Podcasts about Habari

  • 61PODCASTS
  • 1,761EPISODES
  • 16mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • May 22, 2025LATEST
Habari

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Habari

Show all podcasts related to habari

Latest podcast episodes about Habari

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 22, 2025 5:38


Kiongozi wa New South Wales, Chris Minns, amesema rasilimali za ziada zinatolewa kwa jumuiya ambazo zime athiriwa kwa mafuriko, katika eneo la kati ya pwaZaidi ya idadi ya watu elfu 48,000 kwa sasa wame tengwa kwa sababu ya maji ya mafuriko.

Radio Maria Tanzania
Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 30:48


Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 20, 2025 17:59


Jimbo la Victoria lina tarajia kupata ziada yake ya kwanza tangu janga la UVIKO-19, wakati serikali ya Allan itakapo toa bajeti ya jimbo hii leo Jumanne 20 Mei 2025.

Radio Maria Tanzania
TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 11:16


Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.

Habari zote
Taarifa ya habari 20/05 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 20, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 20/05 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 20, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 20/05 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 20, 2025 15:00


Habari zote
Taarifa ya habari 20/05 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 20, 2025 13:00


Habari zote
Taarifa ya habari 19/05 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 19, 2025 13:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 16, 2025 15:11


Kiongozi wa Upinzani wa Shirikisho Sussan Ley, amesema kuungana tenana wanawake itakuwa kipaumbele chake kama kiongozi wa Upinzani wa shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 13, 2025 17:28


Sussan Ley ame chaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Liberal. Bi Ley alikuwa Naibu Kiongozi wa chama hicho cha Liberal, alimshinda mpinzani wake mwekahazina kivuli Angus Taylor, katika kura yakumchagua kiongozi mpya muda mfupi ulio pita mjini Canberra.

Habari za UN
Bi. Joy :Teknolojia inatatua changamoto za kijamii - Wasichana katika TEHAMA

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2025 3:38


Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO, sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA, au ICT inaendelea kutawala na kuunda fursa mpya, lakini wanawake bado wanakumbana na changamoto kubwa ya upungufu wa uwakilishi. Hata hivyo, wanawake wanavuka mipaka na sasa Bi. Joy, msichana kutoka Nairobi Kenya, ambaye ni mtaalamu katika teknolojia ya kidijitali, amekalia nafasi muhimu katika kubadili mtindo wa maisha kupitia elimu ya ICT. Katika mahojiano na washirika wetu Radio Domus, alizungumzia umuhimu wa kuhamasisha wasichana kujiunga na masomo ya teknolojia ili kutengeneza mustakabali mpya wa kidijitali, na kubadili dunia kwa njia ya kidigitali na usawa. Sharon Jebichii na Makala zaidi

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 9, 2025 18:08


Anthony Albanese akosolewa kwa kumshasha cheo waziri pekee Muislamu katika baraza lake la mawaziri, wakati vyama vya upinzani vya ongeza juhudi yaku wachagua viongozi wao wapya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 8, 2025 6:13


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema mtazamo wa mhula wa pili wa serikali ya Labor, utakuwa kuimarisha mahusiano na washiriki walio ng'ambo, kuhakikisha utulivu wa kiuchumi nyumbani.

Habari zote
Taarifa ya habari 08/05 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 8, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 08/05 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 8, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 07/05 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 7, 2025 10:00


Habari zote
Taarifa ya habari 07/05 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 7, 2025 15:00


Habari zote
Taarifa ya habari 07/05 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later May 7, 2025 13:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 6, 2025 16:29


Anthony Albanese ata anza muhula wake wa pili kama Waziri Mkuu akiwa na serikali ya wengi, baada ya ushindi mkubwa wa chama cha Labor, chama chake kilishinda viti 86 bungeni.

Habari za UN
02 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 2, 2025 11:50


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari Mei 3 tukikuletea ujumbe wa Umoja wa Mataifa kuhusu umuhimu wake. Pia tunamulika hali ya msaada wa kibinadamu nchini Sudan.Kuelekea siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari Mei 3, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao huku teknolojia mpya ya akili mnemba au AI ingawa licha ya manufaa nayo pia inaibua hatari mpya kwenye uhuru wa kujieleza.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) tayari limeanza usambazaji wa chakula katika maeneo mbalimbali ya Sudan ambako watu wanakabiliwa na jaa huku wengine wakilazimika kuhama kambi moja hadi nyingine.Makala inamulika siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani itakayoadhimishwa kesho Jumamosi Mei 3 ambayo mwaka huu ikijikita na athari za Akili Mnemba au AI katika uhuru wa habari za vyombo vya habari. Ili kufahamu AI inavyoleta mabadiliko katika vyombo vya habari hususan Afrika Mashariki ambako pia pengo la kidijitali ni kubwa."Na mashinani fursa ni yake Volker Turk Kamishna, Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa akitoa wito wa mshikamano dunia itakapoadhimisha kesho siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 2 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 2, 2025 18:30


Uchambuzi mpya umetabiri Upinzani wa mseto utapitia uzoefu mubaya zaidi wa matokeo katika muda wa miaka 80 katika uchaguzi mkuu wa kesho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 17:27


Waziri Mkuu Anthony Albanese ana fanya kampeni katika eneo bunge la chama cha Greens la Griffith, chama cha Labor kikiwa na matumaini yakushinda eneo bunge hilo la ndani ya Brisbane.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 5:58


Waziri Mkuu Anthony Albanese ametumia ziara katika shirika linalo toa makaazi ya jumuiya katika eneo la Central Coast jimboni, New South Wales kutangaza ahadi ya uchaguzi yenye thamani ya $20 milioni kwa kituo kipya cha kuondoa kiwewe cha wanawake na watoto.

Habari za UN
25 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 10:57


Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa DRC waliokimbilia Burundi, na ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu. Makala inatupeleka nchini Kenya kuangazia ugonjwa wa malaria na mashinani tunasalia hapa makao makuu katika mkutano wa Jukwaa la watu wa asili.Mazingira ya maisha kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waliongia Burundi na kupelekwa katika kambi ya wakimbizi ya Musenyi si endelevu na yanatishia mustakabali wao. Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Ayaki Ito, amesema hayo leo huko Geneva, Uswisi wakati akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu hali ya wakimbizi hao wanaoendelea kumiminika nchini Burundi.Kesho Aprili 26 ni Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu - Siku ambayo ni fursa kwa ulimwengu kukumbushwa umuhimu wa haki kwa watu wanaobuni mambo mbalimbali duniani. Ili kufahamu zaidi kuhusu Hakibunifu tumezungumza na mtaalamu wa Sheria za Sanaa na Hakimiliki, Wakili Joshua Msambila wa nchini Tanzania, kwanza anaeleza kilichomsukuma yeye kujikita katika eneo hili la sheria.”Makala hii leo ikiwa ni siku ya Malaria duniani tunaelekea Kenya kwa mwandishi wetu Thelma Mwadzaya akiangazia juhudi zinazofanyika kupitia chanjo ili kupambana na malaria ugonjwa mbao Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linasema mwaka 2023 pekee ulikatili maisha ya watu 597,000 na na asilimia 95 ya vifo hivyo vilitokea barani Afrika, na sasa linataka juhudi mara dufu zifanyike ili kuutokomeza.Na katika mashinanin fursa ni yake Kulet Adam Ole Mwarabu kiongozi wa jamii ya kimaasai kutoka Tanzania anayeshiriki katika mkutano wa Jukwaa la watu wa asili kutoka hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na anatoa wito wa maendelo, amani  na utunzaji wa ardhi na mazingira kwa jamii ya asili na dunia nzima kwa jumla.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 17:46


Zaidi ya idadi yawa katoliki milioni 5 nchini Australia wana omboleza, kufuatia kifo cha Papa Francis. Imeripotiwa kuwa Papa alifariki akiwa na miaka 88, baada yaku kumbwa kwa kiharusi na mshtuko wa moyo.

Habari Live
Habari Live: Trump Attacks Immigration and Universities

Habari Live

Play Episode Listen Later Apr 20, 2025 121:36


Welcome to Habari Entertainment, your ultimate destination for the latest in news and entertainment. Dive into a world where current events meet engaging discussions, insightful podcasts, and more. Our channel is dedicated to keeping you informed and entertained with a diverse range of content that caters to all interests.**Our Featured Podcasts:**- **Habari Live:** Stay updated with breaking news, in-depth analysis, and live discussions on the hottest topics.- **Wealth 4 Generations:** Discover strategies for building and sustaining wealth through insightful interviews, expert advice, and practical tips for financial success.- **The Valley Boys Association:** Join the conversation with The Valley Boys as they explore culture, community, and contemporary issues in an engaging and thought-provoking manner.**What We Offer:**- **Daily News Updates:** Get your daily dose of news with concise and comprehensive updates.- **Entertainment Insights:** From the latest in pop culture to movie and TV show reviews, we cover it all.- **Expert Interviews:** Hear from industry leaders and influencers on topics ranging from politics to technology.- **Community Discussions:** Engage with a community that values informed and respectful dialogue.Subscribe to **Habari Entertainment** and never miss a moment of the action. Join us as we bring you the stories that matter, the entertainment you love, and the insights you need. Stay informed. Stay entertained. Stay connected with **Habari Entertainment**.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 15:58


Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali madai kuwa sera ya nyumba ya chama chake, ita ongeza bei za nyumba.

Habari Live
Habari Live: Trumps Attack on Freedom Of Speech!

Habari Live

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 112:50


Welcome to Habari Entertainment, your ultimate destination for the latest in news and entertainment. Dive into a world where current events meet engaging discussions, insightful podcasts, and more. Our channel is dedicated to keeping you informed and entertained with a diverse range of content that caters to all interests.**Our Featured Podcasts:**- **Habari Live:** Stay updated with breaking news, in-depth analysis, and live discussions on the hottest topics.- **Wealth 4 Generations:** Discover strategies for building and sustaining wealth through insightful interviews, expert advice, and practical tips for financial success.- **The Valley Boys Association:** Join the conversation with The Valley Boys as they explore culture, community, and contemporary issues in an engaging and thought-provoking manner.**What We Offer:**- **Daily News Updates:** Get your daily dose of news with concise and comprehensive updates.- **Entertainment Insights:** From the latest in pop culture to movie and TV show reviews, we cover it all.- **Expert Interviews:** Hear from industry leaders and influencers on topics ranging from politics to technology.- **Community Discussions:** Engage with a community that values informed and respectful dialogue.Subscribe to **Habari Entertainment** and never miss a moment of the action. Join us as we bring you the stories that matter, the entertainment you love, and the insights you need. Stay informed. Stay entertained. Stay connected with **Habari Entertainment**.

SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Learn Eng pod 68 Kujadili taarifa za habari

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 16:49


Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu taarifa za habari?

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 5:27


Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 11:25


Waziri Mkuu amekabiliana na maswali kuhusu uwezekano wa mkataba wa manowari ya Australia na Marekani pamoja na Uingereza, kufuatia utoaji wa ushuru wa Marekani ambao ume tikisa dunia nzima.

australia habari aprili marekani uingereza waziri mkuu
Habari za UN
UNICEF na wadau Kenya waelekea kufanikisha ndoto ya Sharlyne kuwa mwandishi wa habari

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 4:24


Kutana na Shalyne Kaputa, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 16 kutoka kaunti ya Turkana, Kaskazini-Magharibi mwa Kenya. Tofauti na shangazi yake, ambaye hakuweza kuendelea na elimu  yake kutokana na kukosa karo, yeye anasoma elimu ya sekondari sasa ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi wa habari. Yote yanawezekana kutokana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada wa shirika la Norway la Maendeleo NORAD na wadau wengine. Je ni usaidizi gani wanapatiwa? Ungana na Assumpta Massoi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 6:08


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tangazwa mwaka jana na jinsi hali hiyo ina wa athiri wa Australia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 16:53


Serikali ya Albanese imesema uwekezaji wa serikali wa $1 bilioni moja inatambua pengo muhimu la wafanyakazi katika huduma ya afya ya akili inayo stahili fanyiwa kazi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 15:34


Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amerudia sera yake muhimu ya uchaguzi yaku wasilisha matibabu ya meno bure kwa mfumo wa Medicare, akisema wa Australia wanalipa hela nyingi sana kwa huduma muhimu ya afya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 5:25


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ita toa dola milioni 50, kwa sekta zitakazo athiriwa kwa tangazo jipya la ushuru kutoka Marekani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Swahili Taarifa ya Habari 1 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 1, 2025 19:20


Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 31 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 31, 2025 5:35


Wa Islamu nchini Australia na duniani kote, wana sherehekea Eid al-Fitr baada ya mwezi mtukufu wa Ramadan kumalizika.

Habari Live
Habari Live: "Trump vs. History: The Battle Over the Smithsonian African American Museum"

Habari Live

Play Episode Listen Later Mar 30, 2025 122:01


Welcome to Habari Entertainment, your ultimate destination for the latest in news and entertainment. Dive into a world where current events meet engaging discussions, insightful podcasts, and more. Our channel is dedicated to keeping you informed and entertained with a diverse range of content that caters to all interests.**Our Featured Podcasts:**- **Habari Live:** Stay updated with breaking news, in-depth analysis, and live discussions on the hottest topics.- **Wealth 4 Generations:** Discover strategies for building and sustaining wealth through insightful interviews, expert advice, and practical tips for financial success.- **The Valley Boys Association:** Join the conversation with The Valley Boys as they explore culture, community, and contemporary issues in an engaging and thought-provoking manner.**What We Offer:**- **Daily News Updates:** Get your daily dose of news with concise and comprehensive updates.- **Entertainment Insights:** From the latest in pop culture to movie and TV show reviews, we cover it all.- **Expert Interviews:** Hear from industry leaders and influencers on topics ranging from politics to technology.- **Community Discussions:** Engage with a community that values informed and respectful dialogue.Subscribe to **Habari Entertainment** and never miss a moment of the action. Join us as we bring you the stories that matter, the entertainment you love, and the insights you need. Stay informed. Stay entertained. Stay connected with **Habari Entertainment**.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 18:17


Waziri Mkuu Anthony Albanese ametangaza kuwa tarehe ya uchaguzi mkuu itakuwa 3 Mei 2025. Bw Albanese ali muarifu Gavana Mkuu Samantha Mostyn, nia yake yaku itisha uchaguzi mkuu mapena leo asubuhi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 6:30


Msemaji wa maswala ya hazina katika Upinzani amethibitisha kuwa Upinzani wa Mseto, utafuta makato ya ushuru ya Labor, upinzani ukishinda uchaguzi mkuu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 25, 2025 18:16


Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Richard Marles, amesema kutakuwa uwekezaji wa ziada katika idara ya Ulinzi wa dola bilioni 1 katika bajeti itakayo tangazwa usiku wa leo Jumanne Machi 25.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 6:40


Serikali ya Labor na Upinzani wana sifu sera zao za Uchumi, kabla ya kutangazwa kwa bajeti ya shirikisho kesho Jumanne 25 Machi.

Habari Live
Habari Live: Trump Dismantles Department of Education

Habari Live

Play Episode Listen Later Mar 23, 2025 105:42


Welcome to Habari Entertainment, your ultimate destination for the latest in news and entertainment. Dive into a world where current events meet engaging discussions, insightful podcasts, and more. Our channel is dedicated to keeping you informed and entertained with a diverse range of content that caters to all interests.**Our Featured Podcasts:**- **Habari Live:** Stay updated with breaking news, in-depth analysis, and live discussions on the hottest topics.- **Wealth 4 Generations:** Discover strategies for building and sustaining wealth through insightful interviews, expert advice, and practical tips for financial success.- **The Valley Boys Association:** Join the conversation with The Valley Boys as they explore culture, community, and contemporary issues in an engaging and thought-provoking manner.**What We Offer:**- **Daily News Updates:** Get your daily dose of news with concise and comprehensive updates.- **Entertainment Insights:** From the latest in pop culture to movie and TV show reviews, we cover it all.- **Expert Interviews:** Hear from industry leaders and influencers on topics ranging from politics to technology.- **Community Discussions:** Engage with a community that values informed and respectful dialogue.Subscribe to **Habari Entertainment** and never miss a moment of the action. Join us as we bring you the stories that matter, the entertainment you love, and the insights you need. Stay informed. Stay entertained. Stay connected with **Habari Entertainment**.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 21, 2025 23:11


Onyo kuu la marufiko limetolewa kwa jumuiya za Kaskazini Queensland, karibu ya Lower Herbert River. Kiwango cha maji kimepita kiwango cha mafuriko cha mita 5.5 asubui ya Alhamisi 20 Machi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 19:34


Shinikizo lakisiasa lina ongezeka kwa chama cha Labor kiache makubaliano ya AUKUS, ambayo kupitia makubaliano hayo Australia inafaa pata manowari ya nyuklia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 6:16


Waziri Mkuu na kiongozi wa zamani wa chama cha Liberals Malcolm Turnbull, amesema hadhani Australia inastahili endelea mbele na ushirikiano wa AUKUS, ametoa maoni hayo wakati wasiwasi una ongezeka iwapo mkataba huo uta tekelezwa chini ya muhula wa pili wa uongozi wa Trump.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 18:27


Wauguzi na wakunga wanaomba mageuzi ya udhibiti yatakayo waruhusu kuagiza vipimo vya uchunguzi, kutoa rufaa kwa watalaam na kuagiza dawa fulani. Ni hatua mashirika ya kilele yamesema itapunguza muda wakusubiri nakupiga jeki matokeo ya huduma ya afya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 5:47


Ripoti mpya ya Chuo cha Monash imeonesha matukio ya unyanyasaji dhidi yawa Islamu wa Australia, yali ongezeka zaidi ya mara mbili kati ya Januari 2023 na Novemba 2024.