POPULARITY
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?
Ungana na Martin Joseph pamojana Padre Gidioni Kitamboya, Kutoka Jimbo kuu la Dodoma katika kipinidi cha Tafakari za Mama Bikira Maria, anaendelea kuelezea matokeo ya Fatima muendelezo wake.
Mwanaume mmoja kutoka Gold Coast pamoja na mbwa wake, wame zolewa hadi kufa na maji ya mafuriko, wakati janga la mafuriko jimboni Queensland, yana elekea katika maeneo ya kusini ya jimbo hilo na katika maeneo ya Kaskazini ya jimbo jirani la New South Wales, ambako hali hiyo inatarajiwa kuwa mbaya zaidi katika siku zijazo.
Migogoro yakikabila inayo endelea katika jimbo la Kusini Kivu, Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, ina endelea kuzua wasiwasi katika jamii kadhaa nchini Australia.
Gaea Star Crystal Radio Hour #407 was recorded on a hot August afternoon at Singing Brook Studio in Worthington, Massachusetts, and features the Gaea Star Band performing original, visionary acoustic improv music with Mariam Massaro on lead vocals, native flute, dulcimer, twelve string guitar and ukulele, Robin Rooney on djimbe, percussion and vocals, Bob Sherwood on piano and Craig Harris on congas and native drums. Today we begin with the languid, prayerlike mantra “Turn The Golden Knob”, a psychedelic, evocative piece with a compelling vocal from Mariam. Next up is the gorgeous “In The River”, a bittersweet summer song with a perfect folk melody from Mariam and a metronomic and lovely piano motif from Bob. Mariam strums her open-tuned 12 string guitar for the mysterious, modal “Mist Is Rising In The Meadow”, accompanying an eldritch, ancient melody, and “Yanayo” is a drifting minor ballad led by Mariam’s ukulele featuring a wandering melody of deep mystery. Bob picks up the bass guitar for the groovy “We Are Going To Change Our World”, a driving rock groove with an assertive, inspiring vocal from Mariam, and “Ruby” is a fearie country song with a Nashville undertone and a whimsical lyric from Mariam. Today’s final song is “All Life Unfolds” from the “For The Children” album, here featuring excellent flute work from Mariam and a steady, pulsing drum groove from Robin and Craig.Learn more about Mariam here: http://www.mariammassaro.com
Wakati athari za janga la coronavirus zinakaba sehemu za uchumi, taarifa mpya imemulika kiwango cha magumu yanayo wakabili wahamiaji wa muda nchini Australia.
Kupunguwa hamu ya tendo la ndoa sio Tatizo linalo wakabili wanaume pekee. Wanawake pia wanakumbwa sana na tatizo hili na ni tatizo kubwa sana huleta migogoro mikubwa sana ya kindoa. 1. Kuvurugika kwa homoni za kike. Kupanda kwa Prolactin na kushuka kwa Estrogen. 2. Magonjwa ya lishe Kitambi Kisukari Shinikizo la damu nk 3. Umri wa kikomo cha hedhi 4. Uzazi wa mpango nk Sikiliza Elimu Kutoka kwa Dr Boaz Mkumbo.
Protestors in the Democratic Republic of Congo have attacked a facility used to assess potential ebola cases, angry at what they perceive to be attempts to exclude them from voting in the country's presidential election - Waandamanaji nchini jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wame shambulia kituo kinacho tumiwa kuchunguza kesi za ebola, baada yaku kasirishwa kwa majaribo yaku watenga katika mchakato wakupiga kura katika uchaguzi wa urais nchini humo.
Mambo Yanayo Haribu Swaumu
Makosa Yanayo Pingana Na Itikadi Sahihi
Mambo Yanayo Ruhusiwa Kwa Alie Funga Kuyafanya
Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani