Podcasts about karibu

  • 126PODCASTS
  • 2,374EPISODES
  • 22mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Jun 27, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about karibu

Show all podcasts related to karibu

Latest podcast episodes about karibu

Radio Maria Tanzania
Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 52:44


Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 31:40


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, Frateri Likana Nyagabona ndiye anayetuunganisha na Mafrateri wenzake kutolea ufafanuzi kwa maswali yaliyoulizwa na msikilizaji, moja ya maswali hayo ni kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya […] L'articolo Kwanini Papa huitwa Baba Mtakatifu angali yu hai? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 45:32


Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 54:27


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu.  Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 58:51


Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na MkurugenzI wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu,  Kukualika kwa niaba yake, mimi ni Esther Magai Hangu L'articolo Ekaristi Takatifu ni kilele cha uzima wetu proviene da Radio Maria.

pp radio maria karibu mkurugenzi ekaristi
Radio Maria Tanzania
Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 51:30


Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 23, 2025 56:42


Leo katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Padre Domini Mavula C.PP.S , Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anatupatia mafundisho juu ya Ekaristi Takatifu. Karibu ujichotee mafundisho ya kina kupitia kipindi hiki nami ni mtangazaji wa Happiness Mlewa. L'articolo Karibu ujifunze thamani ya Ekarist Takatifu katika maisha yako ya Kikristo. proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako maalum kuhusu historia ya siku ya muziki duniani Juni 22 2025

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jun 22, 2025 20:03


Karibu katika Makala yetu ya Leo Jumapili ambayo ni maalum kabisa kuhusu historia ya siku ya Muziki dunia ambayo huadhumishwa kila ifikapo Juni 21. Uko nami Ali Bilali mtangazaji wqko asiependa makuu Bienvenue ama Karibu.

Radio Maria Tanzania
Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 54:34


Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 28:47


Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 52:47


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 43:32


Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi. Mtangazaji  ni Esther Magai Hangu. L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 50:59


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya mataji ya Mama Bikira Maria, akijikita katika taji la usafi wa moyo. L'articolo Je, unafahamu mataji ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 55:44


Ni siku nyingine, karibu uungane nami Happiness Mlewa, kusikiliza mafundisho kupitia kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, anaendelea na mafundisho kupitia mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, na leo tukilitazama taji la tisa (9) ambalo ni Fadhila ya Huruma. Karibu upokee mafundisho haya. L'articolo Unafahamu kuwa fadhila ya Huruma ni fadhila aliyojaliwa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 24:46


Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza,  kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu. L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 58:08


Karibu sana msikilizaji  kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe.  Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”. L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 28:05


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu maswali haya, Nini maana ya ubatizo? kwanini ubatizo usiwe wa kujirudia, ninaomba kujua uhalali wa ubatizo wa watoto wachanga? na Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anaenda wapi? L'articolo Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 45:24


Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki,  ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo,  Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki. L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 55:33


Karibu uungane nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu, katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kutoa mafundisho ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria, anaangazia taji la sita fadhila ya utii. L'articolo Je, unafahamu fadhila ya utii la Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 53:32


Karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji  ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugrnzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, ambapo  anazungumzia juu ya Mataji kumi  (10) ya Mama Bikira Maria, akijikita zaidi katika mafundisho  kupitia taji la Tano (5) la Fadhila ya Moyo wa Ibada. L'articolo Ufahamu Moyo wa Ibada katika mataji kumi ya Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 48:51


Karibu usikilize kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, nami ni Mtangazaji wako Happiness Mlewa,  nipo na mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania,  akiendelea na mafundisho juu ya Mataji kumi (10) ya Mama Bikira Maria,  tukiangazia taji la nane (8), la Fadhila ya Subira (Unyenyekevu). Karibu sana. L'articolo Je! Unafahamu kuwa Mama Bikira Maria alikuwa na Subira (Uvumilivu)? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 54:22


Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya mataji kumi ya Bikira Maria, anaangazia taji la saba fadhila ya ufukara. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic, mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu. L'articolo Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

Siha Njema
Uhusiano wa karibu kati ya matatizo ya tezi koo na afya yako ya akili

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 10:00


Matatizo ya tezi koo yanaweza kujidhirisha kwa  dalili kama vile msongo wa mawazo,kukosa usingizi,kiwewe na mtu kukosa ari ya chochote maishani Katika makala haya ,tunamtambulisha Daktari Violet Oketch anayesimamia kitengo cha afya ya akili katika hospitali  kuu ya rufaa nchini Kenya ya Kenyatta. Daktari Violet anafafanua ufungumano kati ya matatizo ya tezi koo na matatizo ya afya ya akili. Aidha afisa mkuu mtendaji wa kikundi cha kuhamasisha kuhusu matatizo ya tezi koo,Thyroid  Disease Awareness Kenya Foundation ,TDAK,  Sarah Katulle anaelezea umuhimu wa wagonjwa kuwa kwenye kundi ambapo wanaweza kushirikishana kuhusu mbinu mbadala ya kuishi na matatizo hayo kando na matibabu. Kundi hilo linawasaidia wagonjwa kupata matibabu kwa urahisi kwa kushirikiana na madaktari bingwa ,mahabara maalum na dawa sahihi. Aidha TDAK ili kuwasaidia wagonjwa hao kuishi maisha ya kawaida wakiwa kazini ,inawaandikia barua ambazo zinawasilishwa kwa maajiri kutambua hali halisi ya wagonjwa na mahitaji yao.

Radio Maria Tanzania
Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 24:25


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu sehemu ya tatu leo tuko naye Frateri Revocatus Shukuru kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambapo anatuongoza kuangazia mada isemayo nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo. Mtangazaji & Mtayarishaji wako ni mimi […] L'articolo Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 27:17


Karibu katika Kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, leo tuko naye Frateri Joseph Enosi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam, anazungumzia  juu ya mawasiliano katika Familia je, nani anahusika? L'articolo Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

Black Hat Ultra
#03.Alaska. Rozmowy ze sobą - Audiobook - Kamil Dąbkowski.

Black Hat Ultra

Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 60:31


1. LUBISZ TO CO ROBIĘ? ⮕ UDOSTĘPNIJ ZNAJOMYM2. ZAPISZ MYŚLI W KOMENTARZU⁠3. Zasubskrybuj kanał BHU na Spotify⁠⁠⁠⁠4. Zakup książkę w formacie PDF⁠⁠ ⁠5. ⁠Wesprzyj moją działalność ⁠⁠⁠na Patronite⁠⁠6. Trasa mojej eskapady⁠"ZABIERAM WAS DZISIAJ W DZIKĄ i SUROWĄ PODRÓŻ - DO MIEJSC, GDZIE CZŁOWIEK STAJE SIĘ CZĘŚCIĄ WIĘKSZEJ CAŁOŚCI."W lipcu 2024 roku udałem się na solową wyprawę na Alaskę, gdzie doświadczyłem niesamowitych emocji, poznałem ciekawych ludzi i dotarłem za pomocą roweru i packraftu nad Cieśninę Beringa, na sam koniuszek Zachodu, gdzie dalej już tylko Wschód. Serdecznie dziękuję za wspaniały odbiór pierwszej i drugiej części! Fantastycznie jest dzielić się z Wami tą historią i obserwować jak Was wciąga.Jeśli mi bardzi miło jeśli zdecydujecie sie podzielic tym nagraniem ze znajomymi, udostępniając link na swoich social mediach w postach i relacjach. Możecie też napisać krótką recenzję lub komentarz. Z góry serdecznie dziękuję!Część trzecia potrwa około godziny i wydarzy się w niej niezwykle dużo, bo usłyszycie o tym jak grałem z innuitami w Bingo, o poszukiwaniu w górach przełęczy ktorą moglbym przejsc, o pokonaniu mostu lodowego, spotkaniach z Karibu i utracie mojego Garmina. Usłyszycie o tym jak znalazłem cytrynę, spotkałem niedźwiedzia i o tym jak w końcu docieram do Wales. Zapraszam Was serdecznie na odkrywanie razem ze mną “Złota Alaski”.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Solar Winds - Upepo wa Jua: Siri Kubwa ya Jua Inayoathiri Dunia Yetu!

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later May 25, 2025 21:39


Je, unajua kuwa kila sekunde Jua hutuma mto wa chembe hatari kuelekea Dunia? Karibu katika makala haya ya kuvutia yanayochunguza “Upepo wa Jua” — jambo la kushangaza ambalo linaweza kusababisha aurora nzuri, lakini pia kuharibu mitambo ya umeme duniani!

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 52:17


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.  L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 43:48


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.    L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 59:03


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe,  Mwezeshaji ni  Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu. L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 27:02


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?   L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 22, 2025 48:52


Karibu uungane nami  Happiness Mlewa katika  kipindi cha Uraibu, leo Studio nipo na  Padre  Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha mambo yanazosababisha  watu wasiwe na tabia njema.     L'articolo Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 22, 2025 51:57


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka  Moshi, akitoa ufafanuzi wa madhara ya Uraibu wa wazazi kwa watoto.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 47:02


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 30:48


Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 56:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu maana ya Nadhiri?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 19:25


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri  Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 23:14


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake. L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 27:06


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Frateri Dismas Mwombeki kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya nafasi ya Mungu katika Familia. L'articolo Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 29:07


Karibu katika kipindi cha Huruma ya Mungu kwa Ulimwengu, Mwezeshaji ni Padre Wojceich Adam, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu, akizungumzia Dominika ya Huruma ya Mungu. L'articolo Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:43


Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha. L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana na asili ya neno Biblia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:04


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Mbiu ya heri, Mwezeshaji ni Frateri Yohane Makaya kutoka Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, akitufundisha juu ya maana na asili ya Biblia. L'articolo Fahamu maana na asili ya neno Biblia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 11:16


Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.

Habari za UN
15 Aprili 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. 

Sincerely Accra
Karibu!

Sincerely Accra

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 99:19


Discover more Sincerely Accra!Touchdown Nairobi! Sincerely Accra links up with Tonio Kibz from The Sandwich podcast for a fun conversation on life as a young person in Nairobi vs Accra. Grab a snack, cos you know it's about to be nothing short of a good time! Press play!Opening MusicOshe - Reynolds The Gentleman ft. Fra!Music BridgesMeka Ho Bi Woka Ho Bi - Pure Akan One Bebe - OliveTheBoy Body - Black Sherif Arizona - Cina Soul ft. Mr. Drew EX - AbideenCheat on You - Kidi ft. Gyakie Music CloserMariana - Moffy ft. Notse A GCR Production - Africa's Premiere Podcast Network

Men. Men. Men. - The Podcast -

Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari

WDR 2 Lesen
Katja Alves/Claudia Weikert - Elsie und das Karibu

WDR 2 Lesen

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 2:00


Welche Freunde sind die besten? Die, die nur ihr sehen könnt - und von denen sonst keiner weiß. Wie der sprechende Karibu-Kopf über Elses Bett. Von Merle.

Habari za UN
METHALI: NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 1:06


Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.

Habari za UN
27 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:37


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"

Habari za UN
03 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 11:49


Karibu jaridani hii leo na mwenyeji wako ni Flora Nducha akikuletea habari kuhusu haki za binadamu, elimu ya STEM kwa wasichana wakimbizi nchini Kenya; Harakati za kuhamishia wakimbizi wa DRC nchini Burundi kuelekea maeneo salama; mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni kwa wanawake na wasichana.Kwenye mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu unaoendelea mjini Geneva Uswisi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu  Volker Türk , amezungumzia hali ya kuzorota na kutoeleweka inayohusu haki za binadamu duniani, akionya kwamba ushawishi wa viongozi wa kiimla, matajiri wakubwa, na viongozi wa kimabavu unatishia kuvuruga maendeleo ya miongo kadhaa. Ripoti yake Anold Kayanda.Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati.Ripoti yake Sharon Jebiichi.Makala Assumpta Massoi anakupeleka mpakani mwa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia harakati za kuhamishia wakimbizi eneo salama zaidi.Mashinani anasalia nchini Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo DRC kusikia jinsi ambavyo mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni yanavyowawezesha wanawake na wasichana kujimudu kimaisha. Karibu