POPULARITY
Katika Wiki ya Chanjo duniani, iliyotamatishwa tarehe 30 wiki iliyopita, mtaa wa Butiama, ulioko Mtoni Kijichi katika wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam, nchini Tanzania ulishuhudia wazazi na walezi wakijitokeza kuwapatia watoto wao chanjo muhimu za kuwalinda dhidi ya maradhi hatari. Miongoni mwao ni Hija Halfani ambaye alimpeleka mtoto wake mwenye umri wa siku 42 kupata chanjo yake ya kwanza. Je, ni mafanikio gani yamepatikana na kwa nini chanjo hizi ni muhimu? Ungana na Sharon Jebichii kwa makala hii iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini Tanzania.
Katika kuelekea siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani itakayoadhimishwa Jumamosi Mei 3 ambayo mwaka huu imebeba maudhui yanayoangazia athari za Akili Mnemba au AI katika uhuru wa habari na vyombo vya habari tunazungumza na mmoja wa wanahabari wa siku nyingi ili kufahamu AI inavyoleta mabadiliko katika tasnia ya habari na vyombo vya habari hususan Afrika Mashariki ambako pia pengo la kidijitali ni kubwa. Ungana na Flora Nducha kwa undani zaidi katika makala hii.
Samir Kassim Rashid maarufu Samir Kinyulinyuli ni Msanii wa Sanaa ya Muziki aliyelazimika kukimbilia Dar es salaam akitokea Morogoro ili kufanikiwa kisanaa, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa ya Jumahili.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kuzungumzia juu kwanini upo hivyo ulivyo akijikita sana katika aina za watu na tabia zao. L'articolo Je, unafahamu kwanini upo hivyo ulivyo? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwanini Kwaresima inahusishwa na kutambua hazina ya Neno? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akizungumzia juu ya njia ya kuishi na kutambua hazina ya neno. L'articolo Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno? proviene da Radio Maria.
Kutana na Shalyne Kaputa, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 16 kutoka kaunti ya Turkana, Kaskazini-Magharibi mwa Kenya. Tofauti na shangazi yake, ambaye hakuweza kuendelea na elimu yake kutokana na kukosa karo, yeye anasoma elimu ya sekondari sasa ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi wa habari. Yote yanawezekana kutokana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada wa shirika la Norway la Maendeleo NORAD na wadau wengine. Je ni usaidizi gani wanapatiwa? Ungana na Assumpta Massoi.
Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa 15 za akina mama akielezea sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akituongoza kujifunza Umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima. L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehemu ya themanini na sita) proviene da Radio Maria.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Majadiliano ya siku mbili yanayofanyika kila mwaka ya será kuhusu maendeleo endelevu. Majadiliano hayo yanayokunja jamvi leo jijini Nairobi Kenya yameandaliwa na Club De Madrid na mwaka huu yakijikita na ufadhili wa maendeleo na kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu w anchi na serikali, wadau wa maendeleo na vijana. Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi amepata fursa ya kuzungumza na baadhi ya vijana wanaoshiriki mkutano huo wa club de Madrid je wanasemaje? Ungana nao katika makala hii
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Kutoka TEC , Mwezeshaji ni Sister Anagradness Mruma, Katibu wa Utoto Mtakatifu Taifa anayefanya Utume Balaza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC akizungumzia juu ya Ufatiliaji wa Malezi kwa Watoto wawapo Masomoni? L'articolo Wajibu wa Wazazi na Walezi katika Malezi ya Watoto wawapo Masomoni. proviene da Radio Maria.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Ungana nami Elizabeth Masanja, Katika Kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, leo tupo na Padre Dominic Mavula C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria, akituongoza kujifunza Uhai wa Masakramenti ndani ya Familia. L'articolo Fahamu mbinu ya kupokea Masakramenti katika Familia. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Raymond Karega Katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akitufundisha juu ya sheria za vizuizi batilishi vya ndoa. L'articolo Je, wafahamu sheria za vizuizi batilishi vya ndoa? proviene da Radio Maria.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Mungu amekusudia ufanikiwe katika kila eneo la maisha yako! Baraka si matokeo ya bahati au juhudi pekee, bali ni mfumo wa kiroho unaoendeshwa na kanuni za Ufalme wa Mungu. Mkristo anapojua na kufuata mfumo huu, lazima maisha yake yadhihirishe ukuu wa Mungu.
Sanaa ya Muziki Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania, ni sanaa inayokua kwa kasi vijana wanawekeza kulifikia soko la Muziki Afrika Mashariki, B2K ni Msanii anayekonga Nyoyo za Wasichana zaidi kutokana na Tungo zake, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na B2K kutoka Njombe.
Uchoraji ni Ajira ,Wasanii wa sanaa hii Zanzibar wananeemeka na kazi zao, Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Obedience na Muki kutoka Zanzibar.
Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW69 ukifikia ukingoni mshiriki kutoka Zanzibar Tanzania ameweleza Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili kwamba Zanzibar imepiga hatua kubwa katika usawa wa kijinsia na utekelezaji kwa vitendo matakwa ya Azimio la Beijing la usawa wa kijinsia na hatua. Je wametekeleza vipi na hatua gani walizopiga? Ungana nao katika mahojiano haya.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehehemu ya themanini na tano) proviene da Radio Maria.
Wachoraji visiwani Zanzibar walia na gharama za kupata maeneo ya kunadi kazi zao za Sanaa hiyo, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Mchoraji maarufu visiwani humo Jamal.
Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life Utetezi wa Uhai, ambapo leo Wanapro-life Tanzania wanaendelea kutufundisha juu ya faida ya Familia bora. L'articolo Je, wazifahamu faida za Familia bora? proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Josephati Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, akiendelea kujibu maswali mbalimbali ya Msikilizaji na moja ya Swali hilo ni Roho Mtakatifu anatupatia nini? L'articolo Fahamu neema za Roho Mtakatifu kwa Wanadamu. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na nne) proviene da Radio Maria.
Taarab Asilia ni Miongoni mwa Miziki ya kale zaidi katika Mwambao mwa Bahari ya Hindi, Zanzibar Taarab Hertage Ensemble ni miongoni mwa Makundi ya Muziki huo kutoka Visiwani Zanzibar, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
Mradi unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, wa kulinda lishe ya wasiojiweza wakiwemo wajasiriamali wa bishara ndogodogo na za kati, wakulima wadogo wa matunda na mbogamboga, wafugaji na wachuuzi wa samaki kama sehemu ya jitihada za kujikwamua baada ya janga la COVID-19 umeleta nuru kwa jamii mbalimbali ikiwemo katika kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya na katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma. Je unawanufaisha vipi wakulima na kwa nini ni muhimu? Ungana na Flora Nducha katika makala hii kwa undani zaidi
Ungana nami Happiness Mlewa, katika Kipindi cha Tafakari Nasi leo tupo na Padre Frank Mwinami, Kutoka Seminari ya Mtakatifu Yosefu Kilocha, Jimbo Katoliki Njombe. Anatafakari nasi juu ya maneno kutoka Maandiko Matakatifu yasemayo ” Anayetaka kuwa Mkubwa na awe mtumishi wa wote.” L'articolo Nini maana ya maneno “Anayetaka kuwa Mkubwa na awe Mtumishi wa wote” proviene da Radio Maria.
Ungana nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro -Life Tanzania, wakitufundisha muendelezo juu ya Familia na Malezi ya Mtoto, kipengele cha Faida ya kuwa na Familia kubwa L'articolo Familia kubwa ni ipi? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Tafakari nasi kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Josephina Bakhita- Nyamanoro Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akielezea Matendo ya Bikira Maria. L'articolo Je, wafahamu matendo ya Bikira Maria ? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Judith Mpalanzi Katika Kipindi cha Elimu Jamii, Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Wawezeshaji ni Lupakisyo Peter Mwakyolile ambaye ni Mkuu wa Takukuru Kalambo Pamoja na Bwana Hemedy Mruma Mwanasheria wa Takukuru Kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Rukwa wakituongoza kujifunza juu ya Madhara ya Rushwa kwenye Uchaguzi. L'articolo Fahamu madhara ya rushwa kwenywe uchaguzi. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, anajibu maswali yaliyoulizwa na msikilizaji na moja ya swali hilo ni kuna mchakato gani unafanyika mpaka mtu kuwa Padre? L'articolo Fahamu mchakato wa Mtu kuwa Padre? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bikoba, akijibu moja ya swali lilioulizwa na Msikilizaji akihoji, kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu? L'articolo Je, unafahamu kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu? proviene da Radio Maria.
Mradi unaoendeshwa na serikali ya kenya na kupigwa jeki na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ambao ni wa kuboresha lishe kwa watoto kwa kugawa fedha taslim na elimu ya afya au NICHE (NISHI) umeleta nuru kwa wakazi wa Lokichar katika kaunti ya Turkana Kaskazini Mashariki mwa Kenya na miongoni mwa wanufaika ni Leah Akiru. Ungana na Flora Nducha kwa taarifa zaidi
Kikao cha 63 cha Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa ECOSOC kuhusu maendeleo ya ujamii kinakunja jamvi hii leo jijini New York Marekani baada ya majadiliano ya juma zima kuhusu maendeleo ya ustawi wa jamii, hatua zinazochukuliwa nan chi katika kufanikisha hilo na kuchagiza mshikamano wa kimataifa kutimiza lengo. Nchi mbalimbali zimetuma wakilishi kuanzia katika ngazi ya serikali, taasisi, mashirika yasiyo ya kiserikali na asasi za kiraia. Flora Nducha wa Idhaa hii amepata fursa kuzungumza na Mary Wambui Munene, mmoja wa washiriki kutokana Kenya. Ungana nao katika Makala hii
Karibu nusu ya idadi ya watu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanategemea misitu kwa chakula, nishati, afya, riziki na huduma za mfumo wa ikolojia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP ambao ni takriban watu zaidi ya milioni 40. Kwa kulitambua hilo mradi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda bayoanuai huku ukipambana na umasikini UNREDD unaleta nuru kwa raia hususani mashariki mwa nchi hiyo. Ungana na Flora Nducha kwa ufafanuzi zaidi katika makala hii.
Nchini Uganda, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa muda sasa limekuwa likifanya jukumu muhimu katika kuwezesha usajili wa watoto baada ya kuzaliwa na hata waliochelewa kusajiliwa kutokana na sababu mbalimbali. Kutokana na huduma hiyo, serikali ya Uganda inatambua kuwa idadi ya watoto waliosajiliwa imeongezeka kwa kiasi kikubwa.Kutokana na video iliyoandaliwa na UNICEF, Anold Kayanda wa Idhaa hii ameandaa makala ifuatayo. Ungana naye.
Kongamano la kimataifa ka Kiswahilii limekunja jamvi mwishoni mwa wiki huko Havana Cuba, ambako shuhuda wetu Flora Nducha amezungumza na watu mbalimbali akiwemo mchechemuzi wa Kiswahili hususan kwenye mitandao ya kijamii Nick Reynold ali maarufu Bongo Zozo, ambaye ni raia wa Uingereza. Ungana nao katika makala hii.