POPULARITY
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya Mwananke. L'articolo Ifahamu sifa ya Mwanamke. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya kumi na tano zaWanawake. L'articolo Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii. proviene da Radio Maria.
Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW69 unakunja jamvi leo hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York Marekani baada ya mjadala wa wiki mbili kutathimini hatua zilizopigwa na changamoto zilizosalia miaka 30 baada ya azimio la Beijing la usawa wa kijinsia nah atua za utekelezaji. Flora Nducha amebahatika kuzungumza na mmoja wa wakishiri wa mkutano huo kutoka asasi za kiraia nchini Tanzania
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai . L'articolo Fahamu nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Mwanamke na msichana wanatofautianaje? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Ni vigezo gani vinavyotumika kutofautisha kati ya mwanamke na msichana? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Fahamu utofauti kati ya Mwanamke na Wasichana proviene da Radio Maria.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Mwanamuziki Enock Mlelwa au Bexy azungumzia kibao chake Mwanamke Pesa
Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi, bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994. Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…
Katika kuadhimisha siku ya mwanamke wa kijijini changamoto zake zamulikwa
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai . L'articolo Fahamu wajibu wa Wanawake katika Utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi, bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994. Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, leo uko nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga, nikijibu swali linalosema Kwanini Yesu alichagua mitume wa Mwanaume na sio wa Mwanamke? L'articolo Ni, kwanini Yesu alichagua Mitume wa Mwanaume sio wa Mwanamke? proviene da Radio Maria.
Ktika epsod hii Dr. Boaz ameeleza sababu zinazowafanya wanaume kupoteza maisha mapema kabla ya wakati wao tofauti na wanawake na mambo ya kufanya ili wanaume wasipate vifo vya mapema Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Sepetuko inaomboleza kifo cha mwanahabari wa NTV Rita Tinina. Yapo mengi ya kujifundisha kutokana na maisha ya Tinina, kuanzia kwa uchapakazi wake, unyenyekevu wake na ukarimu wake.
Katika epsod hii DR. BOAZ MKUMBO amefundisha mambo yanayosababisha mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa na suluhisho lake. Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
katika epsodi hii utajifunza juu ya sababu ya mwanamke kushindwa kubeba ujauzito japokuwa anapata hedhi kila mwezi Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii utajifunza kuhusu mambo yanayosababisha mwanamke kupata uvimbe kwenye kizazi Kwa matibabu na ushauri WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii utajifunza jinsi ya kufanya mazoezi mara tuu baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji ili jeraha lipone kwa haraka. Kwa matibabu na ushauri WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii utajifunza mambo ambayo ni viashiria kwa mwanamke ambaye ana tatizo la mvurugiko wa homoni. WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii tunakujuza kwamba kushiriki tendo la ndoa kipindi mwanamke anapokuwa hedhi kunaweza kukusababishia kupata maambukizi ya magonjwa. WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBSCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI, KITAMBI NA UZITO MKUBWA, SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA), MVURUGIKO WA HOMONI, UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, TEZI DUME NA MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii tutajifunza juu ya mambo yanayoweza kusababisha mwanamke kukosa hamu au hisia za kushiriki tendo la ndoa kwa mumewake. WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBSCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI, KITAMBI NA UZITO MKUBWA, SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA), MVURUGIKO WA HOMONI, UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, TEZI DUME NA MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii utajifunza kwanini mwanamke hapati hedhi ikiwa bado umri wake unaruhusu kuendelea kupata hedhi. WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Vyakula vilivyo kaangwa huathiri sana utendaji kazi ya mwili kwa kujaza mwili sumu ziitwazo radikali huru na kudhoofisha mishipa ya damm,ovari jointi ubongo kifua na viungo vingine.
Episode hii inafichua sababu zinazowapelekea wasichana kudhani sio wazuri, fikira hii imepelekea wengine kufanya maamuzi yalioathiri maisha yao. Wengine wameishinda fikira hii inayotawala katika jamii ya Kiafrika. Wamewezaje? Najma anamhoji Emmy Rose Rugumamu kuhusu kampeni yake ya kusaida wanawake wenye mauombo makubwa. Emmy Rose ni Communication Professional ,anafanya kazi UWC East Africa, Pia ni kiongozi wa TEDxMajengo , Emmy Anapenda kutengeneza maudhui na kujieleza (storytelling ) pia ni mwandaaji wa open mic nights huko Arusha. Kuna sauti za wanawake wengine na experience zao katika kushinda mtazamo wa jamii juu ya umbo au uzuri wao. Subscribe uweze kupata notification kila tunapopublish episode mpya.
Je kusuka nywele kwa mwanamke ni Dhambi?
Je kusuka nywele kwa mwanamke ni Dhambi?
Kacou 63: Musa na Mwanamke Mwethiopia by Prophète Kacou Philippe
Katika miaka ya hivi karibuni, jamii imekuwa ikiyafanya kipaumbele maslahi ya mtoto wa kike baada ya kukandamizwa kwa miaka mingi. Wengi sasa wamepata nafasi ya kusoma na hata kuajiriwa. Lakini kuna wanaoamini kwamba mwanamke anapopata kazi na kuwa na cheo katika jamii, mara nyingi hujawa kiburi. Suala hili tunaliangazia kwa kuhusisha kauli za wananchi vilevile kupata ushauri kuhusu masuala ya ndoa.
Kupitia episode hii, tutajifunza mambo 7 kutoka kwa Mwanamke wa Mithali 31, ikiwa ni mwanzo wa mfululizo wa namna ya kuwa mwanamke mwenye thamani ya juu. Jiandae kujifunza na kufurahi pia. Happy Listening
Ungana na Mtangazaji Erick Paschal akiendelea kuangazia masuala mbalimbali kuhusu utunzaji na uhifadhi wa Mazingira.
Bi. Mwansa, mwanamke mwenye umri wa miaka 70 amekuwa akijihusisha na upishi wa vyakula mbalimbali ambavyo huviuza kwa wateja kila siku, biashara ambayo ameifanya kwa zaidi ya miaka arubaini sasa. Biashara hii aliitegemea sana kuyakidhi mahitaji yake pamoja na wanawe kukiwamo kugharimia karo ya ya wanawe. Mwanamke huyu ambaye ni mkazi wa Majengo, Mvita katika Kaunti ya Mombasa anajihuisha na upishi wa chapati na maharagwe ya nazi. Vyakula vingine ambavyo pia Bi. Mwansa hupika ni mikate ya sinia na mitai. Kupanda kwa gharama ya bidhaa za upishi ukiwamo ya unga wa ngano, mafuta ya kupikia miongoni mwa bidhaa nyingine ambapo huzitumia kwa upishi kumemwathiri sana. Mwanahabari wetu wa Mombasa Robert Menza amezungumza naye katika Uchumi na Biashara Podcast
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uzinduzi wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) tarehe 19 Juni, 2022 Katika ukumbi wa Golden Tulip, Zanzibar.
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uzinduzi wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) tarehe 19 Juni, 2022 Katika ukumbi wa Golden Tulip, Zanzibar.
Je! Jamii yetu imebadilika kimtazamo katika shughuli mbalimbali za kiuchumi ambapo wanaume kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanawake na pia wanawake kufanya kazi zilizoaminika kuwa ni za wanaume.
Mwanamke anapopata mtoto nje ya ndoa ama kumzaa mtoto katika ndoa kisha kutengana na mumewe, wapo wanaojipata katika njia panda anapotafuta mchumba. Baadhi huhofia kuwa katika mapenzi kwa hofu ya kulaghaiwa tena na hofu ya kupata mwanamume atakayempenda pamoja na mwanawe. Je, mwanamke huyu afanye nini ili ampate mchumba wa kumwamini?Tunaliangazia suala hili kwa kuhusisha kauli za wananchi vilevile mshauri.
Baraza la seneti la Marekani limemuidhinisha Jaji Ketanji Brown Jackson kuwa jaji wa mahakama ya juu ya Marekani kwa kura 53 dhidi ya 47. Baraza la Seneti lilipiga kura Alhamis na kumfanya Jackson mwenye umri wa miaka 51 kuwa mwanamke wa kwanza mweusi kuhudumu katika mahakama ya juu Marekani
Jifunze mambo yanayo sababisha mwanamke na mwanaume Kupungukiwa na Hisia za tendo la ndoa. Kwa huduma zetu zaidi: 0767 030 160 au 0767 074 124
Wakati macho . masikio na nguvu za dunia zikielekezwa katika utimizaji wa malengo ya maendeleo endelevu SDG's yanayofikia ukomo mwaka 2030, kila nchi inafanya jitihada za hali na mali kuhakikisha jamii inafikia malengo hayo. Na visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania havijasalia nyuma, serikali na wanahatrakati mbalimbali wamelivalia njuga suala hilo wakitumia kila mbinu ili kusongezha hatua za kutimiza malengo hayo. Miongoni mwa wanaharakati hao ni mke wa Rais wa visiwa hivyo Bi. Mariam Mwinyi ambaye mwishoni mwa wiki amezindua wakfu au taasisi maalum ya “Zanzibar Maisha bora kwa wote foundation”. Je anajikitina na nini hasa? Na nini kimemsukuma kuanzisha wakfu huo sasa? Ungana na Flora Nducha na Bi Mariam katika mahojiano haya (MAHOJIANO NA MARIAM MWINYI)
Mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, la Uhamiaji, IOM, la kuhudumia watoto, UNICEF na Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, OHCHR, wamesikitishwa sana na taarifa za kifo cha mtoto mchanga kilichotokea Jumapili wakati wa walinzi wa mpaka wa pwani wa Trinidad walipokuwa wanakizuia chombo kilichowabeba wavenezuela waliojaribu kuvuka mpaka wa kusini mashariki mwa visiwa hivyo vilivyoko katika bahari ya Karibea. Taarifa ya Assumpta Massoi inaelezea kinagaubaga. Taarifa ya pamoja ya mashirika hayo iliyotolewa nchini Panama imeeleza kuwa walinzi wa mpaka wa Pwani walianza kukizuia chombo hicho kilichowabeba wavenezuela kilipoingia katika himaya ya Trinidad na Tobago baharini. Kwa mujibu wa walinzi wa Pwani, mwanamke mmoja na mtoto mchanga walijeruhiwa katika tukio hilo. Mwanamke huyo alipelekwa katika kituo cha afya lakini kwa masikitiko makubwa mtoto alifariki dunia. Mwakilishi Maalum wa UNHCR pamoja na IOM kwa ajili ya wakimbizi na wahamiaji wa Venezuela, Dkt. Eduardo Stein amesema, “tumesikitishwa sana na tukio hili la kusikitisha na tunatuma salamu zetu za rambirambi kwa familia na wapendwa wanaoomboleza msiba huu na ahueni ya haraka kwa majeruhi. Hakuna mtu anayepaswa kupoteza maisha katika kutafuta usalama, ulinzi na fursa mpya. Tukio hili linaangazia masaibu wanayokumbana nayo watu wanaosafiri wakati wa safari za kutisha na hatari kuelekea kwenye usalama.” Naye Mkurugenzi wa UNICEF kanda ya Amerika Kusini na Karibea, Jean Gough, ameongezea akisema, "hakuna mtoto mhamiaji anayepaswa kufa, iwe anasafiri na wazazi wake au peke yake. Hakuna mama anayetaka kuweka maisha ya watoto wake hatarini kwenye meli ndogo katika bahari kuu, isipokuwa hana chaguo lingine.Wavenezuela wawili kati ya watatu wanaohama ni wanawake na watoto.Tukio hili la kusikitisha ni ukumbusho tosha kwamba wao ndio walio hatarini zaidi miongoni mwa watu walio katika mazingira hatarishi.Wanastahili kuangaliwa, ulinzi na usalama wa pekee popote pale na wakati wowote.” UNHCR, IOM, OHCHR na UNICEF wametoa wito kwa mataifa kuanzisha utaratibu utakaosaidia kulinda haki za watu wanaohama hasa wanawake, wasichana, wavulana na wengine wenye mahitaji maalum ya ulinzi ikiwa ni pamoja na haki ya kuhalalishwa kwa usahihi na taratibu za kupata hifadhi.
Katika jamii, uhuru wa kutangamana huwafanya watu kuwa na marafiki, washirika wa kibiashara, kisiasa na kadhalika. Lakini je, inawezekana kwa mwanamume na mwanamke kuwa marafiki tu bila kuhusika kimapenzi, kwa kimombo inaitwa platonic friendship. Wananchi wanatoa kauli zao kulihusu suala hili. Vilevile tuna hoja za mshauri.
Bango kama bango
Inamhusu kijana aliebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke kabisa (trans gender)
This weeks show starts off with classic selections from Peter Tosh, Burning Spear, Pablo Moses, Sylvan White, Dennis Brown, Misty In Roots, Jacob Miller, Culture, Ras Michael, Ijahman, Sugar Minott, and Horace Ferguson. New music this week comes from Vin Gordon, Akae Beka, Morgan Heritage, Glen Washington, Blvk H3ro, Mungo's Hifi with Eva Lazarus, Courtney John, and Dami Knight. Also this week we ride the Inna We Heart Riddim, The Uprising Riddim and The Resistance Riddim featuring artists like Mosiah, Teacha Dee, Black Loyalty, King David, Ziggy Ranking, Chezz, and Jigsy King with Mwanamke. Tracks from Ghetto Priest, Cornel Campbell, Gregory Isaacs, Beres Hammond, The Mighty Diamonds, and John Holt round out the playlist In The Dub Zone this week you will hear dubs from Vin Gordon, Dub Proof, The Senior All Stars, Max Romeo, and Burning Babylon. Extended dub mixes feature The Easy Star All Stars with Corey Harris and Ranking Joe, OBF and Nazamba, Martin Campbell and High Tone, Ark Aingelle with Habesha, Autarchi and Fari Di Future, and Micah Shemaiah with Infinite. Enjoy! Peter Tosh - Equal Rights - Equal Rights Legacy Edition - Columbia Legacy Burning Spear - The Fittest Of The Fittest - The Fittest Of The Fittest - Heartbeat Records Pablo Moses - Be Not A Dread - Revolutionary Dream - Shanachie Sylvan White - Faith/Faith Version - Africans Unite - Roots Foundation Vin Gordon - Styler Man/Dubbing Style - African Shores - Tradition Disc Dennis Brown - The Half - The Promised Land - Blood & Fire Misty In Roots - True Rasta - Roots Controller - Real World Jacob Miller & Inner Circle - Healing Of The Nation - Forward Jah Jah Children - Trojan Records Culture - The International Herb - International Herb - Shanachie Ras Michael & The Sons Of Negus - None A Jah Jah Children No Cry - Jah Shaka Presents The Postive Message - Greenlseeves Ghetto Priest - I Murder Hate - Every Man For Every Man - Ramrock Records Ijahman - Moulding - Are We A Warrior - Island Records Sugar Minott - The People Got To Know/The People Got To Dub - Ghetto-ology and Dub - Easy Star Records Horace Ferguson - Great Stone - Sensi Addict - Ujama Akae Beka - Under The Sun - Mek A Menshun - Zion High Productions Morgan Heritage - Bedrock - Loyalty - CTBC Music Glen Washington - God Of Our Fathers - Conqueror Riddim - Trainline Records Blvk H3ro - Street Life - Loud City Music Protoje feat. Lila Ike' & Agent Sasco - Not Another Word - Indiggnation Collective Mosiah - Love Inna Me Heart - Inna We Heart Riddim - Ragatac Music Teacha Dee - First Man - Inna We Heart Riddim - Ragatac Music Ras Teo Meets Lone Ark - Inna Me Medi/Inna Me Medi Dub - Ten Thousand Lions - Lone Ark Productions Mungo's HiFi feat. Eva Lazarus - Dub Be Good To Me - More Fyah - Scotch Bonnet Records Gregory Isaacs - Mr. Brown - Mr. Isaacs - VP Records Glen Washington - One Of These Days - Most Wanted - Greensleeves The Wailers - Thank You Lord - Songs Of Freedom - Tuff Gong Mighty Diamonds - Natural Natty - I Need A Roof - Hitbound U- Roy - Back Stabbing - The Lost Album: Right Time Rockers - Nocturne Cornel Campbell - Mash You Down - Soul Jazz Presents: Dancehall The Rise Of Jamaican Dancehall Culture - Soul Jazz Records Dub Zone featuring Strictly Dubwize & Extended Dub Mixes Vin Gordon - Shucumooku - African Shores - Tradition Disc Dub Proof - Bee Sting Dub - Dub Proof - Dub Proof Music The Senior All Stars feat. Ammoye - Baltimore (vocal dub edit) - Soul From Dubdown: Darker Than Blue - Echo Beach Max Romeo - Valley Of Jehosaphat (Segs Jennings Steve Dub Hot Remix) - Select Cuts From Blood & Fire Chapter 2 - Select Cuts Burning Babylon - Into Twilight - Garden of Dub - Mars Recordings Easy Star All Stars feat. Corey Harris & Ranking Joe - Time/Time Version - Dub Side Of The Moon - Easy Star Records O.B.F. feat. Nazamba - The Groove/The Groove Dub - The Hills/The Groove EP - Dub Quake Recordings Martin Campbell Meets High Tone - Urban Style/Urban Style Dub - Jarring Effects Ark Aingelle & Habesha - In Awe/Awe Dub - Habeshites 12” Autarchi & Fari Difuture - Shashamane Living (discomix) - Roots & Reality - Bent Backs Records Micah Shemaiah feat. Infinite - Reggae Rockit/Reggae Rockit Dubwise - We Generation Music ==================================== Jesse Royal feat. Protoje - Lion Order - Easy Star Records Steel Pulse - Cry Cry Blood - Mass Manipulation - Wiseman Doctrine Alborosie - One Chord - Unbreakable: Alborosie Meets The Wailers United - Greensleeves Black Loyalty - Set Me Free - Uprising Riddim - Blue Room Studios King David - Order - Uprising Riddim - Blue Room Studios Ziggy Ranking - Turn Around - Uprising Riddim - Blue Room Studios Lila Ike' - Where I'm Coming From - Indiggnation Collective Naomi Cowan - Paradise Plum - Reggae Gold 2019 - VP Records Courtney John - Far Away - 7 Long Lane Entertainment King Jammy & Dennis Brown feat. Aza Lineage - Real Love - Tracks Of Life - VP Records Queen Ifrica - Girl Like Me - Prime Time News Riddim - DJ Frass Records Dami Knight - Blue Skies - Island House Records Beres Hammond feat. U-Roy - Putting Up A Resistance - Can't Stop A Man: The Ultimate Collection - VP Records Chezz - High Grade - Resistance Riddim - Napem Records Jigsy King & Mwanamke - Ganja Pickney - Resistance Riddim - Napem Records John Holt - Ali Baba - Treasure Isle Presents: Original Reggae Tighten Up Hits - Treasure Isle Tony Curtis - Weed Dream - King Tubby's Dub Plate Style Riddim - Maximum Sound Speng Bond w/ Naram & Art - Dread Outta Road - Outta Road/Dem A Fraud EP - Red Robin Earl 16 - Reggae Music - Lick It Back - Reggae Roast