POPULARITY
Categories
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea-Katika ujumbe wake wa mwaka mpya 2026 Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres ameitaka dunia kushikamana kwa ajili ya amani, maendeleo, na usalama badala ya kuongeza mateso-Huko Somalia kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na wadau wakaazi wa Laascanood waboreshewa huduma za afya baada ya kuvurugika kwa miaka miwili-Na Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO amesema mwaka 2025 ulighubikwa na changamoto lukuki za afya ya umma duniani ikiwemo ukata wa ufadhili, lakini kuna matumaini hasa katika suala la utipwatipwa
Kumekuwa na hisia mseto tangu waasi wa AFC/M23 wanaoungwa mkono na Rwanda watangaze kuwa watawaondoa wapiganaji wao katika mji wa Uvira mkoani Kivu Kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Je? shinikizo la Marekani litazaa matunda? sikiliza maoni ya wasikilizaji wetu katika makala hii ya Habari rafiki
Kumekuwa na hisia mseto tangu waasi wa AFC/M23 wanaoungwa mkono na Rwanda watangaze kuwa watawaondoa wapiganaji wao katika mji wa Uvira mkoani Kivu Kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Je? shinikizo la Marekani litazaa matunda? sikiliza maoni ya wasikilizaji wetu katika makala hii ya Habari rafiki
Kuna mambo mengi ya kushughulikia wakati huu wa mwaka, na milo yetu inaweza kuja na upande wa magonjwa. Baraza la Habari za Usalama wa Chakula la Australia limetoa vidokezo vyake bora jinsi ya kufurahia msimu kwa usalama - kwa lengo la kupunguza zaidi ya kesi milioni nne na laki tano za sumu ya chakula kila mwaka.
Baadhi ya habari zinazojumuisha taarifa yetu leo, *Victoria inatarajiwa kutoa msamaha kwa watu wa mataifa ya kwanza leo *Serikali ya Northern territory imepinga ziara ya umoja wa mataifa *Australia na marekani waanza mazungumzo kuhusu usalama na pia AUKUS *idadi ya vifo vinaendelea kuongezeka sudan baada ya mashambulio wiki iliyopita Kwa habari na maelezo zaidi tembelea tovuti yetu kwa sbs.com.au/swahili.
Kwa taarifa zaidi tunakuelekeza katika tovuti ya sbs.com.au/swahili.
Na katika taarifa zetu leo: *watu kumi na watatu wakamatwa HongKong kuhusiana na moto mkubwa wiki iliyopita. *serikali kuendeleza mpango wa kuboresha AI * onyo kutoka kwa mdhibiti wa dawa kuhusiana na dawa ya Ozempic.
Fuata tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa habari na maelezo zaidi
Jiunge na Jason Nyakundi anapotujuza yanayoendelea Afrika.
Jisajili au fuata makala yaliyo rekodiwa ya Australia ya fafanuliwa, kwa habari muhimu zaidi na vidokezo kuhusu kuanza maisha yako mapya nchini Australia. Una swali lolote au wazo la mada? Tutumie barua pepe kwa: australiaexplained@sbs.com.au
Here's a strong, compelling episode description written in the Habari Live style — perfect for YouTube, Spotify, or your website:Washington is in full meltdown mode — and tonight on Habari Live, we break down the chaos with CNN-level clarity and Habari-style heat.We start with Trump's explosive outbursts as pressure builds to release the Epstein files. From calling reporters “terrible” and “Piggy,” to threatening ABC's license, Trump is unraveling on camera while Speaker Mike Johnson panics over Senate votes and flip-flops on transparency.Attorney Jack Scarola, who represented nearly 20 Epstein survivors, explains why Trump was questioned in a deposition — and why his knowledge matters. Meanwhile, Republicans are scrambling: Fox News stages “danger and chaos” in Charlotte next to an inflatable frog, and Marjorie Taylor Greene suddenly claims she wants to end toxic politics. Is this real life?We also dig into Scott Bessent's eyebrow-raising claim that the Supreme Court won't dare block Trump's tariff agenda, and the Coast Guard's late-night attempt to soften hate symbols like swastikas and nooses before public outcry forced a reversal. AOC calls the move “genuinely frightening.”Plus: Rep. Jasmine Crockett airs out Trump-era corruption, Mike Johnson freezes under pressure, and protesters across the country show the real state of America in 2025.This is one of the wildest political weeks of the year — and we've got all the receipts.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.
Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.