingiro huu unamaanisha kwamba familia nzima, watu saba au wanane wanalazimika kushirikiana kopo moja la maharagwe au njegere”.Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limezitaka nchi za Kaskazini Magharibi mwa Afrika kuongeza ufuatiliaji na kuchukua hatua za mapema kudhibiti makundi ya nzige wa jangwani. Hii ni baada ya nzige wakubwa na makundi madogo kutoka ukanda wa Sahel kuhamia maeneo ya kusini mwa Sahara, hasa katikati ya Algeria, magharibi mwa Libya, na kusini mwa Tunisia tangu Februari hadi Machi mwaka huu.Na katika mashinani fursa ni yake Maruping Onkemetse Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kituo cha Msaada wa Familia, shirika linaloongozwa na wanawake wa asili  katika Wilaya ya Gantsi, kijiji cha Chobokwane nchini Botswana anayeshiriki mkutano unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wa Jukwaa la Watu wa Asili akizungumzia alichojifunza hadi sasa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C’ wa Kanisa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 25:20


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka  “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D' wa Kanisa? L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C' wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 57:57


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu historia ya Radio Maria katika Jimbo Kuu Katoliki Mwanza?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 45:45


Karibu uungane nami Judith Francis katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja kutoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akizungumzia juu ya maadhimisho ya miaka 20 ya Radio Maria Jimboni humo.       L'articolo Je, unafahamu historia ya Radio Maria katika Jimbo Kuu Katoliki Mwanza? proviene da Radio Maria.

PAGECAST: Season 1
The Lions' Den by Iris Mwanza

PAGECAST: Season 1

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 32:49


Join us for a riveting conversation on Pagecast as Sewela Langeni sits down with Iris Mwanza to explore her gripping debut novel, The Lion's Den. This legal thriller set in Zambia's turbulent political landscape tackles themes of justice, gender equality, and systemic oppression. More about the book: Rookie lawyer Grace Zulu does not give up easily. She escaped an arranged marriage to put herself through university. Now she's got her first case. Her client is young Willbess ‘Bessy' Mulenga, who has been arrested for offences ‘against nature'. Bessy works in a men-only bar, loves to dance, to wear dresses and live freely. But in 1990s Zambia, following your own identity can get you beaten, jailed or even worse. Grace is determined to get Bessy out of custody. Then her terrified, bruised client goes missing without a trace. She knows something bad has happened and that someone is trying to cover it up. Along with the most unlikely group of allies, Grace must take on powerful enemies at the highest levels – even risk her own safety – to get to the truth. The whole truth. A debut novel that soars with passion and humanity, The Lions' Den is a moving story of prejudice, corruption, injustice, courage and solidarity. It shows us that no cause is ever a lost one. More about Iris and Sewela: Iris Mwanza is a Zambian-American writer. Now Deputy Director of Women in Leadership in the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she has worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Mwanza holds law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an MA and PhD in International Relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. In addition to her work at the Foundation, Mwanza serves on the Supervisory Board of Care International and on the Board of Directors of World Wildlife Fund US. Sewela Langeni is an author and the owner of Book Circle Capital, an independent bookshop focusing on African Literature based at 27 Boxes in Melville, Johannesburg. She is passionate about literacy, especially in children. She is a Marketing Manager at one of South Africa's leading insurance companies. Her academic background spans from Journalism, Communication Sciences and Marketing. She holds a Master's degree in Strategic Marketing and Consulting from the University of Birmingham, UK. Sewela is an avid reader and reviewer of local books for adults and kids. In her role at Book Circle Capital, she also facilitates conversations on books with authors. #NewPodcastAlert #AfricanLiterature #LegalThriller #GenderEquality #ZambianAuthors #PodcastSeries #BookCircleCapital #BookPodcast #Fiction

Pod Have Mercy
Episode 193: REV. ERIC SOARD

Pod Have Mercy

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 51:32


In this episode, we sit down with Rev. Eric Soard, Executive Director of the Wesley College Foundation and an ordained deacon in the Memphis Annual Conference. Eric shares his powerful journey from youth ministry in Tennessee to a decade of mission work in Tanzania, where he and his family served in orphan care, church planting, and community development.We dive into the founding of Wesley College in Mwanza, a bold vision birthed from years of grassroots ministry and Spirit-led transformation. Eric offers deep insight into international development, leadership rooted in faith, and the hope he sees in the next generation of Tanzanian leaders. Don't miss this inspiring conversation about calling, courage, and the Church's global impact.Follow Eric on Twitter/Facebook: @EricSoardLearn more at wesleycollegetz.comContact: esoard@wesleycollegetz.com

RAK Evangelical Church Sermons
Chopo Mwanza - Committed to Advancing the Gospel

RAK Evangelical Church Sermons

Play Episode Listen Later Mar 23, 2025


Wimbi la Siasa
Nani ataisadia Sudan Kusini, isirejee kwenye vita ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 19, 2025 10:17


Sudan Kusini inakabiliwa na wasiwasi wa kujipata tena kwenye vita vipya, kufuatia mzozo wa hivi punde kati ya vikosi vya rais Salva Kiir na Makamu wake wa kwanza wa Riek Machar, baada ya kushambuliana kwenye jimbo la Upper Nile.Nini kinaweza kufanyika kuzuia mzozo mpya ?Wachambuzi wetu ni Dokta Brian Wanyama, kutoka Kenya na Hamdum Marcel akiwa Mwanza, Tanzania.

7am
The killing of Natan Mwanza

7am

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 14:52 Transcription Available


One evening, two weeks ago, Natan Mwanza was stabbed and killed at a bus stop in Melbourne’s south-west. He was 24 years old. Natan’s family had migrated to Australia from the Democratic Republic of Congo in 2008, and his death sparked an outpouring of grief from African diasporic communities in Australia. Historian and filmmaker Santilla Chingaipe also felt the impact of Natan’s death and sought to understand what had happened. But it soon became a story about how we write and report on crime – and how Black lives are treated in the media. Today, Santilla Chingaipe on the life of Natan Mwanza and how Black grief is rendered invisible. Socials: Stay in touch with us on Instagram Guest: Historian and filmmaker, Santilla Chingapie Image credit: InstagramSee omnystudio.com/listener for privacy information.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu historia ya Mtakatifu Paulo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 28:48


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Paulo Kasanda John kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari Malya, Jimbo Kuu la Mwanza, akijibu swali la moja ya Msikilizaji wetu likihoji nataka kujua historia ya Mtakatifu Paulo. L'articolo Ifahamu historia ya Mtakatifu Paulo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 28:45


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri  Paulo Kasanda John, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari-Malya Jimbo Kuu la Mwanza, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, dhambi ya Kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi?”  L'articolo Je, dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi? proviene da Radio Maria.

Breaking Down Patriarchy
The Lion's Den - with author Iris Mwanza

Breaking Down Patriarchy

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 48:16


Amy is joined by lawyer and author, Iris Mwanza, to discuss her novel - The Lion's Den - plus the status of patriarchy in Zambia, worldwide, and the critical role that books play in shaping public attitudes.Donate to Breaking Down PatriarchyIris Mwanza is a Zambian-American author and gender equality advocate. Born and raised in Zambia, early exposure to inequality has been a driving force in her life - from becoming a lawyer, writing a Ph.D. dissertation on women and children's rights, a career fighting for gender equality, and now a thriller with gender equality as its heart.Iris has spent an inordinate amount of time studying and has law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an M.A. and Ph.D. in International Relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. Her day job is Deputy Director of the Women in Leadership team in the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, and her night job is to write. Her debut novel The Lions' Den took nine years of nights and weekends to finish.

Habari za UN
Asante IFAD kwa kutuwezesha watu wenye ulemavu Liberia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 1:57


Nchini Liberia, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD umejengea uwezo watu wenye ulemavu wa kuona na kuwawezesha kuongeza vipato na vile vile uhakika wa kupata chakula. Simulizi ya Sabrina Moshi wa redio washirika SAUT FM mkoani Mwanza nchini Tanzania, inaelezea zaidi.Tuko kaunti ya Lofa, kaskazini kabisa mwa Liberia, magharibi mwa Afrika, tunakutana na Hawa Kamara, yeye ni mlemavu wa kutoona. Yeye pamoja na wenzake wa chama cha watu wenye ulemavu wa kutoona hapa Lofa, wanathibitisha kuwa unapoamua kufanya kitu, hakuna kinachokuzuia.Kupitia mradi wa Mabadiliko ya kilimo kwa wakulima wadogo na uchechemuzi wa kilimo biashara au STAR-P, mavuno ya mpunga kwenye shamba la kikundi hicho, yameongezeka kwa asilimia 300.Hawa anasema, “Mwanzoni hatukuwa na kitu kabisa. Tulihangaika sana kulima mpunga. Lakini baada ya IFAD kutufikia katika maisha yetu na kutusaidia, mambo yalianza kubadilika. Walitupatia pembejeo na mbegu za ubora wa juu kuanzisha mashamba. Tulitumia mbegu hizo kupanda kwenye mashamba yetu Bakadu.”Awali walilima ekari 1.2 tu, lakini baada ya kupatiwa vifaa vya kisasa vya kilimo wameweza kulima hadi ekari 4.3.Mavuno ya mpunga yameongezeka. Wanasagisha mashine, kiasi cham chele wanauza na ziada ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Hawa akiwa kwenye shamba lake la mpunga anasema,“Kabla ya STAR-P nilijihisi nimepotea na mpweke. Lakini sasa ninaweza kulima mwenyewe shambani, na ninaweza kujihudumia mimi na pia familia yangu. Zamani niliacha shule. Lakini baada ya kuanza mradi huu, nimerejea shuleni na ninataka kuwa mhasibu mkubwa duniani.”

Black & Published
The Power of Belief with Iris Mwanza

Black & Published

Play Episode Listen Later Jan 20, 2025 50:14


This week on Black & Published, Nikesha speaks with Iris Mwanza, author of the novel The Lion's Den. It's a thriller featuring a young lawyer fighting for justice in the case of a queer teen, that has her going up against every oppressive system in Zambia from the President and police to her priest and the doctrine of the Catholic Church. Iris is Zambian-American. She started her career as an attorney, but currently serves as the Deputy Director of the Women in Leadership team at the Bill & Melinda Gates Foundation.In our conversation, she explains why she's more intrigued about exploring what the law could and should be, versus what it actually is. Plus, the newspaper story that's stayed with her for 30 years that inspired her novel. And why she believes authors must write something that matters. Mahogany Books Mentioned in this episode:Rate & ReviewThanks for listening, family! Please do us a solid and take a quick moment to rate and/or leave a review for this podcast. It will go a long way to making sure content featuring our stories and perspectives are seen on this platform

Habari za UN
Angela Tabiri, mbobevu wa hisabati anayehaha kuona wasichana Afrika wanapenda STEM

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 17, 2025 4:23


 Ikiwa Umoja wa Mataifa unaunga mkono masomo ya Sayansi, Teknolojia na Hisabati, au STEM, Angela Tabiri ni mwanahisabati bora duniani, Mtafiti na Mhadhiri kutoka Chuo cha African Institute for Mathematical Sciences (AIMS) kilichoko Accra nchini Ghana Magharibi mwa bara la Afrika, amekuwa akitoa mchango katika kuhakikisha wasichana nchini humo wanapata elimu ya hisabati kupitia taasisi yake ya FemAfricMaths. Kwa kufanya hivyo anatimiza lengo namba 4 ya Malengo endelevu ya Umoja Mataifa(SDGs) linalohimiza elimu bora kwa wote na lile namba 5 linalozungumzia usawa wa kijinsia. Kutoka mjini Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania, Sabrina Moshi wa redio washirika Saut Fm amefanya mahojiano na mtaalamu huyo. Angela anaanza kwa kueleza namna alivyokuwa na ndoto hadi kuanzisha FemAfricMaths ili kuwasaidia wasichana barani Afrika.

Rippling Pages: Interviews with Writers
Iris Mwanza - Zambia, Human Rights, and Elections

Rippling Pages: Interviews with Writers

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 34:21


"I think it's a story few people have told before. And it's really about, what does a defender of human rights look like?" Iris Mwanza is here to talk about her novel, THE LION'S DEN (Canongate Books). Iris's novel is about a human rights lawyer, Grace Zulu, whose client Willbess ‘Bessy' Mulenga, has been arrested for offences ‘against nature. It launches Grace, and Iris, into the underbelly of the legal system. Iris is deputy director of the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she leads strategy and investment for the Women in Leadership portfolio, and she has previously worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Rippling Points 01.35 - Recording on the morning of the American election 02.41 - Who are the main characters 05.45 - Public institutions, the global south and colonialism 08.59 - When Iris saw the system for what it was 11.17 - ‘True believers' who inspired this novel 13.41 - Why Grace is the way she is 16.09 - Grace's clashes write father Sebastian 21.27 - Guilt 26.10 - The tragedy of Bessy's case 28.01 - Challenges promoting the book in Zambia 30.23 - Writing the court room Click here for links to all Rippling Pages socials

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya Mfalme Herode.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 51:03


Karibu katika kipindi cha ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus, Mtaalamu wa Maandiko Mtakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza akizungumzia juu ya Mfalme Herode. L'articolo Fahamu historia ya Mfalme Herode. proviene da Radio Maria.

Reportage Afrique
Tanzanie: les pêcheurs d'Ukerewe quittent leur île par manque de poissons [2/3]

Reportage Afrique

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 2:03


C'est la plus grande île lacustre d'Afrique. Ukerewe, 500 km² de terre dans les eaux du lac Victoria, située à 50 kilomètres de la ville tanzanienne de Mwanza, est connue pour ses pêcheurs. Mais ces derniers voient leur quotidien menacé par une diminution des stocks de poissons dans le lac. En cause, des pratiques de pêche inadaptées, mais aussi les effets dévastateurs du changement climatique. « Samaki » (« le poisson » en swahili) est désormais bien difficile à trouver dans les eaux entourant Ukerewe. Pambano Boniface, pêcheur sur le lac Victoria depuis 15 ans, voit ses filets remonter de plus en plus vides : « Vous quittez la maison et naviguez pendant plus de six heures à la recherche de poissons. Vous partez trois ou quatre jours et il n'y a pas de garanties que vous trouverez du poisson. Vous pouvez partir pendant des heures et revenir avec seulement deux kilos de poissons, ou parfois rien du tout. »L'économie de l'île dépend principalement de la pêche. Alors, certains pêcheurs comme Damien Simon et ses collègues s'essaient à la pisciculture : « C'est quelque chose de nouveau, que nous ne faisions pas dans le passé, où on pêchait normalement dans le lac. Mais nous avons commencé à cause du manque de poissons. »Changer d'activité Tous ne peuvent se permettre ces techniques, car le coût de mise en place reste élevé et le gouvernement, même s'il promeut ces méthodes, n'offre pas d'aide au financement. Certains tentent donc de se tourner vers d'autres activités comme l'agriculture, mais ils font face à des défis similaires, comme l'explique Joyce Komanya de l'organisation Centre Juridique et des droits de l'Homme à Dar es Salam : « Ils pensent que de passer de la pêche à l'agriculture va les aider, mais en réalité, les agriculteurs ont, eux aussi, leurs propres problèmes liés au changement climatique. »Le changement climatique est l'une des causes majeures de ce manque de poissons. Les pluies sont de plus en plus rares, mais les épisodes pluvieux sont de plus en plus intenses, provoquant notamment une montée des eaux du lac. À cela s'ajoutent des techniques de pêche inadaptées avec des filets qui capturent même les plus petits poissons, qui n'ont pas le temps de se reproduire. Pour Pambano Boniface, le futur est incertain : « Je vois un avenir difficile. Si notre présent est rude, le futur le sera bien plus. »En 2024, le niveau des eaux du lac Victoria est supérieur à toutes les années records enregistrées depuis 1992.À lire aussiTanzanie: la montée des eaux du lac Victoria menace l'île d'Ukerewe [1/3]

Fazit - Kultur vom Tage - Deutschlandfunk Kultur
Balau = Schicksalsschlag: Serge Coulibaly und Fiston Mwanza Mujila in München

Fazit - Kultur vom Tage - Deutschlandfunk Kultur

Play Episode Listen Later Oct 12, 2024 5:59


Hüster, Wiebke www.deutschlandfunkkultur.de, Fazit

Radio Maria Tanzania
Fahamu mafundisho ya mfalme Daudi kipindi cha Utawalawake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 3, 2024 54:18


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daud. L'articolo Fahamu mafundisho ya mfalme Daudi kipindi cha Utawalawake. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
26 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 11:32


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika hospitali ya kanda Bugando, mkoani Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania kumulika chanzo na madhara ya usugu wa vimelea dhidi ya dawa au UVIDA. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na katika kujifunza Kiswahili tunabisha hodi nchini Zimbabwe, kulikoni?Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa leo kandoni mwa mjadala mkuu ulioingia siku ya tatu moja ya mada zinazopewa uzito ni usugu wa vijiuavijiumbe maradhi au Anti-Microbial Resistance (AMR). Katika taarifa ya Pamoja iluyotolewa kwenye mkutno huo na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO, la mazingira UNEP, la chakula  na kilimo FAO na shirika la afya ya Wanyama duniani WOAH, usugu wa viua vijiumbe maradhi unahusika moja kwa moja na vifo milioni 1.3 na kuchangia vingine milioni 5 kila mwaka.Pia katika katika Mjadala Mkuu wa baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA79 miongoni mwa waliopanda katika mimbari leo kuhutubia ni Rais wa Jamhuri ya Kenya William Samoei Ruto ambaye amesema “Dunia iko katika wakati wa changamoto kubwa za kiusalama, ahati ya chata ya Umoja wa Mataifa kuokoa viizazi kutokana na vita iiko katika hatihati.” Aesema nadhariaya wao dhidi yetu ni chachu ya changamoto kubwa ikiwemo vita. Kuanzia Gaza, Darfur, Ukraine, Yemen, Mashariki mwa DRC , Sudan, Sahel na uhalifunchini Haiti,migogoro inasambaratisha maisha na uwezi wa watukuishi katika kiwangocha kihistoria.”Naye Rais wa Malawi Lazarus McCarthy Chakwera, amesema kila nchi mwanachama wa Umoja wa Mataifa inahusiana na nchi nyingine katika mambo matatu, ushirikiano migogoro na ushindani ulio na usawa, hivyo jinsi ya kushughulikia masuala hayo ndio itaamua mustakbali wa vizazi vvya kesho hasa ushirikiano unaofaidisha wote, ushindani ulio na usawa na utatuzi wa migogoro. Amesisitiza kuwa ushirikiano ni kitu cha muhimu sana na mfano mzuri ni nchi yake Malawi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili fursa ni yake Mary Chigumira kutoka Zimbabwe, mmoja wa waafrika aliyefika kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa hapa Jijini New York kwa ajili ya Mkutano wa Zama Zijazo uliokamilika hivi majuzi akieleza anavyotamani kujifunza zaidi lugha ya Kiswahili.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

Habari za UN
Je wewe ni mmoja wa waathirika wa usugu wa viuavijiumbe maradhi, au Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa, UVIDA?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 6:16


Leo hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kando ya mjadala mkuu wa UNGA79, viongozi wanakutana kwenye Mkutano wa Ngazi ya Juu ukimulika usugu wa viuavijiumbe maradhi, Antimicrobial Resistance, kwa kiswahili ikiitwa pia UVIDA, au Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa. Katika taarifa ya Pamoja iluyotolewa kwenye mkutno huo na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO, la mazingira UNEP, la chakula  na kilimo FAO na shirika la afya ya Wanyama duniani WOAH, usugu wa viua vijiumbe maradhi unahusika moja kwa moja na vifo milioni 1.3 na kuchangia vingine milioni 5 kila mwaka.Unaweza kujiuliza ni nini na kwa nini ni muhimu wakutane? Bosco Cosmas, wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na Profesa Mshiriki wa Vimelea Vya Magonjwa katika Chuo Kikuu cha Sayans iza Afya Bugando, mkoani Mwanza, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.

Radio Maria Tanzania
Fahamu uhusiano kati ya Mfalme Daudi na Sakramenti ya Upadre.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 52:48


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo kuu la Mwanza, akiendelea kutuelimisha juu ya uhusiano wa Mfalme Daudi na Sakramenti ya Daraja Takatifu la Upadre. L'articolo Fahamu uhusiano kati ya Mfalme Daudi na Sakramenti ya Upadre. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna ya kukataa Propaganda za kijinsia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 25, 2024 52:54


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daudi.  L'articolo Fahamu namna ya kukataa Propaganda za kijinsia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya Mfalme Daudi.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 24, 2024 54:12


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akitueleza juu ya historia ya Mfalme Daudi. L'articolo Fahamu historia ya Mfalme Daudi. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Wakristo waaswa kuyaiga yale mema alio yaishi Mfalme Daudi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 56:15


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akielezea maisha ya Mfalme Daudi. L'articolo Wakristo waaswa kuyaiga yale mema alio yaishi Mfalme Daudi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Mfalme Daudi alikuwa nani katika maandiko Matakatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 17, 2024 56:15


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, akielezea maisha ya Mfalme Daudi. L'articolo Je, Mfalme Daudi alikuwa nani katika maandiko Matakatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu juu ya Kanisa Mahalia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 12, 2024 19:56


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Paulo  Kasanda John, kutoka Kituo cha Kichungaji cha Mtakatifu Dominiko Nyakahoja, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji  linalosema katika anapenda kufahamu juu ya Kanisa Mahalia maana yake kwa kina ? L'articolo Je, wafahamu juu ya Kanisa Mahalia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Mfahamu mfalme Daudi Utendaji wake kipindi cha utawala wake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 12, 2024 56:11


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anaendelea  kumzungumzia mfalme Daudi.  L'articolo Mfahamu mfalme Daudi Utendaji wake kipindi cha utawala wake. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Mfahamu Mfalme Daudi mema alioyafanya katika Utawala wake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 11, 2024 27:58


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daudi.  L'articolo Mfahamu Mfalme Daudi mema alioyafanya katika Utawala wake. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ufahamu Uhusiano wa Agano jipya na kale katika mganwanyiko wake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 11, 2024 26:12


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmanuel Elias Mganga, kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ilemela Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji  linalosema katika maandiko Bibilia imegawajika katika sehemu mbili Agano la Kale na Jipya, anaomba kufahamu uhusiano wake katika mgawanyiko huo?         L'articolo Ufahamu Uhusiano wa Agano jipya na kale katika mganwanyiko wake. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
10 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 10, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Mwanza kaskazini Magharibi mwa Tanzania kupata ufafanuzi wa athari za moshi wa kuni kwa binadamu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na sauti kutoka mashinani.Miaka 63 tangu kifo cha ajali ya ndege cha Katibu Mkuu wa pili wa Umoja wa Mataifa Dag Hammarskjöld huko Ndola Zambia, bado majibu hayajapatikana ya nini kilisababisha ajali hiyo wakati akielekea kusaka amani kwa iliyokuwa Congo, sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA limesema kampeni ya chanjo eneo la kaskazini mwa Gaza imeendelea leo jumanne licha ya tukio la jana la jeshi la Israeli kuzuia kwa saa nane msafara wa wafanyakazi waliokuwa wanasafiri kwenda kutoa huduma hiyo.Na leo septemba 10, mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA78 unakunja jamvi baada ya mwaka mzima wa mikutano na mijadala, na hivyo kuashiria kuanza kwa mkutano wa 79  ambapo kuanzia tarehe 22 vitaanza vikao vya ngazi ya juu na Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu. Rais anayemaliza muda wake ni Balozi Dennis Francis kutoka Trinidad na Tobago na anayempatia kijiti ni Philemon Yang kutoka Cameroon.Katika mashinani, tunamulika mwaka mmoja tangu kimbunga Daniel kipige mji wa Dema mashariki mwa Libya na vitongoji vyake na kuleta mvua kubwa iliyosababisha mafuriko yaliyoua zaidi ya watu 5,000, na kuacha makovu hadi sasa. Maelezo ya Hawa Bu Zqeeba aliyempoteza baba yake katika mafuriko hayo yanakupatia taswira halisi ya makovu.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Radio Maria Tanzania
Je, Yohane Mbatizaji  alibatizwa na nani ili kuondoa dhambi ya asili?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 10, 2024 19:22


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmanuel Elias Mganga, kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Ilemela Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza nikijibu swali la Msikilizaji  linalosema katika maandiko matakatifu tunajua kwamba Yesu alibatizwa na Yohane Mbatizaji, Je, Yohane Mbatizaji  alibatizwa na nani ili kuondoa dhambi ya asili?       […] L'articolo Je, Yohane Mbatizaji  alibatizwa na nani ili kuondoa dhambi ya asili? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu hatua za Kusamehe?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 10, 2024 44:35


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana.  L'articolo Je, wafahamu hatua za Kusamehe? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, nisamehe mara ngapi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 6, 2024 55:53


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana. L'articolo Je, nisamehe mara ngapi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu faida zinazo patikana ndani ya kusamehe walio kukosea.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 3, 2024 53:24


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza,  katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana.  L'articolo Fahamu faida zinazo patikana ndani ya kusamehe walio kukosea. proviene da Radio Maria.

Nyumba ya Sanaa
Mwanza: Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince ndiye mgeni wetu wiki hii

Nyumba ya Sanaa

Play Episode Listen Later Aug 31, 2024 20:07


Msanii wa Bongo Fleva, Baraka the Prince anauona muziki ni maisha, jambo linalomfanya afikirie zaidi namna mashabiki wake wataishi na kazi zake, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Msanii huyo.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa kulinda Afya yako.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 49:04


Karibu ungana  nami Stanslaus Mhema katika Kipindi cha Elimu Jamii, mada Afya kwa ujumla  kutoka Hospital ya Rufaa ya Kanda ya Bugando  Jimbo kuu la Mwanza. Wawezeshaji ni Dakta Samson Kichiba, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Koo, Masikio na Pua. L'articolo Fahamu umuhimu wa kulinda Afya yako. proviene da Radio Maria.

Afrique Économie
Trains africains: Dar-Dodoma, la percée du rail de la Tanzanie vers les Grands Lacs

Afrique Économie

Play Episode Listen Later Aug 15, 2024 2:20


En Tanzanie, un nouveau train électrique relie désormais la capitale économique, Dar es Salam, à la capitale administrative Dodoma, dans le centre du pays. Le programme, en collaboration avec des entreprises turque et chinoise, a été en partie financé par la Banque africaine de développement. Et la Tanzanie compte prolonger la ligne jusqu'aux pays des Grands Lacs. Flambant neuf et entièrement électrique, le nouveau train SGR (Standard Gauge Railway, voie ferrée à écartement standard, NDLR) est sur le départ en gare de Dar es Salaam, la capitale économique de la Tanzanie. Une première pour de nombreux passagers ce jour-là. « Avant le train, je prenais le bus, ça prenait trois ou quatre heures. Mais maintenant, c'est beaucoup plus facile : on vient, on s'assoit, on se détend et ça dure 1h30. »Relier par le rail la Tanzanie au Burundi et à la RDCRoulant à 160 km/h contre une vitesse moyenne de 30 ou 40 km/h pour son ancêtre, ce train relie Dar es Salaam à Morogoro, plus à l'ouest. Il y a quelques semaines à peine, la présidente tanzanienne Samia Suluhu Hassan inaugurait le second tronçon jusqu'à la capitale du pays, Dodoma. L'objectif selon elle : développer le commerce entre la Tanzanie et les pays voisins. « Le continent africain est mal connecté par les transports. C'est pourquoi nous avons du mal à commercer les uns avec les autres. C'est ce qui m'a encouragée à tout faire pour que la Tanzanie soit reliée par le rail au Burundi et à la RDC. Un pays immense qui sera un grand débouché pour le commerce et les produits tanzaniens. » D'ici à 2026, le train devrait relier le port de Dar es Salaam, l'un des plus importants du continent, à Mwanza, dans la région des Grands Lacs, au nord du pays. Actuellement réservé au transport de passagers, le fret devrait commencer d'ici à l'an prochain. « Ce train moderne, le SGR, va drastiquement réduire les temps de trajet, améliorer la sécurité et diminuer les coûts de transport, souligne Abdulkarim Atiki, analyste politique et économique à Dar es Salaam. Pour les entreprises, ça veut dire une livraison plus rapide et plus sûre des biens en réduisant les coûts jusqu'à 40% et en augmentant les revenus liés à l'export de 20-30%. »Un bémol : les coupures de courantOuganda, Rwanda, Kenya, RDC ou Burundi, la Tanzanie veut développer le transport de produits et matériaux avec ses voisins, notamment dans les domaines agricoles, miniers et industriels, qui représentent plus de 50% du PIB du pays. Le SGR devrait donc créer des emplois, garantir un moyen de transport plus sûr et réduire les émissions de CO2 de la Tanzanie. Des perspectives positives, donc, mais qui nécessitent entre autres une stabilité du réseau électrique, souvent défaillant. Depuis son lancement, le train a déjà été bloqué sur les voies pendant plusieurs heures à cause de coupures de courant.À lire aussiTanzanie: plusieurs dirigeants de l'opposition arrêtés avant une manifestation interdite

Burned By Books
Iris Mwanza, "The Lions' Den" (Graydon House, 2024)

Burned By Books

Play Episode Listen Later Jul 4, 2024 40:21


A missing boy. A corrupt system. A case that could change everything... When young queer dancer Wilbess "Bessy" Mulenga is arrested by corrupt police, fresh-from-the-village rookie lawyer Grace Zulu takes up his cause in her first pro bono case. Presented with a freshly beaten client, Grace protests to the police and gets barred from accessing Bessy, who then disappears from the system--and the world--without a trace. As she fights for justice for Bessy, Grace must navigate a dangerous world of corrupt politicians, traditional beliefs, and deep-seated homophobia. With the help of a former freedom fighter and the head of her law firm, who's rallying for one last fight as AIDS takes its toll on him, Grace brings together a coalition of unions, students, and political opposition to take on the corrupt administration of President Kaunda. But will justice prevail in the face of such overwhelming odds? The Lions' Den (Graydon House, 2024) is a gripping and enduring novel that will keep you on the edge of your seat from beginning to end. With unforgettable characters and a thrilling plot, Iris Mwanza has announced herself as a major new talent in fiction. Iris Mwanza is a Zambian American writer. As deputy director of the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she leads strategy and investment for the Women in Leadership portfolio, and she has previously worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Mwanza holds law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an MA and PhD in international relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. In addition to her work at the foundation, Mwanza serves on the supervisory board of CARE International and on the board of directors of the World Wildlife Fund-US. Recommended Books: Fi, Alexandra Fuller Greenland, David Santos Donaldson Foster, Clare Keegan Chris Holmes is Chair of Literatures in English and Associate Professor at Ithaca College. He writes criticism on contemporary global literatures. His book, Kazuo Ishiguro Against World Literature, is under contract with Bloomsbury Publishing. He is the co-director of The New Voices Festival, a celebration of work in poetry, prose, and playwriting by up-and-coming young writers. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

New Books Network
Iris Mwanza, "The Lions' Den" (Graydon House, 2024)

New Books Network

Play Episode Listen Later Jul 4, 2024 40:21


A missing boy. A corrupt system. A case that could change everything... When young queer dancer Wilbess "Bessy" Mulenga is arrested by corrupt police, fresh-from-the-village rookie lawyer Grace Zulu takes up his cause in her first pro bono case. Presented with a freshly beaten client, Grace protests to the police and gets barred from accessing Bessy, who then disappears from the system--and the world--without a trace. As she fights for justice for Bessy, Grace must navigate a dangerous world of corrupt politicians, traditional beliefs, and deep-seated homophobia. With the help of a former freedom fighter and the head of her law firm, who's rallying for one last fight as AIDS takes its toll on him, Grace brings together a coalition of unions, students, and political opposition to take on the corrupt administration of President Kaunda. But will justice prevail in the face of such overwhelming odds? The Lions' Den (Graydon House, 2024) is a gripping and enduring novel that will keep you on the edge of your seat from beginning to end. With unforgettable characters and a thrilling plot, Iris Mwanza has announced herself as a major new talent in fiction. Iris Mwanza is a Zambian American writer. As deputy director of the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she leads strategy and investment for the Women in Leadership portfolio, and she has previously worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Mwanza holds law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an MA and PhD in international relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. In addition to her work at the foundation, Mwanza serves on the supervisory board of CARE International and on the board of directors of the World Wildlife Fund-US. Recommended Books: Fi, Alexandra Fuller Greenland, David Santos Donaldson Foster, Clare Keegan Chris Holmes is Chair of Literatures in English and Associate Professor at Ithaca College. He writes criticism on contemporary global literatures. His book, Kazuo Ishiguro Against World Literature, is under contract with Bloomsbury Publishing. He is the co-director of The New Voices Festival, a celebration of work in poetry, prose, and playwriting by up-and-coming young writers. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices Support our show by becoming a premium member! https://newbooksnetwork.supportingcast.fm/new-books-network

New Books in Literary Studies
Iris Mwanza, "The Lions' Den" (Graydon House, 2024)

New Books in Literary Studies

Play Episode Listen Later Jul 4, 2024 40:21


A missing boy. A corrupt system. A case that could change everything... When young queer dancer Wilbess "Bessy" Mulenga is arrested by corrupt police, fresh-from-the-village rookie lawyer Grace Zulu takes up his cause in her first pro bono case. Presented with a freshly beaten client, Grace protests to the police and gets barred from accessing Bessy, who then disappears from the system--and the world--without a trace. As she fights for justice for Bessy, Grace must navigate a dangerous world of corrupt politicians, traditional beliefs, and deep-seated homophobia. With the help of a former freedom fighter and the head of her law firm, who's rallying for one last fight as AIDS takes its toll on him, Grace brings together a coalition of unions, students, and political opposition to take on the corrupt administration of President Kaunda. But will justice prevail in the face of such overwhelming odds? The Lions' Den (Graydon House, 2024) is a gripping and enduring novel that will keep you on the edge of your seat from beginning to end. With unforgettable characters and a thrilling plot, Iris Mwanza has announced herself as a major new talent in fiction. Iris Mwanza is a Zambian American writer. As deputy director of the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she leads strategy and investment for the Women in Leadership portfolio, and she has previously worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Mwanza holds law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an MA and PhD in international relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. In addition to her work at the foundation, Mwanza serves on the supervisory board of CARE International and on the board of directors of the World Wildlife Fund-US. Recommended Books: Fi, Alexandra Fuller Greenland, David Santos Donaldson Foster, Clare Keegan Chris Holmes is Chair of Literatures in English and Associate Professor at Ithaca College. He writes criticism on contemporary global literatures. His book, Kazuo Ishiguro Against World Literature, is under contract with Bloomsbury Publishing. He is the co-director of The New Voices Festival, a celebration of work in poetry, prose, and playwriting by up-and-coming young writers. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices Support our show by becoming a premium member! https://newbooksnetwork.supportingcast.fm/literary-studies

New Books in Literature
Iris Mwanza, "The Lions' Den" (Graydon House, 2024)

New Books in Literature

Play Episode Listen Later Jul 4, 2024 40:21


A missing boy. A corrupt system. A case that could change everything... When young queer dancer Wilbess "Bessy" Mulenga is arrested by corrupt police, fresh-from-the-village rookie lawyer Grace Zulu takes up his cause in her first pro bono case. Presented with a freshly beaten client, Grace protests to the police and gets barred from accessing Bessy, who then disappears from the system--and the world--without a trace. As she fights for justice for Bessy, Grace must navigate a dangerous world of corrupt politicians, traditional beliefs, and deep-seated homophobia. With the help of a former freedom fighter and the head of her law firm, who's rallying for one last fight as AIDS takes its toll on him, Grace brings together a coalition of unions, students, and political opposition to take on the corrupt administration of President Kaunda. But will justice prevail in the face of such overwhelming odds? The Lions' Den (Graydon House, 2024) is a gripping and enduring novel that will keep you on the edge of your seat from beginning to end. With unforgettable characters and a thrilling plot, Iris Mwanza has announced herself as a major new talent in fiction. Iris Mwanza is a Zambian American writer. As deputy director of the Gender Equality Division of the Bill & Melinda Gates Foundation, she leads strategy and investment for the Women in Leadership portfolio, and she has previously worked as a corporate lawyer in both Zambia and the US. Mwanza holds law degrees from Cornell University and the University of Zambia, and an MA and PhD in international relations from Johns Hopkins School of Advanced International Studies. In addition to her work at the foundation, Mwanza serves on the supervisory board of CARE International and on the board of directors of the World Wildlife Fund-US. Recommended Books: Fi, Alexandra Fuller Greenland, David Santos Donaldson Foster, Clare Keegan Chris Holmes is Chair of Literatures in English and Associate Professor at Ithaca College. He writes criticism on contemporary global literatures. His book, Kazuo Ishiguro Against World Literature, is under contract with Bloomsbury Publishing. He is the co-director of The New Voices Festival, a celebration of work in poetry, prose, and playwriting by up-and-coming young writers. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices Support our show by becoming a premium member! https://newbooksnetwork.supportingcast.fm/literature

The Church Revitalization Podcast
How You Can Make a Global Impact

The Church Revitalization Podcast

Play Episode Listen Later Nov 28, 2023 27:32


Welcome to a special Giving Tuesday edition of The Church Revitalization Podcast! In this episode, we delve into the heart of our mission, revealing the exciting and transformative projects we are embarking on in 2024 to strengthen churches globally. Read more at https://malphursgroup.com/218 Donate to our projects at https://malphursgroup.com/donate 

The Growth Podcast with Suwi
S02E56 Emmanuel Mwanza | Scaling a Business | Knowing Customers | Entrepreneurship Tips

The Growth Podcast with Suwi

Play Episode Listen Later Nov 20, 2023 69:31


Join us in conversation with Entrepreneur Emmanuel Mwanza.

Serve The People Podcast
Training Day Ep. 221 with Joshua Mwanza

Serve The People Podcast

Play Episode Listen Later Jul 24, 2023 25:38


Joshua Mwanza of FFL Mapalo has been an elite producer in the business, protecting on average 500 families a month! On this Training Day podcast, listen as he talks about his biggest AHA moment that pushed him to embark on a career in insurance, his initial reluctance to warm market recruiting, and his goals for the remainder of the year.

Habari za UN
Mariam: Dawa za kulevya zilinifanya kupoteza mtoto na mume

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 26, 2023 0:04


Tatizo la dawa za kulevya duniani ni suala tata ambalo linaathiri mamilioni ya watu duniani kote. Watu wengi wanaotumia dawa za kulevya hukumbana na unyanyapaa na ubaguzi, jambo ambalo linaweza kudhuru zaidi afya yao ya kimwili na kiakili na kuwazuia kupata usaidizi wanaohitaji.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu UNODC inatambua umuhimu wa kuchukua mtazamo unaozingatia watu kuhusu sera za dawa za kulevya, kwa kuzingatia haki za binadamu, huruma na mazoea yanayotegemea ushahidi. Miongoni mwa shuhuda nzuri katika jamii ni kuwa wale waliotumia dawa za kulevya wanaweza kurejea kwenye afya zao na maisha yao ya awali iwapo wataacha na kukaaa kwenye vituo vya matibabu ya uraibu na matibabu. Mariam, sio jina lake halisi alikubali na kukaa kituoni na hii ni simulizi yake iliyoandaliwa na UNODC na inasomwa kwako na Evarist Mapesa wa redio washirika SAUTFM iliyoko Mwanza nchini Tanzania.  

Habari za UN
Athari za utupaji wa taka za plastiki kwenye maziwa na baharí

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 10, 2023 0:03


Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini ya maji kutokana na baadhi ya taka ikiwemo plastiki kuwa na madhara ya moja kwa moja kwa viumbe hao.Umoja wa Mataifa umekuwa ukizitaka nchi wanachama kuhakikisha wanadhibiti taka hizo katika mataifa yao ili kuokoa Maisha ya viumbe hai waishio chini ya maji pamoja na mfumo wa Ikolojia.Kutoka jijini Mwanza kaskazini-magharibi mwa Tanzania, Evarist Mapesa alikutana na Mhadhiri Msaidizi wa Shule Kuu ya Sayansi wa Maji na Mazingira yake na Teknolojia za Uvuvi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Bahati Mayoma, akitaka kufahamu athari za taka za plastiki kwa viumbe hai waishio kwenye maji na hapa mhadhiri huyo anaeleza.

Habari za UN
10 APRILI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 10, 2023 0:09


Hii leo jaridani tunamulika kazi ya walinda amani nchini DRC na kilimo cham boga nchini Nepal. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani nchini Bolivia, kulikoni?Kambi ya Kamango iliyokuwa inamilikiwa na kikosi cha ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO imefungwa baada ya kukamilisha jukumu lake.Nchini Nepal mradi wa BRIDGE unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO umewezesha familia moja ya kimaskini kuondokana na sio tu kutumikishwa kwenye ajira za kitumwa bali pia kuepusha baba wa familia kuondokana na kwenda nchi za nje kusaka vibarua.Makala tunaelekea jijini Mwanza, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania ambapo Mhadhiri msaidizi wa shule kuu ya sayansi akua na teknolojia za uvuvi kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bahati Mayoma, anatueleza athari za taka za plastiki kwa viumbe hai waishio chini ya maji.Na katika mashini tutakupeleka katika Kijiji cha Oruro nchini Bolivia ambapo mafunzo ya shirika la mpango wa chakula duniani WFP yamesaidia wanawake wa jamii ya watu wa asili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuondokana na utapiamlo”.Mwenyeji wako Anold Kayanda, karibu!

Salama Na
SE7EP32 - SALAMA NA MRISHO NGASSA | MACHACHARI…

Salama Na

Play Episode Listen Later Jan 19, 2023 80:32


Mrisho Halfani Ngassa alikua top top top footballer na kwa bahati nzuri nishawahi kumshuhudia akiwa kazini kwake, tena ukimkuta kaamka vizuri basi uhakika wa burudani ni UHAKIKA . Na kipindi ambacho alikua kwenye peak yake pia kulikua na vitasa imara na magolkipa wazuri tu lakini nna uhakika kila mmoja kati yao ana la kusema kuhusu winga na forward hii machachari ambayo nchi yetu ishawahi kuona. Hakuna kitasa ambacho hakijawahi kukataa kufungua mlango muda ambao Mrisho Ngassa alikua anakuja kupiga hodi. Uzuri wake alianza kucheza mapema sana na kwasababu alikua machachari basi hata utulivu kidogo wakati anakua ulikua sio mzuri sana maana alikua na haraka. Ananiambia kwenye session hii vile ambavyo ali sign Yanga pasi na kumskiliza kocha wake kutoka Mwanza ambaye alikua anaamini kama dogo bado hajaiva, Pengine miaka miwili au mitatu ya kuendelea kujijenga ingemfanya awe bora zaidi na zaidi lakini kwenye kichwa na fikra za kijana huyu ambaye alikua na uchu wa mafanikio na kutaka kufika mjini maongezi hayo ya kusubiri yalikua ni kama kumuona sisimizi kwenye sukari alafu unamuambia asile leo badala yake ataila asubuhi, isingewezekana. Hivyo kocha akaona basi si mbaya, aende akayaone na kujifunza akiwa kazini. Yanga ndo Yanga, kwa wachezaji wote wanao chipukia au ambao ndo wanatafuta maisha kuichezea klabu kama ya wananchi ni heshima kubwa sana na zaidi kama wao ndo wametaka iwe hivyo. Kwa kijana mdogo ambaye alikua na spidi na uchu mkubwa wa kuzitia nyavuni basi klabuni pale ndo ilikua steji muafaka ya kuonyesha kipaji chake. Mrisho anakumbuka aina ya ‘vifaa' ambavyo vilikua vinapatikana mitaa ya Jangwani. Majina makubwa na kazi ilotukuka ambayo walikua wakiifanya ilikua inajielezea. Kwa kijana kutoka mkoani kuweza kupata namba haikua kazi rahisi, ila pia haikua kazi ngumu maana ulichokisia ndo ambacho unakiona, kuanzia mazoezini mpaka anapopatiwa nafasi wakati wa mechi. Kwenye episode hii tunazungumzia aina ya mitihani na maamuzi ambayo ilikua inabidi yafanyike. Kwenye wasifu wake Mrisho amewahi kucheza kwenye team zote tatu kubwa hapa nyumbani kwetu. Kashawahi kuwa muajiriwa wa Yanga, Azam na Simba ambapo alienda kwa mkopo kutoka Azam FC, lakini pia ashawahi kupatiwa majaribio katika team kadhaa nje ya nchi yetu na wakubwa wanasema kama Ndugu yetu angekua katuliza akili na angefahamu aina ya nafasi ambayo alikua nayo kipindi kile basi yeye ndo angekua mtanzania wa kwanza kucheza kwenye ligi pendwa ya Uingereza. Trials kwenye klabu kama Westham alipata na ofa kwenye vilabu kadhaa kutoka hapa hapa barani Afrika nazo zilikua hazikati. Sasa, nini haswa kilitokea? Wapi hasa alienda mrama? Ni kweli alikosea? Au malengo yake si malengo yetu? Au tulipokua tunamuona sisi yeye alikua hapaoni huko? Vikwazo vilikua nini? Mambo yepi hasa ndo ambayo yanaweza yakawa ndo chachu ya hayo yote kutotokea? Kama Mrisho angekua anawez kufunguka zaidi nami kwenye episode hii naamini tungeweza kupata funzo lilonyooka kwa wenetu na ukichukulia sasa mambo ndo yameanza kufunguka. Naamini angekua mwalimu mzuri kwa wake wote ambao wangetaka kusoma somo ambalo lina uhitaji mkubwa. Yangu matumaini utaweza kuelewa na kupata chochote kitu kutoka kwenye maongezi haya. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support