Podcasts about Rais

  • 457PODCASTS
  • 1,386EPISODES
  • 32mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 16, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Rais

Show all podcasts related to rais

Latest podcast episodes about Rais

Habari RFI-Ki
Burundi : Rais Ndayishimiye ataka mazungumzo na upinzani

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 10:01


Rais wa Burundi Evariste #Ndayishimiye ametoa wito kwa upinzani kushiriki katika mazungumzo na chama chake CNDD-FDD baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita ambao ulikumbwa na upinzani mkubwa kwa ukosefu wa uwazi.   Hata hivyo upinzani haujaonyesha nia ya kushiriki mazungumzo hayo. Tunakuuliza, ni sahihi upinzani kujiunga na serikali ? skiza makala haya kuskia maoni ya mskilizaji.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 15:47


Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.

Wimbi la Siasa
Trump azuia raia wa nchi 12 kuzuru Marekani

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 10:10


Rais wa Marekani Donald Trump ameagiza raia wa nchi 12 hasa kutoka Afrika kutozuru nchi hiyo. Agizo hilo lilianza kutekelezwa Juni 9, 2025. Trump anasema amechukua hatua hii kwa sababu za kiusalama. Wakati hayo yakijiri, maandamano yamekuwa yakishuhudiwa katika mji wa Los Angeles, kupinga sera ya Trump ya kuwasaka na kuwafukuza nchini humo, wageni wanaoishi bila vibali. Tunachambua kwa kina.

Habari za UN
10 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 10:50


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika ukanda wa Gaza, huko mashariki ya Kati kwenye eneo la Palestina lialokaliwa kimabavu na Israeli ambapo vinazidi kuibua changamoto mpya kila uchao.Changamoto ya uzazi duniani si kuhusu watu kukataa kuwa wazazi ni kuhusu kunyimwa fursa ya kuchagua kuwa mzazi imesema ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA iliyotolewa leo na kuonesha kuwa kuwa matatizo ya kiuchumi, ukosefu wa usawa wa kijinsia, na hofu kuhusu maisha ya baadaye vinawazuia mamilioni ya watu kupata familia wanazotamani.Tishio la baa la njaa linaendelea kuiandama Sudan iliyoharibiwa vibaya na vita, limeonya leo Shirika laUmoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP, likitoa wito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kusaidia kukidhi mahitaji yanayoongezeka na kuzuia maafa zaidi ya kibinadamu.Kwa mara ya kwanza dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya Mazungumzo baina ya Ustaarabu tofauti yenye lengo la kuchagiza amani, maelewano na mshikamano katika ulimwengu wa sasa uliogubikwa na chuki na mizozo.Na katika mashinani fursa ni yake Maria “Mãezinha” Sábado de Horta Fidalgo, Rais wa Ushirika wa wavuvi wadogo wa samaki katika kijiji cha Rincão kilichoko kisiwa cha Santiano nchini Cabo Verde barani Afrika anaelezea jinsi wanakabiliana na uhaba wa samaki kwenye eneo lao, na hii ni kutokana na mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs unaotekelezwa na mashirka ya Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais mstaafu wa DRC Joseph Kabila mjini Goma, Ngugi wa Thiongo aaga dunia

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 7, 2025 19:25


Makala ya wiki hii hadi mei 31 imeangazia kuwasili kwa rais mstaafu wa DR Congo Joseph Kabila katika mji wa Goma, kifo cha gwiji wa fasihi raia wa Kenya Ngugi wa Thiong'o kule Marekani, ripoti ya shirika la Amnesty International yasema zaidi ya watu elfu kumi waliuawa nchini Nigeria katika kipindi cha miaka miwili, Sidi Ould Tah kutoka Mauritania ndiye rais mpya wa Benki ya maendeleo ya Afrika, na Israeli kujenga makazi mapya katika ukingo wa Jordan.Ungana na mwandishi wetu Emmanuel Makundi 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wanaharakati wa Kenya na Uganda wajieleza, Rais wa DRC akutana na mpinzani Martin Fayulu

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 7, 2025 20:18


Wito wa wanaharakati wa haki za binadamu kwa serikali za Kenya na Tanzania, kuwashughulikia maafisa wa polisi waliowatendea dhulma na unyanyasaji wa kijinsia, mkutano kati ya rais wa DRC Félix Tshisekedi na mwanasiasa wa upinzani na kiongozi wa chama cha Ecidé Martin Fayulu, siasa za Uganda, Kenya maeneo ya afrika magharibi na kati na pia katika mataifa mengine 

SBS Swahili - SBS Swahili
Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 7:01


Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

Il Corsivo di Daniele Biacchessi
Questione territoriale e questione identitaria | Il Corsivo di Venerdì 30 Maggio 2025

Il Corsivo di Daniele Biacchessi

Play Episode Listen Later May 30, 2025 3:13


Quando si parla di Medio Oriente, le opinioni che tendono a prevalere – anzi, forse addirittura ad uniformarsi – sono quelle che, in maniera sostanzialmente trasversale, ci spiegano che la pace in Terra Santa diventerà una realtà soltanto il giorno in cui Israele accetterà la presenza di uno Stato palestinese ai suoi confini. E se diplomazie, università e media insistono su questo tasto con tanta convinzione, sarebbe sconsiderato non prestare, alle loro argomentazioni, tutta l'attenzione che indubbiamente meritano. A voler essere però storicamente precisi, bisogna pure riconoscere che, in origine, i primi a ragionare in termini di “due stati e due popoli”, sono stati proprio gli Israeliani, i quali, fin dal 29 novembre del 1947, accettarono la Risoluzione 181 dell'ONU che prevedeva la spartizione del territorio palestinese fra due istituendi Stati: uno ebraico, l'altro arabo, con Gerusalemme sotto controllo internazionale. Il rifiuto di questo Piano da parte del mondo arabo condurrà – come noto – allo scoppio della prima guerra arabo / israeliana del 1948. Ed a questo proposito, ricordiamo che le truppe di Egitto, Siria, Libano, Transgiordania e Iraq invasero Israele proprio il giorno dopo la sua nascita ufficiale: il 15 maggio 1948. Passano gli anni (e sono anni insanguinati da entrambe le parti), ma, nel luglio del 2000 – anfitrione il presidente Clinton – a Camp David l'allora premier israeliano Ehud Barak mostra di credere ancora alla soluzione dei “due stati”, offrendo a Yasser Arafat uno Stato palestinese su oltre il 94% della Cisgiordania, tutta Gaza e con capitale a Gerusalemme Est. Una soluzione decisamente favorevole che, tuttavia, il Rais sorprendentemente rifiuta. Otto anni più tardi un nuovo leader israeliano – questa volta si tratta di Ehud Olmert – si spinge persino oltre Camp David, proponendo al presunto “moderato” Abu Mazen, ulteriori scambi di territorio per compensare gli insediamenti, il controllo congiunto sui luoghi sacri di Gerusalemme ed un ritorno parziale dei rifugiati palestinesi. Anche in questo caso però, l'offerta non verrà presa in considerazione. Nel frattempo, nel 2005, Israele – sotto il governo del generale Ariel Sharon, la cui fama non è certamente quella di un mite fraticello di Assisi – ha provveduto al ritiro unilaterale da Gaza, smantellando 21 insediamenti e dislocando altrove oltre 9.000 coloni israeliani. In cambio della rinuncia totale al territorio, Tel Aviv non riceverà mai ringraziamenti o attestati di amicizia, ma dovrà invece accontentarsi di una pressoché quotidiana razione di missili provenienti proprio dalla Striscia, ormai divenuta il feudo di Hamas. Viene, pertanto, legittimo avanzare il sospetto che a dividere gli Arabi dagli Israeliani non siano tanto gli aspetti territoriali, quanto quelli identitari. In altre parole, il popolo palestinese è disposto a coesistere con quello ebraico? A noi pare, quindi, che, se davvero si vuole la pace, oltre a chiedere ad Israele alcune indispensabili concessioni territoriali, sia soprattutto prioritario domandare ai Palestinesi di chiarire, una volta per tutte, se sia maturato o meno il loro “si” ad una coesistenza irreversibile e senza retro pensieri. "Il Corsivo" a cura di Daniele Biacchessi non è un editoriale, ma un approfondimento sui fatti di maggiore interesse che i quotidiani spesso non raccontano. Un servizio in punta di penna che analizza con un occhio esperto quell'angolo nascosto delle notizie di politica, economia e cronaca. ___________________________________________________ Ascolta altre produzioni di Giornale Radio sul sito: https://www.giornaleradio.fm oppure scarica la nostra App gratuita: iOS - App Store - https://apple.co/2uW01yA Android - Google Play - http://bit.ly/2vCjiW3 Resta connesso e segui i canali social di Giornale Radio: Facebook: https://www.facebook.com/giornaleradio.fm/ Instagram: https://www.instagram.com/giornale_radio_fm/?hl=it

Habari RFI-Ki
Uganda : Ombi la Msamaha wa rais Museveni ni la kweli

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 29, 2025 9:56


Leo shaba yetu inalenga taifa la Uganda ambapo rais Yoweri #Museveni pamoja na mkewe wameomba raia wa nchi hiyo msamaha kwa mabaya yote ambayo serikali yao imetekeleza kwa miaka 39. Je, unafikiri kauli ya Rais Museveni na Mama Janet kuomba msamaha ni ya kweli au ni ya kisiasa?Skiza maoni ya mskilizaji wetu.

Habari RFI-Ki
Uganda : Ombi la Msamaha wa rais Museveni ni la kweli

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 29, 2025 9:56


Leo shaba yetu inalenga taifa la Uganda ambapo rais Yoweri #Museveni pamoja na mkewe wameomba raia wa nchi hiyo msamaha kwa mabaya yote ambayo serikali yao imetekeleza kwa miaka 39. Je, unafikiri kauli ya Rais Museveni na Mama Janet kuomba msamaha ni ya kweli au ni ya kisiasa?Skiza maoni ya mskilizaji wetu.

Ohrenweide
Márais' Haus - von Michael Speier

Ohrenweide

Play Episode Listen Later May 26, 2025 1:37


Habari za UN
Raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi, Türk amsihi Rais kukataa muswada - Uganda

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 23, 2025 1:52


Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake ameelezea wasiwasi wake kuhusu kupitishwa kwa muswada uliopendekezwa na Bunge la Uganda unaoruhusu raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC: Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki wamtaka Rais Felix Tshisekedi kuwaamini viongozi wa dini

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 22, 2025 20:00


Makala haya yanaangazia taarifa mbalimbali ikiwemo, Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini DRC wamtaka Rais Felix Tshisekedi kuwaamini viongozi wa dini kusaidia kuleta amani na utulivu Mashariki mwa nchi hiyo na pia serikali ya Uganda yawasilisha mswada tata bungeni kuruhusu kesi za kiraia kupelekwa kwenye Mahakama ya kijeshi. Taarifa zingine ambazo utaziskia ni uongozi wa kijeshi nchini Mali wasitisha sheria kuhusu vyama vya siasa nchini humo na Mazungumzo ya ana kwa ana kati ya wajumbe wa Ukraine na Urusi yamefanyika wiki hii nchini Uturuki kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2022.

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 20, 2025 9:27


Leo tunaangazia ,hatua ya  Tanzania kuwazuia  Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga  waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 20, 2025 9:27


Leo tunaangazia ,hatua ya  Tanzania kuwazuia  Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga  waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

Habari za UN
19 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 19, 2025 11:08


Hii leo jaridani tunaangazia masuala ya afya, na wakimbizi wa Syria wanaorejea nchini mwao. Makala tukwenda nchini Kenya kumulika ufukaji wa nyuki, na mashinani tunakuletea ujumbe wa Katibu Mkuu wa IMO kuhusu Siku ya Kimataifa ya wanawake mabaharia.Wajumbe kutoka kote duniani wamekusanyika mjini Geneva, Uswisi, kwa ajili ya Mkutano wa 78 wa Baraza la Afya Duniani (WHA78) unaofanyika kuanzia leo Mei 19 hadi 27 Mei mwaka huu.Tangu kuangushwa kwa utawala wa aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al Assad aliyekuwa madarakani kwa zaidi ya muongo mmoja, wananchi wa Syria wamekuwa wakimiminika kurejea nchini mwao ambapo takwimu za sasa zinaonesha zaidi ya Wasyria 500,000 wamerejea kutoka nchi jirani. Mmoja wa waliorejea ni Babu Jassim na Leah Mushi anatuletea simulizi yake.Katika makala tunaelekea Kajiado nchini Kenya, ambako juhudi za utunzaji mazingira kupitia mradi wa ufugaji wa nyuki unaofadhiliwa na shirika la misaada la Marekani USAID kwa kushirikiana na idara ya misitu ya Kenya KFS hazichangii tu katika kukuza uchumi wa jamii, bali pia kulinda mazingira. Kupitia Makala hii iliyoandaliwa na Sharon Jebichii, Bwana Mureithi mmoja wa wanufaika wa mradi huo anaanza kwa kueleza mafanikio yao.Nakatika mashinani, fursa ni yake Arsenio Dominguez, Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Usafirishaji Majini, IMO akitoa ujumbe wa ujumuishaji na usawa wa kijinsia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya wanawake mabaharia ambayo huadhimishwa tarehe 18 mwezi Mei kila mwaka.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Simulizi ya Babu Jassim anayerejea nchini Syria kutoka Lebanon

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 19, 2025 2:18


Tangu kuangushwa kwa utawala wa aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al Assad aliyekuwa madarakani kwa zaidi ya muongo mmoja, wananchi wa Syria wamekuwa wakimiminika kurejea nchini mwao ambapo takwimu za sasa zinaonesha zaidi ya Wasyria 500,000 wamerejea kutoka nchi jirani. Mmoja wa waliorejea ni Babu Jassim na Leah Mushi anatuletea simulizi yake.

Rencontres Surnaturelles
Portrait Ensorcelé 1 : Marie Navart, une sorcière au XVIIe siècle - suivi par un entretien avec l'historienne Justine Jouet

Rencontres Surnaturelles

Play Episode Listen Later May 16, 2025 47:21


Soutenez le podcast et choisissez votre contrepartie originale sur https://fr.tipeee.com/rencontres-surnaturelles-juliette-dargand Marie Navart, la sorcière de Templeuve : portrait d'une justice à charge Premier opus d'une nouvelle série que je vous livre aujourd'hui : Les portraits ensorcelés. Un focus sur une personnalité forte ou au destin marqué autour du monde de l'occultisme ou du paranormal (Allan Kardec, Gilles de Rais, Elisabeth Bathory, les époux Waren...). La première personne à laquelle je souhaitais rendre hommage est Marie Navart, une jeune femme indépendante qui vivait dans les Hauts de France au XVIIe siècle et qui a connu un destin tragique après avoir été trahie par ses proches et tout le village dans lequel elle résidait depuis de nombreuses années. Humiliée, battue, violentée puis brûlée vive après un procès de 36 jours. Trahie par ses proches, dénoncée par toute la communauté du petit village de Templeuve-en-Pévèle dans lequel elle œuvrait en tant que sage-femme. Un procès en sorcellerie comme toujours à charge pour l'accusée, sur fonds d'obscurantisme et de jalousie familiale mal déguisée. À travers ce récit du procès de Marie Navart, accusée à tort de sorcellerie et victime de la jalousie et de la peur collective dans la France du XVIIe siècle, je souhaitais revenir sur la mécanique terrifiante des procès en sorcellerie : de la dénonciation à la torture, et jusqu'à la condamnation. Grâce à un récit immersif et éclairant, je vous plonge au cœur de la persécution de femmes indépendantes et vulnérables, souvent victimes de jalousies, de peurs collectives et d'un système judiciaire brutal. En deuxième partie, Justine Jouet, historienne de la sorcellerie et conférencière, vient apporter un éclairage expert sur la question de la chasse aux sorcières et répondre aux questions que vous vous posez sur ce thème. Elle éclaire pour nous cette sombre page de notre histoire, explore les racines de ces chasses aux sorcières, et questionne la place occupée par les femmes, souvent jugées trop indépendantes ou marginales. Au fil de notre discussion, nous abordons aussi la construction de la figure de la sorcière, les rivalités familiales, la manipulation religieuse, mais aussi le travail de mémoire et de réhabilitation de ces victimes. Un épisode entre histoire, mémoire et réflexion, pour faire entendre la voix de celles et ceux que l'on a fait taire. https://www.histoiresdesorcieres.com/ https://www.instagram.com/justine_jouet_auteure/ Merci à Stéphane Genêt - du podcast "T'as qui en histoire ?" qui a prêté sa douce voix au personnage de l'Inquisiteur.   Écriture, composition, montage et réalisation sonore par Juliette Dargand, tous droits réservés Membre du Label Tout Savoir. Régies publicitaires : PodK et Ketil Media Soutenez-nous sur Tipeee !

Habari za UN
08 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 8, 2025 11:12


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa ambayo Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuzungumza na kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji ya Wamaasai mkoani Morogoro nchini Mashariki mwa Tanzania Adam Kulet Ole Mwarabu.Wiki kumi baada ya kuanza kwa mzingiro kamili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza, zaidi ya robo tatu ya kaya katika eneo la Palestina kuna uhaba mkubwa wa huduma ya maji, huku hali ya usafi ikizidi kuwa mbaya, yameonya leo mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu athari za "uhaba huo wa maji kwa kuzingatia kuwa msimu wa joto unakaribia.”Ripoti kutoka Sudan zikidai kwamba juzi jumatano kulikuwa na jaribio la mashambulizi mapya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya kitovu muhimu cha misaada nchini humo juzi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kupitia tamko alilolitoa jana jioni kwa saa za New York, Marekani, ameongeza nguvu yake katika kutoa wito unaozidi kuwa wa muhimu kuhamasisha kuanzishwa kwa mazungumzo ya amani ya kweli.Kufuatia kuendelea kwa mvutano wa majirani, India na Pakistani, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Philemon Yang, ametoa wito wa kuzitaka nchi hizo mbili kuchukua tahadhari na kuepuka hatua zinazoweza kuongeza mzozo. Balozi Yang anasisitiza mazungumzo ya amani na kufuata sheria za kimataifa ndiyo njia pekee ya kusuluhisha migogoro.”Na katika jifunze Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

História pros brother
Serial ki**** medieval

História pros brother

Play Episode Listen Later May 7, 2025 46:51


Gilles de Rais, foi um filho de pai rico que andava com a Joana d'Arc e curtia musical. TA ACABANDO GALERA!

Tous les chemins mènent à Barcelone
52. Yassir Rais (Syra Coffee) : "Tout est né d'une intuition, je n'avais pas de business plan"

Tous les chemins mènent à Barcelone

Play Episode Listen Later May 7, 2025 25:25


Pour ce nouvel épisode, rencontre avec Yassir Rais, fondateur de Syra Coffee, ces petites adresses de cafés de spécialité devenues incontournables à Barcelone. Recommandé par mes collègues amateurs de bon café (pour ne pas dire accros au Syra), l'entrepreneur a accepté avec enthousiasme de partager son parcours.Yassir est né en France et a grandi à Barcelone, c'est son premier podcast en français. On y parle d'intuition, de design, de Barcelone, Madrid et Bilbao, de l'art de dire non et des gens qui mettent du sucre dans leur café.

História pros brother
Serial ki**** medieval

História pros brother

Play Episode Listen Later May 7, 2025 46:51


Gilles de Rais, foi um filho de pai rico que andava com a Joana d'Arc e curtia musical. TA ACABANDO GALERA!

Passaporte pro Crime
#36 - Gilles de Rais: o herói nacional que virou serial killer - Nantes | França

Passaporte pro Crime

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 41:34


O braço direito de uma das maiores figuras da história francesa teve a sua virada de ponta-cabeça da noite para o dia. Gilles de Rais foi considerado por grande parte da sua vida um herói nacional por lutar em batalhas importantes representando a França e o povo francês.Até que tudo mudou e ele passou a ser a própria personificação do mal no país, sendo considerado por muitos o primeiro serial killer da história.Nesse episódio eu vou te contar tudo sobre essa figura tão marcante da França, vou falar sobre seu julgamento - que foi de longe um dos mais icônicos da idade média - e claro, te contar o que você pode visitar na França pra conhecer mais sobre essa figura e o período em que ele atuou.Locais mencionados no episódio:Castelo de Tiffauges, ou Chateau Tiffauges, ou Castelo do Barba AzulA Catedral de São Pedro e São Paulo, ou Catedral de NantesPara contato, parcerias e sugestões você pode entrar em contato por:E-mail: ⁠passaporteprocrime@gmail.com⁠Instagram: @andressaisferTikTok: @andressa.isferSe você gosta do Passaporte pro Crime, considere apoiar o projeto com o valor que quiser viaOrelo: ⁠⁠orelo.cc/passaporteprocrime⁠Apoia.se: https://apoia.se/passaporteprocrimePatreon: patreon.com/PassaporteproCrimeAos apoiadores, obrigada!

Wimbi la Siasa
DRC: Kabila aripotiwa kufikia Goma, huku chama chake kikifungiwa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 10:11


Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila, Aprili 18, aliripotiwa kurejea nchini na kufikia jijini Goma, linalodhibitiwa na waasi wa M 23. Hata hivyo, taarifa hizi hazijathibitishwa rasmi. Serikali jijini Kinshasa, nayo imesitisha shughuli zote za kisiasa za chama chake cha PPRD. Kabila anashtumiwa na serikali kwa kuunga vitendo vya waasi hao.

SBS Swahili - SBS Swahili
Msamaha wa Rais Tshisekedi kwa wafungwa wafanya raia wa Rubero kuishi kwa wasiwasi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 7:23


Raia wanao ishi Butembo na miji ya karibu, wamesema wanaishi kwa hofu baada ya zaidi ya wafungwa 100 kuachiwa huru.

Eager To Know
John Rais - Metalsmith

Eager To Know

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 17:53


Metalsmithing and applied design with John Rais. Thank you, John, for speaking with us.  Be sure to explore his wonderful work at:   https://www.johnraisstudios.com

Bow and Blade
Q&A #12: How strong were gunpowder weapons in the Middle Ages?

Bow and Blade

Play Episode Listen Later Mar 31, 2025 62:29


In this episode, Michael Livingston and Kelly DeVries answer your questions, including: Which medieval sites should one visit in southern England and Wales? Was Gilles de Rais guilty of being a mass-murderer? How strong were gunpowder weapons in the Middle Ages?   You can support this podcast, and listen to it ad-free, by joining our Patreon - go to https://www.patreon.com/medievalists    

A les portes de Troia
491 - Gilles de Rais: el primer assassí en sèrie de la història?

A les portes de Troia

Play Episode Listen Later Mar 30, 2025 55:00


Aquesta setmana, A les Portes de Troia, viatgem a la França del segle XV per descobrir la fosca història de Gilles de Rais. Heroi de guerra i company d'armes de Joana d'Arc, però també protagonista d'un dels casos més aterridors de l'edat mitjana. Assassí en sèrie? Sàdic sense escrúpols? O víctima d'una conspiració? Explorarem la seva vida, els seus crims i la seva herència llegendària i a la cultura popular. Segueix-nos, escolta'ns i interactua amb nosaltres: https://linktr.ee/portesdetroia Escolta als companys de La Nit més Fosca! https://linktr.ee/lanitmesfosca

Oh...The Horror
Episode 207 - Gilles de Rais

Oh...The Horror

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 89:28


Jenn and Frank talk about the chilling true story of Gilles de Rais, the knight who fought alongside Joan of Arc—only to become one of history's most infamous killers.Hello Horror Fanatics! Welcome to Oh...The Horror! A weekly podcast for all things horror, supernatural, scary and downright creepy.We hope you give us a listen and add us to your regular rotation of podcasts.You can learn more about our podcast, connect to your favorite podcast platform, social media presence, and donations using the link below:https://linktr.ee/ohthehorrorpodcastPlease email any show ideas, comments and suggestions to oth@seriouslydecent.comProud to be listed in the Top 100 Horror Podcasts on Feedspot.

Habari za UN
Umri wa kuoa au kuolewa Côte d'Ivoire ni kuanzia miaka 18 - Francine

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 4:40


Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui  Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.

Khandaan- A Bollywood Podcast
Ep 264- Tridev - 80s Dhamaka Series

Khandaan- A Bollywood Podcast

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 75:58


Welcome to Khandaan: A Bollywood Podcast and the next movie in our 80s Dhamaka series is TRIDEV (1989). Directed and cowritten by Rajiv Rai, TRIDEV was a ginormous hit when it came out - enough for the Rais to repurpose it with Vishwatma a couple of years later. Starring Sunny Deol, Madhuri Dixit, Jackie Shroff, Sangeeta Bijlani, Naseeruddin Shah, Sonam, Amrish Puri and Anupam Kher among others, Tridev is still famous for its songs, composed by Kalyanji-Anandji although a case could be made that this was just an early Viju Shah soundtrack. This movie embodies the 80s vibe in a way that few others can pull off. The fashion, the songs, the villains, the homoerotic tension, there's a lot to get through this week. A big Shoutout to our friend Dj Shai Guy for the 80's Dhamaka Theme song. You can check out more of Shai's work here  

Jioni - Voice of America
Maafisa kutoka chama cha Rais wa zamani wa DRC, Joseph Kabila wameitwa kufika mbele ya mwendesha mashtaka wa kijeshi leo Jumatatu . - Machi 10, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 10, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani kukutana na Rais wa Ukraine - Machi 09, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 9, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Rais wa zamani wa Namibia, Sam Nujoma, azikwa - Machi 01, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 1, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Mjumbe wa Trump akutana na Rais wa Ukraine licha ya mtafaruku uliopo kati ya Viongozi hao wawili - Februari 21, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 29:59


Des si et des rais
Ép. 648 | Laurie Théroux goes CRAZY!

Des si et des rais

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 70:10


Cet épisode est une présentation NordVPNhttps://nordvpn.com/rais pour obtenir 4 mois gratuitsEssayez-le sans aucun risque grâce à la garantie « satisfait ou remboursé » de 30 jours!///Pour suivre notre invitée Laurie Théroux:https://www.instagram.com/laurietheroux/https://www.tiktok.com/@laurietherouxSpectacle Hors Contexte:https://fb.me/e/9YozdV5SR///C'EST L'UN DES PREMIERS PODCASTS DE LAURIE THÉROUX, TOUT LE MONDE! ON ESPÈRE VRAIMENT QU'ELLE VA SE REMETTRE DE NOUS AUTRES UN JOUR!D'entrée de jeu, Maxime Gervais repousse encore une fois les limites de ce qu'est le pire début d'émission de toute l'Histoire du podcast. Murphy Cooper re-confirme qu'il porte la merch du Canadien, mais qu'il ne s'intéresse pas au hockey. Mathieu Niquette a une fois de plus laissé sa place à Pet Harris, mais notre invitée Laurie Théroux est trop jeune pour avoir le référent, alors tout ça ne sert pas à grand chose.Laurie en est à l'un de ses premiers podcasts à vie et on espère ne pas trop l'avoir fuckée avec notre patente. En tout cas, Maxime s'assure à plusieurs reprises qu'elle se sent bien avec tout ça!Dans la portion entrevue, on apprend que notre invitée a une santé de fer et que sa mère priait à voix haute lorsque Laurie s'est fait retirer ses 4 dents de sagesse en même temps, mais surtout, Maxime cherche très, très, très fort à savoir tout au long de l'entrevue à quoi ça ressemble quand Laurie goes CRAZY! On ne l'apprend pas vraiment puisqu'elle a un comportement assez égal et posé, mais le côté crazy vient de Murphy qui dévoile un pan de sa vie qu'on connaissait moins : sa période de douchebag qui club! Puis on pogne un autre sacré coup de vieux quand Laurie nous révèle qu'elle est née 10 jours avant le 11 septembre 2001! Elle ne connaît pas non plus System of a Down et Max le prend bien mal. Elle lance ensuite des fleurs à son collègue des Mardis de l'humour au Brouhaha Ahuntsic, Mathieu Chiasson. Puis on écoute un message vocal de Lauriane Lalonde qui nous traite encore de vieux pets. Maxime donne des conseils non-sollicités sur la gestion des réseaux sociaux de notre invitée et il évoque sa théorie selon laquelle un réseau social devient pertinent au moment où Arnaud Soly s'y inscrit. Puis la discussion nous amène à jaser de cheerleading, puisque Laurie pratiquait ce sport et garrochait des gens dans les airs, mais Niquette scrappe le moment avec une autre intervention très cringe. Et Laurie termine sa propre entrevue en nous parlant de Mario Kart.Dans le segment des chroniques, Niquette fait une chronique HAUTEMENT CONTROVERSÉE qui pourrait signaler la fin de Des si et des rais puisqu'il incite les gens (ou pas, c'est pas clair) à pirater les plateformes de streaming américaines via le site Free Media Heck Yeah où absolument TOUT est trouvable, ou presque!Laurie nous a pour sa part préparé toute une chronique puisqu'elle a pris le temps de nous écrire un authentique jeu dont vous êtes le héros qui se déroule à l'époque médiévale. On assiste donc à une enquête remplie de rebondissements tous plus louches, mystérieux et dégoûtants les uns que les autres et on tente malhabilement de se rendre au bout du récit en un seul morceau.Des si et des rais: Le podcast qui go CRAZY!Invitée : Laurie ThérouxAvec : Murphy Cooper, Maxime Gervais et Mathieu NiquetteCaptation / Montage / Réalisation : Jonathan BarbeDate d'enregistrement: 3 février 2025Date de diffusion: 20 février 2025///Abonnez-vous à nos réseaux sociaux via le ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠LinkTree⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠///Shoutout à Eros et Compagnie Code promo RAIS15 pour 15% de rabais⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠https://erosetcompagnie.com⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Shoutout à Polysleep⁠Code promo RAIS30 pour 30% de rabais⁠https://polysleep.ca⁠Shoutout à Saily

Nuestro insólito universo
Nuestro Insolito Universo 'Gilles de Rais'

Nuestro insólito universo

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 5:09


Nuestro Insolito Universo 'Gilles de Rais'. En los cinco minutos de duración que tiene este programa se narran historias asombrosas referentes a cualquier tema.La primera transmisión de este programa se realizó por la RadioNacional de Venezuela el 4 de agosto de 1969 y su éxito fue tal que, posteriormente, fue transmitido también por Radio Capital y, actualmente, se mantiene en la Radio Nacional (AM) y en los circuitos Éxitos y Onda, de Unión Radio (FM), lo cual le otorga una tribuna de red AM y FM que cubren todo el país, uno de los programas radiales más premiados y de mayor duración en la historia de la radio de Venezuela.

SBS Swahili - SBS Swahili
Rais Tshisekedi awarai vijana wajiunge na jeshi kupambana na M23

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 6:44


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi, amewarai vijana kujiunga kwa wingi na jeshi la taifa kusaidia kupambana na waasi wa M23 wanaojaribu kukamata maeneo makubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo.

Alfajiri - Voice of America
Wabunge wa chama tawala wa Zimbabwe wapanga kufanya marekebisho ya katiba ili kuruhusu muhula wa tatu wa Rais. - Januari 31, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Le Coin Du Crime
Gilles de Rais : le premier tueur en série de l'Histoire !

Le Coin Du Crime

Play Episode Listen Later Jan 26, 2025 43:41


Plongez dans l'effroyable histoire de Gilles de Rais, chevalier et compagnon de Jeanne d'Arc, devenu l'un des premiers tueurs en série de l'Histoire. Entre gloire, déchéance et mystère, découvrez les sombres secrets d'un homme qui a marqué le XVe siècle par ses crimes inavouables. Hébergé par Acast. Visitez acast.com/privacy pour plus d'informations.

Entrez dans l'Histoire
"Barbe Bleue" : la face cachée de Gilles de Rais

Entrez dans l'Histoire

Play Episode Listen Later Jan 25, 2025 25:08


REDIFF - Pour la 1ère de l'émission "Entrez dans l'histoire", Lorànt Deutsch revenait sur la vie du pire tueur en série du Moyen Âge ! Un monstre sanguinaire, personnage aux deux visages, illustre maréchal de France, et compagnon d'armes de Jeanne d'Arc ! Un homme qui, dans les catacombes de son sinistre château de Tiffauges, s'est livré aux pires atrocités sur un grand nombre d'enfants. 140, officiellement. Tortures, viols, magie noire, pacte avec le diable... C'est l'effroyable seigneur Gilles de Montmorency-Laval, plus connu sous le nom de Gilles de Rais et que la culture populaire retiendra sous le sobriquet folklorique... de Barbe Bleue ! Chaque samedi en exclusivité, retrouvez en podcast un épisode des saisons précédentes d'Entrez dans l'Histoire.

Women to Watch™
Sherry Rais, Enthea | Healing through psychedelic therapy

Women to Watch™

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 46:06


As far back as her youth growing up in suburban Toronto, Sherry Rais has felt compelled to help - especially the less fortunate and people dealing with crisis. She even spent time as a teenager living with the homeless for two days! After working with the United Nations and World Bank, Sherry decided to set out on her own. The result? Enthea, an innovative mental health benefits company aimed at supporting employees through cutting-edge, evidence-based therapy tools, like Ketamine. In her interview with Women to Watch's Sue Rocco, Sherry explains the science - and results - in these emerging treatment methods.Support this podcast at — https://redcircle.com/women-to-watch-r/donationsAdvertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Januari 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 21, 2025 21:03


Waziri wakigeni Penny Wong amesema Australia ina kesi imara, yakuto jumuishwa katika pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump kutoza ushuru.

East Anchorage Book Club with Andrew Gray
Issa Spatrisano: Alaska State Refugee Coordinator

East Anchorage Book Club with Andrew Gray

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 55:26


Send us a textAlaska State Refugee Coordinator Issa Spatrisano does her work through Catholic Social Services' Refugee Assistance and Immigration Services (RAIS), which is the resettlement agency for the state of Alaska. RAIS connects newly arrived refugees with housing, jobs, and other services that weave them into the Alaska community. A refugee is someone who has been forced to flee his or her home because of war, violence or persecution, often without warning. They are unable to return home due to unsafe conditions in their native land.Those who obtain refugee status are given protections under both international and US federal law. An asylum seeker is someone who is also seeking international protection from dangers in his or her home country, but whose claim for refugee status hasn't yet been determined legally. Asylum seekers apply for protection in the country of destination. Until an asylum seeker has attained the correct status they may not be able to access refugee services.In most cases to qualify for help from RAIS a person must have federal refugee status.There are many more folks (immigrants, migrants, & others) who need assistance than qualify for it.Today we are primarily talking about folks with refugee status. But as you will hear the terminology is challenging because Alaska has had a recent influx of Afghan and Ukrainian refugees who have a different status (humanitarian parole). What will happen to them during the Trump administration is up in the air.To listen to the recent podcast episode with Alaska Literacy Program's outgoing and incoming executive directors Lori Pickett and Deepika Ramesh Perumal, click here. This is an edited version of the original episode. Please email Rep.Andrew.Gray@akleg.gov or call 907-269-0123 for a link to the complete version.

Entrepreneurs on Fire
Creating a Luxury Leadership Brand with Shaan Rais

Entrepreneurs on Fire

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 23:13


Shaan Rais is a Luxury Branding Consultant, helping CEO's, Business Owners and Entrepreneurs position themselves lucratively apart from their competition. His skillset is helping you differentiate and dominate in business. Top 3 Value Bombs 1. Price is a reflection of value and not market trends. 2. Those who pay the least want the most and those who pay the most want the least. The higher the price the more value the client and the less work is required from you so start at the top. 3. No one can be more than you, than you. The stronger your personal brand, the more you attract higher paying clients, higher paying opportunities and higher volume value partnerships. Take the Free Assessment to Reveal Your TRUE Brand Identity - Leadership Brand Assessment Sponsors HubSpot Breeze is HubSpot's collection of AI tools that helps you turn one piece of content into a whole suite of assets. Visit HubSpot.com/marketers to learn more Thrivetime Show Attend the world's highest rated business growth workshop taught personally by Clay Clark & featuring Robert Kiyosaki and Eric Trump at ThrivetimeShow.com/eofire Author100 A 100-day program where I will personally guide you 1-on-1 to create, write, publish and market your book! If you want daily guidance and mentorship from me, JLD, then head over to Author100.com to sign up for a free call to chat about the details

Alexa Entrepreneurs On Fire
Creating a Luxury Leadership Brand with Shaan Rais

Alexa Entrepreneurs On Fire

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 23:13


Shaan Rais is a Luxury Branding Consultant, helping CEO's, Business Owners and Entrepreneurs position themselves lucratively apart from their competition. His skillset is helping you differentiate and dominate in business. Top 3 Value Bombs 1. Price is a reflection of value and not market trends. 2. Those who pay the least want the most and those who pay the most want the least. The higher the price the more value the client and the less work is required from you so start at the top. 3. No one can be more than you, than you. The stronger your personal brand, the more you attract higher paying clients, higher paying opportunities and higher volume value partnerships. Take the Free Assessment to Reveal Your TRUE Brand Identity - Leadership Brand Assessment Sponsors HubSpot Breeze is HubSpot's collection of AI tools that helps you turn one piece of content into a whole suite of assets. Visit HubSpot.com/marketers to learn more Thrivetime Show Attend the world's highest rated business growth workshop taught personally by Clay Clark & featuring Robert Kiyosaki and Eric Trump at ThrivetimeShow.com/eofire Author100 A 100-day program where I will personally guide you 1-on-1 to create, write, publish and market your book! If you want daily guidance and mentorship from me, JLD, then head over to Author100.com to sign up for a free call to chat about the details

Au cœur de l'histoire
[2/2] Gilles de Rais, un tueur en série dans l'entourage de Jeanne d'Arc

Au cœur de l'histoire

Play Episode Listen Later Dec 2, 2024 15:04


Virginie Girod raconte le parcours du premier tueur en série de l'Histoire de France dans le deuxième épisode d'un récit inédit d'Au cœur de l'Histoire.Alors que la France et l'Angleterre s'affrontent lors d'un conflit qui prendra le nom de guerre de Cent Ans, le jeune baron Gilles de Rais s'illustre sur le champ de bataille et devient l'un des compagnons d'armes de Jeanne d'Arc. Fortuné et courageux au combat, il est élevé au rang de Maréchal de France à l'âge de 26 ans. Mais dans l'ombre de son château, Gilles de Rais s'adonne aux sacrifices humains, faisant de nombreuses victimes. Bientôt, il est arrêté et condamné à la peine capitale. Au Cœur de l'Histoire est un podcast Europe 1.- Présentation et écriture : Virginie Girod- Production : Armelle Thiberge et Morgane Vianey- Réalisation : Nicolas Gaspard- Composition du générique : Julien Tharaud- Promotion et coordination des partenariats : Marie Corpet- Visuel : Sidonie Mangin Monstruosité et marginalité chez Gilles de Rais Gilles de Rais, maréchal de France dit Barbe-Bleu

Au cœur de l'histoire
[1/2] Gilles de Rais, un tueur en série dans l'entourage de Jeanne d'Arc

Au cœur de l'histoire

Play Episode Listen Later Dec 2, 2024 12:47


Virginie Girod raconte le parcours du premier tueur en série de l'Histoire de France dans un double récit inédit d'Au cœur de l'Histoire.Au XVe siècle, derrière les remparts du château de Machecoul, le seigneur Gilles de Rais (1404-1440) se livre à des actes de tortures, assassinant de jeunes enfants afin de s'attirer les bons offices du démon. Mais cet ogre sans scrupules est doté d'un visage double. Compagnon d'armes de Jeanne d'Arc durant la guerre de Cent Ans, il mène une grande carrière militaire et reçoit le titre de Maréchal de France après le siège d'Orléans. Bientôt, le héros de guerre doit répondre de ses actes. Au Cœur de l'Histoire est un podcast Europe 1.- Présentation et écriture : Virginie Girod- Production : Armelle Thiberge et Morgane Vianey- Réalisation : Nicolas Gaspard- Composition du générique : Julien Tharaud- Promotion et coordination des partenariats : Marie Corpet- Visuel : Sidonie Mangin Ressources en ligne :Monstruosité et marginalité chez Gilles de Rais Gilles de Rais, maréchal de France dit Barbe-Bleu

Scared All The Time
The Boogeyman

Scared All The Time

Play Episode Listen Later Oct 17, 2024 105:41


Join hosts Ed Voccola (Rick and Morty, Bless The Harts) and Chris Cullari (Blumhouse, The Aviary) for a wild trip through the world of what scares them. This week, the boys take a haunted trip around the world to explore the history of the child-eating monster known as the boogeyman. From Michael Myers to pirates to sack-men to an ancient serial killer with the wealth of a billionaire and a body count for the history books, Chris and Ed leave no stone unturned and no closet un-opened in this one. Don't love every word we say? Ok, weirdo. Here's some "chapters" to find what you DO love: 00:00:00 - Intro 00:01:24 - Housekeeping 00:05:44 - We're Talking The Boogeyman… for a while. 00:35:56 - Boogeyman World Origins 00:47:12 - Black Man 00:51:22 - Bugis 00:56:38 - Lamia 01:11:42 - El Cucuy 01:16:22 - Bag Men 01:19:16 - Other International Boogeymen 01:23:33 - English and Native American Boogeymen 01:27:24 - Gilles de Rais (disclaimer story) 01:38:02 - End of disclaimer story  01:39:47 - Other Historical Boogeymen 01:42:58 - The Fear Tier NOTE: Ads out of our control may affect chapter timing. Visit this episode's show notes for links and references. And the show notes for every episode can now be found on our website. Want even more out of SATT? You can SUPPORT THE SHOW and grab yourself ad-free episodes, a welcome button, and more by joining SATT PREMIUM.

Ninjas Are Butterflies
107 - Planet Killer Asteroid, Ancient Nuclear War, and California Quakes

Ninjas Are Butterflies

Play Episode Listen Later Sep 13, 2024 92:23


Ready to take a wild ride through history, mystery, and a healthy dose of paranoia? In episode 107, we dive into the world of ancient Hindu weapons (because swords weren't deadly enough), meet France's first super serial killer, Gilles de Rais (spoiler: he's terrifying), and face the cold hard truth about what happens when asteroids and earthquakes decide to team up against us. Buckle up! Will history's wildest inventions save us from impending doom? Will we make it through an episode without getting off-track? (Unlikely.) Hit play to find out! Get MORE Exclusive Ninjas Are Butterflies Content by joining our Patreon: https://www.patreon.com/NinjasAreButterflies Thanks to our sponsor 1stPhorm! Go check out their products at: https://www.1stPhorm.com/ninjas Go to https://magicmind.com/ninja and use code: ninja20 Powered By Sunday Cool Tees! Start your order today! https://bit.ly/NinjasYT-SundayCool New Episodes Drop Every Friday at 6AM EST.