POPULARITY
Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa umeingia katika siku yake ya nne hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani leo Ijumaa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekuwa wa kwanza kuzungumza akitumia muda wake mwingi kushambulia wanamgambowa kipalestina, Hamas na kutetea kila uamuzi wa Israel. Anold Kayanda ameifuatilia hotuba hiyo kwa kina. Ilikuwa majira ya saa tatu na dakika chache hivi asubuhi ya leo saa za New York nchini Marekani ambapo Waziri Mkuu wa Isreal Benjamin Netanyahu amepewa fursa ya kuhutubia na ndipo ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukakosa utulivu. Wajumbe kwa makundi walinyanyuka katika viti vyao na kuondoka huku wakiwaacha maafisa wa Israel wakimpigia makofi kiongozi wao na pia nchi zinazoiunga mkono Israel zikasalia katika viti vyao ikiwemo Marekani.Baadhi ya wajumbe watoka njeKatika eneo la walipotakiwa kukaa wawakilishi wa Palestina kulikuwa wazi, huku katika eneo la Iran ikibakia picha iliyokusanya sura za baadhi ya watu wao waliouawa na mashambulizi ya Israel. Bwana Netanyahu kwa mara nyingine tena ameingia na ubao wenye picha ya ramani ya eneo la Mashariki ya Kati akiutumia kuishambulia Iran na kwa kutumia kalamu akiweka alama ya vema kuonesha namna ambavyo Israel imefanikiwa kupambana na ngome za Irani katika ukanda huo. Katika suti yake, kifuani upande wa kulia, Bwana Netanyahu pia ameweka kibandiko chenye QR Code na akawaambia watu kuwa Israel bado inakumbuka tukio walilofanyiwa na Hamas mwezi Oktoba mwaka juzi na kwamba ikiwa watu wamesahau hilo basi waelekeze simu zao kwenye QR Code hiyo kwenye nguo yake ili iwaoneshe madhara yaliyofanywa na Hamas.Majina ya mateka yakasomwaWaziri Mkuu huyo wa Israel ameyasoma majina ya mateka ambao bado wako mikononi mwa Hamas katika eneo la Ukanda wa Gaza na pia akaueleza mkutano kuwa amesambaza vipaza sauti au spika katika eneo lote la Gaza ili anapoongea leo, azungumze moja kwa moja na mateka huko walikofichwa. Na hapo akabadilisha lugha na kuongea kwa kihebrania akiwaahidi kuwa atawakomboa. Vilevile amedokeza kuwa kwa namna ya kiintelijensia Israel imefanya simu leo ziweze kusambaza hotuba katika ukanda wa Gaza na hivyo akautumia muda huo kupeleka ujumbe mkali kwa Hamas kuwa ataendelea kuwadhibiti. Bwana Netanyahu pia ameingia ukumbini na vibao viwili vyenye maswali na majibu ya kuchagua japokuwa jibu sahihi kwa mujibu wake na waliojibu kuwa ni All the Above, yaani majibu yote ni sahihi. Maswali yote yalikuwa yakiwatuhumu Iran, Hamas, Al Caeda, Hezbollah na Houthi kuwa pia wanaitakia kifo Marekani na wameua watu wengi Ulaya. Huenda hotuba hii ya Netanyahu ikaingia katika orodha ya hotuba tano ndefu zaidi baada ya ile ya Rais wa Marekani Donald Trump wa Marekani, Ya Mahmoud Abbass wa Palestina na Félix-Antoine Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao wote hao walitumia zaidi ya dakika arobaini licha ya muda wa hotuba uliopangwa kuwa angalau dakika 15.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu? L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe, nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Abel Ubamba, Kutoka seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? L'articolo Mambo gani yanasababisha ndoa nyingi siku hizi zisidumu katika ubora wake ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga. L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu? L'articolo Ufahamu Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 kutoka TEC proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Peter Peter, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuhusu Muundelezo wa Ujumbe wa Kwaresma mwaka huu 2025 sura ya tatu ? L'articolo Huo ndio uhusiano kati Imani na Jubilee kuu mwaka 2025. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Mchele, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Watakatifu wote hawakuwahi kuanguka katika dhambi? L'articolo Je, Watakatifu wote hawakuwahi kuanguka katika dhambi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George kagumilaa, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini sisi wakatoliki tunaabudu Ekaristi wakati maandiko Mtakatifu yanasema tusiabudu kitu kingine Ila Mungu tu L'articolo Kwanini Wakristo wa Kanisa Katoliki wanaiheshimu na kuiabudu Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika Litania ya Bikira Maria huwa tuna maana gani tunaposema Bikira Maria Mnara wa Daudi, Bikira Maria mnara wa pembe, Bikira Maria nyumba ya dhahabu na Bikira Maria […] L'articolo Je, kuna tofauti gani kati ya Bikira Maria Mnara wa Daudi na Mnara wa Pembe? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Ayub Polycarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kadri ya maandiko matakatifu nini maana ya malimbuko au sadaka ya malimbuko L'articolo Nini maana ya Malimbuko? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Polykarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alimsaliti Yesu, je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? L'articolo Yuda alimsaliti Yesu, Je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Agustino Peramiho, Jimbo la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, kuna uwezekano wa Mkristo kuishi bila kujaribiwa na Je, ni kwa namna gani tunaweza kushinda vishawishi hivyo?. L'articolo Ni, kwa namna gani unaweza kushinda vishawishi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali maandamano yana maana gani katika Kanisa Katoliki? L'articolo Je, wafahamu maana ya maandamano katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Jackob Haule, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Utambulisho wa Katekista ni nini? L'articolo Utambulisho wa Katekista ni nini? proviene da Radio Maria.
Maswali ya Biblia kwa msikilizaji
Maswali mbali mbali ya Biblia kutoka kwa Msikilizaji
Jifunze jinsi yaku uliza maswali, unapo tazama nyumba unayo tarajia ku kodi.
Maswali yanayotoka katika Biblia
Adam na Hawa wapo wapi