Podcasts about maswali

  • 23PODCASTS
  • 747EPISODES
  • 28mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Feb 18, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about maswali

Latest podcast episodes about maswali

Gurudumu la Uchumi
Ushirikiano wa kikanda hatarini: Nakisi ya bajeti yaibua maswali mapya

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 9:47


Juma hili tunajadili kuhusu mustakabali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa wakati huu kukiwa na taarifa kuwa inakabiliwa na mgogoro wa kifedha. Taarifa zinaonesha kuwa Jumuiya hiyo inakabiliwa na upungufu wa bajeti unaofikia karibu dola za marekani milioni 89, pengo ambalo huenda likatatiza shughuli za Jumuiya hiyo, jambo ambalo limemfanya rais wa Kenya William Ruto ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya kwa sasa, kuitisha mkutano wa dharura wa wakuu wan chi mwezi ujao.

kenya juma eac afrika mashariki maswali kenya william ruto
Gurudumu la Uchumi
Ushirikiano wa kikanda hatarini: Nakisi ya bajeti yaibua maswali mapya

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 9:47


Juma hili tunajadili kuhusu mustakabali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, hasa wakati huu kukiwa na taarifa kuwa inakabiliwa na mgogoro wa kifedha. Taarifa zinaonesha kuwa Jumuiya hiyo inakabiliwa na upungufu wa bajeti unaofikia karibu dola za marekani milioni 89, pengo ambalo huenda likatatiza shughuli za Jumuiya hiyo, jambo ambalo limemfanya rais wa Kenya William Ruto ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya kwa sasa, kuitisha mkutano wa dharura wa wakuu wan chi mwezi ujao.

kenya juma eac afrika mashariki maswali kenya william ruto
Radio Maria Tanzania
Je Wakatiliki wanasemaje kuhusu ndoto ?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 53:32


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya ndoto? L'articolo Je Wakatiliki wanasemaje kuhusu ndoto ? proviene da Radio Maria.

biblia radio maria karibu maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 57:18


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo? L'articolo Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa kutoa pepo? proviene da Radio Maria.

biblia pepo radio maria karibu kanisa maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Siyo kila Padre au Mlei anaruhusiwa kutoa mapepo bali wale wenye kibali maalum

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 57:11


Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Je Mapdre wa Kanisa Katoliki wanaruhusiwa […] L'articolo Siyo kila Padre au Mlei anaruhusiwa kutoa mapepo bali wale wenye kibali maalum proviene da Radio Maria.

bali padre biblia wale kila radio maria maswali ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Ijue sababu ya ubishe kwa wale wanaohasi ukatoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 55:43


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Ijue sababu ya ubishe kwa wale wanaohasi ukatoliki. proviene da Radio Maria.

biblia wale radio maria karibu maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Tufanye nini tunapokutana na watu wanaobishana kuhusu ukatoliki?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 58:30


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Tufanye nini tunapokutana na watu wanaobishana kuhusu ukatoliki? proviene da Radio Maria.

biblia nini radio maria karibu watu maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Wakatoliki wanasemaje juu ya kula Nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 10, 2026 55:55


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni Wakatoliki wanasemaje juu ya kula nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama wakati imekatazwa kwenye Biblia? L'articolo Wakatoliki wanasemaje juu ya kula Nguruwe, kunywa pombe na kunywa damu za wanyama? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni kweli mtu akitoka katika Kanisa Katoliki na kwenda katika Madhehebu mengine anakuwa mbishi na mkaidi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 55:43


Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaam wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia akiendelea kujibu Maswali ya Msikilizaji na moja ya Maswali hayo ni kwanini Mkatoliki akihamia katika ulokole anakuwa makaidi na mbishi? L'articolo Je, ni kweli mtu akitoka katika Kanisa Katoliki na kwenda katika Madhehebu mengine anakuwa mbishi na mkaidi? proviene da Radio Maria.

biblia radio maria katika karibu kweli kanisa maswali ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 24:09


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frateri Thimothy  Msigwa kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akifafanua ni kitu gani Wayahudi walikuwa wamebeba katika Sanduku la Agano. L'articolo Je, katika Sanduku la Agano Wayahudi walikuwa wamebeba nini? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya neno Misa

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 27:17


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari  Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?  L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Wakristo wengi hawazingatii Sala ya Hija?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 27:19


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Jacob Mkandawile kutoka Parokia ya Bikira Maria wa Bwawa la Mtela Migoli Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Wakristo Wakatoliki hawazingatii sana Sala ya Hija. L'articolo Kwanini Wakristo wengi hawazingatii Sala ya Hija? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Msalaba na historia yake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 27:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea […] L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 25:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu Cha Kikatoliki Ruaha Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Mavazi madogo wanayovaa Mapadre kama Mshipi, kitambaa Mgongoni na Kifuani vinavyovaliwa kabla ya Kanzu ya Padre.  L'articolo Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre? proviene da Radio Maria.

padre nini radio maria karibu maana kabla maswali
Habari za UN
UNGA80:Hotuba ya Netanyahu yakumbana na upinzani, yeye augeuza ukumbi kuwa darasa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 26, 2025 3:54


Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa umeingia katika siku yake ya nne hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani leo Ijumaa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekuwa wa kwanza kuzungumza akitumia muda wake mwingi kushambulia wanamgambowa kipalestina, Hamas na kutetea kila uamuzi wa Israel. Anold Kayanda ameifuatilia hotuba hiyo kwa kina. Ilikuwa majira ya saa tatu na dakika chache hivi asubuhi ya leo saa za New York nchini Marekani ambapo Waziri Mkuu wa Isreal Benjamin Netanyahu amepewa fursa ya kuhutubia na ndipo ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukakosa utulivu. Wajumbe kwa makundi walinyanyuka katika viti vyao na kuondoka huku wakiwaacha maafisa wa Israel wakimpigia makofi kiongozi wao na pia nchi zinazoiunga mkono Israel zikasalia katika viti vyao ikiwemo Marekani.Baadhi ya wajumbe watoka njeKatika eneo la walipotakiwa kukaa wawakilishi wa Palestina kulikuwa wazi, huku katika eneo la Iran ikibakia picha iliyokusanya sura za baadhi ya watu wao waliouawa na mashambulizi ya Israel. Bwana Netanyahu kwa mara nyingine tena ameingia na ubao wenye picha ya ramani ya eneo la Mashariki ya Kati akiutumia kuishambulia Iran na kwa kutumia kalamu akiweka alama ya vema kuonesha namna ambavyo Israel imefanikiwa kupambana na ngome za Irani katika ukanda huo. Katika suti yake, kifuani upande wa kulia, Bwana Netanyahu pia ameweka kibandiko chenye QR Code na akawaambia watu kuwa Israel bado inakumbuka tukio walilofanyiwa na Hamas mwezi Oktoba mwaka juzi na kwamba ikiwa watu wamesahau hilo basi waelekeze simu zao kwenye QR Code hiyo kwenye nguo yake ili iwaoneshe madhara yaliyofanywa na Hamas.Majina ya mateka yakasomwaWaziri Mkuu huyo wa Israel ameyasoma majina ya mateka ambao bado wako mikononi mwa Hamas katika eneo la Ukanda wa Gaza na pia akaueleza mkutano kuwa amesambaza vipaza sauti au spika katika eneo lote la Gaza ili anapoongea leo, azungumze moja kwa moja na mateka huko walikofichwa. Na hapo akabadilisha lugha na kuongea kwa kihebrania akiwaahidi kuwa atawakomboa. Vilevile amedokeza kuwa kwa namna ya kiintelijensia Israel imefanya simu leo ziweze kusambaza hotuba katika ukanda wa Gaza na hivyo akautumia muda huo kupeleka ujumbe mkali kwa Hamas kuwa ataendelea kuwadhibiti. Bwana Netanyahu pia  ameingia ukumbini na vibao viwili vyenye maswali na majibu ya kuchagua japokuwa jibu sahihi kwa mujibu wake na waliojibu kuwa ni All the Above, yaani majibu yote ni sahihi. Maswali yote yalikuwa yakiwatuhumu Iran, Hamas, Al Caeda, Hezbollah na Houthi kuwa pia wanaitakia kifo Marekani na wameua watu wengi Ulaya. Huenda hotuba hii ya Netanyahu ikaingia katika orodha ya hotuba tano ndefu zaidi baada ya ile ya Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, Ya Mahmoud Abbass wa Palestina na Félix-Antoine Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao wote hao walitumia zaidi ya dakika arobaini licha ya muda wa hotuba uliopangwa kuwa angalau dakika 15.

new york israel iran gaza hamas congo benjamin netanyahu hezbollah palestina qr codes houthis drc rais irani umoja yeye katika kuwa jamhuri mataifa baadhi oktoba marekani mkutano mashariki maswali kidemokrasia waziri mkuu majina
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia kwa msikilizaji

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia ndoa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali mbali mbali ya Biblia kutoka kwa Msikilizaji

SBS Swahili - SBS Swahili
#66 Maswali yaku uliza unapo tazama nyumba unayo taka kodi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 21, 2024 17:49


Jifunze jinsi yaku uliza maswali, unapo tazama nyumba unayo tarajia ku kodi.

taka kodi yaku nyumba maswali jifunze
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia mungu kanisa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali yanayotoka katika Biblia

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya msikilizaji

biblia maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia mungu kanisa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali katika Biblia

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Adam na Hawa wapo wapi

biblia hawa mungu kanisa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali kutoka katika Biblia

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia mungu kanisa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Maswali ya Biblia

biblia mungu kanisa maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Imani ni nini