Podcasts about karibu

  • 127PODCASTS
  • 2,568EPISODES
  • 23mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 21, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about karibu

Show all podcasts related to karibu

Latest podcast episodes about karibu

Changu Chako, Chako Changu
Changu chako: Tamaduni mbalimbali zilizopitwa na wakati juni 21 2026

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jun 21, 2026 20:01


Karibu katika Makala changu Chako Chako Changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea Makala kuhusu tamaduni mbalimbali ambazo zimepitwa na wakati katika makabila mbalimbali, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Dully Sikes kutoka nchini Tanzania. Mimi ni Ali Bilali, Binevenue ama Karibu.

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako: Tamaduni mbalimbali za kiafrika na mlimbwende kutoka Kenya

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jun 14, 2026 20:05


Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, Makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki. Mimi ni Ali Bilali nakukaribisha karibu, ama Bienvenue. Kumbuka pia kunifuatilia  @billy bilali

Gurudumu la Uchumi
Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 10:03


Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Gurudumu la Uchumi
Kutoka taslimu hadi kidijitali: Namna simu zinavyobadili mfumo wa malipo Afrika

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 10:03


Ufanyaji biashara na utumaji wa fedha kwa njia ya simu za kiganjani barani Afrika unakua kwa kasi, pochi za simu zimerekodi takriban asilimia 19 ya uingiaji wa pesa kwenye eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku wastani wa gharama ya utumaji pesa ukishuka hadi karibu asilimia 3.54 hii ni kwa mujibu wa benki ya dunia. Kwanye Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, tunaangazia matumizi ya telknolojia za malipo ya mtandaoni hasa kupitia simu, jina langu ni Emmanuel Makundi, Karibu.

Habari RFI-Ki
Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yana umuhimu gani nchini mwako

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 10:04


Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa  kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani  ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .

afrika yana rafiki gani karibu siku umuhimu mazingira maadhimisho
Habari RFI-Ki
Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yana umuhimu gani nchini mwako

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 10:04


Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa  kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani  ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .

afrika yana rafiki gani karibu siku umuhimu mazingira maadhimisho
Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu: Historia ya Xenophobia barani Afrika Mei 17 2026

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later May 17, 2026 20:02


Karibu katika Makala yetu ya leo changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki ambapo leo nakuleteza historia ya xenophobia  (chuki au woga dhidi ya wageni) tutaungana naye  Mariam Posho joélle  akiwa nchini Afrika kusini na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Mario na wimbo wake mpya Mombasa. Kumbuka kunifuatilia @billy bilali

Habari za UN
15 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 15, 2026 10:40


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kwa Chama cha Wanawake Majaji, (TAWJA) ambacho kimetambua pengo la upatikanaji wa haki hususan kwa wanawake na wasichana na tunasikia hatua zinazochukuliwa kuziba pengo hilo kutoka kwa mwenyekiti wake, Barke Sehel ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa. Pia tunakuletea mhtasari wa habari kama zifuatazo..Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametangazwa kwa mara nyingine kugundulika kwa virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC katika jimbo la Ituri lililoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.  Hii ni mara ya 17 kwa mlipuko wa Ebola kutokea DRC tangu kugunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1976. Wagonjwa 13 vimethibitishwa na taasisi ya utafiti wa tiba ya INRB mjini Kinshasa. Dkt. Tedros amesema tayari wametuma wataalamu, vifaa tiba na ameruhusu kutolewa kwa dola laki tano kusaidia kudhibiti mlipuko huo na kuwahudumia wagonjwa.Hali ya kibinadamu nchini Somalia inazidi kuwa mbaya kuliko ilivyotarajiwa hapo awali. Akuzungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi afisa mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia George Conway amesema “Hivi sasa Takriban watu milioni sita nchini Somalia amba ni sawa na mtu mmoja kati ya sita anakabiliwa na njaa ikimaanisha kuwa anaruka muda wa kula chakula, au anaenda siku kadhaa bila chakula cha kutosha. Watoto ndio wanaolipa gharama kubwa zaidi. Karibu watoto milioni mbili wana utapiamlo mkali, ikimaanisha kuwa wana utapiamlo mbaya na dhaifu kimwili, na hivyo kuwaweka katika hatari kubwa ya kuugua au kufa.”.Na leo ni siku ya Kimataifa ya Familia, Umoja wa Mataifa unasema maadhimisho ya mwaka huu yanaangazia jinsi umaskini, ukosefu wa huduma muhimu na msaada mdogo wa malezi vinavyoathiri familia na kudhoofisha maendeleo bora ya watoto. Maadhimisho ya mwaka huu yanaweka mkazo maalum kwenye hatua jumuishi za ulinzi wa kijamii kama vile ruzuku za watoto, likizo za uzazi zenye malipo, huduma nafuu za malezi ya watoto na elimu ya awali kwa watoto wadogo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Radio Maria Tanzania
Fahamu faida za kanunia ya imani

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 8, 2026 57:53


Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.

biblia machi radio maria karibu fahamu ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 8, 2026 46:28


Karibu usikilize Kipindi cha Familia Bora nyumba Aminifu. Mada ni Tafakari ya kipindi cha Kwaresima? Tarehe 15 Machi 2026 L'articolo Maandalizi ya familia na Sakramenti ya kitubio kuelekea Pasaka. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 8, 2026 59:41


Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Padre Peter Siamo kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Swali ni Ushauri nasaha kwa watoto Mtangazaji Peter Alphaxad. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Tujifunze juu ya mtoto kabala ya kumpatia ushauri nasaha. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 8, 2026 55:37


Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Mwezeshaji ni Davis John kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi Mada ni Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 19 Aprili 2026 L'articolo Namna ya kumsilikiza mtoto aliyejeruhiwa Kimwili au kingono proviene da Radio Maria.

radio maria karibu aprili kipindi
Radio Maria Tanzania
Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 8, 2026 56:59


Karibu usikilize Kipindi cha Walinde watoto Wawezeshaji ni Sista Mariselina John na Sista Patricia Kijuu Mada ni Utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto Mtangazaji Elizabeth Masanja Tarehe 01 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo njia ya utoaji ripoti juu ya unyanyasaji wa watoto proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Nini maana ya Tabernakulo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:00


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Nini maana ya Tabernakulo? Tarehe 05 Machi 2026   L'articolo Nini maana ya Tabernakulo? proviene da Radio Maria.

nini machi radio maria karibu maana kipindi maswali
Radio Maria Tanzania
Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 26:15


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 13 Machi 2026   L'articolo Je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya Jumapili? proviene da Radio Maria.

machi radio maria katika karibu siku kipindi maswali jumapili
Radio Maria Tanzania
Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 29:25


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jacob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kunauhusiano wowote kati ya ugonjwa au mateso na dhambi? Tarehe 11 Machi 2026   L'articolo Je nilazima mtu mgonjwa au anaeteseka awe ametenda dhambi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 22:23


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu Tarehe 10 Machi […] L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israel wasimlilie yeye, bali wajililie wao wenyewe na watoto wao, pia alisema ikiwa wanafanya haya kwa mti mbichi itakuwaje kwa mti mkavu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 20:39


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Melkizedeck Sanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? Tarehe 09 Machi 2026   L'articolo Kwanini Yesu aitwe mwanakondoo wa Mungu nasiyo jina la mwanyama mwingine? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 20:52


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Magai Mussa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Ni nani anaemchagua Papa? Tarehe 25  Februari 2026 L'articolo Ni nani anaemchagua Baba Mtakatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima”

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:27


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” Tarehe […] L'articolo Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” proviene da Radio Maria.

cha moyo radio maria katika karibu mwaka kanisa kipindi fahamu maswali
Radio Maria Tanzania
Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:23


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Mada ni Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? Tarehe 02  Machi 2026 L'articolo Kunatofauti gani kati ya kwaresima na Mfungo wa Ramadhani? proviene da Radio Maria.

moyo machi gani radio maria karibu ramadhani kipindi maswali
Radio Maria Tanzania
JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:45


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? Tarehe 26  Februari 2026 L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:35


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? Tarehe 24  Februari 2026 L'articolo Kwanini Kanisa Katoliki linaitwa Kanisa la Mitume? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu kanisa kipindi maswali
Radio Maria Tanzania
Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:02


Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre  Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu -Kagera, Mada ni Fumbo La Pasaka Mtangazaji ni Peter Alphaxad. Tarehe 15  April 2026 L'articolo Kristu Anarejesha Amani na furaha mioyoni mwetu. proviene da Radio Maria.

padre radio maria karibu kipindi mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 22:35


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026   L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 26:32


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Jackob Mkandawile, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua je! Katika kipindi cha Kwaresma inaruhusiwa kufunga siku ya jumapili? Tarehe 15 Machi 2026   L'articolo Kwanini Kila Sala tunayosali, mwisho wa Sala tunasema Amina. Nini maana ya neno Amina. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:20


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Kostantine Haruna, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Yesu alipokua Msalabani alimwambia Dismasi leo tutakua pamoja peponi nahi nibaada yakumwomba aingie pepo je hii siyo rushwa na kwanini alimkubalia kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? Tarehe 20 […] L'articolo Kwanini Yesu alimkubalia Dismasi kuawatakua pamoja mbinguni kabla hajamuondolea dhambi wakati yeye ni mdhambi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 19:33


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict Luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? Tarehe 17 Machi 2026   L'articolo Kwanini mapapa wanabadili majina baada yakupata wadhifa huo? proviene da Radio Maria.

machi radio maria karibu baada kipindi maswali majina
Radio Maria Tanzania
Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:58


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderis Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? Tarehe 19 Machi 2026   L'articolo Je tunajifunza ni kutokana na maneno ya Yesu pale Msalabani anapoonyesha kukata tamaa aliposema Mungu wangu mbona umeniacha? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:42


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 12 Machi 2026 L'articolo Uaminifu katika kufanya kazi ya Mungu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 57:10


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 17 Aprili  2026 L'articolo Maisha ya ushuhudu kama chama cha kitume. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 55:47


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.

radio maria katika karibu watu kanzi aprili kipindi fahamu
Radio Maria Tanzania
Hii ndiyo furaha ya Utume wetu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:32


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Machi 2026 L'articolo Hii ndiyo furaha ya Utume wetu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 52:35


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 27 Februari 2026 L'articolo Uvumilivu ni nguzo inayoshikilia utume wa walei. proviene da Radio Maria.

radio maria karibu kanzi kipindi
Radio Maria Tanzania
Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:18


Karibu usikilize Kipindi  cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026 L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

radio maria katika karibu kanisa kanzi kipindi fahamu
Radio Maria Tanzania
Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 59:41


Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.

machi radio maria katika karibu mwanamke kipindi fahamu
Radio Maria Tanzania
Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 53:31


Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta,  Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 52:26


Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Anthony Lihepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 10 Machi 2026 L'articolo Ifahamu nguvu ya Mwanamke katika kulinda uhai. proviene da Radio Maria.

machi radio maria katika karibu nguvu mwanamke kipindi
Radio Maria Tanzania
Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 51:10


Karibu usikilize Kipindi  cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Witnes Joachim Mada ni Kwaresima na thamani wa uhai Tarehe 03 Machi 2026 L'articolo Kwanini tunaruhusu watoto kuendelea kuuwawa kipindi hichi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:33


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri James Mwakibisa, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Kwanini sherehe ani ufufuko wa bwana wetu Yesu Kristo yaani Pasaka haina tarehe malumu? proviene da Radio Maria.

machi kristo radio maria karibu bwana yesu pasaka kipindi sherehe maswali
Radio Maria Tanzania
Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:52


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Fidelis Baroka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu Tarehe 30 Machi 2026 L'articolo Mara nyingi Tumekuwa Tukisisitizwa Na Mapadre kuwaombea Marehemu Ndugu Zetu Mbona Katika Maandiko Matakatifu hamna Sehemu inayoagiza kwamba Tuwaombee Marehemu proviene da Radio Maria.

machi radio maria katika karibu hamna sehemu kipindi ndugu maswali
Radio Maria Tanzania
Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:10


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Barnabas Mushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? Pia naomba kujua maana ya kila vazi linalovaliwa wakati wa adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu. Tarehe 29 Machi 2026 L'articolo Je sahihi kwa katekista kuvaa Saplisi wakati wa ibada? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:42


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Erasto Mwanasindele, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! ni sahihi mtu kupokea Ekaristi Takatifu akiwa kwenye mfungo wa kwaresma huku akiwa amefunga chakula, pamoja na matendo mengine yahusuyo kipindi hicho cha kwaresma? Tarehe 27 Machi 2026 L'articolo Je ni sahihi mtu akiwa kwenye mfungo wowote ule kupokea Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

machi radio maria karibu kwenye kipindi maswali ekaristi
Radio Maria Tanzania
Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 23:53


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Benedict luvanga, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? Tarehe 26 Machi 2026 L'articolo Je! Tufanyeje na tuyashindaje majaribu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:16


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Godfrey Msaki, kutoka Parokia ya Mtakatifu Gabriel Malaika Mkuu – Mbagala, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Swali ni Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Kwanini katika misiba ya Mapadre pamoja na Maaskofu wanavaa mavazi meupe  na wakati wa misiba ya walei wanavaa zambarau? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 27:34


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026   L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Acha Niseme - Utangulizi

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Apr 27, 2026 5:07


Karibu kwenye msururu mpya wa vipindi vya uchambuzi wangu wa maudhui tofauti tofauti katika maisha yetu. Natumai utafurahia

Habari za UN
27 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2026 11:31


Hii leo jaridani mwenyeji wako Flora Nducha anamulika Mashariki ya Kati, mzozo Sudan Kusini unavyoendelea kuleta machungu kwa raia. Ingawa hivyo kuna habari njema ya jinsi FAO inavyoleta nuru kwa wakulima nchini Somalia kwa kukarabati mifereji ya umwagiliaji. Karibu!===========================Vita huko Mashariki ya Kati vinaendelea leo ikiwa ni siku ya 28, mashambulizi yanasababisha hofu, mateso, na kuzidisha mgogoro wa kibinadamu katika eneo lote. Huko Geneva, Uswisi wanadiplomasia katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa hii leo wanajadili shambulizi la shule lililotokea Minab, Iran, ambalo limeua zaidi ya watoto 100. Leah Mushi anasimulizi hii ya kusikitisha.Hofu imetanda kwa mara nyingine katika kambi ya wakimbizi ya Makpandu iliyopo Yambio, jimboni Equatoria Magharibi nchini Sudani Kusini, ambapo maelfu ya wakimbizi kutoka Sudan wanakabiliwa na vitisho vipya vya usalama kwa mujibu wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS. Rashid Malekela anatupeleka kufahamu maisha ya wakimbizi huo yapoje?Shirika la Umoja wa Mataifa Chakula na Kilimo (FAO) kwa ufadhili wa Muungano wa Ulaya (EU) kupitia mradi wa Maisha Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi CLIMB unaolenga kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha lishe, limeanza kubadilisha maisha ya wakulima nchini Somalia, hasa katika maeneo ya Kismayo, Marka na Jowhar yaliyokuwa yameathiriwa kwa muda mrefu na ukame na mvua zisizotabirika. Feissal Kirwa anaangazia zaidi.

Habari za UN
26 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 26, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunamulika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC), hali Mashariki ya Kati, Amerika ya Kati, kilimo cha migomba kinachohimili mabadiliko ya tabianchi huko Pemba, Zanzibar nchini Tanzania na katika kujifunza lugha ya Kiswahili ni uchambuzi wa neno, 'Nyapanyapa.'MUHTASARIMabaraza ya Umoja wa Mataifa lile la Usalama na lile la Haki za Binadamu kwa nyakati tofauti yajadili hali ya usalama na haki za binadamu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Huko Mashariki ya Kati hali  ya usalama na kibinadamu yazidi kuwa tete Lebanon na Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi yanayoendelea kila uchao.Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO azungumzia hali tete ya afya nchini Cuba kutokana na kutokuwepo kwa huduma ya uhakika ya umeme.MADA KWA KINA: Jinsimafunzo ya kilimo cha migomba kinachohimili mabadiliko ya tabianchi yalivyoanza kuonesha matokeo chanya huko Pemba, Zanzibar nchini Tanzania. Mradi ni wa FAO kwa kushirikiana na SMZ.JIFUNZE KISWAHILI- Mchambuzi wetu Onni Sigalla kutoka BAKITA Tanzania anafafanua maana ya neno 'Nyapanyapa.'Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI - NENO: PEMBUA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 0:42


Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEMBUA" . Kama umezoea kuwa unapembua mchele basi fahamu kuna zaidi ya maana hiyo. Karibu.