POPULARITY
swahili_BB-73 Sitiari za Biblia, Sehemu
swahili_BB-73 Sitiari za Biblia, Sehemu by Bible Bard
Ungana nami Martin Joseph Katika kipindi cha Amka na Mama, ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku mpya na Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka (sehemu ya themanini na nne) proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na nne] proviene da Radio Maria.
Msikilizaji juma lililopita tulianza kwa kujadili yaliyotokana na mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika, na suala kuu lilikuwa ni je, nchi za Afrika zitafanikiwa kushinikiza mabadiliko katika taasisi za kifedha za kimataifa na kuondokana na mikopo na madeni yasiyostahimilika ?Leo katika makala ya Gurudumu la Uchumi, nakuletea sehemu ya pili ya mjadala huu, nimemualika Ali Mkimo, mtaalamu namchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa nchini Tanzania.
Msikilizaji juma lililopita tulianza kwa kujadili yaliyotokana na mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika, na suala kuu lilikuwa ni je, nchi za Afrika zitafanikiwa kushinikiza mabadiliko katika taasisi za kifedha za kimataifa na kuondokana na mikopo na madeni yasiyostahimilika ?Leo katika makala ya Gurudumu la Uchumi, nakuletea sehemu ya pili ya mjadala huu, nimemualika Ali Mkimo, mtaalamu namchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa nchini Tanzania.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na tatu] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji .wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na mbili] proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo kuu la Songea Nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Katika historia ya Wayahudi Hekalu ilikuwa limegawanyika katika Sehemu Ngapi? L'articolo Hekalu limegawanyika katika sehemu ngapi? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika Roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [sehemu ya themanini na moja] proviene da Radio Maria.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Ungana nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Matumaini katika Misa Takatifu. L'articolo Je, sehemu za Misa Takatifu ni zipi? proviene da Radio Maria.
Ungana nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Matumaini katika Misa Takatifu. L'articolo Je, sehemu za Misa Takatifu ni zipi? proviene da Radio Maria.
Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Heri ya mwaka mpya 2025 msikilizaji wa RFI Kiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu na hasa makala ya Gurudumu la Uchumi, ni imani yetu kuwa nyote mbuheri wa afya. Makala ya Gurudumu la Uchumi, tutajadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha. Kuzungumzia hili msikilizaji kwenye line ya simu nimemualika Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Heri ya mwaka mpya 2025 msikilizaji wa RFI Kiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu na hasa makala ya Gurudumu la Uchumi, ni imani yetu kuwa nyote mbuheri wa afya. Makala ya Gurudumu la Uchumi, tutajadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha. Kuzungumzia hili msikilizaji kwenye line ya simu nimemualika Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya sabini na sita) proviene da Radio Maria.
Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi, bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994. Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi, bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994. Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Uhusiano baina ya lugha na utamaduni, mila na mirathi ya jamii kwa jumla huenda ukafahamika angalau kwa wepesi, iwapo tutazingatia mambo kadhaa ikiwemo lugha na matumizi yake, tabia, utu, utamaduni, mila,mitindo na mengineo. Watu wa kabila la washi mashariki mwa DRC wameandaa tamasha la kutambulisha utamaduni wao, ambalo ni msimu wa pili na limepangwa kufanyika desemba 6 hadi 8 huko Bukavu. Katika makala haya mtangazaji wako Ali Bilali anakuletea sehemu hii ya tatu na ya mwisho ya maandilizi ya makala haya. unaweza kusikiliza sehemu ya kwanza kubonyeza hapa (sehemu ya kwanza) Lakini pia sehemu ya pili kwa kubonyeza hapa (Sehemu ya pili) Asante kwa kuendelea kuwa muaminifu kwa radio yako na kwa mtangazaji wako asiependa makuu unaweza kumfollow kwa kubonyeza hapa Billy Bilali
Makala haya Ali Bilali anazungumza na msanii Oliver wa nyimbo za asili ya washi wahavu mashariki mwa DRC kuelekea tamasha la Bushi ama Festival de Bushi.
Idadi kubwa ya kina dada wameamua kuchagua upasuaji kama njia rahisi ya kujifungua kwa sababu tofauti tofauti.Sehemu ya pili ya makala haya inaangazia ni kwa nini idadi hio inaongezeka kisha hali inakuaje pale kwenye chumba cha kujifungulia.Dakatari Lilian Nkirote kutokea hospitali ya Jacaranda jiji Nairobi anaelezea kwa kina.
Msikilizaji kwa muda sasa mataifa ya Afrika yameendelea kupitia changamoto za kifedha, kuanzia katika kukusanya mapato na matumizi kwa ajili ya maendeleo yake, hali ambayo imesababisha nchi nyingi kujikuta pabaya kutokana na kulazimika kukopa fedha toka kwa taasisi za kimataifa au nchi zilizoendelea huku ziklipa riba kubwa katika urejeshaji.Lakini je, kuongza kodi ndio suluhu? Mchambuzi wa masuala ya uchumi kutoka Tanzania, Ali Mkimo anafafanua.
Msikilizaji kwa muda sasa mataifa ya Afrika yameendelea kupitia changamoto za kifedha, kuanzia katika kukusanya mapato na matumizi kwa ajili ya maendeleo yake, hali ambayo imesababisha nchi nyingi kujikuta pabaya kutokana na kulazimika kukopa fedha toka kwa taasisi za kimataifa au nchi zilizoendelea huku ziklipa riba kubwa katika urejeshaji.Lakini je, kuongza kodi ndio suluhu? Mchambuzi wa masuala ya uchumi kutoka Tanzania, Ali Mkimo anafafanua.
Katika Makala haya Ali Bilali amejielekeza Alliance Francaise ya Nairobi ambayo imeandaa Onyesho la Kwanza la tamthilia ya ‘Mgonjwa Mwitu', utayarishaji wao wa kila mwaka wa maigizo yaliyotolewa na tamthilia za waandishi mashuhuri wa Ufaransa. Kwa maadhimisho ya miaka 75, chaguo ni 'Le Malade Imaginaire' na Molière. Hii ni comedy ya mwisho kuandikwa na Molière. Ingawa ilionyeshwa kwa mara ya kwanza mnamo 1673, kichekesho hiki cha kejeli, mojawapo ya bora zaidi za Moliere, hakijapoteza mvuto wake wa dhati na wa ulimwengu wote.Kumbuka pia kumfollow mtangazaji wako @billy_bilali kwenye mitandao ya kijamii @billy_bilali
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya sabini na tano] proviene da Radio Maria.
Ali Bilali ndio jina langu tunakutana tena Jumapili hii katika makala Changu Chako Chako Changu ambapo nakuletea sehemu ya pili ya Makala kuhusu Utamaduni w andoa kulingana na kabila la Wameru, kwenye le parler francophone nitakupa ratiba ya shughuli kwenye vituo vya Alliance Francaise ya Nairobi na Dar es salaam. Na kwenye Muziki tutamaliza na kibao Pambe chake Christian Bella kutoka huko nchini Tanzania, Karibu ama Bienvenue.
Mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA79, umekunja jamvi jana Jumatatu ambapo viongozi wa Dunia walikusanyika hapa New York kwenye Umoja wa Mataifa na kujikita na mada kadha wa kadha, katika sehemu hii ya pili ya mahojiano na mmoja wa washiriki wa mjadala huo waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa -Majaliwa. Flora Nducha ameangazia mbili kati ya mada kuu 4 zilizopewa uzito, Ambayo ni usugu wa dawa na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi.
karibu, Jumapili nyingine kuwa nami katika Makala Changu Chako Chako Changu Makala ambayo hukuletea Historia na utamaduni wa mambo mbalimbali, le Parler francophone na Muziki. Wiki iliopita nilikuletea Utamaduni wa ndoa kutoka makabila ya Wamakonde na wahangaza, ambapo leo nakuletea sehemu ya pili. Na kwenye le parler francophone nitakuletea ratiba za shughuli za kitamaduni kutoka Alliance francaise ya Nairobi na Dar es salaam, Tutamaliza na Wimbo wa Ibrah kutokz Tanzania
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya sabini na nne] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya Sabini na tatu] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya Sitini na moja] proviene da Radio Maria.
Alipokuwa na umri wa miaka 10 mnamo mwaka 2015, Fatima na familia yake walilazimika kutoroka nyumbani kwao Konduga, ili kuepuka mashambulizi kutoka kwa makundi yenye silaha. Konduga iko kilomita 25 kusini mashariki mwa mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria.Familia ya Fatima haikuwa na namna ya kumuandikisha katika shule yoyote rasmi. Alitumia muda wake mwingi kuuza chakula.Shukrani kwa usaidizi wa mfuko wa kimatifa wa elimu haiwezi kusubiri yaani Education Cannot Wait (ECW) na wadau wake wa kimkakati, Fatima sasa amesajiliwa katika mpango mesto unaolenga kuwapa elimu wasichana walio nje ya shule.Msichana huyu ni mmoja wa walengwa 250 wa programu ya miezi mitano ya kusoma, kuandika na kuhesabu, ambayo imemwezesha kusoma kwa lugha ya Kihausa na hata kuandika jina lake kama anavyoeleza."Niliingia katika shule ya ufundi baada ya kusikia kuihusu wakati nilipokuwa nimeenda kuuza chakua. Mara moja nilihifadhi kile nilichoenda kuuza kisha nikajiandikisha jina langu. Wale ambao tulikuwa hatuendi shule tulitambuliwa na kuchaguliwa. Tulifundishwa jinsi ya kusoma na kuandika. Kabla hapo nilikuwa siwezi hata kuandika jina langu.”Sehemu ya pili ya programu hii mseto ilihusisha kipengele cha ufundi ambapo wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi hupata mafunzo ya ufundi kwa muda wa miezi mitatu. Mpango unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, Norwegian Refugee Council (NRC) na Save the Children."Pia, sasa ninajua namba, na ninaweza kupima watu ninaposhona." Anasema Fatima ambaye katika kipengengele cha ufundi yeye amechagua ushoni wa nguo.Mpango huu tayari umewanufaisha wasichana balehe 600 tangu kuanzishwa kwake, na kuwapa vifaa vya kuanzia na ujuzi wa kujitegemea. Fatima naye ana matumaini.“Nataka kujifunza stadi hii ili niwahishimishe wazazi wangu na wawe na furaha. Nikimaliza kujifunza nataka kuwa mtu wa kuwashonea ndugu zangu nguo.”Kama ambavyo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anatoa wito kwa nchi zote kuwekeza katika elimu na kufanya juhudi za kila namna kulinda elimu na maeneo ya kusomea, kulinda wanafunzi na walimu, Mkurugenzi Mtendaji wa Education Cannot Wait (ECW) Yasmine Sherif, anaeleza namna ambavyo mfuko wa kimatifa wa elimu haiwezi kusubiri umejizatiti kuendelea kuiunga mkono elimu kote duniani wakati huo akitoa wito kwa kila anayeweza kuwaongezea nguvu afanye hivyo."Kuna ustahimilivu na watoto hawa wamepitia kiwewe na mambo mengi. Ni lazima tuwepo kwa ajili yao, na tunaweza kuona matokeo. Tunatazamia kuufanya tena mpango huu mwaka katika mwaka huu, tunatarajia kufanya hivyo kwa takribani dola milioni 15, kama sio zaidi. Ikiwa nyinyi nyote mtakuja na kutusaidia kuongeza."
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na sita] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na tano] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na nne] proviene da Radio Maria.
Karibu katika makala changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea historia ya mambo mbalimbali utamaduni, le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea sehemu ya pili ya makala kuhusu Ulimbwende au Model,
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka[sehemu ya ishirini na tatu] proviene da Radio Maria.
Karibu katika makala changu chako chako changu, makala ambayo hukuletea mambo mbalimbali ya utamaduni, le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea sanaa ya Ulimbwende au Model, na kwenye la parler francophone nitakuletea shughuli zinazoendelea kwenye vituo vya Alliance francaise za ukanda kipindi hiki cha michuano ya Olympiki, mimi ni Ali Bilali Bienvenue.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya hamsini na nane] proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha Amka na Mama ambapo ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali zikituongoza kuanza siku yetu mpya, tumuimbie Bwana katika roho na kweli. L'articolo Amka na Mama kipindi cha kawaida cha mwaka [Sehemu ya hamsini na Tisa] proviene da Radio Maria.
Sehemu kubwa ya matatizo yanayokumba serikali hii ni Wakenya kukosa imani kwake kutokana na kuwapo Rais asiyependa ukweli. Rais ambaye hadi leo amekwama katika uongo wa kuwatetea maafisa wa usalama waliohusika katika ukatili dhidi ya waandamanaji. Rais anayesema hili, kisha naye anafanya jingine. Ni hadi Rais Ruto amaanishe ayasemayo, afanye anayosema na ajifundishe kusema ukweli ndipo hali hii ya sasa itaimarika.
Ni nadra kupata kundi au shirika linalo wahudumia nakushughulikia maswala yanayo wakumba wanaumi katika jamuia.
Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya habari duniani hapo kesho Juni nane shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limesema ni vyema jamii kuzingatia afya ya baharí kwani umuhimu wake kamwe hauwezi kupuuzwa.Bahari, ni makazi ya asilimia 80 ya majani ya wanyama, ambayo yanatumika kama chanzo muhimu cha wananchi kujipatia riziki na pia lishe kwa mamilioni ya watu ulimwenguni.Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Rasilimali za Uvuvi na Ufugaji wa samaki kutoka FAO Manuel Barange, anasema kwa utajiri uliopo baharini, “Hakuna tatizo hata moja ambalo tunalo ulimwenguni iwe kwenye mabadiliko ya tabianchi, umasikini au uhakika wa chakula ambalo linaweza kutatuliwa bila kuzingatia baharí kama sehemu ya suluhisho” Manuel anasema kwa sasa zaidi ya watu milioni 800 wameathiriwa na njaa kote ulimwenguni, vyakula vya baharini vilivyo sheheni lishe ya hali ya juu ni suluhisho la kushughulikia njaa na utapiamlo, “Ufugaji wa samaki umekuwa mfumo wa uzalishaji wa chakula unaokua kwa kasi zaidi katika kipindi cha miongo mitano iliyopita. Ulaji pia wa vyakula vya majini umekuwa ukiongezeka maradufu ya kiwango cha ongezeko la watu katika miongo ya hivi karibuni.”Katika kuhakikisha kila nchi inajitosheleza na kuweza kuhimili ongezeko la uhitaji wa vyakula vya majini FAO inahamasisha utekelezaji wa mkakati wa Mabadiliko ya Buluu Blue Transformation unaolenga kuimarisha mifumo ya vyakula vya majini katika kulisha idadi ya watu inayoongezeka duniani kwa kutoa mifumo ya kisheria, sera na usaidizi wa kiufundi inayohitajika ili kuendeleza ukuaji na uvumbuzi, “Mpango wa Mabadiliko ya Bluu ni dira kutoka FAO ambayo imeanza na kanuni mbili kubwa. Kwanza ni kukubali kwamba vyakula vya majini ni sehemu ya suluhisho la njaa na utapiamlo. Pili ni utambuzi kwamba mabadiliko yanafanyika hata bila sisi kufanya lolote.”Mpango wa Mabadiliko ya Buluu umependekeza msururu wa hatua zilizoundwa kusaidia ustahimilivu katika mifumo ya chakula cha majini na kuhakikisha uvuvi na ufugaji wa samaki unakuwa kwa njia endelevu huku hakuna mtu anayeachwa nyuma, hususan jamii zinazotegemea sekta hiyo.Masuala mengine yanayoangaziwa na mabadiliko hayo ni pamoja na sera na desturi zinazofaa kwa mabadiliko ya tabianchi na mazingira, pamoja na ubunifu wa kiteknolojia.
Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.
Mkutano wa 3 wa Ngazi ya Juu kuhusu Kanda ya Ziwa Chad umehitimishwa leo kwa kuthibitishwa ahadi kutoka kwa nchi za Bonde la Ziwa Chad na wadau kwa mwitikio ulioratibiwa, wa kikanda na ulio endelevu.Mkutano huo uliohitimishwa leo katika mji mkuu wa Niger, Neamey, ulilenga kuhakikisha usaidizi wa kibinadamu na ulinzi na kukuza fursa za ufumbuzi wa kudumu, ikiwa ni pamoja na kurejea, kuunganishwa tena katika jamii na kuwapa makazi wakimbizi wa ndani na wakimbizi kutoka nje kwa kuzingatia uamuzi wa wa hiari, wenye heshima na ufahamu kuhusu uamuzi huo. Mkutano huo wa siku mbili umeleta pamoja zaidi ya nchi 30, mashirika ya kimataifa na zaidi ya mashirika 100 ya kiraia ambapo wamekubaliana kufanya kazi pamoja kutatua changamoto zilizopo. Washiriki wametambua kuwa usalama unarejeshwa katika sehemu za kanda hiyo ya Ziwa Chad, kutokana na juhudi za nchi hizo nne - Niger, Nigeria, Cameroon na Chad. Hata hivyo mkutano huo umekumbushia hitaji muhimu la kushughulikia mahitaji ya kibinadamu yanayoongezeka, sababu za msingi za chanzo cha mgogoro wa Bonde la Ziwa Chad na kuimarisha mnepo wa mamilioni ya watu walioathirika. Eneo la Bonde la Ziwa Chad linaendelea kukabiliana na mgogoro wa muda mrefu na tata unaotokana na umaskini uliokithiri, mabadiliko ya tabianchi, migogoro ya vurugu na ukosefu wa huduma za kijamii, licha ya mafanikio mengi. Taarifa ya shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA inaeleza kuwa leo, zaidi ya watu milioni 24 katika eneo hilo la Bonde la Ziwa Chad wameathiriwa na mgogoro huo na takriban watu milioni 5.3 wamelazimika kuyahama makazi yao. Mwisho Nchi Wanachama na wafadhili wa kitaasisi wametangaza zaidi ya dola milioni 500 za kimarekani kusaidia hatu za kikanda zilizoratibiwa za kushughulikia mgogoro katika kanda ya Ziwa Chad.