POPULARITY
Categories
Kumekuwa na hisia mseto tangu waasi wa AFC/M23 wanaoungwa mkono na Rwanda watangaze kuwa watawaondoa wapiganaji wao katika mji wa Uvira mkoani Kivu Kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Je? shinikizo la Marekani litazaa matunda? sikiliza maoni ya wasikilizaji wetu katika makala hii ya Habari rafiki
Kumekuwa na hisia mseto tangu waasi wa AFC/M23 wanaoungwa mkono na Rwanda watangaze kuwa watawaondoa wapiganaji wao katika mji wa Uvira mkoani Kivu Kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Je? shinikizo la Marekani litazaa matunda? sikiliza maoni ya wasikilizaji wetu katika makala hii ya Habari rafiki
Ilivyo desturi ya kila siku ya Ijumaa, ni mada huru. Tunampa msikilizaji wetu nafasi ya kuzungumzia taarifa ambazo tumeziangazia katika habari zetu juma hili, lakini pia matukio mbalimbali nchini mwake.
Ilivyo desturi ya kila siku ya Ijumaa, ni mada huru. Tunampa msikilizaji wetu nafasi ya kuzungumzia taarifa ambazo tumeziangazia katika habari zetu juma hili, lakini pia matukio mbalimbali nchini mwake.
Kuna mambo mengi ya kushughulikia wakati huu wa mwaka, na milo yetu inaweza kuja na upande wa magonjwa. Baraza la Habari za Usalama wa Chakula la Australia limetoa vidokezo vyake bora jinsi ya kufurahia msimu kwa usalama - kwa lengo la kupunguza zaidi ya kesi milioni nne na laki tano za sumu ya chakula kila mwaka.
Baadhi ya habari zinazojumuisha taarifa yetu leo, *Victoria inatarajiwa kutoa msamaha kwa watu wa mataifa ya kwanza leo *Serikali ya Northern territory imepinga ziara ya umoja wa mataifa *Australia na marekani waanza mazungumzo kuhusu usalama na pia AUKUS *idadi ya vifo vinaendelea kuongezeka sudan baada ya mashambulio wiki iliyopita Kwa habari na maelezo zaidi tembelea tovuti yetu kwa sbs.com.au/swahili.
Habari kuu wiki hii ni pamoja na mkataba wa amani uliosainiwa kati ya Rwanda na Drc chini ya usimamizi wa Washington, tutaangazia siasa wa Uganda na Tanzania, halkadhalika hali ya kibinadamu nchini Sudan, WHO kuonya kuhusu ongezeko la maambukizo na vifo kutokana na Malaria. Tutaangalia hali kule Guinea Bissau baada ya mapinduzi, tutachambua kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, lakini pia mkutano kati ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mwenzake wa China Xi Jinping.
Kwa taarifa zaidi tunakuelekeza katika tovuti ya sbs.com.au/swahili.
Na katika taarifa zetu leo: *watu kumi na watatu wakamatwa HongKong kuhusiana na moto mkubwa wiki iliyopita. *serikali kuendeleza mpango wa kuboresha AI * onyo kutoka kwa mdhibiti wa dawa kuhusiana na dawa ya Ozempic.
Fuata tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa habari na maelezo zaidi
Jisajili au fuata makala yaliyo rekodiwa ya Australia ya fafanuliwa, kwa habari muhimu zaidi na vidokezo kuhusu kuanza maisha yako mapya nchini Australia. Una swali lolote au wazo la mada? Tutumie barua pepe kwa: australiaexplained@sbs.com.au
Jiunge na Jason Nyakundi anapotujuza yanayoendelea Afrika.
Here's a strong, compelling episode description written in the Habari Live style — perfect for YouTube, Spotify, or your website:Washington is in full meltdown mode — and tonight on Habari Live, we break down the chaos with CNN-level clarity and Habari-style heat.We start with Trump's explosive outbursts as pressure builds to release the Epstein files. From calling reporters “terrible” and “Piggy,” to threatening ABC's license, Trump is unraveling on camera while Speaker Mike Johnson panics over Senate votes and flip-flops on transparency.Attorney Jack Scarola, who represented nearly 20 Epstein survivors, explains why Trump was questioned in a deposition — and why his knowledge matters. Meanwhile, Republicans are scrambling: Fox News stages “danger and chaos” in Charlotte next to an inflatable frog, and Marjorie Taylor Greene suddenly claims she wants to end toxic politics. Is this real life?We also dig into Scott Bessent's eyebrow-raising claim that the Supreme Court won't dare block Trump's tariff agenda, and the Coast Guard's late-night attempt to soften hate symbols like swastikas and nooses before public outcry forced a reversal. AOC calls the move “genuinely frightening.”Plus: Rep. Jasmine Crockett airs out Trump-era corruption, Mike Johnson freezes under pressure, and protesters across the country show the real state of America in 2025.This is one of the wildest political weeks of the year — and we've got all the receipts.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Tony Burke, anasema kwamba serikali inafanya kazi juu ya uwezekano wa kutambua ujuzi wa nje ya nchi. Anasema hii itasaidia kuokoa muda na pesa kwa wahamiaji wenye ujuzi wanaotafuta kuhamia Australia. Katika hotuba yake kwa Klabu ya Waandishi wa Habari huko Canberra, Bw. Burke pia ametangaza mabadiliko kwenye akaunti za benki zisizotumika ili kukabiliana na utakatishaji wa fedha.
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Leah Mushi anakuletea-Gaza Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula Duniani WFP lasema usitishaji wa mapigano umeleta afueni kwa wakaazi kwani sasa misaada inaendelea kuwafikia wenye uhitaji-Naibu Mratibu wa Misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Joyce Msuya amekuwa ziarani Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na kujionea hali halisi ya wakimbizi, wakimbizi wa ndani na msaada wa kibinadamu-Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa leo limesema katika tathimini yake kuwa ukataji wa misitu umepungua duniani kote ingawa bado kuna shinikizo na hatua zaidi zahitajika-Katika mada kwa kina tunakupeleka nchini Tanzania ambako Vyuo Vikuu vinachukua hatua ya kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs hususan lile namba 17 la ubia kupitia umataifishaji. -Na kwenye jifunze Kiswahili unapata ufafanuzi wa methali " “NG'OMBE WA MNYONGE HAZAI"
⚠️ LIVE NOW on Habari Live: We're exposing the man behind the violence driving Trump's America — Stephen Miller. His “plenary authority” slip wasn't a mistake — it was a warning.From leaked white nationalist emails to extremist policies, Miller's ideology fuels the chaos we're seeing in Chicago, Portland, and across the country. Judges are saying no, but Trump's team is pushing past the Constitution.Join Damon & Iesha as we break down Project 2025, the ICE crackdowns, and the violent agenda being unleashed under the guise of “law and order.”