Podcasts about ushindi

  • 25PODCASTS
  • 97EPISODES
  • 30mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • May 28, 2024LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about ushindi

Latest podcast episodes about ushindi

Kwa Undani - Voice of America
Zuma apata ushindi mwingine wa kisheria dhidi ya chama chake cha zamani cha ANC - Aprili 22, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 22, 2024 29:59


Sepetuko
Masomo kwa Kenya Kutoka kwa Ufanisi wa Diomaye Faye, Rais Mpya Wa Senegal

Sepetuko

Play Episode Listen Later Apr 3, 2024 4:25


Rais mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ameapishwa rasmi kuiongoza nchi hiyo. Faye, mwenye umri wa miaka 44 anakuwa Rais wa tano wa taifa hilo na Rais mchanga zaidi kuongoza taifa hilo la Afrika Magharibi. Ushindi wake katika uchaguzi mkuu uliopita ni wa kihistoria kutokana na kuwa yeye si mtu maarufu mno katika siasa nchini humo, na aliondoka jela siku tisa tu kuelekea Uchaguzi Mkuu. Tunajifunza nini kutokana na hadithi ya ufanisi wa Faye? Kenya inaweza kujifundisha nini?

Alfajiri - Voice of America
Kura zaendela kuhesbiwa Senegal huku wafuasi wa mgombea kwa tikiti ya upinzani wakishangilia "ushindi" mitaani - Machi 25, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 25, 2024 30:00


Hesabu za kwanza katika vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa rais uliocheleweshwa nchini Senegal Jumapili zinaonyesha mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye akiongoza. Wafuasi wake walianza kusherekea mitaani baada ya siku ya amani ya uchaguzi ambayo wengi wanatumaini utaleta mabadiliko.

Wimbi la Siasa
Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 20, 2024 10:04


VOA Express - Voice of America
Filamu ya Bobi Wine ya The People's President haikupata ushindi wa Tuzo za 96 za Oscars lakini amejijengea hatua nzuri kwa siku zijazo - Machi 11, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 11, 2024 29:59


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mahakama ya katiba yaidhisha ushindi wa Tshisekedi, Burundi yafunga mpaka na Rwanda

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 13, 2024 20:09


Mahakama ya katiba huko DRC iliidhinisha ushindi wa rais Félix Tshisekedi,rais wa Uganda Yoweri Museveni awatahadharisha waasi wa ADF, Waziri mkuu wa Uingereza Richy Sunak akabiliwa na wakati mgumu kuhusu suala la kuwasafirisha waomba hifadhi huko Rwanda, yaliyojiri katika ukanda wa Afrika Mashariki, Afrika magharibi lakini pia uteuzi wa Gabriel Attal kuwa waziri Mkuu wa kwanza kijana nchini Ufaransa, mashambulio ya jeshi la Israeli yawaathiri raia wa kawaida mjini Gaza, na matukio kadhaa yaliyoshuhudiwa kwengineko duniani.

Gateway Life Church Podcast
Ps Jason Mannering & Faida Ushindi | God Sees You!

Gateway Life Church Podcast

Play Episode Listen Later Nov 30, 2023 4:18


SBS Swahili - SBS Swahili
Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 31, 2023 9:40


Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.

SBS Swahili - SBS Swahili
Allan "napewa heshima sana Bathurst baada ya ushindi wa wakenya"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 21, 2023 7:42


Mji wa Bathurst, NSW kwa mara ya kwanza katika historia ulikuwa mwenyeji wa mbio za nyika za dunia.

Habari za UN
Mlipuko wa Ebola imetokomezwa Uganda - WHO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 11, 2023 0:02


Uganda hii leo imetangaza kutokomeza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliosababishwa na virusi aina ya Sudan, ikiwa ni chini ya miezi minne tangu kuthibitishwa kwa mgonjwa wa kwanza kwenye wilaya ya Mubende nchini humo 20 mwezi Septemba mwaka jana.Taarifa iliyotolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO katika miji ya Brazaville, Congo na Kampala, Uganda imemnukuu Waziri wa afya wa Uganda Dkt. Jane Ruth Aceng Acero akisema wameweza kutokomeza ugonjwa huo haraka kutokana na kutekeleza kwa kasi mikakati muhimu ya udhibiti, usimamizi, ufuatiliaji wa wagonjwa na waambata wao sambamba na hatua za kinga na udhibiti wa maambukizi. Dkt. Acero amesema “pamoja na kupanua wito wa juhudi zetu na kuimarisha hatua zetu kwenye wilaya tisa zilizokuwa zimeathiriwa na Ebola, siri kuu ya mafanikio ni uelewa wa jamii zetu kuhusu umuhimu wa kile kilichopaswa kufanyika ili kutokomeza Ebola.” Hii ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Uganda kuwa na mlipuko wa Ebola ya virusi vya Sudan katika muongo mzima, ingawa ni mlipuko wa tano kwa ujumla wa ugonjwa wa Ebola. Taarifa hiyo imesema kulikuwa na wagonjwa 164 ambapo 142 walithibitishwa na 22 ni washukiwa.  Kati yao hao, wagonjwa waliothibitishwa kufa kwa Ebola ni 55 ilhali 87 walipona. Zaidi ya watu 4000 ambao walikuwa waambata wa wagonjwa hao walifuatiliwa na afya yao kufuatiliwa kwa karibu kwa siku 21. Mgonjwa wa mwisho aliruhusiwa kutoka hospitali tarehe 30 mwezi Novemba mwaka jana ambapo siku 42 za kuhesabu ili kuona hakuna tena mgonjwa zilianza na hadi leo hakuna mgonjwa mpya wa Ebola. Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesu amepongeza Uganda kwa hatua za kina ambazo zimefanikisha Ushindi wa leo wa kutokomeza Ebola. Amesema hatua ya leo inadhihirisha kuwa Ebola inaweza kutokomezwa pindi mfumo mzima unapofanya kazi pamoja,kuanzia kuwa na mfumo wa kutoa tahadhari, hadi kusaka na kuhudumia walioambukizwa pamoja na waambata wao bila kusahau kupata ushirikiano kutoka kwa jamii zilizoathirika. Dkt. Tedros amesema mafundisho kutokana nah atua za mlipuko huu uliotokomezwa na mifumo iliyowezesha kutokomeza ugonjwa huo utalinda waganda na wengineo katika miaka ijayo. 

Habari RFI-Ki
Timu ya Argentina yanyakua ushindi katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 .

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 19, 2022 10:01


Timu ya taifa ya Argentina ndio  mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022 katika mchezo wa soka baada ya kuishinda ufaransa kwenye mikwaju ya penalty hapo jana.Tumewauliza  wasikilizaji weru wa RFI kiswahili wanazungumziaje ushindi wa Argentina  na  je Ni mchezaji yupi aliyewavutia katika mashindano hayo?

Habari RFI-Ki
Timu ya Argentina yanyakua ushindi katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 .

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 19, 2022 10:01


Timu ya taifa ya Argentina ndio  mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022 katika mchezo wa soka baada ya kuishinda ufaransa kwenye mikwaju ya penalty hapo jana.Tumewauliza  wasikilizaji weru wa RFI kiswahili wanazungumziaje ushindi wa Argentina  na  je Ni mchezaji yupi aliyewavutia katika mashindano hayo?

SBS Swahili - SBS Swahili
Athiei na Akram "Ushindi wa Morocco ni ushindi wa bara zima la Afrika"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 12, 2022 9:06


Historia inaendelea kuandikwa nchini Qatar, ambako timu ya mpira wa miguu yawanaume ya Morocco inaendelea kuwaacha wachambuzi na wadau wa soko vinywa wazi.

Jioni - Voice of America
Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Afrika kusonga mbele nusu fainali ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Portugal - Desemba 10, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 10, 2022 30:00


Bao la ushindi lilifungwa dakika za mwisho za kipindi cha kwanza wakati Youssef En-Nesyri alipoteleza na kushinda kwa kichwa krosi iliyopigwa na Yahya Attiat-Allah. Kipa wa Portugal Diogo Costa alijaribu kumzuia En-Nesyri kwa krosi lakini En-Nesyri alimruka kila mmoja na kuutumbukiza mpira wavuni

VOA Express - Voice of America
Mahakama ya juu ya Kenya yahalalisha ushindi wa Ruto - Septemba 05, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 5, 2022 29:59


Mahakama ya juu nchini Kenya imekubaliana na maamuzi ya tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kuwa ushindi wa William Ruto katika uchaguzi wa rais hapo Agosti 9 ulikuwa halali, na kumaliza wiki kadhaa za hali kutokuwa na uhakika wa kisiasa.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Odinga atinga mahakamani kupinga ushindi wa Ruto, Monusco yakataliwa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 27, 2022 20:20


Makala hii imeangazia kuhusu kiongozi wa muungano wa Azimio Raila Odinga alivyowasilisha kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliompa ushindi William Ruto na kuwa rais mteule nchini Kenya, mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola huko DRC, muungano wa mashirika ya kiraia yalitangaza kusitisha ushirikiano wao na MONUSCO, Ziara ya rais wa Ufaransa Emmzanuel Macron nchini Algeria, zoezi la sensa lilizinduliwa nchini Tanzania, pia siasa za Marekani, Ukraine na kwengineko duniani.

VOA Express - Voice of America
Odinga awasilisha ombi la kupinga ushindi wa Rais mteule Ruto - Agosti 22, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 22, 2022 29:59


Aliyekuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya, Agosti 9, Raila Odinga, na muungano wake wa Azimio, wamewasilisha hoja 23 kwenye mahakama ya juu, kutaka ushindi wa Dr. William Ruto ubatilishwe, kwa madai kwamba uchaguzi na hesabu ya kura vilijaa udanganyifu. Anataka uchaguzi kurudiwa.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Raila Odinga amewasilisha mahakamani maombi ya kutaka ushindi wa rais mteule Dr. William Ruto ufutiliwe mbali - Agosti 22, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 22, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Raila amesema anaelekea mahakamani kupinga ushindi wa Ruto. Wanasheria wanasemaje? - Agosti 16, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 16, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wawakilishi wa wanasiasa wa Kenya, waelezea imani yao kwa ushindi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 11, 2022 15:48


Hesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.

Salama Na
SE7EP08 - SALAMA NA SAMATTA | HEADMASTER

Salama Na

Play Episode Listen Later Aug 4, 2022 60:51


Kila kijana wa ki Tanzania ambae anaupenda na kuuthamini mpira wa miguu na ambaye angependa ndo iwe kazi ya maisha yake basi Mbwana Ally Samatta ndiye role model wake, hakuna doubt kwamba watakua na mapenzi na Cristiano Ronaldo au Leo Messi au Kylian Mbappe au Marcus Rashford ila yule ambaye amewaaminisha kwamba INAWEZEKANA ukacheza POPOTE hapa duniani na hasa kwenye ligi yetu pendwa ya Uingereza ni Samatta. Rafiki tu kutoka Mbagala rangi tatu ambaye kashacheza saaana ndondo na makombe ya mbuzi wakati anakua na mwisho wa siku akaenda kucheza kwa wazungu na bado anaendelea kutafuta rizki yake huko, hata kama sio ligi ile ambayo hata yeye mwenyewe angependa awepo ila BADO ni MWAMBA wetu. Samatta huyu huyu ndo ambaye alijitwika mpira kichwani na kuitika nyavuni mbele ya beki ambae anaaminika kuwa BORA kwa misimu hii miwili mitatu ndani ya Virgil van Dijk. Hata wakati naandika hii bado mwili unanisisimka kwa wazo tu kwamba nililishuhudia lile, pata picha kwa mtoto ambaye ana ndoto hizo. Lile goli lilimfanyia NINI kwenye ndoto zake. KRC Genk walipoteza mchezo ule wa ugenini wa kombe la mabingwa wa Ulaya kwa magoli 2-1 ila kwenye mitaa yote ya mikoa ya Tanzania ile mechi ilikua ya USHINDI. Mbwana ametokea kwenye familia ya kawaida sana sana, wazazi wake wote kama kumbukumbu yangu itakua 100 basi walikua polisi, najua kwa hakika Baba yake alikua Polisi kwa asilimia 100. Kwa marehemu Bi Mkubwa wake ndo sina hakika sana ila kwa hakika jibu limo kwenye haya maongezi yetu. Anakumbuka jinsi ambavyo Mzee wake alikua anasisitiza kwenye suala la elimu na heshima, kama mtoto wa mwisho kwenye familia hiyo, Mbwana aliupenda sana mpira, zile za kujiiba na kwenda kucheza mechi za mbali alishafanya sana na matunda ndo haya ya leo. Nadhani ilifika kipindi Mzee mwenyewe aliona basi sawa, twende huko utakako. Familia yao yote ni wapenzi wa mpira na Kaka yake Mouhamed bado anacheza hapa hapa Tanzania. Sasa akiwa kama kioo kikubwa sana kwenye jamii hii Samatta anazungumzia presha ambayo hupewa hasa pale anapoitwa kwenye timu ya Taifa, jinsi maneno mengi ya kashfa yanaporushwa kwake kutoka kwa wananchi na anakumbuka pia wakati bado anacheza T.P Mazembe kuna kipindi kocha aliacha kumuita yeye na Rafiki yake Thomas Ulimwenguna ilisemekana kama pengine hakuna na interest na team au hakua anatoa 100. Pengine kipindi hicho aliumia zaidi maana hiyo haikua jambo zuri kwake. Mbwana anazungumza na mimi kuhusu urafiki wake na Ulimwengu na maisha ambayo walikua wanaishi pamoja wakati wako DRC, anakumbuka jinsi walivyokua wanapanga kufanikiwa pamoja na mipango yao endelevu kwenye career yao. Ulimwengu nae ana siku yake kwenye kiti chetu In Shaa Allah maana nae ana mengi ya kutuelezea. Majeraha ya mara kwa mara bila ya shaka yalisababisha kwa kiasi kikubwa ndoto zake za kucheza Ulaya kutochukua hatua ya juu kama ambavyo angependa, ila mimi naamini hayo yote maisha tu, kila kitu kilikua tayari kimesha andikwa. Samatta ni Baba ambaye watoto wake wanasoma hapa hapa nyumbani, nilimuuliza kama watoto wake wanajua yeye ni nani na akanipa story ndogo ya yeye kung'amua kama wanafahamu fika Baba yao ni nani. Mwenzangu humu kuna mengi sana ambayo yatakufaa na kwa nafasi ya kipekee ningependa kumshukuru Captain wa Taifa kwa kuchukua time kwenye ratiba yake ambayo ilikua imebana kweli kweli ili tu aje kutubarikia meza yetu kwa uwepo wake. Yangu matumaini uta enjoy sana. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Afya, Ushindi katika Maisha

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Afya, Ushindi katika Maisha

Gateway Life Church Podcast
Faida Ushindi - 10am Sunday May 29, 2022

Gateway Life Church Podcast

Play Episode Listen Later May 31, 2022 30:57


Radio Uhai Broadcast
Damu Ya Yesu Ni Ushindi Wetu (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later May 30, 2022 60:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Steve Sitienei "Serikali mpya ya Labor itakuwa yawatu wapato la chini si matajiri"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 23, 2022 10:29


Ushindi wa chama cha Labor katika uchaguzi mkuu wa Australia, umewapa viongozi wajamii matumaini kuwa maisha ya wanachama wa jumuiya yao yatakuwa bora kuliko chini ya serikali ya zamani ya mseto.

Radio Uhai Broadcast
Unapoomba Epuka Kuona Matatizo Ona Ushindi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Mar 30, 2022 59:00


Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Ushindi Dhidi ya Maisha Yako Ya Zamani 2

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Feb 28, 2022 24:44


Yesu alilipa deni kamili ya dhambi zako. Hatia yako na hisia mbaya juu yako hazihitajiki.

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Ushindi Dhidi ya Maisha Yako Ya Zamani 1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Feb 21, 2022 23:58


Mungu anapenda mwanzo mpya, mwanzo safi na fursa ya pili. Joyce anafundisha jinsi Mungu anaweza kuleta jambo hilo maishani mwako leo.

Radio Uhai Broadcast
Maombi Yanavyotoa Ushindi Mkubwa Katika Changamoto (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Dec 10, 2021 52:00


AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni
Kipindi cha afya,Siri za ushindi

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Play Episode Listen Later Oct 20, 2021 29:00


Matumizi ya dawa, Mafanikio ya mtinko sekondary

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Kipindi cha afya,Siri za ushindi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Oct 20, 2021 29:00


Matumizi ya dawa, Mafanikio ya mtinko sekondary

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Kipindi cha afya,Siri za ushindi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 29:00


Matatizo ya kufa ganzi mwilini,Mafanikio ya mtinko sekondari

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni
Kipindi cha afya,Siri za ushindi

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 29:00


Matatizo ya kufa ganzi mwilini,Mafanikio ya mtinko sekondari

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

faida ya maji, Mafanikio ya Mtinko sekondary

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

faida ya maji, Mafanikio ya Mtinko sekondary

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Ijali afya yako, Siri za Ushindi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Ijali afya yako, Siri za Ushindi

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Uhusiano wa Ndani na Mungu

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Sep 22, 2021 25:47


Sikiliza wakati Mwandishi na Mwalimu wa Bibilia bora sana, Joyce Meyer, akishiriki nawe ili kukusaidia kufurahia maisha yako ya kila siku

The Ugandan Boy Talk Show
Continuation: We've Been Seeking Asylum For The Last 12 Years | Elyse Ushindi | E42

The Ugandan Boy Talk Show

Play Episode Listen Later Aug 28, 2021 25:32


Continuation of Ep3; In this episode, I host Elyse Ushindi, Elyse a Congolese child, born in Uganda and raised all over East Africa, currently living in Norway. You might remember him from S3E11 when he was on the show to talk about #10K4Autism. He is back and in this episode, he talks about how he and his family fled the 2009 civil war in Congo to seek asylum in Uganda, then eventually moved to Norway in 2019. He talks about the challenges that his family faced while they were refugees seeking a new life. Listen in to hear his story.

The Ugandan Boy Talk Show
We've Been In Asylum For The Last 12 Years | Elyse Ushindi | E41

The Ugandan Boy Talk Show

Play Episode Listen Later Aug 21, 2021 28:35


In this episode, I host Elyse Ushindi, Elyse a Congolese child, born in Uganda and raised all over East Africa, currently living in Norway. You might remember him from S3E11 when he was on the show to talk about #10K4Autism. He is back and in this episode, he talks about how he and his family fled the 2009 civil war in Congo to seek asylum in Uganda, then eventually moved to Norway in 2019. He talks about the challenges that his family faced while they were refugees seeking a new life. Listen in to hear his story.

The Ugandan Boy Talk Show
10K4AUTISM | Daniel Nyanzi and Elyse R. Ushindi | E37

The Ugandan Boy Talk Show

Play Episode Listen Later Jul 14, 2021 44:51


In this episode, I host Daniel Nyanzi from Michigan USA and Elyse Ushindi from Sandefjord Norway. Nyanzi has been on the show before talking about his life and childhood background in S1E5. And now it's Elyse's first time on the show. The two are here to talk about a campaign that was developed on Twitter Spaces by a group of people, this campaign is called 10K4Autism. They plan to help kids with autism in Uganda. Listen in for a great discussion and to learn how you can be a part of something bigger. They are also raising funds through a Go Fund Me: https://www.gofundme.com/f/kids-with-autism-in-uganda-need-our-help anything you donate will be of help. 10K4Autism is the 100 days campaign to raise the funds to help and it's running from July 5th to Ocotber 10th. For more information check out their website https://www.10k4autism.org/?fbclid=IwAR3ipONZL7tV-TK7bAcoRborDcM8oOwBcxx-R-wkVxUpMzml2G6Y2YzzYgY #10k4autism #tweeterspaces #charity #podcast #Autism #love #uganda

Radio Uhai Broadcast
Maisha Ya Ushindi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jun 23, 2021 78:00


Radio Uhai Broadcast
Maisha Ya Ushindi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jun 21, 2021 61:00


Radio Uhai Broadcast
Siraha ya Ushindi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jun 8, 2021 60:00


Habari za UN
Nilipokea taarifa za ushindi nikwa nyumbani na kwa kweli nilijawa nafuraha sana-Meja Nyaboga

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 27, 2021 3:43


Chanda chema huvikwa pete walinena wahenga na hali ni kama hiyo kwa mlinda amani kutoka Kenya ambaye amechaguliwa kupokea tuzo ya Umoja wa Mataifa ya mwanajeshi mwanaharakati wa masuala ya kijinsia kwa mwaka 2020.   Meja Steplyne Nyaboga ambaye alikuwa mshauri wa kijeshi wa masuala ya kijinsia alipohudumu katika operesheni ya Umoja wa Mataifa ya mpango wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika wa kulinda amani Darfur (UNAMID) katika mahojiano maalum na Grace Kaneiya akiwa huko Nairobi Kenya amesema alipokea habari za ushindi, “kwa furaha isiyo kifani” 

Radio Uhai Broadcast
Una Ushindi Kupitia Kufufuka Kwa Yesu (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later May 24, 2021 61:00


Radio Uhai Broadcast
Ufanye nini ili uishi maisha ya ushindi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later May 24, 2021 61:00


Can't Take A Joke
Ushindi Namegabe is an African Renaissance Man

Can't Take A Joke

Play Episode Listen Later Apr 18, 2021 0:30


The boys introduce Ushindi Namegabe, the most motivating man you'll ever hear. Ushindi provides some insight on his cultural background, his transition from a stick figure to a IFBB Bodybuilding Pro (not really), entrepreneurial endeavors, and leaves you with the feeling that you are simply not doing enough. With a hand dipped in more career paths than a 50 year old man in a mid-life crisis, Ushindi is a true renaissance man; a jack of all trades.

renaissance man ushindi african renaissance ifbb bodybuilding pro
Gateway Life Church Podcast
Jess Murfitt & Faida Ushindi - Reset the Table - 10AM SUN JAN 17, 2021

Gateway Life Church Podcast

Play Episode Listen Later Jan 17, 2021 24:11


Ghassani The Poet
Hadi Ushindi

Ghassani The Poet

Play Episode Listen Later Dec 2, 2020 2:36


As you are in a right fight For the right people Believe in your course And fight!

SBS Swahili - SBS Swahili
Wanafunzi wakimataifa wapata ushindi mahakamani dhidi yaku fukuzwa katika nyumba zao

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 11, 2020 7:00


Wanafunzi wakimataifa wanao kabiliwa na tisho lakufuzwa wanako ishi, wame pata ushindi wakisheria mjini Melbourne, baada yakuthibitisha changamoto wanazo kabili zakifedha zimesababishwa na COVID-19.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Afya, Ushindi katika Kristo

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Aug 19, 2020 29:00


Afya, Ushindi katika Kristo

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Afya, Ushindi katika Kristo

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni
Muziki, neno la Matumaini na Ushindi

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Play Episode Listen Later Aug 15, 2020 29:00


Muziki, Neno la Matumaini

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Muziki, neno la Matumaini na Ushindi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Aug 15, 2020 29:00


Muziki, Neno la Matumaini

Radio Uhai Broadcast
Ukitaka Kuishi Maisha Ya Ushindi Usiangalie Mazingira (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Aug 11, 2020 54:00


AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Muziki, neno la Matumaini na Ushindi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Jul 11, 2020 29:00


Muziki, Neno la Matumaini na Ushindi

Radio Uhai Broadcast
Unawezaje Juishi Maisha Ya Ushindi Hapa Duniani (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jul 2, 2020 28:00


Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mahakama ya katiba Burundi yabariki ushindi wa Evariste Ndayishimiye kama rais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 12, 2020 10:19


Kiongozi wa upinzani nchini Burundi na Agathon Rwasa akubali uamuzi wa mahakama ya katiba ya kumuidhinisha Evariste Ndayishimiye kama mshindi wa uchaguzi wa urais mwezi Mei.

TIMIZA MALENGO YAKO
Nyakati Nne (4) Za Ushindi

TIMIZA MALENGO YAKO

Play Episode Listen Later May 17, 2020 10:29


Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka

SBS Swahili - SBS Swahili
Morrison leads the coalition to victory - Morrison aongoza chama cha mseto kupata ushindi wa uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 19, 2019 32:41


Experts had given the coalition no chance of winning the federal election in favor of the Labor party. - Wataalam wengi, walikuwa hawakupa chama cha mseto matumaini yoyote, yakushinda uchaguzi mkuu wa shirikisho dhidi ya chama cha Labor.

SBS Swahili - SBS Swahili
Voters give first debate to Shorten - Wapiga kura wampa Shorten ushindi wa mjadala wa kwanza

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 30, 2019 9:10


Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have [[Mon 29/4]] clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate. - Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten wame kabiliana (29 Aprili) kuhusu maswala kadhaa, katika mjadala wa kwanza wa viongozi wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Shorten tastes victory in first leaders debate - Shorten aonja ushindi wa kwanza, katika mjadala wa kwanza wa viongozi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 30, 2019 18:22


Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate. - Waziri Mkuu Scott Morrison na Kiongozi wa Upinzani Bill Shorten, wame tofautiana kuhusu maswala tofauti katika mjadala wa kwanza wa viongozi, wa 2019 katika kampeni ya uchaguzi ya shirikisho.

Mwinjilisti Machota
Tuzichunguze Siri za Ushindi

Mwinjilisti Machota

Play Episode Listen Later Dec 12, 2018 45:20


Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Rais Paul Biya achaguliwa tena kuongoza Cameroon kwa muhula wa saba

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Oct 24, 2018 13:03


Rais wa Cameroon Paul Biya, ametangazwa mshindi kuongoza nchi hiyo kwa muhula wa saba, kuendeleza uongozi wake wa miaka 36. Upinzani umekataa kutambua ushindi huu. Ushindi huu una maana gani kwa demokrasia ya Cameroon na bara la Afrika ? Tunajadili.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Majaji wa Mahakama ya Juu nchini Kenya kuamua hatima ya ushindi wa Kenyatta

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Nov 10, 2017 9:59


Mahakama ya Juu nchini Kenya inatarajiwa kuanza kusikiliza kesi za kupinga uchaguzi wa marudio uliofanyika Oktoba 26, 2017 ukidaiwa kuwa haukuwa huru, haki na wa kuaminika. Swali ni je majaji wa mahakama hiyo watafuta tena uchaguzi kama ilivyokua katika uchaguzi wa Agosti 8 mwaka huu ? Makinika na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata uchambuzi wa kina.

Khutba Ya Iddil: Lini Tutapata Ushindi
Khutba Ya Iddil: Lini Tutapata Ushindi

Khutba Ya Iddil: Lini Tutapata Ushindi

Play Episode Listen Later Jul 30, 2014 51:08


Khutba Ya Iddil: Lini Tutapata Ushindi

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 09

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 09

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 08

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 08

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 06

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 06

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 05

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 05

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 04

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 04

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 03

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 03

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 02

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 02

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 01

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 01

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani
Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 07

Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani

Play Episode Listen Later Oct 29, 2013 51:08


Ushindi Katika Mwezi Wa Ramadhani 07