POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha hapa makao makuu ambako Idhaa hii Dokta Willis Ochieng kutoka Kenya aliyehudhuria ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na masuala ya kilimo na maendeleo. Pia tunakuletea muhtasari wa habari, na mashinani tunakwenda Ghana.Ukuaji wa maendeleo ya binadamu – yanayopimwa kwa uhuru na ustawi wa watu – umeendelea kuwa wa kasi ndogo tangu mshtuko mkubwa wa janga la COVID-19 lakini kuna matumaini makubwa kwamba Akili Mnemba au AI, ikiwa itatumika kwa njia sahihi, inaweza kuwa chombo chenye nguvu cha kuboresha maisha ya mamilioni ya watu. Hii ni kwa mujibu wa Ripoti ya kila mwaka ya Maendeleo ya Binadamu iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo duniani, UNDP.Kulengwa kwa hospitali ya Médecins Sans Frontières nchini Sudan Kusini kunaweza kuwa uhalifu wa kivita imeeleza leo Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu Sudan Kusini kufuatia mashambulizi ya angani yaliyotekelezwa dhidi ya hospitali ya Médecins Sans Frontières (MSF) huko Old Fangak, Jimbo la Jonglei mapema majuzi asubuhi ya Jumamosi na kusababisha vifo vya takribani raia saba na kujeruhi wengine. Shambulio hilo lilifanyika baada ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini (SSPDF) kutoa onyo la kufanya shambulizi iwapo dai lao la kuachiliwa meli zao zilizotekwa halitatekelezwa.Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, iliyotolewa leo imeonesha jinsi mahali mtu anakozaliwa kulivyo na mchango katika maisha yake. Ripoti inasema, “mahali mtu anakozaliwa huweza kuamua kama ataishi zaidi ya miongo mitatu kuliko mtu mwingine aliyezaliwa katika nchi yenye hali duni za makazi, elimu na fursa za ajira.”Na mashinani leo nampa fursa Dorcas Awortwe, Naibu Mkurugenzi wa Tume ya Maendeleo ya Kanda ya Kati kutoka Ghana, aliyeshiriki kwenye mkutano wa jukwaa la watu wa asili hapa Makao Makuu wiki iliyopita anazungumzia changamoto zinazowakabili watu wa asili katika jamii yake na ombi lake kwa Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Käydään läpi vappuhulinat ja Johannekselle iski Wienin matkalla (lentokoneessa) ihan järkky ilmastoahdistus. Tässä jaksossa puhutaankin niitä juttuja joista on puhuttu jo kohta 20 vuotta, mutta meno ei vaan muutu! Haalarimerkit ja muut kivat!www.tuhannes.com(0:00) Introlätinät (0:08) Puhutaan siitä että vettä satoi (1:52) Miten meni vappu? Vappuradiota, Tumen Siltanen incident ja Johanneksen tipaton vappu (13:57) Meistä ei ole YO-kuvia (15:32) Tuhannes - Live 24.5.!!! Liput www.tuhannes.com (17:48) Nyt juttelemme ilmastonmuutoksesta, Johanneksella on ilmastoahdistus (20:00) Johanneksen havainnot äänikirjasta, meillä ei ole varaa elää näin (21:15) Johannes droppaa fiksun sanan - kapitalismi (22:46) Mitä sitä voi ihminen asialle tehdä, Johannes haluaa kieltää lentämisen (28:06) Pariisin ilmastosopimus ja ihmisten välinpitämättömyys (30:45) Tumen ratkaisu ilmastonmuutokseen (33:01) Muttakun lentäminen on niin kivaa
On election day the Australian Electoral Commission anticipates one million voters to pass through their voting centres every hour. Voting is compulsory for everyone on the electoral roll, so all Australians should familiarise themselves with the voting process before election day. - Siku ya uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Australia inatarajia wapiga kura milioni moja, watapita katika vituo vya kupiga kura kila saa moja. Ni lazima kupiga kura kwa kila mtu ambaye yuko katika sajili yakupiga kura, kwa hiyo wa Australia wote wana stahili jifahamisha na mchakato wa kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura.
Katika mwaka wa 2023, Tume ya Kifalme ilipata kuwa watu wenye ulemavu wali kabiliwa kwa visa vya kubaguliwa nakutengwa, pamoja na vurugu, kunyanyaswa na, unyonywaji na kupuuzwa.
Tässä jaksossa muistellaan korona-aikoja ja käsidesihuumaa, mutta pian meno lähtee tuttuun tyyliin laukalle. Johannes stressaa kreikkalaisia häitä, kun taas Tume stressaa synttäreitään. Lampaat voi hajota pakkaseen kun Tume lähti etelänlomalle Tallinnaan, jossa ekat tiputeltiin jo aamutuimaan laivan diskossa. Legendaarinen Samuli Edelmann -hetki, Sadamarketin aarteet ja ystävän yöunet, jotka jäivät vain haaveeksi. Mukana myös:Vaalitenttien kiusallisuus & Johanneksen kuntavaaliräpItalialainen brain rot: Bombardino Crocodilo ja ystävätLihattomat häät ja kouluruuan pilaama mielikuva risotostaTume käy lenkillä ja melkein kuoleeKaty Perry menee avaruuteen??Ilmastonmuutoksen ratkaisuRosvo puhuu, kun poliisit on lakossaLisäksi: shoutout Joel Harkimolle, Mr. Bean -muisteloita, TikTokin maailmanvalloitus ja Tume lähdössä Norjaan Spring Breakeille (kyllä, edelleen väsyneenä).
Vita ya sasa ya Sudan ikielekea kuingia mwaka wa tatu, Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100 yaliyotokea wikiendi hii katika kambi za wakimbizi wa ndani Darfur, ikionya kwamba hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Anold Kayanda na taarifa zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Shukrani LeahTangu kuanza kwa vita kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kikosi cha waasi cha RSF mnamo tarehe 15 Aprili mwaka 2023, maelfu ya watu wamepoteza maisha, huku mamilioni wakikumbwa na njaa, ubakaji, na ufurushwaji. Kambi kama ya Zamzam, yenye wakazi zaidi ya laki saba – nusu yao wakiwa watoto – zinaripotiwa kuzingirwa, wakazi wake wakikosa chakula, dawa, na maji, imeeleza Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan.Mwenyekiti wa tume hiyo, Mohamed Chande Othman, ananukuliwa akisema, “Dunia imeshuhudia miaka miwili ya mzozo usio na huruma ambao umewanasa mamilioni ya raia katika mazingira ya kutisha, wakiwekwa katika hali ya ukatili bila matumaini ya mwisho.”Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell kuhusu tukio hili la hivi karibuni ni kwamba watoto takriban 23 na wahudumu 9 wa misaada wameripotiwa kuuawa katika mfululizo wa mashambulizi katika eneo la Darfur Kaskazini, katika kipindi cha siku tatu zilizopita.Jana Jumapili, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesisitiza kuwa mashambulizi yanayolenga raia ni marufuku kabisa chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu. Wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu na wafanyakazi wa afya wanapaswa kuheshimiwa na kulindwa,anasema.Kesho Jumanne huko London Uingereza, mataifa takriban 20 yanatarajiwa kujadili hali ya kibinadamu nchini Sudan. Umoja wa Mataifa unatoa wito wa hatua za haraka kulinda raia, kusitisha uungwaji mkono kwa pande zinazopigana, na kuhakikisha haki na uwajibikaji kwa uhalifu wa kivita.
Mida rohkem inimesed oma inimlikke tegusid teevad, seda enam suureneb läheduses tumeda elurikkuse osakaal nähtava elurikkuse suhtes.
„Tikrai buvo tas klausimas, ar aš noriu uždirbti, ar noriu rinktis kažką, kas širdžiai miela“, – apie svarstymus prieš pasirenkant biologijos studijas pasakoja Vilniaus universiteto trečiakursė Fausta Molotokaitė.Panašių dvejonių turėjo ir antrakursis Ignas Šaltis, kuris prisistato kaip profesionalus laipiotojas po medžius: „Tada stabtelėjau ir pagalvojau, ką daugiausia veikiau vasarą? Ir atsakymas buvo: leidau laiką miškuose.“Paradoksalu, bet studentai pastebi, kad keičiant studijų programas, praktikos laikas gamtoje trumpėja. „Tai šiek tiek liūdina. Biologo darbas yra pažinti organizmus, matyti juos gyvai ir jų ieškoti. Tai jei mes mažiname tai studijose, kas iš mūsų belieka?“ – klausia Studentų gamtininkų mokslinės draugijos prezidentė Eva Marija Petrauskaitė.Nuo praėjusio rudens jie visi koordinuoja įvairias veiklas draugijoje, kuri įsikūrusi Vilniaus universiteto Gyvybės mokslų centre ir pernai minėjo savo veiklos dvidešimtmetį.Kodėl vis dar labai maža dalis abiturientų renkasi gamtos mokslus ir kaip jaunus žmones sudominti gamta?Autorė Vaida Pilibaitytė
Kaupallinen yhteistyö Nuorisoala Ry & Kuntaliitto https://www.kuntaliitto.fi/Sisältö on tuotettu osittain Pohjosmaisen ministerineuvoston rahoituksella.Tässä jaksossa Johannes saa lahjan, jonka Tume on tuonut tuliaisena Suomen Chicagon reissultaan. Tume muistelee vaihtoa Pohjois-Koreassa (?!), ja kertoo lavakuolemasta Siltasessa. Johannes käy stand up -keikoilla ja Tume lenkillä 142 päivän tauon jälkeen.Pöydälle nousee myös uskomaton kaupallinen yhteistyö liittyen tuleviin kuntavaaleihin, miksei nuoret äänestä?? Toisena tärkeänä aiheena skenettäminen ja skeneäijät, ja tuttuun tapaan mennään syvään _päähän_, kun Tume tiputtelee Bourdieuta, signifiereitä, ja tekoälykeskusteluja. Kuka on skeneäijä, miksi hän on kaikkialla, ja miksi hän haluaa vaan tutustua porukkaan? Tässä sulle kaikki mitä voi toivoa yhdeltä Tuhannes-jaksolta. Kuvan kanssa katsovat pääsevät myös nauttimaan varpaista.Muistakaahan äänestää kunta- ja aluevaaleissa!Vaalipäivä sunnuntai 13.4.2025Ennakkoäänestys Suomessa 2.–8.4.2025 Tuhannes - store www.tuhannes.comTuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot!https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe(0:00) Intro yap(0:12) Tumen lahja Johannekselle joka ei osaa puhua ruotsia(2:53) Tumen Lahden reissu Bonanza-sohvan perässä, akuutti Tori-säätö(5:01) Huonekalujen osto ekaan omaan kotiin(8:05) Helsinki- ja Hanko-kesä, Tume oli Pohjois-Koreassa vaihdossa(10:18) Tumen lavakuolema Siltasessa Clicherikin keikalla, whip contest(14:02) Johanneksen stand up keikat ja kuulumiset(14:28) Tumen lenkki 142 päivän tauon jälkeen, uiminen ja urheilu(18:46) Tumen aivot ovat paistetut, iPad kid lifestyle(19:39) Tuhannes on lukenut tutkimuksia(23:05) Autokolaroijatkin kuuntelee Tuhannes(23:56) Kaupallinen yhteistyö moment – Kuntavaalit!!!(28:55) KUKA KYSY? SKENE-ÄIJÄT(30:47) Tume tiputtelee fiksuja sanoja, Bourdieun teoriaa ja kaikkee(35:48) Vuoropuhelu tekoälyn kanssa, älykkäitä sanoja, signifier & signified(38:50) Skeneäijä on uus hipsteri(41:12) Tumea sanottiin metroseksuaaliksi(41:52) Kuka nyt on se skeneäijä?(43:59) Skeneäijiä on kaikkialla, soburouvat, teatterin VIP(45:16) Skeneäijä haluaa vain tutustua ihmisiin ja tuntea olonsa tärkeäksi(47:55) Yhteenveto(48:18) Käykää tuhannes.com – sinne tulee uus merkki!!!!(48:28) Johannes luki älykästä kirjaa(51:13) Aina ei tarvi olla ironinen(53:00) Viikonloppusuunnitelmat, avantoa, ulkoilua, kerholle!! UUS REPPU!(55:07) Loppuläpät
Bajeti ya shirikisho inatarajiwa kurejesha nakisi. Haswa uchaguzi mkuu unapo karibia, bajeti hiyo ime mulika nafasi ngumu kuendelea mbele kwa wanao ongoza nchi.
Tume ja Johannes käy läpi viikon kuulumiset aftoista automessuihin, gradustressistä queerbaittaukseen ja J. Karjalaisesta tekoälykikuliin. Sohva on edelleen viety, jugurtti lentää ja ranuja syödään pussista. Lisäksi: milleniaalihäitä, käänteinen budjetti, koronasimulaattori ja RARE hetki – Tume saa valita aiheen.
Tuhannes on täällä taas, ja setti on jälleen kovin levotonta. Welcome kaikki uudet ja vanhat tuttavuudet! Joka toinen jakso maksumuurin ystäville!Haalarimerkit löytyy tuhannes.com!Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot!https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe(0:00) Alkulätinöitä, Tuhannes Naurujunan tuomat welcome! Mitä on haippi?(7:28) Tume ja Johannes esittelee itsensä uusille kuulijoille(10:42) Milleniaali - biisi, Johanneksen älykäs ajatus, ulkonäköpaineet(19:37) Tumen kuulumiset, gradu pussiin ja vaihtoon(23:00) Tuhannes on true crime -podcast, Tume ja pimeä taksi & ryöstö(34:53) Johannes ryöstettiin myös(39:15) Tume kävi kattoo Oulun lääkiksen speksiä(44:41) HSL-lipun ostaminen ilman kortteja on helvettiä + pimeä taksi lore jatkuu(48:24) Ajankohtaisiin aiheisiin!(49:41) Tuhannesta vastaajasta lähes jokainen tiesi missä Kokkola sijaitsee(52:50) Viitasaarelle avattiin älykuntosali(57:43) Vessapaperin haistelu & Chilipäät ja Buldak-nuudelit(1:02:46) Loppuläpät, Tumen vkloppu, Happoradion keikka
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga , yupo kwenye harakati za mashauriano ya kisiasa na wafuasi wake, kabla ya kutangaza mustakabali wake wa kisiasa baada ya kukosa uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika. Je, Raila ataegemea upande gani ? Tunachambua.
Viongozi wa kisiasa wa Sudan Kusini lazima wakabiliane na ukwepaji wa sheria na ufisadi unaochochea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, la sivyo watahatarisha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo, imesema Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Sudan Kusini katika ripoti yake iliyotolewa leo kama anavyoripoti Flora Nducha.
Hii leo jaridani tunaangazia migogoro ambayo yameendelee kwa muda mrefu Sudan Kusini, na ujumbe wa Katibu Mkuu ikielekea kuanza kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Makala inatupeleka nchini Kenya, na mashinani nchini Tanzania.Viongozi wa kisiasa wa Sudan Kusini lazima wakabiliane na ukwepaji wa sheria na ufisadi unaochochea ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, la sivyo watahatarisha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo, imesema Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Sudan Kusini katika ripoti yake iliyotolewa leo.Kuelekea kuanza kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwishoni mwa wiki hii, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe wake wa kutaka kipindi hicho cha takribani siku 30 kitumike kuleta amani na kuongoza kuelekea dunia yenye yenye haki na huruma zaidi..Katika makala Anold Kayanda wa Idhaa hii kutokana na video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, anakupeleka nchini Kenya kukutanisha na mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye amenufaika na Mpango wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali kwa hisani ya ILO, serikali ya Kenya na wadau.Na mashinani fursa ni yake Ashura Hamis Sayid kutoka Tanzania ambaye ni Mratibu wa Mpango wa U-report unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ili kuwapa vijana uhuru wa kujieleza na kutoa maoni yao juu ya maswala mbalimbali .Ameweza kutufafanulia zaidi madhumuni ya mpango huu na jinsi gani inatumika katika jamii.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahmoud Ali Youssouf alichaguliwa na wakuu wa mataifa ya Afrika Februari 15 2025, kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika na kumshinda mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga. Tunachambua ushindi wake na kazi kubwa inayomsubiri
Tervetuloa mukaan erittäin kuplivaan kolmoskauden päätösjaksoon jossa shampanjasosialisti Tume kertoo hyvin aivokemiaa muuttaneesta Alppimatkastaan Kauppatieteen ylioppilaiden laskettelukerhon kanssa. Kai se Johanneskin pääsee jossain vaiheessa ääneen. Shampoota sun päällesi! (0:00) Intro(0:19) Sinä oot kaunis ja minä vain(0:55) Tuhannes on intellektuelli podcast(2:31) Tumen uusi persoona ja amisviikset(3:22) Missä on miesten legginsit!! Tuhannes ei oo niinku ne muut(6:08) Saako sanoa amistelu(7:39) Hassuja nimiä kuten Mallikarjun Kamalapalli(9:09) Jenkkien natsitervehdykset ja Elon Musk(14:01) Pissa ja meemi vuodelta 2005 Bear Grylls(21:51) Johanneksen milleniaalikuulumiset, sulkapalloa ja hääpukuja(26:07) TUMEN ALPPIREISSU-LORE LÄHTEE LIIKKEELLE(26:13) Menomatka, suoraa Oak Barreliin, lentokentällä lasitöitä kuudelta aamulla(28:22) Lentäminen on epämiellyttävää(29:07) Amsterdam - Lyon ja treenii lääkistä varten(29:35) Kamat hävis tottakai(32:02) Tume meni vanhanaikaiseen Grenoblessa(34:26) Johannes antoi suoraa palautetta ja siitä ei tykätty(38:17) Tumen ranskalaisviha ja kamojen palautus(43:29) Laskeminen oli niin kivaa, varokaa afterski - känniä(44:03) Tää olikin pariskuntamatka, cuck-tuolit(45:43) Tume rikkoi kamat(47:21) Kestikö tipaton?(49:22) This trip really made it out of the group chat!(50:46) Millainen on PARAS matkaseura?(51:42) Shampoota meni ja paljon(53:21) Johannes sai shampanjaa skumpan hinnalla kaverin polttareissa(55:48) Maailman halvin pullo Bollingeria(58:09) Kunnioituksen hinta on 2 pulloa shampanjaa(1:00:10) Fiilis ku blondilla Balilla, private-valokuvaaja(1:03:27) Umbrellan poket oli niin väkivaltaisia(1:06:50) Johannes ja erasmus-jenkit jotka ei suostu lähtee baarista(1:08:59) IBS Dinner ja ranskalainen ruoka(1:11:06) Kotimatka, teoilla on seuraukset(1:17:14) Statusalat ja - harrastukset(1:18:20) Tuhanneksen tulevaisuus(1:21:49) Julkinen anteeksipyyntö exälle(1:22:58) Kelatkaa me ollaa vielki tääl(1:24:46) Loppukevennys: hyvät ja huonot sanat(1:26:22) Penkkari-TikTok Soundi(1:28:15) Ei osata lopettaa tätä jaksoa
Mapigano kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa serikali ya DRC yanayoendelea na sasa yamefika jimboni Kivu Kusini,Tume ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kibinadamu OCHA ikisema maelfu ya watu wameendelea kukimbia makaazi yao.Kwenye makala haya tumemuuliza msikilizaji nani wa kulaumiwa kuhusu vita hivi vinavyoendelea? na anafikiri ni kwanini imekuwa vigumu kupata suluhu?
Mapigano kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa serikali ya DRC yanayoendelea na sasa yamefika jimboni Kivu Kusini,Tume ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya kibinadamu OCHA ikisema maelfu ya watu wameendelea kukimbia makaazi yao.Kwenye makala haya tumemuuliza msikilizaji nani wa kulaumiwa kuhusu vita hivi vinavyoendelea? na anafikiri ni kwanini imekuwa vigumu kupata suluhu?
Helsinkikeskeiset pick-me pojat lähtevät liikekannalle kun on aika keskustella nuorison nykytilasta! Tume yritti päästä kaverin siskon kanssa deiteille, mutta kaveri oli tästä hieman eri mieltä. Suurena aiheena myös nuoret pojat, jotka ihannoivat aivan vääriä roolimalleja, kuten Andrew Tatea. Mutta sitä ennen ainakin 40 minuuttia puuta heinää, Afrikan Tähteä ja tipatonta. Tervetuloa naurujunan kyytiin! Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe (0:00) Intro (0:13) Tumen huonot vitsit (1:29) Tuhannes randomin luona yökylässä (3:07) Tume tipattomalla juhlissa (4:35) Johannes vihaa DJ:tä (6:43) Vuoden eka Summeri maininta (7:08) Tumen tipaton lore jatkuu (8:24) Random shoutout (9:18) Tumen tipaton lore jatkuu (10:26) Johanneksen tipaton (10:59) Johannes kävi Ilves-teatterissa (13:58) Johanneksen nostalgia (15:01) Johanneksen Afrikan Tähti - herääminen (18:39) Johannes haippaa h*tleriä (19:46) Johannes on ollut ilman TikTokia ja on hyvä ihminen (22:12) Gen X on doomed, miksei vanhukset osaa käyttää tietokonetta (23:03) Yläikäraja äänestykselle ja nurinkurinpäivä (24:35) Johannes oppilaskunnan hallituksessa (25:37) Hesan nuorten ääni ja Johanneksen teline (27:00) Johannes meni lukiossa Turkuun (29:16) Polta sinäkin tupakkaa (30:46) Johannes koulun kanssa Roomassa ryyppäämässä (33:09) Tumen koulureissu Maarianhaminaan (34:09) Ulkomailla on vaan eri säännöt ku Suomessa (35:41) Tume lähtee Alpeille (37:14) Jodel - uutiset (39:07) Tume lopettaa YouTuben (43:42) Viesti - inttileski (44:54) Tumen inttistoori (46:15) Kaverin siskon deittailu (53:19) Suuri kyselytutkimus Helsingin Yliopistolta, saako iskää deittailla (57:23) Miksei miehet puhu deittailusta (1:00:52) Pituus on suuri kysymys (1:03:16) Onko mikään enää yksityistä (1:03:50) Johanneksen sovinismi-talk (1:04:53) Me jaetaan liikaa asioita someen (1:07:04) Hiton noloo puhuu miehenä deittailusta (1:08:26) Andrew Tate - talk, miehen mallit ja kaikkee muut woke shittii (1:13:51) Oltiin mekin ihan perseestä yläasteella (1:20:03) Miehet menee oikealle ja naiset vasemmalle (1:22:53) Meistä tulee isona koti-isiä (1:25:38) On helppoo olla mies ku ei välitä normeista (1:27:28) Läpät muuttuu totuudeksi (1:28:28) Loppusanat aiheesta (1:29:22) Loppukevennys & vkloppusuunnitelmat ja outro
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Pojat pääsevät taas vauhtiin kun on aika puida mitä joulusta jäi käteen ja tietysti suunnata katseet myös kohti tulevaa vuotta 2025! Tume pääsee loistamaan uskomattomalla brainrot-sanavarastollaan ja Johannes kertoo mitä meinaa puluttaminen. Jälleen kerran aivan hervotonta settiä, korvat punaisena sitä kuunnelkaamme! Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe (0:00) Intro (0:14) Meidän studio on aika kämäinen (2:10) Propsit on ansaittava! (4:13) Osattaispa olla sosiaalisempia (5:38) Miten meni joulu? (21:07) Tume pääsi hokemaan brainrottia skibidi toilet (22:29) Uutinen: Julkkisparit käyvät arkisia keskusteluja podcast-studiossa (29:29) Vuosi 2025 isoin meme (31:23) Vuoden 2025 UV lupaukset (37:13) Mitä tuodaan takas vuonna 2025 (38:50) Kaikki kulkee sykleissä (40:27) UV Ennustukset (41:32) Uus generaatio droppaa kohta! Gen Z unc status!! (47:35) Mitä UV? (48:46) Loppulätinät
Nyt eletään jänniä aikoja kun Tume on tehnyt comebackin TikTokiin, Johannes mädättää ideologiallaan, pojat näkivät vihdoin idolinsa Tommi Korpelan Kansallisteatterissa ja uutena ohjelmaosiona on Luigi - Uutiset, jossa syvennytään Luigi Mangionen touhuihin!! Huhhuh, tämä on hyvä aika olla elossa. Ja ainiin, tiesitkö et Tume oli vaihdossa Koreassa?
Waziri wa Huduma za Serikali Bill Shorten ametangaza kuwa shirika la Services Australia, lime tekeleza karibu nusu ya mapendekezo yote kutoka Tume yakifalme kwa mfumo usio halali wa Robodebt.
Ką turėtume žinoti apie Lietuvos moterų istoriją? Pokalbis su knygos „Moterų istorijos eskizai: XIX a. antra pusė-XX a. pirma pusė“ sudarytojomis dr. Ramune Bleizgiene ir dr. Birute Avižiniene.Kasmet gruodžio 3-ąją minima tarptautinė neįgaliųjų diena. Pokalbis suLietuvos aklųjų ir silpnaregių sąjungos prezidentu Pauliumi Kalveliu.Kokia turėtų būti advento mityba? Apie tai pasakoja gydytoja dietologė-psichoterapeutė Kristina Jasmontienė.Projekto „LRT ieško sprendimų“ komanda domisi, kaip Lietuvoje galima spręsti būsto įperkamumo problemą. Sparčiai augančios nekilnojamojo turto kainos ir didėjanti nuomos našta apsunkina gyvenamosios vietos paieškas. Vienas iš galimų sprendimų – vadinamasis kolivingas, pasaulyje populiarėjantis kaip ekonomiška, bendruomeniška ir lanksti gyvenimo forma. Ar šis modelis galėtų būti veiksmingas Lietuvoje?Prieš penkerius metus bičių mokslininkė Laima Blažytė-Čereškienė kartu su komanda atrado lietuviškąsias tamsiąsias bites, kurios, kaip anksčiau manyta, buvo išnykusios.Ved. Agnė Skamarakaitė
Tervetuloa aivan hervottoman jakson pariin, Tume on käynyt nauhoituksia edeltävänä päivänä viihtymässä Melon keikalla. Käydään myös paljon läpi teidän laittamia kyssäreitä, ja meitä vähän pelottaa et kuinka iso vaikutus meidän jutuilla on esim. ihmisten sanavarastoon ja asuinpaikkaan. Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe (0:00) Intro(0:11) Tumella on lasit päässä(1:05) Melon keikka, nyt on pikku pöhnä(3:17) Johannes oli teatterissa repimässä konjakkia(4:51) Johannes oli Espoossa katsomassa musikaalia(6:48) Tumen keikka fiilistelyt, isot shoutoutit kaikille(9:07) Johannes heittää myös isa shoutouttia, on keikkaa on messuja tms.(11:13) Muija on rankka sana(11:59) Johanneksen keikkamaraton(13:52) Tume oli wingmanina ja pääsi sanomaan että hänellä on podcast(18:18) Tuhannes-tatuointi lore jatkuu(20:04) Tume on ollut hyvin kipeä(23:36) Miksi lapset laittavat asioita nenään(24:15) Pyhä Hilarius(25:09) Lisää Tumen kuulumisia(26:13) HSL vihaa minua(27:43) Ruokasuositukset(29:00) Kuningas kingi puujalkavitsi(30:05) Johannes oli roastaamassa jengiä(31:42) Suuri kauppa-analyysi ja Lidlin oudot brändit(34:40) Nyt oikeesti ne ruokasuositukset(42:44) Käydään läpi teidän viestejä ja kyssäreitä!(42:58) Dr.Pepper ja umami keskustelu(44:17) Joku muutti Kallioon meidän takia(45:25) Miten päästä yli erosta(49:08) Huonoimmat treffit(50:39) Tommi Korpela - obsessio ja me tarvitsemme puvut(52:00) Paras kaveri - on outo konsepti(52:42) Iha hiton hyvä vitsi(53:12) Vanhat vine-sketsit(53:50) Tuhannesta ennen duuneja(54:15) Kaikki intin päivärahat menee Tuhannekseen(54:44) Meidän DJ nimi(54:57) Tyttöystävä varastaa meidän sanonnat(56:10) Joku löysi säädön Tuhanneksen avulla(57:14) Nikotiinittomuus(59:29) Tuhannes on comfort - podcast(59:48) Joulukalenterit ja miesten saippua(1:03:26) Fritsut ovat niin tyhmä juttu(1:06:40) Loppuläpät, tilatkaa Tuhannes
„Sako, kad jei gali nerašyti - nerašyk, bet negalėjau - parašiau. Knygą, kokias pats skaitau - mokslinės fantastikos trilerį“, - taip sako Antanas Marcelionis, neseniai išleidęs pirmąjį savo romaną „Master versija 1.1“.Poryt - „juodasis penktadienis“, o kitą savaitę - „kibernetinis pirmadienis“. Kad išpardavimų sezonas nepaliktų slogių prisiminimų, ekspertai laidoje pasidalins patarimais, kaip apsipirkti atsakingai ir išvengti pardavėjų triukų.Australijos vyriausybės sprendimas drausti naudotis socialiniais tinklais jaunesniems nei 16 metų žmonėms sulaukė dėmesio visame pasaulyje. Taip siekiama vaikus apsaugoti nuo žalingo socialinių tinklų poveikio. Kodėl jie kenkia? Kokių veiksmų gali imtis tėvai?Išgirsite pasakojimą apie tris operos solistus, kurie dirba ne tik profesionaliojoje scenoje, tačiau ėmėsi vadovauti ir mėgėjų kolektyvams Kauno rajono miesteliuose.Ved. Darius Matas
Tume kokeilee elää ilman kahvia ja TikTokia, Johannes kertoo epäonnistuneesta stand up - keikastaan, ja tuttuun tapaaan - ajankohtaisia aiheita! Onnea uusille ylioppilaille, tsemppiä Aalto - yliopiston taideopiskelijoille ja mitä ihmettä, ai nuoriso dokaa sittenkin? Puhutaan myös vähän vakavemmista jutuista, eli paljon keskustelua herättäneestä kyselytutkimuksesta liittyen naisiin kohdistuvaan väkivaltaan. Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe (0:00) Introläpät (0:17) Tume oli ilman kahvia (3:15) Johannes näki unta (3:40) Tume näki unta myös (4:33) Tumen kuulumiset, paljon opiskelua (5:46) Onnitellaan random ylioppilaita & Tuhanneksen ylioppilasratsia (9:09) Johanneksen epäonnistunut stand-up keikka (13:10) Tumen stand-up -historia (14:22) Nuoriso käyttääkin alkoholia - syynä Tuhannes tai ananaslonkero (16:24) Tumen TikTok-lakko, se on se puhelin!!! (21:38) Tutkimus naisiin kohdistuvasta väkivallasta (25:33) Kohti uutisia mut eka Tume kertoo, että se ei käytä TikTokia (26:25) Uutinen: P*rnoa Aalto-yliopiston kurssilla (33:34) Ruokakauppaetiketti (39:24) Loppuläpät, viikonloppupläänit, Johannes näki Robinin
Umoja wa Mataifa unatambua ni kwa kiasi gani habari potofu na habari za uongo kuwa ni mojawapo ya vikwazo vikuu vinavyokabili operesheni zake za kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Hii imesababisha Umoja huo kuhaha kila wakati kuona ni kwa vipi itakabiliana na habari hizo, iwe ni kupitia mafunzo kwa wanahabari, au kusaidia ujenzi wa vyombo vya habari, na hata kuzungumza na wananchi. Hivi karibuni Umoja Wa Mataifa kupitia Idara yake ya Ulinzi wa Amani, kitengo cha uadilifu wa habari, ulituma Tume yake Mashariki mwa DRC kukutana na wakazi ili kujua ni nini Umoja wa Mataifa unapaswa kufanya ili kupambana na habari potofu na za uongo nchini humo. Mwandishi wetu wa Mashariki mwa DRC, hususan jimboni Kivu Kaskazini, George Musubao alishuhudia ziara hiyo na ametuletea makala hii.
Wakaazi wa jimbo la Somaliland, mojawapo wa êneo lililojitenga na Somalia zaidi ya miaka 30 iliyopita, tangu mwaka 2003 wamekuwa wakishiriki kwenye uchaguzi wa kumchagua rais na wabunge wao. Fursa hiyo pia imekuja Novemba tarehe 13 mwaka 2024 ambapo wapiga kura Milioni 1 waliondikishwa na Tume ya Uchaguzi ya Somaliland wanamchagua rais atakayewatumikia kwa miaka metano.Wagombea watatu wanatafuta urais wa jimbo hilo, akiwemo kiongozi wa sasa Muse Bihi Abdi, anayetaka muhula wa pili, lakini mpinzani wake mkuu ni Abdirahman Mohamed Abdullahi, maarufu kwa jina la "Irro,”.Kwenye Makala ya Wimbi la Siasa, tunajadili umuhimu wa uchaguzi wa jimbo la Somaliland na umuhimu wake, kwenye Jumuiya ya Kimataifa, wakati huu, êneo hilo linapotaka kujitawala.
Donald Trump achaguliwa kuwa rais wa 47 wa Marekani, Ziara ya rais wa Kenya William Ruto huko Addis Ababa Ethiopia, na Sudan Kusini, na Raila Odinga kuzindua azma yake ya kuwania uenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika, kuelekea uchaguzi huo utakaofanyika Februari mwaka 2025. Mapigano makali kati ya waasi wa M23 na wazalendo mashariki mwa DRC, Umoja wa Mataifa wasema uamuzi wa kuahirishwa uchaguzi nchini Sudani Kusini haukubaliki, Duma Boko atawazwa rasmi kama rais mpya wa Botswana, Uhusiano wa Urusi na Marekani baada ya Trump kushinda uchaguzi
Tänään on vuorossa Tuhannes - Kriisi, kun Tume pohtii kohta loppuvaa opiskelijauraansa, Johannes omaa ikäänsä ja itseasiassa, ainahan niitä kriisejä tulee ja menee. Oli myös erittäin suuri musiikkipäivä, joten käydään nyt viikonlopun suurimmat julkaisutkin läpi. Luvassa myös vapettamista kesken oppitunnin ja tihutöitä! Pikkulauantain merkitys viikon suurimpana ryyppypäivänä on kadonnut myös. Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa Tuhannes - extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe (0:00) Intro (0:23) Musakorneri - Käärijän levy (4:22) Musakorneri - Mirellan levy (8:43) Musakorneri - Iben comeback (10:51) Kuulumiset - Tumen kaljanjuonti-tracker ja Johanneksen nikotiinittomuus (15:02) Tumen naapurilla oli jatkot (15:51) Kellojen siirto ja suuri väsymys (19:10) Johannes on ollut kipeänä (23:11) Terveiset (24:04) Ajankohtaiset uutiset!!! (24:10) Yleinen päivä katosi kokonaan - Pikkulauantai (30:44) Oppilaiden vessakäynnit merkitään jatkossa Wilmaan - syynä vapetus (36:15) “Leipomaanko olette menossa?” - Nuorten ilkivalta (40:57) Kuka kysyi? - Tuhannes Kriisi (41:23) Opiskelija-identiteettikriisi (45:05) Ikäkriisi (46:42) Takas opiskelijakriisiin (47:34) Aina tulee uusia kriisejä (49:17) Kolmenkympin kriisi (50:22) Urakriisi (54:07) Pitäs olla jotain jo - kriisi (56:15) Ilmastokriisi (57:42) Kuka Kysyi - osion loppusanat (58:19) FANIPUHELIN (58:23) Viesti 1: Biden pureskeli vauvoja (59:30) Viesti 2: Tuhannes Merch (1:01:34) Viesti 3: Viime jakso oli hullu (1:01:48) Viesti 4: HY kuuntelee Tuhannes (1:02:40) Loppuläpät
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Tume hiyo huru imeyasema hayo katika taarifa mpya ya msimamo wa kisheriia iliyotolewa mjini Geneva Uswis kuhusu eneo linalokaliwa la Palestina ikiwemo Jerusalem Mashariki ambayo imeweka wazi maoni ya tume kuhusiana na wajibu wa serikali na jinsi Baraza Kuu na Baraza la Usalama linavyoweza kutambua na kutekeleza mbinu na hatua sahihi zinazohitajika kwa kazi hiyo hadi mwisho wa ukaliwaji huo, na kwa haraka iwezekanavyo.Tume ihiyo imebaini kwamba maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki kuhusu matokeo ya Kisheria yanayotokana na sera na desturi za Israel katika eneo linalokaliwa la Palestina ikiwa ni pamoja na Jerusalem Mashariki ni wenye mamlaka na usio na utata kwa kusema kwamba kuendelea kuwepo kwa Israel katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu ni kinyume cha sheria na sheria ya kimataifa.Taarifa hiyo ikitolewa Geneva Gaza kwenyenyewe hali inaendelea kuwa tete, kwa mujibu wa Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestinna UNRWA Phillipe Lazzarini, kwani shule nyingine ya UNRWA imeshambuliwa leo Jabalia Kaskazini mwa Gaza, watu kadhaa wameripotiwa kuuawa na miongoni mwao Watoto wengi waliokuwa wakipata hifadhi katika jengo hilo.Lazzarini amesema hili ni shambulio la tatu dhidi ya majengo ya UNRWA kwa wiki moja. Na pia wafanyakazi wa shirika hilo wanaendelea kuuawa sasa wameffikia 231 tangu kuanza kwa vita hii Oktoba mwaka jana.Naye msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF James Elder akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi hii leo amesema “Gaza ni mfano halisi wa ulimwengu wa kuzimu duniani kwa watoto milioni moja wa eneo hilo. Na hali inazidi kuwa mbaya, siku baada ya siku, tunapoona athari za kutisha za mashambulizi ya anga ya kila siku na operesheni za kijeshi za Israek kwa watoto wa Kipalestina.”Nalo shirika la kuratibu misaada ya kibinadamu OCHA likiangazia Ukingo wa Magharibi limesema “Vikosi vya Israel vimekuwa vikitumia mbinu mbaya za vita katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kuibua wasiwasi mkubwa juu ya matumizi ya nguvu kupita kiasi na kuongeza mahitaji ya kibinadamu ya watu.” Ameelezea wasiwasi kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Israel dhidi ya Wapalestina na miti yao ya mizeituni wakati huu wa mavuno ya kila mwaka.
Tuhannes palaa jälleen! Tervetuloa mukaan, meillä on ollut ikävä! Luvassa syksyfiilistelyjä, muutamia uutisia ja en mä tiiä siis just sellasta mitä voi laittaa taustalle pyörimään. Johannes namedroppailee julkkiksia joista nuoriso ei tiedä mitään, Tume kävi approilla ja fiilistelee Arpan uutta albumia. Fanipuhelin: 0404416504 (WhatsApp) Tuhannes - TikTok / tuhannes Tuhannes - Instagram / tuhannes Tilaa extrajaksot! https://podcasters.spotify.com/pod/show/tuhannes/subscribe
First, do no harm… How much of the things we do every day are worthwhile? We all do so many interventions, but are they actually worthwhile? Some may be ineffective, some inefficient, and some may be harmful. But which is which? How do we find out whether we should, or […]
Levila uue uuriva loo keskmes on Eesti suurim tänavatantsukool JJ-Street ja selle asutaja Joel Juht. Uurime, miks tuleb sealt nii palju noori, kes tunnevad, et neid on ära kasutatud.Kuigi tantsukooli maine on avalikkuses eeskujulik, astuvad meie loos üles kümned endised õpilased ja treenerid, kes klantspildi purustavad. Nad kirjeldavad JJ-Streeti kui sekti, kus peidavad end kultuslik juht ja tema jüngrid, alatud manipulatsioonid, võrkturunduse sarnased skeemid ning rahaline survestamine. Audiolugu loeb Henrik Kalmet.
On the latest NFL Players: Second Acts podcast, former All-Pro linebacker Luke Kuechly joins Peanut and Roman. Luke was one of the best all-around linebackers of his generation, and the guys tell stories about one thing his game lacked: elite trash talking. Luke then breaks down one of the best plays of his career in the NFL Championship Game that helped the Panthers reach Super Bowl 50. Most guests on the podcast have one “welcome to the NFL” moment. Luke has three and shares the hilarious stories behind each. He also delves into how is love for football led him to his second act as a youth football coach. And does Luke believe he's a Hall of Famer? Tume in to his surprising answer. All that, and much more, on a conversation you don't want to miss. The NFL Players: Second Acts podcast is a production of the NFL in partnership with iHeart Radio.See omnystudio.com/listener for privacy information.
On the latest NFL Players: Second Acts podcast, former All-Pro linebacker Luke Kuechly joins Peanut and Roman. Luke was one of the best all-around linebackers of his generation, and the guys tell stories about one thing his game lacked: elite trash talking. Luke then breaks down one of the best plays of his career in the NFL Championship Game that helped the Panthers reach Super Bowl 50. Most guests on the podcast have one “welcome to the NFL” moment. Luke has three and shares the hilarious stories behind each. He also delves into how is love for football led him to his second act as a youth football coach. And does Luke believe he's a Hall of Famer? Tume in to his surprising answer. All that, and much more, on a conversation you don't want to miss. The NFL Players: Second Acts podcast is a production of the NFL in partnership with iHeart Radio.See omnystudio.com/listener for privacy information.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Serikali ya shirikisho inakana ukosefu wa ukuaji wa tija kwa zamu yake ambayo imewagharimu wafanyakazi wapato la chini nyongeza yajuu zaidi ya mshahara. Tume ya Haki ya Kazi ime inua kima cha chini cha mishahara na tuzo kwa asilimia 3.75 itakayo anza Julai 1
Meet Alli and Matthew—the team that brings you Cocina Tume, a plant-based Peruvian and Guatemalan catering and pop-up kitchen featured every Monday night at the Audubon Park Community Market at Stardust Video & Coffee. Alli's food is exceptional in every way and learning the Tume origin story was a real treat.https://linktr.ee/helloapgdpod
In this episode of NeedleXChange we interview Kate Tume.Kate Tume, an embroidery and mixed-media artist known as Mother Eagle, creates vibrant masks that personify new Gods and draw from her interest in magic, witchcraft, and mythology.In this second part of our NeedleXChange we talk about how the death of Kate's husband transformed her creative journey, and how her connection with life and nature underpins everything.Timestamps: 00:00:00 - Intro00:02:00 - The traditions that underpin Kate's masks00:09:00 - How Kate makes a living00:12:00 - The God of Crabs00:20:00 - The Salmon of Knowledge00:22:00 - The story of Nicky Tume00:36:00 - How Kate builds her masks00:41:00 - Favourite band00:42:00 - Favourite book00:44:30 - Favourite film00:48:00 - An interesting fact about Kate Tume00:51:00 - A tale about a SnakeLinks:Website: madebymothereagle.comInstagram: mother_eagle_artsThe MIND charity has a page filled with helpful links if you know anyone who is struggling and needs someone to talk to.About NeedleXChange:NeedleXChange is a conversation podcast with embroidery and textile artists, exploring their process and practice.Hosted by Jamie "Mr X Stitch" Chalmers, it is an in-depth showcase of the best needlework artists on the planet.Visit the NeedleXChange website: https://www.needl.exchange/Sign up for the NeedleXChange Newsletter here: https://bit.ly/NeedleXChangeIf you want embroidery inspiration and regular doses of textile art, visit the Mr X Stitch site here: https://www.mrxstitch.comIf you're looking for modern cross stitch designs, then XStitch is the magazine you need!Subscribe to XStitch Magazine here: https://xstitchmag.com/modern-cross-stitch-magazine/And follow Mr X Stitch on all the usual social media channels!Facebook: https://www.facebook.com/MrXStitchTwitter: https://www.twitter.com/MrXStitchInstagram: https://www.instagram.com/MrXStitchPinterest: https://www.pinterest.com/mrxstitch/LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/mrjamiechalmers Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
In this episode of NeedleXChange we interview Kate Tume.Kate Tume, an embroidery and mixed-media artist known as Mother Eagle, creates vibrant masks that personify new Gods and draw from her interest in magic, witchcraft, and mythology. In this first part of our NeedleXChange we explore how Kate's love of needlework re-emerged in adulthood and her involvement in the 2023 Hand & Lock Embroidery Prize.Timestamps: 00:00:00 - Intro00:02:00 - Katie's entry in the Hand & Lock Embroidery Prize00:11:50 - Making Gods of a modern mindset00:17:00 - Kate's needlework beginnings00:23:00 - Where the name Mother Eagle comes from00:25:00 - Being fearless in the expression of art00:31:00 - Working in the real world while developing her skills00:35:00 - Impossible coloursLinks:Website: madebymothereagle.comInstagram: mother_eagle_artsWant to know more about Impossible Colours? Click here!About NeedleXChange:NeedleXChange is a conversation podcast with embroidery and textile artists, exploring their process and practice.Hosted by Jamie "Mr X Stitch" Chalmers, it is an in-depth showcase of the best needlework artists on the planet.Visit the NeedleXChange website: https://www.needl.exchange/Sign up for the NeedleXChange Newsletter here: https://bit.ly/NeedleXChangeIf you want embroidery inspiration and regular doses of textile art, visit the Mr X Stitch site here: https://www.mrxstitch.comIf you're looking for modern cross stitch designs, then XStitch is the magazine you need!Subscribe to XStitch Magazine here: https://xstitchmag.com/modern-cross-stitch-magazine/And follow Mr X Stitch on all the usual social media channels!Facebook: https://www.facebook.com/MrXStitchTwitter: https://www.twitter.com/MrXStitchInstagram: https://www.instagram.com/MrXStitchPinterest: https://www.pinterest.com/mrxstitch/LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/mrjamiechalmers Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Išskirtinės asmenybės rubrikoje pokalbis apie Šv. Valentiną. Apie jį pasakoja Bažnytinio paveldo muziejaus edukacinių programų vadovė Inga Cironkaitė Bendžienė.Jau šį pavasarį Vilniuje, Antakalnyje duris atvers Sapiegų rūmai, kurie Lietuvos didžiojo etmono Kazimiero Jono Sapiegos laikais garsėjo prabangumu. Rūmuose, kurie tapo Šiuolaikinio meno centro padaliniu, iki oficialaus atidarymo vyks ekskursijos. Pirmoji – jau po kelių dienų – vasario 16-ąją.Biodinaminis ūkininkavimas laikomas aukštesne ekologinio ūkininkavimo pakopa, kai ūkis veikia tarsi gyvas organizmas: jame žmonės, augalai, gyvuliai ir dirva labai priklauso vienas nuo kito buvimo. Sakoma, kad tokia ūkinė žmogaus ūkinė veikla neturi neigiamos įtakos aplinkai. Lietuvoje biodinaminių ūkių vos pora dešimčių, o bene didžiausias jų - Širvintų rajone Zibalų seniūnijoje esantis Martinėlių šeimos biodinaminis ūkis.Kaip turėtume kovoti su valstybės simbolių ir paminklų niekinimu? Pokalbis su nevyriausybinės organizacijos „Strateginių Iniciatyvų Centras“ vadovu Alku Paltaroku.Ar maistas kaltas dėl ligų, blogos savijautos ir prastos išvaizdos? Ar skaniai valgyti – nuodėminga? Kaip susikurti sveikatai palankios mitybos pagrindą? Į šiuos klausimus knygoje „Valgyk į sveikatą“ atsako dietologė Edita Gavelienė.Ved. Agnė Skamarakaitė
FK339! Saade on meie ajaloo pikim, aga me lubame, et väga põnev. Alustuseks on stuudios multitalent Leslie Da Bass, kellel on väljas lausa 2 filmimuusikaalbumit. Esmalt heliriba filmile “Tähtsad ninad” ja teisalt filmilik kogumik, mis sisaldab ka laule filmist “Tume paradiis”. Hiljem võõrustame stuudios filmikunstnik Kave Quinni, kelle tööde hulka kuulub kinoekraani rõvedaima peldiku loomine. Uudistenurk on sõnumeid täis. Teemadeks nii uus Karate Kid, Jason Bourne, Superman kui Pühak. PÖFF on küll läbi, aga mitmed seal linastunud filmid jõuavad nüüd tavakavasse. Näiteks “Kellele ma naeratan?”, “Eelmised elud” ja “Langenud lehed”. Lisaks tulevad “Blaga õppetunnid” ja “Napoloen”. Sisukord: 03:35 Kirjad 22:38 Edetabel 30:50 Uudised 46:46 Intervjuu: Leslie Da Bass 1:44:57 Kellelel ma naeratan? (Eesti) 1:46:59 Blaga õppetunnid (Bulgaaria) 1:51:30 Langenud lehed (Soome) 1:55:29 Eelmised elud 1:58:26 Napoleon 2:06:53 Telekava 2:18:59 Intervjuu: Kave Quinn
Are you stairing at your child's progress reports and wondering what the heck is happening and trying to figure out if they are actually making progress? Tume into this episode to get a behind the scenes peek at progress reports and some common challenges.... ...as well as a discussion on HOW to fix those progress reports and goals both in the short term as a quick-fix, and in the long term! This is essentially how you ensure your child is learning...so a little on the important side! PLEASE take time to rate and review the podcast! This helps other parents just like you find the podcast! Free Facebook Group: https://www.facebook.com/groups/365033878323074/?mibextid=oMANbw Free podcast listening guide: https://theieplab.com/listen Goals episode with Matt (episode #58): https://theieplab.com/episode58
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika."Ikiwa imesalia miezi 17 tu kwenye ratiba ya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024, narudia kile nilichokisema katika mkutano wa awali na waandishi wa habari, kwamba mwaka 2023 ni mwaka wa 'kutengeneza au kuvunja'," amesema Bwana Haysom mapema leo Agosti pili alipozungumza na vyombo vya Habari mjini Juba ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi duniani. Ghasia miongoni mwa jamii za Sudan Kusini zinaendelea kuongezeka pamoja na shinikizo la kuongezeka kwa ufinyu wa rasilimali huku maelfu ya watu wakiendelea kuingia nchini humo wakikimbia mapigano katika nchi jirani ya Sudan. Kwa mujibu wa Bwana Haysom, miongoni mwa hatua muhimu ambazo inabidi zichukuliwe ni pamoja na hitaji la kuunda upya vyombo vitatu muhimu, ambavyo ni, Tume ya Kitaifa ya Marekebisho ya Katiba, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi, na Baraza la Vyama vya Kisiasa; kukamilisha mipango ya mpito ya usalama; kuendeleza mchakato wa kudumu wa kutengeneza katiba; na kuunda nafasi za kiraia na kisiasa ambapo kila raia ana uhuru wa kujadili na kujihusisha na uchaguzi wa kisiasa na kikatiba bila woga. "Kufanya uchaguzi tu hakutoshi - uaminifu, uwazi na ushirikishwaji wa mchakato ndio unaoleta uhalali. Hii ni pamoja na kwamba vyama vya siasa lazima viweze kujiandikisha na kufanya kampeni kwa uhuru; asasi ya kiraia kwa ajili ya elimu ya uraia na kuwa waangalizi wa mchakato. Inajumuisha vyombo vya habari vinavyoweza kuripoti kuhusu mchakato huo na kutoa nafasi kwa sauti na maoni mbalimbali kwa wapiga kura kufanya uamuzi sahihi,” amesema Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini. Aidha Bwana Haysom amesisitiza kuwa UNMISS itaendelea kuiunga mkono Sudan Kusini katika michakato ya uchaguzi na uundaji wa katiba kwa kushirikiana na wadau wa kikanda kama vile Muungano wa Afrika (AU) na mamlaka ya pamoja ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo kwenye eneo la Pembe ya Afrika (IGAD).