Habari RFI-Ki

Follow Habari RFI-Ki
Share on
Copy link to clipboard

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

RFI - Radio France Internationale


    • Sep 4, 2025 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 9m AVG DURATION
    • 487 EPISODES


    More podcasts from RFI - Radio France Internationale

    Search for episodes from Habari RFI-Ki with a specific topic:

    Latest episodes from Habari RFI-Ki

    Kenya na Uganda zakubaliana rasmi kuondoa vizuizi vyote vya kibiashara

    Play Episode Listen Later Sep 4, 2025 10:01


    Tunazungumzia hatua ya Kenya na Uganda kukubaliana rasmi kuondoa vizuizi vyote vya kibiashara, vikiwemo vizuizi vya ushuru na visivyo vya ushuru, ili kuwezesha mtiririko huru wa bidhaa, huduma, na watu kati ya mataifa hayo mawili

    Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania zimeanza, wagombea wakinadi sera zao.

    Play Episode Listen Later Sep 4, 2025 9:46


    Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika tarehe 29 Oktoba zimeanza. Chama kikuu cha upinzani Chadema hakipo kwenye kampeni hizi, kufuatia msimamo wake wa kutaka mageuzi kwenye mfumo wa uchaguzi. Wasikilizaji wetu wanazungumzia aje kampeni hii na raia wa Tanzania wanatarajia sera gani kutoka kwa viongozi mbalimbali?

    CHAN 2025: Nchi gani ilipendeza wasikilizaji wetu na maandalizi yalikuwa aje?

    Play Episode Listen Later Sep 4, 2025 9:58


    Michuano ya CHAN imemalizika rasmi mwishoni mwa juma, nchini Kenya, Morocco wakitawazwa mabingwa na Madagascar wakimaliza wa pili.   Kuisha kwa michuano hii ni mwanzo wa maandalizi ya michuano ya AFCON itakayofanyika tena kwenye nchi za Kenya, Uganda na Tanzania mwaka 2027. Tumemuuliza msikilizaji wetu iwapo amefurahia michuano ya mwaka huu? Timu ipi ilikuwa bora kwake na kipi kifanyike kuelekea mashindano ya AFCON 2027.

    Walichosema waskilizaji kuhusu habari zetu za wiki na matukio mengine

    Play Episode Listen Later Sep 1, 2025 10:04


    Kufungiwa kwa mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha ACT Tanzania

    Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 9:32


    Miaka kumi na mitano tangu Kenya kupata katiba mpya ambayo imetajwa endelevu

    Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 9:53


    Mapigano kati ya FARDC na waasi wa M23 yanaendelea licha ya makubaliano ya amani

    Play Episode Listen Later Aug 27, 2025 9:36


    Je timu za nchi wenyeji wa CHAN zimefanyaje kwenye mchuoano wa CHAN 2024?

    Play Episode Listen Later Aug 26, 2025 10:04


    Timu za Kenya Uganda na Tanzania zimeaga mchuano katika hatua ya robo fainali

    Michuano ya CHAN inaendelea je umeridhishwa kufikia sasa

    Play Episode Listen Later Aug 23, 2025 10:00


    Michuano ya CHAN inaendelea kuchezwa je umeridhishwa na michezo hiyo hadi kufikia sasa Skiza maoni ya mskilizaji.

    Tanzania : Yabuni sheria kuwafungia nje wafanyakazi wageni

    Play Episode Listen Later Aug 22, 2025 9:51


    Nchini Tanzania, nchi hiyo imebuni sheria kuwafungia nje wafanyakazi kutoka mataifa ya nje. Waskilizaji wetu walikuwa na haya ya kusema Skiza makala

    Asasi za kiraia zamtaka rais William Ruto kuwataja hadharani wanaopokea rushwa

    Play Episode Listen Later Aug 22, 2025 9:55


    Rais  wa Kenya William Ruto, yupo kwenye shinikizo  kubwa za kuwataja  hadharani wabunge na Maseneta, aliodai wanapokea rushwa kutoka kwa Mawaziri na Magavana, asasi za kiraia zinasema hiyo ndio njia pekee ya kuwaaminisha wananchi kuwa, kiongozi huyo ana nia ya kupambana na ufisadi nchini humo.

    kenya rais ruto kenya william ruto
    Mzozo wa Ukraine: Rais Trump kujaribu kuwakutanisha rais Zelensky na rais Putin

    Play Episode Listen Later Aug 22, 2025 9:52


    Baada ya mkutano kati ya rais Donald Trump na rais Volodymyr zelensky na viongozi wa nchi za ulaya jijini Washington siku ya Jumatatu tarehe18 08 2025, Marekani sasa inajaribu kuwakutanisha rais Vladimir Putin na Zelensky ili kupata mwafaka wa mzozo wa Ukraine.

    Rwanda: Wasichana kuanzia miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango

    Play Episode Listen Later Aug 20, 2025 9:41


    Mapema mwezi Agosti 2025 wabunge walipitisha sheria mpya itakayowaruhusu wasichana wa miaka 15 kupata huduma za uzazi wa mpango bila ruhusa ya wazazi, kwa lengo la kukabili mimba za utotoni. Awali sheria ya nchi hiyo ilikuwa inaruhusu wanawake wa miaka 18 pekee kupata huduma hizo.

    Matarajio ya mkutano wa rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky jijini Washington DC nchini Marekani,

    Play Episode Listen Later Aug 20, 2025 9:58


    Zelensky kuandamana na viongozi wa nchi za Ulaya kukutana na rais Donald Trump kujadili namna ya kumaliza uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

    Nchini Kenya CAF yadhibiti idadi ya mashabiki viwanjani kwenye michezo ya chan

    Play Episode Listen Later Aug 12, 2025 10:00


    Mada ya leo ni  kuhuus  michuano ya CHAN inapoendelea kushika kasi kwenye nchi za Kenya, Uganda na Tanzania, nchini Kenya baadhi ya mashabiki wamekuwa wakitumia nguvu kuingia uwanjani bila ya tiketi, hatua ambayo shirikisho la soka la Afrika CAF, limelazimika kupunguza idadi ya mashabiki kuingia uwanjani kwa sababu za kiusalama.,,tumemuuliza  nini kifanyike kudhibiti usalama wa mashabiki na viwanja? na Kwenye nchi yako wakati wa mechi kubwa hali huwaje?

    Leo ikiwa ni siku ya ijumaa tarehe 08 08 2025 huwa ni mada huru .

    Play Episode Listen Later Aug 8, 2025 10:04


    Leo ni siku ya mada huru. Tunampa nafasi mskilizaji kuchangia suala lolote ambalo limejiri nchini mwake wiki hii,na pia anaweza kuzungumzia kile ambacho amekisikia katika matangazo yetu ya juma hili.

    Hatua ya wanasiasa kuhama hama vyama baada ya kukosa kufaulu kwenye uteuzi

    Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 10:03


    mada ya leo ni kuhusu Nchini Tanzania ambapo baadhi ya wanasiasa wa CCM ambao hawakufaulu katika uteuzi wa chama, wameanza kuhamia vyama vingine ili kugombea viti mbalimbali kwenye uchaguzi wa oktoba mwaka huu.Hali hii  imekuwa ikishuhudiwa pia katika mataifa mbalimbali barani Afrika. Tunamuuliza msikilizaji anaizungumziaje hatua hii ya hama hama kisiasa,na hali hii inashuhudiwa nchini mwake,,

    Majadiliano ya Geneva kuhusu hatua za kukabiliana na matumizi ya plastiki

    Play Episode Listen Later Aug 6, 2025 10:04


    Wawakilishi kutoka kote duniani wanakutana, wako Geneva, kujadili hatua za mwisho za kukabiliana na matumizi ya bidhaa za plastiki ambazo zimeendelea kuharibu mazingira.Tumemuuliza msikilizani ni njia zipi mbadala zitumike badala ya bidhaa za plastiki na anafikiri ni kwa nini nchi hazitaki kuachana na matumizi ya mifuko ya Plastiki.

    Kwa nini biashara ya binadaam inazidi kushamiri licha ya hatari nyingi

    Play Episode Listen Later Jul 30, 2025 9:57


    Viongozi wakutana Ethiopia kujadili usalama wa njaa baa la njaa likishamiri

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 9:55


    Msururu wa mashambulizi ya AL shabab nchini Somalia yanavyohujumu usalama

    Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 8:53


    Al Shabab imezidisha mashambulizi yake na kuiteka miji zaidi wakati vikosi vya umoja wa Afrika vikitarajiwa kuondoka

    Maoni yako kwenye makala habari rafiki, mada huru

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 9:52


    Tishio la kuzuka mzozo mpya kati ya Eritrea na Ethiopia kuhusu eneo la bahari

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 9:22


    Rais wa Eritrea Isaias Afwerki ameionya Ethiopia dhidi ya kuzuka tena kwa mzozo kwa kulazimisha kutumia eneo lake ya Bahari.

    Afrika yaendelea kuathirika kufuatia hatua ya Marekani kusitisha misaada

    Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 10:08


    Nchini Zimbabwe wataalam wanasema wagonjwa wa Malaria wanaongezeka kwa kasi tangu Marekani kupitia shirika lake la USAID kukatisha misaada yake kwa nchi hiyo na bara la Afrika

    Kenya yaondoa ulazima wa viza kwa mataifa ya Afrika isipokuwa Somalia na Libya

    Play Episode Listen Later Jul 18, 2025 10:00


    Wito wa mazungumzo ya kitaifa kutatua mizozo ya kisiasa Afrika

    Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 10:04


    Marais wa Afrika kusalia madarakani kwa muda mrefu hata umri ukiwa umeenda

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:54


    Viongozi wa Afrika watuhumiwa kuahidi mengi na kutimiza machache

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:58


    Kila Ijuma unapata nafasi kuchangia chochote ndani ya rfi Kiswahili

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:59


    Kila Ijumaa rfi kiswahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile kwenye makala haya. Skiza maoni ya waskilizaji.

    Kenya : Maandamano yatumika kupora mali

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:52


     Maandamano nchini Kenya na mataifa  mengine ya Afrika  yamekumbwa na mauaji na uporaji huku mali za watu zikiharibiwa. Je, unafikiri ni sahihi kwa waandamanaji kupora na kuharibu mali za watu? Nini vyombo vya usalama vinapaswa kufanya kuzuia uharibifu? Haya hapa baadhi ya maoni yako.

    Viongozi wa Afrika wanatuhumiwa kuahidi mengi wakati wa kampeni na kutotimiza

    Play Episode Listen Later Jul 14, 2025 9:58


    Kenya: Mahakama ya juu yasema mwana haramu si haramu

    Play Episode Listen Later Jul 9, 2025 9:58


    Katika makala haya tujadili hatua ya mahakama ya juu zaidi nchini Kenya, kuagiza kwamba mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa kwenye dini ya kiislamu ana haki ya kumiliki mali ya babake kama watoto wengine waliozailiwa ndani ya ndoa, hatua inayoenda kinyume kabisa na tamaduni za dini hiyo. Unazungumziaje uamuzi huu wa mahakama nchini Kenya ? Haya hapa baadhi ya maoni yako.

    Côte d'Ivoire : Kurejeshewa ngoma maalum kutoka Ufaransa

    Play Episode Listen Later Jul 8, 2025 9:56


    Kaika makala haya tunajadili  hatua ya bunge nchini Ufaransa kupiga kura na kupitisha mswada wa kurudishwa nchini Ivory Coast ngoma maalum inayozungumza iliyochukuliwa katika nchi hiyo ya Afrika kutoka kabila la Ebrie wakati wa ukoloni mwaka 1916. Je umefika wakati kwa koloni za zamani za Bara la Afrika kurejesha vyombo walivyopora ?   Ndilo swali tumekuuliza . Haya hapa maoni yako.

    Siku ya lugha ya kiswahili duniani makala maalum

    Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 10:08


    Siku ya kiswahili duniani, ambayo imekuwa ikiadhimishwa tangu mwaka 2022. Maadhimisho ya mwaka huu imefanyika jijini Kigali nchini Rwanda, ambako mamia ya wataalam na wapenzi wa Kiswahili wamekutana kwa siku mbili kujadiliana kuhusu nafasi na umuhimu wa lugha ya Kiswahili kwa raia wa nchi zote za Jumuiya. Kauli mbiu ni kusherehekea lugha ya Umoja, utambulisho na mchango wake kwa dunia.RFI kiswahili imeshirikiana na taasisi ya mafunzo ya biashara na ufundi stadi, NIBS ya jijini Nairobi, kuandaa makala maalum ya Habari RAFIKI na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ameongoza makala hii

    Maoni yako kwenye mada huru Ijumaa hii

    Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 9:53


    Watu karibu 500 wakamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano ya Juni 25 2025

    Play Episode Listen Later Jul 2, 2025 10:05


    Wanatuhumiwa kwa mauaji, ugaidi, ubakaji na makosa mengine. Wanaharakati wa haki za binadamu, wanasema, wanawake 14 walibakwa wakati wa maandamano hayo.

    Maoni yako kuhusu azma ya rais wa Uganda Museveni kuwania tena urais

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 9:55


    Mkataba kati ya DRC na Rwanda ya kuleta amani yakudumu mashariki mwa DRC

    Play Episode Listen Later Jun 30, 2025 9:58


    Umoja wa Afrika umekaribisha makubaliano yaliyotiwa saini mwishoni mwa juma lililopita kati ya Rwanda na DRC, hatua ambayo itashuhudia unyang'anyaji wa silaha na kuondolewa kwa mamluki wa kigeni mashariki mwa Congo.

    Matukio ya wiki likiwemo kuelekea kusainiwa mkataba wa amani nchini DRC

    Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 10:15


    Hatua ya bunge la Uingereza kuruhusu huduma ya kusaidiwa kufa

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 9:38


    Bunge la Uingereza hivi majuzi liliidhinisha mswada wa huduma ya kusaidiwa kufa

    Maandamano ya kumbukizi ya kuwauwa kwa vijana zaidi ya 60 mwaka jana

    Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 10:09


    Waandamanaji wakabiliana na polisi siku nzima wakati ya maandamano ya kuwakumbuka watu waliopoteza maisha wakati wa maandamano ya mwaka jana ya Gen Z

    Zambia :Rais Hakainde Hichilema asisitiza serikali kufanya mazizi ya Edgar Lungu

    Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 10:05


    Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ameendelea kusisitiza kufanya mazishi ya kitaifa kwa mtagulizi wake Edgar Lungu Licha ya mzozo uliopo baina yake na familia juu ya utekelezwaji ya matakwa ya marehemu ya kukataa kufanyiwa mazishi ya kitaifa.Tunakuuliza maoni yako kuhusu mzozo huo.

    MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia

    Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:02


    Kila siku ya Ijumaa, hapa RFI Kiswahili, tunampa mskilizaji wetu nafasi kuzungumzia habari kuu ambazo tumekuwa nazo wiki hii au kutueleza jambo lolote ambalo limetokea nchini mwake. Wiki hii maoni mseto yameangazia, miongoni mwa taarifa zingine, tangazo kwamba Rwanda itatia saini makubaliano na DRC tarehe 27 Juni, kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini pia mashambulio baina ya Israeli na Iran.

    Burundi : Rais Ndayishimiye ataka mazungumzo na upinzani

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 10:01


    Rais wa Burundi Evariste #Ndayishimiye ametoa wito kwa upinzani kushiriki katika mazungumzo na chama chake CNDD-FDD baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita ambao ulikumbwa na upinzani mkubwa kwa ukosefu wa uwazi.   Hata hivyo upinzani haujaonyesha nia ya kushiriki mazungumzo hayo. Tunakuuliza, ni sahihi upinzani kujiunga na serikali ? skiza makala haya kuskia maoni ya mskilizaji.

    Utumwa wa watoto waendelea kuripotiwa licha ya juhudi mbalimbali zinazowekwa

    Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 9:57


    Juni 12, ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ajira kwa Watoto. Inakadriwa, takriban watoto milioni 200 kote duniani wanatumikishwa badala ya kuwa shuleni.   Tunakuuliza, serikali yako inafanya vya kutosha kukomesha utumwa wa watoto? Unamfahamu mtoto anayefanyishwa kazi?

    Claim Habari RFI-Ki

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel