POPULARITY
Categories
What's up, folks? This week on the podcast, I catch up with Julia Bee, and wow—so much has changed since we last spoke! Julia and I last spoke in April of 2023 and since then, she has earned her Purple Belt in Brazilian Jiu-Jitsu, a huge milestone in any grappler's journey. But that's not all—she also got engaged, moved to Virginia, and opened her very own BJJ gym, Siren Jiu Jitsu. Julia shares the challenges and lessons she faced while setting up her gym, from visiting countless academies for research to navigating the tricky world of commercial real estate. She also opens up about the creative process behind designing her gym's team rash guards—something she's incredibly proud of. Julia's story is a testament to resilience, growth, and following your passion. Tune in to hear how she balanced major life changes while building a space for others to thrive on the mats. Head over to @badgerjiujitsu on Instagram to follow Julai's story and also check out @sirenjiujitsu and stay tuned for more details as they continue to grow. We want to give a shout out to @johnsfitmeals Head over and use promo code Mahoney10, and you'll get 10% off. Thank you, again, to everyone for listening to and supporting the podcast up to this point. Below, you'll find info on where to find the shows and social media. Tell a friend to tell a friend. Listeners get 20% off their purchase at simpleleaf.com and bjjwholesale.com with the code "BJJWIKI." Go check out @socialmediastrategiesthatwork. The account is operated by friend to the podcast and frequent guest @bjjmomma. Go give a follow and listen to @so_you_like_horror on Instagram and listen to the new episodes on Spotify. https://spoti.fi/3Jqrrxj The show is available on MANY PLATFORMS. FOLLOW US ON SOCIAL MEDIA Facebook.com/offthematspodcast Instagram @offthematspodcast Twitter @offthematspod1 TikTok https://bit.ly/3FTEZAd WRITE INTO THE SHOW Email: offthemats2020@gmail.com
Petikan Kuliah Maghrib terakhir di Surau al-Nur Bandar Baru Bangi pada 28 Julai 2016. Kuliah penuh ada di https://www.youtube.com/watch?v=Rvztka_ewlE
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayokupeleka nchini DRC ambako leo tunamulika mmoja wa raia aliyerejea makazi yake huko Sake, nje kidogo ya mji wa Goma, jimboni Kivu Kaskazini baada ya waasi wa M23 kutangaza kuwa wakimbizi wote wa ndani lazima warejee vijijini kwao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa methali.Ikiwa ni mwezi mmoja sasa tangu waasi wa M23 watwae mji wa Goma jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na kuendelea kutwaa miji mingine huku mamia ya maelfu ya watu wakifurushwa makwao, hii leo mashirika ya Kibinadamu nchini humo yametoa ombi la dola bilioni 2.54 ili kusaidia watu milioni 11 walioathiriwa vibaya na mzozo unaoendelea.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO Dkt. Tedros Ghebreysus ametangaza kuwa ugonjwa wa mpox bado ni tishio la afya ya umma duniani na hivyo nchi lazima ziendelee kuwa makini katika ufuatiliaji, uchunguzi, kinga na matibabu.Na kuelekea Mkutano wa viongozi kuhusu Mifumo ya uzalishaji chakula mwezi Julai mwaka huu huko Addis Ababa, Ethiopia, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed amezungumza hivi karibuni akiwa Nairobi, Kenya kwenye kikao cha maandalizi ambako alitembelea jiko la Giga, mpango wa Chakula kwa ajili ya Elimu, unaoendeshwa na Wawira Njiru, mshindi wa tuzo ya Mtu Maarufu Kenya mwaka 2021.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Audio Siar Keluar Sekejap Episod 143 antaranya membincangkan isu garis panduan bagi umat Islam menghadiri majlis di rumah ibadat atau majlis perayaan penganut agama lain.Keluar Sekejap juga mengulas 28 helikopter yang disewa kerajaan menerusi kontrak bernilai RM16 bilion bagi tempoh 15 tahun serta kenaikan tarif elektrik untuk industri dan mahakaya mulai Julai ini.Bagi isu antarabangsa, Keluar Sekejap turut menyentuh rancangan Presiden Trump untuk mengambil alih Gaza.Bagi yang berminat menaja episod Kena Soal untuk 2025, boleh hubungi +601119191783 atau emel kami di commercial@ksmedia.my.00:00 Intro2:00 Harga Emas Meningkat11:20 Kenaikan Tarif Elektrik30:50 Pajakan 28 Helikopter50:20 Garis Panduan Umat Islam1:06:50 Rancangan Trump-Gaza
Nchini Sudan ambako vita na njanga la njaa vinaendelea kuwa mwiba kwa raia sasa wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaonya juu ya tishio lingine kubwa la milipuko ya magonja ya kipindupindu na homa ya kidingapopo huku mfumo mzima wa afya ukiwa taabani. Asante Assumpta kwa mujibu ya taarifa iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA na lile la afya duniani WHO, hali inazidi kuwa mbaya Sudan ambako katikati ya vita majanga mingine ya kiafya yanazuka.OCHA imeripoti zaidi ya wagonjwa 28,000 wa kipindupindu na vifo vimefikia 836 katika majimbo 11 kati ya 22 Julai na 28 Oktoba mwaka huu huku likihofia kwamba idadi kamili ya wagonjwa huenda ni kubwa zaidi.Pia shirika hilo limeonya juu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wa homa ya kidingapopo na mvua zinazonyesha na kusababisha mafuriko makubwa zimeongeza hatari ya kusambaa kwa magonjwa hayo.Nalo shirika la WHO linasema milipuko hii imezuka wakati mfumo wa huduma ya afya nchini Sudan umzidiwa uwezo, huku hospitali nyingi hazifanyi kazi au zimefungwa kabisa kutokana na usambazaji mdogo wa vifaa na uhaba wa mafuta. Shirika hilo linasema hadi asilimia 80 ya vituo vya afya katika maeneo yenye migogoro ikiwa ni pamoja na Al Jazirah, Kordofan, Darfur na Khartoum aidha havifanyi kazi au vimefungwa.Na linaonya kwamba "Kuporomoka huku kwa mfumo wa afya kunazuia mipango ya chanjo ya watoto, kuongeza kasi ya kuenea kwa magonjwa yanayozuilika, na kuzua wasiwasi kuhusu uwezekano wa milipuko mikubwa zaidi ya magonjwa."Kwa sasa mashirika hayo yamesema majimbo yaliyoathirika zaidi na kipindupindu ni Kassala Gedaref, Al Jazirah, na Northern wakati homa ya kidingapopo imeghubika zaidi majimbo ya Kassala na Khartoum.Pia changamoto nyingine kubwa ya kutoa huduma za afya katikati ya milipuko hii mashirika hayo yanasema ni mashambulizi dhidi ya vituo vya afya ambayo tangu kuanza kwa vita 15 Aprili mwaka jana yamefikia 116 na kusababisha vifo 188 na majeruhi 140.
Selamat kembali! Terima kasih kerana menunggu episod baru sejak minggu lepas. Sebelum bermula, kami harap pendengar dapat sedekahkan Al-Fatihah buat roh allahyarham pak menakan Zul.Zamir dan juga roh orang yang kita cintai yang telah pulang ke negeri abadi. Minggu ini kami bawakan salah satu episod from the vault yang dirakamkan pada awal bulan Julai yang lepas. Berbual dengan pendengar yang lain background dengan kita Ini sebab sesetengah orang tak berkembang walaupun duduk luar negara Gen Z up story untuk pick me up? Macam mana nak pastikan pendirian dan keputusan hidup tak dipengaruhi social media? "Orang tua korang bagi ye korang solo travel?" Sarancak pernah duduk dalam situationship? [MAN ANSWERS] Kenapa lelaki bagi harapan tapi tak nak declare? TTYL sedang bereksplorasi dengan content Youtube yang berbeza dengan podcast, jadi pastikan anda SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT dan SHARE visual content kami supaya lebih banyak visual podcast kami boleh bawakan, terutamanya untuk vertical-vertical educational yang kurang mendapat perhatian berbanding vertical gossip dan cerita panas. **Follow TTYL Socials** Instagram: @ttylpodcast Youtube: TTYL: Talk To You Later Tiktok: @ttyl.podcast X: @TTYLPodcast
Kimbunga Beryl, kilichopiga tarehe 1 Julai 2024, kimewaacha wakazi wa kisiwa kidogo cha Carriacou, Grenada, na athari kubwa . Kufuatia changamoto zinazowakabili wasamaria kutoka maeneo mbalimbali likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) wamewasaidia kurejesha matumaini kama anavyosimulia Anthony St. Hilaire manusura wa kimbunga hicho. Anthony aliyekumbwa na hofu kubwa wakati mawimbi makali ya bahari na upepo wa kimbunga Beryl vilipoanza kusambaratisha nyumba yake anasema hakika hali ilikuwa si hali, kwani akijua fika kulikuwa na hatari ya kupoteza maisha ."Awali, upepo ulianza kuvuma kwa nguvu, tukafunga kila kitu. Kisha kina cha bahari kilianza kupandana mawimbi kugonga madirisha na mlango. Ilibidi tufungue mlango ili kupunguza kasi ya upepo na maji."Anthony anaendelea kueleza jinsi alivyorejea nyumbani baada ya kimbunga, na akakuta kila kitu kimekwenda na maji"Haikuwa rahisi. Rafiki yangu mmoja alinipigia simu na kuniambia kuwa kila kitu kimesafishwa. Nilipofika, karibu nilie. Akaniambia usijali, haya ni mambo ya kidunia. Tumebakiwa na jambo kubwa zaidi ambalo ni uhai."Pamoja na maafa hayo na athari zake IOM ikishirikiana na wadau wengine wamekuwa mstari wa mbele kuhakikisha familia zenye uhitaji mkubwa hazikati tamaa , zinakuwa na matumaini na kuapata misaada haraka iwezekanavyo.
Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN wa Tabaka la Ozoni, na mssada wa kibinadamu kwa wenyeji wa kisiwa kidogo cha Carriacou, Grenada waliokumbwa na kimbunga Beryl. Makal tunakupeleka nchini Nigeria na mashinani nchini Sudan.Pamoja na chapisho lililotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa (WMO) kuangazia ushahidi unaoongezeka kwamba tabaka la ozoni kwa hakika liko mbioni kurejea katika hali nzuri, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake maalumu kwa ajili ya siku ya leo ya Kimataifa ya Uhifadhi wa Tabaka la Ozoni amesisitiza mataifa yote ulimwenguni kuidhinisha na kutekeleza maazimio ya maboresho ya Itifaki ya Montreal yaliyozaa Marekebisho ya Kigali kwa lengo la kupunguza gesi chafuzi zenye nguvu zinazoongeza joto duniani.Kimbunga Beryl, kilichopiga tarehe 1 Julai 2024, kimewaacha wakazi wa kisiwa kidogo cha Carriacou, Grenada, na athari kubwa . Kufuatia changamoto zinazowakabili wasamaria kutoka maeneo mbalimbali likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) wamewasaidia kurejesha matumaini kama anavyosimulia Anthony St. Hilaire manusura wa kimbunga hicho.Makala inatupeleka Maiduguri Nigeria ambako mafuriko yanayoshuhudiwa baada ya bwawa la Alau kupasua kingo zake kutokana na mvua kubwa hayajawahi kuonekana katika miaka ya karibuni. Shirika la Umoja wa Matifa la mpango wa chakula duniani WFP ni mdau Mkubwa katika kufikisha misaada kwa waathirika na mkuu wa ofisi yake ya Maiduguri Emmanuel Bigenimana anaeleza alichokishuhudia.Na katika mashinani Aziza, mama wa watoto wanne kutoka Sudan ambaye alikuwa mhudumu wa kibinadamu na sasa amejikuta mkimbizi nchini Uganda baada ya kukimbia nyumbani kwao Sudan kufuatia mapigano yaliyoanza Aprili 2023. Nyumba yao iliporwa kila kitu na sasa akiwa ukimbizi anasimulia maisha yalivyo tangu ahamishwe na kuwa mkimbizi huku akinufaika na msaada kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania, kulikofanyika mashauriano kuhusu mkutano wa zama zijazo, ambapo baadhi ya washiriki wameeleza walichojadili na walichopendekeza. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno “KILIWAZO”.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X amelaani vikali tukio la jana huko Gaza ambapo vikosi vya anga vya Israel vilishambulia makazi ya wakimbizi wa ndani wapatao 12, 000. Katika shambulio hilo wafanyakazi 6 wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA walifariki dunia na kufanya tukio hilo kuwa lenye vifo vingi zaidi vya wafanyakazi wa UNRWA katika tukio moja.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) na wadau wake, jana Septemba 11 huko Gaza wamefanikiwa kuhamisha wagonjwa 97 na watu wengine 155 wenye majeraha makubwa zaidi. Katika unaotajwa kuwa uhamishaji mkubwa wa wagonjwa tangu ule wa Oktoba 2023 wagonjwa walisafirishwa kupitia Kerem Shalom hadi Uwanja wa Ndege wa Ramon nchini Israel kwa safari ya kuelekea Abu Dhabi, Falme za Kiarabu.Tukisalia huko Gaza, takribani robo moja au watu elfu ishirini na mbili na mia tano ya wale waliojeruhiwa huko Gaza kufikia Julai 23 wanakadiriwa kuwa na majeraha ambayo yatabadilisha kabisa maisha yao na kwa hivyo wanahitaji huduma za uangalizi sasa na hata kwa miaka ijayo. Hiyo ni kwa mujibu wa uchambuzi uliotolewa leo na WHO.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KILIWAZO”.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Vuta nikuvute ikiendelea Gaza kuhusu ufikishaji, usambazaji na utoaji wa chanjo dhidi ya polio wakati huu ambapo makombora yanaendelea kurindima kutoka jeshi la Israeli, hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO, limethibitisha kubainika kwa mgonjwa mmoja wa polio, ikiwa ni miaka 25 tangu ugonjwa huo utokomezwe eneo hilo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Ni kwamba tarehe 20 mwezi uliopita wa Julai, mtoto huyo mwenye umri wa miezi 10 alilazwa katika hospitali ya Al-Aqsa akiwa ana homa kali, anatapika, anahara huku akiwa hana nguvu mwilini, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA katika ripoti yake ya 130 kutolewa tangu vita ianze huko Gaza, ikimulika Gaza, Ukingo wa Magharibi na Yerusalem Mashariki.Tarehe 22 Wizara ya Afya kwenye eneo linalokaliwa la Palestina likathibitisha ugonjwa wa polio virusi namba 2 kwa mtoto huyo ambaye hakuwa amepatiwa chanjo kutoka Deir al-Balah huko Gaza. Siku tatu baadaye yaani tarehe 25 Julai mtoto huyo akapooza sehemu ya chini ya mguu wake. Hivi sasa anaendelea na matibabu na hali yake ni nzuri.Uchunguzi uliofanywa na Kituo cha Marekani cha Kudhibiti na Kuzuia magonjwa, CDC ukaunganisha virusi hivyo na aina ya ile iliyobainika kwenye mazingira huko Gaza mwezi Juni mwaka huu.Sasa WHO imethibitisha kuwa ni polio ambapo Mkurugenzi Mkuu wa UNRWA Philippe Lazzarini kupitia mtandao wa X amesema “inasikitisha sana kwamba mtoto huyo amepooza kutokana na Polio. Polio haitotofautisha kati ya watoto wa Palestina na Israeli. Kuchelewecha sitisho la mapigano kwa misingi ya kiutu kutaongeza hatari ya ugonjwa huo kusambaa zaidi kwa watoto.”Awamu mbili za utoaji chanjo zimepangwa kuanza wiki zijazo na UNRWA imesema wataalamu wake wa afya na kupitia kliniki zake tembezi watasaidia usambazaji kwa ushirikiano na WHO na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. SEMANGAT JENTERA UMNO/BN LUAR BIASA, TERUS FOKUS TAWAN NENGGIRI – DR ASYRAF WAJDI 2. PILIH CALON BN, ANAK MUDA SEDIA BERKHIDMAT UNTUK RAKYAT NENGGIRI – AZALINA 3. PRK NENGGIRI: PILIH UMNO/BN, PELUANG TERBAIK WUJUDKAN KERAJAAN SEIMBANG – FADINI RAHIM 4. PERJALANAN UMNO SABAH JADI INSPIRASI TERUSKAN PERJUANGAN – JEFFERY NOR 5. KUKUHKAN KEBERADAAN UMNO, HARI INI ADALAH PILIHAN TERBAIK – AZLEEN RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. BUKAN CARI POPULARITI TAPI INGIN BERBAKTI PADA RAKYAT NENGGIRI – MOHD AZMAWI 2. PRK NENGGIRI: UMNO/BN TEKAD TEBUS KEKALAHAN PILIHAN RAYA LALU – AHMAD ZAHID 3. UMNO/BN MAINKAN PERANAN TERSENDIRI DALAM KERAJAAN PERPADUAN – TENGKU ZAIHAN 4. UMNO JEMPOL USUL LIMA PERKARA DEMI PERKASA PARTI, MANIFESTASI AGENDA PERJUANGAN – MOHD ZAIDY 5. PAS TIADA KEYAKINAN KEPADA RAKAN GABUNGAN PN – MUSTAPHA RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. PRK NENGGIRI: UMNO BERI KEPERCAYAAN PADA ORANG MUDA, RAIH SOKONGAN – KAMIL IBRAHIM 2. ASAS PERJUANGAN UMNO PERLU KEKAL DALAM SETIAP DIRI AHLI PARTI 3. PIMPINAN DAN AHLI UMNO PERLU TANGKIS PERSEPSI, JELASKAN KEADAAN SEBENAR – AHMAD ZAHID 4. ASEAN MASIH BLOK PENTING DI PERINGKAT ANTARABANGSA – MOHAMAD 5. UMNO/BN SABAH AKAN KEMBALI DOMINAN, PEMIMPIN DAN AHLI PERLU IKHLAS DALAM PERJUANGAN RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. MALAYSIA TERBUKA BINCANG ISU PALESTIN – MOHAMAD HASAN 2. DASAR PELUANG KEDUA BANTU RAKYAT HADAPI INSOLVENSI DAN BANKRAP – AZALINA 3. KERAJAAN SETUJU BAYAR PAMPASAN KEPADA 177 PEMILIK RUMAH, RUMAH KEDAI DI LALUAN LTU 4. PERMUKIMAN KKDW 2024:KOMITMEN SEMUA PIHAK PENTINGMEMPERCEPATKAN TRANSFORMASI DESA 5. PERANAN, FUNGSI GIATMARA PENTING SEJAJAR DENGAN DASAR TVET NEGARA RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. TUDUHAN PN KEDUDUKAN ISLAM, MELAYU/BUMIPUTERA KINI TERANCAM 2. ISU SUMBANGAN SEKOLAH: DR AKMAL GESA KERAJAAN PERTAHAN POLISI SEDIA ADA 3. CONTOHI SEMANGAT CINTAKAN PARTI, JATI DIRI PRESIDEN DALAM MEMPERTAHANKAN UMNO 4. KEJAYAAN HIMPUNAN BN SABAH UBAT KERINDUAN RAKYAT 5. BN BINA POLITIK PERPADUAN SEJAK AWAL PENUBUHAN RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. UBAH BUDAYA POLITIK SABAH– JOHARI 2. UMNO BUKIT BINTANG STRUKTUR GERAK KERJA, JADI HUB PENGUNDI LUAR 3. ‘ANAK BOSSKU JUMPA PN': PERTEMUAN DONGENG ITU TIDAK BERLAKU – NIZAR 4. UMNO TELAH BERUBAH, BUKA BANYAK PELUANG KEPADA ORANG MUDA – DR AKMAL 5. BELANJAWAN JOHOR 2024: KERAJAAN NEGERI KOMITED PASTIKAN RAKYAT DAPAT KEDIAMAN SELESA RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. MENUJU PRU KE-16: AKAR UMBI PERLU GALAS PERLAKSANAAN DASAR PARTI 2. PELANTIKAN YDP DEWAN RAKYAT BAHARU: AZALINA UCAP TAHNIAH KEPADA AWANG BEMEE 3. PRK NENGGIRI: BN-PH SEPAKAT KERJASAMA DARI PELBAGAI SUDUT 4. JANGAN SOMBONG, JANGAN LUPA NILAI PERJUANGAN UMNO 5. KHIDMAT BAKTI UMNO TANPA HENTI, MOHD RAFI HARGAI KEBERSAMAAN KERAJAAN PERPADUAN RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Audio Siar Keluar Sekejap Episod 115 bersama tetamu istimewa, Yang Amat Berhormat Datuk Patinggi Tan Sri (Dr) Abang Haji Abdul Rahman Zohari bin Tun Datuk Abang Haji Openg, Premier Sarawak membincangkan mengenai kedudukan Sarawak dalam Malaysia serta perkembangan terkini tuntutan Perjanjian Malaysia 1963 (MA63). Episod bersempena Hari Sarawak yang disambut pada 22 Julai setiap tahun ini turut menyentuh mengenai misi dan visi serta hala tuju pembangunan negeri Sarawak selain turut melihat masa hadapan politik Sarawak. Bagi yang berminat menaja episod Keluar Sekejap untuk 2024, boleh hubungi +601119191783 atau emel kami di tajaan.ks@gmail.com.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. ‘TIADA CAMPUR TANGAN PEMIMPIN MALAYA, SABAH HANYA UNTUK ANAK SABAH' – AHMAD ZAHID 2. BN SABAH MARA KEHADAPAN, TEKAD TAWAN HATI RAKYAT 3. TIADA PARTI KOMPONEN, FRIENDS OF BN DIPINGGIRKAN – AHMAD ZAHID 4. UMNO MELAKA, ADUN REMBIA MASING-MASING ADA HAK PREROGATIF – AZALINA 5. PASUKAN KHAS GABUNG 4 KEMENTERIAN DITUBUH KAJI UNDANG-UNDANG BANTERAS BULI SIBER RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Dalam episod kali ini, kami memetik isu-isu yang hangat dalam bulan Julai dari laporan berita arus perdana dan digital. Aku dihempap buah durian Siapa kita nak percaya kalau 'mereka' tidak boleh dipercayai? Cytro bangga didenda RM100 Baju Olimpik Mongolia cantik! Berenang di sungai paling kotor di Paris Don't forget to leave your comment in the comment section! **Follows TTYL Socials** Instagram: @ttylpodcast Youtube: TTYL: Talk To You Later Tiktok: @ttyl.podcast X: @TTYLPodcast
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. MOHD AZMAWI FIKRI CALON BN UNTUK PRK NENGGIRI 2. PELAN PERAK SEJAHTERA 2030 MULA MEMBUAHKAN HASIL KEJAYAAN 3. UMNO SABAH PERLU TEBUS MARUAH, RAMPAS KEMBALI KERUSI– BUNG MOKTAR 4. HIMPUNAN BN SABAH: KEHADIRAN PM BUKAN UNTUK PECAH BELAH 5. MAJLIS PEMBANGUNAN BAKAT JOHOR (JTDC) REALISASIKAN JOHOR MAJU 2030 RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. AHMAD ZAHID SEDIA BANTU PESERTA TUISYEN RAKYAT RASAI ALAM UNIVERSITI 2. APLIKASI TEKNOLOGI CABARAN GERAK KERJA NARATIF PENERANGAN HARI INI – AZALINA 3. PUTERI UMNO KANGAR BAWA USUL ISU PEDOFIL 4. UMNO SABAH AKAN METERAI PERJANJIAN BERSAMA PARTI GABUNGAN LAIN 5. PINDAAN AKTA TIMBANG TARA SUSULAN MALAYSIA MANGSA TUNTUTAN SULU RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
1. DATA PERIBADI RAKYAT HARUS DILINDUNGI – JALALUDDIN ALIAS 2. BUNG MOKTAR INGATKAN UMNO SABAH PRN SEMAKIN HAMPIR 3. BN MAMPU RAMPAS KEMBALI KERUSI DUN NENGGIRI – MOHAMAD 4. PERSEMPADANAN DIMUKTAMAD, 33 MOU DIMETERAI DENGAN NEGARA JIRAN 5. KERAJAAN PERTIMBANG PINDAAN KANUN KESEKSAAN, PERUNTUKAN SPESIFIK UNTUK KESALAHAN BULI SIBER RANGKUMAN 5 BERITA JAM 5 PETANG SETIAP HARI
Polisi wadai baba ambaye amefunguliwa mashtaka ya mauaji ya watoto wake watatu, inadaiwa walifunga milango kuwazuia watu kuondoka ndani ya nyumba iliyo kuwa iki ungua katika kitongoji cha Lalor Park mjini Sydney.
Jumuiya katika maeneo ya magharibi Melbourne, zime ambiwa kuepuka kiwanda cha kemikali ambako moto ulituma moshi wenye sumu angani mjini humo baada ya wazima moto kukabiliana na moto huo usiku kutwa.
Kama wewe ni mkaaji wa Australia kwa madhumuni ya ushuru, kuanzia Julai 1, ambayo ni mwanzo wa mwaka wa fedha, lazima uweke wazi mapato yote uliyopata katika mwaka uliopita wa fedha, dhidi ya makato yako ya kodi.
Wakaaji wa Alice Springs wame amka baada ya usiku wa kwanza wa amri ya kuto toka nje ambayo ili wekwa kwa ajili yakupunguza uhalifu.
Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema muda ambao Seneta Fatima Payman amefanya tangazo lake lakujiuzulu kutoka chama cha Labor ni swala linalo mhusu.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Ma milioni yawa Australia watapata nyongeza ya asilimia 3.75 kwa mshahara wao.
Serikali ya shirikisho inakana ukosefu wa ukuaji wa tija kwa zamu yake ambayo imewagharimu wafanyakazi wapato la chini nyongeza yajuu zaidi ya mshahara. Tume ya Haki ya Kazi ime inua kima cha chini cha mishahara na tuzo kwa asilimia 3.75 itakayo anza Julai 1