Podcasts about DRC

  • 1,090PODCASTS
  • 3,586EPISODES
  • 26mAVG DURATION
  • 3DAILY NEW EPISODES
  • May 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about DRC

Show all podcasts related to drc

Latest podcast episodes about DRC

Habari za UN
30 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Licha ya ukata UNICEF yajitahidi watoto nchini DRC warejee shuleni

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 2:09


Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi. Je ni kwa vipi? Anold Kayanda anasimulia zaidi.

Habari za UN
Walinda amani kutoka Tanzania TANZBATT 11 wajivunia kazi zao za kuwaunga mkono raia DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 2:32


Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi tunakutana na walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani. Afisa Habari wa TANZBATT 11 Meja Fadhila Nayopa amefuatilia hadithi zao. 

Habari za UN
29 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 29, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa ikitupeleka nchini DRC, Sierra Leone na Ghana. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno "MISHEMISHE.”Leo ni Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani ambayo mwaka huu inajikita na maudhui ya “mustakabali wa ulinzi wa amani.”Katika ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema walinda amani wa Umoja wa Matafa wako katika changamoto kubwa “Leo hii, walinda amani wanakabiliwa na hali zinazozidi kuwa ngumu katika dunia inayozidi kuwa na changamoto, ikiwemo uugawanyika na kutofautiana kwa mitazamo duniani kunazidi kuongezeka, operesheni za ulinzi wa amani zinakabiliwa, hatari zaidi kutokana na wingi wa vitisho kama vile ugaidi na walinda amani kulengwa kwa makusudi kupitia taarifa potofu zenye madhara makubwa na changamoto zinazovuka mipaka kuanzia janga la mabadiliko ya tabianchi hadi uhalifu wa kimataifa.Kikosi cha 11 cha Tanzania kinachohudumu chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO kimeungana na walinda amani wengine kuadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mavivi, yakiongozwa na Brigedia Jenerali Diamond Meshack Madie, Mnadhimu Mkuu wa Vikosi vya MONUSCO.Shirika la Umja wa Mataifa la Mazingira UNEP limezindua mpango mpya wa dola milioni 15 kusaidia uwekezaji endelevu katika Bonde la Kongo – moja ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia duniani. Mpango huu unalenga kufungua fursa za biashara rafiki kwa mazingira kwa wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta za kijani. Msitu wa mvua wa Bonde la Kongo ni moja ya vyanzo vikubwa vya kaboni duniani na ni makazi ya watu zaidi ya milioni 75, wakiwemo jamii za asili.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
28 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 28, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia haki za binadamu nchini Ukraine na upatikanaji wa elimu nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini, na amashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia.Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya Kwale Pwani ya Kenya  ambao waliacha shule sababu ya umasikini.  Katika makala ikielekea siku ya walinda amani kesho Mei 29, tunamulika harakati za walinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini SUdan Kusini za kulinda raia na mwenyeji wako katika makala hii iliyoandaliwa kupitia video ya ujumbe wa  Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani Sudan Kusini, UNMISS ni Sharon Jebichii.Na katika mashinani huku machafuko yakiendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wafanyakazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wako mashinani mjini Goma na maeneo mengine yaliyoathirika ili kutoa msaada muhimu, ikiwa ni pamoja na kufanikisha nia ya wakimbizi wanaorejea nchini mwao Rwanda. Raab na Ruusi ni baadhi yao.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

SBS Swahili - SBS Swahili
UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:53


Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.

drc unhcr sudan kusini
The Long  Form with Sanny Ntayombya
He FLED Congo as a Child. Now He's Back as Vice Governor | M23's Manzi Willy Ngarambe is DEFIANT!

The Long Form with Sanny Ntayombya

Play Episode Listen Later May 26, 2025 123:04


In this special on-the-ground episode of The Long Form Podcast, I travel to Goma, in the Democratic Republic of Congo, to speak with Manzi Willy Ngarambe, the newly appointed Vice Governor of North Kivu Province. Just 100 days into his leadership under the AFC/M23 administration, we discuss his unexpected rise to power, his childhood escape from conflict, and his vision to rebuild a region long defined by violence and displacement.We unpack the deep-rooted issues behind the decades-long war in eastern Congo, the marginalization of Kinyarwanda-speaking Congolese, and the prospects for returning refugees, lasting peace, and justice in the DRC. Can the AFC/M23 bring real stability to the region? Is being a Congolese Tutsi still a death sentence? This episode dives deep into history, identity, and the fragile hope of a new beginning for Central Africa.#DRCongo #NorthKivu #ManziWilly #M23 #CongoCrisis #TheLongFormPodcast #AfricanPolitics #RefugeeReturn #PeaceInAfrica #Goma #Rwanda #TutsiInCongo #CongoleseHistory #YouthAndPoliticsListen to the Long Form with Sanny Ntayombya podcast on Apple Podcasts https://podcasts.apple.com/rw/podcast/the-long-form-with-sanny-ntayombya/id1669879621Listen to the Long Form with Sanny Ntayombya podcast on Spotify: https://open.spotify.com/show/7HkkUi4bUyIeYktQhWOljcFollow Long Form with Sanny Ntayombya on Twitter: https://x.com/TheLongFormRwFollow Long Form with Sanny Ntayombya on Instagram: https://www.instagram.com/thelongformrw/Follow Long Form with Sanny Ntayombya on TikTok: https://www.tiktok.com/@longformrwFollow Sanny Ntayombya on Twitter: https://x.com/SannyNtayombya About Long Form with Sanny Ntayombya:The Long Form with Sanny Ntayombya is a weekly podcast intent on keeping you up to date with current affairs in Rwanda. The topics discussed range from politics, business, sports to entertainment. If you want to share your thoughts on the topics I discuss use the hashtag #LongFormRw on Twitter and follow us on Twitter and Instagram on our handle @TheLongFormRwBe a part of the conversation.

Give The People What They Want!
Will the West isolate Israel?

Give The People What They Want!

Play Episode Listen Later May 22, 2025 31:23


Israel's brutal genocide in Gaza reached new disastrous levels, and some European governments have taken a slight shift in tone of their support of Israel. Tune in for another episode of Give The People What They Want! with Zoe Alexandra, Indian journalist Prasanth R and Roger McKenzie, international editor of Morning Star, as they dig into this story and more. They discuss the ground invasion of Gaza by the Israeli Occupation Forces, talks between Iran and the United States, an update on the situation in DRC, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov's calls for the establishment of a pan-Eurasian platform, the arrest of human rights defender Ruth Eleonora López in El Salvador as well as the upcoming elections in Venezuela.

TLDR Daily Briefing
The UK Suspends Negotiations with Israel

TLDR Daily Briefing

Play Episode Listen Later May 21, 2025 6:33


In today's episode, we cover if the UK Government has fallen out with Israel, the ongoing absence of humanitarian aid in Gaza, Trump's new ‘Golden Dome' project, and the former PM of the DRC is sentenced to 10 years of forced labour on corruption chargesWatch TLDR's latest videos here:https://youtu.be/FMb8SBk-jDs https://youtu.be/ejrpZrLawyM Watch the latest episode of TLDR's World Leader Leaderboard here: https://youtu.be/b5nuQCtPJKgTLDR's Daily Briefing is a roundup of the day's most important news stories from around the world. But we don't just tell you what's happening, we explain it: making complex topics simple to understand. Listen to the Daily Briefing for your global news bulletin every weekday.Pre-order the next edition of Too Long, TLDR's print magazine, here: https://toolong.news/dailyProduced and edited by Scarlett WatchornHosted byWritten by Ben Blisset and Nadja LovadinovMusic by Epidemic Sound: http://epidemicsound.com/creator//////////////////////////////Sources:✍️ UK Government Suspends Free Trade Talks With Israelhttps://x.com/Keir_Starmer/status/1924757150024216851/photo/1https://www.theguardian.com/world/2025/may/20/uk-suspends-trade-talks-with-israel-repellant-extremism✍️ Israel Refuses to Lift Aid Blockadehttps://www.theguardian.com/world/2025/may/20/israel-still-blocking-aid-for-gaza-despite-promise-to-lift-siege-says-un ✍️ Trump's ‘Golden Dome' Plan Explainedhttps://www.bbc.co.uk/news/articles/cwy33n484x0o ✍️ DRC Sentences Former PM on Corruption Chargeshttps://www.aa.com.tr/en/africa/former-dr-congo-prime-minister-gets-10-years-for-embezzlement/3574594 See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.

Habari za UN
20 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 20, 2025 12:20


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika wafugaji wa nyuki nchini Tanzania leo ikiwa ni siku ya nyuki duniani iliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 20 Desemba mwaka 2017 kupitia azimio namba A/72/211.Baada ya miaka mitatu ya majadiliano, leo katika Mkutano wa Kimataifa wa Afya unaoendelea Geneva, Uswisi, nchi zimepitisha rasmi makubaliano ya kihistoria ya kuzuia, kujiandaa, na kukabiliana vyema na majanga ya magonjwa kwa siku zijazo. Taratibu zote zitakapopitishwa na angalau nchi 60, mkataba utaanza kutumika rasmi mwakani.Kutokana na mamlaka za Israeli kulegeza kwa muda mzingiro uliodumu kwa wiki 11, angalau sasa matumaini kidogo yamerejea Gaza, yameeleza leo mashirika ya Umoja wa Mataifa. Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya dharura, OCHA, Jens Laerke amesema tayari wamepata ruhusa ya kuyavusha malori matano yaliyokuwa yamezuiliwa jana.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limetahadharisha  leo kwamba bila ufadhili zaidi, huenda katika muda wa wiki chache zijazo likalazimika kusitisha msaada wa chakula kwa takribani nusu ya watu linaowahudumia kwa sasa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.Na katika mashinani, fursa ni yake Hanan Al-Dayya, Mkimbizi wa ndani katika ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, akisimulia  madhara ya mashambulizi yanayoendelea kutoka Israeli.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

The Clement Manyathela Show
SANDF members return, some hit by delays

The Clement Manyathela Show

Play Episode Listen Later May 19, 2025 21:29


Thabo Shole-Mashao in for Clement Manyathela speaks to Advocate Pikkie Greeff, the National Secretary of the South African National Defence Union regarding the delays experienced by some SANDF members in exiting Goma in the Democratic Republic of Congo (DRC). The Clement Manyathela Show is broadcast on 702, a Johannesburg based talk radio station, weekdays from 09:00 to 12:00 (SA Time). Clement Manyathela starts his show each weekday on 702 at 9 am taking your calls and voice notes on his Open Line. In the second hour of his show, he unpacks, explains, and makes sense of the news of the day. Clement has several features in his third hour from 11 am that provide you with information to help and guide you through your daily life. As your morning friend, he tackles the serious as well as the light-hearted, on your behalf. Thank you for listening to a podcast from The Clement Manyathela Show. Listen live on Primedia+ weekdays from 09:00 and 12:00 (SA Time) to The Clement Manyathela Show broadcast on 702 https://buff.ly/gk3y0Kj For more from the show go to https://buff.ly/XijPLtJ or find all the catch-up podcasts here https://buff.ly/p0gWuPE Subscribe to the 702 Daily and Weekly Newsletters https://buff.ly/v5mfetc Follow us on social media: 702 on Facebook https://www.facebook.com/TalkRadio702 702 on TikTok https://www.tiktok.com/@talkradio702 702 on Instagram: https://www.instagram.com/talkradio702/ 702 on X: https://x.com/Radio702 702 on YouTube: https://www.youtube.com/@radio702 See omnystudio.com/listener for privacy information.

Afternoon Drive with John Maytham
Can SANDF still defend South Africa?

Afternoon Drive with John Maytham

Play Episode Listen Later May 19, 2025 10:15


John Maytham is joined by Dean Wingrin, a seasoned defence analyst and journalist who’s tracked the SANDF’s decline over the years. Presenter John Maytham is an actor and author-turned-talk radio veteran and seasoned journalist. His show serves a round-up of local and international news coupled with the latest in business, sport, traffic and weather. The host’s eclectic interests mean the program often surprises the audience with intriguing book reviews and inspiring interviews profiling artists. A daily highlight is Rapid Fire, just after 5:30pm. CapeTalk fans call in, to stump the presenter with their general knowledge questions. Another firm favourite is the humorous Thursday crossing with award-winning journalist Rebecca Davis, called “Plan B”. Thank you for listening to a podcast from Afternoon Drive with John Maytham Listen live on Primedia+ weekdays from 15:00 and 18:00 (SA Time) to Afternoon Drive with John Maytham broadcast on CapeTalk https://buff.ly/NnFM3Nk For more from the show go to https://buff.ly/BSFy4Cn or find all the catch-up podcasts here https://buff.ly/n8nWt4x Subscribe to the CapeTalk Daily and Weekly Newsletters https://buff.ly/sbvVZD5 Follow us on social media: CapeTalk on Facebook: https://www.facebook.com/CapeTalk CapeTalk on TikTok: https://www.tiktok.com/@capetalk CapeTalk on Instagram: https://www.instagram.com/ CapeTalk on X: https://x.com/CapeTalk CapeTalk on YouTube: https://www.youtube.com/@CapeTalk567 See omnystudio.com/listener for privacy information.

The Daily Friend Show
Soldiers left behind

The Daily Friend Show

Play Episode Listen Later May 19, 2025 16:20


Nicholas Lorimer and Chris Hattingh discuss reporting from City Press about how most of South Africa's troops in DRC have been left behind due to lack of budget, whilst the heavy equipment is removed. They also discuss Transnet's financial woes, and a violent service delivery protest in Gauteng. Website · Facebook · Instagram · Twitter

Africa Daily
Is Joseph Kabila about to lose his immunity from prosecution?

Africa Daily

Play Episode Listen Later May 16, 2025 17:47


It's more than six years since Joseph Kabila stepped down as President of the Democratic Republic of Congo…handing over power to Felix Tshisekedi. And yet Mr Kabila's presence still looms large over politics in the country. On Thursday the Senate in the DRC began to examine an indictment request against Mr Kabila. On today's episode, a senior member of Mr Kabila's party responds to the prospect of him losing immunity. And helps us get to the bottom of reports that he has returned to the country. Francine Muyumba is a member of Mr Kabila's People's Party for the Reconstruction and Democracy, a lawyer and former Senator herself.

Habari za UN
16 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 16, 2025 12:25


Hii leo jaridani tunaangazia uhakika wa chakula, na takwimu za afya za janga la COVID-19 kusababisha vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ukosefu wa uhakika wa kupata chakula na utapiamlo kwa watoto uliongezeka kwa mwaka wa sita mfululizo mwaka 2024, na kuwatumbukiza mamilioni ya watu karibu na baa la njaa, huku wengine wakiepuka kutokana na misaada ya kimkakati. Imesema Ripoti ya Kimataifa kuhusu Janga la Chakula (GRFC) iliyotolewa leo huko Roma, Italia na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO.Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane  ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.Katika makala Leah Mushi anatupeleka nchini Tanzania kusikia namna wanawake wenye ulemavu walivyoweza kujikwamua kutoka kwenye changamoto mbalimbali ikiwemo za kiuchumi na kuchangamkia fursa za uongozi.Na katika fursa ni yake Bernadette Kambonesa, mkimbizi wa ndani kutoka kijiji cha Bogoro, jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akizungumzia manufaa yatokanayo na uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

HPE Tech Talk
What is an AI agent?

HPE Tech Talk

Play Episode Listen Later May 15, 2025 21:23


How do we make artificial intelligence more intelligent? This week, Technology Now dives deep into the world of AI agents and how they interact with large language models. We ask what are some of the current problems with AI, and examine how applying agents can help artificial intelligence to provide better answers to our questions. Jimmy Whitaker, Chief Scientist in the AI Private Cloud Group at HPE, tells us more.This is Technology Now, a weekly show from Hewlett Packard Enterprise. Every week, hosts Michael Bird and Aubrey Lovell look at a story that's been making headlines, take a look at the technology behind it, and explain why it matters to organizations and what can be learnt from it.Jimmy Whitaker: https://www.linkedin.com/in/jimmymwhitaker/Sources cited in this week's episode:Today I learned: https://www.simonsfoundation.org/2025/04/29/flares-from-magnetized-stars-can-forge-planets-worth-of-gold-other-heavy-elements/Anirudh Patel et al., 2025, Direct Evidence for r-process Nucleosynthesis in Delayed MeV Emission from the SGR 1806–20 Magnetar Giant Flare, ApJL 984 L29, DOI 10.3847/2041-8213/adc9b0This week in history:Strassburg MA. The global eradication of smallpox. Am J Infect Control. 1982 May;10(2):53-9. doi: 10.1016/0196-6553(82)90003-7. PMID: 7044193.Muyembe JJ, et al, 2024, Ebola Outbreak Response in the DRC with r-VSV-ZEBOV-GP Ring Vaccination, The New England Journal of Medicine, 2024;391:2327-2336, VOL. 391 NO.24, https://www.nejm.org/doi/10.1056/NEJMoa1904387https://www.who.int/health-topics/poliomyelitis#tab=tab_1

Enneagram+Yoga
Part 3: Ramzy Alahmad's Heart For Teaching Yoga To Those In The Prison System & The Sattva Project

Enneagram+Yoga

Play Episode Listen Later May 15, 2025 22:19


Ramzy Alahmad is a 200hr RYT, an artist, freelance graphic designer, and a passionate member of the Chattanooga community. Ramzy facilitates free community offerings at the downtown Yoga Landing, including Kirtan every Tuesday from 7:30-9pm and a Bhagavad Gita study every Sunday from 6:30-8pm. Ramzy is a yoga instructor at the Hamilton County Jail and Detention Center and at the DRC (day reporting center). Ramzy is the President of The Sattva Project, a nonprofit organization dedicated to making yoga accessible to all, fostering healing, harmony, community and personal transformation. If you are on Instagram please follow: @ramzy_al.ma @thesattvaproject @yogalanding @enneagram.yoga @enneagramplusyoga @the_yoga_smith

Habari za UN
Nyumba yetu ilivamiwa na tulilazimika kukimbia hadi hapa Burundi – Mkimbizi Charles

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 14, 2025 4:43


Mapigano yanayoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yamesababisha zaidi ya watu 70,000 kukimbia makazi yao na kuvuka mpaka kuingia nchi jirani ya Burundi wakitafuta usalama.

Habari za UN
14 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 14, 2025 10:48


Hii leo jaridani tunaangazia haki za wanawake na wasichana nchini Sudan na hali ya kina mama na wanawake wajawazitio katika ukanda wa Gaza. Makala tukwenda nchini Burundi na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Wataalamu huru wa haki za binadamu, leo Mei 14 wamekemea vikali ukiukwaji mkubwa na wa kimfumo dhidi ya wanawake na wasichana nchini Sudan ukiwemo ukatili wa kingono unaohusiana na vita, utekaji nyara, na mauaji, ambayo mengi yameripotiwa kufanywa na kundi la kijeshi la Rapid Support Forces (RSF).Huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, wanawake na wasichana wakiwemo wanawake wajawazito na wale waliojifungua, wamelazimika kukimbia makazi yao na wanaishi katika mazingira hatarishi bila huduma za msingi za kiafya. Sharon Jebichii anaangazia simulizi ya mama mmoja, mkazi wa kambi ya wakimbizi ya Jabalia, Kaskazini mwa Gaza, ambaye alijifungua akiwa amekimbia vita,na sasa anahangaika kumtunza binti yake mchanga.Katika makala Assumpta Massoi kwa makala hiyo na zaidi ya yote shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi nchini Burundi kwa kuiandaa na kuhakikisha wakimbizi wanapata usaidizi.Na mashinani, fursa ni yake Juliana Sanga, mama kutoka Mkoa wa Njombe nchini Tanzania ambaye ni mnufaika wa mafunzo ya lishe bora kwa ajili ya kupunguza udumavu kwa watoto inayofanikishwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF Tanzania. Yeye anaeleza kile anachoondoka nacho.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

China Global
China's Chokehold on Critical Minerals

China Global

Play Episode Listen Later May 13, 2025 30:00


Critical minerals are required for the manufacturing of electronics, aerospace equipment, medical devices, and renewable energy technologies, making them essential for a country's economic and national security. These materials have been at the center of China's domestic and foreign policy for many decades, and China's ability to integrate internal industrial policies with foreign trade and investment policies has allowed them to gain dominance in the market. Meanwhile, the US has lagged behind China in terms of both access to and processing technology of critical minerals. The country has been heavily dependent on China for its critical minerals and struggles to find an alternative supplier.China's announcement to impose export restrictions on seven rare earth elements on April 4th has opened many conversations surrounding critical minerals, especially regarding the US and its supply chain vulnerabilities. What has China done to achieve their global dominance in the critical minerals sector, and what can the US do to address the overdependence issue they are facing today? To answer these questions and more, host Bonnie Glaser is joined by Gracelin Baskaran, the director of the Critical Minerals Security Program at the Center for Strategic and International Studies. She is a mining economist whose area of expertise is critical minerals and trade. Timestamps[00:00] Start[02:13] US Dependencies on Rare Earths and Critical Minerals[03:51] Sourcing from Latin America, Africa, and Asia[06:28] Environmental Harm from Mining and Processing[08:11] Deliberate Suppression of the Price of Rare Earths in the Market[11:06] Chinese Exports Restrictions on Seven Rare Earth Elements[14:08] US Administrations' Approaches to Critical Minerals Vulnerability[20:02] 2010 Fishing Boat Accident and Japan's Response [24:00] What might China do moving forward? [27:42] Timeframe for the US to Catch Up to China

The Real News Podcast
Nora Loreto's news headlines for Monday, May 12, 2025

The Real News Podcast

Play Episode Listen Later May 12, 2025 6:08


Canadian journalist Nora Loreto reads the latest headlines for Monday, May 12, 2025.TRNN has partnered with Loreto to syndicate and share her daily news digest with our audience. Tune in every morning to the TRNN podcast feed to hear the latest important news stories from Canada and worldwide.Find more headlines from Nora at Sandy & Nora Talk Politics podcast feed.Help us continue producing radically independent news and in-depth analysis by following us and becoming a monthly sustainer.Sign up for our newsletterLike us on FacebookFollow us on TwitterDonate to support this podcast

Daily News Brief by TRT World

Türkiye welcomes Russia-Ukraine peace talks President Recep Tayyip Erdogan welcomed Russian President Vladimir Putin's proposal to resume Russia-Ukraine peace talks in Istanbul on May 15, expressing Türkiye's readiness to host negotiations. In Sunday's phone call, Erdogan and Putin discussed bilateral ties, energy projects and regional issues. Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy confirmed his attendance. Erdogan also spoke with French President Emmanuel Macron, stressing cooperation for peace. US President Donald Trump, on the other hand, urged Ukraine to accept Putin's proposal immediately. Russian and Ukrainian officials met in Istanbul in 2022 to discuss ongoing conflict. Hamas to release US-Israeli captive as Washington criticises Israel Hamas announced it will release 21-year-old US-Israeli soldier Edan Alexander as part of direct ceasefire talks with the US. The Palestinian resistance group linked his release to the reopening of aid crossings. Trump welcomed the move as a gesture of goodwill towards Washington and mediators Egypt and Qatar. Meanwhile, Trump's Middle East envoy Steve Witkoff criticised Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, accusing his government of prolonging the Gaza war and stalling hostage deals, during a meeting with Israeli families. Israel has killed over fifty-two-thousand-eight-hundred Palestinians in its genocidal war on Gaza since October 2023. Pakistan provides details of its strikes on Indian targets Pakistan claimed to have struck 26 Indian military sites and deployed drones over major Indian cities, including New Delhi, in recent fighting, as both nuclear-armed rivals observe a cautious cessation of hostilities since Saturday. Pakistan also said it had downed five Indian jets. The Indian Air Force acknowledged losses without giving details but confirmed that all pilots had returned safely. Reuters reported three jet crashes in India-administered Kashmir. Despite the ceasefire, border residents remain displaced, while cities such as Jammu and Amritsar remained subdued amid ongoing security concerns. Meanwhile, President Donald Trump stated that the US would work with India and Pakistan to resolve the Kashmir dispute. Severe flooding in DRC leaves 62 dead, dozens missing Severe flooding in the Democratic Republic of Congo's South Kivu province has claimed at least 62 lives, with 50 people still missing. The deluge, triggered by torrential rains, struck at 5 am local time on Friday, flooding Kasaba village in the Ngandja sector. Search efforts are hampered by damaged infrastructure and communication breakdowns, with only the Red Cross assisting. It followed the recent flooding in Kinshasa that killed 33 people. The region is already grappling with ongoing conflict with rebels, further complicating the humanitarian response. Trump declares 'total reset' in US-China relations US President Donald Trump announced a ""very good meeting"" on trade with Chinese officials in Switzerland, claiming a ""total reset"" in US-China relations. The talks, which began in Geneva on Saturday, resumed on Sunday. The US delegation, led by Treasury Secretary Scott Bessent and Trade Representative Jamieson Greer, met with Vice Premier He Lifeng of China. The negotiations are the first face-to-face talks since both nations imposed trade tariffs.

Simple English News Daily
Tuesday 13th May 2025. Turkiye PKK disbands. Israel hostage freed. Russia Ukraine talks. Philippines elections. Argentina Nazi material...

Simple English News Daily

Play Episode Listen Later May 12, 2025 7:53


World news in 7 minutes. Tuesday 13th May 2025.Today: Turkiye PKK disbands. Israel hostage freed. Russia Ukraine talks. Philippines elections. US China tariff pause. UK Bulgarians jailed. Egypt Suez discounts. DRC floods. Qatar free plane. US white South Africans. Argentina Nazi material.SEND7 is supported by our amazing listeners like you.Our supporters get access to the transcripts and vocabulary list written by us every day.Our supporters get access to an English worksheet made by us once per week.Our supporters get access to our weekly news quiz made by us once per week.We give 10% of our profit to Effective Altruism charities. You can become a supporter at send7.org/supportContact us at podcast@send7.org or send an audio message at speakpipe.com/send7Please leave a rating on Apple podcasts or Spotify.We don't use AI! Every word is written and recorded by us!Since 2020, SEND7 (Simple English News Daily in 7 minutes) has been telling the most important world news stories in intermediate English. Every day, listen to the most important stories from every part of the world in slow, clear English. Whether you are an intermediate learner trying to improve your advanced, technical and business English, or if you are a native speaker who just wants to hear a summary of world news as fast as possible, join Stephen Devincenzi and Juliet Martin every morning. Transcripts, vocabulary lists, worksheets and our weekly world news quiz are available for our amazing supporters at send7.org. Simple English News Daily is the perfect way to start your day, by practising your listening skills and understanding complicated daily news in a simple way. It is also highly valuable for IELTS and TOEFL students. Students, teachers, TEFL teachers, and people with English as a second language, tell us that they use SEND7 because they can learn English through hard topics, but simple grammar. We believe that the best way to improve your spoken English is to immerse yourself in real-life content, such as what our podcast provides. SEND7 covers all news including politics, business, natural events and human rights. Whether it is happening in Europe, Africa, Asia, the Americas or Oceania, you will hear it on SEND7, and you will understand it.Get your daily news and improve your English listening in the time it takes to make a coffee.For more information visit send7.org/contact or send an email to podcast@send7.org

American Prestige
News - US-Houthi Ceasefire, Israel's Gaza Plans, and Global Trade Tensions

American Prestige

Play Episode Listen Later May 9, 2025 58:45


Though Jake is absent for the week, Danny and Derek remain steadfast in their dedication to bring you news. They discuss the U.S.-Houthi ceasefire (2:04); the Israeli government's plans for Gaza (6:49); Trump's push for a Gaza ceasefire and Saudi deal on his upcoming Middle East trip (12:54); new clashes between India and Pakistan as well as more details from Wednesday morning's strikes (16:41); the possibility of U.S.-China trade talks (20:28); the reality of a U.S.-U.K. trade deal (22:30); drone strikes on Port Sudan (25:41); peace talks in the DRC (27:49); Vladimir Putin's V-E Day ceasefire (30:41); Friedrich Merz's chaotic chancellor election (32:48) and the AfD's potential classification as an extremist group (34:33); the European Union's effort to poach U.S. academics (36:36); and finally, the Trump administration's push for countries to adopt Elon Musk's Starlink satellite internet service (39:13). Then, after the show, Danny and Derek speak with Trevor Beaulieu and Josh Olson about their new podcast, "White Canon." ⁠Check out White Canon here! Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Start Making Sense
US-Houthi Ceasefire, Israel's Gaza Plans, and Global Trade Tensions | American Prestige

Start Making Sense

Play Episode Listen Later May 9, 2025 53:09


Though Jake is absent for the week, Danny and Derek remain steadfast in their dedication to bring you news. They discuss the U.S.-Houthi ceasefire; the Israeli government's plans for Gaza; Trump's push for a Gaza ceasefire and Saudi deal on his upcoming Middle East trip; new clashes between India and Pakistan as well as more details from Wednesday morning's strikes; the possibility of U.S.-China trade talks; the reality of a U.S.-U.K. trade deal; drone strikes on Port Sudan; peace talks in the DRC; Vladimir Putin's V-E Day ceasefire; Friedrich Merz's chaotic chancellor election and the AfD's potential classification as an extremist group; the European Union's effort to poach U.S. academics; and finally, the Trump administration's push for countries to adopt Elon Musk's Starlink satellite internet service.Then, after the show, Danny and Derek speak with Trevor Beaulieu and Josh Olson about their new podcast, "White Canon."⁠⁠Check out White Canon here!Topics:02:04 The US-Houthi ceasefire.06:49 Israel's plans for Gaza.12:46 Donald Trump's planned visit to the Persian Gulf and his goals.16:34 Tthe new clashes between India and Pakistan.20:21 Potential US-China trade talks.22:41 The US-UK trade deal.23:44 The recent Australian elections.25:50 The RSF attacking Port Sudan.27:59 The advancing peace talks in the Democratic Republic of the Congo.30:44 Putin's VE Day ceasefire and its effectiveness.32:51 Friedrich Merz needing a second ballot to become German chancellor.34:37 The AFD party in Germany.36:34 The EU's efforts related to academics.39:17 US pushing countries to adopt Starlink.42:30 Discussuin w/ Trevor Beaulieu and Josh Olson about their new podcast, "White Canon."Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy

Radio Islam
Withdrawal of Soldiers from the DRC

Radio Islam

Play Episode Listen Later May 6, 2025 6:26


Withdrawal of Soldiers from the DRC by Radio Islam

Habari za UN
VoTAN sio tu mtandao wa kidijitali kusaidia manusura wa ugaidi bali pia ni familia - Manusura

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2025 5:02


Hatimaye kilio cha manusura wa ugaidi duniani cha kuwa na Mtandao wa Mashirika yao ili kuweza kupaza zaidi sauti zao kwa ajili ya sio tu kusaidiwa bali pia kuepusha matukio kama hayo, kimepata jawabu baada ya Mtandao huo au VoTAN kuzinduliwa kwenye Umoja wa Mataifa. Kwa msaada wa kifedha kutoka Hispania, Iraq na nchi nyingine wanachama, mtandao huu ulio chini ya Programu ya kusaidia manusura wa ugaidi kwenye Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kukabilana na Ugaidi, UNOCT, unatarajiwa kuziba mapengo ya msaada na kuinua ushuhuda wa manusuta kutoka maeneo yaliyopuuzwa duniani. Assumpta Massoi amefuatilia uzinduzi huo na kuandaa makala hii.

Habari za UN
MONUSCO yapatia wanawake wakimbizi DRC mafunzo ya ushoni

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2025 2:31


Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO). Sharon Jebichii na taarifa kamili.

Habari za UN
05 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2025 10:52


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya wakunga na kazi zao muhumi, na mafunzo ya jerahani kwa wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani tunakwenda Gaza.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya wakunga, tunakwenda nchini Tanzania kummulika mkunga ambaye alinusuru maisha ya wajawazito wawili wakati wa mafuriko makubwa ya Novemba 2023 wilayani Hanang, mkoani Manyara, kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ikiwa ni ushuhuda wa majukumu mazito yanayokumba wakunga.Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Makala Assumpta Massoi anamulika uzinduzi wa mtandao wa Mashirika ya Manusura wa Ugaidi duniani,  VoTAN      uliofanyika wiki iliyopita hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), fursa ni yake Rawhiyeh, mkimbizi kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israel ambaye anasimulia kwa uchungu madhila yanayowakumba yeye na familia yake baada ya kupoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya mabomu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Daily News Brief by TRT World

Gaza's health system nears collapse as UNRWA issues urgent alarm Gaza's healthcare is on the brink, warns the UN Relief and Works Agency for Palestine Refugees. The agency says one-third of vital medical supplies are gone, with another third vanishing fast—blaming Israel's siege and relentless bombardment. Commissioner-General Philippe Lazzarini grimly cautions that the blockade risks silently killing more women and children beyond the bombs. Israel's military invasion in Gaza has killed over fifty-two thousand four hundred Palestinians since October 2023, while Tel Aviv faces genocide charges at the International Court of Justice. Yemeni Houthis target Tel Aviv airport with hypersonic missile strike Yemeni Houthis said they have launched a hypersonic ballistic missile targeting Ben Gurion Airport in Tel Aviv, warning international airlines of the airport's unsafe conditions. Houthi spokesman Yahya Saree confirmed the missile hit the target, and another struck Ashkelon. Israeli authorities suspended flights at the airport after a missile landed near Terminal 3, injuring six people. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu vowed retaliation against the Houthis and their Iranian backers. In response, US warplanes conducted airstrikes on Houthi positions in Yemen. Romania's presidential election heads to a second round Romania will proceed to a second round of presidential elections on May 18, following the failure of any candidate to secure the required 50+1 percent majority in the first round. Far-right George Simion led with over 40.2 percent of the vote, based on results from over 98 percent of ballots. He was followed by Bucharest Mayor Nicusor Dan, who garnered 20.8 percent, and Crin Antonescu of the Social Democratic Party, who earned nearly 20.5 percent. The first-round victory of pro-Russian candidate Calin Gorgescu was annulled in November 2024 following allegations of electoral violations and Russian interference, which Moscow has denied. Simion emerged to replace Gorgescu after his ban from the new race. Fighting in eastern DRC escalates as rebels take key town M23 rebels and allies seized Lunyasenge, a strategic fishing town on Lake Edward's west coast in eastern Democratic Republic of Congo, after deadly clashes with the army that left 17 dead, including seven soldiers. The Congolese military condemned the assault as a blatant ceasefire violation. As rebels advance in North Kivu, Kinshasa warns of retaliation. Rwanda faces renewed accusations of backing M23, amid ongoing peace talks in Doha and Washington. Kigali denies any involvement. Trump imposes full tariff on non-US movies President Donald Trump has announced plans to impose a 100 percent tariff on foreign-made films, claiming Hollywood of being ""devastated"" as US filmmakers turn to other countries for production incentives. The decision, shared via Truth Social media platform, follows criticism of his aggressive trade policies. While the full impact on the movie industry remains unclear, Trump insists it's a matter of national security. Meanwhile, talks with China and other nations on trade deals continue, with potential agreements on the horizon.

The Long  Form with Sanny Ntayombya
"She ONCE WASTED Her Money"?!" Nathalie Munyampenda on Life, Politics, Sports & Rethinking Education

The Long Form with Sanny Ntayombya

Play Episode Listen Later May 5, 2025 79:04


In this episode of The Long Form, I sit down with Nathalie Munyampenda—CEO of Kepler and one of Rwanda's most influential voices in education, sports and strategic communications. We dive deep into her journey from Kinshasa to Kigali, her bold leadership at Kepler University, and her insights on AI's role in reshaping African education. Nathalie also opens up about her experience on the RPF Disciplinary Committee, the impact of the DRC crisis on international fundraising, and her unique take on politics, sports, and youth employment in Rwanda. A must-listen for anyone interested in African education, women in leadership, Rwandan politics, and the continent's future.Listen to the Long Form with Sanny Ntayombya podcast on Apple Podcasts https://podcasts.apple.com/rw/podcast/the-long-form-with-sanny-ntayombya/id1669879621Listen to the Long Form with Sanny Ntayombya podcast on Spotify: https://open.spotify.com/show/7HkkUi4bUyIeYktQhWOljcFollow Long Form with Sanny Ntayombya on Twitter: https://x.com/TheLongFormRwFollow Long Form with Sanny Ntayombya on Instagram: https://www.instagram.com/thelongformrw/Follow Long Form with Sanny Ntayombya on TikTok: https://www.tiktok.com/@longformrwFollow Sanny Ntayombya on Twitter: https://x.com/SannyNtayombya About Long Form with Sanny Ntayombya:The Long Form with Sanny Ntayombya is a weekly podcast intent on keeping you up to date with current affairs in Rwanda. The topics discussed range from politics, business, sports to entertainment. If you want to share your thoughts on the topics I discuss use the hashtag #LongFormRw on Twitter and follow us on Twitter and Instagram on our handle @TheLongFormRwBe a part of the conversation.

The Daily Friend Show
Podcaster summoned to parliament

The Daily Friend Show

Play Episode Listen Later May 5, 2025 30:23


Today's Daily Friend Show with John Endres, Chris Hattingh and Nicholas Lorimer. They discuss the summoning of podcaster Macgyver 'MacG' Mukwevho to come before a parliamentary committee about comments he made about another celebrity. They also discuss the withdrawal of South African troops from DRC, and the Deputy President's comments on the "transformation fund". Website · Facebook · Instagram · Twitter

Revolutionary Left Radio
[BEST OF] Friends of the Congo: The Congolese Struggle for Self-Determination

Revolutionary Left Radio

Play Episode Listen Later May 2, 2025 77:18


ORIGINALLY RELEASED Feb 15, 2024 Passy and Maurice from Friends of the Congo join Breht to discuss the history and the present of the Congo. Together, they discuss their organization, Passy's on-the-ground organizing in the Democratic Republic of the Congo, the history of the Congo, Patrice Lumumba and his legacy, European and Belgian colonialism, King Leopold II, the brutal ongoing violence and displacement occuring in the Eastern DRC, US imperialism and the Kagame Regime in Rwanda, M23, Neo-Colonialism, Colbalt and rare-earth mineral mining, modern day slavery and the industries it serves, the so-called "green capitalist transition" and its rotting underbelly, and much more. Friends of the Congo (FOTC) is a Pan African solidarity organization raising global consciousness about the challenges and potential of the Congo. Become A Friend of the Congo: http://www.congoweek.org http://friendsofthecongo.org/https://twitter.com/congofriends https://www.facebook.com/congofriends   ---------------------------------------------------- Support Rev Left and get access to bonus episodes: www.patreon.com/revleftradio Make a one-time donation to Rev Left at BuyMeACoffee.com/revleftradio Follow, Subscribe, & Learn more about Rev Left Radio HERE Outro Beat Prod. by flip da hood

CruxCasts
Rome Resources (LSE:RMR) - DRC Drilling Restarts

CruxCasts

Play Episode Listen Later May 1, 2025 10:45


Interview with Paul Barrett, CEO of Rome ResourcesOur previous interview: https://www.cruxinvestor.com/posts/rome-resources-lsermr-tin-resource-update-in-the-coming-months-6874Recording date: 29th April 2025Rome Resources (LSE) has announced the resumption of exploration drilling in the Democratic Republic of Congo (DRC) following improved security conditions in the region. CEO Paul Barrett confirmed that helicopter support has mobilized back to the country, with drilling operations expected to restart by the end of this week.The improved situation stems from M23 rebels retreating from the company's operational area back to the Kivu region, along with ongoing peace talks between Rwanda and DRC. While currently operating from Kisangani, the company plans to eventually return to Goma, which would streamline logistics with shorter helicopter flight times.Rome Resources is focusing exclusively on the Mont Agoma deposit, having already collected sufficient data from the Kalayi deposit. The strategic drilling program targets a specific data gap in the deeper part of Mont Agoma, based on their geological model suggesting increased tin grades at depth. The company also plans to drill exploratory holes on the southern fringe to determine the deposit's lateral extent.Mont Agoma represents a more complex opportunity than the pure tin Kalayi deposit, featuring additional copper and zinc mineralization. This multi-metal potential could provide significant value streams for the project, with the company exploring combined processing options for all three metals.A key near-term catalyst is the planned resource estimate expected by the end of May 2025, pending assay results from holes 24 and 26. The estimate will require independent verification to comply with AIM listing rules.Financially, Rome Resources maintains a strong position with $2.7 million in cash and a tightly controlled drilling budget of $1.6 million. The company operates with a lean structure, directing 90% of expenditures toward drilling activities.The company is also exploring collaboration opportunities with neighboring miner Alphamin for shared helicopter and fixed-wing facilities, potentially improving operational efficiency in the remote region.View Rome Resources' company profile: https://www.cruxinvestor.com/companies/rome-resourcesSign up for Crux Investor: https://cruxinvestor.com

Africa Daily
DRC: Why are people talking about Kabila's return?

Africa Daily

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 18:38


”It has been a week and a half since we heard that Joseph Kabila was leaving South Africa for DRC. Since then, however, we haven't heard much more about whether he arrived in Goma” - Goma resident. Last week the news that former President Joseph Kabila had returned to the eastern Democratic Republic of Congo grabbed the attention of the world's media. But why has his presence in that part of the country been such a hot topic, even against the backdrop of a potential, imminent deal between the governments of the DRC and Rwanda? Today on the podcast, Alan Kasujja speaks to the BBC's Emery Makumeno in Kinshasa, Erik Kennes, a senior research fellow for the Africa Programme, while our reporter Ikaba Koyi gets opinions from residents in Goma.

Habari za UN
30 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 11:14


Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa mpox, na walinda amabini wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo. Makala inamuulika siku siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz namashinani tunasalia hapa makao maku kusikia ujumbe wa mwakilishi wa shirika la watu wa jamii za Asili.Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokana na aina ya virusi vya monkeypox clade Ib /ˈmʌŋ.ki.pɑks kleɪd one bee/ (MPXV) yanaendelea kuripotiwa hasa barani Afrika, ambapo mataifa kumi na moja yameripoti maambukizi ya ndani ya jamii katika kipindi cha wiki sita zilizopita. Hiyo kwa mujibu wa ripoti 51 ya Shrika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO kuhusu hali ya mlipuko wa mpox katika nchi mbalimbali duniani.Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo..Makala ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz Flora Nducha anamulika umuhimu wa jazz maadhimisho ya mwaka ambapo maudhui yanachagiza "Amani, umoja, ubunifu na uhuru miongoni mwa tamaduni."Na katika mashinani leo fursa ni yake mshiriki  jukwaa la watu wa asili hapa Makao makuu Helena Steenkamp Mwakilishi wa Shirika la Watu wa jamii za Asili Kusini mwa Jangwa la Kalahari Afrika Kusini anazungumzia alichokipata hadi sasa kwenye jukwaa hilo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
Walinda amani wa UN kutoka Bangladeshi na Indonesia wapewa medali nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 1:49


Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo. Assumpta Masso amefuatilia hafla hiyo na kuandaa ripoti hii.

A Brief Listen
Bombastic Saied Eye

A Brief Listen

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 40:43


In this episode, Loye and Fola discuss the increasing use of "Lawfare" in various countries across the continent as a means for incumbents to retain control in election years.  The conversation then shifts to Africa's response to President Trump and the various deals being cut.  Finally, we explore the potential of mineral resources in Ghana and Nigeria.Time stamps:01:18 Lawfare in Ivory Coast, DRC, Tunisia, and Tanzania16:31 The Art of the Deal: Africa's response to Trump25:14 Minerals in Nigeria and Ghana's GoldBod36:06 What in the World?https://www.instagram.com/thebrief.xyz/

Badlands Media
Badlands Daily: April 29, 2025 – Canada's Fake Election, Africa's Mineral Awakening, and Spain's Energy Crisis

Badlands Media

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 134:10 Transcription Available


In this jam-packed edition of Badlands Daily, Ghost and Ashe in America break down the biggest geopolitical shifts and domestic power plays shaping the global landscape. They expose Canada's suspicious "election" that installed globalist banker Mark Carney, tying it to broader uniparty corruption and controlled opposition tactics. They dive into Trump's major diplomatic breakthrough in Africa, where U.S. efforts helped broker peace between the DRC and Rwanda to reclaim mineral wealth from globalist proxies. Ashe and Ghost also tackle Spain's nationwide blackout, questioning whether it was a natural event or a manufactured crisis to manipulate Europe's energy future. Other highlights include North Korean troops fighting alongside Russia, the collapse of NATO narratives, rising populist movements in Europe, America's shifting economic policies under Trump, Amazon's hostile tariff tactics, and shocking local stories of corruption and abuse. It is a sweeping, no-holds-barred journey through the unraveling of globalist control and the dawning of a new sovereign era.

Habari za UN
29 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 11:44


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari  na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umeikaribisha kusainiwa kwa “Azimio la Kanuni” tarehe 25 Aprili 2025 mjini Washington, D.C chini ya usimamizi wa Wizara ya mambo ya nje ya Marekani, kati ya serikali za DRC na Rwanda kwa lengo la kulinda rai ana kutekeleza azimio la Baraza la Usalama namba 2773 (2025).Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Juliette Touma, akizungumza na waandishi wa habri mjini Geneva kwa njia ya video kutoka mji mkuu wa Jordan, Amman, wakati  kuzingirwa kwa Ukanda wa Gaza kukikaribia kuingia mwezi wa pili amesema “Mzingiro wa Gaza ni muuaji wa kimya muuaji wa watoto, wazee, na watu walioko katika mazingira magumu zaidi. Mzingiro huu unamaanisha kwamba familia nzima, watu saba au wanane wanalazimika kushirikiana kopo moja la maharagwe au njegere”.Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limezitaka nchi za Kaskazini Magharibi mwa Afrika kuongeza ufuatiliaji na kuchukua hatua za mapema kudhibiti makundi ya nzige wa jangwani. Hii ni baada ya nzige wakubwa na makundi madogo kutoka ukanda wa Sahel kuhamia maeneo ya kusini mwa Sahara, hasa katikati ya Algeria, magharibi mwa Libya, na kusini mwa Tunisia tangu Februari hadi Machi mwaka huu.Na katika mashinani fursa ni yake Maruping Onkemetse Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kituo cha Msaada wa Familia, shirika linaloongozwa na wanawake wa asili  katika Wilaya ya Gantsi, kijiji cha Chobokwane nchini Botswana anayeshiriki mkutano unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wa Jukwaa la Watu wa Asili akizungumzia alichojifunza hadi sasa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Enneagram+Yoga
Part 2: Ramzy Alahmad Talks About The Sattva Project & Making Yoga Accessible to All

Enneagram+Yoga

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 24:50


Ramzy Alahmad is a 200hr RYT, an artist, freelance graphic designer, and a passionate member of the Chattanooga community. Ramzy facilitates free community offerings at the downtown Yoga Landing, including Kirtan every Tuesday from 7:30-9pm and a Bhagavad Gita study every Sunday from 6:30-8pm. Ramzy is a yoga instructor at the Hamilton County Jail and Detention Center and at the DRC (day reporting center). Ramzy is the President of The Sattva Project, a nonprofit organization dedicated to making yoga accessible to all, fostering healing, harmony, community and personal transformation. If you are on Instagram please follow: @ramzy_al.ma @thesattvaproject @yogalanding @enneagram.yoga @enneagramplusyoga @the_yoga_smith

The Jordan Harbinger Show
1145: Rwanda 2025 | Out of the Loop

The Jordan Harbinger Show

Play Episode Listen Later Apr 27, 2025 72:25


On this Out of the Loop, Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy explain the consumer decisions and corporate interests fueling conflict in Rwanda.Welcome to what we're calling our "Out of the Loop" episodes, where we dig a little deeper into fascinating current events that may only register as a blip on the media's news cycle and have conversations with the people who find themselves immersed in them. Investigative journalists Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy are here to help us understand why we're hearing a lot about Rwanda in recent news.Full show notes and resources can be found here: jordanharbinger.com/1145On This Episode of Out of the Loop, We Discuss:The M23 militia has recently resurged in the Democratic Republic of Congo (DRC), taking over parts of North Kivu province and effectively controlling access to valuable mineral resources like cobalt, gold, and coltan — minerals critical for modern technology including electric vehicles and AI chips.There appears to be a connection between the UK's Rwanda refugee resettlement program (which sent hundreds of millions of pounds to Rwanda) and the reemergence of the M23, which had previously disappeared when international aid was threatened to be cut off. The timing suggests the UK money may have indirectly funded the militia.Rwanda is allegedly stealing minerals from the DRC, bringing them across the border, and claiming they were mined in Rwanda — creating the appearance of "conflict-free" minerals that major tech companies like Apple and Tesla can claim to use, even though they ultimately come from conflict zones.The conflict has become increasingly complicated with the involvement of private military contractors from various countries, Russian interests, and American billionaires like Elon Musk and Eric Prince potentially making deals to control mineral resources in the region.Understanding these complex global connections can empower us to make more ethical consumer choices. By researching which companies prioritize truly ethical sourcing and supporting organizations that monitor conflict minerals, we can use our purchasing power to encourage corporate responsibility and transparency in global supply chains for technologies we rely on daily.And much more!Connect with Jordan on Twitter, on Instagram, and on YouTube. If you have something you'd like us to tackle here on an Out of the Loop episode, drop Jordan a line at jordan@jordanharbinger.com and let him know!Connect with Nathan Paul Southern on Twitter.Connect with Lindsey Kennedy at her website and on Twitter.And if you're still game to support us, please leave a review here — even one sentence helps! Consider including your Twitter handle so we can thank you personally!This Episode Is Brought To You By Our Fine Sponsors: jordanharbinger.com/dealsSign up for Six-Minute Networking — our free networking and relationship development mini course — at jordanharbinger.com/course!Subscribe to our once-a-week Wee Bit Wiser newsletter today and start filling your Wednesdays with wisdom!Do you even Reddit, bro? Join us at r/JordanHarbinger!See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.

Global News Podcast
Pope Francis funeral - special episode

Global News Podcast

Play Episode Listen Later Apr 26, 2025 24:07


The Pope's funeral was attended by dozens of politicians and royalty. We hear from correspondents in Rome and countries with close links to the Pope - the DRC, Philippines and Argentina.

Monocle 24: The Monocle Daily
Congo and Rwanda look to sign a peace accord and the final day of mourning for Pope Francis

Monocle 24: The Monocle Daily

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 40:12


The DRC and Rwanda look set to sign an agreement to foster a pathway to peace. Then: the final day of mourning for Pope Francis ahead of his funeral. Plus: Monocle’s new website. See omnystudio.com/listener for privacy information.

Habari za UN
‘Nenda rudi' ya wakimbizi wa DR Congo nchini Burundi mazingira ya kuishi yakiendelea kuwa tete

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 2:02


Mazingira ya maisha kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waliongia Burundi na kupelekwa katika kambi ya wakimbizi ya Musenyi si endelevu huku wengine wakifanya safari za nenda rudi wakivuka mto uliosheheni viboko na mamba. Taarifa zaidi na Selina Jerobon.

Habari za UN
25 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 10:57


Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa DRC waliokimbilia Burundi, na ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu. Makala inatupeleka nchini Kenya kuangazia ugonjwa wa malaria na mashinani tunasalia hapa makao makuu katika mkutano wa Jukwaa la watu wa asili.Mazingira ya maisha kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waliongia Burundi na kupelekwa katika kambi ya wakimbizi ya Musenyi si endelevu na yanatishia mustakabali wao. Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Ayaki Ito, amesema hayo leo huko Geneva, Uswisi wakati akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu hali ya wakimbizi hao wanaoendelea kumiminika nchini Burundi.Kesho Aprili 26 ni Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu - Siku ambayo ni fursa kwa ulimwengu kukumbushwa umuhimu wa haki kwa watu wanaobuni mambo mbalimbali duniani. Ili kufahamu zaidi kuhusu Hakibunifu tumezungumza na mtaalamu wa Sheria za Sanaa na Hakimiliki, Wakili Joshua Msambila wa nchini Tanzania, kwanza anaeleza kilichomsukuma yeye kujikita katika eneo hili la sheria.”Makala hii leo ikiwa ni siku ya Malaria duniani tunaelekea Kenya kwa mwandishi wetu Thelma Mwadzaya akiangazia juhudi zinazofanyika kupitia chanjo ili kupambana na malaria ugonjwa mbao Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linasema mwaka 2023 pekee ulikatili maisha ya watu 597,000 na na asilimia 95 ya vifo hivyo vilitokea barani Afrika, na sasa linataka juhudi mara dufu zifanyike ili kuutokomeza.Na katika mashinanin fursa ni yake Kulet Adam Ole Mwarabu kiongozi wa jamii ya kimaasai kutoka Tanzania anayeshiriki katika mkutano wa Jukwaa la watu wa asili kutoka hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na anatoa wito wa maendelo, amani  na utunzaji wa ardhi na mazingira kwa jamii ya asili na dunia nzima kwa jumla.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Change Africa Podcast
Claudine Moore: Connecting Africa Through PR, Culture, and the Diaspora

Change Africa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 65:28


In this episode of the Change Africa Podcast, host Isaac Aboah is joined by guest Claudine Moore, a trailblazer in global PR and communications, to explore how branding, cultural intelligence, and the diaspora can shape Africa's future.Claudine shares her personal and professional journey, from growing up in the UK with strong Pan-African values to founding C. Moore Media and eventually leading it to acquisition by global firm Allison. Her work has centered on amplifying authentic African narratives and building bridges between the continent and its global communities.The conversation delves into how tourism and sports can drive economic growth, foster cultural pride, and reshape Africa's global image. Claudine emphasizes the role of storytelling and branding in addressing skewed Western perceptions of Africa, highlighting that many of the continent's challenges are rooted in how it is framed to the world.This episode also touches on the significance of the Africa Business Cultural Intelligence Report, an inaugural topline report for global and pan-African businesses and organizations with the business cultural intelligence and local market knowledge required to thrive in Africa's dynamic and rapidly growing markets. We explore the promise of intra-African trade and the importance of corporate social responsibility. Claudine highlights the untapped potential of the African diaspora, the need for investment in Africa's youth, and why Africa must prioritize people over profit in its development strategies.From the DRC's mineral wealth to the rise of African talent in global sports, this conversation paints a powerful picture of how culture, business, and identity intersect in the continent's growth story.Chapters00:00 – Introduction to Change Africa Podcast 01:02 – Claudine Moore: A Journey of Connection to Africa 03:08 – The Impact of the African Diaspora 08:40 – Starting Seymour Media: A New Chapter 13:23 – Navigating Acquisitions in PR 22:26 – Allison: Expanding Horizons 25:29 – Africa Business Cultural Intelligence Report 30:07 – Tourism and Sports: A Cultural Connection 33:18 – The Impact of Sports on African Culture and Economy 37:43 – Education and Technology: Preparing Africa's Youth for the Future 41:28 – Opportunities and Responsibilities in the Democratic Republic of Congo 49:01 – US-Africa Relations: The Role of the Diaspora 55:08 – Intra-African Trade: Bridging Gaps and Building ConnectionsFurther Reading and ResourcesLearn more about Claudine Moore's work and initiatives at C. Moore Media and Allison.Read the Africa Business Cultural Intelligence Report here. This podcast is a production of Nexa Media.Do you have a question for our hosts? Email us at changeafricapod@gmail.comFollow the podcast on Twitter, Facebook, Instagram, and LinkedIn. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

The Real News Podcast
Nora Loreto's news headlines for Thursday, April 17, 2025

The Real News Podcast

Play Episode Listen Later Apr 17, 2025 6:17


Canadian journalist Nora Loreto reads the latest headlines for Thursday, April 17, 2025.TRNN has partnered with Loreto to syndicate and share her daily news digest with our audience. Tune in every morning to the TRNN podcast feed to hear the latest important news stories from Canada and worldwide.Find more headlines from Nora at Sandy & Nora Talk Politics podcast feed.Help us continue producing radically independent news and in-depth analysis by following us and becoming a monthly sustainer.Sign up for our newsletterLike us on FacebookFollow us on TwitterDonate to support this podcast

Chewing the Fat with Jeff Fisher
Data Needed… | 4/10/25

Chewing the Fat with Jeff Fisher

Play Episode Listen Later Apr 10, 2025 52:47


Sex Toy bill in Texas… Meta limits live streaming on Facebook… Former Meta employee testifies / Sarah Wynn-Williams / New Book “Careless People”... Government Financial Hack…Doctors' office hack… Donated Womb gives birth… How my mind works? National Recording Registry new additions… Email: ChewingTheFat@theblaze.com Who Died Today: Ray Shero 62 / Alice Tan Ridley 72… Death toll rises in DR… Hippos in the DRC update /Congolese rare earth?... www.blazetv.com/jeffy Promo code Jeffy... Weight Watchers going bankrupt?...Boris Johnson pecked by an Ostrich…Joke of The Day… Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Revolutionary Left Radio
The Congo: From Colonization Through Lumumba & Mobutu w/ Georges Nzongola-Ntalaja (Guerrilla History)

Revolutionary Left Radio

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 103:58


With this episode of Guerrilla History, were continuing our series on African Revolutions and Decolonization with an outstanding case study on the Congo, looking at the process of colonization, how decolonization unfolded, Lumumba's short time as Prime Minister, and the transition to the Mobutu regime.  We really could not ask for a much better guest than Prof. Georges Nzongola-Ntalaja, who not only is one of the foremost experts in not only this history, but also served as a diplomat for the DRC.  We're also fortunate that the professor will be rejoining us for the next installment of the series, a dispatch on what is going on in the Eastern Congo and the roots of the ongoing conflict there.  Be sure to share this series with comrades, we are still in the very early phases of the planned ~40 parts, so it is a great time for them to start listening in as well!   Also subscribe to our Substack (free!) to keep up to date with what we are doing.  With so many episodes coming in this series (and beyond), you won't want to miss anything, so get the updates straight to your inbox.  guerrillahistory.substack.com   Georges Nzongola-Ntalaja is Professor Emeritus of African and Afro-American Studies at the University of North Carolina at Chapel Hill, and previously served as the DRC's Permanent Representative to the United Nations.  Additionally, he is the author of numerous brilliant books, including Patrice Lumumba and The Congo from Leopold to Kabila: A People's History Help support the show by signing up to our patreon, where you also will get bonus content: https://www.patreon.com/guerrillahistory