Podcasts about Fahamu

  • 35PODCASTS
  • 456EPISODES
  • 41mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Oct 24, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Fahamu

Latest podcast episodes about Fahamu

Radio Maria Tanzania
Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 57:55


Karibu uungane nami  Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine  L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 56:19


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao.  L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya neno Misa

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2025 27:17


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari  Kuu ya Mtakatifu Augustino  Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?  L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 23, 2025 50:07


Karibu uungane nami Peter katika kipindi cha Fahamu wito wako, mwezeshaji Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akitufundisha juu ya Heri za utakatifu furahini na kushangilia. L'articolo Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 54:46


Karibu uungane nami Happiness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S,  Mkurugenzi wa Matamgazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya  ujumbe wa Mama Bikira Maria kuhusu Amani. L'articolo Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 57:38


Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili. L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Msalaba na historia yake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 27:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea […] L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Vijana walioasi uhalifu na kujitosa katika kutunza mazingira ya kijiji chao

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Oct 7, 2025 10:00


Fahamu kundi la vijana kutoka mtaa wa korogocho jijini Nairobi, walioasi uhalifu na kuamua kutunza mazingira ya jamii yao. Vijana hawa wananuia kuwa mfano kwa kizazi kijacho kufahamu kuwa hata juhudi ndogo zinaweza kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka.

Radio Maria Tanzania
Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 10, 2025 47:33


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji  Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili. L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 28, 2025 36:19


Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi  Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania. L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu utaratibu wa kufunga ndoa ndani ya kanisa Katoliki (Sheria namba 1112 -1118)

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 57:42


karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, kinaandaliwa na kuletwa kwako na Padre Ladislaus Mgaya, Mtaalamu na Mwanasheria wa  sheria za kanisa Kutoka Jimbo Katoliki Njombe anaendelea kufundisha kuhusu taratibu za kufunga ndoa (Sheria namba 1112 -1118) Mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu  L'articolo Fahamu utaratibu wa kufunga ndoa ndani ya kanisa Katoliki (Sheria namba 1112 -1118) proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 5, 2025 53:20


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anafundisha juu ya heshima kwa Kanisa Kuu la Bikira Maria Mkuu.  Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
fahamu nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 3, 2025 53:25


karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Roho  Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine. kukualika kwa niaba yake mimi ni Joyce Jonatus. L'articolo fahamu nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 1, 2025 20:54


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, maswali yatakayojibiwa yameulizwa na Judith kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam akihoji hivi;  Kwanini kwa Wakristo mtu akifariki wanawekewa Msalaba kwenye kaburi?  Naomba kuelewa, maana ya nadhiri, na pia inaweza kuondolewa na mtu au na Mungu? Yanajibiwa na Frateri Barnabasi Myushi, kutoka Parokia Bikira Maria Mpalizwa mbinguni […] L'articolo Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 42:36


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wowkovu.   Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu  L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 26, 2025 21:42


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam  Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani. L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 55:12


Karibu uungane nami Joyce Jonatus  katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai  wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 19, 2025 53:02


Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo  Padre Titus Amigu,  Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT)  Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa.   L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 58:20


Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025. Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 15, 2025 56:38


Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 4, 2025 46:39


Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi,  leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 27, 2025 52:44


Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 54:27


Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu.  Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 45:32


Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 28:47


Karibu katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, leo tupo na Padre Gideon Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akitufundisha juu ya Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. L'articolo Fahamu Ibada ya Moyo Safi wa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 52:47


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 45:24


Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki,  ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo,  Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki. L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 54:22


Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anaendelea kufundisha juu ya mataji kumi ya Bikira Maria, anaangazia taji la saba fadhila ya ufukara. Ninayekualika kwa niaba ya Padre Dominic, mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu. L'articolo Fahamu taji la fadhila ya ufukara la Mama Bikira Maria proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 56:09


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Muhujaji wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna gani Bikira Maria ni muhujaji wa matumaini. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maana na asili ya neno Biblia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:04


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Mbiu ya heri, Mwezeshaji ni Frateri Yohane Makaya kutoka Seminari Kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu Mwendakulima, Jimbo Katoliki Kahama, akitufundisha juu ya maana na asili ya Biblia. L'articolo Fahamu maana na asili ya neno Biblia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 26:43


Karibu katika kipindi cha Imani yetu, Mwezeshaji ni Padre Wojciech Adam Koscielniak, Paroko wa Parokia ya Kiabakari na Mhifadhi wa kituo cha kitaifa cha hija cha Huruma ya Mungu kiabakari, Jimbo Katoliki Musoma, akieleza ushuhuda wa Imani na nafasi ya Visakramenti katika maisha. L'articolo Fahamu nafasi ya Visakramenti katika maisha. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 52:38


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei, Jimbo Katoliki Iringa, akizungumzia juu ya Bikira Maria Mama wa Matumaini. L'articolo Fahamu namna matumaini yanapatikana kwa Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu aina za watu na tabia zao.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 51:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha Kutoka Jimbo Katoliki Moshi, akiendelea kutufundisha juu ya aina za watu na tabia zao. L'articolo Fahamu aina za watu na tabia zao. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 48:39


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya. L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 54:21


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu. L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 57:57


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 52:54


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Antony Lihepa, Grace Shayo na Janeth Akkaro kutoka Pro-life Tanzania, wakiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima na utetezi wa uhai. L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu nguvu ya msamaha katika Misa Takatifu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 26:25


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Tafakari Nasi, Studio nipo na Padre Innocent Nzaro wa Jimbo Katoliki Kigoma akitutafakarisha juu ya Misa Takatifu na nguvu ya msamaha. L'articolo Fahamu nguvu ya msamaha katika Misa Takatifu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 51:58


Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa 15 za akina mama akielezea sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 28:47


Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Erasmo Kadi Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Naomba kujua historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga. L'articolo Fahamu historia ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mchango wa Familia katika miito mitakatifu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 49:56


  Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, leo studio nipo na Bi. Esther Kinyonga, Benedict Kessy, Monica Kessy, George Mapunda, Katekista Revocatus Kinyonga, Katekista Gabriel Jimu na Federika Bayaga wakizungumzia juu ya plotio ya nyumba aminifu wakijikita zaidi katika miito mbalimbali. L'articolo Fahamu mchango wa Familia katika miito mitakatifu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Utaratibu wa Utoaji wa Leseni za Udereva.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:15


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama barabarani, kutoka Kituo cha Polisi Mabawa Tanga kitengo cha Usalama Barabarani,  Mada ni Mfumo wa utoaji wa Leseni za Udereva pamoja na ukaguzi wa Magari kwa njia ya Mtandao.Wawezeshaji Sajenti Cleopa Msuya  na Sajenti Hamisi Mbikikila.     L'articolo Fahamu Utaratibu wa Utoaji wa Leseni za Udereva. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna ya upatikanaji wa Chakula mchanganyiko katika Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 49:23


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Chakula na Lishe Mwezeshaji ni Bi. Nusura Salumu, Maafisa Lishe Watafiti  kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNS)  mada Mbinu za upatikanaji wa Chakula mchanganyiko katika Familia. L'articolo Fahamu namna ya upatikanaji wa Chakula mchanganyiko katika Familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mbinu ya kupokea Masakramenti katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 19:01


Ungana nami  Elizabeth Masanja, Katika Kipindi cha Katekisimu Shirikishi Katoliki Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania, leo tupo na Padre Dominic Mavula C.P.P.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria, akituongoza kujifunza Uhai wa Masakramenti ndani ya Familia.  L'articolo Fahamu mbinu ya kupokea Masakramenti katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa Kwaresima na Msalaba.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 47:29


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa walei, Mwezeshaji ni Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa walei, Jimbo Kuu la Dar es salaam akizungumzia juu ya Kwaresima na Msalaba. L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima na Msalaba. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 21, 2025 53:44


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai .   L'articolo Fahamu nafasi ya Mwanamke katika Utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.

Real Chicks Rock!™ Presents: Real Discussions
How Art Shapes Cultural Awakening

Real Chicks Rock!™ Presents: Real Discussions

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 67:04


In this latest episode of Real Chicks Rock!® Presents Real Discussions host Michelle Dawes Birt engages in a captivating conversation with the renowned artist and cultural visionary, Dr. Fahamu Pécou. This episode delves into the transformative power of art and how it shapes cultural reawakening in our society. Dr. Fahamu Pécou, originally from Brooklyn and raised in South Carolina, shares his inspiring journey from a young artist drawing cartoons to becoming a celebrated figure in the art world. With a deep connection to African culture and a passion for challenging stereotypes, Fahamu's work is a bold statement on the visibility and representation of Black people in art and media. Special Thanks to my guest, Dr. Fahamu Pécou Are you subscribed to the podcast? If not, subscribe so you never miss an episode. Please remember to rate, comment, share, and download your favorite episodes.  Connect with Real Chicks Rock! Instagram - https://www.instagram.com/realchicksrock Facebook - https://www.facebook.com/RealChicksRock1 Twitter - https://twitter.com/RealChicksRock1 Website: www.RealChicksRock.com Connect with Fahamu Pecou and explore his art: Instagram: https://www.instagram.com/fahamupecou Website: https://www.fahamupecouart.com/home/about Merchandise: https://www.studiokawo.com Radio Station: www.StatusNetwork.net Kevin Hyman performed music for Kemit Muzik, LLC. The song is titled Still I Rise (The Lounge Lizards Bootleg Mix" '(Copyright permission granted)

Habari za UN
Fahamu mbinu itumiwayo Afrika Kusini kukabili Virusi Vya Ukimwi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 1:41


Kuelekea ya Siku ya Kimataifa ya UKIMWI itakayoadhimishwa Jumapili hii, ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) iliyotolewa juzi Jumatano imeeleza kuwa dunia inaweza kufikia lengo lililokubaliwa la kukomesha UKIMWI kama tishio la afya ya umma ifikapo mwaka 2030 lakini kwa sharti kwamba viongozi ni lazima walinde haki za binadamu za kila mtu anayeishi na Virusi Vya UKIMWI, VVU au aliyeko hatarini kuambukizwa. Anold Kayanda ameangazia mfano mzuri wa Afrika Kusini unaofahamika kama “Takuwani Riime”.

Habari za UN
Fahamu kuhusu faida za kidiplomasia na kiuchumi zilizoletwa na lugha ya Kiswahii kisiwani Zanzibar

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2024 6:41


Huko Havana Cuba mambo yanaendelea kuiva kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili huku wageni wakitoka katika kila pembe ya dunia kushiriki. Miongoni mwao ni Waziri Tabia Maulid Mwita kutoka Zanzibar ambaye amezungumza na shuhuda wetu katika kongamano hilo Flora Nducha kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi zilizoletwa na lugha ya Kiswahii Kisiwani Zanzibar.

Habari za UN
Fahamu kuhusu mtikisiko wa ubongo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 30, 2024 1:42