POPULARITY
Categories
Na katika taarifa zetu leo: *watu kumi na watatu wakamatwa HongKong kuhusiana na moto mkubwa wiki iliyopita. *serikali kuendeleza mpango wa kuboresha AI * onyo kutoka kwa mdhibiti wa dawa kuhusiana na dawa ya Ozempic.
Fuata tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa habari na maelezo zaidi
Jiunge na Jason Nyakundi anapotujuza yanayoendelea Afrika.
Jisajili au fuata makala yaliyo rekodiwa ya Australia ya fafanuliwa, kwa habari muhimu zaidi na vidokezo kuhusu kuanza maisha yako mapya nchini Australia. Una swali lolote au wazo la mada? Tutumie barua pepe kwa: australiaexplained@sbs.com.au
Comment des rencontres façonnent un parcours et vous emmènent de l'histoire aux relations internationales en passant par une ONG au Cambodge, une alternance chez Café Muda, un voyage en mode Wwoofing au sein d'une ferme de café au Kenya pour être au plus près des cerises de café, c'est l'histoire de N'Goné Sow, la fondatrice d'Habari que j'ai eu la joie de recevoir à mon micro. N'Goné ne pensait jamais entreprendre et pourtant, elle a créé Habari, qu'elle a tout d'abord imaginé comme une école dédiée au café à destination des professionnels afin d'acquérir les fondamentaux de la dégustation et de la préparation d'un bon café de spécialité. Depuis peu elle propose à la vente deux cafés qu'elle torréfie ici à Lille : Pachamama et Mambo Powa. N'Goné m'a offert le privilège de vivre une dégustation selon la méthode du cupping, qui permet de révéler la palette aromatique du café et c'était un moment où le temps a semblé suspendu. J'ai eu un énorme coup de coeur pour le Mambo Powa. Avec N'Goné nous avons parlé de devenir entrepreure, de trouver sa posture et un équilibre pour se créer des moments à soi, de l'écosystème qui accompagne la création d'entreprises dans la métropole lilloise et de la façon dont le café est entré dans sa vie. Si vous avez aimé cette conversation et que vous avez envie de soutenir ce travail qu'est la création d'un podcast indépendant, n'hésitez pas à vous abonner sur votre plateforme d'écoute, à le noter, à laisser un commentaire et à le partager autour de vous, c'est par ces actions que le podcast sera visible alors merci à vous ! Maintenant, je laisse la place à cette conversation puissante et sensible, que j'ai eu la joie d'enregistrer avec N'Goné.Bonne écoute ! Ses recommandations culturelles :Les chansons de Mylène Farmer et en particulier XXLLa série Gomorra Sa recommandation d'invités :Iris Rouche, de Neja Patisserie Montage et mixage réalisés par la talentueuse Pauline FilippelliHébergé par Ausha. Visitez ausha.co/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.
Here's a strong, compelling episode description written in the Habari Live style — perfect for YouTube, Spotify, or your website:Washington is in full meltdown mode — and tonight on Habari Live, we break down the chaos with CNN-level clarity and Habari-style heat.We start with Trump's explosive outbursts as pressure builds to release the Epstein files. From calling reporters “terrible” and “Piggy,” to threatening ABC's license, Trump is unraveling on camera while Speaker Mike Johnson panics over Senate votes and flip-flops on transparency.Attorney Jack Scarola, who represented nearly 20 Epstein survivors, explains why Trump was questioned in a deposition — and why his knowledge matters. Meanwhile, Republicans are scrambling: Fox News stages “danger and chaos” in Charlotte next to an inflatable frog, and Marjorie Taylor Greene suddenly claims she wants to end toxic politics. Is this real life?We also dig into Scott Bessent's eyebrow-raising claim that the Supreme Court won't dare block Trump's tariff agenda, and the Coast Guard's late-night attempt to soften hate symbols like swastikas and nooses before public outcry forced a reversal. AOC calls the move “genuinely frightening.”Plus: Rep. Jasmine Crockett airs out Trump-era corruption, Mike Johnson freezes under pressure, and protesters across the country show the real state of America in 2025.This is one of the wildest political weeks of the year — and we've got all the receipts.
Habari kuu wiki hii ni siasa za Tanzania zilizosababisha kuundwa kwa tume ya kuchunguza mauaji ya baada ya uchaguzi, kule DRC athari ya mafuriko, tutaangazia ripoti ya WHO kuhusu dhulma dhidi ya wanawake, kule Nigeria tutaangalia utekaji nyara wa wanafunzi zaidi ya 200 pia Mkutano wa G20 kufanyika wikendi hii Afrika Kusini Marekani ikisusia. Mkutano wa COP30 wakamilika Brazil bila mwafaka kuhusu kuachana na mafuta kisukuku.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Tony Burke, anasema kwamba serikali inafanya kazi juu ya uwezekano wa kutambua ujuzi wa nje ya nchi. Anasema hii itasaidia kuokoa muda na pesa kwa wahamiaji wenye ujuzi wanaotafuta kuhamia Australia. Katika hotuba yake kwa Klabu ya Waandishi wa Habari huko Canberra, Bw. Burke pia ametangaza mabadiliko kwenye akaunti za benki zisizotumika ili kukabiliana na utakatishaji wa fedha.
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Leah Mushi anakuletea-Gaza Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula Duniani WFP lasema usitishaji wa mapigano umeleta afueni kwa wakaazi kwani sasa misaada inaendelea kuwafikia wenye uhitaji-Naibu Mratibu wa Misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Joyce Msuya amekuwa ziarani Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na kujionea hali halisi ya wakimbizi, wakimbizi wa ndani na msaada wa kibinadamu-Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa leo limesema katika tathimini yake kuwa ukataji wa misitu umepungua duniani kote ingawa bado kuna shinikizo na hatua zaidi zahitajika-Katika mada kwa kina tunakupeleka nchini Tanzania ambako Vyuo Vikuu vinachukua hatua ya kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs hususan lile namba 17 la ubia kupitia umataifishaji. -Na kwenye jifunze Kiswahili unapata ufafanuzi wa methali " “NG'OMBE WA MNYONGE HAZAI"
⚠️ LIVE NOW on Habari Live: We're exposing the man behind the violence driving Trump's America — Stephen Miller. His “plenary authority” slip wasn't a mistake — it was a warning.From leaked white nationalist emails to extremist policies, Miller's ideology fuels the chaos we're seeing in Chicago, Portland, and across the country. Judges are saying no, but Trump's team is pushing past the Constitution.Join Damon & Iesha as we break down Project 2025, the ICE crackdowns, and the violent agenda being unleashed under the guise of “law and order.”
Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia ina simama kidete juu ya tamaduni nyingi, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kukosoa uhamiaji katika hotuba yake kwa kikao cha mkutano wa Umoja wa Mataifa.