POPULARITY
Karibu uungane na Goleth Lwamuzigu katika kipindi cha habari za Kanisa, ikiwa ni mkusanyiko wa habari mbalimbali za kanisa zilizojiri ndani ya juma hili. L'articolo Habari za Kanisa zilizojiri Juma hili proviene da Radio Maria.
Kwa sasa macho yakiwamulika makadinali 135 watakaochagua papa mpya ndani ya siku chache zijazo, mjadala kuhusu Papa kutoka Afrika ukishamiri.Mchakato wa kumchagua p
Kwa sasa macho yakiwamulika makadinali 135 watakaochagua papa mpya ndani ya siku chache zijazo, mjadala kuhusu Papa kutoka Afrika ukishamiri.Mchakato wa kumchagua p
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frateri Emmanuel Elisha Mganga Kutoka Parokia ya Mtakatifu Magreth wa Scotland Majengo, Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akijibu swali hili Naomba kujua Wainjili ni wanne kwanini Kanisa katoliki linakomea mwaka “C” wa Kanisa na kwanini hakuna mwaka ‘D' wa Kanisa? L'articolo Je, unafahamu kwanini Kanisa hukomea mwaka ‘C' wa Kanisa? proviene da Radio Maria.
Class-Act Coaching: A Podcast for Teachers and Instructional Coaches
Send us a textIn this episode, Jason and Dan sit down with Kanisa Williams, an instructional coach from a large Georgia district, who coaches other instructional coaches. They talk about how coaching cycles are implemented not just with teachers, but with coaches, and the importance of modeling, trust-building and communication. Kanisa shares how she supports new coaches in clarifying their role, planning productive coaching cycles and using teacher data to identify priorities. Key Takeaways:How coaching cycles for instructional coaches mirror those for teachersWhy modeling and co-planning are essential, even for coaching coachesStrategies for building trust in new coaching relationshipsTips for setting clear goals and boundaries when you're new to a campusUsing teacher data to guide the focus of coaching cyclesMentioned in the Episode:Importance of early wins to build confidence with new coachesCreating clarity around a coach's role to avoid being seen as “just an extra helper”The power of transparency and reflection in professional growth The Southern Regional Education Board is a nonprofit, nonpartisan organization that works with states and schools to improve education at every level, from early childhood through doctoral education and the workforce. Follow Us on Social: Facebook Instagram X
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa Msikilizaji wetu akihoji, kwanini Kanisa Katoliki halishabikii sana Injili ya mafanikio na uponyaji? L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa Katoliki halishabikii Injili ya mafanikio na uponyaji? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Raymond Karega Katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladslaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akitufundisha juu ya sheria za vizuizi batilishi vya ndoa. L'articolo Je, wafahamu sheria za vizuizi batilishi vya ndoa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri George kagumilaa, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kwanini sisi wakatoliki tunaabudu Ekaristi wakati maandiko Mtakatifu yanasema tusiabudu kitu kingine Ila Mungu tu L'articolo Kwanini Wakristo wa Kanisa Katoliki wanaiheshimu na kuiabudu Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.
Tunajadili hatua ya Kanisa la Anglikana nchini Kenya, kwa mara nyingine limesisitiza marufuku ya kuwazuia wanasiasa kuzungumza kanisani katika juhudi za kuzuia wanasiasa kufanya siasa kanisani. Je unazungumziaje hatua hii ya kanisa Anglikana nchini Kenya? Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni ya waskilizaji wetu.
Tunajadili hatua ya Kanisa la Anglikana nchini Kenya, kwa mara nyingine limesisitiza marufuku ya kuwazuia wanasiasa kuzungumza kanisani katika juhudi za kuzuia wanasiasa kufanya siasa kanisani. Je unazungumziaje hatua hii ya kanisa Anglikana nchini Kenya? Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni ya waskilizaji wetu.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali maandamano yana maana gani katika Kanisa Katoliki? L'articolo Je, wafahamu maana ya maandamano katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, leo studio nipo na Bi. Esther Kinyonga, Benedict Kessy, Monica Kessy, George Mapunda, Katekista Revocatus Kinyonga, Katekista Gabriel Jimu na Federika Bayaga wakizungumzia juu ya plotio ya nyumba aminifu wakijikita zaidi katika miito mbalimbali. L'articolo Ni, kwa namna gani Familia hupelekea miito ndani ya Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Josephati Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, akiendelea kujibu maswali mbalimbali ya Msikilizaji na moja ya Swali hilo ni Roho Mtakatifu anatupatia nini? L'articolo Fahamu neema za Roho Mtakatifu kwa Wanadamu. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Raymond Karega katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa Sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akiendelea kutuelimisha juu ya sheria za matayarisho ya ndoa. L'articolo Fahamu namna bora ya kujitayarisha na Sakaramenti ya Ndoa. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Fahamu maadui wa mtu ndani ya Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipidi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji na Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu swali hili dhambi za kifo ni zipi? L'articolo Je, wazifahamu dhambi za kifo? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu swali hili je ni halali kuongoza Rozari kama hauna Rozari Mkononi? L'articolo Je, ni halali kuongoza Rozari kama hauna Rozari Mkononi? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu swali hili je unawapa ushauri gani Watu wasiomwamini Kristo? L'articolo Huu ni ushauri kwa Watu wasiomwamini Kristo? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, anajibu maswali yaliyoulizwa na msikilizaji na moja ya swali hilo ni kuna mchakato gani unafanyika mpaka mtu kuwa Padre? L'articolo Fahamu mchakato wa Mtu kuwa Padre? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Costantine Haruna kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji, kuna tofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa? L'articolo Je, kuna utofauti gani kati ya Mama Kanisa na Mama wa Kanisa? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea kujibu maswali ya Msikilizaji na moja ya swali hilo ni Je, Makanisa ya Orthodox yaliyopo Tanzania yamerudi Ukatoliki? L'articolo Je, Makanisa ya Orthodox yaliyopo Tanzania yamerudi Ukatoliki? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bikoba, akijibu moja ya swali lilioulizwa na Msikilizaji akihoji, kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu? L'articolo Je, unafahamu kwanini Baba Mtakatifu Benedikto XVI alistaafu? proviene da Radio Maria.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Karibu ungana nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za Kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kujifunza Matayarisho ya Ndoa Takatifu. L'articolo Je, wafahamu matayarisho ya Ndoa Takatifu? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu Swali hili, Monsinyori anapatikanaje na kabla ya kuwa Monsinyori anakuwa na wadhifa gani? L'articolo Zifahamu hatua za kupatikana kwa Monsinyori. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu Swali lililoulizwa na Msikilizaji akitaka kujua sababu za kugawanyika kwa Kanisa. L'articolo Fahamu sababu za kugawanyika kwa Kanisa. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu swali la Msikilizaji akihoji juu ya chimbuko la mafundisho ya Utatu Mtakatifu? L'articolo Fahamu chimbuko la fundisho la Utatu Mtakatifu. proviene da Radio Maria.
Wanasiasa wame ashiria kufunguliwa kwa Bunge la taifa kwa kuhudhuria ibada katika Kanisa laki Katoliki la Mtakatifu Christopher, mjini Canberra leo asubuhi Jummanne 4 Feb 2025.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Claud Onesmo Lokowelo kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa Msikilizaji wetu likihoji, Naomba kujua Kanisa linahimiza Kutubu, mbona kuna idadi kubwa ya Wakristo Jehanamu na Toharani ,je hao hawakuungama? Ni kina nani wanaoenda Mbinguni moja kwa moja […] L'articolo Je, wafahamu kwanini Kanisa linahimiza Watu watubu? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Nena Nami Bwana, ambapo anayenena nasi kwa siku hii ya leo ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, katika homilia aliyeitoa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya kumshukuru Mungu kwa Wanautume wa Radio Maria kwa mwaka 2024, iliyoadhimishwa katika Kanisa la […] L'articolo Nena nami Bwana na Padre Deodatus Katunzi Kagashe. proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Raymond Karega, katika kipindi cha Sheria za Kanisa, Mwezeshaji ni Padre Ladislaus Mgaya, Mwanasheria wa sheria za kanisa kutoka Jimbo Katoliki Njombe, akituongoza kujifunza Muendelezo wa Dhana ya Ndoa. L'articolo Nini maana ya Dhana ya Ndoa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Noah Joshua Mwamfupe Kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Kanisa Katoliki linawaombea Marehemu? L'articolo Je, kwanini Kanisa Katoliki linawaombea Marehemu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Maiko Paulo Mangazine, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijbu swali la Msikilizaji anaomba ufafanuzi kwanini Mkristo Mkatoliki kutokuzikwa kwa heshima kama mkristo, au kufanyiwa Ibada ya mazishi ya kikatoliki. L'articolo Fahamu sababu za Mkristo Mkatoliki kutokuzikwa kwa Taratibu za kawaida za Kanisa. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea kutufundisha juu ya Mwaka wa Jubilei ya Kanisa Mahujaji katika Matumaini. L'articolo Fahamu maana ya Jubilei katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Roho mtakatifu
Mungu ni Pendo
Ahadi za Mungu ni za kweli, Kustahimili katika dhoruba
Wanamasalio wa Mungu
Kukua katika Kristo
Kumtukuza Mungu, Sayansi ya Maombi
Tabia njema kwa mkristo
Namiesto 20 rokov desať. Parlament v rámci novely trestného zákona znížil premlčacie lehoty za znásilnenie. Predstavitelia koalície tvrdia, že tým motivujú ženy nahlasovať sexuálne zločiny skôr. Preživšie ale aj organizácie venujúce sa obetiam hovoria o nesmierne škodlivom kroku, ktorý nás vracia o niekoľko rokov späť. A to všetko sa deje v čase, keď Európsky parlament nastolil debatu o celoúnijnej definícii znásilnenia a keď susedná Česká republika zvyšuje tresty za tieto činy. Prečo na Slovensku znásilnenia a jej obete neberieme vážne? Jana Maťková sa v podcaste Dobré ráno pýtala právnika Matúša Kanisa. Zdroj zvukov: NRSR, Instagram/Progresívne Slovensko, Denník N, Facebook/SMER SD Odporúčanie: Ak ste zažili sexuálne násilie a hľadáte pomoc, prípadne poznáte niekoho, kto ju potrebuje, využite niektoré z liniek pomoci: Národná linka pre ženy zažívajúce násilie - 0800 212 212 Detské krízové centrum - 0948 578 053 Detské advokačné centrum Náruč - 0903 535 445 Poradenské centrum Čadca - 0907 840 552 Poradenské Centrum Nádej - 0905 463 425 Aliancia žien Slovenska - 0903 519 550 Krízové stredisko Dúha - 0918 824 247 Maják Nádeje - 0911 526 267 SKC Dotyk - 0905 595 187 Náruč záchrany - 0905 888 234 stalosato.sk, ipcko.sk – Všetky podcasty denníka SME nájdete na sme.sk/podcasty – Odoberajte aj audio verziu denného newslettra SME.sk s najdôležitejšími správami na sme.sk/brifing – Odoberajte mesačný podcastový newsletter nielen o novinkách SME na sme.sk/podcastovenovinky – Ďakujeme, že počúvate podcast Dobré ráno.