Podcasts about umuhimu

  • 40PODCASTS
  • 246EPISODES
  • 28mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Jul 7, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about umuhimu

Latest podcast episodes about umuhimu

Habari za UN
07 JULAI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 7, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya lugha ya Kiswahili nampisha John Kibego wa redio washirika, Kazi Njema Redio nchini Uganda, kukueleza  kuhusu harakati za kukuza lugha hiyo  barani Afrika wakati huu ambapo UNESCO imeshaitangaza miaka mitano iliyopita kuwa lugha ya kimataifa.John, anamulika mpango wa ujenzi wa makao makuu ya kamisheni ya Kiswhaili ya Mungano wa Afrika. Pia tunakuletea muhtasari wa habari.Ikiwa leo ni  maadhimisho ya tano ya Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Kiswahili chini ya Kaulimbiu "Kiswahili kwa Amani, Mshikamano na Diplomasia ya Uchumi wa Dunia" Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Togolani Mavura anafafanua ni kwa namna gani lugha ya Kiswahili inaweza kuyafanikisha hayo.Ugonjwa wa Ebola umeendelea kusambaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na idadi ya vifo vya watu imevuka 500 limesema leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO. Mwakilishi wa WHO nchini humo, Dkt. Anne Ancia akizungumza kwa njia ya video kutoka Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri mashariki mwa DRC ambako ni kitovu cha mlipuko huu, amewaambia waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi kwamba kufikia tarehe 4 mwezi huu, serikali ya nchi hiyo ilikuwa imerekodi wagonjwa 1,561, vikiwemo vifo 506. Taarifa njema ni kuwa…“Jaribio la kitabibu lilianza tarehe 2 Julai kwa lengo la kubaini tiba madhubuti dhidi ya ugonjwa huo unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo.”Na asubuhi hii kwa saa za New York Marekani, kwa mara ya 34 tangu mwaka 1992, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limekaa ili kujadili umuhimu wa kumaliza vikwazo vya kiuchumi na kibiashara vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Cuba tangu mwaka 1960. Katika barua ya mwaliko ambayo Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Annalena Baerbock amewapelekea wajumbe wa Baraza anasema, “ninayo heshima kukujulisha kwamba nimepokea barua iliyoambatanishwa ya tarehe 16 Juni 2026 kutoka kwa Mhe. Bwana Ernesto Soberón Guzmán, Mwakilishi wa Kudumu wa Cuba katika Umoja wa Mataifa, akiomba kuitishwa kwa kikao cha Baraza Kuu ili kujadili ajenda namba 38 yenye kichwa: “Umuhimu wa kukomeshwa kwa vikwazo vya kiuchumi, kibiashara na kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Cuba.”Mwenyeji wako ni Feissal Kirwa, karibu!

MAELEZO PODCASTS
Balozi Kombo Aeleza Umuhimu wa Ziara ya Rais Samia katika Kuimarisha Mahusiano ya Tanzania na Urusi

MAELEZO PODCASTS

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 25:29 Transcription Available


Send us Fan MailMkutano na Waandishi wa Habari kuhusu ziara ya Kitaifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, tarehe 7 Juni, 2026.Support the showIdara ya Habari MAELEZO 

Habari RFI-Ki
Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yana umuhimu gani nchini mwako

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 10:04


Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa  kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani  ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .

afrika yana rafiki gani karibu siku umuhimu mazingira maadhimisho
Habari RFI-Ki
Maadhimisho ya siku ya mazingira duniani yana umuhimu gani nchini mwako

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 10:04


Karibu kwenye kipindi cha habari Rafiki ,mada ikiwa  kuhusu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani  ambayo yatafanyika Ijumaa,huku kauli mbiu ikiwa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Tumekuuliza, serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ? Na je , sekta binafsi na wananchi wanapaswa kufanya nini sasa,ili kuimarisha mazingira,,karibu tuandamane pamoja .

afrika yana rafiki gani karibu siku umuhimu mazingira maadhimisho
Gurudumu la Uchumi
Umuhimu wa bara la Afrika kufanya biashara za ndani

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 3, 2026 10:01


Katika makala ya wiki hii, tunajadili ni kwanini nchi za Afrika zinapaswa kuongeza kasi ya ufanyaji wa biashara za wenyewe kwa wenyewe kukuza utangamano wa kikanda.

kenya afrika bara katika biashara umuhimu
Gurudumu la Uchumi
Umuhimu wa bara la Afrika kufanya biashara za ndani

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jun 3, 2026 10:01


Katika makala ya wiki hii, tunajadili ni kwanini nchi za Afrika zinapaswa kuongeza kasi ya ufanyaji wa biashara za wenyewe kwa wenyewe kukuza utangamano wa kikanda.

kenya afrika bara katika biashara umuhimu
Radio Maria Tanzania
FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 42:23


Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “umuhimu wa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia” Mwezeshaji wa kipindi hiki ni Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Kituo cha Tiba na Utengamao cha Anthonia Verna Kawe Mkoani Dar es salaam Bw. Asadi Mwengwa. Mtangazaji ni Agatha Kisimba. L'articolo FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA proviene da Radio Maria.

bw tiba radio maria karibu umuhimu kipindi fahamu
Radio Maria Tanzania
Umuhimu wa tumbo la Mama kama makazi ya muda ya mtoto mchanga kama safari ya kuzaliwa

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 16, 2026 51:44


Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa na Bwana Godfrey Mkaikuta , wakizungumzia […] L'articolo Umuhimu wa tumbo la Mama kama makazi ya muda ya mtoto mchanga kama safari ya kuzaliwa proviene da Radio Maria.

Siha Njema
Kwa nini kuna umuhimu wa kutumia dawa za minyoo baada ya miezi sita

Siha Njema

Play Episode Listen Later Feb 5, 2026 9:42


 Shirika la afya duniani ,WHO hupendekeza matumizi ya dawa za minyoo kwa watoto kati ya mwaka moja hadi 12 ,vijana wenye umri kati ya 13- 19 ,wanawake walio kwenye umri wa kupata watoto na watu wanaoishi katika maeneo yenye minyoo. Hii ni njia mojawapo ya kupambana na utapiamlo, Anamia na matatizo yanayoletwa na minyoo.

Radio Maria Tanzania
Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 44:01


Karibu uungane nami mtangazaji wako Happiness Mlelwa katika kipindi chetu pendwa cha Elimu Jamii, hapa studio tupo na Bi Irene Guela kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano huduma kwa wateja  kutoka TANESCO na Bi Catherine Mugoha Muhandisi nishati safi kutoka TANESCO, Wakitupa elimu kuhusu nishati na mita janja kupelekea maendeleo endelevu L'articolo Fahamu matumizi na umuhimu wa nishati ya umeme na mita janja kwa maendeleo endelevu proviene da Radio Maria.

mita janja radio maria karibu umuhimu fahamu maendeleo matumizi mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu maana na umuhimu wa viakisi mwanga barabarani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 36:14


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Usalama Barabarani, Wawezeshaji ni Staff Sajenti Aurelian Chuwa na Sajenti Abdala Isamail kutoka Traffic Makao Makuu wakizungumzia mada juu ya viakisi mwanga.  L'articolo Je, unafahamu maana na umuhimu wa viakisi mwanga barabarani? proviene da Radio Maria.

radio maria karibu maana umuhimu
Habari RFI-Ki
Kenya : Vyama vya kisiasa vina umuhimu kujenga demokrasia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Nov 20, 2025 9:56


Katika makala haya  tunaangazia nchi ya Kenya ambapo chama cha ODM kilichokuwa cha waziri mkuu wa zamani hayati Raila Odinga, kimeadhimisha miaka 20 tangu kuasisiwa kwake. Tunauliza je vya  kisiasa vina mchango gani katika kuimarisha demokrasia hapa Afrika? Skiza makala haya.

Habari RFI-Ki
Kenya : Vyama vya kisiasa vina umuhimu kujenga demokrasia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Nov 20, 2025 9:56


Katika makala haya  tunaangazia nchi ya Kenya ambapo chama cha ODM kilichokuwa cha waziri mkuu wa zamani hayati Raila Odinga, kimeadhimisha miaka 20 tangu kuasisiwa kwake. Tunauliza je vya  kisiasa vina mchango gani katika kuimarisha demokrasia hapa Afrika? Skiza makala haya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali kudhibitisha umuhimu wa wahamiaji kwenye uchumi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 4, 2025 5:42


Waziri wa Mambo ya Ndani, Tony Burke, anasema kwamba serikali inafanya kazi juu ya uwezekano wa kutambua ujuzi wa nje ya nchi. Anasema hii itasaidia kuokoa muda na pesa kwa wahamiaji wenye ujuzi wanaotafuta kuhamia Australia. Katika hotuba yake kwa Klabu ya Waandishi wa Habari huko Canberra, Bw. Burke pia ametangaza mabadiliko kwenye akaunti za benki zisizotumika ili kukabiliana na utakatishaji wa fedha.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu Dominika ya Kimisionari na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 17, 2025 44:27


Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC},  Mwezeshaji Padre Alfred Kwene, akitufundisha juu ya Dominika ya Kimisionari 2025 na wajibu wetu sisi Waamini. L'articolo Ifahamu Dominika ya Kimisionari na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 57:38


Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Familia Bora Nyumba Aminifu, wawezeshaji ni Wanafamilia Bora na Nyumba Aminifu, ambapo watatufundisha juu ya Mlango wa Nyumba aminifu katika Kuhubiri Injili. L'articolo Fahamu umuhimu wa nyumba aminifu katika kuhubiri Injili proviene da Radio Maria.

radio maria katika karibu umuhimu fahamu nyumba injili
Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu umuhimu wa Lishe wakati wa Uzee?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 56:02


Karibu uungane nami Martin Joseph, katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji wa Kindi ni Bi. Nusula Salum Afsa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Lishe na Chakula Tanzania, akitufundisha juu ya Lishe wakati wa Uzee.   L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa Lishe wakati wa Uzee? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu umuhimu wa malezi ya watoto katika familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 19, 2025 46:10


Zawadi ya Mungu, mali ya Mungu, msikilizaji mpendwa wa Radio Maria Tanzania na Mshirika wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Bunena Kagera, karibu usikilize kipindi cha Pro life Utetezi wa uhai, kinachokujia kila siku ya Jumanne saa nane mchana na marudio saa nne usiku, studio yupo Bwana Anthony Lihepa, Bi. Grace Shayo na Bi. Janeth […] L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa malezi ya watoto katika familia? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 43:32


Karibu katika kipndi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bw. Charles Mkumbwa, Afisa Kodi Mkuu Idara ya Elimu na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akizungumzia juu ya umuhimu wa kulipa kodi. Mtangazaji  ni Esther Magai Hangu. L'articolo Je, unafahamu umuhimu wa kulipa kodi? proviene da Radio Maria.

bw kodi radio maria karibu elimu umuhimu mamlaka
Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 52:47


Karibu katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Mwezeshaji ni Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza akizungumzia juu ya masuala ya ndoa. L'articolo Fahamu umuhimu wa Sakramenti ya ndoa katika Kanisa Katoliki. proviene da Radio Maria.

biblia radio maria katika karibu kanisa ndoa umuhimu fahamu ujumbe chuo kikuu
Radio Maria Tanzania
Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 45:24


Karibu kusikiliza kipindi cha Ijue Liturujia Takatifu ya Kanisa Katoliki,  ambapo leo tupo na padre Clement Kihiyo,  Katibu Mkuu Mtendaji wa Idara ya Liturujia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  akizungumzia juu ya umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki. L'articolo Fahamu umuhimu wa baraka ya wachumba katika Kanisa Katoliki proviene da Radio Maria.

baraka radio maria katika karibu kanisa umuhimu fahamu
Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 23:14


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake. L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Jioni - Voice of America
Radio na umuhimu wake - Februari 14, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

wake umuhimu afrika mashariki
SBS Swahili - SBS Swahili
Dkt Damacent afunguka kuhusu umuhimu wakuwafanya vipimo vya tezi dume

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 15:10


Wanaume mara nyingi hujipata katika hali tata kiafya kwa sababu ya kuchelewa kuchukua hatua zinazo faa kupata huduma.

dume umuhimu
Habari za UN
WMO: Moto Marekani umeonesha umuhimu wa tahadhari za mapema

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 2:35


Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani (WMO) leo hii likiwa limeutangaza mwaka jana 2024 kuwa mwaka uliokuwa na joto zaidi kuwahi kurekodiwa, leo pia WMO imeendelea kusisitiza umuhimu wa tahadhari za mapema kuhusu majanga ya tabianchi ili kuokoa maisha ya watu. WMO imeeleza kwamba tahadhari za mapema zilizotolewa na Idara ya Hali ya Hewa ya Taifa la Marekani  zimesaidia kwa kiasi fulani kuokoa maisha ya watu katika moto wa nyika uliosambaa na kuteketeza maeneo makubwa mji wa Los Angels katika jimbo la California. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

california moto umoja los angels wmo taifa mataifa umuhimu hewa marekani shirika
Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya vijana 500 kutoka nchi tofauti wakutana Arusha, Tanzania kuzungumzia umuhimu wa kumiliki ardhi. - Novemba 05, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 5, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

tanzania zaidi arusha vijana nchi umuhimu novemba
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa asali, Kujitambua

afya umuhimu
SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu wa itifaki zawa Australia wa asili ni nini kwa kila mtu?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 9, 2024 11:55


Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunako ishi.

Alfajiri - Voice of America
Wazazi watakiwa kutambua umuhimu wa malezi ya mtoto kwa pamoja - Juni 17, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 17, 2024 29:59


pamoja umuhimu wazazi
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mungu muumbaji, Umuhimu wa kufunga

mungu umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Muumbaji Mfalme, Umuhimu wa kufunga

SBS Swahili - SBS Swahili
The importance of understanding cultural diversity among Indigenous peoples - Umuhimu wa kuelewa tofauti zakitamaduni miogoni mwa wa Australia wa kwanza

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 22, 2024 9:20


Understanding the diversity within the First Nations of Australia is crucial when engaging with Aboriginal and Torres Strait Islander peoples and building meaningful relationships. - Kuelewa utofauti ndani ya jumuiya yawa Australia wa Kwanza ni muhimu unapo jihusisha nawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait pamoja nakujenga mahusiano yenye maana.

SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu wa kuelewa tofauti zakitamaduni miogoni mwa wa Australia wa kwanza

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 15, 2024 12:03


Utofauti tajiri ndani ya umma wa waAustralia wa kwanza ni kipengele cha kuvutia, kupinga dhana potofu ya kawaida kuwa watu wote ambao niwa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait wote wako sawa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Ushonaji wa jumuiya zawa Australia wa Kwanza una umuhimu gani kitamaduni

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 21, 2024 11:37


Moja ya mifano ngumu zaidi na ya kisasa ya teknolojia ya Jumuiya zawa Australia wa kwanza na tamaduni, huonekana kupitia kushuka.

SBS Swahili - SBS Swahili
Saada afunguka kuhusu umuhimu wakutokomeza ukeketaji

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 6, 2024 10:00


Februari 6 ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji, mashirika na mamlaka mbali mbali huandaa hafla zakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.

saada umuhimu
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakenya wafunguka kuhusu umuhimu wa siku ya Mashujaa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 26, 2023 13:44


Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.

nsw siku umuhimu
SBS Swahili - SBS Swahili
Penina aweka wazi umuhimu wakuzingatia afya yako ya akili

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 24, 2023 11:42


Ugonjwa wa afya ya akili una endelea kuwa kero kwa watu na jumuiya nyingi kote duniani.

akili penina yako afya umuhimu ugonjwa
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa kusoma Biblia

biblia mungu umuhimu maswali
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Muziki wa Kiadventista, Aina za sikukuu kibiblia

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Sep 2, 2023 29:00


Muziki ni sifa kwa Bwana, Umuhimu wa Sikukuu

aina bwana muziki umuhimu
SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu wakuwa na marafiki kutoka tamaduni mbali mbali

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 6, 2023 11:34


Kupata marafiki ni moja ya changamoto kubwa huwa tunakabili katika nchi mpya.

mbali umuhimu marafiki
Habari za UN
Fahamu Umuhimu wa yoga katika kujenga mwili

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 23, 2023 0:02


Aina nyingi za mazoezi zinaweza kusaidia kuimarisha maisha yako, lakini hapa tunazingatia zoezi ya yoga kwa sababu ni wiki hii tarehe 21 Juni ambapo ulimwengu umeazimisha siku ya Yogan Duniani.Maudhui ya mwaka huu ya siku hii “Yoga kwa ajili ya ustawi wa sayari moja, familia moja.” Kufahamu zoezi hii kwa undani pamoja na faida zake mwilini, tunamsikiliza mwalimu wa Yoga kutoka Kenya Zepline Ouma.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Muziki wa Injili, Tenda wema kwa watu

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Jun 3, 2023 29:00


Umuhimu wa Muziki wa Injili, tenda matendo ya huruma kwa wengine kwa kutoa msaada

tenda yesu watu muziki umuhimu injili
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa asali, kujitegemea binafsi

afya umuhimu
Habari za UN
UNESCO: Urithi wa Kiafrika bado haujatambuliwa kulingana na umuhimu wake wa kihistoria

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2023 0:03


Ikiwa leo ni siku ya urithi wa dunia wa Afrika, shirika la elimu, sayansi na utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO linasema urithi huo ambao thamani yake ya kipekee inaadhimisha leo, bado haujatambuliwa kulingana na umuhimu wake wa kihistoria, wa kibinadamu na wa asili.Kupitia ujumbe wake wa siku hii mkurugenzi mkuu wa UNESCO Audrey Azoulay amesema baada ya kupitishwa mkataba wa urithi wa dunia miaka 50 iliyopita na kuanza kutekelezwa rasmi mwaka 1978, miongoni mwa maeneo 12 ya kwanza kuingizwa kwenye orodha ya urithi wa duniani matatu yalikuwa barani Afrika hii ikimaanisha kwamba robo ya maeneo ya awali yaliyochaguliwa yalikuwa barani huo.Hata hivyo amesema “Leo, hii, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara inachukua takriban moja ya kumi ya maeneo yote yaliyoorodheshwa ingawa thamani ya urithi wake wa kipekee, bado haijatambuliwa.Ili kukabiliana na hali hii, na kuupa heshima ipasavyo kutokana na fikra za binadamu na kazi za asili zinazopatikana barani Afrika, UNESCO imeliweka bara hili kuwa kitovu cha mkakati wake wa urithi wa dunia.”Mkuu huyo wa UNESCO amesisitiza kuwa kuna haja ya kufikiria upya utekelezaji wa mkataba wa urithi wa dunia ili kukabiliana na changamoto zitakaoukabili miaka mingine 50 ijayo na hatimaye kufanikisha msingi wa mkataba huo wa urithi wa kipekee kwa dunia nzima.Ameongeza kuwa “Ni kwa sababu ya upekee wake wa kina, utofauti wake na utajiri wake ndiyo maana urithi wa Kiafrika ni wa ulimwengu wote na unahitaji tuutilie maanani. Mifano ya urithi huu ni pamoja na misikiti minane ya mtindo wa Wasudan nchini Côte d'Ivoire ambayo iliingizwa kwenye orodha ya urithi wa dunia mwaka jana, mbuga ya taifa ya wanyama ya Ivindo Gabon ambayo inahifadhi wanyama wengi walio hatarini kutoweka wakiwemo tembo.”Azoulay amehitimisha ujumbe wake kwa ahadi kwamba “Ili kutambua vyema urithi huu wa Kiafrika na kuwezesha mchango wake kwa urithi wetu wa dunia, tutahakikisha kwamba kufikia mwaka wa 2025, mataifa yote ya Afrika yanayotaka kufanya hivyo yatakuwa yamewasilisha angalau ombi moja la kujumuishwa kwenye orodha ya urithi wa dunia kwa msaada wa kisayansi na kiufundi kutoka kwa Shirika la UNESCO.”Shirika hilo linasema “ingawa Afrika ina uwakilishi mdogo kwenye orodha ya urithi wa dunia mali za Kiafrika zinachukua takribani asilimia 12 ya maeneo yote yaliyoorodheshwa  duniani, na asilimia 39 ya mali hizi ziko kwenye orodha ya urithi wa dunia ulio hatarini.”Ukikabiliwa na vitisho mbalimbali vya kisasa, mabadiliko ya tabianchi, maendeleo yasiyodhibitiwa, ujangili, machafuko ya kiraia na ukosefu wa utulivu, maajabu mengi ya urithi wa Afrika yana hatari ya kupoteza thamani yake bora ya ulimwengu.“Kwa hiyo ni suala la dharura zaidi kuliko wakati mwingine wowote kwamba urithi huu usioweza kubadilishwa ulindwe na kuhifadhiwa kwa ajili ya kufurahiwa na vizazi vijavyo.”Siku hii huadhimishwa kila mwaka Mei 5 na UNESCO inasema ni fursa kwa watu kote duniani, na hasa Waafrika, kusherehekea urithi wa kipekee wa kitamaduni na wa asili wa bara hilo.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa elimu kwa watoto wa jamii ya kimasai

watoto elimu umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Utaalam wa utungaji wa nyimbo, Maden

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Apr 8, 2023 29:00


Umuhimu wa muziki katika Ibada ya kumtukuza Mungu, Shinda tabia za Madeni

maden mungu muziki ibada umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa asali kwa afya ya mwanadamu, Kujitambua

afya biashara umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa asali kwa mwanadamu, kujitambua

afya umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa ibada

mungu ibada umuhimu
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Umuhimu wa kutunza muda kwa watoto

watoto umuhimu hadithi