POPULARITY
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali hili, sisi Wakatoliki tunasali siku ya Jumapili, Wasabato wanasali siku ya Jumamosi na Waislamu wanasali siku ya Ijumaa, Je, siku ya kusali ni ipi? L'articolo Je, unafahamu kwanini Wakatoliki wanasali Jumapili? proviene da Radio Maria.
Trump aahidi akichaguliwa atarejesha marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi & Msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki Bukoba.
Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.
Waislamu kote duniania, wanaadhimisha sikukuu ya Eid Al Adha, katikati ya janga la Covid 19.Sherehe zinaendeleaje hapo ulipo ?
Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu nchini humo, MINUSCA umetekeleza mradi wa maji na kusaidia kuleta utangamano baina ya jamii kwenye manispaa moja ya mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.
Waislamu kote nchini Australia wameshiriki katika sherehe zaki historia za Eid.
Waislamu kote nchini Australia wameadhimisha Eid, ila wakati bado kuna vizuizi vya Covid-19, maadhimisho ya Eid yatakuwa tofauti kuliko ya miaka ya nyuma.
A debate of tradition versus technology is simmering in Australia's Muslim community on the eve of Eid El-Fitr.The religious holiday celebrated by 1.6 billion Muslims marks the end of Ramadan, but some scholars are split on exactly when that day should be. - Mjadala wa jadi dhidi ya teknolojia ni sawa na jumuiya ya Waislamu Australia wakati wa siku ya Eid El-Fitr.Sikukuu ya kidini iliyoadhimishwa na Waislamu 1.6 bilioni, ilihitimisha mfungo wa Ramadhani, lakini wasomi wengine wanagawanyika hasa kuhusu siku gani inapaswa kusherehekewa sikukuu.
Muslims in Australia and around the world are observing the holy month of Ramadan. - Waislamu nchini Tanzania na duniani kote, wanashiriki katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Muslims around the world are currently observing Ramadan, a holy month in the Muslim calendar. - Waislamu duniani kote wame anza mafungo, katika mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ni mwezi muhimu katika kalenda ya waislamu.
Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu
Wajibu Wa Kumtii Mtume S.A.W, Na Kulazimika Kuwa Katika Jamaa Ya Waislamu