Podcasts about karibu

  • 126PODCASTS
  • 2,456EPISODES
  • 23mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Nov 4, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about karibu

Show all podcasts related to karibu

Latest podcast episodes about karibu

Habari za UN
04 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2025 11:34


Hii leo Jaridani, Anold Kayanda anakupeleka nchini Kenya kusikia usaidizi wa FAO kwenye harakati za kuondokana na njaa katika taifa hilo la Afrika Mashariki kupitia uimarishaji wa sekta ya kilimo. Lakini pia kuna Muhtasari kutoka kwa Leah Mushi akimulika:Baa la Njaa kuthibitishwa huko El Fasher na Kadugli nchini SudanAzimio la Doha lenye lengo la kuimarisha maendeleo ya jamii dunianiKauli ya Joyce Msuya, Naibu Mkuu wa OCHA akiwa huko Doha, Qatar kufuatia kupitishwa kwa azimio hilo.Na kipengele cha Jifunze Kiswahili leo kinaelezea matumizi ya neno Mhanga na Wahanga.Karibu!

Radio Maria Tanzania
Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 28:06


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema Kanisa au kiongozi wa Kanisa kujihusisha na harakati za kisiasa au chama cha kisiasa inaruhusiwa? L'articolo Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Nena nami Bwana Dominika ya 29 ya mwaka C wa Kanisa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 57:09


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena nami Bwana, ikiwa ni mafundisho kutoka kwa Mababa wa Kiroho kwa namna ya kipekee wanaonene nasi siku hii ya leo ni Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Iringa, Askofu Christopher Ndizeye wa  Jimbo Katoliki […] L'articolo Nena nami Bwana Dominika ya 29 ya mwaka C wa Kanisa. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu maisha ya Mtakatifu Bartolongo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 57:58


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi,Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula {C.PP.S}, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya maisha ya Mtakatifu mpya Mtakatifu Bartolongo. L'articolo Je, unafahamu maisha ya Mtakatifu Bartolongo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu sifa ya Mama Bikra Maria Malkia wa Imani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 26:09


Karibu katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tunaungana na Padre  Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hembahemba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akitufundisha juu ya Bikra Maria Malkia wa Imani. L'articolo Je, unafahamu sifa ya Mama Bikra Maria Malkia wa Imani? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 56:19


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao.  L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 57:55


Karibu uungane nami  Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine  L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya neno Misa

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 27:17


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari  Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?  L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 23, 2025 50:07


Karibu uungane nami Peter katika kipindi cha Fahamu wito wako, mwezeshaji Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akitufundisha juu ya Heri za utakatifu furahini na kushangilia. L'articolo Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Unazifahamu changamoto za mlango wa nyumba aminifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 23, 2025 51:02


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, Wawezeshaji ni Katekisita Castory Matimla, Benedict Kessy, Monica Kessy na Paschal Maziku kutoka Familia ni Nyumba Aminifu, wakitufundisha juu ya mlango wa nyumba aminifu na changamoto zake. L'articolo Je, Unazifahamu changamoto za mlango wa nyumba aminifu? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
20 OKTOBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 20, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la habari za Umoja wa Mataifa, leo utasikia mengi ikiwemo mkutano wa kujadili kuhusu tahadhari za mapema unaoenda sambamba na miaka 75 tangu kuanzishwa kwa shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa WMO. Pia utasikia juhudi za mashirika ya UN kusaidia wananchi huko mashinani na kuboresha maisha yao. UNDP nchini Tanzania na UNMISS huko jimboni Yambui nchini Sudan Kusini. Mtangazaji wako ni Leah Mushi. 

Radio Maria Tanzania
Unafahamu sababu zinazosababisha kupata ugongwa wa mtoto wa Jicho?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 44:04


Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Ijue Afya yako, mwezeshaji wa kipindi ni Daktari Catherine Mlale kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi Ifakara, Jimbo Katoliki Ifakara, akitufundisha juu ya ugonjwa wa mtoto wa Jicho. L'articolo Unafahamu sababu zinazosababisha kupata ugongwa wa mtoto wa Jicho? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unaufahamu ujumbe wa Mapapa na Watakatifu kuhusu Rozari Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 55:07


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shikishi, Mwezeshaji  Padre Deodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya Watakatifu na Mapapa wanazungumza nini kuhusu Rozari Takatifu. L'articolo Je, unaufahamu ujumbe wa Mapapa na Watakatifu kuhusu Rozari Takatifu? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu ujumbe mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Ifahamu Dominika ya Kimisionari na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 44:27


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC},  Mwezeshaji Padre Alfred Kwene, akitufundisha juu ya Dominika ya Kimisionari 2025 na wajibu wetu sisi Waamini. L'articolo Ifahamu Dominika ya Kimisionari na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 54:46


Karibu uungane nami Happiness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S,  Mkurugenzi wa Matamgazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya  ujumbe wa Mama Bikira Maria kuhusu Amani. L'articolo Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unaufahamu ujumbe wa Amani wa Papa Benedict wa 15?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 57:28


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S,  Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitueleza juu ya ujumbe wa Amani wa Papa Benedict wa 15   L'articolo Je, unaufahamu ujumbe wa Amani wa Papa Benedict wa 15? proviene da Radio Maria.

papa pp radio maria karibu ujumbe mkurugenzi
Changu Chako, Chako Changu
Changu chako chako changu kuhusu siku kuu ya kimataifa ya ukalimani sehemu pili

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Oct 12, 2025 19:57


Karibu katika makala ya leo Jumapili Changu Chako Chako Changu ambapo leo nakuletea sehemu ya pili ya siku ya kimataifa ya ukalimani na tafsiri, na kwenye le parler francophone nitakujuwa kinachoendelea kwenye vituo vya Alliance Francaise za Ukanda na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Mace Ice. Mimi ni Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu, bienvenue ama Karibu.

Radio Maria Tanzania
Mkatoliki je, unaifahamu historia ya Kanisa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 58:01


Karibu uungane nami Paschal Patrick, katika kipindi cha Historia ya Kanisa, mwezeshaji ni Mhashamu Askofu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Msitaafu Jimbo la Bukoba,  akitufundisha Historia juu ya Mapinduzi ya Ufaransa na Kanisa. L'articolo Mkatoliki je, unaifahamu historia ya Kanisa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unaufahamu uzuri wa Mama Bikira Maria?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 52:17


Karibu uungane nami Esther Magai, katika kipindi cha Tumsifu  Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Nyamanolo Jimbo Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Uzuri wa Mama Maria.   L'articolo Je, unaufahamu uzuri wa Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 57:38


Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili. L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu maana ya sherehe ya kutukuka kwa msalaba?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 27:08


Karibu uungane nami Paschal Patrick, katika kipindi cha Tafakari ya Mama Bikira Maria, Mwezeshaji  Askofu Method Kilaini Askofu Msaidizi Mstaafu Jimbo Katoliki  Bukoba akitufundisha juu ya Kutukuka kwa Msalaba L'articolo Je, unafahamu maana ya sherehe ya kutukuka kwa msalaba? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ewe mwanamke je, unaufahamu uthubutu wako katika Uchumi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 29:13


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, leo tutakuwa na mwezeshaji Bi. Eneless Mwinami Afsa Program kutoka Mwanza, akitufundisha juu ya Uthubutu wa mwanamke Kiuchumi. L'articolo Ewe mwanamke je, unaufahamu uthubutu wako katika Uchumi? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu umuhimu wa Lishe wakati wa Uzee?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 56:02


Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji wa Kindi ni Bi. Nusula Salum Afsa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Lishe na Chakula Tanzania, akitufundisha juu ya Lishe wakati wa Uzee.   L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa Lishe wakati wa Uzee? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 25:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu Cha Kikatoliki Ruaha Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Mavazi madogo wanayovaa Mapadre kama Mshipi, kitambaa Mgongoni na Kifuani vinavyovaliwa kabla ya Kanzu ya Padre.  L'articolo Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Msalaba na historia yake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 27:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea […] L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Wakristo wengi hawazingatii Sala ya Hija?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 27:19


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Jacob Mkandawile kutoka Parokia ya Bikira Maria wa Bwawa la Mtela Migoli Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Wakristo Wakatoliki hawazingatii sana Sala ya Hija. L'articolo Kwanini Wakristo wengi hawazingatii Sala ya Hija? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Mkatoliki Unafahamu nguvu ya Rozari Takatifu ndani ya Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 53:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,  Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Rozari Takatifu nguvu ya Familia ya Mungu.     L'articolo Mkatoliki Unafahamu nguvu ya Rozari Takatifu ndani ya Familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Nena nami Bwana Dominika ya Sikukuu ya Kutukuka kwa Msalaba

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 59:44


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena Nami Bwana, Wawezezaji wa kipindi ni Wahashamu Maaskofu na Mapadre kutoka Majimbo mbalimbali,Wakitufundisha juu ya Sikukuu ya Kutukuka Kwa Msalaba Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristo. L'articolo Nena nami Bwana Dominika ya Sikukuu ya Kutukuka kwa Msalaba proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu, siku ya kimataifa ya ukalimani na utafsiri

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Oct 5, 2025 20:05


Karibu katika Makala yetu ya leo Jumapili changu chako chako changu Makala ambayo khukuletra historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki, na eo nakuletea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya ukalimani na utafsiri ambayo huamdihimishwa kila septemba 30 ya kila mwaka. Kwenye le parler francophone nitakujuwa yaliojiri kwenye kituo cha Alliance francaise, na kwenye Muziki nitakupa Burudani ya Muziki kutoka kwake Aslay. Mimi ni Ali Bilali Karibu ama Bienvenue,

Changu Chako, Chako Changu
Utamaduni wa miiko kutoka makabila mbalimbali barani Afrika

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Sep 21, 2025 19:50


Karibu katika makala yetu ya leo Jumapili Changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki. Leo nakuletea tamaduni na miiko kutoka makabila mbalimbali barani Afrika. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Otile Brown Kutoka chini Kenya. Mimi ni Ali Bilali, bienvenue ama Karibu.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu changamoto ya Afya ya akili kwa kijana?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 18, 2025 47:33


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, Mwezeshaji  wetu ni Daktari Katanta Razalusi, Mwandamizi wa Masuala ya Uzazi na Familia na Mwenyekiti wa Watoa Huduma za Afya Wakatoliki Jimbo Kuu Katoliki  Dar es Salaam, akitufundisha juu ya changamoto ya Afya ya Akili kwa Vijana.  L'articolo Je, unafahamu changamoto ya Afya ya akili kwa kijana? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je,unafahamu mapinduzi ya fikra katika kanisa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 18, 2025 55:57


Karibu uungane nami Patrick Paschal Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba, akitufundisha juu ya Mwangaza wa Kanisa Kitaifa.   L'articolo Je,unafahamu mapinduzi ya fikra katika kanisa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu utakatifu juu ya ulimwengu wa kidijitali?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 18, 2025 52:45


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katikisimu Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Kagera akitufundisha juu ya Utakatifu  katika Ulimwengu wa Kidijitali. L'articolo Je, unafahamu utakatifu juu ya ulimwengu wa kidijitali? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu ulimwengu mkurugenzi
Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako Chako Changu: Historia ya demokrasia na msanii Marin Kidumu kutoka Uvira

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Sep 14, 2025 20:03


Karibu katika Makala yetu ya leo Jumapili Changu chako chako changu, Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali utamaduni le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea hidstoria ya Demokrasia, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Marin MKidumu kutoka Uvira mashariki mwa DRC.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Zaidi ya watu 80 wafariki katika ajali ya boti Basankusu

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Sep 13, 2025 19:46


Karibu kwa makala ya Yaliyojiri wiki hii. Baadhi ya habari ambazo tumezipa uzito wiki hii ni makamu wa kwanza wa rais wa Sudan Kusini ashatkiwa kwa uhaini na mauaji, ajali ya boti nchini DRC. Tutaangalia hatma ya mkutano wa hali ya hewa nchini Ethiopia, Vilevile onyo la vifo vya malaria kuongezeka mwaka huu kutokana na kupunguzwa kwa misaada ya kigeni.

Habari za UN
12 Septemba 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 11:33


Karibu usikilize jarida la habari za Umoja wa Mataifa hii leo tunaangazia masuala ya amani pamoja na ushirikiano wa nchi zinazoendelea na zile zilizoendelea duniani. Pia utasikia habari kutoka mashinani nchini Kenya kuhusu mradi wa UNICEF kwenye kilimo uliowainua kiuchumi vijana. Mtangazaji wako ni Leah Mushi. 

Radio Maria Tanzania
Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 10, 2025 47:33


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji  Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili. L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
05 SEPTEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 9:58


Karibu kusikiliza jarida la Habari za Umoja wa Mataifa ambapo leo tunakuletea taarifa kuhusu hali ya hewa na athari za moto wa nyika, tutaelekea Gaza kusikia kutoka kwa mashuhuda wa madhila wayapatayo watoto na wananchi wa Gaza na kisha tutaelekea Jamhuri ya Afrika ya Kati ambako wanaendesha mafunzo ya usalama barabarani. 

Habari za UN
03 SEPTEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 3, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la habari za Umoja wa Mataifa, hii leo utasikia juhudi zinazofanyika kusaidia wananchi walioathirika na tetemeko la ardhi nchini Afghanistan. Kutoka barani Afrika utasikia juhudi za kulinda raia wa Sudan Kusini wanaoathirika na vita vya wenyewe kwa wenyewe huko jimboni Tambura na kutoka nchini Tanzania utasikia msaada kwa wakimbizi walioko magharibi mwa taifa hilo. 

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 28, 2025 36:19


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi  Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania. L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 11, 2025 56:50


Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini , Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, ambapo ameendelea kujibu maswali mbalimbali yaliyoilizwa na msikilizaji.   Mtangazaji ni Patrick Pascal Tibanga – Radio Mbiu  L'articolo Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 27:33


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linahoji hivi; Kanisa linahimiza kuwasaidia watu masikini, sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati mimi mwenyewe ni masikini? Na je Matajiri hawahitaji kusaidiwa?  Swali limejibiwa na Frateri Peter Peter kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma.   Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini? proviene da Radio Maria.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Solar Winds - Upepo wa Jua: Siri Kubwa ya Jua Inayoathiri Dunia Yetu!

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later May 25, 2025 21:39


Je, unajua kuwa kila sekunde Jua hutuma mto wa chembe hatari kuelekea Dunia? Karibu katika makala haya ya kuvutia yanayochunguza “Upepo wa Jua” — jambo la kushangaza ambalo linaweza kusababisha aurora nzuri, lakini pia kuharibu mitambo ya umeme duniani!

Habari za UN
15 Aprili 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. 

Sincerely Accra
Karibu!

Sincerely Accra

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 99:19


Discover more Sincerely Accra!Touchdown Nairobi! Sincerely Accra links up with Tonio Kibz from The Sandwich podcast for a fun conversation on life as a young person in Nairobi vs Accra. Grab a snack, cos you know it's about to be nothing short of a good time! Press play!Opening MusicOshe - Reynolds The Gentleman ft. Fra!Music BridgesMeka Ho Bi Woka Ho Bi - Pure Akan One Bebe - OliveTheBoy Body - Black Sherif Arizona - Cina Soul ft. Mr. Drew EX - AbideenCheat on You - Kidi ft. Gyakie Music CloserMariana - Moffy ft. Notse A GCR Production - Africa's Premiere Podcast Network

Men. Men. Men. - The Podcast -

Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari

Habari za UN
27 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:37


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"

Habari za UN
METHALI: NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 1:06


Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.

Habari za UN
03 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 11:49


Karibu jaridani hii leo na mwenyeji wako ni Flora Nducha akikuletea habari kuhusu haki za binadamu, elimu ya STEM kwa wasichana wakimbizi nchini Kenya; Harakati za kuhamishia wakimbizi wa DRC nchini Burundi kuelekea maeneo salama; mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni kwa wanawake na wasichana.Kwenye mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu unaoendelea mjini Geneva Uswisi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu  Volker Türk , amezungumzia hali ya kuzorota na kutoeleweka inayohusu haki za binadamu duniani, akionya kwamba ushawishi wa viongozi wa kiimla, matajiri wakubwa, na viongozi wa kimabavu unatishia kuvuruga maendeleo ya miongo kadhaa. Ripoti yake Anold Kayanda.Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati.Ripoti yake Sharon Jebiichi.Makala Assumpta Massoi anakupeleka mpakani mwa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia harakati za kuhamishia wakimbizi eneo salama zaidi.Mashinani anasalia nchini Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo DRC kusikia jinsi ambavyo mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni yanavyowawezesha wanawake na wasichana kujimudu kimaisha. Karibu

Habari za UN
UNEP: Mradi wa UNREDD umekuwa mkombozi kwa mazingira na kwa wakulima DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 3:41


Karibu nusu ya idadi ya watu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanategemea misitu kwa chakula, nishati, afya, riziki na huduma za mfumo wa ikolojia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP ambao ni takriban watu zaidi ya milioni 40. Kwa kulitambua hilo mradi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda bayoanuai huku ukipambana na umasikini UNREDD unaleta nuru kwa raia hususani mashariki mwa nchi hiyo. Ungana na Flora Nducha kwa ufafanuzi zaidi katika makala hii.