POPULARITY
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Antony Lihepa, Grace Shayo na Janeth Akkaro kutoka Pro-life Tanzania, wakiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima na utetezi wa uhai. L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima katika utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akituongoza kujifunza Umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima. L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa mafundisho matakatifu wakati wa Kwaresima? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa walei, Mwezeshaji ni Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa walei, Jimbo Kuu la Dar es salaam akizungumzia juu ya Kwaresima na Msalaba. L'articolo Fahamu umuhimu wa Kwaresima na Msalaba. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Familia na Malezi katika Uhai. L'articolo Umuhimu wa Wanafamilia katika kutetea Uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masnja, katika kipindi cha Jinsia na Maendeleo, Mada ya leo Madhara Ukatilili wa Kijinsia Mtandaoni. L'articolo Fahamu umuhimu wa kushiriki kupinga ukatili wa Kijinsia Mtandaoni. proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha Umuhimu wakuwahubiria Majirani Habari Njema. L'articolo Je, wafahamu faida za kuwahudumia Watu wengine wanaokuzunguka katika Jamii. proviene da Radio Maria.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Wanaume mara nyingi hujipata katika hali tata kiafya kwa sababu ya kuchelewa kuchukua hatua zinazo faa kupata huduma.
Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha Umuhimu wakuwahubiria Majirani Habari Njema. L'articolo Habari Njema ni ipi? proviene da Radio Maria.
Makala haya yanazungumzia jinsi Wakulima wengi nchini Kenya wanakumbatia mbinu mpya za kudhibiti wadudu waharibifu wa mimea kwa kutumia madawa ya kiasili badala ya kemikali za viwandani. Kutokana na madhara yanayotokana na matumizi ya dawa za kemikali,wakulima hawa sasa wanageukia madawa hayo asilia kuimarisha mazao na mazingira , Mimea kama vile ,pareto,kitunguu saumu,pilipili na hata mtunguja pori yaani sodom apple sasa inatumika kutengeneza madawa hayo.
ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Utume wa walei, Wawezeshaji ni Padre Vitalis Kasembo, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Kuu la Dar es salaam na Bi. Rose Gerald, Katibu Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu la Dar es salaam, wakiendelea kuzungumzia juu ya karakana ya Uongozi wakijikita zaidi katika kujitambua. L'articolo Fahamu umuhimu wa Viongozi kujitambua. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami John Samky, katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu leo tupo na Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya Umuhimu wa kuwahubiria Habari njema wengine. L'articolo Fahamu Malezi ya Mtoto kiroho. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akiendelea kufundisha juu ya Kanuni ya Imani. L'articolo Fahama umuhimu wa kukua kiroho kupitia mafundisho mbalimbali. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha muendelezo juu sikuu Familia Takaifu na Uhai. L'articolo Umuhimu wa thamani ya Uhai. proviene da Radio Maria.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha muendelezo juu sikuu Familia Takaifu na Uhai. L'articolo Fahamu umuhimu wa kulinda Uhai katika Familia. proviene da Radio Maria.
Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani (WMO) leo hii likiwa limeutangaza mwaka jana 2024 kuwa mwaka uliokuwa na joto zaidi kuwahi kurekodiwa, leo pia WMO imeendelea kusisitiza umuhimu wa tahadhari za mapema kuhusu majanga ya tabianchi ili kuokoa maisha ya watu. WMO imeeleza kwamba tahadhari za mapema zilizotolewa na Idara ya Hali ya Hewa ya Taifa la Marekani zimesaidia kwa kiasi fulani kuokoa maisha ya watu katika moto wa nyika uliosambaa na kuteketeza maeneo makubwa mji wa Los Angels katika jimbo la California. Selina Jerobon na maelezo zaidi.
Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi Usalama Barabarani Wawezeshaji wetu ni Inspekta Nelson Mwambashi,kutoka ofisi ya RTO Mkoa wa Ruvuma – Kitengo cha Elimu na Utafiti, pamoja na Koplo Edmund Mchaki, Mkaguzi wa Magari kutoka RTO, wakielezea juu Nidhamu za njia . L'articolo Fahamu umuhimu wa kuzingatia nidhamu ukiwa eneo la Barabara. proviene da Radio Maria.
Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Ungana nami Mtangazaji wako Happiness Mlewa katika Kipindi cha Ijue Afya yako Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania Leo tupo na Juma Kupewa, Mshauri Kutoka Idara ya Moyo na Mapafu ya Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu Francis Ifakara akielezea umuhimu wa Mazoezi. L'articolo Fahamu Umuhimu wa Mazoezi. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Judith Mpalanzi, katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, Leo nipo na Padre Titus Amigu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino SAUT Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, akielezea Umuhimu wa Sala ya Nasadiki katika maisha ya Mkristo. L'articolo Ni, kwa namna gani Mtu anajishambulia mwenyewe? proviene da Radio Maria.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha muendelezo juu Noeli na Thamani ya Uhai. L'articolo Fahamu umuhimu na furaha wa Mtoto anapozaliwa katika Jamii. proviene da Radio Maria.
Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi, bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994. Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Ungana nami Mtangazaji wako Esther Magai Hangu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, leo tupo na Padre Leonard Maliva Paroko wa Parokia ya Ismani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kutufundisha juu ya Majilio. L'articolo Fahamu umuhimu wa ujio wa mkombozi wetu Yesu Kristo. proviene da Radio Maria.
Ungana nami John Samky, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha juu ya mlango wa Familia Aminifu. L'articolo Fahamu umuhimu wa kumjua Mungu katika Familia. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Happiness Mlewa, katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre Frank Mwinami kutoka Jimbo Katoliki Njombe, ujumbe wa leo unatoka Luka 17:5-10. Utumishi usiokuwa na faida. L'articolo Fahamu umuhimu wa kujitoa Sadaka. proviene da Radio Maria.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
L'articolo Fahamu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia? proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja, katika kipindi cha Chakula na Lishe Mwezeshaji Bi. Nyamizi Julias, Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNS) mada ni juu Ulaji wa Mbogamboga na Matunda . L'articolo Fahamu umuhimu wa ulaji wa Mbogamboga na Matunda. proviene da Radio Maria.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akielezea juu ya Umuhimu wa Dominika ya Misioni. L'articolo Dominika ya Misioni ni nini? proviene da Radio Maria.
Wito watolewa kwa umuhimu wa uchangiaji damu Tanzania
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti Faraja Kagera – Jimbo Katoliki Bukoba akituongoza kujifunza mada ya Bikira Maria Mama yetu wa Rozari Takatifu. L'articolo Fahamu umuhimu wa kusali Rozari Takatifu. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanaendelea na mada juu ya mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai. L'articolo Zifahamu faida ya umuhimu wa utetezi wa Uhai. proviene da Radio Maria.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya akijibu swali lina hoji anaomba kufahamu nafasi ya Ibada ya Rozari Takatifu moja ya ibada katika Kanisa Katoliki. L'articolo Je, wafahamu umuhimu wa Ibada ya Rozari Takatifu?. proviene da Radio Maria.
Umuhimu wa asali, Kujitambua
Kuzingatia itifaki zakitamaduni zawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait wa Australia, ni hatua muhimu kwa kuelewa na kuwaheshimu wamiliki wa jadi wa ardhi tunako ishi.
Mungu muumbaji, Umuhimu wa kufunga
Muumbaji Mfalme, Umuhimu wa kufunga
Understanding the diversity within the First Nations of Australia is crucial when engaging with Aboriginal and Torres Strait Islander peoples and building meaningful relationships. - Kuelewa utofauti ndani ya jumuiya yawa Australia wa Kwanza ni muhimu unapo jihusisha nawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait pamoja nakujenga mahusiano yenye maana.
Utofauti tajiri ndani ya umma wa waAustralia wa kwanza ni kipengele cha kuvutia, kupinga dhana potofu ya kawaida kuwa watu wote ambao niwa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait wote wako sawa.
Moja ya mifano ngumu zaidi na ya kisasa ya teknolojia ya Jumuiya zawa Australia wa kwanza na tamaduni, huonekana kupitia kushuka.
Februari 6 ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji, mashirika na mamlaka mbali mbali huandaa hafla zakutoa elimu kwa umma kuhusu jambo hilo.
Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.
Ugonjwa wa afya ya akili una endelea kuwa kero kwa watu na jumuiya nyingi kote duniani.
Umuhimu wa kusoma Biblia