Podcasts about tume

  • 83PODCASTS
  • 280EPISODES
  • 30mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Feb 24, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about tume

Latest podcast episodes about tume

Tuhannes - Podcast
68. Väkivallan ilmapiiri ja turpaan baarissa

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 83:02


Kuuntele kaikki Tuhannes -jaksot Podimossa! Aloita ilmainen kokeilu osoitteessa podimo.fi/kokeilu!Tuhannes Podcastin debyytti Podimon maksumuurien sisällä tyhjentää pajatson viimeistä senttiä myöten, kun on aika keskustella väkivallan uhasta. Tume meinasi saada baarissa turpaan hauskalla baarikierroksella.Koska Juni Jannila salakuljetti pojat Podimon maksumuurilinnakkeen sisään mieskuulijoiden perässä, on aika myös keskustella miehisyydestä. Miksi ne vanhat miehet haluaa niin kovin harjoittaa väkivaltaa ollessaan humalassa? Keskustelua luvassa uhkaavista tilanteista, ystävällisistä pokeista, ja ikävistä ihmisistä röökipaikalla. Stadin yö on täynnä erilaisia ihmiskohtaloita. Roastaamme myös ns. lelupoliiseja. Ehkä turpaansaannin uhalla oli ihan hyvä pointti… Onneksi baarissa voi olla myös kivaa. Johannes kertoo hurjan tarinan Lappeenrannan reissulta, jossa itse kaupunginjohtaja toi shamppakaljaa pöytään. Lopussa myös lyijytetään läppäriä kädessä kantavia lukiolaisia (tuttuun tapaan) ja pohditaan, miksi Gen-Z vihaa nykyään jopa HYMYILYÄ?Tervetuloa matkaan!T. Tussu ja JossuTuhannes ilmestyy tiistaisin ja lyhyempää Tuhannes ja yksi yötä -jaksoa pääset nautiskelemaan aina perjantaisin. Seuraa Tuhannesta myös somessa! @tuhannes @tume @goals.johannes

Ivarnational Orienteering Podcast
Bonus! Cancelled race at Madeira o meeting - talk with TuMe about Madeira for training!

Ivarnational Orienteering Podcast

Play Episode Listen Later Jan 18, 2026 11:46


After trees over the road driving towards the arena, it was clear that todays race at Madeira o meeting was cancelled!Then Ivarnational went down from the mountains towards the levada and some flat running (and driving) together with the TuMe runners Øystein Kvaal Østerbø and Esa Huttunen. There the recorder came up, and we got a talk - both about the cancellation and the training at Madeira.Enjoy!To get the best orienteering equipment, go to Noname webshop: https://webshop.nonamesport.com/en/with the code: "IvarNat20", you will get 20% off!To get the premium at Livelox, use: "2XIVAR" (both capital letter and small caps works)Maderia Orienteering January!https://mom.camadeira.com/ To get the best orienteering trainings, check out: O-Portugal.ptShoes for running on trails, flat and terrain:https://scantrade.no/merker/scott-l%C3%B8p/sko

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkono

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 16, 2026 9:31


** Kikundi cha Kiyahudi kinatoa wito wa mabadiliko na ucheleweshaji wa marekebisho ya hotuba za chuki za serikali... ** Angalau watu watano wameuawa katika mashambulio ya anga ya Israeli katika Ukanda wa Gaza ** Donald Trump ametishia kutuma wanajeshi kwenda Minneapolis ili kutuliza maandamano yanayoendelea juu ya matendo ya maafisa wa uhamiaji wa shirikisho katika Minnesota.

Lietuvos diena
Ministras Budrys: mes turėtume apsvarstyti Lietuvos dalyvavimą pratybose Grenlandijoje

Lietuvos diena

Play Episode Listen Later Jan 16, 2026 44:08


Prokuratūra teismui perdavė baudžiamąją bylą, kurioje šeši užsieniečiai kaltinami pasikėsinimu 2024-ųjų rugsėjį įvykdyti teroro išpuolį Šiauliuose, padegant privačią karinę paramą Ukrainai.Europos valstybėms pradėjus dislokuoti karius Grenlandijoje, užsienio reikalų ministras Kęstutis Budrys sako, kad Lietuva turėtų apsvarstyti dalyvavimą karinėse pratybose saloje. Pasak diplomatijos vadovo, dalyvauti NATO misijose yra Lietuvos, kaip Aljanso narės, atsakomybė.Dėl būsimo Kapčiamiesčio poligono nerimauja ir seiniškiai.Pirmąkart per ketvirtį amžiaus trunkančią Tarptautinės kosminės stoties istoriją, įgula grąžinta į Žemę anksčiau laiko dėl medicininės evakuacijos, kurios prireikė vienam įgulos nariui.Ved. Darius Matas

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 9, 2026 9:13


**WAZIRI MKUU ANTONY ALBANESE AZINDUA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA KESI ZA CHUKI DHIDI YA WAYAHUDI AUSTRALIA. **MAWIO YA MOTO YAWEKWA SEHEMU MBALIMBALI AUSTRALIA HUKU JOTO IKIZIDI KUONGEZEKA ** KIFO CHA MWANAMKE MAREKANI YAZUA UTATA.

Habari RFI-Ki
Tume ya umoja wa mataifa nchini DRC, MONUSCO yaongezewa mwaka mmoja zaidi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 22, 2025 10:00


Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa mwaka mmoja kwa ujumbe wa kulinda amani nchini DRC, wakati mapigano yakiongezeka mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulizi mapya ya waasi wa M23. Uamuzi huu unakuja wakati mjadala ukiendelea kuhusu ufanisi wa MONUSCO nchini humo. Je, unaamini hatua hii itasaidia au ujumbe huo umepoteza uaminifu na uwezo wa kuleta mabadiliko ya kweli? Je, umoja wa Mataifa unapaswa kufikiria upya mkakati wake wa kulinda amani nchini DRC?

Habari RFI-Ki
Tume ya umoja wa mataifa nchini DRC, MONUSCO yaongezewa mwaka mmoja zaidi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 22, 2025 10:00


Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa mwaka mmoja kwa ujumbe wa kulinda amani nchini DRC, wakati mapigano yakiongezeka mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulizi mapya ya waasi wa M23. Uamuzi huu unakuja wakati mjadala ukiendelea kuhusu ufanisi wa MONUSCO nchini humo. Je, unaamini hatua hii itasaidia au ujumbe huo umepoteza uaminifu na uwezo wa kuleta mabadiliko ya kweli? Je, umoja wa Mataifa unapaswa kufikiria upya mkakati wake wa kulinda amani nchini DRC?

Habari za UN
09 DESEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 9, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea ufafanuzi wa umuhimu wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu kutoka kwa Seifu Magango Msemaji wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa ambaye anaanza kwa kuzungumzia azimio la tamko hilo la haki za binadamu.Utafiti uliofanywa na Tume ya Ulaya kwakushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa linalaoshughulikia masuala ya wanawake UN Women umebaini kuwa wanawake saba kati ya kumi wakiwemo watetezi wa haki za binadamu, wanaharakati na waandishi wa habari wanakumbana na ukatili mtandaoni.Meneja Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na masuala ya watoto UNICEF Tess Ingram yupo ziarani Ukanda wa Gaza huko Mashariki ya kati ambapo hii leo amezungumza na waandishi wa habari jijini Geneva Uswisi na kuwaeleza aliyoshuhudia huko ikiwemo wajawazito walio na utapiamlo kujifungua watoto wenye uzito mdogo au kuzaliwa kabla ya wakati, ambao wengine wanakufa katika vyumba vya wagonjwa mahututi      au wengine hupona lakini watoto hao hukabiliwa na utapimlo au matatizo mengine ya kiafya.Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi wa Rangi CERD, leo imetoa onyo kali kwa Sudan, ikieleza wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la matumizi ya lugha ya kudhalilisha, kauli za chuki na ukiukaji Mkubwa wa haki za binadamu unaochochewa na misingi ya kikabila. Kamati imesem Mashambulizi haswa dhidi ya jamii za Fur, Masalit na Zaghawa, yanadaiwa kufanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka RSF na makundi washirika katika maeneo ya El Fasher, Darfur Kaskazini.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "PEKUPEKU"Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Programu ya Ujana Salama yawezesha vijana Tanzania - UNICEF

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 28, 2025


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF)  kupitia programu yake ya stadi za maisha na mafunzo ya biashara iitwayo Ujana Salama , inayofadhiliwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini humo TASAF kwa msaada wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewezesha kikundi cha vijana nchini humo kujitegemea. Mmoja wa vijana wanufaika wa programu hiyo ameweza kujenga mustakabali ambao awali aliouna kama ndoto kupitia masomo ya ushoni. Sheilah Jengetich na taarifa zaidi.

Habari za UN
28 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 28, 2025 10:59


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya amani na usalama nchini Guinea-Bissau, utapiamlo nchini Sudan na juhudi za UNICEF za kuwawezesha vijana ili waweze kujikwamua kimaisha nchini Tanzania.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani vikali mapinduzi yanayoendelea nchini Guinea-Bissau akitaka “urejeshwaji wa haraka na usio na masharti wa utawala wa kikatiba” baada ya wanajeshi kutwaa madaraka kufuatia uchaguzi mkuu wa uliofanyika tarehe 23 Novemba.Zaidi ya miaka miwili na nusu ya vita nchini Sudan imewaacha watu milioni 21 karibu nusu ya watu wote wa nchi hiyo wakikabili njaa kali, huku maeneo mawili yakithibitishwa kukumbwa na baa la njaa. Mapigano yamepungua kwa sasa katika baadhi ya sehemu za Khartoum, na masoko yanaanza kufunguliwa tena., Lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP linaonya kuwa hali bado ni tete.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF)  kupitia programu yake ya stadi za maisha na mafunzo ya biashara iitwayo Ujana Salama, inayofadhiliwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini humo TASAF kwa msaada wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewezesha kikundi cha vijana nchini humo kujitegemea. Mmoja wa vijana wanufaika wa programu hiyo ameweza kujenga mustakabali ambao awali aliouna kama ndoto kupitia masomo ya ushoniMwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wanafunzi zaidi ya 200 watekwa Nigeria, tume ya kuchunguza vurugu Tanzania yaapishwa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 22, 2025 19:58


Habari kuu wiki hii ni siasa za Tanzania zilizosababisha kuundwa kwa tume ya kuchunguza mauaji ya baada ya uchaguzi, kule DRC athari ya mafuriko, tutaangazia ripoti ya WHO kuhusu dhulma dhidi ya wanawake, kule Nigeria tutaangalia utekaji nyara wa wanafunzi zaidi ya 200 pia Mkutano wa G20 kufanyika wikendi hii Afrika Kusini Marekani ikisusia. Mkutano wa COP30 wakamilika Brazil bila mwafaka kuhusu kuachana na mafuta kisukuku. 

Tuhannes - Podcast
66. Sielunmyyjäiset

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later Nov 16, 2025 51:36


Tuhannes Oyn sielunmyynnin ammattilaiset kertovat tänään isoja uutisia. Luvassa myös senkkikeskustelua, ihan fishtaco-luokkaa kaikki jutut. Mukana myös muutama ohjelmaosio! Jakson alusta katosi tosin 25minuuttia joka vesitti tätä kokonaisuutta hieman, mutta siitäkin selvittiin!Tuhannes - nettikauppa ⁠⁠⁠⁠https://www.tuhannes.com/⁠⁠⁠⁠Tuhannes - TikTok⁠⁠⁠⁠https://www.tiktok.com/@tuhannes⁠⁠⁠⁠Tuhannes - Instagram⁠⁠⁠⁠https://instagram.com/tuhannes⁠(0:00) Tumen monologi - Mikseri teki meille temput ja ekat 25min katosi bittiavaruuteen(1:58) Nuorison pakkoliikkeet(3:15) Kielletyt aiheet(4:03) Pitäiskö meidän puhua oikeesti jostain järkevästä?(6:51) Tumella on uusi hieno paita(7:07) John Pork(8:22) Toimisto talk, lisää senkkejä ja Bonanzaa(10:32) Jaajo Linnonmaan Räsypokka-ohjelma, ajat olivat eri(12:07) Remppa talk ja Tumen YouTube comeback(13:22) Tumea pelottaa olla yksin toimistolla(14:38) Mennään taas Cancel elokuvaan(17:03) Tutkikaa Tuhannesta, miks tiede on niin vaikealukuista, miksei asioita selitetä yksinkertaisemmin, Tuhannes Tettiläinen(21:00) Shoutout Dadamedia(22:03) Läpällä kauppikseen(23:59) Tume heittää relevantin House-aiheisen vitsin(25:50) Testataan Välihömpsy(26:32) ISOJA JUTTUJA TULOSSA! TUHANNEKSEN TULEVAISUUS!(37:43) Klassikko-ohjelmaosio: Pakotetaan uusia sanoja(40:30) Klassikko-ohjelmaosio: Tuhannes keksii asioita(49:25) Loppuläpät, Blind Channel, Joel Hokka ja performatiivinen fanitus

Tuhannes - Podcast
64. Humanoidit saapuvat ja tyhmät kysymykset tekoälyltä

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later Nov 2, 2025 78:47


Naurukelkka kurvaa jälleen Tuhannes - toimistolle, kun on aika vääntää tikusta asiaa ikivanhojen, jo useaan kertaan käsiteltyjen aiheiden parissa. Hirveää, korvia punottavaa keskustelua nikotiinin iloista, Cancel - elokuvan purkua, Tukholman reissua, ongelmia englannin sekä ruotsin kielen kanssa, ja kyllähän sitä ollaan päästy ihan käräjäoikeudenkin kanssa tekemisiin! Lopussa tutustutaan myös Neo - The Home Robot - humanoidiin joka on portti uuteen dystooppiseen aikakauteen, tärkeimpänä kuitenkin kysymys: voiko sen kanssa harrastaa haureuksia? Muistakaahan myös tipata ruokalähettejä! Tervetuloa! Tuhannes - nettikauppa ⁠⁠https://www.tuhannes.com/⁠⁠Tuhannes - TikTok⁠⁠https://www.tiktok.com/@tuhannes⁠⁠Tuhannes - Instagram⁠⁠https://instagram.com/tuhannes⁠(0:00) Intro, Johanneksen vanha Summeri-jakso(1:10) Nikotiinin räävitöntä ylistämistä, Tumen tuliaiset Tukholmasta, automaattinen bongi, Johanneksen nikotiinitarina synnäriltä, nikotiinittomat pussit(14:54) Ei jaksoa ilman Cancel – elokuva-analyysia(16:40) Tumen Tukholman PR-reissu, firmat keksii influille täytettä tyhjään elämään, työmatka-core, kielitaito, vaihdon haikailu, shoppailut(30:12) Toimisto-updatea, vinyylisoitin, uusia huonekaluja, tiirikointi-incident(33:31) Johannes murtautui omaan kämppäänsä Kalliossa(34:50) Suorastaan haluu tulla toimistolle, mitä uutta viel tarvitaan(37:16) Vinyylisoitin on kiva juttu(39:32) Kirje käräjäoikeudesta, vyyhti(44:27) Kuulijoiden kommentit, oletko Team Tume vai Johannes?(45:31) Tekoälyn hyödyt, Cool S, tyhmät kysymykset tekoälyltä(50:30) Tume on surullinen koska Johanneksella on isäkiireitä(52:14) Lisää tyhmiä kysymyksiä tekoälyltä, mitä sinä olet kysynyt?(54:54) Miks kaikki sanoo jeps?(58:22) Vitun vanha ruokalähetti ja alustataloudella riistäminen(1:03:32) Huonon sään lisämaksu Wolttiin ja Foodoraan(1:06:11) Johannes muuttaa uuteen kämppään(1:09:02) Kotiapulaisena toimiva Neo-tekoälyrobotti(1:16:14) Loppulätinät, mitä vkloppuna, halloween, muutto

cancel johannes neo ei lis tervetuloa miks teko tekoa lopussa tume tukholman kysymykset kuulijoiden tukholmasta toimisto muistakaahan
Tuhannes - Podcast
62. Tietovisailu ja elämän lohdullinen tyhjyys

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later Oct 19, 2025 56:21


Tume pitää Johannekselle tietovisailun vanhoista äänistä. Kyllähän me nyt Tellus-tietovisa muistetaan. Hirveän paljon saadaan tikusta asiaa kun puhutaan häkkivarastoista. Onko elämä pelkkää salilla käymistä ja nukkumista? Isoi teemoi. Tuhannes - nettikauppa https://www.tuhannes.com/Tuhannes - TikTokhttps://www.tiktok.com/@tuhannesTuhannes - Instagramhttps://instagram.com/tuhannesChatGPT said:(0:00) Introlätinät, talvi tulee ja häkkivarasto-lore(8:50) Johannes kiittää sairaanhoitajia ja lääkäreitä(10:13) Hullu ohjelma-osio! Arvaa ääni!(25:33) Tuhannes omistaa nykyään lätkäjoukkueen(28:55) Tumen vessa-aiheinen juttu(32:21) Tumen eksistentiaalinen kriisi elämän sisällöstä(42:45) Uutinen: Shampanjaindeksi(45:44) Uutinen: Neuvolat siirtyvät Prismaan(48:53) Uutinen: Piia kiellettiin leipomasta pullaa vanhuksille(51:43) Ohjelmaosio: Oudon spesifit estetiikat(55:39) Outrolätinät, mitä vkloppuna

Tuhannes - Podcast
60. Sori kun ollaan myöhässä

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later Oct 5, 2025 69:36


Olemme vihdoin palanneet hyvin pitkäksi venyneeltä tauolta! Sisältövaroitus: puhumme painonpudotuksesta. 5. Kauden ekassa jaksossa käydään viimeaikaiset kuulumiset läpi. Tume yrittää lock in ja pudottaa painoa, Johannes on onnistunut (jälleen) lopettamaan nikotiinin. Tervetuloa mukaan uuteen kauteen!

Habari RFI-Ki
Tume ya uchaguzi nchini Kenya yazindua zoezi la uandikishaji wapiga kura

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 30, 2025 10:08


Makala ya habari rafiki ya jumatatu septemba 29 2025 imeangazia hatua ya tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC kuzindua zoezi la kuwaandika wapiga kura ambalo limeonekana kuwavutia vijana wengi, maarufu kama Gen Z.Tumekuuliza msikilizaji je? unaona vijana wote wako tayari kujiandikisha na katika nchi yako vijana wanahamasishwa vipi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, kwa kutuma maoni ya sauti kupitia nambari yetu ya whatsApp: +254110000420 ama pia kupitia Facebook : RFI Kiswahili  

Habari RFI-Ki
Tume ya uchaguzi nchini Kenya yazindua zoezi la uandikishaji wapiga kura

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 30, 2025 10:08


Makala ya habari rafiki ya jumatatu septemba 29 2025 imeangazia hatua ya tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC kuzindua zoezi la kuwaandika wapiga kura ambalo limeonekana kuwavutia vijana wengi, maarufu kama Gen Z.Tumekuuliza msikilizaji je? unaona vijana wote wako tayari kujiandikisha na katika nchi yako vijana wanahamasishwa vipi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, kwa kutuma maoni ya sauti kupitia nambari yetu ya whatsApp: +254110000420 ama pia kupitia Facebook : RFI Kiswahili  

Wimbi la Siasa
DR Congo: Nini hatima ya Kamerhe, baada ya kujiuzulu Uspika ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Sep 24, 2025 10:07


Vital Kamerhe, Septemba 22, alijiuzulu kama Spika wa Bunge la taifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya kuundwa kwa Tume ya kumchunguza dhidi ya madai ya matumizi mabaya ya madaraka, kuwahangaisha wabunge na kuwalazimisha kupitisha miswada haraka haraka.Nini hatima ya kisiasa ya Kamerhe baada ya kujiuzulu ? Ataendeleza ushirikiano wake wa karibu na rais Felix Tshisekedi ?

congo afrika nini bunge drcongo felix tshisekedi tume baada spika jamhuri vital kamerhe kidemokrasia septemba
Habari za UN
16 SEPTEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 16, 2025 10:31


Jaridani leo jaridani tunakuletea mad akwa kina inayoangazia mjadala Mkuu wa mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno la wiki.Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imesema Israel imetekeleza mauaji ya kimbari Gaza. Ripoti ya tume hiyo hiyo iliyotolewa leo mjini Geneva pia inamtaja Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na maafisa wengine wakuu wa Israel kwa kuchochea vitendo hivyo. Israel imepinga vikali, na kuuita ripoti hiyo kuwa ni “kashfa.” Taarifa hii imetolewa huku mashambulizi makali ya anga yakiendelea usiku kucha mjini Gaza bila dalili za kukoma.Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa, shirika hilo limekamilisha makadirio mapya ya bajeti ya mwaka 2026, yakionesha kupunguzwa kwa zaidi ya dola milioni 500. Hatua hiyo ni sehemu ya mpango wa mageuzi ya UN80, unaolenga kuongeza ufanisi wakati Umoja wa Mataifa ukiadhimisha miaka 80. Bajeti mpya inapendekeza kupunguzwa kwa rasilimali kwa zaidi ya asilimia 15 na nafasi za kazi kwa karibu asilimia 19 ikilinganishwa na mwaka 2025.Huko Nairobi, Kenya leo imezindua maabara ya kisasa ya polio iliyoidhinishwa na Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO katika Taasisi ya Utafiti wa Tiba ya Kenya, KEMRI. Kituo hicho, kilichofadhiliwa na WHO na wakfu wa  Gates, kimeelezwa kuwa nyenzo muhimu katika kugundua mapema na kukabiliana na virusi vya polio pamoja na magonjwa mengine yenye uwezekano wa kusambaa, si tu nchini Kenya bali pia katika kanda nzima ya Afrika.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana za neno "MJOLI"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Septemba 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 5:28


Benki ya ANZ imekiri kujihusisha na mwenendo usiofaa, katika huduma iliyotoa kwa serikali ya Australia, kulingana na Tume ya Uwekezaji na usalama ya Australia (ASIC).

Gurudumu la Uchumi
Utakatishaji Fedha: Kenya yawekwa kwenye orodha ya nchi zilizo na changamoto, Uganda ikiondolewa.

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 10:00


Mwezi Juni mwaka 2025, Tume ya Ulaya iliorodhesha Kenya miongoni mwa nchi zenye changamoto ya utakatishaji wa fedha, huku Uganda ikipata afueni kwa kuondolewa kwenye orodha hiyo. Hatua hii ina maana kuwa mashirika ya kifedha – ikiwemo benki – zinalazimika kuzingatia kwa makini uhusiano wa kibiashara na miamala yoyote inayohusiana na nchi zilizo kwenye orodha hiyo, na kuchukua hatua kali za udhibiti wa fedha. Nchi nyingine katika orodha hiyo ni pamoja na Sudan Kusini, Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Msumbiji, Nigeria, Afrika Kusini, na zingine. Katika Makala haya, Gurudumu la Uchumi, tunachambua hatua hii na athari zake kwa uchumi, lakini pia nini mamlaka katika nchi hizo zinaweza kufanya hili kujiondoa kwenye orodha hiyo.

european union nigeria kenya uganda congo tanzania drc tume kwenye nchi hatua jamhuri fedha kidemokrasia sudan kusini katika makala
Gurudumu la Uchumi
Utakatishaji Fedha: Kenya yawekwa kwenye orodha ya nchi zilizo na changamoto, Uganda ikiondolewa.

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 10:00


Mwezi Juni mwaka 2025, Tume ya Ulaya iliorodhesha Kenya miongoni mwa nchi zenye changamoto ya utakatishaji wa fedha, huku Uganda ikipata afueni kwa kuondolewa kwenye orodha hiyo. Hatua hii ina maana kuwa mashirika ya kifedha – ikiwemo benki – zinalazimika kuzingatia kwa makini uhusiano wa kibiashara na miamala yoyote inayohusiana na nchi zilizo kwenye orodha hiyo, na kuchukua hatua kali za udhibiti wa fedha. Nchi nyingine katika orodha hiyo ni pamoja na Sudan Kusini, Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Msumbiji, Nigeria, Afrika Kusini, na zingine. Katika Makala haya, Gurudumu la Uchumi, tunachambua hatua hii na athari zake kwa uchumi, lakini pia nini mamlaka katika nchi hizo zinaweza kufanya hili kujiondoa kwenye orodha hiyo.

european union nigeria kenya uganda congo tanzania drc tume kwenye nchi hatua jamhuri fedha kidemokrasia sudan kusini katika makala
Ivarnational Orienteering Podcast
Bonus: Preview Jukola 2025!

Ivarnational Orienteering Podcast

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 125:21


All you need to know before the big relay in Finland!See the chapters below.To get the best orienteering equipment, go to Noname webshop: https://webshop.nonamesport.com/en/with the code: "IvarNat20", you will get 20% off!To get the premium at Livelox, use: "2XIVAR" (both capital letter and small caps works)To get the best orienteering trainings, check out: O-Portugal.ptShoes for running on trails, flat and terrain:https://scantrade.no/merker/scott-l%C3%B8p/sko12:45 Impact of World Cup on Team Selections39:22 Evaluating Halden's Relay Strategy and Potential44:24 Pan Kristianstad Relay History and Current Form50:16 Team Selection Challenges for World Cup and Jukola55:16 TuMe relay Strategy and Potential01:01:08 Kåres' Team Composition and Top 10 Aspirations01:06:11 Helsingin Suunistajat Ambitions for Jukola01:15:42 NTNUIs Journey in Tiumila and Jukola01:55:50 Jukola Relay Overview02:00:25 Team Analysis and Predictions02:02:56 Final Thoughts and Anticipation

Tuhannes - Podcast
51. 10 kysymystä

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later May 18, 2025 58:01


Tänään kysellään toisiltamme kysymyksiä, joita ei olla ennen kyselty! Mukana myös Niko ja Santtu - leffan syväluotaavaa analyysiä (shoutout!!!) ja sisäisen rauhan etsimistä haipakkaan kevään jälkeen.Haalarimerkit ja muut kivat!⁠⁠www.tuhannes.com(0:00) Intro (0:10) Johannes haluaa keskustella ääninäyttelijän työstä ja Niko ja Santtu -leffasta ja mummista (6:45) Miksi pitää aikuisuus suorittaa ja väsähtää (9:35) Tume haluaa saavuttaa sisäisen rauhan (14:25) Tumen maisterivaihto (22:29) Johannes oli taas standup-keikalla (25:51) Ohjelmaa!! 10 KYSYMYSTÄ!! (26:31) 1. Lempileffa? (29:56) 2. Ketä sun perheeseen kuuluu? (32:05) 3. Unelmakumppani (35:41) 4. Mitä muuta työtä tekisit? (38:37) 5. Lempparieläin (41:04) 6. Mikä sun elämän tarkoitus (46:27) 7. Isoin unelma Tuhanneksen suhteen (49:18) 8. Mitä kadut Summeriajoilta (51:34) 9. Kenen toisen kanssa juontaisit Tuhannesta (53:14) 10. Mitä et ymmärrä tässä maailmassa (55:49) Loppuläpät, mitä vkloppuna

Habari za UN
06 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 6, 2025 12:03


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha hapa makao makuu ambako Idhaa hii Dokta Willis Ochieng kutoka Kenya aliyehudhuria ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na masuala ya kilimo na maendeleo. Pia tunakuletea muhtasari wa habari, na mashinani tunakwenda Ghana.Ukuaji wa maendeleo ya binadamu – yanayopimwa kwa uhuru na ustawi wa watu – umeendelea kuwa wa kasi ndogo tangu mshtuko mkubwa wa janga la COVID-19 lakini kuna matumaini makubwa kwamba Akili Mnemba au AI, ikiwa itatumika kwa njia sahihi, inaweza kuwa chombo chenye nguvu cha kuboresha maisha ya mamilioni ya watu. Hii ni kwa mujibu wa Ripoti ya kila mwaka ya Maendeleo ya Binadamu iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo duniani, UNDP.Kulengwa kwa hospitali ya Médecins Sans Frontières nchini Sudan Kusini kunaweza kuwa uhalifu wa kivita imeeleza leo Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu Sudan Kusini kufuatia mashambulizi ya angani yaliyotekelezwa dhidi ya hospitali ya Médecins Sans Frontières (MSF) huko Old Fangak, Jimbo la Jonglei mapema majuzi asubuhi ya Jumamosi na kusababisha vifo vya takribani raia saba na kujeruhi wengine. Shambulio hilo lilifanyika baada ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini (SSPDF) kutoa onyo la kufanya shambulizi iwapo dai lao la kuachiliwa meli zao zilizotekwa halitatekelezwa.Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, iliyotolewa leo imeonesha jinsi mahali mtu anakozaliwa kulivyo na mchango katika maisha yake. Ripoti inasema, “mahali mtu anakozaliwa huweza kuamua kama ataishi zaidi ya miongo mitatu kuliko mtu mwingine aliyezaliwa katika nchi yenye hali duni za makazi, elimu na fursa za ajira.”Na mashinani leo nampa fursa Dorcas Awortwe, Naibu Mkurugenzi wa Tume ya Maendeleo ya Kanda ya Kati kutoka Ghana, aliyeshiriki kwenye mkutano wa jukwaa la watu wa asili hapa Makao Makuu wiki iliyopita anazungumzia changamoto zinazowakabili watu wa asili katika jamii yake na ombi lake kwa Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

covid-19 ai kenya ghana sudan jimbo sans fronti msf undp umoja kanda hii haki afya tume jeshi mataifa maendeleo shirika ripoti jonglei wananchi sudan kusini
Tuhannes - Podcast
49. Ilmastonmuutos

Tuhannes - Podcast

Play Episode Listen Later May 4, 2025 62:29


Käydään läpi vappuhulinat ja Johannekselle iski Wienin matkalla (lentokoneessa) ihan järkky ilmastoahdistus. Tässä jaksossa puhutaankin niitä juttuja joista on puhuttu jo kohta 20 vuotta, mutta meno ei vaan muutu! Haalarimerkit ja muut kivat!⁠www.tuhannes.com(0:00) Introlätinät (0:08) Puhutaan siitä että vettä satoi (1:52) Miten meni vappu? Vappuradiota, Tumen Siltanen incident ja Johanneksen tipaton vappu (13:57) Meistä ei ole YO-kuvia (15:32) Tuhannes - Live 24.5.!!! Liput www.tuhannes.com (17:48) Nyt juttelemme ilmastonmuutoksesta, Johanneksella on ilmastoahdistus (20:00) Johanneksen havainnot äänikirjasta, meillä ei ole varaa elää näin (21:15) Johannes droppaa fiksun sanan - kapitalismi (22:46) Mitä sitä voi ihminen asialle tehdä, Johannes haluaa kieltää lentämisen (28:06) Pariisin ilmastosopimus ja ihmisten välinpitämättömyys (30:45) Tumen ratkaisu ilmastonmuutokseen (33:01) Muttakun lentäminen on niin kivaa

SBS Swahili - SBS Swahili
How to vote in the federal election  - Jinsi ya kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2025 8:55


On election day the Australian Electoral Commission anticipates one million voters to pass through their voting centres every hour. Voting is compulsory for everyone on the electoral roll, so all Australians should familiarise themselves with the voting process before election day. - Siku ya uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Australia inatarajia wapiga kura milioni moja, watapita katika vituo vya kupiga kura kila saa moja. Ni lazima kupiga kura kwa kila mtu ambaye yuko katika sajili yakupiga kura, kwa hiyo wa Australia wote wana stahili jifahamisha na mchakato wa kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura.

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia ikoje kwa wahamiaji wenye ulemavu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 12:29


Katika mwaka wa 2023, Tume ya Kifalme ilipata kuwa watu wenye ulemavu wali kabiliwa kwa visa vya kubaguliwa nakutengwa, pamoja na vurugu, kunyanyaswa na, unyonywaji na kupuuzwa.

Habari za UN
Tume huru ya UN ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 2:02


Vita ya sasa ya Sudan ikielekea kuingia mwaka wa tatu, Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100 yaliyotokea wikiendi hii katika kambi za wakimbizi wa ndani Darfur, ikionya kwamba hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Anold Kayanda na taarifa zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Shukrani LeahTangu kuanza kwa vita kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kikosi cha waasi cha RSF mnamo tarehe 15 Aprili mwaka 2023, maelfu ya watu wamepoteza maisha, huku mamilioni wakikumbwa na njaa, ubakaji, na ufurushwaji. Kambi kama ya Zamzam, yenye wakazi zaidi ya laki saba – nusu yao wakiwa watoto – zinaripotiwa kuzingirwa, wakazi wake wakikosa chakula, dawa, na maji, imeeleza Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan.Mwenyekiti wa tume hiyo, Mohamed Chande Othman, ananukuliwa akisema, “Dunia imeshuhudia miaka miwili ya mzozo usio na huruma ambao umewanasa mamilioni ya raia katika mazingira ya kutisha, wakiwekwa katika hali ya ukatili bila matumaini ya mwisho.”Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell kuhusu tukio hili la hivi karibuni ni kwamba watoto takriban 23 na wahudumu 9 wa misaada wameripotiwa kuuawa katika mfululizo wa mashambulizi katika eneo la Darfur Kaskazini, katika kipindi cha siku tatu zilizopita.Jana Jumapili, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesisitiza kuwa mashambulizi yanayolenga raia ni marufuku kabisa chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu. Wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu na wafanyakazi wa afya wanapaswa kuheshimiwa na kulindwa,anasema.Kesho Jumanne huko London Uingereza, mataifa takriban 20 yanatarajiwa kujadili hali ya kibinadamu nchini Sudan. Umoja wa Mataifa unatoa wito wa hatua za haraka kulinda raia, kusitisha uungwaji mkono kwa pande zinazopigana, na kuhakikisha haki na uwajibikaji kwa uhalifu wa kivita.

Vienkartinė planeta
Studentai gamtininkai: turėtume daugiau mokytis gamtoje ir iš gamtos

Vienkartinė planeta

Play Episode Listen Later Mar 31, 2025 28:08


„Tikrai buvo tas klausimas, ar aš noriu uždirbti, ar noriu rinktis kažką, kas širdžiai miela“, – apie svarstymus prieš pasirenkant biologijos studijas pasakoja Vilniaus universiteto trečiakursė Fausta Molotokaitė.Panašių dvejonių turėjo ir antrakursis Ignas Šaltis, kuris prisistato kaip profesionalus laipiotojas po medžius: „Tada stabtelėjau ir pagalvojau, ką daugiausia veikiau vasarą? Ir atsakymas buvo: leidau laiką miškuose.“Paradoksalu, bet studentai pastebi, kad keičiant studijų programas, praktikos laikas gamtoje trumpėja. „Tai šiek tiek liūdina. Biologo darbas yra pažinti organizmus, matyti juos gyvai ir jų ieškoti. Tai jei mes mažiname tai studijose, kas iš mūsų belieka?“ – klausia Studentų gamtininkų mokslinės draugijos prezidentė Eva Marija Petrauskaitė.Nuo praėjusio rudens jie visi koordinuoja įvairias veiklas draugijoje, kuri įsikūrusi Vilniaus universiteto Gyvybės mokslų centre ir pernai minėjo savo veiklos dvidešimtmetį.Kodėl vis dar labai maža dalis abiturientų renkasi gamtos mokslus ir kaip jaunus žmones sudominti gamta?Autorė Vaida Pilibaitytė

SBS Swahili - SBS Swahili
Bajeti ya 2025: Je, tume andaliwa nini?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 25, 2025 7:24


Bajeti ya shirikisho inatarajiwa kurejesha nakisi. Haswa uchaguzi mkuu unapo karibia, bajeti hiyo ime mulika nafasi ngumu kuendelea mbele kwa wanao ongoza nchi.

Habari za UN
Viongozi wabainika kuwa chanzo cha kutomalizika kwa mzozo nchini Sudan Kusini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 2:29


Viongozi wa kisiasa wa Sudan Kusini lazima wakabiliane na ukwepaji wa sheria na ufisadi unaochochea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, la sivyo watahatarisha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo, imesema Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Sudan Kusini katika ripoti yake iliyotolewa leo kama anavyoripoti Flora Nducha.

umoja haki kuwa tume mataifa sudan kusini
Habari za UN
28 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 11:19


Hii leo jaridani tunaangazia migogoro ambayo yameendelee kwa muda mrefu Sudan Kusini, na ujumbe wa Katibu Mkuu ikielekea kuanza kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Makala inatupeleka nchini Kenya, na mashinani nchini Tanzania.Viongozi wa kisiasa wa Sudan Kusini lazima wakabiliane na ukwepaji wa sheria na ufisadi unaochochea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, la sivyo watahatarisha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo, imesema Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Sudan Kusini katika ripoti yake iliyotolewa leo.Kuelekea kuanza kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwishoni mwa wiki hii, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe wake wa kutaka kipindi hicho cha takribani siku 30 kitumike kuleta amani na kuongoza kuelekea dunia yenye yenye haki na huruma zaidi..Katika makala Anold Kayanda wa Idhaa hii kutokana na video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, anakupeleka nchini Kenya kukutanisha na mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye amenufaika na Mpango wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali kwa hisani ya ILO, serikali ya Kenya na wadau.Na mashinani fursa ni yake Ashura Hamis Sayid kutoka Tanzania ambaye ni Mratibu wa Mpango wa U-report unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ili kuwapa vijana uhuru wa kujieleza      na kutoa maoni yao juu ya maswala mbalimbali .Ameweza kutufafanulia zaidi madhumuni ya mpango huu na jinsi gani inatumika katika jamii.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Jioni - Voice of America
Upinzani Burundi unasema tume ya uchaguzi nchini humo imekiuka katiba kwa kuwazuia wapinzani kutoshiriki uchaguzi ujao wa mwezi June. - Januari 02, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

burundi humo tume mwezi katiba afrika mashariki uchaguzi
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Disemba 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 16:55


Waziri wa Huduma za Serikali Bill Shorten ametangaza kuwa shirika la Services Australia, lime tekeleza karibu nusu ya mapendekezo yote kutoka Tume yakifalme kwa mfumo usio halali wa Robodebt.

10–12
Ką turėtume žinoti apie Lietuvos moterų istoriją?

10–12

Play Episode Listen Later Dec 3, 2024 110:44


Ką turėtume žinoti apie Lietuvos moterų istoriją? Pokalbis su knygos „Moterų istorijos eskizai: XIX a. antra pusė-XX a. pirma pusė“ sudarytojomis dr. Ramune Bleizgiene ir dr. Birute Avižiniene.Kasmet gruodžio 3-ąją minima tarptautinė neįgaliųjų diena. Pokalbis suLietuvos aklųjų ir silpnaregių sąjungos prezidentu Pauliumi Kalveliu.Kokia turėtų būti advento mityba? Apie tai pasakoja gydytoja dietologė-psichoterapeutė Kristina Jasmontienė.Projekto „LRT ieško sprendimų“ komanda domisi, kaip Lietuvoje galima spręsti būsto įperkamumo problemą. Sparčiai augančios nekilnojamojo turto kainos ir didėjanti nuomos našta apsunkina gyvenamosios vietos paieškas. Vienas iš galimų sprendimų – vadinamasis kolivingas, pasaulyje populiarėjantis kaip ekonomiška, bendruomeniška ir lanksti gyvenimo forma. Ar šis modelis galėtų būti veiksmingas Lietuvoje?Prieš penkerius metus bičių mokslininkė Laima Blažytė-Čereškienė kartu su komanda atrado lietuviškąsias tamsiąsias bites, kurios, kaip anksčiau manyta, buvo išnykusios.Ved. Agnė Skamarakaitė

10–12
Ar turėtume Lietuvoje labiau riboti vaikų ir paauglių naudojimąsi socialiniais tinklais?

10–12

Play Episode Listen Later Nov 27, 2024 106:53


„Sako, kad jei gali nerašyti - nerašyk, bet negalėjau - parašiau. Knygą, kokias pats skaitau - mokslinės fantastikos trilerį“, - taip sako Antanas Marcelionis, neseniai išleidęs pirmąjį savo romaną „Master versija 1.1“.Poryt - „juodasis penktadienis“, o kitą savaitę - „kibernetinis pirmadienis“. Kad išpardavimų sezonas nepaliktų slogių prisiminimų, ekspertai laidoje pasidalins patarimais, kaip apsipirkti atsakingai ir išvengti pardavėjų triukų.Australijos vyriausybės sprendimas drausti naudotis socialiniais tinklais jaunesniems nei 16 metų žmonėms sulaukė dėmesio visame pasaulyje. Taip siekiama vaikus apsaugoti nuo žalingo socialinių tinklų poveikio. Kodėl jie kenkia? Kokių veiksmų gali imtis tėvai?Išgirsite pasakojimą apie tris operos solistus, kurie dirba ne tik profesionaliojoje scenoje, tačiau ėmėsi vadovauti ir mėgėjų kolektyvams Kauno rajono miesteliuose.Ved. Darius Matas

Habari za UN
Wananchi tufahamishwe kwa kina majukumu ya MONUSCO ili kukabili habari potofu DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 4:30


Umoja wa Mataifa unatambua ni kwa kiasi gani habari potofu na habari za uongo kuwa ni mojawapo ya vikwazo vikuu vinavyokabili operesheni zake za  kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.  Hii imesababisha Umoja huo kuhaha kila wakati kuona ni kwa vipi itakabiliana na habari hizo, iwe ni kupitia mafunzo kwa wanahabari, au kusaidia ujenzi wa vyombo vya habari, na hata kuzungumza na wananchi. Hivi karibuni Umoja Wa Mataifa kupitia Idara yake ya Ulinzi wa Amani, kitengo cha uadilifu wa habari, ulituma Tume yake Mashariki mwa DRC kukutana na wakazi ili  kujua ni nini Umoja wa Mataifa unapaswa kufanya ili kupambana na habari potofu na za uongo nchini humo. Mwandishi wetu wa Mashariki mwa DRC, hususan jimboni Kivu Kaskazini, George Musubao alishuhudia ziara hiyo na ametuletea makala hii.

congo kina drc umoja hii makala tume monusco habari hivi jamhuri mataifa mwandishi mashariki kidemokrasia wananchi
Alfajiri - Voice of America
Uchaguzi wa Botswana wafanyika huku tume ya uchaguzi ikilalamikiwa - Oktoba 31, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 31, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

botswana tume huku oktoba uchaguzi
Habari za UN
Nchi zote pamoja na mashirika ya kimataifa ikiwemo UN yanawajibika kukomesha ukaliwaji wa Palestina

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 18, 2024 2:03


Tume hiyo huru imeyasema hayo katika taarifa mpya ya msimamo wa kisheriia iliyotolewa mjini Geneva Uswis kuhusu eneo linalokaliwa la Palestina ikiwemo Jerusalem Mashariki ambayo imeweka wazi maoni ya tume kuhusiana na wajibu wa serikali na jinsi Baraza Kuu na Baraza la Usalama linavyoweza kutambua na kutekeleza mbinu na hatua sahihi zinazohitajika kwa kazi hiyo hadi mwisho wa ukaliwaji huo, na kwa haraka iwezekanavyo.Tume ihiyo imebaini kwamba maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki kuhusu matokeo ya Kisheria yanayotokana na sera na desturi za Israel katika eneo linalokaliwa la Palestina ikiwa ni pamoja na Jerusalem Mashariki ni wenye mamlaka na usio na utata kwa kusema kwamba kuendelea kuwepo kwa Israel katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu ni kinyume cha sheria na sheria ya kimataifa.Taarifa hiyo ikitolewa Geneva Gaza kwenyenyewe hali inaendelea kuwa tete, kwa mujibu wa Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestinna UNRWA Phillipe Lazzarini, kwani shule nyingine ya UNRWA imeshambuliwa leo Jabalia Kaskazini mwa Gaza, watu kadhaa wameripotiwa kuuawa na miongoni mwao Watoto wengi waliokuwa wakipata hifadhi katika jengo hilo.Lazzarini amesema hili ni shambulio la tatu dhidi ya majengo ya UNRWA kwa wiki moja. Na pia wafanyakazi wa shirika hilo wanaendelea kuuawa sasa wameffikia 231 tangu kuanza kwa vita hii Oktoba mwaka jana.Naye msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF James Elder akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi hii leo amesema “Gaza ni mfano halisi wa ulimwengu wa kuzimu duniani kwa watoto milioni moja wa eneo hilo. Na hali inazidi kuwa mbaya, siku baada ya siku, tunapoona athari za kutisha za mashambulizi ya anga ya kila siku na operesheni za kijeshi za Israek kwa watoto wa Kipalestina.”Nalo shirika la kuratibu misaada ya kibinadamu OCHA likiangazia Ukingo wa Magharibi limesema “Vikosi vya Israel vimekuwa vikitumia mbinu mbaya za vita katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kuibua wasiwasi mkubwa juu ya matumizi ya nguvu kupita kiasi na kuongeza mahitaji ya kibinadamu ya watu.” Ameelezea wasiwasi kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Israel dhidi ya Wapalestina na miti yao ya mizeituni wakati huu wa mavuno ya kila mwaka.

israel gaza palestine palestina unrwa umoja ocha nalo haki naye watoto tume lazzarini pamoja baraza nchi zote mataifa oktoba mkuu kimataifa magharibi mashirika
The PicPod
PicPod 82 @ PCCS2024: Lyvonne Tume De-Implementation of Low Value Practices in PIC

The PicPod

Play Episode Listen Later Oct 4, 2024 39:41


First, do no harm… How much of the things we do every day are worthwhile? We all do so many interventions, but are they actually worthwhile? Some may be ineffective, some inefficient, and some may be harmful. But which is which? How do we find out whether we should, or […]

Levila kuulatavad artiklid
“Ära vanematele räägi”: JJ-Streeti tume pool

Levila kuulatavad artiklid

Play Episode Listen Later Oct 1, 2024 62:54


Levila uue uuriva loo keskmes on Eesti suurim tänavatantsukool JJ-Street ja selle asutaja Joel Juht. Uurime, miks tuleb sealt nii palju noori, kes tunnevad, et neid on ära kasutatud.Kuigi tantsukooli maine on avalikkuses eeskujulik, astuvad meie loos üles kümned endised õpilased ja treenerid, kes klantspildi purustavad. Nad kirjeldavad JJ-Streeti kui sekti, kus peidavad end kultuslik juht ja tema jüngrid, alatud manipulatsioonid, võrkturunduse sarnased skeemid ning rahaline survestamine. Audiolugu loeb Henrik Kalmet. 

NFL: Good Morning Football
Luke Kuechly talks eye-popping hits, coaching youth football, his weird trash talk

NFL: Good Morning Football

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 72:58 Transcription Available


On the latest NFL Players: Second Acts podcast, former All-Pro linebacker Luke Kuechly joins Peanut and Roman. Luke was one of the best all-around linebackers of his generation, and the guys tell stories about one thing his game lacked: elite trash talking. Luke then breaks down one of the best plays of his career in the NFL Championship Game that helped the Panthers reach Super Bowl 50. Most guests on the podcast have one “welcome to the NFL” moment. Luke has three and shares the hilarious stories behind each. He also delves into how is love for football led him to his second act as a youth football coach. And does Luke believe he's a Hall of Famer? Tume in to his surprising answer. All that, and much more, on a conversation you don't want to miss. The NFL Players: Second Acts podcast is a production of the NFL in partnership with iHeart Radio.See omnystudio.com/listener for privacy information.

NFL Players: Second Acts
Luke Kuechly talks eye-popping hits, coaching youth football, his weird trash talk

NFL Players: Second Acts

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 72:58 Transcription Available


On the latest NFL Players: Second Acts podcast, former All-Pro linebacker Luke Kuechly joins Peanut and Roman. Luke was one of the best all-around linebackers of his generation, and the guys tell stories about one thing his game lacked: elite trash talking. Luke then breaks down one of the best plays of his career in the NFL Championship Game that helped the Panthers reach Super Bowl 50. Most guests on the podcast have one “welcome to the NFL” moment. Luke has three and shares the hilarious stories behind each. He also delves into how is love for football led him to his second act as a youth football coach. And does Luke believe he's a Hall of Famer? Tume in to his surprising answer. All that, and much more, on a conversation you don't want to miss. The NFL Players: Second Acts podcast is a production of the NFL in partnership with iHeart Radio.See omnystudio.com/listener for privacy information.

The NFL Legends Podcast
Luke Kuechly talks eye-popping hits, coaching youth football, his weird trash talk

The NFL Legends Podcast

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 72:58 Transcription Available


On the latest NFL Players: Second Acts podcast, former All-Pro linebacker Luke Kuechly joins Peanut and Roman. Luke was one of the best all-around linebackers of his generation, and the guys tell stories about one thing his game lacked: elite trash talking. Luke then breaks down one of the best plays of his career in the NFL Championship Game that helped the Panthers reach Super Bowl 50. Most guests on the podcast have one “welcome to the NFL” moment. Luke has three and shares the hilarious stories behind each. He also delves into how is love for football led him to his second act as a youth football coach. And does Luke believe he's a Hall of Famer? Tume in to his surprising answer. All that, and much more, on a conversation you don't want to miss. The NFL Players: Second Acts podcast is a production of the NFL in partnership with iHeart Radio.See omnystudio.com/listener for privacy information.

Jioni - Voice of America
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga yupo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya uenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika - Agosti 27, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Tume ya uchaguzi nchini DRC yakemea ripoti ya Kanisa Katoliki kuhusu uchaguzi wa Disemba 2023 - Juni 18, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 18, 2024 29:59


tume kanisa uchaguzi ripoti disemba
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Juni 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 4, 2024 21:20


Serikali ya shirikisho inakana ukosefu wa ukuaji wa tija kwa zamu yake ambayo imewagharimu wafanyakazi wapato la chini nyongeza yajuu zaidi ya mshahara. Tume ya Haki ya Kazi ime inua kima cha chini cha mishahara na tuzo kwa asilimia 3.75 itakayo anza Julai 1

Hello APGD
Alli Sagastume and Matthew of Cocina Tume

Hello APGD

Play Episode Listen Later Mar 26, 2024 45:30


Meet Alli and Matthew—the team that brings you Cocina Tume, a plant-based Peruvian and Guatemalan catering and pop-up kitchen featured every Monday night at the Audubon Park Community Market at Stardust Video & Coffee. Alli's food is exceptional in every way and learning the Tume origin story was a real treat.https://linktr.ee/helloapgdpod

Elevate Your Advocacy Through the IEP Podcast
E150: Progress Reports and Goals

Elevate Your Advocacy Through the IEP Podcast

Play Episode Listen Later Nov 7, 2023 14:50


Are you stairing at your child's progress reports and wondering what the heck is happening and trying to figure out if they are actually making progress? Tume into this episode to get a behind the scenes peek at progress reports and some common challenges.... ...as well as a discussion on HOW to fix those progress reports and goals both in the short term as a quick-fix, and in the long term! This is essentially how you ensure your child is learning...so a little on the important side! PLEASE take time to rate and review the podcast! This helps other parents just like you find the podcast! Free Facebook Group: https://www.facebook.com/groups/365033878323074/?mibextid=oMANbw  Free podcast listening guide: https://theieplab.com/listen  Goals episode with Matt (episode #58): https://theieplab.com/episode58