POPULARITY
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kwaresima (sehehemu ya themanini na tano) proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Josephati Lui Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, akiendelea kujibu maswali mbalimbali ya Msikilizaji na moja ya Swali hilo ni Roho Mtakatifu anatupatia nini? L'articolo Fahamu neema za Roho Mtakatifu kwa Wanadamu. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na nne) proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Paulo Kasanda John, Kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Wamisionari-Malya Jimbo Kuu la Mwanza, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, dhambi ya Kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi?” L'articolo Je, dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu ni dhambi gani na kwanini haisamehewi? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na nne] proviene da Radio Maria.
Bratislavské Iné Kafé je jednou z nejpopulárnějších kapel na Slovensku a jejich popularita se přelila také přes Moravu k nám. Frontmanem této trojice, která vychází z kalifornského pop punku a tvorby skupin jako The Ramones, je Vratko Rohoň. Ten se však v době, kdy byla kapela na vrcholu popularity, rozhodl dát přednost kariéře dopravního pilota, načež skupina uspořádala velký rozlučkový koncert a přestala existovat. Vyslyšela však volání svých fanoušků a po několika letech se vrátila na pódia i k vydávání nových alb, v čemž pokračuje až dodnes. Letos pak slaví třicet let od svého vzniku. O tom všem Vratko vyprávěl v dalším On Air. ON AIR je talk show hudebního publicisty Pavla Kučery s hudebníky a lidmi z hudební branže. Nový díl je uveřejněn každý týden na YouTube kanálu kytary.cz. Facebook: https://www.facebook.com/onairtalks Přehled starších dílů zde: http://bit.ly/VsechnyOnAirRozhovory Starší díly On Air si můžete poslechnout i ve formě podcastů zde: Spotify http://bit.ly/OnAirRozhovorySpotify Apple Podcasts https://podcasts.apple.com/cz/podcast/on-air #rozhovor #inekafe
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na tatu] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na mbili] proviene da Radio Maria.
Dnes ráno bol v Hemendexe Vratko Rohoň z kapely Iné Kafe, ktorý predstavil ich novinku s názvom Kolagénová nitka. Iné Kafe majú radi ženskú prirodzenosť a touto pesničkou bojujú proti umelej kráse. Zistili sme, čo si Vratko ako prvé všíma na ženách, čo si spieva v sprche alebo či a čo by si dal na sebe vylepšiť!
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na moja] proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali ya Imani ukiwa nami Frateri Samson Peter Tibianus, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya maneno Ee Bwana Sistahili uingie kwangu lakini sema neno tu na Roho yangu itapona? L'articolo Fahamu maana ya Maneno Ee Bwana Sistahili uingie kwangu lakini sema neno tu na Roho yangu itapona. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Elikana Nyakabona kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali hili, kwanini tunaposali sala ya atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu tunainamisha vichwa chini?. L'articolo Je, wafahamu kwanini tunaposali sala ya atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu tunainamisha vichwa chini? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, leo tupo na Mhashamu Josaphat Louis Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akituongoza kujifunza madhara ya kumkufuru Roho Mtakatifu. L'articolo Je, wafahamu kazi ya Roho Mtakatifu katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
Koukla jsem na hodinky. No vida! Hnala jsem z nádraží, abych tu byla včas a můj Pavlíček má zpoždění! Objednala jsem si kafe a sodu, vyzula si pod stolem lodičky a zálibně si prohlížela snubní prstýnek. Teď už jsem jenom Pavlova.Všechny díly podcastu Když vypráví nápověda můžete pohodlně poslouchat v mobilní aplikaci mujRozhlas pro Android a iOS nebo na webu mujRozhlas.cz.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Fredrick Alfred Kabonge, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu La Songea, nikijibu Swali la Msikilizaji linalosema Wakristo Wakatoliki tunaposali Sala ya Rozari Takatifu huwa tunaombea Roho zilizopo Toharani, Je, Toharani ni wapi? L'articolo Je, Toharani ni wapi? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa, leo tupo na Mhashamu Josaphat Louis Lebulu, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akituongoza kujifunza madhara ya kumkufuru Roho Mtakatifu. L'articolo Nini maana ya kumkufuru Roho Mtakatifu? proviene da Radio Maria.
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Roho mtakatifu
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Roho mtakatifu
Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tupo naye Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili-Hemba Hemba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma akituongoza kujifunza Moyo Safi wa Mama Maria, wokovu wa roho. L'articolo Ni, kwa namna gani Bikira Maria ni Moyo safi na wakovu wa roho? proviene da Radio Maria.
Prinášame premiérovú epizódu relácie Arény s Janou Krescanko Dibákovou. Poslanec Alojz Hlina komentuje, či koalícia z odvolaného Michala Šimečku neurobila martýra a čo v tejto situácii chystá opozícia, ktorá už v parlamente prišla aj o predsednícky post vo výbore, ktorý kontroluje činnosť tajnej služby. Ako bývalý predseda KDH kritizuje hnutie za postoj k odchádzajúcej poslankyni Martine Holečkovej. Arénu si budete môcť pozrieť na videu, vypočuť v podcastových aplikáciách alebo prečítať na stránkach denníka SME. Aréna na SME: https://video.sme.sk/t/20014/arena-s-janou-krescanko-dibakovou Aréna na Spotify: https://open.spotify.com/show/1xoWFYC34rQK5tyBC3uWKH?si=2d1cfc50d5694bbc Aréna na Apple Podcastoch: https://podcasts.apple.com/us/podcast/aréna-s-janou-krescanko-dibákovou/id1768787476 Zdroj zvukov: TASR – Všetky podcasty denníka SME nájdete na sme.sk/podcasty – Odoberajte aj audio verziu denného newslettra SME.sk s najdôležitejšími správami na sme.sk/brifing – Odoberajte mesačný podcastový newsletter nielen o novinkách SME na sme.sk/podcastovenovinky – Ďakujeme, že počúvate podcast Dobré ráno.
Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.
Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.
Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.
Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.
Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya Roho mtakatifu
Kumsifu Bwana kwa njia ya nyimbo, Silaha ya Roho mtakatifu
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kufundisha juu ya mada Ekaristi Takatifu nguvu Ibadilishayo L'articolo Je, wafahamu Ekaristi Takatifu ni chakula cha Roho? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Roho Mtakatifu na Kanisa leo tupo na Askofu Mkuu Mstaafu Josaphat Louis Lebulu wa Jimbo Katoliki Arusha akituongoza kujifunza lishe ya kiroho ya tunda la Roho Mtakatifu. L'articolo Ni, kwa namna gani Matunda ya Roho Mtakatifu hujidhirisha Nafsi mwetu? proviene da Radio Maria.
Mungu katika nafsi
trklist 445 Chillgogog ft Shoutit - The Staff (Sdewdent Remix)Niko Marks - Music Got Me Fred Everything & Sapele - A Long Time Coming Tom Jarmey - Negative (Synkro Remix)Noppo and Bazil MC - Can't Hide Martyn - Broken Saul Williams - When Angels Speak (a cappella)Jonny L - I Want You (Neekeetone Dub Mix)Quiet Dawn - Celebrate ft. LyricLNubiyan Twist ft Ria Moran - All the Same LCSM - Givin' Up (Ft. Allysha Joy)Yaya Bey - Let goNorah Jane X Mor.Lov - Distracted Hydrofunk Family Present - Right Here ft Kel on Earth Shingo Suzuki - You don't know (what life is) ft Kojoe, Ruri Matsumura Scott Y Los Pelmazos - Santa Ines (Live) Azuhl / Brasse Vannie Kaap ft Joe Barber - Praat Bollie (Bontas rmx)Machinedrum - Weary ft Mick Jenkins & Jesse Boykins IIIJ.Rocc - So Happy (Yes Yes) Mausiki Scales - Coffy Is The ColorRugawd - Cold One (with ROHO & Anthony Aldissi) Leif Maine & Jackson Mathod ft Turt - Move Something2seam - Fullcircle Rashad - Just Another Day T.A.Y.E. - Renovation Process Ggoldie & Chley - Asambe ft Rivalz, T.M.A RSA & Ceeka RSABongza ft MDU akaTRP, Mashudu, Tracy, Young Mafia - Liyajika J-Dot Music - Bossa Nova Jorge Iván Martín ft Frank Santiuste - Yo También Bailé la Conga (Born74 + Fradinho RMX)corto.alto - Latency Matthew Daher - Fire Sicky Cyclops & The New Banger Grooves Ensemble - Let's Love magz fm / musik you haven't heard yetconnect: www.maggysrooftopaerial.com
MAGZ FM 445 Chillgogog ft Shoutit - The Staff (Sdewdent Remix) Niko Marks - Music Got Me Fred Everything & Sapele - A Long Time Coming Tom Jarmey - Negative (Synkro Remix) Noppo and Bazil MC - Can't Hide Martyn - Broken Saul Williams - When Angels Speak (a cappella) Jonny L - I Want You (Neekeetone Dub Mix) Quiet Dawn - Celebrate ft. LyricL Nubiyan Twist ft Ria Moran - All the Same LCSM - Givin' Up (Ft. Allysha Joy) Yaya Bey - Let go Norah Jane X Mor.Lov - Distracted Hydrofunk Family Present - Right Here ft Kel on Earth Shingo Suzuki - You don't know (what life is) ft Kojoe, Ruri Matsumura Scott Y Los Pelmazos - Santa Ines (Live) Azuhl / Brasse Vannie Kaap ft Joe Barber - Praat Bollie (Bontas rmx) Machinedrum - Weary ft Mick Jenkins & Jesse Boykins III J.Rocc - So Happy (Yes Yes) Mausiki Scales - Coffy Is The Color Rugawd - Cold One (with ROHO & Anthony Aldissi) Leif Maine & Jackson Mathod ft Turt - Move Something 2seam - Fullcircle Rashad - Just Another Day T.A.Y.E. - Renovation Process Ggoldie & Chley - Asambe ft Rivalz, T.M.A RSA & Ceeka RSA Bongza ft MDU akaTRP, Mashudu, Tracy, Young Mafia - Liyajika J-Dot Music - Bossa Nova Jorge Iván Martín ft Frank Santiuste - Yo También Bailé la Conga (Born74 + Fradinho RMX) corto.alto - Latency Matthew Daher - Fire Sicky Cyclops & The New Banger Grooves Ensemble - Let's Love
Take stock with us as we look into 2024. Taking stock categories: Love and relationships - romantic and platonic Personal Development Career Wellbeing - mental health, fitness (00:00:00) - Introduction (00:05:15) - What's Caught Our Attention Lately (00:30:52) - Fungua Roho - Love & Friendships (00:53:30) - Fungua Roho - Personal Development (01:05:58) - Fungua Roho - Career/Wellbeing (01:17:07) - Looking into 2024! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/irip/message
Karama za roho na huduma
In this episode of Wheelchair Nerds, we're joined by Bobby Brown, a clinical psychologist and end user, and Kara Kopplin, Director of Regulatory Science for Permobil to discuss how science meets application in wheelchair cushion design. Bobby shares his personal journey of discovering the immense importance of selecting the perfect cushion for his needs, while Kara provides valuable insights into the rich history of ROHO and the underlying principles that drive their innovative designs.
With love from Sharon & Jules --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/irip/message
. --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/irip/message
Roho yangu ikuimbie, Jinsi ya kupokea msaada wa Mungu
Kazi za Roho Mtakatifu
Fundisho la Roho mtakatifu na kazi zake
Roho Mtakatifu kiongozi maishani
Ulimwengu umeendelea kuomboleza kwa masikitiko kifo cha mcheza soka wa Brazil Edson Arantes do Nascimento, almaarufu Pelé. Kwa Umoja wa Mataifa Pelé alikuwa mshambuliaji muhimu katika kufanikisha ushindi wa malengo ya Umoja wa Mataifa. Kwa nyakati tofauti akiteuliwa kuwa Balozi Mwema wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kama elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO na kuhudumia watoto UNICEF. UN News kupitia Idhaa ya Kireno imepata fursa ya kuzungumza na mtoto wake wa kiume na mkewe kuhusu Pelé nje ya uwanja.....Ni Monica Grayley wa Idhaa ya Kireno ya Umoja wa Mataifa akimkaribisha Joshua Nascimento mmoja wa watoto wa kiume wa Pelé. Na baada ya mazungumzo kuhusu namna Pelé alivyowalea kwa adabu japo bila kuwaadhibu sana, swali likawa…ni kwa namna gani ungependa baba yako akumbukwe kwa vizazi vingi vijavyo?Joshua Nascimento anajibu kuwa angependa baba yake kwanza akumbukwe kama mchezaji bora kama alivyokuwa wakati wake na mafanikio yote aliyokuwa nayo kwa mchezo huo lakini pia mambo aliyoyafanya nje ya mchezo, mambo aliyoyafanya kwa nchi yake ya Brazil na hasa kwa watoto hata pale alipofunga goli lake la 1000 alisema ni kwa ajili ya kuwajali watoto.Kijana Joshua alikuwa akiyasema haya akiwa ameketi na mama yake mzazi, Assiria Lemos, mke wa zamani wa Pele naye anajibu swali kama hilo la Je, angependa Pelé akumbukwe vipi? Anasema ukiacha kile ambacho kila mtu anakifahamu kuwa Pele alikuwa mcheza mpira wa miguu wa kiwango cha juu, lakini pia kama mtu tu binafsi alikuwa,(Sauti ya Assiria Lemos)“mstahimilivu, mnyenyekevu, mkarimu, mwenye roho nzuri, mtu wa familia anayejali watu wa familia yake na watu wenye uhitaji. Roho nzuri.”
Doris Mollel kwa kuanzia tu tuanze na jina lake, ni zuri lenye kukumbukwa ki rahisi, yeye mwenyewe pia ni mrembo na mkarimu, sana. Roho yake ni kama rangi yake, nyeupe na kwa bahati Mimi namfahamu yeye kiasi kwa kupitia rafiki zangu ambao yeye anafanya nao kazi na pia ana mahusiano nao mazuri, sana. Pia namfahamu mume wake ambaye tukianza shindano la kumtafuta nani mkarimu kati yao tunaweza kukamaliza kwa suluhu. Huwa naamini Mwenyezi aliwakutanisha ili kwa pamoja waweze kufanya makubwa kwaajili yao na familia zao na jamii ambayo imewanzunguka ambayo kwa kiasi kikubwa ina uhitaji wa yale ambayo wao wameyaona wanaweza kufanya jambo ili yawe mepesi. Sasa tuanze kwa vipi Doris amekua akifanya ambayo anayafanya sasa ambayo baada ya kufanya kipindi hiki mengi ambayo aliyaongelea kama ya Serikali ya Uganda kumpa tuzo na kumkaribisha nchini mwao ili aweze kushirikiana nao bega kwa bega kwenye suala zima la kuwaokoa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati yaani ‘NJITI' na hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia S. Hassan kutoa MILIONI 70 kwaajili ya kuchangia mfuko wake wa Doris Mollel Foundation. Yeye alikua anataka tu kufanya kitu kwaajili ya kuisadia jamii yake, ananiambia wakati analizungumzia hilo huku akitafuta jambo la kufanya ndipo Mama yake alipomfugua macho kwa kumuambia masuala ya watoto njiti, taa iliwaka sasa baada ya Mama yake kumkumbusha kwamba hata yeye alizaliwa kabla ya wakati. Alipoambiwa hivyo hakukua na kurudi nyuma tena baada ya hapo. Ananisimulia vikwazo ambayo aliwahi kupata mwanzo kuanzia nyumbani mpaka kwenye kutafuta hizo pesa ambazo zinasaidia mpaka leo hii, Doris ananihadithia jinsi ambavyo alipata bahati ya kuwa na watu ambao wamemsapoti na wanamsapoti mpaka leo kuanzia nyumbani kwa mume wake. Mtu ambae ndoa yao ilikua changa kuanza kuwa na vikao na watu mbali mbali mpaka usiku wa manane inamtaka mtu muelewa sana kuweza kuamini na kuyaacha mambo yaende. Mumewe alikua huyo mtu. Kwa ambao walimpigia simu mara ya kwanza baada ya kuona anchojaribu kufanya, watu kama Asas wa kule Iringa na wengine ambao wamekua wakijitokeza siku baada ya siku. Anakumbuka na anajua kwamba kutokata tamaa kwasababu ya changamoto kadhaa ndo ambapo kunamfanya awe ni mmoja ya watu wanao heshimika zaidi kwa mchango wake kwenye jamii yetu. Binafsi naamini huu ni mwanzo tu wa mazuri mengi ambayo binti huyu halisi wa ki Tanzania anajaribu kufanya. Sekta ya kulea watoto ambao wamezaliwa kabla ya wakati inahitaji hela nyingi na kwasababu ambazo Mimi na wewe hatuzijui kumekua na vifaa VICHACHE sana vya kuwahifadhi watoto hao mara tu wanapo zaliwa. Doris na Foundation yake amekua akipigana vita hiyo kuhakikisha vifaa vinapatikana sio mjini tu, hata mikoani ili kuokoa maisha ya watoto hawa ambao wengine huishia kwenye debe la taka kwasababu tu walizaliwa kabla ya wakati wao. Yangu matumaini utamuelewa na utapata nafasi ya kumfuatilia na kama utakua na lolote ambalo unaweza kuchangia basi yuko kwenye mitandao ya kijamii maana siku hizi kumpata mtu na kujua ambacho anakifanya imekua rahisi kupitia mitandao hiyo. Mimi najivunia sana yeye na yangu matumaini atafanikiwa sana kwenye sekta hii kama nasi tutaweza kumsaidia pale panapowezekana. Tunahitaji kina Doris tele kwenye jamii yetu maana vya kusaidia viko vingi. Yangu matumaini episode hii itasaidia kukufungua macho kwenye mengi ambayo jamii yetu ina uhitaji. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Roho returns to the Samurai Podcast with a high-energy selection to celebrate the recent release of his Elemental EP