Podcasts about Zaidi

  • 328PODCASTS
  • 1,183EPISODES
  • 32mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Mar 10, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Zaidi

Show all podcasts related to zaidi

Latest podcast episodes about Zaidi

Habari za UN
UNHCR: Zaidi ya wakimbizi 63,000 wa DRC wamewasili Burundi wengi wanaishi kwenye uwanja wa Rugombo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2025 2:07


Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi. Flora Nducha amefuatilia safari ya mmoja wa wakimbizi hao, kwako Flora.

Habari za UN
10 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2025 10:56


Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 na wakimbizi wanaokimbia machafuko nchini DRC kwenda Burundi. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Lebanon, kulikoni?Hii leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani unaanza mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69, kusanyiko kubwa zaidi la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalomulika usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake mwaka huu washiriki wakiwa zaidi ya 25,000.Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi.Makala leo tunamwangazia Fatuma Mfumia, dereva pekee wa kike katika shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhuduia Watoto, UNICEF Tanzania.Na mashinani mashinani fursa ni yake Ghada Dawiche's ambaye licha ya machungu yaliyomkumba baada ya kupoteza bintiye aliyekuwa mfanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR nchini Lebanon, pamoja na mjukuu wake wa kiume wakati kombora la Israeli lilipopiga nyumba yao nchini  Lebanon, anasema Umoja, nguvu na tumaini ndio ujumbe mkuu anaowapa wanawake wote waliopoteza wapendwa wao vitani na katika kupigania haki za wanawake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Habari za UN
Mkutano wa CSW69 yang'oa nanga leo ikiwaleta pamoja washiriki zaidi ya 25,000

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2025 3:07


Hii leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani unaanza mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69, kusanyiko kubwa zaidi la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalomulika usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake mwaka huu washiriki wakiwa zaidi ya 25,000. Selina Jeroboni na taarifa zaidi.

Habari za UN
Burundi yahamishia wakimbizi wa DRC eneo salama zaidi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 3:48


Machafuko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) yanaendelea kufurusha watu na wengine wanaamua kukimbilia nchi jirani ikiwemo Burundi. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR nchini Burundi limesema wazi kuwa katika wiki mbili za mwezi Februari kuanzia tarehe 14 walipokea wakimbizi zaidi ya 60,000, wengi wakiwa tayari walishafurushwa awali. Kwa waliowasili katika eneo la Kaburantwa  nchini Burundi, bado wanahofia usalama. Serikali ya Burundi imetenga eneo lingine salama zaidi na sasa wanahamishiwa huko. Je ni wapi? Assumpta Massoi kwa msaada wa video ya UNHCR Burundi anasimulia zaidi. 

Jioni - Voice of America
Watu 11 wamefariki na wengine zaidi ya 70 wamejeruhiwa kufuatia milipuko miwili katika eneo la Bukavu huko mashariki mwa DRC. - Februari 27, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Style Points
Episode 15: Crashing to ECMO with Mohsin Zaidi

Style Points

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 57:44


In this episode, we start out with an RSI featuring intern Lauren Brown discussing obstructive sleep apnea and its anesthetic implications. Next, we talk to ECMO expert Mohsin Zaidi about resuscitation in the most challenging- and sometimes dramatic- circumstances.

Habari za UN
Hofu ya raia zaidi kukimbia DRC kuelekea Burundi, UNHCR yasaka dola milioni 40.4 za kuwasaidia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 2:08


Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetoa ombi la dola milioni 40.4 ili kujiandaa na kutoa huduma za kuokoa maisha na usaidizi kwa wakimbizi wa ndani na waliokimbilia nchi jirani baada ya wakati huu ambapo mashambulizi ya waasi wa M23 yanazidi kufurusha raia kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Je, ulimwengu ni mkubwa kiasi gani

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 7:06


Je, umewahi kufikiria jinsi ulimwengu ulivyo mkubwa?

zaidi gani ulimwengu
Raj Shamani - Figuring Out
Dawood's Life: Mumbai to Pakistan, Gangsters & Lawrence Bishnoi | Hussain Zaidi | FO317 Raj Shamani

Raj Shamani - Figuring Out

Play Episode Listen Later Feb 15, 2025 93:20


Download Porter Here: https://app.adjust.com/1lcjkwu4?label=PorterGuest Suggestion Form: https://forms.gle/bnaeY3FpoFU9ZjA47Disclaimer: This video is intended solely for educational purposes and opinions shared by the guest are his personal views. We do not intent to defame or harm any person/ brand/ product/ country/ profession mentioned in the video. Our goal is to provide information to help audience make informed choices.Order 'Build, Don't Talk' (in English) here: https://amzn.eu/d/eCfijRuOrder 'Build Don't Talk' (in Hindi) here: https://amzn.eu/d/4wZISO0Follow Our Whatsapp Channel: https://whatsapp.com/channel/0029VaokF5x0bIdi3Qn9ef2JSubscribe To Our Other YouTube Channels:-https://www.youtube.com/@rajshamaniclipshttps://www.youtube.com/@RajShamani.Shorts

Dodgers Territory
KERSHAW IS BACK! Early Spring Updates, Farhan Zaidi Joins!

Dodgers Territory

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 35:40


The Dodgers have re-signed three-time NL Cy Young Award winner and two-time World Series Champion Clayton Kershaw to a one-year deal.  
(0:35) DT hosts Alanna Rizzo and Clint Pasillas break down the biggest spring training headlines, from Kershaw's return to the latest on Shohei Ohtani's pitching timeline.  
(3:36) Are the Dodgers relying on Blake Snell to shoulder a heavy workload early in the season?
Go to Hungryroot.com/FT and use code FT to get 40% off your first box and a free item of your choice for life!(16:21) Dodgers special advisor Farhan Zaidi joins the show to talk about his new role and his return to the organization!  (23:33) With incredible pitching depth, the Dodgers face the challenge of managing their rotation as arms get stretched out to start the season. Zaidi breaks it all down.
(28:19) Plus, an insider's take on the NL West competition from someone who's been on the other side.  Subscribe to DT on YouTube! DT is LIVE on Mondays & Thursdays at 12p PT/3p ET all year long! 

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya wanajeshi 100 watorokea Rwanda kufuatia mapigano ya Goma. - Februari 11, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 11, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

KQED’s Perspectives
Disha Zaidi: Navigating Sympathy and Empathy

KQED’s Perspectives

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 3:59


After her father fell ill, Disha Zaidi shares how empathy from friends and family made a big impact.  

Habari za UN
Mabaya zaidi nchini DRC yanakuja iwapo hatutauchukua hatua, aonya Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 2:18


Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, leo akizungumza katika Kikao Maalum cha Baraza la Haki za Binadamu kinachofanyika jijini Geneva, Uswisi, ameonya kuwa ghasia zinazoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zinaweza kuwa mbaya zaidi ikiwa hazitashughulikiwa. Flora Nducha na taarifa zaidi.

Habari za UN
UNFPA - Wakimbizi zaidi ya 18,000 wa Sudan sasa wanaishi katika kambi ya Korsi CAR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 0:17


Vita inayoendelea Sudan kwa zaidi ya miezi 18 sasa inaongeza wimbi la wakimbizi ndani na nje ya nchi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA. Shirika hilo linasema takriban wakimbizi 18,000 waliokimbia vita Sudan hivi sasa wanaishi katika kambi ya wakimbizi ya Korsi katika eneo la Birao, jimbo la Vakaga Katikati Mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR ambako UNFFPA inawapatia huduma muhimu zikiwemo za aya ya uzazi. Flora Nducha anatujuza zaidi katika makala hii

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya mamluki 280 kutoka nchi za Ulaya washikwa mateka na M23 na kupelekwa Rwanda - Januari 30, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Building Value
Building Value Ep. 61 - Industry Events, Fulton Products, and Community Impact with Mohammad Zaidi

Building Value

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 28:08


In this episode of the Building Value Podcast, host Tim Zacharias sits down with Mohammad Zaidi to discuss upcoming industry events, the value of working with Fulton, and how their innovative products are making a real impact in our community. From expert insights to practical advice, their conversation is packed with takeaways for anyone in the industry. Tune in to learn more about the people, products, and events shaping our field!

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Kenya: Jinsi nguo za mitumba zinachangia katika uharibifu wa mazingira

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 15:26


Sekta ya mitumba inauwezo wa kuchangia mabilioni ya fedha katika mapato ya taifa, pamoja na kutoa maelfu ya ajira katika mataifa ya bara Afrika na ulaya. Kulinga na utafiti wa Oxford Econimics mwaka uliopita; 2024, sekta ya mitumba pekee ina dhamani ya dola bilioni 8 na imetoa ajiri ya idadi ya zaidi laki moja na elfu 60 kwa vijana nchini Msumbiji, Ghana na Kenya.Lakini hata hivyo wanaharakati wa mazingira wanasema baadhi ya nguo hizo za mitumba zinazoletwa Afrika zinachangia katika uchafuzi wa mazingira.Hili kufahamu Zaidi mwandishi wetu George Ajowi alizuru soko la Gikomba na kutuandalia makala yafuatayo .

Jioni - Voice of America
Watu zaidi ya 27 wamefariki na wengine wametekwa na watu wanaodhaniwa kutoka kundi la ADF huko mashariki mwa DRC. - Januari 16, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
Vituo vya afya vya umma zaidi ya 4,500  vyaboreshwa na mfumo wa GoTHOMIS - UNICEF Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 15, 2025 1:38


Mfumo wa kidijitali unafadhiliwa na serikali ya Canada kupitia shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF) nchini Tanzania umeanza kuonesha mafanikio katika kurahisisha huduma kama vile usajili wa wagonjwa, usimamizi wa maduka ya dawa na bima na kuwezesha wahudumu wa afya kujikita zaidi katika huduma. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Jioni - Voice of America
Viongozi wa NATO wanasema mataifa ya ulaya lazima yajiandae kukabiliana na matukio zaidi katika Bahari ya Baltic. - Januari 14, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Rais wa Ukraine, ataka misaada zaidi kupambana na Russia - Januari 12, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 12, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Zaidi ya watu laki moja wamekimbia katika siku tano za mapigano huko mashariki mwa DRC, kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23. - Januari 10, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Bunge la Lebanon limekutana kufanya juhudi nyingine za kumchagua rais na kujaza nafasi ambayo imekuwa wazi kwa zaidi ya miaka miwili. - Januari 09, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
08 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 9:56


Zaidi ya watoto 70 wameuawa Gaza tangu Januari 1 huku gharama za maisha zikizidi kupanda.Mafunzo ya ufundi bomba kuniwezesha kutunza familia yangu – Msichana Bangladesh.Mradi wa UNICEF wa kuunganisha taarifa na kusajili watoto wanufaisha jamii Burundi.Mashinani nchini Tanzania kuhusu haki za watoto

Habari za UN
Gaza: Zaidi ya watoto 70 wameuawa tangu Januari 1 huku gharama za maisha zikizidi kupanda

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 1:55


Hali ya maisha kwa raia wa Gaza inaendelea kuwa mbaya msimu huu wa baridi kali kutokana na vikwazo vya kufikisha misaada, kupanda kwa gharama za maisha na mashambuizi yanayoendelea kukatili maisha ya raia wakiwemo watoto 74 waliouawa tangu Januri Mosi mwaka huu  yamesema mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ambalo linasema kuuawa kwa watoto hao 74 katika siku saba za kwanza za mwezi huu ni dhihirisho la jinamizi linaloendelea kuighubika Gaza na mashambulizi ya Israel hayaonyeshi dalili yoyote ya kukoma ikiwemo ya jana usiku katika mji wa Gaza, Khan Younis na kwenye makazi ya Pwani ya wakimbizi wa ndani ya Al Mawasi ambayo Israel yenyewe iliyatenga hapo awali kama maeneo salama. Kwa mujibu wa UNICEF jana Jumanne pekee watoto 5 wameripotiwa kuuawa Al Mawasi. Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEFF Catherine Russell amesema "Kwa watoto wa Gaza, mwaka mpya umeleta vifo zaidi na mateso kutokana na mashambulizi, kunyimwa huduma, na kuongezeka kwa hali ya baridi. Usitishaji wa mapigano umechelewa kwa muda mrefu na watoto wengi sana wameuawa au kupoteza wapendwa wao katika mwanzo mbaya wa mwaka mpya.”© UNRWA/Fadi ThabetMwanaume na mwanae wakiwa wameketi wakiota moto Nuseirat katikati mwa GazaGharama za chakula zinaendelea kupanda GazaKwa upande wake shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula Duniani WFP limesema kana kwamba mashambulizi hayatoshi sasa kupanda kwa gharama za chakula ni mtihani mwingine kwa watu wa Gaza kwani kilo 25 za unga zinauzwa hadi dola za Marekani 150 gharama ambayo watu wengi hawawezi kumudu  na watoto ni wahanga wakubwa wakilzimika kulala njaa. Nalo shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X limesema linapokuja suala la mashambulizi Gaza “Hakuna tofauti, wahudumu wa kibinadamu, hata wawe ni nani nao wamekuwa wakilengwa mara kwa mara. Kupuuzwa huku kwa wazi kwa sheria za kimataifa za kibinadamu hakuwezi kuachwa kuwa ndio kawaida mpya.” Pia limesema Gaza hospitali zimekuwa mitego ya vifo, familia zimesambaratika, watoto wanakufa kwa baridi na njaa inakatisha maisha  ya watu wengi 

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya watu 100,000 wamehama makazi yao katika mapigano ya hivi karibuni kati ya M23 na jeshi la Congo - Januari 08, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 30:00


Habari za UN
Hadithi ya Alaa Khattab: Kutoka kuwa mzalishaji mdogo kijijini kwake hadi kuwa msafirishaji wa Kikanda wa achari

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 2:09


Mradi wa pamoja wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO ujulikanao kama Nabta kwa lugha ya Kiarabu ukimaanisha "mche" ambao lengo lake ni kuwasaidia vijana wajasiriamali kubadili mawazo yao kuwa  biashara ya kilimo yenye mafanikio umeleta nuru kwa Alaa Khattab kijana aliyekuwa na ndoto ya kuwa mfanyabiashara wa kilimo nchini Syria. Flora Nducha anatujuza zaidI.

MMAjunkie Radio
Ep. #3523: UFC recap, Asim Zaidi Interview, more

MMAjunkie Radio

Play Episode Listen Later Dec 16, 2024 83:21


On Episode 3,523, the guys had a UFC card to recap, the last of the year. They also spoke to the head of Karate Combat, Asim Zaidi.

Habari za UN
UNHCR: Chonde chonde jumuiya ya Kimataifa tuishike mkono Uganda kwa faida ya waomba hifadhi na wakimbizi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 16, 2024 2:04


Mwaka 2024 ukielekea ukingoni, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR  nchini Uganda limetoa rai kwa jumuiya ya kimataifa kutolisahau taifa hilo la Afrika Mashariki ambalo ni maskani ya idadi kubwa zaidi ya waomba hifadhi na wakimbizi barani Afrika. Rai hiyo iliyotolewa mwishoni mwa wiki inataka ufadhili wa fedha uongezwe ili liweze kuendelea kukirimu watu hao ambao wengi wanakimbia machafuko. Huyo ni Moulid Hujale afisa wa UNHCR nchini Uganda akitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kushikamana na Uganda akiwa  kwenye makazi makubwa ya wakimbizi ya Kiryandongo Magharibi mwa nchi hiyo. Anasema kuna mambo matatu muhimu ambayo dunia inapaswa kufahamu kuhusu Uganda na wakimbizi.“Mosi Uganda inahifadhi idadi kubwa zaidi ya wakimbizi na waomba hifadhi Afrika ikiwa na zaidi ya watu milioni 1.7 wengi wao wakitoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na Sudan Kusini.”Zaidi ya hapo ukarimu wa Uganda anasema hauna kipimo“Pili, Uganda ina sera ya kufugua mlango kwa wakimbizi na pia kwa miongo mingi imekuwa ikiwakaribisha watu wanaokimbia machafuko bila kujali utaifa wao. Kitu ambacho ni kikubwa na cha kipekee kuhusu nchi hii ni kwamba wakati wakimbizi wanapowasili hapa hupewa ardhi, mahali pa kuishi na hata kulima mazao kwa ajili ya kujikimu. Wana uhuru wa kutembea na haki ya kuajiriwa. Hawajatengwa lakini wanaishi  ndani ya jamii inayowahifadhi. Sera hii ya Uganda inawaruhusu wakimbizi kujumuishwa katika huduma za kitaifa ambapo wanafaidika na elimu na huduma za afya.”Lakini Kutokana na changamoto za fedha Moulid anasema ukarimu huo sasa uko njia panda"Tatu: Ukarimu wa Uganda uko hatarini kwani wakimbizi zaidi wanaingia kutoka nchi jirani. UNHCR, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, liko mashinani kufanya kazi na Serikali ya Uganda kusaidia kutoa msaada wa kuokoa maisha kwa watu hawa. Hata hivyo, rasilimali ni chanche. Tunahitaji msaada wenu ili Uganda iendelee kuwa mfano wa kuigwa kwa dunia nzima.”Kwa nyjibu wa UNHCR licha ya idadi kubwa ya watu na rasilimali kidogo, sera za Uganda zinammanisha kwamba wakimbizi ni sehemu ya maisha ya kijamii na kiuchumi na ongezeko la rasilimali litakidhi haja za waliopo sasa na watakaokuja.

Habari za UN
WHO: Ingawa vifo milioni 12.7 vya malaria vimeepukwa juhudi zaidi zahitajika kutokomeza gonjwa hilo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 11, 2024 1:58


Takwimu mpya zilizotolewa leo na ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO zinaonyesha kuwa ingawa takriban wagonjwa bilioni 2.2 wa malaria na vifo milioni 12.7 vya ugonjwa huo vimeepukwa tangu mwaka 2000 bado ugonjwa huo unaendelea kuwa tishio kubwa la kimataifa la afya hususan katika Kanda ya Afrika ya WHO. Taarifa ya Flora Nducha inafafanua zaidi.

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya watu darzeni moja wahofiwa kufa kwenye ajali ya boti Misri - Desemba 10, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

The Jaipur Dialogues
Every Mandir has a Masjid Benath It? | Sanjay Dixit decodes Muslims Mentality | Amber Zaidi

The Jaipur Dialogues

Play Episode Listen Later Dec 9, 2024 32:21


Every Mandir has a Masjid Benath It? | Sanjay Dixit decodes Muslims Mentality | Amber Zaidi

The TK Show: A Show about sports in the Bay Area
[North & South] Lakers & Warriors Struggle, Chargers' Toughness & Zaidi to the Dodgers

The TK Show: A Show about sports in the Bay Area

Play Episode Listen Later Dec 5, 2024 40:05


Tim and the LA Times' Dylan Hernandez discuss the simultaneous free falls by both the Lakers and Warriors -- what's different, what's the same? Also, thoughts on the Chargers winning tough games, why some 49ers fans dislike Kyle Shanahan and Farhan Zaidi's path back to the Dodgers' front office. To learn more about listener data and our privacy practices visit: https://www.audacyinc.com/privacy-policy Learn more about your ad choices. Visit https://podcastchoices.com/adchoices

Architecture and Innovation
Steven South & Faizan Zaidi of Spectorgroup

Architecture and Innovation

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 37:01


Innovating Architecture: Embracing Technology and Experimentation at Spectorgroup In this episode of the Architecture and Innovation Podcast, host Tom Dioro interviews Steven South, Design Director at Spectorgroup, and Faizan Zaidi, the firm's Design Technology Specialist. They discuss how Spectorgroup integrates various design tools to avoid limiting creativity, the evolution of design technology from CAD to BIM, and the role of AI in modern architectural projects. Both Steven and Faizan share their personal journeys into architecture, highlighting the importance of curiosity and experimentation in their practice. They emphasize the need for technology to serve the design process without dictating it and share insights on how Spectorgroup's culture fosters innovation and adaptability.For more information about Spectorgroup, visitspectorgroup.com00:00 Introduction to Design Philosophy00:53 Welcome to the Architecture and Innovation Podcast01:15 Meet the Guests: Steven South and Faizan Zaidi02:14 Personal Mantras and Professional Insights04:45 Design Culture at Spectorgroup06:48 Embracing Change and Technology08:25 Client Collaboration and Technological Advancements17:01 The Role of AI in Modern Architecture19:16 Inspiration and Career Journeys31:08 The Future of AI in Architecture35:30 Conclusion and Final Thoughts

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya washukiwa 1,000 wakamatwa na Interpol kutokana na wizi wa kimitandao barani Afrika. - Novemba 27, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 27, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

The Ansari Podcast
111: Chinese & Islamic Medicine Heals the Whole Body. Emotional & Physical Healing w Dr. Rehan Zaidi

The Ansari Podcast

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 87:38


Dr. Rehan Zaidi is a Naturopathic doctor who traveled the world and sat with sheikhs, monks and martial arts masters from Arabia to Asia and he shares with us what he has found in his spiritual journey. He discovered the Chinese healing of Chi, what is it? The mind is the deepest form of healing, how? His work found deep insights into the step process. Dr. Rehan realized that Muslims should live in freshly designed environments specific to our needs of sun, walking, social life and nature to save our communities from deadly loneliness, depression and obesity. You can find his Book: "The divine for critical minds: inquiry into gods existence" Here (book link): https://a.co/d/d9etB7U 00:00 Farm: leave cities & suburbs 07:17 American Muslim villages? 11:34 Deepest form of Healing 16:33 What his work has found 22:12 Can't be a Muslim with a bad diet 25:59 Chi - Chinese Mind/Body Healing 37:00 The Healing step process 45:12 China: Spiritual Discoveries in Asia 59:11 What Dr. Rehan found in his travels 1:10:00 THIS is deeper than Chi 1:15:00 What should we do with this knowledge? 1:20:00 The Divine for Critical Minds

Interviews by Brainard Carey

Alyina Zaidi at Alexander Berggruen, NY, 2024. Courtesy of the artist and Alexander Berggruen, NY. Alyina Zaidi (b. 1995, New Delhi, India) holds an MA in painting from the Royal College Of Art, London and a BA from Mount Holyoke College, South Hadley, MA. Her work has been included in exhibitions at Alexander Berggruen, New York, NY; Newchild Gallery, Antwerp, BE; Indigo + Madder Gallery, London, UK; Pippy Houldsworth Gallery, London, UK; and White Cube, London, UK, among others. Zaidi is a London-based artist from New Delhi and Srinagar. This is Zaidi's first solo show with the gallery, following her inclusion in the gallery's group show Katja Farin, Maria Farrar, Esme Hodsoll, Alyina Zaidi (March 1-April 5, 2023). In Lost in the belly of a whale, Zaidi establishes stronger narrative threads with more action than her previous work. Here, nomadic white strawberries attempt to herd their goats and are at war with imperial frogs. In the top left register of Facts and hearsay—an encyclopaedia of various natural and less natural phenomena, these frogs steal the moon. Angels purchase Moons for sale and, in Dubious benediction, guard pickle jars of frogs and moons. On occasion, the unreliable nature of history emerges where portions of the composition are swallowed by dark orbs Zaidi calls “the cave of the unknown.” These nebulous scenes offer a mode of abstraction for the artist and indicate that there is more to learn about this universe. Further embracing reality-warping unknowns, Zaidi's paintings are filled with magic and mythology. As in previous work by the artist, cherry tomatoes and radishes become spirits, angels with opulent tentacled wings populate most paintings, chilis hang to ward off the evil eye, and rituals are performed around the moon for luck. New supernatural elements in this body of work include poltergeists who lurk in windows and sacred trees. In Zaidi's painting Euphemia and the assassin, she alludes to a version of the story of Saint Euphemia's martyrdom in which she was thrown into an arena with lions meant to kill her. In the Islamic tradition of indirect representation, rather than painting Euphemia as a person, Zaidi paints her as a bejeweled textile surrounded by lacy fabric. In a playful rendition of the tale, here, Euphemia is cradled in a hammock of lions' tails. Alyina Zaidi, Perfumed veils and gauzy tails, 2024, acrylic on canvas, 16 x 16 in. (40.6 x 40.6 cm.). Courtesy of the artist and Alexander Berggruen, NY. Photo: Mark Blower Alyina Zaidi, Dubious benediction, 2024, acrylic on canvas, 30 x 30 in. (76.2 x 76.2 cm.), Copyright the artist. Courtesy of the artist and Alexander Berggruen, NY. Photo: Mark Blower Alyina Zaidi, Facts and hearsay—an encyclopaedia of various natural and less natural phenomena, 2024 acrylic on canvas, quadriptych, overall: 77 x 200 in. (195.6 x 508 cm.), each: 77 x 50 in. (195.6 x 127 cm.). Copyright the artist. Courtesy of the artist and Alexander Berggruen, NY. Photo: Dario Lasagni  

Zero: The Climate Race
The White House's outgoing climate czar weighs in on Trump

Zero: The Climate Race

Play Episode Listen Later Nov 19, 2024 36:03 Transcription Available


At COP29 in Baku, Akshat Rathi is joined on stage at Bloomberg Green's live event by Ali Zaidi, President Biden's National Climate Advisor. Zaidi argues that it would be “economic malpractice” for the Trump administration to abandon the energy transition. Plus, veteran climate diplomat Jonathan Pershing explains why he believes global competition will result in an “acceleration of action” on green policy. Explore further: Past episode with Ali Zaidi on the momentum generated by passing the IRA Past episode with California Democratic Congressman Ro Khanna on what Trump's election means for US climate policy Past episode with COP29 President Mukhtar Babayev on what would make this conference a success Zero is a production of Bloomberg Green. Our producer is Mythili Rao. Special thanks this week to Jen Dlouhy, Sharon Chen, Siobhan Wagner, Ethan Steinberg, Blake Maples, and Jessica Beck. Thoughts or suggestions? Email us at zeropod@bloomberg.net. For more coverage of climate change and solutions, visit https://www.bloomberg.com/green.See omnystudio.com/listener for privacy information.

Habari za UN
IOM: Zaidi ya watu 20,000 wamefuriushwa ndani ya siku 4 Haiti kutokana na machafuko ya magenge ya uhalifu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 18, 2024 2:06


Zaidi ya watu 20,000 wamekimbia makazi yao katika mji mkuu wa Haiti Port-au-Prince katika muda wa siku nne tu, ikiwa ni pamoja na watu wengine zaidi ya 17,000 wanaohifadhiwa katika makazi 15 ya wakimbizi wa ndani, kutokana na kuongezeka kwa ghasia za magenge ya uhalifu ambazo ziumevuruga kabisa minyororo muhimu ya usambazaji wa misaada na kulitenga jiji la Port-au-Prince (POTOPRINSI) limesema shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM. Kupitia taarifa iliyotolewa leo na IOM nmini Port-au-Prince asilimia kubwa ya watu hawa waliofurushwa makwao wametawanywa zaidi ya mara moja wakilazimika kukimbia na kuacha kila kitu walichokuwa nacho na shirikika hilo linasema kiwango hiki cha watu kutawanywa hakijashuhudiwa Haiti tangu Agost 2023.Shirika hilo linasema kufungwa kwa usafiri wa anga kufuatia shambulizi lililolenga ndege tatu za kibiashara mjini Port-au-Prince, kuzuia ufikiaji wa bandari kuu ya nchi hiyo, na barabara zisizo salama zinazodhibitiwa na makundi yenye silaha kumeliacha eneo la Katikati ya mji mkuu taabani na kutengwa bila msaada na hivyo kuzidisha mateso kwa watu ambao tayari wako hatarini.Mkuu wa IOM nchini Haiti Grégoire Goodstein ameonya kwamba "Kutengwa kwa Port-au-Prince kunaongeza janga la ibinadamu. Uwezo wetu wa kutoa misaada umewekwa njiapanda na bila msaada wa haraka wa kimataifa, mateso yataongezeka sana kwa raia wa Haiti huku kukiwa na asilimia 20 pekee ya mji wa Port-au-Prince inayofikika, wakati wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu wanakabiliwa na changamoto kubwa katika kufikia watu walioathirika.”Kulingana na Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR, vikundi vya uhalifu katika mji mkuu wa Hati vinaendelea kupanuka wigo vikichukua udhibiti wa vitongoji vya ziada na kutenganisha zaidi jamii.Hadi sasa ofisi hiyo inasema ghasia zinazohusiana na magenge zimesababisha karibu vifo 4,000 mwaka 2024, unyanyasaji wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa kingono unaotumiwa kama silaha ya ugaidi, umefikia viwango vya kutisha.Pia imesema wanawake na watoto wameathiriwa kupita kiasi, huku asilimia 94 ya wanawake na wasichana waliokimbia makazi yao wakiwa katika hatari kubwa ya kudhulumiwa kingono.Licha ya changamoto hizi, IOM na washirika wake wameahidi kuendelea kutoa msaada wa kuokoa maisha.IOM pia inatoa wito wa kuongeza haraka ufadhili kwa shughuli za kibinadamu Haiti kwani hadi kufikia mwezi huu wa Novemba, ombi la dola milioni 674 la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Haiti limefadhiliwa kwa asilimia 42 pekee, na kuwaacha mamilioni ya watu bila msaada wanaohitaji.

Habari za UN
18 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 18, 2024 10:46


Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa ndani nchini Haiti, na mafunzo ya stadi za kujikimu kimaishwa kwa vijana Tambura Sudan Kusini. Makala inatupeleka nchini Uganda na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Zaidi ya watu 20,000 wamekimbia makazi yao katika mji mkuu wa Haiti Port-au-Prince katika muda wa siku nne tu, ikiwa ni pamoja na watu wengine zaidi ya 17,000 wanaohifadhiwa katika makazi 15 ya wakimbizi wa ndani, kutokana na kuongezeka kwa ghasia za magenge ya uhalifu ambazo ziumevuruga kabisa minyororo muhimu ya usambazaji wa misaada na kulitenga jiji la Port-au-Prince limesema shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.Vijana katika mji wa Tambura ulioko jimbo la Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini wanageuza mafunzo ya ufundi stadi kuwa nguvu ya amani na ustawi, mafunzo ambayo yalifanikishwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS.Katika makala Selina Jerobon kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi anakupeleka Uganda kuona harakati za wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kujikwamua kiuchumi baada ya machungu waliyopitia nyumbani kwao.Mashinani tutaelekea nchini Kenya kusikia ni kwa jinsi gani jamii katika maeneo kame wanakabiliana na mabadiliko ya tabianchi.Mwenyeji wako ni Bosco Cosma, karibu! 

X22 Report
[DS] Ran A War Game Simulation For Trump's Second Term, Panic In DC, Schedule “F” – Ep. 3499

X22 Report

Play Episode Listen Later Nov 14, 2024 87:20


Watch The X22 Report On Video No videos found Click On Picture To See Larger PictureThe [DS] rushed to get climate regs in to make more difficult for Trump to remove, big fail. Rates cuts had no effect on inflation, inflation is rising. DOGE has been formed and now Elon and Vivek will cut and cut govt waste. [CB] panicking. The [DS] is being very nice to Trump, they want a smooth transition, they want to help, when criminals are nice to your face they are planning something. The [DS] ran a war game simulation for Trump's second term. Trump has nominated the dream team, remember the head fake. Trump is ready to drain the swamp, panic in DC, remember schedule "f".   (function(w,d,s,i){w.ldAdInit=w.ldAdInit||[];w.ldAdInit.push({slot:13499335648425062,size:[0, 0],id:"ld-7164-1323"});if(!d.getElementById(i)){var j=d.createElement(s),p=d.getElementsByTagName(s)[0];j.async=true;j.src="//cdn2.customads.co/_js/ajs.js";j.id=i;p.parentNode.insertBefore(j,p);}})(window,document,"script","ld-ajs"); Economy White House: We Rushed to Get Climate Regulations in So They'd Be Harder to Repeal  White House National Climate Adviser Ali Zaidi stated that “we really ran early this year to finalize” many climate regulations “before May, which, really, I think, ensures durability relative to this arcane statute, the Congressional Review Act. So, I think, because of that foresight, we have, actually, quite a durable regulatory regime going into the next few years.” Host Joumanna Bercetche asked, [relevant exchange begins around 2:10] “Well, there are still a couple of months left, as well, of the administration. I do wonder if there's anything that can be done on the regulation front, because regulation can swing quite quickly and it's set at the federal level. Is there anything that your administration is focusing on to make sure that the climate regulation stays intact as well?” Zaidi responded, “Yeah. One of the things we're making sure that we do on the spending front is to get as many of those resources in the hands of communities, nine out of every ten dollars in the investment agenda, already into the bloodstream. On the regulatory front, we really ran early this year to finalize a lot of the key regulations before May, which, really, I think, ensures durability relative to this arcane statute, the Congressional Review Act. So, I think, because of that foresight, we have, actually, quite a durable regulatory regime going into the next few years.” Source: breitbart.com https://twitter.com/KobeissiLetter/status/1856694768765411760 https://twitter.com/KobeissiLetter/status/1856700864615878691   7. Hospital Services Inflation: 3.9% 8. Food Away From Home Inflation: 3.8% Both headline and Core CPI inflation are now higher than they were 2 months ago. The US economy added the least amount of jobs in October since the pandemic in 2020. Consumers are struggling. Mexico is preparing to engage in trade wars with the US Mexico's government   signaled that it planned to hit back with trade restrictions of its own if President-elect Donald J. Trump followed through on his threats to impose sky-high tariffs on Mexican exports to the United States. “If you put 25 percents tariffs on me, I have to react with tariffs,” Marcelo Ebrard, Mexico's economy minister, told a radio interviewer on Monday. “Structurally, we have the conditions to play in Mexico's favor,” he added. Such moves could send shock waves through the economy of Mexico, which is exceptionally dependent on trade with the United States, exporting about 80 percent of its goods to its northern neighbor. But an array of sectors in the United States, including farmers and manufacturers of semiconductors and chemicals, also relies on exporting to Mexico, which last year eclipsed China to become the largest trading partner of the United States. Complex supply chains also intertwine the economies of both countries,

The Jaipur Dialogues
Abhishek Tiwari, Pratik Borade, Amber Zaidi, RajeshKumarSingh | Winning Online Narratives, Bollywood

The Jaipur Dialogues

Play Episode Listen Later Nov 2, 2024 86:54


The topic “Winning the Narrative Warfare - Bollywood, OTT, Social Media” explores the battle over shaping public opinion through entertainment and digital platforms. It focuses on how Bollywood, OTT content, and social media influence societal perceptions, often distorting cultural narratives. We have to reclaim control over these platforms to present accurate, positive representations of India's heritage and values.

Jeff Gross - The Flow Show
Asim Zaidi / Karate Combat President / 2x Kickboxing World Champ

Jeff Gross - The Flow Show

Play Episode Listen Later Oct 30, 2024 61:14


Jeff sits down with Asim Zadie, the president of Karate Combat, detailing his journey from running Goat Shed MMA gym to leading a viral combat sports league. They discuss the league's striking-focused ruleset, the importance of storytelling for fighter promotion, and plans for international expansion in locations like Singapore and Abu Dhabi. Zadie shares insights about cryptocurrency financing for fighters and a memorable encounter with Bollywood star Salman Khan, with potential growth opportunities in the Indian market.    Chapters: 0:00 Karate Combat Origins 4:41 The Goat Shed Phenomenon 11:45 The Future of Karate Combat 16:41 Competing with the UFC 20:28 The Evolution of Karate Combat 31:16 Fighter Experiences 42:02 Rivalries in Combat Sports 58:44 The Olympic Perspective   Asim Zaidi: https://www.instagram.com/president.awesome/?hl=en https://www.instagram.com/karatecombat/?hl=en   Jeff Gross: https://www.youtube.com/jeffgrosspoker https://www.youtube.com/jeffgrosspodcast http://twitch.com/jeffgrosspoker https://instagram.com/jeffgrosspoker https://twitter.com/jeffgrosspoker

Shift Key with Robinson Meyer and Jesse Jenkins
Talking Permitting Reform, Trade, and More With Biden's Top Climate Advisor

Shift Key with Robinson Meyer and Jesse Jenkins

Play Episode Listen Later Oct 16, 2024 61:06


What's next for the Biden administration — and for climate policy in the United States? Should Democrats negotiate with Republicans over permitting reform, even if it means making concessions to fossil fuel interests? And how should the country's trade policy handle the problem of carbon pollution? On this week's episode of Shift Key, Rob speaks with Ali Zaidi, the national climate advisor to President Joe Biden. Zaidi leads the White House Climate Policy Office, which coordinates domestic climate policy across federal agencies. Before joining the White House in 2021, Zaidi was the state of New York's deputy secretary for energy and environment. This interview was recorded live on October 10 in New Haven, Connecticut, at the Yale Clean Energy Conference. Shift Key is hosted by Robinson Meyer, the founding executive editor of Heatmap, and Jesse Jenkins, a professor of energy systems engineering at Princeton University. Jesse is out this week.Mentioned: Rob on housing policy as climate policyHydrogen Tax Credit Rules Will Be Done by the End of the YearRob's upshift, and his other upshift.--This episode of Shift Key is sponsored by …Watershed's climate data engine helps companies measure and reduce their emissions, turning the data they already have into an audit-ready carbon footprint backed by the latest climate science. Get the sustainability data you need in weeks, not months. Learn more at watershed.com.As a global leader in PV and ESS solutions, Sungrow invests heavily in research and development, constantly pushing the boundaries of solar and battery inverter technology. Discover why Sungrow is the essential component of the clean energy transition by visiting sungrowpower.com.Intersolar & Energy Storage North America is the premier U.S.-based conference and trade show focused on solar, energy storage, and EV charging infrastructure. To learn more, visit intersolar.us.Music for Shift Key is by Adam Kromelow. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Garlic Fries and Baseball Guys
Farhan Zaidi Is Out

Garlic Fries and Baseball Guys

Play Episode Listen Later Oct 1, 2024 17:23


Lubman and Shasky get into why now was the time to finally pull the plug on Farhan Zaidi, as well as detail the ways that Buster Posey can already show he is a better option to run the Giants than Zaidi ever was. To learn more about listener data and our privacy practices visit: https://www.audacyinc.com/privacy-policy Learn more about your ad choices. Visit https://podcastchoices.com/adchoices

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast
Emergency podcast: Zaidi out, Posey in as Giants' president of baseball ops

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast

Play Episode Listen Later Sep 30, 2024 18:00


Alex Pavlovic and George Kontos discuss what led to the Giants' decision to part ways with Farhan Zaidi, the surprising announcement of Buster Posey as his replacement, and what changes should be made for San Francisco to regain a winning culture.1:10 Posey named Giants' president of baseball operations3:00 How Posey can bring winning culture back to San Francisco10:05 Can Posey be a successful player recruiter?12:45 What led to Giants' decision to part ways with Zaidi

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast
Zaidi reporter chat takeaways; can Giants' recent success carry into 2025?

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 38:07


Alex Pavlovic and Cole Kuiper analyze what we should take away from Giants president of baseball operations Farhan Zaidi's discussion with the media this week in Arizona. Also, Alex and Cole examine the Giants' recent positive vibes, Grant McCray's concerning strikeout rate and how Bryce Eldridge's rise could impact the team's free agency approach.1:00 Giants playing well now that pressure is off7:30 Grant McCray's concerning strikeout rate12:30 Takeaways from Farhan Zaidi's discussion with media20:00 How Bryce Eldridge could impact Giants free agency approach32:00 Previewing the Giants-Cardinals seriesSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast
Assessing Zaidi's future with Giants, implications if change is made

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast

Play Episode Listen Later Sep 19, 2024 46:22


Cole Kuiper and Alex Pavlovic discuss Farhan Zaidi's future with the Giants and detail the organizational implications if they decide to move. Cole and Alex also analyze if Bob Melvin should be on the heat seat, and why Marco Luciano's position will be one of San Francisco's biggest offseason questions to answer.2:30 Discussing Farhan's future with Giants10:30 Is Bob Melvin on the hot seat?20:30 Why Marco Luciano will be one of the biggest offseason questions28:00 How both Giants, Orioles screwed up potential Blake Snell trade36:45 Looking around MLBSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast
1-on-1 with Farhan Zaidi, Scott Boras after Matt Chapman, Giants strike deal

Balk Talk: NBC Sports Bay Area Baseball Podcast

Play Episode Listen Later Sep 5, 2024 24:38


Cole Kuiper and Alex Pavlovic break down Matt Chapman's six-year, $151 million contract extension with the Giants and the core of players San Francisco will be able to build around. Giants president of baseball operations Farhan Zaidi and Chapman's agent, Scott Boras, then chat with Alex to share how the deal came together.2:30 Why Giants had to get a deal done with Matt Chapman5:00 Importance of Chapman's clubhouse presence8:15 Analyzing Giants' core for future13:30 Does Chapman signing indicate anything about Farhan or Bob Melvin's future?15:00 Zaidi details how Chapman deal impacts Giants' short and long-term plans21:00 Boras shares how Chapman deal got doneSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.

Getting Curious with Jonathan Van Ness
What's The Biden Administration Doing For The Environment?

Getting Curious with Jonathan Van Ness

Play Episode Listen Later Jul 3, 2024 47:10


White House National Climate Advisor Ali Zaidi is here to tell us all about the major policy efforts that are making historic gains in the fight against climate change. Jonathan and Ali cover it all: from Ali's journey to this work, to environmental justice concerns, to the many ways in which investing in these policies help strengthen local economies. Plus, how people just like you can get involved in a greener future with the American Climate Corps, which trains young people in clean energy, conservation, and climate resilience skills to help tackle the climate crisis. Ali Zaidi serves as Assistant to the President and National Climate Advisor. In this role, he leads the White House Climate Policy Office, which coordinates policy development and President  Biden's all-of-government approach to tackle the climate crisis, create good-paying union jobs, and advance environmental justice. Zaidi helped design and negotiate the President's historic climate and clean energy investment agenda – including the Bipartisan Infrastructure Law and Inflation Reduction Act. Zaidi has also worked for the Obama Administration and the state of New York. Ali immigrated from Pakistan and grew up outside Erie, Pennsylvania. He received an A.B. from Harvard University and J.D. from Georgetown University. You can follow Ali Zaidi on X @alizaidi46. Follow us on Instagram @CuriousWithJVN to join the conversation. Jonathan is on Instagram @JVN. Transcripts for each episode are available at JonathanVanNess.com. Find books from Getting Curious guests at bookshop.org/shop/curiouswithjvn. Our senior producers are Chris McClure and Julia Melfi. Our editor & engineer is Nathanael McClure. Production support from Julie Carrillo, Anne Currie, and Chad Hall. Our theme music is “Freak” by QUIÑ; for more, head to TheQuinCat.com. Curious about bringing your brand to life on the show? Email podcastadsales@sonymusic.com. Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices