POPULARITY
Mvua kubwa inaendelea kunyesha katika mataifa mengi ya Afrika ikisababisha mafuriko makubwa ,maafa na uharibifu wa mali Mvua ingawaje ni baraka, kunaponyesha ghafla inaweza kuwa chanzo cha baadhi ya magonjwa kama vile Malaria, Kipindu Pindu na magonjwa ya kusambazwa na minyoo.
Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Desderius Mwangaluka kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji nini maana ya baraza la maaskofu? L'articolo Fahamu maana ya baraza la Maaskofu proviene da Radio Maria.
Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi Grace Shayo na Bi Janeth […] L'articolo Fahamu kipindi ambacho mtoto hupenda zaidi mama yake proviene da Radio Maria.
karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya kikristo. kukualika kwa niaba yake mimi ni Pendo Stephano. L'articolo Fahamu Jukumu la Roho Mtakatifu katika malezi na makuzi ya maisha ya Kikristo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria zinazo mlinda mtoto juu ya matuzi ya mtandao. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Joyce Jonatus katika kipindi cha Walinde Watoto, Wawezeshaji ni Wakili Msomi Padre Apolinar Msaki pamoja nae Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu utaratibu uliowekwa juu ya ulizi wa mtoto proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Walinde Watoto, Mwezeshaji ni Wakili Msomi Gabriel Lukas kutoka Chuo Kikuu Kikatoliki Mwenge Jimbo Katoliki Moshi akitufundisha juu ya Sheria zinazo mlinda mtoto Tanzania. L'articolo Fahamu sheria ya ndoa na ulinzi wa mtoto. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa Walei, Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es Salaam, akitufundisha juu ya Kanzi ya Uongozi. L'articolo Fahamu maana ya Kanzi ya Uongozi katika Kanisa. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha Tafakari juu ya Epifania. L'articolo Fahamu mafundisho juu ya Epifania na chanzo chake proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu namna ya kupeleka upendo kwa Masikini proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu upendo wa Mungu ulipo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Peter Alphaxad katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya mwaka wa Kanisa. L'articolo Fahamu Kanisa linavyomwanzimisha Kristo katika maadhimisho yake proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Peter Alphaxid katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Abel Umbamba kutoka Seminari ya Maandalizi Tosamanganga Jimbo Katoliki Iringa akijibu swali la msikilizaji juu ya Elimu inayohusu Malaika L'articolo Fahamu elimu ya Malaika? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami mtangazaji wako Happiness Mlelwa katika kipindi chetu pendwa cha Elimu Jamii, hapa studio tupo na Bi Irene Guela kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano huduma kwa wateja kutoka TANESCO na Bi Catherine Mugoha Muhandisi nishati safi kutoka TANESCO, Wakitupa elimu kuhusu nishati na mita janja kupelekea maendeleo endelevu L'articolo Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Catherine Kaberege katika kipindi chetu pendwa cha chakula na lishe ambapo leo studio nipo na Bi. Nusura Salum, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya chakula na lishe Tanzania (TFNC), akiendelea kutoa ufafanuzi zaidi juu yamatokeo hasi na chanya ya Chumvi na Sukari katika Lishe. L'articolo Fahamu matumizi sahihi ya chumvi na sukari katika lishe proviene da Radio Maria.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi Wa Matangazo Radio Maria Tanzania akitufundisha juu ya upendo kwa maskini. L'articolo Fahamu Waraka wa Baba Mtakatifu Leo XIV juu ya upendo kwa maskini proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro – Life, Utetezi wa Uhai ambapo studio nipo na Bwana Godfrey Mkaikuta, Antony Lihepa, Witness Joachim na Janeth Akaro, Wakufunzi kutoka Pro – Life Tanzania wakitufundisha mada juu ya Mwanamke na tumbo la uzazi. L'articolo Fahamu kutungwa mimba kwa mwanadamu mpaka kuzaliwa kwake proviene da Radio Maria.
Miaka 80 iliyopita baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, mataifa 50 yalikutana huko San Francisco hapa nchini Marekani na kupitisha Chata iliyoanzisha Umoja wa Mataifa. Miongoni mwa malengo ni kuzuia vita na kujenga uhusiano mwema baina ya mataifa. Mathalani kuepusha nchi moja kuvamia nchi nyingine na kulinda haki za binadamu. Leo hii Chata hiyo imeendelea kusiginwa na kilichoibua mjadala zaidi ni tukio la Januari 3 la Vikosi Maalum vya Marekani kuingia Venezuela na kumtwaa Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro pamoja na mkewe kwa madai ya kwamba wanatakiwa wajibu tuhuma nchini MArekani za uhalifu mkubwa ikiwemo usafirishaji wa dawa za kulevya. Je Chata hiyo inasema nini? Assumpta Massoi na Rashid Malekela wanapitia baadhi ya vifungu pamoja na yaliyojiri baada ya hatua ya Marekani.
Tunapofika mwisho wa mwaka, jamii huingia katika kipindi cha sikukuu kama krismasi na mwaka mpya, ni wakati wa furaha, sherehe na kukutana na familia, lakini pia ni kipindi ambacho matumizi ya fedha huongezeka, watu wengi hujikuta wakitumia zaidi ya uwezo wao na mipango kusimama, tunajadili namna gani unaweza kuwa na nidhamu ya matumizi ya mwisho wa mwaka iwe kwa muajiriwa, mjasiriamali au mfanyabiashara.
Tunapofika mwisho wa mwaka, jamii huingia katika kipindi cha sikukuu kama krismasi na mwaka mpya, ni wakati wa furaha, sherehe na kukutana na familia, lakini pia ni kipindi ambacho matumizi ya fedha huongezeka, watu wengi hujikuta wakitumia zaidi ya uwezo wao na mipango kusimama, tunajadili namna gani unaweza kuwa na nidhamu ya matumizi ya mwisho wa mwaka iwe kwa muajiriwa, mjasiriamali au mfanyabiashara.
Tuliyukuandalia leo ni pamoja na timu za Afrika zimepangwa kwenye makundi gani katika Kombe la Dunia la mwaka ujao, nani ataibuka na taji la Formula 1 kesho, Kenya kuandaa mashindano ya dunia ya Taekwondo, michuano ya kufuzu mashindano ya shule za upili barani Afrika, kuanza kwa Ligi ya Afrika ya basketboli ya wanawake, wachezaji wa soka Afrika waanzisha kampeni dhidi ya polio, Onana na Aboubakar watemwa kikosini Cameroon huku nahodha wa Nigeria Troost Ekong akistaafu soka la kimataifa.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini? L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao. L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Peter katika kipindi cha Fahamu wito wako, mwezeshaji Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akitufundisha juu ya Heri za utakatifu furahini na kushangilia. L'articolo Fahamu heri za Utakatifu katika maisha ya Mwanadamu proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa Katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matamgazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya ujumbe wa Mama Bikira Maria kuhusu Amani. L'articolo Fahamu ujumbe wa amani wa Mama Bikira Maria kwa wanadamu? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili. L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji ni Frater Daud Fungameza kutoka Parokia ya Songwe Jimbo Katoliki Mbeya, akijibu swali la Msikilizaji linalosema nini maana ya Msalaba? historia yake na lini ishara ya Msalaba ilianza na kutumika, pia kwanini kunatofauti juu ya Upande wa kichwa cha Yesu wa kuegemea […] L'articolo Fahamu maana ya Msalaba na historia yake? proviene da Radio Maria.
Fahamu kundi la vijana kutoka mtaa wa korogocho jijini Nairobi, walioasi uhalifu na kuamua kutunza mazingira ya jamii yao. Vijana hawa wananuia kuwa mfano kwa kizazi kijacho kufahamu kuwa hata juhudi ndogo zinaweza kuleta mabadiliko katika jamii inayowazunguka.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili. L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji ni Dokta Apiov Lwiwa kiongozi THF-Morogoro , Bi.Mary Gilbert Masudi Mratibu wa THF pamoja na Bi. Mariana Consalves kutoka Mfuko wa Hisani wa Kusaidia Mahitaji ya Kibinadamu Tanzania. L'articolo Fahamu historia ya Tanzania Humanitarian Fund (THF), Mfuko wa Hisani wa kusaidia Mahitaji ya Binadamu Tanzania na utendaji kazi wake. proviene da Radio Maria.
karibu katika kipindi cha Sheria za Kanisa, kinaandaliwa na kuletwa kwako na Padre Ladislaus Mgaya, Mtaalamu na Mwanasheria wa sheria za kanisa Kutoka Jimbo Katoliki Njombe anaendelea kufundisha kuhusu taratibu za kufunga ndoa (Sheria namba 1112 -1118) Mtangazaji wako ni mimi Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu utaratibu wa kufunga ndoa ndani ya kanisa Katoliki (Sheria namba 1112 -1118) proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria Tanzania anafundisha juu ya heshima kwa Kanisa Kuu la Bikira Maria Mkuu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu kuhusu utajiri wa pekee ndani ya Kanisa Kuu la Mama Bikira Maria Mkuu. proviene da Radio Maria.
karibu usikilize kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa ambapo Mhashamu Josaphat Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha anafundisha juu ya nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine. kukualika kwa niaba yake mimi ni Joyce Jonatus. L'articolo fahamu nyenzo anazotumia Roho Mtakatifu kutugusa na kugusa wengine. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, maswali yatakayojibiwa yameulizwa na Judith kutoka Jimbo Kuu la Dar es Salaam akihoji hivi; Kwanini kwa Wakristo mtu akifariki wanawekewa Msalaba kwenye kaburi? Naomba kuelewa, maana ya nadhiri, na pia inaweza kuondolewa na mtu au na Mungu? Yanajibiwa na Frateri Barnabasi Myushi, kutoka Parokia Bikira Maria Mpalizwa mbinguni […] L'articolo Fahamu sababu ya kuweka Msalaba katika kaburi la Mkristo. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera anafundisha juu ya thamani ya wowkovu wetu akiangazia kipengele cha nguvu ya wowkovu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu vizuri nguvu ya wokovu wetu proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, kipindi hiki kinaandaliwa na kuletwa kwako na Mafrateri kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam Frateri John Honest anazungumzia madhara ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani. L'articolo Fahamu madhara ya ya kiuchumi yatokanayo na unyanyaswaji majumbani proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika Kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai , ambapo Wanautetezi wa Uhai wanazungumzia juu ya Wajibu na Mamlaka ya Wazazi katika Malezi ya Watoto, wakifafanua juu ya namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. L'articolo Fahamu namna bora ya kumsaidia mtoto kuwa na tabia njema. proviene da Radio Maria.
Karibu usikilize kipindi cha Ujumbe wa Biblia ambapo Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu anayefanya utume Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, akizungumzia mambo yanayoleta furaha katika ndoa. L'articolo Fahamu mambo yanayoleta furaha katika ndoa. proviene da Radio Maria.
Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025. Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.
Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi, leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria. L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Tumsifu Mama Maria, Mwezeshaji ni Padre Fabian Ngeleja, Paroko wa Parokia za Nyamanoro na Tarazo Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kufundisha juu ya uzuri wa Mama Maria, akiangazia uzuri namba tatu unaosema Bikira Mama shauri zuri la wanadamu. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu L'articolo Fahamu jinsi Mama Maria alivyo shauri zuri la wanadamu proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Padre Dominic Mavula C.PP.S na Mkurugenzi wa matangazo Radio Maria, anaendelea kutoa mafundisho kuhusu kuufariji Moyo Mtakatifu. Mimi ni Esther Magai Hangu, ninakualika kwa niaba ya Padre Dominic. L'articolo Fahamu vipaumbele vinavyokusudiwa katika kuufariji Moyo Mtakatifu wa Yesu proviene da Radio Maria.
Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.
In this latest episode of Real Chicks Rock!® Presents Real Discussions host Michelle Dawes Birt engages in a captivating conversation with the renowned artist and cultural visionary, Dr. Fahamu Pécou. This episode delves into the transformative power of art and how it shapes cultural reawakening in our society. Dr. Fahamu Pécou, originally from Brooklyn and raised in South Carolina, shares his inspiring journey from a young artist drawing cartoons to becoming a celebrated figure in the art world. With a deep connection to African culture and a passion for challenging stereotypes, Fahamu's work is a bold statement on the visibility and representation of Black people in art and media. Special Thanks to my guest, Dr. Fahamu Pécou Are you subscribed to the podcast? If not, subscribe so you never miss an episode. Please remember to rate, comment, share, and download your favorite episodes. Connect with Real Chicks Rock! Instagram - https://www.instagram.com/realchicksrock Facebook - https://www.facebook.com/RealChicksRock1 Twitter - https://twitter.com/RealChicksRock1 Website: www.RealChicksRock.com Connect with Fahamu Pecou and explore his art: Instagram: https://www.instagram.com/fahamupecou Website: https://www.fahamupecouart.com/home/about Merchandise: https://www.studiokawo.com Radio Station: www.StatusNetwork.net Kevin Hyman performed music for Kemit Muzik, LLC. The song is titled Still I Rise (The Lounge Lizards Bootleg Mix" '(Copyright permission granted)
Kuelekea ya Siku ya Kimataifa ya UKIMWI itakayoadhimishwa Jumapili hii, ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) iliyotolewa juzi Jumatano imeeleza kuwa dunia inaweza kufikia lengo lililokubaliwa la kukomesha UKIMWI kama tishio la afya ya umma ifikapo mwaka 2030 lakini kwa sharti kwamba viongozi ni lazima walinde haki za binadamu za kila mtu anayeishi na Virusi Vya UKIMWI, VVU au aliyeko hatarini kuambukizwa. Anold Kayanda ameangazia mfano mzuri wa Afrika Kusini unaofahamika kama “Takuwani Riime”.
Huko Havana Cuba mambo yanaendelea kuiva kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili huku wageni wakitoka katika kila pembe ya dunia kushiriki. Miongoni mwao ni Waziri Tabia Maulid Mwita kutoka Zanzibar ambaye amezungumza na shuhuda wetu katika kongamano hilo Flora Nducha kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi zilizoletwa na lugha ya Kiswahii Kisiwani Zanzibar.