Podcasts about Habari

  • 62PODCASTS
  • 1,817EPISODES
  • 16mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Jul 23, 2025LATEST
Habari

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Habari

Show all podcasts related to habari

Latest podcast episodes about Habari

Habari zote
Taarifa ya habari 23/07 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 23/07 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 23/07 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 15:00


Habari zote
Taarifa ya habari 23/07 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 13:00


Habari zote
Taarifa ya habari 22/07 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 22, 2025 13:00


5 Tassen täglich
Kaffee, Kirsche und Kilimandscharo: Wie lebt es sich auf einer Kaffeefarm?

5 Tassen täglich

Play Episode Listen Later Jul 21, 2025 15:53


Habari aus Tansania! Das heißt Hallo auf Suaheli. Denn dort verbrachte unsere Kaffee-Sommeliere Indre 2 Monate auf einer ganz besonderen Kaffeefarm. Wie fühlt es sich an, auf einer Kaffeefarm zu leben und zu arbeiten? Unsere Reisefee liefert uns seltene Einblicke in die erste biozertifizierte Kaffeefarm Tansanias. Wie zum Beispiel: Was macht das Leben auf der Tansania Coffee Farm Machare so besonders? Wie wird ein traditioneller Kaffee in Tansania richtig zubereitet? Wie sieht der Alltag zwischen Kaffeebäumen aus? Was ziehe ich auf der Kaffeefarm an? Gibt es am Kilimandscharo eine Heizung? Und wie verständigt man sich überhaupt? Landessprache ist bekanntlich Suaheli. Dann all die Tiere, die auf der Safari zu sehen sind: Elefanten, Giraffen, Krokodile, Löwen, Zebras und die größte Schimpansen-Population der Welt. Oder auch Schlangen im Pool. Aber welches süße Tier versteckt sich hinter dem Begriff Busch-Baby, das auch Galagos genannt wird? Außerdem gibt Indre allen Hörerinnen und Hörern einen Einblick in den Ursprung der Welt der Bohnen. Erfahrt mehr über das Pflücken, Aufbereiten und die Trocknung der Kaffeekirschen.

Habari zote
Taarifa ya habari 17/07 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 17/07 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 17/07 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 15:00


Habari zote
Taarifa ya habari 17/07 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 13:00


Habari zote
Taarifa ya habari 16/07 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 13:00


Habari zote
Taarifa ya habari 14/07 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 14, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 14/07 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 14, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/07 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 13, 2025 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/07 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 13, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/07 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jul 13, 2025 6:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Julai 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 15:48


Kamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto.

SBS Swahili - SBS Swahili
Uwakilishi wa Mataifa ya Kwanza katika vyombo vya habari: Nini kinabadilika, kwa nini ni muhimu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 12:00


Uwakilishi wa WaAustralia wa Asili katika vyombo vya habari kihistoria umechangiwa na mila potofu na kutengwa ila, hali hii inabadilika pole pole.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Julai 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 15:09


Mamia ya wafanyakazi wa huduma za dharura, helikopta na magari yawataalam yako katika hali ya tahadhari wakati kimbunga kina elekea katika maeneo ya kanda yanayo endelea kupona mafuriko mabaya katika eneo la Kaskazini New South Wales.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 30, 2025 7:29


Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.

Habari zote
Taarifa ya habari 28/06 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 28, 2025 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 28/06 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 28, 2025 10:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 15:19


Waziri Mkuu wa Anthony Albanese ametetea msimamo wa serikali kwa matumizi ya ulinzi, nakutupilia mbali wito kutoka utawala wa Trump kuongeza matumizi hadi asilimia 3.5 ya pato la taifa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 4:42


Waziri wa fedha wa shirikisho Katy Gallagher ametetea bajeti ya ulinzi ya Australia, wakati kuna shinikizo kutoka humu ndani na kutoka ng'ambo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 15:13


Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 19 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 5:30


Ulaya imechukua nafasi yaku fanya mashauriano na Iran, mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza, Ujerumain na Ufaransa wanazungumza na mshirika wao kutoka Iran.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 15:12


Australia imesimamisha oparesheni katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iran, nakuamuru kuondoka kwa maafisa wote wa Australia kwa sababu yakudorora kwa mazingira ya usalama.

SBS Swahili - SBS Swahili
Vyombo vya habari hufanyaje kazi nchini Australia?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 18:34


Uhuru wa vyombo vya habari na vyombo vya habari tofauti ni alama muhimu ya afya nzuri ya demokrasia ambako raia na waandishi wa habari wana mamkalaka ya kujielezeza, kupata taarifa na kuchapisha bila hofu ya kuingiliwa au adhabu kutoka kwa serikali.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 15:57


Waziri Mkuu Anthony Albanese amefanya mikutano na rais mpya wa Korea Kusini, pamoja na katibu mkuu wa NATO pembezoni mwa mkutano wa G7.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 7:07


Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 15:47


Balozi wa zamani wa Australia nchini Marekani, Arthur Sinodinos, amesema mkataba wa AUKUS unastahili kuwa kipaumbele kikuu katika mkutano kati ya Waziri Mkuu Anthony Albanese na Rais wa Marekani Donald Trump.

SBS Swahili - SBS Swahili
Miaka 50 ya SBS- Waandishi wa habari waelezea nyakatu muhimu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 8:00


SBS ina sherehekea miaka 50.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 10 Julai 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 15:32


Kiongozi wa Tasmania wa chama cha Liberal anatarajiwa kuitisha rasmi uchaguzi wa mapema hii leo, hatua itakayo rejesha jimbo hilo la kisiwa katika uchaguzi wa pili katika muda wa miaka mbili.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 17:34


Bunge ya Tasmania yapitisha kura yakutokuwa na imani kwa kiongozi wa jimbo hilo Jeremy Rockliff. Mswada huo ulio wasilishwa na kiongozi wa chama cha Labor Dean Winter, ulipita kwa kura 18 dhidi ya 17, Spika wa Labor Michelle O'Byrne alipiga kura iliyo toa uamuzi wa muswada huo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 5, 2025 5:45


Marekani imetumia kura yake ya turufu dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, lililo kuwa likiomba kusitishwa kwa vita pamoja na misaada yakibinadam kuruhusiwa kuingia katika ukanda wa Gaza bila vizuizi.

Habari za UN
Kuelekea Mkutano wa Bahari UNOC3, UNEP yatoa wito wa hatua za kukabili taka za plastiki

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 4, 2025 3:23


Katika kuelekea Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari UNOC3, utakaofanyika mjini Nice, Ufaransa kuanzia tarehe 9 hadi 13 Juni 2025, Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP nchini Tanzania imetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka na madhubuti kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa bahari, hasa wa taka za plastiki. Akizungumza na Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa nchini humo UNIC jijini Dar es Salaam, Clara Makenya, Mkuu wa Ofisi ya UNEP nchini Tanzania na Afisa Mawasiliano wa shirika hilo kwa Namibia, alisisitiza umuhimu wa kushughulikia kwa haraka tatizo la taka za plastiki ambazo nyingi hutokea nchi kavu na kuishia baharini.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Juni 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 3, 2025 19:30


Seneta Dorinda Cox wa Magharibi Australia ametangaza anahama kutoka chama cha Greens, na atakuwa Seneta wa chama cha Labor hii leo Juni 3.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 30, 2025 15:10


Wakati inaweza chukua zaidi ya mwaka kwa baadhi ya madai ya bima ya mafuriko kutatuliwa, malipo ya mara moja kwa walio athirika jimboni New South Wales yata anza kutolewa leo 30 Mei 2025.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 27, 2025 16:56


Idadi ya nyumba zilizo haribika kabisa katika mafuriko jimboni New South Wales imeongezeka mara mbili nakufika takriban 800. Huduma ya dharura ya jimbo [[SES]] imesema nyumba 794 katika kanda ya pwani ya kati ya kaskazini, zime zingatiwa kuwa haziwezi tumiwa tena baada ya zaidi ya tathmini 5000 za uharibifu kufanywa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2025 6:33


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema hatua ya Israel kuzuia msaada “hai kubaliki kabisa”. Israel ina ruhusu msaada mdogo wakibinadam kuingia Gaza, baada ya takriban miezi mitatu yaku izuia, hali iliyo sababisha uhaba wa chakula na matibabu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 22, 2025 5:38


Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 20, 2025 17:59


Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 16, 2025 15:11


Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 13, 2025 17:28


Sussan Ley ame chaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Liberal. Bi Ley alikuwa Naibu Kiongozi wa chama hicho cha Liberal, alimshinda mpinzani wake mwekahazina kivuli Angus Taylor, katika kura yakumchagua kiongozi mpya muda mfupi ulio pita mjini Canberra.

Habari za UN
Bi. Joy :Teknolojia inatatua changamoto za kijamii - Wasichana katika TEHAMA

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2025 3:38


Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO, sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA, au ICT inaendelea kutawala na kuunda fursa mpya, lakini wanawake bado wanakumbana na changamoto kubwa ya upungufu wa uwakilishi. Hata hivyo, wanawake wanavuka mipaka na sasa Bi. Joy, msichana kutoka Nairobi Kenya, ambaye ni mtaalamu katika teknolojia ya kidijitali, amekalia nafasi muhimu katika kubadili mtindo wa maisha kupitia elimu ya ICT. Katika mahojiano na washirika wetu Radio Domus, alizungumzia umuhimu wa kuhamasisha wasichana kujiunga na masomo ya teknolojia ili kutengeneza mustakabali mpya wa kidijitali, na kubadili dunia kwa njia ya kidigitali na usawa. Sharon Jebichii na Makala zaidi

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 9, 2025 18:08


Anthony Albanese akosolewa kwa kumshasha cheo waziri pekee Muislamu katika baraza lake la mawaziri, wakati vyama vya upinzani vya ongeza juhudi yaku wachagua viongozi wao wapya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 8, 2025 6:13


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng'ambo, kuhakikisha utulivu wa kiuchumi nyumbani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 6, 2025 16:29


Anthony Albanese ata anza muhula wake wa pili kama Waziri Mkuu akiwa na serikali ya wengi, baada ya ushindi mkubwa wa chama cha Labor, chama chake kilishinda viti 86 bungeni.

Habari za UN
02 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 2, 2025 11:50


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari Mei 3 tukikuletea ujumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu umuhimu wake. Pia tunamulika hali ya msaada wa kibinadamu nchini Sudan.Kuelekea siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari Mei 3, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao huku teknolojia mpya ya akili mnemba au AI ingawa licha ya manufaa nayo pia inaibua hatari mpya kwenye uhuru wa kujieleza.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) tayari limeanza usambazaji wa chakula katika maeneo mbalimbali ya Sudan ambako watu wanakabiliwa na jaa huku wengine wakilazimika kuhama kambi moja hadi nyingine.Makala inamulika siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani itakayoadhimishwa kesho Jumamosi Mei 3 ambayo mwaka huu ikijikita na athari za Akili Mnemba au AI katika uhuru wa habari za vyombo vya habari. Ili kufahamu AI inavyoleta mabadiliko katika vyombo vya habari hususan Afrika Mashariki ambako pia pengo la kidijitali ni kubwa."Na mashinani fursa ni yake Volker Turk Kamishna, Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa akitoa wito wa mshikamano dunia itakapoadhimisha kesho siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!