Habari RFI-Ki

Follow Habari RFI-Ki
Share on
Copy link to clipboard

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

RFI Kiswahili


    • Jul 17, 2026 LATEST EPISODE
    • weekdays NEW EPISODES
    • 9m AVG DURATION
    • 499 EPISODES


    Search for episodes from Habari RFI-Ki with a specific topic:

    Latest episodes from Habari RFI-Ki

    Maoni ya mskilizaji Wiki hii kutokana na matangazo yetu

    Play Episode Listen Later Jul 17, 2026 9:58


    Na Hannah Nalianya Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusiana na matangazo yetu. Skiza maoni ya Juma hili

    Argentina kuvaana na Uhuspania kwenye fainali

    Play Episode Listen Later Jul 16, 2026 9:50


    Fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka, itawakutanisha mabingwa watetezi Argentina na Hispania waliowahi kushinda taji hili mwaka 2010. Mechi hiyo itapigwa siku ya Jumapili nchini Marekani. Unatarajia nani ataibuka mshindi katika mechi hiyo na kwanini. Skiza ya mskilizaji

    Ufaransa yaondolewa kwenye kombe la dunia

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2026 10:02


    Na Hannah Naliaka   Safari ya Ufaransa  kutinga fainali za kombe la dunia imefikia tamati baada ya kushindwa mabao 2-0 na Uhispania katika nusu fainali ya kwanza. Unazungumziaje mechi hiyo ? Skiza maoni ya mskilizaji.

    Bara Ulaya linatathimini kudhibiti mitandao kwa watoto

    Play Episode Listen Later Jul 14, 2026 9:57


    Umoja wa Ulaya unatathmini kuweka marufuku ya matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto kutokana na athari za mitandao hiyo kwa watoto. Unazungumziaje pendekezo hili? Skiza maoni ya mskilizaji.

    Nani atabeba kombe la dunia mwaka huu

    Play Episode Listen Later Jul 13, 2026 9:42


    Fainali za kombe la dunia zimefikia hatua ya nusu fainali, huku timu nne zikisalia kwenye mbio za kutwaa ubingwa. Uhispania itacheza na Ufaransa, wakati Uingereza itapambana na mabingwa watetezi Argentina. Unatathmini vipi hatua iliyofikia? Skiza maoni ya mskilizaji.

    Maoni yako katika makala ya Habari rafiki Mada huru

    Play Episode Listen Later Jul 10, 2026 9:57


    DRC: Muungano wa upinzani wa C64 kutangaza kuendelea na maandamano yake ya amani Julai 22

    Play Episode Listen Later Jul 9, 2026 10:02


    Tangazo hilo limetolewa licha ya kushiriki kwenye mazungumzo ya kisiasa na rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

    Siku ya Kiswahili duniani Juni 07 2026

    Play Episode Listen Later Jul 7, 2026 9:58


    Dunia hivi leo inaadhimisha siku ya Kiswahili Duniani, kutambua mchango wa lugha ya Kiswahili katika kuunganisha watu, tamaduni na mataifa mbalimbali, kauli mbiu ikiwa Kiswahili Lugha ya kimataifa ya amani, mshikamano na diplomasia ya kiuchumi.” Siku hii inafanyika wakati pia RFI Kiswahili tunatimiza miaka 16 tangu tulipoanza kurusha matangazo yetu, una ujumbe gani kwetu?

    Je, serikali ya Afrika Kusini ilichukua hatua za kutosha kulinda usalama wa raia wa kigeni?

    Play Episode Listen Later Jul 6, 2026 9:58


    Wiki iliyopita, maelfu ya raia wa mataifa mbalimbali ya Afrika waliondoka Afrika Kusini kutokana na hofu ya usalama baada ya maandamano yaliyolenga wageni. Baadhi ya nchi zimeikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa kushindwa kudhibiti hali hiyo.

    Timu ya DRC ya Leopard yaondolewa na Uingereza kwenye mashindano ya kombe la dunia

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 10:04


    Maandamano ya Afrika Kusini kushinikiza wageni kuondoka yaibua maswali

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 10:09


    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yaadhimisha miaka 66 ya Uhuru

    Play Episode Listen Later Jul 3, 2026 10:06


    Uganda : Yamfurusha wakili na mwanaharakati Martha Karua

    Play Episode Listen Later Jul 1, 2026 9:45


    Tunaangazia serikali ya Uganda kumfurusha wakili na mwanaharakati wa Kenya, Martha Karua nchini humo, ikiwa ni mwendelezo wa matukio ambayo yamekuwa yakishuhudiwa hapa Afrika Mashariki. Skiza maoni ya waskilizaji.

    Mkuu wa majeshi nchini Uganda kuamuru kufungwa runinga ya NTV

    Play Episode Listen Later Jun 30, 2026 10:10


    Kila Ijumaa unapata nafasi kutoa maoni ndani ya rfi Kiswahili

    Play Episode Listen Later Jun 26, 2026 9:47


    Kila Ijumaa unapata nafasi kuchangia chochote kile, pengine ulikiskia kwenye matangazo yetu au kile kinafanyika hapo uliopo. Skiza maoni ya mskilizaji

    Kenya : Miaka miwili baada ya maandamano ya Gen Z

    Play Episode Listen Later Jun 25, 2026 9:56


    Shaba yetu leo inalenga nchini Kenya mbapo raia nchini humo wameadimisha miaka miwili tangu kutokea kwa maandamano ya mwaka 2024 ya vijana waliokuwa wapigigania mageuzi nchini humo. Skiza maoni ya mskilizaji.

    Waziri wa Uingereza kuondoka afisini Septemba

    Play Episode Listen Later Jun 23, 2026 9:47


    Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu baada ya shinikizo kutoka ndani ya chama chake na kupungua kwa uungwaji mkono wa raia. Je, viongozi wanapaswa kujiuzulu wanapopoteza uungwaji mkono wa wananchi? Skiza makala ya maoni ya waskilizaji.

    keir starmer eac waziri uingereza septemba waziri mkuu
    Msongo wa mawazo changamoto kwa wanaume

    Play Episode Listen Later Jun 22, 2026 9:54


    Ulimwengu umeadhimisha wiki ya afya ya akili kwa wanaume, wataalamu wanaonya kuwa msongo wa mawazo na matumizi ya dawa za kulevya vinachangia matatizo ya afya ya akili miongoni mwa wanaume. Unafikiri kwa nini wanaume wengi huumia kimya bila kutafuta msaada? Skiza maoni ya mskilizaji.

    kenya ulimwengu
    Maendeleo ya timu za Afrika kwenye mechi kuwania kombe la dunia 2026

    Play Episode Listen Later Jun 19, 2026 10:01


    Je ,Haki za mtoto wa Kiafrika zinaheshimiwa au ni maadhimisho tu ?

    Play Episode Listen Later Jun 19, 2026 9:27


    afrika haki maadhimisho
    Marekani na Iran zimekubaliana kufikia makubaliano ya kukomesha vita

    Play Episode Listen Later Jun 16, 2026 9:48


    Rais  Donald Trump anasema Mlango Bahari wa Hormuz pia utafunguliwa tena hivi karibuni.Mkataba wa amani, unatarajiwa kutiwa saini siku ya Ijumaa, wiki hii nchini Uswizi

    Siku ya kimataifa ya watu wanaoishi na Albinism au Ualbino, kuhamasisha haki, usalama na ustawi wao

    Play Episode Listen Later Jun 15, 2026 10:06


    Licha ya jitihada mbalimbali, bado watu wenye ualbino wanabaguliwa kwenye baadhi ya jamii na hata kuuawa kwa imani za kishirikina.

    Kipute cha kombe la dunia kinaanza rasmi

    Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 9:54


    Kipute cha kombe la dunia kinaanza leo, huku Afrika Kusini ikipambana dhidi ya Mexico mwenyeji. Je, unazungumziaje timu za Afrika zinazoshiriki mashindano ya huu? Skiza makala haya.

    Marekani : Yamzuia refa wa Somalia kuingia nchini humo

    Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 9:42


    Mwamuzi kutoka nchini Somalia Omar Abdulkadir, amezuiwa kuingia nchini Marekani, alikokuwa ameteuliwa na Shirikisho la soka duniani, FIFA kuchezesha mechi za kombe la dunia,  kutokana na kile utawala wa rais Trump umemhusisha na maswala ya ugaidi Skiza makala haya kufahamu maoni ya mskilizaji wetu.

    Kenya : Mahakama kuu yaidhinisha uamuzi wa Rigathi kuondolewa afisini

    Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 9:49


    Jopo la majaji watatu nchini Kenya limeidhinisha hatua ya bunge la kumuondoa afisini aliyekuwa naibu rais, Rigathi Gachagua kwa kile walichosema, katiba ilifuatwa. Je, unaunga mkono uamuzi wa mahakama kuhusu Rigathi Gachagua na kwa nini? Skiza maoni ya baadhi ya waskilizaji wetu.

    Uchafuzi wa mazingira baharini ni kikwazo

    Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 9:57


    Leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya Bahari, siku inayolenga kuhamasisha umuhimu wa bahari katika maisha ya binadamu na mazingira. Hata hivyo, bahari zinakabiliwa na changamoto kubwa ikiwemo uchafuzi wa plastiki, mabadiliko ya tabianchi na uvuvi haramu, katika siku hii tunakuuliza.   Unadhani hatua gani zinazopaswa kuchukuliwa ili kupunguza uchafuzi wa bahari? Skiza makala haya kufahamu maoni ya waskilizaji wetu.

    Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yana umuhimu gani nchini mwako

    Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 10:04


    Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa  kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani  ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .

    Mada huru kila Ijumaa ndani ya rfi Kiswahili

    Play Episode Listen Later May 22, 2026 10:05


    Kila Ijumaa ndani rfi Kiswahili unapata nafasi kuchangia mada yoyote. skiza makala

    Kenya : msimamo wa kisiasa yazua balaa

    Play Episode Listen Later May 22, 2026 9:30


    Nchini Kenya, msimamo ya kisiasa ya baadhi ya raia kisiasa yazidi kuibua uhasama. Skiza makala

    Maoni: Tume mpya iliyoundwa Tanzania italeta majibu ya vurugu za uchaguzi wa 2025?

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:53


    Katika makala ya Habari Rafiki leo tunaangazia hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, kuunda tume maalumu ya jinai itakayochunguza matukio ya vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka uliopita, ili kubaini vitendo vilivyofanywa na kuwataja waliohusika ili waajibishwe kisheria

    Wakenya walazimika kutembea baada ya magari ya uchukuzi wa umma kugoma.

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


    Siku ya Jumatatu uchukuzi ulitatizwa nchini Kenya kufuatia mgomo wa wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma kupinga ongezeko la bei ya mafuta. Hii ni baada ya serikali kupandisha Lita moja ya Petroli kufikia Shilingi za nchi hiyo 214 huku ile ya Dizeli ikifikia Shilingi 242. Tumemuuliza mskilizaji wetu anzungumziaaje kilichotokea nchini Kenya na nchini mwake hali iko je kuhusu bei ya mafuta.

    Umejiandaa aje kujikinga na mlipuko mpya wa virusi hatari vya Ebola?

    Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


    Shirika la afya duniani limetangaza hali ya dharura ya kiafya duniani kutokana na mlipuko wa virusi vya Ebola mashariki mwa DRC, ikizitaka nchi kuchukua tahadhari kufuatia hofu ya ugonjwa huo kusambaa zaidi. Tumemuuliza mskilizaji wa RFI Kiswahili akiwa DRC na kwenye ukanda wa Afrika Mashariki anachukua hatua gani kujikinga.

    Mada huru kuhusu matukio ya wiki likiwemo kongamano la Africa Forward

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:01


    Rais wa Uganda Yoweri Museveni aapishwa kuongoza muhula wa saba

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:06


    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hatojiuzulu kufuatia kesi ya ufisadi

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 10:06


    Ufaransa yatangaza uwekezaji wa thamani ya Yuro milioni 23 barani Afrika

    Play Episode Listen Later May 16, 2026 9:43


    Mkutano wa Africa Forward watoa kipau mbele kwa masuala ya vijana

    Play Episode Listen Later May 11, 2026 9:45


    Mkutano wa Afrika forward unaoongozwa na Ufaransa umeanza leo jijini Nairobi ambapo karibia marais 30 ,kutoka barani Afrika wanatarajiwa kuudhuria ili kujadili ushirikiano katika sekta ya uchumi wa buluu, mazingira ,afya na kilimo. Mkutano huu umetoa kipaumbele ka ajenda zinazowahusu vijana, na hasa matumizi ya teknolojia, akili unde au AI na namna vijana wanaweza kukumbatia fursa katika sekta hizo.

    Sheria mpya ya Uganda kukabili wageni wanaoingilia masuala yake ya ndani

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:59


    Sheria kama  hiyo pia  inatumika na Urusi, inakosolewa na  wanaharakati wa haki za kibinadamu huku wapinzani wakisema inawalenga, kwa  sababu ya kukosoa utawala wa rais Ypweri Museveni. Unazungumziaje sheria hii mpya nchini Uganda ?

    Maoni yako kuhusu kauli ya rais Samia kuhusu kukabili vijana wa Gen Z

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:57


    Rais  Samia Suluhu Hassan, anataka Kenya na nchi yake ya Tanzania kushirikiana ili kukabili uanaharakati wa 'kuvuka mipaka'  kutoka kwa vijana wa Gen Z ambao ameelezea unatishia amani na usalama wa nchi nchi za Afrika Mashariki.   Unazungumziaje kauli hii ya rais Samia? Unadhani ni sahihi kwa vijana kuadhibiwa kwa kushinikiza mabadiliko kwenye nchi zao?

    Ziara ya Rasi William Ruto nchini Tanzania na makubaliano baina ya nchi hizo

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:39


    Kenya na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote visivyo vya kikodi vya kibiashara, ili kuimarisha ushirikiano wa kibiashara. Unaamini yaliyokubaliwa kati ya nchi hizo mbili yatatekelezwa ?

    Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

    Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:56


    Msikilizaji mei 3 2026 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya Uhuru wa wanahabari, ripoti zikionesha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya waandishi wa habari.

    Mchango wa waskilizaji kuhusu taarifa za wiki ikiwemo rais wa zamani Joseph Kabila kuwekewa vikwazo

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:13


    UN umeendelea kuonya kuhusu mzozo wa Sudan kunyamaziwa na mataifa ya ulimwengu

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:14


    sudan mataifa ulimwengu
    DRC kuunda kikosi maalum kulinda maeneo yanayochimbwa madini

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 10:08


    Vyama vya siasa Tanzania vinashinikiza marekebisho ya katiba

    Play Episode Listen Later May 2, 2026 9:48


    Visa vya chuki dhidi ya raia wa kigeni vinaendelea kushuhudiwa Afrika Kusini

    Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 10:05


    Maoni yako kwenye makala ya habari rafiki Mada Huru

    Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 9:57


    Maandamano ya vijana wa Gen Z nchini Kenya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta

    Play Episode Listen Later Apr 21, 2026 9:33


    makubaliano mapaya kati ya Serikali ya DRC na M23 kukubaliana

    Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 10:01


    Serikali ya DRC na waasi wa M23, mwishoni mwa juma wamekubaliana kuruhusu misaada ya kibinadamu kufika kwenye maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo pamoja na kubadilishana wafungwa katika muda wa siku 10 zijazo, haya yakifuatia mazungumzo ya Uswis yalitoratibiwa

    Makubaliano ya kusitisha vita kwa wiki mbili kati ya Marekani na Iran

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 9:38


    Rais wa Cameroon Paul Biya amteua mwanaye   Franck Emmanuel Makamu wa rais

    Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 9:42


    Claim Habari RFI-Ki

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel