Podcasts about Kila

  • 223PODCASTS
  • 1,133EPISODES
  • 20mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Sep 10, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Kila

Show all podcasts related to kila

Latest podcast episodes about Kila

Habari RFI-Ki
Raia wa nchi za Afrika wapendekeza watu wazima kupewa fursa ya kusoma na kuandika

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 10, 2025 9:59


Kila mwaka tarehe 8 Septemba ulimwengu husherehekea maendeleo katika ujuzi wa kusoma na kuandika katika ngazi ya kimataifa, kikanda na kitaifa. Mwaka huu imekuwa ni fursa ya kutafakari kwa kina kuhusu maana ya kusoma na kuandika katika enzi hii ya kidijitali.

Habari za UN
MINUSCA washiriki kutoa elimu ya usalama barabarani CAR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 2:41


Kila mwaka,Wizara ya Uchukuzi na Usafirishaji wa Anga nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR,  kwa msaada wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MINUSCA,huandaa kampeni za usalama barabarani. Na hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo,Bangui, MINUSCA kwa kushirikiana na Vikosi vya Usalama vya Ndani ISF wameungana kupambana na ajali za barabarani zinazoongezeka kila uchao,doria ya pamoja imefanyika kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara. Sabrina Saidi anatujuza zaidi....​(TAARIFA YA SABRINA SAIDI)Natts ....ongeza hii; katikaa mitaa ya Banguimji mji mkuu wa CAR pisha nikupishe ni nyingi. Kufuatia ongezeko la ajali za barabarani,zinazopoteza maisha ya watu kila uchao, kikosi cha polisi cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa MINUSCA kimeendesha doria ya pamoja ya usalama kwa kushirikiana na Vikosi vya Usalama vya nchi hii (ISF) katika mji mkuu BanguiOperesheni hii iliyofanyika tarehe 4 mwezi Septemba,mwaka huu imelenga kutoa elimu kwa waendesha pikipiki za abiria maarufu kama "moto taxi" nchini CAR na watumiaji wengine wa barabara kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za barabarani.Kwa mujibu wa MINUSCA Hatua hii ina lengo la kuimarisha usalama na kujenga uhusiano mwema kati ya vikosi vya usalama na raia.​Akizungumza kuhusu umuhimu wa hatua hii, Kamanda wa Mkoa wa Plateaux(PLATIU) na Bas-Oubangui(BA OBANGI), Douflé Avi Chico( DOFLE AVII CHIKO BERNAA) Bernard, amesema,CUT- Sauti ya Douflé Avi Chico Bernard“Kwa kushirikiana na MINUSCA, kupitia brigedi yao ya magari, tunafanya kazi ya kuongeza uelewa kwa watumiaji wa barabara, waendesha pikipiki au teksi, ili kupunguza ajali nyingi ambazo kwa bahati mbaya zinagharimu maisha ya watu. Tutaendelea na kampeni hizi kubwa ili kurekebisha hali hii.”​Kwa upande wa watumiaji wa barabara, dereva wa pikipiki za abiria, Jean Terence Bokassa (JANI TEREE BOKASA), ameomba serikali iimarishe udhibiti wa sekta hiyo.CUT- Sauti ya Jean Terence Bokassa“Tunaomba serikali ihakikishe usalama wa waendesha pikipiki za abiria kwa sababu sisi ni watu kama wengine. Tunatoka nje kutafuta riziki, lakini maisha yetu yako hatarini. Tungependa serikali itusaidie kwa kuwafundisha ndugu zetu ambao hawana leseni ya udereva kanuni za barabarani ili kuhakikisha usalama wao.”Nattss.. Sauti za magari honi nk.​Doria hii ya pamoja inaonesha ushirikiano mzuri kati ya Polisi wa Umoja wa Mataifa na ISF, wote wakiwa wamejitolea kulinda raia na kupunguza ajali za barabarani na MINUSCA inasema wananchi wakipata uelewa wa kutosha basio sio tu barabara zitakuwa salama bali pia idadi ya vifo vitokanavyo na ajali za barabarani vitapungua.

Habari za UN
UN yatumia kila mbinu kuhakikisha inawafikia waathirika wa tetemeko Afghanistan

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 3, 2025 2:22


Juhudi kubwa za msaada kwa waathirika wa tetemeko la ardhi lililoipiga Afghanstan mwishoni mwa wiki, zimeendelea leo huku watoa misaada wakikabiliwa hali ngumu ya kuwafikia wanaohitaji msaada kutokana na Barabara kuzibwa na kukatika kwa mawasiliano. Anold Kayanda na taarifa zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Taarifa mpya kutoka kwa timu za tathmini za Umoja wa Mataifa zilizofanikiwa kuwafikia waathirika katika wilaya ya milimani ya Ghazi Abad jana Jumanne kwa njia ya miguu, zimeweka wazi umuhimu wa kuendeleza tena kwa haraka msaada wa kibinadamu.Salam Al-Jabani kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) mjini Kabul anasema, “jambo la dharura ni kuwatoa watu chini ya vifusi na Watu wanasema wanachohitaji kwa haraka ni msaada wa kuwazika waliofariki dunia na kuwatoa waliofunikwa.”UNICEF inasema watoa misaada wake walilazimika kutembea kwa saa mbili ili kuwafikia watu na bado kuna vijiji ambavyo ili kuvifikia unahitaji kutumia saa sita hadi saba na hata helikopta hazijafanikiwa kufika huko.Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP ambao walikuwa wa kwanza kupeleka msaada kwenye eneo la tukio,  Bwana John Aylieff, akiwa mjini Kabul amesema, “WFP inaweza tu kumudu kuwalisha waathirika wa tetemeko la ardhi kwa wiki chache zijazo kabla ya ufadhili kuisha.”Kwa upande wake, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) linapeleka msaada muhimu wa dharura kutoka maghala yake yaliyopo Kabul, ikiwemo mahema, blanketi na taa za sola. Pia maelfu ya wanajamii wa eneo hilo wameelekea eneo lililoathirika kusaidia juhudi za uokoaji, wakiwa na maji na chakula.

Habari za UN
Wakimbizi Nyarugusu wahamasika kufanya usafi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 3, 2025 2:40


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kwa kushirikiana na Baraza la Wakimbizi la Norway NRC wanahakikisha wakimbizi wanaoishi katika kambi za wakimbizi za mkoani Kigoma Magharibi mwa Tanzania ikiwemo kambi ya nyarugusu wanapata huduma muhimu za maji na usafi kupitia ushirikiano wa viongozi wa wakimbizi. Huduma hizo  zimekuwa changamoto kubwa katika kambi za wakimbizi zikichangiwa na ukata wa ufadhili. Flora Nducha na taarifa zaidi (TAARIFA YA FLORA NDUCHA)Vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipoibuka Burundi mwaka 2015, na baadaye mapigano kuighubika upya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, maelfu ya  watu walikimbia na kuvuka mpaka kuingia Tanzania. Leo, wengi wao wanaishi katika kambi za wakimbizi mkoani Kigoma kama vile Mtendeli, Nduta, na Nyarugusu.Lakini maisha kambini hayajakuwa rahisi. Kwa ufadhili mdogo, familia zinapata shida kupata huduma za msingi kama maji safi, makazi, na elimu.Hapo ndipo Shirika la UNHCR, na Baraza la Wakimbizi la Norway NRC, wanapoingia. Tangu mwaka 2016, wamekuwa wakitoa huduma muhimu ikiwemo kufunga mifumo ya maji, kujenga vyoo, na kusambaza sabuni na mahitaji mengine ya usafi.Miongoni mwa wanaofanya mabadiliko kupitia msaada huo ni Ahunga Msama, mkimbizi mwenye umri wa miaka 55 kutoka DR Congo, ambaye ni afisa msimamizii wa huduma za maji, usafi, kujisafi na usafi wa mazingiira WASH katika kambi ya Nyarugusu.(AHUNGA CLIP 1)“Ninasaidia jamii yetu ya kambi ya Nyarugusu ili wawe wanapata maji safi na salama”Ahunga anasema jamii yake iliteseka sana iliteseka sana kwa magonjwa yanayosababishwa na maji machafu ndio maana aliamua kuchukua hatua kulinda afya zao. Kila siku ahakikisha watu wanapata maji safi na huduma za usafi salama.Akiwa pamoja na wakimbizi wenzake, Ahunga anapita nyumba kwa nyumba kufundisha familia jinsi ya kuzuia magonjwa kupitia usafi kwani anaamini elimu ni ufunguo(AHUNGA CLIP 2)“Tunasaidia kuelimisha jamii yetu ili wawe wasafi. Wawe na vyoo, wawe na mabafu, wawe na vichanja na wawe na mashimo ya takataka.”Watu wakielewa, wanaweza kujilinda.Anasema watu wakieelewa ni rahisi kujilinda na juhudi zake zinaokoa maisha na kuhamasisha wengine, zikionyesha kwamba hata katika mazingira magumu, wakimbizi wanaweza kuongoza mabadiliko katika jamii zao na anasema hilo ni la muhimu sana kwani(AHUNGA CLIP 3)“Tunasaidia jamii yetu ili wajilinde na magonjwa ya milipuko”Kwa msaada wa UNHCR na Baraza la Wakimbizi la Norway, maelfu ya wakimbizi katika kambi za wakimbizi za Kigoma sasa wana maji salama, usafi wa mazingira ni bora, na wana matumaini mapya ya maisha.

V+W Podcast
Dvě kila

V+W Podcast

Play Episode Listen Later Sep 2, 2025 61:33


prejže dvoustej díl - za pět let! To už je numero! Vegy chtěl aby s náma někdo udělal rozhovor jenže sme nesehnali číslo na Čestmíra ani Marii Bastlovou a tak sme to zbastlili sami a nechali ptát vás jenže vy nás znáte a otázky nekladete a tak wlado projel umělý inteligence a hurá - jubilejní podcast je na světě! 

Seriál Radiožurnálu
Dvě kila kešu, žádný internet a rukopis v trezoru. Tajemství všech tajemství se překládalo v bunkru

Seriál Radiožurnálu

Play Episode Listen Later Sep 1, 2025 4:22


Už brzy vyjde také v českém překladu nová kniha Dana Browna Tajemství všech tajemství, která se z velké části odehrává v Praze. Text Michala Marková a David Petrů překládali tři měsíce, a to za velmi přísných bezpečnostních podmínek v místnosti, které se interně přezdívá bunkr.Všechny díly podcastu Seriál Radiožurnálu můžete pohodlně poslouchat v mobilní aplikaci mujRozhlas pro Android a iOS nebo na webu mujRozhlas.cz.

Brno
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Brno

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

Pardubice
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Pardubice

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

Region - Praha a Střední Čechy
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Region - Praha a Střední Čechy

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

Karlovy Vary
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Karlovy Vary

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

Ostrava
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Ostrava

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

Sever
Česká NEJ: Kolik míchaných vajec nebo bramborového salátu byste snědli na posezení? Rekordmani to mají na kila

Sever

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 1:37


Předem je třeba upozornit, že následující výkony nejsou hodné následování. Přesto vždy budí zájem veřejnosti.

R Yitzchak Shifman Torah Classes
Pesachim 25a²- Kila'i HaKerem Seeds vs Growths, Refuah with Asheira (A/Y)

R Yitzchak Shifman Torah Classes

Play Episode Listen Later Aug 25, 2025 37:22


2 section- accepted implication about seeds of kila'i hakerem also becoming prohibited, but limited to when took root in vineyard, allowance to use as refuah in case of sakana other issurim besides asheira tree

R Yitzchak Shifman Torah Classes
Pesachim 25a² Recap- Kila'i HaKerem Seeds vs Growths, Asheira for Refuah (A/Y)

R Yitzchak Shifman Torah Classes

Play Episode Listen Later Aug 25, 2025 4:55


2 section- accepted implication about seeds of kila'i hakerem also becoming prohibited, but limited to when took root in vineyard, allowance to use as refuah in case of sakana other issurim besides asheira tree

Habari za UN
Apoteza mwanae akikimbia machafuko

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 25, 2025 2:25


Machafuko yanayoendelea Kaskazini Mashariki mwa Burkina Faso yamefurusha maelfu ya watu, kukatili maisha na kuwalazimisha wengi kuwa wakimbizi ndani ya nchi yao. Miongoni mwa simulizi za kugusa ni ya Fadima Bandé mama aliyelazimika kufungasha virago kunusuru maisha yake na wanawe wawili lakini akaishia kupoteza mmoja, je ilikuwaje?  kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF Flora Nducha anasimulia zaidi.Katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dori Mashariki mwa Burkina Faso, sasa ni maskani ya Fadima, maisha hapa ni magumu na hana tena njia ya kujipatia kipato. Kila uchao analazimika kupambana kuhakikisha watoto wake wanapata angalau mahitaji ya msingi, anakumbuka safari ya uchugu kutoka Kijiji kwake Sohlan hadi hapaWakati tunakimbia mmoja wa binti zangu mapacha aliugua baada ya kunyeshewa na mvua kubwa na kupata mafua makali, wakati tayari alikuwa anaumwa utapiamlo. Tulimkimbiza hospitai mjini Sebba lakini akafariki dunia.”Baada ya kupata hifadhi kambini Dori Fadima akajaliwa mapacha wengine wawili ambao sasa wana umri wa miezi tisa na kwa bahati mbaya wote wana utapiamlo kutokana na changamoto ya chakula.“Hapa Dori tumebarikiwa watoto mapacha lakini wametukuta hatua makazi, hatuna chochote na tuna njaa na kibaya zaidi sikuwa hata na maziwa ya kutosha kuwanyonyesha”Watoto wa Fadima wamekuwa wakiishi kwa msaada wa kibinadamu unaotolewa na mashirika mbalimbali ikiwemo UNICEF ambayo sasa inasema hali yao inaweza kuwa mbaya zaidi kutokana na kupunguzwa kwa bajeti ya kimataifa misaada wanayoitoa na hivyo kuhatarisha maisha na mustakabali wa watoto wake. Fadima anasema“Unapotawanywa na machafuko huwezi kufanya kazi, unakuwa kama mtu asiye na ajira na hapo ndio madhila yanapokuwa makubwa zaidi, lakini bado hapa ni bora kuliko ningesalia kijijini kwetu.”Kwa mujibu wa UNICEF Burkina Faso ni moja ya migogoro ya kibinadamu iliyopuuzwa zaidi duniani. Ingawa UNICEF iko hapa kusaidia, lakini  inasema msaada zaidi unahitajika haraka.

R Yitzchak Shifman Torah Classes
Pesachim 24b², 25a¹- Exception of Kila'i HaKerem (A/Y)

R Yitzchak Shifman Torah Classes

Play Episode Listen Later Aug 24, 2025 46:25


1 section- Abayey holds that kila'i hakerem is a unique exception to the general rule of issurei hana'ah being chayav only in normal way and resolves challenge from Beraitta about bassar b'chalav

R Yitzchak Shifman Torah Classes
Pesachim 24b², 25a¹ Recap- Exception of Kila'i HaKerem (A/Y)

R Yitzchak Shifman Torah Classes

Play Episode Listen Later Aug 24, 2025 3:57


1 section- Abayey holds that kila'i hakerem is a unique exception to the general rule of issurei hana'ah being chayav only in normal way and resolves challenge from Beraissa about bassar b'chalav

R Yitzchak Shifman Torah Classes
Pesachim 24b²- Kila'ei Hakerem is Exception (A/Y)

R Yitzchak Shifman Torah Classes

Play Episode Listen Later Aug 21, 2025 27:40


1 section- Abayey explains that it is unlike the previous items and is assur b'hana'ah even in abnormal way

De Nacht van...
Back to School met NTR Wetenschap: Nederlands

De Nacht van...

Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 109:41


Het nieuwe schooljaar staat voor de deur! Nog drie weken, en dan mogen de achthonderdduizend studenten die ons kikkerlandje wijs is weer het stof van hun boeken blazen en hun brakke ochtenden in de schoolbanken doorbrengen. Of je nu voor het eerst naar het hoger onderwijs gaat, of dat het al vijftig jaar geleden is dat je voor het laatst een schoolbel hoorde: wijsheid komt niet met de jaren, maar in deze Back to School-zomerreeks van NTR Wetenschap. Deze week zetten we je brein iedere dag drie uur lang op een hoger pitje, met steeds een andere crashcourse in een wetenschappelijk vakgebied. Met vannacht als eerste: Nederlands! Onze gastdocent van deze nacht: neerlandicus Kila van der Starre. Wie denkt dat de opleiding Nederlands het meest wordt gevolgd in Nederland, komt bedrogen uit. Niet Nederland, maar het buitenland telt de meeste studenten Nederlands. Ontzettend jammer, vindt neerlandicus Kila van der Starre. In deze aflevering van De Nacht van NTR Wetenschap maakt ze jou en presentator Syb Faes enthousiast voor het vak Nederlands. Dat doet ze aan de hand van plint- en straatpoëzie, het heffingsvers en een blik op de toekomst van de Nederlandse taal.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Akili Unde Na Masomo

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Aug 2, 2025 25:44


Je, AI inaharibu au kuboresha elimu ya juu? Mojawapo ya sekta zilizoathirika zaidi na ujio wa Artificial Intelligence (AI) ni sekta ya elimu, haswa katika vyuo vikuu. Kila siku, matumizi ya AI katika kufanya assignments, utafiti, na kujifunza yanazidi kuongezeka. Lakini hii ina maana gani kwa walimu, wanafunzi, na mfumo mzima wa elimu? Sikiliza podcast hii ili ujue mawazo yangu kisha ushiriki maoni yako.

Siha Njema
Ukiwa utatembea hatua elfu saba kila siku unaweka magonjwa hatari mbali

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 10:06


Utafiti uliofanywa wa shirika la utafiti wa afya Lancet Public Health umebaini hatua elfu 7 kila siku unapunguza hatari ya kupatwa na magonjwa ya Saratani,Kisukari,magonjwa ya moyo, shinikizo la damu,sonona na  kupoteza kumbu kumbu Kwa mujibu wa shirika la afya duniani ,WHO,mazoezi ya kudumu dakika 150 kila wiki au mazoezi makali ya dakika 75 ni mkakati wa kuimarisha afya. Katika makala haya nimejiunga na kundi la Nairobi Walk Movement,tawi la Buru Buru ambalo limejitoa kufanya matembezi ya kuanzia kilomita 10 hadi 20 na wakati mwingine hadi 40 kila Jumamosi asubuhi au Jumapili alasiri kuanzia saa tisa na nusu. Kundi hili pia limejisajili kwenye kundi  la kuhesabu hatua ambazo kila mtu hutembea kila siku ,hatua hizo zikihesabiwa kutumia application maalum ya kuhesabu hatua,lengo likiwa hatua hadi elfu 10 kila siku. Kushindana kwa kuhesabu hatua kila siku umekuwa mchezo ambao huwatia moyo Wanachama hao wameelezea faida nyingi kutokana na kujiunga kwenye kundi hilo na kushiriki matembezi. Wapo waliokuwa na wanatumia dawa za kudhibiti shinikizo la damu na sasa wameachana nazo. Aidha wengine wameeleza matembezi kuwaondolea maumivu ya viungo na pia kupata marafiki wazuri.

Habari za UN
Türk ataka Israeli ishinikizwe iondoke maeneo inayokalia ya wapalestina

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 28, 2025 1:54


Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu Volker Türk ameyahimiza mataifa yote ulimwenguni kuchukua hatua za haraka ili Israel ikomeshe uwepo wake kinyume cha sheria katika ardhi ya Palestina inayoikalia kimabavu, na kuhakikisha suluhu ya mataifa mawili inapatikana. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah MushiKamishna Turk ameyasema hayo katika tarifa yake aliyoitoa kwa njia ya video kabla ya kuanza kwa mkutano wa ngazi ya juu hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani unaolenga kujadili Suluhu ya kudumu kwa mgogoro kati ya Israel na Palestina ambao umedumu kwa miongo kadhaa sasa.Turk amesema: “Ninahimiza hatua za haraka za Israel kukomesha uwepo wake kinyume cha sheria katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kwa pande zote kufanyia kazi maendeleo yanayoonekana kuelekea suluhu ya Serikali mbili.”Akatoa angalizo kwa zile nchi zitakazo shindwa kuweka shinikizo kwa Israel kukomesha mauaji huko katika Ukanda wa Gaza.“Nchi ambazo zinashindwa kutumia nguvu zao zinaweza kuwa na hatia katika uhalifu wa kimataifa. Kila siku tunaona madhila yasiyoelezeka huko Gaza na Ukingo wa Magharibi kwa hofu na kufadhaika. Kila siku, tunaona uharibifu zaidi, mauaji zaidi, na udhalilishaji zaidi wa Wapalestina.”Mkuu huyo wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amehitimisha video yake ya dakika 4 na sekunda 7 kwa kusema kuwa dunia itaihukumu mikutano ya aina hii kwa kile inachokifanya kwa vitendo, na kuongeza kuwa ofisi yake iko tayari kusaidia taifa la Palestina katika ujenzi wa nchi yenye msingi wa haki za binadamu na utawala wa sheria, pindi utulivu utakapopatikana.

Habari RFI-Ki
Kila Ijuma unapata nafasi kuchangia chochote ndani ya rfi Kiswahili

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:59


Kila Ijumaa rfi kiswahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile kwenye makala haya. Skiza maoni ya waskilizaji.

Habari RFI-Ki
Kila Ijuma unapata nafasi kuchangia chochote ndani ya rfi Kiswahili

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 9:59


Kila Ijumaa rfi kiswahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile kwenye makala haya. Skiza maoni ya waskilizaji.

Habari za UN
Angalau kila mtu awe na anwani ya barua pepe - Mshiriki WSIS

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 9, 2025 2:01


Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani, (WSIS) ukiingia siku ya 3 hii leo huko Geneva, Uswisi, washiriki wanapazia sauti umuhimu wa kila mtu kokote pale aliko afikiwe na teknolojia inayomwezesha kupokea taarifa kwa urahisi, usahihi na kwa haraka.

Bad Influence Podcast
Life Is Like a Box of Chocolates

Bad Influence Podcast

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 71:01


Welcome to the Bad Influence Podcast! Today, Kila joins the guys once again! On today's episode, we discuss shot-for-shot remakes, 'How to Train Your Dragon,' The Impact of 'Forrest Gump,' the most dangerous toys in the world, and so much more! Thank you for letting us be your bad influence! See you all next week!   Music  Blake Basic (ft yamazaki) - Bad Influence 

Siha Njema
Sera ya Kenya kuhakikisha raia wake wanafanya mazoezi kila mara

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 10:06


Takwimu zinaonesha watu wengi kupatwa na magonjwa yasiyoambukizwa kutokana na kuishi bila kufanya mazoezi na kula vibaya Sera hii itatoa mwongozo wa  taasisi za serikali na binafsi kuweka mikakati ya kuruhusu mazoezi ya kila mara wakati wa kazi au nje ya kazi

Habari RFI-Ki
MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:02


Kila siku ya Ijumaa, hapa RFI Kiswahili, tunampa mskilizaji wetu nafasi kuzungumzia habari kuu ambazo tumekuwa nazo wiki hii au kutueleza jambo lolote ambalo limetokea nchini mwake. Wiki hii maoni mseto yameangazia, miongoni mwa taarifa zingine, tangazo kwamba Rwanda itatia saini makubaliano na DRC tarehe 27 Juni, kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini pia mashambulio baina ya Israeli na Iran.

Siha Njema
Mwili wako unavyowasiliana kupitia utendakazi wake na kukupa onyo kukiwa tatizo

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:08


Kila siku mwili wako hukuzungumzia na ni jukumu lako kusoma mwili wako na kuelewa unasema nini au unakuonya kuhusu nini Baadhi ya matatizo ambayo unaweza kujiepusha nayo ni matatizo ya afya ya akili ,kufeli viungo muhimu au mifumo yako ya afya. Na ili kuhakikisha mwili wako unazungumza na kutoa taarifa iliyo sahihi kuna baadhi ya vitu unaweza kufanya kwa mfano kupata muda wa kutosha kulala,kupata lishe bora  na kufanya mazoezi 

Habari RFI-Ki
MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:02


Kila siku ya Ijumaa, hapa RFI Kiswahili, tunampa mskilizaji wetu nafasi kuzungumzia habari kuu ambazo tumekuwa nazo wiki hii au kutueleza jambo lolote ambalo limetokea nchini mwake. Wiki hii maoni mseto yameangazia, miongoni mwa taarifa zingine, tangazo kwamba Rwanda itatia saini makubaliano na DRC tarehe 27 Juni, kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini pia mashambulio baina ya Israeli na Iran.

Bad Influence Podcast
The Juneteenth Spectacular

Bad Influence Podcast

Play Episode Listen Later Jun 19, 2025 67:52


Welcome to the Bad Influence Podcast! Today, they celebrate Juneteenth with special guest Kila! They talk about soul foods, the history of Juneteenth, Black History Quizes, our top 10 superheroes, and so much more! Thank you for letting us be your Bad Influence!    Music  Blake Basic (ft Yamazaki) - Bad Influence

Run to the Top Podcast | The Ultimate Guide to Running
Exploring The AI Running Revolution with Dr. John Holash and Dr. Cody Ray van Rassel

Run to the Top Podcast | The Ultimate Guide to Running

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 91:40


The technological revolution has taken over running. Dr. John Holash and Dr. Cody Ray van Rassel are specialists in exercise physiology at the University of Calgary. We brought them on today's show to discuss topics including: What are some of the most exciting new technologies in athletics How the benefits of super shoes are measured What is the role of wearable technologies in advancing the sport What new technological innovations we might see in the near future Whether the humble potato is the ideal fuel source for endurance athletes At the elite level, technologies like carbon plated shoes and wavelight pacing technologies have led to huge breakthroughs in performances. John and Cody spend much of their time modeling the impact of technologies like these, making them ideal guests to give you a glimpse into how new technologies are completely transforming what's possible in running. Guest Bios: John Holash - bio Publications: https://www.researchgate.net/profile/John-Holash Cody Van Rassel - bio Publications: https://www.researchgate.net/profile/Cody-Van-Rassel   Connect, Comment, Community Follow RunnersConnect on Instagram Join the Elite Treatment where you get first dibs on everything RTTT each month! Runners Connect Winner's Circle Facebook Community  RunnersConnect Facebook page GET EXPERT COACHING AT RUNNERSCONNECT! This week's show brought to you by: Kila Running When we first got connected with the team at Kila insoles, they explained that they can make high-performance insoles perfectly designed for your feet within days, just by using the Kila Running app. All you have to do is open the app and place the phone on the ground, then take a few photos of your feet using the FaceID camera. This allows them to create a full 3D scan within minutes. They don't even need your shoe size! Once you get past the weirdness of taking photos of your feet, it's pretty cool to see the images for yourself and then get the notification that the scans are being sent to their North American orthotics lab. After that the insoles arrive as fast as that same week. Kila isn't the first company to use an iPhone or iPad to scan your feet for orthotics—it's actually becoming the standard method doctors and sports medicine clinics use to create a foot cast. But Kila is bringing that same technology to the direct-to-consumer space, at about one-quarter the cost. Most insoles feel bulky and rigid, but Kila custom insoles are more like having a layer of supershoe foam underfoot propelling you through your stride. All you have to do when they arrive is slip out your old insoles and put these in. It might take some getting used to the full-foot contact but it's pretty amazing how great they feel and you won't be disappointed. Just head to kilarun.com and you can get $70 off your first pair and with a 60-day money back guarantee.  Creatine Gummies Designed for the Needs of Endurance Athletes You've undoubtedly heard about the benefits of creatine. It's been heralded as the single most effective legal supplement on the market. But, if you've tried it before then you know creatine can also lead to stomach issues, bloating, cramping and can be hard to take consistently. Well, not any longer with the first creatine gummy formulated specifically for endurance athletes from MAS Edge. Unlike cheap powders, MAS Edge creatine gummies contain micronized creatine, which is a 100% soluble type of creatine with superior bioavailability. That means they are specifically formulated to be absorbed quickly so it's gentle on the stomach, eliminates water retention, and doesn't give you the bloated feeling you may have experienced with traditional creatine powders. Plus, the gummies are so delicious that you'll look forward to taking them every day. If you're ready to experience a pure, fast-acting creatine that fuels your muscles, enhances your performance and helps you recover every time you train then you have to check them out. Head to masedge.com/creatine right now and you'll also save 20% and get free US shipping as a RunnersConnect fan

Bad Influence Podcast
Kila Thee Stallion - Part 2

Bad Influence Podcast

Play Episode Listen Later Jun 17, 2025 56:16


Welcome to Part 2 of Kila Thee Stallion! When your guest is this amazing, you split it in 2! Today, we debut a new game, Stop the Cap! We also talk Love Island, Invincible, InuYasha, League Of Legends, Death Stranding 2, and so much more! Thank you, Kila for coming on the show. We hope you come back soon!    Music:  Blake Basic (Ft. yamazaki) - Bad Influence   

Bad Influence Podcast
Kila Thee Stallion - Part 1

Bad Influence Podcast

Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 52:13


Welcome to the Bad Influence Podcast!  Today we welcome... Kila! We had such a great time, this is our first 2-Part Episode! She sits down with the guys to, of course... GEEK OUT! In this episode, we talk about Megan Thee Stallion's New anime, Game of Thrones,  top 5 animes of all time, top 5 anime deaths,  and so much more!  PART 2 will be out this week! 

De Grote Vriendelijke Podcast
Aflevering 142: Update mei 2025 (m.m.v. Iven Cudogham)

De Grote Vriendelijke Podcast

Play Episode Listen Later May 28, 2025 63:03


Wie was Elsa Beskow? Moet Annie M.G. Schmidt postuum de P.C. Hooftprijs krijgen? Wat was de betekenis van de onlangs overleden schrijver Aidan Chambers? En waarom wil Iven Cudogham van Anansi de Spin een even bekend kinderboekpersonage maken als Dikkie Dik, nijntje en Kikker? Je hoort het allemaal in deze Grote Vriendelijke Update. Kinderboekrecensenten Jaap Friso (JaapLeest.nl) en Bas Maliepaard (Trouw) bespreken boeken, Bert Kranenbarg leest het kinderboekennieuws en Katinka Polderman vertelt in haar column over haar ervaringen als biebmoeder. Verwijzingen in deze aflevering Kaartverkoop Pakjesavond 2025 Vrijdag 30 mei 2025 start voor Vrienden van de Show de voorverkoop van kaarten voor De Grote Vriendelijke Pakjesavond. Die vindt plaats op zondagmiddag 23 november vanaf 16:30u in de Grote Zaal van TivoliVredenburg in Utrecht. Vanaf maandag 2 juni komen er kaarten in de algemene verkoop via de website van TivoliVredenburg. Anansi Anansi de Spin heeft een eigen website. Meer informatie over de tentoonstelling in de kunsthal en de presentatie van het zevende prentenboek vind je hier. Elsa Beskow Dit is de officiële website over Elsa Beskow, met rechts bovenin de menubalk een optie voor Engelstalige informatie. En hier vind je de prentenboeken die in het Nederlands leverbaar zijn. Opinie over Annie Het opiniestuk van Kila van der Starre over Annie M.G. Schmidt lees je op de website van Trouw. Aidan Chambers Bezoek de eigen website van Aidan Chambers of bekijk de lezing die hij in 2014 in Nederland gaf. En hier bekijk je de trailer van 'Été 85', de verfilming van 'Je moet dansen op mijn graf', te zien op Disney+. Boekentips 'In de hoek' Pieter van den Heuvel Gottmer 4+ 'Beesten' Ingvild Bjerkeland Vertaling: Kim Liebrand Volt 11+ 'Vlieg! zegt de vloer' Eva Gerlach Tekeningen: Trui Chielens Querido 12+

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili na Maana Zake

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later May 10, 2025 39:14


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

RTÉ - Arena Podcast
Kila & Brass - Arena special

RTÉ - Arena Podcast

Play Episode Listen Later May 6, 2025 55:15


Kila & Brass - Arena special

Viral Jesus
Purpose in A World That Doesn't Seem To Care

Viral Jesus

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 47:00


Welcome back to What If I'm Wrong? A show where we might not give you the answers, but we will ask some really good questions. On today's episode Kila Johnson joins us for submission discussions. Kila is a lifestyle content creator passionate about sharing her faith and the incredible ways God has moved in her life. Through everyday moments and personal stories, she hopes to inspire and encourage others to see His goodness in their own journey. This month, we're diving deep into passion—What are you so passionate about that you are willing to suffer for and through?—and this week we are discussing: Purpose in a World that Doesn't Seem to Care. Heather shares a powerful reframe on the meaning of hope—not just as a feeling or expectation for something good, but as a predictor of resilience. Backed by over 2,000 research studies, she explains that people who choose to hope—whether in the middle of divorce, addiction, loneliness, or waiting—are the ones most likely to thrive and endure. Join host Heather Thompson Day and submission specialist Haley as they explore finding purpose in a dark and confusing world. In Day in the Bible, Heather highlights a profound truth: sometimes God is waiting on YOU! Have a story to share? Email us at whatifimwrongpod@gmail.com. Host Bio:  Dr. Heather Thompson Day is an interdenominational speaker, an ECPA bestseller, and has been a contributor for Religion News Service, Christianity Today, Newsweek and the Barna Group.  Heather was a communication professor for 13 years teaching both graduate and undergraduate students in Public Speaking, Persuasion, and Social Media. She is now the founder of It Is Day Ministries, a nonprofit organization that trains churches, leaders, and laypeople in what Heather calls Cross Communication, a gospel centered communication approach that points you higher, to the cross, every time you open your mouth.  Heather's writing has been featured on outlets like the Today Show, and the National Communication Association. She has been interviewed by BBC Radio Live and The Wall Street Journal.  She believes her calling is to stand in the gaps of our churches. She is the author of 9 books; including It's Not Your Turn, I'll See You Tomorrow, and What If I'm Wrong? Heather's Social Media Heather's Instagram Heather's Website  Heather's TikTok Heather's YouTube  Haley's Social media Haley's Instagram Kila's Social Media Kila's Instagram What If I'm Wrong Social Media What If I'm Wrong Instagram  What If I'm Wrong YouTube What If I'm Wrong Tik Tok

SBS Swahili - SBS Swahili
Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 8:13


Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Islamophobia in everyday life - Kunyanyaswa kwa wa Islamu katika maisha ya kila siku

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 7:21


Against the backdrop of the Israel-Hamas war, incidents of Islamophobia in Australia have surged – whether verbal, physical or online. What's the lasting impact on victims, and what can be done? - Kufuatia vita vya Israel-Hamas, matukio yawa Islamu kunyanyaswa yame ongezeka nchini Australia, iwe kwa maneno, kimwili au mtandaoni. Athari ya kudumu kwa wa athiriwa ni gani, na nini kinaweza fanywa?

Habari za UN
12 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 12, 2025 11:18


Hii leo jaridani tunaangazia mpango mpya wa UN80, unaolenga kuimarisha kazi na ufanisi wa chombo hicho ambacho mwaka huu kinatimiza miaka 80, na yaliyojiri katika mkutano wa CSW69. Makala na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu, kulikoni?Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amezindua Mpango mpya wa UN80, unaolenga kuimarisha kazi na ufanisi wa chombo hicho ambacho mwaka huu kinatimiza miaka 80 tangu kuanzishwa kwake huku akisisitiza umuhimu wa mshikamano wa kimataifa..Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW69 ukiendelea hapa New York Marekani nchini Sudan Kusini wanawake na wasichana wanaendelea kuonja shubiri ya vita, wakibakwa, kuuawa, kukosa elimu na kupitia changamoto nyingine lukuki sababu ya vita. Mmoja wa washiriki wa mkutano wa CSW69 kutoka Sudan Kusini akizungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili amesema sasa imetosha amekuja na ujumbe mmoja tu, anataka jinamizi la vita lazima likome.Makala tukisalia hapa hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa Jijini New York, Marekani ambako Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, (CSW69) umeingia siku ya tatu, nimezungumza na Nuria Mshare ambaye amewakilisha taasisi ya Haki Elimu ya nchini Tanzania.Na Katika mashinani fursa ni yake Janet Zebedayo Mbene kutoka Tanzania aliyehududhuria mkutano huu hapa makao makuu, kama mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la mtandao wa uwezeshaji wa wanawake Tanzania na angependa kuwashauri wanawake na wasichana wanaopitia changamoto wajikite katika fursa mbalimbali. Kila kitu kina changamoto. Wajitie moyo na waondoe uoga, na kwa kile kidogo walicho nacho wanaweza kujiinua na kuinua jamii kwa ujumla.Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!  

Habari za UN
UN: Sasa ni wakati wa kutimiza ahadi ya usawa wa kijinsia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 3:28


Katika kuelekea siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Machi 8 leo hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kunafanyika hafla maalum ya kuadhimisha siku hiyo ambayo mwaka huu imebeba maudhui “Kwa wanawake na wasichana wote: haki, usawa, uwezeshaji.” Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women Sima Bahous amesema ni wakati wa kutekeleza kwa vitendo ndoto ya azimio la Beijing miaka 30 iliyopita la kufanya usawa wa kijinsi kuwa hali halisiKwa upande wake Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres pamoja na kupongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kusongesha usawa wa kijinsia duniani amesemaNatts….“Hata hivyo, mafanikio haya yaliyopatikana kwa jitihada kubwa bado ni dhaifu na hayatoshi kabisa.Mateso ya muda mrefu, ukatili, ubaguzi na ukosefu wa usawa wa kiuchumi bado vinaathiri jamii zetu.Kila baada ya dakika kumi, mwanamke huuawa na mwenzi wake au mwanafamilia.”Ameongeza kuwa wanawake na wasichana milioni 612 wanaishi chini ya kivuli cha migogoro ya silaha ambapo haki zao mara nyingi huchukuliwa kama zisizo na thamani.Akitaja takwimu amesema chini ya theluthi mbili ya wanawake duniani wanashiriki katika soko la ajira na wale wanaoshiriki hulipwa mishahara ya chini kuliko wanaume.Hivyo ameonya kwamba“Kwa kasi hii, itachukua miaka 130 kutokomeza umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasichana.Amemesema badala ya kuingiza usawa wa haki kama jambo la kawaida, dunia inashuhudia kuenea kwa ubabe na chuki dhidi ya wanawake.Kwa muktadha huo amesistiza kwamba “Hatuwezi kukaa kimya wakati maendeleo yanaporudishwa nyuma. Lazima tupambane.”Akizungumzia sauti za vijana kushiriki katika harakati za usawa na haki za wanawake, kwenye hafla iliyofanyika mjini Geneva Uswisi kuadhimisha siku ya wanawake mwanafunzi kutoka Kenya James Mumo Nyumu amesisitiza kuwa hakuna nchi yoyote iliyotekeleza ahadi yao ya dunia isiyo na ukatili dhidi ya wanawake.Amesema “Maono ya Beijing yalikuwa ramani ya siku zijazo ambazo bado hatujazifikia kikamilifu,” alisema akiongeza kuwa “Nguvu kwa wanawake si tishio ni zawadi kwa jamii.”Hivyo amesisitiza kwamba“Kizazi changu kinadai hatua zaidi,” akitoa wito wa kuchukua hatua zaidi ya Beijing kwani“Kazi yetu haijakamilika.”

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 3:50


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 11, 2025 1:48


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

The Mike Wagner Show
Cork City's multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel is my guest with “What Happens in Cork”!

The Mike Wagner Show

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 54:50


The multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel based in Cork City, Ireland talks about his latest release “What Happens in Cork” featuring “Sleep Out on the Beach”, “The Time We Share”, “We Are the Rakes of Mallow”, “Poe Park 2am” and “Alright! Dynamite! Spiro!” along with his previous release “Living in the Land of Love”! Hank was born in Dayton, OH, raised in NYC and Mallow Co. in Cork, Ireland and currently based in Cork City, has performed thousands of shows from the North Pole to The Canary Islands, US, Europe, along with Princes Street, Open Kitchen, Small Town Talk;, performed with Shane McGowan, Mary Black, Christy Moore, Kila, Philemona Begley and Bono,  and celebrates 50 years in Ireland, 40 years as a musician in Cork City, 30 years in Monday night residency with  mandolin supremo Ray Barron and Charlies Bar, plus shares the stories behind the music! Check out the amazing Hank Wedel with his new release on all major platforms and www.linktr.ee/HankWedel today! #hankwedel #vocalist #guitarist #corkcity #whathappensincork #corkcityireland #ireland #daytonohio #newyorkcity #sleepoutonthebeach #thetimeweshare #mallowcounty #spiro #princesstreet #openkitchen #smalltowntalk #shanemcgowan #bono #raybarron #spreaker #iheartradio #spotify #applemusic #youtube #anchorfm #bitchute #rumble #mikewagner #themikewagnershow #mikewagnerhankwedel #themikewagnershowhankwedel

The Mike Wagner Show
Cork City's multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel is my guest with “What Happens in Cork”!

The Mike Wagner Show

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 44:00


The multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel based in Cork City, Ireland talks about his latest release “What Happens in Cork” featuring “Sleep Out on the Beach”, “The Time We Share”, “We Are the Rakes of Mallow”, “Poe Park 2am” and “Alright! Dynamite! Spiro!” along with his previous release “Living in the Land of Love”! Hank was born in Dayton, OH, raised in NYC and Mallow Co. in Cork, Ireland and currently based in Cork City, has performed thousands of shows from the North Pole to The Canary Islands, US, Europe, along with Princes Street, Open Kitchen, Small Town Talk;, performed with Shane McGowan, Mary Black, Christy Moore, Kila, Philemona Begley and Bono,  and celebrates 50 years in Ireland, 40 years as a musician in Cork City, 30 years in Monday night residency with  mandolin supremo Ray Barron and Charlies Bar, plus shares the stories behind the music! Check out the amazing Hank Wedel with his new release on all major platforms and www.linktr.ee/HankWedel today! #hankwedel #vocalist #guitarist #corkcity #whathappensincork #corkcityireland #ireland #daytonohio #newyorkcity #sleepoutonthebeach #thetimeweshare #mallowcounty #spiro #princesstreet #openkitchen #smalltowntalk #shanemcgowan #bono #raybarron #spreaker #iheartradio #spotify #applemusic #youtube #anchorfm #bitchute #rumble #mikewagner #themikewagnershow #mikewagnerhankwedel #themikewagnershowhankwedel

Habari za UN
Papua New Guinea: Tuhuma za uchawi dhidi ya wanawake zapatiwa  ‘muarobaini'

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 2:08


Kila mwaka, mamia ya wanawake nchini Papua New Guinea, taifa la visiwani katika bahari ya Pasifiki, hushutumiwa kimakosa kuwa ni wachawi. Matokeo yake hukumbwa na ukatili miongoni mwa wanajamii. Hata hivyo Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la Mpango wa Maendeleo duniani, UNDP nchini humo, limechukua hatua.Kiongozi mkubwa wa Kijiji chetu alifariki dunia, na tulipoenda kwenye maziko, ambapo kila mtu alisema sisi ni wachawi na tulikula moyo wake. Ni kauli ya Annabele, jina lake halisi limehifadhiwa kwa ajili ya usalama wake akielezea tuhuma zilizowakabili kwenye jamii yao ya jimbo la Enga nchini Papua New Guinea, hadi kushambuliwa kwa nondo za moto na nyumba zao kuteketezwa kwa moto. Video ya UNDP inamnukuu akisema kuwa walikuwa 9, ambapo wanne walifariki dunia na watano akiwemo Annabele, walinusurika, “kesho yake asubuhi Askofu na wenzake walifika, halikadhalika jeshi na polisi, na ndio walituokoa.” Askofu huyo Justine Soongie Dayosisi ya Wabag jimboni Enga anasema walipowachukua waliambiwa wahakikishe hawarudi kijijini, “sababu kubwa ya mtu kutuhumiwa ni jamii kukosa uelewa kuhusu chanzo cha kifo. Watu wengi hawafahamu kuwa mtu anaweza kufa kutokana na kiharusi. Watu wetu wa Enga watauliza ni nani amesababisha?” Annabelle baada ya kuokolewa alipelekwa hospitali na kupatiwa matibabu ambayo hata hivyo bado ana kovu na maumivu. Kisha walipelekwa nyumba salama zinazoendeshwa na Kanisa Katoliki kwa ufadhili wa UNDP, ambako waliishi kwa miezi takribani mitano wakipatiwa mavazi, malazi na chakula. Askofu Justine Soongie anasema,“baada ya miezi kadhaa hospitalini, tunarudi kwa familia na jamii na kuzungumza nao mara kadhaa. Tunawaelimisha kuwa ni kosa kumtuhumu mtu uchawi, kuna sheria, na hana pahala pengine pa kwenda, hivyo atarudi.” Jamii ilieleweshwa na Annabelle kwenye video anaonekana tayari yuko kijijini na sasa analima shamba na hata anasema hata mazao anayolima akivuna, anapika na wanajamii wanakula pamoja naye. 

Habari za UN
UN: Mwanamke au msichana mmoja aliuawa kila baada ya dakika 10 na mwenzi au ndugu 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2024 3:13


Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…

Habari za UN
Waraka kutoka kwa watoto: Kwenu watu wazima, kwa nini mnauruhusu mustakbali wetu kuwekwa rehani?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 2:20


Leo ni siku ya watoto duniani maudhui mwaka huu yakiwa "Kila mtoto, kila haki"na katika kuhakikisha sauti zao zinasikika kuhusu mustakbali wa utakao, shirika la Umoja wa Maataifa la kuhudumia watoto duniani UNICEF limewapa fursa ya kuandika barua kwenda kwa watu wazima kote duniani ili kutoa madukuduku yao na kutanabaisha wanachokitaka kwa ajili ya mustakbali wao. Hao ni baadhi tu ya makumi ya watoto walioandika barua , hawa ni kutoka Gaza, Tanzania na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC ambao walishika kalamu na karatasi kufikisha ujumbe wao kwa watu wazima wa dunia ya sasa iliyoghubikwa na changamoto lukuki zinazoweka rehani mustakbali wao.Kwa mujibu wa ripoti mpya ya UNICEF ya “Hali ya watoto duniani mwaka 2024: Mustakabali wa Utoto katika Ulimwengu Unaobadilika,” iliyotolewa leo sanjari na maadhimisho ya siku hii kuna masuala matatu makubwa ya kimataifa yatakatoathiri maisha ya watoto ifikapo 2050 na kuendelea. Mosi ni mabadiliko katika idadi ya watu, pili janga la mabadiliko ya tabianchi na migogoro na tatu teknolojiaUNICEF inasema yote haya ni changamoto na fursa ambazo watoto wanaweza kukabiliana nazo katika zama zijazo.Rafif mtoto mkimbizi wa ndani ameandika barua kutoka Palestina ambako vita imetamalaki, anasema“Ninatoka mjini Gaza na sasa nimefurushwa hadi Kusini mwa Gaza. kama watoto Ni haki yetu kuishi kwa usalama na kujenga mustakbali bora”Kutoka mashariki ya Kati hadi Afrika Mashariki kwa Steven akimulika afya“Na nianaandika kwenu kutoka Tanzania. Kwenye jamii yangu watoto wanaugua kila wakati , kwa nini? Huu ndio mustakbali wangu je unasikiliza?”Nako Congo DRC mitihani ni mingi, Andrea anasema“Nataka kushuhudia dunia ambayo kila mtoto anapendwa, dunia ambayo amani inashamiri ni raha na faraja. Napenda kuona hasira zinageuka na kuwa mazungumzo”Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiunga mkono suti hizo za watoto katika ujumbe wake amesema Katika Siku ya Watoto Duniani tunasherehekea washiriki wachanga zaidi wa familia yetu ya kibinadamu. Lakini leo pia ni wakati wa kutambua changamoto kubwa zinazowakabili watoto katika ulimwengu wetu uliogawanyika sana, wenye misukosuko na mara nyingi ulioshamiri ukatili.”Ripoti ya UNICEF imetoa wito wa kuwekeza katika elimu, miji endelevu na yenye mnepo kwa watoto, miundombinu inayohimili mabadiliko ya tabianchi, teknolojia, huduma muhimu na mifumo ya msaada wa kijamii na pia teknolojia iliyo salama kwa watoto ili kupambana na mzigo wa changamoto zinazowakabili.

Habari za UN
20 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti siku ya watoto duniani, na kwa kutambua siku hii tunamulika mikutano yote yanayoendelea kwa ajili ya haki za watoto na vijana, ambao wametoa ujumbe wao kutoka Baku nchini Azerbaijan na Denmark wakiwakilisha nchi zao.Leo ni siku ya watoto duniani maudhui mwaka huu yakiwa "Kila mtoto, kila haki"na katika kuhakikisha sauti zao zinasikika kuhusu mustakbali wa utakao, shirika la Umoja wa Maataifa la kuhudumia watoto duniani UNICEF limewapa fursa ya kuandika barua kwenda kwa watu wazima kote duniani ili kutoa madukuduku yao na kutanabaisha wanachokitaka kwa ajili ya mustakbali wao.Kama ulivyosikia katika taarifa yetu ya kwanza leo ni siku ya watoto duniani ikirejelea tarehe 20 Novemba mwaka 1954 kwa mara ya kwanza kabisa ilipoanzishwa na Umoja wa Mataifa kusongesha umoja na kujitambua miongoni mwa watoto duniani..Makala ikiwa leo ni siku ya watoto duniani, tunakupeleka Baku Azerbaijan katika mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi, COP29,  ambako Selina Jerobon amefuatilia mkutano wa watoto na vijana inayomulika mchango wao katika kuhakikisha mazingira bora.Mashinani katika kuadhimisha siku ya watoto duniani tunabisha hodi msitu wa Amazoni nchini Peru kwa mtoto Susan akitoa wito kwa dunia kuchukua hatua dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kulinda msitu huo kunusuru kizazi cha watoto wa sasa na wa vizazi vijavyo katika taifa hilo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!