POPULARITY
Categories
There have now been more than 3,400 confirmed cases of Ebola across the Democratic Republic of the Congo - including more than 1,500 related deaths, with five provinces of the country now impacted by the outbreak. Adam spoke to Trish Newport, emergency coordinator with Médecins Sans Frontières, who is currently based in Bunia, DRC.
Kinara wa upinzani nchini Uganda azirai akiwa mahakamani, mahakama ya katiba nchini DRC ilisema kwamba sheria iliyopendekezwa kuhusu kuandaa kura ya maoni katika nchi hiyo ni ya kikatiba, seneta wa Nairobi Edwin Sifuna autikisa mwamba wa siasa nchini Kenya kuelekea uchaguzi wa 2027, siasa za Tanzania, Sudan, na Morocco ambako wahamiaji waliamua kuogelea kuvuka kwenda ulaya, uhispania, Washington ilisema mkataba wa kujisalimisha kwa Hamas kule Israeli umepatikana.
Leo kwenye kipindi tunaangazia WAFCON inayoendelea nchini Morocco - Kenya yaaga mashindano huku Tanzania ikisalia na matumaini lakini Nigeria na Afrika Kusini zimeanza kwa kusuasua, wanariadha wanaendelea kunyakua medali katika mashindano ya Jumuiya ya Madola nchini Scotland, wakati mashindano ya Cecafa Kagame Cup yakiingia nusu fainali.
Hii leo tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya, katika Kijiji cha Embulbul kilichoko Kaunti ya Kajiado, ambako Shirika lisilo la kiserikali la Tulivu Safe Haven, lililoanzishwa kwa kushirikiana na wadau wakiwemo mashirika ya Umoja wa Mataifa, linatekeleza hatua mbalimbali za kuwasaidia wanawake. Hii ni pamoja na kuwaokoa na kuwahifadhi manusura wa ukatili wa kijinsia kwa kuwapatia makazi salama, ushauri nasaha, msaada wa kisheria na uwezeshaji wa kiuchumi, sambamba na kuwarejesha shuleni wasichana walionusurika. Je, nini kinafanyika? Kupitia video iliyoandaliwa na Redio washirika wetu Domus, Feissal Kirwa amefuatilia simulizi za manusura na kutuandalia makala hii. Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Maabara tembezi ya kupima virusi vya Ebola imewekwa katika mji wa mpakani wa Kasenyi ulioko kati ya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako kuna hatari kubwa ya kushamiri kwa mlipuko wa Ebola kutokana na harakati nyingi za safari. Dkt. Olga Ntumba kutoka WHO ambayo inafadhili maabara hiyo inayotoa majibu ndani ya saa moja, amesema “virusi haviheshimu mipaka. Maabara hii ina mchango muhimu kubaini mapema wagonjwa, kuimarisha ufuatiliaji wa ugonjwa, kubadilishana taarifa na juhudi za mwitikio kwenye ukanda mzima.”Mioto ya nyika ikiendelea kutikisa maeneo ya kaskazini mwa dunia shirika la Umoja wa Matiafa la Afya duniani, WHO limekumbusha kuwa moshi utokanao na mioto hiyo ya nyika huvuka taifa, kanda na hata mabara na kuwa na madhara kwa watu hata wanaoishi mbali na moto wenyewe. Hivyo limetangaza mambo tisa ya kuzingatiwa ikiwemo kusikiliza taarifa za mamlaka kama vile viwango vya uchafuzi wa hewa, kuvaa barakoa na kusalia ndani ya nyumba na kufunga madirisha iwapo hujashauriwa kuhama.Na wiki ya kimataifa ya unyonyeshaji watoto maziwa ya mama ikianza kesho Agosti Mosi, Umoja wa Mataifa kupitia mashirika yake, lile la afya, (WHO) na la kuhudumia watoto, (UNICEF) umetaka nchi kuimarisha mifumo ya afya ili iweze kupatia akina mama na watoto wachanga msaada wa kufanikisha unyonyeshaji bora ambao ni msingi wa ukuaji bora wa mtoto na afya ya mama anayenyonyesha. Halikadhalika utekelezaji wa kanuni ya kimataifa kuhusu matangazo ya bidhaa za mbadala wa maziwa ya mama.Mwenyeji wako ni Anold Kyanda, karibu!
इस साप्ताहिक बुलेटिन की सुर्ख़ियाँ...WMO की चेतावनी: आने वाले महीनों में और प्रबल हो सकता है अल-नीनो.घातक रूसी हमलों से यूक्रेन के शहरों में भारी नुक़सान.DRC में इबोला के 3,200 से अधिक मामले, भूख से राहत प्रयासों में बाधा.अफ़ग़ानिस्तान लौट रहे लोगों पर मानव तस्करी और शोषण का बढ़ता ख़तरा.बांग्लादेश में रोहिंग्या शरणार्थियों की तस्करी और समुद्री मौतें रोकने की अपील.भारत का प्राचीन बौद्ध स्थल सारनाथ, यूनेस्को विश्व धरोहर सूची में शामिल.
Today's HeadlinesJapan earthquake survivors battle aftershocks, heat, and traumaDeath toll passes 1,500 in DR Congo Ebola outbreakChurch-centric Bible translation puts the power in the hands of local believers
Cyclospora cases continue to climb in the U.S. but this isn't the first time we've had a multi-state outbreak linked to produce. Back in 1996, there was a major cyclospora outbreak across several states due to imported raspberries. It begs the question, have we learned anything from the past? Or are we repeating history all over again? This week hosts Chris Dall and Dr. Michael Osterholm focus on the cyclosporiasis outbreak, from the latest numbers, to how state and federal officials, as well as the media, have handled it all. They'll break down the latest epidemiologic data and discuss how this response compares to a multi-state outbreak in 1996. Dr. Osterholm also talks about the latest on Ebola in the DRC, the measles outbreaks across the U.S. and a potential uptick in COVID-19 cases. Links:An Outbreak in 1996 of Cyclosporiasis Associated with Imported Raspberries (The New England Journal of Medicine) When People Got Sick: Cyclospora Outbreak, July 2026 (CDC) The Cyclospora outbreak was, and still is, a communications failure (CIDRAP) Resources for vaccine and public health advocacy: Voices for Vaccines Families Fighting Flu Vaccinate Your Family Shot@Life Medical Reserve Corps Learn more about the Vaccine Integrity Project MORE EPISODES SUPPORT THIS PODCAST Music: "Beauty Flow" Kevin MacLeod (incompetech.com)Licensed under Creative Commons: By Attribution 4.0 License
There's a photo on Tim Ireland's Google Scholar profile of a toddler standing on the floor of an open pit gold mine in Australia's Northern Territory, wearing a hard hat and — because it was the early 1980s — flip flops. That toddler is now the Principal Geologist for Exploration at **First Quantum Minerals**, one of the world's major copper producers, and in this episode Jesse sits down with him to talk about how mineral exploration actually works.Tim grew up with two geologist fathers, but the path in wasn't as direct as it sounds. He took a gap year as a field technician and mostly hated it. He considered leaving to design jewelry. He turned down a PhD because being told he'd become "one of the world experts on sedimentary rock–hosted zinc" sounded uncomfortably narrow — then spent a few years alone in the desert with a drill rig and 22,000 square kilometers of ground before the university called back with something better.From there we get into the machinery of exploration. Tim describes the job as **reducing search space** — starting with a continent and narrowing until you're willing to spend real money drilling — and why that philosophy holds whether you're chasing porphyry copper in Chile, sediment-hosted copper in the DRC, or orthomagmatic nickel in Finland. We also get into the part they don't teach in a mineral deposits course: three or four people weighing in over email on whether to spend millions on relatively scant information, and why what a company really pays a principal geologist for is a **calibrated gut**.The scientific heart of the episode is what Tim calls the **quality question**. Deposit models are good at telling a geologist whether they're getting warmer. They're not good at telling you whether the thing you're walking toward will ever be a mine — and the industry is full of "technical successes" nobody publishes, where the geologist did the job right and the deposit simply wasn't good enough. We also cover critical minerals and why the West is late (Tim was in the room in Oslo in 2007 when China announced the plan out loud), the 22-year lag from discovery to production, and why he's skeptical of AI prospectivity tools — if there are only ten porphyry deposits on Earth with more than a hundred million tons of contained copper, that's not a training set.It closes with Tim's best day as a geologist: alone in a gorge in the northern Chilean desert, a ten-mile traverse, a spire of rock he probably shouldn't have climbed, and one outcrop that put his hand on a fault he'd only been able to argue about on paper.In this episode- The Google Scholar baby photo — hard hat, flip flops, floor of an open pit- A gap year he didn't enjoy, and the jewelry business that never happened- Why he turned down a PhD on sedimentary zinc — and what he asked for instead- Industry-funded research: "cut-price consultants," or the best training pipeline there is?- Reducing search space: the one philosophy that holds across every deposit type- Spending millions on scant information, and what a calibrated gut is worth- Critical minerals, the 2007 Oslo warning, and who's still in denial- 22 years from discovery to production — and why averages lie- The quality question: why our models can't tell a mine from a "technical success"- AI in exploration: the useful camp, the black-box camp, and why ten deposits isn't a training set- Big company vs. junior — kudos versus shares, and the trade-off nobody spells out- Tim's best day as a geologist, alone in a Chilean gorgeAbout the guestDr. Tim Ireland is Principal Geologist for Exploration at First Quantum Minerals, a global copper-focused mining company. He trained at the University of Tasmania, with an honors project on the MacArthur River zinc deposit and a PhD on porphyry copper systems in northern Chile. His career has run through Newmont in Turkey, a junior working sediment-hosted copper in the DRC, and thirteen years at First Quantum.Memorable quotes- "If it were mathematical and there was a definite yes/no answer, we wouldn't be needed."- "You still have to do the work. You can't just sit at your desk and think about the model."- "If you've only got ten porphyry deposits in the world with more than a hundred million tons of contained copper, ten's not a great enough training set."- "I'm still kind of hanging out for that day that I walk up a hill and crack the first rock."Download the CampGeo app now at this link. On the app you can get tons of free content, exclusive images, and access to our Geology of National Parks series. You can also learn the basics of geology at the college level in our FREE CampGeo content series - get learning now!Like, Subscribe, and leave us a Rating!——————————————————Instagram: @planetgeocastTwitter: @planetgeocastFacebook: @planetgeocastSupport us: https://planetgeocast.com/support-usEmail: planetgeocast@gmail.comWebsite: https://planetgeocast.com/
Hii leo tunakuletea mada kwa kina. Mlipuko wa sasa wa ebola ya virusi vya Bundibugyo uliotangazwa rasmi huko DRC mwezi Mei mwaka huu unazidi kuongezeka kwa kasi isiyo ya kawaida, wamesema maafisa waandamizi wa Umoja wa Mataifa wakizungumza na waandishi wa habari Karl Skau, Kaimu Mkuu wa WFP, na ndio tunakupeleka nchini humo kufuatilia juhudi za kuudhibiti.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema ni wakati wa dunia kuungana kukabiliana na biashara haramu ya usafirishaji wa watu, hususan aina mpya inayokua kwa kasi ya kulazimishwa kufanya utapeli kwa njia ya mtandao. Katika ujumbe wake wa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Watu inayoadhimishwa kila mwaka tarehe thelathini Julai, amesema wahalifu wanawavutia watu kwa ahadi za ajira nzuri, lakini baadaye wanawafanya mateka na kuwalazimisha kuendesha utapeli mtandaoni. Guterres amezitaka nchi kuridhia Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Uhalifu wa Mtandao uliopitishwa mwaka 2024, kushirikiana kuvunja mitandao ya uhalifu na kuwasaidia manusura kurejea katika maisha yao ya kawaida.Nchini Ukraine, mashambulizi makubwa ya usiku yaliyojumuisha makombora na mamia ya ndege zisizo na rubani yamesababisha vifo na majeruhi katika maeneo kadhaa ya makazi, yakiwemo miji ya Kryvyi Rih, Kyiv na Lviv. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu, OCHA, imesema nyumba na shule za awali zimeharibiwa huku watoto wakiwa miongoni mwa waliouawa na kujeruhiwa. Kwa upande wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limesema watoto watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa, huku likiendelea kutoa msaada wa dharura wa kisaikolojia na usaidizi wa kifedha kwa familia zilizoathirika.Na Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amelaani hatua za serikali ya Uganda zinazodaiwa kuendelea kubana uhuru wa msingi na kuzima sauti za wanaokosoa serikali. Amesema tangu uchaguzi mkuu wa Januari mwaka huu, viongozi wa upinzani, wanaharakati wa haki za binadamu na waandishi wa habari wamekumbwa na vitendo vya kutoweshwa, kukamatwa kiholela na mateso. Kupitia taarifa iliyotolewa leo na ofisi ya Bwana Türk ni kwamba ofisi hiyo imepokea taarifa zinazoonesha kuongezeka kwa ushiriki wa jeshi katika kutekeleza majukumu ambayo kwa kawaida hufanywa na taasisi za kiraia. Aidha, baadhi ya vyombo vya habari vimelazimika kusitisha shughuli zake kwa muda.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, na leo tunamkaribisha Ntahombaye Hussein, Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari wa Kiswahili nchini Burundi, CHAWARUNDI. Anafafanua maana ya neno, “KUSOROZA. ”Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
Video guide to the new supporters' system : https://www.youtube.com/watch?v=QnP0nmKUIFo&t=2sWorld news in 7 minutes. Friday 31st July 2026.Today: UEFA boycott. Ukraine-Russia strikes. Poland missile. Germany car protests. Hungary mammoth. Japan earthquake. Australia Telegram court. Saudi Yemen invasion? Argentina snow rescue. Canadians less US. Spain Morocco migrants. Egypt tankers hit. DRC new monkey.With Stephen DevincenziBecome a SEND7 supporter!Ad-free listeningBonus quiz episode every FridayDaily transcripts (written by us, not AI!)Vocabulary listsWednesday worksheetsAsk questions in Ask Me Anything episodes10% of our profit goes to Effective Altruism charities.You can become a supporter at send7.supercast.comFor more information about SEND7 visit send7.org/contact or send an email to podcast@send7.org
Today's episode is a special bonus from the On the Ground with Samaritan's Purse hosted by Kristy Graham. What does it look like to trust God when He calls you into some of the world's most difficult and dangerous places? In this powerful episode, Kristy experiences firsthand what Samaritan's Purse Disaster Assistance Response Team members endure as they prepare to serve during the Ebola outbreak in the Democratic Republic of the Congo. Bev Kauffeldt, who has served on the last two Ebola responses, led Kristy through the training. Kristy got into the many layers of personal protection equipment to experience the process our DART members go through in the field. This inspired Kristy as she experienced the discomfort our teams willingly step into as they fight this dangerous outbreak. It also helped her know how to pray for our teams more specifically. At the training, Bev talked with Kristy about a passage of Scripture that has been on her heart: “This verse—I shared it with the team today because it's so perfect. In Acts 20:24, Paul says my life is worth nothing to me unless I use it for finishing the work assigned to me by the Lord Jesus, the work of telling others of the good news about the wonderful grace of God.” — Bev Kauffeldt, paraphrasing Acts 20:24 As believers, we must have a posture of humility. Someone who speaks into this posture in this Ebola response is Dustin Martin, a water, sanitation and hygiene technical advisor who supports Samaritan's Purse field offices around the world. Dustin will likely go to the DRC soon. He shared how he is preparing both physically and spiritually to be deployed and why he desires to go serve in this dangerous situation. “I want to be able to go to the ends of the earth for people that I haven't even met before because that's what Christ did for me. He took on humility. He took on human form when He had no need to. And if He did that for me, there's just no appropriate response but to do that for others.” — Dustin Martin Once Kristy was out of the personal protective equipment, she met Kate Allen, an emergency doctor, who the Lord has called and sent to many DART responses, including Ukraine and Iraq. They spoke about putting on the armor of God, trusting that the Lord goes before us. We are not promised safety, but God does promise that He is with us always. “God doesn't say you're going to be absolutely fine … but He does promise that He goes with us. And He promises that He goes ahead. And He promises He hems us in from behind. So, we go with His Spirit, and we go knowing that He has a plan, and that He has already paid the ultimate price.” — Kate Allen If you'd like to keep up to date with more stories from On the Ground with Samaritan's Purse, please visit SamaritansPurse.org Discover more Christian podcasts at lifeaudio.com and inquire about advertising opportunities at lifeaudio.com/contact-us.
Hii leo jaridani tunaangazia mchakato wa kumpata Katibu Mkuu mpya wa UN, juhudi za mashirika mbalimbali za kuhamazisha wananchi DRC kuhusu udhibiti wa Ebola, na mafunzo ya STEM viziwani Zanzibar zinazolenga kuimarisha kilimo cha mwani..Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakuwa na upigaji kura usio rasmi kesho Alhamisi wenye lengo la kutathmini uungwaji mkono wa wagombea saba waliojitokeza kumrithi Katibu Mkuu wa sasa Antonio Guterres anayemaliza muda wake mwishoni mwa mwaka huu. Je ni nini kinafanyika? Assumpta Massoi amekuwa anafuatilia mchakato huu na nimezungumza naye angalau atupatie kwa muhtasari.Kulingana na ripoti mpya kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa, mlipuko wa sasa wa Ebola ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) umekuwa mmoja wa milipuko mibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo. Huko Bunia, jimboni Ituri ambako ni kitovu cha mlipuko wa sasa wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu wakiwemo madaktari wanaongeza juhudi zao za kuwahudumia wagonjwa wakati huu ambapo ripoti zinasema watu zaidi ya 500 wamepona Ebola ya sasa. wanajamii ili kuzuia kuenea zaidi kwa ugonjwa huo.Je, ingekuwaje kama kila kijana kutoka visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania angeweza kugeuza zao la mwani kuwa suluhisho la kiuchumi la kesho yake? Hilo ndilo lengo mradi wa shirika la kiraia la ProjeKt Inspire kupitia programu yake ya Girls in STEM, au Wasichana kwenye masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati, unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa ufadhili wa Canada. Kupitia warsha wa siku tatu ya masomo ya STEM, wanafunzi wamejifunza kutumia masomo hayo kuongeza thamani ya zao la mwani na kuendeleza Uchumi wa buluu.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Kulingana na ripoti mpya kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa, mlipuko wa sasa wa Ebola ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) umekuwa mmoja wa milipuko mibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo. Huko Bunia, jimboni Ituri ambako ni kitovu cha mlipuko wa sasa wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu wakiwemo madaktari wanaongeza juhudi zao za kuwahudumia wagonjwa wakati huu ambapo ripoti zinasema watu zaidi ya 500 wamepona Ebola ya sasa. wanajamii ili kuzuia kuenea zaidi kwa ugonjwa huo. Priscilla Lecomte aliyeko kwenye timu ya Mratibu Mkuu wa Ebola wa Umoja wa Mataifa, Julien Harneis, amezungumza na mmoja wa madaktari.
For much of my life I knew nothing about Belgium's King Leopold II and his brutal subjugation of millions in the DRC - what was ironically then called the 'Congo Free State'. To be clear, millions were killed, terrorised and utterly exploited by a monarch who used the country as his personal colony. Adam Hochschild's powerful book, King Leopold's Ghost, makes for a deeply uncomfortable but essential read. I had the honour and privilege of speaking to him earlier this week. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikiliza simulizi za wananchi kuhusu uhamazishaji wa kudhibiti Ebola. Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu, UNODC, imeonya kuhusu ongezeko la usafirishaji haramu wa binadamu unaofanyika kupitia matangazo bandia ya mitadaoni ya fursa za ajira. Zaidi ya watu 300,000 wanakadiriwa kushikiliwa katika vituo vya ulaghai Kusini-Mashariki mwa bara la Asia, ambako hunyang'anywa hati za kusafiria na kulazimishwa kufanya utapeli mtandaoni.Kamanda wa Kikosi cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, Luteni Jenerali Ulisses De Mesquita Gomes, amethibitisha dhamira ya ujumbe huo ya kuimarisha usalama wa vituo vya afya katika eneo la Mongbwalu, jimboni Ituri, ambalo ni kitovu cha mlipuko wa Ebola. Amesema mashambulizi ya makundi yenye silaha na watu kuyakimbia makazi yao vinaweza kuvuruga ufuatiliaji wa wagonjwa na upatikanaji wa matibabu. Walinda amani wa Nepal wanaendelea kulinda raia na miundombinu ya afya, kwa kushirikiana na jeshi la Congo na mamlaka za eneo hilo.Na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Dawa za Kulevya na Uhalifu, UNODC, imeonya kuhusu ongezeko la usafirishaji haramu wa binadamu unaofanyika kupitia matangazo bandia ya ajira mtandaoni. Zaidi ya watu 300,000 wanakadiriwa kushikiliwa katika vituo vya ulaghai Kusini-Mashariki mwa barani Asia, ambako hunyang'anywa pasipoti na kulazimishwa kufanya utapeli mtandaoni. UNODC inasema uhalifu huo sasa unasambaa hadi Afrika na maeneo mengine duniani, na kuwataka wanaotafuta ajira nje ya nchi kuthibitisha kampuni, mikataba na mawakala kabla ya kusafiri.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
SEND7 supporters, please check your email inbox for an email from me. If you have not received one, please email me at podcast@send7.org . Thank you, Stephen.World news in 7 minutes. Monday 27th July 2026.Today: France Spain fires. Germany Pride attack. Danube low. Romania drones. Brazil-Argentina comments. US Trump 2028. Canada-US bridge. DRC ebola. Nigeria army. India resignation. US-Iran pause. West Bank violence. UAE best passport.With Stephen DevincenziBecome a SEND7 supporter!Ad-free listeningBonus quiz episode every FridayDaily transcripts (written by us, not AI!)Vocabulary listsWednesday worksheetsAsk questions in Ask Me Anything episodes10% of our profit goes to Effective Altruism charities.You can become a supporter at send7.supercast.comFor more information about SEND7 visit send7.org/contact or send an email to podcast@send7.org
Today's episode is a special bonus from the On the Ground with Samaritan's Purse podcast, hosted by Kristy Graham. What does it look like to trust God when He calls you into some of the world's most difficult and dangerous places? In this powerful episode, Kristy experiences firsthand what Samaritan's Purse Disaster Assistance Response Team members endure as they prepare to serve during the Ebola outbreak in the Democratic Republic of the Congo. Bev Kauffeldt, who has served on the last two Ebola responses, led Kristy through the training. Kristy got into the many layers of personal protection equipment to experience the process our DART members go through in the field. This inspired Kristy as she experienced the discomfort our teams willingly step into as they fight this dangerous outbreak. It also helped her know how to pray for our teams more specifically. At the training, Bev talked with Kristy about a passage of Scripture that has been on her heart: “This verse—I shared it with the team today because it's so perfect. In Acts 20:24, Paul says my life is worth nothing to me unless I use it for finishing the work assigned to me by the Lord Jesus, the work of telling others of the good news about the wonderful grace of God.” — Bev Kauffeldt, paraphrasing Acts 20:24 As believers, we must have a posture of humility. Someone who speaks into this posture in this Ebola response is Dustin Martin, a water, sanitation and hygiene technical advisor who supports Samaritan's Purse field offices around the world. Dustin will likely go to the DRC soon. He shared how he is preparing both physically and spiritually to be deployed and why he desires to go serve in this dangerous situation. “I want to be able to go to the ends of the earth for people that I haven't even met before because that's what Christ did for me. He took on humility. He took on human form when He had no need to. And if He did that for me, there's just no appropriate response but to do that for others.” — Dustin Martin Once Kristy was out of the personal protective equipment, she met Kate Allen, an emergency doctor, who the Lord has called and sent to many DART responses, including Ukraine and Iraq. They spoke about putting on the armor of God, trusting that the Lord goes before us. We are not promised safety, but God does promise that He is with us always. “God doesn't say you're going to be absolutely fine … but He does promise that He goes with us. And He promises that He goes ahead. And He promises He hems us in from behind. So, we go with His Spirit, and we go knowing that He has a plan, and that He has already paid the ultimate price.” — Kate Allen If you'd like to keep up to date with more stories from On the Ground with Samaritan's Purse, please visit SamaritansPurse.org Discover more Christian podcasts at lifeaudio.com and inquire about advertising opportunities at lifeaudio.com/contact-us.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP, nchini Tanzania kupitia mradi wake wa Dumisha Amani kwa Maendeleo Endelevu awamu ya pili, unaotekelezwa kwa kushirikiana na serikali ya nchi hiyo kupitia Ofisi ya Rais inayohusika na Maendeleo ya Vijana, limeendelea kutumia mafunzo ya ufundi stadi kama njia ya kudumisha amani na kuwajengea uwezo vijana kiuchumi. Hii ni katika kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu, SDGs likiwemo namba moja la kuondokana na umaskini na namba 16 linalolenga pamoja na mambo mengine kujenga amani kwenye jamii.Rashid Malekela, balozi kijana wa UNDP Tanzania alihudhuria mafunzo hayo na kutuandalia mada hii kwa kina.Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya Wanawake, UN Women, limeonya kuwa wanawake na wasichana katika mji wa El Obeid nchini Sudan sasa wanakabiliwa na hatari mbili wanapokwenda kuchota maji ambayo ni mashambulizi ya droni mchana yanawalazimu kusubiri hadi usiku, ambako hukumbana na ubakaji na ukatili mwingine wa kingono.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP, limesema kuwa msaada wa chakula kwa zaidi ya wakimbizi 130,000 nchini Burundi, wengi wao wakitokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRc unaweza kusitishwa kuanzia mwezi Oktoba mwaka huu endapo halitapata ufadhili wa haraka.Na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa la kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC MONUSCO, umefanikiwa kurejesha utulivu katika eneo la Nyakunde jimboni Ituri, hatua iliyowezesha kurejea kwa harakati dhidi ya ugonjwa wa Ebola.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
On this episode we started off with Trump's 50% tariffs on Canada, the investigation into $1 billion medicaid fraud in Cali and Minn, and the house adopting a $95 billion budget plan. We then shift over to discuss the Iranian attacks on US bases and the surrounding areas resulting in the deaths of four us service members, bringing the total now to 18. Poland just flew their brand new f-35, the Houthis have blockaded Saudi Arabia, and we get an update on the ebola outbreak in the DRC.To join in on the conversation every Wednesday night at 9pm cst, come to patreon.com/CajunKnightBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/cult-of-conspiracy--5700337/support.
Aurélia Nguyen, Dep. CEO of CEPI (Coalition of Epidemic Preparedness Innovations) shares her unusual personal and career story, including working with Andrew Witty at GSK, and with Seth Berkley at GAVI during Ebola in West Africa 2014-2015 and later during the COVID-19 pandemic when she managed the COVAX facility. "It was incredibly difficult." CEPI's 3.0 strategy focuses on viral families; technologies and platforms; and networks to rapidly conduct clinical trials and begin manufacturing. CEPI swung rapidly into action with the advent of the Bundibugyo Ebola outbreak in Ituri, DRC. It struck a promising $50 million partnership with the Department of State in support of its work to accelerate development of four vaccine candidates. Clinical trials are beginning and will advance in the fall in the hot zone in eastern DRC. Mistrust and insecurity require intensive community engagement. Even with US and EU support, CEPI still strives to fill an estimated $130 million gap over the next 6-9 months. Her biggest worry? Cases have doubled in just 23 days. We are not yet able to gauge the true scale of the outbreak.
In this episode of 50 Shades of Green, hosts Adam Lake and Katie Lanegran sit down with Naftali Honig, Regional Operations Manager for Africa Parks' Congo's region, for a deep, hopeful conversation about the Congo Basin — its global climate importance, the wildlife it supports, and the practical work and challenges of protecting and restoring these critical ecosystems. The show opens with light banter about the World Cup, then quickly pivots to the episode's focus: why the Congo Basin matters and how on-the-ground conservation is being done differently and successfully.Naftali explains the basin's role as a global “lung” — not only in gas exchange and carbon storage but as a vast hydrological system that moves freshwater across Central Africa. He outlines the geography of the region, centered on the Democratic Republic of Congo but stretching into neighboring countries, and describes the remarkable biodiversity: forest elephants, gorillas, chimpanzees, myriad less-known species, and savanna-edge animals historically including cheetah. The conversation emphasizes that these ecosystems are interconnected and underpin global climate stability, water security, food systems, and local livelihoods.A major thread is African Parks' approach: protected areas as anchors for a nature-based, sustainable economy that benefits both people and nature. Naftali debunks the myth that conservation in Africa is only about tourism, explaining how protected lands support sustainable fisheries, forestry, cultural heritage, and community wellbeing. He stresses local stewardship — most park staff are from surrounding communities — and argues that conservation succeeds when it empowers people economically and culturally, not when it excludes them.The episode highlights inspiring restoration work, notably the reintroduction of white rhinos to Garamba National Park in northeastern DRC. Naftali describes the complex logistics and long-term monitoring required for translocations, and how returning “ecosystem engineers” like rhinos can transform landscapes and accelerate ecological recovery. They also discuss plans to restore prey populations, antelopes, zebras, and potentially cheetah, illustrating how recovery must follow ecological sequencing and sustained management.Naftali outlines the principal challenges: ecological logistics and anti-poaching work, socio-political complexities, and, critically, finances. Tourism can help, but crises like Ebola and limited national budgets mean conservation needs diversified funding and innovative financial tools. He also points to technological advances — satellite imagery, tracking collars, and environmental DNA (eDNA) — that revolutionize how scientists monitor biodiversity and ecosystem health, offering richer, networked insights into species interactions and food webs.Practical takeaways for listeners include how to support the work: visit and respect rules as responsible tourists, donate to credible organizations like African Parks, and amplify the stories and science of conservation. The hosts reflect on misconceptions — especially the condescending “white savior” narrative — and celebrate the leadership and expertise originating in Africa. The episode closes on an optimistic note: real, measurable conservation successes prove that “nothing is impossible” when communities, governments, science, and sustained funding come together.Warm, informative, and grounded in field experience, this episode reframes conservation as a complex, people-centered enterprise with global stakes. It's essential listening for anyone curious about how large-scale restoration works in practice, why the Congo Basin matters to all of us, and how targeted, locally driven efforts can yield dramatic ecological returns — from rhinos roaming again to forests stabilizing climate and water for generations to come. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Huko DRC madini ya kimkakati mashariki mwa nchi yamekuwa kichocheo cha mizozo. Mgeni wetu leo pamoja na mambo mengine anaangazia jinsi vita imezuia wao kuendelea na uchimbaji madini. Yeye anaishi Goma, lakini Salama Machaano, wa redio washirika wetu, Adventista World Radio, Tumaini Mkuu iliyoko Bukavu, jimboni Kivu Kusini alifnga safari hadi Goma kuzungumza naye.Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na mjadala wa wazi wa ngazi ya juu kuhusu “Utawala wa rasilimali za asili: Msingi wa amani, usalama na ustawi” chini ya kipengele cha ajenda ya “Kudumisha amani na usalama wa kimataifa.” Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia kikao hicho ameeleza vipaumbele vinne kuwa ni kuhakikisha manufaa ya haki yanapatikana kutokana na rasilimali za asili, kuimarisha uwazi na ushirikiano ili kukabiliana na biashara haramu, kukuza utatuzi wa amani wa migogoro inayohusiana na rasilimali, na kuzingatia masuala ya mabadiliko ya tabianchi katika kuzuia migogoro na kujenga amani.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa wito wa kulindwa kwa raia na kuruhusiwa kwa misaada ya kibinadamu kuwafikia wenye uhitaji nchini Sudan baada ya shambulio lililotekelezwa juzi tarehe 20 Julai kwa kutumia ndege zisizo na rubani likilenga soko la Ar Rahad katika jimbo la Kordofan Kaskazini na kusababisha vifo vya watoto wawili na kuwajeruhi wengine sita.Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limeeleza kusikitishwa sana na taarifa kwamba makumi ya wahamiaji wamefariki dunia au hawajulikani walipo kufuatia kuzama kwa meli katika pwani ya Mauritania, ambapo tarehe 18 Julai manusura 38 waliokolewa na Walinzi wa Pwani wa Mauritania karibu na mji wa Nouadhibou walipokuwa wakijaribu bahati yao kuelekea nchini Hispania. IOM kupitia Mkurugenzi wake wa Kanda ya Afrika Magharibi na Kati, Sylvia Ekra, imesema watu wanaendelea kuhatarisha maisha yao kwa sababu zinazowasukuma kuondoka katika nchi zao bado zipo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, na mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “MAJI HAYAPOZI MOYO ILA YAKIWA BARIDI.”Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
During a landmark visit by Lebanese President Joseph Aoun to the US, President Donald Trump vowed to help Lebanon "a lot" as the country sought Washington's backing for a fragile effort to disarm Hezbollah and forge a path to peace with Israel. Also on the programme: Ebola in the DRC spreading faster than any other outbreak according to health officials; and what is really to blame for Italy's obese children? (Photo: President Trump welcomes Lebanese President Joseph Aoun upon his arrival at the West Wing Portico of the White House in Washington, DC on July 21, 2026. Credit: EPA/Shutterstock)
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Jana katika moja ya viunga vya jiji la Nairobi, wadau mbalimbali wakiwemo wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na raia wa Afrika Kusini na Ubalozi wa Afrika Kusini nchini Kenya, ili kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela walikitembelea Kituo cha Kulelea Watoto ya Yatima kinachofahamika kwa jina Serah's Vision Children's Home na walikaa kituoni hapo kwa dakika 67.Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Ikiwa ni miezi tisa tangu kusitishwa kwa mapigano kati ya Jeshi la Israel na wanamgambo wa kipalestina wa Hamas, hali ya usalama kwa raia wa Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel inaendelea kuzorota. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, OHCHR, imesema hii leo kuwa hakuna eneo linaloweza kuchukuliwa kuwa salama kwa Wapalestina, huku Wizara ya Afya ya Palestina ikiripoti kuwa zaidi ya watu 1,100 wameuawa katika mashambulizi ya jeshi la Israel tangu Oktoba mwaka 2025.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, limeonya kuhusu hatari ya safari za baharini kuelekea barani Ulaya kupitia bahari ya Atlantiki baada ya watu 144 kuripotiwa kufariki au kutoweka katika pwani ya Mauritania wiki iliyopita. Katika tukio la hivi karibuni watu 387 waliokolewa katika operesheni za uokoaji.Na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO linasema licha ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola wa virusi aina ya Bundibugyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuendelea kuenea kwa kasi, baadhi ya maeneo yanaanza kuonesha dalili za hali kutengamaa kutokana na hatua za haraka za kudhibiti ugonjwa huo.Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
The Democratic Republic of the Congo has filed a new case against Rwanda at the International Court of Justice, accusing Kigali of violating its sovereignty and committing serious breaches of international law. But what does the law actually say? In this episode of The Long Form Podcast, international law scholar and former ICTR and ICC legal officer Dr. Alphonse Muleefu explains the legal issues at the heart of one of Africa's most consequential international disputes. We explore self-defence under international law, state sovereignty, the UN Mapping Report, the concept of "lawfare," and the strengths and weaknesses of both Rwanda's and the DRC's legal arguments. This is a conversation for anyone seeking a deeper understanding of the legal dimensions of the conflict in eastern Congo. Sponsors:ShieldTech Hub- www.shieldtechub.com Akagera Medicines- https://www.akageramedicines.com BasiGo Rwanda- https://www.basi-go.com/rwanda Join our Patreon to enjoy ad-free viewing https://www.patreon.com/cw/TheLongFormPod or support us via our MTN Mobile Money Code 95462 or directly to our phone number: +250795462739Visit Sanny Ntayombya's Official Website: https://sannyntayombya.comProduced by LF Media
Subscribe now for an ad-free experience. Canada's wildfires rage on, so Danny and Derek are here to be your breath of fresh air. This week's news: In Iran, the U.S. reimposes its blockade and intensifies strikes (2:04), Trump announces and then backs off a Hormuz toll (5:44), and the White House issues threats of further escalation (9:17); in Yemen, the Houthis/Ansar Allah and Saudi Arabia trade strikes (13:37) as the former might become involved in the Iran war (16:28); Lebanese-Israeli talks talks wrap up, but progress is uncertain (17:45); in Israel, a date is set for an election (19:18), plus the ethnic cleansing in Gaza is given a new euphemism (21:15); Southeast Asian countries appear to normalize relations with Myanmar (22:23); the U.S. touts a “new” peace plan for Sudan (24:13); the Ebola outbreak in the DRC continues and may be much larger than official figures suggest (26:35); Zelenskyy replaces Ukraine's prime minister and defense minister (29:43); Andy Burnham is to become the UK's PM (33:32), plus a UK-EU deal on Gibraltar is reached (35:22); Marco Rubio is reportedly running Venezuela as a U.S. viceroy (36:34); the U.S. is attempting to destroy the ICC (38:35) as it also takes aim at “left-wing terrorism” (41:23); and a Pew poll finds China more popular than the U.S. for the first time (43:01). Watch last night's weekly livestream if you missed it. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Canada's wildfires rage on, so Danny and Derek are here to be your breath of fresh air. This week's news: In Iran, the US reimposes its blockade and intensifies strikes (2:04), Trump announces and then backs off a Hormuz toll (5:44), and the White House issues threats of further escalation (9:17); in Yemen, the Houthis/Ansar Allah and Saudi Arabia trade strikes (13:37) as the former might become involved in the Iran war (16:28); Lebanese-Israeli talks talks wrap up, but progress is uncertain (17:45); in Israel, a date is set for an election (19:18), plus the ethnic cleansing in Gaza is given a new euphemism (21:15); Southeast Asian countries appear to normalize relations with Myanmar (22:23); the US touts a “new” peace plan for Sudan (24:13); the Ebola outbreak in the DRC continues and may be much larger than official figures suggest (26:35); Zelenskyy replaces Ukraine's prime minister and defense minister (29:43); Andy Burnham is to become the UK's PM (33:32), plus a UK-EU deal on Gibraltar is reached (35:22); Marco Rubio is reportedly running Venezuela as a US viceroy (36:34); the US is attempting to destroy the ICC (38:35) as it also takes aim at “left-wing terrorism” (41:23); and a Pew poll finds China more popular than the US for the first time (43:01).Watch last night's weekly livestream if you missed it.Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina, leo tunamsikia Pauline Farini Kibuya wa shirika la Congo Notre Avenir yaani Congo Mustakabali Wetu kutoka DRC akizungumza na Idhaa hii kuhusu jinsi wanavyosongesha amani kwa taifa la DRC Congo. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Katibu Mkuu António Guterres aliyeko ziarani nchini China amehutubia mdahalo kuhusu Tahadhari za Mapema kwa Wote katika Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika kwenye jukwaa la kimataifa la Akili Mnemba na Tabianchi jijini Shanghai na kutoa wito wa kuharakisha maendeleo ya mifumo ya tahadhari za mapema inayotumia akili mnemba ili kuzuia majanga yanayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi. Hata hivyo amesema "tahadhari lazima zifikie kila mtu aliyeko hatarini kwa lugha wanazoelewa na mifumo ya mawasiliano wanayoweza kuiamini."Kesho Julai 18 ikiwa ni siku ya kimataifa ya Nelson Mandela, Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, huko Geneva, Uswisi hii leo mashindano ya 18 ya Nelson Mandela ya Mahakama ya Kimataifa ya Kuigiza yamefikia kilele kwa timu ya Chuo Kikuu cha Midlands State kutoka Zimbabwe kuibuka mshindi ilihali Chuo Kikuu cha Strathmore kutoka Kenya kimeshika nafasi ya pili.Hii leo hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi wanachama na marafiki wa mpira wa miguu au kabumbu, wamezindua kampeni ya mwaka mmoja ya Dunia Moja, Mchezo Mmoja, Lengo Moja kwa lengo la kutumia mpira wa miguu kama kichochea cha kuimarisha afya ya akili kwa vijana, tukio linalofanyika siku mbili kabla ya fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia kwa wanaume. Akizungumza mapema kabla ya tukio hilo Sahira Al Nahari, ambaye ni Kiongozi kijana mchechemuzi wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs amesema, "kwa hiyo, mpira wa miguu una mengi ya kutufundisha. Tunapokabiliwa na janga la kimataifa, hebu tuzielekeze fikra zetu kwenye viwanja vya mpira wa miguu. Tunapotazama kinachotokea viwanjani, tunajifunza nidhamu, ustahimilivu, na jinsi ya kuinuka tena baada ya kupoteza jambo muhimu sana."Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "CHOPOCHOPO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Morse code transcription: vvv vvv Government brings British Steel under public ownership Relationship OCD convinced me Id cheat on my boyfriend Henry Nowak killers first recorded confession revealed New monkey species with orange lips found hiding in DRC forest MI5 court evidence based on lies, official report says Who is frontrunner to be the UKs next chancellor Protests in Ukraines cities against Zelenskys removal of defence minister Fedorov World Cup 2026 England star Jude Bellingham slaps Argentina substitute Barco Feeling gutted Five ways to cope with Englands World Cup defeat Teen hackers jailed after live streaming cyber attack on TfL
Morse code transcription: vvv vvv Teen hackers jailed after live streaming cyber attack on TfL New monkey species with orange lips found hiding in DRC forest Henry Nowak killers first recorded confession revealed Government brings British Steel under public ownership World Cup 2026 England star Jude Bellingham slaps Argentina substitute Barco Who is frontrunner to be the UKs next chancellor MI5 court evidence based on lies, official report says Feeling gutted Five ways to cope with Englands World Cup defeat Protests in Ukraines cities against Zelenskys removal of defence minister Fedorov Relationship OCD convinced me Id cheat on my boyfriend
Morse code transcription: vvv vvv New monkey species with orange lips found hiding in DRC forest Who is frontrunner to be the UKs next chancellor Protests in Ukraines cities against Zelenskys removal of defence minister Fedorov Teen hackers jailed after live streaming cyber attack on TfL Relationship OCD convinced me Id cheat on my boyfriend MI5 court evidence based on lies, official report says Henry Nowak killers first recorded confession revealed World Cup 2026 England star Jude Bellingham slaps Argentina substitute Barco Government brings British Steel under public ownership Feeling gutted Five ways to cope with Englands World Cup defeat
इस साप्ताहिक बुलेटिन की सुर्ख़ियाँ...चीन से यूएन प्रमुख की अपील - AI का भविष्य मुट्ठी भर ताक़तें नहीं, पूरी मानवता तय करे.पाकिस्तान-प्रशासित कश्मीर में चुनाव से पहले तनाव, संयम बरतने का आहवान.म्याँमार तट के पास दो नौकाएँ पलटने की आशंका, लगभग 500 रोहिंग्या यात्रियों की सलामती की चिन्ता.WHO की चेतावनी - DRC में आग की तरह फैल रहा है इबोला, SDG लक्ष्यों के लिए 4 ट्रिलियन डॉलर की वित्तीय खाई पाटने पर सहमति.
Morse code transcription: vvv vvv New monkey species with orange lips found hiding in DRC forest World Cup 2026 England star Jude Bellingham slaps Argentina substitute Barco Government brings British Steel under public ownership Relationship OCD convinced me Id cheat on my boyfriend Feeling gutted Five ways to cope with Englands World Cup defeat Henry Nowak killers first recorded confession revealed Protests in Ukraines cities against Zelenskys removal of defence minister Fedorov Teen hackers jailed after live streaming cyber attack on TfL Who is frontrunner to be the UKs next chancellor MI5 court evidence based on lies, official report says
With the FIFA World Cup entering its final week, we explore how NGOs operating in participating nations can leverage the tournament's spotlight to advance their work. While tournament hype is notoriously fleeting, we break down how NGOs can translate a short-term spike in curiosity into sustained long-term impact. We also discuss our key takeaways from the United Nations' Global Dialogue for AI Governance and the International Telecommunication Union's AI for Good Summit, both of which we covered on the ground in Geneva, Switzerland. From the absence of major AI labs to how lower- and middle-income countries are demanding an equal voice in global tech regulation, we explore why the development sector must stop leaving AI's future to technologists alone. To dig into these stories and others, David Ainsworth sits down with Catherine Cheney and Thomas Cserep for the latest episode of our weekly podcast series. In the sponsored segment of the podcast, hosted in partnership with The Pfizer Foundation, Devex Executive Vice President and Executive Editor Kate Warren speaks with Freddy Nkosi, Senior Director of Global Programs for West and Central Africa & DRC Country Director at VillageReach. They explore how locally-led supply chains and data-informed approaches are helping countries, such as the DRC and Cameroon, address last-mile challenges, supporting efforts to ensure vaccines reach remote and underserved communities when and where they are needed.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkutano wa HLPF hapa makao makuu ya UN kumsikia Profesa Peter Wanderi Mwangi ambaye amewakiwakilisha Chuo Kikuu cha Mount Kenya cha nchini Kenya chenye matawi mbalimbali katika Afrika Mashariki katika mkutano wa United Nations Academic Impact (UNAI), Mpango unaosisitiza nafasi muhimu ya taasisi za elimu ya juu katika kuhimiza maendeleo endelevu na kuunga mkono utekelezaji wake. Baada ya ziara yake mjini Bunia, jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako ndio kitovu cha mlipuko wa sasa wa Ebola ya virusi vya Bundibugyo, Mkurugenzi Mtendaji wa WHO anayehusika na Programu ya Dharura za Afya, Dkt. Chikwe Ihekweazu, amewambia waandishi wa habari Geneva, Uswisi kwamba mlipuko wa sasa ni moto ambao kinachouchochea kiko katikati, huku ukiendelea kusambaa.Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Bahari (IMO) limesema lina wasiwasi mkubwa kufuatia mashambulizi ya jana usiku yaliyolenga meli kwenye mlango wa bahari wa Hormuz na viunga vyake na kusababisha vifo vya takribani mabaharia wawili na wengine kadhaa wamejeruhiwa. Kupitia taarifa yake iliyotolewa London, Uingereza, IMO imesema inafanya kazi kwa haraka na mamlaka husika ili kubaini mazingira halisi ya tukio hilo.Na uungwaji mkono wa umma kwa wakimbizi unaendelea kuwa imara licha ya kuwepo kwa changamoto na kutokuweko kwa uhakika wa mustakabali duniani, hii ni kwa mujibu wa utafiti wa pamoja uliofanywa na kampuni ya IPSOS na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, Utafiti umebaini kuwa asilimia 66 ya washiriki katika nchi 29 wanakubaliana kwamba watu wanaokimbia vita au mateso wanapaswa kuruhusiwa kusaka hifadhi katika nchi nyingine, ikiwa ni punguzo la asilimia moja tu ikilinganishwa na mwaka 2025.Utafiti huu umefanywa ikiwa ni miaka 75 tangu kupitishwa kwa Mkatab awa Kimataifa wa kulinda wakimbizi.Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
Over the past 18 months, some of the most violent attacks against persecuted Christians anywhere in the world have taken place in the Democratic Republic of the Congo, a country where more than 100 armed groups – many motivated by Islamist ideals – vie for territory and influence. Dr David Kasali, founder and president of Congo Initiative, tells how Christians are responding and enduring, how they are choosing to be victors instead of victims. Listen as he shares how he trains Christians to overcome their fears and how he prays for Christ's Kingdom to be established in DRC, just as it is in heaven. He'll also share how Congo Initiative is welcoming Christians from around the world to come and serve in various roles. "We have to work," Dr Kasali says, "for the coming Kingdom of God." He'll also share the story of his calling by God to return to Congo – leaving behind an education ministry he truly loved in Kenya – to serve and strengthen the persecuted church in DRC. Finally, he'll equip listeners to pray specifically for the needs of persecuted Christians in the Congo. Please note, there is no FLR reel this week (because we skipped the one for China). Would you add a post to social media like you used to? FLR32 Congo .mp3
Regulators in Britain have approved human trials of a new vaccine to tackle the latest Ebola outbreak in the Democratic Republic of Congo. It comes as health authorities in the DRC say Ebola has spread to two new provinces, including the populous northeastern city of Kisangani. We speak to a scientist who developed the vaccine and an aid worker in the epicentre of the Ebola outbreak. Also in the programme: President Trump announces the US will reinstate its naval blockade of Iran; and we hear tributes to the Jurassic Park actor Sam Neill, who has died aged 78.(Photo: Red Cross workers wearing personal protective equipment (PPE) gather after handling the coffin of a man who died of Ebola virus, as aid agencies intensify efforts to contain the Ebola outbreak caused by the Bundibugyo virus, in Bunia, Ituri province, Democratic Republic of Congo, June 10, 2026. Credit: REUTERS/Gradel Muyisa Mumbere)
Samaritan's Purse (SP) has a well-established hospital and deep community ties in DRC's Ituri province. Vice President Ken Isaacs describes how SP pivoted during the unfolding Ebola outbreak, launching Ebola treatment centers. Humanitarian assistance reaches close to 200,000. Health workers have been very vulnerable to infection. "We have lost three." Expansion of international staff requires coping with the possibility of a 21-day isolation period before returning home. "What they need are Ebola fighters." Addressing malaria is essential. There is not yet a clear path to take care of international staff that get sick. If the U.S. facility in Kenya served a wide array of international Ebola fighters, that would be well received.
In his weekly clinical update, Daniel Griffin and Vincent Racaniello are dismayed over the military deaths due to the voluntary influenza vaccination policy, FDA's first vaccine recommendations since 2023, the efficacy of influenza vaccines, new screwworm, Legionnaires and cyclosporiasis cases, the Ebola outbreak in the DRC and Uganda and before Dr. Griffin deep dives into the measles outbreak, recent statistics on RSV, influenza and SARS-CoV-2 infections, the Wasterwater Scan dashboard, Johns Hopkins measles tracker, how to access and pay for Paxlovid, publication of the blocked COVID-19 vaccine findings, where to go for answers about long COVID-19, use of antivirals in children with COVID-19, severe West Nile disease and contacting your federal government representative to stop the assault on science and biomedical research. Subscribe (free): Apple Podcasts, RSS, email Become a patron of TWiV! Links for this episode A1C Keon Talik McDaniel (Bexar Memorial) Hegseth: Flu Vaccine Optional (US Department of War) Air Force trainee in San Antonio, Texas, died from flu(CIDRAP) Key FDA committee unanimously recommends its first vaccine since 2023(NPR) Efficacy and Safety of an mRNA Seasonal Influenza Vaccine in Adults (NEJM) Influenza Vaccine Effectiveness Against Pediatric Death in the United States: 2016–2025 (Pediatrics) Dashboard SCREWWORM.Gov (USDA: Animal and Plant Health Inspection Service) CDC Activates Emergency Operations Center for New World Screwworm Response (CDC Newroom) Upper East Side Legionnaires' Outbreak Source Remains Unknown (Bloomberg) Outbreak of diarrhea-causing parasite grows to more than 1,000 cases (AP) Cyclosporiasis outbreak in Michigan exceeds 1,000 cases (WOODTV+) Ebola deaths top 500 as DR Congo health workers threaten to strike (CIDRAP) Ebola deaths in Congo top 500 as health workers threaten to strike (AP) Ebola dashboard (ebola.fyi) EBOLA:The Democratic Republic of the Congo, 2026 (WHO) Bundibugyo virus disease outbreak Democratic Republic of the Congo (WHO: Democratic Republic of Congo) Ebola Outbreak: Current Situation (CDC:Ebola) Wastewater for measles (WasterWater Scan) Measles cases and outbreaks (CDC Rubeola) Big outbreak, bright lights…Measles Dashboard (South Carolina Department of Public Health) Utah measles outbreak response (Utah Department of Health and Human Services) Utah Measles Dashboard (Utah Department of Health and Human Services) Measles (VDH: Virginia Department of Health) Tracking Measles Cases in the U.S. (Johns Hopkins) Measles vaccine recommendations from NYP (jpg) Weekly measles and rubella monitoring (Government of Canada) Measles (WHO) Get the FACTS about measles (NY State Department of Health) Measles (CDC Measles (Rubeola)) Measles vaccine (CDC Measles (Rubeola)) Presumptive evidence of measles immunity (CDC) Contraindications and precautions to measles vaccination (CDC) Adverse events associated with childhood vaccines: evidence bearing on causality (NLM) Measles Vaccination: Know the Facts (ISDA: Infectious Diseases Society of America) Deaths following vaccination: what does the evidence show (Vaccine) Influenza: Waste water scan for 11 pathogens (WastewaterSCan) USrespiratory virus activity (CDC Respiratory Illnesses) Respiratory virus activity levels (CDC Respiratory Illnesses) Flu vaccine recommendations: Vaccines and Related Biological Products Advisory Committee March 12, 2026 Meeting Announcement (FDA) WHO updates all 3 viral strains to be included in fall flu shots (CIDRAP) FDA vaccine advisers recommend adding subclade K to fall shots(CIDRAP) Weekly surveillance report: cliff notes (CDC FluView) OPTION 2: XOFLUZA $50 Cash Pay Option (xofluza) RSV: Waste water scan for 11 pathogens (WastewaterSCan) Respiratory Diseases (Yale School of Public Health) USrespiratory virus activity (CDC Respiratory Illnesses) RSV-Network (CDC Respiratory Syncytial virus Infection) Vaccines for Adults (CDC: Respiratory Syncytial Virus Infection (RSV)) Economic Analysis of Protein Subunit and mRNA RSV Vaccination in Adults aged 50-59 Years (CDC: ACIP) Respiratory Diseases (Yale School of Public Health) Waste water scan for 11 pathogens (WastewaterSCan) COVID-19 deaths (CDC) Respiratory Illnesses Data Channel (CDC: Respiratory Illnesses) COVID-19 national and regional trends (CDC) COVID-19 variant tracker (CDC) SARS-CoV-2 genomes galore (Nextstrain) Where to get pemgarda (Pemgarda) EUA for the pre-exposure prophylaxis of COVID-19 (INVIYD) Infusion center (Prime Fusions) CDC Quarantine guidelines (CDC) NIH COVID-19 treatment guidelines (NIH) Nirmatrelvir/Ritonavir for the Treatment of COVID-19 in Children Aged 6 Years and Older (Pediatrics) Drug interaction checker (University of Liverpool) Help your eligible patients access PAXLOVID with the PAXCESS Patient Support Program (Pfizer Pro) Understanding Coverage Options (PAXCESS) Infectious Disease Society guidelines for treatment and management (ID Society) Molnupiravir safety and efficacy (JMV) Convalescent plasma recommendation for immunocompromised (ID Society) What to do when sick with a respiratory virus (CDC) Managing healthcare staffing shortages (CDC) Anticoagulation guidelines (hematology.org) Daniel Griffin's evidence based medical practices for long COVID (OFID) Long COVID hotline (Columbia : Columbia University Irving Medical Center) The answers: Long COVID Efficacy and safety of rivaroxaban, colchicine, and famotidine–loratadine with specialist supportive clinical care for fatigue in patients with post-COVID-19 condition in the UK: a multisite, open-label, randomised controlled trial (LANCET: Infectious Diseases) Long-term Sequelae Associated With Severe West Nile Virus Disease in Maricopa County, Arizona, 2021 (OFID) Reaching out to US house representative Letters read on TWiV 1338 Dr. Griffin's COVID treatment summary (pdf) Timestamps by Jolene Ramsey. Thanks! Intro music is by Ronald Jenkees Send your questions for Dr. Griffin to daniel@microbe.tv Content in this podcast should not be construed as medical advice.
As the global competition for minerals intensifies, we consider the geopolitics at play. How did China emerge as a dominant force? And will the DRC ever benefit from its own resources?See omnystudio.com/listener for privacy information.
This week we welcome our first Belgian guest to the show: Belle Dividends (Kim). Kim's story starts almost by accident. In January 2022, after a failed attempt to become a crypto trader, he opened an account with Belgian broker Bolero and bought his first three stocks: AB InBev, Kinepolis and Umicore. A few years and a lot of YouTube and podcast listening later, he now runs a portfolio of 82 positions built around a simple goal: a 3% net dividend yield, even after Belgium's notoriously heavy dividend tax.In this episode Kim walks us through his investing journey, why dividend investing suited his personality more than growth or trading ever did, and how he deals with Belgian withholding tax (spoiler: UK stocks and a Legal & General dividend ETF both play a role). We also get into his interest in African equities, including his top position Helios Towers, plus Airtel Africa and DRC listed Texaf, and why he believes sub Saharan Africa's demographics make it one of the more interesting growth stories out there.Kim also shares the remarkable story of taking over his mother's finances after a dementia diagnosis, and how that led to a rapid, deliberate windfall investment that shaved more than a decade off his path to financial independence. We round things off with his thoughts on oil markets and macro trends, the tax friendly countries he's considering for the future, and a big batch of listener questions on portfolio strategy, UK renewable energy trusts, and more.Also in this episode: Derek and European DGI open with the Trump and FIFA controversy around the USA v Belgium match, and share an update on Greencoat UK Wind ahead of its July investor presentation.Kim's path from a frustrated would be crypto trader to an 82 position dividend portfolioNavigating Belgium's dividend tax and why she targets a 3% net yieldInvesting in Africa: Helios Towers, Airtel Africa and Texaf in the DRCTaking over his mother's finances and investing a large windfall with intentionHis macro view on oil, the Permian basin and the Iran conflictTax friendly countries on her radar for the future: Paraguay, Cyprus and GeorgiaListener questions on allocation strategy, ETFs, and UK renewable energy trusts like Greencoat UK WindWant deeper analysis, ad free episodes and more? Check out our premium service for €129 at dividendtalk.euWant to talk more about dividends and investing in general?Join the conversation in our community:Discord: https://discord.gg/xfS35ufm6HFacebook: https://www.facebook.com/groups/dividendtalkX (Twitter): https://x.com/European_DGI
The US has carried out a second wave of airstrikes on Iran after Tehran attacked tankers in the Strait of Hormuz earlier in the week. The perimeter of Iran's main nuclear plant, at Bushehr, was reported to have been hit. Iran said attacks on its civilian infrastructure could be war crimes. Tehran ordered retaliatory strikes on neighbouring Bahrain and Kuwait. Also: the toll of the war on tanker sailors in the Gulf; scandal forces a leading US Democratic Senate candidate to suspend his campaign; Welsh singer Bonnie Tyler dies at 75; rising false claims about the Ebola outbreak in the DRC; why young people may be best placed to take advantage of AI; the danger facing a little-known desert rain frog; and scores to settle: Morocco take on France again in the World Cup.The Global News Podcast brings you the breaking news you need to hear, as it happens. Listen for the latest headlines and current affairs from around the world. Politics, economics, climate, business, technology, health – we cover it all with expert analysis and insight. Get the news that matters, delivered twice a day on weekdays and daily at weekends, plus special bonus episodes reacting to urgent breaking stories. Follow or subscribe now and never miss a moment. Get in touch: globalpodcast@bbc.co.uk Photo: Explosion at unknown location, Iran Credit: Reuters
Wakati mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo ukiendelea kuenea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hatua zimepigwa katika kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Uwezo wa kutoa matibabu umeongezeka, linasema Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO na kuwaruhusu ndugu kuwaona jamaa zao kumeongeza utayari wa wagonjwa kujitokeza. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia washindi wa Tuzo ya UNFPA, harakati za kutokomeza Ebola nchini DRC, na watoto wenye ulemavu nchini Kenya. Profesa Serigne Gueye, daktari bingwa wa mfumo wa njia ya haja ndogo kutoka Senegal na mmoja wa wataalamu mashuhuri duniani wa matibabu ya fistula ya uzazi, amesema kutokomeza tatizo hilo kunategemea kuimarishwa kwa mifumo ya huduma za afya ya uzazi na kuhakikisha kila mwanamke anapata huduma za dharura za uzazi kwa wakati.Wakati mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo ukiendelea kuenea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, hatua zimepigwa katika kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Uwezo wa kutoa matibabu umeongezeka, linasema Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO na kuwaruhusu ndugu kuwaona jamaa zao kumeongeza utayari wa wagonjwa kujitokeza.Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa juzi Julai 7 imeeleza kuwa ingawa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) yameboresha maisha ya mabilioni ya watu duniani, kasi ya maendeleo bado haitoshi kufikia malengo yaliyowekwa ili kufikia mwaka 2030 yawe yametimizwa. Na ingawa Umoja wa Mataifa unaendelea kuhamasisha kuwa hakuna anayepaswa kuachwa nyuma katika maendeleo lakini kundi la watu wenye ulemavu bado linakumbana na changamoto nyingi. Kevin Keitany wa Radio washirika wetu Radio Domus ya nchini Kenya ametembelea moja ya mashirika yanayosaidia watu wenye ulemavu nchini humo ili kuangazia harakati zao za kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
World news in 7 minutes. Friday 10th July 2026.Today : New Zealand defence alliance. China factory fire. Australia India uranium deal. United Kingdom defence. Ukraine drone strikes. DRC protests. Tanzania arrests. Costa Rica crime policy dispute. Guatemala human smuggling case. United Kingdom Count Binface.SEND7 is supported by our amazing listeners like you.Our supporters get access to the transcripts and vocabulary list written by us every day.Our supporters get access to an English worksheet made by us once per week.Our supporters get access to our weekly news quiz made by us once per week.We give 10% of our profit to Effective Altruism charities.You can become a supporter at send7.org/supportWith Juliet MartinSign up for the new free Friday newsletter - www.send7.org/newsletterContact us at podcast@send7.org or send an audio message at speakpipe.com/send7We don't use AI! Every word is written and recorded by us! We do not consent to the podcast being used to train AI.Since 2020, SEND7 (Simple English News Daily in 7 minutes) has been telling the most important world news stories in intermediate English. Every day, listen to the most important stories from every part of the world in slow, clear English. Whether you are an intermediate learner trying to improve your advanced, technical and business English, or if you are a native speaker who just wants to hear a summary of world news as fast as possible, join Stephen Devincenzi, Juliet Martin and Ben Mallett every morning. Transcripts, vocabulary lists, worksheets and our weekly world news quiz are available for our amazing supporters at send7.org. Simple English News Daily is the perfect way to start your day, by practising your listening skills and understanding complicated daily news in a simple way. It is also highly valuable for IELTS and TOEFL students. Students, teachers, TEFL teachers, and people with English as a second language, tell us that they use SEND7 because they can learn English through hard topics, but simple grammar. We believe that the best way to improve your spoken English is to immerse yourself in real-life content, such as what our podcast provides. SEND7 covers all news including politics, business, natural events and human rights. Whether it is happening in Europe, Africa, Asia, the Americas or Oceania, you will hear it on SEND7, and you will understand it.Get your daily news and improve your English listening in the time it takes to make a coffee.For more information visit send7.org/contact or send an email to podcast@send7.org
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya lugha ya Kiswahili nampisha John Kibego wa redio washirika, Kazi Njema Redio nchini Uganda, kukueleza kuhusu harakati za kukuza lugha hiyo barani Afrika wakati huu ambapo UNESCO imeshaitangaza miaka mitano iliyopita kuwa lugha ya kimataifa.John, anamulika mpango wa ujenzi wa makao makuu ya kamisheni ya Kiswhaili ya Mungano wa Afrika. Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Ikiwa leo ni maadhimisho ya tano ya Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Kiswahili chini ya Kaulimbiu "Kiswahili kwa Amani, Mshikamano na Diplomasia ya Uchumi wa Dunia" Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Togolani Mavura anafafanua ni kwa namna gani lugha ya Kiswahili inaweza kuyafanikisha hayo.Ugonjwa wa Ebola umeendelea kusambaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na idadi ya vifo vya watu imevuka 500 limesema leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO. Mwakilishi wa WHO nchini humo, Dkt. Anne Ancia akizungumza kwa njia ya video kutoka Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri mashariki mwa DRC ambako ni kitovu cha mlipuko huu, amewaambia waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi kwamba kufikia tarehe 4 mwezi huu, serikali ya nchi hiyo ilikuwa imerekodi wagonjwa 1,561, vikiwemo vifo 506. Taarifa njema ni kuwa…“Jaribio la kitabibu lilianza tarehe 2 Julai kwa lengo la kubaini tiba madhubuti dhidi ya ugonjwa huo unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo.”Na asubuhi hii kwa saa za New York Marekani, kwa mara ya 34 tangu mwaka 1992, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limekaa ili kujadili umuhimu wa kumaliza vikwazo vya kiuchumi na kibiashara vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Cuba tangu mwaka 1960. Katika barua ya mwaliko ambayo Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock amewapelekea wajumbe wa Baraza anasema, “ninayo heshima kukujulisha kwamba nimepokea barua iliyoambatanishwa ya tarehe 16 Juni 2026 kutoka kwa Mhe. Bwana Ernesto Soberón Guzmán, Mwakilishi wa Kudumu wa Cuba katika Umoja wa Mataifa, akiomba kuitishwa kwa kikao cha Baraza Kuu ili kujadili ajenda namba 38 yenye kichwa: “Umuhimu wa kukomeshwa kwa vikwazo vya kiuchumi, kibiashara na kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Cuba.”Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!
As the Ebola crisis continues to escalate in the DRC, we must ask: what will it take to end this outbreak? This is one of many questions Chris Dall and Dr. Michael Osterholm will discuss in this week's episode. They'll also cover the flu outbreak at a Texas Air Force base, consider what some newly released CDC emails reveal about the tenure of Health Secretary Robert F. Kennedy Jr, and examine some recent studies on the effectiveness of last season's COVID vaccines. Plus, answering how New World screwworm could affect wildlife and another installment of This Week in Public Health History. Links:Ebola Symptoms in Current Outbreak May Be Milder Than in Previous Ones (New York Times)New CDC Leaders Vow to Boost Skeleton Staff Left After. DOGE Cuts (Bloomberg) Vaccine RCT spreadsheet aims to show the data, dispel myths about vaccines (CIDRAP) Resources for vaccine and public health advocacy: Voices for Vaccines Families Fighting Flu Vaccinate Your Family Shot@Life Medical Reserve Corps Learn more about the Vaccine Integrity Project MORE EPISODES SUPPORT THIS PODCAST Music: "Beauty Flow" Kevin MacLeod (incompetech.com)Licensed under Creative Commons: By Attribution 4.0 License
Two Ebola drugs are due to be trialled in the Democratic Republic of Congo (DRC) as cases of the disease continue to rise in the country. BBC health and science correspondent James Gallagher joins Claudia Hammond to discuss the new clinical trial, and to update on the latest from the outbreak in the DRC and Uganda.Claudia also visits The Royal Society's annual Summer Science Exhibition in London to explore a range of new health research on display.We hear about how salt water is being used to try to make lateral flow tests more sensitive and targeted, with Guido Bolognesi and Nguyen Thi Kim Thanh from University College London. They also explain the role gold nanoparticles play in current lateral flow tests, which rapidly diagnose pregnancy or Covid-19.Claudia also visits a 'microbe zoo' and speaks with Revathy Krishnamurthy from the Quadram Institute of Bioscience in Norwich, England, who explains what phages are, and how they can be harnessed to improve food safety.Finally, we meet Pat Price, visiting professor at Imperial College London, to learn about the high-energy particles that could kill cancer cells, how they could completely change treatment for patients, and how it's hoped lasers can help them accomplish it.Image Credit: Credit: Photo by DIEUDONNE DIROLE/EPA/ShutterstockPresenter: Claudia Hammond Producer: Dan Welsh and Georgia Christie
Around the world, Christians are being persecuted for their faith. A report last Friday indicated 28 Christians were massacred in Nigeria as Islamic militants targeted a village overnight. A week ago today, the ACLJ reported in the Congo, the DRC, Islamic jihadists were conducting a village-by-village extermination of Christians. They report in the last three weeks, 76 Christians were hunted down and slaughtered/beheaded, executed in groups, and dragged from their homes. The ultimatum is: "Deny Christ or die." Earlier this month a story indicated that authorities with the Chinese Communist Party raided the Sunday service of an influential Protestant house church detaining pastors and dozens of members, including children. Also this month in India, it was reported that three Christian families had their homes burned down by a suspected Hindu mob. The matter of persecution is very real and it's happening every day. Todd Nettleton is Vice President for Message for the Voice of the Martyrs–USA and host of The Voice of the Martyrs Radio and joins us for this edition of Crosstalk.
This week, Chris Dall and Dr. Michael Osterholm bring the latest on the Ebola outbreak in the DRC, what the World Cup means from a public health perspective, as well as explain what screwworm is and how it could threaten US livestock. They'll also have updates on the hantavirus outbreak, discuss how the US could likely lose its measles elimination status, and give you an update on COVID and other respiratory infections. Plus, the latest installment of This Week in Public Health History. Links:The ‘diseases of crowds' experts say could be at the World Cup (CIDRAP) Africa CDC head warns Ebola outbreak could be worst ever (CIDRAP) 20 Years of HPV Vaccine Success (CIDRAP) Resources for vaccine and public health advocacy: Voices for Vaccines Families Fighting Flu Vaccinate Your Family Shot@Life Medical Reserve Corps Learn more about the Vaccine Integrity Project MORE EPISODES SUPPORT THIS PODCAST Music: "Beauty Flow" Kevin MacLeod (incompetech.com)Licensed under Creative Commons: By Attribution 4.0 License