Podcasts about Habari

  • 64PODCASTS
  • 2,304EPISODES
  • 16mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Jun 12, 2026LATEST
Habari

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Habari

Show all podcasts related to habari

Latest podcast episodes about Habari

Habari zote
Taarifa ya habari 12/06 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 12, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 12/06 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 12, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 12/06 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 12, 2026 20:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: HRW: Rwanda na M23 zinawaajiri watu kwa lazima kwenye vikosi vyao

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 5:46


Waziri Mkuu Anthony Albanese haja tupilia mbali uwezekano wa kuongeza muda wa kupunguzwa kwa ushuru wa mafuta kutokana na kufufuliwa upya kwa mapigano Mashariki ya Kati.

Habari zote
Taarifa ya habari 11/06 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 11/06 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 11/06 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 11/06 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 10/06 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 10/06 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 10/06 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 16:00


Habari za UN
09 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 9:57


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Kesho kutwa Alhamisi ya Juni 11, macho na masikio yanaelekezwa Mexico, Canada na hapa Marekani kwa ajili ya fainali za kombe la dunia kwa mpira wa miguu, au soka al maarufu kabumbu. Ingawa hivyo zama za sasa za mchezo huo maarufu zaidi duniani zinakumbwa na madhara ya  athari za mabadiliko ya tabianchi. Ongezeko la joto kali linavuruga mechi na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wa mchezo huo. Ni kwa kuzingatia hilo, Sekretarieti ya Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, UNFCCC inamulika suala hilo na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike kwani hivi sasa madhara ya joto kali kwenye kabumbu ni dhahiri. Feissal Kirwa anamulika hilo kupitia video iliyoandaliwa na UNFCCC.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Takriban watoto milioni 138 duniani kote bado wako katika ajira za watoto, wakiwemo watoto milioni 54 wanaofanya kazi hatarishi. Hayo yamo katika ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa ILO. Katika ujumbe wakwe kwenye ripoti hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa ILO, Gilbert F. Houngbo, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kubadili hali hii.“Habari njema ni kwamba hadi sasa tuna wagonjwa 19 ambao wamepona, hivyo utambuzi wa mapema na matibabu vinaokoa maisha,”  Huyo ni Mkurugenzi wa Operesheni za Tahadhari na Hatua za Dharura za Afya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO), Dkt. Abdirahman Mahamud, akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva leo kwa njia ya video kutoka Bunia katika Jimbo la Ituri, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, jimbo ambalo linachangia asilimia 94 ya wagonjwa wote wa Ebola.Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umeanza leo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York na utaendelea hadi 11 Juni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Washiriki wanajadili namna ya kutokomeza ukandamizaji, ukatili na manyanyaso dhidi ya watu wenye ulemavu, kuimarisha mifumo ya huduma na msaada, pamoja na kuongeza ushiriki na uwakilishi wao katika maisha ya kisiasa na umma.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

new york canada mexico fifa tanzania ebola jimbo zanzibar drc ilo kazi unfccc umoja congo drc hayo hii haki kiswahili katika afya ituri baraza habari joto dkt hatua jamhuri mataifa bunia marekani shirika kimataifa mkutano kesho kidemokrasia mkurugenzi alhamisi
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Umaarufu wa chama cha One Nation, walazimisha vyama vya kisiasa nchini kubadili mitazamao yao

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 7:02


Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema serikali lazima zishughulikie mfadhaiko katika uchumi unaoongezeka, baada ya kura mpya ya maoni kuonyesha ongezeko la uungwaji mkono kwa chama cha One Nation.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Australia yatoa heshima zake kwa hayati Richard Scolyer

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 4:57


Wanafamilia na Waziri Mkuu Anthony Albanese wamemkumbuka Richard Scolyer, mshindi wa zamani wa tuzo yamu Australia bora wa mwaka.

MAELEZO PODCASTS
Balozi Kombo Aeleza Umuhimu wa Ziara ya Rais Samia katika Kuimarisha Mahusiano ya Tanzania na Urusi

MAELEZO PODCASTS

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 25:29 Transcription Available


Send us Fan MailMkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara ya Kitaifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 7 Juni, 2026.Support the showIdara ya Habari MAELEZO 

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Upinzani wa mseto wapanga njama yakuzuia kupitishwa kwa sheria ya kodi ya serikali ndani ya Seneti

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 5, 2026 13:22


Mabadiliko ya kodi ya serikali ya shirikisho yamepitishwa ndani ya nyumba la Wawakilishi - ila, upinzani wa mseto hauja tupilia mbali uwezekano wa muungano na chama cha Greens kuzuia mabadiliko hayo kupitishwa ndani ya Seneti na kuwa sheria.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Mahakama ya Kenya yasimamisha kujengwa kituo cha karantini cha Ebola

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 5:26


Mahakama Kuu ya Kenya Jumanne ilisimamisha kwa wiki tatu zaidi mpango wa kujenga kituo cha karantini ya Ebola, kilichopendekezwa na Marekani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Upinzani wa shirikisho wakosoa pendekezo la kumpa mweka hazina mamlaka ya kutoa punguzo la kodi ya faida ya mtaji

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 2, 2026 13:41


Upinzani wa Mseto unakosoa muswada wa mageuzi ya kodi wa serikali ya Labour, kwa kumpa mweka hazina mamlaka ya kuamua ni mali gani zinaweza wekewa punguzo la kodi ya faida ya mtaji.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Wagonjwa wa Ebola waanza kupona DR Congo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 6:10


Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lilisema kwenye taarifa yake ya Jumapili (Mei 31) kwamba, wagonjwa wengine zaidi wa Ebola wanatazamiwa kupona, hasa pale ugunduzi na matibabu yanapoanza mapema, wakati juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo hatari zikiongezeka.

Habari Live
Republicans Redrawing America?! Black Districts Targeted Across The South | Habari Live

Habari Live

Play Episode Listen Later May 31, 2026 131:02


Republicans Redrawing America?! Black Districts Targeted Across The South | Habari LiveTonight on Habari Live, Damon and Iesha break down the growing redistricting battle sweeping across the South as Alabama lawmakers push for new congressional primaries while courts fight over voting maps and Black representation. Tennessee, South Carolina, Louisiana, and Virginia are now all at the center of a political war over district lines, voting rights, and control of the U.S. House.The discussion explores how recent court rulings and weakened Voting Rights Act protections are reshaping elections, why Black lawmakers and civil rights activists are sounding the alarm, and whether mid-decade redistricting is being used to dilute Black political power. From protests outside the Alabama Statehouse to lawsuits in Tennessee, Habari Live examines the national implications of these moves and what they could mean for democracy heading into the next election cycle.Are these maps about fairness — or political power?Is Black voting strength being intentionally weakened?And what happens when voters feel like politicians are choosing their districts instead of districts choosing their politicians?

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Chama cha Nationals chataka uchaguzi uitishwe kuhusu hatma ya mageuzi ya kodi ya serikali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 29, 2026 12:41


Chama cha Nationals kimemtaka Waziri Mkuu Anthony Albanese kuitisha uchaguzi mkuu, kuhusu mabadiliko hasi ya kodi ya vifaa na faida ya mtaji yaliyoainishwa katika bajeti ya shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Polisi wamfungulia mashtaka ya ugaidi, mwanamke aliyerudi Australia kutoka Syria

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 28, 2026 5:24


Jeshi la Polisi la Shirikisho la Australia limemkamata mwanamke mmoja, kama sehemu ya uchunguzi unaoendelea chini ya Operesheni Kurrajong.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Waziri Mkuu atuliza hofu kuhusu sheria inayo tarajiwa kwa upunguzaji wa kodi ya mtaji

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2026 12:35


Waziri Mkuu Anthony Albanese anasema upunguzaji wa kodi ya faida ya mtaji, hautajumuishwa katika sehemu ya kwanza ya sheria inayotarajiwa kuwasilishwa bungeni katika siku zijazo.

MAELEZO PODCASTS
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 (Mei 4, 2026)

MAELEZO PODCASTS

Play Episode Listen Later May 26, 2026 58:35 Transcription Available


Send us Fan MailWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akiwasilisha makadirio ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027, Mei 4, 2026, bungeni, jijini Dodoma.Support the showIdara ya Habari MAELEZO 

sanaa habari mwaka fedha michezo wizara
Habari Live
TRUMP'S AMERICA EXPOSED?! Jan. 6 Payouts, Birthright Citizenship & WATER CRISES | Habari Live

Habari Live

Play Episode Listen Later May 24, 2026 139:41


Tonight on Habari Live, we expose the growing controversies shaking America from Washington to local communities fighting for survival. Republicans erupt over a controversial $1.8 billion “anti-weaponization” fund tied to Trump allies and possible January 6 compensation, while the Supreme Court weighs Trump's push to end birthright citizenship for children born on U.S. soil. We break down the dangerous historical parallels to Dred Scott, the 14th Amendment, and why civil rights groups say these attacks threaten constitutional protections for everyone.We also react to explosive clips featuring Bernie Sanders calling out billionaire influence and demanding a ban on Super PACs, residents in Wisconsin sounding the alarm over data centers draining local water supplies, AOC confronting officials over undrinkable water in Georgia communities, Trump claiming affordability concerns are “made up,” and JD Vance defending Trump on insider trading concerns. From political corruption to environmental injustice, Habari Live connects the dots that mainstream media ignores.#Trump #AOC #BernieSanders #BirthrightCitizenship #SupremeCourt #JDVance #WaterCrisis #Politics #HabariLive #NewsOurWay #January6 #SuperPACs #TrumpNews #CivilRights #BreakingNews

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Kasi yaongezwa kuajiri wauguzi waku kabiliana na mlipuko wa Diphtheria

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 22, 2026 12:26


Mipango inafanywa kupeleka wauguzi zaidi katika Wilaya ya Kaskazini kujibu mlipuko mbaya zaidi wa diphtheria nchini kwa zaidi ya miaka 30.Kesi 230 za maambukizo zimeripotiwa mwaka huu, kesi nyingi zikiwa katika Wilaya ya Kaskazini, lakini pia katika majimbo ya Magharibi Australia, Kusini Australia na Queensland.Nchini Uganda, zaidi ya watu 100 wamewekwa karantini, baada ya kushukiwa kuambukizwa virusi vya Ebola, wakati huu serikali ikiweka mikakati ya kuzuia kusambaa kwa virusi hivyo, baada ya watu wawili kuthibitishwa kuambukizwa jijini Kampala.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Serikali ya Shirikisho ya tetea jibu lake kwa mlipuko wa Diphtheria

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 22, 2026 5:14


Waziri wa Afya Mark Butler ametetea utoaji wa kifurushi cha dola milioni 7 kutoka kwa serikali kusaidia kujibu mlipuko wa ugonjwa wa diphtheria ambayo ni maambukizi makubwa ya bakteria yanayoambukiza sana na huathiri njia zakupumua na inaweza sababisha vidonda kwenye mwili pia.Kiwango cha ukosefu wa ajira nchini Australia kimepanda hadi asilimia 4.5, huku kazi 19,000 zikiaondoka katika uchumi mnamo Aprili. Ofisi ya Takwimu ya Australia inasema ongezeko la ukosefu wa ajira imechangiwa na kupungua kwa ajira ya wanawake, kushuka kwa kwanza katika kitengo hicho tangu Agosti 2025.Shirika la Afya Duniani WHO limesema mlipuko wa Ebola ambao tayari umesababisha vifo vya watu 130 nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo huenda ulianza miezi miwili iliyopita.Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

australia lake ebola kongo diphtheria agosti habari waziri jamhuri aprili serikali shirika
Habari za UN
20 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


Hii leo kwenye Jarida la Habari tuna Muhtasari na Mada kwa Kina.MUHTASARIOngezeko la idadi ya wagonjwa wa Ebola nchini DRCUmuhimu wa kushirikisha jamii kwenye udhibiti wa Ebola Mpango wa Tanzania wa kukabiliana na makazi duniMADA KWA KINAInaangazia uchambuzi wa ripoti ya uanishaji wa upatikanaji wa chakula nchini Tanzania ambapo tumezungumza na Afisa kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Hali iko vipi ? na nini kinafanyika kusaidia waliokumbwa na uhaba wa chakula.Msomaji wako leo ni Rashid Malekela 

tanzania ebola kina umoja hii habari mataifa afrika mashariki muhtasari
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Chama cha Liberal hakifai fuata mwongozo wa chama cha One Nation Andrew McLachlan asema

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 19, 2026 13:22


Mbunge wa chama cha Liberal Andrew McLachlan anasema Upinzani wa Mseto haufai kutafuta mwongozo kutoka kwa chama cha One Nation kuhusu maendeleo ya sera zao, huku akiendelea kupinga pendekezo la Angus Taylor la kupunguza malipo ya ustawi wa jamii kwa watu ambao si raia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda afariki

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 18, 2026 6:08


Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC iliyoko mjini The Hague, Uholanzi imesema mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda Felicien Kabuga amefariki dunia.

Habari Live
TRUMP'S AMERICA IN CRISIS?! Voting Rights GUTTED, Medicaid Frozen & Americans Going BROKE | Habari Live

Habari Live

Play Episode Listen Later May 17, 2026 135:41


Tonight on Habari Live, Damon and Iesha break down a shocking week in American politics and policy. We dive into the Trump administration freezing $1.3 BILLION in Medicaid reimbursements to California, the growing skepticism surrounding claims of healthcare fraud, and what it could mean for seniors, disabled Americans, and working families across the country.We also examine the Supreme Court's explosive Louisiana v. Callais ruling and how critics say it guts the Voting Rights Act, opening the door for aggressive redistricting efforts across Southern states that could dramatically reshape Black political representation before the 2026 and 2028 elections.Plus, our Saturday Notes segment covers rising gas prices, insider trading controversy in Congress, CNN's alarming reports on America's economic struggles, Trump's comments about Americans' financial pain, Jeffrey Epstein survivor backlash, wealth inequality, and the growing frustration many Americans feel toward political elites.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Pendekezo la bajeti la upinzani lashtumiwa kuwa na madeni, upungufu wa kifedha, na utengano

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 15, 2026 12:49


Waziri wa Fedha Jim Chalmers ame ongeza mashambulizi ya chama cha Labor dhidi ya hotuba ya majibu ya bajeti ya Angus Taylor, akimshtumu kiongozi huyo wa Upinzani kwa kutoa pendekezo lenye madeni, upungufu wa kifedha, na utengano.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 14, 2026 6:06


Serikali ya Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Mweka Hazina asema bajeti ijayo ina malengo, akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 12, 2026 13:15


Mweka Hazina wa taifa, Jim Chalmers, ameelezea bajeti inayokuja kama ile yenye malengo makubwa zaidi ya serikali ya Labor kufikia sasa, ikiwa na kile anachokiita akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Ugavi wa nyumba utakuwa muhimu katika bajeti ya shirikisho ya kesho serikali ya sema

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 11, 2026 8:00


Waziri wa Makazi Clare O'Neil, anasema bajeti ya shirikisho itasaidia sana kushughulikia upungufu wa usambazaji wa makazi.

sema katika habari waziri serikali nyumba kesho
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Wanawake watatu wenye uhusiano na kundi la ISIS kufikishwa mahakamani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 8, 2026 13:35


Wanawake watatu wa Australia wenye uhusiano na kundi linalojiita Dola la Kiislamu (ISIS) wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa makosa ya utumwa, uhalifu dhidi ya binadamu, na mashtaka ya ugaidi, baada ya kurejea nyumbani kutoka miaka kadhaa ya kuzuiliwa katika kambi ya wakimbizi nchini Syria.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Serikali yakana shutuma kwamba inawalenga wawekezaji wa "mama na baba" katika bajeti mpya

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 5, 2026 15:28


Jim Chalmers amepuuza mapendekezo kwamba mabadiliko yanayowezekana kwa matumizi hasi ya vifaa au kodi ya faida ya mtaji yatakuwa ni kuvunja ahadi na wapiga kura.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Akiba itazidi matumizi na kodi katika bajeti ijayo Mweka Hazina aeleza taifa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 4, 2026 4:47


Mweka Hazina Jim Chalmers amesema bajeti ya shirikisho ya wiki ijayo itakuwa na kikomo chake kikubwa zaidi, wakati akiba ikitarajiwa kuzidi mabadiliko ya matumizi na kodi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Upinzani waikosoa Serikali ya Madola kwa kuto fanya yakutosha kuimarisha usalama wa taifa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2026 13:19


Mbunge wa Upinzani Jonathon Duniam amesema Serikali ya shirikisho lazima iende mbali zaidi ili kuimarisha usalama wa taifa, kufuatia kutolewa kwa ripoti ya muda iliyotolewa na Tume ya Kifalme inayochunguza maswala ya chuki dhidi ya wayahudi na Uwiano wa Kijamii.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Burundi yaanza chanjo dhidi ya saratani ya kizazi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 30, 2026 6:16


Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong anahimiza China kuanza tena usafirishaji wa mafuta ya ndege yanayo letwa Australia, baada ya mkutano na mwenzake wa China.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Waasi wa Touareg wachukua udhibiti wa mji wa Kidal nchini Mali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 14:27


Australia itatumia jumla ya dola bilioni 1.2 kutengeneza mamia ya magari ya kijeshi aina ya Bushmaster, na kuboresha magari yanayo lindwa aina ya Hawkei. Dola milioni 750 zimetengwa kutengeneza karibu magari 300 aina ya Bushmaster, ikiwa ni pamoja na magari yaliyo agizwa na serikali ya Uholanzi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Hatimae Tume ya Jaji Chande yatoa ripoti ya vurugu za uchaguzi Mkuu Tanzania

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 13:44


Waziri Mkuu anasema wavu wa usalama wa umma utakuwa tayari kwa wakati, kuwasaidia Waaustralia watakao ondolewa kutoka Mpango wa Bima wa Kitaifa ya Ulemavu (NDIS) yenye thamani ya mabilioni ya dola.

tanzania bima tume habari chande ripoti uchaguzi mkuu waziri mkuu
Habari za UN
23 APRILI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo juzi Jumanne na jana Jumatano wagombea wa nafasi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa walipata fursa kunadi serra zao mbele ya nchi wanachama kwenye Baraza Kuu wakiwemo wawakilishi wa asasi za kiraia walioweza kuwauliza maswali. Miongoni mwa wawakilishi hao ni Irene Kitoti, Mwanzilishi na mkurugenzi wa asasi ya kiraia ya Genesis For Children Organization ya nchini Tanzania aliyezungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili. Pia tunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo.Kutokana na mafanikio ya kihistoria kwa afya ya umma ya eneo la Karibe, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO limeipongeza nchi ya Bahamas kwa kuwa taifa la hivi karibuni zaidi katika ukanda huo wa Karibe kuthibitishwa kuwa limekomesha maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI, VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Daktari Tedros Adhanom Ghebreyesus, kupitia taarifa ya shirika hilo ameipongeza Bahamas kwa mafanikio haya makubwa, yanayoimarisha miaka ya dhamira ya kisiasa na kujitolea kwa wahudumu wa afya.Ikiwa leo imetimia miaka 15 tangu kuanza maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wasichana katika Teknolojia ya Habari na Mawasilino, TEHAMA au ICT, Katibu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mawasiliano (ITU), Doreen Bogdan-Martin katika ujumbe wake mahususi wa maadhimisho ya mwaka huu amesema, “kwa sasa tunaishi katika kipindi cha mabadiliko makubwa na ya kusisimua zaidi ya kiteknolojia katika historia ya binadamu lakini vilevile kwa sasa fursa zinazohusiana na mabadiliko haya ya kiteknolojia hazimfikii kila mtu kwa usawa”.Mgogoro wa usafirishaji katika Mlango Bahari wa Hormuz uliosababishwa na vita vya Mashariki ya Kati umefichua tishio jipya: upungufu  wa madini ya kimkakati yanayoendesha uchumi duniani kote  na sasa nchi huenda zitaanza kuhaha kuyapata. Katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Geneva Uswisi, Dario Liguti, Mkurugenzi wa Kitengo cha Nishati Endelevu cha Tume ya kiuchumi ya Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Ulaya, UNICE amesema,  “hatua ya kwanza, mbali na ongezeko la bei bila shaka, itakuwa viwanda kupunguza matumizi yake yake ya madini ya kimkakati na hivyo kupunguza uzalishaji… iwe ni paneli za sola, sumaku, betri na kadhalika, katika siku zijazo.”Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "KUPARAMA"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

bahamas tanzania hormuz ict umoja hii kiswahili katika siku afya taifa tume baraza habari tehama mataifa aprili shirika kimataifa mashariki ikiwa teknolojia miongoni mkurugenzi doreen bogdan martin
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Waathiriwa wa maandamano wakataa mapendekezo ya sasa ya kuhusu fidia nchini Kenya

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 5:26


Waziri Mkuu Anthony Albanese amepuuza matarajio ya vikwazo vikali vya mafuta, kabla ya mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo [[Alhamisi Aprili 23]].

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Australia ya omba matokeo ya mazungumzo katika Mlango-Bahari wa Hormuz

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 21, 2026 13:51


Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong anasema Australia ina omba matokeo ya mazungumzo katika Mlango-Bahari wa Hormuz, baada ya Marekani kushambulia na kukamata meli ya mizigo yenye bendera ya Iran.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: DRC na M23 wa afikiana kuhusu hatua muhimu za kibinaadamu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 6:04


Mweka Hazina wa taifa Jim Chalmers anasema atafanya mazungumzo na serikali za majimbo na mikoa, kuhusu kupunguza ukuaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu (NDIS).

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Aprili 2026

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 12:40


Waziri wa Nishati Chris Bowen anasema uzalishaji wa petroli katika kiwanda cha kusafishia mafuta cha Geelong utaathiriwa kufuatia tukio la moto mapema wiki hii, lakini mmiliki wa kiwanda hicho ana uhakika wa kubadilisha tofauti hiyo na uagizaji.

geelong habari waziri aprili
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Zima moto wakabiliana na moto mkubwa katika kiwanda cha kusafisha mafuta

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 6:15


Kuna ripoti za uharibifu mkubwa kwa moja ya viwanda viwili vya mwisho vya kusafisha mafuta vilivyosalia nchini Australia, kikosi cha zimamoto kikiitikia moto uliozuka katika eneo la kampuni ya Viva Energy Group karibu na Geelong.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Historia ya tengezwa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 14:32


Kwa mara ya kwanza katika historia ya Australia, mwanamke ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia. Waziri Mkuu alitangaza uteuzi wa Luteni Jenerali Susan Coyle mjini Canberra.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Kenya na Ufaransa zapiga hatua katika mkataba wa ulinzi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 13, 2026 5:39


Serikali ya Australia inasema haifikirii kutuma meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz, baada ya Rais Donald Trump kusema mataifa mengine yatahusika katika kizuizi cha Marekani kwenye njia hiyo ya maji.

australia kenya hormuz katika habari hatua serikali marekani ufaransa