Podcasts about Kila

  • 214PODCASTS
  • 1,099EPISODES
  • 20mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • May 28, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Kila

Show all podcasts related to kila

Latest podcast episodes about Kila

De Grote Vriendelijke Podcast
Aflevering 142: Update mei 2025 (m.m.v. Iven Cudogham)

De Grote Vriendelijke Podcast

Play Episode Listen Later May 28, 2025 63:03


Wie was Elsa Beskow? Moet Annie M.G. Schmidt postuum de P.C. Hooftprijs krijgen? Wat was de betekenis van de onlangs overleden schrijver Aidan Chambers? En waarom wil Iven Cudogham van Anansi de Spin een even bekend kinderboekpersonage maken als Dikkie Dik, nijntje en Kikker? Je hoort het allemaal in deze Grote Vriendelijke Update. Kinderboekrecensenten Jaap Friso (JaapLeest.nl) en Bas Maliepaard (Trouw) bespreken boeken, Bert Kranenbarg leest het kinderboekennieuws en Katinka Polderman vertelt in haar column over haar ervaringen als biebmoeder. Verwijzingen in deze aflevering Kaartverkoop Pakjesavond 2025 Vrijdag 30 mei 2025 start voor Vrienden van de Show de voorverkoop van kaarten voor De Grote Vriendelijke Pakjesavond. Die vindt plaats op zondagmiddag 23 november vanaf 16:30u in de Grote Zaal van TivoliVredenburg in Utrecht. Vanaf maandag 2 juni komen er kaarten in de algemene verkoop via de website van TivoliVredenburg. Anansi Anansi de Spin heeft een eigen website. Meer informatie over de tentoonstelling in de kunsthal en de presentatie van het zevende prentenboek vind je hier. Elsa Beskow Dit is de officiële website over Elsa Beskow, met rechts bovenin de menubalk een optie voor Engelstalige informatie. En hier vind je de prentenboeken die in het Nederlands leverbaar zijn. Opinie over Annie Het opiniestuk van Kila van der Starre over Annie M.G. Schmidt lees je op de website van Trouw. Aidan Chambers Bezoek de eigen website van Aidan Chambers of bekijk de lezing die hij in 2014 in Nederland gaf. En hier bekijk je de trailer van 'Été 85', de verfilming van 'Je moet dansen op mijn graf', te zien op Disney+. Boekentips 'In de hoek' Pieter van den Heuvel Gottmer 4+ 'Beesten' Ingvild Bjerkeland Vertaling: Kim Liebrand Volt 11+ 'Vlieg! zegt de vloer' Eva Gerlach Tekeningen: Trui Chielens Querido 12+

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili na Maana Zake

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later May 10, 2025 39:14


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

RTÉ - Arena Podcast
Kila & Brass - Arena special

RTÉ - Arena Podcast

Play Episode Listen Later May 6, 2025 55:15


Kila & Brass - Arena special

Viral Jesus
Purpose in A World That Doesn't Seem To Care

Viral Jesus

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 47:00


Welcome back to What If I'm Wrong? A show where we might not give you the answers, but we will ask some really good questions. On today's episode Kila Johnson joins us for submission discussions. Kila is a lifestyle content creator passionate about sharing her faith and the incredible ways God has moved in her life. Through everyday moments and personal stories, she hopes to inspire and encourage others to see His goodness in their own journey. This month, we're diving deep into passion—What are you so passionate about that you are willing to suffer for and through?—and this week we are discussing: Purpose in a World that Doesn't Seem to Care. Heather shares a powerful reframe on the meaning of hope—not just as a feeling or expectation for something good, but as a predictor of resilience. Backed by over 2,000 research studies, she explains that people who choose to hope—whether in the middle of divorce, addiction, loneliness, or waiting—are the ones most likely to thrive and endure. Join host Heather Thompson Day and submission specialist Haley as they explore finding purpose in a dark and confusing world. In Day in the Bible, Heather highlights a profound truth: sometimes God is waiting on YOU! Have a story to share? Email us at whatifimwrongpod@gmail.com. Host Bio:  Dr. Heather Thompson Day is an interdenominational speaker, an ECPA bestseller, and has been a contributor for Religion News Service, Christianity Today, Newsweek and the Barna Group.  Heather was a communication professor for 13 years teaching both graduate and undergraduate students in Public Speaking, Persuasion, and Social Media. She is now the founder of It Is Day Ministries, a nonprofit organization that trains churches, leaders, and laypeople in what Heather calls Cross Communication, a gospel centered communication approach that points you higher, to the cross, every time you open your mouth.  Heather's writing has been featured on outlets like the Today Show, and the National Communication Association. She has been interviewed by BBC Radio Live and The Wall Street Journal.  She believes her calling is to stand in the gaps of our churches. She is the author of 9 books; including It's Not Your Turn, I'll See You Tomorrow, and What If I'm Wrong? Heather's Social Media Heather's Instagram Heather's Website  Heather's TikTok Heather's YouTube  Haley's Social media Haley's Instagram Kila's Social Media Kila's Instagram What If I'm Wrong Social Media What If I'm Wrong Instagram  What If I'm Wrong YouTube What If I'm Wrong Tik Tok

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 25:48


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Shemasi Cassian Lebba kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Tanzania, akijibu swali hili kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka? L'articolo Je, unafahamu kwanini Pasaka hubadirika tarehe kila mwaka? proviene da Radio Maria.

SBS Swahili - SBS Swahili
Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 8:13


Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.

Liberec
Zálety Aleny Zárybnické: Zhubnul jsem, ale kila navíc umím zahrát, směje se herec Jan Vápeník

Liberec

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 34:51


Ostrému noži a krásné ženě se nikdy nesměje, obou se drží. A starého pána, myšleno stárnoucího Jana Wericha, nekopíruje. Na Osvobozeném divadle obdivuje vytříbenost jazyka a zásadní sdělení, které si divák zapíše do hlavy a odnese do života. Jan Vápeník, královéhradecký herec a muzikant, opora Klicperova divadla. Znáte ho bezpochyby ze seriálu ZOO nebo Slunečná.

Hradec Králové
Zálety Aleny Zárybnické: Zhubnul jsem, ale kila navíc umím zahrát, směje se herec Jan Vápeník

Hradec Králové

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 34:51


Ostrému noži a krásné ženě se nikdy nesměje, obou se drží. A starého pána, myšleno stárnoucího Jana Wericha, nekopíruje. Na Osvobozeném divadle obdivuje vytříbenost jazyka a zásadní sdělení, které si divák zapíše do hlavy a odnese do života. Jan Vápeník, královéhradecký herec a muzikant, opora Klicperova divadla. Znáte ho bezpochyby ze seriálu ZOO nebo Slunečná.

Changu Chako, Chako Changu
Historia ya siku ya wanawake duniani machi 8 kila mwaka

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Mar 25, 2025 19:59


Katika Makala haya mtangazji wa ko Ali Bilali anakuletea Historia ya siku ya wanawake duniani ambayo husherehekewa kila ifikapo machi 8 ya kila mwaka

SBS Swahili - SBS Swahili
Islamophobia in everyday life - Kunyanyaswa kwa wa Islamu katika maisha ya kila siku

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 7:21


Against the backdrop of the Israel-Hamas war, incidents of Islamophobia in Australia have surged – whether verbal, physical or online. What's the lasting impact on victims, and what can be done? - Kufuatia vita vya Israel-Hamas, matukio yawa Islamu kunyanyaswa yame ongezeka nchini Australia, iwe kwa maneno, kimwili au mtandaoni. Athari ya kudumu kwa wa athiriwa ni gani, na nini kinaweza fanywa?

Habari za UN
12 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 12, 2025 11:18


Hii leo jaridani tunaangazia mpango mpya wa UN80, unaolenga kuimarisha kazi na ufanisi wa chombo hicho ambacho mwaka huu kinatimiza miaka 80, na yaliyojiri katika mkutano wa CSW69. Makala na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu, kulikoni?Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amezindua Mpango mpya wa UN80, unaolenga kuimarisha kazi na ufanisi wa chombo hicho ambacho mwaka huu kinatimiza miaka 80 tangu kuanzishwa kwake huku akisisitiza umuhimu wa mshikamano wa kimataifa..Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW69 ukiendelea hapa New York Marekani nchini Sudan Kusini wanawake na wasichana wanaendelea kuonja shubiri ya vita, wakibakwa, kuuawa, kukosa elimu na kupitia changamoto nyingine lukuki sababu ya vita. Mmoja wa washiriki wa mkutano wa CSW69 kutoka Sudan Kusini akizungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili amesema sasa imetosha amekuja na ujumbe mmoja tu, anataka jinamizi la vita lazima likome.Makala tukisalia hapa hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa Jijini New York, Marekani ambako Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, (CSW69) umeingia siku ya tatu, nimezungumza na Nuria Mshare ambaye amewakilisha taasisi ya Haki Elimu ya nchini Tanzania.Na Katika mashinani fursa ni yake Janet Zebedayo Mbene kutoka Tanzania aliyehududhuria mkutano huu hapa makao makuu, kama mwenyekiti wa shirika lisilo la kiserikali la mtandao wa uwezeshaji wa wanawake Tanzania na angependa kuwashauri wanawake na wasichana wanaopitia changamoto wajikite katika fursa mbalimbali. Kila kitu kina changamoto. Wajitie moyo na waondoe uoga, na kwa kile kidogo walicho nacho wanaweza kujiinua na kuinua jamii kwa ujumla.Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!  

Habari za UN
UN: Sasa ni wakati wa kutimiza ahadi ya usawa wa kijinsia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 3:28


Katika kuelekea siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Machi 8 leo hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kunafanyika hafla maalum ya kuadhimisha siku hiyo ambayo mwaka huu imebeba maudhui “Kwa wanawake na wasichana wote: haki, usawa, uwezeshaji.” Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women Sima Bahous amesema ni wakati wa kutekeleza kwa vitendo ndoto ya azimio la Beijing miaka 30 iliyopita la kufanya usawa wa kijinsi kuwa hali halisiKwa upande wake Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres pamoja na kupongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kusongesha usawa wa kijinsia duniani amesemaNatts….“Hata hivyo, mafanikio haya yaliyopatikana kwa jitihada kubwa bado ni dhaifu na hayatoshi kabisa.Mateso ya muda mrefu, ukatili, ubaguzi na ukosefu wa usawa wa kiuchumi bado vinaathiri jamii zetu.Kila baada ya dakika kumi, mwanamke huuawa na mwenzi wake au mwanafamilia.”Ameongeza kuwa wanawake na wasichana milioni 612 wanaishi chini ya kivuli cha migogoro ya silaha ambapo haki zao mara nyingi huchukuliwa kama zisizo na thamani.Akitaja takwimu amesema chini ya theluthi mbili ya wanawake duniani wanashiriki katika soko la ajira na wale wanaoshiriki hulipwa mishahara ya chini kuliko wanaume.Hivyo ameonya kwamba“Kwa kasi hii, itachukua miaka 130 kutokomeza umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasichana.Amemesema badala ya kuingiza usawa wa haki kama jambo la kawaida, dunia inashuhudia kuenea kwa ubabe na chuki dhidi ya wanawake.Kwa muktadha huo amesistiza kwamba “Hatuwezi kukaa kimya wakati maendeleo yanaporudishwa nyuma. Lazima tupambane.”Akizungumzia sauti za vijana kushiriki katika harakati za usawa na haki za wanawake, kwenye hafla iliyofanyika mjini Geneva Uswisi kuadhimisha siku ya wanawake mwanafunzi kutoka Kenya James Mumo Nyumu amesisitiza kuwa hakuna nchi yoyote iliyotekeleza ahadi yao ya dunia isiyo na ukatili dhidi ya wanawake.Amesema “Maono ya Beijing yalikuwa ramani ya siku zijazo ambazo bado hatujazifikia kikamilifu,” alisema akiongeza kuwa “Nguvu kwa wanawake si tishio ni zawadi kwa jamii.”Hivyo amesisitiza kwamba“Kizazi changu kinadai hatua zaidi,” akitoa wito wa kuchukua hatua zaidi ya Beijing kwani“Kazi yetu haijakamilika.”

Habari RFI-Ki
Kila Ijumaa ni mada huru ambapo unatoa maoni kuhusu ulichokiona wiki hii

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 10:02


Leo ni Ijumaa ,,siku ya mada huru kwenye habari rafiki  ambapo Tunakupa nafasi ya kuzungumzia suala lolote ambalo limetokea nchini mwako wiki hii au kile ambacho umekisikia kwenye matangazo yetu ya juma hili

Habari RFI-Ki
Kila Ijumaa ni mada huru ambapo unatoa maoni kuhusu ulichokiona wiki hii

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 10:02


Leo ni Ijumaa ,,siku ya mada huru kwenye habari rafiki  ambapo Tunakupa nafasi ya kuzungumzia suala lolote ambalo limetokea nchini mwako wiki hii au kile ambacho umekisikia kwenye matangazo yetu ya juma hili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 3:50


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Habari RFI-Ki
Mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuzingatia usalama wa DRC

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 10:00


Mkutano wa kila mwaka wa viongozi wa Afrika umeanza rasmi jijini Addis Ababa, #Ethiopia ambapo maswala muhimu ikiwemo usalama mashariki mwa #DRC, mapinduzi ya kijeshi na vita dhidi ya makundi ya kijihadi yakitarajiwa kugubika mkutano huu.Tulimuuliza mskilizaji natarajia nini kipya kutoka kwa viongozi wa AU? na iwapo anafikiri viongozi wameshindwa kumaliza changamoto za bara hili..

Habari RFI-Ki
Mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuzingatia usalama wa DRC

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 10:00


Mkutano wa kila mwaka wa viongozi wa Afrika umeanza rasmi jijini Addis Ababa, #Ethiopia ambapo maswala muhimu ikiwemo usalama mashariki mwa #DRC, mapinduzi ya kijeshi na vita dhidi ya makundi ya kijihadi yakitarajiwa kugubika mkutano huu.Tulimuuliza mskilizaji natarajia nini kipya kutoka kwa viongozi wa AU? na iwapo anafikiri viongozi wameshindwa kumaliza changamoto za bara hili..

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 11, 2025 1:48


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali za Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 1:51


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Nyumba ya Sanaa
Tamasha la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari Zanzibar

Nyumba ya Sanaa

Play Episode Listen Later Feb 1, 2025 20:13


Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi Februari. 

Čelisti
Nicole Kidman úspěšně spojila erotiku a umenie. Dramatu Babygirl ale chybí kila a kila lubrikáče

Čelisti

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 40:40


Proskleným studiem Radia Wave tentokrát zněla Sexy hafanana, protože Aleš, Vítek a Tonda se v Čelistech pověnovali erotickému dramatu Babygirl s Nicole Kidman. Film o CEO technologické korporace a jejím románku s mladým stážistou ale podle nich stimuluje spíš intelekt než erotogenní zóny.Všechny díly podcastu Čelisti můžete pohodlně poslouchat v mobilní aplikaci mujRozhlas pro Android a iOS nebo na webu mujRozhlas.cz.

Radio Wave
Čelisti: Nicole Kidman úspěšně spojila erotiku a umenie. Dramatu Babygirl ale chybí kila a kila lubrikáče

Radio Wave

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 40:40


Proskleným studiem Radia Wave tentokrát zněla Sexy hafanana, protože Aleš, Vítek a Tonda se v Čelistech pověnovali erotickému dramatu Babygirl s Nicole Kidman. Film o CEO technologické korporace a jejím románku s mladým stážistou ale podle nich stimuluje spíš intelekt než erotogenní zóny.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali na Maisha

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 2:49


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Jioni - Voice of America
Jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF wanashutumiana kila mmoja kwa kushambulia kiwanda cha kusafisha mafuta Khartoum huko Al-Jaili. - Januari 23, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali Na Maisha

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jan 20, 2025 2:44


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

The Mike Wagner Show
Cork City's multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel is my guest with “What Happens in Cork”!

The Mike Wagner Show

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 44:00


The multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel based in Cork City, Ireland talks about his latest release “What Happens in Cork” featuring “Sleep Out on the Beach”, “The Time We Share”, “We Are the Rakes of Mallow”, “Poe Park 2am” and “Alright! Dynamite! Spiro!” along with his previous release “Living in the Land of Love”! Hank was born in Dayton, OH, raised in NYC and Mallow Co. in Cork, Ireland and currently based in Cork City, has performed thousands of shows from the North Pole to The Canary Islands, US, Europe, along with Princes Street, Open Kitchen, Small Town Talk;, performed with Shane McGowan, Mary Black, Christy Moore, Kila, Philemona Begley and Bono,  and celebrates 50 years in Ireland, 40 years as a musician in Cork City, 30 years in Monday night residency with  mandolin supremo Ray Barron and Charlies Bar, plus shares the stories behind the music! Check out the amazing Hank Wedel with his new release on all major platforms and www.linktr.ee/HankWedel today! #hankwedel #vocalist #guitarist #corkcity #whathappensincork #corkcityireland #ireland #daytonohio #newyorkcity #sleepoutonthebeach #thetimeweshare #mallowcounty #spiro #princesstreet #openkitchen #smalltowntalk #shanemcgowan #bono #raybarron #spreaker #iheartradio #spotify #applemusic #youtube #anchorfm #bitchute #rumble #mikewagner #themikewagnershow #mikewagnerhankwedel #themikewagnershowhankwedel

The Mike Wagner Show
Cork City's multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel is my guest with “What Happens in Cork”!

The Mike Wagner Show

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 54:50


The multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel based in Cork City, Ireland talks about his latest release “What Happens in Cork” featuring “Sleep Out on the Beach”, “The Time We Share”, “We Are the Rakes of Mallow”, “Poe Park 2am” and “Alright! Dynamite! Spiro!” along with his previous release “Living in the Land of Love”! Hank was born in Dayton, OH, raised in NYC and Mallow Co. in Cork, Ireland and currently based in Cork City, has performed thousands of shows from the North Pole to The Canary Islands, US, Europe, along with Princes Street, Open Kitchen, Small Town Talk;, performed with Shane McGowan, Mary Black, Christy Moore, Kila, Philemona Begley and Bono,  and celebrates 50 years in Ireland, 40 years as a musician in Cork City, 30 years in Monday night residency with  mandolin supremo Ray Barron and Charlies Bar, plus shares the stories behind the music! Check out the amazing Hank Wedel with his new release on all major platforms and www.linktr.ee/HankWedel today! #hankwedel #vocalist #guitarist #corkcity #whathappensincork #corkcityireland #ireland #daytonohio #newyorkcity #sleepoutonthebeach #thetimeweshare #mallowcounty #spiro #princesstreet #openkitchen #smalltowntalk #shanemcgowan #bono #raybarron #spreaker #iheartradio #spotify #applemusic #youtube #anchorfm #bitchute #rumble #mikewagner #themikewagnershow #mikewagnerhankwedel #themikewagnershowhankwedel

The Mike Wagner Show
Cork City's multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel is my guest with “What Happens in Cork”!

The Mike Wagner Show

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 54:51


The multi-talented vocalist/guitarist Hank Wedel based in Cork City, Ireland talks about his latest release “What Happens in Cork” featuring “Sleep Out on the Beach”, “The Time We Share”, “We Are the Rakes of Mallow”, “Poe Park 2am” and “Alright! Dynamite! Spiro!” along with his previous release “Living in the Land of Love”! Hank was born in Dayton, OH, raised in NYC and Mallow Co. in Cork, Ireland and currently based in Cork City, has performed thousands of shows from the North Pole to The Canary Islands, US, Europe, along with Princes Street, Open Kitchen, Small Town Talk;, performed with Shane McGowan, Mary Black, Christy Moore, Kila, Philemona Begley and Bono,  and celebrates 50 years in Ireland, 40 years as a musician in Cork City, 30 years in Monday night residency with  mandolin supremo Ray Barron and Charlies Bar, plus shares the stories behind the music! Check out the amazing Hank Wedel with his new release on all major platforms and www.linktr.ee/HankWedel today! #hankwedel #vocalist #guitarist #corkcity #whathappensincork #corkcityireland #ireland #daytonohio #newyorkcity #sleepoutonthebeach #thetimeweshare #mallowcounty #spiro #princesstreet #openkitchen #smalltowntalk #shanemcgowan #bono #raybarron #spreaker #iheartradio #spotify #applemusic #youtube #anchorfm #bitchute #rumble #mikewagner #themikewagnershow #mikewagnerhankwedel #themikewagnershowhankwedelBecome a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/the-mike-wagner-show--3140147/support.

Eli Goldsmith Inspired Flow!
Remembering the Chorban to Chibur = Connection - 10 Tevet to Shabbos Chazak & Moshiach! Office Flow!

Eli Goldsmith Inspired Flow!

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 32:06


Learning in the Office Weekly we discussed The 10th Tevet, Hilula Yahrzeit of Rebbe Natan of Breslov, Shabbat Chazak, Teshuva of Shovavim and Bringing the Connection back in all way to Hashem, Beit Hamikdash, Shalom Bayit, & Mashiach... PLEASE KEEP

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Methali na Maisha

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 3:39


Safari ya kuchunguza methali za Kiswahili - kutoka maana ya juu hadi hekima ya ndani. Kila kipindi kinatufunulia ukweli uliofichika kwenye maneno ya wahenga, tukielewa matumizi yake katika maisha ya leo. Jiunge nasi tukichambua busara za jadi zinazoendelea kuongoza maisha yetu.

Eli Goldsmith Inspired Flow!
Building the Vessel for the Tzaddick's Torah Light & New Souls - Likutei Moharan 36 5-6

Eli Goldsmith Inspired Flow!

Play Episode Listen Later Jan 7, 2025 19:57


Dedicated learning Refuah Shleima for Chaim Shlomo ben Kila aka Dr. Peter and Ariel ben Dorit aka Tom beloved members of Shirat David Efrat ❤️ Reviewed last week's lesson the deepest of the deep from Rebbe Nachman ben Feiga zya and our generation's importance in fixing the Bris... Tikkun Brit Kodesh to receive the words of the Tzaddik and bring light United Souls to our family & world... Lkovod Hilula of Rebbe Nosson of Breslov 10th Tevet... United Souls - Extracts from New Book Section 2 - by Eli Goldsmith - 49 - Joy of Living in Chaos, Flood of Truth, Love & Kindness, Hardest of Tests, Even in London… Keep Going, Subdue & Transform! https://eligoldsmith.substack.com/p/united-souls-extracts-from-new-book-0e4 #unitedsouls #truth #love #war #london #keepgoing #transform #chanukah #2024 #2025...

Habari za UN
Papua New Guinea: Tuhuma za uchawi dhidi ya wanawake zapatiwa  ‘muarobaini'

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 2:08


Kila mwaka, mamia ya wanawake nchini Papua New Guinea, taifa la visiwani katika bahari ya Pasifiki, hushutumiwa kimakosa kuwa ni wachawi. Matokeo yake hukumbwa na ukatili miongoni mwa wanajamii. Hata hivyo Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la Mpango wa Maendeleo duniani, UNDP nchini humo, limechukua hatua.Kiongozi mkubwa wa Kijiji chetu alifariki dunia, na tulipoenda kwenye maziko, ambapo kila mtu alisema sisi ni wachawi na tulikula moyo wake. Ni kauli ya Annabele, jina lake halisi limehifadhiwa kwa ajili ya usalama wake akielezea tuhuma zilizowakabili kwenye jamii yao ya jimbo la Enga nchini Papua New Guinea, hadi kushambuliwa kwa nondo za moto na nyumba zao kuteketezwa kwa moto. Video ya UNDP inamnukuu akisema kuwa walikuwa 9, ambapo wanne walifariki dunia na watano akiwemo Annabele, walinusurika, “kesho yake asubuhi Askofu na wenzake walifika, halikadhalika jeshi na polisi, na ndio walituokoa.” Askofu huyo Justine Soongie Dayosisi ya Wabag jimboni Enga anasema walipowachukua waliambiwa wahakikishe hawarudi kijijini, “sababu kubwa ya mtu kutuhumiwa ni jamii kukosa uelewa kuhusu chanzo cha kifo. Watu wengi hawafahamu kuwa mtu anaweza kufa kutokana na kiharusi. Watu wetu wa Enga watauliza ni nani amesababisha?” Annabelle baada ya kuokolewa alipelekwa hospitali na kupatiwa matibabu ambayo hata hivyo bado ana kovu na maumivu. Kisha walipelekwa nyumba salama zinazoendeshwa na Kanisa Katoliki kwa ufadhili wa UNDP, ambako waliishi kwa miezi takribani mitano wakipatiwa mavazi, malazi na chakula. Askofu Justine Soongie anasema,“baada ya miezi kadhaa hospitalini, tunarudi kwa familia na jamii na kuzungumza nao mara kadhaa. Tunawaelimisha kuwa ni kosa kumtuhumu mtu uchawi, kuna sheria, na hana pahala pengine pa kwenda, hivyo atarudi.” Jamii ilieleweshwa na Annabelle kwenye video anaonekana tayari yuko kijijini na sasa analima shamba na hata anasema hata mazao anayolima akivuna, anapika na wanajamii wanakula pamoja naye. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Nini hutokea unapo itwa kuhudumu katika baraza la waamuzi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 26, 2024 13:35


Kila raia wa Australia ambaye yuko katika sajili ya kupiga kura, anaweza itwa kuhudumu katika baraza la waamuzi, hatua inayo julikana pia kama wajibu wa baraza la waamuzi.

Habari za UN
UN: Mwanamke au msichana mmoja aliuawa kila baada ya dakika 10 na mwenzi au ndugu 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2024 3:13


Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…

Habari za UN
20 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti siku ya watoto duniani, na kwa kutambua siku hii tunamulika mikutano yote yanayoendelea kwa ajili ya haki za watoto na vijana, ambao wametoa ujumbe wao kutoka Baku nchini Azerbaijan na Denmark wakiwakilisha nchi zao.Leo ni siku ya watoto duniani maudhui mwaka huu yakiwa "Kila mtoto, kila haki"na katika kuhakikisha sauti zao zinasikika kuhusu mustakbali wa utakao, shirika la Umoja wa Maataifa la kuhudumia watoto duniani UNICEF limewapa fursa ya kuandika barua kwenda kwa watu wazima kote duniani ili kutoa madukuduku yao na kutanabaisha wanachokitaka kwa ajili ya mustakbali wao.Kama ulivyosikia katika taarifa yetu ya kwanza leo ni siku ya watoto duniani ikirejelea tarehe 20 Novemba mwaka 1954 kwa mara ya kwanza kabisa ilipoanzishwa na Umoja wa Mataifa kusongesha umoja na kujitambua miongoni mwa watoto duniani..Makala ikiwa leo ni siku ya watoto duniani, tunakupeleka Baku Azerbaijan katika mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi, COP29,  ambako Selina Jerobon amefuatilia mkutano wa watoto na vijana inayomulika mchango wao katika kuhakikisha mazingira bora.Mashinani katika kuadhimisha siku ya watoto duniani tunabisha hodi msitu wa Amazoni nchini Peru kwa mtoto Susan akitoa wito kwa dunia kuchukua hatua dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi kulinda msitu huo kunusuru kizazi cha watoto wa sasa na wa vizazi vijavyo katika taifa hilo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Habari za UN
Waraka kutoka kwa watoto: Kwenu watu wazima, kwa nini mnauruhusu mustakbali wetu kuwekwa rehani?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 2:20


Leo ni siku ya watoto duniani maudhui mwaka huu yakiwa "Kila mtoto, kila haki"na katika kuhakikisha sauti zao zinasikika kuhusu mustakbali wa utakao, shirika la Umoja wa Maataifa la kuhudumia watoto duniani UNICEF limewapa fursa ya kuandika barua kwenda kwa watu wazima kote duniani ili kutoa madukuduku yao na kutanabaisha wanachokitaka kwa ajili ya mustakbali wao. Hao ni baadhi tu ya makumi ya watoto walioandika barua , hawa ni kutoka Gaza, Tanzania na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC ambao walishika kalamu na karatasi kufikisha ujumbe wao kwa watu wazima wa dunia ya sasa iliyoghubikwa na changamoto lukuki zinazoweka rehani mustakbali wao.Kwa mujibu wa ripoti mpya ya UNICEF ya “Hali ya watoto duniani mwaka 2024: Mustakabali wa Utoto katika Ulimwengu Unaobadilika,” iliyotolewa leo sanjari na maadhimisho ya siku hii kuna masuala matatu makubwa ya kimataifa yatakatoathiri maisha ya watoto ifikapo 2050 na kuendelea. Mosi ni mabadiliko katika idadi ya watu, pili janga la mabadiliko ya tabianchi na migogoro na tatu teknolojiaUNICEF inasema yote haya ni changamoto na fursa ambazo watoto wanaweza kukabiliana nazo katika zama zijazo.Rafif mtoto mkimbizi wa ndani ameandika barua kutoka Palestina ambako vita imetamalaki, anasema“Ninatoka mjini Gaza na sasa nimefurushwa hadi Kusini mwa Gaza. kama watoto Ni haki yetu kuishi kwa usalama na kujenga mustakbali bora”Kutoka mashariki ya Kati hadi Afrika Mashariki kwa Steven akimulika afya“Na nianaandika kwenu kutoka Tanzania. Kwenye jamii yangu watoto wanaugua kila wakati , kwa nini? Huu ndio mustakbali wangu je unasikiliza?”Nako Congo DRC mitihani ni mingi, Andrea anasema“Nataka kushuhudia dunia ambayo kila mtoto anapendwa, dunia ambayo amani inashamiri ni raha na faraja. Napenda kuona hasira zinageuka na kuwa mazungumzo”Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiunga mkono suti hizo za watoto katika ujumbe wake amesema Katika Siku ya Watoto Duniani tunasherehekea washiriki wachanga zaidi wa familia yetu ya kibinadamu. Lakini leo pia ni wakati wa kutambua changamoto kubwa zinazowakabili watoto katika ulimwengu wetu uliogawanyika sana, wenye misukosuko na mara nyingi ulioshamiri ukatili.”Ripoti ya UNICEF imetoa wito wa kuwekeza katika elimu, miji endelevu na yenye mnepo kwa watoto, miundombinu inayohimili mabadiliko ya tabianchi, teknolojia, huduma muhimu na mifumo ya msaada wa kijamii na pia teknolojia iliyo salama kwa watoto ili kupambana na mzigo wa changamoto zinazowakabili.

Habari za UN
Simulizi ya Ombeni baada ya kutoroka waasi na kurejea uraiani huko DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 6, 2024 2:04


Harakati za ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC za kunasua watoto na vijana wanaotumikishwa vitani zinaendelea na tukio la hivi karibuni zaidi ni la kijana.Katika video ya MONUSCO iliyochapishwa kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Ombeni anasimulia jinsi waasi wa FDLR mashariki mwa DRC walivyowakamata msituni."Tulikuwa vijana watanoFDLR walitukamata na kutupeleka msituni. Maisha ilikuwa ngumu sana na hatukuweza kutoroka"Kazi wanatumikishwa bila mshahara na zaidi ya yote."Kila saa ni mateso, kazi mingi bila malipo."Alitumikishwa msituni kwa miaka minane, akionesha makovu ya vipigo alivyopatiwa."Tuliteseka sana, tulitumikishwa kwa muda wa miaka minane, tukachapwa viboko, tuliumizwa sana na kubaki na majeraha"Lakini siku moj aliweza kutoroka. Akiwa Kibirizi akamweleza mkubwa wake ya kwamba.." Siku moja nikamwambia mkubwa wangu naenda kusalamia rafiki yangu, wakati huo tukapata nafasi ya kutoroka."Katika harakati hizo akakutana na MONUSCO. Anasema kwamba, "Njiani nikakutana na wanajeshi wa MONUSCO, nikainua bunduki juu na kujisalimisha, nikisindikizwa na mkubwa wao nikaeleza kile tulichopitia"Sasa Ombeni anashiriki programu za kumjumuisha tena kwenye jamii, DDR-S inayondeshwa na MONUSCO huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini.

Habari za UN
UN: Hali si hali tena Gaza vifo vyatawala hospitali na kwa raia hata mkate ni adimu kupatikana

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 25, 2024 1:49


Hali Gaza inaendelea kuwa tete wakati ucheleweshwji wa kuhamisha wagonjwa hususan watoto wanaohitaji msaada wa haraka wa huduma za afya imekuwa ni hukumu ya kifo kwao huku maelfu ya watu wakiendelea kukosa mahitaji ya muhimu ya kila siku ikiwemo chakula kama mkate, yameonya leo mashirika ya Umoja wa Mataifa.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limeonya kwamba idadi ya watoto wanaohamishwa Gaza kwa ajili ya huduma za dharura za matibabu imeshuka sana hadi kufikia mtoto mmoja kwa siku na kusema kiwango hiki kikiendelea itachukua zaidi ya miaka 7 kuhamisha watoto 2500 wanaohitaji huduma ya dharura ya matibabu.Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswis msemaji wa UNICEF James Elder amesema “matokeo yake watoto wanakufa Gaza sio tu kutokana na mabomu na risasi na makombora yanayofurusmishwa lakini kwa sababu hata kama miujiza inatokea , hata kama mabomu yanalipuka na nyumba kuporomoka, na vifo kuongezeka watoto wananusurika, lakini kisha wanazuiliwa kuondoka Gaza Kwenda kupokea huduma za afya zitakazookoa maisha yao.”Ameongeza kuwa tangu Januari hadi Mei mwaka huu kwa wastan watoto 296 walihamishwa kwa mwezi kwenda kupata matibabu lakini tangu kufungwa kivuko cha Rafah idadi imeshuka hadi watoto 22 kwa mwezi.Kwa upande wake shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA linasema maisha ya kawaida yanazidi kuwa jinamizi kwani kukidhi mahitaji ya msingi kama chakula ni mtihani mkubwa wengi mathalani katika mji wa Deir al-Balah hata mkate ambao ni chakula kikuu kupatikana ni changamoto,Kila mtu katika Ukanga wa Gaza anakabiliwa na hatari ya baa la njaa kutokana na kuendelea kwa mashambulizi ya mabomu, ghasia, kuharibiwa kwa mashamba na wahudumu wa kibinadamu kushindwa kuwafikia wenye uhitaji.Wataalam wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu nao wamesema wanahofia hali mbaya ya Wapalestina wenye ulemavu ambao wamekwama Gaza, wakionya kwamba watu hao wenye ulemavu wanakabiliwa na hatari za ulinzi ikiwemo kutoepuka kifo na majeraha wakati wa mashambulizi ya vikosi vya Israel na hili ni janga juu ya janga wamesema.Nalo shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA likimulika Ukingo wa Magharibi limesema “Makumi ya jamii zinakabiliwa na ongezeko la mashambulizi na vikwazo vya kufikia ardhi yao wakati wa mavuno ya mizeituni ya mwaka huu. Kati ya matukio yote yanayohusiana na walowezi, matukio 104 yamesababisha hasara au uharibifu mkubwa wa mali tangu kuanza kwa mwezi huu wa Oktoba ”.

Habari za UN
21 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa COP16 katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia na ufugaji nyuki Turakana nchini Kenya. Pia tunakupeleka nchini Somalia kufutilia programu wa WFP wa mlo shuleni na mashinani inatupeleka nchini Lebanon.Mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa bayonuai (COP16) umeng'oa nanga leo katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia ambapo mataifa 196 yatajadili jinsi ya kusitisha na kubadili mwelekeo wa kudorora kwa ulimwengu wa asili.Kila siku, mamilioni ya watoto kote ulimwenguni huenda shule wakiwa na njaa, wengi wao wakiteseka na utapiamlo sugu ambao huathiri ukuaji wa kiakili na utendaji wao katika masomo. Wanaobahatika huweza tu kumaliza masomo yao na kufanikiwa maishani kutokana na programu ya ‘mlo ya shuleni' inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani (WFP). Mfano wa wanufaika hao ni El-Khidir Daloum, Mkurugenzi wa sasa wa WFP nchini Somalia.Makala inatupeleka Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame ambako mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Mashinani fursa ni yake Waffiyah Diyah kutoka Lebanon ambaye ni muathirika wa vita vilivyolazimisha maelfu ya watu kufangasha viragoanaelezea hali ya familia yake baada ya kukimbia mashambulizi na kupoteza kila kitu, lakini sasa anapokea msaada kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM).Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Mlo shuleni ulibadilisha maisha yangu- Mkurugenzi wa WFP Somalia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 1:52


Kila siku, mamilioni ya watoto kote ulimwenguni huenda shule wakiwa na njaa, wengi wao wakiteseka na utapiamlo sugu ambao huathiri ukuaji wa kiakili na utendaji wao katika masomo. Wanaobahatika huweza tu kumaliza masomo yao na kufanikiwa maishani kutokana na programu ya ‘mlo ya shuleni' inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani (WFP). Mfano wa wanufaika hao ni El-Khidir Daloum, Mkurugenzi wa sasa wa WFP nchini Somalia. "Mimi ni zao la mlo wa shule," hayo ni maneno ya El-Khidir Daloum ambaye ana shukrani tele kwa WFP kwa kuendesha programu ya ‘mlo shuleni' iliyomfaidisha  alipokuwa mwanafunzi. Hivi sasa, akiwa Mkurugenzi wa WFP nchini Somalia, Daloum ameweka dhamira ya kazi yake kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wote. Je Daloum aliifahamu vipi programu ya mlo shuleni ya WFP kwa mara ya kwanza?“Tulipofika pale, tukakuta ni shule ya bweni, wakati huo wazazi wetu hawangeweza kugharamia shule hiyo. Kwa hivyo, shule ilifanya ushirikiano kati ya serikali na Shirika la Umoja wa Mataifa Chakula Duniani (WFP). Na hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya  kwanza kuonja dagaa wa Kijapani, maziwa ya unga kutoka Uholanzi, na jibini ya Denmark, yote yaliletwa kwetu kupitia mlo wa shule.”Je Daloum anadhani maisha yake yangekuwa vipi kama WFP isingetoa mlo shuleni?“Nikiwaza kuhusu kizazi changu, hasa wale waliokuwa katika shule za bweni, bila ushirikiano huo kati ya serikali ya nchi yangu na WFP, hatungeweza  kumaliza elimu yetu. Ndio maana nakwambia kwamba mimi ni zao la mlo shuleni kutoka kwenye shule ya msingi kwenda katika shule ya kati na hatimaye sekondari, yote haya matatu yalifaulu kutokana na mlo shuleni.”

Habari za UN
Mohamed hajakata tamaa ya kuwa mwanasoka maarufu - Gaza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 18, 2024 1:53


Katika ufukwe wa Al- Mawasi, magharibi mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza huko Mashariki ya Kati, mchezaji mpira wa Klabu ya Soka ya Rafah Services anaendelea na mazoezi yake ili kuendeleza uthabiti wa mwili kama mchezaji wa soka wa kulipwa wa klabu hiyo muhimu wakati huu mashambulizi ya makombora yakiendelea kwenye eneo hilo. Jua linazama hapa kwenye ufukwe wa Al Mawasi, kwenye bahari ya Mediteranea, wengine wakiwa wanaogelea, na kwa mbali mahema ya waliosaka hifadhi baada ya kufurushwa kaskazini mwa Gaza, mmoja anaonesha mbwembwe za dana dana ya mpira, anajitambulisha."Naitwa Mohamed Abu Jalda, mchezaji wa Klabu ya Rafah Services katika daraja la kwanza. Nilikuwa na ari kubwa ya kuwa mchezaji mkubwa wa soka kama wengine walioko nje ya Ukanda wa Gaza, lakini kutokana na vita, tamaa yangu na maisha yangu yalicheleweshwa, sasa nina zaidi ya miaka 20, nikijaribu kuwa mchezaji wa soka, lakini siwezi kwa sababu naishi Gaza ambapo kuna mapigano ya mara kwa mara. Kila siku nahisi kama ninakufa; Mungu atujalie uvumilivu kuhimili maisha haya."Mohamed amekuwa akiwa na ndoto ya kucheza soka ya kulipwa tangu akiwa na umri wa miaka 10 na sasa ana umri wa miaka 20 anaona ndoto inayoyoma, lakini ana matumaini.."Wakati wowote nikipata muda na kutamani kucheza soka,ninakuja ufukweni, kwani ni sehemu pekee naweza kucheza kama mchezaji mwingine. Natumai Mungu atanijalia kufanikiwa kuwa mchezaji wa soka, na najivunia kuwa mpalestina kutoka Gaza. Natamani kucheza soka nje ya Gaza na timu ya taifa ya Palestina, kwa sababu ni haki yangu."

Habari za UN
Wiki mbili za kusaka usalama DRC, mkimbizi asimulia madhila na atakacho.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 7, 2024 2:23


Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, imesalia katika mgogoro kwa miaka mingi, hali ambayo imewasababishia raia mateso ya hali ya juu zaidi yakiwemo mauaji, utekaji nyara, na kuteketezwa kwa nyumbaa zao. Mapigano hayo pia yamewafungisha viragozaidi ya watu milioni 6.4 nchini humo, na kulazimisha familia kutafuta usalama katika makazi ya muda yaliyojaa pomoni. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limeonya kuwa mgogoro huu uliodumu kwa muda mrefu na ukiukwaji wa haki za binadamu ni mwiba kwa wakimbizi hawa wa ndani.  Cicey Kariuki na taarifa zaidiRusayo ni eneo lililo na makazi ya muda ya wakimbizi   mjini Goma katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Miongoni mwa  wakimibizi wa ndani wanaishi kwenye makazi haya ni Sebororo, mwanamke mwenye  miaka 38 akitembea na watoto wake.Sebororo pamoja na wananawe watano wanaishi kwenye makazi ya pamoja na familia nyingine 90 huku wakisubiri kutengewa nyumba katika eneo hilo. Mama huyu anaeleza jinsi alivyojikuta katika makazi ya wakimbizi. Anasema,“tulianza kukimbia kuktoka kule tarehe tano mwezi wa kumi, awali walikuwa wanakuja lakini hawakuua watu, lakini leo hii wanaua watoto,wanaume na wanawake, sisi yalitushinda maanake wengine walikuwa pia wanatekweteza mimea.”Sebororo na watoto wake watano walitembea kwa wiki mbili kutafuta usalama, baada ya wapiganaji kuvamia kijiji chao cha Kiseguru katika Mkoa wa Kivu Kaskazini. Katika nusu ya kwanza ya mwaka wa 2024 pekee, zaidi ya watu 940,000 walilazimika kukimbia kutokana na ukatili, uliofanywa na makundi mengi yenye silaha yasiyo ya kiserikali huku familia nyingi zikifurushwa mara kadhaa. Kwa sasa anachokitamani zaidi Sebroro ni amani. “Haja yetu sisi ni watusaidie kwa kusimamisha vita ili turejee kwetu kwa sababu watu wanaisha.”Anasema.Kufurika kwa watu katika makazi haya ya muda kumezua  wasiwasi mkubwa miongoni mwa wahudumu wa kibinadamu kufuatia hatari ya kuenea kwa magonjwa, ikiwa ni pamoja na virusi vya homa ya nyani au mpox.Ruven Menikdiwela, Kamishna Msaidizi wa Operesheni wa UNHCR ambaye alitembelea eneo hilo na kukutana na familia mbalimbali za wakimbizi na kusikiliza wasiwasi wao, anasema, “leo asubuhi, nilizungumza na mwanamke huyu ambaye ana watoto wadogo watano. Alitembea kwa wiki mbili kufika katika eneo hili, bado anasubiri huduma, bado anasubiri watoto wake watibiwe, na bado anasubiri chakula. Ninatambua kwamba hii ni hali ya kawaida kwa watu wote wanaoishi katika eneo hili. Kila mmoja ana majanga yake binafsi, kwa hivyo hizi siyo tu takwimu, bali kuna hadithi za kibinafsi nyuma ya kila moja ya hizi takwimu na majanga ya kibinafsi na majanga yanayoendelea pia, kwa sababu hatuoni suluhisho lolote kwenye mustakabali.”Katika ziara yake kwenye makazi haya, Ruven Menikdiwela, pia alifanya vikao na wadau kadhaa akiwemo Waziri mkuu, mamlaka za mkoa na mashirika ya umoja wa Mataifa. Ujumbe wake ulikuwa wazi kwamba amani ndiyo suluhisho endelevu na dhabiti zaidi, na inahitajika kwa dharura. “Pande zote zinapaswa kukutana na kujadiliana kutoa fursa kwa amani, ili watu hawa wote, mamilioni ya watu waliolazimika kuhama, waweze kurudi nyumbani au kuunganishwa na jamii mahali walipo, na waweze kuishi kwa amani pamoja kama jamii moja.”

Habari za UN
Vivian Joseph: Taasisi ya Watoto Afrika ni fursa kwa kila mtoto kufikia uwezo wake

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 2, 2024 3:27


Moja ya malengo ya Umoja wa Mataifa  ya maendeleo endelevu SDGs ani lengo namba 4 la kuhakikisha elimu bora kwa kila mtoto. Hata hivyo bado katika nchi  nyingi hususan zinazoendelea watoto wengi hasa wenye ulemavu wanakosa fursa za kufikia uwezo wao kutokana na changamoto za kupata elimu iwe rasmi au isiyo rasmi na hivyo kusalia nyuma. Umoja wa Mataifa umekuwa ukizichagiza nchi na jamii kuchukua hatua  ili kubadili mwelekeo huo. Nchini Tanzania kijana Vivian Joseph ni miongoni mwa walioitikia wito wa hatua na akaanzisha taasisi isiyo ya kiserikali ya Watoto Afrika Initiative nili kusaidia watoto  wenye changamoto ikiwemo ulemavu waweze kupata fursa hiyo ya elimu. Katika makala hii amezungumza na Flora Nducha wa Idhaa kuhusu taasisi hiyo akianza kwa kufafanua wanachokifanya.

Daily Inter Lake News Now
Unexpected Snowfall, Tragic Accidents, and a Mountaineer's Final Climb: This Week in Northwest Montana

Daily Inter Lake News Now

Play Episode Listen Later Aug 31, 2024 4:54


In this episode of News Now, host Taylor Inman covers the week's top stories in Northwest Montana. An unexpected August snowfall blankets Whitefish Mountain Resort, Glacier National Park, and surrounding areas, temporarily closing parts of the Going-to-the-Sun Road. In other news, a tragic car accident near Kila claims the life of a 26-year-old Oregon man. Kalispell police arrest a suspect in connection with bullet holes found in downtown businesses, and the body of missing mountaineer Grant Marcuccio is recovered in Glacier National Park after a solo climb. Tune in for more details on these stories and what's ahead for the region.  A big thank you to our headline sponsor for the News Now podcast, Loren's Auto Repair! They combine skill with integrity resulting in auto service & repair of the highest caliber. Discover them in Ashley Square Mall at 1309 Hwy 2 West in Kalispell Montana, or learn more at lorensauto.com.Visit DailyInterLake.com to stay up-to-date with the latest breaking news from the Flathead Valley and beyond. Support local journalism and please consider subscribing to us. Watch this podcast and more on our YouTube Channel. And follow us on Facebook, Instagram and X. Subscribe to all our other DIL pods! Keep up with northwest Montana sports on Keeping Score, dig into stories with Deep Dive, and jam out to local musicians with Press Play. Got a news tip, want to place an ad, or sponsor this podcast? Contact us

Habari za UN
Kila mmoja achukue hatua kuondokana na vikwazo vya ujumuishaji watu wenye ulemavu - Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 1:33


Kila mmoja achukue hatua kuondokana na vikwazo vya ujumuishaji watu wenye ulemavu - GuterresUmoja wa Mataifa uko tayari kufanya kazi na Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Watu wenye Ulemavu (Paralympic) ili kufikia maono ya jamii shirikishi, jumuishi na endelevu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito michuano ya Paralympic iking'oa leo jijini Paris, Ufaransa. Anold Kayanda na maelezo zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Bwana Guterres aliyeko ziarani nchini Timor Leste, barani Asia, ametuma ujumbe kwa Mkutano wa Kimataifa wa Ujumuishaji watu wenye Ulemavu unaofanyika katika makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) jijini Paris Ufaransa ambako michezo ya Olimpiki ya watu wenye ulemavu, Paralimpiki 2024 imeanza kutimua vumbi leo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaamini Michezo ya Olimpiki ya Watu wenye Ulemavu inahimiza kila mtu, kuanzia kwa serikali, mamlaka za mitaa na watoa uamuzi kila mahali, kuchukua hatua ili kuondokana na vikwazo vya ushirikishwaji kamili na wa maana wa watu wenye ulemavu na Umoja wa Mataifa unaahidi kushiriki kikamilifu kutimiza lengo hilo.Aidha katika mkutano huu wa ngazi za juu, UNESCO imeitumia nafasi hiyo kuzindua Kijitabu na mfululizo wa video za mafunzo  kuhusu Usawa wa Ulemavu katika Vyombo vya Habari. Kitabu hicho cha mwongozo kina masomo yanayolenga kuwapa wataalamu wa vyombo vya habari maarifa na zana wanazohitaji ili kuhakikisha mashirika yao yanakuwa jumuishi kwa kuwazingatia watu wenye ulemavu.Moja ya vivutio vikubwa katika paralimpiki za mwaka huu zitakazofanyika hadi tarehe 8 ya mwezi ujao Septemba ni timu ya wakimbizi wanane waliopelekwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR.

SBS Swahili - SBS Swahili
Sababu nzuri zaku tii sheria za watembeaji wa miguu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 13, 2024 13:49


Kila siku, watu wanao tembea kwa miguu kote nchini Australia huvunja sheria bila kujua. Hali hii inaweza sababisha adhabu, na wakati mwingine inaweza sababisha ajali.

SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu wa itifaki zawa Australia wa asili ni nini kwa kila mtu?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 9, 2024 11:55


Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunako ishi.

The WorldView in 5 Minutes
Supreme Court: Trump has limited immunity from prosecution, Biden's cognitive decline means US gov't is in “unelected hands”, Namibia, Africa decriminalizes homosexual behavior

The WorldView in 5 Minutes

Play Episode Listen Later Jul 2, 2024


It's Tuesday, July 2nd, A.D. 2024. This is The Worldview in 5 Minutes and heard at www.TheWorldview.com.  I'm Adam McManus. (Adam@TheWorldview.com) By Kevin Swanson and Adam McManus Namibia, Africa decriminalizes homosexual behavior Last week, the high court of the Southern African nation of Namibia struck down a colonial law banning homosexual behavior in the country.   Last year, the same court legitimized homosexual faux marriage for a bi-national couple.   Homosexual behavior is criminalized in 30 African countries, and allowed in 24 countries now. Supreme Court: Trump has limited immunity from prosecution The U.S. Supreme Court ruled yesterday in favor of the former President, in relation to his post-election activities on January 6th, 2021, reports LifeSiteNews.com. By a vote of 6 to 3, the high court granted Donald Trump immunity for official acts taken in his role as president of the United States. The majority on the court agreed with Trump's appeal. The decision, written by Chief Justice John Roberts, concluded that: “The President is not above the law. But under our system of separated powers, the President may not be prosecuted for exercising his core constitutional powers, and he is entitled to at least presumptive immunity from prosecution for his official acts.” What remains to be answered is which actions taken after the 2020 election by the president were official and which were unofficial. This question is remanded to the lower courts. House Speaker Mike Johnson called the decision “a victory for former President Trump.” And the Biden campaign said the decision has handed Trump "the keys to a dictatorship," reports the New York Post. Supreme Court deals blow to regulation stranglehold   In other Supreme Court news, the high court has rendered the regulatory bureaucracy a serious setback in the United States.   Friday's decision overturned the 1984 decision Chevron U.S.A. Inc. v. Natural Resources Defense Council Inc., — which to this point had allowed federal bureaucracies extensive latitude for interpreting law and implementing regulations. Poll: Donald – 44%, Biden – 41% The latest Non-Partisan Patriot Polling puts Donald Trump ahead of Joe Biden in the presidential race,  44% to 41%. The current president's rating has also dropped off from 33% to 29%. And 76% of prospective voters polled say Donald Trump won last Thursday's debate. Colonel Macgregor: Biden's cognitive decline means US gov't is in "unelected hands" Speaking of that debate, Retired U.S. Army Colonel Douglas Macgregor has said that “the governing power” of the U.S. lies “in unelected hands” after the first presidential debate highlighting President Joe Biden's cognitive decline to the whole world, reports LifeSiteNews.com. In a 5-minute video message published on the YouTube channel Our Country Our Choice, Col. MacGregor expressed his profound concern for the United States after Biden's catastrophic performance. Listen. MacGREGOR: “President Biden is not fit to discharge the immense duties of the presidency. The alarming evidence of his cognitive decline was on display for all to witness. Yet his enablers and political allies continue to exploit the president to substitute their destructive agenda for the interests of the American people. “The unconscionable betrayal of the sacred trust that must exist between the federal government and American citizens is all around us. Destructive executive orders and policy directives, many of which were likely signed when President Biden was in a rapidly diminished state of mind, inflicting tremendous damage on our nation. “Sadly, President Biden's fragile mental state was laid bare for all to see in last night's debate. His responses were frequently incoherent, he appeared lost even confused, struggling to complete basic thoughts. It was heartbreaking, a spectacle that confirmed our worst fears about his deteriorating capacity.” Col. MacGregor questioned the legitimacy of Biden's executive orders in light of his demonstrable mental incapacity. MacGREGOR: “No individual whose mental health is compromised, should be allowed to continue in the most demanding job on Earth. Americans, we find ourselves at a critical juncture in our nation's journey. In the private sector or in matters of estate planning, the validity of signatures made under such circumstances would be challenged and invalidated in a court of law. “How can we accept crucial national decisions being made under these conditions? The American people deserve better. It is time to ask, ‘Who truly governs this country?' Is it ‘we the people,' as our Founders intended, or have we surrendered control to unelected bureaucrats?” Trump ally Steve Bannon went to jail yesterday Longtime Trump ally Steve Bannon was taken into custody yesterday after surrendering at a federal prison in Danbury, Connecticut. He began his four-month prison sentence on contempt charges for defying a subpoena in the congressional investigation into the events on January 6, 2021 at the U.S. Capitol, reports the Associated Press. Speaking to reporters, Bannon called himself a “political prisoner.” BANNON: “I'm a political prisoner of Nancy Pelosi. I'm a political prisoner of Merrick Garland. I'm a political prisoner of Joe Biden, the corrupt Biden establishment. “You saw on Thursday, all the lies that they told any group that would sit there and lie to you about the shape of the President of the United States, with the national security element of that, lied about the 2020 election. They've lied about COVID. They've lied about everything that they've done to the American people and they're not going to stop. Until we stop them, they're not going to stop.”  Court injunction allows Good News Clubs into Hawaiian schools Here's some good news for the Good News Clubs sponsored by Child Evangelism Fellowship! Since 2022, Hawaii's Department of Education had denied every single request for access Hawaii's primary schools by the Christian Good News Clubs. Liberty Counsel has obtained a court injunction to open access to the Good News clubs in Hawaii, and provide “timely responses to future applications.” In Mark 16:15, Jesus said, “Go ye into all the world, and preach the Good News to every creature.” Criminal illegal immigrants entry to America has quadrupled Criminals entering the borders of the United States have quadrupled since 2019 — in just five years. These are people that had already been convicted of one or more crimes prior to entering America. The official Customs and Border Protection numbers clocked 4,300 arrests in 2019. By contrast, this year that number is approaching 17,000 or an average of 1,459 per month. Banks welcome gold back as a hedge in an uncertain economy Interest in gold as a safe hedge is back, at least for the world banks. For fifty years, between 1960 and 2010, the world banks shed their gold reserves, dropping from 1.23 billion ounces to 960 million ounces. Now, for the last 14 years, the banks have been buying back gold.  There is now 1.15 billion ounces of gold representing about 2.7% of the Gross World Product, reports WolfStreet.com. New Mexico's surgical abortions have tripled Since 2020, the number of abortions performed in New Mexico has tripled.   Most of that is due to women from Texas seeking abortions across the border.  Now, 71% of New Mexican abortions are out-of-state abortions, reports Abortion Free New Mexico. The Word of God is firm on this: “You shall not murder.” (Exodus 20:13) 14 Worldview listeners gave a final $9,600 And finally, between some checks that just arrived in the mail at our P.O. Box and some last minute donations online on Sunday and yesterday, 14 Worldview listeners stepped up to the plate to fund our 6-member team for another fiscal year. Our thanks to Jon in Dewitt, Michigan who gave $50, Johannah in Sedalia, Kentucky who gave $100, as well as Stacy in Metuchen, New Jersey, Michael in Estancia, New Mexico, Moriah, a 16-year-old, in Register, Georgia, and Jonathan in Atascadero, California – each of whom gave $200. We're grateful to LeShun in Newport News, Virgina who gave $250, Charles and Susan in Stroughton, Wisconsin $300, as well as Griffin in Kila, Montana and Shawn in Newaygo, Michigan – both of whom pledged $25/month for 12 months for a gift of $300 each. And we appreciate the sacrifice of Max in Macon Georgia who gave $500, Mary in Wake Forest, North Carolina who pledged $50/month for 12 months for a gift of $600, an anonymous donor in Greenwood, Missouri who gave $2,400, and Jeanne in Columbia, South Carolina who gave $4,000. Those 14 donors gave $9,600.  Ready for our new grand and final total? Drum roll please. (sound effect of drum roll) $96,575! (audience cheering) Absolutely incredible!  We are blown away by your generosity.  To each and every one of you who made a donation, whatever the size, we have a simple message.  Thank you for believing in our unchanging mission: to report on world news from an unapologetically Biblical perspective.  To God be the glory! Close And that's The Worldview on this Tuesday, July 2nd, in the year of our Lord 2024. Subscribe by iTunes or email to our unique Christian newscast at www.TheWorldview.com. Or get the Generations app through Google Play or The App Store. I'm Adam McManus (Adam@TheWorldview.com). Seize the day for Jesus Christ.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wafanyakazi wapato la chini kuongezewa $33 katika mishahara yao kila wiki

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 4, 2024 8:55


Ma milioni yawa Australia watapata nyongeza ya asilimia 3.75 kwa mshahara wao.

Dark Side of The Mic
Episode 236 | K.C. Garcia AKA Don Kila

Dark Side of The Mic

Play Episode Listen Later May 24, 2024 79:35


In this episode, we're joined by K.C. Garcia or as others might know him, Don Kila. We discuss personal ghost stories, crazy dreams we've had, what it's like being an artist from San Marcos, and 3 people, dead or alive, we'd like to have dinner with.Follow Don Kila on...Facebook https://www.facebook.com/profile.php?id=100039039101994YouTube https://www.youtube.com/@DonKilaGravelStVEVO-zf6ciFollow Dark Side of The Mic on...YouTube - https://bit.ly/3BPkqW2Facebook - https://www.facebook.com/DSOTMPodcastsInstagram - https://www.instagram.com/_darksideofthemic_/TikTok - https://bit.ly/3JYT6JaFollow James on…Instagram - https://bit.ly/3fo00GVTwitter - https://bit.ly/2QsiCgvTikTok - https://www.tiktok.com/@k1ngjmsFacebook Gaming - https://www.facebook.com/K1NGJames44If you would like to support us, you can donate to the show through any of the following:Cashapp - $DarkSideofthemicVenmo - @DarkSideOfTheMicPodcast