POPULARITY
Categories
Karibu katika Makala changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea Makala kuhusu tamaduni mbalimbali ambazo zimepitwa na wakati katika makabila mbalimbali, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Dully Sikes kutoka nchini Tanzania. Mimi ni Ali Bilali, Binevenue ama Karibu.
Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, Makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki. Mimi ni Ali Bilali nakukaribisha karibu, ama Bienvenue. Kumbuka pia kunifuatilia @billy bilali
Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.
Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.
Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .
Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .
Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki ambapo leo nakuleteza historia ya xenophobia (chuki au woga dhidi ya wageni) tutaungana naye Mariam Posho joélle akiwa nchini Afrika kusini na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Mario na wimbo wake mpya Mombasa. Kumbuka kunifuatilia @billy bilali
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kwa Chama cha Wanawake Majaji, (TAWJA) ambacho kimetambua pengo la upatikanaji wa haki hususan kwa wanawake na wasichana na tunasikia hatua zinazochukuliwa kuziba pengo hilo kutoka kwa mwenyekiti wake, Barke Sehel ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa. Pia tunakuletea mhtasari wa habari kama zifuatazo..Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametangazwa kwa mara nyingine kugundulika kwa virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC katika jimbo la Ituri lililoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Hii ni mara ya 17 kwa mlipuko wa Ebola kutokea DRC tangu kugunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1976. Wagonjwa 13 vimethibitishwa na taasisi ya utafiti wa tiba ya INRB mjini Kinshasa. Dkt. Tedros amesema tayari wametuma wataalamu, vifaa tiba na ameruhusu kutolewa kwa dola laki tano kusaidia kudhibiti mlipuko huo na kuwahudumia wagonjwa.Hali ya kibinadamu nchini Somalia inazidi kuwa mbaya kuliko ilivyotarajiwa hapo awali. Akuzungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi afisa mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia George Conway amesema “Hivi sasa Takriban watu milioni sita nchini Somalia amba ni sawa na mtu mmoja kati ya sita anakabiliwa na njaa ikimaanisha kuwa anaruka muda wa kula chakula, au anaenda siku kadhaa bila chakula cha kutosha. Watoto ndio wanaolipa gharama kubwa zaidi. Karibu watoto milioni mbili wana utapiamlo mkali, ikimaanisha kuwa wana utapiamlo mbaya na dhaifu kimwili, na hivyo kuwaweka katika hatari kubwa ya kuugua au kufa.”.Na leo ni siku ya Kimataifa ya Familia, Umoja wa Mataifa unasema maadhimisho ya mwaka huu yanaangazia jinsi umaskini, ukosefu wa huduma muhimu na msaada mdogo wa malezi vinavyoathiri familia na kudhoofisha maendeleo bora ya watoto. Maadhimisho ya mwaka huu yanaweka mkazo maalum kwenye hatua jumuishi za ulinzi wa kijamii kama vile ruzuku za watoto, likizo za uzazi zenye malipo, huduma nafuu za malezi ya watoto na elimu ya awali kwa watoto wadogo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026 L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 01 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Nini maana ya Tabernakulo? Tarehe 05 Machi 2026 L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 13 Machi 2026 L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi? Tarehe 11 Machi 2026 L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu Tarehe 10 Machi […] L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? Tarehe 09 Machi 2026 L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Magai Mussa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 25 Februari 2026 L'articolo Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” Tarehe […] L'articolo Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? Tarehe 26 Februari 2026 L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? Tarehe 24 Februari 2026 L'articolo Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Fumbo La Pasaka Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 15 April 2026 L'articolo Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026 L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? Tarehe 20 […] L'articolo Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? Tarehe 17 Machi 2026 L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? Tarehe 19 Machi 2026 L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 12 Machi 2026 L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 17 Aprili 2026 L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 27 Februari 2026 L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026 L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 10 Machi 2026 L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 03 Machi 2026 L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu Tarehe 30 Machi 2026 L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma? Tarehe 27 Machi 2026 L'articolo Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? Tarehe 26 Machi 2026 L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026 L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.
Karibu kwenye msururu mpya wa vipindi vya uchambuzi wangu wa maudhui tofauti tofauti katika maisha yetu. Natumai utafurahia
Hii leo jaridani mwenyeji wako Flora Nducha anamulika Mashariki ya Kati, mzozo Sudan Kusini unavyoendelea kuleta machungu kwa raia. Ingawa hivyo kuna habari njema ya jinsi FAO inavyoleta nuru kwa wakulima nchini Somalia kwa kukarabati mifereji ya umwagiliaji. Karibu!===========================Vita huko Mashariki ya Kati vinaendelea leo ikiwa ni siku ya 28, mashambulizi yanasababisha hofu, mateso, na kuzidisha mgogoro wa kibinadamu katika eneo lote. Huko Geneva, Uswisi wanadiplomasia katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa hii leo wanajadili shambulizi la shule lililotokea Minab, Iran, ambalo limeua zaidi ya watoto 100. Leah Mushi anasimulizi hii ya kusikitisha.Hofu imetanda kwa mara nyingine katika kambi ya wakimbizi ya Makpandu iliyopo Yambio, jimboni Equatoria Magharibi nchini Sudani Kusini, ambapo maelfu ya wakimbizi kutoka Sudan wanakabiliwa na vitisho vipya vya usalama kwa mujibu wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS. Rashid Malekela anatupeleka kufahamu maisha ya wakimbizi huo yapoje?Shirika la Umoja wa Mataifa Chakula na Kilimo (FAO) kwa ufadhili wa Muungano wa Ulaya (EU) kupitia mradi wa Maisha Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi CLIMB unaolenga kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha lishe, limeanza kubadilisha maisha ya wakulima nchini Somalia, hasa katika maeneo ya Kismayo, Marka na Jowhar yaliyokuwa yameathiriwa kwa muda mrefu na ukame na mvua zisizotabirika. Feissal Kirwa anaangazia zaidi.
Hii leo jaridani tunamulika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC), hali Mashariki ya Kati, Amerika ya Kati, kilimo cha migomba kinachohimili mabadiliko ya tabianchi huko Pemba, Zanzibar nchini Tanzania na katika kujifunza lugha ya Kiswahili ni uchambuzi wa neno, 'Nyapanyapa.'MUHTASARIMabaraza ya Umoja wa Mataifa lile la Usalama na lile la Haki za Binadamu kwa nyakati tofauti yajadili hali ya usalama na haki za binadamu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Huko Mashariki ya Kati hali ya usalama na kibinadamu yazidi kuwa tete Lebanon na Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi yanayoendelea kila uchao.Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO azungumzia hali tete ya afya nchini Cuba kutokana na kutokuwepo kwa huduma ya uhakika ya umeme.MADA KWA KINA: Jinsimafunzo ya kilimo cha migomba kinachohimili mabadiliko ya tabianchi yalivyoanza kuonesha matokeo chanya huko Pemba, Zanzibar nchini Tanzania. Mradi ni wa FAO kwa kushirikiana na SMZ.JIFUNZE KISWAHILI- Mchambuzi wetu Onni Sigalla kutoka BAKITA Tanzania anafafanua maana ya neno 'Nyapanyapa.'Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEMBUA" . Kama umezoea kuwa unapembua mchele basi fahamu kuna zaidi ya maana hiyo. Karibu.