Podcasts about karibu

  • 125PODCASTS
  • 2,347EPISODES
  • 22mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • May 23, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about karibu

Show all podcasts related to karibu

Latest podcast episodes about karibu

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 52:17


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.  L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 43:48


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.    L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 59:03


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe,  Mwezeshaji ni  Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu. L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 23, 2025 27:02


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?   L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 22, 2025 48:52


Karibu uungane nami  Happiness Mlewa katika  kipindi cha Uraibu, leo Studio nipo na  Padre  Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akitufundisha mambo yanazosababisha  watu wasiwe na tabia njema.     L'articolo Je, wafahamu mambo yanayopelekea Wanadamu wasiwe na tabia njema? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 22, 2025 51:57


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka  Moshi, akitoa ufafanuzi wa madhara ya Uraibu wa wazazi kwa watoto.   L'articolo Je, unafahamu madhara ya uraibu wa Wazazi kwa watoto? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 47:02


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 30:48


Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 56:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu maana ya Nadhiri?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 19:25


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri  Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 23:14


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake. L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 29:07


Karibu katika kipindi cha Huruma ya Mungu kwa Ulimwengu, Mwezeshaji ni Padre Wojceich Adam, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu, akizungumzia Dominika ya Huruma ya Mungu. L'articolo Je, unafahamu asili ya dominika ya Huruma ya Mungu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:43


Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha. L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana na asili ya neno Biblia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:04


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Mbiu ya heri, Mwezeshaji ni Frateri Yohane Makaya kutoka Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, akitufundisha juu ya maana na asili ya Biblia. L'articolo Fahamu maana na asili ya neno Biblia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 11:16


Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 27:06


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Frateri Dismas Mwombeki kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya nafasi ya Mungu katika Familia. L'articolo Ifahamu nafasi ya Mungu katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 52:38


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:48


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Tunawezaje kudumu katika tumaini katikati ya changamoto za maisha? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 25:35


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe,  nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini?   L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu sifa za Mwanaume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:31


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, wafahamu sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 48:45


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 14, 2025 19:31


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami  Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 14, 2025 51:07


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Godfrey Mkaikuta, Janeth Akaro na Witness Joachim kutoka Pro life Tanzania, wakitufundisha juu ya Familia na malezi ya watoto. L'articolo Ni, maadili gani unayoyapa kipaumbele katika kulea mtoto? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:04


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo   katika kipindi chetu  tutakuwa na Padre Dominic Mavule Mkurugezi wa Matangazo  Radio Maria Tanzania, akijibu swali  letu kuhusu  mafundisho  ya Imani Katoliki                                      L'articolo Je, unafahamu sifa ya Bikira Maria Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 9, 2025 55:42


Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki, kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.PS Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania akieendelea kutufundisha Mama wa Matumaini. L'articolo Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Historia ya uhuru wa wanahabari na changamoto za usambazaji wa habari za uongo

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later May 4, 2025 20:04


Karibu mpenzi msikilizaji wa RFI Kiswahili katika Makala Changu Chako Chako Changu maalum kabisa kuhusu historia ya siku ya kimataifa ya uhuru wa wanahabari ambayo huadhimishwa kila Mei 3. Ambapo maadhimoisho haya yanakuja wakati dunia ikikabiliana na changamoto za usamabazaji wa habari za uongo kwa kutumia akili bandia. Mimi ni Ali Bilali Karibu.

Radio Maria Tanzania
Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 2, 2025 55:04


Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, akituongoza kujifunza ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 2, 2025 30:46


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.

Changu Chako, Chako Changu
Historia ya muungano wa Tanganiyika na Zanzibar na msanii wa Burundi Tomson the Voice

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Apr 27, 2025 20:09


Karibu kuungana nami katika makala changu chako chako changu leo jumapili ambapo nakuletea Historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwenye le parler francophone nitakujuza ratiba ya shughuli za kitamaduni Alliance francaise ya Nairobi, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki Thomson the voice kutoka nchini Burundi, mimi ni Ali Bilali, bienvenue ama Karibu.

Radio Maria Tanzania
Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 22:45


Karibu katika kipindi cha Maswali  Yahusuyo Imani,  tunaungana na Frateri Peter  Peter  Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea  ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa  kwa  namna gani mbona dhambi bado ipo duniani? L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu aina za watu na tabia zao.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 51:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya aina za watu na tabia zao. L'articolo Fahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C’ wa Kanisa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 25:20


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka  “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D' wa Kanisa? L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C' wa Kanisa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 49:54


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea historia ya Baba Mtakatifu Francisko. L'articolo Ifahamu historia ya Baba Mtakatifu Fransisko. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Zifahamu aina za watu na tabia zao.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 55:47


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya kwanini upo hivyo ulivyo akijikita katika aina za watu? L'articolo Zifahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 48:39


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya. L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 17, 2025 28:11


Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
15 Aprili 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 9:59


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunamulika Kongamano la Kimataifa la Kiswahili linalofanyika mjini Kampala Uganda likiwaleta pamoja wadau kutoka kila kona ya Afrika na kwingineko kujadili mikakati ya kukuza lugha hiyo adhimu ya Kiswahili. Utasikiliza muhtasari wa habari ukiangazia miaka miwili tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Sudan, UNHCR, yatoa wito kwamba mwitiko mkubwa wa kibinadamu ulioratibiwa vema ni muhimu ili kuzuia mateso zaidi na vifo kwa wananchi wa DRC, na Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza leo tarehe 15 hadi tarehe 17 katika Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. 

Radio Maria Tanzania
Je, kwanini tunabatiza watoto wadogo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 23:31


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili kwanini tunabatiza watoto wadogo? L'articolo Je, kwanini tunabatiza watoto wadogo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 54:21


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu. L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu mateso ya Mama Bikira Maria?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 28:01


Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, tukiungana na Padre Gideon Kitamboya kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, anatufundisha juu ya mateso ya Mama Bikira Maria. L'articolo Je, unafahamu mateso ya Mama Bikira Maria? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 57:57


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 27:23


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji kwanini sisi Wakristo Wakatoliki tunaenda kuungama kwa Padre wakati Padre naye ni Binadamu kama sisi? L'articolo Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi cha chakula?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 56:16


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Bi. Maria Ngilisho, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC), akituelimisha juu ya namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi ya chakula. L'articolo Je, unafahamu namna bora ya kupanga mlo kulingana na makundi cha chakula? proviene da Radio Maria.

Sincerely Accra
Karibu!

Sincerely Accra

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 99:19


Discover more Sincerely Accra!Touchdown Nairobi! Sincerely Accra links up with Tonio Kibz from The Sandwich podcast for a fun conversation on life as a young person in Nairobi vs Accra. Grab a snack, cos you know it's about to be nothing short of a good time! Press play!Opening MusicOshe - Reynolds The Gentleman ft. Fra!Music BridgesMeka Ho Bi Woka Ho Bi - Pure Akan One Bebe - OliveTheBoy Body - Black Sherif Arizona - Cina Soul ft. Mr. Drew EX - AbideenCheat on You - Kidi ft. Gyakie Music CloserMariana - Moffy ft. Notse A GCR Production - Africa's Premiere Podcast Network

Men. Men. Men. - The Podcast -

Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari

WDR 2 Lesen
Katja Alves/Claudia Weikert - Elsie und das Karibu

WDR 2 Lesen

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 2:00


Welche Freunde sind die besten? Die, die nur ihr sehen könnt - und von denen sonst keiner weiß. Wie der sprechende Karibu-Kopf über Elses Bett. Von Merle.

Habari za UN
27 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:37


Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"

Habari za UN
METHALI: NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 1:06


Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.

Habari za UN
03 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 11:49


Karibu jaridani hii leo na mwenyeji wako ni Flora Nducha akikuletea habari kuhusu haki za binadamu, elimu ya STEM kwa wasichana wakimbizi nchini Kenya; Harakati za kuhamishia wakimbizi wa DRC nchini Burundi kuelekea maeneo salama; mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni kwa wanawake na wasichana.Kwenye mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu unaoendelea mjini Geneva Uswisi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu  Volker Türk , amezungumzia hali ya kuzorota na kutoeleweka inayohusu haki za binadamu duniani, akionya kwamba ushawishi wa viongozi wa kiimla, matajiri wakubwa, na viongozi wa kimabavu unatishia kuvuruga maendeleo ya miongo kadhaa. Ripoti yake Anold Kayanda.Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati.Ripoti yake Sharon Jebiichi.Makala Assumpta Massoi anakupeleka mpakani mwa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia harakati za kuhamishia wakimbizi eneo salama zaidi.Mashinani anasalia nchini Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo DRC kusikia jinsi ambavyo mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni yanavyowawezesha wanawake na wasichana kujimudu kimaisha. Karibu

Habari za UN
UNEP: Mradi wa UNREDD umekuwa mkombozi kwa mazingira na kwa wakulima DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 3:41


Karibu nusu ya idadi ya watu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanategemea misitu kwa chakula, nishati, afya, riziki na huduma za mfumo wa ikolojia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP ambao ni takriban watu zaidi ya milioni 40. Kwa kulitambua hilo mradi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda bayoanuai huku ukipambana na umasikini UNREDD unaleta nuru kwa raia hususani mashariki mwa nchi hiyo. Ungana na Flora Nducha kwa ufafanuzi zaidi katika makala hii.