POPULARITY
Send us a textUncorking exceptional value has never been more satisfying than with Trader Joe's Mbali Chenin Blanc V&A 2024—potentially the $5.99 wine of the year. This South African gem delivers a drinking experience that defies its humble price tag, offering complexity and pleasure normally reserved for bottles costing twice as much.Freshly bottled on August 19, 2024 (yes, they actually tell you the exact date!), this wine showcases why freshness matters in value-priced whites. The blend combines 79% Chenin Blanc—that chameleon-like grape originally from France's Loire Valley but now thriving in South Africa—with 21% Viognier. This thoughtful pairing results in a wine that captivates from first sniff to last sip, with the Viognier lending its characteristic aromatic lift and textural richness to enhance the Chenin Blanc's natural versatility.What truly impresses is the layered flavor profile that unfolds with each taste. There's a delicate touch of nectar-like sweetness that never ventures into cloying territory—think biting into a perfectly ripe summer fruit. Peaches, pears, melon, citrus, and honey notes dance together in harmonious balance, supported by just enough body (13.5% alcohol) to make this both a delightful standalone sipper and a companion to lighter fare like chilled seafood. And for those curious, "Mbali" means "flower" in Zulu, reflecting both the wine's South African heritage and its blossoming flavors. Whether you're hosting neighbors on the porch or simply unwinding after work, this custom-created treasure proves that exceptional wine experiences don't require emptying your wallet. Grab a few bottles while they last—wines this good at this price rarely stay on shelves long!Check us out at www.cheapwinefinder.comor email us at podcast@cheapwinefinder.com
Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati. Baadhi ya wasichana wakimbizi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya ni wanufaika wa mpango huu. Sharon Jebiichi na maelezo zaidi.Zamzam Hussein,aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Hagadera. Ni mkimbizi mwenye asili ya Somalia na sasa anaishi katika kambi ya wakimbizi ya Daadab nchini Kenya akiwa na ndoto ya kuwa daktari. Kupitia mpango huu ambao ni sehemu ya programu ya PROSPECTS ambao ni ushirikiano wa kimataifa unaojumuisha mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ukilenga kuboresha upatikanaji wa elimu, ulinzi wa jamii, na ajira yenye hadhi kwa jamii zinazowakaribisha wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao Zamzam Hussein ameweza kukumbatia sayansi.“Nilikuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Hagadera na nikamaliza elimu yangu mwaka wa 2024. Nilijiunga na shule hiyo Agosti 2021. Nilichopenda zaidi nikiwa shuleni ni maktaba, maabara ya sayansi na maabara ya kompyuta. Napenda kuwashauri wasichana wadogo wanaosoma shuleni na walio wakimbizi wafanye kazi kwa bidii bila kujali changamoto wanazokabiliana nazo. Watatimiza ndoto zao na waweze kufanikiwa katika siku za usoni. Nataka kuwa daktari kwa sababu nilipokuwa shule ya upili nilijifunza mambo mengi kuhusiana na matibabu. Ningependa kuwashukuru wafadhili wetu kwa sababu bila wao nisingekuwa hapa.”Mpango huu wa STEM umetoa msaada wa rasilimali kama vile kuajiri walimu zaidi wa sayansi, kutoa mafunzo kwa walimu, kutoa vifaa vya sayansi kwa ajili ya maabara ya shule na kuanzisha programu ya maabara ya mtandaoni (virtual lab) ambapo wanafunzi wanaweza kufanya majaribio ya sayansi kwenye mtandao wa intaneti. Kupitia video iliyorekodiwa na UNICEF, Patrick Njogu, Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Hagadera anasema,“Nimemfundisha Zamzam na wasichana wengine ili waweze kutimiza ndoto na malengo yao. Wasichana wamekuwa wakikabiliana na changamoto kama vile ndoa za mapema. UNICEF imekuwa ya manufaa zaidi kwao. Kwa sasa walimu wawili zaidi wa sayansi wameajiriwa. Mbali na hayo imekuwa ikiendesha mafunzo ya walimu, imetoa vifaa vya sayansi kwa ajili ya maabara ya shule na kuanzisha programu ya maabara ya mtandaoni (virtual lab). Programu hii ya mtandao (virtual lab) imetengeneza uhusiano nzuri wa wanafunzi katika masomo ya sayansi.”
On this episode of 'Book Nook', Mbali Sikakana, commissioning editor at NB Publishers, gives insights on how to publish a business book. She explains the process with relevant statistics, while also explaining what your book needs to sell well in stores! This discussion was recorded at The Business Ink Tank, on 20 September 2024.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP29 leo ukiingia siku ya nne mjini Baku Azerbaijan vijana kutoka Afrika wataka ufadhili uongezwe kutoka mataifa makubwa hususan yanayochangia zaidi hewa ukaa ili kudhibiti athari za mabadiliko ya tabianchi kwa mataifa yanayoendelea ambapomiongoni mwa waathirika wakubwa ni vijana. Asante Bosco na mmoja wa washiriki hao ni Patricial Kombo Mumbua kutoka Kenya akiwasilisha matakwa ya vijana katika mkutano huo, na akizungumza na UN News kuhusu ujumbe wake kwa COP29 amesema“Kwangu kama kiongozi wa vijana jambo la kwanza ni kuweza kupata zile fedha au kuzikusanya ili ziweze kusaidia mataifa ambayo yanapambana na kukabiliwa na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi . Pili ni kuhakikisha kuwa viongozi kutoka mataifa ambayo yanazalisha zaidi hewa ukaa yanawajibika ili kuyafanya matifa ambayo yanaendelea kuweza kujilinda , kunufaika , kujiinua dhidi ya janga hilo na pia kujenga mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi katika jamii zao.”Na nini anachokitarajia katika mkutano huo wa COP29?“Ni kuweza kuona kuwa hili kongamano litaweza kuhamasisha upatikanaji wa hizo hela kwa mataifa ambayo yanakabiliwa na hizi changamoto za mabadiliko ya tabianchi, Na pia wakati ambapo mataifa yanaendelea kurekebisha michango yao ya kitaifa ya mabadiliko ya tabianchi au NDCs, waweze kuleta michango ambayo inaaambatana na zile changamoto ambazo mataifa yao yanazidi kuathiirika nazo za mabadiliko ya tabianchi.”Mbali ya masuala ya ufadhil mada zingine zinazotamalaki kwenye mijadala ya leo COP29 ni masuala ya nishani safi , mifumo ya tahadhari za mapemba na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa matifa ya visiwa vidogo vinavyoendelea.
Kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, ambapo, katikati ya mvutano unaoongezeka kati ya Lebanon na Israel, walinda amani walioko katika makao makuu ya UNIFIL huko Naqoura wamekuwa wakivumilia mazingira magumu. Ushuhuda wa hivi karibuni kutoka kwa walinda amani hao unaonesha ukubwa wa changamoto wanazokabiliana nazo, ikiwemo vitisho vilivyoongezeka kutoka kwa shughuli za kijeshi za Israel zilizo karibu na eneo hilo, vizuizi vya kusafiri, na changamoto za uendeshaji wa shughuli. Kupitia video ya Kikosi hicho cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, tunaona picha ya makao makuu yake huko Naqoura, Lebanon. Hapa tunaona ofisi za walinda amani hao, karibu na ofisi hii kuna mnara wa ulinzi, sehemu yake ikiwa imeharibiwa na mlipuko. Meja Kalpani Fernando anaelekeza kwenye mnara huo akieleza kilichotokea.“Ghafla, tuliona, na kusikia mlipuko. Kisha tukaona vumbi kubwa likitokea na moshi mweusi. Tulikimbia ndani ya ofisi, na ndani ya sekunde chache, mlipuko wa pili ulitokea. Kisha wanajeshi wawili kati ya kikosi changu walijeruhiwa walipokuwa wakifanya kazi katika Kituo cha Uangalizi cha 6. Walikuwa nje ya Kituo cha Uangalizi wakati huo, na walijeruhiwa kutokana na mlipuko wakati huo. Kisha nikafunga lango, na tukawapeleka hospitalini ndani ya muda wa dakika mbili hadi tatu.”Ingawa mzozo huu umesababisha madhara kwa afya ya walinda amani hawa, huku baadhi yao wakipata upasuaji kutokana na majeraha, bado wanaendelea kuwa na dhamira ya kuhudumu katika ujumbe wa kulinda amani. Mmoja wao ni Koplo Wickramage akisema….‘‘Wakati nilipokuwa kwenye zamu katika Kituo cha Uangalizi cha 6, kulitokea mlipuko na nikajeruhiwa kwenye sehemu ya nyuma ya bega langu. Nilihamishwa haraka kwenye hospitali ya UNIFIL. Nimefanyiwa upasuaji, na ninaendelea na matibabu. Sasa, ninapata nafuu na natumai kuungana na walinda amani wa Sri Lanka hivi karibuni ili kurudi kuhudumu katika UNIFIL.”Mbali na majukumu yao ya kawaida, wafanyakazi wa afya wa UNIFIL wamekuwa wakifanya kazi kwa bidii, wakitoa huduma si tu kwa walinda amani waliojeruhiwa bali pia kwa raia walionaswa katikati mwa mapigano hao kama anayoeleza Luteni Kanali Shilpi Mankotia,“Mbali na huduma za kawaida za matibabu, siku hizi tunatoa msaada na huduma kwa majeruhi na manusura waliolengwa kimakosa, ikiwa ni pamoja na raia na wahudumu wa kibinadamu. Nilikuwa kwenye likizo niliposikia kuhusu mzozo unaoendelea kwa sasa. Nilirudi kazini mara moja kutoka India. Nilifika Beirut usiku wa manane na baada ya kupambana kwa siku saba, hatimaye niliweza kurudi kwenye kituo changu cha kazi.”
Ndoa za utotoni,ubakaji na kutelekeza watoto, haya ndio matatizo yaliyokuwa yanaripotiwa mara nyingi zaidi kwa kuathiri watoto katika makazi ya wakimbizi katika wilaya Kyegegwa magharibi mwa Uganda. Hata hivyo, kwa msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF na ufadhili kutoka wahisani wa Uingereza UKaid, maelfu ya wazazi katika makazi ya wakimbizi na jamii zinazohifadhi waakimbizi katika wilaya ya Kyegegwa wamepewa mafunzo juu ya malezi bora ili kuondoa ukatili dhidi ya watoto, wanawake, na wasichana. Leo tuko katika wilaya ya Kyegegwa nchini Uganda ambapo, kwa msaada wa UNICEF, wafanyakazi wa kijamii, kamati za ulinzi na ustawi wa watoto, na kikosi cha polisi; wote wamepewa mafunzo mwafaka ili kuhakikisha ulinzi wa watoto unaofaa na wa kudumu, na tunakutana na Agnes Karungi mama mwenye umri wa miaka ishirini na mmoja wa wanufaika wa mradi wa malezi bora. Mbali na kukumbana na changamoto za kuwa mama kijana, mwanaye Agnes, ni mwenye ulemavu na zaidi ya hayo akatengwa na familia yake kwa kuzaa akiwa angali mwanafunzi.Cecily Kariuki anaeleza zaidi katika makala hii..
Mbali na usaidizi mkubwa kwa watu waliokimbia makazi yao kutokana na migogoro mashariki mwa DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linatoa msaada kupitia miradi iliyo ndani ya mfumo wa kuzuia na kupunguza hatari za unyanyasaji wa kijinsia unaohusishwa na uhakika wa kupata chakula. Takriban wanawake 40 waliokimbia makazi yao wanaoishi katika kambi ya Bulengo jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa DRC wamenufaika na mafunzo ya kusoma na kuandika tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2024. Walengwa waliojifunza kusoma na kuandika wanashuhudia kwamba yamebadilisha maisha yao. Mwandishi wetu wa habari mashariki mwa DRC, George Musubao alisafiri kutoka Beni hadi Goma katika kambi ya Bulengo kuzungumza na mmoja wao.
Tuliyokuandalia ni pamoja na michuano ya kufuzu klabu bingwa kwa kina dada, uchambuzi wa vikosi vya timu za Afrika Mashariki na kati kuelekea mechi za kufuzu AFCON 2025, matokeo ya riadha ya Rome Diamond League na riadha za dunia U20, mashindano ya Tong IL Moo Do Mombasa Open kufutiliwa mbali, matokeo ya Olimpiki ya walemavu na uhamisho wa wachezaji ulaya.
Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Elimu kwa watoto pamoja na visa mbali mbali
Elimu kwa watoto pamoja na visa mbali mbali
Today I am in Conversation with two of my mentees from the Sister In Law Mentorship Program (2024 cohort) - we know that all the legends who have been featured on this show started somewhere so let's take it back to grassroots level in celebration of Youth Month! Precious Maolana was born and raised in Daveyton, Benoni. She obtained her LLB degree from the University of Limpopo and holds an LLM in Labour Law from the same university. Precious is currently a Candidate attorney awaiting admission and also a mentee under the Sister In Law Mentorship Program 2024 cohort. She works at a boutique law firm and her current areas of practice are Labour Law, Matrimonial Law, Competition and Anti-trust Law, Corporate and Commercial law. Mbali Ngcobo is a candidate Attorney and Sister In Law Mentorship Program mentee with an LLB degree from North-West University. Mbali works primarily in civil litigation, corporate commercial and regulatory compliance matters. Having served on various leadership structures during her university career such as being the chairperson on the Law Student Chapter , a student representative on the Student Legal Aid and co-founder of the NWU Student Law Review Journal, she is committed to learning and applying the law in order to fuel positive change. Beyond her legal interests, she enjoys connecting with like-minded people and finds joy in speaking and sharing personal insights on the experiences she has overcome that can inspire others in their journey of pursing the best version of themselves in every season. We would love to hear from you, send us a message on Instagram @sister_in_law_ @khensi_maolana @_mbarli_ --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/tebello-motshwane/message
Karibu katika kipindi cha Nena nami Bwana ambapo anayenena nasi ni Mhashamu Ludovick Minde, Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi L'articolo Askofu Minde” Mwanga wa Kwanza wa mbali wa Wokovu wa Siku” proviene da Radio Maria.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
In this refreshing tale about Black love and the self-discovery, we are introduced to Zola, a young woman in her 20's thrashing out what it means to reckon with disappointment. We meet her as a new arrival in South Africa, following an extended stint in Germany which ultimately falls apart. In the face of the disappointment of a dream shattered, she also has to navigate family politics and a complicated love life. This is when Mbali enters the story, a gorgeous man from the right side of town who is irresistible on paper but is deeply flawed and complex as most people are. The ensuing chaos between these two with a third unlikely character as Okuhle, who is her boss. The Cheeky Natives sat down with Zibu to discuss the nuanced nature of Black lives, the disappointments of dreams deferred and the search for one's self in the face of complicated romantic and familial relationships. Zibu who is is no stranger to writing romance offered us the unique perspective of writing on Black love, life on the periphery and the navigations of class and education, especially between the haves and the have nots. More importantly, she asks important questions around the act of choosing yourself and your dreams even at great cost.
Enhle Mbali Mlotshwa shared about her love for fashion and the start of her career in the industry, as well as the upcoming launch of her clothing brand Essie Apparel. See omnystudio.com/listener for privacy information.
In this episode, Felicity and Mbali of BLKHLTH SA sit down with Kim Windvogel, host of the Showmax docuseries Sex & Pleasure and co-founder of FEMMEPROJECTS, to talk all things sex, health, and ensuring one's physical, emotional, and spiritual safety. In partnership with iQHAWE Magazine. Check out this article from iQHAWE with a list of safe and inclusive sexual health resources in South Africa: https://www.iqhawemagazine.com/iq-corner/blkhlth-comprehensiveresourceguide
TikTok sensation Mbali Nhalpho revealed some of her best cleaning hacks on Breakfast with Martin Bester.
Kupata marafiki ni moja ya changamoto kubwa huwa tunakabili katika nchi mpya.
As part of our Circle of Investors series, which highlights people changing their financial trajectories alongside friends and family, we invited Mbali Nkosi and Tinyiko Ngobeni for a chat.Building friendships based on wealth creation can be tricky terrain, but this dynamic duo gives us a sense of how to navigate this.We asked these mates about managing investor peer pressure, conflicting interests and investment strategies, how investing brought them together, whether gifting your friends with shares is a valid route to go, and a lot more.Shares highlighted in this episode:Vukile Property FundInsimbi Industrial HoldingsPurple Group Share the love with us on social media by letting us know what you think of the episode by tweeting @EasyEquities or tagging us on the gram.To sign up to EasyEquities: http://bit.ly/2EtcE85DISCLAIMER: EasyEquities is a product of First World Trader (Pty) Ltd t/a EasyEquities which is an authorised Financial Services Provider. FSP number: 22588. This material is not intended as and does not constitute financial advice or any other advice and is neither exhaustive nor prescriptive. The views expressed by the contributor are his or her own (as an independently registered financial services provider, financial adviser or other independent capacity), and not necessarily endorsed by EasyEquities (as a separate financial services provider).
Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa la Umoja wa Mataifa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu HLPF, linaendelea hapa Makao Makuu jijini New York Marekani likitathimini utekelezaji wa malengo hayo yaliyosaliza chini ya miaka 7, kabla ya kufikia ukomo hapo mwaka 2030. Mbali ya tathimini ya utekelezaji wake jukwaa hilo limetoa fursa kwa nchi 39 zilizojitolea kuwasilisha ripoti za kitaifa za utekelezaji wa malengo hayo. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo na iliwasilisha ripoti yake jana Jumanne. Reynald Maeda, Mkurugenzi wa asasi ya Umoja wa Mataifa Tanzania, UNA ni miongoni mwa waliochangia katika ripoti hiyo kwa sasa yuko hapa New York akishiriki jukwaa hilo lakini kabla hajaondoka Tanzania alizungumza na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es salaam akianza kwa kumueleza mchango wa asasi hiyo katika ripoti iliyowasilishwa.
Malengo ya maendeleo endelevu SDGs yanahimiza kuwa wakati wa utekelezaji wake hakuna mtu anapaswa kuachwa nyuma. Tukiwa katika ulimwengu wa kidijitali jamii za wakimbizi zilizopo kwenye makambi zinafikiwaje kwenye masuala kama ya kupata elimu ya kidijitali ili wasiachwe nyuma. Nchini Kenya katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma mshichana Deline anafanya juhudi zote kuhakikisha wasichana wengine hawaachwi nyuma. Katika video ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalojihusisha na masuala ya wakimbizi UNHCR inamuonesha Deline, ambaye ni mkimbizi kutoka nchini Rwanda akijiandaa kuanza safari yake ya kuelekea kazini. Anasema “Ninaenda kazini, na hii ndio njia ninayopita kila siku ninavyoenda kazini, anasema Deline huku akisimama njiani na kusalimia majirani zake. Hawa ni majirani zangu, na kisha anapanda pikipiki kuelekea kazini. Deline anaendelea kueleza "Ninafanya kazi katika shirika liitwalo Solidarity iniatiative for refugees, shirika la kijamii linalojihusisha na kuwajengea uwezo wanawake kuweza kutumia teknolojia ya kidijitali ili kuboresha maisha yao. Tunafanya kazi na wanawake wa jamii za wenyeji na jamii za wakimbizi tukiwapa ujuzi wa kidigitali.” Mwalimu huyu kijana anasema kitu anachopenda zaidi kuhusu ajira yake ni fursa aliyonayo ya kuwajengea uwezo wasichana wengine kuchangamkia fursa ziletwazo na ujuzi wa kidigitali. Mbali na kuwa mwalimu Deline pia ni kiongozi “Nina timu ninayoiongoza na majukumu yangu yamegawanyika katika makundi matatu, usimamizi wa watu, usimamizi wa mradi, na usimamizi wa kituo na hayo ni baadhi ya majukumu ninayo yafanya.”Na baada ya kumaliza kufundisha na siku ndefu ya majukumu yake, Deline anahakikisha kila kitu kipo sawa kwa ajili ya darasa jingine hapo kesho na kisha anafunga kituo tayari kurejea nyumbani. “Asanteni wote kwakuwa nami leo katika siku hii hapa katika kutuo chetu kilichopo kambi ya wakimbizi ya Kakuma, tutaonana siku nyingine, kwaherini“
Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa kuhusu ,malengo ya maendeleo endelevu lijulikanalo kama HLPF limeanza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa hapa New York Marekani chini ya mwamvuli wa baraza la kiuchumi na kijamii ECOSOC.Jukwaa hilo ambalo litakunja jamvi 20 Julai mwaka huu limebeba maudhui "Kuharakisha kujikwamua kutokana na janga la ugonjwa wa virusi vya corona au COVID-19 na utekelezaji kamili wa ajenda ya 2030 ya maendeleo endelevu katika ngazi zote".Mbali ya viongozi wa ngazi ya juu katikia jukwaa hilo kutakuwa na siku tatu za majadiliano katika ngazi ya mawaziri.Kwa mujibu wa ECOSOC jukwaa hilo “litajumuisha mapitio ya mada ya malengo ya maendeleo endelevu namba 6 kuhusu maji safi na usafi wa mazingira, namba 7 kuhusu nishati nafuu na safi, namba 9 linalohusu viwanda, uvumbuzi na miundombinu, namba 11 linalohusu miji na jamii endelevu, na namba 17 linalohusu ubia kwa ajili ya malengo.”Pia jukwaa hili ltashughulikia changamoto maalum zinazokabili nchi zilizo katika hali maalum. Zaidi ya hapo litathimini vipimo vya kikanda na vya ndani ya nchi kuhusu kujikwamua kutoka kwaenye janga la COVID-19 na hali kuhusu malengo ya maendeleo endelevu SDGs. Na kisha litaunga mkono mapitio ya muda wa kati wa malengo ya SDGs na maandalizi ya mkutano wa mwa ka huu 2023 wa SDG mutaotarajiwa kufanyika Septemba.Leo katika siku ya kwanza ya jukwaa hilo mada kuu zitakazopewa kipaumbele ni “kushinda majanga, kuleta mabadiliko kwa aajili ya SDGs, na kutomwacha mtu yeyote nyuma, Kufadhili hatua zetu za kukabiliana na majanga na kuwekeza katika SDGs.”Nchi 39 zikiwemo Tanzania, Rwanda na Zambia zitafanya mapitio ya kitaifa ya hiari (VNRs) ya utekelezaji wao wa ajenda ya 2030 ya malengo ya maendeleo endelevu katika katika jukwaa hilo la HLPF 2023.Miongoni mwa wazungumzaji wa leo katika jukwaa hilo ni wasaidizi wa Katibu Mkuu Li Junhua, Qu Dongyu ambaye ni mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, Guy Ryder ambaye ni msaidizi wa Katibu Mkuu kuhusu masuala ya sera, Mami Mizutori msaidizi wa Katibu Mkuu na mkuu wa ofisi ya Umoja wa Msataifa ya upunguzaji wa hatari ya majanga UNDDR, na Filippo Grandi ambaye ni Kamisha mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.
Maadhimisho ya pili ya siku ya lugha ya Kiswahili duniani yatafanyika wiki ijayo Julai 7 na sasa maandali zi yanafanyika katika kila kona kuhakikisha siku hiyo iliyopewa uzito mkubwa na shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCO lakini pia inatumika kama jukwaa la kuziunganisha jamii sio za Afrika tu zinazozungumza Kiswahili ali na nyinginezo zinazokumbatia Kiswahili.Estelle Zadra Afisa Uhusiano wa ofisi ya UNESCO hapa New York. ameeleza kwamba kuna mambo mengi yatakayojiri siku hiyo, “Kuanzia hapa New York hadi Paris, Dar es salaam hadi Nairobi na katika miji mbalimbali ya Afrika tutakuwa na mijadala na matukio ya kitamaduni ili kuwafanya washiriki kuwa sehemu ya lugha hii iliyosheheni ya Kiswahili. Mbali ya matukio ya kijamii kama mazungumzo na mijadala tutakuwa na hafla mbalimbali za kitamaduni, kama dansi, muziki na hata chakula cha kitamaduni.”Hata hivyo nilitaka kufahamu nini maudhui ya mwaka huu na kwanini wameyachagua hayo Etelle hakutafuna maneno, “Kiswahili ni lugha ya umoja na mawasiliano kwa watu wengi sana barani Afrika na nje ya Afrika lakini tunataka kuonyesha kwa jinsi gani Kiswahili kilivyo na uwzekao mkubwa katika zama za kidijitali, hivi sasa jamii zetu zimeunganishwa sana na ni muhimu kila mtu kuwa na fursa ya nyenzo hizo na tunazihitaji kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na mijadala katika jamii zetu na kila mtu kushiri hivyo maudhui ya mwaka huu ni “Kuibua uwezo wa Kiswahili katika zama za kidijitali kwa sababu tunauhakika kwamba Kiswahili kinaweza kutumika kama daraja kuunganisha jamii mbalimbali na kuwezesha ujumuishwaji katika ulimwengu wa kidijitali.”Na ili kuhakikisha maudhui haya yanatimia Estelle amesema wanashirikiana kwa karibu n anchi zote za Afrika Mashariki na za Jumuiya ya maendeleo ya nchi za Kusini mwa afrika SADC ambazo pia zimekikumbatia Kiswahili lakini pia amesema lengo kuu ni kuwafikia vijana hususan wajasiriamali ambao wana hamu ya kutumia nyenzo za kidijitali kujiendeleza na lugha mujarabu kwao ni Kiswahili. Na mwisho Estelle akasema ujumbe wa UNESCO kwa dunia kuhusu siku hii ni kwamba, “Kiswahili sio lugha tu bali ni mkusanyiko mahiri wa urithi uliosheheni wa kitamaduni wa Afrika Mashariki na tunadhani kwa kukumbatia Kiswahili katika zama za kidijitali tunatoa fursa ya kubadilishana utamaduni, kuchagiza ukuaji wa uchumi na uwezeshaji wa kielimu. “ Siku ya lugha ya kiswahili duniani huadhimishwa kila mwaka tareje 7 Julai tangu ilipopitishwa rasmi na UNESCO miaka mwili iliyopita.
Mkuu wa Mpango wa umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS ambaye pia ni mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo Nicholas Haysom amefanya ziara maalum ya kutembelea visiwa vilivyopo katika kaunti ya Terekeka na kujionea utekelezaji wa miradi ya stadi za maisha inayoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO. Katika ziara hiyo maalum, Mkuu wa UNMISS aliambatana na wawakilishi wa FAO pamoja na Benki ya Dunia ambao ni miongoni mwa wahusika wa moja kwa moja wa kuendesha Mradi wa Kuimarisha Ustahimilivu wa Jamii ya Wavuvi -FICREP ambao unawajengea uwezo wananchi wa visiwani ambao kwa kiasi kikubwa wanajishughulisha na biashara ya Samaki. Mwakilishi wa FAO nchini Sudan Kusini Meshack Malo anasema malengo ya miradi yao ni kuziwezesha jumuiya za wavuvi kutengeneza mnyororo wa thamani na kuwa na biashara stahimilivu kwakutumia vyema uwepo wao katika ukanda wa mto Nile, “Unakuta kwamba changamoto walizonazo Wasudan Kusini na wakazi wa Terekeka ni kuongeza muda wa kuhifadhi samaki. Hapo awali walikuwa wakipata samaki asubuhi na ikifika jioni chochote kile ambacho hakijauzwa wanatupa. Kwa hivyo, tumeanzisha ukaushaji wa Samaki ili waweze kuchukua hadi miezi minane. Kwa teknolojia ya usindikaji tunatumai kuwa wananchi hawa wanaweza kupata thamani ya pesa.”Mbali na kuwapatia vifaa vya kuvulia pamoja na kusindika samaki, FAO inaendesha mafunzo ya kutunza na kuhifadhi Samaki, kutafuta masoko na kutengeneza uhusiano mwema. Vijana nao wanafundishwa kutengeneza mitumbwi ya kuvulia samaki ambayo inadumu na haiingizi maji.Miradi hii tayari imeanza kuwa na matokeo chanya, mfano wanawake wamewezeshwa kujenga mtandao wa kimataifa na kujikwamua kiuchumi, wamepelekwa katika ziara za kimasomo kwenye nchi za Kenya, Uganda na Ghana, ambako wamejifunza njia za gharama nafuu na zenye afya za kuendesha biashara zao suala lililo mfurahisha mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini Nicholas Haysom, “Nimepata uzoefu muhimu san,a sio tu kwa kutoka nje ya mji wa Juba na kuja kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi wa kawaida wa Sudani Kusini, lakini kujionea mradi huu wenye mafanikio makubwa yamradi huu unaotekelezwa na Wasudan Kusini wa kawaida. Nadhani kuna utambuzi mpana kwamba huko Sudan Kusini hakuwezi kuwa na amani bila maendeleo, lakini tunajua kuwa hakuwezi kuwa na maendeleo bila amani. Kwa maana hii, kaunti hii inawakilisha jaribio la kweli, la kusitawisha amani, lakini pia mradi ambao matunda ya amani yanaweza kuhisiwa na watu wote.”Mkuu huyo wa UNMISS amehitimisha ziara yake kwakusema jumuiya zinazofanya maamuzi na kuyasimamia zinafanikiwa na kuwa mfano bora kwa jamii zote za nchini Sudan Kusini.
Kufuatia vita inayoendelea nchini Sudan, watoto 297 wamehamishwa kwa usalama kutoka kituo cha watoto yatima cha Mygoma huko Khartoum nchini Sudan hadi kituo cha muda katika eneo salama zaidi nchini humo. Mafundi uashi wakichomelea vyuma na wengine wakiwa wanachomelea nguzo varandani…… Nje wahandisi wanaonekana wakijadili jambo eneo la genereta… haya yote yakiendelea ndani ya eneo ambalo linaonekana kama ukumbi mkubwa wenye viti vichache wakionekana wanawake wameketi wengine wamesimama na watoto wadogo wakicheza katika mikeka na zulia jekundu. Hapa ni Madani, mji mkuu wa jimbo la Al Jazirah lililoko mashariki ya kati mwa nchi ya Sudan. Eneo hili ndio makazi mapya salama ya watoto 297 waliotolewa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mygoma huko Khartoum ambapo sasa hali si shwari, vita vime taradadi. Kituo hichi ni cha mpito, watoto hapa wako chini ya uangalizi wa wizara za Ustawi wa Jamii na Afya ya Sudan wakishirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto, UNICEF ambalo linasaidia kwenye matibabu ya watoto, lishe, msaada wa kisaikolojia, michezo na shughuli za elimu, na huku wakiwasaidia walezi wa watoto waliohamishwa.Uhamisho wa watoto hawa umefanyika kwa kutumia magari ya kubebea wagonjwa ndani ya magari hayo watoto wamewekwa kwenye mabeseni ama hakika vita kitu kibaya sana. Na pia mabasi makubwa ya kubeba abiria yametumika, watoto wanaojiweza wakiwa wameshikiliwa na wazazi wao wanaonekana kupiga hatua ndogo ndogo kuingia kwenye kituo hicho ambacho bado kinatengenezwa, na wale wasiojiweza na watoto wachanga, wazazi na wahudumu wa UNICEF wanaonekana kuwabeba wakiwa katika mwendo wataratibu wakiingia nao ukumbini hapo. Mwakilishi wa UNICEF nchini Sudan Mandeep O'Brien anasema kufanikiwa kwa uhamisho huu wa watoto kutoka eneo la vita kuja eneo salama kumeleta mwanga katikati ya vita vinavyoendelea nchini Sudan. Hata hivyo O'Brien anasema “Mamilioni mengi ya watoto, bado wako hatarini kote nchini Sudan, wanatishwa na mapigano, wanakimbia makazi yao na kuendelea kupata athari za vita kama vile kukosa huduma za kuokoa maisha yao. Mustakabali wa watoto unahatarishwa na vita hivi kila siku.”Mbali na kutoa huduma za matibabu na lishe, UNICEF wanashirikiana na mamlaka husika katika kutambua watoto wasio na walezi.Mpaka sasa takwimu za UNICEF zinaonesha kote nchini Sudan, zaidi ya watoto milioni 13.6 wanahitaji msaada wa haraka wa kibinadamu wa kuokoa maisha, hii ni idadi kubwa zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo. Athari za vita zinaendelea kutishia maisha na mustakabali wa familia na watoto, na kuacha huduma za kimsingi zikiwa zimekatishwa na vituo vingi vya afya kufungwa au kuharibiwa.UNICEF imetoa ombi la dola milioni 838 kushughulikia mzozo huo, fedha hii ikiwa ni ongezeko la dola milioni 253 tangu mzozo wa sasa uanze mwezi Aprili 2023.
Katika kambi ya wakimbizi ya Za'atari iliyoko nchini Jordan, roho ya ubunifu ya mtu mmoja na dhamira yake isiyoyumba imebadilisha vitu mbalimbali vinavyotupwa na kuonekana havifai tena kuwa nyenzo muhimu za urembo.Ziyad Al-Awaji, al maarufu Abu Jihad, kila siku huamka alfajiri kuaza shughuli zake za kutafuta plastiki iliyotupwa na vifaa vingine kwenye dampo za taka katika kambi ya wakimbizi ya Za'atari huko nchini Jordan.Mkimbizi huyu kutoka nchini Syria mwenye umri wa miaka 64, mume na baba wa watoto 12 pamoja na kupitia magumu ikiwa ni pamoja na kupoteza nyumba yake na kipato sababu ya vita nchini mwake, hajakata tamaa na amedhamiria kuleta athari chanya kwa jamii yake na mazingira.Tangu awasili kambini hapo mwaka 2013 Abu Jahid alianza kujenga nyumba yake na kuiremba na vitu vya kipekee kutoka majalalani. Mapenzi yake ya kuchakata malighafi zilizotupwa yalichochewa na rasilimali chache zinazopatikana kambini, na punde si punde akawa gwiji wa kutafuta matumizi mapya ya vitu vya zamani na kugeuza taka anazo okota kuwa vitu muhimu na vizuri."Hii ni Chandelier, lakini bado haijakamilika, hii hapa ni mashine ya kusagia kahawa. "Ninatumia tena nyenzo zozote zinazokuja mikononi mwangu. Ninapenda kutoa maisha ya pili kwa vitu ambavyo tunadhani ni upotevu. Kila kitu kina matumizi ya pili,”Mbali na ubunifu wake wa kutengeneza vitu kama meza, taa, matanki ya kuhifadhi maji ya mvua na mifuko lakini Abu Jahid ni mfano mzuri wa namna wakimbizi wanaweza kuwa na athari chanja katika jamii zao.“Jordan inatuchukulia kama raia wake, tumekumbatiwa na kuungwa mkono kwa namna ambazo zinatufanya tujisikie kama sehemu ya jamii ya Jordan.”Wakati dunia inapambana na athari mbaya za uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na plastiki, shauku ya Abu Jihad ya kuchakata tena taka ni mfano mzuri wa namna uwezo na vitendo vya mtu binafsi unavyoletwa kuleta mabadiliko katika dunia.
Wapangaji jimboni New South Wales hawata hisi maramoja afueni yoyote, kutoka ongezeko ya kodi baada ya kiongozi wa jimbo hilo Chris Minns kutupilia mbali kikomo kwa ongezeko za kodi.
Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuchagiza elimu kwenye maeneo ya mizozo, Education Cannot Wait, ECW, au Elimu Haiwezi Kusubiri umetangaza nia yake ya kupanua uwekezaji nchini Colombia kwa kuwekeza dola milioni 12 ili uweze kuwafikia watoto wengi zaidi raia wa Colombia na wakimbizi kutoka nchini Venezuela.Nia hiyo imetangazwa na Mkurugenzi mtendaji wa Mfuko wa Elimu haiwezi kusubiri Yasmine Sherif akiwa ziarani nchini Colombia wiki iliyopita ambako alijionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo shirika hilo limetekeleza kwa miaka mitatu.ECW wametangaza kutenga dola million 12, wakati tayari walishawekeza miradi mbalimbali ambayo inafanya jumla ya uwekezaji nchini humo kufikia zaidi ya dola milioni 28 na kuweza kuwafikia zaidi ya watu 107,000 kwa takwimu zilizoishia mwezi Novemba 2022.Miradi inayotelezwa wamekuwa wakishirikiana na mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na wadau wengine na Bi Sherif anasema“Inafurahisha sana kurejea hapa na kujionea matokeo yaliyofikiwa, kuona jinsi UNICEF, Save the Children, World Vision, Shirika la kimataifa la Plan, na Shirika la kuwasaidia wakimbizi la Norway wnavyofanya kazi bega kwa bega katika kusaidia, maendeleo ya kibinadamu wakishirikiana na serikali ya Colombia.”Mbali na nchi ya Colombia kuwa na wakimbizi wa ndani milioni 5.6, lakini nchi hiyo pia imewapatia makazi zaidi ya wakimbizi milioni 2.5 kutoka nchi jirani ya Venezuela hali inayoongeza mzigo kwa serikali kwenye kutekeleza haki ya kupata elimu hususan kwa watoto.Mkurugenzi huyo wa ECW anasema wanatambua jukumu zito lililobebwa na serikali. “Tunajua kuwa serikali ya Colombia kwa ukarimu wake wame wajumuisha Wavenezuela 500,000 katika mfumo wa kitaifa wa umma. Washirika wetu nao wameweza kuwafikia zaidi ya watu 110,000, na sasa sisi Elimu Haiwezi kusubiri tunafuata na mpango wetu ulioboreshwa na wakuweza kusonga mbele zaid maendeleoi.”Msaada wa haraka wa dola milioni 46.4 zinahitajika nchini Colombia ili kuweza kuziba pengo la ustahimilivu la miaka mingi nchini humo.Programu zilizotekelezwa nchini Colombia ni pamoja na kuhakikishwa watoto wanafikiwa na elimu rasmi na isiyo rasmi katika mazingira salama, huduma za afya ya akili na usaidizi wa kisaikolojia, huduma maalum za kusaidia mabadiliko ya mfumo wa kitaifa wa elimu kwa watoto walio katika hatari ya kuachwa nyuma wakati wengine wakisonga mbele kielimu, pamoja na hatua mbalimbali za kuimarisha uwezo wa mamlaka za elimu za mitaa na kitaifa ili kusaidia elimu kuanzia ngazi ya elimu ya awali hadi shule za sekondari.
Mbali na shughuli za ulinzi wa amani chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA, walinda amani wa kikosi cha 6 kutoka Tanzania TANBAT6 wameshiriki huduma ya kutoa matibabu na kukabidhi msaada wa dawa katika zahanati ya WAPO iliyoko mkoa wa mjini Berberati mkoa wa Mambéré-Kadéï.Kwa kutambua ulinzi wa amani unahusika pia na kusaidia jamii kuwa bora, Mkuu wa kikosi cha TANBAT6, Luteni kanali Amini Setephen Mshana anaendesha kampeni ya afya kwa kuruhusu watabibu wa kikosi hicho kutoa za matibabu katika vijiji vya mkoa wa Mambéré-Kadéï.Katika Zahanati ya WAPO mjini Berberati, Mganga mkuu wa kikundi cha TANBAT6 kapten Nashiru Bakari Mzego kwa niaba ya Mkuu wa TANBAT6 luteni kanali Amin Stephen Mshana anakabidhi msaada wa dawa za matibabu huku akiwa ameambatana na timu ya matabibu wa kikosi hicho wakiwa tayari kutoa huduma kwa wagonjwa wa kituoni hapo.“Tupo katika muendelezo wa kampeni ya utoaji wa huduma za afya, awali tulitoa katika zahanati ya POTOPOTO sasa tupo WAPO. Hii ni muendelezo wa utoaji huduma katika maeneo yetu ya uwajibikaji.” Amesema Kapten Nashiru Bakari Mzego ambaye ni Mganga Mkuu wa TANZBAT6.
Ujumbe wa mashirika ya Umoja wa Mataifa umetembelea hospitali na kliniki zinazoungwa mkono na shirika lisilo la kiserikali la Misaada na Maendeleo la Syria au SRD, Kaskazini Magharibi mwa Syria na kujionea athari za tetemeko la Ardhi lililoikumba nchi hiyo wiki mbili zilizopita pamoja na kujionea usambazaji wa misaada iliyotolewa na Umoja wa Mataifa.Lengo la ziara hiyo iloyohusisha mashirika saba ya Umoja wa Mataifa ni kufanya tathmini ya mahitaji na kusambaza misaada.Mashirika ya UN katika ziara hiyo maalum ni lile la Kuratibu Masuala ya Kibinadamu -OCHA, la Uhamiaji IOM, la Idadi ya watu duniani na Afya ya Uzazi- UNFPA, la Kuhudumia Watoto UNICEF, la Afya duniani -WHO, la Kuhudumia Wakimbizi -UNHCR pamoja na Idara ya Usalama na ulinzi ya Umoja wa Mataifa UNDSS.Wakiwa Kaskazini – Magharibi mwa Syria ujumbe huo ulizungumza na wananchi walionusurika kwenye tetemeko. Akijitambulisha kwa jina moja tu, Muhammed aliwaeleza hali ilivyokuwa."Watoto wangu walikuwa wamelala kwenye ghorofa ya pili. Nilihisi mtikisiko na harufu ya vumbi. Nilikuwa na uhakika kwamba gorofa ya juu ingetuangukia, kisha nikashukuru nilipoona watoto wangu wakikimbia. Jengo lililokuwa mbele yetu liliporomoka. Tulitoka nje na kulikuwa na mvua na radi. Ilikuwa baridi. Umeme ulikatika.”Kisha wakatembelea hospitali na zahanati zinazoungwa mkono shirika lisilo la kiserikali la SRD. Wakiwa katika hospital ya Al-Refah, Daktari Ahmad Jumaa aliwaeleza hali ilivyo.“Tangu mwanzo wa tetemeko la ardhi, tulijaribu kuwapokea watu wote waliojeruhiwa. Ndiyo hospitali pekee inayofanya kazi hapa Jandairis. Tulijaribu kusaidia kila mtu kwa uwezo wetu mdogo na mpaka sasa tunaendelea kujaribu kusaidia majeruhi wote wanakuja hapa wakiwa wamefungwa bandeji na majeraha yaliyoshonwa.”Mbali na kutembelea hospitali nyingine ya Muhammad Wassim Maazi, wajumbe wa ziara hiyo walitembelea bohari inayofanya usambazaji wa misaada iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO, misaada ambayo inajumuisha vifaa vya dharura vya majeraha na upasuaji na dawa mbalimbali za kusaidia waaathirika wa tetemeko.
Mkuu wa kanda ya nchi za kiarabu katika shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu duniani, na afya ya uzazi, UNFP Leila Baker amesema pamoja na shirika hilo kuhitaji fedha ili kuweza kuwahudumia wanawake na wasichana waliathiriwa na matetemeko nchini Turkiye na Syria lakini kila sehemu anapopita nchini Syria wanawake hutoa ombi moja tu nalo ni kuhitaji amani.Ni Leila Baker huyo, mkuu wa UNFPA katika kanda ya nchi za kiarabu katika mahojiano maalum na Idhaa ya Umoja wa Mataifa akieleza kwa siku nzima amekuwa katika mji wa Aleppo nchini Syria akizunguka kutembelea kliniki zilizoanzishwa na shirika hilo linalohusika na afya ya uzazi na kuzungumza na kila anayehusika katika kukabiliana na dharura iliyoletwa na matetemeko ya ardhi.Bi. Baker anasema ni vigumu sana kwake kueleza kwa sentensi moja au kuchora taswira ya madhila waliyomo wananchi wa Syria kwani madhara si katika miundombinu pekee bali pia kimwili kwani watu hawa kwa takriban muongo mmoja wamekuwa wakihaha kutokana na nchi hiyo kuwa na mizozo na vita.“Kuna majengo ambayo yameanguka, mtaa mzima umebomolewa, lakini kubwa zaidi ni muunganiko wa uchovu mwingi wa watu hawa ambao wamekuwa wakipigania uwepo wao, na sasa wanahisi kwamba wakati huo huo wanaanza kurudi katika matumaini wakiona mwanga mwisho wa handani ukiangaza kuwapa matumaini, janga la asili linatokea. Tetemeko hili kubwa la ardhi limevunja matumaini yao, kama jinsi majengo yalivyobomoka wakati wa tetemeko lenyewe.”Lakini wanawake na wasichana aliokutana nao ni nini hasa wanataka?“Nitakuambia kile hasa nilichowauliza wanawake kila mahali nilipoenda. Nikawaambia, kama ningeweza kuiambia jumuiya ya kimataifa jambo moja, ungeniomba niwaambie nini? Na bila kukosea, katika kila kundi la wanawake, hata awe mtu binafsi au kikundi, ujumbe wao ulikuwa sawa. Imetosha. Tumechoka, na tunachotaka ni upatanisho. Tunataka amani. Na tunatumaini katika wakati huu wa giza nene, itakuwa wakati ambapo mioyo na akili za kila mtu ziko wazi kuwa kuna uwezekano wa amani.”Wengi wa wakimbizi wa ndani nchini Syria ni wanawake na wasichana hivyo hata kabla ya tetemeko la ardhi kulikuwa na mipango kadhaa iliyokuwa ikisimamiwa na UNFPA kwa kushirikiana na wadau wengine ili kusaidia utoaji wa huduma za afya ya uzazi na kukabiliana na unyanyasaji wakijinsia. Na sasa shirika hilo limelazimika kupanua wigo wa huduma zao kwani watu wengi kwa sasa wameweka kuweka makazi ya muda, katika misikiti, shule na bustani ambazo UNFPA imeeleza maeneo hayana vifaa kwa ajili ya wakazi wa kibinadamu kwani wanakosa maji, hawana usafi mzuri wa mazingira, umeme, na nchi hiyo kwas asa ipo katika msimu wa baridi.Nikutokana na hali hiyo ndio maana Bi.Baker amesema UNFPA imetoa ombi la usaidizi ambapo “kwa Uturuki, ni milioni 19.7. Na kwa Syria ni zaidi ya milioni 24.”Mbali na fedha hizo kutumika kwa ajili ya wanawake na wasichana ya nchi hizo mbili lakini pia zitatumika kwa ajili ya wafanyakazi wa UNFPA.“Tutaimarisha watu wetu na uratibu wetu wa kutoa misaada mashinani kwa sababu tuna wajibu wa kuwatunza watoa huduma wetu pia. Naomba usisahau kwamba hawa ni watu ambao, wao wenyewe wamepatwa na kiwewe, na bado wanafanya kazi bila kuchoka usiku kucha. Tuna wafanyakazi ambao wamelala kwenye magari yao kwa siku nane, wakizunguka tu kutoka sehemu moja hadi nyingine baada ya kumaliza kazi na pia kujitolea muda wao. Tunaimani kuwa hiyo itakuwa hatua inayofuata ya kile tunachotowa.”Mkuu huyo wa UNFPA katika kanda ya nchi za kiarabu alihitimisha mahojiano yake kwa kueleza pamoja changamoto lakini pia kuna habari njema na zakutia moyo ikiwemo wakina mama kuweza kuunganishwa na watoto pamoja na wajukuu zao ambao walipoteana baada ya kutokea kwa tetemeko.
Joining Whitney this week is Mbali Maseko, Head of Well Being at Sasol South Africa, a global chemical and energy company. Mbali has a Masters in Public Health, a Masters in Business Administration and an Honors degree in Dietetics, attained through grit, hard work, and the support and sacrifice of her family.
Katika kusaidia jamii hususan za vijijini kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO nchini Somalia linatekeleza mradi wa kisasa wa kuvuna na kuhifadhi maji ili kuweza kuwasaidia wananchi wa vijiji vitatu ambao wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.wakulima na wafugaliKatika kusaidia jamii hususan za vijijini kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO nchini Somalia linatekeleza mradi wa kisasa wa kuvuna na kuhifadhi maji ili uweza kuwasaidia wananchi wa vijiji vitatu ambao wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.Wakulima na wafugaji wa maeneo ya Qardho, Puntland na Xabaale huko Somaliland kwa miaka mingi walikuwa wakitegemea maji kutoka visimaji ili kuweza kuendeleza shughuli za kilimo na ufugaji lakini gharama kubwa za kuvuta maji kisimani kwakutumia jenereta ziliwawia vigumu kuendesha shughuli zao za kuwapatia kipato hususan wakati wa kiangazi.Ni kutokana na changamoto hiyo, FAO nchini Somalia chini ya ufadhili wa Muungano wa Ulaya ikaanzisha programu ya usimamizi wa maji na ardhi ijulikanayo kama SWALIM- yani Somalia Water and Land Management ambapo kwa kushirikiana na viongozi wa maeneo hayo matatu, watunga será na wadau wa taasisi nyingine wakaanzisha mradi wa kuvuna maji ya mvua na kuyahifadhi katika mabwawa madogo yaliyochimba pamoja na matanki ya maji na ili kupunguza gharama, utuaji wa maji hayo sasa utafanyika kwa nishati ya jua, yani umeme wa Sola. FAO pia imetoa mafunzo ya ukulima bora unaozingatia mabadiliko ya tabianchi na matumizi bora ya maji kwa wana jamii na kisha kutoa vifaa vya umwagiliaji kwa kaya 4700 ambazo sasa zipo tayari kuboresha maisha yao kama anavyoeleza Nasma Baadri Aw Mohamed, mkulima huko XabaaleNasma Baadri Aw Mohamed- Mkulima wa Xabaale anasema, “Tunasubiria kwa hamu mradi huo wa kuvuna maji ukamilike. Tutaweza kumwagilia mashamba yetu, kupanda mboga za majani katika mashamba yetu na pia maji yakiwa yanapatikana katika maeneo yetu mifugo yetu itapata maji ya kutosha, kitu ambacho walikuwa wanakosa hapo awali”Mbali na kuwawezesha wananchi, Afisa rasiliamli ardhi wa FAO Ali Ismail Ibrahim anasema Ali Ismail Ibrahim, Afisa rasiliamli ardhi wa FAO anasema, “Malengo ya mradi huu ni kuwajengea uwezo watendaji wa serikali kwenye maeneo ya ardhi na maji na pia tumeanzisha kituo cha usimamizi wa taarifa”Tayari vituo viwili vimeanzishwa huko Puntland na Somaliland na vina wafanyakazi wa kujitolea waliopewa mafunzo na FAO ili kusaidia usimamizi bora wa rasilimali za ardhi na maji.Mkurugenzi wa kituo cha Puntland Abdinur Ali Jama anasema …Abdinur Ali Jama, Mkurugenzi wa kituo cha Puntland anasema, “Kituoni hapa tunatoa taarifa zihusianazo na utabiri wa mvua, ukame na usimamiz wa taarifa za ukame katika eneo hili“.
Janga la COVID 19 lilipotangazwa mwaka 2019 lilizua taharuki kila kona ya dunia lakini changamoto zilizoletwa na janga hilo zilikuwa fursa kwa vijana nchini Zimbabwe ambao walikuja na wazo la shule mtandaoni na Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo duniani, UNDP likawapatia fedha ili watekeleze wazo na kuwanufaisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari. Tuungane na Evarist Mapesa wa Radio Washirika SAUT FM ya Mwanza Tanzania kwa ufafanuzi zaidi.Ni Kudakwashe Mlambo, mwazilishi wa Kampuni ya Digital kiota, kampuni ambayo miongoni mwa kazi zake wana jukwaa liitwalo cheza na ujifunze ambayo anasema“Kimsingi ni jukwaa, la kujifunza mtandaoni ambalo lina maudhui ya video yaliyorekodiwa awali na yanafuata muongozi wa mtaala wa Zimbabwe kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari.” Anasema katika jukwaa hilo wana walimu ambao wanarekodi masomo na pembeni ya video ya mwalimu kunakuwa na picha au michoro inayoonesha kile mwalimu anachofundisha ili kujenga uelewa zaidi.Mlambo anasema wazo la jukwaa hili alilipata akiwa chuoni wakati wakijadiliana na wenzake lakini hakuwa na uwezo wakifedha wala kiufundi wa kulitekeleza kwa wakati huo lakini baada ya kusikia tangazo la UNDP kuwa wanatafuta mawazo mapya katika kipindi cha COVID19 ndio wakaona wazo lao litasaidia mamilioni ya wanafunzi ambao walikuwa majumbani na kuamua kuliwasilisha ambapo waliibuka nafasi ya pili.“Fedha tulizoshinda katika mashindano ya Youth connekt tulinunulia vifaa, tuna camera, taa, sehemu ya kuwekea vipindi vyote tunavyozalisha na pia kompyuta tunazozitumia katika uzalishaji wa vipindi. “Vijana hao hawana utaalamu wa kuendesha biashara UNDP imehakikisha wanapata mafunzo hayo pia“Pia tumepata mafunzo ya kina ya ujasiriamali na tumejifunza kuhusu masoko na kuendesha biashara kwasababu wengi wetu ni wajasiriamali kwa mara ya kwanza kwahiyo tunajifunza sana kadri tunavyoendelea kufanya kazi, madarasa ya kujifunza tunayoshiriki yamekuwa na manufaa sana kwetu.”Mbali na jukaa hilo la cheza na jifunze au kwa kiingereza Playandlearn wameweza kutumia elimu ya ujasiriamali waliyopata katika kuanzisha biashara ya kupiga picha na video na kujipatia kipato cha Zaida kwakutumia vifaa vilevile walivyonunua kwa fedha walizopatiwa na UNDP.
Shirika la fedha duniani IMF kupitia taarifa yake kuhusu mapato ya serikali na maendeleo ya kifedha iliyotolewa leo limeonya kwamba uchumi wa dunia unazorota wakati huu ambapo mazingira ya kifedha kote duniani yanaendelea kuwa magumu. Taarifa zaidi inasomwa na Happiness Palangyo wa redio washirika Uhai FM ya Mkoani Tabora Tanzania. (TAARIFA YA HAPPINESS PALANGYO) Akizungumzia hali hiyo mkutrugenzi wa idara ya masuala ya mapato ya serikali na fedha wa IMF mjini Washington DC Victor Gaspar amesema kushuka kwa kasi kwa uchumi kunaweza kuzidisha ubadilishanaji kati ya vipaumbele shindani vya usimamizi wa mahitaji, uimarishaji wa madeni, ulinzi wa watu walio katika mazingira magumu, na uwekezaji kwa siku zijazo. Ameongeza kuwa "Mkurugenzi mkuu ameeleza kwamba tunaishi katika ulimwengu dhaifu na wenye mshtuko. Taarifa ya mapato ya serikali inachunguza kwa kina jinsi sera za fedha zinavyoweza kuchangia katika jamii zenye mnepo ambapo watu wanaweza kurudi kujikwamua tena.” Taarifa hiyo imeendelea kusema kwamba deni la serikali la kimataifa linakadiriwa kuwa asilimia 91 ya pato la taifa mwaka 2022, ambayo ni asilimia 7½ juu ya viwango vya kabla ya janga la COVID-19, licha ya kupungua kwa uwiano wa hivi karibuni kwa nchi nyingi. Imeongeza kuwa madeni yalipungua kwa sababu ya kupunguza pengo lililokuwepo, kuimarika kwa uchumi, na majanga ya mfumuko wa bei. Bwana Victor akaenda mbali zaidi na kuweka bayana kwamba “Hatari kubwa inayosisitizwa katika taarifa hiyo ya mapato ya serikali ni madeni. Maendeleo ya hivi karibuni ya soko yanaonyesha kuongezeka kwa unyeti hadi kwa msingi dhaifu au kuzorota kwa misingi ambayo inaongeza hali ya mara kwa mara ya mizozo au kusambaa kwa matatizo yakifedha.” Mkurugenzi huyo amesisitiza kwamba kufafanua mfumo thabiti wa sera za muda wa kati kwa ulimwengu wa baada ya janga la COVID-19 ni muhimu. Pia amesema kutegemea mshangao wa mfumuko wa bei unaorudiwa ili kupunguza deni la umma sio mkakati mzuri na itasababisha shinikizo la matumizi kwa mfano, mishahara na gharama ya huduma. Mbali ya hayo amesema kupunguza pengo kama vile masoko mengi ya juu na yanayoibukia kunatarajiwa kuleta mabadiliko, na ni muhimu ili kusaidia kukabiliana na mfumuko wa bei na kushughulikia udhaifu wa madeni. "Taarifa ya ufuatiliaji wa mapato ya serikali inapendekeza utozwaji wa kodi kwa msingi wa haki. Mifumo dhabiti na mipana ya hifadhi ya jamii, kujenga akiba ya fedha, na kurejea kwa sheria za fedha,”
Vijana wengi wenye asili ya Afrika, wame zaliwa naku kuwia katika mazingira yakidini, ila baadhi yao wanapo fika Australia. ndivyo wanavyo iacha dini hiyo nakujitenga na jamii zao.
Takriban asilimia 60 ya nchi za kipato cha chini barani Afrika hivi sasa ziko kwenye mzigo wa madeni, shinikizo kubwa au katika hatari ya kuingia kwenye madeni huku mamilioni ya Waafrika wakitumbukia tena kwenye umasikini wakati huu wakiwa kwenye hatari kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula, imeonya ripoti mpya ya biashara na maendeleo kwa mwaka 2022 iliyotolewa leo na kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD. Flora Nducha na taarifa kamili Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyotolewa mjini Geneva Uswis kiwango cha ukuaji uchumi cha Afrika kimeshuka na mwaka huu wa 2022 kinatarajiwa kukua kwa asilimia 2.7 huku 2023 kikikuwa wa asilimia 2.4 ukiulinganisha na ukuaji wa asilimia 5.1 uliokuwa mwaka 2021. Na matokeo yake watu wengine milioni 58 barani Afrika watalazimia kutumbukia kwenye umasikini uliokithiri mwaka huu na kujiunga na wengine milioni 55 ambao tayari wako kwenye ufukara. Katibu Mkuu wa UNCTAD Rebeca Grynspan amesema”Kuzorota huku kwa uchumi kunasababisha mkwamo wa kufikia agenda ya 2030 ya maendeleo endelevu. Na madeni yanazikabili sekta zote Afrika kuanzia za umma na sekta binafsi.” Mbali ya mzigo wa madeni ripoti hiyo ya UNCTAD inasema zaidi ya asilimia 60 ya nchi za Afrika zinahitaji msaada wa chakula kutoka nje wakati huu njaa ikisambaa haraka kwenye bara hilo. Imeongeza kuwa kudorora huko kwa uchumi kunaleta changamoto zingine lukuki ikiwemo ongezeko kubwa la bei za mafuta na chakula, shinikizo katika sera za fedha kwa nchi zilizoendelea na hatari kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula katika maeneo mengi ya kanda hiyo. Katika nchi tatu za Africa ambazo uchumi wake ndio unashikilia asilimia 60 ya pato la bara hilo Nigeria, Misri na Afrika Kusini ripoti inasema ukuaji wa uchumi umeshuka ikilinganishwa na mwaka 2021. Kwingineko kwa mujibu wa ripoti " Shirika la fedha duniani IMF na Benki ya Dunia wameingilia kati kwa programu maalum kuzisaidia nchi 16 za kipato cha chini Afrika zilizo na mzigo mkubwa wa madeni na zilizo katika hatari ya mzigo huo ili kupunguza mzingo huo zikiwemo Zambia, Ghana na Tunisia. " Wakati huohuo shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO limekadiria kuwa nchini 33 za Afrika zinahitaji msaada wa chakula toka nje wakati hali ya kutokuwa na uhakika wa chakula ikitarajiwa kuwa mbaya zaidi katika miezi 18 ijayo katika nchi hizo. “Kupanda kwa bei ya mbolea kwa sababu ya vita inayoendelea Ukraine kunatishia kupunguza uzalishakji wa chakula na kuongeza mgogoro wa chakula duniani huku wakulima wadogo wakiwa ndio waathirika zaidi. Hali ni mbaya zaidi hususan Mashariki na Magharibi mwa Afrika kutokana na uzalishaji mdogo wa kilimo , ukame, na migogoro”. Amesema Rebeca Grynspan.
Our guest this week is Mbali Macu, one of just 9 black women with an ATPL in South Africa out of roughly 2000 holders. She shares with us about her love of aviation, how she became a pilot, her current role in aviation industry oversight and of course - her love for Lewis Hamilton and F1. Mbali is funny, insightful, and gave a full and rich picture of her experience as a black woman pilot whilst providing us with inspiration for the future. We also preview the upcoming Singapore Grand Prix and laugh at Wame as she serves a twitter ban. If you enjoy the pod please remember to rate and review us wherever you get your podcasts - this helps us reach more people. You can also interact with us on twitter (@drsopenpod) and instagram (@drsopenpodcast.)
Thabo Mdluli is hanging out with former Democratic Alliance KZN member of the provincial legislature. Where she shares her journey in politics and also her childhood background.See omnystudio.com/listener for privacy information.
Episode 41: Mbali Z. Ndlovu is the founder of Lukafit, an empowering activewear brand designed with curves in mind. Lukafit's mission is to celebrate women of all shapes, sizes, and shades along their health and wellness journeys. In this episode, Mbali discusses: How her own health and wellness journey led her to create an activewear brand The importance of community both in business and life Her advice for entrepreneurs on staying mentally sound What sets her small business apart from others on the market If you enjoyed this episode, please subscribe/follow the show and leave a rating and review on Apple Podcasts and Spotify. Thank you!
Hatimaye makubaliano ya kuruhusu meli zilizojaa shehena za nafaka kutoka nchini Ukraine zipite kwenye baharí nyeusi yamefikiwa hii leo huko Instanbul Uturuki baina ya Ukraine na Urusi yakishuhudiwa na katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye amesema makubaliano hayo yameleta nuru kwa ulimwengu kupata ahueni kwenye be iza mazao ya chakula katika soko la kimataifa. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi Makubaliano haya ni nuru,nuru ya matumaini, nuru ya unafuu ambao ulimwengu unahitaji kuliko zaidi hivi sasa kuliko hapo awali. Napenda kuwatambua na kuwashukuru wote waliohusika mpaka kufanikisha hatua hii. Ndivyo alivyoanza hotuba yake Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres huko Instanbul Uturuki baada ya kushuhudia utiaji saini baina ya Ukraine na Urusi kuruhusu meli zenye shehena ya mazao na nafaka zilizokuwa zimekwama katika mandari za Odessa, Chernomorsk na Yuzhny huko bahari nyeusi upande wa Ukraine. Guterres amesema bila shaka haya ni makubaliano ya ulimwengu “Yataleta ahueni kwa nchi zinazoendelea ambazo zipo kwenye makali ya kufilisika na watu walio hatarini zaidi wanaokabiliwa na njaa Kali. Na yatasaidia kuleta utulivu wa bei za vyakula duiani ambazo tayari zilikuwa katika viwango vya rekodi mbaya hata kabla ya vita. Hili lilikuwa jinamizi la kweli kwa nchi zinazoendelea.” Mbali na kuzishukuru nchi hizo mbili, Guterres amemshukuru Rais wa Uturuki Recep Erdogan kwa kuwa mwenyeji wa makubaliano hayo ambaye pia nchi yake itakuwa na jukumu muhimu la kushirikiana na Umoja wa Mataifa katika kufanya ukaguzi wa meli hizo za Ukraine ili zisibebe silaha za magendo wakati wa usafirishaji wa nafaka kwenda na zinaporejea kutoka katika soko la kimataifa. Mashirika mengine ya UN yaliyohusika na mchakato huo ni lile la Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya kibinadamu OCHA na Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kibiashara na maendeleo UNCTAD. “Nipo hapa kuweka ahadi kamili kuwa Umoja wa Mataifa tutabakia kuwa wahusika wa karibu katika kufanyia kazi na kuhakikisha kuna mafanikio ya makubaliano haya. Tutaendelea kuongeza juhudi ili kuhakikisha UN iko katika nafasi nzuri ya kutekeleza ahadi zake. Ninavishukuru vikosi kazi vyote viwili vya Umoja wa Mataifa ambavyo vimetengeneza mkataba huu sawia, kwa uratibu thabiti.” Wakati huo huo Katibu Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa ametangaza kikosi kazi cha kuwezesha utekelezaji wa mpango wa baharí nyeusi kikiongozwa ma Katibu Mkuu wa UNCTAD Rebecca Grynspan kikijikita katika kuwezesha upatikanaji usiozuiliwa wa chakula na mbolea zinazotoka nchini Urusi kwenda kwenye soko la kimataifa ikiwa pia ni utekelezaji wa moja ya vifungu vya makubaliano wa mkataba huo uliosainiwa hii leo. “Nawaomba pande zote zisiache kipengele chochote na juhudi zozote za utelekezaji wa ahadi zao. Hatupaswi pia kuacha juhudi zozote kwa ajili ya amani, haya ni makubaliano ambayo hayajawahi kutokea kati ya pande mbili zinazohusika katika mzozo wa umwagaji damu” Katibu Mkuu Guterres alihitimisha hotuba yake kwakusema nuru ya matumaini imeng'aa katika baharí nyeusi ni matokeo chanya ya kuhudi za pamoja za washirika wengi na kuhimiza katika nyakati za misukosuko ya dunia, nuru hii itaangaza njia ya kuelekea katika kupunguza mateso yanayowasibu wanadamu na kupatikana kwa amani.
Wadau wa kimataifa wa misaada ya kibinadmu yakiwemo mashirika ya Umoja wa Mataifa wanajiandaa kusaidia maelfu ya familia zilizoathirika zaidi na tetemeko kubwa la ardhi lililokubwa majimbo ya Paktika na Khost nchini Afghanistan mapema leo, mamia ya watu wameripotiwa kufariki dunia, wengi kujerihiwa wengine vibaya sana huku miundombinu ikiharibiwa vibaya. Kwa mujibu wa taarifa ya OCHA iliyotolewa mjini Geneva Uswis tetemeko hilo lililotokea usiku wa manane kuamkila leo kwa saa za Afghanistan lilikuwa na ukubwa wa vipimo vya richter 5.9 na lilitikisa pia maeneo mengine ikiwa ni Pamoja na mji mkuu Kabul, Islamabad Pakistan na India. Juhudi za misaada limesema shirika hilo zinaijumuisha pia ofisi ya Afghanistan ya masuala ya kibinadamu na kudhibiti majanga ANDMA. Wilaya nyingi za majimbo hayo mawili zimeathirika sana ikiwemo Bermal, Zerok, Nika na Gayan jimboni Paktika na Spera jimboni Khost. Wilaya ya Gayan Paktika ndio iliyoathirika Zaidi ambako hadi sasa kumeripotiwa watu zaidi ya 200 wamekuwa na idadi ikitarajiwa kuongezeka , wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa wengi vibaya sana. OCHA inasema idadi kamili ya waliokufa au kujeruhiwa haijapatikana lakini inatarajiwa kubwa kubwa zaidi. Mbali ya barambara na miundombinu mingine pia nyumba zaidi ya 1800 zimeripotiwa kubomoka katika wilaya ya Gayan ikiwa ni asilimia 70 ya nyumba zote. Shirika hilo la Umoja wa Mataifa linasema shughuli za uokozi zinaendelea. Shehena ya tani 9.8 za vifaa vya matibabu vikielekezwa kwenye meaneo yaliyoathiriwa na tetemeko la ardhi lililokumba Afghanistan alfajiri ya tarehe 22 Juni 2022. Vifaa ni pamoja na dawa na vifaa vya upasuaji. Kwa upande wake shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limetuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopotelewa na wapendwa wao na kuwatakia ahuweni ya haraka majeruhi. Pia limesema serikali ya Taliban imeomba msaada kwa UNICEF na mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa ambayo yanajiunga na juhudi za taifa hilo na wadau wengine kutathimini hali na kuchukua hatiu za kukidhi mahitaji ya dharura ya jamii zilizoathirika. UNICEF imeshatuma timu zinazozunguka za afya na lishe ili kwenda kutoa huduma ya kwanza kwa majeruhi.
Katika kuelekea siku ya bahari duniani ambayo kila mwaka huadhimishwa Juni 8 tutakuletea sauti za watu mbalimbali wakizungumzia kwa nini bahari ni muhimu kwao. Maudhui ya mwaka huu ya siku ya bahari ni “kuhuisha hatua ya pamoja kwa ajili ya bahari” ikichagiza serikali, mashirika, asasi za kiraia na wadau wote kuchukua hatua ili kuilinda bahari na rasilimali zake kwa faida ya kizazi cha sasa na vijavyo . Na katika kusisitiza umuhimu huo wa bahari leo tunaanzia Kenya kaunti ya Samburu kwa mwananchi Bernadatte Loloju akieleza kwa nini bahari ni muhimu kwake na kwa Wakenya wote “Bahari kwangu inamaanisha uhai , kwasababu ya nini ninasema uhai, kwa sababu uhai wa samaki na vitu vyote Mungu alivyoumba ambavyo viko chini ya maji vinahitaji kulindwa na kuhakikishwa viko chini ya bahari, kwa hivyo vinaletea uhai wanyama na binadamu. Na sisi tukiwa wakenya na mimi nikiwa mkaazi wa Samburu na mkaazi wa Nairobi naweza kupata vitu vingi kupitia baharini, kwa sababu meli zinakuja na zinatuletea vitu vingi sana.” Mbali ya biashara kubwa ambayo inawasaidia Wakenya wengi kupitia bahaii Bernadatte anasema bahari pia ni kivutio cha sekta ya utalii wa nje na hata ndani ya nchi ambao naye ni mteja mkubwa “Kwa hivyo mimi nafurahia bahari kabisa na wakati naenda Mombasa ninaogelea ninafurahia kuonna viumbe wa baharini na hivyo ndio maana nasema tuweze kuhakikisha bahari zetu zinashughulikiwa na hazijaharibiwa kwa sababu ni uhai.”
Operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa zinajumuisha masuala mbalimbali zaidi ya kubeba silaha kukabili waasi na kupiga doria ya kuwalinda raia na mali zao. Tukielekea siku ya ulinzi wa amani duniani itakayoadhimishwa Mei 29 tunazungumza na walinda amani mbalimbali wakitueleza majukumu yao katikia operesheni za Umoja wa Mataifa, na leo tuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwenye kikosi maalum cha kujibu mashambulizi FIB kilicho chini ya mwamvuli wa mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO kuzungumza na baadhi ya walinda amani wakieleza majukumu yao mengine mbali ya kulinda raia, wasikilize
Serikali ya shirikisho inatarajiwa kuwa na sura tofauti, baada ya wagombea mbali mbali kushinda katika uchaguzi mkuu.
Now former Democratic Alliance politician and leader Mbali Ntuli explained in detail her reasons for exiting both the party and the political stage. On Eusebius on TimesLIVE, which we also cross-post here on In The Ring, she painted a picture of a political culture that had taken root within the DA that is factionalist in nature, leading to the "weaponising" of party structures and processes, including disciplinary processes, for factional ends. While describing herself as being "emotional" about her shock announcement today, she intimated that plenty of thought and planning had gone into the decision. Another reason for her decision to quit the DA was a general feeling of despair that South Africa's party political system is not delivering justice and equity for communities across the country. This, she shared with me, made her re-examine whether she herself is sufficiently grounded still within communities, despite being part of representative political structures and systems. She was alluding to a crisis within politics generally, and felt that pivoting towards community-based work in the immediate future, as she intends to do, is important for re-connecting with ordinary South Africans across the country. While not undermining the work of legislative bodies, she argues that it is "easy" to do committee work, for example, and to be disconnected from communities. She intends, however, to return to politics in the future because it is "in the blood" but has NO plans of presently joining another political vehicle. Have a listen to our full conversation
I decided to hang out with Democratic Alliance leader and politician Mbali Ntuli. We challenged ourselves to not speak party politics, and what unfolded was a beautiful conversation about the myriad quandaries of parenting (she is a mom to a little daughter and also currently pregnant), illness and mental health (she speaks openly about some severe existential challenges), the upsides and downsides of public life, and so much more.Enjoy and remember to SUBSCRIBE to In The Ring With Eusebius McKaiser before leaving.