Podcasts about mwezi

  • 38PODCASTS
  • 88EPISODES
  • 25mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Jan 9, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about mwezi

Latest podcast episodes about mwezi

Habari za UN
09 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea Mada kwa Kina inayotupeleka Kenya ambapo Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limefanikiwa kumnyanyua msichana Nosizi Dube na kutimiza ndoto yake ya kuepuka ndoa ya utotoni na kupata shahada ya kwanza ya chuo kikuu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchaambizi wa neno KWEGO.Mwezi mmoja tangu kuanguka kwa utawala wa Bashar Al-Assad, zaidi ya wakimbizi 125,000 wamerejea Syria "wakiwa na matumaini baada ya miaka mingi ya kuishi uhamishoni", lakini wamejikuta wakikabiliwa na hali mbaya nchini mwao, wameeleza leo wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa. Likiwa linaongoza wito kwa jumuiya ya kimataifa "kutoka kwenye maneno hadi vitendo" ili kuwasaidia watu walio waliorejea ambao sasa wako katika mazingira magumu, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, limesema familia nyingi zina uhaba wa makazi na njia kidogo za kiuchumi.Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limeongeza ombi lake la fedha kufikia dola milioni 73.2 kwa ajili ya kusaidia zaidi ya watu milioni 1.1 kote nchini Syria katika kipindi cha miezi sita ijayo, wakati nchi hiyo ikiingia katika kipindi cha mpito kufuatia kuanguka kwa serikali ya Bashar Al-Assad. Ombi hili ni nyongeza katika ombi la awali la dola milioni 30 lililotolewa mwezi Desemba mwaka jana 2024 likilenga mahitaji yanayoongezeka ya majira ya baridi Kaskazini Magharibi mwa Syria.Miezi 15 baada ya vita huko Gaza, mamia kwa maelfu wanaendelea kuishi katika shule za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina (UNRWA) zenye msongamano ambazo zimegeuzwa kuwa makazi. UNRWA imeeleza kuwa hata viwanja vya michezo kwa watoto sasa ni nyumba kwa waliofurushwa. Shirika hilo limesisitiza kuwa misaada zaidi ya kibinadamu lazima iingie Gaza na kusitishwa kwa mapigano ni muhimu zaidi kuliko hapo awali.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KWEGO”.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

Kwa Undani - Voice of America
Matukio yaliogonga vichwa vya habari ikiwemo serikali ya Burundi imezuia upinzani kushiriki katika uchaguzi ujao mwezi June mwaka huu. - Januari 03, 2025

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Upinzani Burundi unasema tume ya uchaguzi nchini humo imekiuka katiba kwa kuwazuia wapinzani kutoshiriki uchaguzi ujao wa mwezi June. - Januari 02, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu kwanini Kanisa liliweka mwezi 11 wa kuwaombea Marehemu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 6, 2024 28:53


Ungana nami Emeliana Masondole  katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, anatafakari juu ya mwezi wa kumi na moja yaani mwezi Marehemu. L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa liliweka mwezi 11 wa kuwaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.

VOA Express - Voice of America
Oktoba ni mwezi wa uhamasishaji saratani ya matiti, je vijana wanahamasishwa ipasavyo umuhimu wa kufanya uchunguzi wa mapema wa afya zao? - Oktoba 02, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 2, 2024 29:56


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Nuus
Bewerings van jagpermit vir jagluiperd is snert - ministerie

Nuus

Play Episode Listen Later Sep 30, 2024 0:40


Die ministerie van omgewing het die uitreiking van 'n jagpermit vir 'n jagluiperd in die Anabeb-bewarea weerlê. Die ministerie beklemtoon dat geen jagpermitte vir jagluiperds uitgereik is nie en dat Namibië nêrens in die land 'n jagkwota vir jagluiperds het nie. Hy skryf die gerugte toe aan smeerveldtogte. Izak Smit van die Desert Lion Human Relations Aid het egter kommer uitgespreek oor deursigtigheid binne die ministerie en bevraagteken hoe feite vasgestel kan word as die ministerie inligting weerhou, soos wat na bewering gebeur met die trofeejag van die woestyn-aangepaste leeu Mwezi op 11 Oktober 2023. Kosmos 94.1 Nuus het gesels met Romeo Muyunda, die omgewingministerie se woordvoerder.

Radio Maria Tanzania
Ni, kwanini tunasali Rozari mwezi wa kumi na sio mwezi mwingine?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 2, 2024 26:30


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo  Frateri Peter Mjwauzi Peter kutoka Parokia Mwenyeheri Vincenza Maria Poloni -Ntyuka Jimbo kuu la Dodoma, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema ni  kwanini Kanisa katoliki limeweka mwezi wa kumi kuwa mwezi wa Bikira Maria kwa kusali Rozari na sio mwezi mwingine?   L'articolo Ni, kwanini tunasali Rozari mwezi wa kumi na sio mwezi mwingine? proviene da Radio Maria.

Alfajiri - Voice of America
Biden afanya mkutano na waandishi wa habari na kusisitiza kuwa hatojiondoa kwenye kinyang'anyiro cha mwezi Novemba - Julai 12, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 12, 2024 29:59


Nuus
Napha reageer op aantygings oor Mwezi-jag

Nuus

Play Episode Listen Later Jul 8, 2024 0:38


Die omstrede trofeejag van die woestyn-aangepaste leeu Mwezi op 11 Oktober 2023, wat in die Skedelkus Nasionale Park geskiet is, is steeds in die nuus. Izak Smit van die Desert Lion Human Relations Aid, sê daar is 'n gebrek aan deursigtigheid en aanspreeklikheid by die omgewingsake-ministerie, wat weier om op hul navrae te reageer. Smit voer ook onder andere aan dat die leeu onwettig as probleemdier verklaar is om ‘n winsgewende trofee te skep. Kosmos 94.1 Nuus het reaksie hierop gekry van Axel Cramer, president van die Namibië professionele jagvereniging, Napha.

Nuus
Ministerie reageer op Mwezi se jag-aantygings

Nuus

Play Episode Listen Later Jul 3, 2024 0:39


Die omgewingsministerie het teruggekap teen aantygings wat deur Izak Smit van Desert Lion Human Relations Aid, of DeHLRA gemaak is oor die jag van die woestyn-aangepaste leeu Mwezi. Smit voer aan dat die leeu onwettig as probleemdier verklaar is om ‘n winsgewende trofee te skep. Romeo Muyunda, woordvoerder van die ministerie het sy reaksie so verwoord.

Nuus
Ministerie reageer op Mwezi se jag-aantygings

Nuus

Play Episode Listen Later Jul 3, 2024 0:30


Kry die nuus soos dit breek.

Jioni - Voice of America
Taliban nchini Afghanistan wanaukaribisha mwaliko wa Umoja wa Mataifa katika mkutano wa kimataifa huko Qatar baadaye mwezi huu. - Juni 24, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 24, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Radio Maria Tanzania
Ni, kwanini Dunia inadhimisha siku ya Uchangiaji Damu Tarehe 14 mwezi sita wa kila Mwaka.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 22, 2024 49:46


    Kuelekea siku ya Uchangiaji Damu Duniani tarehe 14 mwezi  wa sita kila mwaka, karibu  ungane na Bi Mariam Juma, Afisa Mhamasishaji  Jamii  kutoka Mpango wa Taifa Damu Salama katika kipindi cha Elimu Jamii,anatuelezea kuhusu Umuhimu wa uchangiaji Damu. L'articolo Ni, kwanini Dunia inadhimisha siku ya Uchangiaji Damu Tarehe 14 mwezi sita wa kila Mwaka. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu utofauti kati ya Mwezi Mei na miezi mingine.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 17, 2024 50:42


Karibu Ungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa  Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na  Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ni muendelezo wa mada Faraja ya Imani.   L'articolo Fahamu utofauti kati ya Mwezi Mei na miezi mingine. proviene da Radio Maria.

Alfajiri - Voice of America
Mdahalo wa Biden na Trump mwezi Juni utakuwa wa mapema zaidi katika historia ya Marekani - Mei 16, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later May 16, 2024 30:00


Mdahalo wa Biden na Trump mwezi Juni utakuwa wa mapema zaidi katika historia ya Marekani

Radio Maria Tanzania
Ni, kwa namna gani mwezi Mei ni Faraja ya Imani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 10, 2024 56:09


Karibu Ungane nami Erick Paschal, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa  Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera na  Paroko wa Parokia ya Kaazi Jimbo Katoliki Bukoba ni muendelezo wa mada Faraja ya Imani.   L'articolo Ni, kwa namna gani mwezi Mei ni Faraja ya Imani? proviene da Radio Maria.

Beneath the Baobab
How Organisations Aid Coexistence

Beneath the Baobab

Play Episode Listen Later Apr 18, 2024 55:14


In this episode, we travel to Botswana to discover how innovative methods, and the role of organisations, are aiding the coexistence of people and wildlife. We visit the Chobe enclave, where despite a thriving tourism economy, the wildlife from the nearby National Park can cause life-changing and sometimes devastating challenges to local residents. Mr Mwezi is a community leader, a chief and a cattle rancher. He describes the challenges he faces from raising his herd in an area prone to drought and at risk by predators – but also the tragic loss of two close relatives. The Chobe Enclave Community Trust (CECT) is run by Moses Sinchembe and he acknowledges that humans and wildlife need to coexist – and that wild animals in the area can be what he describes as “a blessing and a curse”. He believes that by understanding the ‘language' of the wildlife that surrounds the people, animals and humans can live alongside each other much more effectively. Letlhogonlo Kamuti comes from Ncongo (the Ngamiland Council of NGOs), a community based capacity-building organisation and umbrella body for NGOs (non-governmental organisations). He discusses the cultural importance for wildlife in the community, and the opportunities that come from hunting quotas and tourist safaris. Mubuso Kakambi was born and raised in Kavimba village and in her younger years, feared the wildlife around her. Now working for WildCRU (the Wildlife Conservation Research Unit), she helps her fellow residents see the benefits of coexistence and believes that education is key for the community. Andrew Mukwati is a community guardian for WildCRU and has built over 70 ‘kraals', adapting traditional practices to create modern enclosures, designed to protect cattle and other livestock from predators. Jess Isden is WildCRU's head of project and has been in Botswana for many years, building trust within communities and helping tip coexistence solutions in local people's favour. The Trans-Kalahari predator programme is one of many programmes under WildCRU looking at the movement of large predators across the landscape. We speak to them all, beneath the baobab. Visit the website https://jammainternational.com to explore more international projects. The video of this episode can be seen here: https://youtu.be/itb33f8pX7A https://www.trickleout.net/index.php/directory-pilot/botswana/chobe-enclave-conservation-trust https://ncongo.org/https://www.wildcru.org/ Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

VOA Express - Voice of America
Wasikilizaji wazungmzia namna mwezi mtukufu wa Ramadan ilivyokuwa mwaka huu, na matarajio yao baada ya kufungua. - Aprili 09, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 9, 2024 29:59


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.

Habari RFI-Ki
Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 12, 2024 9:55


Waumini wa dini ya Kiisilamu wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kipindi hiki mataifa mengi ya Afrika mashariki yakishuhudia mfumko wa bei za bidhaa. Serikali zetu zifanye nini kupunguza mfumko wa bei za bidhaa? skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako

Habari RFI-Ki
Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 12, 2024 9:55


Waumini wa dini ya Kiisilamu wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kipindi hiki mataifa mengi ya Afrika mashariki yakishuhudia mfumko wa bei za bidhaa. Serikali zetu zifanye nini kupunguza mfumko wa bei za bidhaa? skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako

Alfajiri - Voice of America
EU yatoa msaada wake wa mwisho wa kila mwezi kwa Ukraine - Desemba 22, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 22, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Nuus
DeLHRA het steeds vrae oor jag van Mwezi

Nuus

Play Episode Listen Later Dec 7, 2023 0:37


Desert Lion Human Relations Aid, of DeLHRA, het kommentaar gelewer oor die benutting van sogenaamde probleem diere vir trofeejag doeleindes. Die organisasie vra steeds vrae oor die jag van die agt-jarige leeumannetjie Mwezi in die noordweste van Namibië, in 'n beskermde gebied, terwyl dit bekend was hy was besig om te paar met ‘n alleenlopende wyfie. Izak Smit van DeLHRA, het met Kosmos 94.1 Nuus gepraat.

Nuus
DeLHRA het steeds vrae oor jag van Mwezi

Nuus

Play Episode Listen Later Dec 7, 2023 0:30


Hy het ook gevra dat Napha op die etiek van die jag moet kommentaar lewer.

Men. Men. Men. - The Podcast -
Jali afya yako ya akili

Men. Men. Men. - The Podcast -

Play Episode Listen Later Oct 19, 2023 68:30


Mwezi wa kumi huwa ni mwezi maalumu kwa ajili ya kufanya kampeni inayokuza na kueneza uelewa kuhusu afya ya akili (Mental Health Awareness month). Na dhima kubwa ya mwaka huu inasema “Afya ya akili ni haki ya binadamu kwa wote” Kwa kujua umuhimu wa siku hii na namna gani swala zima la afya ya akili linavyohitaji mjadala mpana nchini Tanzania, Michael na Nadia wameketi chini na kuichambua safari nzima ya afya ya akili hapa nchini Tanzania. Tunakubaliana na ukweli kwamba kuna hatua zimepigwa kwenye kuhakikisha misaada na ufahamu wa afya ya akili unaongezeka katika jamii, ila lazima tuwe wakweli kwamba bado pengo pia linaonekana.  Mazungumzo ya leo  yanatulezea namna ya kugundua changamoto za afya ya akili, umuhimu wa kutafuta msaada, msaada unapopatikana lakini pia, kama hauwezi kumudu gharama za wataalamu, ni nini ambacho unaweza kiufanya mwenyewe ili uweze kujiokoa? Mazungumzo yote ya leo yamefanyika yakiwa na lengo moja tu, kukufanya uanze kujali afya yako ya akili. Na ndiyo maana kipindi cha leo kinaitwa “Jali afya yako ya akili”

Gurudumu la Uchumi
Viongozi wa dunia wajadili malengo endelevu ya umoja wa Mataifa

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Oct 5, 2023 9:54


Mwezi uliopita, viongozi wa dunia walikutana jijini New York, Marekani katika mkutano wa 78 wa baraza la umoja wa Mataifa, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali ikiwemo usalama wa dunia na ukuaji wa uchumi pamoja na mikakati ya kufikia ajenda ya mwaka 2030 na haja ya kuongeza kasi kutekeleza malengo 17 endelevu. Kuzungumzia yaliyojiri, mtayarishaji wa makala haya alimualika Ebenezer Suleiman Mathew Ikomba, balozi wa vijana wa Tanzania kwenye umoja wa Mataifa. Katika mijadala mingi, vijana walitajwa kuwa sehemu kubwa ya nguvu kazi ya dunia na kwamba kupitia ubunifu, uwajibikaji na harakati za kuhamasisha nchi kufikia malengo endelevu, basi dunia itakuwa sehemu salama. Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia yaliyotokana kwenye mkutano huo na namna gani vijana wanaweza kushiriki katika ujenzi wa dunia salama na yenye amani ambayo itachochea maendeleo na ukuaji wa uchumi. 

Gurudumu la Uchumi
Viongozi wa dunia wajadili malengo endelevu ya umoja wa Mataifa

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Oct 5, 2023 9:54


Mwezi uliopita, viongozi wa dunia walikutana jijini New York, Marekani katika mkutano wa 78 wa baraza la umoja wa Mataifa, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali ikiwemo usalama wa dunia na ukuaji wa uchumi pamoja na mikakati ya kufikia ajenda ya mwaka 2030 na haja ya kuongeza kasi kutekeleza malengo 17 endelevu. Kuzungumzia yaliyojiri, mtayarishaji wa makala haya alimualika Ebenezer Suleiman Mathew Ikomba, balozi wa vijana wa Tanzania kwenye umoja wa Mataifa. Katika mijadala mingi, vijana walitajwa kuwa sehemu kubwa ya nguvu kazi ya dunia na kwamba kupitia ubunifu, uwajibikaji na harakati za kuhamasisha nchi kufikia malengo endelevu, basi dunia itakuwa sehemu salama. Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili inaangazia yaliyotokana kwenye mkutano huo na namna gani vijana wanaweza kushiriki katika ujenzi wa dunia salama na yenye amani ambayo itachochea maendeleo na ukuaji wa uchumi. 

Radio Maria Tanzania
Wafahamu watakatifu wa Mwezi wa nane?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 25, 2023 48:44


Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katolilki  Mada iliyopo ni juu  muendelezo waa mada ya watakatifu mwezi wa nane  , Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania. L'articolo Wafahamu watakatifu wa Mwezi wa nane? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Muendelezo wa Mafundisho ya watakatifu wa Mwezi nane?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 25, 2023 55:19


Ungana na Mtangazaji Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katolilki  Mada iliyopo ni juu ya Watakatifu wa Mwezi Agost    , Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania. L'articolo Fahamu Muendelezo wa Mafundisho ya watakatifu wa Mwezi nane? proviene da Radio Maria.

Habari RFI-Ki
Mali yaidhinisha katiba mpya baada ya kura ya maoni ya mwezi uliopita

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 24, 2023 10:00


Nchi ya Mali kupitia kiongozi wake wa kijeshi Kanali Assimi Goita imetangaza katiba mpya ya nchi hiyo na ambayo upinzani imepinga na hivyo kutishia maandamano.Uchaguzi wa nchi hiyo ulitarajiwa kufanywa mnamo Februari 2022, lakini ukaahirishwa hadi Februari 2024.

Habari RFI-Ki
Mali yaidhinisha katiba mpya baada ya kura ya maoni ya mwezi uliopita

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 24, 2023 10:00


Nchi ya Mali kupitia kiongozi wake wa kijeshi Kanali Assimi Goita imetangaza katiba mpya ya nchi hiyo na ambayo upinzani imepinga na hivyo kutishia maandamano.Uchaguzi wa nchi hiyo ulitarajiwa kufanywa mnamo Februari 2022, lakini ukaahirishwa hadi Februari 2024.

Habari za UN
Mradi wa Binti Shupavu wasongesha SDG4 nchini Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 22, 2023


Nchini Tanzania Shirika la lisilo la kiserikali la Girls Livelihood and Mentorship Initiative (GLAMI) kupitia Mradi wake wa Binti Shupavu, unaowajengea Stadi za Maisha ikiwemo uwezo wa kujitambua, mabinti walioko Shule, unaendelea na juhudi za kufanikisha Lengo la Nne la maendeleo endelevu SDG's linalohusu Elimu, ambapo Jumla ya wasichana 824 wananufaika kutoka katika Shule Tisa zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini, ambapo Mwezi huu wa Tano limekamilisha Programu ya kufanya vikao na wazazi katika Shule hizo ili kuwajengea uwezo wa malezi ya watoto wao. Hamad Rashid wa Redio washirika MVIWATA FM kutoka Morogoro, mashariki mwa Tanzania amehudhuria baadhi ya vikao vya wazazi na GLAMI kisha kutuandalia makala ifuatayo. 

Boots on the ground pod
Elephants Without Borders with Dr. Tempe Adams & Isaiah ‘Izzy' Mwezi

Boots on the ground pod

Play Episode Listen Later May 15, 2023 37:54


In this Podcast double, I'm excited to be speaking with Dr. Tempe Adams, the coexistence & education manager for Elephants Without Borders, an NGO based in Botswana and Izzy, the program assistant for the Human Elephant Coexistence program. We talk through their roles at EWB, what drives their passion for conservation, biggest threats facing elephants and their habitats in Botswana and the tools they use to promote coexistence and end human elephant conflicts. Enjoy

Changu Chako, Chako Changu
Mwezi wa la francophonie sehemu ya pili Louise Mushikiwabo akabidhi tuzo

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Mar 25, 2023 20:04


Karibu kuungana nami jumapili hii katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo nakuletea sehemu ya pili ya makala kuhusu mwezi wa Francophonie na kwenye le parler francophone nakuletea shughuli za kitamaduni zilizojiri kwenye vituo vya Alliance Francaise ya Mombasa, Nairobi na Dar es salaam na kwenye Muziki nakuletea mwanamuziki kutoka nchini Burundi Saidi Brazza ambae amefariki dunia alhamisi iliopita huko Ngozi magharibi mwa Burundi. Mimi naitwa Ali Bilali bienvenue.

Changu Chako, Chako Changu
Makala haya yanazungumzia mwezi wa francophonie, kuelekea siku ya kimataifa ya OIF

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Mar 23, 2023 19:57


Karibu kuwa nami kwa mara nyingine tena katika Makala Changu Chako Chako Changu ambapo leo tunazungumzia kuhusu mwezi wa la francophonie, na kwenye le parler francophone tutazungumzia tamasha lililoandaliwa na Alliance francaise ya Nairobi ya wasanii kutoka katika maeneo mbalimbali duniani waliojumuika katika kundi la Chansons sans frontieres.

Kwa Undani - Voice of America
Burkina Faso inathibitisha kwamba imeitaka Ufaransa kuwaondoa wanajeshi wake maalum katika muda wa mwezi mmoja. - Januari 24, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 24, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Matukio ya wiki ya kwanza ya mwezi Januari 2023

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 7, 2023 20:17


Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na Watu tisa, walipoteza maisha jijini Kampala Uganda wakati ulimwengu ulipokuwa ukiukaribisha mwaka mpya, waasi wa 23 huko mashariki ya DRC hatimaye wakubali kukabidhi kambi kubwa ya kijeshi ya Rumangabo kwa kikosi cha Jumuiya ya Afrika mashariki ijumaa ya January 06, Hatua ya rais wa Tanzania ya kuondoa marufuku ya mikutano ya vyama vya kisiasa kwenye nchi hiyo, miongoni mwa mengine mengi.

Alfajiri - Voice of America
Timu ya taifa ya Uganda ya Cranes kutohudhuria michuano ya mataifa ya Afrika mwezi ujao nchini Algeria kutokana na ukosefu wa fedha. - Desemba 15, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 15, 2022 29:56


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
Methali: Usigombane na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 17, 2022 0:02


Na leo katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu ni Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA, anatufafanulia maana ya methali "Usigombane na mkwezi, nazi imeliwa na mwezi", karibu!    

Radio Maria Tanzania
Maadhimisho ya Mwezi Novemba

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 4, 2022 48:06


Na Padre Paul Chiwangu Katibu Mtendaji wa Idara ya Litrurjia ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).

Binti Wa Yesu
EP. 29: Mrembo, Choose Purity.

Binti Wa Yesu

Play Episode Listen Later Oct 28, 2022 0:42


Mwezi uliopita (September) nilipata fursa ya kwenda redioni Upendo FM na kuzungumza na vijana. Katika yote niliyoyazungumza, natamani uondoke na hiki nilichozungumza katika episode hii. Happy Listening

Habari za UN
Dola 17 kwa mwezi kutoka UNICEF zabadilisha maisha ya familia Kajiado

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 25, 2022 2:31


Wakati Kenya ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu tarehe 9 mwezi ujao wa Agosti, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini humo linatoa wito kwa serikali itakayoingia madarakani ipatie kipaumbele hifadhi ya jamii ikiwemo kupatia fedha familia zilizo hatarini kama njia mojawapo ya kupunguza umaskini. UNICEF inatoa wito huo wakati huu ambapo mradi wake wa majaribio kupatia fedha famiilia maskini zenye watoto umeanza kuzaa matunda kama anavyoelezea Anold Kayanda katika taarifa hii. Huyo ni Monika Muema, mkazi wa Kaunti ya Kajiado nchini Kenya. Yeye ni bibi na mlezi wa wajukuu watano na binti yake ambaye ni kiziwi. Monika ni mnufaika wa mradi wa UNICEF wa kupatia fedha kaya maskini ambapo kila mwezi hupatiwa takribani dola 17 ili kuweza kulea wajukuu zake akiwemo Alice mwanafunzi wa darasa la 7. Monika anatumia fedha anazopata kusuka vikapu. Ukosefu wa fursa za ajira na changamoto itokanayo na COVID-19 ilifanya hali kuwa mbaya zaidi na watoto wakashindwa hata kwenda shule. Susan Momanyi, afisa wa UNICEF Kenya anasema, “hapa Kenya kaya milioni 1.4 zimeandikishwa kwenye mradi wa hifadhi ya jamii, na hivoy kuacha takribani watoto milioni 12 wanoahitaji huduma hiyo. Ndio  maana UNICEF inatoa wito kwa serikali ijayo ya Kenya kuongeza bajeti kwenye hifadhi ya jamii kwa asilimia 1.7 ya pato lake la ndani, kiwango ambacho ni sawa na nchi zingine za kipato cha kati ili kila mtoto anufaike.” Sasa hata walimu wa Alice shuleni wanasema wameona tofauti tangu bibi yake aanze kunufaika na mradi wa kupatiwa fedha kwani mahudhurio ni bora halikadhalika sare za shule.  

Jioni - Voice of America
Livetalk: Siasa za Kenya kwelekea kwa uchaguzi wa mwezi Agosti - Julai 15, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 15, 2022 59:59


Wageni wetu wanajadili masuala nyeti yaliyoibuka katika siasa za Kenya wakati taifa hilo la Afrika Mashariki likijitayarisha kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti.

Yaga
Et ce jour-là…, Ep. 13 : Ririkumutima arabaye umuhagarikizi bahetsi b'umwami !

Yaga

Play Episode Listen Later Jun 23, 2022 4:55


☺️ Mukinjana ca mirong'ibiri, Ririkumutima yabaye umukenyezi wa mbere aronse amabanga yo kuba umuhagarikizi bahetsi b'umwami. Ririkumutima yari yipfuza mumpisho, kumwe mu bahungu biwe, yoba ariwe aba umwami inyuma y'urupfu rwa Mwezi Gisabo. Kur'iyo mvo, yarakoresheje amayeri yose kugira avyumvishe umukunzi wiwe yuko yoreka umwe mu bahungu biwe acatwara, ariko Mwezi aranka ahitamwo gukurikiza imigenzo. #YagaPodcast #kahise

Yaga
Et ce jour-là…, Ep. 15 : Mwezi Gisabo na Tanganyika, uko vyagenze

Yaga

Play Episode Listen Later Jun 23, 2022 4:43


Yaga
Et ce jour-là, Ep10 : Traité de Kiganda, l'histoire d'un traité inégal

Yaga

Play Episode Listen Later Jun 9, 2022 3:17


S'il est présenté comme un accord ayant marqué la fin des hostilités entre les Allemands et le pouvoir du roi Mwezi, le traité de Kiganda n'est pas moins perçu comme un diktat imposé aux Burundais. Un diktat qui ne sera pas sans affecter la royauté ou l'intégrité territoriale.

Alfajiri - Voice of America
Kenya: IEBC yasema haitawazuia watuhumiwa wa ufisadi kugombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti - Juni 03, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 3, 2022 29:59


Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC, imesema kwamba haitawazuia watuhumiwa wa kashfa za ufisadi kugombea nafasi mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. IEBC inaeleza kuwa ni lazima mahakama iwakute washukiwa na hatia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Sherehe za Eid za ashiria mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadan

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 2, 2022 5:51


Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.

ramadan mwezi sherehe waislamu
Habari za UN
FAO yatoa ushauri kwa wafugaji pindi ukame unapotishia mifugo yao

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 4, 2022 6:44


Huko Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika ambako huko kwa kipindi kirefu sasa njaa na ukame vimekuwa tatizo kubwa. Mwezi uliopita wa Januari shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO lilitoa ombi la zaidi ya dola milioni 138 za ufadhili wa dharura ili kusaidia watu milioni 1.5 walio hatarini katika jamii za vijijini huko Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika. Kufahamu hali halisi mashinani iko vipi, Leah Mushi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na Dokta. Paul Mutungi Afisa wa mashinani wa FAO akihusika na wafugaji katika Ukanda wa Afrika Mashariki na anaanza kwa kueleza hali ya kibinadamu ilivyo huko mashinani. 

Fantasy Magazine - Fantasy Story Podcast (Audiobook | Short Stories)
Aline-Mwezi Niyonsenga | Saviour of the Light Market

Fantasy Magazine - Fantasy Story Podcast (Audiobook | Short Stories)

Play Episode Listen Later Dec 14, 2021 31:23


Rain soaks through my hair, stretching my coils to wavy locks streaming down my face. A cold gaze follows me through dark windows, reminding me of Lisa's face. I complained about my parents, once. | Copyright 2021 by Aline-Mwezi Niyonsenga. Narrated by Janina Edwards.

DAKA CODE
Justin Bieber ameongoza kusikilizwa Spotify Mwezi huu | Figo ya Bandia imeonyesha mafanikio makubwa | Facebook imeanza kuweka Reels katika Facebook

DAKA CODE

Play Episode Listen Later Sep 30, 2021 14:00


Story za Siku: - Justin Bieber ameongoza kusikilizwa Spotify Mwezi huu! - Ckay amewapita Wizkid na Tems kwenye Shazam - Figo ya bandio imeonyesha mafanikio makubwa - Facebook imeanza kuweka Reels katika app ya Facebook - Fahamu matatizo ya iPhone 13

Muziki Ijumaa
Muziki kama ulivyoomba wewe msikilizaji ijumaa ya mwisho wa mwezi Julai.

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Aug 2, 2021 10:05


Leo tumekuletea burudani tukiangazia kazi za wanamuziki  Fally Ipupa, Bahati akitokea Kenya, SAT-B akitokea Burundi na Ali Kiba miongoni mwa wasanii wengine ambao utawasikia kwenye  Makala haya.

Muziki Ijumaa
Muziki Ijumaa - Muziki kama ulivyoomba wewe msikilizaji ijumaa ya mwisho wa mwezi Julai.

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Aug 2, 2021 10:05


Leo tumekuletea burudani tukiangazia kazi za wanamuziki  Fally Ipupa, Bahati akitokea Kenya, SAT-B akitokea Burundi na Ali Kiba miongoni mwa wasanii wengine ambao utawasikia kwenye  Makala haya.

Habari za UN
Njaa kufikia watu 28,000 mwezi Octoba 2021 nchini Madagascar

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 24, 2021 3:19


Mkurugenzi mtendaji wa shirika la mpango wa chakula duniani WFP, David Beasley, ameiomba dunia kutoipa kisogo Masdagascar ambako maelfu ya watu wanakabiliwa na njaa kali na badala yake kujitoa na kuchukua hatua haraka baada ya kushuhudia mgogoro mkubwa usioonekana wa njaa unaoendelea Kusini mwa nchi hiyo  na kuathiri jamii nzima.

Habari za UN
UNICEF yatoa fedha kila mwezi kwa kaya masikini Ethiopia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 10, 2021 2:04


Nchini Ethiopia mpango wa kusaidia kaya maskini kwa kuzipatia fedha, sasa unaongezwa kiwango cha fedha kutoka dola 13 kwa mwezi hadi dola 21 kwa mwezi baada ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF na wadau kuingia makubaliano ya kusaidia serikali katika mpango huo kwa miezi sita ijayo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya kuishiwa na chanjo ya COVID-19 kufikia misho wa mwezi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 24, 2021 6:43


Hofu yaongekeza kuhusu uwezako wa chanjo za COVID-19 kuisha nchini Kenya, wakati wowote kuanzia sasa na kati ya mwezi ujao.

Yesaya Software Podcast
Jetpack Compose toolkit mpya kwenye Android

Yesaya Software Podcast

Play Episode Listen Later Apr 25, 2021 1:21


Jetpack Compose ni toolkit ya kisasa kutengeneza native Android UI. Imejikita katika declarative programming model, ambayo inakupa wepesi kwa kusema tuu unataka UI yako ionekanaje, na Compose itafanya mengi kwa ajili yako wakati app inabadili state, na UI yako itajiupdate automatically.Kwa kuwa imetengenezwa na Kotlin, basi inafanya kazi vizuri kabin na Java Programming Language na kutoa direct access kwa APIs zote za Android na Jetpack. Pia iko compatible na existing UI toolkit, so hapa unaweza mix and match classic (zile za XML) and new views na imetengenezwa kwa Material Theme pia animation kama zote vile tokea awali tuu.For the best experience developing with Jetpack Compose, nakushauri pakua sasa the latest canary version of Android Studio Preview. Kwa sasa Jetpack Compose iko kwenye Beta Version iliyotoka Mwezi wa Pili tarehe 24, na sasa ipo Beta 5 wakati narecord chapisho hili.Sasa kaa tayari tuanze pita code kwa Kotlin na Jetpack Compose, tupia like na subscribe sasa.

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako, Chako Changu - Makala maalum kuhusu mwezi wa Francophonie sehemu ya tatu

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Mar 15, 2021 20:21


Katika sehemu hii ya tatu ya Makala kuhusu la Franchophonie, mtangazaji wako Ali Bilali amempokea studioni Julie Briand afisaa kutoka Ubalizi wa Ufaransa jijini Nairobi kuzungumzia mengi zaidi kuhusu la Francophonie, lakini pia utapata kumsikia Elsie Gathonie raia wa Kenya anaesoma huko Ubelgiji anatueleza nini kilichomvutia kusoma Kifaransa na changamoto alizozipata mwanzoni kutokana na mila na tamaduni. Usikosi pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali

Muziki Ijumaa
Muziki Ijumaa - Burudani maaluum ya nyimbo za kifaransa wakati rfikiswahili ikiadhimisha mwezi wa la Francophonie

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Mar 8, 2021 10:52


Wakati RFIKiswahili ikiadhimisha mwezi wa la Francophonie, mtangazaji wako Ali Bilali amekuletea nyimbo mbalimbali za wanamuziki waliozoimba kwa Kifaransa na maelezo yake mafupi kuhusu nyimbo hizo, ebu sikiliza. usikosi pia kutufollow kwa instagram billy_bilali

Changu Chako, Chako Changu
Changu Chako, Chako Changu - Makala maalum ya rfikiswahili ikiadhimisha mwezi wa la Francophonie sehemu ya kwanza

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Mar 3, 2021 19:59


Mtangazaji wako nguli wa maswala ya utamaduni na Muziki Ali Bilali anakuletea Makala maalum kuhusu Jumuiya ya nchi zinazo zungumza lugha ya kifaransa maharufu la francophonie. kwenye kipengele cha le parler francophone utamsikia msichana kutoka nchini kenya anaesoma jijini paris, huku burudani ya muziki wa kifaransa ukihitimisha makala. Usikosi pia kutufollow kwa instagram @billy_bilali

Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Uchaguzi wa CAF mwezi Machi, fainali ya soka kwa vijana nchini Mauritania

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 1, 2021 20:50


Wiki hii, tunaangazia kwa kina kuhusu maandalizi ya uchaguzi wa rais wa Shirikisho la soka barani Afrika, fainali ya vijana kuwania taji la vijana wasiozidi miaka 20 nchini Mauritania, miongoni mwa matukio mengi yaliyotokea viwanjani wiki hii.

Jasusi
Heri Ya Mwezi Mpya Wa Machi: Fahamu Mbinu Hii Kila Uanzapo Wakati (Saa/Siku/Wiki/Mwezi/Mwaka) Mpya

Jasusi

Play Episode Listen Later Mar 1, 2021 5:00


Mbinu husika inahusiana na falsafa ya Stoicism, ambayo nayo nitaitafutia muda maalum wa kuieleza kwa upana. Na katika Stoicism kuna kitu kinachofahamika kama "Premeditatio Malorum," kwa kimombo "the premeditation of the evils and troubles that might lie ahead." Kwa tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili ni ile hali ya kuwa na utambuzi wa mambo mabaya yanayoweza kutokea huko mbeleni.

Jasusi
Heri Ya Mwezi Mpya Wa Machi: Fahamu Mbinu Hii Kila Uanzapo Wakati (Saa/Siku/Wiki/Mwezi/Mwaka) Mpya

Jasusi

Play Episode Listen Later Mar 1, 2021 5:00


Mbinu husika inahusiana na falsafa ya Stoicism, ambayo nayo nitaitafutia muda maalum wa kuieleza kwa upana. Na katika Stoicism kuna kitu kinachofahamika kama "Premeditatio Malorum," kwa kimombo "the premeditation of the evils and troubles that might lie ahead." Kwa tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili ni ile hali ya kuwa na utambuzi wa mambo mabaya yanayoweza kutokea huko mbeleni. Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe

NMU PODCAST
VALENTINE ADVENTURE IN NMU PODCAST

NMU PODCAST

Play Episode Listen Later Feb 6, 2021 24:47


Karibu tena kwenye episode nyingine, kwenye episode hii tumeongelea namna ambavyo watu mbalimbali utumia muda wao kufurahia na kushrekea siku ya Valentine, Tumezoea na tumekuwa tukisikia kuwa Valentine day ni siku ya wapendanao...!!! je ni kwanmna gani wanashrekea Mwezi huu wa pili siku ya Tarehe 14 ......? majibu yote tumekuwekea kwenye Episode hii ya leo. Karibu kusikiliza --- Send in a voice message: https://anchor.fm/martine945/message

FATA BIBILIA ikuongoze
Je, Yesu alizaliwa tariki 24 kuamukia tariki 25 mwezi wa 12? Part 1.

FATA BIBILIA ikuongoze

Play Episode Listen Later Dec 14, 2020 27:29


Je, Yesu alizaliwa tariki 24 kuamukia tariki 25 mwezi wa 12? Part 1. by FUATA BIBLIA

FATA BIBILIA ikuongoze
Je, Yesu alizaliwa tariki 24 kuamukia tariki 25 mwezi wa 12? Part 2.

FATA BIBILIA ikuongoze

Play Episode Listen Later Dec 14, 2020 28:17


Je, Yesu alizaliwa tariki 24 kuamukia tariki 25 mwezi wa 12? Part 2. by FUATA BIBLIA

Msasaonline
CHINA: YATANGAZA HATUA MPYA DHIDI YA VYOMBO VYA HABARI VYA MAREKANI.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 3, 2020 1:25


Serikali ya China imeyataka mashirika manne ya habari ya Marekani kutoa maelezo ya kina kuhusu opereseheni zao nchini China ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi katika ugomvi wao wa vyombo vya habari na utawala wa Trump. Mashirika hayo ya Associated Press United Press International, CBS News na National Public Radio yanahitajika kufichua taarifa kuhusu wafanyakazi wao, taarifa za kifedha, opereseheni zao pamoja na mali isiyohamishika nchini China katika siku 7 zijazo. Msemaji wa Wizara ya mambo ya kigeni ya China, Zhao Lijian amesema maelezo hayo ni muhimu ili kukabiliana na hatua ya Marekani ya kuvikandamiza vyombo vya habari vya nchini China, Marekani. Mwezi uliopita Marekani iliamuru kuwa mashirika manne ya habari ya serikali ya China, China Central Television, China News Service, Peoples Daily na Global Times kujisajili kama ujumbe wa kigeni, hivyo kukabiliwa na masharti sawa na ofisi za kibalozi nchini Marekani. Nchi hizo mbili zimezozana kuhusu Opereseheni za vyombo vya habari kwa miezi kadhaa, wakati kukiwa pia na mvutano wa mambo ya kibiashara, mlipuko wa virusi vya Corona na uhuru wa Hong Kong.

Habari za UN
UNHCR yaarifu kuwa ghasia Nigeria zasababisha  raia 23,000 wakimbilie Niger mwezi Aprili pekee

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2020 1:52


Ghasia zinazoendelea kaskazini-magharibi mwa Nigeria zimelazimisha watu wapatao 23,000 kukimbia nchi yao na kusaka hifadhi nchi jirani ya Niger kwa mwezi uliopita wa Aprili pekee.  Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linasema kuwa idadi hii inafanya raia wa Nigeria waliokimbilia Niger tangu mwezi Aprili mwaka jana iwe zaidi ya 60,000.   

FREEDOM ACADEMY
18-Hujui unataka nini, kwani tayari mwezi unaisha leo 29th. |makavu live

FREEDOM ACADEMY

Play Episode Listen Later Jan 28, 2020 10:51


#Breakthrough2020 mwishoni mwa mwezi malengo uliweka je mangapi umetimiza leo ama kupiga hatua? Kama bado tambua wewe ni muhanga sijuwi ukitakacho ndani ya biashara yako jifunze

FREEDOM ACADEMY
8-Jinsi S.E Aisha Mohammed alivyo tengeneza tsh750,000 ndani ya mwezi mmoja tu.

FREEDOM ACADEMY

Play Episode Listen Later Jan 8, 2020 4:45


PROGRAM ya Facebook page, WhatsApp business group PROJECT MONEY

SBS Swahili - SBS Swahili
RECONCILIATION WEEK - WIKI YA UPATANISHO

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2019 9:12


It's a week dedicated to reconciliation between Indigenous and non-Indigenous Australians.National Reconciliation Week is celebrated across Australia each year between 27 May and 3 June.This year the focus is on truth telling and what role it can play in reconciliation.Jean Paul Amedee Nizigama reports. - Hii ni wiki maalumu kwa ajili ya upatanisho kati ya Waustralia wa asili na wasio wa asili.Juma la uupatanisho, kitaifa huadhimishwa kote Australia kila mwaka kati ya tarehe 27 Mwezi wa Tano hadi tarehe 3 Mwezi wa Sita.Kauli mbiu ya mwaka huu ni "kuambiana ukweli" na jukumu gani itasaidia katika upatanisho huo.Jean Paul Amedee Nizigama anatutaarifu zaidi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Security concerns raised about NSW online voting - Wasiwasi waibuka kuhusu mfumo wakupiga kura mtandaoni NSW

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 27, 2019 5:24


At next month's New South Wales state election half a million people are expected to skip the queues and miss the sausage sizzle and vote online instead. - Mwezi ujao katika uchaguzi mkuu wa NSW, inakadiriwa kuwa takriban nusumilioni yawatu wanatarajiwa kukwepa foleni katika vituo vyakupiga kura, na badala yake watapigia kura mtandaoni.

Matendo Mazuri Katika Mwezi Wa Ramadhani
Matendo Mazuri Katika Mwezi Wa Ramadhani

Matendo Mazuri Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Jul 21, 2014 51:08


Matendo Mazuri Katika Mwezi Wa Ramadhani

Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani
Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani

Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Jul 21, 2014 51:08


Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani
Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 1

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Jul 16, 2014 51:08


Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 1

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani
Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 2

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Jul 16, 2014 51:08


Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 2

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani
Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 3

Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Jul 16, 2014 51:08


Zawadi Za Mwezi Wa Ramadhani 3

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 03

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 03

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 01

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 01

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 02

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 02

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 05

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 05

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 04

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 04

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 06

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 06

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 07

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 07

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 08

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 08

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 09

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 09

Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani
Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani

Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 27, 2013 51:08


Mambo Yanayo Patikana Katika Mwezi Wa Ramadhani

Namna Ya Kuupokea Mwezi Wa Ramadhani ?
Namna Ya Kuupokea Mwezi Wa Ramadhani ?

Namna Ya Kuupokea Mwezi Wa Ramadhani ?

Play Episode Listen Later Oct 27, 2013 51:08


Namna Ya Kuupokea Mwezi Wa Ramadhani ?

Mwandamo Wa Mwezi
Mwandamo Wa Mwezi

Mwandamo Wa Mwezi

Play Episode Listen Later Oct 19, 2013 51:08


Mwandamo Wa Mwezi