POPULARITY
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu? L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe, nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga. L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Muundelezo wa Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 sura ya tatu ? L'articolo Huo ndio uhusiano kati Imani na Jubilee kuu mwaka 2025. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu? L'articolo Ufahamu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 kutoka TEC proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Mchele, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Watakatifu wote hawakuwahi kuanguka katika dhambi? L'articolo Je, Watakatifu wote hawakuwahi kuanguka katika dhambi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George kagumilaa, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini sisi wakatoliki tunaabudu Ekaristi wakati maandiko Mtakatifu yanasema tusiabudu kitu kingine Ila Mungu tu L'articolo Kwanini Wakristo wa Kanisa Katoliki wanaiheshimu na kuiabudu Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika Litania ya Bikira Maria huwa tuna maana gani tunaposema Bikira Maria Mnara wa Daudi, Bikira Maria mnara wa pembe, Bikira Maria nyumba ya dhahabu na Bikira Maria […] L'articolo Je, kuna tofauti gani kati ya Bikira Maria Mnara wa Daudi na Mnara wa Pembe? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Ayub Polycarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kadri ya maandiko matakatifu nini maana ya malimbuko au sadaka ya malimbuko L'articolo Nini maana ya Malimbuko? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Polykarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alimsaliti Yesu, je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? L'articolo Yuda alimsaliti Yesu, Je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho, Jimbo la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, kuna uwezekano wa Mkristo kuishi bila kujaribiwa na Je, ni kwa namna gani tunaweza kushinda vishawishi hivyo?. L'articolo Ni, kwa namna gani unaweza kushinda vishawishi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali maandamano yana maana gani katika Kanisa Katoliki? L'articolo Je, wafahamu maana ya maandamano katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Jackob Haule, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Utambulisho wa Katekista ni nini? L'articolo Utambulisho wa Katekista ni nini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Paulo Kasanda John, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari-Malya Jimbo Kuu la Mwanza, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, dhambi ya Kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi?” L'articolo Je, dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jackob Mkandawile Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema wakati wa Misa Padre huwa ananawa Mikono yake wakati mikono yake ni misafi. Je, kwa tendo hilo anatuonesha ishara gani? L'articolo Ni, kwanini Padre ananawa mikono wakati wa Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujua njia za kusali. L'articolo Je, wafahamu namna ya kusali ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jackob Venatus Mkandawile, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema lengo la Jumuiya ndogo ndogo za Kikristo L'articolo Je, wafahamu lengo la Jumuiya ndogo ndogo za Kikristo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali ya Imani ukiwa nami Frateri Emillian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume -Ikumbilo Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba ufafanuzi wa Amri za Mungu ya tisa na kumi. Studio: Raymond Karega. L'articolo Amri ya kumi na Amri za Mungu tisa zinamaanisha nini kwa Mkristo Mkatoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Mchelle, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Wakristo ambao hawakufanyiwa Ibada ya mazishi kutokana na kutostahili wanaweza kuombewa nia za Misa? L'articolo Je, Wakristo ambao hawakufanyiwa Ibada ya mazishi kutokana na kutostahili wanaweza kuombewa nia za Misa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongwa Kulolwa Kutoka Seminari ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Usitaje bure jina la Mungu na wale wanao apa wanalitumia vyema? L'articolo Fahamu Mazingira namna linavyo tumika Jina la Mungu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Kutoka Seminari ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema anaomba kujua Sakramenti ya Mpako wa Mgonjwa? L'articolo Je, wafahamu Sakramenti Takatifu ya Mpako wa Wagonjwa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Wakristo tunabatizwa na Maji machache na Yesu alibatizwa Maji Mengi? L'articolo Je, wafahamu kwanini wakatoliki wanabatizwa Maji machache tofauti na Dini zingine. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmilian Mahinya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Andrea Ikumbiro Mtume Jimbo kuu la Mbeya, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuashiria nini katika ubatizo, Maji, Mafuta, na Mishumaa? L'articolo Je, wafahamu kwanini tunapobatizwa tunawekewa Maji, Mafuta, Mishumaa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujua historia ya vitabu vya Deuterekanoni, kwanini kwenywe Bibilia ya Walokole havipo? L'articolo Fahamu Historia Deuterekanoni. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nani aliandika Agano jipya na kwanini? L'articolo Nani aliandika Agano Jipya ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Benedict Ndinde, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu Katoliki la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je, kwa namna gani tunaweza kuepuka Vishawishi vya Shetani? L'articolo Je, wafahamu mbinu za kuepuka vishawishi vya Shetani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Melkisedeki Sagina Sanga, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu Swali la Msikizaji linalosema ni kweli kuwa Yesu Kristo aliteswa na kufa msalabani ili sisi tupate kuokolewa? Kwanini afe msalabani kuliko kufa kama sisi binadamu bila kubeba msalaba? L'articolo Ni, kwanini Yesu alikufa Msalabani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea nikijibu, swali la Msikilizaji linalosema kama ikitokea Mtu ameungama halufu akasahau yale aliyoangizwa kufanya afanye huwa ni nini hutokea. L'articolo Ni, maana ya Malipizi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Cassian Lebba, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali Msikilizaji linalosema tunasema Mungu ni Mwema na pia Mungu anaweza kila kitu una, lakini uhalisia unaonesha dunia imejaa machafuko na majanga ya kila siku. L'articolo Ni, kwanini Mungu ni mwema kwa Mwanadamu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emilian Samson Mahinya , Kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume Ikumbilo , Jimbo Katoliki Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je, kuna uhusiano wa Sanduku la Agano na Taifa la Israel? L'articolo Fahamu Uhusiano kati Sanduku la Agano na Taifa la Israel. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea Nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Atukuzwe Baba? L'articolo Nini maana ya Atukuzwe Baba? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea Nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Katika historia ya Wayahudi Hekalu ilikuwa limegawanyika katika Sehemu Ngapi? L'articolo Hekalu limegawanyika katika sehemu ngapi? proviene da Radio Maria.
Maswali ya Biblia kwa msikilizaji
Maswali mbali mbali ya Biblia kutoka kwa Msikilizaji
Jifunze jinsi yaku uliza maswali, unapo tazama nyumba unayo tarajia ku kodi.
Maswali yanayotoka katika Biblia