POPULARITY
Karibu kuungana nami katika makala changu chako chako changu leo jumapili ambapo nakuletea Historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance francaise ya Nairobi, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Thomson the voice kutoka nchini Burundi, mimi ni Ali Bilali, bienvenue ama Karibu.
Katika Makala haya mtangazji wa ko Ali Bilali anakuletea Historia ya siku ya wanawake duniani ambayo husherehekewa kila ifikapo machi 8 ya kila mwaka
Katika Makala haya, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumza na Cassypool mwanamitandao na muhamasishaji kutoka nchini Kenya, ambae amejizolea umaharufu kupitia kile alichokiita tasnia ya uchawa, ambapo anaeleza kuwa chawa wa rais wa Kenya William Ruto na sasa ni chawa wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Kumbuka pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali
C'est une aventure culturelle commerciale artistique et à certains égards aussi politique. L'aventure du wax, ce tissu aux imprimés multicolores, indéfectiblement lié à l'Afrique de l'Ouest et à l'Afrique centrale, devenu le vecteur de messages personnels, le marqueur d'événements historiques. Comment est-il né ? Comment s'est-il répandu sur le continent africain ?Comment aussi, imité mais jamais égalé, est-il entré dans l'univers de la mode en Europe ? Comment enfin les artistes photographes plasticiens se sont emparés du Wax ? Bref, vous l'avez compris, on parle du wax sous toutes ses coutures à l'occasion de l'exposition qui ouvre ses portes aujourd'hui au musée de l'Homme à Paris dans le cadre du parcours Migrations.  Avec- Marie Merlin, commissaire d'exposition, cheffe de projet et muséographe- Cindy Olohou, conseillère scientifique de l'exposition, historienne de l'art et critique d'art contemporain- Justine Sow, journaliste belge, autrice et dessinateur de Wax, paradoxe, aux éditions Bayard graphic'. Elles sont les invitées de Sur le pont des arts. L'exposition Wax se tient jusqu'au 7 septembre 2025 au musée de l'Homme à Paris.  Au programme de l'émission :Le hit de la semaine : Ali Bilali nous fait le tour de l'actualité musicale des pays de l'Afrique de l'Est en passant par la Tanzanie, le Burundi et le Rwanda.Playlist du jour- Nana Benz du Togo - Tite- Franco & le T.P OK - JazzMassu- Natu Camara - Cinko Mina.
C'est une aventure culturelle commerciale artistique et à certains égards aussi politique. L'aventure du wax, ce tissu aux imprimés multicolores, indéfectiblement lié à l'Afrique de l'Ouest et à l'Afrique centrale, devenu le vecteur de messages personnels, le marqueur d'événements historiques. Comment est-il né ? Comment s'est-il répandu sur le continent africain ?Comment aussi, imité mais jamais égalé, est-il entré dans l'univers de la mode en Europe ? Comment enfin les artistes photographes plasticiens se sont emparés du Wax ? Bref, vous l'avez compris, on parle du wax sous toutes ses coutures à l'occasion de l'exposition qui ouvre ses portes aujourd'hui au musée de l'Homme à Paris dans le cadre du parcours Migrations.  Avec- Marie Merlin, commissaire d'exposition, cheffe de projet et muséographe- Cindy Olohou, conseillère scientifique de l'exposition, historienne de l'art et critique d'art contemporain- Justine Sow, journaliste belge, autrice et dessinateur de Wax, paradoxe, aux éditions Bayard graphic'. Elles sont les invitées de Sur le pont des arts. L'exposition Wax se tient jusqu'au 7 septembre 2025 au musée de l'Homme à Paris.  Au programme de l'émission :Le hit de la semaine : Ali Bilali nous fait le tour de l'actualité musicale des pays de l'Afrique de l'Est en passant par la Tanzanie, le Burundi et le Rwanda.Playlist du jour- Nana Benz du Togo - Tite- Franco & le T.P OK - JazzMassu- Natu Camara - Cinko Mina.
Katika Makala haya ya kwanza kabisa ya mwaka 2025, mtangazaji wako asiependa makuu Ali Bilali anakupa fursa ya kuwatakia heri ya mwaka mpya ndugu jamaa na marafiki.
Heri ya mwaka mpya msikilizaji wa RFI Kiswahili popte pale ulipo. Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu ninakukaribisha katika makala haya ya mwishgo kabisa changu chako chako changu katika mwaka 2024. Leo nakukumbusha mada kadhaa zilizo zungumziwa mwaka 2024, lakini pia ninapokea salam zako za mwaka mpya wa 2024, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki isifiwe Kibangula kutoka hko Sweeden ambae ametangawa kubadili muziki wake.Karibu na kwa mara nyingine tena kheri ya mwaka mpya.
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Ambatana na mshika usukani Ali Bilali katika Burudani ya Muziki Ijumaa RFI Kiswahili
Uhusiano baina ya lugha na utamaduni, mila na mirathi ya jamii kwa jumla huenda ukafahamika angalau kwa wepesi, iwapo tutazingatia mambo kadhaa ikiwemo lugha na matumizi yake, tabia, utu, utamaduni, mila,mitindo na mengineo. Watu wa kabila la washi mashariki mwa DRC wameandaa tamasha la kutambulisha utamaduni wao, ambalo ni msimu wa pili na limepangwa kufanyika desemba 6 hadi 8 huko Bukavu. Katika makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anakuletea sehemu hii ya tatu na ya mwisho ya maandilizi ya makala haya. unaweza kusikiliza sehemu ya kwanza kubonyeza hapa (sehemu ya kwanza) Lakini pia sehemu ya pili kwa kubonyeza hapa (Sehemu ya pili)Â Asante kwa kuendelea kuwa muaminifu kwa radio yako na kwa mtangazaji wako asiependa makuu unaweza kumfollow kwa kubonyeza hapa Billy Bilali
Makala haya Ali Bilali anazungumza na msanii Oliver wa nyimbo za asili ya washi wahavu mashariki mwa DRC kuelekea tamasha la Bushi ama Festival de Bushi.
Katika Makala haya Ali Bilali amejielekeza Alliance Francaise ya Nairobi ambayo imeandaa Onyesho la Kwanza la tamthilia ya ‘Mgonjwa Mwitu', utayarishaji wao wa kila mwaka wa maigizo yaliyotolewa na tamthilia za waandishi mashuhuri wa Ufaransa. Kwa maadhimisho ya miaka 75, chaguo ni 'Le Malade Imaginaire' na Molière. Hii ni comedy ya mwisho kuandikwa na Molière. Ingawa ilionyeshwa kwa mara ya kwanza mnamo 1673, kichekesho hiki cha kejeli, mojawapo ya bora zaidi za Moliere, hakijapoteza mvuto wake wa dhati na wa ulimwengu wote.Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali kwenye mitandao ya kijamii @billy_bilali
Karibu katika Makala Changu Chako Chako Changu, ambapo Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu ameungana na Denise Maheho kutoka Lubumbashi kuzungumzia kuhusu iliokuwa barabara ya watumwa zama za ukoloni.Kumbuka pia kutuachia comment na kumfollow mtangazaji wako asiependa makuu @billy_Bilali kwenye mitandao yake ya kijamii Instagram na facebook.
Ali Bilali ndio jina langu tunakutana tena Jumapili hii katika makala Changu Chako Chako Changu ambapo nakuletea sehemu ya pili ya Makala kuhusu Utamaduni w andoa kulingana na kabila la Wameru, kwenye le parler francophone nitakupa ratiba ya shughuli kwenye vituo vya Alliance Francaise ya Nairobi na Dar es salaam. Na kwenye Muziki tutamaliza na kibao Pambe chake Christian Bella kutoka huko nchini Tanzania, Karibu ama Bienvenue.
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anazungumzia kuhusu utamaduni wa watu wa kabila la Wameru kutoka nchini Kenya, wapo pia nchini Tanzania.
Katika makala haya, mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Amua Rushita kutoka Mkoa wa Mtwara pamoja na Hillary Alexanda Ruhundwa kutoka Mkoa wa Ngara nchini Tanzania kuzungumzia utamaduni wa ndoa kulingana na makabila hayo mawili. Kumbuka pia nawe unaweza kushiriki moja kwa moja studio au kwa njia ya simu. Wasiliana na mtangazaji wako asiependa makuu kufahamu zaidi.
Karibu katika Makala Changu Chako Chako Changu jumapili ya leo ambapo nakulrtea Makala maalum kuhusu maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 14 tangu Ple RFI Kiswahili ilipoanza kupeperusha matangazo yake mubashara kutoka nchini Tanzania ambapo ilikuwa idhaa ya kwanza ya Kimataifa kutangaza ikiwa Afrika mashariki. Na kwenye Muziki nitakuletea Burudani ya Muziki wa Idd Aziz Kiswahili kitukuzwe wakati huu tukielekea kuadhimisha siku ya Kiswahili duniani. Mimi naitwa Ali Bilali, Bienvenue ama Karibu. Â Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako Ali Bilali kwa kubonyeza hapa @billy_bilali
Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhsu maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa DRC.
Eid Mubaraka kwako mskilizaji wa RFI Kiswahili popopte pale ulipo ausubuhi hii. Karibu kuungana nami katika Makala haya Changu Chako Chako Changu. Leo nakuletea Historia ya watu wa Kabila la Wanubi, na kwenye Muziki nakupeleka nchini Burundi ambapo nazungumza na msanii wa kizazi kipya, Keypeacvaldiny. mimi ni Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu Karibu ama bienvenue. Jina lake halisi ni Nzeyimana touré hamissi, anatumia jina la kisanii a @keypeac_valdyn amezaliwa April 8 mwaka 2002 jijini Bujumbura inchini burundiAlianza muziki mwaka 2017, ila sababu ya harakati za masomo na familia alilazimika kuachana kabisa na muziki na kujikita zaidi na masomo. Baada ya kumaliza shule mwaka 2023 akaamuwa kurejea kwenye tasnia ya Muziki ambapo amekuja na EP yake iliowekwa hewani tangu April 15 mwaka 2024. EP yake hiyo ina nyimbo 3 ambazo ni:Track n°1.carolinaTrack n°2.sorryTrack n°3.mmmhna songs hizo zote zipo kwenye platforms zake zote anapatikana kwa jina la @keypeac valdynyupo kwenye platforms zifwatazo kama : apple music, spotify, boomplay, youtube, rhapsody, deezer, amazon mp3, google play, shazam, tidal, tiktok, instagram, x , threads, na zingine.Unaweza kumfollow mtangazaji wako Ali Bilali kwa kubonyeza hapa https://www.instagram.com/billy_bilali/
Karibu katika makala ya leo changu chako chako changu ambapo leo nakuletea historia ya siku ya madaraka ambayo huadhimishwa kila Juni Mosi nchini Kenya. Na kwenye le parler francophone kama kawaida nakuletea ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance francaise za ukanda. Na Kwenye Muziki nitakuwa naye Mr Champagne msanii kutoka nchini Burundi ambaye yupo nchini Kenya kwa ajili ya kutangaza wimbo wake mpya Niko tu. Mimi ni Ali Bilali bienvenue ama karibu. Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako kwenye mitandao ya kijamii @billy_bilaliÂ
 Karibu katika Makala haya changu chako chako changu, jumapili ya leo ambapo nakuletea awamu ya pili ya makala kuhusu historia na utamaduni wa watu wa kabila la Wanyakyusa, na kwenye Muziki nakupa muendelezo wa mazungumzo na wasanii Kidum Kibidon na EstherNish. Mimi ni Ali Bilali. Bienvenue.
Furaha ilioje kukutana nawe Jumapili ya leo katika Makala Changu chako Chako Changu, ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophpone na Muziki ambapo leo nakuletea sehemu ya kwanza ya makala kuhusu historia ya Wanyakyusa, na kwenye Miuziki nitakuletea mwanamuziki Esthernish pamoja ni Kidum. Mimi ni Ali Bilali bienvenue. Ama Karibu. Kumbuka pia kutufollow kwa Instagram @billyÂ
Kwenye Makala haya Ali Bilali akiwa pamoja na wachambuzi wa siasa Mali Ali kutoka Paris Ufaransa na Abdulkarim Atiki wanaangazi kuhusu tuhuma za Burundi kwa Rwanda kuhusika na vitendo vya uhalifu hususan uvurumishaji guruneti katika mji wa Bujumbura, tukio la hivi karibuni liligharimu maisha ya watu kadhaa na kuwajeruhi wengine.
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman mwenye asili ya Burundi anaefanya kazi yake huko Sweeden. https://www.youtube.com/watch%3Fv%3DdsIZZ0MmadE
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na mwanaharakati Florence Kiwuwa ambae pia ni mtangazaji wa RFI Kiswahili kuhusu maandalizi ya siku ya kimataifa ya wanawake duniani.
Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako? Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako Ali bilali Instagram kwa kubonyeza hapa @billy_bilali
Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako? Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako Ali bilali Instagram kwa kubonyeza hapa @billy_bilali
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anazungumzia kuhusu umuhimu wa kujifunza lugha Mama, wakati huu shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni Unesco likiwa na wasiwasi wa kutokewa kwa zaidi ya lugha mama zaidi ya 3000.
Karibu kuungana naye Ali Bilali katika Makala ya leo Changu chako chako changu, ambapo anakuletea historia ya kombe la mataifa ya afrika na atiba ya shughuli kutoka Alliance francaise za ukanda na kwenye muziki atakuletea historia fupi ya mwanamuziki rapa kutoka nchini Kenya King Kaka. Kumbuka pia kumfolow kwa instagram @billy_bilali
Habari za asubuhi msikilizaji wa RFI Kiswahili na mpenzi wa Makala Changu Chako Chako changu, makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, Utamaduni, le parler franxophone na Muziki ambapo leo nimekuandalia Historia na utamaduni wa watu wa kabila la Wanyamwezi, nitakuletea pia mwanamukuzi Miraculos kutoka nchini Burundi Mimi naitwa Ali Bilali mtangazaji asiependa makuu. Karibu ama bienvenue. Usikosi pia kumfollow @billy_bilali
Katika Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhusu siku ya kuwambuka watu waliotoa mchango wao katika harakati za ukombozi ambapo kila januari 4 ni siku ya kuwakumbuka wapambanaji hao waliochangia katika ukombozi wa nchi Usikosi pia kumfollow mwanahabari wako Ali Bilali kwa Instagram @billy_bilali
Makala haya Changu chako Chako Changu, Ali Bilali mtangazaji wako asipenda makuu amezungumza na Mzee Ebengela Saleh kuotka huko mashariki mwa DRC kuzungumzia kuhusu Historia na Tamaduni za watu wa Kabila la Wabembe. Utapata pia kumfahamu mwanamuziki kutoka Ufaransa mwenye asili ya DRC na Congo Brazaville Naza. Ambatana na mtangazaji wako na usikosi kumfollow kwa Instagram kwa kubonyeza hapa. @billy_bilali https://www.instagram.com/billy_bilali/
Katika Makala haya, mwanahabari wako Ali Bilali anarejelea historia ya mwanaharakati mtetezi wa Uhuru wa DRC Emery Patrice Lumumba aliezaliwa Julay 2 1925 alifariki Januari 17 mwaka 1961. Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na vijana wanafunzi na waalimu wa lugha ya kifaransa kuangazia utamaduni wa kujifunza lugha hususan lugha ya Kifaransa, wakati kwenye kipengele cha Muziki amempokea mwanamuziki kutoka nchini Burundi Mistachampagne ambae anazuri jiji la Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya shughuli zake za kimuziki. Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako asiependa makuu @billy_bilali
Makala haya ni mkusanyko wa Makala za mwaka 2023 alizokukusanyia mtangazaji wako Ali Bilali
Ni furaha kubwa kukutana nawe kwa mara nyingine tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nitaungana na mwenzangu DENISE MAYO kukujuza kuhusu tamaduni za watu wa huko Katanga katika uchimbaji wa madini, kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba wa Alliance francaise za Ukanda na Institut Français ya Lubumbashi, kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Kutoka nchini Kenya Mohammed Ali Said, anaefahamika sana kama Masauti. Mimi ni Ali Bilali
Karibu mpenzi msikilizaji katika Makala ya leo Changu Chako Chako Changu, ambapo nakukumbusha historia na tamaduni ya watu wa kabila la wataita, na kwenye le parler francophone tutaangazia ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance France Francaise ya Nairobi, Dar es salaam, Arusha, na Institut francais ya Lubumbashi. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Hiro Le Coq rapa wa Ufaransa mwenye asili ya DRC. Mimi naitwa Ali Bilali bienvenue.
Makala haya yanazungumzia kuhusu tolea la 10 la tuzo ya Ghislaine Dupont na Claude Verlon ambalo hutolewa kila Novemba 02 ya kila mwaka na RFI ili kuwaenzi waandishi wa habari hao wawili waliofariki miaka 10 iliopita huko Kidal kaskazini mwa Mali baada ya kutekwa na wanajihadi, ambapo Joseph Kahongo wa (RDC) na Ange J. Agbla (Bénin) ndie washindi wa toleo hili la kumi. ambatana naye Ali Bilali kudahamu mengi zaidi.
Ni furaha kukutana nawe kwa mara nyingine tena Jumapili hii katika Makala Changu Chako Chako Changu, ambapo leo nakuletea Msanii wa kitambo wa bendi kutoka Afrika mashariki Abu Omar ambae ameandika kitabu kuzungumzia historia ya muziki wa densi. Kwenye le parler francophone nakupa ratiba ya shughuli kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi, na Dar es salaam, na kwenye muziki nakuletea muziki wa Singeli kutoka nchini Tanzania. Mimi ni mtangazaji asiependa makuu Ali Bilali. Binevenue. Abu Omar akiwa studio za RFI na mtangazaji Ali Bilali. Usikosi pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali Â
Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anakuletea tofauti mbalimbali za tamaduni za watu kutoka nchinbi Burundi na Kenya.
Ni furaha kubwa kukutana nawe Jumapili nyingine katikza Makala haya changu chako chako changu ambapo leo nakuletea sehemu ya pili ya makala kuhusu historia ya waswahili wa Burundi. Na kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba ya shughuli kwenye Alliance francaise ya Nairobi, Dar es salaam na Alliance francaise ya Lubumbashi. Kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki kutoka nchini Burundi anaitwa Miraculos Lop. Mimi naitwa Ali Bilali mtangazji wako asiependa makuu. Bienvenue, ama Karibu
Katika Makala haya, Ali Bilali mtangazaji wa maswala ya Historia na utamaduni kutoka RFI Kiswahili anakuletea historia ya waswahili wa Burundi katika mazungumzo na mzee mkongwe mwana Historia kutoka Buyenzi, Mzee Anzuruni Hussein, ikiwa ni sehemu ya kwanza, na kwenye le Parler francophone tutaangazia kuhusu ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance Francaise ya Nairobi na Dar es salaam. Na kwenye Muziki tutamuangazia mwanamuziki Vichou Love kutoka nchini Burundi.
Katika Makala haya Mtangazaji wako Ali Bilali wa idhaa ya Kiswahili ya RFI amezungumza na kina Mama kutoka kundi la Warumba wa Nyakanga, ambao hutoa burudani ya kuimba kwa kutumia ngoma maharufu "Msondo" huku wakitoa pia somo la mafunzo ya kumfunda mwali katika utamaduni wa waswahili wa Buyenzi. Na kwenye Muziki utampata Kijana Khalid msanii wa miondoko ya Taarab kutoka nchini Burundi mwenye lengo la kuinua muziki huo nchini Burundi. Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako kwenye mitandao ya kijamii instagram na facebook billy_bilali
Katika makala haya Jumapili ya leo Ali Bilali anakuletea mila na tamaduni za watu wa Rumonge kusini mwa Burundi, na kwenye muziki utamsikia msanii Andy Mwag mwanamuziki kutoka nchini Burundi ambae amekuwa tishio jukwaani katika muziki wa Live. Ambatana na mtangazaji wako mwanzo hadi tamati, na usiksahau kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali
Makala haya ya leo Changu Chako Chako Changu mtangazaji wako wa maswala ya historia sanaa na utamaduni Ali Bilali ametembelea huko Uvira na kufanya mazungumzo kuhusu sanaa hii ya kuigiza katika eneo hilo, lakini pia utapata kumsikia mwanamuziki kutoka eneo hilo Mr Gave. Ambatana naye. usikosi pia kumfollow katika mitandao ya kijamii facebook na instagram @billy_bilali
Katika Makala haya ya leo Ali Bilali anajadili na wachambuzi kuhusu siku mia moja ya vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan
Juma hili Ali Bilali yupo kwenye usukani kukuletea Makala Muziki Ijumaa.
Makala haya Muziki Ijumaa, Ali Bilali anakuletea burudani ya Muziki uliochaguwa, kama ilivyo ada ya kila siku ya Ijumaa. Usikosi pia kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali
Makala yako Muziki ijumaa inakuletea mchanganyiko wa burudani waliochaguwa waskilizaji, juma hili usukani unaongozwa na Ali Bilali. Kumbuka pia kumfollow kwa instagram @billy_bilali
Katika Makala haya Ali Bilali anakuletea Burudani ya Muziki pamoja na chaguo ulilochaguwa wewe msikilizaji. Ambatane naye hadi tamati usikosi pia kumfollow kwa Instagram @billy_bilali