POPULARITY
Rais mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ameapishwa rasmi kuiongoza nchi hiyo. Faye, mwenye umri wa miaka 44 anakuwa Rais wa tano wa taifa hilo na Rais mchanga zaidi kuongoza taifa hilo la Afrika Magharibi. Ushindi wake katika uchaguzi mkuu uliopita ni wa kihistoria kutokana na kuwa yeye si mtu maarufu mno katika siasa nchini humo, na aliondoka jela siku tisa tu kuelekea Uchaguzi Mkuu. Tunajifunza nini kutokana na hadithi ya ufanisi wa Faye? Kenya inaweza kujifundisha nini?
Hesabu za kwanza katika vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa rais uliocheleweshwa nchini Senegal Jumapili zinaonyesha mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye akiongoza. Wafuasi wake walianza kusherekea mitaani baada ya siku ya amani ya uchaguzi ambayo wengi wanatumaini utaleta mabadiliko.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Mahakama ya katiba huko DRC iliidhinisha ushindi wa rais Félix Tshisekedi,rais wa Uganda Yoweri Museveni awatahadharisha waasi wa ADF, Waziri mkuu wa Uingereza Richy Sunak akabiliwa na wakati mgumu kuhusu suala la kuwasafirisha waomba hifadhi huko Rwanda, yaliyojiri katika ukanda wa Afrika Mashariki, Afrika magharibi lakini pia uteuzi wa Gabriel Attal kuwa waziri Mkuu wa kwanza kijana nchini Ufaransa, mashambulio ya jeshi la Israeli yawaathiri raia wa kawaida mjini Gaza, na matukio kadhaa yaliyoshuhudiwa kwengineko duniani.
Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.
Mji wa Bathurst, NSW kwa mara ya kwanza katika historia ulikuwa mwenyeji wa mbio za nyika za dunia.
Uganda hii leo imetangaza kutokomeza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababishwa na virusi aina ya Sudan, ikiwa ni chini ya miezi minne tangu kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza kwenye wilaya ya Mubende nchini humo 20 mwezi Septemba mwaka jana.Taarifa iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO katika miji ya Brazaville, Congo na Kampala, Uganda imemnukuu Waziri wa afya wa Uganda Dkt. Jane Ruth Aceng Acero akisema wameweza kutokomeza ugonjwa huo haraka kutokana na kutekeleza kwa kasi mikakati muhimu ya udhibiti, usimamizi, ufuatiliaji wa wagonjwa na waambata wao sambamba na hatua za kinga na udhibiti wa maambukizi. Dkt. Acero amesema “pamoja na kupanua wito wa juhudi zetu na kuimarisha hatua zetu kwenye wilaya tisa zilizokuwa zimeathiriwa na Ebola, siri kuu ya mafanikio ni uelewa wa jamii zetu kuhusu umuhimu wa kile kilichopaswa kufanyika ili kutokomeza Ebola.” Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Uganda kuwa na mlipuko wa Ebola ya virusi vya Sudan katika muongo mzima, ingawa ni mlipuko wa tano kwa ujumla wa ugonjwa wa Ebola. Taarifa hiyo imesema kulikuwa na wagonjwa 164 ambapo 142 walithibitishwa na 22 ni washukiwa. Kati yao hao, wagonjwa waliothibitishwa kufa kwa Ebola ni 55 ilhali 87 walipona. Zaidi ya watu 4000 ambao walikuwa waambata wa wagonjwa hao walifuatiliwa na afya yao kufuatiliwa kwa karibu kwa siku 21. Mgonjwa wa mwisho aliruhusiwa kutoka hospitali tarehe 30 mwezi Novemba mwaka jana ambapo siku 42 za kuhesabu ili kuona hakuna tena mgonjwa zilianza na hadi leo hakuna mgonjwa mpya wa Ebola. Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesu amepongeza Uganda kwa hatua za kina ambazo zimefanikisha Ushindi wa leo wa kutokomeza Ebola. Amesema hatua ya leo inadhihirisha kuwa Ebola inaweza kutokomezwa pindi mfumo mzima unapofanya kazi pamoja,kuanzia kuwa na mfumo wa kutoa tahadhari, hadi kusaka na kuhudumia walioambukizwa pamoja na waambata wao bila kusahau kupata ushirikiano kutoka kwa jamii zilizoathirika. Dkt. Tedros amesema mafundisho kutokana nah atua za mlipuko huu uliotokomezwa na mifumo iliyowezesha kutokomeza ugonjwa huo utalinda waganda na wengineo katika miaka ijayo.
Timu ya taifa ya Argentina ndio mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022 katika mchezo wa soka baada ya kuishinda ufaransa kwenye mikwaju ya penalty hapo jana.Tumewauliza wasikilizaji weru wa RFI kiswahili wanazungumziaje ushindi wa Argentina na je Ni mchezaji yupi aliyewavutia katika mashindano hayo?
Timu ya taifa ya Argentina ndio mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022 katika mchezo wa soka baada ya kuishinda ufaransa kwenye mikwaju ya penalty hapo jana.Tumewauliza wasikilizaji weru wa RFI kiswahili wanazungumziaje ushindi wa Argentina na je Ni mchezaji yupi aliyewavutia katika mashindano hayo?
Historia inaendelea kuandikwa nchini Qatar, ambako timu ya mpira wa miguu yawanaume ya Morocco inaendelea kuwaacha wachambuzi na wadau wa soko vinywa wazi.
Bao la ushindi lilifungwa dakika za mwisho za kipindi cha kwanza wakati Youssef En-Nesyri alipoteleza na kushinda kwa kichwa krosi iliyopigwa na Yahya Attiat-Allah. Kipa wa Portugal Diogo Costa alijaribu kumzuia En-Nesyri kwa krosi lakini En-Nesyri alimruka kila mmoja na kuutumbukiza mpira wavuni
Mahakama ya juu nchini Kenya imekubaliana na maamuzi ya tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwa ushindi wa William Ruto katika uchaguzi wa rais hapo Agosti 9 ulikuwa halali, na kumaliza wiki kadhaa za hali kutokuwa na uhakika wa kisiasa.
Makala hii imeangazia kuhusu kiongozi wa muungano wa Azimio Raila Odinga alivyowasilisha kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi William Ruto na kuwa rais mteule nchini Kenya, mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola huko DRC, muungano wa mashirika ya kiraia yalitangaza kusitisha ushirikiano wao na MONUSCO, Ziara ya rais wa Ufaransa Emmzanuel Macron nchini Algeria, zoezi la sensa lilizinduliwa nchini Tanzania, pia siasa za Marekani, Ukraine na kwengineko duniani.
Aliyekuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya, Agosti 9, Raila Odinga, na muungano wake wa Azimio, wamewasilisha hoja 23 kwenye mahakama ya juu, kutaka ushindi wa Dr. William Ruto ubatilishwe, kwa madai kwamba uchaguzi na hesabu ya kura vilijaa udanganyifu. Anataka uchaguzi kurudiwa.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Hesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.
Kila kijana wa ki Tanzania ambae anaupenda na kuuthamini mpira wa miguu na ambaye angependa ndo iwe kazi ya maisha yake basi Mbwana Ally Samatta ndiye role model wake, hakuna doubt kwamba watakua na mapenzi na Cristiano Ronaldo au Leo Messi au Kylian Mbappe au Marcus Rashford ila yule ambaye amewaaminisha kwamba INAWEZEKANA ukacheza POPOTE hapa duniani na hasa kwenye ligi yetu pendwa ya Uingereza ni Samatta. Rafiki tu kutoka Mbagala rangi tatu ambaye kashacheza saaana ndondo na makombe ya mbuzi wakati anakua na mwisho wa siku akaenda kucheza kwa wazungu na bado anaendelea kutafuta rizki yake huko, hata kama sio ligi ile ambayo hata yeye mwenyewe angependa awepo ila BADO ni MWAMBA wetu. Samatta huyu huyu ndo ambaye alijitwika mpira kichwani na kuitika nyavuni mbele ya beki ambae anaaminika kuwa BORA kwa misimu hii miwili mitatu ndani ya Virgil van Dijk. Hata wakati naandika hii bado mwili unanisisimka kwa wazo tu kwamba nililishuhudia lile, pata picha kwa mtoto ambaye ana ndoto hizo. Lile goli lilimfanyia NINI kwenye ndoto zake. KRC Genk walipoteza mchezo ule wa ugenini wa kombe la mabingwa wa Ulaya kwa magoli 2-1 ila kwenye mitaa yote ya mikoa ya Tanzania ile mechi ilikua ya USHINDI. Mbwana ametokea kwenye familia ya kawaida sana sana, wazazi wake wote kama kumbukumbu yangu itakua 100 basi walikua polisi, najua kwa hakika Baba yake alikua Polisi kwa asilimia 100. Kwa marehemu Bi Mkubwa wake ndo sina hakika sana ila kwa hakika jibu limo kwenye haya maongezi yetu. Anakumbuka jinsi ambavyo Mzee wake alikua anasisitiza kwenye suala la elimu na heshima, kama mtoto wa mwisho kwenye familia hiyo, Mbwana aliupenda sana mpira, zile za kujiiba na kwenda kucheza mechi za mbali alishafanya sana na matunda ndo haya ya leo. Nadhani ilifika kipindi Mzee mwenyewe aliona basi sawa, twende huko utakako. Familia yao yote ni wapenzi wa mpira na Kaka yake Mouhamed bado anacheza hapa hapa Tanzania. Sasa akiwa kama kioo kikubwa sana kwenye jamii hii Samatta anazungumzia presha ambayo hupewa hasa pale anapoitwa kwenye timu ya Taifa, jinsi maneno mengi ya kashfa yanaporushwa kwake kutoka kwa wananchi na anakumbuka pia wakati bado anacheza T.P Mazembe kuna kipindi kocha aliacha kumuita yeye na Rafiki yake Thomas Ulimwenguna ilisemekana kama pengine hakuna na interest na team au hakua anatoa 100. Pengine kipindi hicho aliumia zaidi maana hiyo haikua jambo zuri kwake. Mbwana anazungumza na mimi kuhusu urafiki wake na Ulimwengu na maisha ambayo walikua wanaishi pamoja wakati wako DRC, anakumbuka jinsi walivyokua wanapanga kufanikiwa pamoja na mipango yao endelevu kwenye career yao. Ulimwengu nae ana siku yake kwenye kiti chetu In Shaa Allah maana nae ana mengi ya kutuelezea. Majeraha ya mara kwa mara bila ya shaka yalisababisha kwa kiasi kikubwa ndoto zake za kucheza Ulaya kutochukua hatua ya juu kama ambavyo angependa, ila mimi naamini hayo yote maisha tu, kila kitu kilikua tayari kimesha andikwa. Samatta ni Baba ambaye watoto wake wanasoma hapa hapa nyumbani, nilimuuliza kama watoto wake wanajua yeye ni nani na akanipa story ndogo ya yeye kung'amua kama wanafahamu fika Baba yao ni nani. Mwenzangu humu kuna mengi sana ambayo yatakufaa na kwa nafasi ya kipekee ningependa kumshukuru Captain wa Taifa kwa kuchukua time kwenye ratiba yake ambayo ilikua imebana kweli kweli ili tu aje kutubarikia meza yetu kwa uwepo wake. Yangu matumaini uta enjoy sana. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Afya, Ushindi
Ushindi Maishani
Afya, Ushindi katika Maisha
Afya, Ushindi katika Maisha
Afya, Kujiajiri
Ushindi wa chama cha Labor katika uchaguzi mkuu wa Australia, umewapa viongozi wajamii matumaini kuwa maisha ya wanachama wa jumuiya yao yatakuwa bora kuliko chini ya serikali ya zamani ya mseto.
Yesu alilipa deni kamili ya dhambi zako. Hatia yako na hisia mbaya juu yako hazihitajiki.
Mungu anapenda mwanzo mpya, mwanzo safi na fursa ya pili. Joyce anafundisha jinsi Mungu anaweza kuleta jambo hilo maishani mwako leo.
Matumizi ya dawa, Mafanikio ya mtinko sekondary
Matumizi ya dawa, Mafanikio ya mtinko sekondary
Matatizo ya kufa ganzi mwilini,Mafanikio ya mtinko sekondari
Matatizo ya kufa ganzi mwilini,Mafanikio ya mtinko sekondari
faida ya maji, Mafanikio ya Mtinko sekondary
faida ya maji, Mafanikio ya Mtinko sekondary
Ijali afya yako, Siri za Ushindi
Ijali afya yako, Siri za Ushindi
Sikiliza wakati Mwandishi na Mwalimu wa Bibilia bora sana, Joyce Meyer, akishiriki nawe ili kukusaidia kufurahia maisha yako ya kila siku
Continuation of Ep3; In this episode, I host Elyse Ushindi, Elyse a Congolese child, born in Uganda and raised all over East Africa, currently living in Norway. You might remember him from S3E11 when he was on the show to talk about #10K4Autism. He is back and in this episode, he talks about how he and his family fled the 2009 civil war in Congo to seek asylum in Uganda, then eventually moved to Norway in 2019. He talks about the challenges that his family faced while they were refugees seeking a new life. Listen in to hear his story.
In this episode, I host Elyse Ushindi, Elyse a Congolese child, born in Uganda and raised all over East Africa, currently living in Norway. You might remember him from S3E11 when he was on the show to talk about #10K4Autism. He is back and in this episode, he talks about how he and his family fled the 2009 civil war in Congo to seek asylum in Uganda, then eventually moved to Norway in 2019. He talks about the challenges that his family faced while they were refugees seeking a new life. Listen in to hear his story.
In this episode, I host Daniel Nyanzi from Michigan USA and Elyse Ushindi from Sandefjord Norway. Nyanzi has been on the show before talking about his life and childhood background in S1E5. And now it's Elyse's first time on the show. The two are here to talk about a campaign that was developed on Twitter Spaces by a group of people, this campaign is called 10K4Autism. They plan to help kids with autism in Uganda. Listen in for a great discussion and to learn how you can be a part of something bigger. They are also raising funds through a Go Fund Me: https://www.gofundme.com/f/kids-with-autism-in-uganda-need-our-help anything you donate will be of help. 10K4Autism is the 100 days campaign to raise the funds to help and it's running from July 5th to Ocotber 10th. For more information check out their website https://www.10k4autism.org/?fbclid=IwAR3ipONZL7tV-TK7bAcoRborDcM8oOwBcxx-R-wkVxUpMzml2G6Y2YzzYgY #10k4autism #tweeterspaces #charity #podcast #Autism #love #uganda
Chanda chema huvikwa pete walinena wahenga na hali ni kama hiyo kwa mlinda amani kutoka Kenya ambaye amechaguliwa kupokea tuzo ya Umoja wa Mataifa ya mwanajeshi mwanaharakati wa masuala ya kijinsia kwa mwaka 2020. Meja Steplyne Nyaboga ambaye alikuwa mshauri wa kijeshi wa masuala ya kijinsia alipohudumu katika operesheni ya Umoja wa Mataifa ya mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika wa kulinda amani Darfur (UNAMID) katika mahojiano maalum na Grace Kaneiya akiwa huko Nairobi Kenya amesema alipokea habari za ushindi, “kwa furaha isiyo kifani”
The boys introduce Ushindi Namegabe, the most motivating man you'll ever hear. Ushindi provides some insight on his cultural background, his transition from a stick figure to a IFBB Bodybuilding Pro (not really), entrepreneurial endeavors, and leaves you with the feeling that you are simply not doing enough. With a hand dipped in more career paths than a 50 year old man in a mid-life crisis, Ushindi is a true renaissance man; a jack of all trades.
Afya, Ushindi
Afya, Ushindi
Afya, Ushindi
Afya, Ushindi
As you are in a right fight For the right people Believe in your course And fight!
Wanafunzi wakimataifa wanao kabiliwa na tisho lakufuzwa wanako ishi, wame pata ushindi wakisheria mjini Melbourne, baada yakuthibitisha changamoto wanazo kabili zakifedha zimesababishwa na COVID-19.
Mzio, Ushindi
Afya, Ushindi katika Kristo
Afya, Ushindi katika Kristo
Muziki, Neno la Matumaini
Muziki, Neno la Matumaini
Muziki, Neno la Matumaini na Ushindi
Kiongozi wa upinzani nchini Burundi na Agathon Rwasa akubali uamuzi wa mahakama ya katiba ya kumuidhinisha Evariste Ndayishimiye kama mshindi wa uchaguzi wa urais mwezi Mei.
Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka
Experts had given the coalition no chance of winning the federal election in favor of the Labor party. - Wataalam wengi, walikuwa hawakupa chama cha mseto matumaini yoyote, yakushinda uchaguzi mkuu wa shirikisho dhidi ya chama cha Labor.
Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have [[Mon 29/4]] clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate. - Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten wame kabiliana (29 Aprili) kuhusu maswala kadhaa, katika mjadala wa kwanza wa viongozi wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.
Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate. - Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten, wame tofautiana kuhusu maswala tofauti katika mjadala wa kwanza wa viongozi, wa 2019 katika kampeni ya uchaguzi ya shirikisho.
Rais wa Cameroon Paul Biya, ametangazwa mshindi kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa saba, kuendeleza uongozi wake wa miaka 36. Upinzani umekataa kutambua ushindi huu. Ushindi huu una maana gani kwa demokrasia ya Cameroon na bara la Afrika ? Tunajadili.
Mahakama ya Juu nchini Kenya inatarajiwa kuanza kusikiliza kesi za kupinga uchaguzi wa marudio uliofanyika Oktoba 26, 2017 ukidaiwa kuwa haukuwa huru, haki na wa kuaminika. Swali ni je majaji wa mahakama hiyo watafuta tena uchaguzi kama ilivyokua katika uchaguzi wa Agosti 8 mwaka huu ? Makinika na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata uchambuzi wa kina.
Khutba Ya Iddil: Lini Tutapata Ushindi
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 09
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 08
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 06
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 05
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 04
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 03
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 02
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 01
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 07