Podcasts about Habari

  • 64PODCASTS
  • 2,144EPISODES
  • 16mAVG DURATION
  • 1DAILY NEW EPISODE
  • Feb 25, 2026LATEST
Habari

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Habari

Show all podcasts related to habari

Latest podcast episodes about Habari

Habari zote
Taarifa ya habari 25/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 25/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 25/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 25/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 25, 2026 16:00


Habari za UN
24 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 11:41


Tuliyokuandalia katika Jarifada la Habari hii leoNi miaka miine tangu uvamizi kamili wa Urusi nchini Ukraine, Umoja wa Mataifa wataka vita vikome mara moja kuwapunguzia madhila raiaHuko Gaza Shirika la UNICEF limezindua mpango wa Gaza we want au Gaza tuitakayo ili kukusanya maoni ya watoto baada ya miaka miwili ya vitaHuko The Hague Uholanzi kikao cha majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, (ICC) cha kuthibitisha iwapo kuna ushahidi wa kutosha wa kumfikisha mahakama aliyekuwa Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu kinaendeleaMada yetu kwa kina inajikita Tanzania kuangazia juhudi za kuhakikisha wasichana na wanawake hawaachwi nyuma katika sayansiNa katika jifunze Kiswahili utasikia maana na neno "PEMBUA"

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Hali mbaya ya hewa yaweka sehemu nyingi nchini katika hali ya tahadhari

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 14:05


Sehemu nyingi za Australia ziko katika hali ya juu ya tahadhari, hali mbaya ya hewa na mvua zikiendelea kuathiri jamii na kuharibu njia muhimu za usafiri.

Habari zote
Taarifa ya habari 24/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 24/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 24/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 24/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 23/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 23, 2026 16:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Polisi wamkamata kakake Mfalme Charles

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 20, 2026 11:13


Andrew Mountbatten-Windsor ameachiliwa huru chini ya uchunguzi baada ya polisi wa Uingereza kumhoji kwa saa muda wa masaa 12 kwa tuhuma za utovu wa nidhamu katika ofisi ya umma.

polisi habari mfalme uingereza
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Jamii yawa Islamu nchini katika hali ya tahadhari kubwa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 19, 2026 5:56


Ripoti mpya ya kiuchumi inaonya Australia ina elekea kupoteza hadhi yake, kama taifa lenye deni la chini, huku mikopo ya serikali ikifikia viwango ambavyo havija onekana tangu vita vya pili vya dunia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Sera ya upinzani yakupiga maarufuku baadhi ya wahamiaji kuingia nchini yazua gumzo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 14:57


Mbunge wa chama cha One Nation Barnaby Joyce, amesema ni wazi sera ya uhamiaji ya chama chake, ina ungwa mkono na chama cha Liberal, akihoji madai ya baadhi yama seneta wa chama cha Liberal kuwa hawana taarifa kuhusu mpango huo wa uhamiaji.

Habari zote
Taarifa ya habari 17/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 17/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 16:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Mshtakiwa wa mauaji ya Bondi afikishwa mahakamani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 5:09


Mwanaume ambaye ame shtumiwa kwa kushiriki katika shambulizi laki gaidi katika fukwe ya Bondi, amefikishwa mahakamani.

Sateli 3
Sateli 3 - Bollywood Nuggets Vol. II: The Instrumentals (2025) - 16/02/26

Sateli 3

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 62:41


Sintonía: "Hotel Incidental Music" - Usha Khanna (del film "Hotel" de 1981) 1.- "Giraffe Trapping Music" - Sapan & Jagmohan (del film "Habari" de 1978) 2.- "Orchestral Music" - Raghunath Seth (del film "Ek Baar Phir" de 1979) 3.- "Contessa" - Chic Chocolate (del film "Aakhri Khat" de 1966) 4.- "Dance Music" - S.D. Burman (del film "The Jewel Thief" de 1967) 5.- "Mahbooba Mehbooba" - Van Shipley (del film "Sholay" de 1976) 6.- "Bairaag Dance Music" - Kalyanji - Anandji (del film "Bairaag" de 1973) 7.- "Title Music" - O.P. Nayyar (del film "Kismat" de 1968) 8.- "Dance Music" - Govind-Naresh (del film "Ghamandee" de 1981) 9.- "Chhedo na dekho na" - Hazara Singh (del film "Jigri Dost" de 1969)10.- "Awara sadiyoh se" - Babla & His Orchestra (del film "Bandh Honth" de 1983)11.- "Soul of Bobby" - Laxmikant - Pyarelal (del film "Bobby" de 1973)Todas las músicas extraídas de la compilación (1xLP) "Bollywood Nuggets Vol. II - A Collection of Mind Blowing Instrumental Songs From Hindi Films" (Akenaton Records, 2025)Lo mejor de la compilación (1xLP) "Bollywood Nuggets Vol. I" (2024) + "Nippon Girls Vol. 2" (2014) se emitió el 10/06/2024. Puedes "repescarlo" de los podcasts de Radio 3Escuchar audio

Habari zote
Taarifa ya habari 16/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 15:58


Habari zote
Taarifa ya habari 16/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 16/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 16/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 15/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 15, 2026 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 15/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 15, 2026 9:58


Habari zote
Taarifa ya habari 15/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 15, 2026 5:57


Habari zote
Taarifa ya habari 15/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 15, 2026 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 14/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 14, 2026 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 14/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 14, 2026 6:00


Habari zote
Taarifa ya habari 14/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 14, 2026 5:57


Habari zote
Taarifa ya habari 14/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 14, 2026 10:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Sussan Ley astaafu kutoka siasa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 14:35


Kiongozi wa upinzani wa kwanza wa kike nchini Australia Sussan Ley ametangaza kuwa amestaafu kutoka siasa.

Habari zote
Taarifa ya habari 13/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 20:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 13/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 15:54


Habari zote
Taarifa ya habari 12/02 04h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 12/02 05h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 12/02 15h30 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 16:00


Habari zote
Taarifa ya habari 12/02 15h00 GMT

Habari zote

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 20:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Ziara ya rais wa Israel Isaac Herzog, yazua utata

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 12:46


**ZIARA YA RAISI WA ISRAEL AUSTRALIA YAZUA UTATA HUKU WAANDAMANAJI NA POLISI WAKIKABILIANA KATIKA MAANDAMANO DHIDI YA RAIS HUYO ** SERIKALI YAZINDUA MPANGO WA KWANZA WA FAMILIA NA UNYANYASAJI WA WANAWAKE NA WATOTO WA MATAIFA YA KWANZA. **NA CHAMA CHA LIBERAL BADO LIANENDELEA KUWA NA MZOZO WA UONGOZI WA CHAMA BAADA YA KUGAWANYIKA KWA SIKU 17

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:waziri Mkuu Anthony Albanese atasaini mkataba wa kihistoria wa usalama na Rais wa Indonesia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 12:20


**WAZIRI MKUU ANTHONY ALBANESE YUKO INDONESIA KUSAINI MKATABA WA KIHISTORIA WA USALAMA **MAJESHI YA MAREKANI NA URUSI YATANGAZA KUANZA KUSHIRIKIANA TAARIFA ZA KIJESHI HUKU MAZUNGUMZO YA AMANI NA UKRAINE YAKIENDELEA **WATU ZAIDI YA MIA MOJA HAMSINI WAFARIKI BAADA YA SHAMBULIO NIGERIA

Habari za UN
05 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 5, 2026 11:39


Jaridani hii leo tuna Muhtasari wa Habari ukiangazia hali ya njaa Sudan, mchango wa Marekani dhidi ya VVU/ Ukimwi na kauli ya UNRWA kufuatia taarifa potofu dhidi ya shirika hilo. Halikadhalika mada kwa kina kutoka AfyaAFRIKA.Maeneo mawili zaidi katika jimbo la Darfur Kaskazini ya Um Baru na Kernoi sasa yameingia katika baa la njaa kufuatia utapiamlo wa kupindukia au unyafuzi kuvuka wiwango vya kutokuwa na uhakika wa chakula.Shirika la Umoja wa mataifa linalohusika na vita dhidi ya ukimwi UNAIDS limekaribisha kwa dhati hatua ya Marekani kutia saini kuwa sheria kifurushi cha matumizi ya kimataifa chenye thamani ya dola bilioni 5.88, kwa ajili ya hatua za kimataifa za kukabiliana na virusi vya ukimwi VVU .Kamishina Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA  Phillippe Lazzarini amesema taarifa potofu dhidi ya UNRWA zinaendelea kulenga shirika hilo katikati ya mgogoro Gaza ikiwemo madai ya hivi karibuni kabisa, yaliyoibuliwa na video ya jeshi la Israel ikionesha mifuko mitupu ya unga karibu na mabomu, ambapo amesema ni taarifa za uongo na  hazijadhibitishwa.Katika Mada kwa Kina: Kuelekea siku ya kutokomeza FGM kesho Februari 6, tunazungumza na Catherine Mootian, Muasisi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la kiraia la AfyAfrika la huko Narok nchini Kenya. Yeye ni manusura wa FGM aliyeamua kuchukua hatua kuepusha wengine. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Benki ya hifadhi inatarajiwa kuongeza kiwango cha riba

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 11:28


**BENKI YA HIFADHI INATARAJIWA KUONGEZA KIWANGO CHA RIBA **INDIA NA MAREKANI WAMEFIKIA MAKUBALIANO YA KIBIASHARA **KITUO CHA KITAIFA CHA DAWA ZA KULEVYA CHATOA TAHADHARI KUHUSU DAWA HATARI ZA STAREHE ** IRAN INAJIANDAA KWA MAZUNGUMZO NA MAREKANI KUHUSU NYUKLIA

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:tahadhari ya jua na joto kali iliyovunja rekodi yaendelea kutolewa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 11:23


**WATU WAWILI WAKAMATWA NA POLISI BAADA YA TUKIO LA UFYATULIAJI RISASI HUKO GEELONG. **KIPITO CHA RAFAH KATI YA EGYPT NA GAZA KUFUNGULIWA BAADA YA MIAKA MIWILI ** TAHADHARI KUHUSU MLIPUKO WA VIRUSI VYA NIPAH HUKO INDIA.

habari joto
SBS Swahili - SBS Swahili
Tarifa ya habari:mamlaka za dharura zatoa tahadhari juu ya jua kali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 27, 2026 10:25


**MAMLAKA ZA DHARURA ZATOA TAHADHARI KUHUSU HALI YA HEWA LEO PANDE TOFAUTI VICTORIA **CHAMA CHA LIBERALS LIKO CHINI YA SHINIKIZO NA MSUKUMO WA ZIADA **KUNA PENDEKEZO MPYA YA KUFANYA MAFUTA YA KUJIKINGA NA JUA KUWA LAZIMA SHULENI

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Wanachama wa National wajiuzulu kufuatia sheria tata za hotuba za chuki

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 23, 2026 11:31


**Polisi wamsaka mtuhumiwa wa mauaji New South Wales ** Waustralia hamsini na tatu wataiwakilisha taifa kwenye Michezo ya Olimpiki **Na tamasha ya muziki ya Tamworth yaanza kesho.

Habari za UN
20 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 11:51


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya ambako wasichana juhudi za kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) zimewezesha vijana wa kike kushiriki masomo ya Teknolojia ya Habari na Maewasiliano, TEHAMA na kujifunza stadi za teknolojia ili waweze kuedeleza biashara ya mtandaoni pamoja na matumizi mengine.Zaidi ya watu nusu milioni wameathiriwa na mafuriko makubwa katika mikoa ya kusini na kati ya Msumbiji, huku mvua kubwa ikiendelea kuvuruga usafiri, huduma za afya na njia za ugavi. Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA nchini humo, Paola Emerson, amewaambia waandishi wa habari huko Geneva, Uswisi kuwa majimbo ya Gaza, Sofala na Maputo ndiyo yaliyoathirika vibaya zaidi.Huko Mashariki ya Kati mapema leo Jumanne, vikosi vya Israel vimebomoa kwa tingatinga makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, huko Yerusalemu Mashariki eneo linalokaliwa kimabavu na Israel. Mkuu wa UNRWA, Philippe Lazzarini, amelieleza tukio hilo kama “shambulio lisilo na kifani dhidi ya Umoja wa Mataifa,”.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo imesema imeanza kutekeleza mpango wa kurejesha kwa hatua mamlaka ya dola katika mji wa Uvira, mashariki mwa nchi hiyo, kufuatia kuondoka kwa kundi lenye silaha la AFC/M23. Serikali inasema vikosi vya usalama, polisi na huduma nyingine za serikali vinarejea ili kulinda raia, kulinda mali na kuleta utulivu katika eneo hilo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “ KING'ANI”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

israel kenya gaza tanzania drc unrwa zaidi maputo umoja congo drc ocha hii kiswahili taifa philippe lazzarini baraza habari uvira vijana tehama wanawake jamhuri mataifa serikali mkuu shirika teknolojia kidemokrasia sofala
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Nchi za Ulaya zajiandaa kutetea eneo la Denmark

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 12:13


**Papa waendelea kuwashambulia watu huko Sydney ** Rais Donald Trump aendelea na mchakato wake wa kuchukua Greenland **Soko la Samaki la Sydney sasa limefunguliwa

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkono

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 16, 2026 9:31


** Kikundi cha Kiyahudi kinatoa wito wa mabadiliko na ucheleweshaji wa marekebisho ya hotuba za chuki za serikali... ** Angalau watu watano wameuawa katika mashambulio ya anga ya Israeli katika Ukanda wa Gaza ** Donald Trump ametishia kutuma wanajeshi kwenda Minneapolis ili kutuliza maandamano yanayoendelea juu ya matendo ya maafisa wa uhamiaji wa shirikisho katika Minnesota.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 13, 2026 9:08


**Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Marekani... **Mlipo wa bomu waua maafisa wa polisi kaskazini mwa Pakistan... **Meta yazua shauku kuhusu Australia kuongeza umri wa kutumia mitandao ya kijamii. Kwa habari ama maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.