Podcasts about kabla

  • 40PODCASTS
  • 125EPISODES
  • 20mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Feb 13, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about kabla

Latest podcast episodes about kabla

Habari za UN
Kati ya magofu na uhaba, vituo vya redio vinafanya juhudi kuunganisha tena jamii Gaza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 2:42


Kabla ya vita vya sasa kuanza katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina lilalokaliwa kimabavu na Israel, Redio ilikuwa chombo muhimu kwa umma na kwa hakika umuhimu wake haujakoma isipokuwa huduma ya matangazo ya redio ndio iliyokuwa imekoma kutokana na vituo vya redio kusambaratishwa kwa makombora, lakini sasa juhudi zinafanyika kuirejesha huduma hiyo muhimu. Anold Kayanda na taarifa zaidi.

Habari za UN
13 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 11:49


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Redio Duniani likitupeleka nchini Tanzania kusikia jinsi ambavyo redio inavyochochea maendeleo ya kijamii, nchini Uganda kumsikia mkimbizi kutoka DRC, na katika ukanda wa Gaza ambako redio inaunganisha tena jamii ndani ya vifusi.Leo ni siku ya redio duniani ambayo msingi wake unatokana na kuanzishwa kwa redio ya Umoja wa Mataifa tarehe 13 Februari mwaka 1946 jijini New York, Marekani. Kwa mantiki hiyo ikiwa mwaka huu redio hiyo ya Umoja wa Mataifa inatimiza miaka 80 tumeangazia mchango wa vipingi vyake vilivyokuwa vinarushwa na redio zingine ikiwemo iliyokuwa Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) nchini Tanzania wakati huo. Assumpta Massoi amemulika suala hilo.Katika maeneo ya migogoro, duniani redio huwa nguzo ya utulivu na wakati mwingine daraja la kuokoa maisha. Na ndivyo ilivyokuwa kwa mkimbizi Bahati Yohane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwani kwake, redio haikuwa tu combo cha habari ilikuwa dira ya kuokoa maisha yake.Kabla ya vita vya sasa kuanza katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina lilalokaliwa kimabavu na Israel, Redio ilikuwa chombo muhimu kwa umma na kwa hakika umuhimu wake haujakoma isipokuwa huduma ya matangazo ya redio ndio iliyokuwa imekoma kutokana na vituo vya redio kusambaratishwa kwa makombora, lakini sasa juhudi zinafanyika kuirejesha huduma hiyo muhimu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Radio Maria Tanzania
Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 59:15


Ungana nami Mtangazaji wako Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji Padri Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karol Lwanga – Ismani akitufundisha juu ya Dominika ya neno la Mungu. L'articolo Fahamu maandalizi yakufuata kabla ya kusoma neno la Mungu proviene da Radio Maria.

Rozmowy w RMF FM
Do zasilania największego okna na Wszechświat potrzeba 500 kilometrów kabla

Rozmowy w RMF FM

Play Episode Listen Later Jan 4, 2026 17:40


Polscy astronomowie,= w ramach Europejskiego Obserwatorium Południowego już w przyszłej dekadzie będą z pomocą teleskopu ELT odkrywać tajemnice Wszechświata i szukać planet pozasłonecznych zdatnych do życia. Na miejscu, na Pustyni Atakama w Chile nasz reporter miał okazję rozmawiać z polskim inżynierem, który buduje największy teleskop optyczny na Ziemi. Paweł Ścibior opowiedział Grzegorzowi Jasińskiemu, jak wygląda praca na pustyni, ile kilometrów kabli elektrycznych trzeba tam zainstalować i dlaczego niemal równa Hejnalicy Kościoła Mariackiego kopuła Ekstremalnie Dużego Teleskopu nie będzie wyposażona w zewnętrzne piorunochrony.

Siha Njema
Kabla kuchagua,kununua mafuta ya kupikia ,zingatia mambo hayo

Siha Njema

Play Episode Listen Later Oct 30, 2025 10:19


Mafuta ya mzeituni, alizeti, mafuta ya nazi,mafuta ya mawese ni baadhi ya mafuta kula ambayo yanapendekezwa kutokana na namna yanavyotengenezwa. Mengi hutengenezwa  kwa kukamuliwa ,bila kuongezwa kemikali bila kutumia joto,hivyo ubora wake ni wa juu.   Mafuta haya hata hivyo ni ya bei juu sana na watalaam wanashauri badala ya kuchagua mafuta ambayo si mazuri na ambayo yanaweza kuongeza mafuta ya Cholesterol mwilini na kusababisha matatizo ya afya ,machaguo mbadala ni mafuta ya uto . Mafuta haya yanaweza kutokana na mimea au mbegu.   Mfano ni mafuta ya Parachichi,Karanga  na hata Canola. Aidha watalaam wanatoa tahadhari kuwa ukitumia mafuta yako kupika ,usipende kuyarudia au kutumia kwa zaidi ya mara moja  na usiyaweke mahali wazi maana yanayoweza kugeuka mabaya bila wewe kufahamu.

Radio Maria Tanzania
Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 9, 2025 25:20


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu Cha Kikatoliki Ruaha Jimbo Katoliki Iringa, akijibu swali la Msikilizaji linalosema Nini maana ya Mavazi madogo wanayovaa Mapadre kama Mshipi, kitambaa Mgongoni na Kifuani vinavyovaliwa kabla ya Kanzu ya Padre.  L'articolo Je,unafahamu maana ya Mavazi wanayovaa Mapadre kabla ya kanzu ya Padre? proviene da Radio Maria.

padre nini radio maria karibu maana kabla maswali
Siha Njema
Vipimo vya afya kabla ndoa vitakusaidia kuchukua maamuzi sahihi ya afya

Siha Njema

Play Episode Listen Later Oct 3, 2025 9:55


Kama kuna kipindi watu wengi huwa tumbo joto, ni kusubiri matokeo ya kipimo cha HIV au magonjwa mengi ya zinaa.Au kuambiwa huna uwezo wa kizazi. Hata hivyo unapofanya vipimo hivyo itakuokoa kufanya makosa ambayo yanaweza kuathiri familia yako baadaye. Ikiwa utapima baadhi ya vipimo hivi muhimu utaweza kujipanga kifedha na kuchagua matibabu ambayo yanaweza kutatua changamoto za afya ambazo pengine umekutwa nazo.

Siha Njema
Je unafahamu vipimo vya afya unavyohitaji kupima kabla kufunga ndoa?

Siha Njema

Play Episode Listen Later Sep 24, 2025 10:13


Watu wengi wanapokaribia kufunga ndoa,hujukumika kufanya vipimo vya virusi vya HIV .Wengi hufanya kipimo hicho si kwa sababu wanajua umuhimu wake bali ni kwa sababu ya ulazima kabla kufunga harusi haswa za Kikristo. Hata hivyo watalaam wa afya wanasema kuna vipimo tele ambavyo ni muhimu pia na vinahitajika kufanywa kabla ndoa. Mwanasaikolojia Naomi Ngugi  anasema kando na kipimo cha HIV,kuna  kipimo cha Rhesus Factor ambayo kama mtu na mwenzake hana ufahamu ,wanaweza kupata shida ya kuharibika mimba. Kuna pia kipimo cha  Genotype  kubaini uwepo wa ugonjwa kama  Selimundu ,Hepatitis B,  Hepatitis C au homa ya ini,vipimo vya  Magonjwa sugu, Magonjwa ya akili na Vipimo vya uzazi kubaini ubora wa mbegu za kiume na matatizo ya  mirija kuziba upande wa wanawake.   Vipimo hivyo vinaweza kugharimu ndoa iwapo wanandoa hawataweka wazi.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 45:32


Karibu tuungane na jirani zetu Radio Tumaini katika kipindi Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Mwezeshaji ni Padre Dr. Clement Kihiyo Katibu mtendaji Idara ya Liturujia kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzaia (T.E.C) anafundisha kuhusu baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa watoto. Mtangazaji wako ni Valeria Mwalongo – studio za Radio Tumaini Msimamizi wa matangazo ni […] L'articolo Fahamu Baraka ya wazazi kabla ya kuzaliwa mtoto proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 28:05


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Erasto Mwanasindele kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu maswali haya, Nini maana ya ubatizo? kwanini ubatizo usiwe wa kujirudia, ninaomba kujua uhalali wa ubatizo wa watoto wachanga? na Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anaenda wapi? L'articolo Je, mtu akifa kabla ya kubatizwa anakwenda wapi? proviene da Radio Maria.

Siha Njema
Mipango tofauti ya matibabu ya matatizo ya Tezi koo ambayo hutumika Afrika

Siha Njema

Play Episode Listen Later May 28, 2025 10:06


Kabla mgonjwa yeyote kuanzishwa kwenye  matibabu, awe ana tatizo la tezi koo kuzalisha homoni kupitiliza au kushindwa kuzalisha, ni sharti vipimo maalum kufanyika Kipimo cha kwanzo ni inaangazia homoni tofauti inayozalishwa na tezi koo na hii mtu yeyote anaweza kufanya katika wakati wa kufanya vipimo kujua hali yake ya afya ,hapa mtu si lazima awe ameonesha dalili za tezi koo kuwa na tatizo.Kipimo cha pili ambacho ni muhimu huzingatia zaidi  viwango vya  homoni tatu muhimu zinazozalishwa na tezi koo ambayo ni  (TSH), thyroxine (T4), na  triiodothyronine (T3) .Matokeo yataamua ni mpango gani wa matibabu mgonjwa atapewa  dawa,kudhibiti homoni au kuzalisha homoni mbadala tezi koo inaposhindza kazi yake.Kando na dawa kama mpango wa matibabu ,wagonjwa wenye uvimbe wanaweza kushauriwa kufanya upasuaji kuondoa tezi koo ,sehemu yake au yote.Kuna pia mpango wa kutumia mianzi na madini ya Iodine maarufu kama Radioiodine mpango ambao ni sharti kufanywa kwa ueledi mkubwa na kwenye vituo vya afya vilivyo na vifaa vya viwango vya juu.

Superception
Ep. 114 - Hervé Kabla, multi-entrepreneur et auteur du livre "Comment planter sa boîte en 50 leçons"

Superception

Play Episode Listen Later Apr 27, 2025 81:50


Thème : les défis de l'entrepreneuriat. Hervé Kabla commente notamment son parcours (01:32), sa motivation pour écrire ”Comment planter sa boîte en 50 leçons” et l'écho rencontré par ce livre (24:35), la création d'entreprise avec des associés (32:21), le risque de quitter un emploi salarié et l'opportunité du congé pour création d'entreprise (35:22), les enjeux d'encadrement (43:29), le coût de l'avant-vente et les difficultés de la vente (46:03), les risques du télé-travail (51:40), l'importance de la culture d'entreprise (56:18), le rôle de la chance (59:37), les leçons et traces de son expérience (01:03:44), la situation française en matière d'encouragement à la création d'entreprise (01:09:50) et sa nouvelle aventure entrepreneuriale (01:15:43).

Wimbi la Siasa
Tanzania: CHADEMA yashinikiza mabadiliko kabla ya Uchaguzi Mkuu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 9:54


Mwezi Oktoba 2025, wananchi wa Tanzania, watashiriki kwenye uchaguzi Mkuu, kuwachagua madiwani, wabunge na rais. Hata hivyo, chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, kinashinikiza mageuzi kwenye sheria za uchaguzi kabla ya kufanyika kwa uchaguzi huo.Je, kitafanikiwa katika harakati zake ?

tanzania hata samia suluhu hassan kabla mkuu uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Mawaziri wa mambo ya nje wa UAE wanakutana Misri kabla ya mkutano wa viongozi wa kukabiliana na pendekezo la Trump kuutwaa ukanda wa Gaza. - Machi 03, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

donald trump gaza mambo machi misri kabla mkutano afrika mashariki
Habari za UN
Kutana na Celestin Mbaruku mkimbizi mnufaika wa Mpango wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 3:25


Kama mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Celestin Mbaruku hakuwa na fursa ya ajira rasmi hadi alipothibitishwa ujuzi wake kupitia mpango wa Serikali ya Kenya wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali, uliotengenezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO.Kupitia ILO Celestin Mbaruku ni mnufaika wa ufadhili wa PROSPECTS, ushirikiano wa kimataifa unaojumuisha mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ukilenga kuboresha upatikanaji wa elimu, ulinzi wa jamii, na ajira yenye hadhi kwa jamii zinazowakaribisha wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao.Kimakosa, Celestin Mbaruku akiwa nchini mwake DRC alidhaniwa kuwa muasi, akafungwa lakini akamudu kutoroka hadi Kenya.Kabla ya masaibu haya, huko DRC alikuwa Mwalimu anayesimamia nidhamu katika shule alikokuwa anafanya kazi ya lakini kwa kuwa vyeti vyake vilipotea, hata alipovuka kuingia Kenya, hakuwa na uthibitisho wa kiwango cha elimu yake licha ya kuwa ana diploma ya mbinu za ufundishaji.Na hapo ndipo ikabidi achomoe kibindoni ujuzi wake mwingine. Ujuzi binafsi, ufundi wa kushona nguo.Celestin sasa anafundisha wanawake wadogo shughuli za kushona nguo.Hatimaye mwaka jana, 2024, kupitia mpango wa Serikali ya Kenya wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali (RPL), uliotengenezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO utaalamu wake wa kushona nguo ambao haukuwa na cheti, ukathibitishwa rasmi na akapata cheti, hali ambayo imemfungulia milango ya kuomba ajira rasmi.

kenya congo prospects drc kama ilo kazi umoja makala rpl kakuma celestin mwalimu kabla jamhuri mataifa serikali shirika kidemokrasia kutana hatimaye
Habari za UN
Asante IFAD kwa kutuwezesha watu wenye ulemavu Liberia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 1:57


Nchini Liberia, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD umejengea uwezo watu wenye ulemavu wa kuona na kuwawezesha kuongeza vipato na vile vile uhakika wa kupata chakula. Simulizi ya Sabrina Moshi wa redio washirika SAUT FM mkoani Mwanza nchini Tanzania, inaelezea zaidi.Tuko kaunti ya Lofa, kaskazini kabisa mwa Liberia, magharibi mwa Afrika, tunakutana na Hawa Kamara, yeye ni mlemavu wa kutoona. Yeye pamoja na wenzake wa chama cha watu wenye ulemavu wa kutoona hapa Lofa, wanathibitisha kuwa unapoamua kufanya kitu, hakuna kinachokuzuia.Kupitia mradi wa Mabadiliko ya kilimo kwa wakulima wadogo na uchechemuzi wa kilimo biashara au STAR-P, mavuno ya mpunga kwenye shamba la kikundi hicho, yameongezeka kwa asilimia 300.Hawa anasema, “Mwanzoni hatukuwa na kitu kabisa. Tulihangaika sana kulima mpunga. Lakini baada ya IFAD kutufikia katika maisha yetu na kutusaidia, mambo yalianza kubadilika. Walitupatia pembejeo na mbegu za ubora wa juu kuanzisha mashamba. Tulitumia mbegu hizo kupanda kwenye mashamba yetu Bakadu.”Awali walilima ekari 1.2 tu, lakini baada ya kupatiwa vifaa vya kisasa vya kilimo wameweza kulima hadi ekari 4.3.Mavuno ya mpunga yameongezeka. Wanasagisha mashine, kiasi cham chele wanauza na ziada ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Hawa akiwa kwenye shamba lake la mpunga anasema,“Kabla ya STAR-P nilijihisi nimepotea na mpweke. Lakini sasa ninaweza kulima mwenyewe shambani, na ninaweza kujihudumia mimi na pia familia yangu. Zamani niliacha shule. Lakini baada ya kuanza mradi huu, nimerejea shuleni na ninataka kuwa mhasibu mkubwa duniani.”

Alfajiri - Voice of America
Trump ahotubia maelfu ya wafuasi wake Jumapili siku moja kabla ya kuapishwa kuwa Rais - Januari 20, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 20, 2025 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

LE BONHEUR C'EST LES AUTRES
Hervé Kabla : "Le bonheur c'est un souvenir"

LE BONHEUR C'EST LES AUTRES

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 28:25


Hervé Kabla est un homme brillant. Polytechnicien, à la fois ingénieur et spécialiste du marketing digital, il s'est depuis quelques années intéressé à la généalogie et a publié récemment chez Amazon « le guide pratique de la généalogie 2.0 » à l'attention des béotiens dans ce domaine.Interrogé dans un café bruyant de la Place de l'Alma à Paris, il nous délivre sa vision du bonheur qui, pour lui, est synonyme de souvenir. Il n'est donc pas question de profiter du moment présent mais de se remémorer les petits et les grands plaisirs passés.L'homme, sympathique, exprime aussi sa capacité à douter dans ces termes : « Le doute est le moteur essentiel de la vie ».Ecoutez ce nouvel épisode du podcast « Le Bonheur c'est Les Autres ». Hébergé par Ausha. Visitez ausha.co/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.

SBS Swahili - SBS Swahili
Levi "Wazazi wasi harakishe kuwatuma watoto ng'ambo kabla hawaja komaa"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 31, 2024 20:49


Wazazi wengi huwa na ndoto za kuwatuma watoto wao ng'ambo kufanya elimu ya juu.

wasi watoto kabla wazazi
Radio Maria Tanzania
Mfahamu mfalme Herode enzi za Utawala wake kabla ya kuja Kristo.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 48:39


Karibu uungane nami Happiness Mlewa , katika  kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu  kutoka  Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya   kukoseana na kusamehana akiwatazama Wafalme mbalimbali, leo anamzungumzia Mfalme Herode. L'articolo Mfahamu mfalme Herode enzi za Utawala wake kabla ya kuja Kristo. proviene da Radio Maria.

wake biblia kristo radio maria karibu kuja enzi kabla mfalme ujumbe chuo kikuu
Habari za UN
WFP: Bila msaada wa kibinadamu Wasudan watakufa kwa njaa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 28, 2024 1:35


Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, (WFP) leo kwa mara nyingine tena limetahadharisha kwamba bila msaada wa kibinadamu nchini Sudan, mamia ya maelfu wanaweza kufa kwa njaa. Vita vya kikatili nchini Sudan vimesababisha janga kubwa zaidi la njaa duniani, imeandika WFP katika ukurasa wake wa X leo Oktoba 28 na kufafanua zaidi kwamba mtu mmoja kati ya watu wawili nchini humo anatatizika kupata mlo kila siku.WFP inaeleza kuwa njaa imethibitishwa Kaskazini mwa Darfur na mahitaji ya kibinadamu ni makubwa sana.Kabla ya taarifa hii ya leo ya WFP, jana kupitia pia ukurasa wa mtandao wa X, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Cindy McCain ambaye hivi karibuni alikuwa Sudan mojawapo ya maeneo yenye njaa zaidi duniani, ambapo watu milioni 25 wanakabiliwa na njaa kali ameandika kwamba WFP iko Sudan inatoa msaada wa kuokoa maisha lakini wanahitaji kwa haraka mambo matatu ambayo ni kuwafikia watu ili kuwasaidia, misaada kuweza kupita katika kila kivuko na usaidizi zaidi wa kimataifa kwa Wasudani walio katika mazingira hatarishi.Kwa miaka mingi, Sudan imekuwa ikisumbuka na migogoro. Mgogoro wa hivi karibuni zaidi, ulioanza Aprili mwaka jana 2023, umezua janga baya zaidi duniani la watu kuhama makwao na janga kubwa zaidi la njaa duniani linalosambaa Sudan, Sudan Kusini na Chad.

sudan darfur bila wfp umoja kwa cindy mccain mataifa kabla aprili oktoba shirika sudan kusini
Alfajiri - Voice of America
Zaidi wa wamarekani milioni 15 tayari wamepiga kura za mapema wiki mbilli kabla ya siku ya uchaguzi kufika. - Oktoba 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 23, 2024 29:57


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

wiki kura milioni zaidi siku tayari kabla oktoba uchaguzi
Habari za UN
27 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 27, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea kipindi maalum. Leo mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ukiwa umeingia siku ya nne, miongoni mwa wahutubiaji ni Tanzania. Kabla ya kupanda katika mimbari ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili alipata fursa ya kuketi na mwakilishi wa taifa hilo katika mjadala huu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kuzungumza naye masuala kadhaa ikiwemo mzigo wa madeni kwa nchi zinazoendelea  na pia nafasi ya wanawake katika nyanja ya kimataifa. Lakini kwanza alitaka kufahamu Waziri Mkuu Majaliwa amekuja na ujumbe gani kutoka Tanzania kwenye mjadala huu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu nchini Lebanon, Imran Riza, akizungumza kutoka mji mkuu wa Lebanon, Beirut, kwa njia ya video amewaeleza waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi leo kwamba katika Lebanon kipaumbele kwa sasa ni kuhakikisha usitishaji mapigano wa haraka ili kukomesha mateso zaidi ya raia na uharibifu. Bwana Riza amesisitiza tena wito kwa jamii ya wahudumu wa  kibinadamu kwa nchi zote kutumia ushawishi wao kusaidia katika kupunguza machafuko kwa dharura.Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya Wanawake UN Women inaangazia athari kubwa za janga la kibinadamu linaloongezeka kwa wanawake na wasichana wa Sudan, wakiwemo milioni 5.8 ambao ni wakimbizi wa ndani.Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo mjini Geneva, Uswisi imetoa wito kwa mamlaka ya Haiti na jumuiya ya kimataifa kufanya zaidi kulinda watu na kuzuia mateso zaidi na kwamba hicho ndicho kinapaswa kuwa kipaumbele. Takwimu za hivi karibuni kutoka Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa takribani watu 3,661 wameuawa nchini Haiti tangu Januari mwaka huu.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

haiti lebanon tanzania sudan beirut umoja hii haki kiswahili lakini wanawake mataifa kabla mkuu ripoti septemba
Habari za UN
ECW yarejesha matumaini kwa msichana Fatima wa Nigeria

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 9, 2024 3:12


Alipokuwa na umri wa miaka 10 mnamo mwaka 2015, Fatima na familia yake walilazimika kutoroka nyumbani kwao Konduga, ili kuepuka mashambulizi kutoka kwa makundi yenye silaha. Konduga iko kilomita 25 kusini mashariki mwa mji wa Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria.Familia ya Fatima haikuwa na namna ya kumuandikisha katika shule yoyote rasmi. Alitumia muda wake mwingi kuuza chakula.Shukrani kwa usaidizi wa mfuko wa kimatifa wa elimu haiwezi kusubiri yaani Education Cannot Wait (ECW) na wadau wake wa kimkakati, Fatima sasa amesajiliwa katika mpango mesto unaolenga kuwapa elimu wasichana walio nje ya shule.Msichana huyu ni mmoja wa walengwa 250 wa programu ya miezi mitano ya kusoma, kuandika na kuhesabu, ambayo imemwezesha kusoma kwa lugha ya Kihausa na hata kuandika jina lake kama anavyoeleza."Niliingia katika shule ya ufundi baada ya kusikia kuihusu wakati nilipokuwa nimeenda kuuza chakua. Mara moja nilihifadhi kile nilichoenda kuuza kisha nikajiandikisha jina langu. Wale ambao tulikuwa hatuendi shule tulitambuliwa na kuchaguliwa. Tulifundishwa jinsi ya kusoma na kuandika. Kabla hapo nilikuwa siwezi hata kuandika jina langu.”Sehemu ya pili ya programu hii mseto ilihusisha kipengele cha ufundi ambapo wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi hupata mafunzo ya ufundi kwa muda wa miezi mitatu. Mpango unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, Norwegian Refugee Council (NRC) na Save the Children."Pia, sasa ninajua namba, na ninaweza kupima watu  ninaposhona." Anasema Fatima ambaye katika kipengengele cha ufundi yeye amechagua ushoni wa nguo.Mpango huu tayari umewanufaisha wasichana balehe 600 tangu kuanzishwa kwake, na kuwapa vifaa vya kuanzia na ujuzi wa kujitegemea. Fatima naye ana matumaini.“Nataka kujifunza stadi hii ili niwahishimishe wazazi wangu na wawe na furaha. Nikimaliza kujifunza nataka kuwa mtu wa kuwashonea ndugu zangu nguo.”Kama ambavyo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anatoa wito kwa nchi zote kuwekeza katika elimu na kufanya juhudi za kila namna kulinda elimu na maeneo ya kusomea, kulinda wanafunzi na walimu,  Mkurugenzi Mtendaji wa Education Cannot Wait (ECW) Yasmine Sherif, anaeleza namna ambavyo mfuko wa kimatifa wa elimu haiwezi kusubiri umejizatiti kuendelea kuiunga mkono elimu kote duniani wakati huo akitoa wito kwa kila anayeweza kuwaongezea nguvu afanye hivyo."Kuna ustahimilivu na watoto hawa wamepitia kiwewe na mambo mengi. Ni lazima tuwepo kwa ajili yao, na tunaweza kuona matokeo. Tunatazamia kuufanya tena mpango huu mwaka katika mwaka huu, tunatarajia kufanya hivyo kwa takribani dola milioni 15, kama sio zaidi. Ikiwa nyinyi nyote mtakuja na kutusaidia kuongeza."

children nigeria familia unicef wale ecw kama kuna umoja makala watoto maiduguri sehemu elimu kabla mataifa ikiwa norwegian refugee council nrc
Jioni - Voice of America
Maelfu ya waandamanji wakusanyika nje ya jengo la bunge la Marekani kabla ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, kulihutubia. - Agosti 07, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

israel benjamin netanyahu bunge agosti kabla jengo marekani afrika mashariki waziri mkuu
Wstawaj, szkoda dnia
Kawał kabla

Wstawaj, szkoda dnia

Play Episode Listen Later Jul 26, 2024 4:51


kawa kabla
Jioni - Voice of America
Maelfu ya waandamanaji wakusanyika nje ya jengo la bunge la Marekani kabla ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kulihutubia. - Julai 24, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 24, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

israel benjamin netanyahu bunge julai kabla jengo marekani afrika mashariki waziri mkuu
Jioni - Voice of America
Kiongozi wa upinzani Kenya asema kuwa haki inahitajika kabla ya mazungumzo na serikali - Julai 21, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 21, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

kenya haki kuwa julai asema kabla serikali kiongozi afrika mashariki
Alfajiri - Voice of America
Rais Joe Biden asifu mafanikio ya utawala wake miezi michache kabla ya uchaguzi wa rais - Machi 08, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 8, 2024 29:59


Alfajiri - Voice of America
Marekani ina matumaini kuwa sitisho la mapigano katika vita vya Gaza linaweza kupatikana kabla ya Ramadhani - Machi 05, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 5, 2024 29:59


gaza machi katika kuwa ramadhani kabla marekani
Jioni - Voice of America
Chama cha madaktari na wauguzi cha Kenya chatoa ilani ya siku 7 kwa serikali, kabla ya kuitisha mgomo wa kitaifa. - Machi 04, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 4, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

kenya chama machi siku kabla serikali afrika mashariki
Jioni - Voice of America
Israel inasema jeshi lake limetayarisha mpango wa kuwahamisha wakaazi wa Gaza kabla ya uvamizi unaohofiwa huko Rafah. - Februari 26, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 26, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

israel lake gaza jeshi kabla huko afrika mashariki
Alfajiri - Voice of America
Kampeni za uchaguzi DRC zimemalizika rasmi na sasa raia wanasubiri saa chache kabla ya vituo vya kupiga kura kufunguliwa rasmi nchini humo. - Desemba 19, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 19, 2023 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

humo kura sasa raia kabla uchaguzi desemba kupiga kampeni chache
Jioni - Voice of America
LIve Talk: Hali ni ya wasi wasi DRC wiki mbili kabla ya uchaguzi mkuu kutokana na ukosefu wa usalama na upungufu wa vifaa vya uchaguzi - Desemba 08, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 8, 2023 59:57


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

wiki live talk wasi kabla mkuu afrika mashariki desemba uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Wahamiaji wanahitaji taarifa gani kabla waje Australia?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 5, 2023 11:17


Kila mwezi makumi yama elfu ya wahamiaji huwasili katika miji mbali mbali nchini Australia.

Jioni - Voice of America
Wananchi wa Zimbabwe waiombea amani nchi yao kabla ya uchaguzi wa Agosti 23 - Agosti 20, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 20, 2023 30:00


zimbabwe agosti kabla uchaguzi wananchi
SBS Swahili - SBS Swahili
Ziara ya kombe la dunia ya anza nchini Australia kabla ya michuano hiyo kuanza

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 11, 2023 7:44


Tiketi milioni moja za kombe la dunia, la soka ya wanawake itakayo andaliwa nchini Australia na New Zealand zime uzwa tayari.

australia new zealand dunia anza hiyo kabla ziara kombe
Habari za UN
Sitisha uhasama miongoni mwa wakimbizi wa ndani Sudan Kusini: UNMISS 

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 9, 2023 0:02


Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS umetoa wito wa kusitishwa mara moja kwa uhasama miongoni mwa wakimbizi wa ndani katika Kambi ya Umoja wa Mataifa ya Ulinzi wa Raia nchini humo kufuatia tukio la jana Alhamis ambapo watu kadhaa waliripotiwa kujeruhiwa na wengine kuuawa.Video iliyorekodiwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) inaonesha gari la wagonjwa la Umoja wa Mataifa likisindikizwa na walinda amani likipita katika barabara ya vumbi katikati ya umati wa wakimbizi wa ndani katika eneo la Malakal nchini Sudan Kusini.  Kila mmoja aliyefanikiwa kusalia na chochote katika anavyovimiliki, amekibebeba kichwani, mgongoni au mkononi.  Jana muda wa mchana ghasia zilizuka kati ya jamii mbili za wakimbizi wa ndani ambazo zimehifadhiwa katika Kambi ya Umoja wa Mataifa ya Ulinzi wa Raia. UNMISS inasema vurugu hizo zilichochewa na tukio la kuchomana visu huku ripoti za awali zikitaja raia watatu kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa hadi kufikia jana Alhamisi mchana. Kabla ya hapo, hiyo-hiyo jana Alhamis asubuhi, milio ya risasi ilitanda alfajiri katika mji mkuu wa jimbo la Upper Nile, Malakal, karibu na makazi ya UNMISS.Walinda amani wa UNMISS waliingia kazini haraka kwa kuwa hali ya wasiwasi imekuwa ikiendelea hapa tangu mwisho wa wiki iliyopita, wakati mzozo katika kituo cha maji uliongezeka haraka na kuwa mzozo kamili ambapo mtu mmoja mwenye umri wa miaka 32 aliuawa. Kwa kuwa kambi ya walinda amani iko karibu na kambi ya Umoja wa Mataifa ya ulinzi kwa raia, mara zote walinda amani wako chonjo kuchukua hatua ya haraka pindi tu wanapopokea taarifa ya vurugu. Wakati wa mapigano ya mwezi uliopita, wanajeshi na polisi walinda amani walitumwa mara moja ili kutuliza hali hiyo. Polisi na walinda amani wa kijeshi kwa sasa wanashika doria ndani ya eneo hilo na kuzunguka eneo la nje, kwa ushirikiano na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini ili kuondoa hofu miongoni mwa jamii iliyokimbia makazi yao. Zaidi ya hayo, walinda amani matabibu katika hospitali ya UNMISS wanatoa huduma ya dharura kwa baadhi ya waliojeruhiwa.  Kwa mujibu wa usajili wa kibayometriki wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), kufikia Desemba mwaka jana 2022, baadhi ya watu 37,032 waliokimbia makazi yao wanajihifadhi katika Eneo la Ulinzi la Umoja wa Mataifa la Malakal. 

video zaidi umoja raia polisi kila kwa wakati kambi jeshi mataifa kabla unmiss shirika ujumbe miongoni desemba wananchi sudan kusini malakal alhamis alhamisi
Habari za UN
UNAIDS: Ili kutokomeza ukimwi ifikapo 2030 kila mtu lazima ajumuishwe hata watumia mihadarati

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 8, 2023 0:04


Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na vita dhidi ya ukimwi UNAIDS limesema ili kuhakikisha ukimwi unatokomezwa ifikapo mwaka 2030 basi kila mtu anapaswa kujumuishwa katika vita hivyo ikiwemo wafungwa na wanaotumia mihadarati, kwani Mifumo mingi ya magereza inajitahidi kukabiliana na msongamano, rasilimali duni, ufikiaji mdogo wa huduma za afya na huduma zingine za msingi, vurugu na matumizi ya dawa za kulevya.Nchini Moldova, gereza namba 16 la Pruncul moja ya magereza ambako UNAIDS inashirikiana na serikali na mamlaka za afya kuhakikisha wafungwa na hasa wanaotumia mihadarati wanapata huduma za kudhibiti virusi vya ukimwi au VVU na kukabiliana na athari za matumizi ya mihadarati.Shirika hilo linasema mwaka 2021, idadi ya wafungwa magerezani duniani kote iliongezeka kwa asilimia 24 ikilinganishwa na mwaka wa 2020 hadi kufikia zaidi ya watu milioni 10.Kwa mujibu wa takwimu za ofisi ya Umoja wa Mataifa ya dawa za kulevya na uhalifu UNODC katika baadhi ya nchi hadi asilimia 50 ya watu walio gerezani hutumia au hujidunga dawa za kulevya ambayo ni moja ya sababu kubwa ya maambukizi ya magonjwa yatokanayo na damu kama vile VVU na hepatitis C.Moldova ni miongoni mwa nchi zilizathirika na matatizo haya kwani tangu mwaka2000, ni magereza machache tu nchini humo yaliyokuwa yakitoa huduma za kupunguza madhara. Lakini sasa kwa msaada wa UNAIDS magereza yote 17 yana huduma na mfungwa yeyote mpya katika jela za nchi hiyo anawajibika kumuona daktari wa magonjwa ya akili, na daktari wa kawaida kwa vipimo na ikihitajika basi anajumuishwa katika mpango wa matibabu.Mfungwa Alexander Godin ni miongoni mwa waathirika anapitia katika milango kadhaa iliyofungwa katika gereza namba hili huku akisindikizwa na mlinzi hadi kwenye duka la dawa gerezani hapo. Hii ni sehemu ya utaratibu wake wa kila siku. Anakuja kuchukua dawa yake ya maji ya methadone baada ya kuacha uraibu wa dawa za kulevya, "Nimekuwa kwenye matibabu mbadala ya methadone kwa miaka 10. Familia yangu ilifanya uamuzi huu. Kabla ya hapo, nilitumia dawa za kulevya, afuni. Kwa hili, pesa zilihitajika, na hapo ndipo shida zilianza katika familia. Familia ilipendekeza niende kujiorodhesha kwenye zahanati inayotoa matibabu na tangu hapo nimekuwa kwenye mpango huo.” Methadone ni tiba inayosaidia watu kukabiliana na dalili za athari za mihadarati, msongo wa mawazo, kupunguza utegemezi wa heroini na kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwenye sindano zenye maambukizi.Maria Potrimba, mkuu, idara ya magonjwa ya kuambukiza, Gereza hapa anasema "Ikiwa mgonjwa yuko kwenye matibabu haya mbadala, anafahamu zaidi kuhusu athari na anazingatia zaidi matibabu yake."Maambukizi ya VVU ni asilimia 11 kati ya watu wanaojidunga dawa za kulevya nchini Moldova ambao ni zaidi ya asilimia 0.36 ya watu wote. Na ni moja ya makundi yaliyoathirika zaidi nchini humo.Svetlana Plamadeala, ni mkurugenzi wa UNAIDS nchini Moldova amasema, "Nchini Moldova mzigo wa VVU ni mkubwa zaidi miongoni mwa makundi muhimu na pia huathiri wafungwa. Ofisi UNAIDS nchini humu iliunga mkono serikali kufanya majaribio ya programu za kupunguza madhara na matibabu ya mbadala wa afyuni magerezani tangu mapema mwaka wa 2000. Leo tunasherehekea ukweli kwamba tumepanua wigo wa huduma hizo kutoka kwenye mradi wa majaribio hadi kwenye mfumo mzima wa magereza au kila gereza lina huduma hizo. Ni katika kutoa kipaumbele kwa watu na pia ni kuhusu mtazamo wa afya ya umma.”UNAIDS, na washirika wengine wa Umoja wa Mataifa kwa muda mrefu wamekuwa wakiunga mkono kupanua huduma hizi kwenye magereza yote.Kwa sasa, kulingana na Harm Reduction International, ni nchi 59 pekee duniani ndio zinazotoa huduma hizo katika magereza yake.

Habari za UN
Mradi wa ILO wawezesha wanawake wa kimasai Kenya kujua kusoma, kuandika na kuanzisha biashara

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 27, 2023 0:02


Nchini Kenya, mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO wa ubia wa maendeleo kati ya sekta ya umma na binafsi, PPDP umewezesha wanawake wa jamii ya kimasai katika eneo la Rift Valley kujiinua kiuchumi na kijamii. Thelma Mwadzaya na ripoti kamili kama ilivyoandaliwa na ILO.Mmoja wa wanufaika hao ni Mary Nkisonkoi kutoka kijiji cha Oloshaiki kilichoko eneo la Rift Valley au Bonde la Ufa nchini Kenya.Mary kupitia video ya ILO anasema alikuwa na bahati sana kuchaguliwa kuwa mwezeshaji wa jamii katika mradi wa PPDP.“Kabla ya mradi huu kuanza, wanawake katika eneo letu hawakuwa wanakutana na kuzungumza kwa uwazi na kina matatizo na changamoto zinazowakabili. Hatukuruhusiwa kufanya hivyo labda pale tu ambapo waume zetu walifahamu kile ambacho kinajadiliwa,” anasema Mary.Walikuwa wamezoea kusalia kijijini na kukutana kanisani na baada ya ibadi kila mtu anarejea nyumbani na kuendelea na wajibu wake wa kifamilia. Hatukufahamu kuwa sisi wanawake na akina mama tunaweza kufanya kitu na kusaidia kama jamii au kama wanawake.PPDP ikabisha hodi OloshaikiMradi wa PPDP ukaingia na ukaanza kufundisha wanawake kuhusu jinsia, haki za wanawake na tofauti kati ya mke na mume.“Hii ilituhamasisha kuzungumza na wanaume wetu,” anasema Mary huku akiongeza kwamba alifundishwa kuwa mwezeshaji ili kuwaleta pamoja wanawake na wanaume katika majukwaa ya umma. “Niliwaita wazee wa kijiji, wanawake, viongozi wa vikundi vya kijamii ili kujadili ni jambo gani lifanyike ili kuinua eneo letu.”Mabadiliko chanya ya kujivuniaMary anasema mabadiliko ya kwanza kutokea na ambayo anajivunia ni pale wanawake walipoweza kupata elimu ya watu wazima. “Tulifundishwa na mwalimu kutoka mradi wa PPDP. Tulifundishwa pia jinsi ya kuendesha biashara.”Wanawake wengi walijiunga na darasa kwa sababu “hatukuwa na njia nyingine ya kujipatia kipato. Kwa asili, wanawake hawawezi kuuza ng'ombe au mahindi kwa sababu shamba ni mali ya mume.”Walijipanga vema ili wasikose darasaMary anasema mwanzoni ilikuwa changamoto, lakini walijifunza kujipanga mapema kuhakikisha majukumu ya nyumbani na uchungaji wa mbuzi na ng'ombe unafanyika asubuhi. Ikifika saa 8 adhuhuri watoto wanaporejea nyumbani kutoka shuleni, wanawake walienda darasani.“Wanawake walijifunza alfabeti pamoja nan amba na matokeo yake waliweza kutumia simu za rununu au za kiganjani,” anasema Mary.Baada ya kujua kusoma na kuandika, nini kilifuatia?Mwezashaji huyu wa jamii anasema baada ya darasa la elimu ya watu wazima, walifikiria ni nini tena wanaweza kufanya na kuleta mabadiliko zaidi.“Tulianzisha kikundi cha upatu. Siku yetu ya soko ni jumatano ambako  wanawake wanauza maharage, viazi au mboga za majani. Tuliamua kukutana kila Alhamisi baada ya siku ya soko na kila mwanamke alete dola senti 40 au dola senti 81. Na iwapo mwanamke anataka kukopa fedha kukuza biashara yake, tunamkopesha na atarejesha na riba. Kisha tutampatia tena mwanamke mwingine akuze biashara yake.” Mafanikio mengine sasa wanaume wamepata uelewa wa kuwapatia wake zao nafasi na fursa kwa sababu Mary anasema, “nilipoketi nao kama mwezeshaji, niliwaeleza kuwa akina mama nao wanaweza kuleta kipato nyumbani, wakalipa karo na hata kununua chakula.”Sasa anasema wako huru kuanzisha na kumiliki biashara. Kila mwanamke anaweza kupeleka kitu nyumbani na kuweka mezani, hata kiwe kidogo kiasi gani.Hata shilingi 500 za Kenya saw ana dola 4.10. Tunawaambia waume zetu hiki ndicho nilichopata,” anasema Mary akiongeza kuwa hayo ni mabadiliko makubwa na hatuishi kama tulivyokuwa tunaishi zamani. Mary anasema “ninajiambia katika biashara yangu siku moja nitakuwa miongoni mwa nyota zinazong'ara kwenye eneo hili.” Kupitia ujasiriamali wa kukuza ng'ombe bora, Mary ameweza kujenga nyumba yake na anatamatisha akisema, “wanawake si watu wa kukandamizwa. Pale mwanamke anapoelimishwa, jamii itanufaika zaidi. Kwa hiyo…

kenya pale ufa bonde ilo kisha hata sasa umoja hii kila kwa siku rift valley baada wanawake biashara kabla mataifa kujua alhamisi
Alfajiri - Voice of America
Mpango wa ICC kumfungulia Joseph Kony mashtaka kabla hajakamatwa waibua hisia mseto - Desemba 01, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 1, 2022 29:59


Waathiriwa wa ukatili wa kundi la waasi la Lord's Resistance Army, LRA, nchini Uganda, wamekuwa na maoni mseto, kuhusu mipango ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuanzisha kesi dhidi ya kiongozi mtoro wa kundi hilo, Joseph Kony, bila kuwepo mahakamani.

lord uganda joseph kony lra resistance army kabla kimataifa desemba
Habari za UN
Kisima cha maji kinatumia nishati ya jua katika shule ya Msingi ya Daley, Garissa nchini Kenya.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 18, 2022 0:03


Msaada wa kisima cha maji uliofanikishwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF katika shule ya Msingi ya Daley kwenye Kijiji cha Daley, Kaunti ya Garissa nchini Kenya, umesaidia sana jamii hasa katika suala la elimu katika eneo hilo la nchi ambayo imekosa mvua ya kutosha kwa misimu mitano mfululizo.Ni wanafunzi wakiwa darasani, kwa uchangamfu wakijadiliana na mwalimu wao kuhusu umuhimu wa maji katika maisha ya kila siku. Nje ya darasa lao kunaonesha wazi hali ya ukame ilivyo ya kutisha. Ardhi imekauka na ni miti michache tu imebaki na ukijani. Kabla ya UNICEF kwa kushirikiana na jamii na serikali kuigilia kati, hali ya kukosekana kwa mvua imesumbua maisha ya wakazi wa hapa ikiwemo upatikanaji wa elimu kwa watoto wa jamii hii ya wafugaji kama asemavyo Mwalimu Mkuu Msaidizi, Wasula Samson Saiya anasema "Tuna takribani wasichana 146 na wavulana 200 jumla wanafunzi 346. Unagundua kwamba wengi wa wanafunzi wanachunga mifugo. Kwa hiyo, wakati wa ukame kama hivi unakuta pia wanahama na wanyama hao kule walikokwenda kulishia ili wawachunge. Kwa hivyo, tunajikuta tuna wanafunzi wachache darasani.” Ili kuitatua hali hiyo, UNICEF ilitoa msaada wa kifedha na kiufundi kuchimba kisima cha chini ya ardhi na kuweka mfumo wa kupaadisha maji kwa kutumia nguvu ya nishati ya jua na pia ujenzi wa upanuzi mpya wa bomba ili kuunganishwa na miundombinu iliyopo ya usambazaji wa maji. Takriban watu 6200 wakiwemo wanafunzi kutoka Shule ya Msingi ya Daley na Kituo cha Maendeleo ya Awali ya Watoto (ECDC) wanapata huduma ya maji salama. Aidha, zahanati moja ya afya ina huduma ya maji salama. Osman Aden Abdi, Naibu Mkurugenzi, Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, Idara ya Maji ya Kaunti ya Garissa anasema "Faida ni nyingi. Wakati tulipopata kisima, hali ya hatari katika suala la wanyama pori imepungua. Unyanyasaji wa kijinsia pia umepungua kwa sababu kioski hiki cha maji kiko mahali pa wazi sana. Tuna bahati sana kwa sababu umbali ni kama mita 50 tu hadi mahali pa maji. Inaokoa muda linapokuja suala la masomo ... unajua, katika maeneo yetu ni kukavu sana na joto sana. Kwa hivyo, tunawaruhusu wanafunzi kupata maji kila baada ya dakika 30...badala ya kurudi nyumbani. Kuna maeneo kadhaa ambako UNICEF, kwa usaidizi wa serikali ya kaunti imeweka mitambo ya nishati ya jua. Baada ya kisima hiki kilichimbwa na kuwekewa nishati ya jua, hakuhitajiki gharama zaidi, ili kwa muda mrefu jamii ziweze kujikimu zenyewe.” Kufikia Novemba 2022, katika Kaunti ya Garissa, UNICEF tayari imesaidia ukarabati wa mifumo 21 ya usambazaji wa maji na kufikia jumla ya watu 92,279 wanaopata maji salama. 

Alfajiri - Voice of America
Hali ilivyo nchini Qatar saa 48 kabla ya kipute cha Kombe la Dunia kuanza - Novemba 18, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 18, 2022 30:00


Wageni, wachezaji na mashabiki wa mpira wa miguu, wanaendelea kuwasili nchini Qatar, tayari kwa michuaao ya Kombe la Dunia mwaka 2022, ambayo itaanza rasmi kesho kutwa, na kwendelea hadi Desemba 18, wakati fainali itafanyika kwenye uwanja wa Lusail.

qatar dunia lusail kabla novemba kombe desemba
Habari za UN
Juhudi za UNICEF Uganda zafanikisha watoto kupata chanjo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 17, 2022 0:03


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na serikali ya Japan , wanaisaidia serikali ya Uganda kuimarisha uwezo wa mfumo wa uhifadhi wa chanjo baada ya mfumo wa afya kuathirika vibaya na janga la COVID-19, lengo likiwa kuhakikisha kila mtoto na kila mtu hasa katika jamii zisizojiweza anapata chanjo za kuokoa maisha. Taarifa zaidi inasomwa studio na Happiness Palangyo wa Redio washirika Uhai FM  (TAARIFA YA HAPPINESS PALANGYO)  Eneo la Lira Kaskazini mwa Uganda ni moja ya maeneo yaliyoathirika kwa kiasi kikubwa na janga la COVID-19 ambalo limeuacha hoi mfumo mzima wa afya ikiwemo huduma za uhifadhi na utoaji chanjo.  Lakini sasa kupitia uwekezaji mkubwa uliofanywa na shirika la UNICEF kwa ufadhili wa serikali ya Japan umerejesha matumaini ya wakazi na hususan watoto kupata chanjo wanazostahili kwani shirika hilo limenunua na kuweka majokofu maalum 115 ya kuhifadhi chanjo ya COVID-19 na kupiga jeki chanjo zingine za kawaida ambazo ni za kuokoa maisha kwa watoto. Dkt. Ochen Buchan Patrick ni afisa wa huduma za afya wilayani Lira anasema  “Huu ni uwekezaji mkubwa ambao utatusaidia sana kutoa huduma zote muhimu kwa saa 24 bila kuingiliwa na ukarabati wa mfumo wa baridi . Mfumo huu mpya sasa unafanya kazi vizuri kwa sababu unatumia  nishati ya sola na ninafurahi kwamba sasa hatuhangaiki kugawanyaganywa gesi na kisha Kwenda kukusanya mitungi. Hivyo gharama za uendeshaji zimepungua kwa kiasi kikubwa , lakini pia mfumo wetu wa baridi wa uhifadhi umeimarika sana.”  Kabla ya mfumo huu mpya wa kuhifadhi chanjo,ilikuwa changamoto kubwa kuwafikia walengwa na chanjo muhimu kama asemavyo Mirriam Adongo afisa wa program ya chanjo katika kituo cha afya cha Ogur  “Tulikuwa tunakwenda hadi Lira mjini kupeleka chanjo. Tulikuwa tunaendesha pikipiki hata wakati wa mvua , na chngamoto ya hali mbaya ya hewa, barabara mbaya vyote vilikuwa vinatusibu, lakini sasa kwa mfumo kuletewa hapa imefanya kuwa rahisi kwetu hata kutoka nje kwa sababu tunaweza kupata chanjo kwa urahisi na pili unatumia sola, kabla ya hapo tulipokuwa na mtambo unaotumia umeme , umeme ukikatika tu ilitulazimu kukimbiza chanjo zote hadi kwenye kituo cha wilaya cha kuhifadhi chanjo mjini ambayo ilikuwa kazi kubwa”  Uongozi wa huduma za afya wa Lira unasema sasa huduma zimeimarika na la msingi lililosalia ni kuhakikisha vifaa hivyo  vinatunzwa vyema na kudumu kwa mufda mrefu ili kuendelea kuihamasisha jamii na kuwapa chanjo muhimu.  Nalo shirika la UNICEF limesema furaha yake ni kuona lengo lililokusudiwa linatima kwani kwao kuwekeza katika vifaa hivyo vya mfumo wa bardidi wa kuhifadhi chanjo ilikuwa muhimu sana kama ilivyo kuwekeza kwenye upatikanaji wa chanjo zenyewe na sasa hata vituo vya afya vya vijijini kabisa vinaweza kuhifadhi chanjo zake, shukran kubwa kwa serikali ya Japan. 

covid-19 japan uganda unicef umoja nalo watoto lakini huu dkt mataifa kabla shirika redio
Habari za UN
Mradi wa kusoma na kuandika waleta manufaa kwa wanafunzi Zambia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 14, 2022 0:02


Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na masuala ya watoto UNICEF nchini Zambia kwa kushirikiana na serikali ya Zambia na Taasisi ya Hampel wanaendesha programu iitwayo Catch Up yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wa shule za msingi nchini humo kupata matokeo bora ya masomo ya hisabati na kusoma hususan wale waliokuwa na ufaulu mdogo wa masomo hayo na sasa matokeo chanja yameanza kuonekana, tuungane na Leah Mushi kwa Taarifa zaidi. Taarifa ya Leah Mushi Katika jimbo la Luapula nchini Zambia, video ya UNICEF inamuonesha mwalimu akitumia mbinu mbali mbali ikiwemo kutumia ubao , kuchora kwenye sakafu na chaki na hata kurusha mawe ili kuwaelimisha wanafunzi somo la hisabati. Wanafunzi hawa ni miongoni mwa zaidi ya wanafunzi 80,000 wanaopata masomo ya ziada ya somo hili la hisabati lakini likiwa na mbinu pia za kuwafanya wajue kusoma kupitia programu ya Catch up. Judith Chama ni mwalimu wa programu hiyo katika shule ya msingi Chiseta anasema hapo awali hali ilikuwa si nzuri “Kabla ya kuja kwa program ya Catch up, wanafunzi wetu walikuwa hawawezi kusoma nambari kama elf umoja na mbili, lakini baada ya kuanza kwa masomo mpaka sasa, wanafunzi ambao nipo nao darasani kwangu wanaweza kusoma 5366.” Katika shule nyingine ya msingi ya Pembeshi mwalimu Caroline Nsemiwe anasema mzazi wa mtoto mmoja alimpa ushuhuda kuwa mwanae ameimarika sana kwenye kusoma, hapo awali alikuwa anasoma herufi moja moja lakini sasa anaweza kusoma neno kamili. Kauli yake hii inaungwa mkono na wazazi Esther Bwalya na Akim Mulenge “Nikiangalia mtoto wangu alipokuwa awali na alipo sasa napata furaha sana, kuna utofauti mkubwa. “Watoto wetu wangekuwa nyuma sana kama wasingefikiwa na program hii mapema kwasababu Watoto walio darasa la 3,4 na la 5 wanafanya vizuri zaidi kuliko wale walio darasa la 6 na 7”. Habari hizi njema pia zinawapa furaha wafadhili wa mradi huo na kupongeza ushirikiano wanaopata kutoka kwenye uongozi wa jimbo la Luapula na wanaaamini matokeo hayo yatakuwa na manufaa bora zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda. Kwa sasa programu hii inatekelezwa katika wilaya nne za jimbo la Luapula, na mwaka 2023 inategemewa kuanza kutekelezwa katika wilaya zote za jimbo hilo.  

unicef zambia umoja kwa katika watoto habari kauli elimu mataifa kabla shirika
Habari za UN
Walimu wasio na sifa ni moja ya sababu za janga la elimu duniani- UNICEF

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 16, 2022 2:31


Mkutano wa Ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa kuhusu marekebisho ya mfumo wa elimu duniani ukianza leo katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limetoa taarifa inayoeleza idadi ya Watoto wasiojua kusoma imeongezeka ulimwenguni ikilinganishwa na miaka miwili iliyopita.Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Assumpta Massoi Jijini New York, Marekani katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, UNICEF wameweka mfano wa darasa kando mwa bustani ya mawaridi, darasa hili linaitwa “Darasa la Mgogoro wa kujifunza”, lengo ni kufikisha ujumbe wa changamoto ya elimu duniani hivi sasa.  Katika kuhakikisha wanafikisha ujumbe wa changamoto ya elimu UNICEF wameweka mfano wa darasa kando mwa bustani ya mawaridi katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, darasa hili linaitwa “Darasa la Mgogoro wa kujifunza”. Darasa hili limewekwa ubao na madawati lakini theluthi moja ya madawati hayo yametengenezwa kwa mbao na kuwekwa mabegi ya mgongoni ikiwakilisha theluthi moja ya Watoto wenye umri wa miaka 10 wanaokadiriwa kuwa na uwezo wa kusoma na kuelewa ulimwenguni. Kabla ya Janga la COVID-19 miaka miwili iliyopita watoto waliojua kusoma wenye umri wa miaka 10 ulimwenguni walikuwa nusu lakini sasa UNICEF linasema idadi yao ni theluthi moja hii ikiwa sawa na mtoto mmoja kati ya watatu ndio mwenye uwezo wa kusoma na kuelewa hadithi fupi. Katika taarifa yake iliyotolewa jijini New York Marekani Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF Catherine Russell ameeleza sababu za kuporomoka kwa uwezo wa Watoto kujua kusoma ni shule zilifungwa muda mrefu kipindi cha janga la CORONA na kuwaacha mamilioni ya Watoto bila ujuzi wa msingi wa kusoma na kuhesabu, elimu haikuwa bora na kufichua mapungufu mengi ndio maana idadi ya Watoto wasiojua kusoma na kuhesabu imeongezeka kwa kiwango cha kushtusha na kuonya hii ni hatari kwa Maisha ya baadae ya watu wote duniani. Taarifa hiyo imemnukuu Bi Russelle akisema “Mifumo yetu ya elimu ndio mwelekeo wa maisha yetu ya baadae. Tunahitaji kubadili mwelekeo wa sasa au itatubidi kukabiliana na matokeo ya kushindwa kuelimisha kizazi chote. Viwango vya chini vya kujifunza vya leo inamaanisha fursa ndogo kesho.” Wakati viongozi wakikutana katika Mkutano wa marekebisho ya mfumo wa elimu UNICEF imetoa wito kwa serikali kujitolea kuwafikisha Watoto elimu bora kwa kuongeza uwekezaji kwenye elimu, kuweka mazingira salama ya kujifunzia, kuandikisha Watoto wengi shule na kuboresha maslahi ya walimu. Mkuu huyo wa UNICEF amesema hali ya sasa ni mbaya “Shule hazina rasilimali, walimu wanalipwa ujira mdogo, walimu wengine wasio na sifa wanaajiriwa, msongamano wa wanafunzi madarasani, mitaala ya kizamani na vyote hivi vinasababisha Watoto kushindwa kufikia uwezo wa juu wa ufaulu.”  

covid-19 corona unicef moja maisha umoja katika catherine russell sifa watoto wakati janga shule elimu mataifa kabla mkuu marekani mkutano shirika walimu
SBS Swahili - SBS Swahili
Fikiri kwa makini kabla upige simu kwa 000

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 19, 2022 13:17


Jeshi la polisi lina wahamasisha wa Australia watumie namba ya (000) kwa dharura tu, na wawasiliene na polisi kwa matukio mengine yasiyo ya dharura kupitia namba zingine za huduma.

australia simu makini jeshi kabla
Habari za UN
Mabadiliko ya sera kuhusu bahari ni muhimu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 28, 2022 1:32


Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu bahari unaendelea huko Lisbon, Ureno. Mkutano huu umeanza tarehe 27 mwezi huu wa Juni na utamalizika tarehe 1 Julai 2022. Kabla ya kuanza kwa kikao cha ngazi ya juu, mkutano ulitanguliwa na jukwaa la vijana likileta pamoja wanaharakati na wachechemuzi vijana kuhusu masuala ya baharí wakionesha ubunifu wao wa jinsi ya kutatua dharura ya baharí, kama alivyooiita Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres .Miongoni mwa washiriki ni kijana Nancy Iraba mwanasayansi wa masuala ya bahari kutoka Chuo Kikuu cha Dare es salaam nchini Tanzania. Hapa akihoijwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa anaelezea jukwaa linajikita na nini.

dare tanzania sera lisbon umoja hapa bahari julai mataifa kabla mkutano miongoni chuo kikuu
Habari za UN
Sikufahamu kuhusu zao la mwani, sasa limenibadilishia maisha yangu- Marinda

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 27, 2022 3:37


Wakati mkutano wa dunia kuhusu bahari umeanza leo huko Lisbon nchini ureno kujadili namna ya kuhakikisha bahari inalindwa ili jamii zinufaike na uchumi utokanao na shughuli za kwenye bahari au uchumi wa buluu sambamba na faida nyingine nyingi, tunaelekea kijiji cha Kibuyuni, eneo la Shimoni, kaunti ya Kwale nchini Kenya kusikia jinsi maisha ya wakulima wa zao la mwani linalolimwa baharini yalivyobadilika baada ya mradi wa shamba la mfano la mwani ulioanzishwa na Taasisi ya Utafiti wa Majini na Uvuvi ya Kenya KMFRI kuleta manufaa kwa wanakijiji zaidi ya 2500 wa kijiji hicho. Kabla ya mradi huo maisha ya wanakijiji hao yalikuwa duni na jengo pekee lililokuwa limeezekwa mabati lilikuwa ni msikiti, lakini sasa wananchi hawa wana uhakika wakupata dola 300 kila baada ya siku 45. Ni kwa vipi basi, tuungane na Leah Mushi katika makala hii iliyofanikishwa na kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC nchini Kenya,

Habari za UN
IFAD yatatua mzozo wa maji baina ya wakulima na wafugaji nchini Sudan

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 31, 2022 2:34


Dunia hivi sasa imegubikwa na picha za mapigano huko Ukraine, lakini taifa hilo si sehemu pekee duniani inayokabiliwa na mizozo. Barani Afrika nchini Sudan, mapigano ya mara kwa mara ya kugombea maji na ardhi ya malisho kati ya wakulima na wafugaji yamekuwa yakisababisha majeruhi na wakati mwingine vifo, mabadiliko ya tabianchi yakizidisha hali mbaya zaidi.   Hata hivyo Umoja wa Mataifa kupitia mfuko wake wa maendeleo ya kilimo, IFAD na serikali wameweza kuketisha wakulima na wafugaji na angalau kuleta amani. Ni kwa vipi? Happinnes Pallangyo wa radio washirika Radio Uhai FM iliyoko Tabora nchini Tanzania anafafanua katika taarifa hii iliyofanikishwa na IFAD.  Taswira ya wanawake na watoto wakichota maji kutoka kwenye mabomba ya maji.   Pembeni nako kuna kisima cha maji kwa ajili ya mifugo.   Kulikoni katika taifa hili lenye mivutano itokanayo na uhaba wa maji na malisho?   Awdeeyer Abdullah Omer ambaye ni mfugaji anasimulia.  Anasema “zamani hali ilikuwa ni ngumu. Kabla ya ujenzi wa kituo hiki cha maji, tuliteka maji kutoka kisima kichafu. Wakati mwingine hakuna maji kabisa. Tulilazimika kutembeza punda wetu hadi mbali sana. Lakini sasa tunashukuru kuwepo kwa kituo hiki cha maji.”  Ujenzi wa kituo hiki ni miongoni mwa majawabu kutoka IFAD ili kuzuia mapigano ya wakulima na wafugaji.   Mabadiliko ya tabianchi yanakausha siyo tu maji na mimea bali eneo la malisho linasinyaa na wakulima wanashindwa pia kulima.  Nats.. Dkt. Mohammed Ahmed Hassan, Mtaalam wa IFAD anasema walifanya utafiti wa njia za wanyama ambako huko walijenga vituo vya maji ya kunywa kwa ajili ya wanyama.  Halikadhalika, IFAD na serikali ya Sudan pia walianzisha na kufadhili kituo cha utatuzi wa mizozo na ujenzi wa amani ambapo mizozo kati ya wakulima na wafugaji inapoibuka, basi hufika kituoni kwa ajili ya mashauriano.  Katika kipindi cha miaka 5 kituo kimoja huko Kordofan kimetatua zaidi ya mizozo mikubwa 35 ikiwemo katika eneo la Om Rowaba.  Meya wa mji huo Hassan Yaseem  El Hassan ambaye pia ni mshiriki kwenye kituo hicho anafafanua.  “Tunajaribu kuleta mafanikio kwa pande zote na kufanikisha makubaliano.”  Tangu mwaka 2018, mradi huu umewezesha ujenzi wa zaidi ya 190 vituo vya kuhifadhi maji vinavyosaidia zaidi ya kaya 78,000 kwenye eneo hilo la Sudan.  Wafugaji hawa wa kuhamahama penginepo watalazimika kuendelea kukabiliana na mabadilliko ya tabianchi, lakini suala la kugombea maji limesalia historia.