POPULARITY
Categories
Miongoni mwa tarifa utakazoskia katika makala haya ni pamoja na, Rais wa Tanzania Samia Suluhu, ameagiza vyombo vya sheria kuangalia uwezekano wa kuwafutia mashtaka ya uhaini mamia ya vijana waliokamatwa kufuatia vurugu za uchaguzi wa Octoba 29, lakini hayo yakijiri kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi wa CHADEMA Tundu Lissu ilihairishwa kwa muda usiojulikana.
Neste episódio falamos de Gilles de Rais, poderoso senhor bretão de inícios do séc. XV, companheiro de Joana d'Arc e assassino em série. Abordamos as suas origens familiares, o seu percurso político e militar, bem como os crimes que acabaram por levá-lo ao cadafalso.Sugestões de leitura1. Jacques Heers – Gilles de Rais. Perin, 2005.2. Georges Bataille – Le Procès de Gilles de Rais, Jean-Jacques Pauvert, 1965.-----Obrigado aos patronos do podcast:André Silva, Bruno Figueira, Cláudio Batista, Gustavo Fonseca, Isabel Yglesias de Oliveira, Joana Figueira, Miguel Vidal, NBisme, Oliver Doerfler;Alessandro Averchi, Alexandre Carvalho, Andre Oliveira, Carla Pinelas, Carlos Castro, Civiforum, Lda., Cláudia Conceição, Daniel Murta, Domingos Ferreira, É Manel, Francisco, Hugo Picciochi, João Cancela, João Carreiro, João Pedro Tuna Moura Guedes, Jorge Filipe, José Beleza, Luís André Agostinho, Patrícia Gomes, Pedro Almada, Pedro Alves, Pedro Ferreira, Rui Roque, Tiago Pereira, Vera Costa;Adriana Vazão, Ana Gonçalves, Ana Sofia Agostinho, André Abrantes, Andre de Oliveira, André Silva, António Farelo, António J. R. Neto, António Silva , Bruno Luis, Carlos Afonso, Carlos Ribeiro, Carlos Ribeiro, Catarina Ferreira, Diogo Freitas, Eugenia Capela, Fábio Videira Santos, Francisco Fernandes, Gn, Gonçalo Pedro, Hugo Palma, Hugo Vieira, Igor Silva, João Barbosa, João Canto, João Carlos Braga Simões, João Diamantino, João Félix, João Ferreira, Joao Godinho, João Mendes, João Pedro Mourão, Joel José Ginga, Johnniedee, José Santos, Luis Colaço, Mafalda Trindade, Miguel Brito, Miguel Gama, Miguel Gonçalves Tomé, Miguel Oliveira, Miguel Salgado, Nuno Carvalho, Nuno Esteves, Nuno Moreira, Nuno Silva, Parte Cóccix, Paulo Ruivo, Paulo Silva, Pedro, Pedro Cardoso, Pedro Oliveira, Pedro Simões, Ricardo Pinho, Ricardo Santos, Rodrigo Candeias, Rui Curado Silva, Rui Rodrigues, Simão, Simão Ribeiro, Sofia Silva, Thomas Ferreira, Tiago Matias, Tiago Sequeira, Tomás Matos Pires, Vitor Couto.-----Ouve e gosta do podcast?Se quiser apoiar o Falando de História, contribuindo para a sua manutenção, pode fazê-lo via Patreon: https://patreon.com/falandodehistoria-----Música: “Five Armies” e “Magic Escape Room” de Kevin MacLeod (incompetech.com); Licensed under Creative Commons: By Attribution 4.0 License, http://creativecommons.org/licenses/by/4.0Edição de Marco António.
Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi mpango wa huu wa Trump na ni nini kinaweza kufanyika kumaliza mauaji ya kidini nchini Nigeria.
Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi mpango wa huu wa Trump na ni nini kinaweza kufanyika kumaliza mauaji ya kidini nchini Nigeria.
Katika jarida la habari za Umoja wa Mataifa hii leo utasikia kuhusu wito wa mataifa yote kuwekeza kwenye mifumo ya tahadhari za mapema ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu Tsunami. Utasikia pia ziara ya Rais wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa nchini Qatar ambapo amewatembelea wakimbizi wa kipalestina walioko nchini humo. Kutoka nchini Kenya utasikia juhudi za taasisi ya FODDAJ kusaidia jamii nchini Kenya kupambana na ukatili wa kijinsia.
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock ametembelea wakimbizi wa kipalestina huko Doha nchini Qatar kuwajulia hali na kujionea maisha yao baada ya kuondolewa wakati wa vita kali huko Ukanda wa Gaza eneo la wapalestina linalokaliwa kimabavu na Israel na kuletwa nchini Qatar kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Leah Mushi anatupa taswira ya ziara yake hiyo.Wakati wa michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 nchini Qatar nchi hiyo ilitenga eneo maalum na kujenga nyumba nyingi kwa ajili ya makazi kwa wale walioenda kutazama mechi za kombe la Dunia, eneo hilo pia lilikuwa na kiwanja cha mpira, eneo hilo ni Al-Thumama maarufu kama Al-Thumama complex katika mji wa Doha.Mtoto na simulizi kupitia pichaEneo hilo sasa limegeuzwa makazi ya dharura kwa zaidi ya wakimbizi 1,700 wa Kipalestina ambao waliondolewa nchini mwao wakati wa vita Kali kati ya majeshi ya Israel na wanamgambo wa Hamas vita ambayo imesitishwa hivi sasa. Wakimbizi hao wa kipalestina wakiwa katika eneo la Al-Thumama wanapatiwa matibabu ya kawaida, ya viungo na usaidizi wa kijamii.Rais wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock amefika katika eneo hilo ili kuwajulia hali.Kwanza alikutana na watoto, video inamuonesha akizungumza na mtoto wa kiume ambaye ameandika kitabu kwa njia ya picha na ndoto yake ni kitafsiriwe kutoka kiarabu kwenda lugha mbalimbali. toto huyo akatia saini nakala ya kitabu chake na kumpa Rais wa Baraza Kuu.Watoto licha ya majeraha bado wana matumainiKisha, Rais Baerbock anaonekana akizungumza na familia nyingine, pembeni mtoto mmoja mwenye umri kama wa miaka mwili hivi mkono wake wa kulia unaonekana umekatwa chini kidogo ya bega. Mtoto huyo anarukaruka kwenye kochi huku wanafamilia yake wakizungumza na mgeni.Anatoka akitembea kwenda eneo jingine lakini ndani ya eneo hilo hilo la Al-Thumama kwenye chuo cha ufundi stadi na kujionea namna wanawake wanavyojishughulisha na kazi za mikono ikiwemo ufumaji kwa kutumia mashine za kisasa za mkono.Akitoka huko akiwa na wanawake kadhaa akawa anaelekea eneo lenye hospitali … njiani akakutana na mwanamke akiwa kwenye kiti mwendo, wakasimama na mwanamke huyo akawapa vitafunywa wakala na kufurahia huku Rais wa Baraza Kuu akisifu kwa utamu wa vitafunio hivyo.Baada ya hapo safari ya kwenda hospitali ikaendelea, na huko akakutana na madaktari na kujionea mashine mbalimbali za kisasa kwa ajili ya kuwahudumia wakimbizi wa kipalestina.Ziara hiyo aliyoianza tangu mchana kweupe alihitimisha giza likiwa limeshatanda nje na akatoa ujumbe kwa dunia kile alichojionea.Amesema, “nimeona yale hawa watoto walipitia, nyuso zao ziliungua kwa moto, wamepoteza mikono, wazazi, familia nzima, lakini bado wanaonesha ujasiri na wanamatumaini na maisha yao ya baadae, wakijaribu kurejea shuleni na hii inaweka mkazo wa jukumu letu ni lipi kama jumuiya ya kimataifa. Tunapaswa kukomesha kabisa mgogoro huu uliodumu kwa muongo mmoja, mzozo wa muda mrefu na kwamba amani ya kudumu haita hakikishwa kwa kupitia vita, ugaidi wala kukalia eneo kimabavu bali kwa makubaliano ya amani ya kuwa na mataifa mawili yanayojitegemea, kupelekea kwa taifa huru la Kipalestina ambapo kizazi kijacho kinaweza kuishi kwa heshima pia.”
Shaba yetu katika makala haya inalenga nchi ya Tanzania ambapo raia wameshiriki uchaguzi kumchagua rais na wabunge. Je, unauzungumziaje uchaguzi wa Tanzania? Haya hapa maoni ya waskilizaji.
Shaba yetu katika makala haya inalenga nchi ya Tanzania ambapo raia wameshiriki uchaguzi kumchagua rais na wabunge. Je, unauzungumziaje uchaguzi wa Tanzania? Haya hapa maoni ya waskilizaji.
Atmiņa ir trausla vērtība ne tikai cilvēka, bet arī kopienas mūžā. Apzinoties dokumentārā mantojuma izzušanas draudus, UNESCO savulaik zveidoja programmu "Pasaules atmiņa". Tās mērķis ir apzināt un saglabāt cilvēces atmiņu, kas fiksēta gravējumos, zīmējumos, grāmatās, dokumentos, vēstulēs, video un audio ierakstos vai jebkādā citā informācijas nesējā, atspoguļojot kādu pasaulei nozīmīgu vēstures notikumu vai pavērsienu. Par to, kādas atmiņu pērles īpašā vērtē turamas Latvijā un kādi izaicinājumi ir priekšā, lai nākamās paaudzes nesirgtu ar kolektīvo demenci par aizgājušiem laikiem, raidījumā Zināmais nezināmajā sarunājas UNESCO Latvijas Nacionālās komisijas Kultūras sektora vadītāja Beāte Lielmane un Rundāles pils muzeja direktore Laura Lūse. -- No 13. līdz 19. oktobrim Latvijā norisinājās UNESCO nedēļa 2025 “Sava laika liecinieks”, kas veltīta cilvēces kolektīvās atmiņas saglabāšanas un pieejamības tēmai, cildinot UNESCO dokumentārā mantojuma programmu “Pasaules atmiņa”.
Hatua ya rais wa Kenya William Ruto kumtunuku aliyewahi kuwa waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani nchini Kenya, hayati Raila Odinga, nishani ya juu zaidi nchini, kukamatwa kwa makamu mwenyekiti wa chama cha Chadema nchini Tanzania, John Heche, DRC na Rwanda zakubaliana juu ya mchakato wa upatikanaji wa amani chini ya upatanisho wa Marekani, uchaguzi wa urais nchini Cote D'Ivoire, na rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarcozy wiki hii alianza kukitumikia kifungo cha miaka mitano.
In the last 13 days before Halloween, a different ShortHand will rise from the archives for 24 hours only – before disappearing back into the vault. Get exclusive access to every ShortHand episode ad free only on Amazon Music Unlimited.--First, children started to go missing in the villages around the Black Baron's castle. Then, word spread of his dabbling in sinister, arcane rituals to conjure the Devil himself. And soon, in the dead of night, villagers reported hearing screams from a high castle window.Some say Medieval French nobleman Gilles de Rais was the first recorded serial killer in history, responsible for the gruesome torture and murder of hundreds, if not thousands, of children. Join us to find out what really happened high up in the dark towers of the Black Baron.Exclusive bonus content:Wondery - Ad-free & ShortHandPatreon - Ad-free & Bonus EpisodesFollow us on social media:YouTubeTikTokInstagramVisit our website:WebsiteSources available on redhandedpodcast.comSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
This one is not for the faint of heart! This week, in honor of Spooktober, I'm digging in to the story of Gilles de Rais, a French noblemen and military leader who fought alongside Joan of Arc to lift the siege of Orleans during the Hundred Years War. But that, turns out, isn't Gilles' only claim to fame. In the years following, he was responsible for kidnapping and then brutally assaulting, torturing, and murdering upwards of 140 children, making Gilles the first recorded and possibly most horrifying serial killer of all time. His bear all confessions are chilling, his acts unthinkable. There truly are no words. You've been warned.Sources:UMKC School of Law "The Trial of Gilles de Rais (1440): An Account"UMKC School of Law "Confession of Gilles de Rais"The Trial of Gilles de Rais by Georges BataillesEncyclopedia Britannica "Gilles de Rais: History's First Serial Killer?"History Extra "Was Gilles de Rais really history's first recorded serial killer?"UMKC School of Law "Was Gilles de Rais Actually Innocent?"Shoot me a message! Support the show
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila, anakutana na wanasiasa wa upinzani jijini Nairobi, kuanzia Oktoba 14, wiki mbili baada ya kuhukumiwa kifo na Mahakama ya kijeshi. Wanasiasa hao wanazungumza nini ? Tunachambua.
Stāsta UNESCO Latvijas Nacionālās komisijas Kultūras sektora vadītāja Beāte Lielmane Atbilde ir pavisam negaidīta – tie ir Zemes satelītattēli. Jau vairāk nekā 50 gadus "Landsat" programma uzņem mūsu planētas fotogrāfijas no kosmosa. Viss sākās 1972. gada 23. jūlijā, kad orbītā tika palaists pirmais "Landsat" satelīts. Kopš tā laika ir fiksētas pārmaiņas, ko Zeme piedzīvo dienu no dienas – pilsētu izplešanās, mežu izciršana, upju un ezeru izsīkšana, ledāju sarukšana. Novērtējot programmas ilglaicīgo, kā arī tās unikālo un patiesi globālo mērogu, "Landsat" programmas iegūtie satelītattēli 2011. gadā tika iekļauti UNESCO programmas "Pasaules atmiņa" starptautiskajā reģistrā. Šos Zemes satelītattēlus, kuriem ir 30 metru telpiskā izšķirtspēja, un vairākas spektra joslas, ir ieguvuši un nepārtraukti atjauninājuši sensori, kas izvietoti uz "Landsat" satelītiem. Uz nominācijas iesniegšanas brīdi programmas ietvaros bija iegūti gandrīz 2,5 miljoni datu vienību, un katru dienu tie tiek papildināti. Šie attēli nu jau vairāk nekā 50 gadus ir fiksējuši Zemes stāvokli un saistībā ar strauji notiekošajām pārmaiņām, kuras piedzīvo mūsu planēta, tie ir neaizstājami. Programmu pārvalda ASV Ģeoloģijas dienests un ASV Nacionālā aeronautikas un kosmosa administrācija jeb NASA, nodrošinot piekļuvi vēsturiskajiem un aktuālajiem Zemes satelītattēliem lietotājiem vairāk nekā 180 valstīs. Pēdējos gados "Landsat" dati ir kļuvuši par būtisku avotu, lai atklātu, uzraudzītu un izprastu uz Zemes notiekošās pārmaiņas, ko izraisa klimats, cilvēka darbība un dabas katastrofas. Viens no nozīmīgākajiem "Landsat" programmas sasniegumiem ir bijusi bezmaksas un atvērto datu politikas pieņemšana. Sākotnēji "Landsat" dati tika izsniegti fiziskos datu nesējos par pavairošanas un izplatīšanas izmaksām, kuras parasti sedza pats lietotājs. Izmaksas varēja svārstīties no 20 ASV dolāriem par atsevišķu fotoattēlu līdz pat 200 ASV dolāriem par digitāliem datiem. 1984. gadā, "Landsat" komercializācijas likuma ietekmē, pakalpojuma izmaksa pieauga vēl vairāk, cenām par attēlu turpmākajos gados sasniedzot līdz pat 4000 ASV dolāru. 2008. gadā šī situācija mainījās, un izmantojot internetu, bezmaksas pieeja "Landsat" arhīva saturam kļuva pieejama ikvienam. Šāda pieejamība satelītattēliem bija nepieredzēta. Brīvo un atvērto datu politika ne vien paplašināja datu izmantošanu, bet arī ļāva uzdot jaunus jautājumus un palielināt izpētes dziļumu un apjomu. Sabiedrības ieguvumi, kas gūti no "Landsat" datu izmantošanas visā pasaulē, tostarp Latvijā ir labi dokumentēti zinātniskajā literatūrā un aptver tādas kategorijas kā zemes izmantošana, agronomija un lauksaimniecība, mežsaimniecība, ūdens resursi, ekoloģija, bioloģiskā daudzveidība un meteoroloģija. Viens no pirmajiem "Landsat" datu pielietojumiem bija 1975. gadā, kad ar satelītattēlu palīdzību tika noteiktas labākās zvejas vietas. Dati tika izmantoti arī, lai izveidotu Mozambikas mangrovju mežu karti, atklājot, ka to platība ir ievērojami mazāka nekā iepriekš uzskatīts. Attēli spēj runāt skaidrāk nekā vārdi — spilgts piemērs ir Arāla jūras izsīkšana, kas labi redzama Landsat uzņemtajos kadros. Tāpat ar "Landsat" palīdzību ir iespējama pat jaunu sugu atklāšana. 2005. gadā pētnieks, izmantojot satelītattēlus, pamanīja līdz tam maz izzinātu teritoriju, kas varētu kļūt par aizsargājamu. Pārbaudot to dabā, viņš atrada bagātīgu savvaļas dzīvnieku daudzveidību un pat atklāja trīs jaunas tauriņu sugas un vienu jaunu čūsku sugu. Kopumā ir bijuši 9 "Landsat" satelīti. Nesenākais "Landsat 9" tika palaists orbītā 2021. gadā. Joprojām darbojās arī "Landsat 8", kas orbītā tika palaists 2013. gadā. Tomēr Zemei apkārt riņķo arī vecākie "Landsat" satelīti. Tie gan vairs nav aktīvi un gaida brīdi, kad sadegs, atgriežoties Zemes atmosfērā. Piemēram, "Landsat 7", kas startēja 1999. gadā, savu misiju noslēdza tikai šī gada 4. jūnijā. Programma gan nav iztikusi bez neveiksmēm. Satelīts "Landsat 6", kura palaišana notika 1993. gadā, Zemes orbītu tā arī nesasniedza. Interesants ir fakts, ka satelīts "Landsat 5" ir iekļauts Ginesa rekordu grāmatā kā Zemes novērošanas satelīts, kas darbojās visilgāk. Kopš savas palaišanas 1984. gadā tas darbojās 29 gadus, apriņķojot planētu vairāk nekā 150 000 reižu. Darbību tas pārtrauca 2013. gadā, un pētnieki paredz, ka Zemes atmosfērā tas atgriezīsies un sadalīsies ap 2034. gadu. Un, starp citu, arī tehnoloģiju attīstības lēciens ir bijis iespaidīgs. Pirmajam satelītam datu glabātuve bija tikai 3,4 gigabaiti. Jaunākajiem — jau 4 terabaiti. Datu pārraides ātrums no 15 megabitiem sekundē ir pieaudzis līdz 384. "Landsatv programma turpinās, un nākamais satelīts tiek gatavots palaišanai ap 2030. gadu. Kā reiz teicis NASA administrators Džeimss Flečers: ja kāds no kosmosa laikmeta sasniegumiem spēs izglābt pasauli, tas būs "Landsat".
Habari kuu wiki hii ni pamoja Israel kuanza kuwaondoa wanajeshi wake kwenye baadhi ya maeneo ya Gaza, rais wa Ufaransa amteua tena Sebastien Lecornu kuwa waziri mkuu huku kukiwa na mvutano wa kisiasa, rais wa DRC, Félix Tshisekedi, amtaka mwenzake wa Rwanda, Paul Kagame, kuwaamuru waasi wa M23 kuacha vita mashariki mwa Congo, siasa za kikanda, yaliyojiri huko Morocco, mwanaharakati wa demokrasia nchini Venezuela, Maria Corina Machado, ndiye mshindi wa tuzo ya amani ya Nobeli ya mwaka wa 2025
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia siku ya posta Duniani na tunakupeleka nchini Tanzania ambako huko Sabrina Said wa idhaa hii amefuatilia harakati za huduma hiyo kwenye shirika la Posta Tanzania lililoanzishwa kwa sheria ya Bunge ya mwaka 1993 na kuanza kutoa huduma Januari 1994.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, leo amekaribisha tangazo la makubaliano ya kusitisha mapigano na kuachiliwa kwa mateka wote huko Gaza lililotolewa na Rais wa Marekani , akiyaita makubaliano hayo ni mafanikio yaliyohitajika sana baada ya miaka ya mzozo..Licha ya mzozo unaoendelea na changamoto za miundombinu nchini Sudan, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF leo limesema limefanikiwa kutoa chanjo kwa zaidi ya watoto 740,000 walio chini ya umri wa miaka mitano kati ya Januari na Juni 2025, na kutoa dozi zaidi ya milioni 16.Katika Siku ya Posta Duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amewashukuru wafanyakazi milioni 4.6 wa posta wanaounganisha jamii kote duniani.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "FUNDI HANA CHOMBO"Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!
Agradece a este podcast tantas horas de entretenimiento y disfruta de episodios exclusivos como éste. ¡Apóyale en iVoox! En el pódcast de hoy analizamos el género de las obras biográficas, trazamos su relevancia desde la antigüedad, presentamos los debates historiográficos que han suscitado y hacemos recomendaciones. Como siempre, ¡esperamos que os guste! https://ko-fi.com/podcaliptusbonbon PÓDCAST RELACIONADOS Sobre Giles de Rais y su época https://www.ivoox.com/francia-gilles-rais-el-primer-audios-mp3_rf_135301344_1.html Sobre "La Eneida" https://www.ivoox.com/11-x-12-virgilio-eneida-s-audios-mp3_rf_136495427_1.html Sobre "Mientras dure la guerra" https://www.ivoox.com/podcaliptus-xstra-analisis-mientras-dure-guerra-audios-mp3_rf_44020519_1.html Sobre la figura del Jesús de Nazaret histórico https://www.ivoox.com/podcaliptus-8-x-50-el-jesus-nazaret-audios-mp3_rf_87724666_1.html https://www.ivoox.com/podcaliptus-4-x-01-especial-segunda-guerra-mundial-audios-mp3_rf_20954853_1.html https://www.ivoox.com/podcaliptus-4-x-02-especial-segunda-guerra-mundial-audios-mp3_rf_21629935_1.html La música tiene licencia Creative Commons ("Into the Storm" por Brandon Lew y "Hard to be Human Again" por los Mekons, directo en Todds Show de la WFMV el 8/08/21). Todo nuestro contenido es libre o acaba siéndolo. Si quieres colaborar con nuestro proyecto puedes invitarnos a un cafecico en el siguiente enlace. El café es una droga muy aceptada por el capitalismo para generar plusvalía desde las cinco de la mañana. Eso es meh. Pero también sirve para estar despierto si te persigue Lady Terminator para liquidarte. Y eso es waper. https://ko-fi.com/podcaliptusbonbonEscucha este episodio completo y accede a todo el contenido exclusivo de Podcaliptus Bonbon. Descubre antes que nadie los nuevos episodios, y participa en la comunidad exclusiva de oyentes en https://go.ivoox.com/sq/157530
Kumekuwa na hisia mseto kuhusu hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya rais mstaafu wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Joseph Kabila, uzinduzi wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa mwakani nchini Uganda, hali ya nchini Tanzania wakati huu wananchi wakijiandaa kushiriki uchaguzi wa oktoba 29 mwaka huu, maandamano ya vijana Gen Z nchini Madagascar, na mashambulio ya mjini Manchester Uingereza.Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi
Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC imemhukumu rais mstaafu wa nchi hiyo Joseph Kabila Kabange adhabu ya kifo bila ya yeye mwenyewe kuwepo mahakamani, ikimtia hatiani kwa usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu. Chama chake PPRD kimesema kesi hiyo ni ya kisiasa dhidi ya mpinzani mkubwa wa serikali. Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka anaungana na wasikilizaji wa Idhaa kupata maoni yao kuhusu kesi hii, makinika kwa kusikiliza makala hii.-
Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC imemhukumu rais mstaafu wa nchi hiyo Joseph Kabila Kabange adhabu ya kifo bila ya yeye mwenyewe kuwepo mahakamani, ikimtia hatiani kwa usaliti na uhalifu dhidi ya binadamu. Chama chake PPRD kimesema kesi hiyo ni ya kisiasa dhidi ya mpinzani mkubwa wa serikali. Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka anaungana na wasikilizaji wa Idhaa kupata maoni yao kuhusu kesi hii, makinika kwa kusikiliza makala hii.-
Mancing, berlayar, pahlawan takut kesiangan, susah jualan.
Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa umeingia katika siku yake ya nne hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani leo Ijumaa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekuwa wa kwanza kuzungumza akitumia muda wake mwingi kushambulia wanamgambowa kipalestina, Hamas na kutetea kila uamuzi wa Israel. Anold Kayanda ameifuatilia hotuba hiyo kwa kina. Ilikuwa majira ya saa tatu na dakika chache hivi asubuhi ya leo saa za New York nchini Marekani ambapo Waziri Mkuu wa Isreal Benjamin Netanyahu amepewa fursa ya kuhutubia na ndipo ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukakosa utulivu. Wajumbe kwa makundi walinyanyuka katika viti vyao na kuondoka huku wakiwaacha maafisa wa Israel wakimpigia makofi kiongozi wao na pia nchi zinazoiunga mkono Israel zikasalia katika viti vyao ikiwemo Marekani.Baadhi ya wajumbe watoka njeKatika eneo la walipotakiwa kukaa wawakilishi wa Palestina kulikuwa wazi, huku katika eneo la Iran ikibakia picha iliyokusanya sura za baadhi ya watu wao waliouawa na mashambulizi ya Israel. Bwana Netanyahu kwa mara nyingine tena ameingia na ubao wenye picha ya ramani ya eneo la Mashariki ya Kati akiutumia kuishambulia Iran na kwa kutumia kalamu akiweka alama ya vema kuonesha namna ambavyo Israel imefanikiwa kupambana na ngome za Irani katika ukanda huo. Katika suti yake, kifuani upande wa kulia, Bwana Netanyahu pia ameweka kibandiko chenye QR Code na akawaambia watu kuwa Israel bado inakumbuka tukio walilofanyiwa na Hamas mwezi Oktoba mwaka juzi na kwamba ikiwa watu wamesahau hilo basi waelekeze simu zao kwenye QR Code hiyo kwenye nguo yake ili iwaoneshe madhara yaliyofanywa na Hamas.Majina ya mateka yakasomwaWaziri Mkuu huyo wa Israel ameyasoma majina ya mateka ambao bado wako mikononi mwa Hamas katika eneo la Ukanda wa Gaza na pia akaueleza mkutano kuwa amesambaza vipaza sauti au spika katika eneo lote la Gaza ili anapoongea leo, azungumze moja kwa moja na mateka huko walikofichwa. Na hapo akabadilisha lugha na kuongea kwa kihebrania akiwaahidi kuwa atawakomboa. Vilevile amedokeza kuwa kwa namna ya kiintelijensia Israel imefanya simu leo ziweze kusambaza hotuba katika ukanda wa Gaza na hivyo akautumia muda huo kupeleka ujumbe mkali kwa Hamas kuwa ataendelea kuwadhibiti. Bwana Netanyahu pia ameingia ukumbini na vibao viwili vyenye maswali na majibu ya kuchagua japokuwa jibu sahihi kwa mujibu wake na waliojibu kuwa ni All the Above, yaani majibu yote ni sahihi. Maswali yote yalikuwa yakiwatuhumu Iran, Hamas, Al Caeda, Hezbollah na Houthi kuwa pia wanaitakia kifo Marekani na wameua watu wengi Ulaya. Huenda hotuba hii ya Netanyahu ikaingia katika orodha ya hotuba tano ndefu zaidi baada ya ile ya Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, Ya Mahmoud Abbass wa Palestina na Félix-Antoine Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao wote hao walitumia zaidi ya dakika arobaini licha ya muda wa hotuba uliopangwa kuwa angalau dakika 15.
Makubaliano yaliyosimamiwa na mashirika ya kimataifa, likiwemo UNITAID ambalo ni shirika tanzu la shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO, halikadhalika Mpango wa afya wa Clinton (CHAI), Wits RHI na Maabara ya Dkt. Reddy, yanalenga kuhakikisha upatikanaji wa Lenacapavir kwa gharama nafuu.Dawa hii, inayodungwa mara mbili pekee kwa mwaka, imeonesha ufanisi mkubwa katika kuzuia maambukizi mapya ya VVU, jambo muhimu hasa kwa wale wanaopata changamoto kutumia dawa za kila siku.Video ya UNITAID inaonesha maabara yenye teknolojia ya hali ya juu, ambamo wanasayansi wanaandaa dawa hiyo inayotarajiwa kuleta mabadiliko makubwa kwa mamilioni ya watu walio katika hatari ya kuambukizwa virusi hivyo.Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa UNITAID, Tenu Avafia, anasema hatua hii ni ushindi mkubwa kwa jamii zinazohitaji kinga ya muda mrefu dhidi ya VVU."Tumeitikia wito kutoka kwa jamii na nchi tunazohudumia kwa kuhakikisha dawa hii inapatikana kwa gharama nafuu. Tunatarajia usambazaji wa toleo la bei nafuu la dawa hii kuanza kufikia mwaka 2027, chini ya miaka miwili tu tangu idhini kutolewa katika nchi za kipato cha juu — kasi ambayo haijawahi kushuhudiwa."Akizungumza kuhusu hatua hii muhimu, Carmen Pérez Casas, Mkuu wa Mikakati Mwandamizi wa UNITAID, anasema:"Kwa kushirikiana na watengenezaji wa dawa mbadala, tumefanikisha bei nafuu mapema zaidi. Lakini bado tunahitaji kusaidia nchi na jamii kwa kuongeza upatikanaji."UNITAID inasema kwa msaada wa mashirika kama PEPFAR ambao ni mfuko wa Rais wa MArekani wa usaidizi wa dharura dhidi ya UKIMWI, pamoja na mfuko wa kimataifa na wakfu wa Gates, hatua hii inaleta matumaini ya kupunguza maambukizi mapya ya VVU duniani.
Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia ina simama kidete juu ya tamaduni nyingi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kukosoa uhamiaji katika hotuba yake kwa kikao cha mkutano wa Umoja wa Mataifa.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina maalum inayomulika mkutano wa ngazi ya juu kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza NDCs unaoendelea kandoni mwa UNGA80, na tumezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa WHO Kanda ya Afrika Dkt. Mohamed Yakub Janabi.Wakati viongozi wa nchi na serikali wanahutubia wakiwa ndani ya jengo la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York, Kiongozi wa Palestina, Mahmoud Abbas ujumbe wake kwa UNGA80 ameutoa kwa njia ya video iliyorekodiwa kutokana na kutopata kibali cha kuingia Marekani. Katika hotuba hiyo amesisitiza kuwa, Ukanda wa Gaza utaendelea kuwa sehemu ya Taifa la Palestina na tuko tayari kuwajibika kikamilifu kwenye uongozi na usalama wa eneo hilo. Hamas hawatokuwa na jukumu lolote kwennye utawala.”.Mapema kabla ya Palestina, Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, alihutubia wajumbe akitaka nchi wanachama kujitolea upya kwa misingi ya usawa, mshikamano na ushirikiano wa kimataifa. Amesema hilo ni muhimu kwa kuwa “wakati ambapo hapo awali tulijitahidi kujiuliza ‘Nini ni sahihi' chini ya sheria ya kimataifa, leo tunashuhudia kwa wazi kuibuka kwa matumizi ya NGUVU ya kitaifa katika kusuluhisha migogoro. Hii ni njia ya giza na ya hatari sana inayotishia utawala wa sheria wa kimataifa tuliokubaliana kwa pamoja kama nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.”Kando ya hotuba za viongozi, kunafanyika maadhimisho ya miaka 30 tangu kupitishwa kwa Programu ya Dunia kwa ajili ya vijana. Je vijana kutoka Malawi wana ujumbe gani? Mwakilishi wao kwenye mkutano huu Rachel Mganga Wanangwa anasema, “Ujumbe kutoka vijana wa Malawi ni wekezeni kwetu, tusaidieni, shirikianeni nasi, na wanashiriki kwenye meza za mazungumzo ili kuhakikisha kuwa sauti zao zinawakilishiwa.”.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema taasisi za kimataifa zimekuwa dhaifu wanachoweza kufanya ni kutoa matamko makali pekee na kwamba kwa sasa duniani sheria pekee za Kimataifa haziwezi kusaidia nchi kujilinda bila ya kuwa na silaha pamoja na marafiki wenye nguvu wa kukusaidia. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.
Hii leo jaridani tunaangazia hotuba ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy katika siku ya pili ya mjadala mkuu wa UNG80, na ujumbe wa washiriki wa mkutano huu kutoka Nigeria na Tanzania.Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amesema taasisi za kimataifa zimekuwa dhaifu wanachoweza kufanya ni kutoa matamko makali pekee na kwamba kwa sasa duniani sheria pekee za Kimataifa haziwezi kusaidia nchi kujilinda bila ya kuwa na silaha pamoja na marafiki wenye nguvu wa kukusaidia.Katika siku ya pili ya Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA, kando ya hotuba, viongozi wa nchi 9 wanachama wa Jumuiya ya Afya ya Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika, ECSA watakuwa na mkutano wa kusongesha diplomasia ya kisayansi ili kuhakikisha bara la Afrika haliachwi nyuma kwenye kukabiliana na changamoto za kiafya, baada ya kujifunza kutokana na COVID-19 au UVIKO19.Tukisalia hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa Mjadala Mkuu wa UNGA80 mbali ya kusikiza hotuba za viongozi unaambatana na mamia ya matukio na mikutano ya kando. Leo, sauti kutoka pande zote za dunia zinaitaka haki ya kijamii katika moja ya mikutano ya kando na miongoni mwa sauti hizo ni ya mwanaharakati na mhamasishaji wa masuaa ya wasichana kutoka Nigeria ambaye anasema wasichana vigori hawapaswi kusahaulika.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Baadhi ya habari ambazo tumezipa uzito ni pamoja na vurugu katika bunge la DRC na mchakato wa kumuondoa spika wa bunge hilo na maafisa wengine, mashindano ya dunia ya baiskeli kung'oa nanga siku ya Jumapili mjini Kigali, mji mkuu wa Rwanda, siasa za Uganda kuelekea uchaguzi mkuu wa mwakani, tumeangazia hali nchini Tanzania, Sudan kusini, uchaguzi wa Malawi, kura ya maoni kule Guinea kuhusu marekebisho ya katiba na ziara wa Marekani huko Uingereza.
Jaridani leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kuhusu masuala ya wanawake, tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake na utamsikia maoni ya Balozi Gertrude Mongella kutoka Tanzania. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa methali.Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukianza Jumatatu ijayo, Rais wa Mkutano huo Annalena Baerbock amewaambia waandishi wa habari jijini New York, Marekani kuwa “jukumu letu ni Umoja wa Mataifa uwe thabiti kwa miaka 80 ijayo. Michakato ya kuhakikisha hilo ndio itakuwa jukumu letu mwaka huu, ikiwemo kusongesha ajenda ya marekebisho ya Umoja wa Mataifa. Kwa hiyo tukitaka Umoja wa Mataifa thabiti, basi tunahitaji ahadi kutoka serikali zote duniani.Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inayotolewa kila mwaka kabla ya kuanza kwa Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu inasema Umoja wa Mataifa umeendelea kusimama imara, ukifanya kazi ya kuendeleza amani, kuchochea maendeleo endelevu, na kupunguza mateso ya kibinadamu licha ya majaribu makubwa. Katika ripoti hiyo Antonio Guterres amesisitiza uimara wa watumishi wa Umoja wa Mataifa, ambao wamejitolea kuleta matumaini na msaada kwa wale wanaohitaji licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu.ripoti ya Hali ya Rasilimali za Maji Duniani iliyotolewa leo inasema ni takriban theluthi moja tu ya mabonde ya mito duniani yaliyokuwa na hali ya “kawaida” mwaka 2024 ilhali mengine yote yalikuwa na kiwango cha juu zaidi cha maji au chini ya kiwango cha kawaida — ikiwa ni mwaka wa sita mfululizo wa kutokuwepo kwa uwiano wa wazi. Ikitolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya Hewa, WMO, ripoti inasema mwaka 2024 uliokuwa mwaka wa joto zaidi kuwahi kurekodiwa ulianza na tukio la El Niño ambalo liliathiri vibaya mabonde makubwa ya mito na kusababisha ukame katika maeneo kadhaa ikiwemo kusini mwa Afrika.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "MZOEA PUNDA HAPENDI FARASI"Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Zemkopības ministrijas sagatavotie grozījumi Mežu likumā, kas paredz samazināt ciršanas vecumu vairākām koku sugām, ir raisījusi plašus iebildumus gan pēc grozījumu būtības, gan arī veida, kā ministrija tos virza. Par to ar ministriju pārstāvjiem un ekspertiem diskutējam raidījumā Krustpunktā. Raidījuma viesi: bioloģijas doktors Latvijas Ornitoloģijas biedrības valdes priekšsēdētājs Viesturs Ķerus, AS "Latvijas finieris" padomes priekšsēdētājs Uldis Biķis, Viedās administrācijas un reģionālās attīstības ministrijas Dabas aizsardzības departamenta direktore Daiga Vilkaste un Zemkopības ministrijas Meža departamenta direktors Āris Jansons. Mežu apsaimniekošana ir viens no tematiem, par ko Krustpunktā runā regulāri. Arī primāri bieži vien par to gādā vai nu Zemkopības, vai Vides ministrija, jo tiek rosinātas izmaiņas likumos, kas izraisa plašāku interesi, vai arī pretestību. Savulaik pat Satversmes tiesa bija iesaistīta notikumos, tāpēc var sacīt droši, ka šī nozare nav atstāta bez uzmanības. Šobrīd ir runa pat par vairākiem jautājumiem, par ko uztraukumu ir pauduši vides aizstāvji. Proti, Zemkopības ministrija virza caur valdību grozījumus Meža likumā, un ir vairāki punkti, par kuru jēgu un vajadzību ir jātiek skaidrībā.
Zemkopības ministrijas sagatavotie grozījumi Mežu likumā, kas paredz samazināt ciršanas vecumu vairākām koku sugām, ir raisījusi plašus iebildumus gan pēc grozījumu būtības, gan arī veida, kā ministrija tos virza. Par to ar ministriju pārstāvjiem un ekspertiem diskutējam raidījumā Krustpunktā. Raidījuma viesi: bioloģijas doktors Latvijas Ornitoloģijas biedrības valdes priekšsēdētājs Viesturs Ķerus, AS "Latvijas finieris" padomes priekšsēdētājs Uldis Biķis, Viedās administrācijas un reģionālās attīstības ministrijas Dabas aizsardzības departamenta direktore Daiga Vilkaste un Zemkopības ministrijas Meža departamenta direktors Āris Jansons. Mežu apsaimniekošana ir viens no tematiem, par ko Krustpunktā runā regulāri. Arī primāri bieži vien par to gādā vai nu Zemkopības, vai Vides ministrija, jo tiek rosinātas izmaiņas likumos, kas izraisa plašāku interesi, vai arī pretestību. Savulaik pat Satversmes tiesa bija iesaistīta notikumos, tāpēc var sacīt droši, ka šī nozare nav atstāta bez uzmanības. Šobrīd ir runa pat par vairākiem jautājumiem, par ko uztraukumu ir pauduši vides aizstāvji. Proti, Zemkopības ministrija virza caur valdību grozījumus Meža likumā, un ir vairāki punkti, par kuru jēgu un vajadzību ir jātiek skaidrībā.
-Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea UNGA79yafikia tamati hii leo na kupisha UNGA80 chini ya uongozi wa Rais mpya Annalena Baerbock-Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyozinduliwa leo imesema matumizi ya kijeshi duniani yalifikia dola trilioni 2.7 mwaka 2024, yakiwa yameongezeka kwa zaidi ya asilimia 9 kutoka mwaka 2023-Mratibu wa Misaada ya Dharura wa Umoja wa Mataifa Tom Fletcher ametangaza leo dola milioni 1 za kimarekani kutoka Mfuko wa Dharura wa Umoja wa Mataifa CERF ili kudhibiti mlipuko wa kipindupindu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. -Mada kwa kina inatupeka Pemba Kaskazini kisiwani Zanzibar nchini Tanzania kuangazia mradi wa FAo wa ZJP unavobadili maisha ya wakulima wa ndiziNa katika jifunze Kiswahili utamsikia mlumbi Jorum Nkumbi kutoka Tanzania akifafanua maana ya neno LISANI
Cet été, retrouvez le meilleur d'Au cœur de l'Histoire, avec Virginie Girod ! Alors que la France et l'Angleterre s'affrontent lors d'un conflit qui prendra le nom de guerre de Cent Ans, le jeune baron Gilles de Rais s'illustre sur le champ de bataille et devient l'un des compagnons d'armes de Jeanne d'Arc. Fortuné et courageux au combat, il est élevé au rang de Maréchal de France à l'âge de 26 ans. Mais dans l'ombre de son château, Gilles de Rais s'adonne aux sacrifices humains, faisant de nombreuses victimes. Bientôt, il est arrêté et condamné à la peine capitale.Hébergé par Audiomeans. Visitez audiomeans.fr/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.
Cet été, retrouvez le meilleur d'Au cœur de l'Histoire, avec Virginie Girod. Au XVe siècle, derrière les remparts du château de Machecoul, le seigneur Gilles de Rais (1404-1440) se livre à des actes de tortures, assassinant de jeunes enfants afin de s'attirer les bons offices du démon. Mais cet ogre sans scrupules est doté d'un visage double. Compagnon d'armes de Jeanne d'Arc durant la guerre de Cent Ans, il mène une grande carrière militaire et reçoit le titre de Maréchal de France après le siège d'Orléans. Bientôt, le héros de guerre doit répondre de ses actes.Hébergé par Audiomeans. Visitez audiomeans.fr/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.
durée : 01:48:21 - Les Nuits de France Culture - par : Marc Floriot - Par Lily Siou - Avec Régine Pernoud, Georges Huisman, Philippe Derrez, Blaise Cendrars et Sam Max (Le prisonnier) - Réalisation Albert Riera - réalisation : Virginie Mourthé
Jaridani hii leo tunaangazia suala la afya katika ukand wa Gaza, na wito wito wa Umoja wa Mataifa wa kutaka kuachiliwa huru kwa mateka wa Israeli huko Gaza. Makala tunakwenda nchini Kenya na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Ikiwa ni siku 668 tangu Hamas ambao ni wanamgambo wa kipalestina wateke waisraeli 250 baada ya kushambulia taifa hilo la Mashariki ya Kati, vuta nikuvute ilikuwa bayana kwenye Baraza la Usalama baada ya kikao cha dharura kuitishwa na Israeli kufuatia kuchapishwa kwa picha za mateka wawili walio hoi bin taaban.Leo tuna habari njema kutoka Gaza, eneo la palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel huko Mashariki ya Kati, Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO kwa kushirikiana na Umoja wa falme za Kiarabu UAE wamefanikiwa kuingiza dawa, vifaa tiba na damu salama kwa ajili ya matibabu ya wanagaza ambao wanaendelea kuteseka na madhila ya vita. Makala inakupeleka nchini Kenya, hususan kaunti ya Kajiado. Bado dunia ikiendelea kuadhimisha Wiki ya Unyonyeshaji mtoto maziwa ya mama, Kelvin Keitany wa Radio Washirika, Domus Radio iliyoko huko Kajiado, eneo linalokabiliwa na madhara ya mabadiliko ya tabianchi, kama vile ukame, anamulika ni kwa jinsi gani madhara hayo yanakwamisha unyonyeshaji wa mtoto maziwa ya mama. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO limetoa mwongozo mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama miezi sita ya mwanzo ya uhai bila kitu chochote, Je hali iko vipi Kajiado.Na mashinani fursa ni yake Dkt. Beatrice mwilike, Mkunga Bingwa na Rais wa Chama cha wakunga Tanzania (TAMA) ambaye kupitia mradi unaolenga uzazi salama kwa watoto milioni 10 ifikapo 2030 lililozinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA kwa kusaidiana na serikali ya Denmark, anasema wakunga wanatumia appu na njia za kisasa zinazowapa taarifa sahihi.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya wakimbizi wa ndani katika ukanda wa Gaza, na mkutano wa Sita wa Maspika wa Mabunge Duniani uliofanyika jijini Geneva, Uswisi. Makala tunamulika mtazamo mpya wa uchumi wa Dunia kwa mwaka 2025 na 2026, na mashinani tunakwenda nchini Somalia, kulikoni.Harakati za kila uchao kwa raia wa Gaza huko eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli za kukimbilia chakula huku mashambulizi yakiendelea zimeendelea kusababisha vifo na majeruhi ambapo majeruhi wa hivi karibuni aliyetajwa ni Sahar, mtoto mwenye umri wa miaka 14 aliyepata ulemavu akikimbilia kupokea msaada wa chakula.Mkutano wa Sita wa Maspika wa Mabunge Duniani uliofanyika jijini Geneva, Uswisi, jana Julai 31 umefika tamati baada ya siku tatu za mijadala ambazo zimezaa Azimio la kihistoria linalotoa wito wa "ushirikiano wa kimataifa ulio thabiti na wenye ufanisi zaidi" ili kuendeleza amani, haki, na ustawi. Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, (IPU), Tulia Ackson kupitia hotuba ya kufunga mkutano huo uliondaliwa kwa ushirikiano wa IPU na Umoja wa Mataifa akadokeza kilichomo katika azimio hilo. Katika makala Leah Mushi anatuletea habari njema kutoka shirika la fedha la kimataifa IMF kuhusu mtazamo mpya wa uchumi wa Dunia kwa mwaka 2025 na 2026.Na mashinani tutakupeleka nchini Ethiopia, kumulika harakati za kujikwamua kiuchumi katikati ya janga la ukame.Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!
Mkutano wa Sita wa Maspika wa Mabunge Duniani uliofanyika jijini Geneva, Uswisi, jana Julai 31 umefika tamati baada ya siku tatu za mijadala ambazo zimezaa Azimio la kihistoria linalotoa wito wa "ushirikiano wa kimataifa ulio thabiti na wenye ufanisi zaidi" ili kuendeleza amani, haki, na ustawi. Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, (IPU), Tulia Ackson kupitia hotuba ya kufunga mkutano huo uliondaliwa kwa ushirikiano wa IPU na Umoja wa Mataifa akadokeza kilichomo katika azimio hilo.
Hii leo jaridani tunaangazia hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini Tanzania, na biashara ndogondogo kwa wananchi wa Rwanda. Makala tunakupeleka nchini Kenya ma Mashinani tunakwenda Geneva Uswisi, kulikoni?Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), iko mbioni kuzindua mpango wa “Beat the Heat” yaani “Lishinde Joto”, mpango wenye lengo la kukabiliana na joto kali na hatari za kimazingira katika sehemu za kazi na kwenye matukio makubwa ya kijamii. Anold Kayanda anafafanua zaidi taarifa iliyochapishwa leo na WHO jijini Dar es Salaam, Tanzania.Katika kijiji kimoja nchini Rwanda, ndoto ya muda mrefu ya Chantal Uwizeyimana imegeuka kuwa njia ya kujikwamua kiuchumi. Kupitia mradi wa STARLIT unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD, wakulima wadogo kama Chantal wamepata mafunzo, pembejeo na maarifa ya kubadili kilimo kuwa chanzo cha mapato ya uhakika. Sasa si tu kwamba mavuno yameongezeka, bali pia maisha yamebadilika kwa namna isiyotarajiwa. Makala inakupeleka Kenya kwake Kevin Keitany wa Radio washirika Radio Domus akimulika siku ya kimataifa ya urafiki inayoadhimishwa leo Julai 30, ikimulika urafiki katika ngazi ya mtu mmoja mmoja, baina ya watu zaidi ya mmoja, jamii, tamaduni na hata mataifa na mchango wake katika amani na utulivu duniani. Kelvin anamulika urafiki kati ya watu wawili.Na katika mashinani tuelekee jijini Geneva, Uswisi ambako unafanyika Mkutano wa Sita wa Spika wa Mabunge Duniani kumsikia Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani akitoa wito kwa viongozi wenzake kuutetea Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Kujitolea kwa jamii ni jambo ambalo Umoja wa Mataifa na wadau wanalipatia kipaumbele kama njia ya kusaidia kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs. Ijumaa iliyopita, ofisi ya Masuala ya Kimataifa ya Meya wa jiji la New York, nchini Marekani kwa kushirikiana na Idara ya Mawasiliano ya Kimataifa ya Umoja wa Mataifa pamoja na Ubalozi wa kudumu wa Afrika Kusini kwenye Umoja wa Mataifa, Wakfu wa Kisiwa cha Gavana, Wakfu wa Nelson Mandela na Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa walitekeleza mradi wa kujitolea kwenye kisiwa hicho kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Mandela duniani tarehe 18 Julai mwaka huu wa 2025. Mradi ulilenga kulinda mazingira, je ni kwa vipi? Assumpta Massoi alikuwa shuhuda wetu.
SLEERICKETS is a podcast about poetry and other intractable problems. NB: Did I forget about Hitler? you ask. Did I forget about Stalin? On the one hand, yes, I temporarily did. On the other, there's something about the notion that Gilles de Rais did all this personally in his own home for the explicit purpose of impressing the Devil with his evilness that really sickens the soul. But yes, good point, there's always Hitler, who was, in his own way, the worst person who ever lived.My book Midlife now exists. Buy it here, or leave it a rating here or hereFor more SLEERICKETS, subscribe to SECRET SHOW, join the group chat, and send me a poem for Listener Crit!Leave the show a rating here (actually, just do it on your phone, it's easier). Thanks!Wear SLEERICKETS t-shirts and hoodies. They look good!SLEERICKETS is now on YouTube!For a frank, anonymous critique on SLEERICKETS, subscribe to the SECRET SHOW and send a poem of no more 25 lines to sleerickets [at] gmail [dot] com Some of the topics mentioned in this episode:– Paradise Lost by John Milton– Conspiracy by ContraPoints– Cameron's travel notes– This Pleasing Anxious Being by Richard Wilbur– Elegy Written in a Country Churchyard by Thomas Gray– The Versecraft interview w/ James Matthew Wilson– The Death of Cicero by James Matthew Wilson (compare the first line to the first line of Leda and the Swan by W. B. Yeats)– The Master and Margarita by Mikhail Bulgakov– How to Blow Up a Pipeline by Andreas Malm– How to Blow Up a Pipeline (2022)– Bronze Age Mindset by Bronze Age Pervert– ContraPoints' comment on Gaza– Ready or Not (2019) & The Babysitter (2017) (same concept, same cosmology, same leading lady, both pretty entertaining)– The Chilling Adventures of Sabrina– Evil– Rod Dreher– La-bas by J.-K. Huysmans– Toni Morrison's 1993 Nobel Prize lecure– The Tower of Babel– Canceling by ContraPoints– We Lived Happily During the War by Ilya Kaminsky– Mitchell & Webb's Lucentio sketchFrequently mentioned names:– Joshua Mehigan– Shane McCrae– A. E. Stallings– Ryan Wilson– Morri Creech– Austin Allen– Jonathan Farmer– Zara Raab– Amit Majmudar– Ethan McGuire– Coleman Glenn– Chris Childers– Alexis Sears– JP Gritton– Alex Pepple– Ernie Hilbert– Joanna PearsonOther Ratbag Poetry Pods:Poetry Says by Alice AllanI Hate Matt Wall by Matt WallVersecraft by Elijah BlumovRatbag Poetics By David Jalal MotamedAlice: In Future PostsBrian: @BPlatzerCameron: Minor TiresiasMatthew: sleerickets [at] gmail [dot] comMusic by ETRNLArt by Daniel Alexander Smith
In this episode, Charlie Higson digs into the dark world of a man sometimes called the first serial killer.Gilles de Rais was accused of, and eventually confessed to some awful, depraved crimes, and this was a man who was a companion in arms of Joan of Arc!At his trial, he was hanged for the murder of 140 children, both young men and women, killed for sexual pleasure and to help him in satanic rituals. So did he do it? There were confessions, many of which you can read even today, full of disturbing detail, but nevertheless, from nearly 600 years ago, still there for us to try and decipher. A far easier route however is to press 'play' on this podcast as Charlie and Matthew Lewis try and separate fact from hearsay. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Militāro konfliktu Tuvajos Austrumos pārrunājam kopā ar ārpolitikas pētnieci Sintiju Broku un laikraksta "Diena" komentētāju Andi Sedlenieku, kā arī sazināmies ar Tuvo Austrumu politikas un kultūras pētnieku, zinātnes doktoru Imantu Frederiku Ozolu, kurš šobrīd papildina zināšanas Haifas universitātē. * Līdz nesenam laikam attiecību stāvoklis starp Izraēlu un Irānu tika raksturots kā konflikts, bieži lietojot arī angļu valodas terminu proxy war, kas dažādās valodās tiek tulkots kā „netiešais karš”, „starpnieku karš”, „pilnvarojuma karš, „ēnu karš” u. tml. – tātad, bruņots konflikts, kurā kāda valsts iesaistās netieši, sniedzot atbalstu kādai citai valstij vai bruņotai struktūrai. Irānai, kura pēc tapšanas par islāma teokrātiju pagājušā gadsimta astoņdesmitajos gados pasludināja Izraēlas iznīcināšanu par savas oficiālās ārpolitiskās doktrīnas sastāvdaļu, līdz šim izkaroja šādu „ēnu karu” pret ebreju valsti ar teroristisko organizāciju Hamas un Hezbollah rokām. Kopš 13. jūnija militārā konfrontācija starp Izraēlu un Irānu arvien biežāk tiek apzīmēta kā Irānas–Izraēlas karš. Zinot abu valstu ģeogrāfisko izvietojumu, ir pašsaprotami, ka šis karš tiek izcīnīts pamatā ar gaisa spēku līdzekļiem no vienas, un raķešu spēku līdzekļiem no otras puses. Ar līdzīgiem triecieniem abas valstis apmainījās arī pagājušā gada aprīlī un oktobrī, taču toreiz runa bija par vienreizējām akcijām. Tagad viss ir citādi. Izraēla nekad nav slēpusi, ka darīs visu nepieciešamo, lai nepieļautu, ka Irāna apgādājas ar kodolieročiem. Teherāna allaž uzstājusi, ka urāna bagātināšana tās teritorijā notiekot tikai un vienīgi enerģētikas attīstības nolūkos. Līdz šim šiem apgalvojumiem nav iebildis arī oficiālais starptautiskais uzraugs – Starptautiskā Atomenerģijas aģentūra. Taču tieši dienu pirms Izraēlas gaisa spēku triecieniem Irānas kadolprogrammas objektiem aģentūra paziņoja par noteikto ierobežojumu pārkāpšanu. Tajā pašā dienā beidzās termiņš, kuru Teherānai bija izziņojis Baltā nama saimnieks Donalds Tramps. 13. jūnija agrā rītā vairāk nekā divi simti Izraēlas Gaisa spēku iznīcinātāju deva triecienus apmēram simts mērķiem Irānā. Izraēlas slepenais dienests Mossad, darbojoties valsts iekšienē, izsita no ierindas lielāko daļu Irānas pretgaisa aizsardzības iekārtu. Pirmais trieciens bija vērsts pret mērķiem galvaspilsētā Teherānā un tās tuvumā, kā arī pret urāna bagātināšanas iekārtām Natanzas pilsētā. Ar precīza tēmējuma ieročiem tika mērķēts arī pa vairāku augsta ranga militārpersonu, militarizētās organizācijas Islāma revolūcijas sargu korpuss vadītāju un kodolprogrammas darbinieku dzīvesvietām. Vēlāk tai pašā dienā notika otrais uzlidojumu vilnis, izvēršot uzbrukuma ģeogrāfiju, kas ietvēra arī Fordo kodoldegvielas bagātināšanas rūpnīcu un kodoltehnoloģiju izpētes centru Isfahānā. Jau tās pašas dienas vakarā sekoja Irānas atbildes trieciens, izmantojot spārnotās un ballistiskās raķetes, kā arī lidrobotus. Turpmākajās dienās abas puses apmainījušās triecieniem. Kaut arī Izraēlas pretgaisa aizsardzība apliecinājusi savu efektivitāti, atsevišķas Irānas raķetes tomēr nonākušas līdz mērķim, t.sk. Telavivas un Haifas dzīvojamajiem rajoniem. Pēc Izraēlas varas iestāžu informācijas kopš 13. jūnija dzīvību zaudējuši 24 cilvēki, gandrīz seši simti guvuši ievainojumus. Savukārt Irānas puse ziņo par vairāk nekā divsimt bojāgājušajiem, tai skaitā atzīst, ka nogalināti vairāki austākā ranga militāristi. Starp viņiem ir Islāma revolūcijas sargu korpusa komandieris Hoseins Salami, bruņoto spēku štāba priekšnieks Mohammads Bageri, bruņoto spēku galvenā komandcentra priekšnieks Golams Ali Rašids un citi. Sagatavoja Eduards Liniņš.
Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika ukanda wa Gaza, huko mashariki ya Kati kwenye eneo la Palestina lialokaliwa kimabavu na Israeli ambapo vinazidi kuibua changamoto mpya kila uchao.Changamoto ya uzazi duniani si kuhusu watu kukataa kuwa wazazi ni kuhusu kunyimwa fursa ya kuchagua kuwa mzazi imesema ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA iliyotolewa leo na kuonesha kuwa kuwa matatizo ya kiuchumi, ukosefu wa usawa wa kijinsia, na hofu kuhusu maisha ya baadaye vinawazuia mamilioni ya watu kupata familia wanazotamani.Tishio la baa la njaa linaendelea kuiandama Sudan iliyoharibiwa vibaya na vita, limeonya leo Shirika laUmoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP, likitoa wito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kusaidia kukidhi mahitaji yanayoongezeka na kuzuia maafa zaidi ya kibinadamu.Kwa mara ya kwanza dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya Mazungumzo baina ya Ustaarabu tofauti yenye lengo la kuchagiza amani, maelewano na mshikamano katika ulimwengu wa sasa uliogubikwa na chuki na mizozo.Na katika mashinani fursa ni yake Maria “Mãezinha” Sábado de Horta Fidalgo, Rais wa Ushirika wa wavuvi wadogo wa samaki katika kijiji cha Rincão kilichoko kisiwa cha Santiano nchini Cabo Verde barani Afrika anaelezea jinsi wanakabiliana na uhaba wa samaki kwenye eneo lao, na hii ni kutokana na mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs unaotekelezwa na mashirka ya Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake ameelezea wasiwasi wake kuhusu kupitishwa kwa muswada uliopendekezwa na Bunge la Uganda unaoruhusu raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.
Tangu kuangushwa kwa utawala wa aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al Assad aliyekuwa madarakani kwa zaidi ya muongo mmoja, wananchi wa Syria wamekuwa wakimiminika kurejea nchini mwao ambapo takwimu za sasa zinaonesha zaidi ya Wasyria 500,000 wamerejea kutoka nchi jirani. Mmoja wa waliorejea ni Babu Jassim na Leah Mushi anatuletea simulizi yake.
Hii leo jaridani tunaangazia masuala ya afya, na wakimbizi wa Syria wanaorejea nchini mwao. Makala tukwenda nchini Kenya kumulika ufukaji wa nyuki, na mashinani tunakuletea ujumbe wa Katibu Mkuu wa IMO kuhusu Siku ya Kimataifa ya wanawake mabaharia.Wajumbe kutoka kote duniani wamekusanyika mjini Geneva, Uswisi, kwa ajili ya Mkutano wa 78 wa Baraza la Afya Duniani (WHA78) unaofanyika kuanzia leo Mei 19 hadi 27 Mei mwaka huu.Tangu kuangushwa kwa utawala wa aliyekuwa Rais wa Syria Bashar al Assad aliyekuwa madarakani kwa zaidi ya muongo mmoja, wananchi wa Syria wamekuwa wakimiminika kurejea nchini mwao ambapo takwimu za sasa zinaonesha zaidi ya Wasyria 500,000 wamerejea kutoka nchi jirani. Mmoja wa waliorejea ni Babu Jassim na Leah Mushi anatuletea simulizi yake.Katika makala tunaelekea Kajiado nchini Kenya, ambako juhudi za utunzaji mazingira kupitia mradi wa ufugaji wa nyuki unaofadhiliwa na shirika la misaada la Marekani USAID kwa kushirikiana na idara ya misitu ya Kenya KFS hazichangii tu katika kukuza uchumi wa jamii, bali pia kulinda mazingira. Kupitia Makala hii iliyoandaliwa na Sharon Jebichii, Bwana Mureithi mmoja wa wanufaika wa mradi huo anaanza kwa kueleza mafanikio yao.Nakatika mashinani, fursa ni yake Arsenio Dominguez, Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Usafirishaji Majini, IMO akitoa ujumbe wa ujumuishaji na usawa wa kijinsia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya wanawake mabaharia ambayo huadhimishwa tarehe 18 mwezi Mei kila mwaka.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa ambayo Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuzungumza na kiongozi wa kijamii kutoka Jamii ya wafugaji ya Wamaasai mkoani Morogoro nchini Mashariki mwa Tanzania Adam Kulet Ole Mwarabu.Wiki kumi baada ya kuanza kwa mzingiro kamili wa Israel dhidi ya wakazi wa Gaza, zaidi ya robo tatu ya kaya katika eneo la Palestina kuna uhaba mkubwa wa huduma ya maji, huku hali ya usafi ikizidi kuwa mbaya, yameonya leo mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa huku wasiwasi ukiongezeka kuhusu athari za "uhaba huo wa maji kwa kuzingatia kuwa msimu wa joto unakaribia.”Ripoti kutoka Sudan zikidai kwamba juzi jumatano kulikuwa na jaribio la mashambulizi mapya ya ndege zisizo na rubani dhidi ya kitovu muhimu cha misaada nchini humo juzi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kupitia tamko alilolitoa jana jioni kwa saa za New York, Marekani, ameongeza nguvu yake katika kutoa wito unaozidi kuwa wa muhimu kuhamasisha kuanzishwa kwa mazungumzo ya amani ya kweli.Kufuatia kuendelea kwa mvutano wa majirani, India na Pakistani, Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Philemon Yang, ametoa wito wa kuzitaka nchi hizo mbili kuchukua tahadhari na kuepuka hatua zinazoweza kuongeza mzozo. Balozi Yang anasisitiza mazungumzo ya amani na kufuata sheria za kimataifa ndiyo njia pekee ya kusuluhisha migogoro.”Na katika jifunze Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DALALI”Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!