Podcasts about Kuwa

  • 86PODCASTS
  • 1,305EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 11, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Kuwa

Show all podcasts related to kuwa

Latest podcast episodes about Kuwa

SBS Swahili - SBS Swahili
MiniPod: Keep your eye on the ball | Words we use - MiniPod: Keep your eye on the ball | Words we use

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 3:13


Learn a new phrase and make your English sound more natural and interesting. Words We Use is a bilingual series that helps you understand idioms like 'Keep your eye on the ball'. - Jifunze msemo mpya na fanya Kiingereza chako kisikike cha asili na cha kuvutia zaidi. Words we Use ni makala ya lugha mbili, yatakayo kusaidia kuelewa nahau kama vile 'Keep your eye on the ball' (Kuwa makini).

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia Yafafanuliwa: Bendera yawa Aboriginal: Alama ya Utambulisho na Kuwa Sehemu ya Jamii

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2026 8:42


Je, umewahi ona bendera ya rangi nyekundu, nyeusi na njano ikiwa pamoja na bendera ya Australia? Hii ni bendera yawa Aboriginal.

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Juhudi za kijamii zilivyookoa msitu wa Karura uliokua umegeuka kuwa eneo la uhalifu

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later May 21, 2026 19:56


Nairobi ni mwenyeji wa msitu mkubwa wa mvua ulio salama ndani ya mipaka yake: Hifadhi ya Karura yenye ukubwa wa hekari 1,000 ni mapafu muhimu ya mji mkuu wa Kenya, katika kuchuja uchafuzi wa mazingira kwa mamilioni. Ilikuwa ishara ya ukosefu wa usalama, sasa ni mfano mkuu wa kimataifa wa uhifadhi unaoongozwa na jamii haswa shirika la marafiki wa Karura maarufu Friends of Karura. Hata hivyo, msitu wa Karura unakabiliwa na changamoto za kina za kiikolojia. Miti ya kigeni inayokua haraka, uchafuzi wa mazingira wa mijini, magugu vamizi, na kuingiliwa kwa minajili ya upanuzi wa barabara na ujenzi wa miundombinu. Ili kukabiliana na hili, juhudi kubwa za urejesho zinaendelea. Mpango wa utaratibu wa asilimia 60 unaendelea ili kubadilisha miti isiyo ya asili na spishi za urithi katika kurejesha udongo na bioanuwai. Urejeshaji huu unaoendelea hutumika kama mwongozo wa jinsi miji ya kisasa inaweza kurekebisha urithi wao wa asili.

Siha Njema
Mashirika ya kiraia Afrika yanataka nchi za Afrika kuwa na taratibu za pamoja kudhibiti magonjwa

Siha Njema

Play Episode Listen Later May 16, 2026 9:37


Taratibu hizo za pamoja yatahakikisha kuwa nchi za Afrika zinaweka bajeti kwenye sera ya uchumi na kuipa kipau mbele ufadhili wa afya

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Pendekezo la bajeti la upinzani lashtumiwa kuwa na madeni, upungufu wa kifedha, na utengano

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 15, 2026 12:49


Waziri wa Fedha Jim Chalmers ame ongeza mashambulizi ya chama cha Labor dhidi ya hotuba ya majibu ya bajeti ya Angus Taylor, akimshtumu kiongozi huyo wa Upinzani kwa kutoa pendekezo lenye madeni, upungufu wa kifedha, na utengano.

Habari za UN
Akili Mnemba au AI haiwezi kuchukua nafasi ya kuwa mama

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 11, 2026 3:03


Je Akili mnemba AI inaweza kuchukua ajira yako? Ingawa kila uchwao AI inaandika upya sheria za kazi, ubunifu na kubadili vile tunavyoishi lakini kuna kazi moja ambayo bado watu wanasema hiyo ni ya watu maalum sana na kwamba AI haiwezi kuichukua. Hapo jana jumapili tarehe 10 Mei dunia iliadhimisha siku ya wakina mama duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya Uzazi UNFPA lilitembelea viunga vya New York Marekani na kuzungumza na wanawake. Tuungane na Leah Mushi kusikia wamesema nini kuhusu AI.

ai mama umoja akili kuwa wanawake mataifa teknolojia
Radio Maria Tanzania
JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 21:45


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Samson Tibianus, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Mada ni JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? Tarehe 26  Februari 2026 L'articolo JE! NI KWELI KUWA SALA YA BABA YETU TUNAYOSALI WAKATOLIKI IPO KATIKA BIBLIA TAKATIFU? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Abiria mwingine amethibitishwa kuwa na ugonjwa wa virusi vya Hanta

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 6, 2026 2:35


Imethibitishwa kuwa abiria mwingine aliyekuwa kwenye meli ya kitalii iliyohusishwa na mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Hanta au Hantavirus ameambukizwa ugonjwa huo, ugonjwa ambao tayari umeua watu watatu waliokuwa ndani ya meli na kusababisha tahadhari ya kimataifa iliyoratibiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa.  Assumpta Massoi na taarifa zaidi.

umoja hantavirus kuwa mataifa virusi shirika ugonjwa
SBS Somali - SBS Afomali
The overlooked story: Aboriginal and Torres Strait Islander service on ANZAC Day - Dhibbanayaashii la illaaway: Kaalinta dadka Aboriginal-ka iyo kuwa Torres Strait Islander ee xuska ANZAC Day

SBS Somali - SBS Afomali

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 9:21


Each year Australians gather on ANZAC Day to remember those who served in wars, conflicts and peacekeeping missions. But whose stories are we remembering? Are there stories we don't always hear? In this episode we explore an important part of Australia's history that has often been overlooked—the service of Aboriginal and Torres Strait Islander peoples. - Maalinta la yiraahdo, ANZAC Day waa mid ka mid ah maalmaha qaranka ee ugu muhiimsan Australia. Sannad kasta, dadku waxay isugu soo baxaan inay xusuustaan kuwii u soo adeegay dalkan, xilliyadii dagaallada iyo hawlgallada nabad-ilaalinta.

Radio Maria Tanzania
UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 50:24


Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Kampeni ya Fursa Sana” inayoratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili uizfahamu fursa zinazopatikana kwenye mitandao ya kijamii. Wawezeshaji wa Kipindi hiki ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi kutoka TCRA Bi. Herieth Shija pamoja na Mhandisi Mohamed Bokko pia kutoka TCRA. Mtangazaji ni Agatha Kisimba. L'articolo UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu kuwa kipindi ajira mamlaka kampeni
Wimbi la Siasa
Kwanini Ruben Kigame, anataka kuwa rais wa Kenya 2027 ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 22, 2026 10:12


Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ni mwezi Agosti mwaka 2027, lakini wanasiasa mbalimbali wameanza kuonesha nia ya kugombea kiti cha urais. Miongoni mwao ni Ruben Kigame, mwanasiasa, mwanaharakati, mhadhiri, mwandishi wa Habari na mwanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili. Yeye ni mlemavu wa Macho, ameamua kujitosa uwanjani, kutafuta uongozi wa nchi ya Kenya. Nini kimemsukuma ?  Wiki hii anazungumza na mwenzangu, Benson Wakoli.

Habari za UN
Lishe yarejesha matumaini ya elimu Kigoma, Magdalena arejea shuleni na kuwa chanzo cha mabadiliko

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 3:02


Elimu imeanza kung'aa tena kwa watoto katika kijiji cha Twabagondozi, ambapo njaa iliyokuwa kikwazo kikubwa cha masomo sasa inapungua kupitia mpango wa lishe na malezi bora unaoungwa mkono na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF Tanzania kwa ufadhili wa Serikali ya Japan. Kupitia juhudi hizi, watoto kama Magdalena A. Prosper wamepata nafasi ya kurejea darasani, kujifunza na hata kuwa viongozi shuleni. Feissal kirwa anasimulia.

japan tanzania umoja kuwa elimu mataifa serikali
Habari za UN
Watengeneza maudhui nchini Kenya waaswa kuwa walinzi wa amani na ukweli mtandaoni - UNESCO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 3:05


Ni dhahiri hivi sasa watu wengi zaidi wanatumia mitandao ya kijamii katika shughuli mbalimbali na pia kupata taarifa, na kwakuzingatia ukweli huo, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, likishirikiana na Umoja wa wamiliki vya vyombo vya habari vya mtandaoni (Wanablogu) nchini Kenya, BAKE (inatamkwa ‘BEKI'), limeandaa mafunzo maalum jijini Nairobi yaliyopewa jina la "Social Media 4 Peace" yaani mitandao ya kijamii kwa amani. Rashid Malekela anaeleza zaidi.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “AWALI KUWA HERI SI AJABU”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 16, 2026 1:02


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “AWALI KUWA HERI SI AJABU” 

kenya nairobi heri kiswahili katika kuwa maana dkt jifunze chuo kikuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Historia ya tengezwa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 14:32


Kwa mara ya kwanza katika historia ya Australia, mwanamke ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Australia. Waziri Mkuu alitangaza uteuzi wa Luteni Jenerali Susan Coyle mjini Canberra.

Habari za UN
Kuwa na orodha ya manunuzi kutasaidia kupunguza utupaji wa chakula

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 2:53


Wakati hii leo dunia ikiadhimisha siku ya Kimataifa ya kutozalisha taka, Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa kila mtu kujifunza upya yamna ya kufanya manunuzi ya vitu na mapishi ambayo hayatasababisha umwagaji wa chakula ili kunusuru mifumo ya ikolojia na afya ya binadamu. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi. 

taka umoja kuwa wakati mataifa kimataifa mazingira
Habari za UN
UN: Hali inaendelea kuwa mbaya Mashariki ya Kati ikikatili zaidi maisha ya watu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 3:14


Vita vya Mashariki ya Kati vimeingia mwezi wa pili huku ghasia zikiongezeka katika maeneo kadhaa, ikiwemo Lebanon, Iran na Ghuba. Mlinzi wa amani wa Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon UNIFIL ameuawa baada ya kombora kulipuka katika kituo cha Umoja wa Mataifa karibu na Adchit Al Qusayr, huku mwingine akiwa mahtuti hospitali. Flora Nducha na Taarifa zaidi

Habari za UN
FAO yaonya kuwa mgogoro wa Mashariki ya Kati watishia mifumo ya chakula duniani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 18, 2026 2:36


Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) linaonya kuwa kuongezeka kwa mgogoro katika Ghuba ya Uajemi au Mashariki ya Kati kunahatarisha mifumo ya chakula duniani, likitaja kupanda kwa gharama za nishati, mbolea na uzalishaji wa chakula kama athari kuu. Flora Nducha anafafanua zaidi katika taarifa hii

umoja kuwa shirika mashariki
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahojiano: Jay "vita dhidi ya Iran vinaweza kuwa na madhara makubwa sana kwa Australia"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 10:54


Madhara ya vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran, yame anza kushuhudiwa nchini Australia.

SBS Somali - SBS Afomali
International Women's Day: Dumarku ammaan ma helaan maxaase loo qaban karaa kuwa ka cararaya tacaddiyo?

SBS Somali - SBS Afomali

Play Episode Listen Later Mar 10, 2026 8:48


Sannadkii 2025, gobolka New South Wales oo qura waxaa laga diiwaangeliyey tiradii ugu badnayd ee ah, haween loo dilay sababo la xiriira tacaddiyada qoyska. Maxaa laga qaban karaa?

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Ubaguzi wa rangi wabainika kuwa umeenea na niwa kimfumo katika vyuo vikuu vya Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 18:53


Ripoti ya kwanza ya kitaifa kuhusu ubaguzi wa rangi katika vyuo vikuu nchini Australia imegundua kuwa ni tatizo lililo enea na la kimfumo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Shirika la Haki za Binadamu laonya kuwa demokrasia iko hatarini ikilinganishwa na miaka ya 1980

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 10:49


Demokrasia na utaratibu wa kimataifa unaozingatia sheria ziko hatarini, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la haki za binadamu ama Human Rights Watch. Kuna msisitizo mahususi juu ya Marekani na kile ambacho chombo cha kimataifa kinaelezea kama kudorora kwa haki za binadamu, lakini pia kuna tahadhari juu ya Australia. Sera za uhamiaji na kuwekwa kizuizini kwa vijana za Australia zinaorodheshwa kama 'mapungufu makubwa', zikionyeshwa kuwa ni demokrasia pekee ya Magharibi isiyo na sheria ya kitaifa ya haki za binadamu.

Habari za UN
Uchaguzi nchini Uganda hauwezi kuwa huru bila kulindwa kwa Haki za Binadamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 7, 2026 3:19


Wakati nchi ya Uganda ikijiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 15 mwezi huu wa Januari, wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa hii leo wametoa taarifa ikionya kwamba hali ya haki za binadamu nchini Uganda si rafiki kwa uchaguzi wa amani. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.

uganda bila umoja haki kuwa wakati mataifa uchaguzi uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Wataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezeka

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 11, 2025 8:03


Katika wiki za hivi karibuni, moto wa nyika umesababisha uharibifu wa nyumba na mali katika maeneo ya pwani ya katikati ya kaskazini ya New South Wales, Geraldton huko Magharibi mwa Australia na mashariki mwa Tasmania. Wataalamu wanaonya kuwa huu ni mwanzo tu wa msimu wa moto na nyinyi ambao mnasafiri kwa ajili ya likizo mnahitaji kuwa na ufahamu na maandalizi mkiwa mbali na nyumbani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Mfumo wa kiufundi umeundwa kubadilisha taka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 4, 2025 5:50


Nchini Australia, karibu tani milioni 7.6 za chakula zinapotezwa kila mwaka. Mwanzilishi mmoja wa kike ameunda suluhisho ndani ya sanduku.Linapokuja suala la usafi wa taka za chakula hatahivo, mwanzilishi wa kampuni ya kuanzisha Olympia Yarger [[Yar-gah]] ana fahari ya kuwa ametengeneza mfumo wa kiteknolojia unaoweza kubadilisha taka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika – kwa kutumia wadudu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii ya Sudan walio Australia waendelea kuwa na wasiwasi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 10, 2025 8:13


Jamii ya watu wa Sudan walio nchini Australia wana wasiwasi mkubwa ,wakisubiri habari kutoka kwa familia zao walionaswa katika jiji la Al-Fasher baada ya mlipuko wa ghasia. Jiji hilo lilitekwa na Rapid Support Forces wiki mbili iliyopita, na wataalamu wanaamini kwamba maelfu huenda wameuawa katika mauaji ya kutisha. Kwa kuwa huduma za intaneti na simu zimekatwa, wanaoishi nje ya nchi wanalazimika kukaa na kusubiri ili kujua kama wapendwa wao bado wako hai.

Habari za UN
WFP - Janga la njaa DRC linazidi kuwa baya kutokana na mapigano na ukosefu wa ufadhili wa misaada

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2025 2:24


Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 09/10/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 14:02


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 09/10/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru kuwa 08/10/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Oct 8, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Ikinamico - Urunana
Urunana rwo kuwa 07/10/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Oct 7, 2025 14:53


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 07/10/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Oct 7, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru kuwa 06/10/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Oct 6, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Habari za UN
Gaza: Mashirika ya UN yaonya kuwa hospitali zimegeuka kuwa uwanja wa mapambano

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 3, 2025 2:58


Umoja wa Mataifa umeonya kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza imefikia hatua ya kutisha, huku hospitali zikigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano, kukizidiwa na wagonjwa na misaada kukwama. Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameaambia waandishi wa habari leo mjini Geneva kuwa kuwa watoto wanakosa hewa ya oksijeni, wagonjwa wanakufa kwenye meza za upasuaji, na risasi zinavurumishwa moja kwa moja ndani ya hospitali.  Flora Nducha amefuatilia na hii hapa taarifa yake

Habari za UN
UNGA80:Hotuba ya Netanyahu yakumbana na upinzani, yeye augeuza ukumbi kuwa darasa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 26, 2025 3:54


Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa umeingia katika siku yake ya nne hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani leo Ijumaa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekuwa wa kwanza kuzungumza akitumia muda wake mwingi kushambulia wanamgambowa kipalestina, Hamas na kutetea kila uamuzi wa Israel. Anold Kayanda ameifuatilia hotuba hiyo kwa kina. Ilikuwa majira ya saa tatu na dakika chache hivi asubuhi ya leo saa za New York nchini Marekani ambapo Waziri Mkuu wa Isreal Benjamin Netanyahu amepewa fursa ya kuhutubia na ndipo ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukakosa utulivu. Wajumbe kwa makundi walinyanyuka katika viti vyao na kuondoka huku wakiwaacha maafisa wa Israel wakimpigia makofi kiongozi wao na pia nchi zinazoiunga mkono Israel zikasalia katika viti vyao ikiwemo Marekani.Baadhi ya wajumbe watoka njeKatika eneo la walipotakiwa kukaa wawakilishi wa Palestina kulikuwa wazi, huku katika eneo la Iran ikibakia picha iliyokusanya sura za baadhi ya watu wao waliouawa na mashambulizi ya Israel. Bwana Netanyahu kwa mara nyingine tena ameingia na ubao wenye picha ya ramani ya eneo la Mashariki ya Kati akiutumia kuishambulia Iran na kwa kutumia kalamu akiweka alama ya vema kuonesha namna ambavyo Israel imefanikiwa kupambana na ngome za Irani katika ukanda huo. Katika suti yake, kifuani upande wa kulia, Bwana Netanyahu pia ameweka kibandiko chenye QR Code na akawaambia watu kuwa Israel bado inakumbuka tukio walilofanyiwa na Hamas mwezi Oktoba mwaka juzi na kwamba ikiwa watu wamesahau hilo basi waelekeze simu zao kwenye QR Code hiyo kwenye nguo yake ili iwaoneshe madhara yaliyofanywa na Hamas.Majina ya mateka yakasomwaWaziri Mkuu huyo wa Israel ameyasoma majina ya mateka ambao bado wako mikononi mwa Hamas katika eneo la Ukanda wa Gaza na pia akaueleza mkutano kuwa amesambaza vipaza sauti au spika katika eneo lote la Gaza ili anapoongea leo, azungumze moja kwa moja na mateka huko walikofichwa. Na hapo akabadilisha lugha na kuongea kwa kihebrania akiwaahidi kuwa atawakomboa. Vilevile amedokeza kuwa kwa namna ya kiintelijensia Israel imefanya simu leo ziweze kusambaza hotuba katika ukanda wa Gaza na hivyo akautumia muda huo kupeleka ujumbe mkali kwa Hamas kuwa ataendelea kuwadhibiti. Bwana Netanyahu pia  ameingia ukumbini na vibao viwili vyenye maswali na majibu ya kuchagua japokuwa jibu sahihi kwa mujibu wake na waliojibu kuwa ni All the Above, yaani majibu yote ni sahihi. Maswali yote yalikuwa yakiwatuhumu Iran, Hamas, Al Caeda, Hezbollah na Houthi kuwa pia wanaitakia kifo Marekani na wameua watu wengi Ulaya. Huenda hotuba hii ya Netanyahu ikaingia katika orodha ya hotuba tano ndefu zaidi baada ya ile ya Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, Ya Mahmoud Abbass wa Palestina na Félix-Antoine Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao wote hao walitumia zaidi ya dakika arobaini licha ya muda wa hotuba uliopangwa kuwa angalau dakika 15.

new york israel iran gaza hamas congo benjamin netanyahu hezbollah palestina qr codes houthis drc rais irani umoja yeye katika kuwa jamhuri mataifa baadhi oktoba marekani mkutano mashariki maswali kidemokrasia waziri mkuu majina
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 19/09/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Sep 19, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru kuwa 17/09/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Sep 17, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa mbere 25/8/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Aug 25, 2025 30:00


Amakuru yo kuwa mbere 25/8/2025

kuwa amakuru
Habari za UN
UNICEF: Vidokezo muhimu vya malezi bora kwa watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 15, 2025 1:47


Kuwa mzazi si rahisi kila wakati, lakini usaidizi unaofaa unaweza kuleta mabadiliko ndio maana Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF limekuwa likiendesha mafunzo kwa wazazi juu ya namna bora za kulea watoto. Alinune Nsemwa ambaye ni  mtaalamu wa masuala ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kutoka UNICEF nchini Tanzania ameeleza vidokezo vitatu muhimu vya kuwalea watoto ambavyo vinaweza kuleta utofauti mkubwa.

Habari za UN
15 AGOSTI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 15, 2025 9:43


Jaridani leo tunaangazia mkataba wa Kimataifa wenye nguvu kisheria kuhusu uchafuzi wa plastiki, na vidokezo vya malezi salama ya watoto. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani nchini Chad, kulikoni?Siku 10 za mkutano wa Kamati ya Kimataifa ya Majadiliano (INC) ya kuandaa Mkataba wa Kimataifa wenye nguvu kisheria kuhusu uchafuzi wa plastiki, ikiwemo katika mazingira ya bahari, zimemalizika huko Geneva, Uswisi bila muafaka kwenye nyaraka tarajiwa, ambapo mkutano umeahirishwa hadi tarehe itakayotangazwa baadaye.Kuwa mzazi si rahisi kila wakati, lakini usaidizi unaofaa unaweza kuleta mabadiliko ndio maana Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF limekuwa likiendesha mafunzo kwa wazazi juu ya namna bora za kulea watoto. Alinune Nsemwa ambaye ni  mtaalamu wa masuala ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kutoka UNICEF nchini Tanzania ameeleza vidokezo vitatu muhimu vya kuwalea watoto ambavyo vinaweza kuleta utofauti mkubwa.Makala ninakukutanisha na Sawiche Wamunza Mtaalamu wa Mawasiliano ya Kimkakati wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP nchini Tanzania ambaye baada ya mafunzo ya siku tatu ya uchumi rejeleshi katika mkoa wa Mtwara, Kusini-Mashariki mwa Tanzania alizungumza na Godlove Makunge Muasisi na Mkurugenzi wa kampuni ya kuzoa taka na usafi wa mazingira, iitwayo Shikamana Investment. Bwana Makunge anaanza kwa kuelezea mtazamo wa jamii kwake baada ya kuamua kuanza kuzoa taka.Na katika Radwa Ahmed, Mkimbizi kutoka Sudan ambaye alianza kwa kuoka mikate kwa ajili ya familia yake, na kwa ufadhili wa shirika la Umoja wakimbizi Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, ameweza kuigeuza talanta yake kuwa biashara ya kuuza mikate na kuajiri wakimbizi wenzake.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

tanzania sudan unicef unhcr undp umoja makala siku kuwa agosti biashara mataifa maendeleo shirika kimataifa mkurugenzi
Habari za UN
Vijana waeleza mustakabali wa maisha yao na iwapo wangependa kuwa wazazi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 13, 2025 2:43


Wakati dunia ikiendelea kugubikwa na changamoto mbalimbali ikiwemo athari za mabadiliko ya tabianchi na hali mbaya za kiuchumi, vijana wamepaza sauti kueleza wasiwasi wao wa kuwa na Watoto siku za usoni. Tuungane na Leah Mushi katika Makala hii aliyotuandalia kutoka kwenye video ya shirika la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi na idadi ya watu UNFPA ambayo iliwahoji vijana kutaka kufahamu iwapo wangependa kuwa na Watoto kwa siku za usoni.

Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 08/08/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Aug 8, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 07/08/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 14:04


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 07/08/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Amakuru kuri  BBC - Gahuzamiryango
Amakuru yo kuwa 06/08/2025

Amakuru kuri BBC - Gahuzamiryango

Play Episode Listen Later Aug 6, 2025 29:55


Amakuru y'imonota 30 mutegurirwa na BBC Gahuzamiryango.

kuwa amakuru bbc gahuzamiryango
Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 05/08/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 14:54


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Habari za UN
Siku ya kimataifa ya urafiki, je wewe wapenda kuwa na rafiki wa aina gani?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 30, 2025 3:05


Umoja wa Mataifa kwa kutambua nafasi ya urafiki katika kujenga amani, utulivu na kusongesha maendeleo kuanzia ngazi ya mtu mmoja mmoja hadi ngazi ya mataifa, mwaka 2011 kupitia Baraza lake Kuu, ulitenga Julai 30 kuwa siku ya urafiki duniani.  Umoja wa Mataifa unasema katika wakati ambapo kelele za mgawanyiko zinazidi kuwa kubwa — zikiendeshwa na vita, migogoro, ukosefu wa usawa, na hofu — urafiki unaonekana kuwa wa kishujaa kutokana na unyenyekevu wake. Urafiki huanza na kitu cha utulivu zaidi: mazungumzo, wakati wa pamoja, utayari wa kuonana si kama wageni bali kama wasafiri wenza katika safari ya utu. Je huko Kenya, mkazi mmoja wa Kaunti ya Kajiado, urafiki kwake ni nini? Kelvin Keitany wa Redio washirika Radio Domus amefunga safari na kutuandalia makala hii.

Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 17/07/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Jul 17, 2025 14:55


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 15/07/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 14:54


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.

Ikinamico - Urunana
Urunana kuwa 26/05/2025

Ikinamico - Urunana

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 14:54


Ikinamico Urunana. Buri Wa kabiri n'uwakane.