Podcasts about waislamu

  • 6PODCASTS
  • 13EPISODES
  • 19mAVG DURATION
  • ?INFREQUENT EPISODES
  • Dec 17, 2024LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about waislamu

Latest podcast episodes about waislamu

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kwanini Wakatoliki wanasali Jumapili?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 17, 2024 25:59


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali hili, sisi Wakatoliki tunasali siku ya Jumapili, Wasabato wanasali siku ya Jumamosi na Waislamu wanasali siku ya Ijumaa, Je, siku ya kusali ni ipi? L'articolo Je, unafahamu kwanini Wakatoliki wanasali Jumapili? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu jumapili waislamu
Alfajiri - Voice of America
Trump aahidi akichaguliwa atarejesha marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi - Mei 03, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later May 3, 2024 30:00


Trump aahidi akichaguliwa atarejesha marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi

Alfajiri - Voice of America
Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu - Machi 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 11, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Historia ya Vita ya Wakristo dhidi ya Waislamu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 9, 2023 55:02


Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba.

SBS Swahili - SBS Swahili
Sherehe za Eid za ashiria mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadan

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 2, 2022 5:51


Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.

ramadan mwezi sherehe waislamu
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waislamu waadhimisha Sikukuu ya EID AL ADHA

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 24, 2021 9:35


Waislamu kote duniania, wanaadhimisha sikukuu ya Eid Al Adha, katikati ya janga la Covid 19.Sherehe zinaendeleaje hapo ulipo ?

Habari za UN
Mjini Bangui, mradi wa MINUSCA waleta maridhiano baina ya waislamu na wakristo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 7, 2020 1:47


Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu nchini humo, MINUSCA umetekeleza mradi wa maji na kusaidia kuleta utangamano baina ya jamii kwenye manispaa moja ya mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.

SBS Swahili - SBS Swahili
Coronavirus yazua changamoto kwa sherehe za Eid

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 24, 2020 10:12


Waislamu kote nchini Australia wameshiriki katika sherehe zaki historia za Eid.

SBS Swahili - SBS Swahili
Sherehe za Eid wakati wa janga la Coronavirus

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 24, 2020 3:53


Waislamu kote nchini Australia wameadhimisha Eid, ila wakati bado kuna vizuizi vya Covid-19, maadhimisho ya Eid yatakuwa tofauti kuliko ya miaka ya nyuma.

SBS Swahili - SBS Swahili
Eid El-Fitr debate continues for 1.6 billion Muslims - Mjadala wa Eid El-Fitr unaendelea kwa Waislam 1.6 bilioni

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 11, 2019 6:17


A debate of tradition versus technology is simmering in Australia's Muslim community on the eve of Eid El-Fitr.The religious holiday celebrated by 1.6 billion Muslims marks the end of Ramadan, but some scholars are split on exactly when that day should be. - Mjadala wa jadi dhidi ya teknolojia ni sawa na jumuiya ya Waislamu Australia wakati wa siku ya Eid El-Fitr.Sikukuu ya kidini iliyoadhimishwa na Waislamu 1.6 bilioni, ilihitimisha mfungo wa Ramadhani, lakini wasomi wengine wanagawanyika hasa kuhusu siku gani inapaswa kusherehekewa sikukuu.

SBS Swahili - SBS Swahili
How do you break your fast during Ramadan? - Huwa unafuturu vipi wakati wa Ramadhani?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 13, 2019 14:10


Muslims in Australia and around the world are observing the holy month of Ramadan. - Waislamu nchini Tanzania na duniani kote, wanashiriki katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Ramadan begins - but security is beefed up - Ramadan yaanza- na ulinzi waimarishwa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 7, 2019 12:02


Muslims around the world are currently observing Ramadan, a holy month in the Muslim calendar. - Waislamu duniani kote wame anza mafungo, katika mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ni mwezi muhimu katika kalenda ya waislamu.

Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu
Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu

Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu

Play Episode Listen Later Mar 9, 2015 51:08


Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu