Podcasts about ndoa

  • 43PODCASTS
  • 600EPISODES
  • 30mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Jun 16, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about ndoa

Latest podcast episodes about ndoa

Radio Maria Tanzania
Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 58:08


Karibu sana msikilizaji  kusikiliza kipindi cha Sheria za Kanisa, Mimi ni Mtangazaji wako Raymond Karega nikiwa na Mwezeshaji Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa, kutoka Jimbo Katoliki Njombe.  Katika kipindi hiki amezungumzia juu ya Sheria namba 1095-1107, “Makubaliano katika kufunga Ndoa”. L'articolo Je, ni yapi makubaliano katika kufunga ndoa? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Mapambano dhidi ya ndoa za kulazimishwa - Fatou Cissé

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 21, 2025 3:41


Wakati ulimwengu ukiendelea kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia, tunaelekea nchini Mali, ambako Fatou Cissé, mkurugenzi wa filamu na mwanzilishi wa filamu iitwayo FURU, anatumia sanaa kuangazia suala zito la ndoa za kulazimishwa. Kupitia video maalum iliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa, tunapata simulizi hiyo inayohusu wasichana wawili waliokumbwa na changamoto hizi. Fatou anawapa wasichana wa Kiafrika sauti na jukwaa la kuzungumza hadharani kuhusu dhuluma wanazokumbana nazo. Sharon Jebichii anasimulia.

Radio Maria Tanzania
Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 2, 2025 30:46


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu sheria za vizuizi batilishi vya ndoa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 53:29


Ungana nami Raymond Karega Katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akitufundisha juu ya sheria za vizuizi batilishi vya ndoa. L'articolo Je, wafahamu sheria za vizuizi batilishi vya ndoa? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu kizuizi batilishi cha Ndoa Takatifu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 56:36


Karibu uungane nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za  Kanisa Kutoka Studio za Radio Maria Tanzia leo tupo Padre  Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa Katoliki Kutoka Jimbo Katoliki Njombe, ambapo leo anatuongoza kujifunza Kizuizi Batilishi ya Ndoa Sheria namba 1073 – 1082 L'articolo Fahamu kizuizi batilishi cha Ndoa Takatifu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna bora ya kujitayarisha na Sakaramenti ya Ndoa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 56:23


Karibu uungane nami Raymond Karega katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akiendelea kutuelimisha juu ya sheria za matayarisho ya ndoa. L'articolo Fahamu namna bora ya kujitayarisha na Sakaramenti ya Ndoa. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu matayarisho ya Ndoa Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 48:18


Karibu ungana nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kujifunza Matayarisho ya Ndoa Takatifu. L'articolo Je, wafahamu matayarisho ya Ndoa Takatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Wakristo ambao hawajapata Sakramenti ya Ndoa wanaruhusiwa kufanya Kitubio?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 24:07


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka  Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Wakristo Wakatoliki ambao hawajapata Sakramenti ya Ndoa wanaruhusiwa kufanya Kitubio? L'articolo Wakristo ambao hawajapata Sakramenti ya Ndoa wanaruhusiwa kufanya Kitubio? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Nini maana ya Dhana ya Ndoa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 57:41


Karibu ungane nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kujifunza Muendelezo wa Dhana ya Ndoa. L'articolo Nini maana ya Dhana ya Ndoa? proviene da Radio Maria.

Café das 3
Sonhos de Amêndoa

Café das 3

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 4:37


Andreia Moutinho traz-nos a receita de sonhos de amêndoa

Radio Maria Tanzania
Je, Maria na Yoseph walipata Sakramenti ya Ndoa Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 50:56


Ungana nami Esther Magai Hangu katika Kipindi cha Tumsifu Maria leo tupo na Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Josephine  Bakhita Nyamonoro Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akituelezea  Maajubu ya Familia Takatifu L'articolo Je, Maria na Yoseph walipata Sakramenti ya Ndoa Takatifu? proviene da Radio Maria.

Favas Contadas
Sabia que o primeiro arroz doce levava leite de amêndoa?

Favas Contadas

Play Episode Listen Later Nov 5, 2024 17:22


Pode abrir essa boca de espanto porque a primeira receita conhecida de arroz doce podia levar leite de amêndoa e arroz basmati. Conheça a curiosa história do doce mais típico de Portugal.

Habari za UN
Mbinu bora za malezi zimebadilisha maisha katika Wilaya ya Kyegegwa - UNICEF Uganda

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 23, 2024 3:48


Ndoa za utotoni,ubakaji na kutelekeza watoto, haya ndio matatizo yaliyokuwa yanaripotiwa mara nyingi zaidi kwa kuathiri watoto katika makazi ya wakimbizi katika wilaya Kyegegwa magharibi mwa Uganda. Hata hivyo, kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto  UNICEF na ufadhili kutoka wahisani wa Uingereza UKaid, maelfu ya wazazi katika makazi ya wakimbizi na jamii zinazohifadhi waakimbizi katika wilaya ya Kyegegwa wamepewa mafunzo juu ya malezi bora ili kuondoa ukatili dhidi ya watoto, wanawake, na wasichana. Leo tuko katika wilaya ya Kyegegwa nchini Uganda ambapo, kwa msaada wa UNICEF,  wafanyakazi wa kijamii, kamati za ulinzi na ustawi  wa watoto, na kikosi cha polisi; wote wamepewa mafunzo mwafaka ili kuhakikisha ulinzi wa watoto unaofaa na wa kudumu, na tunakutana na Agnes Karungi mama mwenye umri wa miaka ishirini na  mmoja wa wanufaika wa mradi wa malezi bora. Mbali na kukumbana na changamoto za kuwa mama kijana, mwanaye Agnes, ni mwenye ulemavu na zaidi ya hayo akatengwa na familia yake kwa kuzaa akiwa angali mwanafunzi.Cecily Kariuki anaeleza zaidi katika makala hii..

Habari za UN
23 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 23, 2024 10:51


Hii leo jaridani tunaangazia mashambulizi ya Israeli kaskazini mwa Gaza unaoleta changamoto za kuendelea na chanjo ya polio, na virusi vya Marburg nchini Rwanda. Makala tunakupeleka nchini Uganda na mashinani nchini Lebanon, kulikoni?Mashambulizi makali ya anga kutoka kwa jeshi la Israel, idadi kubwa ya watu kutawanywa na ukosefu wa fursa ya kufika Gaza Kaskakzini vimelazimisha kuahirishwa kwa kameni ya chanjo kwa mujibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Afya Duniani WHO, la kuhudumia watoto UNICEF na la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWAMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani amewapongeza wahudumu wa afya wa nchini Rwanda kwa kazi kubwa wanaoyoifanya kukabiliana na ugonjwa wa Marburg. Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza hisia zake hizo mwishoni mwa wiki alipofanya ziara katika vituo mbalimbali vya afya katika mji Mkuu wa nchi hiyo, Kigali.Ndoa za utotoni,ubakaji na kutelekeza watoto, haya ndio matatizo yaliyokuwa yanaripotiwa mara nyingi zaidi kwa kuathiri watoto katika makazi ya wakimbizi katika wilaya Kyegegwa magharibi mwa Uganda. Hata hivyo, kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF na ufadhili kutoka wahisani wa Uingereza UKaid, maelfu ya wazazi katika makazi ya wakimbizi na jamii zinazohifadhi waakimbizi katika wilaya ya Kyegegwa wamepewa mafunzo juu ya malezi bora ili kuondoa ukatili dhidi ya watoto, wanawake, na wasichana.Mashinani tunabisha hodi Lebanon, kumsikia Farah, Mkimbizi wa ndani anayepokea msaada kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, baada ya kujifungua kwenye hema, akieleza alichokabiliana nacho.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Nini hasa maana ya Ndoa

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maana ya ndoa na lengo lake katika familia

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Ndoa ni nini pia Lengo la ndoa ni kitu gani

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Ndoa na Maisha pamoja na kusudi la ndoa kwa Mwanadamu

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Kuwa makini unacho kizungumza kwa watu

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Madhara ya kisaikolojia katika malezi ya mtoto

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Matatizo yanayoweza kutikisa upendo