POPULARITY
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu? L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Achilleus Rwechungura, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema . Maana ya Nadhiri Je, nadhiri zinaweza kutolewa na Mungu au Mtu ? L'articolo Je, wafahamu maana ya Nadhiri? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George Kagumila, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songe, nikijibu swali la Msikilizaji linasema Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? L'articolo Je, kwanini tunapoingia kanisani tunapiga goti kuelekeza macho yetu Altareni huwa tunaashiria Nini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki, kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.P.PS Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania akieendelea kutufundisha Mama wa Matumaini. L'articolo Je, Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Happiness Mlewa katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja Kagera, akituongoza kujifunza ni kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga. L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehemu ya themanini na sita) proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Mama Bikira Maria ni Mama wa Mungu kweli? kama ni kweli ni kwa namna gani? L'articolo Je, Mama Bikira Maria ni Mama wa Mungu kweli? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Tafakari Nasi Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Padre David Kagombe, Paroko Msaidizi Parokia ya Mtakatifu Yosefu Mfanyakazi Ipogolo, akituongoza kujifunza Muunganiko wetu na Mama Bikira Maria. L'articolo Kwanini ni muhimu kuwa na uhusiano wa kiroho na Bikira Maria? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Kwaresima akijikita zaidi katika kuelezea juu ya Kwaresima ndani ya Jubilei kuu 2025. L'articolo Je, wafahamu namna ya kubeba msalaba wako katika Kipindi cha Kwaresima? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Tafakari Nasi Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Askofu Method Kilaini wa Jimbo Katoliki Bukoba, akielezea tafakari ya Injili Takatifu Yesu anageuka Sura Mlima Tabora. L'articolo N,i kwanini Yesu aligeuka sura mlima tabora? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Polykarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alimsaliti Yesu, je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? L'articolo Yuda alimsaliti Yesu, Je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehehemu ya themanini na tano) proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali maandamano yana maana gani katika Kanisa Katoliki? L'articolo Je, wafahamu maana ya maandamano katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Jackob Haule, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Utambulisho wa Katekista ni nini? L'articolo Utambulisho wa Katekista ni nini? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Ijue Afya yako, Kutoka Studio za Radio Maria Mwezeshaji ni Daktari Wilson Mgaya, ambaye ni Mwanasaikolojia kutoka Hospital ya Rufaa ya Mtakatifu Francisco-Jimbo Katoliki Ifakara, akizungumzia namna ya Kukabiliana na Hasira. L'articolo Je, wafahamu namna ya kukabiliana na hasira? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri ya Petro Mikao kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji wetu akihoji hivi, je kwanini kipindi cha Kwaresima kinaanza siku ya Jumatano ya majivu? L'articolo Je, kwanini kipindi cha Kwaresima kinaanza siku ya Jumatano ya majivu? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya kipindi cha Kwaresima L'articolo Fahamu maana ya kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na nne) proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na nne] proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Paulo Kasanda John, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari-Malya Jimbo Kuu la Mwanza, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, dhambi ya Kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi?” L'articolo Je, dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jackob Mkandawile Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema wakati wa Misa Padre huwa ananawa Mikono yake wakati mikono yake ni misafi. Je, kwa tendo hilo anatuonesha ishara gani? L'articolo Ni, kwanini Padre ananawa mikono wakati wa Misa Takatifu? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa, katika Kipindi cha Tafakari Nasi leo tupo na Padre Frank Mwinami, Kutoka Seminari ya Mtakatifu Yosefu Kilocha, Jimbo Katoliki Njombe. Anatafakari nasi juu ya maneno kutoka Maandiko Matakatifu yasemayo ” Anayetaka kuwa Mkubwa na awe mtumishi wa wote.” L'articolo Nini maana ya maneno “Anayetaka kuwa Mkubwa na awe Mtumishi wa wote” proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujua njia za kusali. L'articolo Je, wafahamu namna ya kusali ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jackob Venatus Mkandawile, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema lengo la Jumuiya ndogo ndogo za Kikristo L'articolo Je, wafahamu lengo la Jumuiya ndogo ndogo za Kikristo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali ya Imani ukiwa nami Frateri Emillian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume -Ikumbilo Jimbo Kuu Katoliki la Mbeya, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba ufafanuzi wa Amri za Mungu ya tisa na kumi. Studio: Raymond Karega. L'articolo Amri ya kumi na Amri za Mungu tisa zinamaanisha nini kwa Mkristo Mkatoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Mchelle, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, Wakristo ambao hawakufanyiwa Ibada ya mazishi kutokana na kutostahili wanaweza kuombewa nia za Misa? L'articolo Je, Wakristo ambao hawakufanyiwa Ibada ya mazishi kutokana na kutostahili wanaweza kuombewa nia za Misa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongwa Kulolwa Kutoka Seminari ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Usitaje bure jina la Mungu na wale wanao apa wanalitumia vyema? L'articolo Fahamu Mazingira namna linavyo tumika Jina la Mungu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Renatus Kazimoto Kutoka Seminari ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema anaomba kujua Sakramenti ya Mpako wa Mgonjwa? L'articolo Je, wafahamu Sakramenti Takatifu ya Mpako wa Wagonjwa? proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha Umuhimu wakuwahubiria Majirani Habari Njema. L'articolo Je, wafahamu faida za kuwahudumia Watu wengine wanaokuzunguka katika Jamii. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Padre Valence Mashuhuli Mlezi wa Mawasiliano, Jimbo katolikia Tunduru Masasi, katika Kipindi cha Liturujia ya Neno, L'articolo Wakristo wawe watu wa kumtegemea Mungu. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmilian Mahinya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Andrea Ikumbiro Mtume Jimbo kuu la Mbeya, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuashiria nini katika ubatizo, Maji, Mafuta, na Mishumaa? L'articolo Je, wafahamu kwanini tunapobatizwa tunawekewa Maji, Mafuta, Mishumaa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Wakristo tunabatizwa na Maji machache na Yesu alibatizwa Maji Mengi? L'articolo Je, wafahamu kwanini wakatoliki wanabatizwa Maji machache tofauti na Dini zingine. proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na tatu] proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino, Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujua historia ya vitabu vya Deuterekanoni, kwanini kwenywe Bibilia ya Walokole havipo? L'articolo Fahamu Historia Deuterekanoni. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Judith Fransisi katika Kipindi cha Elimu Jamii, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Wawezeshaji ni Masista wa Shirika la Holly Union, wakizungumzia juu ya Kupinga Usafirishaji haramu wa Binadamu. L'articolo Nini maana ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema nani aliandika Agano jipya na kwanini? L'articolo Nani aliandika Agano Jipya ? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Benedict Ndinde, Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu Katoliki la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je, kwa namna gani tunaweza kuepuka Vishawishi vya Shetani? L'articolo Je, wafahamu mbinu za kuepuka vishawishi vya Shetani? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na mbili] proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha Umuhimu wakuwahubiria Majirani Habari Njema. L'articolo Habari Njema ni ipi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea nikijibu, swali la Msikilizaji linalosema kama ikitokea Mtu ameungama halufu akasahau yale aliyoangizwa kufanya afanye huwa ni nini hutokea. L'articolo Ni, maana ya Malipizi? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Melkisedeki Sagina Sanga, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu Swali la Msikizaji linalosema ni kweli kuwa Yesu Kristo aliteswa na kufa msalabani ili sisi tupate kuokolewa? Kwanini afe msalabani kuliko kufa kama sisi binadamu bila kubeba msalaba? L'articolo Ni, kwanini Yesu alikufa Msalabani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Cassian Lebba, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali Msikilizaji linalosema tunasema Mungu ni Mwema na pia Mungu anaweza kila kitu una, lakini uhalisia unaonesha dunia imejaa machafuko na majanga ya kila siku. L'articolo Ni, kwanini Mungu ni mwema kwa Mwanadamu? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika Kipindi cha Nena nami Bwana, Mwezeshaji ni Mhashamu Wolfgang Pisa OFMCap, Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC) ambae pia Askofu wa Jimbo Katoliki Lindi. L'articolo Fahamu Ujumbe alio utoa Askofu Pisa Sikukuu ya Watawa proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emilian Samson Mahinya , Kutoka Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume Ikumbilo , Jimbo Katoliki Mbeya nikijibu swali la Msikilizaji linalosema je, kuna uhusiano wa Sanduku la Agano na Taifa la Israel? L'articolo Fahamu Uhusiano kati Sanduku la Agano na Taifa la Israel. proviene da Radio Maria.
Kipindi maalumu wakimbizi, wakimbizi wa ndani na wenyeji wao wanaeleza namna walivyonufaika na misaada ya Umoja wa Mataifa na mashirika yake na pia wanaeleza matumaini yao kwa mwaka ujao wa 2025.