Podcasts about chuo kikuu

  • 12PODCASTS
  • 165EPISODES
  • 26mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • May 21, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about chuo kikuu

Latest podcast episodes about chuo kikuu

Radio Maria Tanzania
Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 21, 2025 47:02


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume L'articolo Ni, namna gani Hekima sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu sifa za Mwanaume?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 54:31


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, wafahamu sifa za Mwanaume? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 15, 2025 48:45


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Sifa za Mwanaume. L'articolo Je, ni sifa zipi ambazo mwanaume anapaswa kuwa nazo? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 48:39


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), akizungumzia mchakato wa kumpata Papa mpya. L'articolo Fahamu mchakato wa kumpata Papa mpya. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 57:57


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, akiendelea kutufundisha juu sifa 15 za akina mama na leo akifafanua kwa undani sifa ya 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama katika Familia. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 54:21


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu. L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu sifa za akina mama katika Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 56:43


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa za akina mama akijikita zaidi katika sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Je, unafahamu sifa za akina mama katika Familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu sifa 15 za akina mama.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 51:58


Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kutufundisha juu ya sifa 15 za akina mama akielezea sifa namba 13, 14 na 15. L'articolo Fahamu sifa 15 za akina mama. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:21


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Ni kwa namna gani maneno ya Yesu yanavyotufundisha kwamba maadui wa mtu wanaweza kuwa watu proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu sifa ya Mwanamke.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:21


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya  Mwananke. L'articolo Ifahamu sifa ya Mwanamke. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 57:22


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya Sifa ya kumi na tano zaWanawake. L'articolo Hizo ndizo sifa za Mwanamke katika Jamii. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
METHALI: NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 1:06


Karibu kujifunza Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani na anafafanua methali Ndoto njema haihadithiwi.

Radio Maria Tanzania
Mwanamke na msichana wanatofautianaje?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 20, 2025 49:36


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Mwanamke na msichana wanatofautianaje? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni vigezo gani vinavyotumika kutofautisha kati ya mwanamke na msichana?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 20, 2025 56:43


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Ni vigezo gani vinavyotumika kutofautisha kati ya mwanamke na msichana? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu utofauti kati ya Mwanamke na Wasichana

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 55:46


Karibu uungane nami Martin Joseph katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha juu ya utofauti ya Mwananke na Wasichana. L'articolo Fahamu utofauti kati ya Mwanamke na Wasichana proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu uthibitisho wa Wito ndani ya Jubilei kuu 2025.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 11, 2025 59:38


Karibu uungane nami Mtangazajia wako Martin Joseph Katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, anazungumzia juu  ya Jubilei Kuu 2025 na  Wito Wako. L'articolo Fahamu uthibitisho wa Wito ndani ya Jubilei kuu 2025. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "Mchawi akifichua mirimo ya wachawi huuawa"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 6, 2025 1:13


Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.

Habari za UN
06 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 6, 2025 10:36


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo Umoja wa Mataifa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa Pamoja wa Kigoma, KJP nchini Tanzania, unaolenga kuhakikisha wanawake na wasichana wanajumuishwa kwenye mipango ya kuhimili na kukabili mabadiliko ya tabianchi, kwa kuwajengea uwezo.Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Ripoti nyingine ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa leo ikiangazia Sudan imefichua vitendo vya watu kukamatwa kiholela, mateso, na unyanyasaji huko Khartoum vinavyotekelezwa na Vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) na pia Jeshi la Serikali ya Sudan (SAF). Ripoti hiyo imearifu pia kuwa makumi ya maelfu ya watu wamewekwa katika mazingira duni tangu Aprili 2023.Kutokana na kupungua kwa ufadhili wa misaada ya kibinadamu duniani, Umoja wa Mataifa leo jijini Geneva, Uswisi kutenga dola milioni 110 ili kusaidia majanga yaliyopuuzwa katika nchi 10 barani Afrika, Asia, na Amerika Kusini, zikiwemo Niger, Somalia, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Zambia.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Radio Maria Tanzania
Fahamu uhusiano wa Jubilei Kuu 2025 na Wito wa kufikia Utakatifu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 53:17


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, akizungumzia juu ya Jubilei Kuu 2025 na wito wa kufikia Utakatifu. L'articolo Fahamu uhusiano wa Jubilei Kuu 2025 na Wito wa kufikia Utakatifu. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “Fahari isiyo pari haina heri"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 1:14


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.

Habari za UN
27 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 11:04


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayokupeleka nchini DRC ambako leo tunamulika mmoja wa raia aliyerejea makazi yake huko Sake, nje kidogo ya mji wa Goma, jimboni Kivu Kaskazini baada ya waasi wa M23 kutangaza kuwa wakimbizi wote wa ndani lazima warejee vijijini kwao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa methali.Ikiwa ni mwezi mmoja sasa tangu waasi wa M23 watwae mji wa Goma jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na kuendelea kutwaa miji mingine huku mamia ya maelfu ya watu wakifurushwa makwao, hii leo mashirika ya Kibinadamu nchini humo yametoa ombi la dola bilioni 2.54 ili kusaidia watu milioni 11 walioathiriwa vibaya na mzozo unaoendelea.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO Dkt. Tedros Ghebreysus ametangaza kuwa ugonjwa wa mpox bado ni tishio la afya ya umma duniani na hivyo nchi lazima ziendelee kuwa makini katika ufuatiliaji, uchunguzi, kinga na matibabu.Na kuelekea Mkutano wa viongozi kuhusu Mifumo ya uzalishaji chakula mwezi Julai mwaka huu huko Addis Ababa, Ethiopia, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed amezungumza hivi karibuni akiwa Nairobi, Kenya kwenye kikao cha maandalizi ambako alitembelea jiko la Giga, mpango wa Chakula kwa ajili ya Elimu, unaoendeshwa na Wawira Njiru, mshindi wa tuzo ya Mtu Maarufu Kenya mwaka 2021.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “FAHARI ISIYO PARI HAINA HERI.”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Radio Maria Tanzania
Adui yetu ni nani kulingana na Bibilia Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 53:38


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Adui yetu ni nani kulingana na Bibilia Takatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu maadui wa mtu ndani ya Kanisa Katoliki?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 26, 2025 53:52


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akitufundisha Maadui wa mtu. L'articolo Fahamu maadui wa mtu ndani ya Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni, kwa namna gani unaweza kutambua Wito wako katika Mwaka wa Jubilei?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 52:28


Karibu uungane nami Mtangazaji  wako Martin Joseph Katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, anazungumzia juu  ya Jubilei Kuu 2025 na  Wito Wako. L'articolo Ni, kwa namna gani unaweza kutambua Wito wako katika Mwaka wa Jubilei? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Zifahamu sifa Kumi na Tano za Wanawake.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 41:53


Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo sifa za kumi na tano za Wanawake yaani akina mama. L'articolo Zifahamu sifa Kumi na Tano za Wanawake. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu namna ya kujitambua mwenyewe katika Maisha?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 19, 2025 42:31


Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo anaeleza juu ya Mtu kujijua Mwenyewe. L'articolo Je, unafahamu namna ya kujitambua mwenyewe katika Maisha? proviene da Radio Maria.

biblia maisha mtu radio maria katika ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Kivipi Mkristo unaweza kupata uzima wa milele?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 18, 2025 48:13


Ungana nami Elizabeth Masanja katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino  SAUT  Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya  hali ya kupata uzima wa milele.   L'articolo Kivipi Mkristo unaweza kupata uzima wa milele? proviene da Radio Maria.

biblia radio maria unaweza ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu njia za kumtangaza mtu kufikia Utakatifu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 56:41


Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo anaeleza juu ya L'articolo Fahamu njia za kumtangaza mtu kufikia Utakatifu proviene da Radio Maria.

biblia radio maria njia fahamu ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Je, kuna uhusiano wa jubilei kuu 2025 na kufahamu wito wako?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 11, 2025 57:04


Karibu uungane nami Mtangazajia wako Martin Joseph Katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, anazungumzia juu  ya Jubilei Kuu 2025 na  Wito Wako. L'articolo Je, kuna uhusiano wa jubilei kuu 2025 na kufahamu wito wako? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 1:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.

Habari za UN
06 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 11:42


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwakina inayotupeleka Havan Cuba ambapo mmoja wa walumbi wa lugha ya Kiswahili Jorum Nkumbi, ambaye pia ni mwandishi wa vitabu anayetumia sanaa ya uandishi wa vitabu kuitangaza lugha mama yake ya Kiswahili amezindua kitabu kipya hivi karibuni wakati wa kongamano la kimataifa la Kiswahili. Mengine tuliyokuandalia ni kama yafuatayo.Yerusalem Mashariki eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli ambako Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA, Tom Fletcher yuko ziarani na amepata shuhuda halisi za wanaokabiliwa na kufurushwa makwao. Mmoja wao ni Um Nasser ar Rajabi ambaye amemweleza kuwa Nimekuwa kwenye ndoa katika nyumba hii kwa miaka 50.Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamelezea wasiwasi wao mkubwa kuhusu mahitaji ya dharura ya ulinzi na mazingira magumu yanayokabili raia kwenye eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC lenye utajiri mkubwa wa madini, wakati huu uhasama ulioshika kasi tangu mwezi uliopita kati ya jeshi la serikali na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda umesababisha vifo vya watu 900, majeruhi zaidi ya 2000 na kufurusha watu 700,000 mjini Goma. Wametaka pande kinzani zizingatie sheria ya kimatiafa ya kibinadamu na zilinde raia wote.Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Hakimiliki, WIPO hii leo limetoa ripoti mpya kuhusu mustakabali wa usafirishaji wa watu na bidhaa duniani ikimulika teksi za angani, magari yasiyokuwa na dereva pamoja na maroketi yanayoweza kutumika ten ana tena tofauti na sasa, likisema ndio majawabu ambayo wabunifu na wagunduzi wanahaha duniani kote ili kupunguza usafirishaji unaochafua mazingira.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo yatayowakuta Wanadamu mwisho wa maisha yao.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 47:17


Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo anaendelea kutuelezea juu ya mambo ya mwisho katika maisha ya Mwanadamu. L'articolo Fahamu mambo yatayowakuta Wanadamu mwisho wa maisha yao. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu mambo ya mwisho katika maisha ya Mwanadamu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 4, 2025 51:37


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino(SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, anaendelea kutufundisha juu ya mambo ya mwisho katika maisha ya Mwanadamu. L'articolo Je, wafahamu mambo ya mwisho katika maisha ya Mwanadamu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo yatayowapata Wanadamu siku za mwisho ya maisha yao.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 54:29


Karibu katika kipindi cha ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akizungumzia juu ya mambo yatakayowapata Wanadamu mwisho wa maisha yao. L'articolo Fahamu mambo yatayowapata Wanadamu siku za mwisho ya maisha yao. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu uhusiano wa Jubilei kuu 2025 na Wito wako.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 48:16


Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu Wito Wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi, kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Nelson Mandela, Jimbo Kuu Katoliki Arusha, leo anaendelea kutufundisha juu ya Jubilei kuu 2025, Mahujaji katika matumaini. L'articolo Fahamu uhusiano wa Jubilei kuu 2025 na Wito wako. proviene da Radio Maria.

radio maria wako fahamu ungana chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahama umuhimu wa kukua kiroho kupitia mafundisho mbalimbali.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 51:21


Ungana nami Elizabeth Masanja katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino  SAUT  Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya  Kanuni ya Imani.   L'articolo Fahama umuhimu wa kukua kiroho kupitia mafundisho mbalimbali. proviene da Radio Maria.

biblia saut radio maria umuhimu ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu namna ya kusali Kanuni ya Imani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 21, 2025 53:43


  Ungana nami John Samky katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino  SAUT  Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya  Kanuni ya Imani. L'articolo Je, wafahamu namna ya kusali Kanuni ya Imani? proviene da Radio Maria.

biblia saut radio maria ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu madaraka ya mwisho ya mfamle.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 15, 2025 49:24


  Ungana nami John Samky, katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akituongoza kijufunza Sakramenti ya Upadre ofisi ya mwisho.     L'articolo Fahamu madaraka ya mwisho ya mfamle. proviene da Radio Maria.

biblia radio maria fahamu ungana ujumbe chuo kikuu
VOA Express - Voice of America
Mmoja wa wanafunzi jijini Nairobi anaelezea mgomo wa wahadhiri katika chuo kikuu cha ufundi Kenya (TUK) unavyowapa changamoto wanafunzi hao. - Januari 14, 2025

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 29:59


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu ofisi za Sakramenti Takatifu ya Upadre?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 52:20


Ungana nami John Samky, katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akituongoza kijufunza Sakramenti ya Upadre. L'articolo Je, wafahamu ofisi za Sakramenti Takatifu ya Upadre? proviene da Radio Maria.

biblia radio maria ungana ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Ifahamu Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 54:09


– Karibu uungane nami John Samky katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akielezea Sakrament Takatifu ya Upadre.   L'articolo Ifahamu Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre proviene da Radio Maria.

biblia radio maria karibu ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Ni, kwa namna gani Mtu anajishambulia mwenyewe?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 24, 2024 48:57


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi, katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akielezea Umuhimu wa Sala ya Nasadiki katika maisha ya Mkristo.   L'articolo Ni, kwa namna gani Mtu anajishambulia mwenyewe? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
10 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 10, 2024 11:20


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika malengo ya maendeleo endelevu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwema za Lebanon, afya ya akili na ripoti ya UNICEF kuhusu ukatili wa kingono. Katika kujifunza Kiswahili tunakuletea uchambuzi wa methali.Nchini Lebanon ujumbe wa jeshi la Umoja wa Mataifa la mpito nchini humo, UNIFIL, unasema mapigano kati ya jeshi la Israeli, IDF, na wanamgambo wa Hezbollah kusini mwa Lebanon yamekuwa na madhara kwa ujumbe huo kwani makao yake makuu huko Naqourra na maeneo ya karibu yameshambuliwa mara kwa mara tangu kuanza kwa mapigano kati ya pande hizo mbili.Leo ni siku ya afya ya akili duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake amesisitiza udharura wa kupatia kipaumbele afya ya akili pahala pa kazi.Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linasema zaidi ya wasichana na wanawake milioni 370 walioko hai hii leo, walikumbwa na ukatili wa kingono wakati wa utoto wao, yaani kabla ya kutimiza umri wa miaka 18.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu hii leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 10, 2024 1:01


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu hii leo ni Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.”

Habari za UN
Je wewe ni mmoja wa waathirika wa usugu wa viuavijiumbe maradhi, au Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa, UVIDA?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 6:16


Leo hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kando ya mjadala mkuu wa UNGA79, viongozi wanakutana kwenye Mkutano wa Ngazi ya Juu ukimulika usugu wa viuavijiumbe maradhi, Antimicrobial Resistance, kwa kiswahili ikiitwa pia UVIDA, au Usugu wa Vimelea dhidi ya Dawa. Katika taarifa ya Pamoja iluyotolewa kwenye mkutno huo na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO, la mazingira UNEP, la chakula  na kilimo FAO na shirika la afya ya Wanyama duniani WOAH, usugu wa viua vijiumbe maradhi unahusika moja kwa moja na vifo milioni 1.3 na kuchangia vingine milioni 5 kila mwaka.Unaweza kujiuliza ni nini na kwa nini ni muhimu wakutane? Bosco Cosmas, wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na Profesa Mshiriki wa Vimelea Vya Magonjwa katika Chuo Kikuu cha Sayans iza Afya Bugando, mkoani Mwanza, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.

Habari za UN
19 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2024 10:55


Hii leo jaridani tuankuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Sudan Kusini kufuatilia changamoto za kibinadamu na jinsi ambavyo mashirika ya Umoja wa Mataifa yanavyozitatua. Pi atunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo na ufafanuzi wa methali.Licha ya kuongezeka kwa majanga duniani, kuanzia umaskini hadi dharura ya tabianchi, Umoja wa Mataifa umesalia na azma yake ya kusongesha amani, maendeleo endelevu na kupunguza machungu yanayowapata binadamu, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ripoti yake ya mwaka ya utendaji wa Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo jijini New York, Marekani kabla ya kuanza kwa Mjadala Mkuu wa  mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA79.Shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na Ukimwi, UNAIDS hii leo limetoa ripoti yake huko Geneva, Uswisi ikionesha kuwa mzigo wa madeni unaokabili nchi za Afrika zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara unasababisha zibakie na fedha kidogo kugharimia huduma za afya, pamoja na huduma muhimu zaidi dhidi ya Virusi vya Ukimwi, VVU. Idadi kubwa ya watu wanaoishi na VVU duniani wako eneo hilo lakini mzigo wa madeni unarudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana ya kutokomeza Ukimwi ifikapo 2030.Tukisalia na suala hilo hilo la UKIMWI, UNAIDS inasema vijana wawili wanaoishi na Virusi vya Ukimwi na pia wana ushawishi mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, Ibanomonde Ngema kutoka Afrika Kusini, na Jerop Limo kutoka Kenya, wako njiani kuja New York, Marekani kushiriki UNGA79 na Mkutano wa Zama Zijazo kwa lengo la kusihi viongozi wa dunia kushirikiana na vijana katika kutokomeza Ukimwi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia.”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2024 1:12


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia.”

Habari za UN
05 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha nchini Bahrain kufuatilia harakati za vijana za kufanikisha haki za watoto waliozaliwa na usonji au Down Syndrome. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na uchambuzi wa methali “Jawabu la kesho andaa leo.”Awamu ya kwanza ya kampeni ya utoaji chanjo ya polio kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka 10 imehamia hii leo eneo la kusini mwa ukanda huo hususan Khan Younis na itakamilika Jumapili hii. Mama mmoja aliyepeleka mtoto wake leo amesema aliposikia tu chanjo inatolewa dhidi ya polio alikimbilia kituo cha jirani cha tiba ili ampatie chanjo kwani anahofia itasambaa kutokana na mazingira machafu ya majitakama wanamoishi. Awamu hii itamalizika Jumapili. Awamu ya Pili itaanza baada ya wiki nne.Nchini China Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anahudhuria mkutano wa China na nchi za Afrika, leo amehutubia mkutano huo na kueleza masuala kadhaa yakusaidia kusongeza nchi za Afrika ikiwemo haja ya kutatua changamoto ya nchi za Afrika kuwa na madeni makubwa na kushindwa kuwekeza katika miradi ya maendeleo, ushirikiano wa kusini -kusini na hitaji la Afrika kuwa na uwakilishi wakudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.Na leo ni siku ya Kimataifa ya ukarimu duniani, mfano mmoja tu wa ukarimu unaoendelea sasa duniani ni ule shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina UNRWA wanaopokea kutoka kila kona ya dunia kuanzia kwa watu maarufu, asasi za kiraia, mpaka watu binafasi, wote lengo likiwa ni kuwawezesha UNRWA kuhudumia wapalestina milioni mbili walio katikati ya mzozo huko Gaza.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, Mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anafafanua methali “Jawabu la kesho andaa leo.”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Habari za UN
Ufafanuzi wa methali "Jawabu la kesho andaa leo"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2024 0:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, Mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anafafanua methali “Jawabu la kesho andaa leo.” 

Habari za UN
Kemia na ujasiriamali vinavyoambatana katika Chuo Kikuu cha Kenyatta

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 4, 2024 4:39


Je umeshawahi kujiuliza ni kwa vipi wataalamu wa kemia wanahusiana na ujasiriamali? Kama ndivyo, basi vivyo hivyo kwa Assumpta Massoi akiwa Manama, nchini Bahrain akishiriki Jukwaa la Nne la Uwekezaji kwa Wajasiriamali, WEIF2024 lililoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda, UNIDO, Ofisi ya Uendelezaji wa Biashara, ITPO nchini humo, alikutana na Profesa Ruth Wanjau, Mtafiti na Mshauri wa Masuala ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati katika Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya. Alimuuliza maswali kadhaa ikiwemo ushiriki wake kwenye jukwaa hilo na nini anafanya kusongesha ujasiriamali.