POPULARITY
Karibu usikilize Ujumbe wa Biblia. Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino-SAUT,Jimbo Kuu Katoliki Mwanza. Mada ni Maadaui wanne wa mwanadamu Tarehe 02 Machi 2026 L'articolo Fahamu faida za kanunia ya imani proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi ambacho hukujia kila siku za Jumatatu hadi Alhamisi Saa 2 asubuhi hapa Radio Maria Tanzania. Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania. ambaye amefafanua kuhusu “Njia ya msalaba kituo cha 14 ikiwa niwakatika wa ukimya” na leo tutamuangalia Nickodem na Dhamiri yake juu […] L'articolo Kituo cha Kumi na nne, Fahamu dhamiri ya Nickodem juu ya Kristu . proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali ya Husuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Franco abel Ubamba kutoka katika hospitali ya Mtakatifu Yohane wa msalaba, Ipamba iliyopo katika parokia ya Moyo mtakatifu wa Yesu Tosamaganga Jimbo la Iringa Swali ni Naomba kueleweshwa kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” Tarehe […] L'articolo Fahamu kuhusu kipindi Cha mwaka katika liturujia ya Kanisa katoliki hususani mpaka kufikia kipindi Cha kwaresima” proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa. Tarehe 22 Machi 2026 L'articolo Fahamu Maisha ya Mitume wa Yesu na vifo vyao baada ya yesu kupaa? proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bwana Godfrey Mkaikuta, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 24 Machi 2026 L'articolo Fahamu nafasi ya Imani katika kutetea uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Kwaresma Na Thamani ya Uhai wa Binadamu Tarehe 31 Machi 2026 L'articolo Fahamu thamani ya mwanamke wa leo katika kuleta uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Malezi ya Mtoto baada ya kuzaliwa Tarehe 14 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wa Wazazi na jamii katika malezi ya mtoto. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Pro_life Utetezi wa Uhai Wawezeshaji kutoka Prolife Tanzania Bw. Godfrey Mkaikuta, Anthon Liepa, Janet Akkaro na Bi Grace Shayo Mada ni Hatua za ukuaji wa mtoto Tarehe 21 Aprili 2026 L'articolo Fahamu Hatua za ukuaji wa mtoto baada ya kuzaliwa. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bwana Gordon Rwenyagira, Mjumbe kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es Salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 20 Februari 2026 L'articolo Fahamu thamani ya unyenyekevu katika uongozi wa Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Utume wa Walei Mwezeshaji Bi Rose Gerrad Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo kuu Katoliki Dar es salaam Mada ni Kanzi ya Uongozi Tarehe 10 Aprili 2026 L'articolo Fahamu wajibu wakiongozi katika kuwaunganisha watu. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “umuhimu wa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia” Mwezeshaji wa kipindi hiki ni Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Kituo cha Tiba na Utengamao cha Anthonia Verna Kawe Mkoani Dar es salaam Bw. Asadi Mwengwa. Mtangazaji ni Agatha Kisimba. L'articolo FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA proviene da Radio Maria.
FAO nchini Kenya inasema mradi huo wa miaka mitano uitwao FARM, unalenga kuimarisha uwekezaji katika mbinu mbadala na usimamizi endelevu wa kemikali hatari na plastiki kwenye sekta ya kilimo barani Afrika na Amerika ya Kusini. Tweet URLUkifadhiliwa na Fuko la Mazingira Duniani, GEF, mradi unafanya kazi na vikundi vya wataalamu wa kitaifa kutoka taasisi mbalimbali, kuangazia vipaumbele na changamoto za ndani ili kutengeneza mitaala ya mafunzo inayolinda mazingira. Ripoti ya mradi imebainisha kuwa matumizi ya viuatilifu yamekuwa na madhara makubwa kwa viumbe wanaosaidia uchavushaji wa mimea. Aidha, mabaki ya sumu hizi yanaweza kukaa kwenye udongo kwa zaidi ya miaka 30, jambo ambalo ni hatari sio tu kwa mazao ya chakula bali pia kwa afya za wakulima. Madhara ya matumizi kupita kiasiMatumizi yaliyopitiliza yamehusishwa na magonjwa ya saratani na matatizo ya mfumo wa mishipa ya fahamu, huku yakipunguza uwezo wa nchi kuuza mazao yao kwenye masoko ya kimataifa kutokana na viwango vya sumu kuzidi mipaka ya usalama wa chakula. Afisa wa FAO, Oxana Perminova anasema, "plastiki na kemikali za kilimo ni jambo linalotia wasiwasi duniani kote. Suala hilo limekuwa katika ajenda za nchi nyingi. Kwa upande wa Kenya, tunaamini kuwa ushirikiano huu ambao umeanzishwa hapa na ambao kwa kweli unafanya kazi ya na unawaleta wadau wote pamoja utakuwa na manufaa makubwa kwa kanda hii. Hivyo nchi nyingine jirani zinaweza kuangalia mifano na bidhaa zitakazozalishwa ndani ya ushirikiano huu na kuzitumia mahususi kwa ajili ya kupunguza uchafuzi wa mazingira kutokana na kemikali na plastiki za kilimo na kuwalinda wakulima, hasa katika maeneo haya." Fahamu kuhusu madhara ya plastiki za vifungashioKuhusu plastiki za vifungashio vya pembejeo za kilimo, takwimu zinaonesha kuwa takriban tani 330,000 za plastiki hutumika kila mwaka kama vifungashio vya viuatilifu duniani kote. Inakadiriwa kuwa asilimia 35 ya plastiki hizi hazidhibitiwi ipasavyo, ambapo asilimia 10 huishia baharini na nyingine nyingi kubaki kwenye udongo. Grace Muchemi, ni Meneja Mkuu wa bodi ya kudhibiti bidhaa za viuatilifu, PCPB, nchini Kenya, anaeleza hatua zinazochukuliwa kuwa ni "tunapotazamia njia mbadala salama zaidi, tumekuwa tukipitia upya viuatilifu ili kuhakikisha viuatilifu vyenye hatari ndogo vinatumika ndani ya nchi. Pia, utoaji wa uelewa umefanyika ndani ya kaunti, na tunafanya kazi pamoja na mashirika mengine ya serikali na pia wadau wa maendeleo kutoa uelewa juu ya matumizi salama ya viuatilifu ili kuhakikisha chakula salama na pia kuwezesha biashara na nchi nyingine." Katika hatua muhimu ya kuleta usawa, mradi huu umehakikisha uwiano sawa wa washiriki wanaume na wanawake katika mafunzo yote yatakayotolewa.
Katika mazungumzo yafuatayo kati ya Anold Kayanda wa Idhaa hii na Hanna Wendot Cheptumo Waziri wa Jinsia, Utamaduni na Maslahi ya Watoto wa Kenya, Nchi hiyo ya Afrika Mashariki inajivunia kupiga hatua katika kuitatua changamoto hiyo. Waziri Hanna Wendot Cheptumo anaeleza kwamba Kenya kupitiua mfuko ilioupa jina NGAAF yaani National Government Affirmative Action Fund, mfuko wa fecha mahususi kusaidia makundi maalumu katika jamii hususani wanawake kupitia wawakilishi wa wanawake. Pesa hizo wanazopewa wanawake si mkopo hivyo hawarudishi lakini wanatakiwa kuzitumia kijiendeleza “na hizo nidizo wanatumia kununua matanki ya maji” anasema Bi. Cheptumo. Visima vya jumuiya Pia kupitia miradi ambayo iko vijijini, Serikali ya Kenya inachimba visima vya maji vya jumuiya na wanaweka sola au mashine za kuvuta maji kwa njia ya nishati ya jua kwa hiyo hakuna mzigo au gharama ya umeme kwa wanawake hao. Waziri Hanna Wendot Cheptumo anakumbuka akisema, “hata mimi nikiwa mdogo nilikuwa ninaenda kilomita saba kwenda kutafuta maji lakini saa hizo ukienda kijijini unapata maji yako hapo na haulipishwi. Unaenda unachota maji yako na unaenda.” Mabwawa Aidha, kwa mujibu wa Bi. Cheptumo, Serikali ya Kenya imechimba mabwawa ya kusambaza maji katika vijiji na ni kazi ambayo inaendelea, “tunataka kusema hata kama maji hayajafikia kila mahali, lakini serikali iko na mikakati ambayo imewekwa ya kuhakikisha kila mtu anapata maji.Hupiti hata kilomita moja. Lakini sanasana weni sasa wana maji nyumbani.” Anahitimisha.
Mvua kubwa inaendelea kunyesha katika mataifa mengi ya Afrika ikisababisha mafuriko makubwa ,maafa na uharibifu wa mali Mvua ingawaje ni baraka, kunaponyesha ghafla inaweza kuwa chanzo cha baadhi ya magonjwa kama vile Malaria, Kipindu Pindu na magonjwa ya kusambazwa na minyoo.
Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Desderius Mwangaluka kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji nini maana ya baraza la maaskofu? L'articolo Fahamu maana ya baraza la Maaskofu proviene da Radio Maria.
Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo na Bi Janeth […] L'articolo Fahamu kipindi ambacho mtoto hupenda zaidi mama yake proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya Uongozi. L'articolo Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.
karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Fahamu Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria zinazo mlinda mtoto juu ya matuzi ya mtandao. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Joyce Jonatus katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu utaratibu uliowekwa juu ya ulizi wa mtoto proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji ni Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria ya ndoa na ulinzi wa mtoto. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu namna ya kupeleka upendo kwa Masikini proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu upendo wa Mungu ulipo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Peter Alphaxad katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa. L'articolo Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha Tafakari juu ya Epifania. L'articolo Fahamu mafundisho juu ya Epifania na chanzo chake proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Peter Alphaxid katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Abel Umbamba kutoka Seminari ya Maandalizi Tosamanganga Jimbo Katoliki Iringa akijibu swali la msikilizaji juu ya Elimu inayohusu Malaika L'articolo Fahamu elimu ya Malaika? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami mtangazaji wako Happiness Mlelwa katika kipindi chetu pendwa cha Elimu Jamii, hapa studio tupo na Bi Irene Guela kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano huduma kwa wateja kutoka TANESCO na Bi Catherine Mugoha Muhandisi nishati safi kutoka TANESCO, Wakitupa elimu kuhusu nishati na mita janja kupelekea maendeleo endelevu L'articolo Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu Waraka wa Baba Mtakatifu Leo XIV juu ya upendo kwa maskini proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi chetu pendwa cha chakula na lishe ambapo leo studio nipo na Bi. Nusura Salum, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akiendelea kutoa ufafanuzi zaidi juu yamatokeo hasi na chanya ya Chumvi na Sukari katika Lishe. L'articolo Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro – Life, Utetezi wa Uhai ambapo studio nipo na Bwana Godfrey Mkaikuta, Antony Lihepa, Witness Joachim na Janeth Akaro, Wakufunzi kutoka Pro – Life Tanzania wakitufundisha mada juu ya Mwanamke na tumbo la uzazi. L'articolo Fahamu kutungwa mimba kwa mwanadamu mpaka kuzaliwa kwake proviene da Radio Maria.
Miaka 80 iliyopita baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, mataifa 50 yalikutana huko San Francisco hapa nchini Marekani na kupitisha Chata iliyoanzisha Umoja wa Mataifa. Miongoni mwa malengo ni kuzuia vita na kujenga uhusiano mwema baina ya mataifa. Mathalani kuepusha nchi moja kuvamia nchi nyingine na kulinda haki za binadamu. Leo hii Chata hiyo imeendelea kusiginwa na kilichoibua mjadala zaidi ni tukio la Januari 3 la Vikosi Maalum vya Marekani kuingia Venezuela na kumtwaa Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro pamoja na mkewe kwa madai ya kwamba wanatakiwa wajibu tuhuma nchini MArekani za uhalifu mkubwa ikiwemo usafirishaji wa dawa za kulevya. Je Chata hiyo inasema nini? Assumpta Massoi na Rashid Malekela wanapitia baadhi ya vifungu pamoja na yaliyojiri baada ya hatua ya Marekani.
Tunapofika mwisho wa mwaka, jamii huingia katika kipindi cha sikukuu kama krismasi na mwaka mpya, ni wakati wa furaha, sherehe na kukutana na familia, lakini pia ni kipindi ambacho matumizi ya fedha huongezeka, watu wengi hujikuta wakitumia zaidi ya uwezo wao na mipango kusimama, tunajadili namna gani unaweza kuwa na nidhamu ya matumizi ya mwisho wa mwaka iwe kwa muajiriwa, mjasiriamali au mfanyabiashara.
Tunapofika mwisho wa mwaka, jamii huingia katika kipindi cha sikukuu kama krismasi na mwaka mpya, ni wakati wa furaha, sherehe na kukutana na familia, lakini pia ni kipindi ambacho matumizi ya fedha huongezeka, watu wengi hujikuta wakitumia zaidi ya uwezo wao na mipango kusimama, tunajadili namna gani unaweza kuwa na nidhamu ya matumizi ya mwisho wa mwaka iwe kwa muajiriwa, mjasiriamali au mfanyabiashara.
Tuliyukuandalia leo ni pamoja na timu za Afrika zimepangwa kwenye makundi gani katika Kombe la Dunia la mwaka ujao, nani ataibuka na taji la Formula 1 kesho, Kenya kuandaa mashindano ya dunia ya Taekwondo, michuano ya kufuzu mashindano ya shule za upili barani Afrika, kuanza kwa Ligi ya Afrika ya basketboli ya wanawake, wachezaji wa soka Afrika waanzisha kampeni dhidi ya polio, Onana na Aboubakar watemwa kikosini Cameroon huku nahodha wa Nigeria Troost Ekong akistaafu soka la kimataifa.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini? L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao. L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Peter katika kipindi cha Fahamu wito wako, mwezeshaji Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akitufundisha juu ya Heri za utakatifu furahini na kushangilia. L'articolo Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matamgazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya ujumbe wa Mama Bikira Maria kuhusu Amani. L'articolo Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili. L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea […] L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.
Fahamu kundi la vijana kutoka mtaa wa korogocho jijini Nairobi, walioasi uhalifu na kuamua kutunza mazingira ya jamii yao. Vijana hawa wananuia kuwa mfano kwa kizazi kijacho kufahamu kuwa hata juhudi ndogo zinaweza kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili. L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania. L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.
karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, kinaandaliwa na kuletwa kwako na Padre Ladislaus Mgaya, Mtaalamu na Mwanasheria wa sheria za kanisa Kutoka Jimbo Katoliki Njombe anaendelea kufundisha kuhusu taratibu za kufunga ndoa (Sheria namba 1112 -1118) Mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu utaratibu wa kufunga ndoa ndani ya kanisa Katoliki (Sheria namba 1112 -1118) proviene da Radio Maria.
In this latest episode of Real Chicks Rock!® Presents Real Discussions host Michelle Dawes Birt engages in a captivating conversation with the renowned artist and cultural visionary, Dr. Fahamu Pécou. This episode delves into the transformative power of art and how it shapes cultural reawakening in our society. Dr. Fahamu Pécou, originally from Brooklyn and raised in South Carolina, shares his inspiring journey from a young artist drawing cartoons to becoming a celebrated figure in the art world. With a deep connection to African culture and a passion for challenging stereotypes, Fahamu's work is a bold statement on the visibility and representation of Black people in art and media. Special Thanks to my guest, Dr. Fahamu Pécou Are you subscribed to the podcast? If not, subscribe so you never miss an episode. Please remember to rate, comment, share, and download your favorite episodes. Connect with Real Chicks Rock! Instagram - https://www.instagram.com/realchicksrock Facebook - https://www.facebook.com/RealChicksRock1 Twitter - https://twitter.com/RealChicksRock1 Website: www.RealChicksRock.com Connect with Fahamu Pecou and explore his art: Instagram: https://www.instagram.com/fahamupecou Website: https://www.fahamupecouart.com/home/about Merchandise: https://www.studiokawo.com Radio Station: www.StatusNetwork.net Kevin Hyman performed music for Kemit Muzik, LLC. The song is titled Still I Rise (The Lounge Lizards Bootleg Mix" '(Copyright permission granted)
Kuelekea ya Siku ya Kimataifa ya UKIMWI itakayoadhimishwa Jumapili hii, ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) iliyotolewa juzi Jumatano imeeleza kuwa dunia inaweza kufikia lengo lililokubaliwa la kukomesha UKIMWI kama tishio la afya ya umma ifikapo mwaka 2030 lakini kwa sharti kwamba viongozi ni lazima walinde haki za binadamu za kila mtu anayeishi na Virusi Vya UKIMWI, VVU au aliyeko hatarini kuambukizwa. Anold Kayanda ameangazia mfano mzuri wa Afrika Kusini unaofahamika kama “Takuwani Riime”.
Huko Havana Cuba mambo yanaendelea kuiva kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili huku wageni wakitoka katika kila pembe ya dunia kushiriki. Miongoni mwao ni Waziri Tabia Maulid Mwita kutoka Zanzibar ambaye amezungumza na shuhuda wetu katika kongamano hilo Flora Nducha kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi zilizoletwa na lugha ya Kiswahii Kisiwani Zanzibar.