Podcasts about Zaidi

  • 350PODCASTS
  • 1,288EPISODES
  • 32mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 11, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Zaidi

Latest podcast episodes about Zaidi

Middle East Focus
Attacked by All Sides: Iraq's New Government Faces Old Problems

Middle East Focus

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 35:28


After months of deadlock following the November 2025 elections, Iraq's parliament approved a new government under Prime Minister Ali al-Zaidi on May 14, 2026 — just as the country has become a battleground in the US-Israel-Iran war. Zaidi inherits a daunting brief: reviving a struggling economy, reining in armed factions, and steering Iraq through a perilous regional landscape. Dr. Renad Mansour, deputy director of the Middle East and North Africa Programme and director of the Iraq Initiative at Chatham House, joins host Alistair Taylor to discuss the war's impact on Iraq — from Iran's militia networks to the surge of attacks on the Kurdistan region — and how it's reshaping Baghdad's ties with Tehran and Washington.   Recorded on June 9, 2026.

Iraqi Voices
The Case for Statecraft Over Sloganeering in Iraq

Iraqi Voices

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 36:02


In this episode, we assess PM Zaidi's first two weeks in office and discuss why political slogans and broad promises are no longer enough, and why Zaidi will need to articulate clear policy priorities that demonstrate his vision for Iraq and his approach to governing.The conversation also examines the importance of effective public communication in building credibility, particularly at a time of mounting economic pressure. Finally, we unpack the government's decision to undertake a comprehensive review of public contracts and what it may reveal about Zaidi's approach to corruption, accountability, and reform.

Iraqi Voices
Deconstructing the Power Struggle Over Zaidi's Cabinet

Iraqi Voices

Play Episode Listen Later May 20, 2026 27:32


This episode examines the parliamentary session that reshuffled the country's political landscape on May 14. Ali Al-Zaidi was confirmed as prime minister, but only 14 of his 19 proposed ministers won parliamentary approval, while five nominees linked to Nouri Al-Maliki, Masoud Barzani, and Muthanna Al-Samarrai were blocked in what appears to have been a coordinated political maneuver by their rivals. The hosts break down what really happened inside parliament that day and unpack the emerging tripartite bloc between Qais Al-Khazali, Haybat Al-Halbousi, and Bafel Talabani, and trace its roots back to the December 2025 speaker vote.

TCF World Podcast
Iraq's Weakest Government Yet

TCF World Podcast

Play Episode Listen Later May 19, 2026 58:11


Shownotes After five months of negotiations, Iraq's power brokers have agreed on a completely unknown compromise candidate for the country's new prime minister. Ali al-Zaidi, a businessman with no experience in politics or public administration, took over leadership of Iraq on May 14 as the country faces multiple emergencies. Iraq can't sell its oil because of the blockade of the Strait of Hormuz and is running out of money to pay salaries. Iraqi militias, beyond the government's control, have been attacking Saudi Arabia and targets inside Iraq. And Iraq just found out that its supposed ally, the United States, has been covering up the existence of multiple Israeli bases that were operating in the Iraqi desert. Zaidi, perhaps the weakest prime minister to take office since the U.S. invasion in 2003, faces a sovereignty crisis of epic proportions from his first day in office. Sajad Jiyad, Century International's fellow in Baghdad, analyzes the many challenges for Iraq's new prime minister. Participants Sajad Jiyad is a fellow at Century International.  Thanassis Cambanis is director of Century International.  Date: Tuesday, May 19, 2026 Episode: Order from Ashes 113

VOV - Chương trình thời sự
Thời sự 12h 15/5/2026: Quyết liệt hoàn thành xử lý các cơ sở nhà, đất dôi dư

VOV - Chương trình thời sự

Play Episode Listen Later May 15, 2026 56:06


- Thủ tướng Chính phủ yêu cầu người đứng đầu các Bộ, cơ quan trung ương hoàn thành xử lý cơ sở nhà, đất dôi dư khi thực hiện sắp xếp tổ chức bộ máy, sắp xếp đơn vị hành chính các cấp trước ngày 25/5 này.- Bắc Ninh, Đà Nẵng, Hải Phòng, Phú Thọ và Quảng Ninh được vinh danh trong bảng xếp hạng Chỉ số Năng lực cạnh tranh cấp tỉnh năm 2025.- Cục Cảnh sát giao thông đề xuất tạm dừng khai thác tuyến cao tốc Cam Lộ - La Sơn vào ban đêm nhằm hạn chế xảy ra tai nạn giao thông.- TP.HCM sẽ mở rộng xét học bạ, tiến tới bỏ thi vào lớp 10 từ năm sau.- Quốc hội Iraq phê chuẩn nội các của Thủ tướng Ali al Zaidi, chấm dứt nhiều tháng bế tắc chính trị.- Mỹ bất ngờ hủy kế hoạch triển khai 4000 quân tới Ba Lan sau thông báo rút bớt quân khỏi Đức.

Habari RFI-Ki
Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:56


Msikilizaji mei 3 2026 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya Uhuru wa wanahabari, ripoti zikionesha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya waandishi wa habari.

Habari RFI-Ki
Nini zaidi kifanyike kulinda uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 8, 2026 9:56


Msikilizaji mei 3 2026 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya Uhuru wa wanahabari, ripoti zikionesha ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya waandishi wa habari.

Radio Maria Tanzania
Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 7, 2026 22:35


Karibu usikilize Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani. Mwezeshaji ni Frateri Job Baraka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea. Swali ni Naomba kujua kama Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? Tarehe 16 Machi 2026   L'articolo Je Bikira Maria alizaa watoto wengine zaidi ya Yesu? proviene da Radio Maria.

Iraqi Voices
Ali Al-Zaidi's Path to Power and What Comes Next

Iraqi Voices

Play Episode Listen Later May 6, 2026 24:56


This episode unpacks how Ali Al-Zaidi emerged as the nominee through behind-the-scenes negotiations that ended the political deadlock. The hosts examine the rapid endorsements from Washington and Tehran, and what his cabinet and inner circle could look like. They also discuss the debate over technocratic versus partisan ministers, and assess Zaidi's early rhetoric, including his claim that the KRG salary dispute has been resolved and what it suggests about his governing style.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Akiba dhidi ya matumizi: Chalmers anasema bajeti ijayo ni 'yenye uwajibikaji zaidi'

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 6, 2026 11:14


Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers ameahidi kutoa bajeti inayowajibika zaidi, lakini akiba inayotarajiwa katika kila wizara.

PRI's The World
Hungary's Magyar meets with European officials and makes his mark

PRI's The World

Play Episode Listen Later Apr 30, 2026 50:28


Hungary's incoming prime minister is moving quickly to make his mark. Péter Magyar, who takes office next month, met top European officials in Brussels this week to set out his plans to restore the rule of law in Hungary. Also, after a long political impasse, wealthy oligarch and political outsider Ali al-Zaidi is tapped to become Iraq's new prime minister. And, a look at who the new supreme leader of Iran really is. Plus, on International Jazz Day, The World speaks with Puerto Rican folk musician Fabiola Mendez about her music and the traditional stringed instrument she plays, the cuatro. Learn about your ad choices: dovetail.prx.org/ad-choices

Soul Diaries: Discover Your Inner Serenity
Inner Child Healing w/ Muneera Zaidi, LMHC

Soul Diaries: Discover Your Inner Serenity

Play Episode Listen Later Apr 30, 2026 46:25


I had a wonderful time talking with Muneera Zaidi, LMHC on inner child healing, her own journey with spirituality and religion and she blends mental health with spirituality for her clients. Stay tuned for the end as she leads us through a powerful meditation! Follow Muneera: https://www.instagram.com/muneerazaidi/Follow us:Instagram: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠https://www.instagram.com/innersereni⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠tylcYoutube: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠https://youtu.be/Ux0z8aOjfCA⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Website: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠www.innerserenitylifecoaching.com⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠  Want a self guided course that will support you on your motherhood journey? Check out Mindfulness for Mamas: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠https://thoughtful-artist-9667.ck.page/mindfulnessformamas⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Check out our affirmations cards: https://www.innerserenitylifecoaching.com/shopSoul Full Womb -- a beautiful book I wrote about my motherhood journey: https://www.innerserenitylifecoaching.com/shop Super excited to hear from you all -- kindly appreciate all the ratings and reviews.

Les colères du monde
Journal 30/04/2026

Les colères du monde

Play Episode Listen Later Apr 30, 2026


L'Irak a franchi une étape importante dans la formation de son futur gouvernement. Le président Nizar Amidi a officiellement désigné Ali al-Zaidi pour devenir Premier ministre et former une nouvelle équipe. Cette décision respecte la Constitution : le candidat choisi est celui du bloc parlementaire majoritaire, en l'occurrence le Cadre de coordination.

Les matins
L'homme d'affaires Ali Al-Zaidi nommé Premier ministre de l'Irak

Les matins

Play Episode Listen Later Apr 29, 2026 5:42


durée : 00:05:42 - La Revue de presse internationale - par : Mathieu Laurent - À peine nommé, et déjà affairé à mener de périlleuses tractations, le nouveau Premier ministre irakien a trente jours pour présenter au Parlement une équipe qui obtient une majorité de suffrages. Il faudra toute la souplesse de médiation que l'on prête à cette personnalité pour relever ce défi.

Iraqi Voices
Ali Al-Zaidi tapped to lead Iraq's next government

Iraqi Voices

Play Episode Listen Later Apr 29, 2026 21:09


This episode delves into the nomination of Ali Al-Zaidi as prime minister on April 27th. The hosts break down the months-long negotiations within the Coordination Framework and examine who Zaidi is, a banker and business oligarch with no prior experience with public office. The hosts also discuss what his selection reveals about Iraq's democratic process and what the next 30 days of government formation could look like.

Habari za UN
Kila saa moja zaidi ya wanawake na wasichana 100 wanafurushwa nchini Sudan Kusini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 27, 2026 3:05


Zaidi ya wanawake na wasichana 100 wanakimbia makazi yao kila saa nchini Sudan Kusini huku kuongezeka kwa mapigano na njaa kukichochea kuongezeka kwa janga la kibinadamu, Anna Mutavati, Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake (UN Women) ameeleza leo baada ya ziara ya siku tano nchini humo.Kupitia taarifa ya UN Women iliyosambazwa leo kwa vyombo vya habari katika mji mkuu wa Sudan Kusini Juba na katika ofisi za Umoja wa Mataifa zilizoko Geneva, Uswisi, Anna Mutavati amenukuliwa akisema, “takribani asilimia 60 ya watu 223,641  ya waliokimbia makazi yao tangu mwanzo wa mwaka huu nchini Sudan Kusini ni wanawake na wasichana, wastani wa wanawake 104 kila saa,” na akaongeza kuwa baadhi ya wanawake na wasichana “wanakula mimea ya porini ili kuishi,” huku wengine wakikaa siku kadhaa bila kula. Amefafanua zaidi kuwa sehemu kubwa ya watu waliokimbia makazi yao ni kutoka Jimbo la Jonglei, ambako takribani wanawake na wasichana 174,197 wameathiriwa na mapigano. Bi. Mutavati amesema wanawake na wasichana ni miongoni mwa waliouawa katika mashambulizi ya kulengwa, ikiwemo shambulio la Machi katika Eneo la Utawala la Ruweng lililosababisha vifo vya watu wasiopungua 169 akionya kuwa ghasia zinazidi kuongeza hatari kwa wale waliokwishakimbia makazi yao. Pia ameeleza wasiwasi kuhusu kusambaratika kwa huduma muhimu, akisema uporaji na uharibifu wa vituo vya afya umeacha wanawake bila huduma muhimu za matibabu. “Wanawake wanajifungua bila huduma yoyote ya kitabibu kwa hatari kubwa ya kupoteza maisha,” amesema. UN Women inakadiria wanawake na wasichana milioni 5 nchini Sudan Kusini wanahitaji msaada wa kibinadamu mwaka huu, wakiwemo milioni 2.5 wanaohitaji huduma zinazohusiana na ukatili wa kijinsia.Akitoa wito wa hatua za haraka, Bi. Mutavati amesema uongozi wa wanawake lazima ubaki kuwa kiini cha juhudi za amani na ametoa wito wa kuheshimiwa kwa kiwango cha asilimia 35 cha uwakilishi wa wanawake serikalini chini ya makubaliano ya amani. “Hakuna njia ya amani ya kudumu iliyothibitika zaidi kuliko uongozi wa wanawake,” amesema, huku pia akitaka ufadhili kwa mashirika yanayoongozwa na wanawake na msaada kwa kaya zinazoongozwa na wanawake. Wakati Sudan Kusini ikielekea katika uchaguzi wa mwaka huu 2026, Mkurugenzi huyo wa Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika wa UN Women ametoa wito wa kuwepo kwa mchakato wa uchaguzi unaoaminika, jumuishi na wa uwazi unaohakikisha ushiriki wa wanawake katika kila hatua. Amenukuliwa akisema, “tunatoa wito wa utekelezaji kamili na wa haraka” wa makubaliano ya amani,  na akasisitiza kuwa kulinda wanawake na wasichana na kuhakikisha wanashiriki katika uamuzi ni msingi wa kufikia amani ya kudumu.

bi afrika jimbo moja un women zaidi machi umoja hakuna kanda kila wanawake mataifa shirika afrika mashariki jonglei mkurugenzi sudan kusini
Hindi Stories & Novels
Ep 8/8 | Mumbai Underworld Women | Mafia Queens Hindi Audiobook | S Hussain Zaidi

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 50:13


Honey Trap Mumbai Mafia Ki Haseenayai, written by S. Hussain Zaidi, reveals the hidden lives, power, struggles, and dark truths of women involved in the Mumbai mafia.

Hindi Stories & Novels
Ep 7/8 | Mumbai Underworld Women | Mafia Queens Hindi Audiobook | S Hussain Zaidi

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Apr 22, 2026 56:25


Gangster Ki Biwi aur Mashooka Mumbai Mafia Ki Haseenayai, written by S. Hussain Zaidi, reveals the hidden lives, power, struggles, and dark truths of women involved in the Mumbai mafia.

Habari za UN
UN yaadhimisha miaka 25 ya Jukwaa linalojikita katika haki za Watu wa Asili mkazo ukiweka zaidi katika changamoto za afya na mabadiliko ya tabianchi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 20, 2026 3:06


Jukwaa la Kudumu la Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Watu wa Asili (UNPFII) limefungua kikao chake cha ishirini na tano leo Aprili 20 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani likiadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kama jukwaa la kipekee la kimataifa linalowakutanisha wadau kuhusu Watu wa Asili. Kikao hiki kinafanyika katika muktadha wa changamoto zinazoendelea duniani, zikiwemo afya, migogoro na ukosefu wa usawa. Pia kinakuja wakati ambapo mfumo wa ushirikiano wa kimataifa, ndani ya mfumo wa mipango kama Mpango wa Mageuzi ya Umoja wa Mataifa, UN80 unakabiliwa na mahitaji yanayoongezeka ya ujumuishwaji, uhalali na ufanisi. Anold Kayanda amelifuatilia tukio hilo. 

new york zaidi umoja haki katika afya asili watu miaka mataifa aprili marekani jukwaa
Habari za UN
Zaidi ya wanawake elfu thelatini na nane wameauawa katika ukanda wa Gaza - Ripoti mpya ya UN Women

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 3:02


Uchambuzi mpya wa utafiti uliotolewa leo Aprili 17 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake, UN Women umeweka wazi kuwa zaidi ya wanawake na wasichana 38,000 wameauawa kati ya mwezi Oktoba mwaka 2023 na Desemba 2025 huko Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel ikiwa ni wastani wa takribani wanawake na wasichana 47 wanaouawa kila siku. Anold Kayanda ameufuatilia utafiti huo na kutuandalia taarifa ifuatayo. 

israel gaza palestina un women zaidi umoja nane katika wanawake mataifa aprili oktoba shirika ripoti desemba
Hindi Stories & Novels
Ep5_Mumbai Mafia Ki Haseenayai_Real Stories of Mumbai Underworld| Mallika-e- Drugs|S Hussain Zaidi

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 36:05


Powerful and shocking stories of mafia women. Drug'Queen.Crime, survival, and hidden truth of Mumbai Underworld.

Hindi Stories & Novels
Ep4| Mafia Queens of Mumbai | S Hussain Zaidi | Ashraf Urf Sapna | Hindi Stories

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Apr 14, 2026 45:03


Mumbai Mafia Ki Haseenayai, written by S. Hussain Zaidi, reveals the hidden lives, power, struggles, and dark truths of women involved in the Mumbai mafia.Real incidents of Ashraf Urf Sapna from Mumbai underworld.

Hindi Stories & Novels
Ep 3 | Mumbai Mafia Ki Haseenayai | Real Stories of Mumbai Underworld| S Hussain Zaidi | Sapna Didi

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Apr 10, 2026 69:13


Discover the untold real stories of women from Mumbai's underworld in this gripping Hindi audiobook.Story About Lady Don Sapna.

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia Yafafanuliwa: Pasaka ya Australia:Kuchunguza mila za kijamii na kitamaduni zaidi ya dini

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 14:38


Pasaka inachukuliwa kuwa likizo muhimu zaidi katika kalenda ya Kikristo.

Siha Njema
Magonjwa ya Autoimune yana uwezo kukusababishia magonjwa mengine zaidi

Siha Njema

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 10:23


Magonjwa yanayoshambulia kinga yanapompata mtu ,huendelea kusambaa ,kudhuru kingamwili na  kumweka hatarini mgonjwa kiasi cha kuwa mgonjwa anaweza kupatwa na magonjwa zaidi ya moja ya aina hiyo. Elwyn Chebet aligunduliwa na Lupus na baadaye akajikuta anapambana na magonjwa zaidi ya tano aina ya Autoimmune. Mwezi Machi ambapo ulimwengu huelekeza kurunzi kwenye magonjwa ya mfumo wa kinga au Autoimmune,watalaam wanasikitika kuhusu ufahamu mdogo kuhusu magonjwa haya. Wagonjwa wengi huwa na dalili za kukanganya na ubainishaji wa magonjwa haya unaweza kuchukua muda mrefu na kugharimu kiasi kikubwa cha pesa. Na kwa kuwa vyanzo vya magonjwa haya huwa haviko wazi matibabu yake huwa yenye mtihani mkubwa.Watalaam wengi hujaribu kutibu dalili bila kushughulikia chanzo cha ugonjwa wenyewe. Katika makala haya tumezungumza na Elwyn Chebet ambaye ni shujaa na mwanaharakati wa ugonjwa wa Lupus ambao huathiri viungo kadhaa mwilini na hata ngozi. Katika simulizi yake ,anaeleza kuwa kutokana na kinga dhaifu magonjwa tegemezi kama mafua,Malaria na Menegitisi yanaweza kuhatarisha maisha yake hivyo huhitajika kupata chanzo ya mapema dhidi ya magonjwa haya.

Hindi Stories & Novels
Ep1 | Mumbai Mafia Ki Haseenayai | Real Stories of Underworld | Hindi Audiobook | S Hussain Zaidi

Hindi Stories & Novels

Play Episode Listen Later Mar 31, 2026 64:08


Discover the untold real stories of women from Mumbai's underworld in this gripping Hindi audiobook.Mumbai Mafia Ki Haseenayai, written by S. Hussain Zaidi, reveals the hidden lives, power, struggles, and dark truths of women involved in the Mumbai mafia.

Habari za UN
UN: Hali inaendelea kuwa mbaya Mashariki ya Kati ikikatili zaidi maisha ya watu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 30, 2026 3:14


Vita vya Mashariki ya Kati vimeingia mwezi wa pili huku ghasia zikiongezeka katika maeneo kadhaa, ikiwemo Lebanon, Iran na Ghuba. Mlinzi wa amani wa Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon UNIFIL ameuawa baada ya kombora kulipuka katika kituo cha Umoja wa Mataifa karibu na Adchit Al Qusayr, huku mwingine akiwa mahtuti hospitali. Flora Nducha na Taarifa zaidi

Global From Asia Podcast
Amazon PPC & Private Label Secrets to 8 Figures with Basil Zaidi

Global From Asia Podcast

Play Episode Listen Later Mar 10, 2026 36:08


GFA 484. Basil Zaidi of Make Brands Big breaks down Amazon's Halo sales data, placement modifier mistakes, and SKU-level budget allocation — plus why emerging Asian brands should sell direct on Western marketplaces before signing distributors.

Global From Asia Podcast
Amazon PPC & Private Label Secrets to 8 Figures with Basil Zaidi

Global From Asia Podcast

Play Episode Listen Later Mar 10, 2026 36:08


GFA 484. Basil Zaidi of Make Brands Big breaks down Amazon's Halo sales data, placement modifier mistakes, and SKU-level budget allocation — plus why emerging Asian brands should sell direct on Western marketplaces before signing distributors.

Habari za UN
09 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 9, 2026 11:51


Hii leo jarida la Umoja wa Mataifa linakuletea taarifa ya ufunguzi wa Kikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 jijini New York Marekani, mwaka huu kikibeba maudhui “Haki, haki ya kisheria na Hatua kwa wanawake na wasichana wote”.Zaidi ya washiriki 9000 wakiwemo wawakilishi wa serikali, asasi za kiraia, Umoja wa Mataifa na mashirika yake na wadau wengine wanatarajiwa kushiriki jukwaa hili litakalokunja jamvi 19 Machi likijumuisha mikutano ya kando 750.Pia tunakupeleka Gaza, eneo la palestina linalokaliwa kimabavu na Israel kumwangazia Alya Abu Shawish, Mwanamke anayefanya kazi katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kutoa huduma ya kutegua mabomu, UNMASakisaidia kuwaweka salama wenzake katika mojawapo ya mazingira hatari zaidi duniani. Jarida linaelekea pia Tanzania kupata simulizi ya mtoto aliyekuwa amekosa fursa ya kupata masomo. 

Habari za UN
Mkutano wa 70 wa kamisheni ya hali ya wanawake CSW70 waanza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 9, 2026 4:00


CSW70 yang'oa nanga ikisistiza haki, haki ya kisheria na hatua kwa wanawake na wasichanaKikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 kimefungu pazia hii leo jijini New York Marekani, mwaka huu kikibeba maudhui “Haki, haki ya kisheria na Hatua kwa wanawake na wasichana wote”.  Zaidi ya washiriki 9000 wakiwemo wawakilishi wa serikali, asasi za kiraia, Umoja wa Mataifa na mashirika yake na wadau wengine wanatarajiwa kushiriki jukwaa hili litakalokunja jamvi 19 Machi likijumuisha mikutano ya kando 750. Leah Mushi amefuatilia ufunguzi huo na hii hapa taarifa yake.(TAARIFA YA LEAH MUSHI)Natts……Katika ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani …. huu ni ufunguzi wa Mkutano wa 70 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW70 Mgeni rasmi ni Katibu Mkuu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ambaye ameeleza…. Nats.. (SG cut 1 play under 00:06 I am so pleased to be in a…. )furaha yake kuwa katika ukumbi uliojaa viongozi waliokataa kukubali ukosefu wa usawa kama jambo lisiloepukikaKatika hotuba yake Guterres amesema dunia bado inaongozwa zaidi na mfumo dume unaowapa wanaume nafasi kubwa ya mamlaka. (SG Cut 1 – Fiesal )“Tunaishi katika ulimwengu unaotawaliwa na wanaume, na utamaduni unaotawaliwa na wanaume. Usawa wa kijinsia ni suala la mamlaka. Hakuna hatua hata moja mbele kwa haki za wanawake ambayo imewahi kutolewa. Bali imeshinda. Wameshinda vizazi vya wanawake na wasichana, watetezi na wanaharakati, viongozi wa jamii na watafuta haki. Umeshinda wewe na kabla ya kitu chochote napenda kusema Asante.”Amesema hali hiyo imekuwa changamoto kubwa katika jitihada za kufikia usawa wa kijinsia katika taasisi nyingi duniani. Hata hivyo, ndani ya UN kumekuwa na maendeleo muhimu katika kuongeza uwakilishi wa wanawake katika nafasi za juu za uongozi.Kwa mujibu wa Katibu Mkuu huyo, wakati alipoanza uongozi wake, alijiwekea lengo la kuhakikisha kunakuwa na uwiano sawa kati ya wanawake na wanaume katika ngazi za juu za uongozi wa Umoja wa Mataifa. Leo, amesema lengo hilo limefikiwa.(SG cut2 – Fiesal )“Kwa mara ya kwanza katika historia ya Umoja wa Mataifa, wanawake sasa wanaunda nusu kamili ya nguvu kazi ya Umoja wa Mataifa katika vitengo vya kitaaluma na vya juu zaidi. Na kwa mara ya kwanza, tulifikia usawa katika uongozi mkuu. Tumefanya hivyo ikiwa ni miaka miwili kabla ya ratiba - lakini pia natambua imekuwa ni miaka 80 imechelewa.”Katika hotuba yake, Katibu Mkuu wa António Guterres amesisitiza kuwa kufikia usawa wa kijinsia si suala la haki kwa wanawake pekee, bali ni hatua muhimu kwa maendeleo ya dunia nzima. Amesema jamii ambazo wanawake wanapata haki na fursa sawa huwa na maendeleo ya haraka zaidi, uchumi imara na taasisi zenye uwajibikaji zaidi, akisisitiza kuwa kuimarisha usawa wa kijinsia ni msingi muhimu wa kufikia maendeleo endelevu duniani.Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa amesema bado kuna kazi kubwa ya kufanya ili kuhakikisha wanawake wanapata haki na fursa sawa katika jamii duniani.Ametaja maeneo matano muhimu ya kuharakisha haki na usawa kwa wanawake ambayo ni kuhakikisha haki sawa za kiuchumi kwa wanawake, kuimarisha uwakilishi wao katika maamuzi ya kisiasa, kupanua upatikanaji wa elimu na fursa za kazi, kuondoa ukatili dhidi ya wanawake na wasichana, pamoja na kulinda haki za wanawake katika dunia ya kidijitali.Kwa upande wake mwenyekiti wa Kikao hicho cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 Maritza Chan Valverde amezungumzia maudhui ya mwaka huu ambayo ni  “Haki, haki ya kisheria na Hatua kwa wanawake na wasichana wote nakusema kila mtu anajukumu la kufanya (Maritza cut )“Ondo vikwazo na uhakikishe kwamba haki inakuwa ukweli halisi kwa…

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia Yafafanuliwa: Zaidi ya mtindo: Jinsi mitindo ya Mataifa ya Kwanza inavyokua nchini Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 24, 2026 12:08


Kama ume ishi kwa muda wowote nchini Australia, labda umegundua jinsi maisha yalivyo na utulivu.

Habari za UN
06 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 10:52


Hii leo jaridani tunaangazia juhudi za kutokomeza ukeketaji, watu waliotoweka katika ukanda wa Gaza kufuatia vita vya Hamas na Israeli, na msaada wa chakula kwa wakimbizi katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan.Zaidi ya wasichana milioni 4.5 duniani kote, wengi wao wakiwa wenye umri wa chini ya miaka mitano, wako hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu pekee, wameonya viongozi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa katika ujumbe wao wa siku hii ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji kwa wanawake na watoto wa kike.Huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel, wiki hii, mamlaka za Israel zimewasilisha miili 54 pamoja na mifuko 66 iliyosheheni mabaki ya viungo vya binadamu ya Wapalestina waliopotea wakati wa vita. Na kutokana na kutokuwepo kwa mfumo madhubuti wa kisasa kupima vinasaba kutambua mwili upi ni wa nani inakuwa changamoto kubwa hususani kwa ndugu.Katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan, maelfu ya familia waliokimbia makazi yao kutokana na vurugu wanapokea msaada wa chakula unaookoa maisha kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP uliosafirishwa kwa ndege hadi kwenye moja ya maeneo magumu zaidi kufikika nchini humo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
UN: Wasichana zaidi ya milioni 4.5 wapo hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu wa 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2026 2:33


Zaidi ya wasichana milioni 4.5 duniani kote, wengi wao wakiwa wenye umri wa chini ya miaka mitano, wako hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu pekee, wameonya viongozi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa katika ujumbe wao wa siku hii ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji kwa wanawake na watoto wa kike. Rashid Malekela na maelezo zaidi.

Habari za UN
20 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 11:51


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya ambako wasichana juhudi za kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) zimewezesha vijana wa kike kushiriki masomo ya Teknolojia ya Habari na Maewasiliano, TEHAMA na kujifunza stadi za teknolojia ili waweze kuedeleza biashara ya mtandaoni pamoja na matumizi mengine.Zaidi ya watu nusu milioni wameathiriwa na mafuriko makubwa katika mikoa ya kusini na kati ya Msumbiji, huku mvua kubwa ikiendelea kuvuruga usafiri, huduma za afya na njia za ugavi. Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA nchini humo, Paola Emerson, amewaambia waandishi wa habari huko Geneva, Uswisi kuwa majimbo ya Gaza, Sofala na Maputo ndiyo yaliyoathirika vibaya zaidi.Huko Mashariki ya Kati mapema leo Jumanne, vikosi vya Israel vimebomoa kwa tingatinga makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, huko Yerusalemu Mashariki eneo linalokaliwa kimabavu na Israel. Mkuu wa UNRWA, Philippe Lazzarini, amelieleza tukio hilo kama “shambulio lisilo na kifani dhidi ya Umoja wa Mataifa,”.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo imesema imeanza kutekeleza mpango wa kurejesha kwa hatua mamlaka ya dola katika mji wa Uvira, mashariki mwa nchi hiyo, kufuatia kuondoka kwa kundi lenye silaha la AFC/M23. Serikali inasema vikosi vya usalama, polisi na huduma nyingine za serikali vinarejea ili kulinda raia, kulinda mali na kuleta utulivu katika eneo hilo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “ KING'ANI”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

israel kenya gaza tanzania drc unrwa zaidi maputo umoja congo drc ocha hii kiswahili taifa philippe lazzarini baraza habari uvira tehama vijana wanawake jamhuri mataifa serikali mkuu shirika teknolojia kidemokrasia sofala
Habari za UN
Upatikanaji wa kazi zenye ubora wadorora duniani, vijana na wanawake wakiumia zaidi - ILO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 14, 2026 2:48


Licha ya uchumi wa dunia kuendelea kukua, maendeleo katika kupata kazi zenye ubora na staha yamekwama, huku mamilioni ya wafanyakazi wakisalia katika lindi la umaskini na ajira zisizo rasmi. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani (ILO)iliyotolewa hii leo huko Geneva Uswisi. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi. 

ilo kazi zaidi umoja hayo vijana wanawake mataifa ajira shirika ubora
Habari za UN
Mkuu wa UNHCR ahimiza mshikamano na suluhu zaidi kwa wakimbizi Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 3:18


Katika ziara yake ya kwanza rasmi iliyofanyika nchini Kenya kama Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi, Barham Salih ametoa wito wa kuimarishwa kwa mshikamano wa kimataifa na uwekezaji endelevu ili kuwasaidia wakimbizi kujenga upya maisha yao, akionya kuwa upungufu mkubwa wa ufadhili unatishia kurudisha nyuma mafanikio yaliyopatikana kwa juhudi kubwa katika ulinzi na kujitegemea kwa wakimbizi. Flora Nducha na taarifa zaidi  

kenya unhcr zaidi umoja katika kakuma mataifa mkuu barham salih
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboni

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 5:14


Utafiti mpya umebaini kuwa miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi kuliko inavyokua, hali ambayo inachangia ongezeko la utoaji wa kaboni. Utafiti huo, unaoongozwa na Chuo Kikuu cha Western Sydney na kuchapishwa katika jarida la Nature Plants, umebaini kuwa miti katika aina zote za mifumo ya mazingira - kuanzia misitu ya mvua ya tropiki hadi misitu ya eucalypt - inapungua hali ya hewa inavyozidi kuwa ya joto.

The Extemper's Bible
Hot Takes with Al Zaidi | January 2026 Interview

The Extemper's Bible

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 40:50


In this month's long, long awaited episode, champion of the 2025 Yale, Bronx, and Florida Blue Key Invitationals Al Zaidi returns to the podcast alongside co-hosts Noori and Marcel. Al discusses his recent success, extemp tips, and... hot takes? Listen up as we dive into the mind of one of the most successful competitors on the circuit, discussing everything from Sabrina Carpenter jokes to toxic extemp culture. We hope you enjoy the December/January episode of the Extemper's Bible Podcast! We apologize for the slow episode releases; we are back in full swing this month!

A Gay and A NonGay
10 Years Of A Gay and A NonGay: A Gay Muslim's Journey to Acceptance with Mohsin Zaidi

A Gay and A NonGay

Play Episode Listen Later Dec 3, 2025 23:18


This is a re-release celebrating a decade of love and allyship on A Gay And A NonGay. This week we're throwing it back to December 2021... James and Dan are joined by iconic barrister, speaker and author Mohsin Zaidi about his must read memoir A Dutiful Boy, A Memoir of A Gay Muslim's Journey to Acceptance. We chat about Mohsin's superhero parents and their Kryptonite, conversion therapy Witch Doctors - and James learns about bidets. If you are Muslim and LGBTQ+ and need help, visit Hidayah - ⁠https://hidayahlgbt.com/⁠ - the leading Queer Muslim charity. Follow A Gay & A NonGay TikTok: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@gaynongay⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Instagram: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@gaynongay⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ YouTube: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@gaynongay⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Facebook: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@gaynongay⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Website: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠gaynongay.com⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Email Us: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠us@gaynongay.com⁠ Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Habari za UN
WFP yaonya jinamizi la vita na njaa nchini Sudan ni mtihani usio na majibu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 28, 2025 3:25


Zaidi ya miaka miwili na nusu ya vita nchini Sudan imewaacha watu milioni 21 karibu nusu ya watu wote wa nchi hiyo wakikabili njaa kali, huku maeneo mawili yakithibitishwa kukumbwa na baa la njaa. Mapigano yamepungua kwa sasa katika baadhi ya sehemu za Khartoum, na masoko yanaanza kufunguliwa tena., Lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP linaonya kuwa hali bado ni tete. Flora Nducha na taarifa zaidi

Habari za UN
28 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 28, 2025 10:59


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya amani na usalama nchini Guinea-Bissau, utapiamlo nchini Sudan na juhudi za UNICEF za kuwawezesha vijana ili waweze kujikwamua kimaisha nchini Tanzania.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani vikali mapinduzi yanayoendelea nchini Guinea-Bissau akitaka “urejeshwaji wa haraka na usio na masharti wa utawala wa kikatiba” baada ya wanajeshi kutwaa madaraka kufuatia uchaguzi mkuu wa uliofanyika tarehe 23 Novemba.Zaidi ya miaka miwili na nusu ya vita nchini Sudan imewaacha watu milioni 21 karibu nusu ya watu wote wa nchi hiyo wakikabili njaa kali, huku maeneo mawili yakithibitishwa kukumbwa na baa la njaa. Mapigano yamepungua kwa sasa katika baadhi ya sehemu za Khartoum, na masoko yanaanza kufunguliwa tena., Lakini Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP linaonya kuwa hali bado ni tete.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF)  kupitia programu yake ya stadi za maisha na mafunzo ya biashara iitwayo Ujana Salama, inayofadhiliwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini humo TASAF kwa msaada wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewezesha kikundi cha vijana nchini humo kujitegemea. Mmoja wa vijana wanufaika wa programu hiyo ameweza kujenga mustakabali ambao awali aliouna kama ndoto kupitia masomo ya ushoniMwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Web3 with Sam Kamani
323: Deepfakes, Fraud & Fixes: The Real Need for Verified Credentials with Zain Zaidi Cofounder & CEO of TransCrypts

Web3 with Sam Kamani

Play Episode Listen Later Nov 19, 2025 37:22


In this episode I sit down with Zain Zaidi, co‑founder and CEO of TransCrypts, to explore his personal story and the mission driving his startup. He shares how a misplaced grad‑school transcript sparked a blockchain solution for identity verification, how his company now serves millions of users and hundreds of enterprises, and why the deepfake era makes what they do more critical than ever. We dive into the tech, the regulatory hurdles, Web2 clients, Web3 opportunities, and what's ahead for verified credentials across employment, health and education.Key Learnings (with timestamps)00:00:00 – Mark Cuban's warning about digital misinformation and deepfakes; the trust crisis we face online.00:02:00 – Zain's personal trigger: grad‑school transcript error led to founding TransCrypts.00:04:00 – What TransCrypts solves: giving individuals ownership of verified credentials (job, school, income).00:06:00 – How the system works: integration with HR systems, issuance of on‑chain credentials.00:07:00 – Focus and expansion: employment verification is central, health and education credentials coming.00:12:00 – Technical and enterprise challenges: selling Web3 identity solutions to Web2 businesses.00:14:00 – The synergy of AI + crypto: identity verification as the defense against AI‑driven fraud.00:17:00 – Pitching and fundraising: cold‑emailing Mark Cuban, building traction, $15 M seed round.00:18:00 – Humanitarian use‑case: helping Ukrainian refugees access medical records via their platform.00:23:00 – If he were starting again today: focus on the solution not the tech; time your raise relative to market cycle.00:34:00 – Roadmap and ambitions: becoming a major employment/income data provider, potential token launch.Connecthttps://www.transcrypts.com/https://www.linkedin.com/company/transcrypts/https://x.com/transcrypts_https://www.linkedin.com/in/zainzaidi99/DisclaimerNothing mentioned in this podcast is investment advice and please do your own research.It would mean a lot if you can leave a review of this podcast on Apple Podcasts or Spotify and share this podcast with a friend.Be a guest on the podcast or contact us ‑ https://www.web3pod.xyz/

SBS Swahili - SBS Swahili
Uzalishaji wa Net Zero nchini Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 18, 2025 8:26


Muungano umeidhinisha rasmi kuondoa lengo la kutofikia uzalishaji wa gesi chafu katika mkutano wa chumba cha chama huko Canberra. Zaidi ya hayo, Liberals na Nationals wamefunua mpango wa kuondoa mabadiliko ya tabianchi kutoka kwenye orodha ya malengo ya mdhibiti wa nishati ya kitaifa, huku wakiapa kuendelea kupunguza uzalishaji kwa kufuatilia maendeleo ya nchi nyingine.

Habari za UN
WHO, UNICEF na UNRWA waanza uchanjaji zaidi ya watoto 44,000 Gaza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 14, 2025 3:12


Mashirika ya Umoja wa Mataifa WHO, UNICEF na UNRWA wameanzisha kampeni ya pamoja ya Uchanjaji watoto waliokosa huduma muhimu za kuokoa maisha kutokana na miaka miwili ya machafuko katika Ukanda wa Gaza umeanza kutekelezwa na mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa, lile la afya duniani, la kuhudumia watoto UNICEF na la kusaidia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Maumivu ya wanawake kutiliwa maanani zaidi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 14, 2025 8:02


Serikali ya Victoria imetoa ripoti ya mwisho ya uchunguzi kuhusiana na uzoefu wa wanawake katika suala la maumivu - na ni taarifa inayosumbua kusoma. kutokana na uzoefu wa wanawake na wasichana 13,000, ripoti hiyo imebaini mapengo katika huduma za afya kwa jinsia, upendeleo katika matibabu, ubaguzi wa kijinsia, na hisia za kupuuzwa au kutopingwa na wataalamu wa afya zinazoenea katika mfumo wa afya wa Victoria.

zaidi wanawake serikali
Habari za UN
Wagonjwa wanaohitaji tiba zaidi Gaza wasafirishwa kupata tiba zaidi Afrika Kusini na kwingineko

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 29, 2025 3:24


Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO, limeongoza uhamishwaji wa wagonjwa kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, ikiwa ni  mara ya kwanza tangu kuanza kwa awamu mpya ya kusitishwa kwa mapigano kwenye  ukanda huo.Katika muda wa siku mbili, wagonjwa 41 waliokuwa katika hali mbaya pamoja na familia zao 145 wamehamishwa kutoka eneo la mgogoro, kuelekea Afrika Kusini, Uswisi na kwingineko, huku maelfu zaidi wakiendelea kusubiri matibabu ya dharura.Katika hospital iliyojengwa kwa mahema  katika eneo la AL-MAWASI, RAFAH kwenye Ukanda wa Gaza wagonjwa wakihudumiwa kila kona watoto kwa wakubwa Miongoni mwao ni Ibrahim Abu Ashiba, mkurugenzi wa filamu ambaye maisha yake yamebadilika ghafla. Anakumbuka wakati alipojeruhiwa. Anasema, "Nilipigwa risasi mara kadhaa, mara moja kwenye kifua, mara moja kwenye bega, mara mbili mkononi. Risasi hizo mbili zilikata mishipa ya neva ya mkono wangu. Sasa siwezi kushika kamera wala kunyoosha mkono wangu kawaida. Ghafla, maisha yangu yote yalisimama."Safari ya kupona kwa Ibrahim inaanzia Afrika Kusini, ambapo amekubaliwa kwenda kupokea matibabu maalum ambapo anasema "Maisha yangu yote yalikuwa yamesimama baada ya kujeruhiwa hadi waliponipigia simu na kunijulishakwamba nitasafiri kwenda Afrika Kusini kwa matibabu. Ilionekana kama nimezaliwa upya."Mgonjwa mwingine katika hospitali hii ni, Maria Al-Shaer, alijeruhiwa vibaya katika mashambulizi yaliyokuwa yakiendelea Gaza, huku akipoteza ndugu zake. Mama yake, Raghda Ahmed Al Shaer, anaelezea mateso hayo. "Maria amepoteza baba yake na ndugu zake wote. Alijeruhiwa na kuvunjika mguu, mifupa na kupoteza nyama. Anahitaji upasuaji wa kuwekewa viungo bandia. Maisha yake yamegeuka, hawezi kutembea, na hali yake ya kisaikolojia imeathirika sana."Uhamishwaji huu umeratibiwa na Shirikisho la Chama cha Msalaba Mwekundu Palestina, kwa msaada wa WHO. Dkt. Luca Pigozzi, Mratibu wa Timu ya Dharura ya WHO, anafafanua umuhimu wake."Huu ni uhamishaji wa kwanza wa matibabu tangu kusitishwa kwa mapigano Oktoba 10. Tumejizatiti kuongeza uwezo wetu kusaidia na kuratibu uhamishaji kwa ajili ya matibabu, kwa ushirikiano wa karibu na Shirikisho la chama cha Msalaba Mwekundu la Palestina."Raghda anaeleza matumaini kwa ajili ya binti yake wanapohama kwenda Uswisi. "Wametupigia kutuarifu kwamba Maria amekubaliwa kusafiri kwenda Uswisi kwa matibabu. Tumefurahi sana kwamba atatembea tena, na hali yake ya kisaikolojia itaboreka. Atarudi kuwa Maria wa kawaida kama tuliyemjua."WHO inasisitiza kuwa wagonjwa takriban 15,000 bado wanangojea idhini ya kupata matibabu nje ya Gaza na inatoa wito kwa nchi zote kufungua milango yote za dharura kwa ajili ya uokoaji wa wagonjwa.

Habari za UN
Hali si hali huko El Fasher nchini Sudan, watoto 'walipa gharama' zaidi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 29, 2025 2:43


Ghasia zinazoendelea kwa kasi zinawakwamisha zaidi watoto katikati ya mashambulizi ya mabomu yasiyokoma, mapigano makali, na uhaba mkubwa wa chakula, maji salama na dawa kwa zaidi ya siku 500 sasa.“Hakuna mtoto aliye salama,” anasema Catherine Russell, Mkurugenzi Mtendaji wa Shrika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF kupitia taarifa iliyotolewa na makao makuu ya shirika hilo jijini New York, Marekani leo.Taarifa hiyo pia inamnukuu Catherine Russell akisema, “ingawa athari kamili bado haijulikani kutokana na kukatika kwa mawasiliano kote nchini Sudan, inakadiriwa kuwa watoto wapatao 130,000 huko Al Fasher wako katika hatari kubwa ya kukiukwa haki zao, huku kukiripotiwa visa vya utekaji nyara, mauaji na ukataji viungo vya mwili, pamoja na ukatili wa kingono.”Pia kuna taarifa za wafanyakazi wa mashirika ya kibinadamu kukamatwa au kuuawa.UNICEF inatoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano, kuhakikisha upatikanaji salama na usiokatizwa wa misaada ya kibinadamu, ulinzi wa raia hasa watoto, na kupatiwa uhakika wa njia salama kwa familia zinazotafuta hifadhi, kwa mujibu wa sheria za kimataifa za kibinadamu. Wale wanaohusika na ukiukaji lazima wawajibishwe.Wakati huohuo, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limethibitisha kwamba Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imewataarifu kuwa viongozi  wawili wa juu wa WFP nchini  wametangazwa kuwa watu wasiotakiwa nchini Sudan na hivyo wameamriwa kuondoka nchini humo ndani ya saa 72, bila maelezo yoyote.WFP inaeleza kwamba uamuzi huu wa kuwafukuza Mkurugenzi wa WFP nchini Sudan na Mratibu wa Dharura wa WFP nchini humo unakuja katika kipindi muhimu kwani mahitaji ya kibinadamu nchini Sudan hayajawahi kuwa makubwa zaidi kama kipindi hiki, huku zaidi ya watu milioni 24 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula na jamii zikikumbwa na baa la njaa.Wakati ambapo WFP na washirika wake wanapaswa kupanua wigo wa msaada, uamuzi huu unalazimisha shirika kubadilisha uongozi bila mpango, jambo linalohatarisha shughuli zinazowaunga mkono mamilioni ya Wasudani walio hatarini kukumbwa na njaa kali, utapiamlo, na hata kifo kutokana na njaa.WFP na maafisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wanaendelea kuzungumza na mamlaka za Sudan kupinga hatua hii na kutaka ufafanuzi wa uamuzi huo.Tags: Sudan, El Fasher, WFP, UNICEF

Habari za UN
23 OKTOBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 23, 2025 15:53


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia siku ya Umoja wa Mataifa na tutasikia kutoka mashinani wananchi na asasi za kiraia zina yapi ya kusema kuhusu shirika hili kubwa na la kipekee linalounganisha nchi wanachama 193 duniani.Mashirika manne ya Umoja wa Mataifa lile la uhamiaji IOM, la kuhudumia wakimbizi UNHCR, la Kuhudumia watoto UNICEF na la mpango wa chakula duniani WFP leo yametoa wito wa dharura kwa dunia kuchukua hatua mara moja kukabiliana na janga la kibinadamu linaloongezeka nchini Sudan. Zaidi ya watu milioni 30 wanahitaji msaada, nchini humo wakiwemo watoto milioni 15 na wakimbizi karibu milioni moja.Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) jana Oktoba 22 ilisema Israeli lazima itimize majukumu yake kama “anayekalia kimabavu” kwa kuhakikisha kuwa msaada unaweza kupita bila vizuizi na kwa kuheshimu haki za Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya kibinadamu yanayofanya kazi katika Ardhi ya Palestina Iliyokaliwa kwa Mabavu. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameelezea maoni hayo ya ICJ kuwa “muhimu sana,” akiongeza kuwa yametolewa wakati ambapo Umoja wa Mataifa unafanya kila juhudi kuongeza kasi ya misaada kuingia Gaza baada ya kusitishwa kwa mapigano.Nchini Kenya, wahudumu wa afya waliokuwa wakisubiri hadi siku 15 kupata malipo sasa wanapokea pesa ndani ya saa 72 pekee, shukrani kwa mfumo mpya wa malipo ya kidijitali uliotolewa na Shirika la Sfya la Umoja wa Mataifa WHO na Wizara ya Afya ya nchi hiyo. Mfumo huu unapeleka fedha moja kwa moja kwenye pochi za simu za wafanyakazi, ukipunguza ucheleweshaji, gharama na kuongeza motisha. Wafanyakazi zaidi ya 120,000 sasa wanafaidika, kuboresha ufanisi wa kampeni za chanjo na juhudi za kudhibiti polio.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Pediheart: Pediatric Cardiology Today
Pediheart Podcast #354: Neurocognitive Dysfunction In Adults With Congenital Heart Disease

Pediheart: Pediatric Cardiology Today

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 51:29 Transcription Available


This week we review a landmark paper that came out this month on the topic of ACHD. How common is neurocognitive dysfunction amongst the ACHD patient population? What factors are associated with worse or better such outcomes? What interventions should be considered to mitigate these issues? What is the relationship between mental illness and neurocognitive dysfunction? Dr. Scott Cohen of The Medical College of Wisconsin and Dr. Ali Zaidi of The Icahn School of Medicine at Mount Sinai share their insights into their recent multicenter study. doi: 10.1016/j.jacc.2025.06.051Also featured after the article is a brief description of the upcoming Mount Sinai ACHD Conference called: Kawasaki Disease Across The Ages: From Childhood Onset To Adult Outcomes - The 4th Mount SInai ACHD Symposium. We speak with Dr. Nadine Choueiter who is the Course Director of this conference about the goals and objectives of the conference. Dr. Zaidi is the course co-director. For those interested in signing up, please go to this webpage:https://physicians.mountsinai.org/news/register-today-for-the-fourth-annual-mount-sinai-adult-congenital-heart-disease-symposium