POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kuangazia siku ya familia iliyokutanisha wadau wakimulika pamoja na mambo mengine nafasi ya vyombo vya habari katika kuimarisha malezi na makuzi ya mtoto.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura OCHA hii leo imesema wakati mpango tata wa Israeli wa kugawa misaada kwenye eneo la Palestina la Gaza linalokaliwa kimabavu na Israeli ukiendelea, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umesihi mamlaka za Israeli kuruhusu ongezeko la kiwango cha misaada ya kufikia walengwa kwenye eneo hilo lililozingirwa ili kuepusha uhaba wa chakula..Kadiri nchi zinavyokumbwa zaidi na majanga ya asili, gharama halisi za majanga ni mara 10 zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali, zikiwa na athari mbaya zaidi katika sekta za afya, makazi, elimu na ajira, imesema Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupunguza hatari za majanga katika ripoti iliyochapishwa Jumanne.Nchini Namibia, makazi yaliyojengwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA kwa ajili ya wajawazito wanaoishi maeneo ya mbali kusubiria ili kujifungua kwa usalama, yamesaidia kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga.Na katika mashinani, kupitia video iliyoandaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Sudan Kusini UNMISS, tunakutana na Mary Aban Akon, mkazi wa kijiji cha Hai Matar huko Sudan Kusini. Yeye ni miongoni mwa wakimbizi waliorejea nyumbani baada ya kupatiwa makazi mapya yaliyojengwa kwa msaada wa mashirika ya kibinadamu chini ya mradi uliofadhiliwa na Umoja wa Mataifa na wadau wake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia haki za wanawake na wasichana nchini Sudan na hali ya kina mama na wanawake wajawazitio katika ukanda wa Gaza. Makala tukwenda nchini Burundi na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Wataalamu huru wa haki za binadamu, leo Mei 14 wamekemea vikali ukiukwaji mkubwa na wa kimfumo dhidi ya wanawake na wasichana nchini Sudan ukiwemo ukatili wa kingono unaohusiana na vita, utekaji nyara, na mauaji, ambayo mengi yameripotiwa kufanywa na kundi la kijeshi la Rapid Support Forces (RSF).Huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, wanawake na wasichana wakiwemo wanawake wajawazito na wale waliojifungua, wamelazimika kukimbia makazi yao na wanaishi katika mazingira hatarishi bila huduma za msingi za kiafya. Sharon Jebichii anaangazia simulizi ya mama mmoja, mkazi wa kambi ya wakimbizi ya Jabalia, Kaskazini mwa Gaza, ambaye alijifungua akiwa amekimbia vita,na sasa anahangaika kumtunza binti yake mchanga.Katika makala Assumpta Massoi kwa makala hiyo na zaidi ya yote shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi nchini Burundi kwa kuiandaa na kuhakikisha wakimbizi wanapata usaidizi.Na mashinani, fursa ni yake Juliana Sanga, mama kutoka Mkoa wa Njombe nchini Tanzania ambaye ni mnufaika wa mafunzo ya lishe bora kwa ajili ya kupunguza udumavu kwa watoto inayofanikishwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF Tanzania. Yeye anaeleza kile anachoondoka nacho.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Ready to talk about your week — in Swahili?In this episode of Swahili Made Easy, we're covering how to express your weekly routines using simple structures and key vocab like:✅ Mimi husoma kila siku — I read every day✅ Yeye huenda kazini kila Jumatatu — She goes to work every Monday✅ Tunacheza soka kila Jumamosi — We play soccer every SaturdayWe'll break it down step-by-step so you can:✔️ Use habitual tense correctly✔️ Pair it with days of the week✔️ Talk naturally about what you do daily and weekly — no overthinking, no stress!If you've ever frozen when trying to say “I work every morning” or “He travels on Fridays,” this episode will unlock it for you.You're not just learning vocabulary — you're learning how to use Swahili in real life.
Join us for conversation with author and spiritual advisor Yeye Teish and host Cassandra Ferrera, director of Commonweal's Center for Ethical Land Transition. Chief Iyanifa Fajembola Fatunmise (Yeye Luisah Teish) Yeye is an American author of African and African-diaspora spiritual cultures. She also is an affluent ritualist, keynote speaker, and spiritual advisor on a global scale. Primarily known for Jambalaya: The Natural Woman's Book of Personal Charms and Practical Rituals, a women's spirituality classic published in 1985 by Harper & Row Publishers. This book has been translated into German, Spanish, and Dutch. She has contributed to 40 anthologies, most notably Spiritual Guidance Across Religions: A Sourcebook for Spiritual Directors and Other Professionals Providing Counsel to People of Differing Faith Traditions. As an Oshun priestess (Yoruba Goddess of Love and Sensuality), Yeye continues to officiate over spiritual retreats, rituals, and workshops that span over 40 years since her introduction into the Ifa spiritual practice. Host Cassandra Ferrera Becoming a person of place is Cassandra's orienting cosmology, and her activist real estate career is informed by this path. She became a real estate agent in 2003 as a single mom needing to support her family, and was compelled to understand how market capitalism prevents so many people from a direct and secure relationship with Earth. She committed early on to learning how to support cooperative living and to find ways to decommodify and deprivatize Land. As someone with mixed European settler ancestry, Cassandra is keenly aware of the paradox of how those with white colonial privilege have often been displaced from land-based culture. Cassandra listened her way forward, guided by the generosity of spirit, mentors, and friends who would help her co-found The Center for Ethical Land Transition. Through the work of ethical land transitions, Cassandra works to transform conventional real estate practice in service to Land, cultural reunion, and reparative justice. #yeye #oshun #yoruba #ifa #commonweal #newschoolcommonweal Find out more about The New School at Commonweal on our website: tns.commonweal.org. And like/follow our Soundcloud channel for more great podcasts.
Hii leo jaridani tunaangazia makumbusho ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, na Siku ya Afya Duniani. Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, na mashinani tunakwenda nchini Kenya, kulikoni?Dunia inapokumbuka miaka 31 tangu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe mzito wa maombolezo na onyo, akitaka mshikamano wa kimataifa kupambana na ongezeko la chuki, mgawanyiko, na misimamo mikali kupitia mifumo ya kidijitali.Leo ni Siku ya Afya Duniani ambayo mwaka huu inangazia suala muhimu kwa afya ya dunia, changamoto maalum wanazokumbana nazo wanawake na wasichana lakini pia vifo vya watoto wachanga, na ili kuhakikisha changamoto hizo zinashughulikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO limezindua kampeni ya mwaka mzima ya “Mwanzo wenye afya ni mustakbali wenye matumaini”..Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, ambapo Assumpta Massoi amezungumza na Rosemary Mwaipopo, Muasisi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la kiraia la DaySpring Foundation nchini Tanzania. Yeye alikuwa ni miongoni mwa washiriki wa Mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 uliofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa mwezi uliopita wa Machi.Na mashinanileo ikiwa leo ni siku ya afya duniani, kupitia mahojiano yaliyofanikishwa na washirika wetu Radio Domus, fursa ni yake Padri Thaddeus Mukaya wa kanisa la katoliki la Parokia ya Embulbul ambalo pamoja na wadau wengine waliandaa huduma za bure za matibabu kwa wenyeji wa eneo hilo ili kusaidia jamii ambazo haziwezi kujimudu kimaisha.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Semana de contrastes y de paradojas la que se abre en un fin de semana en el que las borrascas del cielo quedan atrás, pero las del cine van a seguir inundando las sala de títulos nuevos y de sensaciones dispares. El último frente cinéfilo, el de Blancanieves, sobrevive a las dentelladas de la crítica con grandes datos de taquilla y tendrá que lidiar este fin de semana con otra granizada de estrenos que traen buenas puntuaciones. Min 5: TIERRA DE NADIE (NOTA EDC: 3 estrellas) La película "Tierra de nadie" dirigida por Albert Pintó es una producción española de 2025 protagonizada por Karra Elejalde, Luis Zahera , Jesús Carroza o Vicente Romero Historia de tres viejos amigos. Mateo el Gallego, un heroico -a su pesar- guardia civil, Juan El Antxale, un pescador convertido en narco por la mala suerte y en el paro, y Benito el Yeye, un resignado e inteligente depositario judicial siempre a medio camino entre la ley y la delincuencia. Tres amigos separados por un lugar, Cádiz y un momento, el presente. Atrapados los tres entre el abandono de las instituciones, el violento e imparable ascenso del narco en la provincia y el peligroso aumento del descontento social. Min 11: A WORKING MAN (NOTA EDC: 2,5 estrellas) Levon Cade (Jason Statham) intenta llevar una vida sencilla como trabajador de la construcción y buen padre, dejando atrás su pasado en operaciones encubiertas. Pero cuando Jenny, la hija de su jefe, desaparece, se ve obligado a usar sus letales habilidades para encontrarla. Su búsqueda lo conduce a una oscura conspiración criminal que amenaza con desmoronar su nueva vida. Min 15: POR TODO LO ALTO (4 ESTRELLAS) Película francesa dirigida por Emmanuel Courcol que sigue los pasos de Thibaut, un director de orquesta de renombre internacional que viaja por el mundo. Cuando se entera de que es adoptado, descubre la existencia de un hermano, Jimmy, un empleado de un comedor escolar que toca el trombón en una banda de música en el norte de Francia. Al parecer todo les separa, excepto el amor por la música. Al detectar las excepcionales habilidades musicales de su hermano, Thibaut se propone reparar la injusticia del destino. Jimmy entonces comienza a soñar con otra vida... Min 19: STING: LA ARAÑA ASESINA (3'5 estrellas) En una fría y tormentosa noche neoyorquina, un misterioso objeto cae del cielo y rompe la ventana de un destartalado bloque de apartamentos. Se trata de un huevo del que acaba saliendo una extraña araña. La criatura es descubierta por Charlotte (Ryan Korr), una niña rebelde de doce años obsesionada con los cómics. A pesar de los esfuerzos de su padrastro Ethan (Ryan Corr) por conectar con ella a través del cómic que comparten, Fang Girl, Charlotte se siente aislada. Min 23: UNA BALLENA (3 estrellas) Melville, un contrabandista que maneja mercancías extremadamente raras, quiere eliminar a un poderoso empresario rival que intenta arrebatarle el control del puerto, y sabe que solo Ingrid puede hacer el trabajo. Pero todo cambia cuando Melville descubre el secreto de Ingrid y su misteriosa conexión con el mar. Min 28: LA FURIA ( 3 estrellas) Alexandra es una joven actriz que sufre una violación durante una fiesta de Nochevieja. Este suceso transforma su vida por completo. Incapaz de identificar a su agresor, enfrenta un año marcado por la culpa, la vergüenza y el asco, mientras intenta canalizar su dolor a través del teatro, interpretando a Medea, un personaje cargado de rabia y venganza. Min 32: LA PELÍCULA DE TU VIDA, CON JOTA LINARES Nuestro invitado de esta semana es el guionista, escritor y cineasta gaditano Jota Linares. El director de títulos como "Las niñas de cristal", "Animales sin collar" o "A quién te llevarías a una isla desierta" remueve sus recuerdos y su amor al cine para desvelarnos qué peli marcó su amor por el séptimo arte y la que determinó que quería dedicarse a hacer películas. Min 38: ESPECIAL BSO BLANCANIEVES 2025 (NOTA EDC: 3 ESTRELLAS) Y en el diván de las bandas sonoras, protagonismo para la sensación del momento. Pese a la lluvia de críticas, BLancanieves 2025 ha protagonizado la segunda mejor apertura del año con 2,2 millones de euros de recaudación en su primer fin de semana. Luchini crtició su banda sonora, la defendió Raquel Hernández y oy con Ángel Luque nos toca desempatar, conocer el nivel, en lo nuevo y en lo remozado, de lo que han compuesto al unísono Jeff Morrow, Beni Pasek, y Justin Paul. Todos han tocado las partituras sagradas que elevaron a la inmortalidad a la Blancanieves de 1937.
FILMOTECAMURCIA.ES (Universo Yorgos Lanthimos)Viernes 28 de marzo / 21:30 horasDomingo 30 de marzo / 17:30 horas El sacrificio de un ciervo sagrado(The killing of a sacred deer; Yorgos Lanthimos, 2017) UK - 121' Steven es un eminente cirujano casado con Anna, una respetada oftalmóloga. Viven felices junto a sus dos hijos, Kim y Bob. Cuando Steven entabla amistad con Martin, un chico de dieciséis años huérfano de padre, a quien decide proteger, los acontecimientos dan un giro siniestro. Steven tendrá que escoger entre cometer un impactante sacrificio o arriesgarse a perderlo todo. (Fritz Lang) Lunes 31 de marzo / 18:30 horas / Entrada libre hasta completar aforoMientras Nueva York duerme (While the city sleeps; Fritz Lang, 1956). USA - 99'. VOSE Los periodistas del Sentinel están a punto terminar la edición del periódico. En los pasillos y en las mesas se conspira y se intriga para hacerse con la dirección del diario. Mientras tanto, un criminal que se dedica a matar mujeres jóvenes, tras cada asesinato, deja a la policía un mensaje escrito con pintalabios. En el periódico se establece una feroz competición: el primero que consiga la noticia de la captura del asesino "del pintalabios", tendrá todas las de ganar. Un redactor sin ambiciones consigue convencer a una secretaria de la que está enamorado para que sirva de cebo a fin de atraer al asesino, contando, por supuesto, con vigilancia policial. (Cuando el cine mira al teatro) Martes 1 de abril / 18:30 horasEl viaje a ninguna parte (Fernando Fernán Gómez, 1986). España. 134'. Franquismo, años cuarenta. En una compañía de cómicos de la legua medio emparentados entre sí, aunque no recuerdan con precisión cuál es su parentesco, surgen amores y desamores. Hay separaciones dolorosas y encuentros felices; el trabajo se entremezcla con el amor, los problemas económicos con los familiares, y el hambre con el sueño de alcanzar el triunfo. ESTRENOS DE LA SEMANA Tierra de nadie (Albert Pintó, 101)Luis Zahera, Karra Elejalde, Jesús Carroza, Vicente Romero Esta es la historia de tres viejos amigos. Mateo el Gallego, un heroico -a su pesar- guardia civil, Juan El Antxale, un pescador convertido en narco por la mala suerte y en el paro, y Benito el Yeye, un resignado e inteligente depositario judicial siempre a medio camino entre la ley y la delincuencia. Tres amigos separados por un lugar, Cádiz y un momento, el presente. Atrapados los tres entre el abandono de las instituciones, el violento e imparable ascenso del narco en la provincia y el peligroso aumento del descontento social. Tres amigos atrapados en un polvorín que pondrá a prueba su amistad. El traslado rutinario de un yate incautado a un peligroso cártel se convierte en una aventura entre la vida y la muerte. A working man (David Ayer, 116) Guión: Sylvester Stallone - Novela: Chuck DixonJason Statham, David Harbour, Michael Peña Levon Cade ha dejado atrás su profesión para ser "honrado" y trabajar en la construcción. Quiere vivir una vida sencilla y ser un buen padre para su hija. Pero cuando Jenny, la hija adolescente de su jefe, desaparece, se ve obligado a volver a emplear las habilidades que le convirtieron en una figura legendaria en el oscuro mundo de las operaciones encubiertas. Su búsqueda de la universitaria desaparecida le lleva al corazón de una siniestra conspiración criminal que creará una reacción en cadena que amenazará su nueva forma de vida. Sting: Araña asesina (Dir y guión: Kiah Roache-Turner, 92) AustraliaAyla Browne, Ryan Corr Charlotte, una rebelde niña de 12 años, adopta a una pequeña araña como mascota que encuentra en su ruinoso edificio. Esta empieza a adquirir un tamaño gigantesco y su apetito es cada vez más insaciable. Es entonces cuando Charlotte y su familia se ven atrapados y obligados a luchar por su supervivencia.
Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.
Konšpiračné teórie o novom drope YZY plus analýza najnovšej kolekcie LV od Pharrella a Niga.Podpor nás na Patreone: patreon.com/ftapesTu odomkneš Extra Kazety na Spotify: anchor.fm/ftapes/subscribeSleduj náš Instagram: kazety_ftapes
️ Cómo construirte desde cero y triunfar en ventas (con Yeye Saturno) Imagina empezar desde cero, sin confianza en ti misma, sin saber si realmente lo lograrás… y en menos de 6 meses convertirte en líder de ventas. Eso es exactamente lo que hizo Yeye Saturno (Líder de ventas de Coral Mujaes ( empresaria, atleta y la infoproductora #1 de lationamerica en Hotmart ), y hoy nos cuenta cómo lo logró. En este episodio, Yeye nos comparte: ✅Los 3 aprendizajes clave que la llevaron de la inseguridad al liderazgo. ✅Cómo superó sus miedos y creyó en sí misma cuando nadie más lo hacía. Pero esta no es solo una historia de ventas, es una historia de transformación personal y mentalidad de éxito. IG: https://www.instagram.com/yeyesaturno/
Nchini Liberia, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD umejengea uwezo watu wenye ulemavu wa kuona na kuwawezesha kuongeza vipato na vile vile uhakika wa kupata chakula. Simulizi ya Sabrina Moshi wa redio washirika SAUT FM mkoani Mwanza nchini Tanzania, inaelezea zaidi.Tuko kaunti ya Lofa, kaskazini kabisa mwa Liberia, magharibi mwa Afrika, tunakutana na Hawa Kamara, yeye ni mlemavu wa kutoona. Yeye pamoja na wenzake wa chama cha watu wenye ulemavu wa kutoona hapa Lofa, wanathibitisha kuwa unapoamua kufanya kitu, hakuna kinachokuzuia.Kupitia mradi wa Mabadiliko ya kilimo kwa wakulima wadogo na uchechemuzi wa kilimo biashara au STAR-P, mavuno ya mpunga kwenye shamba la kikundi hicho, yameongezeka kwa asilimia 300.Hawa anasema, “Mwanzoni hatukuwa na kitu kabisa. Tulihangaika sana kulima mpunga. Lakini baada ya IFAD kutufikia katika maisha yetu na kutusaidia, mambo yalianza kubadilika. Walitupatia pembejeo na mbegu za ubora wa juu kuanzisha mashamba. Tulitumia mbegu hizo kupanda kwenye mashamba yetu Bakadu.”Awali walilima ekari 1.2 tu, lakini baada ya kupatiwa vifaa vya kisasa vya kilimo wameweza kulima hadi ekari 4.3.Mavuno ya mpunga yameongezeka. Wanasagisha mashine, kiasi cham chele wanauza na ziada ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Hawa akiwa kwenye shamba lake la mpunga anasema,“Kabla ya STAR-P nilijihisi nimepotea na mpweke. Lakini sasa ninaweza kulima mwenyewe shambani, na ninaweza kujihudumia mimi na pia familia yangu. Zamani niliacha shule. Lakini baada ya kuanza mradi huu, nimerejea shuleni na ninataka kuwa mhasibu mkubwa duniani.”
Sermon for the Last Sunday of the Church Year Sunday, 24 November A+D 2024 Rev. Matthew D. Ruesch
Misinformation and disinformation circulate rapidly online, and the consequences can be disastrous. How can we stop the spread of false information? - Wël cie yith aye doɔ̈ cath në aliiric, ku kë lëu bï bɛ̈n bei thïn alëu bï ya kërac. Yeŋö buk lëu buk gël në thiɛ̈i de wël cie yith?
Os 25 anos do Projecto Blair Witch para celebrar em 16mm. O adeus anunciado de Denzel Washington. E uma Vampira Humanista à procura de um Drácula Ye-ye.
Yeye Double Buttered Toast & Warm Milk by Pei-Lan Ku
#Señora bonita, véngase a lo más cancelado, lo más desinformado, lo más ‘funado' del internet, de este mundo y los que vienen. Aquí está la Radio de la República, el peor noticiero con su tuitero favorito Chumel Torres.
pedirle cosas a alguien a veces es incomodo, imaginate pedirle cosas rara o fuerte, en el episodio de esta semana hablamos de cosas que nos hayan pedido, a veces las personas tienen mañas o custimbre muy rara y cuando no las piden se pone un poco incomdas, con el invitado de esta semana fue todo lo contratio.
VAİZ SOKAĞINDAN KARİYEYE
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayuto Kongo kutoka Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga Kalinzi, Jimbo Katoliki Kigoma nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israeli wasimlilie yeye bali wajililie wao wenyewe na Watoto wao? L'articolo Kwanini Yesu aliwaambia Wanawake wa Israeli wasimlilie yeye? proviene da Radio Maria.
Mradi wa Vijana Kilimo Biashara (VKB) unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani (WFP) nchini Tanzania unawapatia vijana wakulima wadogo ujuzi na rasilimali zinazohitajika ili kuboresha uzalishaji wa chakula na kujenga uchumi endelevu wakati huu ambao madhara ya El niño [EL NINYO] yanayosabisha ukame na mafuriko yamekuwa dhahiri. Bosco Cosmas na maelezo zaidi.Hali ya El Nino huwa changamoto kwa wakulima kwani hawana uhakika wa mavuno ya kile walichopanda. Hali ni tofauti kwa mkulima kijana Coletha Kiwenge anayeendesha kilimo biashara kupitia mradi huo wa WFP wa Vijana Kilimo Biashara (VKB) nchini Tanzania. Yeye amefanikiwa kuvuna mazao mwaka mzima, licha ya changamoto za hali ya hewa zinazotokana na El Niño.“Pamoja na mradi huu wa Vijana Kilimo Biashara, unaofadhiliwa na Shirika la mpango wa chakula duniani na mtekelezaji ‘Farm Afrika', tumejifunza yafuatayo: - Moja, matumizi ya mbegu bora, na kwa msimu huu tumetumia mbegu bora au mbegu chotara za alizeti Pamoja na mtama Pamoja na kufadhiliwa hizo mbegu ambazo zina mazao mengi.”Kutokana na madhara ya hali ya hewa na tabianchi, WFP imeelekeza nguvu katika kilimo cha umwagiliaji kwa wakulima hao.“Lakini pia tumechimbiwa kisima na Shirika la Mpango wa chakula duniani WFP, kisima hiko ni lengo na madhumuni kwaajili ya kilimo cha bustani, na kwasasa kwenye bustani yetu tumeanza na nyanya na ziko shambani. Lakini kwenye kikundi cha KAPATA, tunaendelea na upando mbalimbali.”
In this conversation, I had the honor of speaking with Yeye Teish. We explored the current state of the world and the importance of holding onto hope, even in challenging times. Yeye expressed her concerns about the rise of dictatorships and the threat of global control, emphasizing the need for spiritual activism. She spoke about the power of women's intuition and our role in restoring balance to the world. We also discussed the deep need to reconnect with nature and the feminine, and the importance of standing up for the Earth. Yeye shared simple rituals to honor water, reminding us of its sacred connection to life and spirituality. Finally, Yeye invited us to support the work of the School of Ancient Mysteries and the Sacred Arts Center. This conversation was filled with wisdom and inspiration—may it resonate with you as it did with me.
'Genocide' is a powerful term — it's been called the "crime of crimes". When does large-scale violence become genocide, and why is it so difficult to prove and punish? - 'Näŋ de kɔc' ee wɛ̈t rilic apɛi — aye cɔl "luɔɔi de awäc". Ye nɛn yenë tɔŋ dït ë tɔŋ bɛ̈n ya tɔŋ de kɔc, ku yeŋö yenë ka rilic apɛi bïk ya nyuɔɔth ku bïk ya thɔ̈ɔ̈r?
No vamos a descubrir nada nuevo si decimos que en ‘Los Intocables' nos encanta el sonido Ye Yé. Es la música de la generación que rompe definitivamente con el trauma de la II Guerra Mundial. Este estilo, con influencias del rock and roll, el beat y el jazz, surgido en la Francia de los años 60 se extendió muy pronto por España e Italia y conquisto el mundo. Todo el pop japonés actual, de hecho, está claramente influenciado por la música ye yé europea. ¿Por qué le llaman ye yé a este género musical? La explicación no es compleja: porque muchas de sus canciones repetían machaconamente el yeah, yeah, el sí, sí, que con furor cantaban los vecinos británicos.En el programa de hoy nos vamos a centrar en algunas de esas canciones que muestran los patrones de auel estilo, que en sus estribillos repiten lo de ye yé o intentan explicarnos que es “ser ye yé”. Suenan:1.-Yeh!, yeh!. Los 3 Sudamericanos2.-Chico Ye-Ye. Los Botines3.-Furimukanai de. The Peanuts4.-Alguien Ye-Ye. Lita Torelló5.-Ella te ama. Los Matemáticos6.-Yo quiero ser Ye-Yé. Ernesto Ronchel.7.-Estando contigo. Los Soberanos8.-Snob Ye Ye. Maleni Castro9.-Tú no eres Ye Yé. Blanca Aurora10.-Rubia rubia. Alicia Granados11.-Eres monísima. Tony Ronald y los Kroner's12.-Yeah, yeah, no, no. Imperials Surfers13.-Drácula Ye Ye. Andrés Pajares14.-Juventud Ye Ye. Francisco Heredero15.-Quiero ser Ye Ye. Chan y Chevy16. Soviet Ye Yé. Los Guapos
In this episode, Liz and Elias talk with Aline Prata from WPJC and Yeye Ugas from ReproJustice about ecofeminism in the movement, the politics of care, parenthood, and International Women's Day coming up on March 8th. C2C will be hosting a celebratory event at Maritime Heritage Park from 4-6pm that day (disregard the mistaken claim at the end of the episode that the event would be from 6-8). Come join us!Resources from the episode:Yeye's article featured in The FrontReproJustice InstagramPinkwashing documentary Music from the episode:Bling Bling by Katu Mirim Support the show
It seems 13 year-old Ruby has lost or is losing everything she has loved: her Ye-Ye, the beloved neighborhood bakery, her friends, and now her summer freedom. Set in San Francisco's Chinatown, Ruby is navigating a whole lot of change in her young life. Multigenerational love wrapped around these pages. (Transcript unavailable)
Im so hungry right now what is it in humans that we allow ourselves to fall into such disarray Mf will sit at home with zero bitches talking like "I don't deserve love" You at home with no bitches bro you don't want love animals don't waste time wondering if things are meant for them they get the fuck up and go get what they need You have to need it! You are scared to market yourself ! you are scared to be desperate ! your bitch ass is scared to be scared of being scared of things get off your ass and get that job at Taco Bell so you can experience pain and shame after a few weeks you can afford a Yeye ass haircut and you won't care what the hoes think anymore you might even have a beautiful life now all thanks to me. your welcome.
YE YE https://erickimphotography.com/blog/2023/12/24/the-philosophy-of-photography-3/
Yeye just crossed the threshold into motherhood. And she thinks what she learned during her crossing—when she gave birth—might be the key into the kind of motherhood in which she could be her truest, fullest self. But she's also still asking questions. “Can you explain to me how we ended up in that situation? Wait, can you say that again? Was it really necessary, or am I another Latina statistic that ended up in this situation?” Join us for our season finale, and be part of crafting the coming season of Mother is a Question.
Hoy en de película viajamos a Nueva York de los años ochenta y lo hacemos con una de las mejores películas del año, el último trabajo de Pablo Berger, Robot Dreans con él hablamos de esta cinta en la que a ritmo de September hablamos de la amistad, el dolor que provoca la pérdida o el miedo al olvido. Di Robot Drean es una de las mejores, dos son las más esperadas Wonka, de Paul King, la película de estas navidades, primero fue Gene Wilder, después Johnny Deep y ahora es el turno de Timothée Chalamet, un joven actor con mucha personalidad que despunta en Hollywood y que en su versión de Willy Wonka está magnífico, de principio a fin. Una precuela del chocolatero más excéntrico, dónde el torrente de chocolate llega con diversión, emociones y mucho humor. La otra película es Maestro, en este caso no solo es de las películas más esperadas, es de las más interesantes. Rodada en blanco y negro y con unos movimientos de cámara muy atrevidos, Maestro está producido por Spielberg y Scorsese y dirigida, coescrita y protagonizada por Bradley Cooper. Ahora llega a las salas, y el próximo 20 de diciembre a la plataforma Netflix. Maestro, el biopic del célebre director de orquesta y compositor Leonard Bernstein. El pasado Sábado nos dejaba Concha Velasco, la eterna chica Yeye, pero su voz, su alegría y su eterna sonrisa se queda con nosotros. Esta semana el Gobierno le ha concedido a título póstumo la Gran Cruz de la Orden de Isabel la Católica y en de Película hacemos nuestro homenaje. Otra de las cintas en la que nos detenemos es Anatomía de una caída, de Justine Triet todo un éxito en Francia donde ya la han visto más de un millón de espectadores. Un Thriller judicial, dónde lo peor del patriarcado y el machismo están muy presentes. Es La película, que se alzó con la Palma de Oro en el pasado Festival de Cannes que va lanzadísima hacia los Oscar y que nos acerca nuestra colaboradora Ángeles González Sinde. También hay cine para los más pequeños, Chicken Run: Amanecer de los Nuggets es la secuela de Evasión en la granja, que regresa a la gran pantalla 23 años después y Momonsters, la película, la ideal para llevar a los pequeños por primera vez al cine y llega con sello español. Todo esto además del resto de la cartelera, las mejores series con pedro calvo y las secciones habituales.Escuchar audio
Hoy estuvimos hablando con YEYE maestra en la ciencias ocultas única bruja de Catemaco Veracruz, nos cuenta un poco sobre el misticismo que tiene esta zona de país y como es que ella es la única mujer bruja, amarres, charlatanes y mucho mas.
En la clase de hoy debatimos sobre Identidades de Género, binarias y no binarias, sobre la transfobia y el peligro social que representa. Traemos además la historia de Ava, una mujer realizadora audiovisual, que nos cuenta su historia y cómo busca soluciones al gran desempleo que sufren las personas trans. Yeye nos cuenta sobre su identidad no binaria y lo que significa para ella, mientras que Lisy aprende de las historias del día. Support the showPincha en el link de arriba si quieres apoyarnos.La Escuelita es un podcast autogestionado, dirigido por Lisy Romero, que tiene como co-anfitrionas a Yeye Hernández y Lisy Romero, y música original de Carmen Crown. ¿Tienes una historia que contarnos? Escríbenos a laescuelita.cuba@gmail.com
Whole lotta nothing, YeYe filler ass episode. listen to the very end for a very rare Jordy track, Stream holyNova by jordyy feat Marlon Dubois prod Echoestoofar Ill have something for you to buy soon don't worry.
Before we even got to this episode, the phrase "Ye Ye" had already become part of Aaron's vocabulary after he listened to the song multiple times on repeat. We analyze this song - with the full understanding that the song is just for fun and should not be taken serious at all. Join us this week as we look into the song - and does it end up on either Paul's or Aaron's personal playlist.Use Your Words podcast is passion project of two people from Southeastern Wisconsin. Please consider checking out the below links to learn/hear more. And join us every week for new episodes!Linktree: https://bit.ly/uywlinktreeVisit our website: https://useyourwords.ccListen to the podcast on all of your devices: https://useyourwordspod.captivate.fm/listenWatch On Youtube: https://www.youtube.com/@useyourwordsSend us an email: https://www.useyourwords.cc/contactRead the blog: https://www.useyourwords.cc/blog
4/23/23/ First hour Drumming; Second hour Dr Khan, Third hour Mama YeYe Sacred Wisdom About – ChiKungYourHealth Contact: DRNKChiKung@gmail.com Dr Khan breathing for health: can teach you to initiate with your breathing, implement with stretching, create through movement, virtually inner peace. Just by listening and breathing you can reduce, tension, improve your sleep and potentially add years on to your life.
4/16/2023 Drumming first hour Spirituality and the Rite of Passage Airik bring to mound table Mama Ye Ye, Kya French and Baba Elder Ray
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
SEASON 2 EPISODE 82 HOST: SHEILA GLAVEE GUEST: RYAN STEUER Ryan Steuer inspires educators across the country as the founder of Magnify Learning, a PBL professional development organization that equips educators to engage learners, tackle boredom, and transform classrooms. Prior to founding Magnify Learning, Ryan was an engineer for a Fortune 50 company, 8th grade English teacher, and missionary. He shares his education and leadership insights through PBL Simplified the book, YouTube, and podcast. On PWS, Ryan shared with us his transition from being an engineer to currently teaching and all that inspired this decision. He had jumped out of a window to catch up with an old student of his to get an update on his progress after leaving his class. Being a teacher, the kind Ryan is, is a calling and only a few find themselves in this space. Listen to the full episode and enjoy this inspiring but impactful story. RYAN STEUER'S CONTACT http://www.whatispbl.com/ PODCAST with SHEILA'S CONTACT Please if you are blessed by this podcast, don't forget to subscribe and share our episode. Help us spread the message of positivity around the world. HAVE A BRILLIANT WEEK. LOVE FROM PODCAST WITH SHEILA LINK TO ALL OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS https://linktr.ee/Podcastwithsheila SEND US AN EMAIL: my.life.globe@gmail.com SUBSCRIBE TO OUR YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/@PODCASTwithSHEILA CHECK OUT OUR OTHER CHANNEL FOR INSPIRING KIDS TIME with YEYE: https://youtube.com/@timewithyeye4410 EXPLORING with SESI https://youtube.com/@exploringwithsesi
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
SEASON 2 EPISODE 81 HOST: SHEILA GLAVEE GUEST: DR. DANIELLE PEEBLES Dr. Danielle Peebles is a chiropractor physician and author with over 20 years of experience in her field. She is the founder of Pro Health Family Chiropractic. Dr. Peebles specializes in working with athletes who are suffering from injuries. She recognized that chiropractic care is often overlooked in the pre-surgery and rehabilitation process, but it can aid in a quicker recovery. In this Episode, She shared more insight on: 1. The impact of chiropractic on the challenges and discomforts associated with menstrual cycles. 2. Benefits of chiropractic during pregnancy. 3. Benefits of chiropractic for postpartum mothers. 4. The unexpected injuries associated with having sex and being sexy. 5. Chiropractic as an aspect of self-care. 6. How the Black Community can benefit from understanding the importance of chiropractic Please if you are blessed by this podcast, don't forget to subscribe and share our episode. Help us spread the message of positivity around the world. HAVE A BRILLIANT WEEK. LOVE FROM PODCAST WITH SHEILA LINK TO ALL OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS https://linktr.ee/Podcastwithsheila SEND US AN EMAIL: my.life.globe@gmail.com SUBSCRIBE TO OUR YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/@PODCASTwithSHEILA CHECK OUT OUR OTHER CHANNEL FOR INSPIRING KIDS TIME with YEYE: https://youtube.com/@timewithyeye4410
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
SEASON 2 EPISODE 80 HOST: SHEILA GLAVEE GUEST: AHMARD VITAL Ahmard Vital is a motivational consultant, international speaker, and author. He has empowered people globally with his inspirational guidance and tips for self-development and provided his audiences with the tools needed to achieve personal success, utilize willpower and determination, and developed strategies that allows people of all ages to achieve personal and professional excellence. In 2011, Ahmard published Awaken the Baller Within, which was quickly labeled as the “athlete's life manual” by some pundits in sports media. This book was taught in more than a dozen colleges and close to fifty athletic departments and sports camps. As a mental performance coach, Ahmard helped secure more than $6 million dollars in scholarship monies and worked with athletes at the Division I level and the National Football League. Not long after a successful career as a college football recruiting analyst with Scout.com, a Fox Sports affiliate, Ahmard founded That Guy Media Group and expanded his platform to small business and nonprofit organizations where he focused on dream building, goal setting, and a relentless pursuit of the aforementioned. By teaching his audiences to recognize their strengths, and capitalize on the power that everyone harnesses within, individuals can realize previously unimagined levels of personal happiness and success. On PODCAST with SHEILA, Ahmard shared how the death of his father was a gain rather than a loss. It helped shape him into the man he is today. Listen to the whole episode to hear the story. Please if you are blessed by this podcast, don't forget to subscribe and share our episode. Help us spread the message of positivity around the world. HAVE A BRILLIANT WEEK. LOVE FROM PODCAST WITH SHEILA LINK TO ALL OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS https://linktr.ee/Podcastwithsheila SEND US AN EMAIL: my.life.globe@gmail.com SUBSCRIBE TO OUR YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/@PODCASTwithSHEILA CHECK OUT OUR OTHER CHANNEL FOR INSPIRING KIDS TIME with YEYE: https://youtube.com/@timewithyeye4410
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
SEASON 2 EPISODE 79 HOST: SHEILA GLAVEE GUEST: JULIA ROCK Julia Rock is a career and leadership development coach. Through her company Rock Career Development, she has helped Black, POC, former and transitioning athletes translate their existing skills into high-paying, in-demand careers. Through her signature coaching methods, clients are able to secure dream positions while earning their worth. Julia is also a co-author of the book The Six Figure Athlete, to help more athletes learn how to monetize their skills and create a successful future after sports. Have a Brilliant day. Love from PODCAST with SHEILA LINK TO ALL OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS https://linktr.ee/Podcastwithsheila SEND US AN EMAIL: my.life.globe@gmail.com SUBSCRIBE TO OUR YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/@PODCASTwithSHEILA CHECK OUT OUR OTHER CHANNEL FOR INSPIRING KIDS TIME with YEYE: https://youtube.com/@timewithyeye4410
Toufiq ni moja ya majina makubwa kati ya wafanya biashara wazuri na sasa mwanasiasa na Mbunge wa Mpendae, kwa wazee na vijana wa visiwani humo yeye ni mmoja wa mifano ya kuigwa ingawa kwake yeye yaliyo mengi kwenye maisha yake ni nguvu kubwa ilifanywa na Marehemu Mzee wake Ndugu Salih Hassan Abdullah Turky aka Mr White ambaye na yeye akiacha ukweli kwamba alikua tajiri na mfanya biashara nzuri huko visiwani ila yeye pia alikua kipenzi cha wananchi wa Jimbo la Mpendae ambapo sasa Toufiq ndo anaye liongoza jimbo hilo baada ya Mzee wake kutangulia mbele ya haki. Mwenyezi Mungu Amrehemu. Kwenye meza yetu ya kigae na kiti chetu kikukuu Taufiq anakumbuka wakati wa msiba wa Mzee wake bado wa moto kabisa watu walikua wanakuja nyumbani kwao na kumshauri yeye agombee ubunge wa jimbo hilo ambalo Mzee wake alikua akiliongoza. Ikumbukwe Mzee wake Mr White alifariki kipindi ambacho wananchi walikua wanajiandaa kwa uchaguzi wa wabunge wawakilishi na Rais, ananiambia kwanza aliwafukuza watu hao, wakarudi tena baada ya maziko bado Toufiq akawakatalia, baadae baada ya mambo kutulizana na kuombeleza kupungua watu ambao anawaheshimu walimfuata tena na kumueleza umuhimu wa yeye kugombea jimbo hilo. Wakamuelezea umuhimu wa Marehemu Mzee wake kwa watu wa Mpendae na kwamba kama hatofanya hivyo basi haitakua jambo zuri kwa wakazi wa eneo hilo. Ndugu Turky ilibidi akubaliane na ombi hilo na kutimiza matakwa ya wana Mpendae ambao walimpa kura nyingi za ndio. Yeye mawazo yake yalikua kwenye kuendeleza biashara zaidi ambayo kwa kiasi kikubwa Mzee wake alikua alimshirikisha nayo toka akiwa mdogo. Kuweza kufanya yote hayo kwa kijana mdogo kama yeye pengine ingekua mambo mengi sana so kwa heshima wakati mambo mengine yanaenda Toufiq ilibidi aachie majukumu mengine kwa Mdogo wake wa Kiume Ndugu Abdallah Salim na Dada yake Bi Khaytham Salim Turky, ingawa bado yeye ndo Mwenyekiti wa makampuni hayo ambayo yamejikita katika biashara mbali mbali ambazo zimestawi visiwani Zanzibar na nchi nyengine. Toufiq alikuja kwenye maongezi haya akiwa na mambo yake mengine ya ki majukumu kwenye meza yake na ki ukweli hatukupata wasaa teeele wa kuweza kuyachambua mengi kama ambavyo tungependa lakini pia hatukukosa lolote jambo la lolote jambo hilo ndo tumaini letu litasaidia kwenye kukusogeza kwenye sehemu fulani katika uelewa na uchambuzi wako wa mambo. Tafadhali enjoy hiki kidogo ambacho tuliweza kukukusanyia kwenye muda mchache. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
SEASON 2 EPISODE 78 HOST: SHEILA GLAVEE GUEST: DENNIS McCURDY He has decades of experience in business, investments, real estate, and personal development. Started from nothing, a small town boy with no college degree, just the desire to succeed and, most importantly, work. He became successful on the learn as you go plan. Dennis says, "I believe that almost everyone can be successful or, at a minimum, more successful than they are". Success is not magic or rocket science. The Author of three books ("Suck It Up Cupcake," Stop Screwing Yourself and Get The life you want) have organised several personal development workshops. His workshops and books discusses what holds us back in life and gives simple ways to improve. His greatest achievement is starting from nothing, knowing nothing, making tons of mistakes yet, still going at age 72. Dennis says, think about what you want and continually take small steps towards achieving your goals. Have a Brilliant day. Love from PODCAST with SHEILA LINK TO ALL OUR SOCIAL MEDIA PLATFORMS https://linktr.ee/Podcastwithsheila SEND US AN EMAIL: my.life.globe@gmail.com SUBSCRIBE TO OUR YOUTUBE CHANNEL https://youtube.com/@PODCASTwithSHEILA CHECK OUT OUR OTHER CHANNEL FOR INSPIRING KIDS TIME with YEYE: https://youtube.com/@timewithyeye4410
Kheri Sameer aka Mr Blue aka Lil Sama aka Bayser ni mdogo wangu, mdogo wangu kabisa na uzuri nakumbuka kabisa mara ya kwanza kuonana nae na mpaka alivyokua amevaa. Jezi ya Denver Nuggets, jeans ya light blue na sneakers nyeupeeehh na chain ya Silver, kwenye maskio alikua na hereni za kung'ara zile ambazo zilikua si za kitoboa skio, zilikua zina smaku na nazijua zaidi kwasababu Marehemu cousin brother wangu alikua nazo maana nyumbani ilikua hairuhusiwi kutoboa maskio enzi hizo. Alikua msafi, ana swagg ya kuongea na hata jinsi alivyokua anajibeba. Alikua wa moto sana unaweza kusema hivyo, au niseme hivyo. Kila ‘mtoto' na kijana alitamani kuwa kama yeye kwa kila kitu, muonekano mpaka hit songs kwenye radio na TV. Blue alikua na mtu ambaye anamsimamia na huyo hakua mwengine bali G Lover, meneja na Dj ambaye alikua anasimamia kazi zake yeye pamoja na wasanii wengine kama Ally Kiba, Ally Com na Abby Skills kwa kuwataja kwa uchache na wasanii wake hao wote walikua wa moooto sana. Ngoma kali, video mbaya, show nyingi na kwa ‘mhindi' wanauza sana. Na kuanzia hapo kwa mhindi na kuuza sana ndo ambapo kuliweza kuwapoteza wengi kwasababu wengi walikua wadogo sana na pesa ilikua nyingi. Fitna na utovu wa nidhamu wa kupindukia ulianzia hapo. Wakati naandika hii nilimuwaza Ally Kiba na jinsi ambavyo ameweza ku maintain class flani toka siku ya kwanza tunamskia na mpaka leo regardless ya mengi ambayo yametokea hapo katikati, HAKUWAHI KUPOTEA. Kwa hilo naamini anastahili HESHIMA na recognition ya hali ya juu pengine kuliko tunayompa maana dah, mambo yalikua mengi sana enzi hizo. Kuna usemi kwamba wakati ni mwalimu mzuri sana na kwa uelewa wangu hakuna ambaye anaweza kuelezea experience kama ilivyo elezewa kwenye usemi huo. Wakati ndo ambao unatufunza na kutuonyesha vitu na watu wengi, ambao tulikua tukiwaamini na wengine kuto kuwaamini, kuwapenda na wengine kuto wapenda, kudhani unajua na ki ukweli hujui, kudhania umezama kwenye dimbwi na mapenzi na huyo alo nae ndo wako wa milele na kumbe si hivyo na hayo yote unayaelewa within kipindi fulani, miaka inavyokwenda ndo na wewe unaelewa na kujifunza mambo kwa uwezo na uelewa wako. Moment za ‘anha' na ‘wow' huwa nyingi sana. Wakati ni MWALIMU na majuto huwa ni mjukuu, nadhani utakua umenielewa. Mr Blue alikua na dunia kwenye miguu yake, ilikua yeye tu aseme anatakaje na anataka ielekee wapi na hivyo ndo ingekua ila haikua hivyo ndo jambo la kusikitisha lakini bahati kubwa ambayo mwenzetu alikua nayo au yuko nayo ni kwamba hayo yote yalitokea mapema sana, wakati yuko mdogo sana kwenye dunia ambayo wengi walikua wakimuangalia na kumpenda sana. Yeye baada ya kuona mapenzi na shangwe hilo basi akadata na akaanza kuwa mgumu kufanya nae kazi, akawa na marafiki tele ambao hakua anawajua kabla hajawa Lil Sama na baadae Mr Blue. Akawa hasikii la muadhini wala mnadi sala. Akajiingiza kwenye uvutaji wa bangi isokua na staha, akaondoka nyumbani na kwenda kuishi kwenye ma ghetto na wana wasokua na ramani. Akawa ana party Jumatatu mpaka Jumatatu. Studio haonekani, kwenye interview hatokei na wale watangazaji ambao walikua wanapiga mgoma zake kwenye Radio akawa hata salaam hawapi. Producer na meneja nao wakagombana nae kwasababu sitofahamu ya pesa kwa mhindi ilishika hatamu. Mwanzo nilisema Blue ana Kheri sana kama jina lake kwasababu hayo yote yalitokea wakati mdogo sana, dunia ilimfunza nae akafundishika, wakati dunia hiyo ikiwa inamfunza alikua mwanafunzi mzuri sana kwasababu darasa alilolipata wakati kakata ringi ndo ambalo limefanya awe BORA na ajitambue LEO HII. Kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu Blue ananielezea hustle zote ambazo alishawahi kuzipitia wakati anakua na huku akiwa anajitafuta na kwa uelewa wangu itasaidia wengi ambao wanaaza au wataanza kuzishika pesa mapema au hata ambao watapata mafanikio huko mbeleni watajua jinsi ya ‘kujibeba' kutokana na maongezi yetu haya. Maongezi haya yalikua yafanyike mapema tu lakini u busy wa Lil Sama na kupishana kwa ratiba zetu ndo kulifanya yatokee --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Ushawahi kumuangalia mtu kwa mbali na kujiuliza maswali mengi juu yake? Maswali kama siku yake ikoje, amewezaje? Kama ana familia? Ki kawaida huwa anaamka saa ngapi? Amesoma wapi? Siku yake anaipangaje? Ana watoto? Mtoto? Huwa anawaandaa kwenda shule? Muda je wa kukaa nao? Elimu yake ameipatia wapi? Kwenye familia aliyotoka je? Wazazi wake wapo? Na je wanajivunia yeye kwa kiasi gani? Sasa ili kupata majibu ya maswali hayo yote ilibidi tumtafute Bi Brenda Msangi-Kinemo ambaye ndo nilikua namzungumzia hapo juu. Kama wewe utakua mtu wa kujua ambayo yanaendelea nchini, na pia kama ni mkazi wa Dar es Salaam basi lazima utakua unajua kuhusu hospitali ya CCBRT ambayo kwa kiasi kikubwa imesaidia na inaendelea kutoa huduma za macho, mifupa na magonjwa mengine kwa watu wengi kwenye nchi yetu. Sasa Bi Brenda yeye ndo Mkurugenzi pale. Na amekua kwenye cheo hicho kwa zaidi ya miaka minne sasa na hiyo ukiachilia mbali miaka ambayo alikua akifanya kazi pale wakati bado hakua Mkurugenzi. Yeye ni mtaalamu wa masuala ya afya, hicho ndo ambacho aliendea skuli huko nchini Uingereza na kwa mujibu wa baadhi ya majarida ambayo nimesoma maisha yake kama yalikua yanataka kubaki huko baada ya kuhutimu ila aliporudi nyumbani na kupata nafasi pale hospitali mambo mengi yalibadilika. Kwenye kipindi hiki anatusimulia jinsi ambavyo hayo yalitokea. Na aina ya maamuzi ambayo ilibidi ayachukue ili mambo yatuwame. Kwa wasichana wengi hasa wale ambao wanakua na kuanza kujitafuta Brenda ni role model wao sana na ni nafasi ambayo kwake yeye ilikuja baada ya kuwa anaandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuhusu kupambana na kuweza kuvaa kofia zaidi ya moja kwenye maisha ukiwa kama mwanamke. Humu pia ananiambia jinsi ambavyo hizo nondo za ku inspire zilivyoanza, ananiambia jinsi ambavyo alikua akisoma na kufanya kazi na wakati mwengine jinsi ambavyo majukumu yalikua yakimzidi mpaka anakaribia kukata tamaa ila msukumo ambao alikua akiupata kutoka ndani yake ndo ambao ulimfikisha alipo. Aliamini kwamba kuna wanawake na wasichana wengi ambao wanapitia kwenye mitihani ambayo yeye alikua nayo na kama yeye aliweza kushinda basi aliona atumie sauti yake na busara zake kuwaambia wengine kama hakuna kinacho shindikana kama nia inakuwepo. Binafsi nilijichotea mengi sana kutoka kwenye kisima chake cha busara na uthubutu na bado darasa naendelea kulipata kwasababu nafuatilia yale anayo yafanya na ambayo anayaandika ili kusaidia wengine wasijione wako peke yao. Mungu amueke na aendelee kumsimamia kwenye kazi zake na maono yake ambayo yanasaidia watu wengi wengine kuanzia ofisini kwake mpaka kanisani na nyumbani. Yangu matumaini nawe uta enjoy na kupata faida kwenye episode hii kama ilivyo nia yetu. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Deo Gratias, jina tu linatosha kujielezea kama wewe nawe utakua kama mimi wa kutaka kujua maana ya majina ya watu ili uweze kujua tabia zao au ujiulize wazee wake walikua wanafikiria nini wakati wanaamua kumpa jina hilo mtoto wao. Kwa Deo maana imejibeba na imejikamilisha na kwa yeye kuamua kubaki na jina lake hilo hilo mpaka kwenye stage ambako ndo sehemu yake ya kazi inabidi hilo nalo likuambie jambo kuhusu yeye na jinsi ambavyo anajichukulia na kuyachukulia mambo ambayo ameyachagua kuyafanya. Shukrani ziende kwa Mungu ndo maana ya jina lake, shukrani ziende kwa Mungu kwa kila alifanyalo leo, shukrani ziende kwa Mungu maana baada ya wazee wake kumsomesha kwenye shule ambayo walikua wameianzisha wao na kuhakikisha kijana wao anapata elimu ambayo anastahili lakini yeye akaamua kuiacha fani ambayo aliisoma na kuamua kuwa mchekeshaji basi nadhani Shukrani ziende kwa Mungu, Shukrani ziende kwa Mungu kwa wazazi wake kuelewa, Shukrani pia ziende kwa Mungu kwasababu mwanga umeanza kuonekana kwenye lile alifanyalo sasa. Yeye na rafiki zake ambao ni vijana wenzake wamejikusanya na kuanzisha kundi lao linaloitwa Watu Baki, ila hawakuamka tu wakaanzisha, kuna ka story hapo nyuma yake ambapo ndo panaleta maana kwenye maisha yetu na yao kama watafutaji. Deo anakumbuka audition ya kwanza ya Stand Up Comedy ambayo aliwahi kuifanya na akashinda huko Mbagala, chini ya shindano lililokua likisimamiwa na Evans Bukuku, Deo anakumbuka kushinda MILIONI nadhani kwenye shindano hilo ingawa alipofika home aligundua kuna mwana alichomoka na elfu kumi yake, yaani kuna mwana alimuangalia Deo, kisha akakiangalia kibunda alafu akasema nah, hawezi kumpa yote lol. Courage ya kufanya mengine mengi ikiwa na pamoja na ambayo yanaendelea leo ilianzia hapo. Mengine yakabaki story! Story ya kujikusanya na wanae enzi za Cheka Tu na baadae kuamua kundoka na kuanzisha WatuBaki ilikua mmoja inabidi awe na uthubutu na uthubutu huo uliwezekana na mpaka leo wamesimama na wana time yao kwenye DSTV ambayo inatoa burudani nzuri tu kwa watu wao na vile vile bado matamasha ya nje wanafanya wao kama wao. Kwa wengi ikiwa pamoja na mimi tulipewa story kwamba Deo ni mtoto flani wa kishua alokua kutoka kwenye familia inayokula wali kwa kijiko na ndo maana baadhi ya mambo ilikua rahisi kwake kufanyika kwasababu ana uwezo wa kurudi nyumbani kwa Baba na Mama na akarudi na mzigo wa kutosha ambao unasaidia mambo yaende. Ila kwa mujibu wake, hiyo si habari na wala yeye hajatoka kwenye mazingira hayo ambayo wengi wanadhani ametokea. Bado safari ndo kwanza imeanza na kwa wenzake yeye akiwa kama kiongozi anaamini kama wakitulia pamoja na kufuata maono yao basi mengi mazuri tu yatakuja, ila sasa huo uwezo wa kuweza kutulia pamoja na kutengeneza kitu kikubwa na kizuri ndo inawezakana ikawa mtihani. Si wengi wameweza ingawa wapo ambao wameanza pamoja na mpaka leo wanaunguruma pamoja. Inawezekana na yangu matumaini wao pia wataendelea kuwa WatuBaki kwa muda wote ulobaki. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Podcast With Sheila - (Sharing Uplifting & Impactful Real Life Stories)
PODCAST with SHEILA is a platform dedicated to sharing inspiring life stories every week. It started in April 2020 and now has over 100 episodes and two seasons airing on all our 14 podcast landing sites. We are privileged to say that we interviewed 75 special guests around the world in season 2 and looking forward to doing more of these in the years to come. It's been a year of Bliss and we couldn't have had it any other way. Many thanks to you all for being a part of this successful journey and helping to make this channel what it is today. Have a very Merry Christmas and a Prosperous New year. Love from the desk of PODCAST with SHEILA
Baraka Kizuguto si moja ya majina yajulikanayo miungoni mwa wa Tanzania wengi ambao asilimia kubwa ya wenye simu za mkononi hupendelea zaidi habari za maisha ya watu maarufu na mashuhuri, kutaka kujua wanakula nini, wanaishi wapi, wanalala wapi, wanalala na nani na kadhalika. Na kama wewe ni mmoja wa watu hao na si mpenzi wa mpira basi kumfahamu mgeni wetu wa kwenye kiti chakavu wiki hii itakuwia vigumu. Ila kwa wale watu wa mpira, au wafanyakazi kwenye Vyama vya mpira hapa kwetu na Afrika kwa ujumla au wachezaji au waalimu wa mpira jina na sura yake si ngeni kabisa kwao. Mimi na yeye tulifahamiana hapa mjini miaka kadhaa iliyopita na rafiki yetu mmoja ndo alituunghanisha. Mapenzi yangu kwa mpira wa miguu nayo yalifanya urafiki wetu ukolee zaidi, amekua kiungo kwenye mambo yangu mengi yanayohusiana na kiwanda hiko kwa muda sasa. MSHAURI wangu pia baada ya mimi kupata kibali cha kuweza kuwasisamia wachezaji wa mpira wa miguu duniani. Yeye ni mtu ambaye anawajua wachezaji karibia wote wanaocheza mpira nchi hii na nje, na msaada wake kwangu ni wa kipekee kabisa. Nia na madhumuni ya kusema aje tuongee nae kwenye kipindi chetu ni kwasababu ambazo nimezieleza hapo juu kwenye wasifu wake. Waswahili wanasema ‘kizuri kula na nduguzo' na kwa msaada na elimu ambayo mimi hupata kutoka kwake nikasema kwanini sasa tusimlete mezani na wengine wakamsikia? Ukichukulia suala la ajira mi kipengele kweli kweli kwenye nchi yetu. Baraka yeye ana ajira ambayo kama tukimsikiliza vizuri basi wengi wanaweza kuchagua njia hiyo na wakapata chochote kitu. Sasa NINI ambacho Baraka hufanya? Kwenye episode hii anatuelezea majukumu yake ya muda mwingi kutoka Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania na Shirikisho la Mpira la Africa. Kukiwa na michezo mbali mbali kama ya nchi na nchi, au klabu kwa klabu yeye ndo huwa msimamizi wa kwanza kwenye michezo hiyo. Safari za kila wikiendi haziishi na kaniambia nidhamu na kujifunza kila siku ndo msingi wake, na je ungependa kujua kikubwa zaidi ambacho ni muhimu kuliko hayo yote? Baraka anasema ni kuweza kuheshimu WAKATI. Hiyo ndo siri ya mafanikio yake, na ndo siri ya yeye kuweza kupata kazi zaidi na zaidi na kuheshimika pia. Kama akiwa kapangiwa mechi ya kusimamia tuseme nchini Angola, labda Kuna mechi kati ya Angola na pengine Madagascar au mechi za klabu kutoka nchi hizo, yeye ndo anakua wakwaza kufika kabla ya team na waamuzi. Kazi yake ni kuhakikisha kila anaye husika na mchezo huo anafanya jambo lake kwa wakati unaotakiwa. Ukaguzi wa hoteli watakazokaa wageni wa mchezo, waamuzi, team, jinsi watakavyoenda uwanjani, mikutano ya waandishi wa habari, ulinzi wa waamuzi wa mchezo huo, kuhusu ball boys, jinsi team zitakavyo ingia uwanjani, kuhakikisha mchezo unaanza kwa wakati na kila kitu kwenda sawa sawa. Jinsi ambavyo unafanya kazi yako vizuri ndo jinsi ambavyo Shirikisho linakuamini na ndo ambavyo CV yako inazidi kukua. Kwahiyo mmoja anawezaje kupata nafasi ya kufanya hayo yote? Yeye aliwezaje mpaka akafika huko? Nini challenge ya hizi kazi? Je kuna ambao Shirikisho linawaandaa kwaajili ya kuzifanya kazi hizo pia? Na wako wangapi ambao wanaliwakilisha Taifa kwenye hiyo kazi? Na je vipi kuhusu malipo yake? Ni kitu ambacho mmoja anaweza kusema ndo anataka kukifanya kama kazi? Misingi yake ikoje? Mtu anatakiwa aanzie wapi hasa? Na ni kitu ambacho anaweza kufanya kwa muda gani mpaka afikie huko ambako yeye yupo sasa? Vipi kuhusu FIFA? Huko yeye ana mpango nako? Ki ukweli yalikua mazungumzo mazuri kwangu na kwake na natumai pia yatakua na uzito flani kwako na kama si kwako ambaye ushajichagulia cha kufanya, basi hata kwa mwengine ambaye unamjua na ana interest na mpira ukamuelekeza juu ya hili. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
主播 | 李叔 K.C. (嘉宾主持) 嘉宾 | Yeye KFC爷爷组合(K.C. Fan石榴和Yeye)再度齐聚日谈,这次由Yeye作为主讲嘉宾,带我们来到哥伦比亚这个总被叫错名字的南美国家。 因为阴差阳错买了机票,大学时期的Yeye跨越太平洋孤身一人来到了这个地处南美洲西北部的国家——英文名为Colombia而不是Columbia的哥伦比亚。作为世界上最混乱的国家之一,即使行走在大城市,也无法避免地闻到的危险气息,但在失序背后,却潜藏着令人迷醉的欢愉、热情与自由。 虽然Yeye在哥伦比亚持续性地被偷手机,甚至还不小心路过交战区,有数次惊险的经历。但这个国家依旧令她难以忘怀与神往。在这里,她遇见了纹着花臂在舞池里蹦到凌晨然后去上课的历史老师,年轻自由充满活力但已经有三个孩子的单亲妈妈,在自家农场里务农的摇滚乐手.......标签、社会观念还有他人的目光在这里似乎都无法成为自在生活的限制,正因如此,Yeye可以在舞池里随意扭动,热情地和每一个短暂相逢的朋友拥抱,在离别和伤感中诚实地体会生活本来的模样。南美之行为Yeye打开了一扇大门,让她选择延续这种自由随性的生活方式。只要有快速的网络,随身携带的办公用品,数字游民便可以自行安排工作时间和地点,选择具有高度开放性的工作状态,也为生活提供了全新的可能性。|Song List|OP:くるり-ハイウェイ01.Bomba Estéreo - To My Love02.Becky G; Bad Bunny - Mayores03.Pitbull - El Taxi