Podcasts about karibu

  • 126PODCASTS
  • 2,414EPISODES
  • 22mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Aug 7, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about karibu

Show all podcasts related to karibu

Latest podcast episodes about karibu

Radio Maria Tanzania
Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 27:33


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linahoji hivi; Kanisa linahimiza kuwasaidia watu masikini, sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati mimi mwenyewe ni masikini? Na je Matajiri hawahitaji kusaidiwa?  Swali limejibiwa na Frateri Peter Peter kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma.   Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Zifahamu Sifa za wazazi wawajibikaji katika kutoa malezi kwa watoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 6, 2025 44:25


Karibu msikilizaji mpendwa usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagladness Mrumah, katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia kwa undani juu ya mada hiyo. Mimi ni Happiness Mlewa ninakualika kwa niaba yake L'articolo Zifahamu Sifa za wazazi wawajibikaji katika kutoa malezi kwa watoto proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Zifahamu chunguzi na tathimini katika utegemezi wa matumizi ya dawa za kulevya

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 6, 2025 54:33


Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Uraibu, ambacho huandaliwa na kuletwa kwetu na Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, katika kipindi hiki Padre Matanda amezungumzia juu ya “Uchunguzi na tathimini katika utegemezi wa matumizi ya dawa za kulevya”. Karibu kwa Elimu zaidi. L'articolo Zifahamu chunguzi na tathimini katika utegemezi wa matumizi ya dawa za kulevya proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu fadhila ya msamaha katika Maandiko Matakatifu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 6, 2025 30:52


Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frater Justine Galus Mwanaka, Kutoka Jimbo Katoliki Iringa, Mseminari katika Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama ambapo anatufundisha juu ya fadhila ya msamaha, ni kupitia kipindi cha Mbiu ya Heri. Karibu sana. L'articolo Ifahamu fadhila ya msamaha katika Maandiko Matakatifu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu Ishara ya njia ya msalaba ilifundishwa na nani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 30:04


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, swali linahoji hivi; Sala ya Baba yetu ilifundishwa na Bwana wetu Yesu Kristo, Je, ishara ya njia ya msalaba katika Kanisa ilifundishwa na nani? Swali limeulizwa na Laurent Michael kutoka Jimbo Katoliki la Sumbawanga Na limejibiwa na Frateri Daudi Fungameza kutoka Parokia ya ya Songwe Jimbo Kuu Katoliki […] L'articolo Je, unafahamu Ishara ya njia ya msalaba ilifundishwa na nani? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 53:20


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anafundisha juu ya heshima kwa Kanisa Kuu la Bikira Maria Mkuu.  Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 20:54


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, maswali yatakayojibiwa yameulizwa na Judith kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam akihoji hivi;  Kwanini kwa Wakristo mtu akifariki wanawekewa Msalaba kwenye kaburi?  Naomba kuelewa, maana ya nadhiri, na pia inaweza kuondolewa na mtu au na Mungu? Yanajibiwa na Frateri Barnabasi Myushi, kutoka Parokia Bikira Maria Mpalizwa mbinguni […] L'articolo Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Maisha ni Safari (Richard Sehemu ya 1)

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 54:45


Karibu uungane na Bwana Richard katika kipindi cha Maisha ni Safari akielezea  safari ya maisha yake. Mimi ni Mtangazaji wako Martin Joseph. L'articolo Maisha ni Safari (Richard Sehemu ya 1) proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Maisha ni Safari (Richard sehemu ya 2)

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 57:38


Karibu uungane na Bwana Richard  katika kipindi cha maisha ni safari akielezea akielezea safari ya maisha yake hii ni sehemu ya 2.  Mtangazaji wako ni mimi Martin Joseph. L'articolo Maisha ni Safari (Richard sehemu ya 2) proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni kwa namna gani Familia inakua chanzo cha ulemavu kwa mtoto?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 47:26


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, ambapo Sista Angela Jeremiah, Mkurugenzi Kituo cha Utengemao (Mazoezi tiba)cha Antonia Verna – Kawe jijini Dar es Salaam anatoa elimu juu ya Familia kama chanzo cha ulemavu. L'articolo Je, ni kwa namna gani Familia inakua chanzo cha ulemavu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 42:36


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wowkovu.   Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu  L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, madhehebu mengine ambao hawabatizwi hawawezi kuokoka?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 28, 2025 28:48


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linalojibiwa Leo linauliza hivi; Bwana wetu Yesu Kristo alisema, atakayenikiri na kubatizwa kwa jina langu, ndiye atakayeokoka. Je kwa madhehebu au dini nyingine mathalani ndugu zetu waislamu ambao huwa hawabatizwi hawawezi kuokoka? Majibu yanatolewa na Frateri Renatus Kazimoto anayefanya utume Parokia ya Bikira Maria msaada wa Wakristo  […] L'articolo Je, madhehebu mengine ambao hawabatizwi hawawezi kuokoka? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 28, 2025 30:33


Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Mhshamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba leo anatuongoza kuangazia maisha ya Mtakatifu Martha.   Mtangazji wako ni Beatrice Audax  L'articolo Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Yohane Mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au ni mwingine?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 26, 2025 21:35


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tuungane na Frateri Benendict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (RUCU) Jimbo Katoliki Iringa anajibu swali kutoka kwa msikilizaji ameuliza hivi.   Je, Yohane mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au mi Yohane mwingine?   Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je, Yohane Mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au ni mwingine? proviene da Radio Maria.

yule radio maria karibu injili chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 26, 2025 21:42


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam  Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani. L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu thamani ya ya kura yako katika kipindi cha uchaguzi Mkuu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 26, 2025 37:54


Karibu katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Joseph Kasongwa Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ambapo leo tunaangazia juu ya Thamani ya kura wakati wa uchaguzi Mkuu. Studio Kuu Mikocheni mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu nikishirikiana na Geofrey Rweyunga kutpka studio ndogo Jijini […] L'articolo Je, unafahamu thamani ya ya kura yako katika kipindi cha uchaguzi Mkuu? proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu kuhusu kutoweka kwa sherehe za kitamaduni

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jul 26, 2025 20:01


Karibu katika Makala yetu ya leo Changu Chako Chako Changu, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumzia  kuhusu kutoweka kwa sherehe za harusi za kitamaduni na ambazo zinazidi kuwa nadra katika mataifa mbalimbali hususan Afrika Mashariki, ambapo sasa baadhi wanaonya kuhusu upotevu wa taratibu za kitamaduni.

Radio Maria Tanzania
Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 24, 2025 53:45


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anafundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya mada ya “Damu Azizi ya Yesu nguvu ya utakaso.” L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 55:58


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katolikia Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya “Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano dhidi ya yule mwangamizi. Karibu L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je wafahamu nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 32:58


Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frateri Theodosia Ng'etwa wa Jimbo Katoliki Iringa, ambaye ni Mseminari wa Seminari Kuu ya Kitaifa ya familia Takatifu iliyopo Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, katika kipindi Cha Mbiu ya Heri, ambapo Leo anazungumzia juu ya Nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji. Karibu sana. L'articolo Je wafahamu nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu vizuizi vya ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 56:09


Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Jimbo kuu Katoliki Mwanza anatuelimisha juu ya Vizuizi vya Ndoa Takatifu ya Kanisa Katoliki.   L'articolo Je, unafahamu vizuizi vya ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 25:45


Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Parokia ya Bikira  Maria Imakulatha Pande Msakuzi, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akizungumzia juu ya kujenga urafiki na Yesu.  L'articolo Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 55:12


Karibu uungane nami Joyce Jonatus  katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai  wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 57:38


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, kipindi hiki hukupatia nafasi ya kupata mafundisho kutoka kwa Baba zetu wa kiroho yenye lengo la kutudumisha katika imani ya kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu akiangazia Damu Azizi lugha ya […] L'articolo Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je unafahamu utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 53:23


Karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji  ni Padre Ladislaus Mgaya, mtaalamu na mwanasheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anafundisha kuhusu Utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki ambayo ni sheria namba 1108 – 1123. Mtanagazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unafahamu utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 25:01


Karibu katika kipindi cha maswali yahusuyo imani, kipindi kinaandaliwa na waseminari kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea  Frateri Yakobo Malemu Chagu kutoka Parokia ya Bukundi, Jimbo Katoliki Shinyanga anajibu swali linalohoji hivi; Kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? limeulizwa na Calvin Jeremiah Mponzi kutoka Jimbo Katoliki Shinyanga . Mtangazaji […] L'articolo Je, kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unaifahamu thamani ya ukombozi wetu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 54:33


Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania anazungumza juu ya thamani ya ukombozi wetu. Mimi ni Mtangazaji wako Joyce Jonatus. L'articolo Je, unaifahamu thamani ya ukombozi wetu? proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Historia ya uundwaji wa kikosi cha uundwaji wa kulinda amani nchini DRC Monusco

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 19:31


Ali Bilali nashikilia usukani hapa kukuletea Makala Changu Chako Chako Changu, ambapo leo tunasafiri pamoja Jumapili ya leo hadi kule DRC kuzungumzia Historia ya uundwaji ya tume ya Umoja wa Mataifa nchini DRC na Kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Aslay kutoka nchini Tanzania, Karibu ama Bienvenue.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 19, 2025 53:02


Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo  Padre Titus Amigu,  Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT)  Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa.   L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 51:01


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu ujumbe mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 56:38


Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 38:59


Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia  mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa.   Karibu sana Mzazi mwenzangu. L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 25:20


Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio. L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 13:59


“Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina. L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Maadhimisho ya miaka 15 ya RFI Kiswahili na siku ya Kimataifa ya Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jul 6, 2025 19:54


Ni jumapili nyingine tunakutana mimi na wewe mskilizaji katika makaka haya Changu Chako Chako Changu, ambayo leo ni maalum kabisa, kuhusu maadhimisho ya miaka 15 tangu kuanza kwa matangazo ya idhaa ya kiswahili ya radio France Internationale RFI. Julai 5 mwaka 2010 huko jijini Dar es salaam nchini Tanzania, tarehe ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili duniani.  Mimi ni Ali Bilali. Bienvenue, ama Karibu

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 46:39


Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi,  leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 54:48


Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini.  L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu matumaini katika utoaji?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 55:22


Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi, Studio nipo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Matumaini katika Kutoa. L'articolo Je, unafahamu matumaini katika utoaji? proviene da Radio Maria.

Habari RFI-Ki
Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 2, 2025 10:05


Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.

Habari RFI-Ki
Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 2, 2025 10:05


Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.

Radio Maria Tanzania
Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 52:44


Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 31:40


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya […] L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 54:27


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu.  Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 45:32


Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Solar Winds - Upepo wa Jua: Siri Kubwa ya Jua Inayoathiri Dunia Yetu!

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later May 25, 2025 21:39


Je, unajua kuwa kila sekunde Jua hutuma mto wa chembe hatari kuelekea Dunia? Karibu katika makala haya ya kuvutia yanayochunguza “Upepo wa Jua” — jambo la kushangaza ambalo linaweza kusababisha aurora nzuri, lakini pia kuharibu mitambo ya umeme duniani!

Habari za UN
15 Aprili 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. 

Sincerely Accra
Karibu!

Sincerely Accra

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 99:19


Discover more Sincerely Accra!Touchdown Nairobi! Sincerely Accra links up with Tonio Kibz from The Sandwich podcast for a fun conversation on life as a young person in Nairobi vs Accra. Grab a snack, cos you know it's about to be nothing short of a good time! Press play!Opening MusicOshe - Reynolds The Gentleman ft. Fra!Music BridgesMeka Ho Bi Woka Ho Bi - Pure Akan One Bebe - OliveTheBoy Body - Black Sherif Arizona - Cina Soul ft. Mr. Drew EX - AbideenCheat on You - Kidi ft. Gyakie Music CloserMariana - Moffy ft. Notse A GCR Production - Africa's Premiere Podcast Network

Men. Men. Men. - The Podcast -

Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari

Habari za UN
27 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:37


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"

Habari za UN
METHALI: NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 1:06


Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.