Habari RFI-Ki

Follow Habari RFI-Ki
Share on
Copy link to clipboard

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

RFI Kiswahili


    • May 20, 2026 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 9m AVG DURATION
    • 470 EPISODES


    Search for episodes from Habari RFI-Ki with a specific topic:

    Latest episodes from Habari RFI-Ki

    Maoni: Tume mpya iliyoundwa Tanzania italeta majibu ya vurugu za uchaguzi wa 2025?

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:53


    Katika makala ya Habari Rafiki leo tunaangazia hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, kuunda tume maalumu ya jinai itakayochunguza matukio ya vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka uliopita, ili kubaini vitendo vilivyofanywa na kuwataja waliohusika ili waajibishwe kisheria

    Wakenya walazimika kutembea baada ya magari ya uchukuzi wa umma kugoma.

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


    Siku ya Jumatatu uchukuzi ulitatizwa nchini Kenya kufuatia mgomo wa wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma kupinga ongezeko la bei ya mafuta. Hii ni baada ya serikali kupandisha Lita moja ya Petroli kufikia Shilingi za nchi hiyo 214 huku ile ya Dizeli ikifikia Shilingi 242. Tumemuuliza mskilizaji wetu anzungumziaaje kilichotokea nchini Kenya na nchini mwake hali iko je kuhusu bei ya mafuta.

    Umejiandaa aje kujikinga na mlipuko mpya wa virusi hatari vya Ebola?

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


    Shirika la afya duniani limetangaza hali ya dharura ya kiafya duniani kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola mashariki mwa DRC, ikizitaka nchi kuchukua tahadhari kufuatia hofu ya ugonjwa huo kusambaa zaidi. Tumemuuliza mskilizaji wa RFI Kiswahili akiwa DRC na kwenye ukanda wa Afrika Mashariki anachukua hatua gani kujikinga.

    Mada huru kuhusu matukio ya wiki likiwemo kongamano la Africa Forward

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:01


    Rais wa Uganda Yoweri Museveni aapishwa kuongoza muhula wa saba

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:06


    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hatojiuzulu kufuatia kesi ya ufisadi

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:06


    Ufaransa yatangaza uwekezaji wa thamani ya Yuro milioni 23 barani Afrika

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 9:43


    Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

    Play Episode Listen Later May 11, 2026 9:45


    Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

    Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:59


    Sheria kama  hiyo pia  inatumika na Urusi, inakosolewa na  wanaharakati wa haki za kibinadamu huku wapinzani wakisema inawalenga, kwa  sababu ya kukosoa utawala wa rais Ypweri Museveni. Unazungumziaje sheria hii mpya nchini Uganda ?

    Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:57


    Rais  Samia Suluhu Hassan, anataka Kenya na nchi yake ya Tanzania kushirikiana ili kukabili uanaharakati wa 'kuvuka mipaka'  kutoka kwa vijana wa Gen Z ambao ameelezea unatishia amani na usalama wa nchi nchi za Afrika Mashariki.   Unazungumziaje kauli hii ya rais Samia? Unadhani ni sahihi kwa vijana kuadhibiwa kwa kushinikiza mabadiliko kwenye nchi zao?

    Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:39


    Kenya na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote visivyo vya kikodi vya kibiashara, ili kuimarisha ushirikiano wa kibiashara. Unaamini yaliyokubaliwa kati ya nchi hizo mbili yatatekelezwa ?

    Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:56


    Msikilizaji mei 3 2026 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya Uhuru wa wanahabari, ripoti zikionesha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya waandishi wa habari.

    Mchango wa waskilizaji kuhusu taarifa za wiki ikiwemo rais wa zamani Joseph Kabila kuwekewa vikwazo

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:13


    UN umeendelea kuonya kuhusu mzozo wa Sudan kunyamaziwa na mataifa ya ulimwengu

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:14


    sudan mataifa ulimwengu
    DRC kuunda kikosi maalum kulinda maeneo yanayochimbwa madini

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:08


    Vyama vya siasa Tanzania vinashinikiza marekebisho ya katiba

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 9:48


    Visa vya chuki dhidi ya raia wa kigeni vinaendelea kushuhudiwa Afrika Kusini

    Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 10:05


    Maoni yako kwenye makala ya habari rafiki Mada Huru

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 9:57


    Maandamano ya vijana wa Gen Z nchini Kenya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta

    Play Episode Listen Later Apr 21, 2026 9:33


    makubaliano mapaya kati ya Serikali ya DRC na M23 kukubaliana

    Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 10:01


    Serikali ya DRC na waasi wa M23, mwishoni mwa juma wamekubaliana kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo pamoja na kubadilishana wafungwa katika muda wa siku 10 zijazo, haya yakifuatia mazungumzo ya Uswis yalitoratibiwa

    Makubaliano ya kusitisha vita kwa wiki mbili kati ya Marekani na Iran

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 9:38


    Rais wa Cameroon Paul Biya amteua mwanaye   Franck Emmanuel Makamu wa rais

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 9:42


    Uhaba na bei za juu za mafuta zashuhudia kashfa ya maofisa wa serikali kuhodhi

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2026 10:03


    DRC kuanza kuwapokea wakimbizi haramu kutoka Marekani katika mkataba maalum

    Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 10:06


    Africa : Mila za Africa je zinapotea ?

    Play Episode Listen Later Apr 4, 2026 9:49


    Katika makala haya tunajadili iwapo mila za kiafrica zimeanza kuweka na namna gani zinaweza kudumishwa. Skiza makalaa

    Maoni ya waskilizaji kuhusu matangazo yatu juma hili

    Play Episode Listen Later Apr 3, 2026 9:49


    Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakuapa fursa kuchangia mada yoyote ile. Skiza maoni ya juma hili.

    DRC : Yafunzu kucheza Kombe la Dunia 2026

    Play Episode Listen Later Apr 1, 2026 9:59


     DRC imejikatia tiketi ya kucheza kwenye kupute cha kuwania kombe la dunia  Haya hapa maoni ya waskilizaji.

    Kombe la Dunia : Hofu ya dhuluma za wakati wa kombe la dunia

    Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 10:00


    Ripoti ya shirika la Amnesty Interenational imeonya kuwa Kombe la Dunia la mwaka huu linaweza kuchangia ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dunaini kutokana mpango wa mataifa wenyeji kuweka mikakati kali za uhamiaji na ufuatiliaji wa karibu wa mashabiki wa kigeni   Je, unahisi mashabiki kutoka Afrika Mashariki watakuwa salama kushabikia timu zao kule Merekani,Mexico na Canada? Skiza maoni ya waskilizaji.

    Uganda : Kuondoa magari mabovu jijini Kampla

    Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 9:39


    Katika makala haya tunajadili hatua ya jiji la Kampala nchini Uganda kutatangaza makataa ya siku 20 kwa wamiliki wa magari ya usafiri wa uma kuondoa magari yaliyochakaa barabarani, mamlaka zikisema lengo ni kupunguza ajali na uchafuzi wa hali ya hewa mjini.   Tunakuuliza, nchi nyingine za Afrika mashariki zinapaswa kuiga mpango huu? Skiza maoni ya waskilizaji hapa.

    Kila Ijumaa RFI kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote ile

    Play Episode Listen Later Mar 27, 2026 10:02


    Mashabiki wa rfi Kiswahili kila Ijumaa hupata nafasi ya kuchangia mada yoyote ile kupitia makala haya. Skiza maoni ya baadhi ya waskilizaji.

    Kufungwa kwa makanisa nchini Rwanda ni kwa lengo la uwajibikaji

    Play Episode Listen Later Mar 26, 2026 9:51


    Rais wa Rwanda Paul Kagame amekanusha madai kuwa serikali yake imekuwa ikiminya uhuru wa kuabudu, akisisitiza kwamba hatua ya serikali kufuatilia taasisi za kidini ni kwa lengo la kuhakikisha uwajibikaji, na kuwalinda raia dhidi ya ulaghai,

    Jez ni sahihi kwa wanasiasa kutusiana kwenye mikutano ya hadhara?

    Play Episode Listen Later Mar 24, 2026 10:01


    Nchini Kenya, rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua, wamekuwa wakirushiana maneno makali, kwenye mikutano ya hadhara na hata kwenda mbali na kutoa matusi na kushambuliana kuhusu maumbile yao, kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Nini mtazamo wako kuhusu kauli za viongozi hawa ? Katika nchi yako wanasiasa, wanatupiana maneno hivi ?

    CAF iliivua Senegal ubingwa na kuipa Morocco baada ya miezi miwili

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 9:55


    Katika uamuzi wa kushangaza , Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limefuta ushindi wa Senegal kama mabingwa wa taji la AFCON na kulipa taji hilo Morocco ambao walikuwa wenyeji wa michuano hiyo.

    Mahakama ya kikatiba ya Uganda yafuta vipengee vilivyominya uhuru wa kusema

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 9:55


    Urusi imehakikishia Kenya haitawasajili raia wake kupigana vita vya Ukraine

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 9:30


    Nchi zaidi za Afrika zimejitokeza kusema raia wake walihadhaiwa na kusajiliwa kwenda kupigana na vikosi vya Urusi nchini Ukraine

    Bobi Wine ameweka hadharani alikimbia nchi yake baada ya kuhangaishwa

    Play Episode Listen Later Mar 20, 2026 10:12


    Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Uganda Bobi Wine baada ya kuwa mafichoni kwa miezi miwili alifunguka na kusema kafanikiwa kukimbia baada ya kuwindwa na vikosi vya usalama

    DRC : Mapendekezo ya kurekebisha katiba yaibua hisia mseto

    Play Episode Listen Later Mar 12, 2026 10:02


    Tunajadili kinachoendelea nchini DRC, ambapo  mjadala kuhusu mapendekezo ya kufanyia katiba marekebisho, ikiwemo muhula wa urais, unazidi kuibua hisia mseto, baadhi ya raia wakionekana kuunga mkono na baadhi kupinga.   Unazungumziaje mjadala huu nchini DRC? Skiza maoni ya mskilizaji.

    drc katiba tunajadili
    EAC : Kenya na Rwanda yakumbatia camera za siri barabarani

    Play Episode Listen Later Mar 11, 2026 9:45


    Tunajadili hatua ya Mataifa ya Kenya na Rwanda, kuanza kukumbatia matumizi ya kamera za siri barabarani ili kunasa madereva wanaokiuka sheria za barabarani, hatua inayolenga kupunguza ajali za mara kwa mara ambazo zimekuwa zikisababisha vifo maelfu ya raia. Je, unafikiri kamera za siri barabarani zitasaidia kupunguza ajali za barabarani? Ndilo swali tumekuuliza. Skiza maoni ya baadhi ya waskizaji.

    EAC : Mafuriko yatatiza jiji la Nairobi

    Play Episode Listen Later Mar 10, 2026 10:02


    Katika makala haya  tunajadili kinachoendelea jijini Nairobi nchini Kenya ambapo jiji hilo limeendelea kushuhudia mvua kubwa ambazo zimesababisha maafa ya zaidi ya watu 40. Nchi nyingine za Afrika Mashariki pia zinaendelea kushuhudia mvua kubwa. Skiza makala haya.

    EAC : Mabadiliko nani ya Jumuiya

    Play Episode Listen Later Mar 9, 2026 10:05


    Katika makala haya tunajdili Juma lililopita wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kumteua rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo, huku wakitangaza mabadiliko kadhaa muhimu waliyosema yanalenga kuifanya jumuiya kutosambaratika. Miongoni mwa mabadiliko ni pamoja na nchi wanachama kuwalipa mshahara wabunge wao na namna nchi zinazodaiwa zitalipa madeni yake. Unafikiri mabadiliko haya yatasaidia Jumuiya Kukua? Skiza maoni ya mskilizaji.

    Maoni kuhusu taarifa za Ulimwengu ikiwemo mzozo wa Mashariki ya Kati

    Play Episode Listen Later Mar 8, 2026 10:01


    Leo ni siku ya mada huru. Tunampa msikilizaji wetu nafasi kuzungumzia suala lolote ambalo limetokea nchini mwake wiki hii, lakini pia kujadili kile ambacho amekisikia katika habari zetu wiki hii.

    Somaliland yatangaza kuruhusu Marekani kuchimba madini na kuweka kambi za jeshi

    Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 9:46


    Kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 9:35


    Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha kikao cha dharura cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika mashariki  mwezi ujao kujadili changamoto ya kifedha ambayo imetatiza shughuli za taasisi za jumuiya hiyo, tatizo kubwa likiwa baadhi ya nchi kuchelewesha kutoa michango kwa wakati. Mkutano huo utajadili mfumo mpya wa uchangishaji fedha na namna ya kupunguza matumizi ya jumuiya hiyo.

    Raia wa Afrika kuendelea kusajiliwa kupigana vita nchini Ukraine

    Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 9:57


    Mkutano wa 39 wa umoja wa Afrika jijini Addis Ababa

    Play Episode Listen Later Feb 17, 2026 9:50


    Mwishoni mwa juma mkutano wa 39 wa Umoja wa Afrika (AU) umefanyika jijjini Adis Ababa nchini Ethiopia   Huku viongozi walioudhuria wakilipea kipau mbele swala la usalama  na uchumi wakati huu matafia mengi ya Afrika yakishuhudia migogoro na kudorora kwa uchumi.

    Kamanda wa polisi pwani ya Kenya atoa agizo kuwapiga wahalifu risasi

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 10:00


    Mwishoni mwa juma Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani nchini Kenya Ali Nuno alitoa agizo kwa polisi kuwapiga risasi washukiwa wa uhalifu baada ya eneo hilo kushuhudia ongezeko la magenge yaliyojihami kwa mapanga. Hata hivyo hatua hiyo imepingwa vikali na mashirika ya kutetea haki za binadamu .Tumekuuliza unazungumziaje agizo hilo,Unadhani ni hatua sahihi kumaliza uhalifu na Nchini mwako hali ikoje

    Marekani yakutana na viongozi wa Afrika kuhusu swala la madini

    Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 10:05


    Afrika Kusini yatangaza kuwaondoa wanajeshi wake kutoka kwa monusco nchini DRC

    Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 10:00


    Mwishoni mwa juma Afrika Kusini ilitangaza kuondoa wanajeshi wake kutoka kwa tume ya Umoja wa Mataifa ya kulinda amani nchini DRC (MONUSCO) baada ya kikosi hicho kuhudumu kwa miaka 27.Pretoria inasema hatua hiyo ni kutokana na mipango yake ya kurekebisha na kuimarisha raslimali ya jeshi lake.Tumemuuliza msikilizaji anazungumziaje hatua hii ya Afrika kusini,Hatua hii ni kumaanisha Monusco imepoteza nguvu DRC na Nini kifanyike kuleta usalama wa kudumu nchini DRC?

    Maoni yako Ijumaa hii kwenya mada huru

    Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 10:00


    Matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 15

    Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 9:56


    Nchi za magahribi kupitisha sheria za kupiga marufuku mitandao ya kijamii kwa watoto walio chini ya miaka 15.

    Mwaka mmoja tangu mji mkubwa mashariki mwa DRC kuanguka mikononi mwa M23

    Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 10:02


    Claim Habari RFI-Ki

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel