POPULARITY
Categories
Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, Mwezeshaji ni Mhshamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba leo anatuongoza kuangazia maisha ya Mtakatifu Martha. Mtangazji wako ni Beatrice Audax L'articolo Mfahamu Mtakatifu Martha Dada yake na Lazaro aliyefufuliwa na Bwana wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anafundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya mada ya “Damu Azizi ya Yesu nguvu ya utakaso.” L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni nguvu ya Utakaso? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Cha Katekisimu Katolikia Shirikishi, ambapo Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya thamani ya Ukombozi, akijikita zaidi juu ya “Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano dhidi ya yule mwangamizi. Karibu L'articolo Je, ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu ni lugha ya mawasiliano dhidi ya mwangamizi? proviene da Radio Maria.
Msikilizaji Karibu uungane na Frateri Fredrick Alfred Kabonge, kutoka Parokia ya Bikira Maria Consolata Kibao, Kituo cha Hija ya Huruma ya Mungu, Jimbo Katoliki Mafinga ambaye anajibu swali hili “Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, shahidi wa kwanza wa Ufufuko wake, “usiniguse?” Mimi ni Mtangazaji wako Elizabeth Masanja. L'articolo Kwanini Yesu alimwambia Maria Magdalena, Usiniguse? proviene da Radio Maria.
Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Parokia ya Bikira Maria Imakulatha Pande Msakuzi, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akizungumzia juu ya kujenga urafiki na Yesu. L'articolo Je, unafahamu namna ya kujenga urafiki na Yesu Kristo? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, kipindi hiki hukupatia nafasi ya kupata mafundisho kutoka kwa Baba zetu wa kiroho yenye lengo la kutudumisha katika imani ya kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya thamani ya ukombozi wetu akiangazia Damu Azizi lugha ya […] L'articolo Ni kwa namna gani Damu Azizi ya Yesu lugha ya mawasiliano? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu. Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa , kusikiliza kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki ambapo Mwezeshaji wetu Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo wa Radio Maria Tanzania, anatufundisha namna ya kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. KARIBU L'articolo Je!, Wafahamu kuwa tunawao wajibu wa Kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha katekisimu katoliki shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania, anaanza kufundisha mada kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic Jina langu ni Esther Magai Hangu L'articolo Zifahamu hofu zinazotukwaza katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane na Fratel Emmanuel Elias Mganga kutoka Parokia ya Mtakatifu Margaret wa Scotland – Majengo, Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, kusikiliza kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo akijibu swali la Peter Robeth wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, aliyeuliza ” naomba kufahamu kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana sana Yesu?” Karibu. L'articolo Kwanini Mafarisayo na Masadukayo walitofautiana na Yesu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu? L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Peter Peter Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki la Songea ,akijibu swali la Msikilizaji linalosema Yesu alitukomboa kwa namna gani mbona dhambi bado ipo duniani? L'articolo Je, ni kwa namna gani Yesu alikutukomboa kutoka Dhambini? proviene da Radio Maria.
Mafundisho kuhusu Pasaka, sikiliza hii ingine. https://soundcloud.com/user-529110866/fundisho-kuhusu-pasaka?si=7d1a61d4053b4fb6851d3f5deb910b79&utm_source=clipboard&utm_medium=text&utm_campaign=social_sharing
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Alphonce Andrew Mkumi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea,nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo ya Ekaristi Takatifu L'articolo Kwanini tunasema Yesu Kristo aliyekatika chembe kubwa ya Ekaristi Takatifu ni sawa na aliyekatika chembe ndogo. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Kwaresima na Uhai wa Binadamu. L'articolo Hivyo ndivyo Mateso ya Bwana Yesu yalivyo shiriki katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.
gospel song,health talk,semron.
gospel song,health talk,semron.
gospel song,health talk,sermon.
swahili_BB-78 Yesu alikuwa Mgeni
swahili_BB-83_Mgogoro wa Kwanza kati ya Waumini wa Yesu
swahili_BB-78 Yesu alikuwa Mgeni by Bible Bard
Karibu katika Kipindi cha Tafakari Nasi Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Mwezeshaji ni Askofu Method Kilaini wa Jimbo Katoliki Bukoba, akielezea tafakari ya Injili Takatifu Yesu anageuka Sura Mlima Tabora. L'articolo N,i kwanini Yesu aligeuka sura mlima tabora? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Ayubu Polykarp Mwashibili, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino -Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Yuda alimsaliti Yesu, je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? L'articolo Yuda alimsaliti Yesu, Je, alisamehewa katika dhambi yake hiyo? proviene da Radio Maria.
Tofauti ya wanafunzi wa Musa vs Yesu Kristo
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo.
gospel song,health talk,knowledge,sermon.
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
Agano la Neema
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
Agano la Neema | Musa vs Yesu Kristo
gospel song,health talk,knowledge,sermon.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Wakristo tunabatizwa na Maji machache na Yesu alibatizwa Maji Mengi? L'articolo Je, wafahamu kwanini wakatoliki wanabatizwa Maji machache tofauti na Dini zingine. proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Melkisedeki Sagina Sanga, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu Swali la Msikizaji linalosema ni kweli kuwa Yesu Kristo aliteswa na kufa msalabani ili sisi tupate kuokolewa? Kwanini afe msalabani kuliko kufa kama sisi binadamu bila kubeba msalaba? L'articolo Ni, kwanini Yesu alikufa Msalabani? proviene da Radio Maria.
Mahubiri haya yanaangazia onyo la Mtume Paulo dhidi ya walimu wa uongo katika 2 Kor. 11. Paulo anashangazwa na jinsi Wakorintho wanavyoondoka haraka kutoka kwa ibada ya kweli kwa Kristo, wakivutwa na mitume wa uongo wanaomuubiri Yesu mwingine, injili nyingine, na roho mwingine. Katika mahubiri hayo, Danson Ottawa anaangazia hatari ya sasa ya udanganyifu na kumtia moyo msikilizaji kufuatilia utambuzi wa Biblia. Anasema, “Waumini waliowekwa msingi katika kweli, na kukua katika neema, wataweza kuilinda Injili”.
Msifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya damu ya Yesu
Jina la Yesu lina Nguvu, Tumepewa muda na Mungu utumie vizuri
Yesu atakaporudi, Mungu ndiye faraja pekee
Kukua katika Kristo
Utukufu kwa Bwana, Tenda wema kwa wanaokuzunguka