POPULARITY
Categories
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wowkovu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, ambapo Sista Angela Jeremiah, Mkurugenzi Kituo cha Utengemao (Mazoezi tiba)cha Antonia Verna – Kawe jijini Dar es Salaam anatoa elimu juu ya Familia kama chanzo cha ulemavu. L'articolo Je, ni kwa namna gani Familia inakua chanzo cha ulemavu kwa mtoto? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Mhshamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba leo anatuongoza kuangazia maisha ya Mtakatifu Martha. Mtangazji wako ni Beatrice Audax L'articolo Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linalojibiwa Leo linauliza hivi; Bwana wetu Yesu Kristo alisema, atakayenikiri na kubatizwa kwa jina langu, ndiye atakayeokoka. Je kwa madhehebu au dini nyingine mathalani ndugu zetu waislamu ambao huwa hawabatizwi hawawezi kuokoka? Majibu yanatolewa na Frateri Renatus Kazimoto anayefanya utume Parokia ya Bikira Maria msaada wa Wakristo […] L'articolo Je, madhehebu mengine ambao hawabatizwi hawawezi kuokoka? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani. L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Joseph Kasongwa Mwaiswelo, Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) ambapo leo tunaangazia juu ya Thamani ya kura wakati wa uchaguzi Mkuu. Studio Kuu Mikocheni mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu nikishirikiana na Geofrey Rweyunga kutpka studio ndogo Jijini […] L'articolo Je, unafahamu thamani ya ya kura yako katika kipindi cha uchaguzi Mkuu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tuungane na Frateri Benendict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha (RUCU) Jimbo Katoliki Iringa anajibu swali kutoka kwa msikilizaji ameuliza hivi. Je, Yohane mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au mi Yohane mwingine? Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je, Yohane Mbatizaji ndiye yule aliyeandika Injili ya Yohane au ni mwingine? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Makala yetu ya leo Changu Chako Chako Changu, mtangazaji wako Ali Bilali anazungumzia kuhusu kutoweka kwa sherehe za harusi za kitamaduni na ambazo zinazidi kuwa nadra katika mataifa mbalimbali hususan Afrika Mashariki, ambapo sasa baadhi wanaonya kuhusu upotevu wa taratibu za kitamaduni.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anafundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya mada ya “Damu Azizi ya Yesu nguvu ya utakaso.” L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso? proviene da Radio Maria.
Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Parokia ya Bikira Maria Imakulatha Pande Msakuzi, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akizungumzia juu ya kujenga urafiki na Yesu. L'articolo Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Jimbo kuu Katoliki Mwanza anatuelimisha juu ya Vizuizi vya Ndoa Takatifu ya Kanisa Katoliki. L'articolo Je, unafahamu vizuizi vya ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane na Frateri Theodosia Ng'etwa wa Jimbo Katoliki Iringa, ambaye ni Mseminari wa Seminari Kuu ya Kitaifa ya familia Takatifu iliyopo Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, katika kipindi Cha Mbiu ya Heri, ambapo Leo anazungumzia juu ya Nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji. Karibu sana. L'articolo Je wafahamu nafasi ya mwanadamu katika kazi ya uumbaji? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katolikia Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya “Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano dhidi ya yule mwangamizi. Karibu L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, kipindi hiki hukupatia nafasi ya kupata mafundisho kutoka kwa Baba zetu wa kiroho yenye lengo la kutudumisha katika imani ya kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu akiangazia Damu Azizi lugha ya […] L'articolo Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano? proviene da Radio Maria.
Ali Bilali nashikilia usukani hapa kukuletea Makala Changu Chako Chako Changu, ambapo leo tunasafiri pamoja Jumapili ya leo hadi kule DRC kuzungumzia Historia ya uundwaji ya tume ya Umoja wa Mataifa nchini DRC na Kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Aslay kutoka nchini Tanzania, Karibu ama Bienvenue.
Karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, mtaalamu na mwanasheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, anafundisha kuhusu Utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki ambayo ni sheria namba 1108 – 1123. Mtanagazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unafahamu utaratibu wa kufunga ndoa za kikatoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha maswali yahusuyo imani, kipindi kinaandaliwa na waseminari kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea Frateri Yakobo Malemu Chagu kutoka Parokia ya Bukundi, Jimbo Katoliki Shinyanga anajibu swali linalohoji hivi; Kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? limeulizwa na Calvin Jeremiah Mponzi kutoka Jimbo Katoliki Shinyanga . Mtangazaji […] L'articolo Je, kipindi cha Pasaka kinadumu kwa siku ngapi? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania anazungumza juu ya thamani ya ukombozi wetu. Mimi ni Mtangazaji wako Joyce Jonatus. L'articolo Je, unaifahamu thamani ya ukombozi wetu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa. L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.
“Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina. L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio. L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.
Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa. Karibu sana Mzazi mwenzangu. L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.
Ni jumapili nyingine tunakutana mimi na wewe mskilizaji katika makaka haya Changu Chako Chako Changu, ambayo leo ni maalum kabisa, kuhusu maadhimisho ya miaka 15 tangu kuanza kwa matangazo ya idhaa ya kiswahili ya radio France Internationale RFI. Julai 5 mwaka 2010 huko jijini Dar es salaam nchini Tanzania, tarehe ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya lugha ya Kiswahili duniani. Mimi ni Ali Bilali. Bienvenue, ama Karibu
Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini. L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Shirikishi, Studio nipo na Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Matumaini katika Kutoa. L'articolo Je, unafahamu matumaini katika utoaji? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi, leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.
Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.
Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya […] L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.
Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu. Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na MkurugenzI wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu, Kukualika kwa niaba yake, mimi ni Esther Magai Hangu L'articolo Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.
Leo katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Padre Domini Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anatupatia mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu. Karibu ujichotee mafundisho ya kina kupitia kipindi hiki nami ni mtangazaji wa Happiness Mlewa. L'articolo Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Makala yetu ya Leo Jumapili ambayo ni maalum kabisa kuhusu historia ya siku ya Muziki dunia ambayo huadhumishwa kila ifikapo Juni 21. Uko nami Ali Bilali mtangazaji wqko asiependa makuu Bienvenue ama Karibu.
Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu. L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya mataji ya Mama Bikira Maria, akijikita katika taji la usafi wa moyo. L'articolo Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Je, unajua kuwa kila sekunde Jua hutuma mto wa chembe hatari kuelekea Dunia? Karibu katika makala haya ya kuvutia yanayochunguza “Upepo wa Jua” — jambo la kushangaza ambalo linaweza kusababisha aurora nzuri, lakini pia kuharibu mitambo ya umeme duniani!
Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Discover more Sincerely Accra!Touchdown Nairobi! Sincerely Accra links up with Tonio Kibz from The Sandwich podcast for a fun conversation on life as a young person in Nairobi vs Accra. Grab a snack, cos you know it's about to be nothing short of a good time! Press play!Opening MusicOshe - Reynolds The Gentleman ft. Fra!Music BridgesMeka Ho Bi Woka Ho Bi - Pure Akan One Bebe - OliveTheBoy Body - Black Sherif Arizona - Cina Soul ft. Mr. Drew EX - AbideenCheat on You - Kidi ft. Gyakie Music CloserMariana - Moffy ft. Notse A GCR Production - Africa's Premiere Podcast Network
Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari
Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"
Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.