POPULARITY
Categories
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Peter Peter Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa kwa namna gani mbona dhambi bado ipo duniani? L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.
Mafundisho kuhusu Pasaka, sikiliza hii ingine. https://soundcloud.com/user-529110866/fundisho-kuhusu-pasaka?si=7d1a61d4053b4fb6851d3f5deb910b79&utm_source=clipboard&utm_medium=text&utm_campaign=social_sharing
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu. L'articolo Hivyo ndivyo Mateso ya Bwana Yesu yalivyo shiriki katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.
gospel song,health talk,semron.
gospel song,health talk,semron.
gospel song,health talk,sermon.
swahili_BB-78 Yesu alikuwa Mgeni
swahili_BB-83_Mgogoro wa Kwanza kati ya Waumini wa Yesu
swahili_BB-78 Yesu alikuwa Mgeni by Bible Bard
Karibu katika Kipindi cha Tafakari Nasi Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Askofu Method Kilaini wa Jimbo Katoliki Bukoba, akielezea tafakari ya Injili Takatifu Yesu anageuka Sura Mlima Tabora. L'articolo N,i kwanini Yesu aligeuka sura mlima tabora? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Polykarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alimsaliti Yesu, je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? L'articolo Yuda alimsaliti Yesu, Je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? proviene da Radio Maria.
Tofauti ya wanafunzi wa Musa vs Yesu Kristo
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo.
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
gospel song,health talk,knowledge,sermon.
Agano la Neema
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
gospel song,health talk,knowledge,sermon.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Wakristo tunabatizwa na Maji machache na Yesu alibatizwa Maji Mengi? L'articolo Je, wafahamu kwanini wakatoliki wanabatizwa Maji machache tofauti na Dini zingine. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Melkisedeki Sagina Sanga, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu Swali la Msikizaji linalosema ni kweli kuwa Yesu Kristo aliteswa na kufa msalabani ili sisi tupate kuokolewa? Kwanini afe msalabani kuliko kufa kama sisi binadamu bila kubeba msalaba? L'articolo Ni, kwanini Yesu alikufa Msalabani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea Nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Katika Rozari Takatifu Matendo ya Furaha, tendo la nne, Yesu anatolewa Hekaluni, Je, alitolewa Hekaluni alikuwa na Kosa gani? L'articolo Yesu anatolewa Hekaluni alikuwa na Kosa gani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Innocenti Mazimba Kambole, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, kwanini Wakatoliki wanabaiza maji kidogo wakati Yesu alibatizwa Maji mengi?. L'articolo Je, wafahamu kwanini Wakatoliki wanabatizwa Maji kidogo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Jotham Mahenge, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alipomsaliti Yesu kulichaguliwa Mtume mwingine wa kurithi nafasi hiyo L'articolo Yuda alipomsaliti Yesu kulichaguliwa Mtume mwingine wa kurithi nafasi hiyo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Innocent Mazimba Kambole, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu anakuja kuwahukumu wazima na wafu Makaburi yatafunuka au tena Watakatifu tunaamini wapo Mbinguni Je, Makaburi yao nayo yatafunuka kwa ajili ya hukumu? L'articolo Fahamu maana ya kuwahukumu Wazima na Wafu. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali ya Imani ukiwa nami Frateri Revocatus Ferdinand, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Ni, kwanini Yesu alilia Msalabani? L'articolo Ni, kwanini Yesu alilia Msalabani? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ambapo Frateri Novart Fedeliko Ntapanya kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, anajibu swali lililoulizwa na Siylivester Ntendi, kutoka Jimbo Katoliki Geita. Swali: Je, katika Biblia Takatifu ishara ya nia ya Yesu Kristo, katika kumtaka mdhambi kutubu inaoneshwa na kauli “naona kiu” peke yake? L'articolo Fahamu ishara alizozitoa Yesu Kristo, kumtaka mdhambi kutubu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Benedict Lazaro Luvanga Kutoka Parokia ya Bikira Maria Mama wa Shauri Jema Nyabula, Jimbo Katoliki Iringa nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Yesu alipelekwa Hekaluni na Wazazi wake akiwa mdogo? L'articolo Ni, Kwanini Yesu alipelekwa Hekaluni na Wazazi wake akiwa mdogo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Samson Peter Tibianus, Kutoka Parokia ya Familia Takatifu Bombambili Jimbo Kuu Katoliki la Songea nikijibu swali la Msikilizaji Je, Sakramenti ya mpako Mtakatifu wa Wagonjwa iliwekwa na Bwana wetu Yesu Kristo? L'articolo Je, Sakramenti ya Mpako Mtakatifu wa Wagonjwa iliwekwa na Bwana wetu Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.
gospel song,healtht atalk,knowlede,semon.
gospel songs,health talk,sermon.
Mahubiri haya yanaangazia onyo la Mtume Paulo dhidi ya walimu wa uongo katika 2 Kor. 11. Paulo anashangazwa na jinsi Wakorintho wanavyoondoka haraka kutoka kwa ibada ya kweli kwa Kristo, wakivutwa na mitume wa uongo wanaomuubiri Yesu mwingine, injili nyingine, na roho mwingine. Katika mahubiri hayo, Danson Ottawa anaangazia hatari ya sasa ya udanganyifu na kumtia moyo msikilizaji kufuatilia utambuzi wa Biblia. Anasema, “Waumini waliowekwa msingi katika kweli, na kukua katika neema, wataweza kuilinda Injili”.
Msifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya damu ya Yesu
Jina la Yesu lina Nguvu, Tumepewa muda na Mungu utumie vizuri
Yesu atakaporudi, Mungu ndiye faraja pekee
Kukua katika Kristo
Utukufu kwa Bwana, Tenda wema kwa wanaokuzunguka